Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

RC Makonda Amuombea Msamaha Tundu Lissu....Amtaka Spika Ndugai kumpeleka milembe atakaporejea nchini

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewaomba watanzania kumsamehe Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu kwa kauli anazozitoa huko nje ya nchi.

Makonda ametoa kauli hiyo leo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, katika Mkutano wa Wachimbaji, Wafanyabiashara na Wadau wa sekta ya madini nchini.

Makonda amesema kwamba amegundua kwamba kauli za Lissu zinatokana na kwamba bado hajapona vizuri kichwani kutokana na yeye mwenyewe kukiri wakati alipokuwa akimaliza mahojiano katika kipindi cha 'Hard Talk' kilichofanyika jana na kituo cha televisheni cha BBC.

Ameeleza kwamba katika mahojiano hayo, Lissu ameshindwa kujibu juhudi za Magufuli namna anavyopigana katika suala la madini, ambapo aliikimbia mada hiyo na kuzungumzia mambo mengine ya tofauti, hivyo inaonyesha bado  anaendelea kupokea malipo.

"Kama bado mgonjwa inamaana kichwani mambo hayajaakaa vizuri na ndo maana anahitaji matibabu na akitoka kule, tunamuomba Spika amfikishe Mirembe pale na aendelee kumuhudumia".Amesema Makonda

Askofu Kakobe Ampongeza Tena Rais Magufuli.....Awataka Watanzania Wasiwe Watu wa Kupinga Kila Kitu

$
0
0
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Zachary Kakobe amesema kwa miaka mingi Tanzania imekuwa ikiishi kama nchi ya laana kutokana na matunda yake pamoja na tabu zake kuliwa na nchi isiyojulikana.

Askofu Kakobe ameyasema hayo leo Jumanne Januari 22, 2019 katika mkutano wa wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini nchini unaofanyika jijini Dar es Salaam.

Askofu Kakobe amesema kwa miaka mingi matunda ya nchi ikiwamo madini yamekuwa yakiliwa na mataifa ya nchi nyingine na kuacha mashimo yasiyo na faida kwa nchi.

“Lakini ni jambo la kushukuru kwa sababu Mungu amemuinua shujaa Rais John Magufuli ambaye amekataa kwamba tuachiwe mashimo na urithi wetu wachukue mataifa mengine na suala hili linahitaji ushujaa sana,” amesema.

Amesema ukiingia katika habari za matunda ya nchi kubaki ndani ya taifa husika umetangaza vita ambayo miongoni mwake ni ile ya kiuchumi.

Pia, Askofu Kakobe alizungumzia tabia ya baadhi ya watu wanaopenda kuona Rais Magufuli anapingwa katika kila jambo licha ya kuwa kuna mazuri mengi anayoyafanya, kama waungwana hawatakiwi kupinga kila jambo hata kama wana hoja bali wanapaswa kutafuta mazuri ya kupongeza ili walete hoja.

“Hata Biblia inasema tutangulize yaliyo mema hata kama una hasira naye, hata Yesu Kristo alipokuwa anatoa ujumbe kwa makanisa saba alikuwa anaanza kupongeza mazuri hata kabla ya kuinua jambo lolote la kupinga, atakayekuwa anapinga atakuwa ni mkorofi na hata ukiwa na hoja itakuwa ngumu kusikilizwa,” amesema Askofu Kakobe.

Amesema Mungu ameipendelea Tanzania katika upande wa ugawaji mipaka na kuifanya kuwa nchi yenye kuvutia kwa kuipatia urithi wa aina mbalimbali.

“Hata ukiangalia kule Moshi namna ramani ilivyopindapinda ili kuruhusu Mlima Kilimanjaro uwe wa kwetu,” amesema.

Amesema kwa miaka mingi watu wamekuwa wakiita Tanzania nchi maskini lakini Rais Magufuli amethibitisha kuwa Tanzania ni nchi tajiri yenye uwezo wa kutoa misaada kwa nchi nyingine.

“Mimi nafikiri unapoanza kupambana na suala hili, uanze kufanyia kazi kwanza fikira za mtu. Kadiri tunapozidi kutamka vitu vizuri ndiyo tunazidi kuvichochea,” amsema.

LIVE: Rais Magufuli kwenye Mkutano wa Sekta ya Madini

$
0
0
Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania leo anahudhuria katika Mkutano wa wachimbaji, wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini.

Mkutano huo unafanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu J.K Nyerere – Dar es salaam.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0743543944   0620510598

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Waziri Wa Kilimo Akutana Na Rais Wa Shirikisho La Vyama Vya Ushirika Duniani

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) Jana tarehe 21 Januari 2019 katika ukumbi wa Wizara ya Kilimo maarufu (Kilimo I) Mtaa wa Tazara Jijini Dar es salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la vyama vya Ushirika Duniani (ICA) Dkt Ariel Guarco.

