Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Dokta Mkwambas. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki.

 Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. 

Dokta Mkwambas ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Dokta Mkwambas  Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa aliepotea, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizopotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi,   kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..)na mengine mengi (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa

nambari ya simu
+255 717 163 789
+255 716 261 577

Whatsapp :  0752 388 329

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mbeya Linawashikilia Wahamiaji 15 Raia Wa Nchini Ethiopia

$
0
0
Ni kwamba Februari 01, 2019 saa 01:30 usiku huko katika maeneo ya Mlima Igawilo kwenye kizuizi [Road Block] kilichopo barabara kuu ya Mbeya kwenda Tukuyu, Askari Polisi waliokuwepo eneo hilo walimkamata ALEMEYKU MAKANE [15] raia wa nchini Ethiopia akiwa na wenzake 14 wakiwa wameingia nchini kinyume cha sheria.

Wahamiaji hao walikuwa wakisafirishwa kwenye gari lenye namba za usajili T.645 ADP aina ya Scania lori ambalo kumbukumbu zake zinaonyesha linamilikiwa na ndugu SALUM ALLY MBARUKU, Mkazi wa Kiwira, Mkoani Mbeya. Wahamiaji hao walikuwa wakisafirishwa kuelekea Afrika ya Kusini kupitia Wilaya ya Kyela kisha nchi jirani ya Malawi hadi Afrika Kusini.

Aidha, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na msako mkali kumtafuta dereva wa gari hilo ADAM YUSUPH @ SAFARI, Mkazi wa Mpanda ambaye alikimbia na kulitelekeza gari hilo baada ya kusimamishwa na askari katika kizuizi cha barabarani.

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Mwalimu Mkuu Jela Miaka 6 Kwa Kuiba Fedha za Shule

$
0
0
Mwalimu  Mkuu  shule ya  sekondari  Mikwambe, Paulo Lorry, amehukumiwa kifungo cha miaka sita na kutakiwa kulipa Sh milioni 16 katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke alizoiba kutoka akaunti ya shule.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na  Mkuu wa Taasisiya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoa wa Temeke, Pilly  Mwakasege, ilieleza kuwa mwamu Lorry amekutwa na hatia na kuhukukiwa kwenda jela.

Ilieleza kuwa mwalimu huyo alishtakiwa na makosa matatu ya matumizi  mabaya  ya  ofisi  kifungu   cha  31  cha   Sheria ya  Kuzuia na Kupambana na  Rushwa  namba  11/2007  kama ilivyofanyiwa  marekebisho  mwaka  2002.

Mshitakiwa  alikuwa  ni  Mwalimu  Mkuu wa  Shule  ya  Sekondari  Mikwambe  Manispaa ya  Temeke    mwaka  2010  alipokea Sh milioni 28 kupitia  akaunti  ya  shule  namba  CA 2011100236 kwa  ajili  ya  ujenzi wa  maabara  shuleni  hapo.

Video Mpya: Q Boy Msafi - MY WEAPON

$
0
0
Video Mpya: Q Boy Msafi - MY WEAPON

Video Mpya: Enock Bella - Toto

Marekani Yawashambulia Kwa Makombora Al Shabaab na Kuwaua 24

$
0
0
Marekani imesema kuwa vikosi vyake vimefanya mashambulizi ya makombora ya anga kulenga kundi la kigaidi la Al-Shabaab nchini Somalia na kuwaua askari 24 wa kundi hilo.

Kupitia taarifa yake iliyotolewa jana na Komandi ya Marekani barani Afrika, mashambulizi hayo yalifanyika katika maeneo ya Shebeeley, mkoa wa Hiran, katikati ya Somalia.

“Mashambulizi ya kijeshi ya ndege ni sehemu ya mikakati yetu. Mashambulizi haya yanawasaidia washirika wetu kupiga hatua kubwa katika kupambana na Al-Shabaab ikiwa ni pamoja na kutwaa maeneo ambayo yalikuwa yanadhibitiwa na magaidi hawa,” imeeleza taarifa hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Komandi ya Marekani barani Afrika, Meja Jenerali Gregg Olson.

