Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.


Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Mfungwa Aliyesamehewa na Rais Magufuli akutwa na sare za Jeshi

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia aliyekuwa mfungwa katika Gereza la Segerea na kuachiwa kwa msamaha wa Rais mwaka jana, Emmanuel Magoti (18), kwa tuhuma za kukutwa na sare za Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini humo, Kamishna wa Polisi, Lazaro Mambosasa alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa Januari 30, mwaka huu, saa 8 mchana eneo la Mbagala. Alisema Polisi ilimkamata kijana huyo baada ya kupata taarifa kutoka kwa raia wema kwamba amekuwa akijihusisha na makosa ya uhalifu ndani ya kanda hiyo huku akiwa amevaa sare za JWTZ.

“Lengo la mtuhumiwa huyu ni kujificha baada ya kutenda makosa hayo ili lawama ziwaendee wanajeshi hao. Tulivyopata taarifa hizo tulianza ufuatiliaji mara moja na kwa bahati tulimkamata na tulimkuta akiwa na sare hizo ambazo ni suruali mbili, koti moja na fulana,” alisema. Alieleza kuwa makachero wa Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na askari polisi wa JWTZ (MP) walifika katika nyumba ya mtuhumiwa huyo na kukuta sare hizo.

Alifafanua kuwa katika mahojiano na mtuhumiwa huyo alikiri kujihusisha na matukio ya uhalifu akishirikiana na wenzake wawili ambao walifanikiwa kutoroka na kwamba wanaendelea kuwafuatilia. “Mtuhumiwa huyu alikiri kwamba alikuwa mfungwa katika gereza la Segerea kwa kosa la wizi na kwamba aliachiwa kwa msamaha wa Rais mwaka 2018.

Msako mkali unaendelea kuwatafuta wenzake wawili wanaoshirikiana nao katika matukio hayo,” alieleza. Mambosasa alitoa onyo kwa wafungwa wanaotoka magerezani kwa rufaa, msamaha wa rais au kumaliza vifungo, kuacha kujihusisha na matendo hayo kwa sababu wanakuta hali shwari lakini wanachochea mitandao ya uhalifu.

Alisisitiza kuwa lengo la msamaha ni kumfanya mtu aliyejutia arudi kwa jamii kuungana nao kufanya shughuli za jamii na kwamba wanachotegemea ni mabadiliko ya tabia wanapofanya mafunzo jela ili aweze kupata maarifa waweze kuishi kama raia wema wanaofuata sheria. Kwa mujibu wa Mambosasa, wafungwa wanaotoka gerezani na kuanzisha makundi ya uhalifu watambue kwamba jeshi hilo liko macho kwani wataendelea kufuatilia ili kuwalinda raia wema dhidi ya wahalifu.

Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu Akasirika Spidi Ujenzi Jengo Jipya La Wizara Ya Mambo Ya Ndani Katika Mji Wa Serikali Ihumwa Jijini Dodoma

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA.
KATIBU Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu, amemtaka Mkandarasi anaejenga Jengo la Wizara katika Mji wa Serikali Ihumwa, jijini Dodoma, afanye kazi usiku na mchana ili ndani ya mwezi huu wa Februari awe amemkabidhi jengo hilo.

Meja Jenerali Kingu amesema kasi ya ujenzi huo umenza kusuasua kwasababu Wizara yake ilifikia hatua kubwa lakini sasa imepitwa na baadhi ya Wizara kutokana na Mkandarasi anayejenga jengo hilo kupunguza kasi ikiwa ni tofauti na ile walioanza nayo awali.

Katibu Mkuu aliyazungumza hayo wakati alipofanya ziara ya kushtukiza katika eneo hilo la ujenzi, jijini humo, leo, na alifanya ukaguzi na baadaye alizungumza na wadau kutoka pande tatu zinazoshirikiana katika kufanikisha ujenzi huo ambao ulianza mwezi Desemba mwaka jana.

Wadau wa pande tatu wanaofanikisha ujenzi huo ni Mmiliki wa Jengo hilo ambaye ni Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mshauri Mwelekezi kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) pamoja na Mkandarasi ambaye ni Jeshi la Magereza.

