Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Dr Mbalu: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

3 POWER :-dawa yakuongeza nguvu za kiume na kupona kabisa kwa siku nne tu ,usijaribu kutumia Viagra sababu hupunguza nguvu za kiume ,garantee miaka 60,kina baba rudisheni amani ndani ya ndoa

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2) (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2) (4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga
 
Haya yote yanawezekana kwa DR MBALU popote ulipo . Muone  DR MBALU,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46.Dar es salaam Tanzania. ,..Dr. MBALU  0744,92,29,82...You are welcome.

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Mtuhumiwa Kesi ya Wizi wa Milioni 7 kwa dakika Asomewa Mashitaka Mapya 506

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imewafutia mashtaka mfanyabiashara maarufu,  Mohamed Yusufali na mwenzake Arital Maliwala.

Hata hivyo, washtakiwa hao baada ya kufutiwa kesi hiyo na kutoka katika chumba cha mahakama, walikamatwa tena na kusomewa mashitaka mapya 506
likiwamo la kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya shilingi, huku kesi yao ikisajiliwa kwenye Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, maarufu Mahakama ya Mafisadi.

Wakati hali ikiwa hiyo, upande wa Jamhuri umemuunganisha Meneja wa Benki ya I&M Tawi la Kariakoo, Sameer Khan, kwenye kesi hiyo.

Awali, Yusufali aliyedaiwa na Rais John Magufuli kuiba Sh. milioni saba kwa dakika, pamoja na mfanyakazi wake, Arifali Maliwalla, walikuwa wakikabiliwa na mashtaka 601 likiwamo kutakatisha Sh. bilioni 14.

Hata hivyo, Upande wa Jamhuri jana ulibadilisha hati ya mashtaka kutoka mashtaka 601 hadi 506 na kumuunganisha Khan katika kesi hiyo yenye namba za usajili 8/2019 na kusomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustine Rwizile.

Katika kesi hiyo, Upande wa Jamhuri uliongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi Patrick Mwita akisaidiana na Mawakili wa Serikali, Esther Martin na Leornad Swai.

Wakili Mwita alidai kuwa, washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka 506, yakiwamo ya utakatishaji fedha, kuisababishia serikali hasara, kula njama, kutoa taarifa za uongo Mamlaka ya Mapato (TRA) na kughushi.
 
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, Wakili Mwita alidai kuwa upelelezi umekamilika na wapo katika hatua ya mwisho ya kuwasilisha taarifa Mahakama Kuu Divisheni Maalum ya Uhujumu Uchumi na Rushwa.

Hakimu Rwizile alisema kesi hiyo itatajwa Februari 28, mwaka huu na washtakiwa wote wapelekwe mahabusu.

Mashamba ya Mo Dewji, Sumaye Yaibua Mjadala Bungeni

$
0
0
Serikali imesema mashamba sita yanayomilikiwa na mfanyabiashara Mohamed Dewji ‘Mo’ yapo chini ya uangalizi na kama atashindwa kutekeleza masharti watayafuta.

Akijibu hoja za wabunge jana walizozitoa katika mjadala wa taarifa ya kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi alisema awali mfanyabiashara huyo alipewa onyo katika mashamba 12 kati ya 21 aliyokuwa akimiliki.

Alisema Serikali tayari imefuta hati za mashamba sita bado sita ambayo yapo kwenye uangalizi na kubainisha kuwa Tanzania ina mashamba makubwa 2000 ya kilimo na ufugaji.

“Haijatokea nikapata agizo kutoka kwa Rais kuwa nifute hati ya shamba la mtu,”alisema Lukuvi.

Alisema zoezi hilo ni utatuzi wa kero zilizotolewa na wabunge baada ya kuwapa dodoso la kuandika kero zao.

Alisema asilimia 60 ya kero zilizoandikwa na wabunge zilihusiana na mashamba pori na migogoro ya ardhi.

Lukuvi alisema kwa kipindi cha miaka mitatu wamefuta mashamba 46 katika maeneo mbalimbali ambayo yameshindwa kutimiza masharti.

