Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kanisa Katoliki laondoa msimamo wake DRC

$
0
0
Kanisa  Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), limeondoa msimamo wake wa awali wa kutotambua matokeo ya uchaguzi wa urais.

Kanisa hilo, ambalo lilikuwa na maelfu ya waangalizi wa uchaguzi wakati wa uchaguzi mkuu wa Desemba 30 mwaka jana, linaamini Rais Felix Tshisekedi hakushinda uchaguzi huo.

Limesema kuwa kufuatia kuapishwa kwa Felix Tshisekedi kuwa rais wiki iliyopita, halitaunga mkono maandamano ya kumpinga.

Mmoja wa wapinzani wa Tshisekedi, Martin Fayulu, anasisitiza kuwa aliporwa ushindi, kutokana na takwimu za Kanisa hilo kuonesha ameshinda kwa kishindo.

Lakini wachambuzi wa mambo wanasema Fayulu hawezi kufika mbali katika madai yake bila uungwaji mkono wa Kanisa la Katoliki, ambalo lina nguvu na ushawishi nchini humo.

Kanisa hilo lilikuwa muhimu katika mandamano makubwa ya kumpinga Rais Joseph Kabila, ambaye ameondoka baada ya kuwa madarakani kwa miaka 18.

Kitendo chake cha kumkabidhi Tshisekedi madaraka ya urais, kilikuwa uhamishaji wa kwanza wa madaraka kwa njia ya amani nchini humo katika kipindi cha karibu miaka 60.

Sakata la Upotevu wa Trilioni 1.5: Spika Ndugai Ampa MAKAVU Zitto Kabwe....Adai ni Muongo, Amtaka Amuogope Mungu

$
0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amemtaka Mbunge wa Kigoma mjini Mhe. Zitto Kabwe  amwogope Mungu na aache kuwa mwongio kwenye taarifa zake ikiwa ni pamoja na tuhuma za upotevu wa Shilingi trilioni 1.5.

Akizungumza bungeni leo Alhamisi Januari 31, 2019 Ndugai amesema licha ya uongo huo ni mapema mno kumpeleka kiongozi huyo wa ACT katika Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.

Amesema Zitto amekuwa akiandika kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Ndugai kuikalia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu upotevu wa Sh1.5 trilioni,  jambo ambalo si kweli.

Ndugai amebainisha kuwa taarifa za mbunge huyo kwenye mitandao ya kijamii hazina ukweli na ni uongo mtupu

“Kwa mfano, aliandika katika mtandao wake kuwa nilipokea ripoti ya CAG tangu Januari 8, 2019 nikaikalia wakati mimi nimepokea taarifa hiyo Januari 16, 2019 na Januari 18, 2019 niliwapa kamati ya PAC. Ni vyema Watanzania wakajua huyu mwenzetu ni muongo,” amesema Ndugai.

Amesema Bunge liliweza kujadili habari za Sh300 bilioni kwa nguvu iweje washindwe kujadili kuhusu Sh1.5 trilioni ambazo ni nyingi.

Hata hivyo, amesema CAG, Profesa Mussa Assad alishaulizwa mbele ya Rais John Magufuli kuhusu fedha hizo na kubainisha kuwa hakuna upotevu wa kiasi hicho na hata kamati ya PAC ilishasema hakuna upotevu, lakini anashangaa kuona Zitto analisambaza jambo hilo.

==>>Msikilize hapo chini

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

$
0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Kilichoendelea Leo Mahakamani Katika Kesi ya ESCROW inayomkabili Seth na Rugemarila

$
0
0
Upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mfanyabiashara Herbinder Seth na James Rugemarila umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa wapo katika hatua za kukamilisha upelelezi wa kesi hiyo.

Hayo yameelezwa na Wakili wa Serikali (TAKUKURU), Leonard Swai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.

Wakili Swai amedai kuwa shauri hilo lilikuja kwa ajili ya kutajwa, wapo katika hatua za kukamilisha upelelezi hivyo wanaomba tarehe nyingine.

