Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Polisi Kenya Yatoa Tahadhari Baada ya Bomu Kulipuka Katikati ya Jiji la Nairobi

$
0
0
Kutokana na tukio la bomu lililolipuka katikati ya jiji la Nairobi siku ya Jumamosi usiku, idara ya polisi sasa imewatahadharisha Wakenya kuwa waangalifu wakati huu na kuripoti mtu ama kisa chochote kisicho cha kawaida.
 
Katika chapisho lake katika mtandao wa Twitter huduma hiyo ya kitaifa ya polisi imewasihi raia kusaidia vikosi vya usalama kukabiliana na tishio lolote kupitia kutoa habari muhimu.
 
Pia, imewataka Wakenya kuendelea na shughuli zao za kwaida ikisema waathiriwa wawili wa mlipuko huo waliopata majeraha madogo, walipata matibabu na kwenda nyumbani.
 
Wamesema, polisi imeanza uchunguzi kupitia kutazama picha za kamera za CCTV ili kumnasa mmiliki wa kilipuzi hicho aliyedaiwa kutoroka.
 
Siku ya Jumamosi usiku shambulio la bomu lilitokea katikati ya jiji la Nairobi na kuwajeruhi watu wawili kulingana na maafisa wa polisi .
 
Walioshuhudia wanasema kuwa mlio mkubwa ulisikika katika eneo la Odeon, moja ya viunga vyenye shughuli nyingi na mikusanyiko ya watu wengi katikati ya jiji la Nairobi.
 
Bomu hilo lilikuwa limefichwa ndani ya begi na kusukumwa kwa mkokoteni.
 
Mkuu wa polisi wa jiji la Nairobi Philip Ndolo aliwaambia wanahabari kuwa, bwana mmoja mwenye asili ya Kisomali alikodi mkokoteni na kupakia begi lake, na walipofika eneo la tukio, kwenye makutano ya barabara za Tom Mboya na Latema mmiliki huyo wa begi alitoweka.
 
“Alimhadaa mwenye mkokoteni kwa kumwambia amsubiri akafuate kitambulisho chake ambacho alikisahau... hakurudi na baada ya muda mfupi kilipuzi kilichokuwamo ndani ya begi hilo kililipuka,”amesema bwana Ndolo.
 
Mlipuko huo umewajeruhi mwendesha mkokoteni na mfanyabiashara ndogondogo aliyekuwepo karibu na mkokoteni.
 
Mlio mkubwa wa bomu hilo ulizua taharuki kubwa kwenye eneo hilo lenye stendi nyingi za mabasi ya abiria.
 
Shambulio hilo linakuja siku chache toka viunga vya hoteli ya kifahari ya DusitD2 kushambuliwa na kupelekea vifo vya watu 21.
 
Tayari eneo hilo limefungwa na polisi na vikosi vya kutegua mabomu vimeshawasili eneo la tukio.
 
Mlipuko huo unajiri huku maafisa wa poliis wakitoa tahadhari ya kiusalama kwa Wakenya

Aliyekuwa RPC Arusha kabla ya uteuzi wake Kutenguliwa na Waziri Lugola Atoa Neno akiwaaga maafisa mbalimbali wa Jeshi hilo

$
0
0
Siku chache baada ya kutumbuliwa na Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Kangi Lugola, aliyeuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Ramadhani Ng'anzi ametoa neno wakati akiwaaga maafisa mbalimbali wa Jeshi hilo.

Mwanasheshi Atiwa Mbaroni Kwa Kumbaka Mwanafunzi

$
0
0
Askari  wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kambi ya Suku Mikumi, wilayani Kilosa mkoani Morogoro, Godlisten Remngstone (46), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mapenzi na binti wa miaka 17, mwanafunzi wa kidato cha nne.
 
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbrod Mutafungwa, alisema askari huyo alikamatwa Januari 23, mwaka huu, majira ya alasiri maeneo ya Kikwalaza, Mikumi Wilaya ya Kilosa.

Alisema kuwa askari huyo alikamatwa na wananchi na kufikishwa katika kituo cha polisi Mikumi baada ya kumwita mwanafunzi huyo na rafiki yake nyumbani kwake kwa nia ya kufanya naye mapenzi.

