Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Ommy Dimpoz aachia wimbo mpya ‘Ni Wewe’ kumshukuru Mungu

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz ameachia video ya wimbo mpya ‘Ni Wewe’ ambao amemshukuru Mungu kwa kumpa afya njema mpaka sasa.

Ommy Dimpoz amewasili nchini Wikiendi iliyopita, akitokea Ujerumani alikokuwa akitibiwa kwa miezi miwili.

Utazame hapo chini  au <<U Download Hapa>>


Video Ya Wimbo wa Papii Kocha – Wasalimie

$
0
0
Video Ya Wimbo wa Papii Kocha – Wasalimie

Godbless Lema Asema Kufungwa Kwa Maduka ya Kubadilishia Fedha Kutakimbiza Watalii

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) Godbless Lema amesema kufungwa kwa maduka ya kubadilishia fedha kutapunguza idadi ya watalii kutokana na usumbufu wanaoupata kutokana na hatua hiyo.

Lema amesema hayo  jana Jumatatu Bungeni Februari 4, 2019 wakati akichangia taarifa za kamati za Bunge za Miundombinu na Viwanda, Biashara na Mazingira.

Alisema biashara haihitaji nguvu wala polisi ili kuifanikisha na kutoa mfano wa maduka ya kubadilisha fedha yaliyofungwa jijini Arusha miezi miwili iliyopita.

Alisema hakuna duka la fedha linabadilisha fedha jijini humo hivi sasa, ni lazima watalii waende Moshi ama waingie benki kubadilisha fedha.

Hata hivyo, alisema kutokana na usumbufu huo, kampuni za utalii zinaamua kuwahamishia nchi jirani ya Kenya watalii ili kuepuka usumbufu.

Alisema idadi ya watalii itapungua sana mwaka huu na kuhoji inachukuaje miezi miwili kurudishwa.

Mo Dewji Aweka Wazi Maumivu Aliyo Nayo Baada ya Simba Kupigwa Bao 5

$
0
0
Mwekezaji mkubwa wa klabu ya Simba na Mfanyabiashara maarufu Tanzania, MO Dewji amesikitishwa na kipigo cha goli 5-0 dhidi ya klabu ya Al Ahly ya nchini Misri.

Mo Dewji kupitia ukurasa wake wa Twitter, amesema kuwa ameumia lakini anaamini hata Roma haikujengwa kwa siku moja.

“Roho yangu bado inaniuma. Naipenda sana Simba, na bado sijakata tamaa. Roma haikujengwa kwa siku moja.“ameandika Mo Dewji .

Wikiendi iliyopita Simba walikubali kichapo cha goli 5-0 dhidi ya Al Ahly kwenye mchezo wa Klabu Bingwa barani Afrika.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Spika Ndugai: Heche Jiandae Kuachia Jimbo 2020

$
0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri Job Ndugai amemwambia John Heche, Mbunge wa Tarime Vijijini kwamba, uchaguzi mkuu ujao jimbo hilo litarudi CCM mapema bila upinzani wowote.

Ndugai  Alitoa kauli hiyo jana ambapo alisema, kuna ufujaji mkubwa wa miradi ya serikali licha ya mbunge wake kuwa mpinzani na mpiga kelele kwa mambo yasiyo na msingi.

"Kama kuna kitu kimenishangaza ni taarifa za Tarime, sisi sote ni madiwani ambao lazima tujue miradi iliyoko kwenye majimbo yetu, sasa kama mtu ameshindwa kusimamia Sh9 bilioni Tarime hivi mwakani atasema nini," alisema Ndugai.

Alisema uchaguzi wa mwakani jimbo la Tarime kutakuwa na wimbo mmoja tu wa bilioni 9 na ushindi utakuwa mapema.

Watu Wenye Ulemavu Wa Kusikia Mkoani Mwanza Wapewa Elimu Ya Sera Ya Huduma Ndogo Za Fedha

$
0
0
Na Farida Ramadhani, WFM, Mwanza
Wizara ya Fedha na Mipango imeanza kutoa elimu ya Sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha kwa watu wenye ulemavu wa kusikia (Viziwi) kwa lengo la kuwajengea uwezo na kushirikishwa katika Huduma Jumuishi za Fedha.

