Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tiba Asilia ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Kifaru vidonge asilia hurefusha maumbile ya kiume nchi 6-8 dk 60 garantii mika 30- 40 .itakupa nahamu ya kufanya tendo la ndoa mara 4- 5 bila kuchoka au hamu kuisha, ina imalisha misuri  ya uume  na haina madhara kwa mtuaji

Malelemba; inatibu presha kisukari, ngili, busha bila uperesheni, kiuno, kutopata choo vizuri, vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto, kisosono

Jirumba; kumvuta mume mke mpenzi mchumba kwa masaa 3 yoyote unae mtaka  uta mpata ..acha kuumiza roho bure hatakama una fanya nae kazi sehemu moja ila unaogopa kumuanza au muone mzee jirumba atakusaidia

Fika mbagara kwa wa mikoani shinyanga kahama mwanza kwa mawasiano piga 0713560943 /0762540447 dr jirumba

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Tambua Dalili Za Kupungikiwa Nguvu Za Kiume Na Chanzo Chake

$
0
0
Tambua Dalili Za Kupungikiwa Nguvu Za Kiume Na Uume Kuwa Mdogo Na Chanzo Chake;dalili za mwanaume kupungukiwa nguvu za kiume ni kama vile 1. mwanaume mpaka amwambie mke au mpenzi wake naomba ushike  ili usimame 2. ,kushindwa kurudia tendo,3.  kusimama na kuwa legelege 4,kuisha nguvu au kuanguka ukiwa ndani ya tendo 5,kuwai kukojoa kabla  ya mke au mpenzi wako .

NI NINI CHAZO CHA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME,1,magonjwa ya moyo,presha,kisukari 2,usongo wa mawazo 3, utumiaji holela wa madawa  4 uume kukosa vichocheo ambavyo usababisha damu isiwe na mzunguko mzuri

NI NINI KINASABISHA UUME KUWA MFUPI? 1 unene kupita kiasi 2 kuumwa na chango hasa chini ya kitovu 3 kuvaa nguo za kubana sanasana ni wakati wa usiku,4 kufanyiwa tohara ukubwani,

SUPER MAJINJAS; ni dawa ya nguvu za kiume ambayo itakufanya urudie tendo zaidi ya Mara tatu pia itakufanya uchelewe kufika kilele dakika 10-15 kwa tendo la kwanza 

MANGUNGU NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upenda ichi 5,6,7,na 8 kwa urefu na unene wa sm 1-5 za upenyo dawa zetu ni ukweli na uhakika ni tofauti na ulizowai kutumia ni dawa za miti shama za vidonge unga na maji ,

ISENYE; ni dawa ya kisukari ambayo utibu kabisa tatizo dozi yake siku 21 pia ipo dawa ya uzazi 

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA morogoro yupo wakala maeneo ya stendi kuu mwanza yupo mtaa wa biza c mbeya yupo mbalizi ,na kahama mjini piga simu 0744040721. 0683645920 Dr BRUNO na utaletewa popote ulipo

Serikali Yabainisha Vipaumbele Muhimu Katika Kuboresha Huduma Za Afya Nchini

$
0
0
Na. WAMJW-DODOMA
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imebainisha maeneo muhimu yaliyowekewa kipaumbele katika bajeti ili kuboresha miundombinu na hali ya upatikanaji wa Huduma za afya nchini.

Akieleza taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya wizara kwa kipindi cha nusu mwaka kuanzia Julai hadi Desemba, 2018 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii jijini Dodoma, Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee Mh. Ummy Mwalimu amesema wizara hiyo iliidhinishiwa na Bunge kupokea na kutumia bajeti ya jumla ya shilingi bilioni 866.24 ambapo Kati ya fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni 304.44 ilikua ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida ambapo shilingi 88.47 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo na shilingi 216.7 kwa ajili ya Mishahara ya watumishi walio makao makuu ya Wizara pamoja na Watumishi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara.

Waziri Ummy amesema fedha zilizopokelewa katika kipindi cha Julai hadi Desemba 2018 zimeainishwa katika utekelezaji wa majukumu ya wizara katika kipindi hicho ambapo maeneo muhimu kama Chanjo, afya ya mzazi na mtoto, mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI, upatikanaji wa dawa, vifaa na vifaa tiba, upatikanaji wa damu salama, uimarishaji wa huduma za kibingwa, Utoaji wa huduma za Afya katika Hospitali za Kanda, Maalum, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Hospitali za Rufaa za Mikoa pamoja na uhakiki ubora wa huduma za afya yalipewa kipaumbele.