Katika mkutano huo uliotanguliwa na ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali ya vyama vya Ushirika Jijini Dar es salaam Rais huyo ameambatana Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho hilo Ndg Bruno Roelants pamoja na Rais wa Shirikisho la vyama vya Ushirika Afrika Ndg Japhet Magomere na Katibu Mkuu wa Shirikisho la hilo barani Afrika Bi Chiyoge Sifa

Pamoja na mambo mengine Mhe Hasunga amemuhakikishia kiongozi hugyo wa Shirikisho hilo kuwa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli imedhamiria kuboresha mapungufu ya muda mrefu kwenye vyama vya Ushirika ikiwemo kushughulikia viongozi wabadhilifu.

Hasunga alisema kuwa serikali kupitia Wizara ya Kilimo ipo katika mapitio ya sifa za viongozi wa Vyama vya Ushirika nchini ili kupata viongozi watakao ongoza kwa weledi sekta ya Ushirika.

Alimueleza Rais huyo kuwa Dhana ya kuchagua viongozi wa ushirika wenye sifa ya kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati hivyo kuna kila sababu ya kuchagua viongozi wenye weledi na utashi katika utendaji.

Aliongeza kuwa mfumo wa ushirika  ni nyenzo muhimu ambayo ukitumika vizuri itasaidia kuondoa  umaskini wa wakulima hapa nchini na Dunia kote utaimarisha uanzishwaji wa viwanda kuleta tija katika kilimo hivyo ni lazima kuwa na juhudi za makusudi kuwa na viongozi wenye weledi.

Alisema kuwa Wizara yake pia imeanza kupitia upya sheria ya vyama vya Ushirika ili kuwa na Ushirika imara na wenye nguvu na tija kwa wakulima kwani kufanya hivyo kutaongeza Imani ya wananchi waliokata tamaa na Ushirika.

Alisema pia miongoni mwa changamoto zinazoikabili sekta ya Ushirika nchini ni kukosekana kwa taarifa sahihi za wanachama (Data Base) kuanzia vyama vya msingi (Union) hadi vyama Vikuu vya Ushirika (AMCOS) jambo ambalo kwa muda mrefu limepelekea kuwa na Ushirika usiokuwa na tija na manufaa kwa wakulima wanaotumia nguvu na rasilimali zao nyingi katika kilimo.

Naye, Rais wa Shirikisho la vyama vya Ushirika Duniani (ICA) Dkt Ariel Guarco amesema kuwa msingi wa ziara yake hiyo katika Afrika Mashariki pamoja na nchi zingine ni sehemu ya utekelezaji wa wajibu wake ambapo alianzia Kenya, Rwanda na sasa Tanzania.

Alisema kuwa Tanzania ni miongoni kwa nchi zilizopo chini ya Jangwa la Sahara ambayo imepokea vyema dhana ya Ushirika ambapo serikali inaunga mkono kwa kiasi kikubwa hivyo ana Imani miaka michache ijayo kupitia mfumo huo wakulima watakuwa na mafanikio yasiyopimika.

Alisema kuwa amezuru nchini Tanzania kwa ajili ya kuonana na kufanya mazungumzo na wana Ushirika ikiwa ni sehemu ya kubaini na kuzitafutia ufumbuzi wa haraka changamoto mbalimbali kwenye sekta ya Ushirika. Vilevile ameeleza kuwa ziara hiyo ni sehemu ya kuendeleza na kuimarisha uhusiano uliyopo baina ya Tanzania na Shirikisho hilo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Shirikisho la vyama vya Ushirika Tanzania (TFC) Bi Aberhad Mbepera alisema kuwa ziara ya Rais huyo ni sehemu ya ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na ICA.

Alitoa wito kwa wakulima kujiunga na vyama vya Ushirika kwani katika Ushirika kutaimarisha umoja na mshikamano kwa kufanya kazi kwa bidii na kuwa na kauli moja katika kupanga bei ya bidhaa zao pasina kugalalizwa.

Akitoa neno la shukrani Mwenyekiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini Dkt Titus Kamani alisema kuwa maisha ya watanzania yataimarika kupitia Ushirika hivyo Tume hiyo imejipanga kutoa elimu kwa wakulima nchini kuelewa umuhimu wa kujiunga na mfumo wa Ushirika.

Alisema Ushirika ni nyenzo pana katika maisha halisi ya wananchi kwani hatua mbalimbali za wananchi zinategemea Ushirika kuanzia maisha ya kawaida, biashara na kilimo.