“Nimepokea taarifa ya ujenzi unaoendelea, lakini sijaridhishwa nayo kutokana na asilimia ya ujenzi huu ulipofikia mpaka sasa, mmenipa ratiba mpya ya kukamilika kwa jengo hili, kasi yenu imekua ndogo mpaka tumeanza kupitwa na baadhi ya Wizara ambazo sisi tulikua tunaongoza, sasa nataka mfanye kazi hii usiku na mchana ili ndani ya mwezi huu wa Februari ujenzi huu uwe umekamilika na mnikabidhi jengo hili,” alisema Meja Jenerali Kingu.

Kwa upande wake Mshauri Mwelekezi wa ujenzi wa jengo hilo kutoka TBA, Arch. Hassan Mnandala alimwambia Katibu Mkuu huyo kuwa, ataendelea kusimamia na kushauri ili Mkandarasi awe amemaliza kazi hiyo kwa wakati kama ratiba ilivyopangwa.

Naye Mkandarasi wa ujenzi huo, Kamishna Msaidizi wa Magereza, (ACP) Aron Lunyungu, kwa upande wake amesema ujenzi huo unaendelea na tayari ujenzi wa kuta umefanyika, na imefikia usawa wa kupaua na tayari upigaji wa ripu ndani ya jengo hilo umefanyika.

“Tunamshukuru Katibu Mkuu Meja Jenerali Kingu, leo katutembelea na ametuagiza tujipange ili tuweze kukamilisha kwa wakati ujenzi wa jengo hili, nasi tumejipanga kazi tutaifanya usiku na mchana kuhakikisha jengo hili tunalikamilisha na tunalikabidhi kwa wakati,” alisema ACP Lunyungu.

Serikali Yasema Imejipanga Kukabili Maafa nchini

$
0
0
NA.MWANDISHI WETU
Serikali imedhamiria kuendelea kuchukua hatua za upunguzaji wa athari za maafa kwa kuwa ni moja ya eneo lililopewa kipaumbele katika Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka wa Mitano, 2016/17- 2020/21.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Shughuli za Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kanali Jimmy Matamwe alipokuwa akifunga warsha ya kupunguza madhara ya maafa nchini na kuimarisha uthabiti kwa nchi na jamii dhidi ya majanga ya asili katika ukanda wa Kusini mwa Jangwa la Sahara Februari 1, 2019 Jijini Dodoma.

Ameeleza kuwa, hatua hiyo ni muhimu katika mkakati wa upunguzaji wa madhara yatokanayo na maafa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa malengo ya msingi ya Mfumo wa Sendai wa Kupunguza Madhara ya Maafa wa mwaka 2015 – 2030 sambamba na malengo endelevu ya mwaka 2030 na makubaliano ya Paris juu ya mabadiliko ya tabianchi.

“imeelezwa kuwa mmepata fursa ya kuandaa mkakati  wa kupunguza madhara mafuriko na ukame kwa kutumia taarifa ya muhtasari wa vihatarishi mlioujadili na hii imetoa fursa ya kujiamini katika kusimamia na kutatua majanga haya ambayo yamekuwa yakiikumba nchi mara kwa mara na kusababisha hasara kubwa za kiuchumi na kuongeza wigo wa umasikini nchini”,alisema Kanali Matamwe

Katika kuhakikisha mipango hiyo inakuwa endelevu Kanali Matamwe alitoa rai kwa washiriki wa warsha hiyo kuainisha maeneo yanayohusu sekta zao na kuyafanyia kazi katika mipango ya bajeti na kuendelea kuongeza nguvu kwa kutenga bajeti ya kutosha katika masula ya kukabiliana na majanga.

