Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jiji La Dodoma Latakiwa Kuandaa Mkakati Wa Kutangaza Uwekezaji

$
0
0
Majid Abdulkarim
Uongozi wa Jiji la Dodoma umetakiwa kuandaa mpango mkakati wa kutangaza maeneo ya biashara na uwekezaji hususani  miradi inayoendelea kujengwa ya soko kuu na kituo kikuu cha Mabasi jijini Dodoma.

Hayo yamebainishwa jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jafo katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo katika Jiji la Dodoma.

“Sasa hivi andaeni utaratibu maalum wa kutangaza miradi hii ambayo itakamilika hivi karibuni, kama ni Kampuni itakayosimamia na kuendesha miradi hii au utaratibu wowote mtakaoona unafaa ili mradi miradi hii iweze kuongeza mapato ya Jiji letu” alisema Jafo.

"Sio miradi hii inakamilika ndio mnaanza kutafutana hamjui nini cha kufanya, mnatakiwa muanze kujipanga kuanzia sasa namna gani miradi hii itajiendesha kibiashara na kuleta faida kubwa zaidi, "alisema.

Aidha aliongeza kuwa hili ndio litakua soko la pili la kimataifa baada ya kariakoo na na hili litakua la kisasa na bora  zaidi kwa kuwa limejengwa kukidhi mahitaji ya wakazi wa makao makuu ya Nchi na linaendana na hali ya sasa hivyo linahitaji uongozi makini utakaoweza kulisimamia na kuliendasha kwa faida. 

Kwa kuongezea Jafo ametoa wito kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwini Kunambi kudumisha ushirikiano katika kusimamia miradi ya umma ili kuleta maendeleo chanya katika jiji la Dodoma kwani ushirikiano ndo silaha kubwa katika kutekeleza uongozi wowote.

Awali ya yote Jafo ametoa pongezi kwa Kampuni ya Mohammed Builders, Kampuni  ya hapa nchini ambayo inafanya vizuri katika ujenzi wa miradi mbalimbali waliyopewa kuitekeleza katika Jiji la Dodoma kupitia mradi wa mpango miji mkakati unaotekelezwa kupitia fedha za mkopo toka Benki ya Dunia.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Patrobas Katambi alisema kuwa yeye na watendaji wake wako imara katika kusimamia sheria,taratibu na kanuni za nchi ili kuongeza chachu ya maendeleo katika jiji la Dodoma.

Mhe. Katambi alisema kuwa yeye na timu watahakikisha wanasimamia miradi ya maendeleo vyema na kukusanya kwa makini mapato ya jiji; Pia watahakikisha mapato hayo yanatumika kuleta maendeleo kwa wana Dodoma na watanzania kwa ujumla kwani Dodoma ndo makao makuu ya Nchi hii.

“Mh.Waziri nikuombe unifikishie salamu zangu kwa Mh.Rais kuwa Dodoma pako salama na wala hakunamigogoro katika uongozi wetu na tunatekeleza majukumu yetu kwa makini  na kwa kuzingatia Ilani ya Chama cha Mapinduzi ” Alisema Katambi.

Kwa kuhitimisha Mkurugenzi wa Jiji Godwini Kunambi alisema kuwa Jiji wamejipanga ifikapo 2021 panapo majaaliwa  jiji la Dodoma linaweza kujitegemea kwa mapato bila kutegemea ruzuku toka Serikali Kuu.

“Mh.Waziri ili tuweze kufikia malengo ya jiji 2021 kuweza kujiendesha lazima tuwe na kampuni ya jiji itakayoweza kusimamia na kuendesha miradi yote itakayokuwa ikitekelezwa ndani ya jiji letu na nikuhaidi kuwa tutatekeleza vyema maagizo yako.”

Kunambi alimalizia kuwa;" sisi kama Jiji jukumu letu kubwa ni kutoa huduma kwa wananchi hivyo ili miradi hii iweze kufanya biashara tutaanzisha Kampuni kama tulivyoelekezwa, ambayo itakua inajitegemea na itahusika na uendeshaji wa shughuli zote za maeneo ya biashara kama hili soko la kimaita, stendi ya mabasi, stendi ya Malori na maeneo mengine ambayo yatakidhi kutoa huduma za kibiashara "Aliongezea Kunambi.