Akizungumza katika mafunzo hayo, Mchumi Mkuu kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Dionisia Mjema, ameeleza kuwa mafunzo hayo yameanza mkoani Mwanza na yanatarajia kuwafikia makundi maalumu yote na wananchi wa hali ya chini ili  kuwawezesha kutumia fursa zilizopo kwa ajili ya kuinua maisha yao na kuchangia katika uchumi wa nchi.

“Miongoni mwa malengo ya Sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha ni kuangalia makundi maalum kwa kujua changamoto zao na kuona namna ya kuzitatua na namna  makundi hayo yanaweza kujiunga kwenye vikundi (solidarity groups) kwa ajili ya kupatiwa mikopo ili kujishughulisha katika shughuli za kiuchumi”, alisema Bi. Dionisia.

Mjema alisema Sera hiyo inalenga kuongeza utoaji wa huduma bora na jumuishi za kifedha  kwa wananchi wa kipato cha chini na makundi maalum  ili  kuongeza  ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini.

Alisema Serikali inatambua umuhimu wa Huduma Ndogo za Fedha katika kukuza uchumi wa nchi na kuwa, ili kuboresha usimamizi na udhibiti wa Sera hiyo, imetunga Sheria ya  Huduma Ndogo za Fedha  mwaka 2018 ambayo inatoa mwongozo na kusimamia utekelezaji wa Sera pamoja na kuwalinda watumiaji wa huduma za fedha nchini. 

Mjema alitoa wito kwa watu wenye ulemavu kushiriki shughuli za maendeleo kwa kuwa fursa zipo nyingi na wana nafasi kubwa katika jamii.

Naye Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Maendeleo ya Viziwi nchini (TAMAVITA), Kelvin Nyema, ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango kwa kuandaa mafuzo hayo, kwa kuwa anaamini mafunzo hayo yataongeza uelewa kwa wenye ulemavu wa kusikia ambao wengi walikuwa hawana uelewa wa masuala mbalimbali ya kifedha.

Nyema alisema changamoto kubwa inayowakabili ni mawasiliano ambayo inasababisha wasishirikishwe katika shughuli mbalimbali za maendeleo na za kijamii.

“Mawasiliano ni changamoto kubwa kwetu viziwi, ni kikwazo hata katika kushiriki kwenye shughuli mbalimbali za maendeleo, ukizingatia lazima tuwe na wakalimani”, alisema.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama cha Viziwi mkoani Mwanza (CHAVITA) Jones George, ameiomba Serikali kuweka mazingira wezeshi kwa wenye ulemavu wa kusikia (viziwi) kupata mikopo ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Alisema hali ya watu wenye ulemavu wa kusikia ni ngumu, hawana elimu yoyote ya masuala ya fedha na hawajui waanzie wapi huku akibainisha kuwa kuna wakati wanaogopa kukopa kwa dhana kuwa wakikopa watafungwa.

Mwisho

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Ondoa Kibamia Na Tibu tatizo la Nguvu Za Kiume Kwa Dawa Hii Ya Mitishamba

$
0
0
JILO HERBAL CLINIC

ONDOA KIBAMIA NA ONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA DAWA HII YA MITISHAMBA AMBAYO NI KOMESHA KWA TATIZO SUGU LA NGUVU ZA KIUME

SUPER MBONGOSHI; Ni dawa ya mitishamba ambayo inatibu tatizo la nguvu za kiume inakufanya kuchelewa kufika kileleni na kuongeza hamu ya kuendelea kufanya tendo.
 
SUPER MBONGOSHI2 Ni dawa ya mitishamba ambayo ina nenepesha na kurefusha maumbile mafupi au yaliyosinyaa na kuufanya kuwa imara dawa hii inasafisha mishipa ya Uume ambayo imedhurika na matatizo mbali mbali kama vile kupiga punyeto kwa mda mrefu,ngiri,kisukari,vidonda vya tumbo na mengine mengi.
 
DR.JILO Pia anatibu magonjwa mengine kama vile kisukari,ngiri,ugumba,pressure n.k

KWA HUDUMA ZA JILO HERBAL CLINIC WASILIANA NA DR.JILO SASA UPATE DAWA HII .UTATUMIWA POPOTE PALE ULIPO PIGA SIMU
0752723508

Waziri Wa Kilimo Akutana Na Balozi Wa Uingereza Nchini

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bi. SARAH COOKE, jana tarehe 4 Januari 2019 amemtembelea Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga na kufanya nae mazungumzo yenye lengo la kuongeza na kuimarisha Ushirikiano uliopo baina ya Tanzania na Uingereza katika sekta ya kilimo.