Katika tukio lingine Paulo Ilonga (68), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwabaka watoto wawili wa familia moja mmoja akiwa na umri wa miaka minane na mwingine miaka tisa, wakiwa watoto wake wa kufikia.

Kamanda Mutafungwa alisema mtuhumiwa huyo aliwabaka watoto hao baada ya kuwatoa ndani walikolala na kuwapeleka nyuma ya nyumba, huku akiwatishia kuwapiga.

Katika hatua nyingine Jeshi la Polisi linamshikilia Jafari Ramadhani (26), mkazi wa Kidudwe Turiani, kwa tuhuma za kumbaka mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka sita baada ya kumwita chumbani.

Tukio hilo lilitokea Januari 21, mwaka huu saa nne asubuhi katika kijiji cha Kidudwe Turiani, baada ya mama mzazi wa mtoto huyo kugundua kuwa mtoto wake amebakwa na hivyo kutoa taarifa polisi.

Watuhumiwa wote watafikishwa mahakamani uchunguzi na taratibu za kisheria utakapokamilika.

Credit: Nipashe

Mkuu Wa Operesheni Maalum Za Jeshi La Polisi Nchini Ateta Na Kikosi Cha Kupambana Na Uhalifu Mkoa Wa Ruvuma

$
0
0
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akizungumza na kikosi Maalum cha kupambana na uhalifu katika viwanja vya Kikosi cha kutuliza Ghasia mkoani Ruvuma, baada ya kuwasili katika ziara yake ya kikazi. (Picha na Jeshi la Polisi) 

 Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas katikati kulia kwake ni Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna Msaidizi ACP Pili O. Mande na kushoto kwake ni Mkuu wa Kikosi cha kutuliza Ghasia Mkoa wa Ruvuma ACP Omar K. Omari wakiwa katika picha ya pamoja na kikosi maalum cha kupamban na uhalifu mkoani humo. 

Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas, akishiliki mazoezi ya pamoja na kikosi maalum cha kupamba na uhalifu Mkoa wa Ruvuma baada ya kuwasili katika ziara yake ya siku moja mkoani humo. 


(Picha na Jeshi la Polisi)

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya January 29

Dr Hindu: Bingwa Wa Tiba Asili .....Hutibu Matatizo Yafuatayo

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR HINDU popote ulipo . Muone  DR HINDU,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46. Dar es salaam, Mbagala Tanzania. ,..Dr. HINDU 0744,92,29,82 / 0716608959...You are welcome. Yuko pia Khahama Mjini

Maandalizi ya Mkutano Wa Wakuu Wa Nchi Wa EAC Yaanza Jijini Arusha

$
0
0
Mkutano wa dharura wa 38 wa Baraza la Mawaziri wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeanza jijini Arusha nchini Tanzania ukihudhuriwa na wajumbe kutoka nchi zote sita wanachama ambao utahitimishwa na mkutano wa wakuu wa EAC, Februari Mosi, 2019.

Mkutano huo wa siku tatu unawakutanisha maofisa waandamizi kutoka nchi hizo kisha utafuatiwa na makatibu wakuu na mawaziri wa wizara za kisekta zinahusika moja kwa moja na Jumuiya ya Afrika Mashariki. 

Taarifa ya EAC iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana Jumatatu Januari 28, 2019 imesema mkutano huo wa 38 wa Baraza la Mawaziri ni maandalizi ya mkutano wa 20 wa wakuu wa nchi za EAC ambao uliahirishwa mara mbili kutokana na kukosa akidi.

Miongoni mwa ajenda katika mkutano huo wa mawaziri ni ukamilishaji wa maamuzi ya vikao vya mawaziri, hoja kuhusu ofisi ya katibu mkuu, ripoti kuhusu  mipango ya miundombinu, uzalishaji na huduma za jamii, hali ya kisiasa, forodha na biashara, utawala na fedha pamoja hoja kuhusu taasisi za EAC.

Katika hatua nyingine wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi za EAC ajenda kuhusu mgogoro wa kisiasa kati ya nchi za Rwanda na Burundi imepewa kipaumbele ikikumbukwa kuwa mkutano wa Novemba 30, 2018 ulishindwa kufanyika kutokana na Burundi kususia mkutano huo.