Hata hivyo baada ya maelezo hayo, Wakili wa Utetezi, Dora Masaba aliuomba upande wa mashtaka wajitahidi kukamilisha upelelezi.

Pia wanaiomba upelelezi wa kesi hiyo ukamilike ili wajue mwisho wake ni nini kwani washtakiwa hao wapo gerezani tangu Julai 2017.

Baada ya maelezo hayo Hakimu Shaidi aliahirisha kesi hiyo hadi February 14, 2019 kwa ajili ya kutajwa ili kuangalia upelelezi kama umekamilika au la.

Seth na mwenzake Rugemarila wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi kwa kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi nyaraka, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kutakatisha fedha na kuisababisha Serikali hasara ya dola za Marekani 22, 198,544.60 na Sh 309,461,300,158.27.

Kilichoendelea Leo Mahakamani Katika Kesi ya Zitto Kabwe na Spika Ndugai

$
0
0
Kesi ya Zitto Vs. Spika Ndugai kuomba tafsiri ya Mahakama kuhusu madaraka ya Bunge kumuita na kumuhoji CAG (Miscellaneous Civil Cause No. 1/2019) imeahirishwa hadi Februari 15 itapoitwa tena kwa ajili ya kusikilizwa

Kesi hiyo ya Kikatiba  imefunguliwa Mahakama Kuu na mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe dhidi ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).

Katika kesi hiyo, Zitto ambaye pia ni Kiongozi wa ACT anaiomba Mahakama Kuu itoe tafsiri ya  kinga ya CAG, Profesa Mussa Assad  iliyopo kikatiba na pia kutoa tafsiri ya Sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge katika kushtaki watu wanaosemekana kulidharau Bunge.

Kesi hiyo inayosikilizwa na jopo la majaji watatu; Firmin Matogolo (kiongozi wa jopo),  Dk Benhajj Masoud na  Elinaza Luvanda  imetajwa leo Alhamisi Januari 31, 2019 kwa mara ya kwanza mahakamani hapo na mahakama hiyo ikapanga kuanza kuisikiliza rasmi Februari 15, 2019.

Pia,  mahakama hiyo leo imewaamuru wadaiwa (Spika na AG) kuwasilisha mahakamani hapo utetezi wao ndani ya siku 14, ambazo zinaishia Februari 13, 2019.

Wakati kesi hiyo ilipotajwa leo, Zitto hakuwepo mahakamani na aliwakilishwa na wakili wake,  Fatma Karume huku Ndugai akiwakilishwa na jopo la mawakili watatu wa Serikali, wakiongozwa na mwanasheria wa Serikali Mkuu (PSA), Alesia Mbuya.

Zitto alifungua kesi hiyo baada ya Ndugai kupitia kwenye vyombo vya habari na baadaye kumwandikia barua CAG akimtaka afike mbele ya kamati hiyo ya Bunge kuhojiwa kutoka na kauli yake aliyoitoa akiwa anahojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa,  kuwa Bunge la Tanzania ni dhaifu.

Katibu Mkuu Madini Amsimamisha Kazi Afisa Dodoma

$
0
0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila amemsimamisha kazi Fundi Sanifu wa Madini, Asheni Daudi wa Ofisi ya Madini Dodoma baada ya kuagizwa na Waziri wa Madini Doto Biteko.

Hatua hiyo ilifikiwa Januari 30, 2019, baada ya Waziri Biteko akiongozana na Katibu Mkuu na Wataalam wengine wa wizara vikiwemo Vyombo vya Ulinzi na Usalama, kufanya ziara ya kushtukiza katika Kiwanda cha Kuchenjua madini ya Dhahabu cha   Umoja kilichopo eneo la Viwanda la Kizota (Industrial Area) na kubaini mapungufu makubwa katika utendaji kazi wa wataalamu hususan uandaaji wa tarifa za uzalishaji wa madini.

Akizungumza katika eneo hilo, Waziri Biteko alisema wizara ilipata taarifa kutoka kwa raia wema kuhusu mienendo inayoendelea katika eneo hilo ambapo wahusika ambao ni Maafisa Madini wamekuwa hawatoi taarifa halisi za uzito na ubora wa dhahabu zinazozalishwa baada ya kuchenjuliwa, hivyo, serikali kukosa mapato stahiki.

