Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kesi ya Mmiliki JamiiForums Kuendelea February 20

$
0
0

Kesi ya kuendesha mtandao ambao haujasajiliwa nchini kwa kikoa cha co. tz  inayomkabili mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo na mwenzake Micke William imeshindwa kuendelea na ushahidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Kesi hiyo ya jinai namba 458 ya mwaka 2016 ilipaswa kuendelea na ushahidi wa shahidi wa saba jana, lakini wakili wa upande wa mashtaka hakuwapo mahakamani.

Wakili wa Serikali, Elizabeth Mkunde alieleza kuwa wakili wa Serikali, Nassoro Katuga hakuwapo, hivyo kuomba tarehe nyingine kwa ajili kuendelea na ushahidi.

Baada ya maelezo hayo, hakimu mkazi mkuu wa Mahakama hiyo, Huruma Shahidi aliahirisha kesi hiyo hadi Februari 20 itakapoendelea na ushahidi.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Naibu Waziri Wa Mifugo Na Uvuvi Apiga Marufuku Kamatakamata Ya Ng'ombe Wanaozagaa Mtaani Manispaa Ya Tabora

$
0
0
Na Amisa Mussa
NAIBU Waziri Wa Mifugo Na Uvuvi Abdallah Ulega ameiagiza Serikali ya Mkoa wa Tabora kuitaka Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kusitisha mchakato wa ukamataji wa ng'ombe ambao wanadaiwa kuzagaa mitaani baada ya kuonekana kuna harufu ya rushwa.

Mbali ya rushwa katika kuutekeleza mchakato huo imedaiwa linawaumiza wafugaji na wafanyabiashara ya ng'ombe ambao wanafanyabiashara mnada wa Ipuli wilayani humo.

Kutokana na kuwepo kwa gogoro baina ya wafugaji na Halmashauri ya Manispaa Ya Tabora Naibu Waziri Ulega mmetembelea mkoani humo ili kujionea hali halisi ambapo baada ya kusikiliza malalamiko kutoka kwa wafugaji ameamua kutoa maagizo ya kukamatwa kwa watendaji wa halmashauri waliohusika kutekeleza mchakato huo kwani kuna harufu ya rushwa.

Pia ameagiza Ofisa Mifugo Msaidizi Cornelius Masawe akamatwe na hivyo alikamatwa huku akimtaka ofisa hiyo kufanyiwa uchunguzi kwani ndio amekuwa akitekeleza agizo hilo la kukamata ng'ombe ndani ya manispaa hiyo.

Baada ya uamuzi huo Naibu Waziri huyo alipata fursa ya kusikiliza malalamiko ya wafugaji na wafanyabiashara ya ng'ombe ambao hawakusita kpaza uauti zao."Kilichofanyika sasa hivi ni kushika mashavu basi, tunamshukuru Mungu kwa sababu mimi nilikuwa na ng’ombe 45 kwa kumatwa na Masawe zimebaki ng’ombe 13 Nyingine zimeshaliwa,”alisema Alon mmoja wa wafugaji

Wafugaji Emmanuel Cosmas na Jani Kasunzu wamemueleza Naibu Waziri kuwa imefika wakati suala la suala la ng’ombe limekuwa ni dili kwa baadhi ya watumishi.Akiwa katika mnada wa Ipuli Manispaa ya Tabora na kusikiliza kilio cha wafugaji hao Naibu Waziri Ulega ameonesha kuguswa na malalamiko hayo ambapo aliamua kutoa msimamo wa Wizara.

“Ni lazima Oparesheni hii isimame ili iratibiwe vyema na hatimaye baadae ndio iendelea lasivyo tutawadhuru watu ambao hawana hatia,” alisema Naibu Waziri Ulega.

Aidha mwishoni mwa Wiki iliyopita wafugaji na wafanyabiashara wa ng’ombe waliingia katika mgogoro na Halmashauri ya Manispaa Ya Tabora hatua ilyosababisha jamii hiyo ya wafugaji kugoma kutumia mnada wa Ipuli kuuza na kununua ngo’mbe wilayani humo kwa kile kinachodaiwa kamatakamata ambayo imekuwa ikifanywa na Manispaa ya Tabora.

Naibu Waziri wa Mifugo Ulega Aagiza Afisa Mifugo Manispaa Ya Tabora Auchunguzwe

$
0
0
Na Tiganya Vincent
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ameagiza Afisa Mifugo wa Manispaa ya Tabora Cornelius Masawe achunguzwe na achukuliwe hatua baada ya kutuhimiwa na wafanyabiashara wa mifugo wa Mnada wa Ipuli kuwanyanyasa ikiwemo kuwatoza malipo zaidi bila kuwapa stakabadhi.

Alisema tuhuma hizo ni nzito kwa kuwa zinaweza kusababisha Serikali kukosa mapato yake ikiwa wafanyabaishara hao watakaa kupeleka mifugo mnadani.

Ulega alitoa kauli hiyo jana wakati wa mkutano na wafanyabiashara wa mifugo kuhusu kuondoa mvutano ulikouwa umezuka katika Mnada wa Ipuli uliopo Manispaa ya Tabora kuhusu utaratibu wa usafirishaji ng’ombe kutoka na kuingia.

Alisema kuwa ni vema vyombo vinavyohusika ikiwemo Taasisi ya Kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) na vyombo vingine kuchunguza tuhuma zilizotolewa na wafanyabiashara hao wa mifugo dhidi ya Masawe za kutoza fedha za faini ya mifugo bila ya kukatia stakanadhi au kutoa ambayo halingani na malipo yaliyotolewa.

Kufuatia tuhuma hizo Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri aliagiza Masawe akamatwe na Polisi kwa ajili ya mahojiano na TAKUKURU , kwa kushirikiana na Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya kiusalama. Alisema wafugaji kama makundi mengine Mkoani Tabora wana haki sawa na haipaswi kunyanyaswa na ikitokea wamenyanyaswa ni vema wakatoa taarifa mapema ili hatua ziweze kuchukuliwa.

Mwanri alisema tuhuma zilizotolewa na wafanyabiashara hao ni nzito haiwezekani zikapuuziwa ni vema hatua zikachukuliwa ili kubaini ukweli na ikibidi na hatua za kulifilisha katika maamuzi zifanyike haraka. Baadhi ya wafanyabishara walisema Masawe wakati wa kuendesha operesheni amekuwa akiwakata na kuwapiga watu wanaokutwa na ng’ombe katika maeneo ambayo hayakatazwi kisheria. Walisema ameweka migambo katika kila pande ya kuelekea Mnadani ili kuwavizia na anawakamata anawatoza shilingi 50,000/- kila ng’ombe kwa madai kuwa wanapita njia zisizo rasmi.

Walisema Masawe alishawi kupokea shilingi 900,000/- lakini aliandika stakabadhi ya laki 5 tu. Walisema amekuwa akiendesha zoezi hilo wakati akijua njia za kupitishia mifugo kwenda Mnadani zimevamiwa na watu mbalimbali na kujenga.

Katika hatua nyingine Naibu Waziri huyo amsema kuwa utaratibu wa nyuma wa kupeleka mifugo katika Mnada wa Ipuli uendelee kutumika wakati suluhusho la kudumu kuhusu kuendelea au kuhamisha likifanyiwa kazi kutokana na eneo hilo kuwa katikati ya mji hivi sasa likitafutwa na pande zote.

Aliwataka wafugaji kuendelea kutii Sheria zilizopo za Manispaa wakati wanaendelea kulitafutia ufumbuzi wa kudumu suala lao la kupitisha ng’ombe kutoka kwao kwenda mnadani.