Marekani imekuwa ikifanya mashambulizi ya anga mara kadhaa katika kuunga mkono vikosi vya Umoja wa Mataifa vinavyosaidia Serikali ya Somalia kupambana na A-Shabaab kwa miaka kadhaa.

Mwaka jana, Jeshi la Marekani lilifanya mashambulizi 45 ya anga ikiwa ni zaidi ya mashambulizi 35 yaliyofanyika mwaka jana.

Al-Shabaab wameendelea kufanya vitendo vya kigaidi nchini Somalia ikiwa ni miaka kadhaa tangu wafurushwe kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

Kundi hilo linalenga kuiondoa madarakani Serikali ya kidemokrasia ya Somalia na kupandikiza utawala wa dini.

Mkuu wa Mkoa atajwa kwenye ufisadi wa Bilioni 3.5 Bungeni

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) Vedasto Ngombale amesema kuwa katika ukaguzi maalum katika kipindi cha mwaka 2012 hadi 2017 kamati yake imebaini kuwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Fatma Mwasa alitumia madaraka yake vibaya wakati wa Uongozi wake na kusababisha ubadhirifu wa Shilingi Bilioni 3.5.

Akiwasilisha taarifa ya mwaka ya shughuli za Kamati ya LAAC kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni, 2017, Mwenyekiti Vedasto Ngombale, alisema kamati hiyo iliagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) kufanya ukaguzi maalum kutokana na kutilia shaka taratibu zilizotumika katika kumpata mkandarasi Saram Co.Ltd katika zabuni za ujenzi wa Ofisi ya Mkurugenzi na Kituo cha Afya.

Alisema ukaguzi huo umefanyika katika hesabu za kipindi cha kuanzia 2012/13 hadi 2016/17 na kubaini mambo mengi ambayo yamefanyika bila nidhamu ya usimamizi wa fedha za umma na ukiukwaji wa taratibu na kanuni zinazosimamia masuala ya fedha.

Alisema ukaguzi huo umebaini moja ya chanzo kikubwa cha ubadhirifu huo ni matumizi mabaya ya madaraka yaliyotumiwa na Mwasa katika miradi iliyotekelezwa na kampuni ya Saram Co.Ltd.

“Mkuu wa Mkoa wa wakati huo katika miradi iliyotekelezwa na kampuni ya Saram alitumia vibaya madaraka kwa kumwelekeza Mkurugenzi(Halmashauri ya Kaliua), Wenyeviti wa kamati za tathimini, Bodi ya zabuni na Mkuu wa Kitengo cha ununuzi kutoa zabuni kwa kampuni hiyo,” alisema.

Alibainisha kuwa Kampuni hiyo Mkurugenzi wake ni mtu aliyekuwa na mahusiano ya ndani na Mkuu wa Mkoa huyo wa wakati huo.

“Ukaguzi umebaini watumishi wawili tu wa kitengo cha manunuzi kati ya watumishi 66 wa halmashauri waliobainika kuhusika na ubadhirifu huo ndio wamechukuliwa hatua,” alisema.

Alisema ubadhirifu huo una sura ya kijinai ambapo malipo ya awali ya Sh. milioni 121.7 yaliyofanyika kwa kutumia nyaraka za dhamana toka Benki ya Equity na nyaraka hizo zilighushiwa na mkandarasi.

“Malipo ya awali ya Sh. milioni 51.6 hayakurejeshwa na mkandarasi na hivyo kusababisha hasara kwa Halmashauri na fedha Sh.milioni 11.3 alizolipwa mkandarasi ni zaidi ya thamani ya kazi zilizofanyika kwa mujibu wa mchanganuo wa gharama za kazi zilizotekelezwa,” alisema.

Aidha alisema malipo yaliyofanyika kwa mkandarasi bila kuonyesha vipimo vya kazi na mchanganuo wa kazi ambazo hazikufanyika katika mradi wa ujenzi wa jengo la kuhudumia wagonjwa wa nje (OPD).

“Malipo ya Sh. milioni 44.7 yalifanyika mara mbili kwa mkandarasi kwa kazi zilizofanyika katika mradi wa ujenzi wa nyumba za watumishi, ”alisema.

