Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 194 na 195 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA      
     
“Baba yako yupi?”
Nilizungumza huku nikimdadisi sana huyu msichana.
“Wewe”
“Mimi?”
“Ndio, wewe ni baba yangu. Mama yangu ni OLVIA HITLER”
Nikapatwa na kigugumizi nikashindwa kabisa kumjibu msichana huyu ambaye ninakumbuka nilizaa na mama yake ambaye ni jini miaka mingi ya nyuma na alisha wahi kuniahidi kwamba ipo siku mwanangu ninaye mpatia atakuja kunisaidia na hichi ndicho kilicho tokea kwa siku ya leo, ahadi ambayo hata akilini mwangu sikuwahi  kuifikiria kwamba inaweza kuja kutokea ila leo imetimia.
   
ENDELEA
“Naamini kwamba utakuwa unashangaa kuniona kwenye hali kama hii ila nina imani kwamba umenikumbuka”
“Yaa, nimekumbuka”
“Nimekuja kukusaidia, kwenye kila jambo linalokusumbua kwenye maisha yako”
Moyoni mwangu wala sina kipingamizi cha aina yoyote kwani maneno ya msichana huyu yamenifanya kumuamini kwa asilimia mia moja, kwani siri ya kuzaa na Olvia Hitler, nilikuwa nayo mimi mwenyewe na nimeishi nayo kwa miaka sana na sikuwahi kumuambia mtu wa aina yoyote.
 
“Njoo hapa”
Nilizungumza huku nikimuita mwanangu taratibu nikamkumbatia kwa nguvu sana huku machozi yakinilenga lenga, kwani kwenye maisha yangu nimebahatika kupata mtoto mmoja tu ambaye alisha uwawa na wengine wapo kwenye matumbo ya mama zao, ila huyu nimekutana naye.
Magreti akashuka kwenye gari huku akionekana kutushangaa sana jinsi tulivyo kumbatiana.
“Kuanzia leo  utaitwa Jojo”
“Asante baba kwa jina lako, nimelipokea kwa moyo mmoja”
“Mama yako anaendeleaje?”
Jojo taratibu akaniachia, usoni mwake amejawa na machozi mengi.
 
“Niambie mama yako amefanyaje?”
“Muda wake wa kuja ulimwenguni umekwisha na sasa yupo tu chini ya bahari”
“Ina maana hato kuja tena duniani?”
“Ndio, safari yake ya mwisho kuja duniani ni siku ambayo mulikutana, na alinihitaji unipate mimi ili niendele kuzifanya kazi zake alizo ziacha huku duniani”
Jojo alizungumza kwa sauti ya upole kidogo huku akinitazama usoni mwangu.
“Dany”
Magreti aliniita na kunifanya nigeuke na kumtazama usoni mwake.
“Mumejuana juana vipi na huyo msichana?”
“Huyu ni mwanangu anaitw Jojo”
 
“JOJOOOOOOO….!!!”
“Yaaa”
“Danu una mtoto mkubwa kiasi hicho?”
“Ndio”
“Jojo anaitwa Magreti”
“Ninamfahamu”
“Unanifahamu?”
“Yaa tangu ukiwa mdogo ninakufahamu”
“Mmmmmm”
“Yaa, tuondokeni hii sehemu sio salama Wamarekani wanakuja”
Kutokana nina ujua uwezo wa mwanangu Jojo, sikuwa na kipingamizi wala ubishi kwa haraka tukarudi kwenye gari, tukaingia ndani na kuondoka eneo  hili.
“Wewe umesema kwamba unanijua mimi kutoka nikiwa mdogo?”
 
“Siitwi wewe, baba yangu amenipatia jina la Jojo, niite Jojo Dany”
“Sawa Jojo Dany, umenijuaje wewe na huku porini ulikuwa unafanyaje?”
“Na nyinyi huku porini mulikuwa munafanyaje?”
Jojo  alizungumz ahuku akimgeukia Magreti aliye kaa siti ya nyuma pamoja na Osama Bin Laden.
“Kuna kazi maalumu ilikuwa imetuleta huku”
“Hata mimi kuna kazi maalumu ilinileta huku.”
“Kazi gani?”
“Magreti huwa sipendelei maswali mengi kutoka kwa mtu ambaye hanihusu, anaye nihusu hapa ni baba yangu tu”
Nikamtazama Jojo kwa jicho la kuiba huku nikiendelea kuendesha gari hili kwa mwendo wa kasi.
 
“Kunja kilia”
Jojo alizungumza.
“Kuna kulia Wanajeshi wapo mbele hapo?”
Nikafanya alicho nieleza Jojo, nikaingia kulia, ambapo kuna kichaka kikubwa. Kwa ishara Jojoakaniomba nisimamishe gari, hazikupita hata dakika mbili gari zipatazo nane za Wamaerekani zikaanza kupita kwa kasi kuelekea sehemu tulipo toka.
“Tunaweza kwenda sasa”
Nikarudisha gari nyuma taratibu, na kuondoka eneo hili kwa kasi sana.
“Baba sitisa mpango wa kurudi kwenye meli unayo ishi, nahitaji tuimalize hii kazi iliyopo mbele yetu”
“Ila mwanangu nina imani kwamba tutakuwa tunatafutwa?”
“Yaaa wanatutafuta na sura zenu tayari wamezinasa kwenye satelaiti”
“Jojo ninakutegema sasa mwanangu, kwa maana sijui nini cha kufanya”
 
“Upo nami, baba hilo usijali”
“Hivi munajua munacho kizungumza mimi siwaelewei nyinyi, kwa maana Dany usalama wetu ni kurudi kwenye meli”
“Mukirudi mutasababisha maafa makubwa kwa wengine kwa maana sasa hivi wamarekani wamegundua teknolojia mpya ya kuweza kuwatafuta watu wanao wahitaji popote pale waendapo hususani sura zao wakiwa tayari wamesha zihifadhi. Kwa sasa musipige simu wala musitume meseji popote ndio maana nimezifanya simu zenu kupoteza uwezo wa mawasiliano. Najua mutajisifu kwamba muna vifaa ambavyo vinaweza kufanya chochote duniani ila kwa hicho kimoja walicho kizindua jana wamewashinda”
 “Jojo kusema kweli sikuelewi, wewe ni nani kwani?”
“Mimi ni Jojo”
Magreti akabaki na swali la kishindwa kumelewa Jojo kabisa, ila mimi nina muelewa.
 
“Sasa hapa si lazima watakuwa wataufwatilia?”
“Ndio wanatufwatila ila wanashindwa”
“Wanashindwa kwa nini?”
Jojo akanisogela sikioni na kuninong’oneza.
“Nimewafunga uwezo wao wa kiakili  hawawezi kujua ni wapi tunapo elekea japo wanatuona tu kwenye mitandao yao”
“Mbona munanificha jamani minieleze kile kinacho endelea”
“Magreti usijali nitakuambia sehemu tutakayo fika ni kitu gani kitakacho endelea”
Jojo alizungumza huku akimtazama Magreti ambaye bado anaonekana kuto kuridhika kabisa na mazungumzo yyetu.
“Simama hapo”
 
Jojo alizungumza, nikasimamisha gari kwenye moja ya njia inayo ingia kushoto kwetu. Jojo akashuka kwenye gari na kutufanya mimi nami nishuke kwenye gari.
“Kuna kitu gani kinacho endelea”
“Hapo mbele kuna ukaguzi mkubwa sana wa wanajeshi”
“Tutapita wapi?”
“Hakuna njia ya pekee zaidi ya kwenda kuwaua, kwa maana ni hapo chini ukimaliza hiyo kona hapo mbele”
“Ni nini kinacho endelea”
Magreti alizungumza kwa sauti ya juu huku akinifwata sehemu tulipo simama na Jojo.
“Kuna rod block hapo mbele na wapo wanajeshi wengi”
“Mmmmmm sasa itakuwaje?”
“Tunakwenda kuwaua”
Jojo alizungumza kwa kujiamini sana.
“Chukua silaha” 
   