Ulega alisema tatizo kubwa lilisababisha mvutano huo ni makosa yaliyofanyika nyuma ya kushindwa kulinda njia ya kusafirisha ng’ombe kutoka maeneo mbalimbali na kwenda katika Mnada wa Ipulu na kusababisha watu kujenga.

Umehangaika na Tatizo la Nguvu za Kiume,Tezi Dume, Miguu Kuvimba Bila Mafanikio?? Suluhisho Ni Dr.Ngaru

$
0
0
Kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume usiopungua nchi 5_6 mpaka 7,vinginevyo mtu huyo anamatatizo,zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo Hilo baadhi Ni upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN.

IGWATA,Ni dawa inayozalisha Hormones za CETROGEN na kufanya uume kukuwa   na kuongezeka size uitakayo na kuzibua mirija iliyosinyaa.

NGUMO MIX 4 POWER,dawa Bora ya kurudisha Nguvu za kiume kwa kutibu kabisa tatizo hilo na kukupa hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara nne bila kuchoka.

SALIUNGU,Ni dawa inayotibu magonjwa sugu Kama kisukari,Tezi dume,Presha ya kupanda na kushuka pamoja na stroke (kupalaizi) na Busha bila kufanyiwa operation..Tumia SALIONGO kwa kutatua tatizo lako kabisa.

NTUNDWA,Ni dawa Bora kabisa inayotibu uvimbe tumboni na kwa wale wakina mama wasiopata hedhi kwa wakati pia hupanga mayai ya Uzazi kwa mtumiaji na kufanya mimba zisiharibike  pia kwa wale wasiopata watoto kwa mda mrefu hii Ni kiboko kabisa wahi Sasa.

TALIGURA,Ni dawa ya kumvuta mpenzi,hawara, mchumba,mke au mume aliekuacha kwa muda wa siku 4.

IDACHAMWA, Hutibu miguu kuwaka moto, Miguu kuvimba, magoti, kiuno,na  mgongo Ni ya kunywa na kupata  dozi siku 8.

HUDUMA ZANGU NGARU NI ZA HARAKA ZAIDI NA MAFANIKIO MAFUPI,UNAWEZA KUFIKA NILIPO AU KUSAFIRISHIWA POPOTE ULIPO., NAPATIKANA DAR ES SALAAM NA KAHAMA USISITE KUULIZA WASILIANA NAMI KWA NAMBA

  0753 928 576.

Michezo ya Kamari Yamkera Kiongozi wa Dini ya Mabohora.

$
0
0
Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mabohora Tanzania, Zainuddin Adamjee ameshangazwa na tabia ya vyombo vya habari kufanya matangazo ya michezo ya kubahatisha licha ya kuwa ni haramu katika dini zote.

Adamjee akizungumza leo katika kikao kati ya Rais John Magufuli na viongozi wa madhehebu ya dini Ikulu jijini Dar es Salaam.

“Kwenye Biblia na Quran imeandikwa kamari ni haramu, lakini hapa TZ saivi Vijana wanacheza kamari kupitia Mitandao ukifungua TV unakuta matangazo, haya Makampuni wao ni hapa kamari tu, matatizo nguvu kazi yetu inacheza kamari.”Amesema

Amesema wakati Taifa likiangalia matatizo yako wapi asitafutwe mchawi kwa sababu shida ni kuwa nguvu kazi inacheza kamari.

Maneno ya Askofu Gwajima kwa Rais Magufuli leo

$
0
0
Leo January 23, 2019  Rais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na viongozi mbalimbali wa Dini Ikulu Dar es Salaam na kuongea nao.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima alipata nafasi ya kusimama na kuongea mbele ya Rais Magufuli.

“Mchungaji Lyimo ameshauri ziwekwe sheria ili madhehebu yapungue, mimi nina mawazo tofauti na yeye, ukiangalia baa zipo nyingi hadi wengine wananywea chini ya mti, na pombe imesemwa kwenye vitabu vya dini siyo nzuri kwetu sote, Wakristo na Waislam.

“Pale Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar kuna msikiti kwa ajili ya Waislam, nilikuwa naomba pia kujengwe pia Kanisa kwa ajili ya Wakristo kuabudu ili kuleta usawa. Suala la kuabudu ni muhimu sana katika mazingira ya kazi.

“Nakupongeza sana, umefanya jambo ambalo halijawahi kutokea katika historia, tumekuja kwa pamoja na kwa upendo kujadili mambo ya mbalimbali ya nchi Mungu atakusaidia sana na kukuinua sana katika utawala wako” – amesema Askofu Josephat Gwajima.

Mchungaji Amani Lyimo wa KKKT Amuomba Rais Magufuli Aawache Watu Wazungumze Kwa Uhuru

$
0
0
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Amani Lyimo amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kuwaachia uhuru wananchi wazungumzie inapowezekana kwa sababu hiyo ndiyo demokrasia.

Mchungaji Lyimo amesema hayo leo Jumatano Januari 23, 2019 Ikulu jijini Dar es Salaam katika kikao kati ya Rais Magufuli na viongozi mbalimbali wa madhehebu ya dini.

“Rais tuliyekuwa tunamuomba ni wewe, nimeanza kukuombea tangu ukiwa Waziri wa Ujenzi na leo umekuwa Rais bado nakuombea na tunawaza 2025 baada yako itakuwaje, maana tunahitaji Kiongozi kama wewe.

“Mheshimiwa Rais Magufuli, suala la Demokrasia ni muhimu, watu wana hofu hata kama huambiwi na watendaji wako, kama kazi baba unapiga kweli wewe waachie wazungumze maana Watanzania hawatachagua maneno bali watachagua kazi, wape uhuru waseme." 
– Amesema Mchungaji Amani Lyimo.

Alichokisema Leo Mchungaji Josephat Mwingira Mbele ya Rais Magufuli

$
0
0
Leo January 23, 2019  Rais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na viongozi mbalimbali wa Dini Ikulu Dar es Salaam na kuongea nao.

Mchungaji Josephat Mwingira alipata nafasi ya kusimama na kuongea mbele ya Rais Magufuli. 


“Mipango miji ni ya Mungu, mivurugano ni ya shetani, tuwe na mpango mkakati wa muda mrefu mathalani wa miaka 50 katika Miundombinu ili tusiwavunjie vunjie wananchi nyumba zao kila wakati, tuna Wataalam tuliowasomesha kwa nini hili linaendelea? tuliangalie hili.”  Amesema Mchungaji Josephat Mwingira.

Ameendelea kusema; “Suala la Wakuu wa Wilaya kutoa amri ya kuwaweka watu ndani wakiwemo Viongozi wa dini, unamweka Kiongozi ndani hii inanipa shida kidogo, je wanataka tuichukie Serikali yetu? Naomba wakuu hao wasipewe mamlaka hayo, wanaitia aibu Serikali kwa kudhalilisha watu.

“Mimi nina ushahidi, kule Sengerema Mchungaji wangu aliswekwa ndani na Kanisa likabomolewa, sasa nikajiuliza hii maana yake nini? Wakuu wa Wilaya wana madaraka yaliyopitiliza, wanaitia aibu Serikali.”

“Mhe. Rais, samahani kwa kusema umechelewa kidogo kutuita, ninashauri tu kwamba kabla haujazipeleka sera zako, ni vizuri tukae pamoja na kujadili kwa sababu ukiwa peke yako inakuwa vigumu sana.” Amemalizia kusema Mch. Josephat Mwingira.