Ngombale alisema udanganyifu wa Sh. milioni 178 katika ununuzi na hati za malipo na kutozingatia masharti ya sheria za ununuzi.

“Pia malipo ya mkandarasi kwa kazi za mfuko wa barabara kwa kazi ambazo hazikufanyika kiasi cha Sh.milioni 31.6 na malipo yalipo Sh.milioni 393.6 yaliyofanyika katika akaunti ya Amana ambayo hatima zake hazijawasilishwa kwa ukaguzi,” alisema.

Mwenyekiti huyo alibainisha kuwa matumizi ya kiasi cha Sh.Milioni 78.5 yenye mashaka kwa ununuzi wa vifaa vya ujenzi wa maabara na usimamizi dhaifu katika ukusanyaji wa ushuru wa tumbaku uliopelekea kutokukusanya mapato ya zaidi ya Sh. bilioni 1.35.

“Malipo mbalimbali yenye viashiria vya ubadhirifu na kughushi nyaraka yenye kiasi cha Sh.bilioni 1.02,”alisema.

Mabilioni Ya Wanachama NSSF Hatarini Kuyeyuka

$
0
0
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imebaini dosari katika uwekezaji uliofanywa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), katika ununuzi wa ardhi na ujenzi kwenye miradi saba ambayo inaigharimu serikali mabilioni ya shilingi.

Uchambuzi wa kamati hiyo kuhusu miradi hiyo saba, unaonyesha jumla ya Sh. bilioni 27.1 ambazo ni mali ya wanachama wa NSSF, zipo hatarini kupotea kutokana na uamuzi wa uwekezaji usiokuwa na tija.

Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Hospitali ya Apollo-Dar es Salaam, ujenzi wa jengo la ubalozi na biashara Nairobi-Kenya, uzalishaji wa umeme Mkuranga na ujenzi wa nyumba katika eneo la Kiseke na Bugarika mkoani Mwanza.

Mingine ni mradi wa Mwandiga Transport Terminal, ununuzi wa ardhi katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam na ujenzi wa nyumba katika kitalu namba 249 kilichopo eneo la Njiro mkoani Arusha.

Akiwasilisha taarifa ya shughuli za kamati hiyo kwa mwaka 2018, Mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka, alisema taarifa ya ukaguzi maalum uliofanyika NSSF, imebainisha udhaifu mkubwa katika suala la uwekezaji.

“Ukaguzi huu maaalum wa miradi ya NSSF ulilenga zaidi miradi inayohusu ununuzi wa ardhi katika maeneo mbalimbali hapa nchini. NSSF iliwekeza miradi kadhaa ya uwekezaji, ambayo kwa kiasi kikubwa haijaleta ufanisi hivyo kuashiria matumizi yasiyofaa ya fedha za umma,” alisema.

Alisema kamati yake imefanya uchambuzi wa kina wa miradi hiyo kama ilivyowasilishwa katika taarifa ya ukaguzi maalum wa NSSF kwa mwaka 2016/2017 na kubaini dosari ambazo zinaweza kuisababishia serikali hasara.

Katika mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Apollo ya Dar es Salaam, alisema mkataba wa mradi huo ulisainiwa Septemba 23, 2014 kati ya NSSF na Apollo Hospital Enterprises Limited, Singapore.

Alisema makubaliano ya mradi huo yalikuwa Apollo watoe vifaa na kuendesha hospitali hiyo kwa miaka 15 kwa gharama ambayo ingekubaliwa na kugawanywa asilimia 50 kwa 50 kwa wabia wa mradi huo.

Kwa mujibu wa Kaboyoka, hadi sasa mradi huo umetumia Sh. bilioni 4.19. Hata hivyo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alipoutembelea mradi huo Februari 2018, alikuta umetelekezwa na mkandarasi kutokana na eneo hilo kutofikika kwa urahisi kwa sababu ya ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka.

Kwamba hakuna shughuli inayoendelea, hivyo kuthibitisha uwekezaji usio na tija na matumizi yasiyofaa ya fedha za umma.