“Tukumbuke uwekezaji katika kupunguza madhara ya maafa ni hatua muhimu katika kupunguza matumizi ya fedha nyingi kwa ajili ya kukabiliana na madhara ya yanayoweza kutokea”,alisisitiza Kanali Matamwe

Serikali kwa kuzingatia Sheria ya Usimamizi wa Maafa Na.7 ya mwaka 2015 na kanuni za usimamizi wa maafa za mwaka 2017 zimeanzisha Kamati za Usimamizi wa maafa ngazi ya Mkoa hadi Kijiji kwa lengo la kupunguza madhara ya maafa ili kuwa na jamii stahimilivu.

Kwa upande wake mshiriki wa warsha hiyo Bw. John Kiriwai alieleza kuwa, kuna umuhimu wa kuwekeza nguvu na fedha katika masuala ya maafa kulingana na takwimu na taarifa zinazoeleza umuhimu wa kuwa na mikakati madhubuti ili kuwa mipango endelevu katika kukabili maafa.

“Ni wakati sasa kuendelea kutumia fursa zilizopo kwa kuwekeza kwa kiwango kikubwa na kutumia taarifa za watafiti mbalimbali na kuziweka katika mipango yetu ya maendeleo ili kupunguza athari za maafa,”alisema Kiriwai.

Naye Mwakilishi kutoka Wakala wa Barabara Bi.Zaharani Madai alieleza kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali hawana budi kuendelea kuwa na jitihada za makusudi za kuimarisha miundombinu kwa kuzingatia mazingira yaliyopo kwa kutumia wataalam katika kujenga na kuimarisha maeneo yanayodhaniwa kuwa hatarishi pindi maafa yanapotokea.

“Ni wakati sasa wa kujijenga upya ili kuwa na mikakati inayotekelezeka katika kutatua na kukabili maafa kwa kuimarisha miundombinu tuliyonayo ili kuendana na mazingira ya kukabili maafa nchini,”alisisitiza Madai.

=MWISHO=

DC Jerry Muro Awafunda Maafisa Tarafa Watendaji Wa Kata Na Vijiji

$
0
0


Na Imma Msumba na Elinipa LUPEMBE, Arumeru
Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhe. Jerry Muro, amewataka Maafisa watendaji wa kata na vijiji wilayani humo, kufanya kazi kwa bidii  kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma, kwa kuweka mbele maslahi ya taifa ya kuwahudumia wananchi katika maeneo yao.

Mkuu huyo wa wilaya ametoa rai hiyo, wakati wa kikao kazi kilichowakutanisha maafisa tarafa na Maafisa watendaji wa kata na vijiji wa halmashauri zote mbili za wilaya ya Arumeru, chenye lengo la kuwakumbusha na kuwajengea uwezo watalamu hao katika kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano halmashauri ya Arusha.

Amesema, kama wilaya wamemekubaliana kuanzisha programu maalumu ya mafunzo kwa watendaji hao, kwa kushirikiana na chuo kilichopo ndani ya wilaya hiyo, chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru, baada ya kugundua uhitaji wa mafunzo kwa watalamu hao, mafunzo yatakayowawezesha kuwa na uelewa wa pamoja katika kuteleleza majukumu yao.

Amesema kuwa Maafisa hao huajiriwa kutoka kwenye kada tofauti, jambo ambalo wakati mwingine, linalopelekea changamoto ya kukwamisha baadhi ya kazi, kupitia mafunzo hayo yatawawezesha kuwa na uelewa wa pamoja na kufahamu majukumu yao na mipaka ya kazi yao, kufanya kazi kwa uadilifu, kujiamini, kuongeza ari na morari ya kazi, pamoja na kuweka mbele uzalendo kwa maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

"Tumegundua kuna umuhimu kupata mafunzo kwa watendaji wote, yatakayowakumbusha na kuwawezesha kutambua namna sahihi ya utekelezaji wa kazi zenu za kila siku, hii imetokana na baadhi ya watendaji kushindwa kutekeleza majukumu yenu kwa usahihi na kusababisha malalamiko mengi kwa wananchi" amesema Mkuu huyo wa wilaya.8

Hata hivyo Mhe. Muro amewasisitiza watendaji hao kusimamia hali ya  usalama katika maeneo yao, kwa kutambua wageni wanaoingia na kutoka katika maeneo yao, kuhamasisha wananchi kushiriki kuchangia maendeleo katika maeneo yao, huku kipaombele kikiwa ni ujenzi wa vyumba vya madarasa hususani kwenye shule za sekondari, lengo likiwa ni kuunga mkono jitihada za serekali la kutoa  elimu bila maliopo linalotoa fursa ya kila mtoto kupata nafasi ya kusoma mpaka kidato cha nne.