Aliongeza kuwa Tume ya Maendeleo ya Ushirika imedhamiria kuwanufaisha watu masikini kuwa na kipato cha kati kitakachomudu ukali wa maisha na kuwa na utajiri.

MWISHO.

PICHA: Halima Mdee Mbele Ya Kamati Ya Bunge Ya Haki, Maadili Na Madaraka Akihojiwa

$
0
0
Mbunge wa kawe Halima Mdee Leo januari 22 amefika mbele ya kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwaajili ya kuhojiwa na kujibu tuhuma zinazomkabili kuhusu kauli aliyitoa hivi karibuni ya kuliita Bunge Dhaifu

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Serikali Kuajiri Walimu Wapya 6000 Mwaka Huu

$
0
0
Na Mathew Kwembe, Chemba, Dodoma
Serikali imesema kuwa mwaka huu inatarajia kuajiri walimu wapya 6000 wa masomo ya Sayansi na Hesabu ambapo tayari kibali cha kuwaajiri walimu hao kimekwishatolewa.
 
Aidha Serikali inakusudia kuwapeleka walimu 11,000 wa masomo ya sanaa ambao ni wa ziada waliokuwa wakifundisha shule za sekondari kufundisha shule za msingi ili kukabiliana na upungufu wa walimu unaozikabili shule za msingi nchini.
 
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia elimu Mhe.Mwita Waitara ameyasema hayo jana katika Wilaya Chemba, mkoani Dodoma wakati akizungumza na watumishi kutoka Idara za Elimu ya Msingi na Sekondari kutoka Halmashauri hiyo. 

Kauli hiyo ya Serikali inafuatia taarifa ya Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya wilaya ya Chemba bwana Josephat Ambilikile kumweleza Naibu Waziri kuwa Halmashauri ya Chemba ina upungufu wa walimu 808 kati ya walimu 1628 wanaotakiwa kufundisha katika shule za msingi 103 zilizopo katika wilaya hiyo.
 
Mhe.Waitara alisisitiza kuwa Serikali kuanzia mwaka huu itakuwa ikiajiri walimu kila mwaka ili kufidia walimu wanaostaafu na pia kukabiliana na upungufu unaotokana na ongezeko kubwa la wanafunzi katika shule za msingi kutokana na mwitikio wa wazazi kupeleka watoto wao shule kufuatia uamuzi wa serikali ya awamu ya tano kutoa elimu ya bila malipo.
 
“Tayari Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli amekubali walimu waajiriwe na kibali kimekwishatolewa hivyo walimu 6000 wa masomo ya sayansi na hesabu na pia walimu 11,000 ambao ni walimu wa ziada waliokuwa wakifundisha masomo ya sanaa katika shule za sekondari watapelekwa kufundisha shule za msingi,” alisema Mhe.Waitara.
 
Pamoja na kueleza juhudi hizo za serikali za kuongeza idadi ya walimu, Naibu Waziri aliwataka walimu wanaofundisha masomo ya sayansi na hesabu kutowakatisha tamaa wanafunzi wanapowafundisha wanafunzi masomo hayo badala yake watumie mbinu rahisi ili wanafunzi waelewe kwa urahisi masomo hayo.
 
“Tunatarajia Walimu wanapaswa kutumia mbinu rahisi wanapofundisha hesabu ili wanafunzi wapende somo hilo,” alisema na kuongeza:
 
“Hata utunzi wa vitabu vya kufundishia masomo hayo inabidi uangaliwe upya kwani watoto wanakimbia kusoma masomo ya sayansi na hesabu kwani kutokana na namna vitabu hivyo vinavyotungwa vinasababisha watoto wachukie masomo ya sayansi na hesabu,” alisema Waitara.
 
Jambo lingine alilolizungumzia Naibu Waziri ni kiwango duni cha ufaulu kilichoonyeshwa na Mkoa wa Dodoma hasa wilaya ya Chemba katika matokeo ya kitaifa ya darasa la saba na kidato cha nne ambapo aliwataka watendaji wa elimu katika halmashauri hiyo kuja na mikakati itakayoboresha elimu wilayani humo.
 
“Ukitaja wilaya 10 zilizofanya vibaya kwa ufaulu Chemba ni ya 10 kwa matokeo ya darasa la saba, mkae chini mje na mkakati wa kuboresha matokeo ya wilaya yenu, cha muhimu mikakati hiyo ishirikishe ngazi zote kuanzia ngazi ya mkoa, wilaya, tarafa hadi kata,” alisema.
 
Pia Naibu Waziri alikemea tabia iliyojitokeza hivi karibuni kwa baadhi ya watendaji wa elimu kushiriki katika kuiba mitihani ambapo aliagiza kuwa kama kuna mwalimu ameshiriki katika wizi wa mitihani halmashauri isisite kumchukulia hatua kwani kitendo hicho kinarudisha nyuma maendeleo ya elimu ya nchi.
 
