Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa

$
0
0
Bila shaka wapo wengi ambao wana tatizo kama hili. Naomba tuwe pamoja kwenye makala hii ili ujifunze kuhusu tatizo la mtu kutokwa usaha wakati wa kukojoa.

Tatizo la Kuwepo kwa chembechembe za usaha au usaha kwenye mkojo hujulikana kama pyuria ambapo linaweza kuonekana kwa kutumia hadubini (microscope) au kama tatizo ni kubwa linaweza kuonekana kwa macho.

Visababishi vya tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa Kukojoa ni nini?

Visababishi vya tatizo hili ni kama vifuatavyo;
  1. Ugonjwa wa mfumo wa mkojo (UTI)-Maambukizi kwenye figo, kwenye mrija wa mkojo na kwenye kibofu cha mkojo (cystitis- amabayo huonekana sana)
  2. Magonjwa ya Zinaa-Kama ugonjwa wa kisonono au ‘’gono’’ kama wengi wanavyoita, ugonjwa wa Chlamydia na Trichomoniasis
  3. Sumu inayotokana na kemikali (Chemical poisoning) kama 4-Aminodiphenyl inayotumika kwenye maabara na kwa ajili ya tafiti
  4. Tatizo linajulikana kama Reiter’s syndrome
  5. Pyelonephritis-Maambukizi ya bakteria kwenye sehemu za figo zinazojulikana kama calyces, renal pelvis na tishu za figo
  6. Madhara ya pyelonephritis ambayo husabababisha ugonjwa unaojulikana kama renal abscess
  7. Maambukizi kwenye tezi dume-Prostatitis (Kwa wanaume)
  8. Upungufu wa kinga mwilini
  9. Mcharuko (Inflammation) kutokana kuwa na mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
  10. Mzio (Allergy) au kuota uvimbe sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo
Viashiria vya tatizo hili ni;
  1. Maumivu makali ya kuchoma (Painful burning sensation) wakati wa kukojoa
  2. Maumivu chini ya kitovu
  3. Homa
  4. Kutapika
Tatizo hii likidumu kwa muda mrefu husababisha kupungua uzito kwa mgonjwa

Vipimo vya uchunguzi
  1. Urinalysis – Kipimo cha mkojo
  2. Urine for culture and sensitivity - Kipimo cha kuangalia bakteria kwenye mkojo
  3. Complete blood count – Kipimo cha kuangalia wingi wa damu na chembechembe za damu (husaidia  kuonyesha kama kuna maambukizi kwenye mwili)
  4. Blood culture - Kuangalia kama kuna maambukizi kwenye damu
  5. Prostate –Specific Antigen (PSA) Test-Kipimo cha tezi dume
  6. Kipimo cha mionzi ya X-ray - Huonyesha kama tatizo ni kubwa sana
  7.  Kipimo cha ultrasound
  8. Kipimo cha CT scan au MRI - Husaidia kuonyesha kama tatizo hili lipo ndani ya tishu za figo  (Intra-renal abscess) au nje ya tishu za figo (Extra-renal abscess)
Vichagizi vya Tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa  Kukojoa (Predisposing Factors)

Vichagizi vya tatizo hili ni;
  1. Kutosafisha vizuri sehemu za siri baada ya kujisaidia haja ndogo
  2. Kujamiana na mtu mwenye maambukizi ya ugonjwa wowote wa zinaa
  3. Ugonjwa wa kisukari
  4. Madhara yanayotokana na kutumia mpira wa mkojo - Kwa wale wote waliowekewa mpira huu wa mkojo (catheter)
  5. Saratani ya kwenye mfumo wa mkojo au sehemu za siri
  6. Matumizi ya dawa za jamii aina ya Non-steoridal anti-inflammatory drugs (NSAIDS) au madawa yanayopunguza kinga mwilini (Immuno-suppressant medications) kwa muda mrefu
  7.  Kuvimba kwa tezi dume
Matibabu
  1. Tiba hutegemea na chanzo cha tatizo hili
  2. Dawa za kutibu vimelea (antibiotics)
  3. Matibabu ya mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
  4. Kunywa maji kwa wingi mara kwa mara ili kusaidia kutoa chembechembe za usaha kupitia njia ya haja ndogo-Ikumbukwe ya kwamba maji sio tiba
Angalizo:-mgonjwa Atahitaji Kumuona Daktari Ili Apate Tiba Stahiki  Kulingana Na Chanzo Cha Tatizo La Kutoka  Usaha  Wakati Wa Kukojoa