"Kazi kubwa ya mwaka huu ni kujenga vyumba vya madarasa, ninawaomba Maafisa Watendaji, tuelekeze nguvu zetu kuhamasisha jamii kujikita katika kujenga madarasa, nataka nione kila Tarafa ina shule ya kidato cha 5-6 na kila kata ya kidato cha 1-4" amesema Mhe. Muro

Kwa upande wao wakurugenzi wa halmashauri zote mbili, wamewataka Maafisa Watendaji hao kusimamia shughuli za maendeleo kwa kuendana na kasi ya serikali iliyopo madarakani,serikali ya awamu ya tano, kuwa waadilifu katika  kutekeleza kazi zao, kutoa huduma sawa kwa wananchi na kusimamia haki, na kuongeza kuwa hawatosita kuwachukulia hatua wale wote watakaofanya kazi kinyume na maadili.

Kikao kazi hicho, kiliambatana na mafunzo yaliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Maendeleo ya Jamii kutoka chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru, Mkufunzi Douglas Mwadolago, mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo watendaji hao ya mbinu bora  za kuhamasisha jamii, kushiriki katika shughuli za maendeleo katika maeneo yao.

Hata hivyo watendaji  hao, wamesifu juhudi zinazofanywa na halmashauri zao kupitia ofisi ya mkuu wa wilaya, na kusema kuwa mafunzo hayo yanawaongezea ujuzi na maarifa zaidi ya kutekeleza kazi zao na kuahidi kwenda kutumia maarifa waliyoyapata katika kazi zao za kila siku.

Afisa Mtendaji wa kijiji cha Kikuletwa kata ya Mbuguni, halmashauri ya Meru, Flora Maghimbi amesema kuwa, amefurahishwa na mafunzo hayo na kuahidi kwenda kuyafanyia kazi, huku akiahidi pia kutekeleza maagizo yaliyotolewa kwa kuwa yote yanalenga maslahi ya jamii wanayoihudumia.

Awali, Wilaya ya Arumeru inaundwa na halmashauri mbili, halmashauri ya Arusha na Meru, ikiwa na jumla ya Tarafa  6, kata 53 na vijiji193

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Mtoto Mwingine Auawa Njombe

$
0
0
Mtoto wa miaka 10, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili, amekutwa ameuawa kikatili na mwili wake kutelekezwa kichakani eneo la Lupembe, wilayani Njombe wakati akitoka shuleni jana.

Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema:,” Ni kweli mtoto kwa jina  Rachael Malekela (7), mwanafunzi wa darasa la pili Shule ya Msingi Matembewe  ameuawa nyuma tu ya nyumba yao na kutupwa kwenye shamba la miti.”

 Mwenyekiti wa kijiji cha Matembwe, Brayson Malekela amesema wazazi wa mtoto huyo walibaini kutoonekana nyumbani jana saa 12 jioni, walitoa taarifa katika uongozi wa kijiji na wananchi kuanza kumtafuta na saa 4 usiku walikuta mwili wa mtoto huyo katika msitu wa miti mipana uliopo kijijini hapo.

Rais Magufuli Amjulia Hali Mhe. Charles Kitwanga Aliyelazwa Hospitali Muhimbili Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amemjulia Mbunge wa Jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.

Utakumbuka January 31 mwaka huu Spika wa Bunge  Job Ndugai aliagana na Mbunge huyo katika Uwanja wa Ndege wa Jijini Dodoma kabla ya kusafirishwa kwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa  matibabu zaidi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi ya February 2

Serikali Kusimamia Makubaliano Na Taasisi Ya Bill And Melinda Gates Ili Kukuza Sekta Ya Mifugo

$
0
0
Na. Edward Kondela
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel kufanya ufuatiliaji wa karibu kuhakikisha mikakati ambayo serikali imekubaliana na Taasisi ya Bill and Melinda Gates katika sekta ya mifugo inatekelezwa kama walivyokubaliana.