Magreti alizungumza huku akimkabidhi jiji bunduki.
“Huwas itumiagi silaha samahani”
“Dany huyu mwano vipi?”
“Mlinde Osama tunakuja”
Jojo akaanza kupandisha kwenye njia hii iliyopo pembezoni mwa barabara huku akikimbia, nikaanza kumfwata kwa nyuma huku nami nikiwa nimeshika bastola yangu. Tukafika juu ya kilima kilichopo pembezoni mwa hii barabara, tukasogelea karibu kabisa na ukingo wa barabara na tukawaona wanajeshi wengi wa Kimarekani wakiwa wamesimamisha magari wakiendesha ukaguzi mkali sana.
“Wapo ishirini na nane, chukua watatu walio baki mimi nitadili nao”
 
Jojo baada ya kuzungunza maneno yaho akaruka na nikabaki nikimtazama, akatua katikati ya wanajeshi wanne, kwa kasi ya ajabu ambayo hakuna binadamu anaweza kuienenda, akaanza kuwavunja vuja wanajeshi hao.
Wanajeshi wengine wakaananza kumshambulia kwa silaha, ila Jojo, akazidi kuwa mahiri na hatari kwao kwani mapigo yake hayakunishangaza mimi tu ila hata wanajeshi. Nikashusha pumzi nyingi na kuanza kufyatua risasi kwa wanajeshi watatu nilio ambiwa niwaue. Ndani ya dakika kadhaa wanajeshi wote wamalala chini na wamekufa. Jojo akaninyooshea kidole gumba ikiwa ni ishara kwamba amefanikisha kazi.
 
“Ruka”
“Eheee?”
“Shuka?”
Nikatazama umbali ambao Jojo aliruka, kwa binadamu wa kawaida, nilazima utajifikiria mara mbili mbili hata kama ni hodari kiasi gani.
“Ruka tu baba”
Nikarudi nyuma hatua mbili kisha nikajitosa hewani, nikafanikiwa kutua chini salama pasipo kupata tatizo lolote. Watu ambao wapo kwenye magari yao, ni muda mrefu wamatoka na kukimbia baada ya kuona mashambulizi tuliyo yafanya.
 
“Hizi maiti inabidi tuzitoe hapa?”
“Si itatuchukua muda?”
“Hapana, dakika chache”
Jojo akaanza kubeba maiti moja baada ya nyingine na kuitupia pembeni ya barabara. Tukasaidia kwa haraka haraka kuzitoa hizi maiti kisha tukarudi kwenye eneo ambalo tulipo muacha Osama na Magreti.
 
“Mumefanikiwa?”
Magreti alizungumza mara baada ya kutuona tumeingia ndani ya gari.
“Ndio tuondokeni eneo hili”
Jojo alijibu na kuondoka eneo hili na kuendelea na safari. Tukafika katika nyumba ambayo Jojo alihitaji tuweze kufikia. Ni nyumba iliyo jengwa vizuri sana, ina gorofa mbili juu na vitu vyake humu ndani ni vya thamani sana.
“Karibuni hapa ni kwangu”
“Kwako?”
Magreti alizungumza huku akishangaa sana.
“Ndio kwangu, au ulihisi kwmba sina kwangu”
“Hapana ila ninashangaa kukuona binti mzuri una maisha mazuri kama haya”
“Hahaaaa hizi ni pesa za bibi yangu.”
Jojo alizungumza huku akinitazma usonini mwangu. Nikatamani kumuuliza juu ya bibi yake ila nikajikuta nikikaa kimya.
 
“Huyu Osama wenu munatembea naye wa nini, kwa maana hana msaada wowote kwenu”
“Huyo atatukutanisha na K2?”
“Atawakutanisha na K2 kivipi ikwa wamarekani wanamhitaji?”
“Wanamuhitaji kumua, ila si kumlinda. Tukiendelea kukaa naye hapa atatuletea matatizo”
“Ninahitaji kumuua kwa mkono wangu”
“Ila Dany hayo sio makubaliano?”
“Hata yeye alitugeuka, nahitaji kumrusha kwenye vyombo vya habari jinsi ninavyo muua”
“Ila si kwa sura hiyo baba yangu”
“Hii kwani vipi?”
 
“Ukiwa katika sura yako  halisi utazidi kupendeza”
“Kweli?”
“Ndio  baba, ngoja niandae mazingira ya wewe kumuua”
Jojo akaondoka hapa sebleni na kutuacha mimi, Magreti na Osama ambaye hakielewi Kiswahili kabisa.
“Dany hivi huyu ni mwanao wa aina gani mwenye roho kama yako”
“Like father, like a daughter”
Jojo akarudi hapa sebleni, akatuambai kwamba tayari amesha andaa mazingira, tukaongozana naye hadi gorofa ya kwanza tukaingia kwenye moja ya chumba, tukakuta kamera mbili zikiwa zimesimishwa vizuri, kiti kimoja pamoja na meza yenye laptop juu yake.
 
“Baba utakwenda hewani moja kwa moja, chaneli zote duniani zitaweza kuona kile kitu unacho kifanya”
“Hilo ninaona kama si wazo zuri?”
Magreti alizungumza huku akitutazama.
“Ni wazo zuri, kwa maana ni lazima baba yangu azidi kuwa maarufu”
“Maarufu kwa kumuua Osama?”
“Ndio kw akumuua Osama, kwani hata Marekani si walipata umaarufu kwa kumuua Osama”
“Dany hili sio wazo zuri sioni sababu ya kumua huyo Osama ikiwa mpango wa wazo nililo kupatia haujalamilika?”
“Nyote mulishindwa kwa kuweka hisia za mapenzi mbele, muliona njia ya kujiburudisha kwa ngono ndio itawapa muda wa kupumzika zivuri ikiwa kuna wezenu walijipanga kuja kuvamia hapo. Laiti ingekuwa sipo unahisi wewe na baba yangu mungekuwa wapi?”
 
Jojo alizungumza kwa ukali ambao si wakawaida, macho yake yakabadilika rangi, na kuwa kijani huku mboni yake ikibadilika kutoka rangi nyusi na kuwa nyekundu. Magreti baada ya kuona hali hii mwili mzima ukaanza kumtetemeka. 

Jojo akaanza kumfwata Magreti huku kucha zake zikianza kukua mikononi mwake, jambo ambalo hata mimi mwenyewe linaniogepesha kwani kuwa na mtoto wa aina kama hii inataka ujasiri na uvumilivu mkubwa sana.
 
AISIIIII……….U KILL ME 195

Nikataka kuzungumza kitu ila mdomo wangu ukashindwa kufunguka kabisa, Jojo kwa haraka akamkandamiza Magreti ukutani huku mkono wake mmoja ukiwa ameugandamiza kifuani mwake.
“Hivi ndivyo nilivyo sawa?”
Jojo alizungumza kwa ukali sana na kumfanya Magreti kutingisha kichwa chake, Jojo akamuachia Magreti, akarudi kwenye hali yake ya kawaida huku akinitazama na kutabasamu, akanikonyeza. Nikagundua yote aliyo yafanya ilikuwa ni njia moja ya kujidhihirisha mbele ya Magreti na hata kwangu kwamba yeye ni mtu wa aina gani.
“Baba unaweza kuendelea na utaratibu”   
“Inabidi  sasa niivue hii sura”
“Sawa”
Nikaanza kujibabadua sura hii ya bandia, japo ninapata maumivu makali ila nikazidi kujitaidi kukitoa sura hii hadi nikafanikiwa.
 
“Pole baba yangu”
“Asante mwanangu”
“Sasa tunarusha matangazo haya moja kwa moja hewani. Nimesha weka post muda fulani kwamba kuanzia muda wowote gaidi Dany atakwenda hewani na ana ujumbe maalumu kwa watu wote duniani”
“Sawa mwanangu”
Nikaichomoa bastola yangu moja na kusimama nyuma ya kiti  tulicho mkalisha Osama Bin Laden.
 