Alisema katika utafiti waliofanya wamebaini mashamba hayo yametumika kama rehani ambazo zimewawezesha kupata zaidi ya Sh1 trilioni.

Lukuvi alisema kiasi hicho cha fedha kimeenda kuwekezwa katika miradi mingine na si kilimo ambapo kama wangewekeza fedha zote kungekuwa na mabadiliko kwenye sekta hiyo.

“Mheshimiwa Msigwa (mbunge wa Iringa Mjini-Chadema) hakuna uhalali wa kuunda kamati kwa sababu mambo haya yamefanyika kwa kufuata sheria. Nendeni mkahangaike na majimbo yenu,” alisema Lukuvi.

Awali, Wabunge wa Upinzani na  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliingia katika mvutano na gumzo  kuhusu taratibu zilizotumika kuyafuta, huku Spika wa Bunge, Job Ndugai, akilazimika kuzima mjadala huo, akisema anadhani suala la  Sumaye liko mahakamani, hivyo si jambo jema kuendelea kulijadili bungeni.

Kabla ya Spika Ndugai kuzima mjadala huo usiendelee, Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa, alisema haoni shida ya unyang’anywaji wa mashamba hayo, lakini taratibu zinazofanyika siyo sahihi.

Akichangia, Msigwa alisema pamoja na mambo mengine, kamati haikuweka baadhi ya mapendekezo yake katika taarifa ambayo ni kuitaka serikali kuunda kamati ya kuchunguza unyang’anywaji wa mashamba hayo.

Kutokana na kauli hiyo ya Msigwa, Mbunge wa Simanjiro (CCM), James Ole Millya,  alisimama na kuomba kumpa taarifa mzungumzaji huyo akisema: “Mheshimiwa Spika, naomba nimpe taarifa mbunge, mimi natoka Jimbo la Simanjiro, takribani mwezi mmoja uliopita, Waziri alifuta mashamba zaidi ya 200 na nina hakika mashamba haya yote yalikuwa hayajafuata utaratibu na wala asipende kumchafua waziri.”

Alipomaliza kutoa taarifa hiyo, Msigwa alimshangaa Millya akisema: “Mimi nadhani unaenda haraka, mimi sijamchafua sasa ni wapi namchafua, nimezungumza, nimesema sina tatizo kabisa na mashamba makubwa kunyang’anywa kwa mujibu wa sheria na kufuatwa utaratibu.”

“Nimetoa mfano moja, Mheshimiwa Sumaye alikuwa na shamba lake, alilipata kihalali na ameliendeleza mpaka wanachukua shamba lake, alikuwa na ng’ombe 200 kwenye shamba lake, alikuwa na kondoo 350, nyumba kubwa ya umwagiliaji, kisima na ghala la mazao, anaambiwa hajaendeleza, mimi nasema unyang’anyaji huu siyo sahihi.”

Alisema anafahamu kwamba Rais kubadilisha hati, anayo mamlaka hiyo na kwamba mpaka sasa  ukiangalia hali ilivyo, ukiangalia akina Mo (Mohamed Dewji) wamenyanganywa mashamba yao ni lazima kamati ya uchunguzi iundwe ili kuangalia unyang’anywaji unavyoenda.

Suala hilo lilimwinua kitini Mbunge wa Ulanga (CCM), Goodluck Mlinga, na kutoa taarifa kwa mzungumzaji huyo kwamba kinachoonekana kupigiwa kelele ni shamba la Sumaye.

Mlingwa amesema: “Hapa linalopigiwa kelele ni suala la shamba la Mheshimiwa Sumaye, ambaye taarifa zake ni hizi, alikuwa na shamba la ekari 326, amekaa nalo miaka 15, ameendeleza ekari sita, amejenga kibanda kimoja kina watu watatu.

“Katika shamba la Sumaye, kulikuwa na miembe mitatu, miche ya mahindi 76, mnazi mmoja, ng’ombe watatu, mbuzi 11, bata sita na kuku tisa.”

