Wema Sepetu amesema uhusiano wake na Diamond Platnumz kwa sasa ni imara
kwakuwa wamepitia mambo mengi pamoja yaliyowafunza mengi.
Akiongea na Bongo5 hivi karibuni akiwa jijini Durban, Afrika Kusini
alikoenda kuhudhuria tuzo za MTV MAMA, Wema alisema hakuna ambacho
hawajawahi kukupitia katika uhusiano wao ulioanza tangia mwaka 2014.
“Tumeexperiance good time together, bad time
Kauli ya Wema kuhusu uhusiano wake na Diamond: ....."Tunapendana mpaka tumepitiliza"
↧
↧
Flora Mbasha Avamiwa nyumbani kwake.....
SIKU chache baada ya tuhuma za ubakaji na mzozo wa familia ya mwimba
Injili mahiri nchini, Flora Mbasha na mumewe, Emanuel Mbasha, mambo
mengine yameibuka.
Yaliyoibuka safari hii ni taarifa kwamba, juzikati, Flora alivamiwa
na watu wasiojulikana nyumbani kwake, Tabata Kimanga jijiini Dar dakika
chache baada ya yeye kuingia na gari akitokea mafichoni anakoishi kwa
sasa.
Kwa
↧
Kombe la Dunia: Uholanzi yaitandika Hispania mabao 5-1
Robin Van Persie akimlamba
chenga kipa wa Hispania, Iker Casillas kabla ya kuifungia Uholanzi bao
la nne katika ushindi wa 5-1 kwenye mechi ya Kundi B Kombe la Dunia.
*******
Mabingwa watetezi wa kombe la dunia, Hispania wamerudishwa darasani
na Waholanzi waliokuwa na hasira ya kulipiza kisasi cha kufungwa kwenye
fainali ya mwaka 2010 kwa kupokea kichapo cha aibu cha mabao matano kwa
↧
Kombe la Dunia: Mexico yaibuka na Ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Cameroon
Oribe Peralta akiipatia bao Mexico katika dakika ya 61 ya mchezo.
Cameroon wameanza vibaya Fainali za Kombe la Dunia baada ya kukubali
kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Mexico kwenye mechi iliyopigwa usiku
nchini Brazil.
Bao la Mexico limefungwa na Oribe Peralta katika dakika ya 61 ya mchezo.
<!-- adsense -->
↧
Magazeti ya Leo Jumamosi ya tarehe 14 June 2014
↧
↧
Simulizi la Kusisimua: Mwanamke Msagaji Ameniambuka Virusi vya UKIMWI
Zuwena ( sio jina lake halisi ), ni mwanamke wa kitanzania mwenye umri wa miaka 43. Kwa sasa mwanadada huyu anaishi na virusi vya ukimwi.
Mwanadada huyu anabainisha namna alivyo pata maambukizi ya VVU kwa kujamiiana na mwanamke mwenzake, ama kwa lugha nyingine, Zuwena anaeleza namna ambavyo mwanamke msagaji alimuambukiza v.v.u wakati wakiwa na uhusiano wa jinsi moja...
Fuatilia kisa
↧
Dawa za nywele zinazosababisha uvimbe wa kizazi kwa wanawake
Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na
wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na
kumfanya apendeze na awe wa kuvutia.
Hata hivyo, wataalamu wa afya wanadai kuwa dawa
hizo zinasababisha uvimbe kwenye kizazi kutokana na kemikali za dawa
hizo ambazo huingia mwilini kupitia majeraha au ngozi wakati wa kupaka.
Daktari wa Manispaa ya Ilala,
↧
Picha: Baba Mlezi wa Mtoto wa Boksi akilia kwa uchungu Mahakamani baada ya kesi kubadilishwa na kuwa ya MAUAJI
Mama mzazi wa Omari Mtonga, Devotha Dibagula wa pili kutoka kushoto akimwangalia mwanaye Omari Mtonga anayeangua kilio baada ya mahakama ya hakimu mkazi kuwabadilishia mashtaka kutoka yale ya kula njama na kumtesa Nasra Rashidi (4) wakati wa uhai wake na kuwa kesi ya mauaji.
*********
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro juzi iliwabadilishia mashtaka washitakiwa watatu katika kesi ya
↧
Bibi kizee Mchawi adondoka toka Angani jijini Mwanza akiwa bila nguo.....Wananchi wataka kumchoma moto, polisi wamuokoa
Jana jiji la Mwanza lilikumbwa na kituko cha aina yake baada ya bibi mmoja kukutwa akiwa uchi wa mnyama baada ya kudondoka toka angani akiwanga....
Baada ya kuhojiwa na kundi kubwa la wananchi lililokuwa limemzunguka, bibi huyo alidai kuwa ametoka Bariadi lakini wenzake aliokuwa nao walimshusha baada ya kutokea ugomvi wakiwa angani.
Bibi huyo
↧
↧
Undani wa Sakata la Hausigeli mwingine ( binti wa kazi ) aliyekatwa katwa kichwani na kung'atwa na bosi wwake
Mtoto Merina Mathayo (15) amelazwa katika Taasisi ya Tiba ya
Mifupa (Moi) Muhimbili Dar es Salaam, baada ya kuteswa na kujeruhiwa
kichwani kwa kipigo maeneo mbalimbali ya mwili na bosi wake kwa miaka
miwili.
