Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali Yalaani Mauaji ya Watoto Njombe

$
0
0
Serikali imelaani mauaji ya kinyama ya watoto watatu wa familia moja yaliyotokea mkoani Njombe na kusema kuwa tukio hilo halitapita bure na inataka iwe fundisho kwa watu wenye roho za kinyama wanaotekeleza mauaji ya watoto wadogo hapa nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamadi Masauni wakati wa mazishi ya watoto watatu Godliver, Giliad na Gasper Nziku wote wa familia moja ambao wamefariki dunia kwa kuchinjwa na kutupwa maeneo tofauti, katika Kijiji cha Ikando, Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe

”Tukio hili haliwezi kupita bure, tunataka iwe fundisho kwa wale wote wenye roho za kinyama, taaarifa ambazo nimeshazipata mpaka sasa jeshi la polisi limeshawapata watuhumiwa na hatua nyingine zinaendelea ili kuhakikisha mtandao wote unaohusika na hili unashughulikiwa,”amesema Masauni

Aidha, katika mazishi ya watoto hao, ndugu mmoja wa familia aliyesoma taarifa ya marehemu hao, Josephine Gaudensi amesema kuwa mtu aliyehusika na mauaji hao aliwachukuwa watoto watatu kati ya watano waliokuwa katika familia hiyo huku wazazi wakiwa hawapo.

Hata hivyo, kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri amesema kuwa mpaka sasa vifo vya watoto wadogo vilivyotokea mkoani Njombe ni jumla ya watoto 6 huku akiwaomba wananchi kuendelea kushirikiana katika ulinzi wa familia ili kuweza kuepukana na janga hilo.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Korosho Yaingiza Serikali fedha za Kigeni Zaidi ya Tsh. Trilioni Moja

$
0
0
Zao la Korosho katika kipindi kilichoishia Januari 2018 liliingizia Taifa fedha za kigeni shilingi 1,136,609,586,722 ikilinganishwa na mazo mengine ya biashara.

Akijibu swali la Mbunge wa Mtwara Mjini, Mhe. Maftaha Abdallah Nachuma, Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Omari Mgumba, amesema licha mchango huo katika uchumi wa Taifa, zao la korosho limekuwa likikabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo Serikali imekuwa ikizitafutia ufumbuzi ikiwemo kuongeza bei ya korosho na kutafuta masoko ya uhakika.

Mhe. Mgumba amezitaja changamoto hizo kuwa ni kuyumba kwa bei ya korosho katika soko la dunia kutokana na zao hilo kuuzwa likiwa ghafi yaani bila kuongezwa thamani, tija ndogo katika uzalishaji, baadhi ya wakulima kutotumia miche bora na matumizi hafifu ya pembejeo ikiwemo viuadudu kama salfa na wakulima kutozingatia kanuni bora za kilimo katika uzalishaji.

Aidha, Mhe. Mgumba amezitaja changamoto nyingine kuwa uvunaji na uhifadhi hafifu wa korosho, uwezo mdogo wa maghala ya kuhifadhia korosho na baadhi ya wakulima kuchanganya zao hilo na mawe na mchanga kwa ajili ya kuongeza uzito wakati wa mavuno.

“Katika kukabiliana na changamoto hizo, Serikali imeboresha mfumo wa uuzaji wa korosho kwa kuimarisha usimamaizi na ukaguzi kuanzia ngazi ya vyama vya msingi, maghala makuu, maghala aya hifadhi na kutoa elimu, kurejesha kwa kiwanda cha BUCCO cha mkoani Lindi cha ubanguaji wa korosho, ujenzi wa maghala matatu ya kuhifadhia korosho katika mikoa ya Lindi, Pwani na Tanga ili kuongeza kiwango cha uhifadhi na ubora  wa korosho pamoja na kuzalisha miche bora 10,000,000 na kuisambaza kwa wakulima bure,”alisema Mgumba.

Naibu Waziri Mgumba ameongeza kuwa mikakati mingine ni pamoja na kuimarisha mnyororo wa thamani katika zao la korosho ili kuongeza uzalishaji, kuimarisha usambazaji wa pembejeo za kilimo kwa wakati, kutoa huduma za ugani pamoja na kuweka mazingira wezeshi na kuwajengea uwezo wabanguaji wa ndani kwa lengo la kuongeza thamani ya korosho inayozalishwa nchini.