LIVE: Tazama Hapa Kinachoendelea Bungeni Leo

$
0
0
LIVE:  Tazama Hapa Kinachoendelea Bungeni Leo

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya January 30

Rais Magufuli: Fanyeni kazi kwa kuzingatia Masharti na Maadili ya kazi Zenu

$
0
0
Paschal Dotto-MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka Majaji, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa halmashauri  wapya walioapishwa jana  Ikulu Jijini Dar es Salaam, kufanya kazi kwa kuzingatia masharti ya kazi zao ili kuweza kutoa haki na kuwatumikia wananchi.

“Nawapongeza sana Majaji sita mahakama ya Rufani 15 mahakama  kuu , Wakuu wa Wilaya wawili na Wakurugenzi wa halmashauri 10 mulioapishwa leo kikubwa kafanyeni kazi kwa kuzingatia masharti ya kazi zenu, kwa Majaji kasimamieni haki ili wananachi waweze kuondokana na dhuluma, lakini kwa  Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kasimamieni mapato nchi inahitaji mapato siyo mkaanze mabishano, uongozi ni kufanya kazi kwa ushirikiano kwa hiyo sidhani kama nitapata malalamiko”, Rais Magufuli

Rais Rais Magufuli aliwasisitiza Majaji sita wa Mahakama ya Rufani na Majaji 15 wa Mahakama kuu kwenda kuchapa kazi kwani Serikali inahitaji wananchi wapate haki inayotakiwa na itakuwa njia bora kwa wananchi kujua haki zao.

Aidha Rais Magufuli alisema kuwa kuna sehemu hapa Tanzania ambazo imekuwa na dhuluma kubwa akitolea mfano Halmashauri ya Mufindi ambako tukio la ubakaji lilifanyika na mtuhumiwa aliachiwa huru.

“Unapotazamwa na watu wengi na kupimwa, unapopewa kazi ya kusimamia haki hii ni kazi ngumu sana kwa sababu ina lawama kubwa kwa mfano niliona kwenye Televisheni wamama wakilalamika kwa Waziri Mkuu Mtaafu Mzee Pinda kuwa kuna  mtuhumiwa mmoja huko Mufindi Iringa alifanya matukio 11 ya ubakaji lakini akaachiliwa huru, vitu hivi vinawaumiza watanzania kwa bahati nzuri Mhe, Jaji naye aliiona video hiyo mimi nilipoona nilimuagiza mzee pinda amwambie Mkuu wa Mkoa amshike huyu mtuhumiwa”, Alisema Rais Magufuli.

Katika tukio hilo amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Simon Sirro kulifanyia uchukunguzi tukio hilo lifanyiwe kazi kwa upande wa polisi huku akitoa maagizo kwa Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma kufuatilia mahakama  ya Iringa kuona kama ushahidi unaotolewa unatosha .

Akitoa nasaha kwa wateule hao, Makamu wa Rais Samiah Suluhu Hassan amewataka Wakuu wa wilaya zote mbili Mwanga na Tarime kwenda kufanya kazi kwa kuzingatia maadili ya kazi kama walivyoapa mbele ya Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

“Nawapongeza Wakuu wapya wa Wilaya hizi mbili lakini nawaomba mkazifanyie kazi changamoto zilizoko katika wilaya zenu, kwa mwanga watu wanapigana ngumi nadhani utaenda kuyarekebisha haya, lakini kwa Wilaya ya Tarime kuna vishawishi vingi sana vya rushwa pamoja ya unyayasaji wa kijinsia, Ubakaji na kupigwa kwa wanawake kwa hiyo kayafanyie kazi haya.”, alisema Makamu wa Rais.