Sambamba na hilo Mhe.Waitara alionya tabia ya baadhi ya watendaji wasio waaminifu katika halmashauri kutumia kinyume na maelekezo ya serikali fedha za miradi kwa ajili ya kusaidia miundombinu ya shule.
 
“Fedha kama ni kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ipokee na iende ikajenge hosteli, kadhalika kama fedha ni kwa ajili ya kununulia samani za shule ipokee na iende ikanunue samani za shule, ukigusa fedha ya elimu kinyume na maelekezo ya serikali tutashughulika na wewe,” alionya Waitara.;
 
Mapema Naibu Waziri alipata fursa ya kutembelea shule ya sekondari na shule ya msingi ya Chemba na kushuhudia ujenzi unaoendelea wa chumba kimoja cha darasa katika shule ya sekondari chemba, ujenzi ambao umetokana na michango ya wananchi.
 
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mheshimiwa Simon Odunga alimweleza Naibu Waziri kuwa  wilaya hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na upungufu wa walimu na kukosekana kwa utayari kwa jamii kuchangia masuala ya elimu kwa dhana kuwa kila kitu kinatolewa bure na serikali.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Sirro Afanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi Mikoa Mitatu

Rais Magufuli Amtaka Waziri wa Madini, Naibu Wake na Makatibu Wajiandae Kuachia Ofisi

$
0
0
Rais John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Madini, Dotto Biteko ajiandae kuachia ofisi yeye pamoja na Naibu Waziri wake endapo atashindwa kufunga kamera katika ukuta wa madini.

Rais amesema hayo leo wakati akihutubia mkutano wa Wachimbaji, Wafanyabiashara na Wadau wa sekta ya madini nchini.

"Niliagiza kufungwe Kamera katika ukuta wa Mererani lakini mpaka sasa hazijafungwa, ndio tatizo la Mawaziri wa Tanzania unatoa maagizo hawasikilizi" amesema Rais Magufuli.

Dkt. Magufuli ameongeza kwamba, "Nakuagiza tena Waziri Biteko, kafunge kamera ndani ya mwezi huu maana usipofanya hivyo ujiandae kuondoka na Naibu wako na makatibu wako, yaani hadi niondoke na nyie nimewamaliza".

Pamoja na hayo Rais ametaka Waziri Biteko kuwa mkali katika Wizara hiyo, "Nakuagiza uwe mkali, aliyekuwa Waziri mwenzako hakuwa mkali ndiyo maana nikaamua aende akapumzike ofisi ya Waziri Mkuu".

Wadau waeleza madini yanavyotoroshwa kwenye matikiti maji

$
0
0
Wadau wa madini wameeeleza jinsi madini nchini yanavyotoroshwa kwenda nje ya nchi kupitia mipakani.

Wadau hao wameeleza hayo leo Jumanne Januari 22, kwenye Mkutano wa Kisekta wa Wizara ya Madini ulioshirikisha wadau mbalimbali wa madini, baada ya Rais John Magufuli kutoa nafasi kwa wadau hao kuelezea changamoto zinazowakabili.

Mmoja wa wadau wa madini kutoka mkoani Geita, amesema madini hayo hutoroshwa na watu kutoka nje ya nchi kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwamo kuficha kwenye matikiti maji.

“Mtu anaweza akaiba dhahabu na kuweka hata kwenye ‘side mirror’, tikiti maji, kabichi, au tairi la spea, kwenye tikiti maji na kabichi anakata anaingiza kilo nyingi tu za dhahabu.

“Tukipata nafasi ya kuzungumza kwa utaratibu tutayasema haya yote, serikali inatoa taarifa ambazo sio sahihi ndiyo maana uliposema tujadili watu walipiga makofi.

“Pale Uwanja wa Ndege wa Mwanza, zile mashine ukienda na karatasi za namna fulani ukafunga madini unapita bila usumbufu wowote, nilienda kwenye kamati na tukakubaliana kwenda kuhakikisha na tulipofika ni sehemu moja tu ilionyesha kuna madini lakini sehemu nyingine hazikuonyesha,” amesema.

Mchimbaji huyo mdogo wa almasi, amesema utoroshwaji  madini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na wanunuzi wa ndani kunashindwa kumudu ukubwa wa ada za leseni ambazo huhitaji zaidi ya Sh5 milioni.

“Tulikuwa tunaomba kwa sisi kama wazawa angalau iwe Sh2 milioni, kwa wageni hata ikiwekwa Dola 5,000 za Marekani haina shida,” amesema.