Katika zaira yake ya siku moja Mhe. Jafo alitembelea na kukagua ujenzi wa stendi ya malori Nala, ujenzi wa kituo afya Mkonze, ujenzi wa Soko la kimataifa Nzuguni pamoja na ujenzi wa stendi ya kisasa.

Uingereza Yaahidi Kuendelea Kushirikiana na Tanzania....Benki ya Dunia Yatoa Ushauri Namna ya Kuwekeza Kwenye Viwanda

$
0
0
Waziri Kakunda akiwa na Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke
**
Timu ya wataalam elekezi wa Benki ya Dunia (WB) wameishauri Tanzania kuwekeza kwenye viwanda vya kuchakata mazao ili kuongeza thamani ya kilimo kwa lengo kumkomboa Mtanzania.

Watalaam hao jana Jumatatu Januari 28, 2019 wamekutana na waziri wa viwanda na Biashara, Joseph Kakunda na kumueleza kuwa ipo haja ya kuongeza nguvu katika eneo hilo ambalo kwa sasa linaonekana bado halikufanyiwa kazi vya kutosha.

Waziri Kakunda amekiri udhaifu huo na kueleza kuwa kumekuwa na changamoto lukuki zinazokwamisha uchakataji wa mazao nchini kubwa ikiwa ni ukosefu wa malighafi jambo linalosababisha viwanda vya aina hiyo visiwepo.

Alisema kwa sasa uchakataji wa mazao umekuwa wa kusuasua kutokana na upatikanaji wa mazao hivyo Serikali inafungua milango kwa wawekezaji kuja kuwekeza kwenye viwanda vya aina hii ili kuchakata mazao hapa na bidhaa kuuzwa nje.

 “Wametushauri vitu vingi kubwa likiwa ni kutuhamasisha kuweka nguvu kwenye uanzishwaji wa viwanda vya kuchakata mazao. Inatakiwa tuwe tunauza nje ya nchi bidhaa ambayo imeshatengenezwa si malighafi,” alisema.

“Tukiboresha mazingira ya biashara tupata wawekezaji wengi na kuongeza mapato kwa Serikali kwa sababu watu wengi watahitaji kufanya biashara Tanzania,” alisema.

Katika hatua nyingine Waziri Kakunda amekutana na Balozi wa Uingereza, Sarah Cooke ambaye alimueleza kuwa nchi yake imedhamiria kuendelea kuhamasisha wawekezaji kutoka Uingereza kuja Tanzania.

Balozi huyo ameeleza Uingereza itaongeza nguvu katika elimu ya ufundi stadi ili kuzalisha wataalam wengi watakaofanya kazi kwenye viwanda.

Kwa upande wake, Waziri Kakunda amemueleza Cooke kuwa  Serikali itaviwezesha viwanda vinavyomilikiwa na Waingereza ili viendelee kufanya kazi na kutoa ajira kwa Watanzania na kuzalisha bidhaa zitakazobeba nembo ya Tanzania.

LIVE: Tazama Hapa Kinachoendelea Bungeni Leo

$
0
0
LIVE:  Tazama Hapa Kinachoendelea Bungeni Leo

LIVE: Tazama Hapa Rais Magufuli Akiwaapisha Majaji na Viongozi Wengine Aliowateua

$
0
0
LIVE:  Tazama Hapa Rais Magufuli Akiwaapisha Majaji na Viongozi Wengine Aliowateua

Lulu Michael Agoma Kuzungumzia Taarifa za Kupigwa na Mchumba Wake

$
0
0
Mwigizaji Elizabeth Michael maarufu Lulu amesema taarifa za kuwa amepigwa na mchumba wake hataki kuzizungumzia kwa kuwa anaona zinalenga kumtoa katika njia yake anayotaka kwenda kwa sasa.