Aidha, Waziri Ummy amesema Wizara imeendelea kusimamia na kuratibu shughuli zilizokuwa zimepangwa kutekelezwa na Taasisi zilizopo chini yake. Taasisi hizo ni pamoja na Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC), Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) na Mabaraza ya Kitaaluma.

Hata hivyo, pamoja na mafanikio mbalimbali yaliyopatikana katika utekelezaji wa Majukumu ya Wizara (Idara Kuu ya Afya), Waziri Ummy amebainisha changamoto mbalimbali zikiwemo Vituo vya kutolea huduma za Afya kutowasilisha mahitaji ya dawa, Vifaa, Vifaa tiba na Vitendanishi kwa wakati, Upatikanaji wa Huduma Bora na za Uhakika za Uzazi Mama na Mtoto, Upungufu wa watumishi wenye taaluma ya kutoa huduma za afya ikilinganishwa na mahitaji, Wigo mdogo wa wananchi walio katika mifumo ya Bima za Afya pamoja na Kuongezeka kwa watu wenye magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Magaidi Walioishambulia Kenya na Kuua Watu 14 Nao Wameauawa

$
0
0
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta  amesema kuwa raia 14 wameuawa katika shambulio lililotokea katika Hoteli ya DusitD2 jijini Nairobi, huku wengine wakijeruhiwa, na 700 wakiokolewa. 

Ameongeza kuwa, magaidi sita waliotekeleza shambulio hilo wameuawa na operesheni imekamilika.

Kenyatta amesema hayo jana  wakati akilihutubia taifa hilo lililokumbwa na tukio la kushambuliwa na magaidi wa Al Shabaab katika eneo la Westlands kwenye jengo lenye Hoteli ya Dusit D2, benki na ofisi mbalimbali jana Jumanne.

Vikosi vya usalama nchini Kenya vimeanza kuondoka katika eneo la tukio baada ya waziri wa usalama, Fred Matiangi, kuzuru eneo hilo na kutangaza kukamilika rasmi kwa operesheni ya kuwasaka washambuliaji.

Septemba. 21, 2013, magaidi hao walishambulia maduka ya Westgate na kuua watu 148 lakini pia Aprili 2, 2015, walishambulia Chuo Kikuu cha Garissa na kuua watu 71.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

TANZIA: Baba Mzazi wa Alikiba afariki Dunia

$
0
0
Baba mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, Alikiba Mzee Saleh amefariki dunia alfajiri ya leo Januari 17, 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu..

Inaelezwa kuwa, Mzee Kiba ambaye pia ni baba mzazi wa msanii Abdu Kiba na Zabibu Kiba amekua akiugua kwa muda sasa huku akiendelea kutibiwa.

Naibu Waziri Dk Mabula Atoa Onyo Kali Kwa Watendaji Wa Sekta Ya Ardhi Pwani

$
0
0
Na Munir Shemweta, KIBAHA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk Angeline Mabula ametoa  onyo kali kwa Wakuu wa Idara za ardhi watatu pamoja na Afisa ardhi Mteule mmoja katika halmashauri za Mji na wilaya za Kibaha na Bagamoyo mkoa wa Pwani kutokana na kushindwa kusimamia vizuri majukumu yao.

Dk Mabula amewapa miezi miwili kuanzia tarehe 16 Februari hadi 31 Marchi,2019 watendaji hao wawe wametekeleza maagizo waliyopewa ya kuingiza viwanja na mashamba kwenye mfumo  wa  malipo ya kodi ya ardhi kwa njia ya kielektronik pamoja na kutoa hati za madai kwa wadaiwa wote sugu na wasipotekeleza maagizo hayo ndani ya muda huo watawajibishwa.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi alitoa onyo hilo jana wakati alipofanya ziara ya kushtukiza ktika halmashauri za wilaya za Bagamoyo, Chalinze na Kibaha mkoa wa Pwani kuangalia utekelezaji wa maelekezo aliyoatoa kuhusiana na ukusanyaji kodi ya ardhi, uingizaji wamiliki wa viwanja katika mfumo wa kielektronik, utoaji hati za madai kwa wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi pamoja na kushughulikia migogoro ya ardhi.