Katika mazungumzo hao, Mhe Hasunga na Bi. COOKE wamekubaliana kuongeza kasi ya Ushirikiano baina ya nchi hizo mbili, makubaliano ambayo yatasaidia uwezekano wa kasi ya ukuaji wa sekta ya kilimo kwa nchi zote mbili.

Katika kikao kazi hicho Waziri Hasunga amemueleza Balozi huyo kuwa serikali ya Tanzania imeanza zoezi la utambuzi wa wakulima nchini kwa kuwaandikisha ambapo mpaka sasa wakulima wa zao la Tumbaku wamekwisha andikishwa.

Hasunga alisema kuwa lengo la zoezi hilo la uandikishaji ni kuimarisha utambuzi wa wakulima ili serikali iweze kuwahudumia kwa weledi wakulima kote nchini kupitia pembejeo mbalimbali za kilimo ili kuondokana na wakulima hewa ambao wanatumia mwanya huo kuiibia serikali.

Vilevile amemueleza Balozi huyo kuwa serikali imejipanga kuimarisha sekta ya utafiti wa kilimo nchini jambo litakaloongeza tija na manufaa makubwa kwa wakulima nchini.

Katika mazungumzo hayo, Mhe Hasunga amemueleza Bi COOKE namna ambavyo serikali ya Tanzania imejipanga kuimarisha masoko ya ndani na nje ya nchi kwa wakulima.

Bi. COOKE, kwa upande  wake amefurahishwa na jinsi ambavyo Waziri wa Kilimo pamoja na wasaidizi wake wanapambana kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli katika kuimarisha sekta ya kilimo sambamba na kuboresha masoko ya wakulima nchini.

Balozi huyo amemueleza waziri wa kilimo kuwa Uingereza itaendeleza maradufu ushirikiano na Tanzania kwani ni nchi yenye Amani na utulivu mwingi kwa wananchi wake.

MWISHO

Breaking: Wabunge Watimua Mbio Bungeni....Ni Baada ya Alarm Kuanza Kulia Ikiashiria Kuna Tatizo

$
0
0
Taharuki imeibuka Bungeni huku Kikao cha Bunge kikivunjika kwa muda na wabunge wakilazimika kukimbia kutoka ndani ya Ukumbi wa Bunge leo Jumanne, Februari 5, 2019  asububi baada ya alamu ya Bunge kulia ikiashiria kuna tatizo.

Alamu hiyo imelia wakati Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba alipokuwa akijibu maswali bungeni hali iliyomfanya kukatisha majibu yake.

Alamu hiyo ya tahadhari  ilianza kupiga saa 5:02 hadi saa 5:08 asubuhi na kuanza kulia tena baada ya dakika kama 10.

BREAKING: Rais Magufuli atembelea ofisi za African Media Group wamiliki wa Channel 10 na Magic FM

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mh. Dkt John Pombe Magufuli Magufuli leo ametembelea kituo cha televisheni cha channeli ten ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 42 ya chama cha Mapinduzi ambacho Rais ndio mwenyekiti wa chama hicho.
 
Amesema kutokana na Uhitaji wa vifaa vya kisasa kama Kamera za kisasa, Rais ameahidi kuwachangia milioni Mia Moja kwa ajili ya ununuzi wa kamera hizo, na atawatafutia milioni zingine 100 ili zitumike katika maboresho ya kituo hicho.

Aidha amewathibitishia kuwa hakuna mfanyakazi atakayefukuzwa kwa sababu ya itikadi zake na ameahidi kuwatafutia jengo la CCM lenye hadhi nzuri ili waweze kuhamishia ofisi za kituo hicho. 

"Nimefika hapa leo ili niwaambie African Media Group ni mali ya CCM.Hakuna atakayefukuzwa kazi no matter wewe ni muumini wa chama gani

"Ili kuboresha kazi yenu, tutanunua vifaa vipya ili muweze kuwafikia watu wengi sana.Sikujua Channel 10 na Magic FM zinatokea kwenye jengo la ajabu kiasi hiki.

"Tutasaidiana kufanya utafiti wa majengo ya CCM ili tuangalie wapi tunaweza kuweka ofisi za vituo hivi.Hata mkitaka jengo la Ofisi ya Mwenyekiti wa CCM, Mimi nitakubali.Hata jengo la kupanga tutatafuta, ofisi nyingi zimehamia Dodoma.
 
