Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Benki Kuu Kuanza Kununua Dhahabu....Naibu Gavana Asimulia Walivyouziwa Dhahabu Feki

0
0
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Dkt. Bernard Y. Kibesse ameweka wazi kuwa iliacha kununua dhabu kwakuwa waliuziwa dhahabu feki.

Dkt. Kibesse aliyasema hayo jana Jijini Dar es salaam, katika Mkutano wa wachimbaji,  Wafanyabiashara na Wadau wa sekta ya madini nchini.

Awali kabla ya kujibu  swali la Rais Magufuli ambaye aliuliza BOT imejipangaje licha ya kuwa hapo nyuma ilikuwa ikishirikiana na wauzaji wanaoibia serikali.

Dkt. Kibese alisema kwamba Benki Kuu haina tatizo na kununua dhahabu, hapo awali mpaka mwaka 1994 BoT ilikuwa ikinunua dhahabu, "taifa lenye watu wasio waaminifu, haliwezi kuwa Taifa endelevu, kilichotukuta tuliuziwa dhahabu feki tukaamua kusimamisha ununuzi".

"Tunafahamu kuwa 'Reserve' za Benki Kuu nyingi duniani zinakuwa na hazina za dola na dhahabu, nasi tunaweza lakini tupo tayari kuanza kununua tena. Tunaelewa Benki Kuu nyingi zinakuwa na hazina ya dhahabu.

“Tuko tayari kununua dhahabu ambayo tayari iko ‘refined’ (chakatwa) kwa sababu ndiyo kiwango ambacho kinakubalika kimataifa na nimefurahi kusikia kuwa kuna watu wana mitambo ya kufanya hivyo.

“Benki kuu tumeandaa sehemu ya kuhifadhi madini ndani ya utaratibu maalumu ambazo tutakubaliana kuwa ni lazima dhahabu inayokuwa pale iwe na mpangilio wake wa uhifadhiwaji.

“Kwa mfano mnunuzi hajapatikana hiyo dhahabu hairuhusiwi kukaa hapo zaidi ya siku tano na badala yake ipelekwe Center’.”  Alisema

Wachimbaji madini waomba kuanzishwa benki yao

0
0
Mwenyekiti wa Shirikisho la Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania (Femata), John Bina ameomba kuanzishwa kwa benki ya madini nchini itakayokuwa inatunza madini na kutunza fedha za wachimbaji.

Pia, wameomba Serikali kuweka hati ya utambulisho katika madini ya Tanzanite ili ijulikane inatokea Tanzania peke yake.

Bina akizungumza jana Jumanne Januari 22, 2019 katika mkutano wa wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini nchini alisema sababu ya benki hiyo itakuwa imesheheni wataalamu wa madini itaweka urahisi kwao kutunza bidhaa zao na kupata mikopo.

“Kwa sababu katika benki hizi za kawaida kukopesheka ni kugumu sana lakini tukiwa nayo ya kwetu tutakuwa huru na wadau wote wa madini watahusika, itakuwa chini ya BoT (Benki Kuu ya Tanzania),” alisema Bina.

Pia, wamewaomba wadau na BoT kushirikiana kununua madini yaliyopo nchini ili kurekebisha na kusimamia soko la madini.

“Kwa sasa matatizo yaliyopo, wanunuzi wapo lakini hawaonekani  likitokea tatizo dogo wanaacha, Geita hali ni mbaya mno gramu moja imetoka kwenye Sh80,000 hadi Sh30,000 hivyo benki itakapokuwapo itaoongoza soko,” alisema Bina.

Alisema Tanzanite kuwekewa utambulisho utasaidia kubaini madini mengine ya aina hiyo ni bandia.

“Hata ikitangazwa katika utalii itaonekana uhalisia wake ni kutoka Tanzania na inakuwa ni nembo pekee ya kutangaza nchi,” alisema.

Pia, ameiomba Serikali kuwasemea wachimbaji wadogo wanaodaiwa katika maeneo ambayo hawakuyachimba kwa kukosa taarifa sahihi za kijiolojia.