Serikali Kuendelea Kukabiliana Na Majanga Nchini

$
0
0
Na.mwandishi Wetu
Serikali kwa ushirikiana na wadau wengine imejipanga kuendelea kukabiliana na majanga yanayoikumba nchi ili kuhakikisha inashughulikia na kutatua majanga hayo pindi yanapotokea.

Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Bunge na Waziri Mkuu, Maimuna Tarishi Januari 28, 2019 wakati akifungua warsha ya kupunguza madhara ya maafa nchini na kuimarisha uthabiti kwa nchi na jamii dhidi ya majanga ya asili katika ukanda wa Kusini mwa Jangwa la Sahara.

Tarishi alibainisha jitihada zinazofanywa na Serikali ili kukabili maafa ikiwa ni pamoja na kuendelea kuelimisha umma juu ya umuhimu wa kuimarisha ustahimilivu wa majanga ya asili kwa kuongeza idadi ya wilaya zenye mipango ya kupunguza madhara ya maafa, kuboresha mifumo ya tahadhari za awali, kuongeza utoaji wa elimu kwa umma na kuimarisha shughuli za kujiandaa, kukabili na kuimarisha mfumo wa uratibu wa masuala ya maafa.

“Kwa kuzingatia Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka wa Mitano, 2016/17- 2020/21 tutaendelea kuimarisha ustahimilivu wa majanga ya asili pamoja na kukabili majanga kwa kuzingatia utekelezaji wa malengo ya msingi ya Mfumo wa Sendai wa Kupunguza Madhara ya Maafa wa mwaka 2015 – 2030, tumedhamiria kuhakikisha tunakabiliana na majanga ili kujiletea maendeleo,”alisema Tarishi

Aliongezea kuwa, kwa kuzingatia majanga yanayoikabili nchi ikiwemo mafuriko nchi haina budi kuwa mikakati hiyo ili kuhakikisha inakabili na kuweka mikakati yenye tija katika masuala ya menejimenti ya maafa nchini.

Tarishi alibainisha kuwa, mafuriko yamekuwa na athari nyingi kwa kulinganisha na majanga mengine yanayoikabili nchi mara kwa mara kwa kuzingatia takwimu zilizopo kwa sasa.

 “Takwimu zinaonesha kuwa kwa kipindi cha Januari hadi Desemba, 2018 mafuriko yameathiri wilaya 50 na kusababisha vifo kwa watu 71, majeruhi kwa watu 64, kuharibiwa nyumba 15,802 kwa viwango tofauti, kuathiri miundombinu katika shule 43, mashamba ya mazao mbalimbali, na vituo vya afya,”alisisitiza Tarishi

Alieleza kuwa, takwimu zilizopo tangu tupate uhuru nchi imeathiriwa na ukame zaidi ya mara 18 ikimo yale  ya mwaka 2006/2007 na 2007/2008 ambayo yaliathiri zaidi mikoa ya Arusha, Dodoma, Iringa, Kilimanjaro, Manyara, Shinyanga, Lindi, Singida, Tabora na Mwanza.

Sambamba na hilo Ukame mwingine mkubwa ulitokea mwaka 2008/2009 ulioathiri zaidi mikoa ya kaskazini ya nchi hasa Arusha na Manyara. Mikoa ambayo mara nyingi huathiriwa na ukame ni Dodoma, Singida, Tabora na Shinyanga, ambayo kawaida hupata mvua ya chini kwa kiwango cha kati ya milimita 200 – 600 kwa mwaka.

Naye Mkuu wa Sekretarieti ya Kupunguza Madhara ya Maafa ya Umoja wa Mataifa kwa Kanda ya Afrika, Amjad Abbashar, alieleza mipango mikakati ya kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali kwa kuzingatia ongezeko la madhara yatokanayo ya maafa ikiwemo vifo, upotevu wa makazi, pamoja na uharibifu wa mali za watu.

“Tutaendelea kushirikiana na kuhakikisha tunakabili na kuzuia maafa yasitokee pale itakapotokea ili kuendelea kuwa na maendeleo endelevu katika mazingira tuliyonayo,”alieleza Abbashar

Kwa upande wake Mwakilishi Mkazi wa Taasisi za Umoja wa Mataifa nchini Tanzania,Alvaro Rodriques, aliwataka wajumbe kuitumia fursa ya warsha hiyo kwa kuzingatia mada zitakazowasilishwa ili kuhakikisha nchi inaendelea kuwa na wataalam na mikakati yenye kutatua madhara yatokanayo na majanga na kuahidi kuendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kushughulikia maafa.