Kadhalika amesisitiza kwamba vyombo vya habari vipo huru katika utendaji wake lakini amewaasa kuzingatia Sheria, kanuni, taratibu na tamaduni za Nchi ili kusaidia Nchi katika kulinda amani na utulivu na kukuza uchumi ambao utawanufaisha Watanzania.

"Vyombo vya habari vinatakuwa kuwa free vizungumze, Tanazania freedom of expression ipo‬.‪Ndio maana kuna vyombo vya habari vilivyosajiliwa zaidi ya 170 na zaidi‬.Tuzingatie mipaka ya uandishi, maadili ya nchi yetu, tabia za jamii zetu na Katiba yetu‬.‪Kwamba hili linaweza kuzungumzwa hapa, hili linafaa huku au hili linafaa kwenye vikao‬"

Marekani yatoa tahadhari kutokea shambulio jingine Kenya

$
0
0
Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umetoa tahadhari ya kuwapo kwa uwezekano wa kutokea kwa shambulio la kigaidi katika miji ya Nairobi, Naivasha, Nanyuki na maeneo ya Pwani ya nchi hiyo huku walengwa wakuu wakiwa ni raia wa kigeni kutoka nchi za magharibi.

Taarifa iliyotolewa jana Jumatatu Februari 4, na ubalozi huo imesema inawakumbusha Wakenya kuendelea kuwa makini hasa wanapokuwa katika maeneo ya umma kama maduka makubwa ya manunuzi (malls), migahawa na sehemu za ibada.

“Kuweni makini na watu na vitu vinavyowazunguka na kutoa taarifa kwa mamlaka husika endapo mkiona vitendo msivyovielewa vinavyofanywa na raia wa kigeni lakini pia zingatieni ulinzi wenu binafsi,” imesema taarifa hiyo.

Taarifa hiyo inakuja zikiwa zimepita wiki tatu tangu kulipotokea shambulio la kigaidi lililofanywa na kundi la Al Shabab katika Hoteli ya Dusit eneo la Riverside Januari 15, mwaka huu.

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.


Vunja Kero 3 Power: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

PICHA: TANESCO Yafunga Transformer Mpya Yenye Uwezo wa Megawati 240

$
0
0
Transfoma hiyo iliingia hapa nchini mnamo Januari 28, 2019 kwa nia ya kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme wa uhakika na kuleta ufanisi katika usambazaji wa umeme katika jiji la Dar es Salaam na Pwani.
Akielezea uwezo wa Transfoma hiyo, Mkuu wa Kituo cha Kupoza na Kusambaza umeme Ubungo, Mhandisi Joseph Msumali amesema Transfoma hiyo ina uwezo wa kusukuma takribani Megawati 240 kutoka kwenye msongo wa kilovoti 220 kuelekea Msongo wa kilovoti 132 kwa ajili ya usambazaji na matumizi ya nishati ya umeme katika Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 66

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA      
 
Onyo langu likaeleweka, majira ya saa kumi na mbili alfariji Qeen na Latifa wakaondoka hotelini hapa na nikawahisi kwamba nitafika ofisini muda wowote. Nikajipumzisha hotelini hapa hadi majira ya saa sita mchana, nikajiandaa na kuanza safari ya kueleka ofisini kwangu tena kwa kutumia usafiri wa bajaji. 

Majira ya saa nen kasoro hikafika katika geti kuu na kuwakuta walinzi wa kampuni niliyo wapa dhamana ya kulinda ofisi yangu wakiwa wametanda katika geti hilo huku Biyanka akionekana kufoka sana na kuwaamrisha walinzi hao waweze kuondoka la sivyo atawafukuza kazi. 

Kutokana hakutarajia kuweza kuniona kwa wakati huu, taratibu nikashuka kwenye bajaji hii huku nikiishusha kofia yangu chini kidogo na kufika nusu uso. Watu wa pekee walio weza kunigundua na Qeen na Latifa ambao wapo mbele ya moja ya gari aina ya Costa wakisubiria kuelekea kwenye kampeni za mzee mkumbo.
   