Akijibu swali la nyongeza kutoka kwa Mbunge wa Mtama, Mhe. Nape Nnauye aliyetaka kujua hatua zilichukuliwa na Serikali kuhusu vitendo vya rushwa katika kuhakiki ununuzi wa Korosho, Waziri wa Kilimo, Mhe. Japhet  Hasunga alisema kuwa wote waliojihusisha na vitendo hivyo hatua kali zilichukuliwa dhidi yao ikiwemo kusimamishwa kazi.

Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa na dhamira ya dhati ya kuwainua wakulima nchini ikiwemo wa korosho kwa kuongeza bei ya korosho na kusimamia ununuzi wake. Jambo ambalo limekuwa kichocheo kwa wakulima wengi katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga kujikita katika kilimo hicho.

Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli mwishoni mwaka 2018 alisema Serikali itanunua korosho kwa bei ya shilingi 3,300 kwa kilo. Jambo ambalo lilifanyiwa kazi na wakulima wa zao hilo wanafurahia bei hiyo na kutambua kuwa Serikali inawajali.

Waziri Lugola Asema Chanzo cha Mauaji Watoto Watatu Njombe ni Imani za Kishirikina

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola amesema imebainika kuwa mauaji ya watoto mkoani Njombe ni ya imani za kishirikina.

Lugola ametoa kauli hiyo leo Jumatano Januari 30, 2019 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la nyongeza lililoulizwa na mbunge wa Mufindi Kusini (CCM), Mendrad Kigola.

Mbunge huyo amehoji ni mkakati gani umewekwa na Serikali katika kukomesha mauaji ya watoto katika mkoa wa Njombe ili kurudisha amani mkoani humo.

Akijibu swali hilo, Waziri Lugola amesema tangu juzi Januari 28, 2019 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni yupo mkoani Njombe ambako anafanya vikao vya ndani na kamati za ulinzi ili kutafuta chanzo.

"Tumeshapata orodha ya majina ya wahusika na tumebaini sababu kubwa ni imani za kishirikina, lakini nawaonya wote wanaohusika kuwa wasitingishe kibiriti katika serikali ya Rais John Magufuli, watashughulikiwa," amesema Lugola

Waziri amesema Serikali iko macho na itaendelea kuwa macho katika kuwalinda watu wake na vyombo vya ulinzi havitalala.

Vigogo NIDA Wasomewa hati mpya ya mashtaka 100

$
0
0
Vigogo sita wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) akiwamo Mkurugenzi Mkuu wa zamani, Dickson Maimu, wamefikishwa mahakamani na kusomewa hati mpya ya mashtaka 100 yakiwamo 22 ya kughushi, nyaraka za kumdanganya mwajiri 43, kujipatia fedha mawili, matumizi mabaya moja na kutakatisha fedha na kuisababishia mamlaka hiyo hasara ya Sh. bilioni 1.175.

Mbali na Maimu, washtakiwa wengine ni Aveline Mombuli, Astery Ndege, George Ntaliwa, Xavery Silverius maarufu kama Sliverius Kayombo na Sabina Nyoni.

Walisomewa mashtaka yao jana mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Salum Ally.

Upande wa Jamhuri uliongozwa na Mawakili wa Serikali, Simon Wankyo na Leonard Swai. Wankyo alidai kuwa kesi hiyo namba 07/2019 ina mashtaka 100 dhidi ya washtakiwa hao.

Alidai mshtakiwa wa kwanza, wa tatu, wanne na watano wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kula njama la kwanza na la 85.
 
Alidai kuwa Maimu, Ndege na Ntalima wanakabiliwa na mashtaka 22 ya kughushi nyaraka malipo kutoka Nida.

Upande huo wa Jamhuri ulidai Maimu, Ndege na Ntalima wanakabiliwa na mashtaka 43 ya kuandaa nyaraka za uongo za malipo ya kumdanganya mwajiri wao.

Swai naye alidai Maimu, Ndege, Ntalima na Kayombo, wanakabiliwa na mashtaka 25 ya kutakatisha fedha haramu.

Aliendelea kudai katika mashtaka matano mshtakiwa Maimu, Ndege, Ntalima, Kayombo, Mombuli na Nyoni kwa nyakati tofauti waliisababishia Nida hasara ya Sh. 1,175,785,600 walishindwa kutimiza majukumu yao na kupitia nyadhifa walizokuwa nazo waliisababishia hasara hiyo.