CCM Njombe Yaadhimisha Miaka 42 Kwa Kupanda Chai

$
0
0
Na   AMIRI KILAGALILA
Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Njombe jana kimeungana na wananchi wa kijiji cha uliwa kata ya Ihungilo mkoani Njombe katika zoezi la upandaji wa miche ya chai ili kukuza na kuendeleza zao hilo la kimkakati mkoani humo pamoja na kuadhimisha miaka 42 ya chama hicho tangu kilipozaliwa.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo, katibu wa siasa na uenezi wilaya ya Njombe HITLA BENJAMINI MSOLA amesema kuwa chama hicho kimeamua kufanya maadhimisho hayo kwa kushirikiana na wananchi wa kijiji hicho ili kuakisi ukombozi wa uchumi wa Tanzania.

“kwanza tumefikisha miaka 42 ya chama cha mapinduzi, na huko nyuma tulikuwa tukiadhimisha kwa ngonjera na nyimbo lakini kwa sasa tuko na ccm mpya inayofanya kazi kwa vitendo na tumeamua kufanya hivi na kufanya kazi ambazo zinaakisi ukombozi wa uchumi kwa mtanzania mmoja mmoja na Tanzania kwa ujumla,na chai itakwenda kulisha viwanda vyetu na ukiangalia zao hili la chai ni miongoni mwa zao la kimkakati hususani katika mkoa wetu na katika eneo hili ni zao ambalo linastawi vizuri”alisema MSOLA

DENIS MSIGWA ni mwenyekiti wa kikundi cha Mapinduzi kinachomiliki shamba hilo anasema kuwa,watu wengi katika kijiji chao walikuwa na hamasa ndogo katika kilimo cha chai hivyo kupitia hamasa hiyo anaimani zao la chai litalimwa kwa wingi katika kijiji chao ukilinganisha na vijiji vingine vilivyopo katika tarafa ya IGOMINYI.

“kwa kweli tumehamasika kwa kuona viongozi wetu tuko nao pamoja hapa, na hamasa itakuwa kubwa kwa kuwa watu awali walidhani kilimo hiki hakina tija lakini kwa kuja kwa viongozi hawa tunauhakika sasa wananchi wamehamasika zaidi ya kipindi cha mwanzo licha ya elimu tuliyokuwa tukiipata”alisema DENIS MSIGWA.

Kwa upande wake afisa kilimo wa halmashauri ya ya mji wa Njombe ELNEST NGAPONDA amewataka wakulima wa chai kuonyesha juhudi katika kilimo hicho kwa kuwa kitakuwa na uhakika wa kipato ukilinganisha na mazao mengine ya viazi na mahindi.

“kwasababu soko lipo na bei nzuri ipo inatolewa na kiwanda cha Uniliver wakulima watakuwa na uhakika wa kipato na ukiangalia wataalamu watakaotoa maelekezo ya kitaalamu wapo kwa kufanya hivyo ni lazima tu wakulima hawa watakuwa na kipato kizuri kuliko kutegemea mazao ya mahindi na viazi yanayoathiliwa na bei kila wakati, muhimu wakulima wajiunge katika vikundi ili serikali iweze kuwawezesha baadhi ya pembe jeo”alisema Ngaponda

Naye meneja wa kampuni ya NOSC  PHILBET KAVIA wadau wakubwa wa zao la chai mkoani Njombe amesema kuwa wataendelea kumsaidia mkulima wa chai kwa kila Njia licha ya kuwepo kwa changamoto mbali mbali ikiwemo ubovu wa miundombinu.