Kwenye mradi wa ujenzi wa jengo la ubalozi na biashara Nairobi, Kaboyoka alieleza hadi sasa, jumla ya Sh. milioni 854.2 zimekwishatolewa na NSSF katika utekelezaji wa mradi huo. Hata hivyo, kamati inakamilisha taarifa hiyo, hakuna shughuli zozote zinazokuwa zinaendelea katika mradi huo licha ya fedha kutolewa.

Alisema Wizara ya Mambo ya Nje inamiliki sehemu ya ardhi jijini Nairobi na iliingia makubaliano na NSSF kujenga jengo la ubalozi na biashara.

Kaboyoka alisema NSSF walitakiwa kutoa fedha kiasi cha Sh. bilioni 77.4 na Wizara ingechangia ardhi kama sehemu ya mtaji wake.

Kuhusu mradi wa kuzalisha umeme wa Mkuranga (Mkuranga Power Generation), Kaboyoka alisema hadi sasa, NSSF wametumia Sh. bilioni tatu katika mradi huo lakini ukaguzi umebaini ardhi iliyonunuliwa haijawahi kupimwa wala haina mipaka, jambo ambalo litasababisha migogoro siku zijazo.

Alisema: “Pamoja na dosari hiyo, hapakuwapo na upambuzi yakinifu wowote kuonyesha 'economic viability' (faida za kiuchumi) za mradi huo na namna fedha za uwekezaji zitakavyorejeshwa.”

Alisema kuwa kabla ya kuanza kwa mradi huo, NSSF, Shirika la Umeme (Tanesco) na Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) waliingia makubaliano ya kuanzisha mradi wa kuzalisha umeme katika eneo la Mkuranga mkoani Pwani.

Gharama za mradi huo kwa mujibu wa Kamati ya PAC, zilikadiriwa kuwa dola za Marekani milioni 490. NSSF walinunua ardhi yenye ukubwa wa ekari 100 kwa ajili ya mradi na kuchimba visima 11 vya maji katika eneo hilo.

Kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba katika eneo la Kiseke na Bugarika mkoani Mwanza, Kaboyoka alisema hadi sasa jumla ya Sh. bilioni 1.51 ambazo ni sawa na asilimia 80 ya gharama za mradin zimekwishalipwa.

Alisema ukaguzi umebaini NSSF hawajapewa viwanja vyote kwa mujibu wa mkataba, hivyo kuwapo uwezekano wa kupotea kwa fedha za umma.

Pamoja na dosari hiyo, Kaboyoka alisema uongozi wa Kata ya Buhongwa uliwafahamisha wakaguzi kuwa baadhi ya wanavijiji wa eneo hilo hawakulipwa fidia, hivyo wameamua kuvamia eneo hilo na kusababisha hasara kwa NSSF.

Mradi huo ulianza kutekelezwa mwaka 2008, NSSF wakikubaliana na Halmashauri ya Jiji la Mwanza kununua viwanja 357 katika eneo la Bugarika na viwanja 299 katika eneo la Kiseke kwa gharama ya Sh. bilioni 1.89.

Katika mradi wa ujenzi wa nyumba katika kitalu namba 249 eneo la Njiro jijini Arusha, alisema malipo ya awali yalifanyika Novemba 2010 ni Sh. milioni 132 na malipo ya mwisho yalikuwa Sh. milioni 308 yalifanyika Machi 2011.

“Wakaguzi walipotembelea eneo hilo Januari 2018, walikuta eneo lote limevamiwa na wanakijiji na kujenga majengo kama nyumba za ibada na shughuli nyingine za binadamu. Pamoja na dosari hizo, wakaguzi hawakuweza kupata nyaraka za uhamisho wa ardhi hiyo kutoka kwa muuzaji kwenda NSSF. Hivyo basi, hakuna uwezekano wa fedha za umma zilizotumika kununua ardhi hiyo kurejeshwa tena kwa sasa," Kaboyoka alisema.

Aliongeza kuwa kamati yake imebaini hakuna shughuli inayoendelea katika mradi wa Mwandiga Transport Terminal licha ya kutumika Sh. bilioni 1.85.

Alisema NSSF walipanga kutekeleza mradi wa kituo cha kimataifa cha usafiri katika eneo la Mwandiga, Kigoma lenye ukubwa wa ekari 28 kwa gharama za Sh. bilioni 33.3.