Wachimbaji hao wameomba kuanzishwa kwa siku ya madini nchini itakayokuwa inasherehekewa Julai 5 kila mwaka pamoja na kuomba mwakilishi mmoja ndani ya Bunge.

Bina alisema wakati wachimbaji hao wanaomba leseni huangalia sehemu yenye madini lakini pindi yanapoacha kupatikana wanakimbia.

“Kinachotokea zile leseni ukienda TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania) unaambiwa unadaiwa katika viwanja vyako Iringa. Tunaomba tukiyachimba mtusamehe madeni kwa sababu ni mzigo kwetu,” alisema.

Akizungumzia siku maalumu ya madini alisema kutokana na nchi kuwa na zaidi ya madini 260, amsema hakuna haja ya wao kupeleka katika maonyesho nchi nyingine.

“Tumekubaliana kuwa siku hii itaitwa Magufuli Day na tutaonyesha bidhaa zetu zote zitokanazo na madini nchini ili kuweza kuitangaza nchi kimataifa,” alisema Bina.

TANESCO Yaalika Wawekezaji Jijini Arusha

0
0
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limewataka wawekezaji nchini kwenda mkoani Arusha kwa ajili ya kuwekezaji kwenye ujenzi wa viwanda kwani umeme upo wa kutosha.

Akizungumza jana Jumanne Januari 22, mjini hapa, Meneja wa Tanesco Mkoa wa Arusha, Mhandisi Herini Mhina, alisema uzalishaji huo umeongezeka kutokana na uwekezaji uliofanywa na Serikali kwenye miradi mbalimbali ya umeme.

Alisema uwekezaji huo umeliwezesha shirika hilo mkoani humo kutoa huduma za uhakika kwa wateja wakubwa wa umeme, wa kati na wadogo bila usumbufu wowote.

“Tanesco Arusha tunakaribisha wawekezaji wengi zaidi waje kuwekeza kwenye sekta mbalimbali, tuna umeme wa kutosha, tunaamini viwanda ni njia ya kutupeleka katika uchumi wa kati,” alisema Mhandisi Mhina.

Alisema Serikali kupitia Tanesco imetekeleza miradi mingi ya umeme, jamii haifahamu uwekezaji uliofanyika ambao ni mkubwa na wenye gharama kubwa.

Akizungumzia hali ya kukatika umeme, amesema kwa sasa tatizo hilo halipo kabisa, umeme hukatwa yanayofanyika matengenezo na ukataji miti ili kusafisha njia za umeme.

“Kwa sasa mkoa huu unazalisha umeme wa megawati 120 ingawa mahitaji kwa sasa ni megawati 75 jambo linalifanya Tanesco kuwa na bakaa ya umeme wa megawati 50.

“Uwekezaji uliofanywa na serikali katika sekta hii, umemaliza tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara kama ilivyokuwa miaka ya nyuma,” alisema.

Wamiliki wa Mabenki Wataja Sababu za Kutowakopesha Wachimba Madini

0
0
Mwenyekiti wa umoja wa mabenki Tanzania, Abdulmajid Nsekela amesema benki zimekuwa zikishindwa kutoa mikopo kwa wachimbaji wadogo kutokana na ukosefu wa leseni na wengine kukodisha jambo ambalo linawafanya washindwe kutambua uhalali wao.

Nsekela ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB alisema hayo jana katika mkutano wa wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini nchini uliofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Rais John Magufuli.

 “Wachimbaji hao wamekuwa wakishindwa kufanya upembuzi yakinifu wa mapato yao ambao husaidia benki kutathimini wanachozalisha ili waweze kukopeshwa.”

“Wamekosa mshikamano na umoja ambao ukitiliwa mkazo utaleta matokeo chanya lakini pia wamekuwa wakihamahama jambo ambalo huweka ugumu kwa mabenki kufuatilia utendaji wao,” alisema.