Waziri Biteko aliongeza kuwa, tayari anayo majina yote ya wanaofanya michezo ya ujanja ujanja kwenye viwanda vya kuchenjua dhahabu, huku akieleza kuwa, hatua madhubuti zitachukuliwa kwa wote wanaofanya vitendo hivyo na kuongeza kwamba, zoezi hilo litakuwa endelevu kwa lengo la kuwabaini wanaojihusisha na vitendo hivyo na kuwataka maafisa madini kuwa makini.

Aidha, alimwagiza Kamishna wa Madini kufanya kaguzi katika viwanda vyote vya kuchenjua dhahabu kwa lengo la kubaini utendaji wa kazi wa viwanda hivyo, ikiwemo taarifa za uzalishaji zinazotolewa na kusema “Lazima tufike mahali tuheshimu taratibu, madini haya ni mali ya nchi”, alisisitiza Biteko.

Wakati huo huo, Waziri Biteko alimtaka Afisa Madini Mkoa wa Dodoma kujitathmini kutokana na mambo yanavyokwenda katika eneo lake la kazi na kumtaka kuwasilisha kwa Kamishna wa Madini na kwa Waziri wa Madini taarifa za uzalishaji madini ya dhahabu kwa kipindi cha miezi sita.

Pia, katika ziara yake, Waziri Biteko alibaini mnunuzi wa madini ya dhahabu katika eneo la Kizota aliyefahamika kwa jina la Matondo Michembe ambaye anafanya shughuli hizo bila kuwa na leseni ya biashara ya madini hayo. Hivyo, alimwagiza Michembe kuwasilisha taarifa za utendaji wake kwa Kamishna wa Madini na Waziri wa Madini hususan  soko analouzia madini hayo ya dhahabu.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu Prof. Simon Msanjila alieleza kuwa, kiutaratibu ilikuwa lazima taarifa za uzalishaji na kiasi kilichozalishwa kujazwa katika vitabu maalum ndani ya kiwanda hicho lakini jambo hilo halikufanyika kama inavyotakiwa.

Aliongeza kuwa, Afisa huyo amesimamishwa ili kupisha uchunguzi na endapo itabainika, taratibu za kiutumishi zitachukuliwa.

Kiongozi wa Upinzani Venezuela Aliyejitangaza Rais Afanya Mazungumzo na Wanajeshi

$
0
0
Kiongozi wa upinzani nchini Venezuela Juan Guaidó amefanya mazungumzo ya siri na wanajeshi kutafuta uungwaji mkono wao wa kumng'atua madarakani rais Nicolás Maduro.

Mwezi uliyopita Bw. Guaidó alijitangaza kuwa rais katika hatua ambayo imeungwa mkono na Marekani na mataifa kadhaa ya Amerika kusini.

Mataifa ya Urusi na China yanamuunga mkono Maduro lakini msaada wa jeshi ni muhimu kwa juhudi zake za kusalia madarakani.

Mzozo ulianza baada ya Bw. Nicolás Maduro kuanza muhula wa pili madarakani licha ya uchaguzi kukumbwa na mzozo.

Wagombea wengi wa upinzani walizuiliwa kushiriki uchaguzi huo na wengine kufungwa jela.
 
Karibu watu milioni tatu wametoroka nchini Venezuela kufuatia mzozo wa kiuchumi huku taifa hilo likikumbwa upya na ghasia hivi karibuni.

Rais wa Marekani Donald Trump, siku ya Jumatano aliandika katika mtandao wake waTwitter kuwa amezungumza na Bw. Guaidó na kwamba anaunga mkono "Urais wake wa kihistoria", aliandika katika ujumbe wake wa pili kuwa "Harakati za kupigania uhuru zimeanza!"
 
Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza Jeremy Hunt, anatarajiwa kuyashawishi mataifa ya Muungano wa Ulaya kuwaekea vikwazo maafisa wa ngazi ya juu katika serikali ya Bw. Maduro leo Alhamisi baada ya kuzungumza na Bw. Guaidó siku ya Jumatano.