Akizungumza leo Januari 29 katika kipindi cha Joto la Asubuhi kinachorushwa na kituo cha redio E FM, amesema habari hizo zilianza kuenea baada ya kutangaza kampeni yake ya Save my Valentine wiki iliyopita.

“Kama umeshawahi kutazama filamu za mapigano mwishoni utaona adui anavyojaribu kufanya vitu vya kumhadaa sterling, hivyo ndivyo nilivyochukulia maneno haya,” amesema.

Ameongeza kuwa utakapofika wakati sahihi atalizungumzia hilo na kwamba kwa wakati huu angependa kuendelea na kampeni yake ya kusaidia wasiojiweza.

Akizungumzia kampeni hiyo ya kusaidia wenye uhitaji amesema itaendeshwa kwa fedha anazopata katika mauzo ya nguo zake lakini amewaomba watu binafsi na mashirika wanaotaka kushirikiana naye wajitokeze.

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Vunja Kero 3: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Abdallah Mtolea Aapishwa Bungeni Leo

$
0
0
Mbunge wa Temeke (CCM), Abdallah Mtolea leo Jumanne Januari 29,2019 ameapishwa bungeni jijini Dodoma.

Mtolea ameapishwa baada kupita bila kupingwa kutokana na wagombea wa vyama vingine kukosa vigezo.

Alikuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CUF na alijiuzulu Novemba 15, 2018 na kujiunga CCM.

Hata hivyo,  kiapo cha Mtolea leo kilikuwa tofauti na viapo vya wabunge wengine waliohamia CCM kutokea upinzani kutokana na kutokuwa na mbwembwe zilizozoeleka.

Mtolea aliingia akisindikizwa na wabunge wachache wa CCM. Mara baada ya kuapishwa na Spika, Job Ndugai alikwenda moja kwa moja kusalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Profesa Adelardus Kilangi na  Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenister Mhagama.

Wakati Mtolea akiapishwa wabunge wa upinzani waliokuwepo bungeni ni wa CUF upande wa mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba.

Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa

$
0
0
Bila shaka wapo wengi ambao wana tatizo kama hili. Naomba tuwe pamoja kwenye makala hii ili ujifunze kuhusu tatizo la mtu kutokwa usaha wakati wa kukojoa.

Tatizo la Kuwepo kwa chembechembe za usaha au usaha kwenye mkojo hujulikana kama pyuria ambapo linaweza kuonekana kwa kutumia hadubini (microscope) au kama tatizo ni kubwa linaweza kuonekana kwa macho.

Visababishi vya tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa Kukojoa ni nini?

Visababishi vya tatizo hili ni kama vifuatavyo;
  1. Ugonjwa wa mfumo wa mkojo (UTI)-Maambukizi kwenye figo, kwenye mrija wa mkojo na kwenye kibofu cha mkojo (cystitis- amabayo huonekana sana)
  2. Magonjwa ya Zinaa-Kama ugonjwa wa kisonono au ‘’gono’’ kama wengi wanavyoita, ugonjwa wa Chlamydia na Trichomoniasis
  3. Sumu inayotokana na kemikali (Chemical poisoning) kama 4-Aminodiphenyl inayotumika kwenye maabara na kwa ajili ya tafiti
  4. Tatizo linajulikana kama Reiter’s syndrome
  5. Pyelonephritis-Maambukizi ya bakteria kwenye sehemu za figo zinazojulikana kama calyces, renal pelvis na tishu za figo
  6. Madhara ya pyelonephritis ambayo husabababisha ugonjwa unaojulikana kama renal abscess
  7. Maambukizi kwenye tezi dume-Prostatitis (Kwa wanaume)
  8. Upungufu wa kinga mwilini
  9. Mcharuko (Inflammation) kutokana kuwa na mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
  10. Mzio (Allergy) au kuota uvimbe sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo
Viashiria vya tatizo hili ni;
  1. Maumivu makali ya kuchoma (Painful burning sensation) wakati wa kukojoa
  2. Maumivu chini ya kitovu
  3. Homa
  4. Kutapika
Tatizo hii likidumu kwa muda mrefu husababisha kupungua uzito kwa mgonjwa