Waziri Ndalichako atoa siku mbili kwa waliokula fedha za Elimu Wazirudishe

$
0
0
Wakurugenzi watendaji wa halmashauri waliochepusha fedha za mradi wa malipo kwa matokeo (EP4R) sasa wamekalia kuti kavu baada ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako kuwaagiza wazirejeshe fedha hizo ndani ya siku mbili

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa maofisa na watendaji katika ngazi ya kanda, mikoa na halmashauri za mikoa ya Shinyanga na Mwanza jana Januari 28, 2019, Waziri Ndalichako ameagiza fedha hizo zirejeshwe ifikapo mwisho wa siku ya Jumatano Januari 30, 2019.

Mafunzo hayo yanahudhuriwa na maofisa elimu, wathibiti wa ubora, wakuu wa shule za sekondari na walimu wakuu wa shule za msingi kutoka mikoa hiyo miwili.

Waziri Ndalichako ameelezea kushangazwa na kitendo cha baadhi ya wakurugenzi kulalamikia changamoto ya miundombinu ikiwemo vyumba vya madarasa katika maeneo yao huku fedha ambazo zingetumika kutatua changamoto hizi wakizitumia kwa matumizi mengine ikiwemo kulipana posho.

“Kila nikitazama habari mpaka inakera kila mtu analalamika ujenzi wa madarasa mnamwambia nani? huo ni uzembe wenu

“Mimi naangalia elimu bila malipo watoto wanakaa darasa moja mpaka 200, pesa tunaleta halafu nyie mnagawa mfanyakazi bora ikifika Jumatano tutaongea lugha nyingine.

“Siwezi nikafurahia pesa yeyote inayopita kwenye mikono yangu nataka mrudishe fedha mtazitoa wapi hayatuhusu, nitampasia Jafo yeye atafunga goli” 
Alisema Waziri  Ndalichako

Waziri Biteko Aanza Kutatua Mgogoro Kati Ya Mzee Mchata Na Kampuni Ya Mantrac

$
0
0
Waziri wa Madini, Doto Biteko jana Januari 28, amekutana na Mzee Eric Mchata na Kampuni ya madini ya Uranium ya Mantra Tanzania kwa lengo la kutatua mgogoro uliopo baina ya pande hizo mbili.

Kikao hicho, kinafuatia malalamiko yaliyowasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli Januari 22 na  Mzee Mchata wakati wa mkutano wa Kisekta ulioshirikisha wachimbaji wadogo na wadau wa madini uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Wakati akisikiliza kero za wachimbaji na wadau wa madini walioshiriki kikao hicho, Rais Magufuli alipokea kero ya Mzee Mchata aliyemweleza kwamba amekuwa na mgogoro na kampuni hiyo kwa kipindi cha takribani miaka 12 na bado hajapata suluhu.

Akijbu kero iliyowasilishwa na Mzee Mchata, Rais Magufuli aliitaka Wizara ya Madini kuhakikisha mgogoro huo unafikia mwisho.

Nigeria yatupilia mbali malalamiko yaliyo tolewa na Marekani, Uingereza, EU

$
0
0
Serikali ya Nigeria imeonya mataifa mengine kuacha kuingilia kati mambo yake ya ndani, “ikisistiza kuwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi itafanya “uchaguzi ulio huru, wa haki” wa nafasi ya urais ifikapo Februari 16.

Akijibu wasiwasi ulioelezewa na Marekani, Uingereza na Umoja wa Ulaya kwa kitendo cha Rais Muhammadu Buhari kumsimamisha kazi Jaji Mkuu, msemaji wa rais ametetea uamuzi huo.

Serikali Kuu ya Nigeria “imedhamiria kuhakikisha uchaguzi huru, wa haki unafanyika. Serikali hii haiwezi kupindisha kanuni na haitaruhusu yeyote kuingiliwa kati mambo yetu,” msemaji Garba Shehu amesema katika tamko lililotolewa jioni Jumamosi, Shirika la Habari la Reuters limeripoti.

Baraza la Seneti la Nigeria limepanga kikao cha dharura Jumanne, na moja ya ajenda ni kusimamishwa kazi kwa jaji mkuu, gazeti la Punch lenye makao yake Lagos limeripoti Jumapili.