Credit: BBC

Vunja Kero 3: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Usiteseke Tena na Matatizo ya Nguvu za Kiume.....Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
SUPER MKUNYATI MIX; ni dawa bora ya mitishamba iliyopo katika mfumo wa vidonge na unga yenye uwezo wa kutibu na kumaliza matatizo yote ya ukosefu wa nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile:-

  -kuwai kufika kileleni ndani ya dakika chache tu.
 -Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa muda mrefu.
 -Kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu(punyeto) husababisha kuishiwa au kupungukiwa na nguvu za kiume.
 -Uume kusimama kwa kulegea au katikati ya tendo la ndoa unalala na kushindwa kusimama.

Epuka matatizo haya kwa kutumia dawa bora ya asili ya SUPER MKUNYATI MIX ni kiboko ya matatizo haya yanayowasumbua baadhi ya wanaume wengi.

Pia kuna dawa ya kutibu Presha,miguu kufa ganzi, tumbo kuuma chini ya kitovu, kisukari,ngiri, chango aina zote na nk, matatizo haya nayo uchangia matatizo haya ya ukosefu wa nguvu za kiume na kuwa na maumbile madogo na uume mfupi.

KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA MAUMBILE MADOGO NA UUME MFUPI?  Usikate tamaa ondoa maradhi yako  hayo maana matatizo haya yamekuwa yakiathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti na sana na wanaume wengine kwa kushindwa kumlizisha mwanamke.


MDINDADINDA MIX, ni dawa ambayo inarefusha na kunenepesha maumbile na itakufanya uwe na uume saizi uipendayo.Dawa hizi za asili za mitishamba zipo katika mfumo wa vidonge na unga na hazina madhara kwa mtumiaji.

JABABILA;- ni dawa ya mvuto wa mapenzi ,mchumba, mke, mume aliyekuacha atakurudia ndani ya siku moja tu na atakutimizia utakacho.

ITALIGULA;- ni dawa ya biashara  na hata kama umezurumiwa utalipwa mapema ,kupata kazi, kupanda cheo. Ofisi zetu zinapatikana DAR ES SALAAM, SONGEA - BOMBAMBILI, SHINYANGA - KAHAMA MJINI. na pote pale ulipo utaipata huduma hii,kama huna nafasi utaletewa hulipo.Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR. MACHIMKENDA simu no ,0717 339771

Serikali Haidaiwi Na Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Kilitex-Arusha

$
0
0
Na Saidina Msangi, WFM, Dodoma
Serikali iliwalipa stahili zote Watumishi wa Kiwanda cha nguo cha KILITEX kilichopo mkoani Arusha baada ya kufungwa kutokana na tatizo la ukosefu wa mtaji na malimbikizo ya madeni.

Hayo yamebainishwa Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji, alipokua akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalaum Mhe. Catherine Magige, aliyeuliza ni lini Serikali itawalipa wafanyakazi 545 wa KILITEX ambao bado wanadai pensheni baada ya kiwanda hicho kufungwa ilihali mwajiri wao hakuwasilisha michango yao kwenye Mfuko wa Kijamii wa PPF.

Dkt. Kijaji alisema kuwa, kwa mujibu wa kumbukumbu na nyaraka za ufilisi, taratibu za ufilisi zilikamilika na wafanyakazi hao walilipwa stahiki zao kwa mujibu wa Sheria ya Makampuni  namba 46 ya mwaka 1931.

“Baadhi ya wafanyakazi walilipwa mafao ya kiinua mgongo kwa mkupuo na wengine walirejeshewa michango yao kwa kadiri walivyochangia baada ya Mfilisi kushindwa kulipa riba, adhabu na malimbikizo ya michango kwenye mfuko wa Pensheni wa PPF”, alisema Dkt. Kijaji.

Alisema Kiwanda hicho kilisimamisha shughuli za uzalishaji mwaka 1994 na kuwekwa chini ya ufilisi na PSRC mwaka 1995.