“Nahesabu moja hadi tatu, utaaza kuzungumza au kumuua yote ni sawa”
“Poa poa”
“Magreti simama kamera ile pale, usiniogope bwana nilikuwa ninakutania”
Jojo alizungumza kwa sauti iliyo jaa furaha, Magreti akamtazama Jojo kwa macho ya woga, taratibu Magreti akaisogelea kamera hiyo. Kwa ishara ya vidole, Jojo akaanza kuhesabu moja hadi tatu.
 
“Habari za muda huu, dunia nzima nina imani kwamba inashangaa kwa kile ambacho munakiona mbele yenu. Miaka mingi nyuma nchi ya Marekani ilitangaza ulimwenguni kwamba wamemuua gaidi anayejulikana kwa jina la Osama Bin Laden. Dunia iliweza kukubaliana na hilo, japo kuna baadhi ya watu waliweza kupinga kwamba hawajamuu Osama.”
“Ni kweli Osama Bin Laden hajafa na ninataka kuwadhihirishia dunia kwamba mimi ndio nitamuua Osama Bin Laden mbele yenu.”
 
“Sababu ya kumuu Osama Bin Laden, moja ni kutoka ameungana na nchi ya Marekani, pamoja na Tan katika kuhakikisha kwamba wanayaelekeza mashambulizi kwangu. Kutokana msaliti kwangu nilazima afe, basi mutashuhudia kifo chake mbele yenu”
Nikaikoki bunduki yangu, Osama akaanza kuzungumza maneno ya kiarabu akiashiria kwamba anamuomba Mungu wake sala ya mwisho. Jojo akanitazama na kunikonyeza kwamba nimuue, nikaielekezea bastola yangu kichwani mwa Osma Bin Laden, nikamtazama Magreti kisha nikampiga risasi mbizi ambazo zote zimeingia  kichwani mwake.
 
“Huyu aliiingia kwenye mfumo wangu wa kulipiza kisasi kwa maadui zangu, K2 jiandae ndio unaye fwata kwenye hili”
Baada ya kumalizia kuzungumza meneno haya nikafyatua risasi kadhaa mwilini mwa Osama, hadi risasi zote zilizopo kwenye magazine zikaisha.
 
Nikaondoka katika eneo hili, na kusimama pembeni ya Jojo huku tukiutazama mwili wa Osama Bin Laden jinsi unavyo mwaga damu. Jojo akaichomoa kamera iliyopo kwenye stand, akaanza kumsogelea Osama huku akiwa ameishika. Magreti akanisogelea nilipo simama.
 
“Dany”
“Ndio
“Ninaomba nijitoe kwenye huu mpango, ninaogopa”
“Unaogopa nini?”
“Dany kuna vitu vingine sijawahi kukutana navyo maishani mwangu. Kwa mafano huyo mwano unahisi kweli ninaweza kukaa naye sehemu moja kwa maana sio mtu”
Magreti alizungumza kwa sauti ya chini sana ambayo sisi wawili hapa ndio tunaisikia.
 
“Mimi ni mtu usiniogope bwana”
Jojo alizungumza huku akianza kutufwata sehemu tulipo simama.
“Ametusikiaje?”
“Magreti ngoja nikutoe wasiwasi, mimi nina uwezo wa hata kuona mambo yajayo kwenye maisha yako na ninauwezo pia wa kuyabadilisha na yakawa kama vile nitakavyo”
“Ina maana wewe una uwezo kama Mungu?”
“Hahaaa, hapana, mimi sio Mungu, sio jini, sio binadamu wala sio malaika”
 
“Sasa hapo wewe ni nani?”
“Sijui, labada baba yangu ajibu swali hilo”
“Ni Jojo”
“Tuachane na mazungumzo hayo, sasa tunatakiwa kuelekea kwenye meli yenu”
“Ahaha, sasa wewe si umetuambia tukirudi kule itakuwa ni hatari sana?”
“Ndio ni hatari ila, kwa sasa sio hatari, kabla ya kurudi kumshuhulia K2, kuna sehemu ninahitaji kumpeleka baba yangu”
“Sehemu gani?”
“Hupaswi kujua, atafahamu baba yangu hiyo sehemu ambayo tunahitaji kwenda”
 
“Sawa”
“Jojo”
“Bee”
“Njoo tuzungumze”
Tukatoka katika chumba hichi na kumuacha Magreti ndani na maiti yake Osama.
“Sijaelewa ni sehemu gani ambayo unahitaji twende?”
“Ninahitaji twende ukaone ndugu upande wa mama.”
“Wapi?”
“Chini ya bahari?”
“Jojo kumbuka kwamba mimi ni binadamu na si jini, hembu niambie kitu cha kueleweka hapo”
“Usija baba yangu, muda wa kuondoka ni sasa hivi. Unaweza kuwasilana na Livna”
“Sawa”
Nikatoa simu yangu na kukuta mtandao upo sawa, nikampigia Livna simu, simu yake ikaita kwa muda kisha ikapokelewa.
 
“Dany mume wangu upo salama kweli”
“Yaa nipo salama, mpenzi wangu”
“Kwa nini umevua sura yako ya bandia, unajua kwamba ni hatari?
“Usijali mke wangu, ninakuja sasa hivi”
“Upo wapi kwani?”
“Nitakuambia nipo wapi, ila kuna kifaa ambacho Wamarekani wamekigundua jana, kifaa ambacho wanaweza kufwatilia sura ya mtu popote atakapo kwenda hembu zungumza na Logate waweze kuhakikisha kwamba wanalifwatilia hilo swala”
“Sawa, nifanya hivyo, ngoja niwaandalie meli ile kwenye fukwe”
 
“Sawa”
Nikakata samu na kurudi chumbani.
“Kila kitu kimekamilika na muda wa kuondoka sasa hivi”
“Sawa, Magreti anaonekana kuniogopa sikui kwa nini?”
“Najaribu kukuzoea Jojo ila ninashindwa”
“Utanizoea, ila ninawaomba iwe siri, hususani wewe Magreti huko tuendapo ninakuomba usimuambie mtu yoyote juu ta lile ambalo nimekuonyesha”
“Sawa nimekuelewa”
Tukatoka nje na kutaka kuingia kwenye gari tulilo kuja nalo ila Jojo akahitaji tuingie kwenye gari lake, tukafanya hivyo na yeye akawa ndio dereva. Safari ikaanza huku Jojo akiendesha kasi sana.
“Unajua kuna muda ninawachukia sana watu ambao walisababisha haya maisha”
 
“Maisha yapi?”
“Maisha waliyo kusababishia wewe baba yangu, wamekufanya uwe gaidi ikiwa wewe sio malengo yako kwenye maisha yako”
“Ni kweli mwanangu, ila nimekuwa hivyo acha iwe hivyo”
Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa kwenye mfuko wa suti simu yangu, nikakuta ni namba ya Livna ndio inayo nipigia.
“Ndio”
“Ni kweli tumeweza kukifwatilia, na Ester ameweza kuzuia utendaji wake wa kazi na sasa yeye ndio anakiongoza”
“Kazi nzuri shukrani sana”
“Mupo wapi?”
“Tunaitafuta Chalinze sasa hivi”
“Ok, ninaona ukaguzi barbarani ni mkubwa sana tutakuwa tunawafahamisha kila sehemu yenye road block”
 
“Sawa mpenzi”
Nikata simu huku nikimtazama Jojo, aliye nitazama kwa jicho la kuiba kisha akatabasamu.
“Baba nikuulize”
“Niulize tu”
“Kwa nini umetembea na wanawake wengi?”
Swali la Jojo likanifanya niyanyanyue macho yangu taratibu hadi kwenye kioo kidogo kilichopo mbele yangu na kumtazama Magreti kwa nyuma.
“Unaogopa kujibu kisa Magreti, usimfiche bwana. Magreti mimi baba yangu ni malaya, sasa kama unampenda jiandae kuumia tu”
Nikajikuta nikikausha kimya, hata kufungua kinywa changu ninashindwa.
“Yaani kama baba angekupata leo, wewe ungekuwa msichana wa mia moja”
“Mungu wangu”
Magreti alizungumza huku akinitazama vizuri kwa kunichukungulia usoni.
“Hivi Dany huna ukimwi kweli wewe?”
Swali la Magreti likazidi kuninyong’onyeza kiasi kwamba nikashindwa kujibu chochote na kuendelea kukaa kimya 
 
 ITAENDELEA
‘Haya sasa Dany ameumbuliwa na Jojo mwanye wa kumzaa? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

CCM Yaumwagia Sifa Mswada Mpya wa Vyama Vya Siasa.....Yakanusha Kutaka Nchi Iwe ya Mfumo wa Chama Kimoja cha Siasa

$
0
0
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema wanaodhani kuwa chama hicho kinataka mabadiliko ya sheria ya vyama vya siasa ili nchi irudi kwenye mfumo wa chama kimoja wanakosea.