Vipimo vya uchunguzi
  1. Urinalysis – Kipimo cha mkojo
  2. Urine for culture and sensitivity - Kipimo cha kuangalia bakteria kwenye mkojo
  3. Complete blood count – Kipimo cha kuangalia wingi wa damu na chembechembe za damu (husaidia  kuonyesha kama kuna maambukizi kwenye mwili)
  4. Blood culture - Kuangalia kama kuna maambukizi kwenye damu
  5. Prostate –Specific Antigen (PSA) Test-Kipimo cha tezi dume
  6. Kipimo cha mionzi ya X-ray - Huonyesha kama tatizo ni kubwa sana
  7.  Kipimo cha ultrasound
  8. Kipimo cha CT scan au MRI - Husaidia kuonyesha kama tatizo hili lipo ndani ya tishu za figo  (Intra-renal abscess) au nje ya tishu za figo (Extra-renal abscess)
Vichagizi vya Tatizo la Kutokwa Usaha Wakati wa  Kukojoa (Predisposing Factors)

Vichagizi vya tatizo hili ni;
  1. Kutosafisha vizuri sehemu za siri baada ya kujisaidia haja ndogo
  2. Kujamiana na mtu mwenye maambukizi ya ugonjwa wowote wa zinaa
  3. Ugonjwa wa kisukari
  4. Madhara yanayotokana na kutumia mpira wa mkojo - Kwa wale wote waliowekewa mpira huu wa mkojo (catheter)
  5. Saratani ya kwenye mfumo wa mkojo au sehemu za siri
  6. Matumizi ya dawa za jamii aina ya Non-steoridal anti-inflammatory drugs (NSAIDS) au madawa yanayopunguza kinga mwilini (Immuno-suppressant medications) kwa muda mrefu
  7.  Kuvimba kwa tezi dume
Matibabu
  1. Tiba hutegemea na chanzo cha tatizo hili
  2. Dawa za kutibu vimelea (antibiotics)
  3. Matibabu ya mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
  4. Kunywa maji kwa wingi mara kwa mara ili kusaidia kutoa chembechembe za usaha kupitia njia ya haja ndogo-Ikumbukwe ya kwamba maji sio tiba
Angalizo:-mgonjwa Atahitaji Kumuona Daktari Ili Apate Tiba Stahiki  Kulingana Na Chanzo Cha Tatizo La Kutoka  Usaha  Wakati Wa Kukojoa

VIDEO: Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Ataja Sababu Kwa Nini Rais Ana Mamlaka ya Kuteua Majaji

$
0
0
Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma amekata mzizi wa fitina na kutoa  sababu za kwa nini Rais  Magufuli ana mamlaka ya kuwateua Majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu.

==>>Msikilize hapo chini

Naibu Waziri Mabula Ashangazwa Na Halmashauri ya Jiji La Dodoma Kushindwa Kudai Bilioni Sita Za Wadaiwa Kodi Ya Ardhi

$
0
0
Na Munir Shemweta,  DODOMA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Mabula ameshangazwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kujikita zaidi katika kuuza viwanja huku ikiacha kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwa wadaiwa wa kodi ya ardhi kinachofikia bilioni sita.

Awali Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi  alisema jiji lake limeongoza katika kukusanya mapato ambapo lilifanikiwa kukusanya bilioni saba na kati ya hizo bilioni nne nukta nane zinatokana na kodi ya ardhi.

Akizungumza na watumishi wa sekta ya ardhi katika halmashauri ya jiji la Dodoma katika mfulukizo wa ziara zake za kuhamasisha ukusanyaji maduhuli ya serikali kupitia kodi ya ardhi  leo tarehe 28 januari 2018 Dkt Mabula alisema pamoja na jiji kukusanya fedha nyingi katika idara ya ardhi kupitia uuzaji viwanja lakini  linapaswa kuhakikisha madeni ya wadaiwa sugu yanakusanywa ili kuepuka ulimbikizaji madeni.