Aidha akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mlimba, Mhe. Suzan Kiwanga, alietaka kufahamu ni lini wafanyakazi 11075 wa Shirila la Reli la Tanzania na Zambia- TAZARA waliostaafishwa kwa lazima miaka 55 mwaka 2005, watalipwa mafao yao.

Alisema Serikali imefuatilia madai hayo na takwimu sahihi ni wastaafu 271 walistaafishwa na madai yao yanashughulikiwa ili waweze kulipwa mafao yao.

Mwisho.

Serikali Yatoa Salamu za POLE Kufuatia Kifo cha Mwamuzi Nguli wa Ngumi za Kulipwa Nchini

Wakala wa Majengo ya Serikali (TBA) Watakiwa kukamilisha miradi ya ujenzi wanayo pewa ndani ya muda

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. (rtd) Nicodemus Elias Mwangela amewataka Wakala wa Majengo ya Serikali (TBA) kukamilisha miradi ya ujenzi wanayo pewa ndani ya muda wa makubaliano ya mikataba.

Brig. Jen. (rtd) Mwangela ameyasema hayo jana wakati akishuhudia utiaji saini wa mikataba miwili ya ujenzi wa Nyumba ya Mkuu wa Mkoa na ya Katibu ya Katibu Tawala Mkoa kati ya TBA na Katibu Tawala Mkoa wa Songwe.

“TBA mna sifa nzuri ya kujenga majengo ya serikali kwa kuzingatia ubora unaotakiwa na kwa gharama nafuu lakini kuna wakati kunakuwa na kusita katika kuwapa kazi kutokana na historia yenu ya kuchelewesha kukamilisha miradi mnayopewa ya ujenzi”, ameeleza Brig. Jen. (rtd) Mwangela.

Ameongeza kuwa TBA wamechelewesha ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na ujenzi wa Hospitali ya Mji wa Tunduma hivyo ucheleweshaji huo usirudie katika mikataba hiyo miwili waliyopewa kwani hatasita kuvunja mikataba hiyo endapo wataonyesha ucheleweshaji.

Naye Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Z. Kafulila ameishukuru serikali ya awamu ya Tano chini ya Rais John Pombe Magufuli kwa kuupatia Mkoa wa Songwe kiasi cha shilingi bilioni 26.8 kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali mkoani hapa.

Kafulila amesema serikali imekuwa ikitoa fedha za miradi mbalimbali lakini kasi ya utoaji wa fedha na matumizi ya fedha hizo kwenye miradi husika imekuwa haiendani na hivyo kusababisha kuchelewa kukamilika kwa miradi hiyo.

Kwa upande wake Kaimu Meneja wa TBA Mkoa wa Songwe Mhandisi Fidelis Cosmas ameishukuru serikali kwa kuendelea kuwa amini na kuwapa miradi hiyo miwili yenye thamani ya shilingi bilioni moja na kuahidi kuikamilisha kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa.

Mhandisi Cosmas amesema hapo awali walikuwa na changamoto kama vile ukosefu wa maji, umeme na baadhi ya vifaa lakini wamesha zifanyia kazi changamoto hizo hivyo watamaliza miradi hiyo Juni 30, 2019 kama walivyokubaliana katika Mikataba.

Bodi Ya Ushauri NFRA Yatembelea Ujenzi Wa Maghala Na Vihenge Vya Kisasa Mkoani Manyara

$
0
0
Bodi ya ushauri ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) imetembelea eneo la Mradi wa ujenzi wa Maghala na Vihenge vya kisasa Mkoani Manyara na kuipongeza kampuni ya Unia Araj Realizacje Sp.o.o) chini ya msimamizi wa utekelezaji wa mradi huo ambaye ni Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kasi waliyoanza nayo ya ujenzi.

Kampuni hiyo ambayo imeanza ujenzi huo tarehe 15 Disemba 2018 katika Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara katika kipindi hicho imetekeleza mradi huo kwa kasi nzuri, Imesema Bodi hiyo.