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0743543944   0620510598

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 58

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA       
Nikawatumia meseji ya Qeen na Latifa, nikiwaomba muda wa mchane nikakutane nao mwenge ili niweze kuongozana nao kuelekea alipo ficha Clara. Kila mmoja akanijibu  atakuwa tayari japo sijawaeleza ni wapi tunakwenda. Mlango wa ofisini kwangu ukafunguliwa na Biyanka akaingia, akayatazama mafaili yaliyo jazana ofisini kwangu.
“Mume wangu hujafanya kazi leo?”
“Ndio”
“Ohoo unaonaje ukaenda hotelini ukapumzike na mimi niweze kushuhulika na hii kazi hapa kwani ofisini kwangu nimesha maliza kila jambo”
‘Usiende sehemu yoyote huo ni mtego’
Niliisikia sauti ya Ethan ikinikanya kwa ukali sana, jambo lililo nifanya nibaki nimekodelea macho Biyanka na kushindwa kumjibu kwani sifahamu ni mtego gani ambao mwanamke huyu amekusudia kuniwekea.

ENDELEA
“Usijali mke wangu, nitajitahidi kuzifanya kazi zote mwenyewe.”
Nilizungumza huku nikitabasamu.
“Kweli mume wangu?”
“Ndio, nitazifanya taratibu kwa sas anahitaji muda wa kupumzika kidogo kisha nitaendelea na majukumu mpenzi wangu”
“Sawa”
Biyanka akanibusu mdomoni kisha akatoka ofisini kwangu. Nikamuona Ethan akiwa amekaa kwenye moja ya sofa zilizopo hapa ofisini.
 
“Umesema mtego gani?”
“Tayari amesha anaza kukutilia mashaka”
“Mashaka ya nini?”
“Anahitaji kufahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea kwa maana jana ulivyo toka hotelini kuna muhudumu alimtumia meseji kwamba umetoka”
“Kwahiyo amewahonga wahudumu ili waweze kunichunguza?”
“Ndio na hapa alihitaji uweze kutoka ili afahamu unaelekea wapi, angekufwata nyuma kwa nyuma na taksi na wewe akili yako ilisha panga kukutana na wale wasichana wako. Ingekuwa ni bonge la tatizo katika siku ya leo”
“Mmmmm kazi kweli kweli, je mtoto yupo wapi?”
“Tayari yupo sehemu salama, ila nahitaji tuelekee sisi wenyewe sasa hivi, hao wasichana wako kwa sasa achana nao. Umenielewa?”
“Sawa”
 
Ethan akanisogelea na kunishuka kifuani mwangu, nikamshuhudia akiingia mwilini mwangu na mwili wangu wote ukaanza kusisimka na kujawa na nguvu ya ajabu. Sikuweza kulishangaa hili kwani si mara ya kwanza kwa Ethan kuweza kufanya hivi. Kufumba na kufumbua nikajikuta nikielea angani kwa kasi huku magorofa ya jiji hili la Dar es Salaam tukiyaona kwa chini sana. Tukafika kwenye moja ya kisiwa ambacho kina miti mingi sana na katikati kuna nyumba moja tu. Tukashuka ardhini na Ethan akatoka mwilini mwangu.
“Hapa ndipo ulipo muweka Clara?”
“Ndio amelala kwa sasa humo ndani hajaniona”
“Kuna usalama kweli?”
“Ndio kwa maana wale vijana nime waua. Sasa wewe utakuwa ni mtu wa kumshawishi aendelee kuishi hapa na asidhubutu kuinigia jiji la Dar es Salaam kwani itakuwa ni hatari sana.”
“Sawa”
 
Tukaongozana na Ethan hadi ndani. Japo hii nyumba kwa nje ina onekana ni ya kawaida sana ila kwa ndani ni nyumba moja nzuri. Ina kila kiti kizuri kinacho hitajika katika nyumba nzuri, nikaingia chumbani na kumkuta Clara akiwa bado usingizini. Nikaka taratibu pembeni ya kitanda chake na nikaanza kumuita kwa sauti ya upole sana. Clara akafumbua macho yake, tukatazamana kwa sekunde kadhaa huku akionekana kujaribu kuitathimini sura yangu. Clara akaka kitako na kwa haraka akanikumbatia huku akimwagikwa na mchozi.
“Ethan umekuja kuniokoa tena”
“Ndio mdogo wangu. Nimekueleta sehemu salama”
“Wapi?”
“Hii ni nyumba ambayo nimekununulia, ipo huku porini kisiwani. Nina imani kwamba hapa hakuna adui ambaye anweza kukufikia”
Clara akaanza kuangaza huku na kule ndani ya chumba hichi. Chumba hichi kimejaa midoli mingi ambayo kwa mtoto kama Clara inaweza kumuondolea mawazo pale atakapo amua kuanza kucheza nayo.
 
“Twende ukaone huku”
Nilizungumza huku nikinyanyuka kitandani, Clara akashuka kitandani na nikamuonyesha bafu lililomo humu ndani ya chumba chake, kisha nikamtoa hadi sebleni, nikampelekea jikoni kisha nikatoka naye nje ambapo nyumba hii imezungukwa na bustani nzuri sana za maua.
“Kila kitu unacho kiona hapa mdogo wangu ni mali yako”
“Kweli kaka Ethan?”
“Ndio mdogo wangu. Kitu ninacho kihitaji ni wewe kuwa salama”
 
“Nashukuru sana”
Clara alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu na kuanza kulia. Nikamnyanyua na kurudi naye sebeleni, nikamalisha kwenye moja ya sofa kisha nikaka kwenye sola lililopo mbele yake na tukaanza kutazamana.
“Naamini unamfahamu maadui wanao kuwinda si ndio?”
“Ehee”
“Unamfahamu nani na nani?”
“Kwa majina siwafahamu”
“Ohoo ngoja kwanza”
Nikatoa simu yangu mfukoni na kuanza kumuonyesha Clara picha ya kwanza ya mzee Poul Mkumbo. Clara akastuka sana huku macho yakimtoka.
 
“Ni huyu?”
“Eheee ni huyu”
Nikamuonyesha Clara picha ya Biyanka. Pia akastuka sana.
“Huyu dada amekufanya nini?”
“Aliniteka”
“Alikuteka?”
“Ndio na alinikabidhi kwa watu ambao siwafahamu na walitaka kuniua na sikujua ni nini kilicho weza kutokea”
Clara alizungumza kwa sauti iliyo jaa mtetemesho. Nikamtazama Ethan aliye kaa sofa jengine na Clara hakuweza kumuona.
“Unamkumbuka aliye kusaidia?”
Clara akatingisha kichwa akimaanisha kwamba hakumbuki.
“Sawa. Unaweza kupika?”
“Ndio”
“Kule jikoni kuna kila kitu, nitakuwa ninakuja kukujulia hali kila baada ya simu moja”
“Sawa sawa”
Nikatazama simu ya mezani.
 
