Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Asasi zataka muswada vyama vya siasa urekebishwe

$
0
0
Asasi za Kiraia zimesema licha ya muswada wa Sheria wa vyama vya siasa kuwa na baadhi ya vipengele vizuri, kuna haja ya vile vyenye upungufu kufanyiwa marekebisho kabla ya Bunge kuupitisha.

Viongozi wa asasi za kiraia walisema juzi Dar es Salaam kuna haja ya wabunge kuupa muswada muda wa kutosha kuuchambua kwa kina kabla ya kuupitisha kwani waathirika ni wao, wanasiasa na jamii.

 Fulgen Masawe kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) alisema baadhi ya maeneo mazuri kwenye muswada huo uliosomwa bungeni kwa mara ya kwanza Novemba 16 mwaka jana una kipengele cha kukataza vyama vya siasa kuanzisha vikundi vya ulinzi, kutoa mafunzo ya aina yoyote ya kijeshi, kiulinzi au yanayofanana na hayo kuepusha vitendo vya uvunjifu wa amani kwa siku za baadaye.

Pia wamesifu uwazi katika matumizi ya fedha, mapato na matumizi na uwazi katika maamuzi ya vyama vya siasa kwa kuzingatia maamuzi yanatolewa na viongozi wa ngazi ya juu bila kushirikisha wanachama. 

Akiorodhesha upungufu kwenye muswada huo, Masawe alisema kifungu cha 5A kinataka Msajili kupewa taarifa kimaandishi na taasisi yoyote ya ndani ama ya nje ya Tanzania itakapotaka kutoa mafunzo ya kiraia ya kujenga uwezo kwa chama cha siasa na kutaja wahusika, malengo na nyenzo zitakazotumika.

Msajili anayo nguvu ya kutoa kibali ama kukataa kufanyika kwa mafunzo hayo na endapo yatafanyika bila kibali, taasisi hiyo inaweza kupigwa faini ya mpaka Sh milioni 30 na watu watakaokutwa na hatia ya kwenda kinyume na kifungu hicho wanaweza kufungwa kati ya miezi sita mpaka mwaka mmoja gerezani. 

Kifungu cha 5B cha muswada kinampa nguvu, Msajili wa Vyama vya siasa nchini Tanzania kuomba na kupewa taarifa ya chama chochote cha siasa. 

“Ofisa wa chama cha siasa ambaye ataenda kinyume, yaani kutokutoa taarifa husika atakuwa ametenda kosa na akikutwa na hatia atapigwa faini ya Sh 1,000,000 mpaka Sh milioni 10 au kifungo kisichopungua miezi sita na kisichozidi miezi 12,”alisema Masawe.

Alisema hata baada ya adhabu hiyo, ofisa huyo au chama hicho kitatakiwa kutoa taarifa zilizohitajika na iwapo taarifa itaendelea kuminywa, basi chama hicho kinaweza kusimamishwa ama kufutiwa usajili. 

Akinyumbulisha zaidi vipengele hivyo, Mkurugenzi wa Twaweza, Aidan Ayakuze alisema Msajili ni mteule wa Rais ambaye analipwa mshahara na serikali hivyo ni vigumu kutofungamana na upande mmoja. 

“Nchi ilikuwa na maslahi kipindi cha chama kimoja lakini tangu vyama vingi, wabunge wanaangalia maslahi yao na vyama vyao kuliko umma, wanaangalia hoja imetolewa na upande gani wanapinga.

“Kifungu cha 6 cha muswada kinamlinda Msajili na wanyakazi wa ofisi yake dhidi ya kufunguliwa mashtaka: “Shauri halitafunguliwa dhidi ya Msajili, Naibu Msajili, Mkurugenzi au maafisa wengine chini ya Msajili kwa lolote watakalolifanya au kutolifanya kwa nia njema chini ya sheria hii,” alisema.

 Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), Fatma Karume alisema “Wabunge wa CCM wanadhani wanalindwa na muswada huu, wanasahau sheria ni msumeno, wanaenda kwenye uchaguzi, wanapaswa kujua kuna kura za maoni ni rahisi kukatwa watu wasiopendwa bila demokrasia hivyo wawe makini,” 

Wakati asasi hizo za kiraia zikiendelea kukazia msimamo wake wa kutaka kufanya marekebisho kwenye muswada huo, tayari CCM kupitia kwa Katibu Mwenezi, Humphrey Polepole wameuunga mkono.

Trump Asalimu Amri....Serikali ya Marekani Yafunguliwa

$
0
0
Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kufunguliwa kwa idara za serikali kuu ambazo zilifungwa kwa zaidi ya mwezi mmoja, baada ya kufikia makubaliano na kamati ya pamoja ya bunge.

Makubaliano yaliyofikiwa Ijumaa yataruhusu idara za serikali kuu kufunguliwa kwa kipindi cha wiki tatu mpaka Februari 15 wakati ambapo majadiliano yataendelea kufanyika kuhusu suala kuu la ulinzi wa mpaka.

Vyanzo vya habari katika Bunge la Marekani - Congress vinasema kuwa .Makubaliano yaliyofikiwa hayajumuishi fedha za ujenzi wa ukuta kwenye mpaka wa Marekani na Mexico.

Rais Donald Trump amesaini makubaliano ya kufungua tena serikali ya Marekani kwa kipindi cha wiki tatu; baada ya kuvunja rikodi ya kufungwa idara hizo za serikali kuu kwa muda mrefu kuliko wakati wowote.

Rais Trump amesema kuwa mkataba huo uliofikiwa utaiwezesha serikali kuendesha shughuli zake hadi Februari 15.

Amesema kuwa wafanyakazi wa serikali kuu watalipwa mshahara wao wote "kwa haraka iwezekanavyo."

Akizungumza akiwa White House, Rais Trump amesema makubaliano yamebainisha kuwa wanaweza kuelewana kwa ajili ya maslahi ya taifa la Marekani na watu wake.

Amesisitiza umuhimu wa ulinzi wa mpaka ili kuzuia uhamiaji haramu pamoja na uingiaji wa madawa ndani ya ardhi ya Marekani.

Trump amesema wajibu na kipaumbele chake cha juu ni kuilinda nchi na kulinda wamarekani wasiingiliwe na watu ambao ni wabaya na kuongezea kuwa Marekani inapenda kukaribisha wageni kutoka kile pembe ya dunia, lakini waingie kwa utaratibu unaotakiwa.

Mamia ya Watu Wahofiwa Kufa Baada ya Bwawa Kuvunja Kingo Zake Brazili

$
0
0
Takribani watu 200 hawajulikani waliko baada ya bwawa la maji kuvunja kingo zake katika mgodi wa kampuni ya chuma Kusini Mashariki mwa nchi ya Brazil.
 
Katika tukio hilo inadaiwa takribani watu tisa wamefariki dunia huku uongozi ukisema huenda idadi ya waliofariki ikaongezeka kwa kuwa karibu watu 200 bado hawajulikani walipo.
 
Maporomoko hayo yamewazika watu wengine waliokuwa katika kantini wakila chakula kwa kuwa ulikuwa muda ya mchana.
 
Inaelezwa kuwa mgodi huo unamilikiwa na kampuni ya uchimbaji madini ya Vale inayomilikiwa na Serikali ya Brazil.
 
Miaka mitatu iliyopita watu 19 walifariki kutokana na maporomoko mengine yaliyotokea kwenye mgodi unaomilikiwa na kampuni hiyo. Hadi leo eneo hilo bado linakabiliana na changamoto za kimazingira zilizotokana na maporomoko hayo.
 
Taarifa zilizoripotiwa na vyombo vya habari nchini Brazil vimesema kuwa maji yaliyochanganyika na matope yaliwafunika mamia ya wafanyakazi wa shirika hilo na watu wengine.
 