Mjumbe wa Melema tawi la Mirerani, Fatuma Kikuyu amesema vijana walio nje ya ukuta ni wengi kuliko waliopo ndani  kutokana na kukosa mikataba na kulipa mishahara.

“Ungetuachia lile geti la Magufuli wazi ili vijana waingie kwenda kufanya kazi ili kuopngeza pato la taifa, jambo ambalo linawasababisha kuruka ukuta hivyo tunaomba tufanye kazi kama zamani,” amesema Fatuma.

Askofu Gwajima Atoa Ushauri Mzito Kwa Rais Magufuli

$
0
0
Mchungaji wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuunda timu ya watu wenye uzoefu mkubwa na wanaoijua siasa ya madini kimataifa, ili kuweza kupata soko kubwa zaidi.

Mch. Gwajima ametoa ushauri huo alipokuwa akizungumza mbele ya Rais Magufuli kwenye mkutano mkuu wa kisekta wa wizara ya madini.

Kwenye ushauri huo Askofu Gwajima ambaye alianza kwa kumsifu Rais Magufuli, amesema kwamba ni vyema akaunda timu ya watu wenye 'exposure' kwenye siasa ya madini, kwani itasaidia kuweza kupenya kwenye soko la kimataifa.

“ Leo umekuwa kama Nabii, nitoe ushauri kwa Mh. Rais, si kweli kama hakuna soko la madini, dhahabu yenyewe ni fedha, isipokuwa nashauri kama ikikupendeza, uwe na watu wenye exposure kwenye siasa za madini kimataifa, sisi kwa asili tuna dhahabu, huwezi kutuambia tumechukua dhahabu ya wengine tuthibitishe ni za kwetu, hizo ni siasa tu za masoko, unaweza ukaunda watu wenye exposure ambao wanaweza kufikia masoko mbali mbali duniani”, amesema Askofu  Gwajima.

Sambamba na hilo Mchungaji Gwajima ameendelea kueleza kwamba madini tuliyonayo ni mengi na yanakosa soko kutokana na sababu mbali mbali, na iwapo yangelipiwa ushuru yasingezagaa, hivyo kama ambavyo aliwahi kukutana nayo watu wakiyauza kwenye bakuli barabarani.

"Nilipita Mwadui nikashangaa, wakaniuliza tukuletee almasi kwa utani, ndani ya saa moja watu walileta almasi imejaa bakuli haina watu wa kununua, wametoka nazo ndani ya nyumba zao, hizo kama zingelipiwa ushuru nchi yetu ingekuwa mahali pazuri sana”, amesema Gwajima

Hii leo Rais Magufuli amefanya Mkutano na wadau wa Sekta ya Madini, ambao pia uliwakutanisha na wadau na wafanyabiashara ya madini yaliyopo nchini.

TECNO Yatimiza Ndoto za Watoto Yatima

$
0
0
Katika kuhakikisha jamii ya Kitanzania inafanikiwa na kufaidika kwa uwepo wake kampuni ya simu nchini Tanzania TECNO Mobile yahakikisha zaidi ya watoto 100 ambao ni yatima wanapata vifaa vya shule.

TECNO imefanikiwa kuchangia fedha pamoja na mahitaji mengine ya msingi kwa kituo cha Chanika Children Shelter kinacholea watoto yatima kilichopo chanika, jijini Dar es salaam, katika kituo hicho takribani watoto wenye umri tofauti kuanzia miaka 4 mpaka 18 wanalelewa kwa usaidizi mkubwa wa mmiliki wa kituo hiko kiongozi wa madhehebu ya budha nchini Dr. Pannasekara.

Akizungumza wakati wa makabidhiano meneja wa uhusiano wa kampuni ya simu ya TECNO bwana Erick Mkomoye alisema kwamba, “ndoto za Watoto hao ndio zilizopelekea kampuni ya simu ya TECNO kuanzisha kampeni inayofamika KUWA SHUJAA WANGU na kuanzia kwa kuchangia hundi ya kiasi cha millioni 5 ili kutimiza mahitaji yao ya shule, tuliwashawishi watanzania na wateja wetu kuwasaidia watoto hawa kadri wawezavyo lakini pia sisi kama kampuni pia tutawasaidia watoto hawa kuhakikisha ndoto zao zinatimia tumeanza na million 5 na tutaendelea. ”

Bwana Eric aliongeza, “KUWA SHUJAA WANGU ni kampeni ambayo imepelekea kuwasaidia watoto wa Chanika Children Shelter ili kutimiza ndoto zao za kwenda shule na kuanza masomo yao katika ngazi tofauti tofauti sekondari na msingi na hata chekechea ili baadae waje timizia ndoto kubwa zaidi za kuwa daktari, mwalimu, rubani katika kulifanikisha hili TECNO tumeamua kuipa muendelezo kampeni hii kwa mwaka wote huu wa 2019”.