“Hiyo simu utaitumia kuwasiliana nami kila pale utakapo kuwa na haja nami”
“Sawa kaka Ethan”
Nikatoa kadi yangu ya biashara ambayo ina namba ya simu na kumkabidhi Clara. Nikaagana naye kisha tukoandoka na Ethan. Katika muda mfupi tu tukafika ofisini kwangu huku kidogo nikiwa na furaha.
“Ngoja nikusaidie”
Ethan alizungumza huku akika kwenye kiti changu, akaanza kupitia faili moja baada ya jengine huku akiifanya kazi hiyo kwa kasi kubwa sana. Ndani ya dakika kumi akamaliza kila kitu, kwa ishara akaniomba niweze kukaa kwenye kiti changu.
“Vipi unaonanaje kampuni yangu?”
“Inakwenda vizuri, ila inabidi uwaambie watu wanao shuhulika na maswala ya matangazo wazidishe ubunifu katika matangazo yao. Pia muboreshe vifurushi vya internet, viwe vikubwa ila kwa bei nafuu sana”
 
“Sawa nimekupata rafiki yangu”
“Kitu kingine kuwa makini na hao wanawake wako. Siku ukiwagonganisha, kutachimbika”
“Hahaaaa”
“Wewe cheke. Camila anakula tizi, sasa siku akija kukupiga mimi sinto kutetea kwa maana huo ni ugomvi wa mke na mume nitakaa pembeni”
“Hivi unahisi kwamba Camila anaweza kufahamu juu ya haya mahusiano yangu mapya”
“Hata sasa hivi akihitaji kufahamu anaweza kufahamu, ila shukuru Mungu nimefunga ufahamu wake wa akili katika maswala ya mahusiano. Wewe mwenyewe nina imani kwamba una fahamu jinsi alivyo na wivu”
“Ndio“
“Haya, namuona mke wako feki anakuja kukuchukua mukale luch baadae”
“Poa”
 
Kitendo cha Ethan kupotea hapa ofisini, Biyanka akaingia huku akiwa na furaha sana.
“Vipi mke wangu?”
Nilimchangamkia huku nikinyanyuka kwenye kiti changu na kumlaki kwa kumkumbatia.
“Baba amenipigia simu muda mchache ulio pita na kudai kwamba amemkamata yule mtu aliye kutumia meseji za vitisho”
“Weeeee!!”
Niliitikia kinafki tu kwa maana nina elewa kila kitu kinacho endelea.
“Ndio na kwa sasa yupo polisi kwa mahojiano huku wenzake ambao walikuwa wamemkamata mtoto, wawili wameuwawa huku yeye akiwa amekamatwa na polisi”
 
“Na mtoto je?”
“Mtoto sijui wamempeleka wapi hapa ndioa anaendelea kuminywa na askari wapelelezi, kwani afande Kimaro hajakupigia simu?”
“Hapana hajanipigia”
Nikaitoa simu yangu mfukoni na kwa bahati mbaya nikaikuta ikiwa imezima chaji.
“Ohoo imezima chaji”
“Ndio maana nahisi alikupigia sana hajakupata hewani”
“Basi twende huko polisi”
“Mmm sasa hivi ni saa saba, twende tukapate chakula cha mchana kisha ndio tueleke huko polisi”
“Sawa, tukirudi hivi niandalie kikao na watu wanao dili na kitengo cha matangazo”
 
“Kuna nini tena?”
“Wewe anda kikao mke wangu”
“Sawa, basi ninaomba dakika tano nikawape taarifa”
“Poa”
Biyanka akatoka ofisini humu na kuniacha peke yangu. Nikafungua droo na kutoa chaji yangu na kuichomeka simu yangu huku nikijaribu kuiwasha. Simu ilipo fanikiwa kuwaka, nikawatumia meseji Qeen na Latifa na kuwajulisha kwamba hatuto weza  kwenda sehemu niliyo waahidi kwenda mchana wa leo.
“Tayari mume wangu”
Biyanka alizungumza huku akiwa amefungua mlango. Tukatoka humu ofisini na kueeka eneo la magesho. Tukaeleka kwenye moja ya mgahawa, tukapata chakula cha mchana kisha tukaelekea kitua kikuu cha polisi. Tukapokelewa na afande Kimaro ambaye moja kwa moja akatupeleka hadi kwenye chumba cha mahujiano. Nikajikuta nikiachia msonyo mkali sana hadi Biyanka na afande Kimaro wakashangaa.
 
“Tuliza jazba mume wangu, acha polisi wafanye kazi yao”
Biyanka alizungumza huku akinishika mkono wangu wa kulia, akihisi msonyo wangu unahusika na hasira kumbe sivyo kwani mtu waliye mkamata hapa ni tofauti kabisa na yule ambaye Biyanka alikuwa ampiga vizungu.
“Wanampiga kweli atazungumza?”
Nilimuuliza afande Kimaro huku tukiwa tumekaa katika chumba cha pilia na katikati kuna kioo kikubwa ambacho sisi tunaweza kuwaona watu waliopo katika chumba hicho cha mahojiano ila wao hawawezi kutuona sisi tulipo katika chumba hichi cha wasililizaji.
 
“Ndio kwa kumpiga vile ni lazima atataja ni nani ambaye amemuagiza”
“Ila naona kama haito saidia”
“Hiyo ni adhabu moja tu Ethan, ila kuna adhabu nyingine nyingi sana ambazo zitafwata ni lazima atataja”
Afande Kimaro alizungumza huku akijichekesha chekesha. Laiti watu hawa wangekuwa wanajua kwamba nina fahamu ujinga wao wote wala wasinge kubali hata kukaa karibu na mimi.
“Badilisha adhabu”
Afande Kimaro alizungumza huku akiminya moja ya batani. Askari wawili walio ndani ya chumba hicho nikawaona wakivaa gloves mikononi mwao.
 
“Samahani, munaweza kunipa dakika hata moja nikazungumza naye?”
Biyanka na afande Kimaro wakanitazama kwa mshangao, kisha wakatazamana na Biyanka akakubali kwa ishara ya macho.
“Sawa ila inabidi askari hao waweze kubaki ndani ya chumba hicho”
“Hapana nahitaji watoke kabisa na vifaa vyao hivyo vya mateso. Nahiji wakalishe kwenye kile chumba wamfunge tu pingu basi”
“Ila huyo tuliye mkamata Ethan ni mtu hatari ni jambazi moja hatari sana”
 
“Usijali nitakuwa salama”
“Ila mume wangu h…..”
“Hapana mke wangu, niamini, nitakuwa sawa”
Afande Kimaro akawaamuru vijana wake kufanya vile nilivyo hitaji. Nikavua koti langu la suti na kumkabidhi Biyanka, nikavua saa yangu hii ya dhahabu ambayo niliinunua dola elfu ishirini na tano na nikamkabidhi pia Biyanka.
“Kuwa makini mume wangu”
“Usijali”
Nilizungumza huku nikianza kuelekea katika mlango wa kuingia katika chumba hichi. Nikaikunja mikono ya shati langu, nikaburuza kiti kimoja cha chuma na kukiweka mbele yake. Nikatazama kamera nne tatu zilizo weka kwenye kona za hichi chumba. 
 
Jamaa huyu aliye jaa majaraha mwili mzima akanitazama kwa macho yaliyo jaa huzuni kubwa sana. Kwajinsi tu anavyo onekana kwenye macho yake hana hata sifa ya ujambazi. Nikanyanyuka na kuanza kumzunguka jamaa huyu kama mara nne hivi huku nikiendelea kumdadisi huku nikihakikisha kwamba udadisi wangu hauwezi kunaswa na kamera hata moja iliyo kwenye chumba hichi kwani kila kiti kina rekodiwa. Nikajikuta nikitabasamu mimi mwenyewe huku nikikaa kwenye kiti nilicho kuwa nimekalia hapo awali. 
 