“lengo letu Nosc ni kuinua kipato kwa mkulima maskini mmoja mmoja ambao ukiangalia ni mtizimo wa serikali na serikali hii inaongozwa na chama cha mapinduzi sasa kuja kwa viongozi hawa maeneo haya hawa wananchi wanapata faraja na nguvu ya kufanya kazi kupitia serikali yao,lakini changamoto kubwa tulizonazo ni barabara na unajua mashamba hayapo vijijini kwenye village centre  na hazipo chini ya Tarula, na hapa kikubwa ni kuona jinsi gani hizi barabara zinaboreshwa ili kupunguza gharama kwa mkulima na hata kwa kampuni na kufikisha pembejeo kwa urahisi mashambani”alisema KAVIA

Zaidi ya miche 500 ya chai imepandwa na viongozi mbali mbali wa chama na wananchi katika shamba la moja ya kikundi cha wakulima kijijini hapo katika maadhimisho ya miaka 42 ya chama cha mapinduzi yaliyofanyika kiwilaya katika kata ya Ihungilo.

Kampuni Ya Uturuki Yaonesha Nia Kuwekeza Katika Sekta Za Uchukuzi, Utalii, Nishati, Usafiri Wa Anga Na Ujenzi

$
0
0
Na. OWM, DODOMA.
Kampuni ya MNG Group of Companies ya nchini Uturuki imeonesha nia ya kufanya uwekezaji mkubwa nchini katika sekta mbalimbali; zikiwemo sekta za Uchukuzi, Utalii, Nishati na Usafiri wa Anga.

Uwekezaji huo umebainishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya MNG Group of Companies, Mehmet Gunal, wakati alipokutana na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Mhe. Angellah Kairuki (Mb), jijini Dodoma, tarehe 5 Januari 2019.

Waziri Kairuki amebainisha kuwa nia ya serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha uwekezaji wenye tija nchini, na kwa kutumia mfumo wa sera ya  Ushirikiano baina ya sekta Binafsi na Umma inahakikisha inavutia wawekezaji zaidi nchini.

“Tunazo fursa na miradi inayohitaji mitaji ya uwekezaji hapa nchini, jukumu letu ni kuhakikisha wawekezaji mnapata mazingira wezeshi katika fursa na miradi mnayotaka kuwekeza ili nchi iweze kupata tija kutokana uwekezaji huo” Amesisitiza  Mhe. Kairuki.

Akiongea katika kikao hicho mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya MNG Group of Companies, Mehmet Gunal, amefafanua kuwa , Kampuni hiyo iko tayari kuwekeza nchini katika Sekta mbalimbali, kwa kuwa wamevutiwa na mazingira ya uwekezaji ya hapa nchini.

Aidha, Gunal alifafanua kuwa wamejipanga kutumia  fursa na miradi yenye kuhitaji uwekezaji nchini ili kuweza kufanya uwekezaji mkubwa , pia alisema kampuni yake ipo tayari kuwekeza hata kwa mfumo wa sera ya ushirikiano baina ya Sekta ya Binafsi na Umma au kuwekeza wao wenyewe.

Kampuni ya MNG Group of Companies inao uzoefu katika masuala ya uwekezaji kwa miaka 42 katika mabara matatu Duniani, ikiwa  imejikita katika uwekezaji  kwenye sekta sita na tayari hadi hivi sasa imetekeleza miradi zaidi ya mia mbili  katika mabara hayo.

Baadhi ya Miradi ambayo imetekelezwa na Kampuni hiyo ni pamoja na , Bwawa la kufua Umeme la Chief Dam la nchini Algeria,  Ujenzi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa  KOTOKA (terminal III),  wa  nchini Ghana, Ujenzi wa makao makuu  ya na Benki ya Halk nchini Uturuki.

Kikao hicho kilihudhuriwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi, Isack Kamwelwe, Wataalamu wa masuala ya Uwekezaji na maendeleo ya Sekta Binafsi   wa Ofisi ya Waziri Mkuu, pamoja na wataalam kutoka   Kituo cha Uwekezaji nchini.

MWISHO. 

Misri yakubaliana na Tanzania kujenga kiwanda kikubwa cha nyama na ngozi

$
0
0
Na. Saja Kigumbe
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina amesema serikali za Tanzania na Misri zimekubaliana kuanzishwa kwa kiwanda kikubwa cha nyama na mazao ya ngozi hapa nchini.