Katika shtaka la 95, ilidaiwa kuwa kati ya Novemba 7, 2011, makao makuu ya Nida ofisi zilizopo Kinondoni, Maimu akiwa mtumishi wa umma kama Mkurugenzi Mkuu na Nyoni akiwa kama Mkurugenzi wa Sheria walitumia madaraka yao vibaya na kusababisha Shule ya Sheria na Kampuni ya M-S Law Partner kujipatia faida ya Sh. 899,935,494.

Ilidaiwa Juni 5, 2013 katika Benki ya CRDB tawi la Lumumba, Ilala jijini Dar es Salaam Kayombo kuwa alijipatia kwa njia ya udanganyifu Sh. 45,515,961, huku akijua ni mazalia ya kughushi na utakatishaji fedha haramu.

Washtakiwa hawakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi.

Swai alidai upelelezi wa kesi hiyo umekamilika na aliomba mahakama kupanga tarehe ya kuwasomewa washtakiwa maelezo ya mashahidi.

Pia, alidai wameshawasilisha taarifa Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa kuhusu kusikiliza kesi hiyo.

Hakimu alisema washtakiwa watasomewa maelezo ya mashahidi Februari 12, mwaka huu na wapelekwe mahabusu.

Alisema mshtakiwa wa pili, Mombuli na Nyoni, wanakabiliwa na mashtaka ya kuwasilisha nyaraka za kumdanganya mwajiri na matumizi mabaya ya madaraka wawasilishe upya maombi ya dhamana Mahakama Kuu.

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Hukumu ya ‘Malkia wa Tembo’ Kutolewa Februati 15

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imepanga kutoa hukumu ya kesi ya uhujumu uchumi ikiwamo kukutwa na meno ya tembo inayomkabili raia wa China, Yang Feng Glan maarufu kama ‘malkia wa meno ya Tembo’ Februari 15, mwaka huu.

Mbali na mshtakiwa huyo,washtakiwa wengine ni, Salvius Matembo na Phillemon Manase.

Uamuzi huo ulitolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi, aliyesikiliza kesi hiyo baada ya pande zote mbili Jamhuri na utetezi kuwasilisha majumuisho ya mwisho.

Januari 28, mwaka huu mahakama hiyo ilipokea majumuisho ya mwisho kwamba washtakiwa wana hatia au la.

Hakimu alisema mahakama yake itatoa hukumu Februari 15, mwaka huu. Awali upande wa Jamhuri uliita mashahidi 11 na utetezi watatu.

Upande wa Jamhuri katika kesi hiyo uliongozwa na Mawakili wa Serikali Wakuu, Faraja Nchini, Paul Kadushi na Wakili wa Serikali, Salim Msemo.

Msemo alidai kuwa kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kutajwa na kupangiwa tarehe ya kusikilizwa hukumu.

"Mahakama yangu itasoma hukumu dhidi ya washtakiwa Februari 15, mwaka huu" alisema Hakimu Shaidi.

Washtakiwa wanakabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo yenye thamani ya Sh.bilioni 13, kinyume cha sheria.

Wimbo Mpya: Linex Ft. Jaydee - Too Late

$
0
0
Mwanadada Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee ameshirikishwa na Linex kwenye wimbo mpya wa Too Late.

Wimbo umetengenezwa na Tonny Drizzy.

Wimbo Mpya: G Nako Ft. Aslay, Rich Mavoko – Edda

$
0
0
Wimbo Mpya:  G Nako Ft. Aslay, Rich Mavoko – Edda

Wimbo Mpya :Rayvanny Ft. Diamond Platnumz - Tetema

$
0
0
Msanii Rayvanny akiwa na Diamond Platnumz toka WCB wanakualika kuusikiliza wimbo wao mpya, ‘Tetema’

Wimbo umetengenezwa na producer S2Kizzy na kumaliziwa na Lizer Classic.

Mkuu Wa Operesheni Maalum Za Jeshi La Polisi Nchini Akutana Na Kuzungumza Na Kikosi Cha Kupambana Na Uhalifu

$
0
0
 Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akizungumza na kikosi Maalum cha kupambana na uhalifu katika viwanja vya Kikosi cha kutuliza Ghasia Mkoa wa Mtwara, baada ya kuwasili katika ziara yake ya kikazi akitokea mkoani Ruvuma. (Picha na Jeshi la Polisi) 


Wa kwanza kulia ni Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akishiliki mazoezi ya pamoja na kikosi maalum cha kupamba na na uhalifu Mkoa wa Mtwara baada ya kuwasili katika ziara yake  mkoani humo.
 