‘Waseng** hawa wamemleta bubu humu ndani sasa atazungumza nini?’
Nilijikuta nikizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama jamaa wa watu jinsi anavyo chirizika damu, nikashusha mikono yangu chini kidogo usawa wa mweza hii na nikaanza kuzungumza na ishara za vidolea huku nikimuuliza jamaa huyu ni kosa gani ambalo limemfanya hadi kukamatwa na polisi. Nikajikuta nikishtajabu sana mara baada ya jamaa huyu kuniambia kosa la yeye kukamatwa na polisi ni kuiba kuku tena jogoo tena mitaa ya uswahilini, taratibu nikajikuta nikishusha pumzi huku nikitingisha kichwa kwa kumsikitia jamaa huyu mnyonge.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 199 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
       
“Kama kitu gani?”   
“Risasi ni moja wapo ya kitu ambacho unaweza kukikwepa haraka iwezekanavyo. Baba sasa huu ndio wakati wa kwenda kumtoa K2 madarakani, tummalize yeye pamoja na maadui wengine wote ambao waliweza kukuletea tabu wewe sawa”
Maneno ya Jojo yakanifanya nitabasamu kwani kwa uwezo nilio nao sasa K2 na wajinga wezake watajuta kunifahamu na watajutia ni kwa nini waliweza kuniharibia maisha ikiwemo kuwaua ndugu zao ambao nimewashuhudia wakipata mateso makubwa kuzimu, mateso ambayo K2 na wezake nao pia wanastahili kuyapata kwani ni haki yao.