Shughuli ya kuwatafuta manusura inaendelea karibu na mji wa Brumadinho, katika Jimbo la Minas Gerais.
 
Gavana wa jimbo hilo, Romeu Zema, amesema kuna hofu huenda watu wengi wamefariki katika tukio hilo.
 
Baadhi ya watu waliokwama kwenye matope, waliokolewa kwa kutumia helikopta baada ya barabara kuharibiwa.
 
Watu wengine wamehamishwa kutoka makazi yao kutokana na sababu za kiusalama.
 
Kwa mujibu wa Ofisa mkuu mtendaji wa Kampuni ya Vale, Fabio Schvartsman, theluthi moja ya wafanyakazi karibu 300 hawajulikani waliko.

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Ugonjwa wa Zinaa wa Kisonono (gonorrhea) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga

$
0
0
Kati ya magonjwa yanayoathiri watu wengi sana duniani ni magonjwa ya zinaa. Haya ni magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia vitendo vya ngono. 

Vitendo hivi vya ngono vinaweza kuwa kujamiana, kupiga denda (kissing), vitendo vya ngono kwa kutumia mdomo (oral genital sex), kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) iwe kwa mwanamume na mwanamke au kati ya wanaume wenyewe na hata wale wanaotumia vifaa vya kufanyia ngono (vibrators). 

Magonjwa ya zinaa huathiri sana watu walio katika umri wa miaka 15 – 24 lakini hata kwa watu wengine ambao wana umri chini au zaidi ya huu niliotaja pia yanaonekana kwa wingi.

Kuna magonjwa ya zinaa zaidi ya ishirini yanayotambulika duniani, baadhi ya magonjwa ya zinaa ni
  1.  Kisonono (Gonorrhoea – “Gono” kama wengi wanavyopenda kuita kwa kifupi).
  2.     Chlamydia
  3.     Kaswende (Syphillis)
  4.     Human papilloma virus (HPV)
  5.     HIV/AIDS (Ukimwi/Upungufu wa kinga mwilini)
  6.     Hepatitis B, C, A
  7.     Herpes virus
  8.     Trichomoniasis
  9.     Bacteria Vaginosis
  10.     Pubic lice (chawa kwenye nywele za kinena)
  11.     Chancroid
Magonjwa mengi ya zinaa yanatibika lakini kuna baadhi ambayo hayana tiba ya uhakika kama HPV, Hepatitis B na C, na HIV. Mengine yameanza kuwa sugu kutokana na matumizi ya dawa za antibiotics bila mpangilio, magonjwa hayo ni kama gono (gonorrhoea) na nk.
 
Visababishi vya magonjwa ya zinaa
  1. Vitendo vya ngono kama nilivyoeleza hapo awali
  2. Kuanza vitendo vya ngono mapema au wakati wa umri mdogo
  3. Kuwa na wapenzi wengi
  4. Kufanya mapenzi ambao sio salama
  5. Maambukizi kupitia michibuko au sehemu zilizokatika kwenye ngozi kwa kugusana na majimaji ya aina yoyote yanayotoka kwa mtu mwenye ugonjwa wa zinaa kama damu, shahawa nk. Hii inaweza kutokea bila mtu kujua kwani mara nyingi dalili za magonjwa ya zinaa zinakuwa hazionekani kwa wanawake na hata baadhi ya wanaume.
Watu wengi huhisi kitendo cha kula denda (kissing) ni salama lakini si kama wanavyofikiria kwani baadhi ya magonjwa kama kaswende, herpes nk, yanaweza kuambukizwa kupitia njia hii. 

Soma pia:Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa 

Kondomu husaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama gono, Chlamydia lakini sio kinga muafaka dhidhi ya magonjwa ya zinaa kama kaswende, genital herpes, genital warts, na magonjwa ya upungufu wa kinga mwilini (AIDS).

Kisonono (gonorrhea) ni nini?
Kisonono ni ugonjwa kati ya magonjwa ya zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae, bakteria ambao hukuwa na kuzaliana kwa haraka katika sehemu zenye unyevunyevu na joto mwilini kama kwenye shingo ya kizazi kwa wanawake (cervix), mirija ya kupitisha mkojo au shahawa (urethra), mdomoni na kwenye puru. Maambukizi mengi kwa wanawake hutokea kwenye shingo ya kizazi (cervix). 

Asilimia 75 ya ugonjwa wa gono hutokea kwa watu wenye umri wa miaka 15 – 29, wanawake walio katika umri wa miaka 15 -19 na wanaume walio katika umri wa miaka 20 – 24 wako kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huu.
 
Ugonjwa huu huambukizwa vipi?
Ugonjwa huu huambukizwa kupitia vitendo vya ngono kupitia uke, njia ya haja kubwa (anus), kupitia mdomoni (oral sex). Ugonjwa unaweza kujitokeza kwenye sehemu za kujamiana, kwenye mdomo na kwenye puru (rectum). 

Soma Pia: Ugonjwa wa Zinaa wa Kaswende (Syphilis) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga 

Ugonjwa wa gono huonekana sana kwa vijana, watu wenye maisha duni kiuchumi, watu wanaoishi mijini, watu weusi na watumiaji madawa ya kulevya.
 
Dalili za ugonjwa wa kisonono
Dalili za ugonjwa wa kisonono huanza kujitokeza kuanzia siku ya 2 hadi ya 7 baada ya mtu kupata maambukizi na huweza kuchelewa kwa wanawake. Dalili ni kama zifuatazo

Kwa wanaume
  1. Kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa (burning sensation)
  2. Kutokwa na majimaji ya njano au meupe au ya kijani kutoka kwenye uume yanayoambatana na maumivu makali sana
  3. Wakati mwengine maumivu au kuvimba kwa korodani (swollen testicles)
  4. Maambukizi yakiwa kwenye puru (rectum) huambatana na maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa, kuwashwa sehemu za haja kubwa, na hata haja kubwa inaweza kutoka ikiambatana na damu, hii inatokea kwa wanaume na wanawake.
Kwa wanawake
Dalili kwa wanawake huwa si nyingi lakini wanawake wengi hawaonyeshi dalili zozote
  1. Maumivu au kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa
  2. Kuongezeka kwa kutoka majimaji kutoka kwenye tupu ya mwanamke ambayo ni ya njano au yamechanganyika na damu
  3. Kutokwa na damu kupitia tupu ya mwanamke kabla ya hedhi kufika.
  4. Kutokwa na damu baada ya kujamiana au baada ya tendo la ndoa
  5. Kichefuchefu
  6. Homa (fever)
  7. Kutapika
Vipimo vya ugonjwa wa kisonono
  1. Swab for culture – Kipimo hiki hufanyika maabara kwa kupandikiza bakteria baada ya kufuta sehemu za siri kwa kutumia swab ili kuona kama kuna bakteria wanaosababisha gono.
  2. Polymerase Chain Reaction (PCR)– Kipimo cha kuangalia vina saba (DNA) ya bakteria, ni ghali sana.
Tiba ya ugonjwa wa kisonono ni nini?
Tiba ya gono inahusisha na tiba ya ugonjwa wa Chlamydia kwani mara nyingi magonjwa haya huambatana kwa pamoja.Tiba hutegemea na umri wa mgonjwa na kama mtu ni mjamzito au la. 

Tiba ya gono ambayo sio sugu iliyo kwenye shingo ya kizazi (cervix), urethra na puru, dawa zinazotumika ni aina za cephalosporin dozi moja pamoja na dawa za aina ya macrolide antibiotics (mfano azithromycin) na za jamii ya penicillin (mfano doxycyclin) ili kutibu ugonjwa wa chlamydia. Mara nyingi kwa wale chini ya miaka 18 na wanawake wajawazito, hutibiwa kwa kuchomwa sindano.