 Alimaliza,na baadhi ya vitu vyengine ambavyo kampuni imefanikiwa kuviwasilisha Chanika Children Shelter ni mafuta, mchele, unga, sukari, sabuni  kwaajili ya matumizi ya kila siku. 

Kituo cha Chanika Children Shelter kinatunza watoto  zaidi mia moja  wenye umri tofauti tofauti  wanaofika wenyewe au kuletwe kutokana na mazingira magumu wanayokumbana..

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya January 23


Wagonjwa MOI Kufanyiwa Upasuaji Bila Nusu Kaputi

$
0
0
Na Andrew Chale
TAASISI ya tiba ya Mifupa MOI imeanzisha huduma ya kutoa dawa za usingizi (Reginal block Anaesthesia) ambapo eneo husika linalofanyiwa upasuaji ndilo litakolo husika kwa kuzuia mishipa ya fahamu na hivyo mgonjwa kuwa macho na kuzungumza au hata kusoma gazeti

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt Respicious Boniface katika hafla ya kuwapokea wakufunzi wawili kutoka Chuo kikuu cha Latvia cha nchini Latvia ambao watatoa mafunzo hayo ya kibingwa ya kuzuia mishipa ya fahamu katika eneo linalofanyiwa upasuaji badala ya kumlaza mgonjwa usingizi (Nusu kaputi) kwa zaidi ya siku kumi kwa madaktari bingwa wa MOI na madaktari walio mafunzoni

“Huu ni muendelezo wa mafunzo ambayo tulishayaanzisha kwa mdakatari wetu , lengo kubwa la mafunzo haya na ujio wa wakufunzi hawa ni kuhakikisha huduma hii inaendlea kutolewa hapa MOI. Ni mbinu bora na salama ya kumlaza mgonjwa kwaajili ya upasuaji ambapo mgonjwa anaweza kufanyiwa upasuaji huku anasoma kitabu (Novel) ambapo baada ya upasuaji mgonjwa hapati maumivu makali na anaweza kuruhusiwa kwenda nyumbani siku hiyohiyo” Alisema Dkt Boniface

Dkt Boniface amesema pamoja na wakufunzi hawa kutoa mafunzo , Taasisi ya MOI itasiani mkataba wa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Latvia lengo kuu ikiwa ni kubadilishana uzoefu katika utoaji wa huduma za kibingwa za Usingizi (Anaesthesia)

“Kwa kuanza tutasaini mkataba wa ushirikiano wa miaka mitatu ambapo watalaamu kutoka hapa watapata fursa ya kujifunza kwenye Chuo chao lakini pia watakuja hapa kutoa mafunzo ya muda mfupi kama ambavyo hawa wamekuja” Alisema Dkt Boniface

Dkt Boniface ameongeza kwamba kwa sasa Taasisi ya MOI imeanzisha huduma ya kulazwa na kufanyiwa upasuaji siku hiyohiyo yaani (Same day Surgery) hivyo huduma hii itatumika katika wagonjwa wanaofanyiwa upasuaji na kuruhusiwa kwani wagonjwa hawapati maumivu makali baada ya upasuaji na hakuna masharti magumu baada kufanyiwa upasuaji

Kwa upande wake Profesa Alex Miscuks kutoka Chuo Kikuu cha Latvia amesema ni heshma kubwa kupata fursa ya kuja kubadilishana uzoefu hapa Tanzania kwani pamoja na kutoa mafunzo atapata fursa ya kujifunza mambo mengi.

“Nashukuru sana kwa kunialika, nimefurahi kukutana na madaktari wazuri na wazoefu hapa MOI, naamimi mimi pia nitajifunza mambo mengi kwenu, ahsnteni sana” alisema Prof Miscuks

Kwa upande wake Dkt Iveta Gobovska ambaye pia ni Mkuu wa kitengo cha wagonja mahututi katika hospitali ya Chuo Kikuu cha Latvia amesema amefarijika kupata fursa ya kuja kubadilishana uzoefu na madaktari wa Tanzania na anamini pande zote mbili zitanufaika na mafunzo haya.

DRC: Polisi yamzuia Fayulu kuhutubia wafuasi wake....Bado Anasisitiza Yeye Ndo Mshindi Halali wa Urais

$
0
0
Polisi wamezuia wafuasi wa Martin Fayulu kukusanyika kwenye makao makuu ya chama chake alitakorajiwa kuwahutubia. Ingawa Korti ya Katiba imethibitisha ushindi wa Felix Tshisekedi, Fayulu anadai ameibiwa ushindi wake.