Kaboyoka alisema kuwa hadi sasa, jumla ya ekari 28 za ardhi zimepatikana kwa gharama ya Sh. bilioni 1.85, akihoji ekari moja ya ardhi kununuliwa kwa wastani wa Sh. milioni 66.

Vilevile, alisema wamebaini dosari katika ununuzi wa ardhi mikoa ya Pwani na Dar es Salaam kwa gharama ya Sh. bilioni 15.8.

“Kamati imebaini kuwa ardhi hiyo ilinunuliwa bila ya kuwapo kwa kamati ya uwekezaji ya shirika la (Management Investment Committee - MIC) na haikupata idhini ya bodi. Haikuwa hivyo tu, bali imebaini pia ardhi hiyo haikuwa imepimwa na kufanyiwa tathimini ili kujiridhisha na thamani yake halisi ukilinganisha na bei iliyonunuliwa,” alisema.

Kutokana na uwekezaji huo usiokuwa na tija, Bunge liliazimia serikali ifanye uchunguzi wa wahusika wote waliohusika katika mchakato wa ununuzi wa ardhi husika kwa malengo ya uwekezaji ambao haukuwa na tija na kisha kuchukua hatua stahiki kwa kuzingatia matokeo ya uchunguzi.

Pia, serikali na bodi za mifuko mipya ya hifadhi za jamii iliyoundwa zihakikishe masuala ya uwekezaji yanafanyika kwa kuzingatia sheria na miongozo ya mamlaka husika kama Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) na Benki Kuu (BoT) ili kuepuka uwekezaji usiokuwa na tija kwa taifa na kwa wanachama wa mifuko husika.

Video Mpya:Nisahaulishe – Amini

$
0
0
Video Mpya:Nisahaulishe – Amini

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

TRA Yafafanua mabango kwenye magari kudaiwa kodi

$
0
0
Baada ya kusambaa kwa barua ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikimtaka mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya International Tanfeed Limited kulipia Sh1.8 milioni za kodi ya tangazo katika gari la kampuni hiyo, mamlaka hiyo imefafanua juu ya kodi hiyo.

“Kuna mabango ya kawaida yamesimikwa, mabango yaliyo juu ya majengo na mabango ya kwenye magari ambayo gari kila likizunguka linakuwa na bango hilo, mfano kampuni za vinywaji, biashara ya bidhaa mbalimbali,” alisema mkurugenzi wa elimu kwa mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo.

“Sio kodi mpya na si kitu cha ajabu, magari haya yanastahili kulipiwa. Kwa mfano, bango lipo katika gari linazunguka nchi nzima linaonwa na watu wengi zaidi kuliko bango likiwekwa sehemu moja.”

Alisema matangazo yote yakiwamo yaliyo kwenye magari mbalimbali yanatakiwa kulipiwa ada ya mwaka kwa mujibu wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2017.

Katika barua hiyo ya Novemba 26, mwaka jana, meneja wa TRA mkoa wa kikodi wa Kinondoni alimtaka mkurugenzi wa kampuni hiyo kulipa kodi ya Sh1.8 milioni kwa matangazo yaliyomo katika gari hilo kwa mujibu wa sheria kupitia mfumo wa ukusanyaji mapato wa TRA kupitia namba GFS Code 14220177.

“Zingatia kwamba ikitokea umeshindwa kulipa kama ilivyobainishwa hapa (kwenye barua), mamlaka itatafuta namna ya fidia kiasi hicho dhidi yako kama ilivyobainishwa katika Sheria ya Kodi,” inasomeka sehemu ya barua hiyo.

Awali, kodi za matangazo ya mabango zilikuwa zikikusanywa na Serikali za Mitaa lakini baada ya kupitishwa kwa Sheria ya Fedha ya mwaka 2017, kodi hizo sasa zinakusanywa na TRA.

OleSendeka Azindua Opareshen Maalum ya Kuwasaka Wauaji wa Watoto Njombe

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amezindua oparesheni maalum ya kuwasaka watuhumiwa wa mauaji ya watoto katika Mkoa wa Njombe kufuatia kuongezeka kwa mauaji ya watoto kwenye mkoa huo.