Soma Pia: Saratani ya tezi dume : Madhara Yake, Dalili Zake, Chanzo na Tiba Yake

Fuata ushauri wa daktari kabla ya kutumia dawa hizi kwani dawa nyingi zina madhara kwa wajawazito (mfano doxycyclin). Ushauri nasaha hutolewa kwa wapenzi wote wawili na ni vizuri wapenzi wote wawili kutibiwa hata kama mmoja hana dalili za ugonjwa huu.
 
Madhara ya ugonjwa wa kisonono
  1. Kutoweza kuzaa kwa mwanamke (tasa) au kutoweza kutungisha mimba kwa mwanamume (infertility)
  2. Huweza kuathiri moyo (heart valves), ubongo,ngozi nk ambayo ni hatari sana kwa mtu yoyote.
  3. Madhara kwenye sehemu za maungio au jointi (joint inflammation)
  4. Kwa wanawake wale ambao hawajatibiwa wanaweza kupata ugonjwa wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) ambao huongeza asilimia ya mwanamke kuwa tasa.
  5. Wale wanawake ambao ni wajawazito na wameambukizwa gono wako kwenye hatari ya mimba kutoka au kuzaa mapema kabla mimba haijatimiza umri wake (preterm labor).
  6. Kwa wale wanaoambukizwa gono kipindi cha kukaribia kujifungua, wanaweza kuwaambukiza watoto wao na hivyo watoto kupata ugonjwa wa uti wa mgongo (meningitis), kuwa kipofu (blindness), homa ya mapafu (pneumonia) na ugonjwa wa mifupa (septic arthritis).
Kinga ya kisonono
  1. Kutumia kondomu wakati wa kujamiana
  2. Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
  3. Kuacha vitendo vya ngono kama matumizi ya vifaa vya ngono hasa kwa wanawake mfano vibrators nk.
  4. Kwa wanawake wajawazito – Hakikisha unahudhuria kliniki mapema ili upate kuchunguzwa na kupatiwa tiba muafaka kama utagundulika na ugonjwa wa gono au ugonjwa mwengine wowote.
  5. Wanawake wajawazito wanashauriwa kujifungulia hospitali ili kama mtoto ameathirika na gono apate matibabu ya haraka baada ya kuzaliwa kuepusha kuwa kipofu.
  6. Epuka kufanya ngono na mtu aliyeambukizwa gono.

Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu za Siri

$
0
0
Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao.

Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida albicans. 

Maambukizi haya pia hujulikana kama yeast infection au thrush. Fangasi hupatikana kama vimelea vya kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha chakula sehemu inayojulikana kama pharynx, katika kibofu cha mkojo, uume na hata kwenye uke.

Mfumo mzuri wa kinga wa mwili pamoja aina fulani za bakteria wanaoishi pamoja na fangasi hawa husaidia sana katika kuthibiti maambukizi yanayoyosababishwa na aina hi ya fangasi. 
 
Nini hutokea?
Kwa kawaida, Candida albicans huishi kwenye uke na sehemu nyingine (kama zilivyoelezewa hapo juu) bila kusababisha madhara yoyote yale isipokuwa pale mazingira ya eneo husika yanapobadilika kama vile mabadiliko katika hali ya pH ya  eneo husika (ifahamike ya kwamba pH ya kawaida ndani ya  uke ni 4.0 - 4.5) au uwiano wake na vimelea  (microorganisms) wengine unapoharibiwa kutokana na sababu mbalimbali kama vile matumizi ya madawa aina ya antibiotics, kupungua kwa kinga mwilini kutokana na magonjwa mbalimbali n.k.

Maambukizi haya ya fangasi yanaweza kugawanywa katika sehemu kuu mbili
  1. Maambukizi yasiyo makali yaani uncomplicated thrush: Katika kundi hili, mgonjwa hupatwa na maambukizi  mara moja hadi nne kwa mwaka na dalili zake huwa si mbaya sana na maambukizi haya husababishwa na fangasi wa jamii hii ya Candida albicans.
  2. Maambukizi makali yaani complicated thrush: Katika kundi hili, mgonjwa hupatwa na maambukizi zaidi ya mara nne kwa mwaka, dalili zake kuwa mbaya zaidi au kama maambukizi  yatakuwa yametokea kipindi cha ujauzito, ugonjwa wa kisukari, upungufu wa kinga mwilini. Aina hii kusababishwa na vimelea vya aina nyingine tofauti na Candida albicans.
Vihatarishi
Watu walio katika hatari ya kupata maambukizi ya fangasi hawa ni  wale wenye

• Kutumia sana dawa aina ya detergents kwenye sehemu za siri au douches (vifaa vinavyotumiwa kusafishia uke kwa kutumia maji yaliyochanganywa na siki au antiseptic yoyote ile) kwa sababu hali husababisha kuharibika kwa uwiano wa fangasi na aina nyingine ya vinyemelezi kama bakteria aina ya lactobacilli

• Kutumia sana madawa aina ya antibiotics, steroids ambayo yana tabia ya kushusha kinga ya mwili

• Mabadiliko ya mfumo wa homoni mwilini ambayo husababisha mabadiliko katika s ehemu za siri na hivyo kufanya kuwepo kwa ukuaji wa kasi wa fangasi hawa

• Ujauzito (kutokana na kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa kinga ya mwili). Hata hivyo ieleweke hapa kuwa si kila mjamzito hupatwa na maambukizi haya.

• Matumizi ya dawa za kupanga uzazi (vidonge vya majira)

• Upungufu wa kinga mwilini kutokana na magonjwa sugu kama kisukari, saratani aina yoyote ile, ugonjwa aina ya mononucleosis na nk.

• Ugonjwa wa ukimwi (HIV/AIDS)

• Matibabu ya homoni (hormonal replacement therapy) kutokana na sababu mbalimbali

• Matibabu ya kusaidia kushika mimba kwa wale wenye matatizo ya uzazi (infertility treatment)

• Msongo wa mawazo (stress)

• Utapia mlo (malnutrition)

• Kuvaa nguo au mavazi yanayoleta joto sana sehemu za siri kwa muda mrefu kama nguo za kuogelea (swimwear), nguo za ndani (chupi)  zilizotengenezwa kwa kitambaa aina ya nylon, nguo za ndani zinazobana sana nk.

• Kujamiana kwa njia ya kawaida mara tu baada ya kujamiana  kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) au matumizi ya vilainishi venye glycerin wakati wa kujamiana pia yamehusishwa na maambukizi haya.

• Kuvimba kwa tezi la koo (goiter)

• Saratani ya tezi la koo (thyroid cancer)

• Wanawake wenye umri wa miaka kati ya ishirini na thelathini wapo kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi haya wakati wale ambao wameshaacha kupata hedhi au wale ambao hawajaanza kupata hedhi kabisa hawako kwenye hatari kubwa.

Kwa wanaume vihatarishi  vya maambukizi haya ni

• Kujamiana na mwanamke mwenye tatizo hili au maambukizi haya

• Upungufu wa kinga mwilini

• Matumizi ya madawa aina ya antibiotics kwa muda mrefu bila ushauri wa daktari

• Magonjwa sugu kama kisukari, saratani ya aina yoyote ile na nk.

Dalili na viashiria kwa wanawake
• Kuwashwa  sehemu za siri  (kwenye tupu ya mwanamke)

• Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri (burning sensation)

• Kufanya kama vidonda katika sehemu za siri (soreness)

• Maumivu wakati wa kujamiana (superficial dyspareunia)

• Maumivu  au usumbufu wakati wa kujisaidia haja ndogo (wakati mtu anakojoa)

• Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwa  mdomo wa nje wa tupu ya mwanamke (labia minora)

• Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au nyeupe kijivu, unaoweza kuwa mwepesi, majimaji au mzito na ambao umefanana na jibini (cottage cheese like discharge) wenye muonekano unaojulikana pia kama curd-like appearance. Kwa kawaida, uchafu huu haumbatani na harufu yoyote isipokuwa panapokuwa na tatizo la ziada kama ugonjwa wa zinaa aina ya Bacteria vaginosis. Uchafu huu unaotoka hapa unaweza kuenea kwenye maeneo mengine yaliyokaribu na tupu ya mwanamke kama kwenye mitoki (groin area) au perineum na kusababisha kuharibika kwa ngozi katika sehemu hizo.