Baraza la wawakilishi limeahirishwa hadi Februari 19, baada ya uchaguzi wa rais na Bunge la Taifa.

Katika tamko lililofuatia Jumapili jioni, msemaji huyo alizielezea serikali hizo tatu za kigeni kama ni “marafiki” lakini amesema ukosoaji wao “unaelekea kusukumwa na dhana zisizoweza kuthibitishwa na, kwa kweli, na aina fulani ya kiburi dhidi ya demokrasia hii ya Kiafrika. …Hakuna nchi yeyote kati ya nchi zenu ambayo itaruhusu mtu aliyenasa katika utata wa kisheria kuongoza mfumo wa sheria mpaka pale atakapo kuwa amekutikana hana makosa.”

Tamko hilo refu lilikusudia kufafanua uamuzi wa Buhari kumsimamisha kazi Jaji Mkuu Walter Onnoghen kwa madai ya kutoa maelezo ya uongo juu ya mali zake.

Buhari amesema hatua hiyo inatokana na ombi la Mahakama ya Maadili iliyokuwa imeanza kusikiliza kesi dhidi ya Onnoghen wiki iliyopita. Mahakama ya Rufaa imeamuru kesi hiyo kusimamisha Alhamisi.

Ibrahim Tanko Mohammed, ambaye ni jaji wa ngazi ya juu katika nafasi ya pili kimadaraka aliapishwa kuwa kaimu jaji mkuu Ijumaa.

Wakati huohuo Kikundi cha Jumuiya ya Kiraia cha Nigeria, ambacho kinawakilisha zaidi ya vikundi 70 ambavyo vinashirikiana kusaidia uchaguzi ulio wa haki, na uwazi umetoa tamko ukimsihi Buhari “kubadilisha maamuzi yake ambayo ni kinyume cha katiba na kinyume cha sheria na kuacha kabisa kuingilia kati uhuru wa mahakama…”

Credit:VOA

Takukuru Pwani Yabaini Mtandao Unaosaidia Utoroshaji Wa Mazao Ya Misitu Kwa Njia Ya Rushwa

$
0
0
Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU )mkoani Pwani, imebaini kuwepo kwa mtandao mkubwa unaosaidia kufanikisha utoroshwaji wa mazao ya misitu kwa njia ya rushwa .
 
Naibu mkuu wa taasisi hiyo mkoani hapo, Sadik Nombo aliongelea suala hilo baada ya kituo maalumu cha Ikwiriri ,kupata taarifa ya kuwepo magogo ya mbao ya mti aina ya mninga yapatayo 20 yamefichwa kwenye nyumba moja katika Kitongoji cha Mtakuja ,kijiji cha Umwe Kaskazini yenye thamani ya sh. milioni 4.370.448 .
 
Alisema magogo hayo ,yamevunwa kinyume na taratibu na sheria ya misitu namba 14 ya mwaka 2002.
 
“:Kufuatia taarifa hiyo ,alisema kwamba, ofisi ya TAKUKURU imefanya uchunguzi wa haraka uliofanikisha  kukamatwa kwa mfanyabiashara mmoja aliyekutwa na magogo hayo.
 
Nombo alifafanua, kitendo hicho kunaisababishia serikali hasara hasa katika mapato yatokanayo na uvunaji na usafirishaji wa mazao ya misitu. 
 
“Uchunguzi wa kubaini wahusika katika mtandao huo unaendelea ili wahusika wote waweze kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria”
 
Alitoa wito wa kushirikiana  bega kwa bega katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kuendelea kutoa taarifa za vitendo vya rushwa kwani rasilimali za nchi zinalindwa.
 
Hata hivyo Nombo aliwaomba pia ,watumishi wa umma  kuwa wazalendo na kuwa mstari wa mbele kulinda rasilimali za nchi na si kuwa wawezeshaji wa kusaidia utaifishaji wa mali ya umma.

Video: AY Ft. Victoria Kimani & Dj Mekzy - LOVING YOU

$
0
0
Video: AY Ft. Victoria Kimani & Dj Mekzy - LOVING YOU

Picha: Muonekano wa jengo la TAMISEMI litakavyokuwa

$
0
0
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) imekuja na maajabu mpya kwa kujenga Jengo la Kisasa litakalokuwa na mvuto wa kipekee katika mji mpya wa Serikali Jijini Dodoma.