Alisema  kutokana na idadi ya benki kuongezeka amana pia imeongezeka hadi kufikia Sh29.9 trilioni kutoka Sh19.5 trilioni mwaka 2013 hivyo kuwezesha benki hizo kuendelea kufanya vizuri.

Alisema kutokana na kabadilika kwa sera za uendeshaji wa benki hizi sasa watajikita zaidi katika shughuli za kiuchumi na sekta ya madini.

“Mabenki yamekuwa yakishiriki katika sekta ya madini katika njia mbalimbali ikiwamo kutoa mikopo kwa wachimbaji mmoja mmoja na wakandarasi na kushiriki katika shughuli mbalimbali,” alisema

“Salio la mikopo iliyotolewa limezidi kukua kutoka Sh306 bilioni 2016 hadi kufikia Sh357 bilioni katika mwaka 2018 huku makubaliano yakiwa ni kupelekwa katika shughuli za madini tu,” alisema.

Alisema uzalishaji wa wachimbaji wadogo umekuwa duni kwa muda mrefu kutokana na kukosa nyenzo, mitaji jambo ambalo limefanya washindwe kutoa mchango unaostahili.

Je, Dada unataka kuwa mrembo? Na kaka unataka kuwa mtanashati??....Tumia bidhaa za NATURAL BEAUTY

0
0
Je, Dada unataka kuwa mrembo? Na kaka unataka kuwa mtanashati??

Tumia bidhaa za NATURAL BEAUTY ni bidhaa zenye matokeo ya uhakika na kwa haraka zaidi.

Bidhaa hizi ni salama kabisa zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote.

 🍉🥑🍇🍒🍑🍐

1. BOTCHO MULT PLUS- Hii ni dawa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @250,000/=

2. BOTCHO HOLOGRAM CREAM-Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza hips na makalio inapatikana kwa@220,000/=

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi  kinapatikana kwa @250,000/=

4. LEG  BOOSTER- Dawa ya kupaka ya kuongeza miguu kuwa ( Chupa ya bia) @170,000/=

5. MAXMAN 2 CAPSULE-Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili  inapatikana kwa @250,000/=

6. VIG RX- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 11.5 inapatikana kwa @220,000/=

7. BODY BOOSTER- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri  @150,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft  vinapatikana kwa @170,000/=

9. SHARK SUPER POWER-Ni dawa ya kuongeza maumbile mpaka nchi 7.5 ndani ya wiki tatu tu @200,000/=

10. YODI PILLS-- Ni vidonge vya kuongeza (hips mapaja na makalio) vinapatikana kwa @250,000/=.      N.K

Wasiliana nasi kwa simu
NO. +255 75902996
                   AU
          +255 659618585

Popote ulipo utapata huduma zetu.
Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.

                         WELCOME ALL

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Watetezi haki za binadamu waanzisha operesheni ‘Tetea Haki za Mtuhumiwa’

0
0
Watetezi wa Haki za Binadamu nchini wameungana na kuzindua operesheni maalumu ya ‘Tetea Haki za Mtuhumiwa’ nchi nzima wakianza na Mkoa wa Arusha wilayani Ngorongoro.

Watetezi hao ni Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), ambao wamesema lengo lao ni kupambania  waathirika wa matukio ya watu kukamatwa na kukaa mahabusu bila hatia.

Pia  wameitaka Serikali na uongozi wa juu wa Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali za kisheria askari Polisi waliohusika na ukatili mbalimbali kwa baadhi ya watuhumiwa hasa waliokamatwa hivi karibu huko Loliondo ambao baadaye waliachiwa mwishoni mwa wiki.

Wamewataja wananchi hao waliowekwa mahabusu kwa wiki nzima kuwa ni pamoja na Peter Orkery, Musa Yahya, Kayanda Kisoki, Zakaria na Francis Arusha ambao walikamatwa na Jeshi la Polisi Wilayani Ngorongoro tangu Desemba 21, mwaka jana hadi Januari 4, mwaka huu.