Naibu Waziri Ulega amesema hayo jana (01.02.2019) jijini Dodoma alipotembelewa na ujumbe kutoka Taasisi ya Bill and Melinda Gates katika ofisi za wizara hiyo na kubainisha kuwa serikali inahakikikisha Mpango Mkakati wa Maendeleo ya Mifugo Tanzania unatekelezwa na kuishukuru taasisi hiyo kwa kutoa mchango mkubwa katika mpango huo.

“Sisi tuko pamoja na nyinyi na tunathamini makubaliano yetu na hatuwezi kuvunja makubaliano yetu ninawahakikishia kuwa nitamuagiza katibu mkuu afanye ufuatiliaji wa karibu sana kuhakikisha kwamba sisi tuna mikakati yetu tunayoifanya  lakini hii mikakati yote inaenda sambamba na kile tulichokubaliana.” Alisema Mhe. Ulega

Naibu Waziri Ulega pia amesema serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekuwa ikifanya ufuatiliaji wa karibu katika sekta za mifugo na uvuvi kwa kulinda rasilimali za nchi kwa kutumia Operesheni Nzagamba na Operesheni Sangara ili kuondoa mambo yaliyokuwa yakifanywa bila utaratibu na kuisababishia serikali hasara.

“Tunafanya ulinzi wa rasilimali na kuondoa ule uholela na kuhakikisha kuwa zile sheria, taratibu na kanuni zinafuatwa sana kwa sababu hata masoko ya kimataifa yalitaka uholela usiwepo, mambo yawe katika utaratibu wa kisheria na kanuni zinazoongoza sekta.” Alisema Mhe. Ulega

Aidha Mhe. Ulega amesema Wizara ya Mifugo na Uvuvi, inahakikisha katika operesheni hizo sheria, kanuni na taratibu za sekta za mifugo na uvuvi zinafuatwa ili sekta hizo ziweze kusonga mbele kwa kumuwekea mazingira mazuri mwananchi ili aweze kufaidika na nchi iweze kuongeza pato la taifa.

Akizungumza katika kikao hicho ambacho kimehudhuriwa pia na wakuu wa idara kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel amebainisha baadhi ya mambo ambayo yanapaswa kusimamiwa ikiwemo elimu ili wafugaji waweze kunufaika kupitia sekta hiyo.

“Ningependa katika ushirikiano wetu huu tuzidi kushirikiana katika kutoa elimu kwa wafugaji wetu tuwe na ufugaji wenye tija, lakini eneo lingine la pili ni usimamizi dhidi ya magonjwa, la tatu ni kuwawezesha wafugaji wetu kiuchumi lakini la nne ni utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Maendeleo ya Mifugo Tanzania.” Alisema Prof. Gabriel

Prof. Gabriel pia ameainisha mambo mengine kuwa ni umuhimu wa kufanyika kwa tafiti, usimamizi na uhakikishaji wa uzalishaji bora wa mifugo ili sekta ya mifugo iweze kuwa na maendeleo endelevu.

Akizungumza kwa niaba ya Afisa Programu Mwandamizi wa Taasisi ya Bill and Melinda Gates katika Ukanda wa Afrika ya Mashariki Bibi Mercy Karanja, Mshauri Mwelekezi kutoka taasisi hiyo nchini Tanzania Prof. Marcellina Chijoriga amesema Taasisi ya Bill and Melinda Gates bado itaendelea kufanya kazi nchini kwa kufuata mpango wa serikali.

Aidha Prof. Chijoriga ameshukuru uongozi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi ambao umekuwa ukitoa ushirikiano mkubwa kwa taasisi hiyo na kutoa ombi kwa uongozi wa wizara kuendelea kushirikiana na Taasisi ya Bill and Melinda Gates ili iweze kuleta matokeo chanya kwa wafugaji nchini.