Mradi huo katika Kanda ya Arusha (Babati), pamoja na Dodoma, Makambako, Mbozi, Shinyanga, Songea, Sumbawanga na Mpanda. utagharimu Dola za Kimarekani Milioni 55, ikiwa ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Serikali ya Poland ikiwa ni sehemu ya kiasi cha milioni 110 kilichotolewa kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akizungumza na mkandari wa mradi huo Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Mhandisi Eustance Kangole alisema kuwa kampuni hiyo inapaswa kuongeza kasi zaidi ya ujenzi ili kukamilisha kwa muda uliopangwa.

Alisema kuwa Hifadhi ya Chakula inayohitajika kukidhi mahitaji ya dharula kwa miezi mitatu ni zaidi ya tani 500,000 ukilinganisha na tani 150,000 iliyokuwa inahitajika miaka ya 1992 Wakala ulipoanzishwa.

Pia, technologia ya vihenge itawezesha Wakala kutumia teknolojia ya kisasa na hivyo kupunguza gharama za uendeshaji, Itawezesha Wakala kuhifadhi chakula kwa muda mrefu Zaidi, itasaidia kupunguza upotevu wa zao la mahindi baada ya kuvuna (posthaverst loss) na kuongeza soko la mahindi nchini na kuimarisha usalama wa nafaka inayohifadhiwa kwa kudhibiti sumukuvu (Aflatoxin) kwa mahindi yaliyohifadhiwa.

Bodi ya ushauri ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Mhandisi Eustance Kangole na katibu wake ambaye pia ni Kaimu Afisa Mtendaji mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Bi Vumilia L. Zikankuba imefanya ziara hiyo mara baada ya kikao kazi cha 33 cha Bodi hiyo Jijini Dodoma kilichofanyika kwa lengo la kujadili masuala muhimu ya Wakala ikiwemo utekelezaji wa mkataba wa mauzo ya mahindi Tani 36,000 kwa Shirika la Chakula Duniani (WFP) sambamba na kujadili maendeleo ya Mradi wa Vihenge na Maghala ya kisasa.

Vihenge 8 vinatarajiwa kujenzgwa Kanda ya Arusha katika eneo la (Babati) vyenye uwezo wa kuhifadhi nafaka Tani 25,000 ambapo pia yatajengwa maghala 2 yenye uwezo wa kuhifadhi nafaka Tani 15,000 hivyo kuwa na jumla ya Tani 40,000.

Baada ya mradi kukamilika Wakala utakuwa umeongeza uwezo wa kuhifahi kwa Tani 250,000 zaidi (vihenge vya kisasa 190,000 MT na maghala 60,000 MT) jambo ambalo litakuwa chachu na mafanikio yenye tija katika kuunga mkono Juhudi za utendaji wa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli.

Kupatikana kwa Mradi huo nchini ni jitihada za Serikali ambazo zitapelekea ukuaji wa uchumi nchini na kuchangia kuwezesha Tanzania ya viwanda ambapo kutawezesha maghala ya Wakala kuweza kuhifadhi akiba ya Chakula ambayo itaendana na mahitaji halisi ya dharura kulinganisha na ongezeko la watu nchini.

MWISHO

Benki Ya NMB, Wizara Ya Mifugo Na Uvuvi Zaja Na Mikakati Zaidi Ya Uwekezaji Katika Sekta Ya Maziwa Nchini

$
0
0
Na. Edward Kondela
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel ameitaka Benki ya NMB kushirikiana na wizara hiyo katika kukuza sekta ya maziwa nchini kwa kuwa bado kuna mwitikio mdogo wa wananchi kunywa maziwa kutokana na taarifa iliyotolewa na Shirika la Chakula Duniani (WFP)

Prof. Gabriel amebainisha hayo leo (31.01.2019) Jijini Dodoma, akiwa kwenye kikao na maafisa kutoka idara ya kilimo ya Benki ya NMB, waliofika ofisini kwake kumwelezea mikakati ya Benki ya NMB ambayo imekuwa ikifanya tafiti na wadau wa sekta ya maziwa lengo likiwa ni kutaka kuwekeza katika sekta hiyo.