Akizungumza na wanachama wa CCM mkoani Dodoma leo katika mkutano wa kukusanya maoni kuhusu Muswada wa sheria ya Vyama vya siasa, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dkt.Bashiru Ali amesema mfumo wa vyama vingi umeiimarisha CCM.

"Sheria hii si ya kwanza kutungwa na haitakuwa sheria ya mwisho...Ukiendesha siasa kwa urasimu hutatenda haki", amesema.

Amebainisha kuwa wanatetea muswada huo kwasababu umeongeza uhakika wa utawala na kulinda misingi ya utaifa.

"Mimi natamani sana kwenye sheria hii hata koma(alama ya nukta) isiondolewe lakini mnaweza kutoa maoni yenu ya kuboresha ambayo hayaondoi maudhui", amesema Dkt. Bashiru na kuongeza;

"Kuna mbabaishaji mmoja sitaki kumtaja jina alikimbia chama fulani akisema wanatumia vibaya ruzuku lakini leo tunaleta muswada wa kudhibiti ruzuku kwa vyama anapinga tena, huyu ni mtayarishaji.

Dk Bashiru amewataka wana CCM kuujadili muswada kwa nia njema kwani unakwenda kuimarisha siasa za Tanzania na kuweka imara vyama vya siasa na vinavyotaka kuanzishwa.

"Lakini msiwe na wasiwasi, mashine zimetegwa tayari kinachosubiriwa ni kuanza kazi tu wala si kusubiri, tuko imara kisiasa na chama chenu kiko imara kuliko wakati mwingine," amesema.

Wakulima Kusajiliwa Na Kupatiwa Vitambulisho Nchini

$
0
0
Na Tiganya Vincent- Tabora
SERIKALI imeziagiza Bodi zote zilizoko chini ya Wizara ya Kilimo kuanza mara usajili wa wakulima wa mazao yote na zihakikishe zinawapa vitambulisho kwa ajili ya kuwatambua na wanapofanyika kazi zao ili iwe rahisi kuwahuduma.

Hatua hii inalenga kuwatambua na kuwasaidia kuboresha kilimo chao ili waweze kupata huduma za uhakika  kwa ajili ya manufaa yao na Taifa kwa ujumla.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga wakati akifungua mkutano wa kitaifa wa mwaka wa wadau wa sekta ya Tumbaku Tanzania.

Alisema hatua inalenga kuwatambua wakulima wote na maeneo ambayo wanalima ili kuwaondoa na kilimo cha kujikimu na kuelekea katika kilimo cha kibiashara na kisasa.

Hasunga alisema hadi hivi sasa ni Bodi ya Tumbaku pekee ndio imesajili wakulima na kuwapa vitambulisho.

“Lazima tuanze kuwatambua wakulima wetu walipo, mashamba wanayolima na ukubwa wake na mazao wanayolima na kiwango mazao ambacho wanatarajia kuzalisha ” alisisitiza.

Hasunga alisema lazima shughuli ya kilimo ianzie kutambulika kama zilivotaaluma nyingine.

Alisema kukosekana kwa takwimu halisi za wakulima , ukubwa wa mashamba yao na walipo kumesababisha kuwa vigumu huduma muhimu kwa ajili ya kuboresha kilimo kuwafikia na kusababisha wapatiwe huduma za kitaaalamiu ambao halizingani na mahitaji yao na wakati mwingine sio halisi.

Waziri hiyo wa Kilimo aliongeza kuwa nguvu kubwa lazima ielekezwe katika kuwasaidia wakulima kulima cha kisasa kwa sababu ndicho kinatoa ajira kubwa kwa Watanzania ambapo asilimia 65 ya wananchi wamejiari katika kilimo na asilimia 8 wanashughulika na biashara inayotokana na mazao ya kilimo.

Katika hatua nyingine Hasunga amegiza Bodi ya Tumbaku Nchini na wadau wa zao hilo kuhakikisha wanasaidia kuinua zao la Tumbaku ambalo limeshuka na kupoteza uongozi wa kuwa zao linaloingiza fedha nyingi za kigeni.

Alisema uzalishaji umeshuka kutoka tani 126,0000 kwa msimu wa mwaka 2010/11  hadi kufikia tani 54,800 kwa msimu 2018/19 na kuongeza kuwa hata wastani wa bei umeshuka kutoka wastani wa Dola 2.11   kwa msimu wa mwaka 201/11 na kufikia Dola 1.72 mwaka 2018/19.

Hasunga alisema ni lazima Bodi ya tumbaku na wadau wengine kuja na mikakati ya kuongeza uzalishaji wa zao hilo ambalo siku za nyuma lilikuwa likiongoza kuingiza fedha za kigeni nchini.

Alitaja mikakati ni pamoja na kutafuta wanunuzi wengine sehemu mbalimbali ili kuongeza ushindani wa bei na kumnufaisha mkulima na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Bodi ya Tumbaku Tanzania Hassan Wakasuvi alisema kuwa moja ya mambo ambayo yatawezesha kuleta mabadiliko katika sekta ya tumbaku ni marekebisho ya Sheria ya tumbaku.

Aliwataka wadau kuwa tayari kutoa maoni yao wakati ukiwaidia ili kuwepo na Sheria nzuri

BREAKING: Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG ) Akubali kuitikia wito wa Spika Ndugai Kwenda Kuhojiwa

$
0
0
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad, amesema ataitikia wito wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Januari 21, mwaka huu, kama alivyotakiwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Aidha, amesema majibu yake katika mahojiano yaliyozua mjadala hayakuwa na nia ya kulidhalilisha bunge.

Profesa Assad ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 17, 2019 katika mkutano wake na waandishi wa habari huku akibainisha kuwa neno udhaifu ni la kawaida kwa wakaguzi katika kutoa maoni ya utendaji wa mifumo ya taasisi mbalimbali.

Hatua hyo ya CAG imekuja siku chache baada ya Spika kumtaka kuripoti katika Kamati hiyo ya Bunge, Januari 21 mwaka huu kutokana na kauli yake ya kusema kuwa bunge ni dhaifu wakati akihojiwa na Radio ya Umoja wa Mataifa nchini Marekani, hivi karibuni.

“Maneno kama udhaifu na mapungufu ni lugha ya kawaida sana kwa wakaguzi katika kutoa maoni ya utendaji wa mifumo ya taasisi mbalimbali,” amesema Profesa Assad akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Januari 17.

Amesema ni wazi kuwa watu wengine wanaweza kuchukua tafsiri tofauti ya maneno kama hayo ambayo yamesababisha malumbano makali na marefu katika nyanja zote za mawasiliano kuhusu rai na nafasi na maamuzi mbalimbali yaliyochukuliwa na viongozi mbalimbali na wanasiasa.