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas aliesimama katikati, akimsikiliza Mkaguzi wa Polisi INSP, Idd Kimia wa kushoto kwake wakati akiangalia utayali wa kikosi cha kupambana na uhalifu Mkoa wa Mtwara  ambacho hakipo pichani. 
 
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas katikati na kulia kwake ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara ACP Joseph M.Konyo wakiwa katika picha ya pamoja na kikosi maalum cha kupambana na Uhalifu mkoani humo. (Picha na Jeshi la Polisi).

Vunja Kero 3: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Waziri Kairuki Akutana Na Watumishi Wa Ofisi Ya Waziri Mkuu

$
0
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki amekutana na watumishi wa ofisi yake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Magufuli kushika wadhifa huo mpya.

Waziri Kairuki amekutana na watumishi hao mapema hii leo (Januari 30, 2019) katika Ofisi hiyo Jijini Dodoma na kuzungumza nao ikiwa ni sehemu ya kufahamiana na kujua ofisi hiyo.

Mkutano huo uliohudhuriwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama pamoja na Naibu wake Mhe.Anthony Mavunde pamoja na Makatibu wakuu wa Ofisi hiyo Bi.Maimuna Tarishi anayeshughulikia Bunge na Waziri Mkuu pamoja na Dorothy Mwaluko anayeshughulikia Sera, Uratibu na Uwekezaji.

Kairuki waliwataka watumishi hao kuendelea kufanya kazi kwa umoja na uzalendo ili kujilete maendeleo nchini na kuahidi kushirikiano nao kwa kipindi chote atakachokuwa katika Ofisi hiyo.

“Kipekee ninawashukuru viongozi na watumishi wote wa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mapokezi mazuri na  hii ni ishara ya umoja wenu na ninaahidi kushirikiana na watendaji wote katika utekelezaji wa majukumu tuliyonayo  kwa maslahii mapana ya ofisi yetu na Taifa kwa ujumla,”alisisitiza Kairuki

Naye Waziri wa Nchi wa ofisi hiyo Mhe.Jenista Mhagama alipongeza watumishi wa Ofisi yake kwa kuendelea kutekeleza majukumu na kuwataka kuwa na uzalendo na weledi wa hali ya juu.

“Ninachoweza kusema tutaendelea kutoa ushirikiano katika utekelezaji wa kazi za kila siku kwa kuzingatia kuwa hii ni familia moja yenye nia moja ikiwa ni kuunga mkono jitihada za Mhe.Rais ili kujiletea maendeleo katika nchi yetu,”alisema Mhagama.

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

$
0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Shule Ya Sekondari Anna Mkapa Wakutwa Wakiiba Maji Ya Muwsa Usiku

$
0
0
Na Dixon Busagaga ,Moshi
SHULE ya Sekondari ya Anna Mkapa iliyopo kata ya Pasua katika Manispaa ya Moshi imebainika kufanya udanganyifu kwa kushiriki  kitendo cha kuiba Maji  ya  Mamlaka ya Majisafi na Mazingira mjini Moshi (MUWSA) kinyume cha sheria.

Mbali na wizi huo wa maji uliofanywa na wahusika kwa kuunganisha bomba katika maungio ya Mita za Maji pia Mamlaka imebaini kupotea kwa Mita ya kusoma kiwango cha Maji kinachotumika iliyotolewa na MUWSA kwa shule hiyo ambayo ilipaswa kuwepo katika Bomba hilo lililounganishwa kinyemela.

Tukio hilo lilibainika jana usiku majira ya saa 3:30 baada ya wafanyakazi wa MUWSA kufanya operesheni ya kushtukiza katika shule baada ya kupokea taarifa kutoka kwa wasamaria wema waliotoa taarifa kwa Mamlaka juu ya wizi huo.

Akizungumza katika eneo la tukio ,Afisa Habari wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) Rashid Nachan alisema kilichofanyika ni wizi na kwamba wahusika wanachangia kuhujumu uchumi wa nchi.

“Kinachoonekana hapa dhahiri ni kwamba uongozi wa shule unafahamu kinachoendelea ,kwa sababu hawezi kuja mtu kutoka nje kufanya kitendo cha kuondoa Mita na kuweka Bomba la moja kwa moja bila uongozi wa shule kufahamu ,atakuwa anafanya kwa faida ya nani sasa “alihoji Nachan.