Kauli hiyo inakuja kufuatia kutokea kwa mauaji ya watoto 9 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole-Sendeka amebainisha kuwa ikitokea tukio hilo familia nzima zitahusishwa  pamoja na viongozi wa eneo husika.

Ole Sendeka amesema "hata kama ulipigiwa simu tutaifuatilia simu yako, utatuunganisha na utatueleza mahusiano yako na huyo mtu na haya anayoyafanya ukijifanya kukataa tutakuunganisha kwenye mauaji ya watoto."

"Tungependa kuanza na  hawa ambao ni matajiri wanaoaminika walipata utajiri kwa njia ambazo si halali watatusaidia na tutawashika ili kuisaidia Jeshi la Polisi." ameongeza Ole Sendeka

Huduma ya kisasa uchunguzi saratani ya matiti yaanza Hospitali ya Taifa Muhimbili, tawi la Mloganzila (MAMC)

$
0
0
Hospitali ya Taifa Muhimbili, tawi la Mloganzila (MAMC), imeanza kutoa huduma ya kisasa ya uchunguzi wa saratani ya matiti.

Kwa njia hiyo ya kisasa, wataalamu sasa wanao uwezo wa kuchukua sampuli ya kinyama (biopsy) mwilini pasipo kufanya upasuaji wa aina yoyote ile.

Mtaalamu wa Tiba Mionzi (Radiologist), Dk. Lulu Sakafu amesema hayo leo Februari 2, alipozungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo.

Amesema hiyo ni mara ya kwanza kwa huduma hiyo kuanza kutolewa hospitalini hapo.

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Marekani Kutangaza uamuzi MGUMU Sakata la Makombora ya Nyuklia ya Masafa Marefu

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Marekani, Mike Pompeo, anatarajiwa wakati wowote kutoka sasa kutangaza uamuzi wa nchi yake wa kubatilisha makubaliano yanayositisha matumizi ya makombora ya kinyukilia yenye uwezo wa kushambulia kutoka bara moja hadi jingine (INF).

Kwa mujibu wa vyombo vya habari mbalimbali duniani, vimeripoti kwa sauti moja kwamba Marekani imeshawaarifu washirika wake katika Jumuiya ya Kujihami ya Nchi za Magharibi (NATO) kuhusu uamuzi huo.

Makubaliano hayo ya kudhibiti mbio za kutengeneza silaha, yaliyotiwa saini mwaka 1987 kati ya Marekani na Umoja wa Usovieti yamechangia pakubwa katika kumalizika vita baridi.

Mataifa yote mawili yaliahidi kuachana moja kwa moja na makombora ya kinyukilia ya masafa ya wastani. Kwa miaka sasa Marekani imekuwa ikiituhumu Urusi kwenda kinyume cha makubaliano hayo.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Waziri Mkuu Afungua Wiki Ya Sheria ......Asema Serikali Ni Mdau Muhimu Wa Mahakama

$
0
0
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeendelea kushirikiana na Mhimili wa Mahakama katika kuhakikisha huduma bora za utoaji haki zinawafikia wananchi kwenye maeneo wanayoishi kwa wakati.

“Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli ni mdau muhimu wa Mahakama na inafuatilia kwa karibu changamoto zote zinazoikabili pamoja na wadau wengine katika mfumo wa utoaji haki.”

Ameyasema hayo leo (Jumamosi, Februari 2, 2019) wakati akifungua wiki ya Sheria Tanzaniakatika viwanja wa Nyerere Square jijini Dodoma. Ametoa wito kwa wananchi watembelee mabanda ya maoneshohayo.

Amesema kupitia wiki ya sheria wanachi watapata elimu kuhusu masuala ya sheria pamoja na kushuhudia na kunufaika na maboresho yanayofanywa na Mahakama kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika utoaji haki.

Waziri Mkuu amesema jambo hilo ni jema kwani masuala ya kisheria si mepesi kujulikana kwa kila mwananchi na kwa sababu hiyo, wananchi wengi wamekuwa na uelewa mdogo wa masuala hayo ya kisheria.