Kwa upande wake Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi ametoa kongole kwa Rais Magufuli kwa kuteua majaji sita wa Mahakama ya Rufani na 15 wa Mahakama Kuu kuwa hatua hiyo itaongeza ufanisi katika utoaji haki nchini.

Aidha katika kuongeza ufanisi wa kushikiliza mashauri mbalimbali hapa nchini Prof. Kabudi alipenyeza suala la kuwepo kwa mahakama zinazotembea MOBILE COURT ili kuweza kuwafikia wananchi kwa urahisi.

“Mhe. Rais nashukuru kwa kunipa hao 15 wa Mahakama kuu na sita wa Mahakama ya Rufani kwani sasa idadi ya majaji imeongezeka kutoka majaji 66 mpaka majaji 81 kwa Mahakama kuu baada ya hawa uliowapisha leo”, Jaji Mkuu Prof. Juma

Akielezea mahitaji ya majaji katika mahakama ya Tanzania Prof. Juma alisema bado Majaji wanahitajika ili kukidhi hali ya sasa ya kuwahudumia wananchi, aliongeza kuwa bado kuna umuhimu wa kuongeza Majaji ikiwezekana wawe na idadi ya majaji 100 mpka 150 kwa sababu kwa sasa wananchi wamezidi kuzijua haki zao.

Jaji Mkuu alisema mahakama inatekeleza miradi mbalimbali ikiwemo mahakama za mwanzo 12 ambazo zitazinduliwa hivi karibuni,Miradi 36 ya ujenzi itakayozinduliwa Juni mwaka huu, pamoja na Mahakama 28 za Wilaya nchini.

Wadau Wa Sekta Ya Uvuvi Watakiwa Kutoa Maoni Ya Rasimu Za Sheria

$
0
0
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. LUHAGA JOELSON MPINA (Mb), anakaribisha wadau wa Sekta ya Uvuvi, kutoa maoni kuhusu rasimu za Sheria za Uvuvi na Sheria mpya ya Ukuzaji Viumbe Maji.

RASIMU hizo zinapatikana kwenye tovuti: www.mifugouvuvi.go.tz

TOA maoni kupitia barua pepe maalum ambayo ni; maoni@uvuvi.go.tz

Lengo kuu la kupokea maoni ni kuwashirikisha wadau katika kuboresha Sekta ya Uvuvi nchini.

Tafadhali tunaomba ushirikiano wako katika kuufahamisha umma ili uweze kushiriki katika maoni haya muhimu kwa Sekta ya Uvuvi.

Video: Musoma Ft Miss Geezy - Njoo Njoo

$
0
0
Video: Musoma Ft Miss Geezy - Njoo Njoo

Waziri Mkuu Atoa Maagizo Mazito Kwa Maafisa Ustawi Wa Jamii.....Awataka wajiepushe na rushwa wafanye kazi kwa bidii, weledi na uadilifu

$
0
0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa  amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa watekeleze majukumu yao kwa bidii, weledi, uadilifu na wasijihusishe na vitendo vya rushwa.

Amesema maafisa hao wanatakiwa watumie mbinu shirikishi ambazo zinahusisha jamii yenyewe na wataalamu ambao ni watoa huduma ngazi ya jamii (Community Case Worker) ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao.

Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo jana (Jumanne, Januari 29, 2019) kwenye Mkutano wa Mwaka wa Kiutendaji wa Maafisa Ustawi wa Jamii katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, jijini Dodoma.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amewataka maafisa hao wahakikishe kwamba haki za msingi za makundi hayo zinapatikana kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Miongozo iliyopo katika kutoa huduma ya taaluma yao.