" Ni wazi kuwa watu wengine wanaweza kuchukua tafsiri tofauti ya maneno kama haya. Yametokea malumbano makali na marefui katika nyanja zote za mawasiliano kuhusu rai, nafasi na maamuzi mbalimbali yaliyochukuliwa na viongozi.

“Januari 15, nilipokea wito wa kisheria ulionitaka kutokea mbele ya kamati ya bunge tarehe 21 Januari mwaka huu, kwa mantiki ya kudumisha mahusiano mazuri kati ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali na Bunge, ninayo nia ya kuitikia wito huo hapo tarehe 21” amesema.

Watuhumiwa Kesi ya mauaji ya Dk Mvungi waomba Kufutiwa Kesi au kurudishwa polisi,

$
0
0
Mshtakiwa wa kwanza na wa pili katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwaachia huru au kuwarejesha kituo cha polisi.

Washtakiwa hao ,Msigwa Matonya (35) na Mianda  Mlewa (45) wameeleza hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustina Mmbando baada ya wakili wa Serikali,  Jenipher Masue kueleza upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.

Washtakiwa hao walinyoosha mkono na kueleza kuwa shauri hilo ni la muda mrefu tangu mwaka 2013 na lilienda Mahakama Kuu na kuanza kusikilizwa lakini baadaye lilifutwa na kufunguliwa upya Novemba 2018.

"Mheshimiwa hakimu sisi tumechoka tuna familia na watoto tuna miaka sita tuko ndani na shauri hili lilishaenda  Mahakama Kuu likafutwa na kufunguliwa tena tunaomba Mahakama ituachie au kuturejesha kituoni," walidai washtakiwa hao leo Alhamisi Januari 17, 2019.

Watuhumiwa hao sita waliachiwa na Mahakama Kuu Novemba 26 na kufunguliwa shtaka kama hilo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Baada ya kuelezwa hayo Hakimu Mmbando aliutaka upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi kwa wakati na kuahirisha kesi hiyo hadi Januari 29 mwaka huu itakapotajwa tena.

Katika kesi hiyo ya mauaji namba 6, 2018, washtakiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kuwa Novemba 3, 2013, walifanya kosa la mauaji ya kukusudia kinyume na kifungu cha 196 cha sheria na kanuni ya adhabu sura ya 16 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Ilidaiwa kuwa siku hiyo ya tukio, katika eneo la Msakuzi Kiswegere wilayani Kinondoni, washtakiwa hao kwa pamoja walimuua kwa kukusudia Dk Sengondo Mvungi ambaye aliuawa wakati akiwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Mawakili wa Habinder Sethi na James Rugemarila Wataka Upelelezi Ukamilike

$
0
0
Upande wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili Habinder Sethi na James Rugemarila umeutaka upande wa mashtaka kuharakisha upelelezi kwa kuwa kesi hiyo ipo kwa muda mrefu tangu Juni, 2017.

Rugemarila, ambaye ni Mkurugenzi wa VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL na Sethi ambaye ni mwenyekiti mtendaji wa PAP, wanadaiwa kutenda makosa hayo katika jiji la Dar es Salaam na nchi za Afrika Kusini, Kenya na India.

Wakili wa utetezi, Michael Ngalo alidai mbele ya hakimu mfawidhi, Kelvin Mhina katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu wakati  kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.

"Kesi hii ipo kwa muda mrefu hivyo tunauomba upande wa mashtaka kuharakisha upelelezi ili washtakiwa waweze kupata haki yao kwa wakati," alidai Ngalo.

Hayo yameelezwa baada ya Wakili wa Takukuru, Leonard Swai kudai mahakamani hapo kuwa shauri hilo limekuja kwa ajili ya kutajwa na upelelezi wake bado haujakamilika hivyo kuomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.

Hakimu Mhina baada ya kusikiliza maelezo hayo, aliahirisha kesi hiyo hadi Januari 31, 2019 kesi hiyo itakapotajwa na washtakiwa wamerudishwa rumande.

Sethi na Rugemarila wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi kwa kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi na kutoa nyaraka za kughushi.

Pia wanadaiwa kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kutakatisha fedha na kusababisha hasara ya Dola za Marekani 22,198,544.60 na Sh 309,461,300,158.27.

Waziri Mkuu Asema Kasi Ya Ujenzi Mji Wa Serikali Inaridhisha.....Ataka kampuni ya Mzinga Holdings isimamiwe kwa karibu

$
0
0
*Ahimiza tarehe ya mwisho ni Januari 31, mwaka huu
ZIKIWA zimepita siku 20 tangu akague ujenzi wa mji wa Serikali, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na ujenzi unaoendelea katika eneo la Mji wa Serikali lililoko Ihumwa.

Hata hivyo, amesema kampuni ya ujenzi ya Mzinga Holdings inahitaji kusimamiwa kwa karibu zaidi ili ikamilishe ujenzi wa majengo yake kabla ya Januari 31, mwaka huu. “Nitakuja kukagua kazi na kupokea funguo za ofisi siku hiyo,” amesema.

Ametoa kauli hizo leo mchana (Alhamisi, Januari 16, 2019) mara baada ya kukagua ujenzi wa ofisi za wizara zote pamoja na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika eneo la Ihumwa lililoko km. 17 kutoka jijini Dodoma.

Waziri Mkuu ambaye alianza kukagua ujenzi kwenye Ofisi ya Makamu wa Rais, ametembelea majengo ya wizara zote na kubaini bado kuna changamoto zinazojitokeza kutokana na utendaji wa mazoea miongoni mwa watumishi wa Serikali.

Akiwa katika jengo la Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Waziri Mkuu alipokea malalamiko kutoka kwa meneja mradi, Bi. Selemina Rwehumbiza kwamba aliandaa certificate tangu tarehe 13 Januari lakini hadi sasa hajapata malipo. Alipofuatilia, alijibiwa na mshauri mwelekezi kwamba wamepokea certificate hiyo jana jioni (Jumatano, Januari 16, 2019).

“Kama kazi hii muhimu ya Mheshimiwa Rais, na anayesimamia ni Waziri Mkuu inacheleweshwa hivi, je akija mwananchi wa kawaida huko ofisini kwenu atachukua muda gani kupatiwa huduma?,” Waziri Mkuu alimhoji Mshauri Mwelekezi wa mradi huo kutoka Wakala wa Majengo (TBA), Mhandisi Hilary Msaki.

“Huu ni mfano halisi wa malalamiko yanayotoka huko nje kwamba Serikali haijibu barua za wananchi. Sasa nyaraka kutoka hapa Mtumba inachukua wiki nzima kwenda mjini, na mtu bado hajajibiwa. Sielewi ni kwa nini barua iende hadi mjini, wakati wakandarasi wako huku. Kwa nini ninyi msipokee hizo nyaraka na kuzikimbiza mjini kisha mrudishe majibu hapa site?”, alihoji Waziri Mkuu.

“Kuanzia sasa, kazi zote mpokee ninyi, na ninyi ndiyo mzipeleke huko mjini na kurudi na majibu hapa site kwa wateja wenu, kwani wakandarasi wote wako hapa,” alisisitiza.

Akiwa katika eneo la Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Waziri Mkuu alielezwa na Waziri Ummy Mwalimu kwamba wana changamoto ya kutopatiwa taarifa za maendeleo ya mradi. “Tangu mradi unaze hatujapewa taarifa hata moja, wakurugenzi wapo wanakuja, lakini mshauri mwelekezi hatupi ripoti yoyote juu ya huu mradi,” alisema.

Alipohoji ni kwa nini taarifa hazitolewi, Waziri Mkuu alibaini kuwa hata watu wa TEMESA pia hawakuwepo kwenye zoezi hilo la ukaguzi. “Niliagiza TBA wahamie hapa, nao wameweka ofisi yao hapa hapa. Nimeulizia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wako wapi, nikaambiwa wako mjini. Ni kwa nini hawako hapa?” alihoji.