Dalili na viashiria hivi huwa mbaya zaidi wakati  mwanamke anapokaribia  kupata hedhi.

Dalili na viashiria kwa wanaume ni
• Kuwashwa sehemu za siri 
• Kuvimba na kuwa rangi nyekundu kwenye ncha ya uume
• Kuwepo kwa uchafu wa rangi nyeupe (kama nilivyoeleza hapo juu) kwenye sehemu ya juu ya uume.
• Kuwa na vidonda vidogo kwenye uume (sore on the glans)

Hata hivyo, mara nyingi wanaume hawaoneshi dalili zozote zile, ni vizuri kwa mwanamke kumueleza mwenza wake pale anapopata maambukizi haya ili naye pia apate kutibiwa. 
 

Matibabu
Matibabu ya fangasi huusisha dawa za kutibu fangasi (antifungal drugs) kama vile dawa za kupaka za topical Clotrimazole, topical Nystatin, Fluconazole au topical Ketoconazole. 

Wagonjwa wenye maambukizi yasiyo makali yaani uncomplicated vaginal candidiasis wanaweza kutumia dawa za kupaka (cream) kutoka dawa za fangasi za jamii ya -azole kama vile Butoconozale, Miconazole, Clotricomazole nk. 

Dawa hizi hutumika kwa muda wa siku 3-7 kulingana na aina ya dawa. Mgonjwa anashauriwa kupaka dawa ndani ya uke pamoja na maeneo yote yanayozunguka sehemu hiyo. Jinsi ya kupaka dawa hizi ni kuanzia mbele kuelekea nyuma.

Aidha mgonjwa anaweza kupewa dawa za kutumbukiza ukeni ambayo atatumia kwa muda wa siku 3-14 kulingana na aina ya dawa. Dawa hizo ni pamoja na Miconazole, Tiaconazole, Terconazole, Nystatin nk.

Kidonge cha kumeza aina ya fluconzole pia huweza kutolewa. Dawa hizi nilizotaja hapa juu zina kawaida ya kuharibu ubora wa mipira ya kondomu zilizotengenezwa na mpira aina ya latex (latex condoms) pamoja na vifaa vya upangaji uzazi aina ya diaphragms.

Ni vizuri kwa daktari kabla ya kumpa mgonjwa dawa hizi kumfahamisha kwa ufasaha jinsi ya kuzitumia na tahadhari anayotakiwa mgonjwa kuchukua. Inashauriwa kama baada ya matumizi haya bado mgonjwa ana dalili za maambukizi au mgonjwa akapata tena maambukizi haya ndani ya miezi miwili baada ya matibabu ya awali, basi anashauriwa kwenda kumuona daktari ili apate matibabu zaidi.
 
Kinga ya maambukizi ya fangasi
• Kuosha sehemu ya siri kwa kutumia kitambaa kisafi kila siku na kuosha kuanzia mbele kuelekea nyuma, epuka kurudia ukishafika nyuma.

• Epuka matumizi ya sabuni zenye manukato, bubble baths, vaginal deodorant products, feminine hygiene, na bath powder.

• Vaa chupi ambazo hazibani sana na zilizotengenezwa kwa kutumia pamba au hariri (silk), epuka synthetic underwear.

• Epuka mavazi yoyote ya kubana kama jeans za kubana nk.

• Badilisha nguo za ndani (chupi) kila zinapopata unyevunyevu.

• Fua chupi zako kwa maji yenye nyuzi joto 90 na kuendelea.

• Tumia pad wakati tu unapozihitaji (kama umeingia kwenye mzunguko wako wa hedhi)

• Kula mlo wenye virutubisho vyote kamili (balanced diet)

• Epuka kufanya mapenzi  na mpenzi wako ambaye amepata maambukizi ya fangasi.

• Epuka kuoga  maji moto sana (hot baths) tumia maji ya uvuguvugu, hii kwa wale ambao wanaishi kwenye ukanda wa joto (tropical climate).

• Matumizi ya vifaa vya ngono (sex toys), vifaa vya upangaji uzazi (diaphragms, cervical caps) yanaweza kuleta kujirudia kwa maambukizi ya fangasi kama havitaoshwa  na kukaushwa vizuri baada ya kutumiwa.

• Baadhi ya tafiti zilizofanyika, zimethibitisha ya kwamba unywaji wa maziwa ya mtindi yenye live culture, husaidia kupunguza maambukizi ya fangasi.

Naibu Waziri Kanyasu Awahamasisha Wabunge Kutembelea Vivutio Vya Utalii

$
0
0
Na Lusungu Helela-Iringa
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu amewataka Wabunge wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa chachu ya kuhamasisha utalii wa ndani kwa wananchi wanawaongoza  kwa kutenga muda wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini.
 
Imeelezwa kuwa hamasa ya wananchi ya kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini imekuwa na mwitikio mdogo ukilinganisha na idadi ya watalii wa kutoka nje.
 
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu akiwa na  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakati Kamati hiyo ilipofanya ziara ya siku mbili ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa mradi wa kukuza na kuendeleza utalii Kusini katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha mkoani Iringa.
 
Amesema endapo kila Mbunge kwa nafasi yake ataweza kuhamasisha wananchi kutembelea vivutio vya utalii mapato yataweza kuongeza maradufu kupitia Utalii wa ndani tofauti na ilivyo sasa.
 
“Tengeni muda wa kupumzika baada ya pilikapilika ya kuwahudumia wapiga kura wenu, unakuja huku Ruaha unapumzisha akili huku ukijipanga  mwaka 2020 kwa ajili ya uchaguzi Mkuu” alisema.
 
” Tusisubiri tuje kikazi kama tulivyokuja hivi, Panga njoo na familia yako ufurahie maisha mara moja moja sio mbaya” Alisisitiza Kanyasu.
 
Pia, Kanyasu aliwaomba Wabunge hao  kila wanapopata nafasi ya kukutana na wananchi majimboni mwao wawahamasishe kutembelea vivutio vya utalii ili kumuunga mkono Rais John Magufuli kwa jitihada anazofanya za kutaka kuongeza mapato yatokanayo na sekta ya utalii.
 
Amesema ufufuaji wa kampuni la usafiri wa ndege nchini (ATCL) kwa kununua ndege saba achilia mbali mradi wa reli ya Standard Garge ni juhudi wazi za  Rais John Magufuli kuona sekta ya utalii inagusa maisha ya kila wananchi kimapato.
 
Katika hatua nyingine, Kanyasu aliwaomba Wabunge hao wawahamasishe wananchi kuchangamkia fursa za utalii kwa kujenga Hoteli au kwa kuanzishavituo vya  utalii wa kiutamaduni ambao umekuwa ukipendwa sana na watalii wengi wa kutoka nje.
 
Aidha, Mhe.Kanyasu aliwaeleza Wabunge hao kuwa baada ya kufungua utalii Kusini, Serikali inakusudia kufungua utalii katika kanda nyingine ikiwemo ya kanda ya  ziwa na kanda ya Kaskazini Magharibi, Hivyo wawaandae wananchi wao kuchangamkia fursa za utalii badala ya kubaki walalamikaji.
 