Amesema taaluma ya Ustawi wa Jamii imepewa dhamana ya kuwa mlinzi wa mtoto, kumhudumia na kusimamia haki zake, hivyo amewatakawazuie na watokomeze aina zote za ukatili kwa watoto, wazee na wenye ulemavu.

Waziri Mkuu amesema jukumu hilo pia linahusisha watoto waliopo kwenye mazingira hatarishi na wanaoishi na kufanya kazi mitaani, wazee, wanawake wasio na uwezo na watu wenye ulemavu.

Amesema pamoja na mafanikio makubwa ambayo Serikali ya Awamu ya Tano imeyapata ni muhimu wakaendelea kuongeza nguvu na weledi ili kutorudi nyuma katika kujenga msingi wa kuimarisha ustawi wa makundi maalumu.

Pia, Waziri Mkuu amewaagiza maafisa hao wakasimamie utekelezaji wa mkakati wa  Mkono kwa Mkono, Familia kwa Familia, Kaya kwa Kaya kupitia huduma ya kuzuia ukatili ngazi ya familia wenye lengo la kuzuia ukatili ndani ya familia ili ulete matokeo tarajiwa.

“Tambueni umuhimu wenu na kwamba jamii inawategemea kutekeleza majukumu yenu kikamilifu ili kupunguza matatizo ya kijamii kwa wale wenye uhitaji wakiwemo watoto, watu wenye ulemavu, wazee, familia zenye migogoro na akina mama wanaonyanyaswa na makundi mengine.”

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewashukuru wadau wa maendeleo kwa namna wanavyoshirikiana na Serikali katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo likiwemo suala la uimarishaji wa huduma za ustawi wa jamii nchini.

Amesema anatambua mchango mkubwa kutoka kwa shirika la UNICEF, USAID, UN WOMEN, UNFPA, John Snow Inc, Pact, HelpAge International, World Vision, Save the Children, Plan International na wengine wote ambao kwa namna moja au nyingine wameendelea kushirikiana na Serikali kuinua kiwango cha utoaji huduma za ustawi wa jamii nchini.

“Ninapenda kuwahakikishia kuwa Serikali ya Awamu ya Tano, inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. John Magufuli, ipo tayari kufanya kazi pamoja nanyi ili tuweze kufikia malengo ya maendeleo endelevu ifikapo 2030.”

Kauli mbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Uadilifu, Weledi na Uwajibikaji katika Utoaji wa Huduma za Ustawi wa Jamii Ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa ni Nguzo katika kuelekea Uchumi wa Kati wa Viwanda.”

Waziri Mkuu amepongeza kwa kuanzisha utamaduni huo wa kukutana Watendaji wa Sekta ya Ustawi wa Jamii kwa kuwa hiko ni kiashiria kwamba kuna mabadiliko katika utendaji kwa kuzingatia kuwa mkutano huu haujawahi kufanyika toka mwaka 2006.

Mkutano huo wa siku tatu unajumuisha Maafisa Ustawi wa Jamii 164 kutoka mikoa yote Tanzania Bara, wadau wa maendeleo, wawakilishi wa wazee, watoto waishio katika mazingira hatarishi waliohitimu mafunzo ya VETA pamoja na watoto waliokuwa wakiishi mitaani ambao kwa sasa wameunda kikundi cha burudani.