Naibu Waziri wa Ardhi alisema pamoja na jiji hilo kufanya vizuri lakini yeye anachelewa kulipa pongezi kutokana na kushindwa kukusanya kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwa wadaiwa wa kodi ya ardhi sambamba na kushindwa kutoa ilani za madai kwa wadaiwa hao jambo linaloikosesha serikali mapato mengi.

Kufuatia hali hiyo Dkt Mabula ameipa halmashauri hiyo ya jiji la Dodoma wiki mbili kuhakikisha inampatiwa orodha ya wadaiwa wa kodi ya ardhi waliopatiwa ilani za madai na kitu gani kimefanyika kwa wale watakaokaidi kulipa.

Amelitaka jiji hilo pamoja na kuuza viwanja lakini linapaswa kuhakiisha linakusanya madeni na taarifa za wadaiwa wote wa kodi ya ardhi zinaingia katika vikao vya uchumi na mipango vya madiwani lengo ni kutoa nafasi ya ufuatiliaji kutoka kwa madiwani.

"Dodoma ni uso na jicho la nchi kutokana na uamuzi uliotolewa wa kuwa makao makuu ya nchi  na watumishi mnatakiwa  kufanya kazi kwa bidii kama vile mko katika makao makuu ya nchi" alisema Dkt Mabula

Aidha,  Naibu Waziri wa Ardhi amewataka watumishi wa sekta ya ardhi katika halmashauri hiyo wenye madeni ya kodi ya ardhi kuwa wa kwanza kulipa madeni kabla ya kuanza kudhughulika na wadaiwa sugu kwa kuwa  wanatakiwa kuwa mfano.

Vile vile,  Dkt Mabula ameitaka halmashauri ya jiji la Dodoma kusimamia mji usichafuke ili kuepuka kuwa na jiji la ajabu na kulitaka kusimamia vyema utoaji vibali vya ujenzi sambamba na  kuhakikisha ukaguzi na unafanyika na kuwa na watu wa kuwapa taarifa maeneo yanayojengwa kiholela ili kudhibiti wanakiuka sheria za ujenzi na kusisitiza  huu siyo wakati wa kuleana na cha msingi ni kupanga mji vizuri.

Pia Naibu Waziri wa Ardhi alikumbana na tatizo la utunzaji majalada ya ardhi usiozingatia taratibu kama alivyokuta katika halmashauri mbalimbali alizozitembelea na kuagiza upungufu uliojitokeza kurekebishwa haraka iwezekanavyo.

Mkuu wa Idara ya Ardhi, Mipango Miji na Maliasili katika halmashauri ya jiji la Dodoma Joseph Mafuru alisema jiji hilo katika mwaka uliopita limefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi bilioni 7. 196 ambapo kati ya fedha hizo shilingi bilioni  4. 8 zimetoka katika kodi ya pango la ardhi na katika kipindi cha kuanzia januari mwaka huu tayari  imekusanya shilingi bilioni 1. 194

Mkuu huyo wa idara ya ardhi alisema halmadhauri hiyo ina jumla ya migogoro 2136 na kati ya hiyo 1541 ishapatiwa ufumbuzi huku migogoro 595 ikiendelea kutatuliwa.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa wilaya ya Dodoma Edward Mpogolo alisema halmashauri ya jiji la Dodoma imekuwa ikifanya kazi nzuri lakini imekuwa ikukambana na baadhi ya changamoto Kama ucheleweshaji ulipaji fidia  katika baadhi ya maeneo yaliyo twaliwa na serikali kwa ajili ya shughuli mbalimbali.

Ametolea mfano wa sehrmu ya eneo la Iyumbu mkoani Dodoma ambalo  limetwaliwa kwa ajili ya shughuli mbalimbaki kama vile  barabara na eneo la  kuzikia (makaburi).

Alisema,  hali hiyo inawafanya wananchi ambao maeneo yao yamechukuliwa kutojua hatma ya malipo yao na hivyo kuwafanya kuishi kwa mashaka.