Kwa upande wake, Mbunge wa Mtama ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Nape Nnauye alisema kufunguliwa mapema kwa utalii Kusini kutatoa picha halisi kwa wananchi katika kunufaika kiuchumi kupitia sekta hiyo katika kanda nyingine
 
Pia, Mhe, Nape aliishauri Serikali kulifanyia kazi suala la  tozo ya kuingia ndani ya hifadhi (single entry) kutokana na  malalamiko ya muda mrefu wanayoyatoa wananchi kwanaoishi Katibu na Hifadhi kuwa imekuwa ikiwabana watalii kutoka nje ya Hifadhi kuwatembelea wananchi hao.

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Lipumba atangaza maombi Leo Jumapili

$
0
0
Mwenyekiti wa chama Chama cha Wananchi (CUF), anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba, Leo Jumapili Januari 27, 2019 ametangaza kuwa watafanya maombi baada ya miaka 17 kupita tangu vurugu za mwaka 2001.

Aliyasema hayo jijini Dar es salaam jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo alisema kuwa imepita miaka 17 tangu zitokee vurugu hizo hivyo chama hicho kimeona kina sababu ya kuwaombea waliopoteza maisha wakati wakidai demokrasia.

“Maombi hayo ni kwa ajili ya kuwakumbuka watu waliopoteza maisha katika vurugu zilizojitokeza mwaka 2001 ikiwa ni baada ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2000,”alisema Profesa Lipumba

Alisema kuwa maombi hayo yatafanyika katika viwanja vya Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni ambapo maombi hayo yataenda sambamba na ofisi zote za chama kupeperusha bendera nusu mlingoti.

Chama Cha Wananchi (CUF) kimekuwa na migogoro isiyokuwa na mwisho baada ya Mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa nchini, Prof. Ibrahim Lipumba kutofautiana na Katibu Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad

Anayetuhumiwa kumuua mke wake akutwa uvunguni mwa kitanda

$
0
0
Mkazi wa Busale, Zawadi Daudi (41) anayetuhumiwa kumuua mke wake, Hawa Kamwela (32), amekamatwa akiwa chini ya uvungu wa kitanda cha wazazi wake na jeshi la polisi kwa kushirikiana na raia wema.
 
Daudi anadaiwa kumuua mkewe baada ya kutakiwa afanye maandalizi ya kumpeleka shuleni mtoto wao, Siri Zawadi, aliyechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza.

Baada ya kudaiwa kutenda mauaji hayo mapema wiki hii kwa kutumia panga, Daudi alikimbilia kusikojulikana na baada ya mwili wa marehemu kupelekwa mochwari, ndugu wa mwanaume na wa mwanamke walianza kugombania maiti na hatimaye upande wa mkewe kupewa haki ya kuuzika.

Sanke Mwakajila, mkazi wa Busale, alisema jana kuwa baada ya tukio hilo, wananchi walianza msako wa kimya kimya kujua mahala alipo mtuhumiwa na baadaye wakaenda kitongoji cha Kabale.

Alisema baada ya kufika kitongoji hicho, mahala alikozaliwa mtuhumiwa, walifika katika nyumba ya wazazi wake saa 10 usiku na baada ya kubaini kuwa amejificha katika nyumba hiyo, walipiga lamgambo (ngoma) kuwakusanya wanakijiji.

Mwakajila alisema baada ya wanakijiji kufika eneo hilo, walimwita mwenyekiti wa kijiji na diwani ili wahudhurie tendo hilo, ndipo walipoingia ndani ya nyumba na kuanza kupekua na kumkamata akiwa chini ya uvungu wa kitanda wanacholalia wazazi wake.

Aida Maonwa, Mwenyekiti wa Kijiji hicho, alisema alipata mshtuko baada ya kupigiwa simu na wanakijiji wakimweleza kuwa mtuhumiwa amejificha kwenye nyumba ya wazazi wake na alipofika eneo la tukio, alikuta wamemtoa nje ndipo alipopiga simu polisi.

Alisema baada ya polisi kufika hapo alfajili ya jana, walimchukua mtuhumiwa huyo akiwa salama na sasa ametiwa mbaroni polisi wakiendelea na uchunguzi na kwamba anawapongeza wananchi kwa ushirikiano wao kwa kuwa hawakutaka kumpiga bali walitaka sheria ifanye kazi yake.

Adam Kapeta, Diwani wa Kata hiyo, alikiri kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo na kusema baada ya kukamatwa aliwasihi wananchi wawe watulivu na polisi walipofika walimchukua na kuondoka naye kisha wakaendelea na kuwahoji wazazi waliomhifadhi mtuhumiwa.

Baada ya kukamatwa mtuhumiwa huyo, alisema yeye na viongozi wengine wa kijiji na kata, wanapanga kwenda kuzungumza na wazazi wa mtuhumiwa kujua sababu ya kumficha mtoto wao ilhali wanafahamu kuwa amefanya mauaji.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei, alikiri kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo na kuwapongeza wananchi kutokana na ushirikiano wao kwa jeshi la polisi na kwamba mtuhumiwa atapandishwa kizimbani baada ya uchunguzi kukamilika.


Tabora yamwagiwa magari na vifaa tiba

$
0
0
Shirika la Care Tanzania limetoa msaada wa magari manne ya kubebea wagonjwa pamoja na vifaa tiba vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 600 ili kusaidia kuboresha huduma za Afya mkoani Tabora.

Madhumuni ya msaada huo ni kushirikiana na Serikali katika kupunguza vifo vya mama na watoto wachanga na kusaidia kutoa huduma za usafiri kwa wagojwa wanahitaji matibabu ya dharura katika ngazi za juu.

Msaada huo umekabidhiwa jana na Mratibu wa Mradi wa Afya ya Mama na Mtoto wa Mkoa wa Tabora (TAMANI) kupitia Shirika la Care Flavian Majenga kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri.

Alisema magari manne ni aina ya Suzuki yana thamani ya shilingi milioni 184,678,396 ambayo yatapelekwa katika Zahanati ya Usinge wilayani Kaliua, Zahanati ya Mibono wilayani Sikonge na mengine mawili kwa ajili ya zahanati za Goweko na Tura zilizopo wilaya ya Uyui.

Majenga alisema Mradi wa TAMANI unalenga kuchangia jitiada za Serikali katika kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya ya mama na mtoto na kuongeza matumizi ya huduma kwa wajawazito.

Aidha Majenga aliongeza kuwa shughuli zinazotekelezwa chini ya mradi wa Tamani zitachangia mafaniko ya Kampeni ya Jiongeze Tuwavushe Salama katika maeneo yanayohusu huduma wakati wa ujauzito, kujifungua na baada ya kujifungua.

Alisema unafanya kazi na serikali mkoani Tabora katika kuimarisha mfumo wa rufaa kwa akina mama wajawazito na watoto wachanga kupitia usafirishaji kutokazahanati kwenda ngazi za juu za matibabu.

Majenga alisema kuwa hii ni mara ya pili kwa Care kutoa msaada wa magari na vifaa tiba kwani katika mradi uliopita wa mradi wa Tabora Adolescents And Safe Motherhood(TABASAMU) uliokuwa unafadhiliwa na Serikali ya Canada kwa miaka mitatu kuanzia 2012 hadi 2015 waliweza kutoa magari 16  ya kubebea wagonjwa kwa Halmashauri zote za mkoa wa Tabora.

Mratibu huyo wa Care alisema sanjari na msaada huo wa  magari hayo Care pia imetoa vifaa tiba aina mbali mbali vyenye thamani ya shilingi milioni 424,174,650/= kwenye zahanati 165 na vituo vya Afya 11 katika halmashauri zote mkoani Tabora.