Serikali yazitaka kampuni za simu za mkononi kurudisha faida kwa jamii

$
0
0
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amezitaka kampuni za simu za mkononi nchini kurudisha faida kwa jamii ambayo ni wateja wake na wanatumia huduma za mawasiliano za kampuni zao

Nditiye ameyasema hayo wakati akikabidhi vifaa mbali mbali vya hospitali kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa ikiwemo vitanda, neti, mashuka na aproni vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni sita kwa niaba  Serikali kwa Hospitali ya Makole iliyopo Dodoma vilivyotolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Halotel

“Nitoe wito kwa kampuni nyingine za simu za mkononi ziige mfano wa Halotel wa kurudisha shukrani kwa wananchi,” amesema Nditiye

Pia ameongeza kuwa mawasiliano ni moja ya Sekta ambayo inashika nafasi ya tano kwa maswali Bungeni ikiwemo Sekta nyingine za maji, afya, elimu, umeme, barabara ambapo Wabunge wamekuwa wakiuliza maswali mara kwa mara kuhusu Sekta ya Mawasiliano ambapo inadhihirisha kuwa wananchi wanatambua na kuthamini mchango wa mawasiliano katika maisha yao ya kila siku kwa kuwa mawasiliano ni uchumi na ni maendeleo

Vile vile amezitaka kampuni za simu za mkononi nne zilizosaini mkataba na kupewa ruzuku na Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) mwezi Desemba mwaka jana ikiwemo Vodacom, TIGO, Halotel na Shirika la Mawasiliano Tanzania kujenga minara  na kupeleka huduma za mawasiliano haraka kwa wananchi

Naye Mganga Mkuu wa Hospitali ya Makole, Dodoma Dkt. George Matiko akipokea misaada hiyo ameishukuru kampuni hiyo na kusema kuwa anaipongeza kwa kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli za kuboresha sekta ya afya kwa kujenga vituo vya afya nchi nzima na kuongeza fedha za kununua dawa, vitendanishi na vifaa tiba ambapo hadi sasa hospitali hiyo imepokea shilingi milioni 500 kutoka Serikalini ambapo zimewezesha ukarabati wa hospitali hiyo na kuongeza utoaji huduma kwa wanawake 2,000 waliojifungua na kufanya operesheni kwa wagonjwa 300

“Tunashukuru kwa jitihada zenu Halotel, mahitaji bado ni mengi, muendelee kutuunga mkono katika kuwahudumia wananchi,” amesisitiza Dkt. Matiko

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel, Tanzania Nguyen Van Son amesema kuwa wameamua kurudisha faida na kutoa shukrani kwa wananchi kwa kuwaunga mkono kwa kutumia huduma za kampuni yao ambayo imesambaa nchi nzima na inatoa huduma kwenye maeneo yote ya mijini na hasa vijijini

Nguyen ameishukuru Serikali kwa kuweka mazingira wezeshi na rafiki yaliyowavutia kuweza nchini kwenye Sekta ya Mawasiliano na wamedhamiria kuendelea kushirikiana na Serikali na wananchi kwa ujumla ili kupanua huduma za mawasiliano na kuhakikisha kuwa zinakuwa za viwango, ubora na gharama nafuu kwa mtumiaji

Katika hatua nyingine, Nditiye kwa niaba ya Serikali, ameshuhudia makabidhiano ya hundi ya shilingi milioni 20.6 baina ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilithi Mahenge na Nguyeni kwa ajili ya uanzishaji wa kiwanda cha kufyatua matofali cha kikundi cha vijana wa Dodoma ambapo makabidhiano hayo yamefanyika kwenye viwaja vya Barafu mjini humo

“Vijana wa Dodoma mtanufaika na Serikali kuhamia Dodoma, tumeona tuanzishe kikundi cha vijana ili waweze kuanzisha kiwanda cha kufyatua matofali na mradi huo utakuwa na vijana wa kutoka Jeshi la Kujenga Taifa ili wawasaidie ili baadae vijana waweze kuanzisha na kuendeleza viwanda vyao,” amesema Dkt. Mahenge

Pia, ametoa rai kwa vijana wajitokeze na kuchamkia fursa mbali mbali zilizopo mkoani humo na wasikubali kukaa bure, wajihusishe na shughuli za uzalishaji, wasikubali kukaa nyumbani na vijiweni

Video: WEUSI - Wapoloo

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Dokta Mkwambas. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki.

 Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. 

Dokta Mkwambas ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Dokta Mkwambas  Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa aliepotea, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizopotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi,   kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..)na mengine mengi (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa

nambari ya simu
+255 717 163 789
+255 716 261 577

Whatsapp :  0752 388 329

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Agizo La Waziri Mkuu Kwa Wizara Ya Afya, Maendeleo Ya Jamii Na Tamisemi

$
0
0
Na Mwandishi Wetu Dodoma
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amewaagiza Mawaziri wa Afya na TAMISEMI kukutana ili kupitia upya  muundo wa Kada ya Ustawi wa Jamii Nchini ili uendane na mahitaji  ya utoaji huduma za Ustawi wa Jamii Nchini na kuitaka Wizara husika kuhakikisha inakamilika kazi hiyo mapema.

Amesisitiza kuwa Serikali inataka kila Sekta kuchangia katika Maendeleo ya Nchi hivyo kuwataka viongozi wa Wizara zote mbili kuharakisha mapendekezo ya muundo huo ili kuharakisha kasi ya maendeleo na kuwataka kumpatia majibu ya kasi hiyo haraka iwezekanavyo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hayo wakati wa kufungua mkutano wa mwaka wa kiutendaji wa wataalamu wa ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti za mkoa na Mamlaka za Mitaa leo mjini Dodoma.

 Aidha Waziri Mkuu amezitaka Sekretarieti za Mkoa na Mamlaka za Mitaa kote nchini  kuhakikisha wataalamu wa Kada ya Ustawi wa Jamii wanaanza kuingia katika vikao vya managementi  ili masuala ya Ustawi wa Jamii yapewa kipaumbele lakini pia kuitaka TAMISEMI kuhakikisha kazi zao zinaingizwa katika mipango ya bajeti.

Aidha Waziri Mkuu amewataka Maafisa hao kutumia vyema Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009, Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 na Sheria ya Watu Wenye Ulemavu ya Mwaka 2010 pamoja na  Sheria ya Kuzuia na Kupambana  na Biashara Haramu  ya Binadamu ya Mwaka 2008 ili kuwarejeshea wananchi utu wao pale ambapo kuna dalili za kupoteza haki zao kwa kukosa huduma stahiki.

Aidha amezitaka Halmashauri zote chini kuendelea kuhainisha mahitaji sambamba na kuomba vibali vya ajira za Watumishi wa Kada za Ustawi wa Jamii ili kukabiliana na upungufu wa watumishi wa kada hiyo katika ngazi za Wilaya na Mikoa baada ya Maafisa hao kumuomba kufanya hivyo katika maombi yao.

Wakati huo Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile katika hotuba yake fupi kwa mgeni rasmi amesema Wizara yake iko katika hatua nzuri ya kuufanyia marekebisho muundo wa Maafisa wa Ustawi wa Jamii Nchini lakini pia kutayarisha Sheria ya Ustawi wa Jamii pamoja na kuundwa kwa baraza la taaluma la wataalamu wa Ustawi wa Jamii Nchini.

Aidha amemwabia Waziri Mkuu Majaliwa kuwa Wizara yake ndiyo yenye jukumu la kutoa huduma kwa makundi yenye mahitaji maalum ya wazee, watoto na watu wenye ulemavu hivyo kuwakumbusha maafisa ustawi wa Jamii kuwa wanakazi kubwa ya kuhakikisha wanatoa huduma stahiki kwa walengwa.

Aidha Dkt. Ndugulile alimwambia Waziri Mkuu kuwa Serikali kwa sasa inatoa mikopo kwa walemavu kwa kutumia asilimia 2 ya mapato ya ndani ya Halmashauri tofauti na awali ambapo mikopo hiyo ikuwa kwa akina mama na vijana pekee ambapo fedha hiyo ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri.