Amesema wananchi wengi hawajui taratibu na mienendo ya kimahakama na wakati mwingine wanakosa au kupoteza haki zao kwa kigezo cha kutofuata taratibu ili kupata haki zao hizo.

“Nitoe rai kwa wananchi watumiae ipasavyo fursa hii ya Wiki ya Sheria inayoambatana na maonesho kwa lengo la kupata elimu na huduma mbalimbali hususan za kisheria.”

Akizungumzia kuhusu dhamira ya Mahakama kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kuleta mabadiliko kwenye utoaji haki, amesema ni hatua nzuri na itasaidia kuboresha utoaji wa haki kwa wakati.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amewasihi katika matumizi hayo ya mifumo ya TEHAMA wasikatishwe tamaa na changamoto zitakazojitokeza kwani mara nyingi kitu kipya chochote hakikosi changamoto za hapa na pale.

“Binafsi naunga mkono uamuzi wa dhati wa Mhimili wa Mahakama kutumia TEHAMA katika usajili wa mashauri. Uamuzi huo unakwenda sanjari na azma ya Serikali ya kuhakikisha TEHAMA inatumika vema kwenye taasisi za umma kwa lengo la kutoa huduma bora na kwa wakati.”

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema matumizi bora ya TEHAMA yataipunguzia Serikali na mihimili mingine ya dola gharama za uendeshaji hususan katika utoaji huduma kwa wnanchi.

Amesema lengo la Serikali ni kuona kuwa huduma bora zinawafikia wananchi kwa urahisi na vilevile, zinapatikana wakati wote. “Nitoe wito kwa wadau muhimu wakiwemo Mawakili wa Serikali na Mawakili wa Kujitegemea, nao kutumia mifumo ya TEHAMA katika kusajili mashauri na wala wasiwe wao wa kwanza katika kulaumu na kubeza.”

Amesema Mawakili wote wa Serikali na Kujitegemea, wanapaswa kuwa sehemu ya kutatua changamoto zitakazoibuka katika matumizi ya mifumo hiyo ya TEHAMA kwa kuwasilisha mapendekezo kuhusu namna bora ya kuiboresha.

Ameongeza matumizi ya TEHAMA siyo tu yatawawezesha kutoa huduma kwa wakati, lakini yataweka uwazi ambao utawapunguzia malalamiko mengi kuhusu watumishi wenu na utoaji haki.

Waziri Mkuu amewataka watumie vema Wiki ya Sheria kwa ajili ya kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi kuhusu mapinduzi ya matumizi ya TEHAMA yanayoendelea Mahakamani.

Kwa upande wake, Jaji Mkuu Profesa Ibrahimu Juma amesema kwa kipindi cha wiki nzima, maonesho ya Wiki ya Sheria yatafanyika jijini Dodoma pamoja na kwenye Mahaka zote nchini, kuanzia ngazi ya wilaya.

Pia, Jaji Mkuu ametumia fursa hiyo kuwakumbusha viongozi wa vijiji, kata, wilaya, mkoa, idara na wizara, wabunge, majaji, mahakimu na watumishi wa umma wahudhurie maonesho hayo ya Wiki ya Sheria.

Ametolea mfano banda la maonyesho la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu litawakumbusha kuwa mamlaka yao mihimili mitatu ya dola yanatokana na nguvu ya sheria, nguvu ambayo haimuonei mwananchi yeyote.

Jaji Mkuu amesema watu watakaoshiriki katika maonesho hayo kwa kutembelea mabanda watumie nafasi hiyo kujifunza na kutathmini umuhimu na hadhi ya mfumo wa kimahakama katika kustawisha maisha yao pamoja na kuwasaidia kupata haki kwa mujibu wa sheria.

Kabla ya kufungua maadhimisho hayo ambayo kwa mara ya kwanza yamefanyika nje ya jiji la Dar es Salaam, Waziri Mkuu alishiriki matembezi ya kilomita tano pamoja na Jaji Mkuu na viongozi wengine yaliyoanzia Mahakama Kuu Dodoma hadi viwanja vya Nyerere Square na kisha alitembelea mabanda.

 (mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images