Alisema vifaa hivyo vimepelekwa katika Wilaya ya Sikonge kwenye zahanati 24 na vituo vya afya vitatu ambavyo vina thamani ya shilingi milioni 49.1, Urambo zahanati 20 na kituo cha afya kimoja vyenye thamani milioni 42.8, Kaliua zahanati 36 na vituo vya afya viwili vyenye thamani ya milioni 75.7 na Nzega DC zahanati 11 na kituo cha afya kimoja vyenye thamani milioni  62.9.

Majengwa aliongeza kuwa Halmashauri nyingine ni Nzega Mji vitapelekwa katika zahanati mbili na kituo cha afya kimoja vyenye thamani milioni  15.1,Manispaa ya Tabora zahanati 19 na kituocha afya kimoja vyenye thamani milioni 46.3 Uyui zahanati 37 na kituo cha afya kimoja vyenye thamani milioni 43.5 na Igunga zahanati 16 na kituo cha afya kimoja vyenye thamani milioni 88.5.

Akipokea msaada huo mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri alilishukuru shirika hilo na kushauri mashirika mengine kuendelea kusaidia na serikali kuokoa afya za Watanzania wakimemo mama wajawaziti na watoto wachanga.

Aliwataka Wakuu wa Wilaya na Halmashauri kuhakikisha hakuna mama wajamzito na watoto wanatozwa fedha wakati wa kupata matibabu.

Aidha Mwanri aliwataka kuhakikisha wagonjwa wote wanakwenda jupata huduma za matibabu wanapata dawa kwa kuwa upatikanaji wa dawa muhimu umeboresha ambapo asilimia 94 zinapatikana katika vituo vya afya kupitia bohari kuu.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 61

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
Muda wa mchana, Qeen akanieleza ni eneo gani ambalo tunatakiwa kukutana na watanielekeza kwa simu kuweza kufika huko. Nikamjulisha bwana Samweli ni eneo gani tunaweza kuonana saa nane ya usiku ili tuweze kupanga mipango ya kuweza kuonana. Nikiwa ndani ya gari langu nikielekea ofisini kwangu nikitoka kupata chakula cha usiku, Biyanka akanipigia simu, tukasalimiana kwa furaha sana.
“Vipi mipango yenu?”
“Inakwenda vizuri na tunarudi leo by saa nne usiku tutakuwepo Dar es Salaama, baba anatuhitaji mimi na wewe nyumbani anasema kuna kikao muhimu sana cha kuweza kufanya kama wana familia”
Nikajikuta nikiishia na furaha yangu, kwani sikutarajia kumuona Biyanka akirudi leo jijini Dae sa Salaam kwani anaweza kuwa kipingamizi kikubwa sana cha mipango yangu niliyo ipanga kwa siku ya leo.

ENDELEA
“Kikao cha usiku hicho cha namna gani mpenzi wangu?”
“Hata sisi hatufahamu mume wangu. Yaani tulipanga kurudi kesho, ila ndio kama unavyo ona mambo yamebadilika”
“Sawa nimekuelewa”
“Nashukuru mume wangu upo wapi?”
“Ninatoka kula chakula cha mchana kwenye huu mgahawa hapa ambao tumezoea kula”
“Jamani pole, leo umekwenda mwenyewe mume wangu?”
“Ndio mke wangu. Ila usijali katika hilo”
“Sawa, tutaonana baadae basi”
Nikakata simu huku nikifikiria ni jambo gani ambalo ninaweza kulifanya ili kikao nilicho kipanga leo kiweze kwenda vizuri. Nikatoa simu yangu ndogo na kumpigia  Qeen, simu yake ikaita baada ya muda ikapokelewa.
 
“Qeen upo wapi?”
“Nipo ofisini mkuu”
“Sasa nisikilize, huyu bibie atarudi usiku wa leo na kuna kikao nyumbani kwao”
“Ohoo itakuwaje bosi wangu?”
“Jambo la kufanya sasa hivi, hembu muambie Latifa aweze kuwasiliana na wale watu kama ikiwezekana tuonane saa kumi na mbili”
“Jioni hii!!!?”
Qeen aliniuliza kwa mshangao mkubwa sana.
“Ndio kwa maana tutakosa muda wa kuweza kuoana nao na kama unavyo fahamu kwamba kikao hichi ni muhimu sana kwetu.”
 
“Sawa mkuu nitawajulisha kwamba muda wa kuonana umebadilika, ila sehemu si ile ile?”
“Ndio”
“Sawa nitafanya hivyo mkuu”
Nikakata simu, nikafika ofisini na moja kwa moja nikapitiliza hadi ofisini kwangu. Ujumbe mfupi ukaingia kwenye simu yangu kutoka kwa Qeen, nikaufungua na ananifahamisha kwamba kila jambo lipo vizuri. Majira ya saa kumi na moja nikaondoka hapa ofisini kwangu na kuelekea hotelini nilipo pangisha. Simu yangu ndogo ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kuipokea.
“Latifa”
“Mkuu ndio tunaelekea eneo la mkuatano”
“Sawa mimi nipo hotelini, ila nitakodisha taksi na sinto hitaji watu waweze kuniona huko”
“Poa itakuwa ni vizuri pia”
 
Nikavaa nguo zangu za mazoezi kisha nikachukua begi langu dogo na kuweka laptop kisha nikavaa earphone masikioni mwangu. Nikachukua kiasi cha pesa kidogo cha kutosha, nikavaa raba ili hata wahudumu walio weka kwama wapelelezi watakapo niona basi wasiweze kustukia juu ya kuondoka kwangu katika hii hoteli. Nikatoka nje ya geti la hoteli, nikatazama barabara huku na kule kisha nikaanza kukimbia hadi kwenye kitu kimoja cha waendesha bajaji. Nikaingia kwenye moja ya bajaji na kumuekeleza dereva huyo sehemu ambayo ninahitaji kuelekea.
“Huko bosi nitakuepelekea kwa ishirini”
“Ishirini elfu au ishirini nini?”
“Ndio mkuu”
“Sawa twende”
 
Kwa mara yangu ya kwanza kupanda bajaji maishani mwangu ni leo. Dereva huyu kwa utaalamu wake kila muda ana jipenyeza penyeza pembezoni mwa barabara ili kuikwepa foleni hii kubwa ya magari majira haya ya jioni. Tukafika eneo la Kunduchi, ambapo ndipo nilipo elekezwa na Qeen. Tukasimama kwenye nyumba moja yenye geti jeusi, nikamlipa dereva huyu elfu thelathini kisha nikaingia ndani ya geti hili na kukuta walinzi takribani ya kumi walio walia suti nyeusi wakiwa wamesimama katika maeneo mbalimbali ya nyumba hii huku kukiwa na magari kadhaa ya kifahari. Nikamkuta Latifa akiwa amesimaa nje ya nyumba hii, tukaingia ndani na nikawakuta wazee watano huku akiwemo na Samweli shemeji wa Latifa, nikawasalimia wazee hawa kisha nikaa kwenye moja ya sofa.
 
“Nashukuru kwa kuweza kufika kwenu hapa”
Nilizungumza huku nikiwatazama
“Sisi pia tunashukuru”
“Nina imani kwamba bwana Samweli ameweza kuwaeleza lengo na dhumuni la mimi kuwepo hapa. Mimi ni mfanya biashara na si mwana siasa ila ninahitaji nyinyi muweze kufanya mabadiliko ya uongozi wa hii nchi.”
Wazee hawa wakakaa kimya huku wakinitazama sana usoni mwangu.
“Nahitaji kuwawezesha kifedha zaidi ya chama tawala. Ni nani mume mteua kugombania uraisi hapa?”
 