Serikali Yaelekeza Kusimamishwa Kazi Mkuu Wa Idara Ya Utawala Na Utumishi Wa Manispaa Ya Ilala

$
0
0
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro ametoa maelekezo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kumsimamisha kazi Mkuu wa Idara ya Utawala na Utumishi wa Manispaa hiyo, Bi. Benadeta Mwaikambo na kuwachukulia hatua za kinidhamu maofisa wanaohusika na Mfumo Shirikishi wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao kikamilifu.

Dkt. Ndumbaro ametoa maelekezo hayo jana wakati akizungumza na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ofisini kwake jijini Dodoma, kufuatia utafiti uliofanywa kuhusu malalamiko ya watumishi ambao ulibaini Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuongoza kwa kuwa na malalamiko mengi ya watumishi ikifuatiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.

Dkt. Ndumbaro amefafanua baadhi ya malalamiko hayo kuwa, ni pamoja na kutopandishwa vyeo kwa watumishi kutokana na kutokuwa na taarifa sahihi za watumishi, uhakiki wa vyeti, kuwepo kwa upendeleo katika masuala ya kiutumishi, ushughulikiaji usioridhisha wa masuala ya kiutumishi, uwasilishaji wa madai ya malimbikizo ya mishahara Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora yakiwa hayana usahihi na yenye mapungufu kutokana na uzembe.

Dkt. Ndumbaro ametoa mfano wa madai ya malimbikizo ya mishahara yaliyowasilishwa Ofisi ya Rais-Utumishi ya walimu wastaafu 40 ambapo kati ya hayo, madai 24 yalikuwa sahihi  na 16 yalikuwa hayana taarifa sahihi ikiwemo kutogongwa mhuri wa mwajiri kuthibitisha madai hayo na kuongeza kuwa licha ya Manispaa ya Ilala kurejeshewa madai hayo kwa ajili ya marekebisho takribani miezi saba iliyopita lakini hadi sasa ni madai ya wastaafu wawili tu yaliyowasilishwa.

Sanjari na hilo, Dkt. Ndumbaro ameelekeza kuhamishwa kwa Maofisa Utumishi walio chini ya Idara ya Utawala na Utumishi ya Manispaa hiyo kwenda katika halmashauri ambazo hazihudumii watumishi wengi ili waweze kumudu majukumu yao kikamilifu.

Dkt. Ndumbaro ametoa wito kwa watumishi wa umma nchini hususan maofisa wanaoshughulikia masuala mbalimbali ya kiutumishi kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na kutatua changamoto za watumishi kwa wakati na kuongeza kuwa ofisi yake itaendelea kufanya ufuatiliaji kwa taasisi zote zinazolalamikiwa.

Jaji Mkuu Awataka Wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye Maonesho ya Wiki ya utoaji wa Elimu ya Sheria

$
0
0
Na Lydia Churi-Mahakama, Dodoma
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewataka wananchi wa mkoa wa Dodoma na Maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi kwenye Maonesho ya Wiki ya utoaji wa Elimu ya Sheria na kutumia nafasi hiyo kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu Mahakama.

Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kutembelea maonesho hayo leo, Jaji Mkuu pia amewataka wananchi wenye malalamiko na maoni kuhusu utendaji kazi wa Mahakama ya Tanzania kujitokeza na kutoa hizo ili ziweze kujibiwa na watumishi mbalimbali wa Mahakama walioko kwenye Maonesho hayo.

Jaji Mkuu pia ameto wito kwa wananchi wa Dodoma kufika na kuiuliza maswali Mahakama hasa juu ya ucheleweshwaji wa kesi zao na kuahidi kuwa maswali hayo yatajibiwa kwa lengo la hakikisha wanapata haki kwa wakati.

“Nawakaribisha wananchi wenye nafasi kufika kwenye viwanja vya Nyerere Square ili waweze kuona Mahakama ya Tanzania inavyofanya kazi zake kwa kushirikiana na wadau, ni wakati mzuri wa kutathmini utendaji wa Mahakama katika kipindi cha mwaka moja yaani tangu 2018” alisema Jaji Mkuu.