Akitoa tamko lao jana Jumanne Januari 22, jijini Dar es Salaam mbele ya waandishi wa habari,  Mratibu wa Kitaifa THRDC, Onesmo Olengurumwa, alisema licha ya kukaa wiki nzima lakini pia walifanyiwa vitendo vya kikatili jambo ambalo halifai katika taifa.     

Viwanja Vikubwa Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

0
0
Viwanja viko Mingoi, ni mpakani mwa Bunju na Mapinga. Viko umbali wa km 2 kutoka Darajani (Bagamoyo Road). Viwanja viko sehemu nzuri inayofaa kwa Makazi, Biashara na Ufugaji.

Viko Viwanja vya size tofauti:
Robo eka (32/32) bei milion 12
Nusu eka (32/64) bei milion 24
Eka nzima (64/64) bei milion 48
20/20 (sqm 400) bei milion 5
20/30 (sqm 600) bei milion 8
20/40 (sqm 800) bei milion 10

Ruksa kulipa kwa awamu 2, kianzio ni 75% na luksa kujenga mara tu baada ya kulipa awamu ya kwanza.

Biashara hii haina dalali/udalali. Mpigie Mhusika: call 0758603077, whatsap 0757489709

Ukipata ujumbe huu, mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.

Utomvu Wa Kunenepesha Na Kurefusha Maumbile Ya Kiume Yaliyosinyaa Kisa Kujichua

0
0
Je una maumbile ya kiume yaliyo sinyaa na kunywea kwa sababu ya kufanya punyeto kwa muda mrefu? Umejaribu tiba mbalimbali bila mafanikio?

Unataka kupata tiba ya uhakika ya tatizo lako ?
Kama jibu lako  ni NDIO basi HII NI HABARI NJEMA SANA KWAKO.

Neema Herbalist ni wauzaji wa DAWA mbalimbali za.asili.

Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba tunao utomvu wa asili ambao unasaidia kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa sababu ya kufanya punyeto kwa muda mrefu.

Utomvu huu wa asili ambao unatumika kwa kunywa unasaidia kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa punyeto ndani ya siku thelathini.

Mbali na kusaidia katika kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa sababu ya punyeto utomvu huu pia unasaidia kuwatibu wanawaume wenye tatizo la kutoa mbegu chache .

Vile vile utomvu huu unasaidia pia KUONGEZA uteute kwenye joints mbalimbali mwilini.

Kupata tiba hii fika katika duka letu lililopo UBUNGO jijini DAR ES SALAAM jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA.

WASILIANA NASI KUPITIA SIMU NAMBA 0693 005 189.

NA KWA TAARIFA ZAIDI KUHUSU HUDUMA ZETU TUTEMBELEE KUPITIA BLOGU YETU:

Serikali ya Tanzania na Japan zasaini Mkataba Mradi wa Ujenzi Daraja la Gerezani

0
0
Hussein Ndbikile
Serikali ya Tanzania na Japan kupitia Shirika la Maendeleo la nchi hiyo (JICA) zimesaini mkataba wa Mradi wa  Ujenzi wa Daraja la Gerezani lengo likiwa kupunguza adha ya msongamano jijini Dar es Salaam.

Akizungumza jana jijini humo  kabla ya Hafla ya utiaji saini mkataba huo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe alisema mradi huo ni  mwendelezo wa utekelezaji wa Ilani ya Serikali ya Awamu ya Tano wakati ikiomba ridhaa ya kuongoza kwa wananchi na kwamba iliahidi kutekeleza ujenzi wa miundo mbinu imara nchi nzima.

“ Rais John Magufuli anatekeleza ahadi alizowaahidi wananchi, utiaji saini huu inaonyesha wazi Serikali ina mahusiano mazuri na mataifa mengine hata wahisani wana imani na fedha wanazozitoa zinavyotumika,” alisema Waziri Kamwelwe.

Alibainisha kuwa Serikali iko makini katika uboreshaji wa miundo mbinu katika sekta zote ikiwemo usafiri wan chi kavu, angani na majini  na kusisitiza ujenzi huo ukikamilika utapunguza adha ya foleni na kuchochea ukuaji wa uchumi.