Waziri Mpina amebainisha hayo (05.02.2019) ofisini kwake jijini Dodoma mara baada ya kupata ugeni kutoka nchini Misri ukiongozwa na Waziri wa Kilimo wa nchi hiyo Prof. Ezzaldin Aboussteit.

“Tunaenda kujenga kiwanda kikubwa cha kusindika nyama, cha kusindika ngozi, cha kusindika mazao ya ngozi, kiwanda ambacho hakipo katika nchi hizi zote za Afrika ya Mashariki na Kati.” Alisema Mhe. Mpina

Waziri Mpina amemuhakikishia waziri huyo wa Misri kuwa rasilimali za mifugo na uvuvi zilizopo nchini zipo salama na kwamba wizara imekuwa ikifanya jitahada kuhakikisha samaki hawavuliwi kwa njia haramu na hakuna biashara haramu ili kuhakikisha rasilimali hizo zinanufaisha viwanda vya ndani na wawekezaji watakaokuja kuwekeza katika sekta hizo.

Aidha Waziri Mpina amemuarifu Waziri wa Kilimo wa Misri Prof. Ezzaldin Aboussteit kuwa hakuna mifugo inayoruhusiwa kuingia nchini kutoka nje ya nchi bila ya kuwa na vibali na kuwa usimamizi wa nchi katika rasilimali za mifugo na uvuvi uko salama.

Katika kikao hicho kilichoongozwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina, kilihudhuriwa pia na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, makatibu wakuu wa wizara hiyo pamoja na manejimenti ya wizara.

MWISHO.

Imetolewa: Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

                    Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Rais Magufuli Apongezwa Dhana ya Uchumi wa Viwanda

$
0
0
Na: Lilian Lundo – MAELEZO
Mkurugenzi Mkuu wa Sayona Drinks Limited na Mwenyekiti wa Wamiliki wa Viwanda nchini, Subhash Patel amempongeza Mhe. Rais Magufuli juu ya dhana ya uchumi wa viwanda nchini ambao umeonesha mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka mitatu tangu aingie madarakani.

Patel ameyasema hayo wakati wa mahojiano maalum  katika kiwanda chake cha Sayona  kilichopo Chalinze, mkoani  Pwani.

“Viwanda vingi tulivyovianzisha vimetokana  na kauli ya Mhe. Rais ya kujenga uchumi wa viwanda. Rais Magufuli ameitoa dhana hii kutoka rohoni kwake, tunampongeza na tunaona namna inavyofanikiwa,” amesema Patel.

Amesema, katika kipindi  cha miaka mitatu cha Serikali ya Awamu ya Tano, viwanda 3600 vimesajiliwa na viwanda vingi kati ya hivyo vikiwa  katika  mkoa wa Pwani.

Ameendelea  kusema, tangu kiwanda  hicho kianze kufanya kazi Agosti, 2018 jumla ya Watanzania 450 wamepata ajira na wengine wakiendelea kuajiriwa kadri kiwanda kinavyoendelea kuzalisha.

Vilevile amesema, kiwanda hicho kimetoa ajira kwa wakulima wa matunda, ambao huuza matunda yao moja kwa moja kiwandani. Pia kiwanda kimekuwa suluhisho kubwa la kupatikana kwa soko la matunda nchini badala ya kuachwa na kuharibika mashambani.

“Nchi nyingi za Afrika matunda yamekuwa yakiharibika njiani au mashambani. Lakini sisi  tunawapa  elimu wakulima  wa  matunda  namna ya kuyatunza matunda hayo ili yaweze kufika kiwandani yakiwa hayajaharibika,” amesema Patel.

Kwa upande wake, mkulima wa matunda  ya maembe kutoka Handeni, Tanga, Mbwali Chewe amesema, soko la matunda ya maembe lilikuwa gumu katika kipindi cha miaka ya nyuma, kutokana na kutokuwa na soko la uhakika.