ENDELEA   
Nikasimama karibu na geti hili,mlinzi mmoja akaniambia kwamba siruhusiwi kuingia kwa sasa na ofisi zimefungwa.
“Nisaidie kuniitia mkuu wenu”
Nilizungumza kwa sauti ya upole na ya chini kidogo, kutokana sifahamiki sana na walinzi, ikawa ni ngumu sana kwa mlinzi huyu kuweza kunitambua. Kiongozi akaja usawa wa eneo nilipo.
 
“Ni mimi fungua”
Mkuu wao akanifahamu, taratibu akawaamuru vijana wake kufungua geti dogo ambalo hutumika kupitia watu. Nikaingia ndani ya eneo hili huku nikivua kofia yangu na kuwafanya wafanyakazi wote katika eneo hili washangae hadi Biyanka mwenyewe akabaki akiwa na bumbuwazi.
“Watu wote murudi kwenye majukumu yenu ya kazi. Madereva rudisheni magari kwenye maeneo yake”
Baada ya kuzungumza hivyo wafanyakazi wakaanza kutawanyika.
 
“Ethan”
Biyanka aliniita huku akiwa katika hali ya upole na unyonge kwani lile ambalo amekusudia kulifanya limeshindikana na mbaya sikuweza kumueleza juu ya kuja kwangu nchini Tanzania.
“Twende ofisini”
Nilizungumza kwa msisitozo na kuelekea ndani, kila sehemu ninayo pita wafanyakazi wangu wananisalimia kwa furaha kubwa sana. Tukaingia kwenye lifti na taratibu ikatupeleka hadi gorofa ya juu kabisa, moja kwa moja nikaelekea ofisini kwnagu huku Biyanka akanifwata kwa nyuma.
 
“Oohoo jamani mume wangu ni suprize gani hii jamani!”
Biyanka alizungumza huku akijitahidi kujenga furaha usoni mwake. Kwajicho nililo mtazama ni ishara kwamba nimekasirika. Akataka kunikumbatia ila nikamzuia.
“Hivi ndivyo unavyo ongoza kampuni yangu?”
Nilizungumza kwa ukali na kumfanya Biyanka kukaa kimya kwa muda huku akinitazama usoni mwangu.
“Ndiyo unavyo ongoza kampuni yangu?”
“Ha…aaha.ahapana Ethan?”
“Ila, uhisi kila mmoja humu ndani ni mwanachama wa chama cha baba yako ehee?”
 
“Ethan umenifikiria vibaya?”
“Ujinga na upumbavu wako wote unao ufanya nimeuelewa na ninaufahamu. Usihisi kwamba nimekwenda kumzika mama yangu ndio sinto rudi nimerudi. Kama unahitaji kwenda kwenye mikutano ya kisiasa ya baba yako toka sasa hivi”
Nilifoka huku jasho likinimwagika usoni mwangu kwa hasira na kitu cha pekee ninacho jizuia kinywani mwangu ni kuropoka kwamba mimi ni mpizani wa baba yake na nipo kwa ajili ya kuiharibu familia ya baba yake.
Biyanka akakaa kimya huku akinitazama kwa wasiwasi mwingi sana.
 
“Hii ni kampuni yangu na hawa watu humu ni watu wangu. Mimi ndio mwenye maamuzi ya mwisho kwenye kila jamgo hivyo jitazame mara mbili Biyanka sitaki kampuni yangu ijihusishe na chama cha aina yoyote hapa Tanznaia. Itabaki kama kampuni ya kujitegemea kwa maana inatoa huduma kwa watu wa pende zote wawe chama tawala au wapinzani ila kinatoa huduma. Umenielewa?”
 
“Nimekuelewa”
“Nenda kwenye mkutano wa baba yako”
“Ethan mbona umekuwa ni mtu wa hasira sana?”
“Unanifanya niwe na hasira. Mama yangu amefariki, ni nani kati yenu ambaye ametoa japo hata pole ikiwa ni taarifa ambayo imesambaa kwenye mitando yote ya kijamii. Ehee au nyinyi hamkujua hilo?”
Biyanka akatazama chini akiashiria kwamba kile ninacho kizungumza ni kitu cha ukweli kabisa.
“Nimewajua nyinyi ni watu wa aina gani. Umenichukua niingie kwenye familia yako ili uweze kunitumia si ndio?”
“No no no no Ethan usingumze hivyo.”
 