Waziri Kamwelwe alisema kuwa bado Serikali inaendelea na ujenzi wa miundo mbinu ikiwemo ya Ujenzi wa Reli ya umeme( Standard Gauge), viwanja vya ndege, madaraja na barabara.

Kwa uapnde wake, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) Mhandisi Patrick Mfugale alisema mradi huo unatarajiwa kujengwa kwa miezi 24  huku gharama zake zikiwa Sh bilioni 22.48 hadi kukamilika kwake na mkandarasi msaidizi Sh bilioni 2.600.

Mhandisi Mfugale alifafanua kuwa ujenzi wa mradi huo ni sehemu mkakati ya kupunguza msongamano huku akibainisha Kampuni ya Sumitomo Mitsui Construction (SMCC) ndio imepewa jukumu la ujenzi.

Katika hatua nyingine, alisema daraja hilo litakuwa na urefu wa mita 40, upana wa sentimeta 30.4 na njia sita za watembea kwa miguu.

Wakati huo huo, Mhandisi Mfugale alisema Tanroads itahakikisha mkandarasi na mhandisi wanajenga daraja hilo kwa weledi na kukamilisha ndani ya muda.

Kwa upande wake Mwakilishi Mkuu  wa JICA nchini, Toshio Nagase alisema utiaji saini mkataba wa mradi huo ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Shirika hilo, Shinichi Kitaoka alipotembelea nchini mwaka 2017.

Nagase alisema ana imani mkandarasi aliyekabidhiwa atajenga daraja kwa bora a hali ya juu hata kuliko Daraja la Mfugale.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundo Mbinu, Selemani Kakoso alisema kukamilika kwa daraja hilo kutawasaidia wananchi kuwahi kazini muda wa asubuhi na wakati kurudi nyumbani.

Ameiomba Serikali kutoa fursa kwa wakandarasi wazawa kushiriki kwenye miradi ya ujenzi kwani kuna uthibitisho unaonyesha wakipewa wanafanya kazi kikamilifu akitolea mfano Ujenzi wa Daraja la Mto Mara na Ujenzi wa Meli Ziwa Nyasa na Mwanza.

Wimbo Mpya: Rich Mavoko - Mahaba Full Chaji

0
0
Wimbo Mpya: Rich Mavoko - Mahaba Full Chaji

LIVE: Rais Magufuli amekutana na Viongozi wa Dini Nchini

0
0
Rais John Magufuli anazungumza na Viongozi mbalimbali ya dini muda huu Ikulu jijini Dar es salaam, kujadili masuala mbalimbali yanayoihusu nchi. Tazama LIVE muda huu.

IKULU Yakanusha Taarifa Hii Inayosambazwa Mitandaoni

0
0
IKULU Kupitia kwa Mkurugenzi wake wa Mawasiliano, Gerson Msigwa, imekanusha taarifa inayosambazwa mitandaoni ikidai serikali inampango wa kufunga michezo ya kubahatisha kama iliyovyofanya Serikali ya Uganda

Mke Auawa Kwa Kukatwa Mapanga....Vifanga 400 Toka Malawi Vyakamatwa Vikiingizwa Nchini Kinyemela

0
0
KUINGIZA BIDHAA NCHINI BILA KULIPIA USHURU.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu wawili [02] 1. LEAH MWAKAJILA [42] Mkazi wa Uyole na REHEMA MATOLA [42] Mkazi wa Kiwira wakiwa na vitenge doti 72 toka nchini malawi wakiviingiza nchini bila kulipia ushuru.

Watuhumiwa walikamatwa tarehe 21.01.2019 saa 14:30 mchana huko katika Road Block Kayuki, Kata ya Ilima, Tarafa ya Pakati, Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya. Upelelezi unaendelea na mara baada ya kukamilika watuhumiwa watafikishwa Mahakamani.