“Kwa takwimu ambazo zimetolewa na Shirika la Chakula Duniani ni kwamba kwa wastani angalau mtu anatakiwa walau atumie lita mia mbili kwa mwaka za maziwa lakini kwa bahati mbaya kwa watanzania wastani ni lita arobaini na saba tu, bado tuna kazi kubwa sana.” Alisema Prof Gabriel

Prof. Gabriel amesema Benki ya NMB inapaswa kuwa na ushirikiano na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Dawati la Sekta Binafsi ambalo limekuwa likiwaunganisha wadau wa sekta ya mifugo na uvuvi, ili kuhakikisha mazao yatokanayo na ng’ombe yakiwemo maziwa yanatumika ipasavyo.

Katika kikao hicho ambacho kimehudhuriwa pia na watendaji wakuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Katibu mkuu huyo pia amesema ni wakati muafaka kwa Benki ya NMB kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi katika kuhakikisha inawaletea maendeleo wafugaji, hususan wafugaji wadogo ambao wamefanikiwa pamoja na wafugaji ambao watakuwa tayari kubadilika na kuingia katika ufugaji wa kisasa na kuachana na ufugaji wa kuhamahama.

Aidha Prof. Gabriel amesisitiza umuhimu wa kufanyika kwa tafiti kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Benki ya NMB kupitia idara ya kilimo ili tafiti hizo ziweze kufanyiwa kazi na kuleta matokeo chanya kwa wafugaji.

“Ningependa sekta hii ya mifugo, iwe pia na tafiti nyingi zinafanyika, sasa tukifanya hizo tafiti tutaweza kuleta mabadiliko chanya na yenye uhakika katika maendeleo ya wafugaji kwa sababu lengo siyo tu kufanya jambo, lakini liwe jambo ambalo linaweza kugusa maisha ya wafugaji.”  Alisema Prof. Gabriel

Katika kikao hicho pia Katibu Mkuu Prof. Gabriel ameshauri uwepo wa mahusiano ya karibu kati ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Benki ya NMB na taasisi za elimu ya juu, ili kuhakikisha tafiti ambazo zimekuwa zikifanywa na wanafunzi ziweze kutumika katika kuleta mabadiliko na kuleta manufaa kwa wafugaji, badala ya tafiti hizo kuwekwa katika maktaba za vyuo hivyo pekee.

Kwa upande wake Meneja Mwandamizi wa Benki ya NMB kutoka idara ya kilimo Bw. Carol Nyagaro amesema kutokana na kasi ya utendaji kazi wa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli pamoja na utendaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewalazimu benki hiyo kubadili mtazamo wa namna ya kutafuta wateja wapya kupitia sekta mbalimbali.

“Kutokana na kasi ya Mheshimiwa Rais Dkt. John Magufuli na uongozi mzima wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, kwetu inajenga mazingira mazuri ya kufanya biashara, pia kuchangia maendeleo ya jamii na kuweza kutengeneza wateja wa siku zijazo.” Alisema Bw. Ngayaro

Aidha Bw. Nyagaro amesema Benki ya NMB kupitia idara ya kilimo inafikiria pia kuwekeza katika sekta ya samaki ambayo imekuwa ikifanya vizuri kiuchumi katika siku za hivi karibuni.

Bw. Nyagaro amemueleza pia Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel, kuwa Muunganiko wa Vyama vya Ushirika Vikuu vya Maziwa Duniani unatarajia kufanya mkutano wake hapa nchini Tarehe 25 na 26 Mwezi Februari mwaka 2019 kwa kushirikiana na Benki ya NMB lengo kuu likiwa ni kuangalia uwezekano wa kuwekeza katika sekta ya maziwa hapa nchini.

Amefafanua kuwa muunganiko huo wenye nchi wanachama 95 ambao unafanya biashara ya takriban Dola za Marekani Bilioni 200 kwa mwaka, umeichagua Tanzania kwa ajili ya kufanya majadiliano kwa kuhusisha wadau wa sekta ya mifugo ili kuwekeza katika sekta ya maziwa.

Amesema mkutano huo pia utaainisha mambo ambayo tayari yalishafanyiwa tafiti kwa ajili ya utekelezaji wa mipango hiyo.