“Ujio wa kiwanda cha Sayona ni faraja kubwa kwetu  wakulima wa matunda nchini, kwani sasa tunasoko la uhakika la kuuza matunda. Nimekuja na lori 6 za maembe kutoka Handeni ninategemea kupata milioni 2,” amesema Chewe.

Nae, Mtunza Stoo na Mtoa Mizigo wa Kiwanda hicho, Khadija Ngoka ambaye ni mzaliwa wa mkoa wa Pwani amesema uwepo wa kiwanda hicho umesaidia kutoa ajira kwa watu wa aina zote, waliokuwa na elimu na wasiokuwa na elimu, wazee na vijana bila kubagua jinsia, dini au kabila.

“Kiwanda cha Sayona, hapa Chalinze kimepunguza kwa kiwango kikubwa idadi ya watoto wa mitaani, kutokana na wengi wao kwa sasa wanapata ajira mbalimbali kama za ulinzi, usafi na vibarua hapa kiwandani,” amesema Khadija.

Kiwanda  cha Sayona mkoani Pwani kiliwekwa jiwe la msingi na Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli Juni 2017 na kimeanza kufanya kazi Agosti 2018. Ujenzi wa kiwanda hicho umegharimu dola za kimarekani Milioni 55 ambapo kimejikita katika uzalishaji wa juisi za matunda ya Embe, Pasheni, Pera, Chungwa na Nanasi.

Tangu kiwanda kianze uzalishaji kimeshanunua matunda mbalimbali kutoka   Njombe, Kahama, Tanga, Shinyanga, Tabora, na Pwani.

Aidha, kiwanda kimekuwa kikichangia huduma mbalimbali za jamii kwa wananchi wanao zunguka kiwanda, kama vile kutoa huduma ya gari la wagonjwa, gari la zimamoto pamoja na hospitali iliyopo ndani ya kiwanda hicho. Pia imechangia ununuzi wa madawati kwa shule za msingi na sekondari pamoja na vifaa vya mahospitalini katika mkoa wa Pwani.

Aliyepigwa Risasi Kanisani Na Mkurugenzi Azikwa.....Wazri Jafo Alaani Tukio Hilo, Atoa ONYO Kali

$
0
0
Nteghenjwa Hosseah, Itigi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amelaani vikali vitendo cha watumishi wa umma kutumia nguvu nyingi dhidi ya wananchi hali inayopelekea kuletea machafu kwenye jamii na hata kupelekea mauaji ya wananchi wasiokuwa na hatia.

Jafo amelaani vitendo hivyo wakati wa mazishi ya marehemu Isaka Petro aliyefariki  jumamosi katika vurugu zilizotokea katika kanisa la Waadiventisti Wasabato Itigi kundi Namba Two na kuzikwa nyumbani kwao kijiji cha kazikazi kata ya Kitaraka;  Mazishi hayo pia yamehudhuriwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Singida pamoja na Wilaya ya Manyoni.

Jafo amesema tukio hilo lilitokea sio agizo la Serikali na waliotekeleza wamefanya kwa utashi na akili zao binafsi na hawakuagizwa na mtu yeyote na zaidi wametenda kinyume cha maadili ya utumishi wa umma.

“Hakuna namna tunaweza kusema vinginenevyo kuhusu tukio hili zaidi ya kuwa tukio baya na la kusikitisha sana kuwahi kutokea kwa wananchi wetu, tena likiwa limetekelezwa na watumishi wa Serikali inasikitisha sana nawasihi watumishi wa umma tutangulize utu mbele katika kila kazi tunazozifanya”

Aliongeza kuwa watumishi wa umma haijalishi unafanya kazi gani katika mazingira gani lakini hakikisha unatanguliza ubinadamu kwanza ili tulinde maisha yetu na ya wale tunaowahudumia haipendezi wewe ukawa chanzo cha mtafaruku katika jamii tusaidie kuwaunganisha wananchi na kuwafanya kuwa kitu kimoja na sio kuwa chanzo cha ugomvi na mafarakano.