Alisema kinachoonekana Shule ya Anna Mkapa imefanya kitendo hicho kwa muda mrefu na kwamba kimekuwa kikifanyika majira ya usiku na ikifika asubuhi hurudishia Mita kama kawaida mara baada ya Maji kujaa katika Matenki yaliyopo shuleni hapo.

“Hatua tunazoenda kuchukua kwa sasa ni kufungua shauri Polisi dhidi ya wahusika kwa ajili ya hatua zaidi za kisheria ikiwa ni pamoja na kufanya mahesabu  na kuandaa Bili ya kiasi cha Maji yaliyoibiwa kwa muda wote “alisema Nachan.

Alipulizwa juu ya mada ya wizi wa maji ,Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Anna Mkapa ,Sindato Seiya alikiri kufanyika wizi wa maji katika shule hiyo huku akitupi mpira kwa Mlinzi na Fundi wa miundombinu ya Maji wa shule hiyo.

“Nimeiona sehemu yenyewe ,na toka jana usiku huyu fundi ametafutwa na hapokei simu hadi sasa maana yake anajua mwenyewe ni kitu gani amefanya,hapa shule kuna wafanyakazi wa asubuhi hadi saa tisa na anakabidhiwa shule mlizni wa mchana ambaye pia anakabidhi kwa mlinzi wa usiku hao ndio wanaweza kujua hili suala”alisema Mwl,Seiya.

Alisema yupo tayari kwa hatua zitakazochukuliwa kutokana na kwamba yeye anafahamu wamekuwa wakilipa Bili za Maji kwa njia ya hundi kila mwezi na kwamba wizi wa maji uliofanyika hajui wahusika wamefanya kwa faida ya nani.

Mwisho.

Kamati ya Bunge yashauri viwango vya adhabu na vifungo Barabarani Vipunguzwe

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeshauri kupunguza viwango vya adhabu na vifungo katika Muswada wa Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri wa Ardhini wa mwaka 2018.

Akiwasilisha maoni ya kamati hiyo bungeni leo Jumatano Januari 30, 2019, mjumbe wa kamati hiyo, Dk Chuachua Rashid ameshauri viwango vya adhabu na vifungu kupunguzwa ili kuendana na hali halisi.

Amesema kamati hiyo inashauri katika kanuni kuwe na kikokotoo kinachotokana na gharama ya uendeshaji ili kutatua changamoto hiyo.

Kamati hiyo pia imeshauri magari makubwa ya mizigo nayo yafanyiwe utaratibu wa kufungwa kidhibiti mwendo kwa sababu imebainika hivi karibuni kuwa ajali nyingi zimekuwa zikisababishwa na mwendo wa kasi wa malori.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Marekani yazihofia Korea Kaskazini, China na Urusi

$
0
0
Marekani imesema kuna mashaka kuwa Korea Kaskazini haikutekeleza ahadi yake ya kuharibu vinu vya silaha za kinyuklia na kuachana na mpango huo licha ya kusaini makubaliano kati ya nchi hizo mbili.

Rais wa Marekani, Donald Trump na Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un walisaini makubaliano yaliyopunguza taharuki ya kiusalama kati ya nchi hizo mbili walipokutana Juni mwaka jana nchini Singapole.

Mkurugenzi wa Intelijensia wa Taifa, Dan Coats aliyeambatana na maafisa wengine waandamizi jana aliliambia Bunge la Senate uchunguzi wao unaonesha kuwa Korea Kaskazini haina mpango wa kuharibu kabisa silaha za nyuklia.

Korea Kaskazini imekuwa ikiweka sharti la kuwa Marekani inapaswa kuondoa vitisho vyote vya mashambulizi ya kinyuklia dhidi yake ndipo iharibu silaha zote za nyuklia.

Aidha, Coats ameiambia Senate kuwa kuna hatari ya China na Urusi kuandaa mashambulizi ya kimtandao (cyber attack) dhidi ya Marekani, akihofia kuwa inalenga kuingilia uchaguzi mkuu ujao.
 
CNN imeripoti kuwa  utafiti uliofanywa na Idara ya Intelijensia ya Marekani umeonesha kuna hatari kubwa zaidi kuwahi kutokea tangu miaka ya 1950, kwa China na Urusi kufanya mashambulizi ya kimtandao dhidi ya nchi hiyo.

Marekani imekuwa ikiitupia lawama Urusi kuwa iliingilia uchaguzi uliompa ushindi Rais Donald Trump dhidi ya Hillary Clinton, madai ambayo Urusi imeyakanusha vikali.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images