Akizungumza baada ya kukagua ujenzi wa tangi la maji lenye ujazo wa lita milioni moja, Waziri Mkuu alisema pamoja na spidi anayoihimiza, bado wakandarasi wanapaswa kufanya kazi kwa kuzingatia ubora unaotakiwa (quality).

Alisema kwa ujumla kazi nyingi zimeboreshwa tangu alipokagua mradi huo Desemba 27, mwaka jana. Aliitaka TBA kwa kushirikiana na Kamati ya Kitaifa ya kuratibu zoezi la Serikali kuhamia Dodoma na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa/Mkurugenzi wa Dodoma wawasimamie wakandarasi na hasa wale wa Mzinga ili kazi yao ikailike kwa wakati.

“Nimesisitiza katika kila site, zile kazi ndogondogo zisizohitaji ujuzi au ufundi mkubwa, zigawiwe kwa vijana ili kuongeza kasi lakini tuzingatie ubora wa kazi,” alisisitiza.

Desemba 27, mwaka jana, Waziri Mkuu alikagua ujenzi wa eneo la Mji wa Serikali na kubaini kuwa baadhi ya wakandarasi hawaendi na kasi inayotarajiwa na Serikali. Siku iliyofuata aliitisha kikao cha Mawaziri wote, Makatibu Wakuu na wakandarasi wao ili waeleze kazi hiyo itakamilishwa lini. Kikao hicho alikifanyia hukohuko Ihumwa.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu Aiagiza NHC Kuongeza Nguvukazi Katika Ujenzi Wa Mji Wa Serikali

$
0
0
Na. Farida Ramadhani na Peter Haule - Dodoma
Waziri Mkuu Mhe. Kasimu Majaliwa, amemuagiza Mkandarasi anayesimamia ujenzi wa Ofisi mpya ya Wizara ya Fedha na Mipango kutoka Shirika la Nyumba la Taifa, kuhakikisha anaongeza rasilimali watu ili ujenzi huo ukamilike kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa .

Mhe. Majaliwa, ametoa agizo hilo wakati wa  ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi mbalimbali za Wizara katika mji wa Serikali eneo la Ihumwa Jijini Dodoma.

Alisema kuwa  zimebaki siku 21 pekee kukamilisha ujenzi huo na  lengo la Serikali ni kuona kazi hiyo imekamilika ifikapo Januari 31 mwaka huu, na akaonesha hofu yake iwapo ujenzi utakamilika kwa wakati kwa kuwa hakulidhishwa na nguvu kazi iliyopo.

“Mimi ninapokuta watu wachache huku kukiwa na kazi zisizohitaji kusubiri siku mbili kama kazi ya kuweka bimu, natarajia kuona watu wangekuwa wanaendelea kufanya kazi hizo”, alisema .

Aidha alisema kuwa Mawaziri kutembelea ujenzi unaoendelea na kuona ubora wa jengo ni  jukumu lao na wanauwezo wa kuonesha kuridhika au kutoridhika na ujenzi huo.

Ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kwa kushirikiana na Wakala wa Misitu kuhakikisha mazingira ya eneo la Wizara linapandwa miti  kulingana na ramani ya majengo ya muda na yakudumu.

Alisema kama watumishi waliopo ni wachache mkandarasi aongeze vijana ili ujenzi ukamilike mapema kwa kuwa kuna mafundi wengi Mkoani Dodoma na nje ya mkoa huo wanaotafuta kazi.

Kwa Upande wake Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, ameahidi kusimamia maagizo ya Waziri Mkuu na kuhakikisha jengo linakamilika kwa wakati kwa kuwa hadi sasa asilimia 95 ya vifaa vyote muhimu vya ujenzi vimenunuliwa.

Akizungumzia suala la kuongeza nguvu kazi, Dkt. Kijaji, amesema Wizara itahakikisha Mkandarasi anaongeza nguvu kazi kwa haraka  kutoka mtaani au Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ili ifikapo Januari 31 Wizara ikabidhiwe jengo rasmi.

Dkt. Kijaji alieleza kuwa Wizara ipo tayari kuhamia katika jengo hilo Februari mosi mwaka huu.

Naye Mhandisi kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Elisante  Olomi, anayesimamia ujenzi wa ofisi za Wizara hiyo, amesema ujenzi unaendelea vizuri na mpaka sasa umekamlika kwa asilimia 75, huku akiahidi kuongeza mafundi wakutosha kwa kuwa wapo wengi na wamekuwa wakiomba kazi katika maeneo hayo ya ujenzi.

Mwisho

Serikali Yapangua Hoja za Tundu Lissu

$
0
0
Msemaji wa Serikali, Dk Hassan Abbas amemjibu mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) Tundu Lissu, akidai kuwa mwakilishi huyo wa wananchi anazungumza uongo kuhusu maendeleo ya Tanzania.

Dk Abbas amesema kwamba licha ya kuulizwa mazuri ya Serikali lakini Lissu alishindwa kujibu na badala yake aliishia kubabaika.

Akihojiwa na kituo cha Utangazaji Uingereza (BBC) jana Januari 16, 2019, Lissu amezungumza masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na maoni yake kuhusu maendeleo ya nchi, utawala wa katiba na mpango wake wa kugombea urais.

"Unakwenda Ulaya unaponda nchi yako eti haifuati Katiba wakati wewe mwenyewe kuanzia ubunge wako, sifa za ubunge wako na taratibu za uchaguzi wa ubunge wako vyote vipo kwenye Katiba na ndio maana ukawa mbunge,” amesema Dk Abbas.

Dk Abbas amedai Lissu hata alipoulizwa mazuri aliyoyaona licha ya changamoto zilizopo, alishindwa kujibu vyema.

"Angalia alivyoshindwa si tu kueleza jema moja la nchi yake baada ya kupewa fursa hiyo, bali kashindwa hata kueleza jema moja alilofanya yeye binafsi jimboni kwake, kaishia kubabaika tu," amedai Dk Abbas.

Amesema Serikali ya Awamu ya Tano ina dhamira tofauti na ile waliyonayo watu wa aina ya Lissu,  hivyo itaendelea kutekeleza wajibu wake katika kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.

"Sisi tunapigania maendeleo na Watanzania wanaona kazi kubwa inayofanyika kote nchini iwe reli, maji, viwanda, umeme na mambo mengine. Hakuna wa kutuzuia katika kuiletea Tanzania maendeleo. Hakuna,” amesisitiza.

Credit: Mwananchi

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya January 18

Viwanja vya Makazi Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

$
0
0
Viwanja vya Makazi, Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Kwa Mapinga (Baobab sec), vipo Viwanja kuanzia ukubwa wa 20/20 (sqm 400) bei milion 5, ukubwa 20/30 (sqm 600) bei milion 8, ukubwa wa 20/40 (sqm 800) bei milion 10, ukubwa wa 30/40 (sqm 1200) bei milion 16, sqm 1959 bei milion 25, sqm sqm 2386 bei milion 31.
 
Viwanja hivi viko umbali wa km 2 tu kutoka main road (Bagamoyo Road). Viwanja vyote vina miundombinu ya barabara (lami), umeme na maji.
 
Ruksa kulipa kwa awamu 2 (awamu ya kwanza ni 75%) na bei itapungua kwa mteja anayelipa kwa awamu moja tu (mkupuo).

Kwa Bunju B, kipo Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 1800 na tayari kina msingi imara wa ghorofa, kina view nzur ya kuona Bahari. Kipo mita 500 tu kutoka Main Road (Bagamoyo Road). Bei ya property hii ni tsh 85 milion, Negotiable.

Hakuna dalali/udalali, contact mhusika, call 0758603077, whatsap 0757489709
 
Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.