“Ila unataka niendelee kuwakumbatia, kuwajali ikiwa nyinyi hata pole hamjafanya. Una account ya Twitter, Instergram na Facebook. Ila hakuna hata sehemu uliyo andika pole. Huku ukidai kwamba wewe ni mke wangu, mwanamke wa maisha yangu. KIVIPI……..EHEEEE?”
“Ethan akili zetu tumechanganyikiwa, kampeni zinatuendea mrama. Watu wamekuwa ni wasaliti, hawaonekani kabisa kwenye mikutano ya baba yangu. Nakuomba sana mpenzi wangu unisamehe. Tambua mkeo na familia yangu kwa ujumla tupo kwenye mapambano makubwa sana. Ninakuomba sana Ethan unielewe”
 
“Okay nenda kwenye kampeni. Tutazungumza baadae”
“Ethan!!!”
“Elewa kitu ninacho kizungumza Biyanka alaa!! Nahitaji kuwa peke yangu sasa”
Biyanka akanitazama kwa macho ya upole kisha akageuka na kutoka ndani humu, akaubamiza mlango wa ofisi yangu kwa nguvu na kunifanya niachie msunyo mkali sana. Nikanyanyua simu yangu ya mezani na kumpigia sekretari wangu, baada ya muda kidogo akaingia.
 
“Ndio mkuu”
“Itisha kikao cha wafanyakazi wote kwenye ukumbi wa mikutano gorofa ya tano”
“Sawa mkuu”
Sekretari akaondoka na kuniacha peke yangu. Mawazo mengi sana juu ya kuhakikisha kwamba ninawapokonya kila kitu wanacho kihitaji hii familia ya bwana Mkumbo, bado yanaendelea kunijaa kichwani mwangu, huku kila ninacho kipanga ninakiona hakiki sawa. Nikapata wazo moja kubwa sana ambalo kwa namna moja limtamchafua bwana mkumbo yeye na chama chake.
 
“Mkuu kikao tayari”
Sauti ya sekretari wangu ikanitoa kwenye dibwi hili la mawazo. Nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kalia na kuongozana naye. Tukaingia kwenye ukumbi huu mkubwa ulio jaa wafanyakazi wote wa kampuni yagu. Nikasimama kwenye jukwaa na kuwatazama wafanyakazi wote kwa muda wa kama dakika tano, kisha taratibu nikashusha pumzi.
 
“Habari yenu”
“Salama mkurugenzi”
Nikasogeza karibu kipaza sauti na kuendelea kuzungumza.
“Kwajambo lililo jitokeza leo. Sinto hitaji lijitokeze tena kwenye kampuni hii pasipo idhini yangu mimi. Kapuni yangu si kampuni ya siasa, wala si kampuni ya kumpigia kura mtu gani. Hata ikitokea mimi nina gombea uraisi, sito mlazimisha hata mmoja wenu  aje kwenye kampeni zangu eti kisa mimi ni mkurugenzi wako. Hapana hicho kitu hakita jitokeza”
Nikanyamaza kidogo huku nikisikilizia makofi yanayo pigwa na wafanyakazi wangu ambao wnaaonekana kururahishwa na hichi nilicho kizungumza.
 
“Nimepitia account zenu kipindi nipo nyumbani nchini Ujerumani.  Asanteni kwa kunipa pole kwa kile ambacho kimetokea kwenye familia yangu. Nina imani kwamba wengi wenu mulishangaa kwa kuondoka kwangu gafla pasipo taarifa yoyote kwenu. Nimerudi na nitaongoza kampuni yangu katika mstari ambao siku zote huwa ninauamini. Upendo, uchapakazi na hekima. Ndio vitu vinavyo niongoza toka nilipo kuwa mtoto mdogo”
 
“Kama kuna malalamiko yoyote ambayo yametokea kwa kipindi hichi cha wiki tatu ambazo sikuwepo hapa nchini. Ninawaomba muweze kuniandikia malalamiko hayo kwa siri sana, kisha mutamkabidhi sekretari wangu na atayawasilisha ofisini kwangu. Naweka siri kwa manaa wengi wenu natambua kwamba muna muogopa meneja Biyanka. Hivyo fanyeni katika utaratibu nilio waagiza sawa”
“Sawa”
 