ENDELEA
“Nimekuelewa mwanangu, umeweza kufwatilia ni wapi K2 alipo?”
“Yupo Tannia na bado ni raisi, na kwa sasa ana amani kubwa sana akiamini kwamba kila kitu kimekwisha”
“Ninahitaji kumshuhulika haraka iwezekanavyo”
“Ila nilazima nikufundishe jinsi ya kuweza kutumia nguvu zako. Kazi itaanza kuanzia kesho asubuhi, leo unatakiwa kuweza kupata chakula cha kutosha”
Jojo alizungumza huku akiondoka eneo hili, nikamfwata kwa nyuma na tukarudi ndani. Jojo akanionyesha chumba ambacho kinatumia kama jiko.
“Baba unajua ipo siku Tannia itakuja kutoweshwa moja ya visiwa vyake?”
Jojo alizungumza huku akifungua friji kubwa lililopo katika eneo hili, nikaona vidungu viwili vilivyo jaa juisi.
“Kwa nini unazungumza hivyo?”
“Miaka mingi ijayo hilo tukio litatokea”
“Ni kisiwa gani?”
“Una uwezo wa kuona mambo ya mbali, jaribu kuwaza hicho kitu alafu utaniambia ni kisiwa gani kitapotea kweney ramani ya dunia”
“Nifikie kwa namna gani?”
“Fumba macho yako, kisha vuta hisia kali sana juu ya hilo swala”
Nikajaribu kufumba macho yangu, nikafikiria kitu alicho niambia Jojo, ila nikashindwa kabisa.
“Sioni chochote”
“Vuta hisia, juu ya hicho kitu kwa manaa ni mambo yajayo”
Nikajaribu kurudi tena nilicho kifanya awali ila sikuweza kabisa kuona kitu cha aina yoyote.
“Hakuna kitu”   
Jojo akatoa kidungu kimoja cha juisi, akamimina juisi kiasi kwenye glasi na kunikabidhi, nikapiga fumba moja la juisi hii ambayo kwa haraka nikajikuta nikitema yote.
“Jojo hii si damu?”
“Ndio baba, ni damu ya binadamu, kwa sasa una uwezo ambao itakupasa kwa kila kipindi fulani unywe damu ya binadamu mwenye nyota kama yako na hii itakufanya uweze kuishi miaka mingi na hoto zeeka wala kuwapoteza asilimia yoyote ya nguvu za mwili wako. Miaka yote utabaki kuwa binadamu”
Maneno ya Jojo yakanifanya nibaki nimemtole macho tu.
“Baba, kufanya hivyo itakusaidia kuweze kufikisha malengo ya kuifikisha Tanzaninia katika malengo makubwa duniani, unakumbuka kwamba uliambiwa kwamba ni lazima uifanye Tanzania kuwa taifa kubwa na hii ndio njia ya pekee ya kukufanikisha wewe”
Jojo alizidi kuzungumza kwa msisitizo mkubwa sana.
“Jojo ila kumbuka kwamba mimi ni binadamu na sina chembechembe yoyote ya ujini?”
“Hilo ninalielewa baba yangu, ila una nguvu kama zangu, ili kuweza kuziongoza nguvu hizo ni lazima uweze kuitumia hiyo damu. Unaniona mimi, ninazidi kuonekana mrembo na mdogo sana kwa sababu gani unajua?”
“Eheee?”
“Kwa sababu ya hiyo damu. Huwa damu hii unatakiwa kunywa kila baada ya miaka mitano”
“Mmmmm”
“Ndio nanimekitafutia hii damu kwa ajili yako baba yangu, kunywa ili uweze kuishi”
Nikashusha pumzi nyingu huku nikimtazama Jojo usoni mwake. Taratibu Jojo akaushika mkono wangu ulio shika glasi na kuanza kuipandisha taratibu mdomoni mwangu.
“Usiisikilizie baba, kunywa moja kwa moja sawa baba”
Sikujubu kitu gadi glasi inafika mdomoni mwangu, nikatamaini kuinywa ila nikaishusha glasi hii.
“Jojo siwezi kunywa hii?”
“Baba na ukiacha kunywa hii damu huwezi kuishi miaka mingi, pia na nguvu ambazo umekabidhiwa zote zitaondoka mwilini mwako na hutoweza kupambaba na maadui zako. Baba huu ni muda wa kuhakikisha kwamba unakuza jina la Hitler kwa mara nyingine duninai. Kumbuka kwamba unaitwa Dany Hitler, tafadhali baba”
Jojo alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Nikaitazama glasi yenye damu, nikayafumba macho yangu na kuanza kunywa mafumba mengi kwa mfululizo hadi juisi ikaisha.
“Safi, inabidi umalize hichi kidungu”
“Sasa hivi!!!?”
“Ndio baba”
“Ahahaa hembu acha kwanza”
Nilizungumza huku nikitoka humu jikoni, Jojo akanifwata kwa nyuma na sote kwa pamoja tukaka sebleni, Jojo akawasha tv.
“Baba”
“Mmmmm”
“Unampenda Magreti?”
“Kwa nini unaniuliza hivyo?”
“Nimekuuliza tu baba?”
“Yaa ninampenda”
“Basi leo inabidi twende tukamchukue”
“Wapi?”
“Kule kwneye ile meli ya Livna”
“Si unakumbuka siku tuliyo ondoka tuliacha matatizo gani?”
“Ninakumbuka ila kwa sasa usiogope kwa maana hawawezi kutuzuia”
“Sihitaji kumdhuru mtu”
“Hatuwezi kumdhuru mtu”
“Sawa tutaend……”
Kabla sijamaliza sentensi yangu tukaona taarifa ya habari inayo muhusu K2 jambo lililo tufanya kunyamaza kimya na kumsikiliza kitu anacho kizungumza na waandishi wa habari.
“Serikali yangu ikishirikiana na nchi ya Marekani tumweza kuangamiza ngome kubwa ya magaidi ambayo ilikuwa ni meli kubwa iliyokuwa katikati ya bahari”
Taarifa hii ikanifanya nikae vizuri kwenye sofa hili, na kukazia macho hii taarifa.
“Tumeweza kumuangamiza gaidi anayeitwa Dany. Tuna kila sababu ya kusema kwamba Tanania na dunia kwa ujumla ina amani kwani gaidi huyo amekufa, na tumefanikiwa kumuokoa mwanangu”
K2 alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.
“Muheshimiwa raisi je tunaweza kuona mwili wa gaidi huyo?”
“Kwa sababu ya shambulizi hilo na sababu za kiusalama, basi kitengo maalumu kilicho endesha oparesheni hiyo kilichopo nchini Marekani kitatuonyesha mwili wa gaidi huyo akiwemo mpenzi wake Livna ambaye naye pia amekufa katika shambulizi hilo”
Nikajikuta nikinyanyuka kwa hasira sana, nikataka kupiga hatua japo moja mbele, ila Jojo kwa haraka kanishika mkono.
“Baba bado huna nguvu za kupambana na K2 kunywa damu ili nguvu zako uweze kuzihimili”
Jojo alizungumza kwa unyonge sana huku akinitazama usoni mwangu, kwa haraka nikiaelekea jikoni, nikafungua friji na kuchukua kidungu kimoja kilicho jaa damua mbayo kwa mara ya kwanza nilihisi kwamba ni juisi.
Nikaanza kunywa kwa kasi hadi nikaimaliza, Jojo akanitazama usoni mwangu huku nikiwa amejawa na tabasamu sana.
“Baba huu ni muda, sikuhitaji kukueleza juu ya hili tukio, nilihitaji ujionee wewe mwenyewe. Sasa ni muda wa kuzitumia nguvu zako”
“Tukio limetokea muda gani?”
“Limetokea usiku wa kuamkia leo”
“Nahitaji twende eneo la tukio”
“Lina ulinzi mkubwa sana”
“Twende eneo la tukio”
“Sawa ila kuna maandalizi tunatakiwa kufanya, njoo nikuonyeshe”
Tukaingia kwenye chumba kingine, chumba hichi kimejaa silaha za kila aina pamoja na mavazi ya jeshi karibia sara za majeshi ya kila nchi duniani.
“Ni muda wako sasa baba?”
Nikaanza kuzunguka kwenye chumba hichi nikitazama kila aina ya mavazi. Nikachukua mavazi ya jeshi la Marekani na kumfanya Jojo naye kuchukua mavazi kama haya. Tukavaa kwa haraka na nikachukua bastola mbili kama kawaida yangu.
“Kuna boti ipo eneo hili”
Jojo alizungumza huku tukitoka sebleni, tukatembea hatua kadhaa kuelekea kwenye fukwe hii ya bahari, nikaona boti moja ambayo ni kubwa na inaonyesha ina uwezo mkubwa wa kukimbia. Tukaingia kwenye boti hii na Jojo akaanza kuendesha kwa kasi boti hii. Kwa hasira kali ambayo imenitawala nikaanza kujihisi mwili wangu ukichemka kwa joto kali ambalo limenijia kwa muda mfupi sana.
“Baba tulizia hasira?”
Jojo alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, kwani hapa baharini kuna upepo mkali sana ila usoni mwangu ninamwagikwa na jasho jingi sana. Mikono yagu ikaanza kunicheza pale tulipo anza kuzioa boti nyingi kwa mbali pamoja na helicopter nyingi za jeshi zikizunguka katika eneo hili. Jojo akanitazama huku akimeza fumba zito la mate.
Kitendo cha kufika eneo la meli hii inayo fuka moshi mwingi sana na ikonyesha kwamba imeshambuliwa sana, nikaanza kushambulia wanajeshi kadhaa waliopo kwenye boti ndogo. Mashambulizi  yakaanza kuibuka katika eneo hili huku wanajeshi wa Marekani na Taania wakijitahidi sana kuhakikisha kwamba wanapambana nasi ila kusema kweli uwezo wangu umeongezeka mara dufu, kwani hata mtu awe umbali gani, simkosi kwa risasi ambayo nitaidhamiria kumfikia popote juu  ya mwili wake.
‘Dany nakufaa’
Niliisikia sauti ya Magret kwenye masikio yangu.
“Baba nenda nianchie huku nje”
Jojo naye alizungumza na nina imani kwamba ameweza kusikia sauti ya Magreti. Kwa haraka nikarudikia mnyororo mkubwa wa nanga unao toka kwenye meli hii kubwa ya Livna, nikaanza kupandisha juu kwa kasi sana. Sikumaliza hata sekunde ishirini nikawa nimesha fika eneo la ndani ya hii meli.
Nikawaona wasichana wengi sana wakiwa wamekufa vibaya, wengine wamalipuliwa kwa mabomu na miili yao kupoteza baadhi ya viongo. Unyama ulio tendwa humu ndani kusema kweli unanifanya nizidi kupandwa na hasira, kila mwanajeshi ninaye kutana naye anaye jifanya kwamba anakagua maiti za wasicha hawa ili awamalizie kwa kuwapiga risasi, anakuwa halali yangu na kila ninaye mshika, basi ninahakikisha kwamba ninaking’ofoa kichwa chake kama wanavyo fanya watoto pale wanapo washika modoli yao.
Sauti ya Magreti ikazidi kuniita na kunifanya nizidi kushuka chini, ambapo tayari maji yamesha anza kuingia kwa wingi. Nikayafimba macho yangu na kuisikilizia sauti hii ni wapi inapo tokea. Kichwani mwangu nikaanza kuona vyumba vya hii meli vilivyo anza kukatiza kwa kasi kichwani mwangu hadi nikafanikiwa kugundua kwamba Magreti yupo kwenye chumba nilichokuwa ninaishi mimi na tayari maji ndani ya chumba chiho yameshaingia ndani.
Kwa haraka nikaanza kuelekea chini ya kabisa kilicho chumba hicho huku nikijitahidi kuogelea kwa kasi sana. Nikafanikiwa kufika nje ya mlango wa chumba hichi, nikajaribu kuusukuma na kukuta ukiwa umefungwa kwa ndani. Nikarudi nyuma kwa kasi kisha nikapiga kikumbo kizito mlango huu ukafunguka, nikamkuta Magreti akiwa amekaa amekaa kwenye moja ya kona ya chumba hichi huku amekumbatia tisheti yangu.
Kwa haraka nikamsogelea na kumkuta akiwa ndio anamalizikia katika kuishiwa na pumzi, kwa haraka nikaanza kumpuliza mdononi mwake, zoezi la mkujaza pumzi likafanikiwa. Magreti akafumbua macho yake, alipo nitazama akatabasamu. Kwa haraka nikamshika kwa mkono wangu wa kulia na kuanza kuogelea kuelekea juu sehemu ambayo bado haijazama ndani ya bahari.
Tukafanikiwa kuingia katika chumba cha cha mawasiliano, ambacho hakina maji kabisa. Nikakuta maiti nginyi sana za wasichana hadi watoto wadogo sana ambao ndio kwanza walikuwa wakikuzwa katika kuifanya kazi hii ya kijasusi.
“Mungu wangu”
Magret alizungumza huku machozi yakimwagia usoni mwake, na mwili wake wote umejawa na maji, nikaingia katika chumba cha pili ambacho tulikuwa tunakitumia, tukiwa na vikako vya kuwazungumza na baadhi ya viongozi duniani. Nikakuta maiti za Ester, Logate na wasichana wengine wawili.
“Hawa washenzi wamewaua hadi hawa wasichana”
Nilizungumza kwa sauti nzito iliyojaa utetemeshi mwingi sana.
“Dany”
Logate alikurupuka chini alipo lala, sote tukamtazama. Kwa nguvu Logate akanikumbatia huku machozi yakimwagika usoni mwake.
“Imekuwaje?”   
Nilimuuliza hukun ikimtazama usoni mwake.
“Wametuvamia, niliwahi kujilaza chini na kujipaka damu za Ester na mimi nikaonekana nimekufa”
Logate alinijibu huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana na majonzi mengi japo hajanijibu swali nililo muuliza.
“Dady inabidi tuondoke”
Magreti alizungumza huku akitetemeka kwa woga sana. Nikatazama moka ya laptop iliyo anguka chini, nikaiokota na kifunua, na kukuta ni nzima bado.
“Mulikuwa munafanyaje?”
“Tulikuwa tunajitahidi kupambana nao, kuna mmoja wa wasichana alivujisha signal ya sehemu tulipo ndio maana tumeshambuliwa hivi”
“Sasa unaweza kufanya chochote?”
“Ngoja”
Logate alizungumza huku akijipangusa machozi yake usoni. Akaitazama hii laptop, kisha akaanza kiminya minya batani zake.  Nikamtazama kwa umakini na nikaona nikitu gani anacho kifikiria.
“Nahitaji ku…”
“Kulipua vinu vya nyuklia nchini Marekani, sasa mabomu yao yote ya nyuklia yaelekeze kwenye miji yao mikubwa pamoja na ikulu  zao, kisha lipua vinu hivyo”
“Sawa mkuu”
Logate akayang’ata meno yake na kuanza kuminya minya batani za laptop hii kwa kasi sana. Nikachukua rimoti na kuwasha tv zote kwa bahati nzuri nikazikuta zikifanya kazi.
“Zimebaki sekunda ngapi?”
Nilimuuliza Logate huku nikitazama chaneli moja habari nchini Marekani ikitangaza juu ya jeshi lao kufanikiwa kulipua meli iliyo ficha magaidi.
“Niwekee picha za satelaiti zinazo onyesha Marekani nzima”
Kwa haraka Logate akafanya hivyo, na nikaanza kushuhudia jinsi miji mikubwa ya nchini Marekani ikilipuliwa na mabomu haya makubwa ya nyuklia ambayo wao wenyewe ndio watengenezaji. Nikaona jinsi ikulu ya Marekani nayo ilipata pigo hili ambalo wamestahili.
“Mkuu tayari, Marekani hadi ije kurudi kwenye nguvu yake ni baada ya miaka mia moja ijayo”
Logate alizungumza kwa furaha sana, nikamtazama huku nikiwa nimejawa na tabasamu.
“Niunganishe na K2”
“Sawa”
Ndani ya muda machache nikaoiona sura ya K2 kwenye Tv ya mbele yangu, uso wake baada ya kuniona mimi akastuka sana, wasiwasi mwingi ukamjaa, kigugumizi kikampata kwani ninaona jinsi kinywa chake kinavyo jaribu kuzungumza neno ila kinashindwa.
“K2 baada ya Marekani wewe ndio unafwata. Jiandae”
Nilizungumza kwa sauti nzito sana ambayo tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kuitoa kinywani mwangu. Baada ya kuzungumza maneno hayo nikaipiga ngumi tv hii na ikapasuka pasukua, nikiashiria kwamba ni muda wa kwenda kuonana na K2 uso kwa uso.
                                                                           ITAENDELEA
‘Haya sasa histori ya dunia imeandikwa, Marekani imebaki magofu na sasa ni zamu ya K2 je ni nini atakacho fanywa K2? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Vyombo vya habari vya kidini vyaomba kufutiwa leseni za kibiashara