Msemaji wa Martin Fayulu Eve Bazaiba amesema polisi walivamia mahali ambako Fayulu alikusudia kuwahutubia wafuasi wake, na kulibeba jukwaa na vipazasauti vilivyokuwa vimeandaliwa.

''Wamevikamata vyombo vyote na kuwakamata pia watu, na sijui wamewapeleka wapi.'' amelalamika Bazaiba na kuongeza, ''nilipouliza kinachoendelea, nimeambiwa polisi wanacho kibali cha kuwazuia watu kuingia na kutoka.''

Licha ya kutawanywa na polisi baadhi ya wafuasi wa vuguvugu la upinzani la LAMUKA linalomuunga mkono Fayulu waliendelea kusubiri kuwasili kwa kiongozi wao kwenye makao makuu ya chama cha MLC.

Fayulu na wafuasi wake ambao wamepinga matokeo yaliotolewa na tume ya uchaguzi na kujitangaza kuwa mshindi wa uchaguzi huo amesema kwamba ni lazima raia wa kongo wapewe haki zao.

''Tunachotaka ni kupata haki kulingana na matokeo ya uchaguzi, kwa sababu tuna uhakika kwamba tulishinda,'' amesema msemaji wa Fayulu Eve Bazaiba, na alipoulizwa watafanya nini kuhakikisha wanafanikiwa, amesema watazidi kukazana kwa sababu 'sheria iko upande wetu.''

Wakati huohuo, mandalizi kwa ajili ya kuapishwa kwa rais mteule Felix Tshisekedi yanaendelea mjini Kinshasa. Sherehe hiyo iliotarajiwa kufanyika Jumanne imeahirishwa hadi Alhamisi, hiyo ikiwa ni kwa mujibu wa Lambert Mende msemaji wa serikali inayoondoka madarakani.

Mahali patakapofanyika sherehe hiyo bado kufahamika, lakini wafuasi wa chama cha UDPS cha Tshisekedi waliomba kiongozi wao aapishwe kwenye uwanja wa kandanda wa Kinshasa ilikuwaruhusu washiriki pia.

Ni kwa mara a kwanza Kongo itashuhudia kuapishwa kwa rais mpya kufuatia kuchukuwa madaraka kwa njia ya amani kutoka kwa rais mwingine.

Credit:DW

Wahamiaji 81 Wanaswa Dar es Salaam......Msako Bado Unaendelea

$
0
0
Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam, imeanza kusaka wahamiaji haramu kwenye makazi na sehemu za kazi, ikiwamo kuwachukuliwa hatua za kisheria.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kaimu Ofisa Uhamiaji Mkoa, Kamishna Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiani, Novaita Mroso, alisema operesheni maalum imefanyika na inaendelea.

Alisema wameamua kuwasaka wahamiaji haramu kwenye mitaa, ili kuweza kuwadhibiti zaidi.

“Tukishindwa kukupata eneo la kazi tutakufuata nyumbani, kwa utaratibu tuliojiwekea Dar es Salaam, siyo sehemu salama kuwa maficho kwa wahamiaji haramu. Yeyote anayeajiri raia wa kigeni ahakikishe ana vibali vyote vya kuishi nchini,” alisema.

Alisema ilianza Januari 17 mwaka huu, na hadi jana ilikuwa na siku tano na jumla ya wahamiaji 81, ambao wanatuhumiwa kwa makosa mbalimbali walitiwa mbaroni.

“Kati yao tumebaini 35 wanatoka nchini Burundi, waliobaki wanatoka Somalia na Congo, wengine 46 wanaendelea kuchunguzwa na baada ya kukamilika tutabaini uhalali wao wa kuwapo nchini,” alisema.

Mroso alisema waliobainika kuwa ni wahamiaji haramu watachukuliwa hatua za kuwafikisha mahakamani na kuwafukuza nchini.

“Operesheni maalum ni sehemu ya jukumu letu la udhibiti wa wahamiaji haramu. Pia tumekuwa tukifanya uhakiki wa taarifa za wageni waliopo Mkoa wa Dar es Salaam ambao wamejiajiri au kuajiriwa,” alisema.

Waziri Mkuu Majaliwa Kufungua Mkutano Wa Maafisa Ustawi Wa Jamii

$
0
0
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kufungua mkutano wa siku tatu wa maafisa ustawi wa jamii mikoa 26 na halmashauri zote nchini wenye lengo la kujadili utendaji kazi, utoaji huduma za ustawi wa jamii na mifumo ya utendaji kazi.