KUINGIZA VIFARANGA NCHINI VILIVYOPIGWA MARUFUKU.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tukuyu iliyopo Wilaya ya Rungwe aitwaye MICHAEL PASCHAL [50] mkazi wa msasani akiwa na vifaranga box 04 sawa na vifaranga 400 toka nchini malawi vilivyopigwa marufuku kuingizwa nchini .

Mtuhumiwa alikamatwa tarehe 19.01.2019 saa 15:00 alasiri huko katika road block Kayuki, Kata ya Ilima, Tarafa ya Pakati, Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya akiwa na vifaranga hivyo, akiviingiza nchini kinyume cha sheria. Mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika.

MAUAJI – KYELA.
Mnamo tarehe 21.01.2019 majira ya saa 00:15 usiku wa kuamkia leo huko Hospitali ya Wilaya ya Kyela, Wilaya ya Kyela na Mkoa wa Mbeya. HAWA KAMWELA [27]  mkazi wa kijiji cha Busale,  Kata ya Busale, Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela na Mkoa wa Mbeya alifariki dunia baada ya kushambuliwa kwa kukatwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na mume wake  aitwaye ZAWADI KYEJO, mkazi wa Kijiji hicho cha Busale.

Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni ugomvi baina ya wanandoa hao baada ya mtuhumiwa huyo kukataa kutoa ada ya shule ya mtoto wao aitwaye SYLIVESTER ZAWADI aliyefaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2018.  Mbinu iliyotumika ni kumvizia marehemu huyo akiwa amelala na kumshambulia kwa panga. Msako mkali wa kumtafuta na kumkamata mtuhumiwa huyo  ili kumfikisha katika vyombo vya sheria unaendelea.

MAUAJI – KYELA.
Mnamo tarehe 19.01.2019 majira ya saa 11:03 asubuhi huko kituo cha afya Ipinda, Kata ya Ipinda , Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela, Mkoa wa Mbeya. MUSSA KATINA [35], mkazi wa Kijiji cha Mwaigoga alifariki dunia akiwa anapatiwa matibabu kwenye kituo hicho cha afya kutokana na kukatwa katwa na panga kichwani na sehemu nyingine za mwili wake na LWITIKO MWAKAROBO [50] mkazi wa Ipanda, Tarafa ya Ntebela.

Marehemu huyo ni mdogo wa mtuhumiwa huyo wakiwa ni ndugu waliozaliwa na mama na baba mmoja. Kiini cha tukio hilo bado hakijafahamika mpaka sasa. Mbinu iliyotumika ni kumvizia marehemu huyo na kumshambulia ghafla kwa kumkata panga kichwani, Mwili wa marehemu  umehifadhiwa katika chumba cha maiti hospitali ya Wilaya Kyela ukisubiri uchunguzi wa kitabibu. Mtuhumiwa amekamatwa. Upelelezi unaendelea.

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Rais Magufuli Awapa Nafasi Viongozi wa Dini Wafunguke Yote Waliyonayo Moyoni

0
0
Rais John Magufuli amesema kukutana na viongozi wa dini ni aina mpya ya kuukaribisha mwaka wa 2019 huku akiwataka kuongea wanayoyaona na kuwakosoa walipokosea kiutendaji.

Amesema kufanya hivyo huenda ikawa ni nafasi ya kupata ushauri kutoka kwa viongozi hao kwa sababu wameona utendaji wao kwa miaka mitatu.

Rais Magufuli ameyasema hayo leo Jumatano Januari 23, 2019 Ikulu jijini Dar es Salaam ambako anakutana na viongozi wa madhehebu ya dini mbalimbali ili kuzungumza nao masuala yanayohusu nchi.

“Naamini leo inaweza kuwa siku ya kwanza kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali kukaa pamoja Ikulu, hii inaashiria umoja na mshikamano na inaweza kuwa siku ya upatanisho kiroho,” amesema Rais Magufuli na kuongeza:

“Karibuni. Nitapenda kusikiliza kutoka kwenu, mimi leo nitasikiliza tu na ninyi  mtazungumza kama yatakuwapo machache nitayaongea.”