Ujenzi huo unatekelezwa kwa kutumia utaratibu wa manunuzi ya moja kwa moja ‘Force Account’ na utagharimu Sh.Bilioni moja ambazo zimetolewa na Rais Dk.John Magufuli kwa kila Wizara.

Jengo hilo litachukua watumishi zaidi ya tisini pamoja na kumbi mbili za mikutano ikilinganishwa na majengo mengine yatakayochukua watumishi chini ya arobaini.

Kupitia utaratibu huo kuna kamati nne za ushindi zimeundwa ili kufanikisha ujenzi ambazo ni Kamati ya Manunuzi,  Kamati ya Vifaa, Kamati ya Ujenzi,  na Kamati ya Usimamizi na ufuatiliaji.

Katika kufanikisha ujenzi huo, TAMISEMI inatumia kitengo cha Ujenzi cha Chuo Kikuu Mbeya kama fundi wa ujenzi huo chini ya Wakala wa Majengo(TBA) kama mshauri.

 Aidha, kamati ya ujenzi ya TAMISEMI iliyo sheheni wahandisi wake kutoka makao makuu wanasimamia kila kipande cha ujenzi huo ili  kuendana sambamba na ushauri wote unaotolewa na TBA kwa lengo la kupata jengo bora zaidi.

Katika kufanikisha mapinduzi hayo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI Selemani Jafo alitoa maelekezo mahususi kwa  Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) ambayo ni Taasisi iliyo chini ya usimamizi wa Ofisi ya TAMISEMI kuhakikisha unajenga jengo la aina hiyo pia kwa kutumia fedha za ujenzi walizonazo kwasasa.

Amesema hataki kuona Taasisi hiyo inatumia fedha nyingi kwa ajili ya kupanga jengo na kwamba ifikapo Julai mwaka huu, agizo ambalo TARURA wameanza utekelezaji wake.

Kasi ya ujenzi wa jengo hilo inawapa changamoto Wakuu wa Mikoa,  Wilaya,  na Wakurugenzi wa Halmashauri hapa ambao wamepewa fedha za ujenzi wa ofisi lakini bado wanasuasua. Hili ni jambo la kutafakarisha kwa viongozi wote wa Mikoa, Wilaya, na Halmashauri zote nchini.

Usikate Tamaa....Okoa Ndoa yako kwa Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

GALIMBO 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Dokta Mkwambas. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki.

 Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. 

Dokta Mkwambas ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Dokta Mkwambas  Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa aliepotea, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizopotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi,   kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..)na mengine mengi (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa

nambari ya simu
+255 717 163 789
+255 716 261 577

Whatsapp :  0752 388 329

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Wimbo Mpya: Foby - Pumzi

Wachimbaji Wadogo kutunukiwa Vyeti vya Uhifadhi wa Mazingira

$
0
0
Waziri wa Madini, Doto Biteko amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Samuel Gwamaka Mafwenga, ofisini kwake jijini Dodoma.

Biteko ameshukuru Dkt. Mafwenga kwa kuonesha nia ya kuwasaidia wachimbaji wadogo kupata cheti cha mazingira baada ya kubainisha njia bora za kuwawezesha wachimbaji wadogo kupata uelewa juu ya uhifadhi wa mazingira.

Akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika Januari 28, 2019, Dkt. Mafwenga alisema kutokana na mwamko mkubwa iliyonayo Serikali wa kuwasaidia wachimbaji wadogo kukua na kufanikiwa katika sekta ya uchimbaji mdogo wa madini, Nemc itajikita katika kuhakikisha inashirikiana na wizara katika kuhamasisha na kuelimisha wachimbaji wadogo juu ya umuhimu wa uhifadhi wa mazingira.

Aidha, amebainisha kuwa, kutokana na vigezo vya awali ambavyo viliwafanya wachimbaji wadogo kutokupewa cheti cha mazingira zitaboreshwa na kuwawezesha kupata cheti hicho.

Alisema, wachimbaji wadogo watapaswa kusajili miradi yao katika Ofisi za Kanda za Baraza la Hifadi la Mazingira  ambao watakagua miradi hiyo na baada ya kujiridhisha watawapatia vyeti hivyo.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>