“Mimi hapa”
Mzee mmoja mwenye mvu kiasi alizungumza huku akinyanyua mkono wake wa kilia juu kidogo.
“Okay, bajeti yenu muliyo ipanga ni kiasi gani?”
“Tumewekeza bilioni mia mbili?”
“Wapinzani wenu je wamewekeza kiasi gani ulisema?”
“Trilioni moja”
“Nikiwekeza trilioni mbili je mutaweza kufanikiwa kukiondoa chama hicho madarakani?”
Wazee wote wakatazamana huku nyuso zao zikiwa na furaha kubwa sana.
 
“Inawezekana, unajua kitu ambacho kinatuangusha sana katika hizi siasa ni pesa”
“Sawa, mimi Poul Mkumbo ni baba yangu mkwe mtarajiwa, ila sipo kwake kwa ajli ya kuoa ila nipo kwake kwa asili ya kumuangusha chini. Ninacho kihitaji ni kurudisha mgodi wa baba yangu alio uchukua miaka mingi iliyo pita”
“Unataka kusema kwamba mgodi wa Poul Mkumbo ulikuwa ni wa baba yako!?”
Mzee mmoja aliuliza kwa msahangao sana.
 
“Ndio”
“Aisee huyu jamaa ni mshenzi sana”
“Mzee wangu unaitwa nani?”
“Jonson Malisa”
“Unakwenda kuwa raisi wa hii nchi, ila nina kuomba endapo utachukua hichi kiti, hakikisha kwamba unataifisha mali zake kisha mgodi huo unanipatia, kama ana mali nyingine ambazo amezichukua kwa ubadhilifu basi hakikisheni kwamba muna warudishia wale ambao wameweza kupokonywa mali zao sawa”
 
“Hilo linawezekana na halina saka kabisa, nilazima niweze kupambana na ufisadi ulio tukuka katika Tanzania hii”
“Nashukuru kusikia hivyo. Kuna mkatababa nimeuandika hapa, ni wa kusaidi kati yanu na mimi kwani kiasi hichi cha pesa ni kikubwa sana na siwezi kufanya kazi ya kanisa ya kujitolea si ndio jamani”
 
“Ni kweli”
Wazee hawa walizungumza huku wakitabasamu sana. Nikawasha laptop yangu na kuwaonyesha fumo maalumu ambayo wanatakiwa kuijaza kama mkataba, kwa uzuri wa laptop yangu unaweza kundika chochote kwa kugusa kioo chake. Kila mmoja akaanza kuusoma mkabata huu kisha nikawakabidhi kalamu ndogo ya kuandikia katike laptop hiyo. Kila mmoja akaandika saini yake sehemu maalumu huku Qeen na Latifa wakitia saini kama mashahidi.
 
“Kijana tumesaini ila hatujaona hicho kiasi.”
“Ndio tunapo elekea muheshimiwa raisi mtarajiwa”
Nilizungumza huku nikiingia katika mfumo wa benk ya Bacrays ambao ndio nina hifadhia pesa zangu binafsi za kibiashara.
 
“Naomba namba yenu ya benki”
Wakanitajia namba yao kisha nikaanza hatua za kuamisha pesa hizi ambazo ndani ya dakika kadhaa kila kitu kikwa kimesha idhinishwa na pesa kuingizwa kwenye akaunti yao. Kila mmoja akaonekana kufurahi sana kwa kazi makubaliano haya. 
 
“Kila mmoja ninaomba email yake”
Wakanitajia email address zao na nikawatumia huu mkatabasa na meseji maalumu ambayo benki ina dhibitisha kwamba wametuma kiasi hicho cha pesa kwenye akaunti yao.
“Kila mtu ana mkataba wake kwenye email yake. Kumbukeni kwamba mambo haya ni ya siri. Jambo jengine, kuna kiwanda changu cha utengenezaji wa nguo nchini China, nitahakikisha kwamba sare zenu munaweza kuzitolea kwenye kiwanda hicho. Nina imani kwamba ni sare nzuri sana zitakazo wapendezesha wafuasi wenu”
 
“Ndio ndio, ila katika siasa za Kitanzania kuna maswala ya kishirikina”
“Kishirikina ndio nini?”
“Maswala ya kurogana. Je katika hilo tutaweza kuwateka kweli wapinzani wetu?”
Nikaka kimya huku nikiawatazama wazee hawa kwa maana kama ni pesa nimesha wapatia ila kwenye maswala ya uchawi sijui nitawashauri vipi.
 
“Inabidi na sisi tutafute waganga manguli”
“Tutawapatia wapi mwenyekiti?”
“Kwa kuwapatia, humu humu Tanzania”
‘Waambie nitawasaidia, wasitafute Mganga’
Niliisikia sauti ya Ethan masikioni mwangu.
‘Utawasaidia?’
‘Ndio kwani kuna ubaya, kumbuka hawa wanakusaidia kumuangusha adui yako?’
‘Hivi hawato nisaliti kweli?’
 
‘Siwezi kusema ndio au  hapana, ila binadamu wanabadilika kwa kweli?’
‘Tuseme ndio wamebadilika, tunafanyaje?’
‘Nitahakikisha kwamba kila mmoja ana jutia kwa lile ambao amelifanya’
‘Mmmm sawa’
“Kijana”
Sauti ya mwenyekiti wa chama hichi  alinistua kutoka kwenye mazungumzo yangu na Ethan ambayo hakuna hata mmoja wao ambaye ana yasikia.
 
“Ndio”
“Tumeafikiana hapa kwa pamoja kwamba ni lazima tupate waganga kutoka chini nina imani kwamba watatusaidia?”
“Hapan musitafute”
“Kwa nini, kwa maana haya mambo ya kisiasa yana nguvu za ajabu ajabu kijana”
“Kuna rafiki yangu mmoja ata wasaidia, ila ametoa onyo kwa yoyote ambaye atakuwa ni msaliti. Kwangu au kwa chama hichi basi atajutia kwa nini alisaliti, sasa hiyo haijalishi kwamba umesalitije. Mume nielewa?”
Nilizungumza kwa msisitizo na kuwafanya watu hawa wote kukaa kimya huku macho yakiwatoka.
 
“Nyinyi kwa nyinyi mukisalitiana, nina waambia kwamba hamto fanikiwa. Japo wanasema kwamba siri ni ya mtu mmoja basi inabidi iwe ya mtu mmoja kwenu. Sawa jamani”
“Tumekuelewa ndugu”
“Jambo jengine ninalo lihitaji kwenu nyinyi, nitawapatia siri nyeti sana kutoka kwa wapinzani wenu. Ila hakikisheni kwamba hazivuji kati yenu na zikarudishwa kwa wapinzani mume nielewa”
“Tumekuelewa kijana”
“Na kila siri kama ni ya kufanyiwa kazi, basi ifanyiwe kazi haraka sana. Na sasa hivi si munapiga kura kwa mfumo wa kielectronic si ndio?”
“Ndio”
“Basi nitawatafutia watu makini sana kwenye maswala ya tecknolojia. Kitu kingine ninaomba kwamba vinywa vyenu visinizungumzie popote hata kwa wake zenu. Kwasababu musiwaamini wake zenu katika mipango yenu ya kichama. Umenielewa mgombea urasi”
 
“Nimekuelewa mkuu”
“Usije ukasema kwamba huyu anakwenda kuwa first lady wa nchi, na yeye akaanza kujigamba kwa wanawake wezake mwisho mukajikuta jahazi linazama kweupe kabisa.”
“Tumekuelewa kabisa muheshimiwa”
“Nashukuru kwa muda wenu. Mungu akawabariki katika harakati zenu”
Nilizungumza huku nikisimama, nikapeana nao mikono kisha wakaondoka katika nyumba hii na nikabaki na Qeen na Latifa.
 