Kwa taarifa nilizopewa na nimezithibitisha ni kuwa wote waliohusika na tukio hili wameshakamatwa na vyombo vya Ulinzi na Usalama bado vinaendelea na taratibu zao alisema Jafo.

Katika msiba huo Waziri Jafo akiwa na viongozi wa Mkoa wa Singida alitoa pole kwa familia ya marehemu sambamba  na rambirambi pia alishirikiana na ndugu, jamaa na marafiki katika shughuli zote za mazishi ya marehemu Isaka Petro nyumbani kwao kazikazi.

Akizungumza katika mazishi hayo Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi  amesema kuwa msimba huo ni pigo kwa Serikali pamoja na wananchi wote wa kijiji cha kazikazi.

“Serikali inawahudumia wananchi walio hai na sio wafu sasa mwananchi wetu anapotutoka tena kwa kifo cha kwa namna hii na sisi tunapata pigo kwa sababu dhamira yetu ya kufikisha huduma bora kwake haitafikiwa”

Sisi kama Serikali tuna wajibu wa kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya wananchi wetu kufanya shughuli zao kwa usalama wa hali ya juu sasa wajibu huu unapotekelezwa kinyume na taratibu zetu ni makosa ninatoa na kila mtu atawajibika kwa kadiri ya kosa lake alisema Dkt. Nchimbi.

Aidha Dr Nchimbi aliwaeleza wananchi wa kazikazi pamoja na Kitaraka kuwa wale wote wanaolima katika Shamba la Kitaraka waendelee na shughuli zao kama kawaida na wasilipe ushuru wa shilingi elfu ishirini kama ilivyokuwa hapo awali mpaka hapo yatakapokuja maelekezo mengine.

“Watumishi wa halmashauri mupeleke ujuzi na pembejeo kwa wakulima wadogo wa shamba la Kitaraka na sio kwenda kuwabugudhi kwa kuwadai ushuru nyie endeleeni na wawekezaji wenu wakubwa kwa kadiri ya makubalino mliyoingia lakini hawa wananchi  wanaolima ekari moja moja waacheni waendelee na kilimo chao” alisema Dkt. Nchimbi.

Naye Mchungaji wa Kanisa la Waadiventista Wasabato Itigi Kundi Namba Two Manigina F.S Manigina aliwaasa wanakijiji cha kazikazi kutokua na kisasi na kumuomba Mungu ili tukio kama hilo lisitokee tena katika kijiji chao.

“Visasi ni vya Mungu nyinyi msiweke visasi na mtu ila endeleeni na maisha yenu kama kawaida na Mungu atazidi kuwashushia baraka zake katika kazi zenu” alisema Mchungaji Manigina.

Katika vurugu zilizotokea siku ya jumamosi katika kijiji cha kazikazi eneo la Kanisa la Waadiventista Wasabato Kundi Namba Two baina ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi akiwa na askari wa wanyamapori na baadhi wa wananchi wa kijiji hicho zilipelekea kifo cha kijana Isaka Petro mwenye umri wa miaka 28.

Marehemu ameacha mke na watoto watatu.

Rais Trump kukutana na rais Kim Jong-un kwa mara ya Pili

$
0
0
Rais Trump amethibitisha kwamba atakutana kwa mara ya pili na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un Februari 27 na 28 nchini Vietnam.

 Viongozi hao walikutana kwa mara ya kwanza mwezi June mwaka 2018 nchini Singapore.

Katika hotuba kwa taifa iliyoambatana na kauli mbiu "Choosing Greatness", aliapa kwa mara nyingine kujenga ukuta mpakani.

Huku akihimiza umoja, kiongozi huyo wa Republican pia amesema jitihada za 'uchunguzi ulio na upendeleo' wa Democratic huenda ukaathiri ustawi wa Marekani.

Hotuba hiyo kuu ya rais Trump imejiri baada ya pengo la muda mrefu kuwahi kushuhudiwa katika historia, la kusitishwa ufadhili kutoka kwa serikali ya nchi hiyo.