Akizungumza na mwandishi wa habari jana jijini hapa, Mkurugenzi Msaidizi  wa Huduma za Ustawi wa Jamii Ofisi ya Rais Tamisemi, Rashid Maftaha, alisema kuwa  mkutano huo unatarajia kuanza Januri 29 hadi 31 mwaka huu jijini Dodoma.

Alisema kuwa  mkutano huo unatarajia kushirikisha washiri takribani 370 ikiwamo maafisa ustawi wa jamii wa mikao 26, halmashauri 184, wadau wa maendeleo, na wizara za kisekta ambazo zinahusiana na utoaji wa huduma za ustawiwa jamii, kama wizara ya elimu, afya, Katiba na Sheria, Viwanda na Biashara, madini na kilimo.

“ Unaweza jiuliza, Wizara ya Madini inahusikajie na huduma za ustawi wa jamii, hawa ni wadau muhimu, kwani kwenye migodi kuna utumikishwaji wa watoto, na hata watumishi wake wanakuwa wako mbali hivyo ni lazima wafikiwe na huduma za jamii, halii hii pia iko kwenye viwanda.

“Pia unaweza kujiuliza kwa nini wizara ya kilimo, lakini ukweli ni kuwa asimia 80 ya watanzania wanafanya shughuli za kilimo na asilimia 70 yao wako vijijini, na takwimu zetu zinaonesha kuwa watoto wengi walio katika mazingia hatarishi wanatoka vijijini ambaochanzo kikubwa na umasikini na jangwa la Ukwimi.

Maftaha aliongeza :” Tunashukuru wenzetu wa kilimo katika Mpango wa Maendeleo ya Kilimo kwa kwanza na huu wa pili ni jumuishi kwani kuna dirisha maalumu kwa ajili ya watu walio katika mazingira hatarishi wakiwemo, wenye ulemavu, wajane, wazee ambao wanapata pembejeo na wana uwakilishi katika kamati za ugawaji pembejeo

Kauli mbiu ya mkutano huo ni “Weledi, uadilifu, uwajibikaji ni nguzo ya msingi katika kuleta usatawi wa makundi maalumu kuelekea katika uchumi wa kati wa viwanda.”

Maftah alisema kuwa : “ Tunaamini watendaji wetu kwenye halmashauri na mikoa wakifanya kazi zao kwa kuzingatia uadilifu, weledi, wakifuata sheria, kanuni na taratibu tunaamini makundi yenye uhitaji maalumu wanaweza kufikiwa inavyotakiwa hivyo mchango wao ukaongezeka katika uchumi wa viwanda,

Mkutano huu ni wa kwanza ikiwa ni takribani miaka 15 baada ya kutokea mabadiliko ya kimuundo kwa kuiondoa Idara ya Ustawi wa Jamii kutoka Serikali kuu kwenda Serikali za Mitaa.

Akifafanua zaidi, Maftaha alisema serikali ya Awamu ya Tano imekuwa ikifanya kwa vitendo katika kuwahudumia wananchi hususani wale wanyonge ikiwamo wazee, wenye ulemavu, watoto wa mitaani na wale wanaoishi katika mazingira magumu, wanawake wenye mahitaji maalumu kama wajane, wenye magonjwa sugu na walio katika kaya masikini.

Hata hivyo alisema kuwa  lengo la mkutano ni kuwakutanisha watendaji hao na kutoa mrejesho wa utekelezaji wa huduma za jamii katika maeneo ya serikali za mitaa, utendaji kazi na namna mfumo inavyofanya kazi.

“ Pia tutaangalia mafanikio na changamoto na kwa upamoja na kuja na mapendekezo ya kutatua changamoto stahiki za za kiutendaji na mfumo ili kusogeza na kuimarisha zaidi hudumua za ustawi wa jamii kwenye mamlaka ya serikali za mitaa. Kama kuna yale ambayo yatataka kuwepo mabadilko ya kisera basi tutafikisha katika mamlaka husika.

Aidha, Maftah alitumia fursa hiyo kuwaasa wananchi kuendelea kuwalinda watoto kwa kutoa taarifa haraka kwa mamlaka pale panapokuwa na viiashiria ay dalili au kitendo cha ukatili kwa mtoto.

Alisema kuwa pamoja na pamekuwa na changamoto ya ushahidi pale kesi zinapofika mahakamani au wahanga na mashahidi kubadili taarifa walizotoa awali, lakini ni vyama jamii ikaungana kutakabiliana na ukatili kwa watoto.

“Hatuwezi kukubali vitendo vya ukatili anavyofanyiwa mtoto alafu tuambiwe kuwa wamekubaliana pembeni hilo hatulikubali mpaka sheria ichukue mkondo wake.

BASATA Yawafungulia Diamond Na Rayvanny..... Wasafi Festival Kuendelea Kama Kawaida

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images