Dkt Ndugulile pia alisema kumekuwepo ongezeko la vituo vya kulelea watoto laki ni kuna baadhi ya watumishi wa vituo hivyo ambao sio waaminifu kwani wale wasio waaminifu wanatumia watoto hao kwa kuwatumikisha kingono, kuwafanyisha kazi za utumwa, lakini pia kuwageuza ombaomba hivyo kuwataka maafisa ustawi wa jamii kuchunguza na kufunga vituo vyote vinavyofanya kinyume cha sheria.

Kwa mantiki amewaagiza Maafisa ustawi wa Jamii kuhakikisha wanafuatilia utendaji wa vituo vya kulele watoto wanasajiliwa na mamlaka husika lakini pia vianatoa taarifa ya robo mwaka, nusu mwaka na mwaka kwa maafisa ustawi wa Jamii wa Wilaya na Halmashauri zote Nchini.

Mkutano wa Mkuu wa mwaka wa kiutendaji wa wataalamu wa ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti za mkoa na Mamlaka za Mitaa wanakutana Dodoma kwa Siku tatu kwa lengo la kukumbushana kuhusu utendaji kazi wao lakinni pia maadili yao kazi na namna bora kudumisha kazi za ustawi wa Jamii Nchini.

Zitto Kabwe adai CCM inaweza kufutwa kama muswada wa sheria ya vyama vya siasa Utapita Kama Ulivyo

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amewataka wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuuangalia kwa jicho la tatu muswada wa sheria ya vyama vya siasa ili wasije kutunga sheria itakayosababisha kufutwa kwa chama chao siku za usoni.

Akitoa mchango wake jana ndani ya Bunge, Zitto alisema kuwa kifungu cha 19 C cha muswada huo, kinapaswa kuondolewa kwa sababu utaratibu wa kusajili chama cha siasa ulioelezwa utaigharimu CCM kwani kuanzishwa kwake hakukufuata utaratibu huo.

Akielezea kifungu hicho, alisema kuwa kinampa mamlaka Msajili wa Vyama vya Siasa kukifuta chama chochote ambacho ataona kuwa mchakato wake wa usajili uligubikwa na udanganyifu (fraudulent).

“Kifungu hiki kifutwe kwa sababu hakina maana. Chama cha kwaza kufutwa kitakuwa Chama Cha Mapinduzi.  Kwa sababu Chama Cha Mapinduzi hakikusajiliwa, hakikufuata mchakato  ambao vyama vingine vyote vya siasa vilifuata kwenye usajili. Kilitungwa kwa mujibu wa sheria,” alisema Zitto Kabwe.

“Leo hii ninyi mko madarakani, mna majority ya Bunge. Kesho mkipoteza majority hata ya mbunge mmoja, kitendo cha kwanza cha kiongozi yeyote atakayeingia madarakani ni kwenda kuwafuta kwa sababu hamkufuata sheria… sasa mnajitungia sheria hata ya kuwanyonga ninyi wenyewe?” Alihoji.

Katika hatua nyingine, Zitto alieleza kuwa katika muswada huo, kuna vifungu ambavyo vimeandikwa vikilenga kuwadhibiti watu fulani, akikimulika zaidi kifungu kinachomkataza mtu ambaye mzazi wake mmoja sio raia wa Tanzania kuanzisha chama cha siasa.

“Tulikubaliana kwenye Kamati, mimi nilialikwa kama mgeni… kwamba rejea ya uraia itumike rejea ya uraia ya ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lakini ‘schedule of amendment’ imekuja, labda Mheshimiwa Jenista [Mhagama] aseme wamekosea… ni tofauti kabisa na lile ambalo lilikubaliwa ndani ya Kamati,” alisema.