“Kweli wewe unafaa kuwa kiongozi”
Latifa alizungumza huku akinitazama
“Kwa nini?”
“Unajua saa zote nimekaa pale kwenye sofa, nilikuwa ninakutazamaaa weee unavyo zungumza kwa msisitizo, hadi watu wazima wamejikuta wakikuita mkuu”
“Hahaaaa, kila kitu ni nguvu ya kuzaliwa nayo”
“Kweli”
“Ila hii pesa yangu itarudi jamani?”
“Itarudi tu, kama wakijipanga vizuri itarudi”
“Je wakienda kugawana na kujenga majumba majumba hata kama wakikosa ndio nitolee?”
Qeen alituuliza huku akitutazama.
 
“Itarudi tu, mkataba utawafunga. Si nimewaambia kwamba sifanyi kazi ya kanisa eheee”
“Mmm haya”
“Qeen mpigie simu yule dereva aje kutuchukua”
Qeen akafanya hivyo na ndani ya muda mfupi dereva taksi akafika nyumbani hapa tukaingai kwenye gari hili na kuondoka. Wakanishusha kwenye moja ya kituo waendesha bajaji na pikipiki, nikangia kwenye moja ya bajaji na kuondoka eneo hili na safari ya kurudi hotelini ikaanza majira haya ya saa tatu kasoro usiku. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama na kukuta ni namba kutoka nchini Ujerumani. Nikaipokea kwa haraka na kuiweka sikioni mwangu.
 
“Ethan”
Niliisikia sauti ya Mery akiniita huku akilia lia.
“Naam”
“Mama hali yake mbaya na kama inawezekana rudi Ujerumani, anahitaji kukuambia neno la mwisho kabla ya kukata roho”
Mwili mzima ukahisi kuzizima na viungo vyote vikafa ganzi, nikajikuta mapigo ya moyo yakinienda kasi hadi jasho likaanza kunitiririka mwilini mwangu.

==>>ITAENDELEA KESHO

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Video: Kangaroo - Chakacha

VIDEO: Anitha - Na wewe

Usiteseke Tena na Matatizo ya Nguvu za Kiume.....Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
SUPER MKUNYATI MIX; ni dawa bora ya mitishamba iliyopo katika mfumo wa vidonge na unga yenye uwezo wa kutibu na kumaliza matatizo yote ya ukosefu wa nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile:-

  -kuwai kufika kileleni ndani ya dakika chache tu.
 -Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa muda mrefu.
 -Kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu(punyeto) husababisha kuishiwa au kupungukiwa na nguvu za kiume.
 -Uume kusimama kwa kulegea au katikati ya tendo la ndoa unalala na kushindwa kusimama.

Epuka matatizo haya kwa kutumia dawa bora ya asili ya SUPER MKUNYATI MIX ni kiboko ya matatizo haya yanayowasumbua baadhi ya wanaume wengi.

Pia kuna dawa ya kutibu Presha,miguu kufa ganzi, tumbo kuuma chini ya kitovu, kisukari,ngiri, chango aina zote na nk, matatizo haya nayo uchangia matatizo haya ya ukosefu wa nguvu za kiume na kuwa na maumbile madogo na uume mfupi.

KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA MAUMBILE MADOGO NA UUME MFUPI?  Usikate tamaa ondoa maradhi yako  hayo maana matatizo haya yamekuwa yakiathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti na sana na wanaume wengine kwa kushindwa kumlizisha mwanamke.


MDINDADINDA MIX, ni dawa ambayo inarefusha na kunenepesha maumbile na itakufanya uwe na uume saizi uipendayo.Dawa hizi za asili za mitishamba zipo katika mfumo wa vidonge na unga na hazina madhara kwa mtumiaji.

JABABILA;- ni dawa ya mvuto wa mapenzi ,mchumba, mke, mume aliyekuacha atakurudia ndani ya siku moja tu na atakutimizia utakacho.

ITALIGULA;- ni dawa ya biashara  na hata kama umezurumiwa utalipwa mapema ,kupata kazi, kupanda cheo. Ofisi zetu zinapatikana DAR ES SALAAM, SONGEA - BOMBAMBILI, SHINYANGA - KAHAMA MJINI. na pote pale ulipo utaipata huduma hii,kama huna nafasi utaletewa hulipo.Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR. MACHIMKENDA simu no ,0717 339771

VIDEO: Wakwanza - Mashida Gani

Kuwahudumia Wakimbizi ni jukumu la Wote sio la Nchi moja

$
0
0
Kazi ya kuwahudumia wakimbizi ni Ubinadamu na ni jukumu la kimataifa na ni kitu cha kushangaza kuona nchi zilizoendelea zinaziachia nchi masikini kubeba mzigo wa kugharamia wakimbizi.

Kauli hiyo ilitolewa na Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti mwenza wa Baraza la Wakimbizi Duniani (World Refugees Council-WRC), Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kuwasilisha ripoti ya Baraza hilo kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani tarehe 24 Januari 2019.

Rais Mstaafu alitanabainisha kwamba Baraza lao lilipokea msimamo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa kukataa mpango wa kukopa Benki ya Dunia ili kuwahudumia wakimbizi wakati yenyewe inadaiwa mikopo ya kimaendeleo iliyonayo. Serikali inaamini kazi ya kuhudumia wakimbizi ni ya kibinadamu kwa kushirikiana na Jumuiya ya Kimataifa badala ya kuibebesha nchi moja mzigo wa madeni.

Taarifa hiyo imebainisha kuwa tatizo la wakimbizi limekuwa kubwa sana duniani wakati huu kuliko wakati wowote ule tangu vita vya Pili vya Dunia.  Mathalan, kuna idadi ya watu milioni 68.5 waliopoteza makwao (Internally displaced persons) mwaka 2017 na kati yao, milioni tatu wamepoteza makwao kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa na uchafuzi wa mazingira.

Ripoti inaeleza kuwa, kumekuwa na ongezeko kubwa la wakimbizi na wanaopoteza makwao kusini mwa jangwa la Sahara ambao walifikia milioni 18.4 mwaka 2017 ukilinganisha na idadi ya milioni 14.1 mwaka 2015.

Ripoti inabainisha kuwa ongezeko hilo limetokana na sababu mbalimbali zikwemo upvotevu wa amani katika nchi zao.

 Ripoti inazidi kubainisha kuwa asilimia 30 ya watu wote duniani mwaka 2017 walikuwa wakimbizi na waliopoteza makwao ukilinganisha na asilimia 23 ya mwaka 2015. Kati ya idadi hiyo, wanaotoka Afrika, asilimia 79% wanatoka katika nchi za Somalia, Nigeria, Sudan kusini na Jamhuri ya Afrika ya Kati. 

Ripoti imeeleza nchi zinazopokea wakimbizi wengi kuwa ni pamoja na Uganda, wakimbizi milioni moja na laki nne; Ethiopia, laki Tisa; Tanzania laki tatu na ishirini na Sita elfu; na Rwanda elfu 84.  Baadhi ya nchi zimechukua wakimbizi hao ikiwemo Marekani, Canada, Australia na Finland ingawa idadi yao ni ndogo mno. 

Katika ripoti hiyo, baraza limetoa mependekezo mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la wakimbizi duniani.  Mapendekezo makubwa ni pamoja na kudhibiti nchi ambazo zinachochea au kuanzisha migogoro kwa kuweka mfumo thabiti wa kimataifa, kuongeza usuluhishi wa migogoro, kutowanyanyapaa wakimbizi kwa kujenga ukuta na kusaidia juhudi za kutafuta amani katika maeneo yenye migogoro. 

Baraza la Wakimbizi duniani ni chombo kilichoundwa na wataalamu mbalimbali wakiwemo wanasiasa, watafiti na watunga sera kwa lengo la kufanya utafiti wa kina utakaosaidia kubuni njia na mbinu za kitaalamu na za ubunifu zitakazosaidia kukabiliana na kumaliza kabisa tatizo la wakimbizi duniani.
 
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dodoma
27 Januari 2019
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images