Wimbo Mpya wa Ben Pol - Wakuone

Video Mpya ya Nay Wa Mitego - Mbele Kwa Mbele

$
0
0
Video Mpya ya Nay Wa Mitego - Mbele Kwa Mbele

Wizara ya Madini Kuweka Msukumo Miradi Ya Liganga, Mchuchuma

$
0
0
Na Asteria Muhozya, Ludewa
Wizara ya Madini imesema itashirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kupitia Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) kuweka msukumo ili kuhakikisha  kwamba miradi ya Makaa ya Mawe Mchuchuma na ule wa Chuma Linganga inaanza kutekelezwa.

Kauli hiyo ilitolewa Januari 16 na Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo wakati wa ziara yake ya kukagua shughuli za madini mkoani Njombe  na kuona namna ya kutatua changamoto zinazohusu Wizara ya Madini katika utekelezaji wa miradi hiyo.

Alisema miradi hiyo ni moja ya miradi ya kimkakati ambayo Taifa linatarajiwa kunufaika kwa kiasi kikubwa, hivyo kutokana na umuhimu wake, wizara ya madini itashirikiana na wizara hiyo kuhakikisha hatua zaidi zinapigwa ili hatimaye miradi hiyo ianze kutekelezwa kwa kuwa imechukua muda mrefu.

Aliongeza kuwa, ni miradi mikubwa ambayo taifa linatarajiwa kunufaika nayo  kupitia ajira na kuongeza pato la nchi huku akiyataja madini ya chuma kuwa moja ya malighafi muhimu kwa uchumi  wa Tanzania ya viwanda na kusema kuwa, kama taifa, linautolea macho mradi huo na kwamba serikali imedhamiria kuutekeleza.

Aliongeza kwamba, katika Serikali ya Awamu ya Tano, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli anayo imani kubwa  kuwa miradi hiyo itaanza huku serikali ikitegemea kupeleka maendeleo kwa wananchi kupitia miradi husika.

“Wizara yetu ndiyo inatoa leseni za madini na tayari tulishatoa leseni ya Makaa ya mawe mchuchuma kwa hiyo nimefika kuangalia changamoto ambazo ziko upande wa wizara yetu kuweza kuzitatua ili tutoke hapa. Miradi hii tumeisikia miaka mingi ni wakati sasa tunataka ianze.” alisisitiza Nyongo.

Aliongeza kuwa, ikiwa wizara ndiyo inatoa leseni za madini,  inaowajibu wa kujua yule aliyepewa leseni kama anaifanyia kazi na kuongeza, “Sisi tuliotoa leseni lazima tuangalie tuliyempa leseni amekwama wapi  lakini pia tujue miradi hii inaanza lini? Makaa ya mawe na chuma vyote vinahitajika kwa taifa. Tunatambua makaa ya mawe ni madini ambayo yana tija kwa uchumi kwa nchi,” alisema Nyongo.

Akifafanua zaidi kuhusu miradi hiyo alisema kuwa, mradi wa Makaa ya Mawe unatarajiwa kuzalisha umeme ambao mbali ya kuuza kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), umeme huo unatarajia kutumika katika kuzalisha madini ya Chuma Liganga.

“ Mpango ni Liganga kutumia megawati 250 kwa shughuli zake za kuzalisha chuma na megawati 350 zitauzwa Tanesco kuzalisha umeme,” aliongeza.

Akifafanua sababu za kuchelewa kwa miradi hiyo, alisema ni kutokana na changamoto za kimkataba ambazo bado ziko katika majadiliano katika ngazi za juu na kuitaja baadhi ya mikataba hiyo kuwa ni  kuwa ni pamoja na mikataba ya upunguzaji wa kodi.

Aliongeza kuwa, wizara ya madini ikiwa ni wizara ambayo inasimamia Sheria ya Madini, imelenga kuhakikisha kwamba miradi hiyo mikubwa inaanza ili hatimaye iweze kuwanufaisha watanzania na taifa.

Akielezea suala la fidia kwa wananchi waliopisha miradi hiyo, alianza kwa kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Ludewa kwa kutenganisha suala la miradi hiyo na fidia  ambapo alisema kwamba taratibu za juu zikikamilika, wananchi watalipwa fidia na hivyo kuwataka kuwa na subira na kuwa tayari kupisha utekelezaji wa miradi hiyo.

Awali,  Mkuu wa Mkoa wa Njombe , Christopher Ole Sendeka alimweleza waziri umuhimu wa wizara ya madini kujielekeza  kwenye kupata taarifa halisi kuhusu tafiti zilizofanyika awali kuhusu akiba iliyopo ya madini ya chuma Liganga na Makaa ya Mawe mchuchuma.

Aidha, aliongeza kuwa, mbali na chuma na makaa ya mawe mkoa huo unayo madini mbalimbali ikiwemo dhahabu ambayo bado haijachimbwa kwa kiasi kikubwa.

Miradi ya Makaa ya Mawe Mchuchuma na Chuma Liganga, inatekelezwa kwa ubia kati ya Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) na kampuni ya Sichuan Hongda Group Ltd, ya China.

Pia, akiwa mkoani humo, Naibu Waziri alitembelea mgodi wa Kokoko Kokoto wa Nyakamtwe Quary, ambapo alitoa changamoto kwa mmiliki wa mgodi huo kuongeza kasi ya uzalishaji na kuwa wabunifu kutumia fursa  za miradi mikubwa ya ujenzi inayotekelezwa na serikali ikiwemo ya ujenzi wa reli ili kokoto hizo ziweze kutumika.

Wimbo Mpya: Alicios - Nitadata

$
0
0
Wimbo Mpya:  Alicios - Nitadata

Waziri Wa Kilimo Aiagiza Bodi Ya Tumbaku Kuhakikisha Tumbaku Yote Itakayovunwa Msimu Huu Inauzwa Ifikapo Juni 2019

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Tabora
Bodi ya Tumbaku nchini imeagizwa kuhakikisha kuwa Wakulima wote wa zao hilo wanasajiliwa katika mfumo unaoeleweka kwani hilo ni lengo la haraka la Wizara kwa taasisi zote la kuwasajili wakulima wote nchini ili kujua kiasi cha maeneo wanayolima.
 
Hayo yameelezwa jana tarehe 17 Januari 2019 na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa wadau wa sekta ndogo ya Tumbaku katika ukumbi wa Mwanakiyungi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
 
Mhe Hasunga ameitaka Bodi ihakikishe kwamba tumbaku yote itakayovunwa msimu huu inauzwa ifikapo Juni 2019 sambamba na kuagiza masoko kuwahi kuanza msimu huu ili kurahisisha kuanza mapema maandalizi ya zao hilo msimu wa 2019/2020.
 
Vilevile Waziri Hasunga ameagiza upatikanaji wa pembejeo kwa wakati. “Hili linaenda sambamba na utekelezaji wa Agizo la Mhe: Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) – Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kuhakikisha unakuwepo utaratibu wa kumwezesha mkulima anajitegemea kwa pembejeo ili aache kuwa tegemezi wa mikopo ya mabenki” Alikaririwa Mhe Hasunga
Mhe Hasunga alisisitiza kuwa lazima Bodi kutilia mkazo malengo ya muda mrefu kwenye Tumbaku ambayo ni pamoja na utafutaji wa masoko (mhakikishe mnapata wanunuzi wengine wapya ifikapo 2022), Kuhakikisha kuwa kwa ubia au ushirikiano uliopo kijengwe kiwanda kipya cha kuchakata tumbaku ili kutoa ushindani wa gharama za uchakataji wa tumbaku nchini, Kuongeza ubora wa zao kutoka asilimia 87 ya sasa hadi asilimia 92 ifikapo June 2022 na Kuongeza mbegu mpya na bora za tumbaku ili kuweza kupenyeza katika masoko ya nchi zingine kama China n.k.
 
Tumbaku ni miongoni mwa mazao makuu matano ya kimkakati ya biashara katika Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Mhe: Dkt. John Joseph Pombe Magufuli – Rais waJamhuri ya Muunganowa Tanzania. Mazao hayo ni Tumbaku,  Kahawa, Pamba, Korosho, na Chai.  Takwimu zinaonesha kwamba kwa kipindi cha zaidi ya miaka 10 hadi  kufikia mwaka 2016  tumbaku imekuwa na mchango mkubwa kuliko mazao mengine makuu ya biashara kwa kuliingizia taifa fedha nyingi za kigeni.
 