“Eti kwamba leo, ukiwa umezaliwa na mzazi mmoja ambaye sio raia wa Tanzania, unaweza kuwa Rais, unaweza kuwa Mbunge, unaweza kuwa Waziri Mkuu lakini hauwezi kuanzisha chama cha siasa,” Mbunge huyo wa Kigoma Mjini aliongeza.

Msikilize hapo chini

Benki Kuu (BoT) yataja sababu mbili kushuka shilingi

$
0
0
Benki Kuu (BoT), imesema kutokuwapo kwa bidhaa za kuuzwa nje ya nchi na pia watalii kupungua katika kipindi cha Januari zinaweza kuwa sababu za kushuka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani.

Mkurugenzi wa Uchumi, Utafiti na Sera wa BoT, Suleiman Misango alisema katika mahojiano na gazeti la The Citizen juzi kuwa katika kipindi cha miezi ya Desemba na Januari, shilingi ina kawaida ya kushuka na kupanda kulingana na Dola.

Kiwango cha ubadilishaji fedha za kigeni cha BoT kimeonyesha kuwa hadi juzi mauzo ya shilingi ya Tanzania yalikuwa Sh2,294 na ilinunuliwa kwa Sh2,271 ikilinganishwa na Sh2,249 na Sh2,227 iliyorekodiwa Januari 29, mwaka jana.

Ripoti ya soko la fedha ya ya benki hiyo pia imeonyesha kuwa Dola ilikuwa ikibadilishwa kwa wastani wa Sh2,294 kama ilivyorekodiwa Ijumaa wiki iliyopita, kutoka Sh2,249 iliyobadilishwa Januari 29, mwaka uliopita.

Hata hivyo, Misango alisema kuwa anguko hilo la shilingi linasababishwa na mwezi wa Januari kutokuwa po kwa bidhaa za kuuza nje ya nchi na pia wingi wa watalii.

“Kwa kawaida katika kipindi cha Desemba huwa inapanda lakini ikifika Januari kunakuwa na mahitaji makubwa kwa kuwa mashirika na watu binafsi wanazitafuta ili kukidhi mahitaji yao yanayohusu mwisho wa mwaka,” alisema.

Misango alisema mambo yatakuja kubadilika baada ya watalii kuanza kuongezeka nchini na uuzwaji wa bidhaa za ndani nje ya nchi, na hivyo wataongeza fedha za kigeni.

Credit: Mwananchi

Video: Tazama Hapa Kilichojiri Leo Bunge la 11, Kikao cha Pili - MASWALI na MAJIBU

$
0
0
Video:  Tazama Hapa  Kilichojiri Leo Bunge la 11, Kikao cha Pili - MASWALI na MAJIBU

Video: Sugu aimwagia sifa Serikali Bungeni

$
0
0
Mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya Chadema Joseph Mbilinyi, almaarufu Sugu, amekunwa na utendaji kazi wa wizara ya afya na kuimwagia sifa mbele ya Bunge. 

Msikilize hapo chini

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218,0789289945. TUNAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM STENDI ya musanga

Dawa Bora na Imara ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
Kifaru vidonge asilia hurefusha maumbile ya kiume nchi 6-8 dk 60 garantii mika 30- 40 .itakupa nahamu ya kufanya tendo la ndoa mara 4- 5 bila kuchoka au hamu kuisha, ina imalisha misuri  ya uume  na haina madhara kwa mtumiaji

Malelemba; inatibu presha kisukari, ngili, busha bila uperesheni, kiuno, kutopata choo vizuri, vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto, kisosono

Jirumba; kumvuta mume mke mpenzi mchumba kwa masaa 3 yoyote unae mtaka  uta mpata ..acha kuumiza roho bure hatakama una fanya nae kazi sehemu moja ila unaogopa kumuanza au muone mzee jirumba atakusaidia

Fika mbagara kwa wa mikoani shinyanga kahama mwanza kwa mawasiano piga 0713560943 /0762540447 dr jirumba
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images