Mfanyakazi mmoja akanyoosha mkono juu, nikamruhusu aweze kuzungumza.
“Kwanza kwa niaba ya wafanyakazi wote. Tunapenda kukupa pole kwa mara nyingine mkurugenzi, tulitamani kutuma japo wawakilishi wawili kwenye msiba ila kwa jibu alilo tupa meneja nina imani kwamba kila mmoja wetu hapa ana lifahamu”
“Jibu gani lizungumze usilifumbe fumbe?”
“Ahaa si jibu la kiungwana mkurugenzi ni jibu ambalo linaweza kupelekea mtafaruku kidogo kwenye mahusiano yenu”
“Wewe kuwa na amani, zungumza ni jibu gani?”
“Ngoja nimsaidie muheshimiwa”
“Sawa mama zungumza”
 
“Meneja alisema kwamba yeye ndio mwana familia wako hivyo msiba hautuhusu wawakilishi watulize mishono yao na waendelee na majukumu ya kazi kama kawaida”
“Mishono ndio nini?”
“Kwa lugha nyepesi mkuu niseme ni kihere here”
“Nashukuru sana mama yangu. Endelea kaka”
“Ndio hivyo muheshimiwa, tulishindwa na tukaona tuji organize kimya kimya. Tukachanga kijimchango kidogo naona mtuza pesa wetu tuliye mchagua hapo anaweza kuzungumza”
 
“Nani mtunza pesa?”
Akasimama msichana mmoja mpole kwa kumtazama.
“Ndio zungumza”
“Tumeweza kukusanya kiasi cha shilingi milioni kumi na tano mkuu na pesa yote hiyo ipo benki”
“Nawashukuru sana. Zawadi muliyo nipatia hakika ni kubwa sana kwangu ninawashukuru sana”
Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu kwani sikutarajia kama wafanyakazi wangu wana umoja kiasi hichi na hii ni ishara moja nzuri inayo onyesha kwamba hata siku  nikipata tatizo basi wanaweza kuungana kwa pamoja na kunisaidia.
 
“Mama yangu alifariki kwa saratani pia kwa baba ndio hivyo hivyo. Pesa iliyo patikana nitaongezea na kiasi kingine na kwa pamamoja tunatembelea hospitali inayo shuhulika na magonjwa hayo na kutoa kiasi hicho ili wagonjwa waendelee kufanyiwa matibabu na kama Mungu anaweza kuwajalia basi waweze kupona”
Nilizungumza kwa upole na wazo langu likaonekana kupokelewa na wafanyakazi wangu wote.
“Nawashukuru kwa muda wenu na moyo wenu wa kujitoa na Mungu awabariki”
“Nawe pia mkurugenzi”
Nikatoka ukumbini humu na kuacha minong’ono mingi kwa wafanyakazi. Nikarudi ofisini kwangu, nikapokea ujumbe wa simu kutoka kwa Qeen akinitaarifu kwamba Roman amesha kamilisha kazi niliyo mkabidi.
‘YUPO WAPI’
Nilimjibu kwa ujumbe mfupi wa meseji.
‘KAMA HUTO JALI TUKUPELEKE’
‘SAWA BAADAE TUTAKWENDA’
‘SAWA MKUU’
Nikafuta meseji zote. Baada ya muda sekretari akaingia akiwa ameshika karatasi nyingi.
“Yote hayo ni maoni?”
“Ndio mkuu”
 
“Mmmmmm kazi kweli kweli. Inaonekana kuna madudu yalitokea mengi sana kipindi mimi sipo?”
“Yapo mengi ila ndio  hivyo mkuu wetu alikuwa anafanya vile anavyo jisikia yeye.”
“Hembu niambie kwa ufupi, alikuwa anafanya nini?”
“Ukiachilia na swala hili la leo la kulazimiswa kuelekea kwenye mikutano wa baba yake. Mwezi ulio isha juzi, kila mtu amekatwa elfu hamsini hamsini kwenye mshahara wake, kilazima ili kuweza kuchangia kampeni za baba yake”
“Fu** Huyu mwanamke anahitaji nini kwangu.?”
 