Alisema katika kipindi cha mwaka mmoja, Mahakama ya Tanzania imepiga hatua hasa kutokana na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika kesi.  Aliongeza kuwa kupitia Maonesho ya Wiki ya Sheria, wananchi watajifunza kuwasilisha kesi katika ngazi mbalimbali za Mahakama.

Akizungumzia mashauri kukaa kwa muda mrefu Mahakamani, Jaji Mkuu alisema Mahakama imekuwa ikilaumiwa kuchelewesha kesi lakini wakati mwingine kesi zimekuwa zikichelewa kwa kuwa ni lazima kesi ishughulikiwe na baadhi ya Taasisi wadau huku akitoa mfano kuwa kesi hupepelezwa na polisi lakini huendeshwa na Mwendesha Mashtaka.

Wiki ya Sheria imeanza jana Januari 31 jijini Dodoma na itamalizika Februari 5 ambapo siku ya Sheria nchini itaadhimishwa Februari 6, 2019 katika viwanja vya Chimala jijini Dar es salaam.

Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mbeya Linawashikilia Wahamiaji 15 Raia Wa Nchini Ethiopia

$
0
0
Ni kwamba Februari 01, 2019 saa 01:30 usiku huko katika maeneo ya Mlima Igawilo kwenye kizuizi [Road Block] kilichopo barabara kuu ya Mbeya kwenda Tukuyu, Askari Polisi waliokuwepo eneo hilo walimkamata ALEMEYKU MAKANE [15] raia wa nchini Ethiopia akiwa na wenzake 14 wakiwa wameingia nchini kinyume cha sheria.

Wahamiaji hao walikuwa wakisafirishwa kwenye gari lenye namba za usajili T.645 ADP aina ya Scania lori ambalo kumbukumbu zake zinaonyesha linamilikiwa na ndugu SALUM ALLY MBARUKU, Mkazi wa Kiwira, Mkoani Mbeya. Wahamiaji hao walikuwa wakisafirishwa kuelekea Afrika ya Kusini kupitia Wilaya ya Kyela kisha nchi jirani ya Malawi hadi Afrika Kusini.

Aidha, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na msako mkali kumtafuta dereva wa gari hilo ADAM YUSUPH @ SAFARI, Mkazi wa Mpanda ambaye alikimbia na kulitelekeza gari hilo baada ya kusimamishwa na askari katika kizuizi cha barabarani.

Mwalimu Mkuu Jela Miaka 6 Kwa Kuiba Fedha za Shule

$
0
0
Mwalimu  Mkuu  shule ya  sekondari  Mikwambe, Paulo Lorry, amehukumiwa kifungo cha miaka sita na kutakiwa kulipa Sh milioni 16 katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke alizoiba kutoka akaunti ya shule.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na  Mkuu wa Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoa wa Temeke, Pilly  Mwakasege, ilieleza kuwa mwamu Lorry amekutwa na hatia na kuhukukiwa kwenda jela.

Ilieleza kuwa mwalimu huyo alishtakiwa na makosa matatu ya matumizi  mabaya  ya  ofisi  kifungu   cha  31  cha   Sheria ya  Kuzuia na Kupambana na  Rushwa  namba  11/2007  kama ilivyofanyiwa  marekebisho  mwaka  2002.

Mshitakiwa  alikuwa  ni  Mwalimu  Mkuu wa  Shule  ya  Sekondari  Mikwambe  Manispaa ya  Temeke    mwaka  2010  alipokea Sh milioni 28 kupitia  akaunti  ya  shule  namba  CA 2011100236 kwa  ajili  ya  ujenzi wa  maabara  shuleni  hapo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya February 3

TRA Watoa Ufafanuzi Kodi ya Mabango Kwenye Magari

Wananchi Wajitokeza kufanyiwa Uchunguzi wa Kuangalia Uvimbe kwenye Matiti

$
0
0
Dar es salaam 
Hospitali ya Taifa Muhimbili, Mloganzila kwa kushirikiana na Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA)  imetoa huduma ya uchunguzi wa awali wa kuangalia uvimbe kwenye matiti bila kufanya upasuaji.