MWISHO.

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan Akutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi kutoka nchi 3

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 31 Januari, 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi kutoka nchi 3 ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Balozi wa kwanza kukutana na Makamu wa Rais, alikuwa Mhe. Gaber Mohamed Abulwafa Balozi mpya wa Misri hapa nchini ambaye alifika kwa lengo la kujitambulisha na pia kuzungumzia mambo mbali mbali ya kuimarisha uhusiano baina ya nchini  mbili ambao ulianzishwa na waliokuwa marais wa nchi hizi, Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Rais Gamal Abdel Nasser Hussein wa Misri.

“Misri itaendelea kutoa ushirikiano katika masuala ya Elimu, Afya na masuala ya teknolojia ya ujenzi wa miundombinu yenye tija kwa mataifa haya mawili” alisema Balozi huyo.

Mwisho Balozi huyo mpya wa Misri aliahidi kusimamia miradi yote ambayo ipo kwenye makubaliano baina ya Serikali hizi.

Kwa upande wake Makamu wa Rais alimpongeza na kumkaribisha Tanzania pamoja na kumhakikishia ushirikiano mzuri katika kazi zake akiwa hapa nchini na kumueleza kuwa kwa miaka mingi uhusiano kati ya Misri na Tanzania umezidi kuimarika.

Balozi wa Pili kukutana na kuzungumza na Makamu wa Rais alikuwa Mhe. Francisca Pedros, Balozi mpya wa Spain hapa nchini ambaye Makamu wa Rais alimpongeza kwa kuwa Balozi wa kwanza mwanamke kuteuliwa kuja kuitumikia nchi yake hapa nchini.

Balozi wa Tatu kukutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Makamu wa Rais ni Balozi wa Ethiopia nchini Mhe. Yonas Yosef Sanbe ambaye alimueleza Makamu wa Rais furaha yake ya kuwa hapa na kuona namna mahusiano ya nchi hizi mbili yameboreka ambapo alisema kuwa

“Nafarijika kuona namna ambavyo wanawake wanapewa nafasi za juu katika uongozi katika nchi hizi mbili”

Makamu wa Rais pamoja na mambo mengine alimpongeza Balozi huyo wa Ethiopia kwa kuwa Balozi wa kwanza mwenye makazi yake hapa Tanzania.

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************

Wabunge Walalamika Adhabu Kubwa kwa kosa la matumizi ya mabaya ya maji

$
0
0
Wabunge wameitaka Serikali kuangalia upya adhabu zilizowekwa katika Muswada wa Sheria ya Maji na Usafi wa Mazingira, ikiwemo mtu atakayepatikana kwa kosa la matumizi ya mabaya ya maji kutozwa faini ya kati ya Sh5milioni hadi Sh10 milioni.

Akiwasilisha maoni ya kambi ya upinzani bungeni leo Januari 31 mwaka 2019, msemaji wa kambi hiyo, Hamidu Bobali amesema faini zilizowekwa katika makosa hayo ni kubwa  ukilinganisha na uzito wa kosa ambalo lingehitaji tu kuelimishwa.

“Katika makosa yaliyotajwa pamoja na kosa la kutumia maji vibaya chini kifungu cha 63. Kifungu hiki hakijaeleza maana ya matumizi mabaya ya maji. Kifungu hiki kinaweza kuwaweka wananchi wengi matatani pale kitakapotumika vibaya,” amesema.

Amesema kifungu cha 65 cha muswada huo kinaozungumzia makosa ya kutumia maji kinyume na matumizi yaliyoainishwa ambapo adhabu imeainishwa kuwa faini ya kiasi cha Sh5milioni au kifungo kisichopungua miezi sita.

Pia amesema kifungu cha 66 cha muswada huo kimebainisha kuwa adhabu kwa makosa kama ya kuosha au kufua na kuoga na kusababisha au kuruhusu kitu kuingia kwenye miundombinu ya maji ni faini ya Sh 50,000 au isiyozidi Sh 1milioni au kifungo cha mwezi mmoja.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images