LIVE: Rais Magufuli Katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria

$
0
0
LIVE: Rais Magufuli Katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Ondoa Kibamia Na Tibu tatizo la Nguvu Za Kiume Kwa Dawa Hii Ya Mitishamba

$
0
0
JILO HERBAL CLINIC

ONDOA KIBAMIA NA ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA DAWA HII YA MITISHAMBA AMBAYO NI KOMESHA KWA TATIZO SUGU LA NGUVU ZA KIUME

SUPER MBONGOSHI; Ni dawa ya mitishamba ambayo inatibu tatizo la nguvu za kiume inakufanya kuchelewa kufika kileleni na kuongeza hamu ya kuendelea kufanya tendo.
 
SUPER MBONGOSHI2 Ni dawa ya mitishamba ambayo ina nenepesha na kurefusha maumbile mafupi au yaliyosinyaa na kuufanya kuwa imara dawa hii inasafisha mishipa ya Uume ambayo imedhurika na matatizo mbali mbali kama vile kupiga punyeto kwa mda mrefu,ngiri,kisukari,vidonda vya tumbo na mengine mengi.
 
DR.JILO Pia anatibu magonjwa mengine kama vile kisukari,ngiri,ugumba,pressure n.k

KWA HUDUMA ZA JILO HERBAL CLINIC WASILIANA NA DR.JILO SASA UPATE DAWA HII .UTATUMIWA POPOTE PALE ULIPO PIGA SIMU
0752723508

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Wimbo Mpya: Fid Q Ft. Isha Mashauzi X Rich Mavoko X Big Jahman - BAM BAM

$
0
0
Wimbo Mpya: Fid Q Ft. Isha Mashauzi X Rich Mavoko X Big Jahman - BAM BAM

Wimbo Mpya: Ray C - Umezima

Bei mpya za mafuta ya Petrol na Dizel kuanzia leo February 6

$
0
0
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zimepungua ikilinganishwa na mwezi uliopita.

Taarifa iliyotolewa na kaimu mkurugenzi wa Ewura, Nzinyangwa Mchany inasema bei hizo mpya zitaanza kutumika kuanzia leo Jumatano Februari 6, 2019.

Inaeleza kuwa bei za jumla na rejareja kwa mafuta yaliyoingizwa nchini Tanzania kupitia Bandari ya Dar es Salaam, zimepungua kwa viwango tofauti. 

Inaonyesha kuwa wateja wa rejareja watapata unafuu wa shilingi 175 kwa lita ya petroli wakati wale wa dizeli wakishushiwa kwa shilingi 144 na mafuta ya taa shilingi 156.

Hata kwa bei za jumla, petroli imepungua kwa shilingi 174.03 kwa lita, dizeli kwa shilingi 143.65 na mafuta ya taa shilingi 155.32 na kueleza kuwa kupungua kwa bei hizo kunatokana na kuendelea kushuka kwa bei katika soko la dunia.

Licha ya mabadiliko hayo ya bei, mikoa ya kaskazini itabaki kama mwezi uliopita kutokana na kuwapo kwa shehena iliyopokelewa Januari, 2019 kupitia Bandari ya Tanga huku kukiwa bado kuna akiba kubwa iliyoingizwa Desemba 2018.

Inafafanua kuwa bei za mafuta kwa mikoa ya kusini zilikokotolewa kulingana na gharama za mafuta yaliyopokelewa katika Bandari ya Dar es salaam lakini wiki ya pili ya Januari Bandari ya Mtwara ilipokea shehena ya petroli hivyo kubadili ukokotozi.

Kuanzia Januari 25, 2019 bei ya rejareja ya petroli na dizeli katika mikoa hiyo zilikokotolewa kwa gharama za Bandari ya Mtwara hivyo zitaendelea kubaki kama zilivyo kuanzia tarehe hiyo.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Taarifa kutoka SUMATRA kwa wamiliki wa Daladala Dar

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images