LIVE: RC Makonda Anazungumza na Waandishi....Tazama Hapa

$
0
0
RC Makonda Anazungumza na Waandishi....Tazama Hapa

PICHA: Zijue Alama za barabarani pamoja na matumizi yake


Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

$
0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Saudi Arabia Yatafuta Fursa za Kuwekeza katika Viwanda Tanzania

$
0
0
Ujumbe wa wawekezaji wa makampuni makubwa 15 ya Saudi Arabia utafanya ziara nchini Tanzania tarehe 30 na 31 Januari 2019 kwa madhumuni ya kuangalia fursa ya kuwekeza kwenye viwanda.

Ziara hiyo inatokana na juhudi za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kupitia Ubalozi wa Saudi Arabia na wadau wengine  wa kushawishi wafanyabiashara wakubwa kuja kuwekeza nchini katika sekta mbalimbali.

Ujumbe huo wa watu 20, utakapokuwa nchini pamoja na mambo mengine, utashiriki kongamano la biashara litakalofanyika kwenye Hoteli ya New Africa jijini Dar Es Salaam tarehe 30 Januari 2019 kuanzia saa mbili asubuhi. Kongamano hilo litafuatiwa na mazungumzo ya ana kwa ana baina ya wafanyabiashara wa Tanzania na Saudi Arabia.

Kongamano hilo linaloratibiwa na Chama cha Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Wakulima (TCCIA) litatoa fursa kwa wafanyabiashara hao kusikiliza mada mbalimbali kuhusu fursa, vivutio, sheria na kanuni za uwekezaji nchini kutoka taasisi zinazoratibu masuala ya uwekezaji ikiwemo Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Ujumbe huo pia unatarajiwa kufanya mazungumzo na viongozi wa taasisi mbalimbali; zikiwemo Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mamlaka ya Kuendeleza Biashara Tanzania (TANTRADE), Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na Mamlaka ya Uwekezaji na Ukuzaji Vitega Uchumi Zanzibar (ZIPA).

Ziara ya ujumbe huo ni moja ya mikakati ya utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje inayojikita katika diplomasia ya uchumi na inalenga kuhamasisha uwekezaji katika sekta ya viwanda ili kutimiza azma ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dodoma.
29 Januari 2019

Nkoma: Tiba Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
NKOMA
_________________________
NKOMA Ni dawa bora ya nguvu za kiume  yenye mchanganyiko wa mitishamba (7) yenye maajabu yafuatayo/

🔖 (1) inatibu upungufu wa nguvu za kiume mara dufu na kuimalisha misuli ya uume uliolengea wakati wa tendo la ndoa/
🔖 (2) Kurefusha maumbile ya kiume yaliyorudi ndani kuazia nchi 5 - 9/
🔖 (3) kunenepesha uume cm 5 ya upana itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 - 20 kwa tendo la kwanza na utakuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya 2-4 bila hamu kuisha/

📌 Na inatibu kabisa, unashauriwa uitumie dawa hii kama kinga ya magonjwa sugu./
 📌 Haijalishi umri hata kama una miaka 85 itumie huanza kufanya kazi dk 50 tu na haina madhara yoyote kwa mtumiaji/

📍📍📍📍📍📍📍📍📍
            MATATIZO HAYA HUSABABISHWA NA.
_________________________
🔖 (1)Tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu/
🔖 (2)Choo kama cha mbuzi/
🔖(3)Ngiri/
🔖(4)Kama umejichua sana punyeto/
🔖(4)Kaswende/
🔖(5)Gono/

📌Haya yote husababisha kuishiwa nguvu za kiume na kuwa na uume mdogo/
📌 Itumie leo, bado hujachelewa ni tofauti na nyingine.
_________________________
DR MAKOBA ANAPATIKANA DAR ES SALAAM, PIA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
___________________________
WASILIANA NA
Dr MAKOBA SIMU.
📞0754832349
📞0683490600
____________________________
*****************************
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images