$
0
0
Askofu wa Kanisa la Agape, Vernon Fernandes ameiomba Serikali kuvifutia vyombo vya habari vya dini leseni za uendeshaji kibiashara na badala yake kuwaweka katika mfumo usio wa kibiashara.

Ametoa ombi hilo leo Ikulu jijini Dar es Salaam katika kikao kati ya Rais John Magufuli na viongozi wa dini ili kuzungumza masuala yanayohusu nchi.

 “TCRA wameifuta Non Commercial License wanataka sisi tufanye kazi kama ITV, EATV, tutawezaje kulipa leseni ya kibiashara wakati hatuna matangazo yanayoweza kutuingizia pesa hizo zinazotakiwa,” Amesema Vernon

Kamati Ya Nidhamu Fifa, Yamfungia Wambura Maisha

$
0
0
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limetangaza kumfungia Michael Wambura maisha.Kifungo hicho kinamfanya Wambura kutojihusisha na soka maisha.


Michael Wambura alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka nchini TFF katika uchaguzi mkuu wa mwezi Julai mwaka 2017, kabla ya kufungiwa na shirikisho hilo mwaka uliopita kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha.

Alikata rufaa Mahakamani, ambapo Mahakama iliamuru kurejeshwa katika nafasi yake mwishoni mwa mwaka uliopita lakini TFF ilikata rufaa FIFA.


TANESCO Yaalika Wawekezaji Jijini Arusha

$
0
0
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limewataka wawekezaji nchini kwenda mkoani Arusha kwa ajili ya kuwekezaji kwenye ujenzi wa viwanda kwani umeme upo wa kutosha.

Akizungumza jana Jumanne Januari 22, mjini hapa, Meneja wa Tanesco Mkoa wa Arusha, Mhandisi Herini Mhina, alisema uzalishaji huo umeongezeka kutokana na uwekezaji uliofanywa na Serikali kwenye miradi mbalimbali ya umeme.

Alisema uwekezaji huo umeliwezesha shirika hilo mkoani humo kutoa huduma za uhakika kwa wateja wakubwa wa umeme, wa kati na wadogo bila usumbufu wowote.

“Tanesco Arusha tunakaribisha wawekezaji wengi zaidi waje kuwekeza kwenye sekta mbalimbali, tuna umeme wa kutosha, tunaamini viwanda ni njia ya kutupeleka katika uchumi wa kati,” alisema Mhandisi Mhina.

Alisema Serikali kupitia Tanesco imetekeleza miradi mingi ya umeme, jamii haifahamu uwekezaji uliofanyika ambao ni mkubwa na wenye gharama kubwa.

Akizungumzia hali ya kukatika umeme, amesema kwa sasa tatizo hilo halipo kabisa, umeme hukatwa yanayofanyika matengenezo na ukataji miti ili kusafisha njia za umeme.

“Kwa sasa mkoa huu unazalisha umeme wa megawati 120 ingawa mahitaji kwa sasa ni megawati 75 jambo linalifanya Tanesco kuwa na bakaa ya umeme wa megawati 50.

“Uwekezaji uliofanywa na serikali katika sekta hii, umemaliza tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara kama ilivyokuwa miaka ya nyuma,” alisema.

Wamiliki wa Mabenki Wataja Sababu za Kutowakopesha Wachimba Madini

$
0
0
Mwenyekiti wa umoja wa mabenki Tanzania, Abdulmajid Nsekela amesema benki zimekuwa zikishindwa kutoa mikopo kwa wachimbaji wadogo kutokana na ukosefu wa leseni na wengine kukodisha jambo ambalo linawafanya washindwe kutambua uhalali wao.

Nsekela ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB alisema hayo jana katika mkutano wa wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini nchini uliofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Rais John Magufuli.

 “Wachimbaji hao wamekuwa wakishindwa kufanya upembuzi yakinifu wa mapato yao ambao husaidia benki kutathimini wanachozalisha ili waweze kukopeshwa.”

“Wamekosa mshikamano na umoja ambao ukitiliwa mkazo utaleta matokeo chanya lakini pia wamekuwa wakihamahama jambo ambalo huweka ugumu kwa mabenki kufuatilia utendaji wao,” alisema.