Akizungumzia zoezi hilo mtaalam wa Radiolojia wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Mloganzila Dkt. Lulu Sakafu amesema katika zoezi hilo endapo mgonjwa atagundulika kuwa ana uvimbe, sampuli itachukuliwa kwa njia ya kisasa kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Hivyo ametoa wito kwa wanawake kujitokeza kwa wingi ili kufanyiwa uchunguzi wa awali ambao unafanyika leo na kesho na huduma hiyo inatolewa bure.

Akielezea kuhusu ugonjwa wa saratani ya matiti Dkt. Sakafu amesema saratani ya matiti ni namba mbili kati ya saratani zinazowapata wanawake hapa nchini, pia katika vifo vyote vitokanavyo na saratani kwa wanawake Saratani ya matiti ni ya pili.

“Wengi wanafika hospitalini kwa kuchelewa na ugonjwa unakua umefika hatua ya mwisho na hivyo kusababisha matatibabu yake kuwa na changamoto’’. Amesema Dkt. Sakafu.

Kwa upande wake Daktari kutoka MEWATA, Dkt.  Deograsia Mkapa ametaja visababishi vya ugonjwa wa saratani ya matiti kuwa ni kutonyonyesha, kutofanya mazoezi mara kwa mara na uvutaji wa sigara.

Dkt. Mkapa amewashauri wanawake endapo wakiona mabadiliko yoyote kwenye mwili hasa kwenye matiti kuwahi hospitalini kwa ajili ya uchunguzi.

Katika zoezi hilo zaidi ya watu 70 wamefanyiwa uchunguzi wa awali wa kuangalia uvimbe kwenye matiti bila kufanya upasuaji.

Rais wa TFF Wallace Karia Amchokonoa Tundu Lissu....CHADEMA Wamvaa

$
0
0
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimemtaka Rais wa TFF Wallace Karia kumuomba radhi Mbunge wake na Mwanasheria Mkuu wa chama hicho Tundu Lissu, bila hivyo wametangaza moja ya mambo watakayofanya ni kuhamasisha wanachama wake kutoshiriki shughuli za TFF.

Chama hicho kimetoa tamko baada ya Rais wa TFF kulitaja jina la Mbunge huyo wa Singida Mashariki katika mkutano wa mwaka wa Shirikisho hilo uliofanyika jana  jijini Arusha.

Kwenye taarifa yao CHADEMA wameandika 'chama tumepokea  kauli yenye ukakasi mkubwa iliyotolewa na Rais wa Chama cha Mpira wa miguu Tanzania (TFF) Ndugu Karia kuwa atawashughulikia wale wote ambao wataleta " U-Tundu Lissu" kwenye mpira.

"Sasa kauli ya Karia inatufanya tujiulize maswali mengi kama vile , inawezekana anawajua waliomshughulikia Tundu Lissu na ndio maana anataka kuwatumia kushughulikia 'Tundu Lissu' walioko kwenye mpira

"Kusimamisha mahusiano na ushirikiano wowote na TFF ikiwemo kuwataka Wanachama wetu kutokushiriki matukio yote yanayoandaliwa na TFF, kususia bidhaa zote zenye nembo au zinazotolewa na TFF zikiwemo jezi za timu za Taifa  na nyinginezo.

"Kuchukua hatua dhidi ya makampuni ambayo yataendelea kushirikiana na TFF ikiwemo kususia bidhaa zao, kwani watakuwa wanaunga mkono taasisi inayoongozwa kwa ubaguzi wa kisiasa, kuwashawishi wadau wa mpira kokote kusitisha mahusiano na TFF kwani inaendeshwa kisiasa na kibaguzi."

"Tunamtaka Ndugu Karia aombe radhi hadharani na aeleze kwa umma kauli yake ilimaanisha nini na kama anaona ni haki kwa Lissu kupigwa risasi na ndiyo njia sahihi ya kushughulikia changamoto za kwenye mpira".
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images