Merina amelazwa Moi baada ya kupewa rufaa na
Hospitali ya Mwananyamala alipokuwa amelazwa awali, kutokana na majeraha
hayo ambayo yanadaiwa kusababishwa kung’atwa kwa meno na
↧
Mheshimiwa Komba amsifia mkewe.....Asema hajawahi ona mwanamke mzuri na mvumilivu kama mkewe
"Sijawahi kuona mwanamke mzuri na mwenye imani kama mama Komba ( Salome ) jamani, unajua kulea watoto ambao mama zao wapo duniani ni kazi sana," alisema Komba katika kipindi cha mkasi kinachorushwa na East African Television
Mheshimiwa Komba alisema ana watoto tisa wakiwemo wa ndani ya ndoa na nje ya ndoa na wote wamelelewa na mke wake
↧
Kigogo wa Tanesco amkana mkewe kortini katika kesi ya matumizi mabaya ya madaraka
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),
Mhandisi William Mhando, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar
es Salaam, kuwa mshitakiwa wa pili (Eva Mhando) katika kesi ya matumizi
mabaya ya madaraka, si mke wake.
Mhandisi Mhando alitoa madai hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi, Frank
Moshi, alipokuwa akisomewa maelezo ya awali katika kesi hiyo na Wakili
wa
↧
Picha: Hatimaye mwili wa msanii George Tyson wazikwa leo nchini Kenya
Mwili
wa aliyekuwa mwongoza filamu za Kibongo, marehemu George Otieno Okumu
‘Tyson’ (41) aliyefariki dunia Mei 30, mwaka huu kwa ajali mbaya ya gari
nchini Tanzania na kusafirishwa kwao,Kenya umezikwa siku ya leo
kijijini kwao Siaya nchini Kenya.
Mama wa Marehemu George Tyson, Mwongozaji Filam maarufu nchini Tanzania
na Kenya akiweka udongo katika kaburi la mtoto wake, George Tyson .
↧
↧
Taarifa kwa umma kuhusu zoezi la Usaili wa nafasi ya mkaguzi msaidizi wa Uhamiaji lililofanywa na wizara ya mambo ya ndani ya nchi
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imebaini taarifa mbalimbali zinazozungumzwa na ambazo zimetolewa katika baadhi ya vyombo vya habari kuhusu zoezi la usaili wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji lililofanywa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi tarehe 13 katika Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam.
Wizara ingependa kutoa ufafanuzi kuhusu baadhi ya tuhuma zilizotolewa na baadhi ya wadau
↧
Jeshi la Polisi laanza kuwasaka waliohusika na mlipuko wa bomu huko Zanzibar ambapo mtu mmoja amefariki na wengine 7 wamejeruhiwa
Wakazi wa Zanzibar wako katika hali ya wasiwasi baada ya kushuhudia
tukio lengine la kulipuka bomu kwa viongozi wa dini huku safari hii
likiua kijana mmoja na kujeruhi saba.
Kwa mujibu wa mkurugenzi wa upelelzi na makosa ya jinai zanzibar
Sacp Yussf Ilembo, bomu hilo lilitupwa na mtu au watu
wasijulikana ambao walikuwemo ndani ya gari lilkuwa halina namba za
usajili ....
↧
Kombe la Dunia: Uruguay yakalia kuti la Moto....Yachapwa 3-1 na Costa Rica, Suarez akalia benchi mwanzo mwisho
Edinson Cavan aliifungia Uruguay bao la kuongoza kwa njia ya mkwaju wa penati.
Joel Campbell, Oscar Duarte na Marcos Urena waliifungia Costa Rica mabao yaliyowapa ushindi wa 3-1
Luis Suarez alikaa benchi, lakini hakutumika katika mchezo wa wa usiku huu.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=2114#sthash.PwSsNkBz.dpuf
Edinson Cavan aliifungia Uruguay bao la kuongoza kwa njia ya mkwaju
↧
Colombia waanza vizuri kombe la dunia kwa kuilaza Ugiriki 3-0
Goli la mapema lililofungwa na mlinzi Pablo Armero katika dakika
ya tano ya mchezo, kisha mshambuliaji Abel Aguilar Gutierez katika
dakika ya 58 akifunga kwa mguu wa kushoto katika dakika ya 58 na lile la
mwisho lililofungwa na kiungo James Rodriguez yaliifanya timu hiyo ya
Amerika Kusini kuibuka na ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Ugiriki
iliyoanza na wachezaji kumi wa klabu ya Olympiacos
↧
↧
England yaanza vibaya kombe la dunia.....Yachapwa 2-1 na Italia
Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku huu.
Timu
ya Taifa ya England imeanza vibaya kombe la dunia baada
ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya timu ya Taifa ya Italia
maarufu kwa jina la Azzuri mjini Manaus katika mchezo wa kundi D.
Italia walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza katika dakika ya 35
↧
Rais Mpya wa Malawi kuoa wiki Ijayo baada ya kuishi maisha ya ukapera kwa zaidi ya miaka 30
Wiki mbili baada ya kuitwaa rasmi Ikulu ya Malawi, Rais mpya wa nchi hiyo, Profesa Peter Mutharika anatarajiwa kufunga ndoa na Gertrude Maseko Jumamosi ijayo, baada ya kuishi maisha ya ukapera kwa zaidi ya miaka 30.
Mutharika, mdogo wa Rais wa Pili wa Malawi, Bingu wa Mutharika ambaye kwa sasa ni marehemu, alikuwa mume wa Christophine G. Mutharika, raia wa Visiwa vya Carribean na
↧
Utabiri wa Nabii: Mwanamuziki mkubwa wa Bongo Fleva atafia Jukwaani kabla ya kumalizika kwa mwaka huu wa 2014
Nabii anayetikisa kwa maono ya vitu mbalimbali Hosea Chamungu 'Mzee wa maono' ameibuka na jambo zito baada ya kufunga kwa siku tatu mfululizo huku akifanya maombi nyikani......
Akiongea na mwanahabari wetu mapema wiki hii, nabii Chamungu alisema kuwa amekuwa na desturi ya kufunga siku tatu kila wiki ili kupata maono ya mambo mbalimbali
↧
More Pages to Explore .....