Alisema  kutokana na idadi ya benki kuongezeka amana pia imeongezeka hadi kufikia Sh29.9 trilioni kutoka Sh19.5 trilioni mwaka 2013 hivyo kuwezesha benki hizo kuendelea kufanya vizuri.

Alisema kutokana na kabadilika kwa sera za uendeshaji wa benki hizi sasa watajikita zaidi katika shughuli za kiuchumi na sekta ya madini.

“Mabenki yamekuwa yakishiriki katika sekta ya madini katika njia mbalimbali ikiwamo kutoa mikopo kwa wachimbaji mmoja mmoja na wakandarasi na kushiriki katika shughuli mbalimbali,” alisema

“Salio la mikopo iliyotolewa limezidi kukua kutoka Sh306 bilioni 2016 hadi kufikia Sh357 bilioni katika mwaka 2018 huku makubaliano yakiwa ni kupelekwa katika shughuli za madini tu,” alisema.

Alisema uzalishaji wa wachimbaji wadogo umekuwa duni kwa muda mrefu kutokana na kukosa nyenzo, mitaji jambo ambalo limefanya washindwe kutoa mchango unaostahili.

Watetezi haki za binadamu waanzisha operesheni ‘Tetea Haki za Mtuhumiwa’

$
0
0
Watetezi wa Haki za Binadamu nchini wameungana na kuzindua operesheni maalumu ya ‘Tetea Haki za Mtuhumiwa’ nchi nzima wakianza na Mkoa wa Arusha wilayani Ngorongoro.

Watetezi hao ni Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), ambao wamesema lengo lao ni kupambania  waathirika wa matukio ya watu kukamatwa na kukaa mahabusu bila hatia.

Pia  wameitaka Serikali na uongozi wa juu wa Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali za kisheria askari Polisi waliohusika na ukatili mbalimbali kwa baadhi ya watuhumiwa hasa waliokamatwa hivi karibu huko Loliondo ambao baadaye waliachiwa mwishoni mwa wiki.

Wamewataja wananchi hao waliowekwa mahabusu kwa wiki nzima kuwa ni pamoja na Peter Orkery, Musa Yahya, Kayanda Kisoki, Zakaria na Francis Arusha ambao walikamatwa na Jeshi la Polisi Wilayani Ngorongoro tangu Desemba 21, mwaka jana hadi Januari 4, mwaka huu.

Akitoa tamko lao jana Jumanne Januari 22, jijini Dar es Salaam mbele ya waandishi wa habari,  Mratibu wa Kitaifa THRDC, Onesmo Olengurumwa, alisema licha ya kukaa wiki nzima lakini pia walifanyiwa vitendo vya kikatili jambo ambalo halifai katika taifa.     

Utomvu Wa Kunenepesha Na Kurefusha Maumbile Ya Kiume Yaliyosinyaa Kisa Kujichua

$
0
0
Je una maumbile ya kiume yaliyo sinyaa na kunywea kwa sababu ya kufanya punyeto kwa muda mrefu? Umejaribu tiba mbalimbali bila mafanikio?

Unataka kupata tiba ya uhakika ya tatizo lako ?
Kama jibu lako  ni NDIO basi HII NI HABARI NJEMA SANA KWAKO.

Neema Herbalist ni wauzaji wa DAWA mbalimbali za.asili.

Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba tunao utomvu wa asili ambao unasaidia kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa sababu ya kufanya punyeto kwa muda mrefu.

Utomvu huu wa asili ambao unatumika kwa kunywa unasaidia kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa punyeto ndani ya siku thelathini.

Mbali na kusaidia katika kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa sababu ya punyeto utomvu huu pia unasaidia kuwatibu wanawaume wenye tatizo la kutoa mbegu chache .

Vile vile utomvu huu unasaidia pia KUONGEZA uteute kwenye joints mbalimbali mwilini.

Kupata tiba hii fika katika duka letu lililopo UBUNGO jijini DAR ES SALAAM jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA.

WASILIANA NASI KUPITIA SIMU NAMBA 0693 005 189.

NA KWA TAARIFA ZAIDI KUHUSU HUDUMA ZETU TUTEMBELEE KUPITIA BLOGU YETU:

Serikali ya Tanzania na Japan zasaini Mkataba Mradi wa Ujenzi Daraja la Gerezani

$
0
0
Hussein Ndbikile
Serikali ya Tanzania na Japan kupitia Shirika la Maendeleo la nchi hiyo (JICA) zimesaini mkataba wa Mradi wa  Ujenzi wa Daraja la Gerezani lengo likiwa kupunguza adha ya msongamano jijini Dar es Salaam.

Akizungumza jana jijini humo  kabla ya Hafla ya utiaji saini mkataba huo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe alisema mradi huo ni  mwendelezo wa utekelezaji wa Ilani ya Serikali ya Awamu ya Tano wakati ikiomba ridhaa ya kuongoza kwa wananchi na kwamba iliahidi kutekeleza ujenzi wa miundo mbinu imara nchi nzima.

“ Rais John Magufuli anatekeleza ahadi alizowaahidi wananchi, utiaji saini huu inaonyesha wazi Serikali ina mahusiano mazuri na mataifa mengine hata wahisani wana imani na fedha wanazozitoa zinavyotumika,” alisema Waziri Kamwelwe.

Alibainisha kuwa Serikali iko makini katika uboreshaji wa miundo mbinu katika sekta zote ikiwemo usafiri wan chi kavu, angani na majini  na kusisitiza ujenzi huo ukikamilika utapunguza adha ya foleni na kuchochea ukuaji wa uchumi.

Waziri Kamwelwe alisema kuwa bado Serikali inaendelea na ujenzi wa miundo mbinu ikiwemo ya Ujenzi wa Reli ya umeme( Standard Gauge), viwanja vya ndege, madaraja na barabara.

Kwa uapnde wake, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) Mhandisi Patrick Mfugale alisema mradi huo unatarajiwa kujengwa kwa miezi 24  huku gharama zake zikiwa Sh bilioni 22.48 hadi kukamilika kwake na mkandarasi msaidizi Sh bilioni 2.600.

Mhandisi Mfugale alifafanua kuwa ujenzi wa mradi huo ni sehemu mkakati ya kupunguza msongamano huku akibainisha Kampuni ya Sumitomo Mitsui Construction (SMCC) ndio imepewa jukumu la ujenzi.

Katika hatua nyingine, alisema daraja hilo litakuwa na urefu wa mita 40, upana wa sentimeta 30.4 na njia sita za watembea kwa miguu.

Wakati huo huo, Mhandisi Mfugale alisema Tanroads itahakikisha mkandarasi na mhandisi wanajenga daraja hilo kwa weledi na kukamilisha ndani ya muda.

Kwa upande wake Mwakilishi Mkuu  wa JICA nchini, Toshio Nagase alisema utiaji saini mkataba wa mradi huo ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Shirika hilo, Shinichi Kitaoka alipotembelea nchini mwaka 2017.

Nagase alisema ana imani mkandarasi aliyekabidhiwa atajenga daraja kwa bora a hali ya juu hata kuliko Daraja la Mfugale.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundo Mbinu, Selemani Kakoso alisema kukamilika kwa daraja hilo kutawasaidia wananchi kuwahi kazini muda wa asubuhi na wakati kurudi nyumbani.

Ameiomba Serikali kutoa fursa kwa wakandarasi wazawa kushiriki kwenye miradi ya ujenzi kwani kuna uthibitisho unaonyesha wakipewa wanafanya kazi kikamilifu akitolea mfano Ujenzi wa Daraja la Mto Mara na Ujenzi wa Meli Ziwa Nyasa na Mwanza.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images