“Natambua juhudi mnazofanya katika hifadhi ya mazingira. Lakini mnatakiwa muongeze juhudi kwani taarifa zinaonesha kuwa hadi kufikia msimu wa kilimo uliopita wa 2017/2018 wastani wa miti iliyopona baada ya kupandwa na wakulima ni asilimia 40.46 tu, kiwango hiki hakiridhishi maana kiko chini mno” Alikaririwa Mhe Hasunga
 
Alisema Ili uzalishaji wa tumbaku uwe katika mtazamo wa kibiasharawataalam mnapaswa kuwaelimisha wakulima ili waelewe kwa dhati umuhimu wa  kuzingatia taratibu za kilimo cha tumbaku (Compliance).
 
Alisema kuwa Baadhi ya wakulima katika vyama vya msingi vya ushirika wameshindwa kulipwa malipo yao kutokana na vyama kuwa na madeni yasiyokuwa wazi na yasiyolipika. Hali hii imesababishwa na ubadhirifu wa baadhi viongozi na watendaji wasio waaminifu katika ushirika, utoroshaji na ulanguzi wa tumbaku.
 
Moja ya maeneo yanayojadiliwa katika mkutano huo ni pamoja na masuala yanayohusu hatua za kutatua changamoto za kulikomboa zao la tumbaku na kulipa sifa zinazohitajika katika soko la dunia. Mfano wa masuala hayo ni pamoja na Wingi na ubora wa zao, Kuongeza tija, Malipo stahili kwa wakulima, Utunzaji wa Mazingira na Kuzuia utumikishwaji wa watoto.
 
Kupitia mkutano huo Waziri wa Kilimo amebainisha kuwa Serikali iko thabiti kusimamia uendelevu na uzalishaji wenye tija wa zao la tumbaku kama zao mojawapo la biashara la kimkakati. Ni kwa msingi huo, Serikali inaendelea na jitihada za kupata ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili tasnia ya tumbaku.
 
“Tarehe 28-30/12/2018 niliwaita viongozi wa Bodi za mazao ikiwa ni pamoja na Bodi ya Tumbaku na kuwapa malengo ya muda mfupi (Januari – Juni, 2019) na mrefu (Julai – Juni, 2022) ni pamoja na nyie wadau katika nafasi zenu mshirikiane ili kuhakikisha malengo hayo yanatekelezwa” Alisisitiza
 
Naye Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe Agrey Mwanri alisema kuwa mkutano huo maalumu wa mwaka wa wadau wa Tumbaku ni mkutano ambao upo kwa mujibu wa sharia ya sekta ya Tumbaku Na 24/2001 kifungu cha 49 cha marekebisho ya sheria yam waka 2009 ambao imeweka ulazima wa wadau kukutana walau mara moja kwa mwaka kujadili masuala mbalimbali ya kuendeleza sekta hii na kutatua changamoto zilizopo na kukubaliana utaratibu wa ugharamiaji wa majukumu ya pamoja ambayo yameainishwa na sharia ya sekta ya Tumbaku.
 
Alisema uwepo wa mkutano huo umekuwa miongoni mwa mikutano yenye tija kwa kukutanisha madau wote na kuwa na mikakati ya pamoja, kuongeza ufanisi wa masoko ya Tumbaku, na uhai wa kutunza mazingira kwa kupanda miti kwa pamoja.
 
Kwa upande wake Mzee Hassan Wakasuvi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa bodi ya Tumbaku akitoa taarifa ya utangulizi wakati wa mkutano huo alizitaja changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya Tumbaku kuwa ni pamoja na kutokuwepo kwa mkakati utakaotekeleza na shirikishi  wa uhifadhi wa mazingira, kuchelewa kwa upatikanaji wa mikopo ya pembejeo kwa ajili ya kununua pemebejeo za kilimo.
 
Zingine ni utaratibu wa upatikanaji wa bei ya zao la Trumbaku katika kuhakikisha kuwa bei inapatikana mapema na kwa wakati, kushuka kwa mahitaji ya Tumbaku katika soko la Dunia, Kushuka kwa ubora wa Tumbaku ambao unachangiwa na masuala mbalimbali, Vita dhidi ya matumizi ya Tumbaku Duniani na kuboreka kwa bei ya pembejeo.
 
Sambamba na hayo pia ameishukuru serikali kwa mchango wake kwenye sekta ya Tumbaku kwa ushirikiano inaouonyesha katika suala la kuhakikisha kuwa wanapatikana wasambazaji wa pembejeo za kilimo na kufanikiwa kupunguza bei ya pembejeo za kilimo kwa msimu wa mwaka 2018/2019.

Tiba Asilia ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Kifaru vidonge asilia hurefusha maumbile ya kiume nchi 6-8 dk 60 garantii mika 30- 40 .itakupa nahamu ya kufanya tendo la ndoa mara 4- 5 bila kuchoka au hamu kuisha, ina imalisha misuri  ya uume  na haina madhara kwa mtuaji

Malelemba; inatibu presha kisukari, ngili, busha bila uperesheni, kiuno, kutopata choo vizuri, vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto, kisosono

Jirumba; kumvuta mume mke mpenzi mchumba kwa masaa 3 yoyote unae mtaka  uta mpata ..acha kuumiza roho bure hatakama una fanya nae kazi sehemu moja ila unaogopa kumuanza au muone mzee jirumba atakusaidia

Fika mbagara kwa wa mikoani shinyanga kahama mwanza kwa mawasiano piga 0713560943 /0762540447 dr jirumba

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

Tambua Dalili Za Kupungikiwa Nguvu Za Kiume Na Chanzo Chake

$
0
0
Tambua Dalili Za Kupungikiwa Nguvu Za Kiume Na Uume Kuwa Mdogo Na Chanzo Chake;dalili za mwanaume kupungukiwa nguvu za kiume ni kama vile 1. mwanaume mpaka amwambie mke au mpenzi wake naomba ushike  ili usimame 2. ,kushindwa kurudia tendo,3.  kusimama na kuwa legelege 4,kuisha nguvu au kuanguka ukiwa ndani ya tendo 5,kuwai kukojoa kabla  ya mke au mpenzi wako .

NI NINI CHAZO CHA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME,1,magonjwa ya moyo,presha,kisukari 2,usongo wa mawazo 3, utumiaji holela wa madawa  4 uume kukosa vichocheo ambavyo usababisha damu isiwe na mzunguko mzuri

NI NINI KINASABISHA UUME KUWA MFUPI? 1 unene kupita kiasi 2 kuumwa na chango hasa chini ya kitovu 3 kuvaa nguo za kubana sanasana ni wakati wa usiku,4 kufanyiwa tohara ukubwani,

SUPER MAJINJAS; ni dawa ya nguvu za kiume ambayo itakufanya urudie tendo zaidi ya Mara tatu pia itakufanya uchelewe kufika kilele dakika 10-15 kwa tendo la kwanza 

MANGUNGU NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upenda ichi 5,6,7,na 8 kwa urefu na unene wa sm 1-5 za upenyo dawa zetu ni ukweli na uhakika ni tofauti na ulizowai kutumia ni dawa za miti shama za vidonge unga na maji ,

ISENYE; ni dawa ya kisukari ambayo utibu kabisa tatizo dozi yake siku 21 pia ipo dawa ya uzazi 

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA morogoro yupo wakala maeneo ya stendi kuu mwanza yupo mtaa wa biza c mbeya yupo mbalizi ,na kahama mjini piga simu 0744040721. 0683645920 Dr BRUNO na utaletewa popote ulipo

Wimbo Mpya wa Vanessa Mdee- Thats for me

$
0
0
Wimbo Mpya wa  Vanessa Mdee- Thats for me
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images