Amesema kila alipokuwa anaomba wamuombee walikuwa wakifanya hivyo ndiyo maana akaona atafute namna ya kuwashukuru.

Mke Auawa Kwa Kukatwa Mapanga....Vifanga 400 Toka Malawi Vyakamatwa Vikiingizwa Nchini Kinyemela

0
0
KUINGIZA BIDHAA NCHINI BILA KULIPIA USHURU.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu wawili [02] 1. LEAH MWAKAJILA [42] Mkazi wa Uyole na REHEMA MATOLA [42] Mkazi wa Kiwira wakiwa na vitenge doti 72 toka nchini malawi wakiviingiza nchini bila kulipia ushuru.

Watuhumiwa walikamatwa tarehe 21.01.2019 saa 14:30 mchana huko katika Road Block Kayuki, Kata ya Ilima, Tarafa ya Pakati, Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya. Upelelezi unaendelea na mara baada ya kukamilika watuhumiwa watafikishwa Mahakamani.

KUINGIZA VIFARANGA NCHINI VILIVYOPIGWA MARUFUKU.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tukuyu iliyopo Wilaya ya Rungwe aitwaye MICHAEL PASCHAL [50] mkazi wa msasani akiwa na vifaranga box 04 sawa na vifaranga 400 toka nchini malawi vilivyopigwa marufuku kuingizwa nchini .

Mtuhumiwa alikamatwa tarehe 19.01.2019 saa 15:00 alasiri huko katika road block Kayuki, Kata ya Ilima, Tarafa ya Pakati, Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya akiwa na vifaranga hivyo, akiviingiza nchini kinyume cha sheria. Mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika.

MAUAJI – KYELA.
Mnamo tarehe 21.01.2019 majira ya saa 00:15 usiku wa kuamkia leo huko Hospitali ya Wilaya ya Kyela, Wilaya ya Kyela na Mkoa wa Mbeya. HAWA KAMWELA [27]  mkazi wa kijiji cha Busale,  Kata ya Busale, Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela na Mkoa wa Mbeya alifariki dunia baada ya kushambuliwa kwa kukatwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na mume wake  aitwaye ZAWADI KYEJO, mkazi wa Kijiji hicho cha Busale.

Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa chanzo cha tukio hilo ni ugomvi baina ya wanandoa hao baada ya mtuhumiwa huyo kukataa kutoa ada ya shule ya mtoto wao aitwaye SYLIVESTER ZAWADI aliyefaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2018.  Mbinu iliyotumika ni kumvizia marehemu huyo akiwa amelala na kumshambulia kwa panga. Msako mkali wa kumtafuta na kumkamata mtuhumiwa huyo  ili kumfikisha katika vyombo vya sheria unaendelea.

MAUAJI – KYELA.
Mnamo tarehe 19.01.2019 majira ya saa 11:03 asubuhi huko kituo cha afya Ipinda, Kata ya Ipinda , Tarafa ya Unyakyusa, Wilaya ya Kyela, Mkoa wa Mbeya. MUSSA KATINA [35], mkazi wa Kijiji cha Mwaigoga alifariki dunia akiwa anapatiwa matibabu kwenye kituo hicho cha afya kutokana na kukatwa katwa na panga kichwani na sehemu nyingine za mwili wake na LWITIKO MWAKAROBO [50] mkazi wa Ipanda, Tarafa ya Ntebela.

Marehemu huyo ni mdogo wa mtuhumiwa huyo wakiwa ni ndugu waliozaliwa na mama na baba mmoja. Kiini cha tukio hilo bado hakijafahamika mpaka sasa. Mbinu iliyotumika ni kumvizia marehemu huyo na kumshambulia ghafla kwa kumkata panga kichwani, Mwili wa marehemu  umehifadhiwa katika chumba cha maiti hospitali ya Wilaya Kyela ukisubiri uchunguzi wa kitabibu. Mtuhumiwa amekamatwa. Upelelezi unaendelea.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images