Nilizungumza kwa jazba kidogo kwa maana upuuzi alio ufanya Biyanka ni wa kushangaza kwa kwlei.
“Jambo jengine, kuna wafanyakazi kumi wamefutwa kazi”
“Wamefutwa kazi kwa kosa gani?”
“Walikuta wakijadili maswala ya chama pinzani kwenye group la whatsapp ambalo tumejiunga wafanyakazi wote. Ila Meneja mkuu hayupo kwenye hilo group ila kuna vibaraka wake wamempelekea ushahidi wa wafanyakazi hao jinsi walivyo kuwa wakimuunga mkono mpinzani wa baba yake. Na ndio hivyo wamefukuzwa kazi”
“Hao walio fukuzwa kazi ni nani na nani?”
“Kwamajina kwa haraka haraka siwafahamu. Ila wapo kwenye takwimu zangu ofisini”
 
“Sasa wapigie simu wote. Waambie mkurugenzi kesho asubuhi, saa mbili ana wahitaji warudi kazini nakabla ya hawajaanza kazi wakutane na mimi tuzungumze kwanza. Sawa?”
“Sawa mkuu”
“Unaweza kuendelea na majukumu yako”
Sekretari wangu alipo toka, nikaanza kupitia maoni ya wafanyakazi wangu na wengi wanalalamika kwa swala la wao kukatwa mishahara. Nikampigia muhasibu wa kampuni na kumuita ofisini kwangu.
“Karibu ukae Mr Merema”
“Nashukuru mkuu”
“Mauzo kwa wiki tatu yamepanda au yameshuka?”
“Yameongezeka kwa asilimia mbili mkuu. Tofauti na uwepo wako kazini”
 
“Sawa, kuna swala nimelisikia la watu kukatwa elfu hamsini hamsini kwenye mishahara yao hilo limekaaje?”
“Ni kweli, mimi nililetewa oda na meneja mkuu nami sikuwa na pingamizi na nikafanya kama alivyo niamrisha japo nilijaribu kumshauri ajaribu kuzungumza na wafanyakazi ila ila akakataa na kunipa vitisho vya kunifukuza kazi muhesimiwa”
“Sasa kila mfanyakazi arudisiwe pesa yake leo hii na ujinga huo sihitaji ujitokeze tena kwenye kampuni hii. Nimekupa dhamana ya pesa zangu simamia. Mtu anaye weza kukufukuza kazi ni mimi. Umenielewa?”
“Nimekuelewa mkuu”
“Nashukuru”
 
Muhasibu akanyanyuka na kuondoka eneo hilo la hapa ofisini. Muda wa kutoka ofisini ulipo wadia, nikaondoka ofisini hapa huku nikikodi bajaji kurudi hotelini nilipo fikia. Majira ya saa nne usiku Roman akaja kunichukua hotelini hapa na moja kwa moja akanipeleka hadi katika godauni moja lililopo katika mji wa Bagamoyo. 

Tukaingia kwenye godauni hili lenye ukimya huku kofia yangu nyeusi nikiwa naimeivaa vizuri kichwani mwangu na kuficha kabisa sura yangu. Kwa mavazi haya meusi niliyo yavaa si rahisi kwa mtu kuweza kunitambua kwamba ni mimi. 

Tukaingia katika chumba ambacho amemning’iniza mzee huyu kichwa chini miguu juu huku akiwa amemvua nguo zote na kumbakisha na boksa tu na usoni mwake amemfunga kitambaa cheusi ambacho si rahisi kwa mzee huyu kuweza kuniona. Nikamtazama mzee huyu na wazo la kuweza kumchafua mzee Poul Mkumbo taratibu likaanza kunijaa kichwani mwangu na nikaona muda huu ndio mzuri wa kuweza kutekeleza kile nilicho kikusudia kukifanya.

==>>ITAENDELEA KESHO

Kamati ya Bunge ya Miundombinu Yabaini kasoro Kadhaa kwa watumishi ATCL

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kusimamia ipasavyo nidhamu ya watumishi wake kwa sababu kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wateja kuhusu ukosefu wa nidhamu kwa baadhi ya watumishi wake.

Akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo bungeni jana Jumatatu Februari 4, 2019, mwenyekiti wa kamati hiyo, Moshi Kakoso alisema watumishi waajiriwe kwa kuzingatia vigezo vya sifa na uwezo.

Kakoso alisema changamoto zinazoikabili ATCL ni pamoja na uchache wa wataalam hususan marubani, nyenzo za kiutendaji hususan magari na madeni ambayo yameendelea kulingana na upatikanaji wa fedha.

Hata hivyo, Kakoso ameipongeza Serikali kwa jitihada za dhati na makusudi za kufufua kampuni hii ya ndege ya Tanzania kwa kununua ndege mpya sita.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images