Watendaji waliopewa onyo kali ni Mkuu wa Idara ya Ardhi katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha Lucy Kimoi, Mjaliwa Jafari Mwamba Kaimu Mkuu wa Idara ya Ardhi Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Vijijini,, Mkuu wa Idara ya Ardhi Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Khalid Tumbulegen pamoja na Afisa Ardhi Mteule wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha Gilly Simiyu .

Dk Mabula ameshangazwa na watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri hizo kushindwa kusimamia sekta hiyo vizuri pamoja na kuwepo mfumo rahisi wa kufuatilia wamiliki wa viwanja na mashamba jambo alilolieleza kuwa linaloikosesha serikali mapato mengi yatokanayo na kodi ya ardhi,

Alisema, pamoja na baadhi ya halmashauri kuonekana kuvuka zaidi ya asilimia hamsini ya makusanyo ya kodi ya ardhi kufikia mwezi Desemba 2018 lakini bado nyingi ya halmashauri hizo zina wadaiwa wengi wenye kiasi kikubwa cha fedha ambapo kama kingekusanywa basi serikali ingeweza kupata fedha nyingi kupitia sekta hiyo.

Dk Mabula ameshangazwa na halmashauri ya Mji wa Kibaha kushindwa kusimamia vyema utoaji hati za madai kwa wadaiwa wa kodi ya ardhi ambapo kwa mujibu wa Mkuu wake wa idara Lucy Kimoi halmashauri hiyo ilipeleka hati za madai kwa wadaiwa kumi tu wakati ina wadaiwa zaidi ya mia mia mbili jambo lililomfanya Naibu Waziri Mabula kuhoji ni vigezo gani vilitumika kupeleka hati za madai kwa wamiliki kumi tu huku wengine wakiachwa.

Aidha, upande wa halmashauri ya Kibaha Vijijini Kaimu Mkuu wa Idara Jafari Mwamba alimueleza Dk Mabula kuwa halmashauri hiyo haikutoa hati hata moja za madai kwa kuwa viwanja vingi katika maeneo hayo ni vipya na ni vigumu kuwapata baadhi ya wamiliki ili kuwapatia hati za madai jambo lililomuudhi Naibu Waziri ambaye aliwataja baadhi ya wamiliki wa mashamba wanaodaiwa kodi ya ardhi kulingana na kumbukumbu za Wizara.

‘’Mko serious kweli! mkuu wa idara upo na kuna fedha nyingi ziko nje ni vigezo gani mmetumia kuwapelelekea hati za madai wadaiwa kumi tu huku mkiwaacha wengine ambao wana zaidi ya miaka mine hawajalipa kodi ya ardhi’’ alisema Dk Mabula.

Naibu Waziri Dk Mabula alisema, mji wa Kibaha kwa sasa unakuwa kwa kasi hivyo watendaji wa sekta ya ardhi wanapaswa kuhakikisha wanaingiza katika mfumo viwanja na mashamba kufikia tarehe 31 Machi 2019 sambamba na viwanja vipya vitakavyopimwa na asingependa kuona halmashauri hizo zinashindwa kuviingiza kwa visingizio mbalimbalimbali.

Akigeukia halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo, Dk mabula amekerwa na jinsi idara ya ardhi ilivyokalia Hati za Wamiliki wa viwanja bila ya kuwapatia wenyewe kwa visingizio mbalimbali ikiwemo kutokamilika taratibu za kupatiwa hati huku baadhi ya hati zikiwa katika ofisi hiyo kwa zaidi ya miaka miatatu na kuagiza wamiliki wenye hati zao watafutwe kwa kupigiwa simu ili kama kuna dosari wafahamishwe na kurekebishwa.

Dk Mabula amemuagiza Mkuu wa Idara ya Ardhi katika halmashauri hiyo ya wilaya ya Bagamoyo Khalid Tumbulegen kuhakikisha anakamilisha hati hizo ndani ya miezi miwili na kuwapatia wamiliki wake hati zao vinginevyo atakumbana na rungu la kuondolewa katika nafasi hiyo.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk Mabula katika kipindi kifupi cha wiki mbili amefanya ziara ya kushtukiza katika halmashauri mbalimbali nchini lengo likiwa kuangalia namna halmashauri hizo zinavyotekeleza maelekezo yaliyotolewa na Wizara kwa lengo la kuongeza ukusanyaji maduhuli ya serikali kupitia sekta ya ardhi na hadi sasa ametembelea baadhi ya halmashauri kwenye mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita, Tanga na Pwani. 

Naibu Waziri wa Madini aamuru wamiliki mgodi wa Nyakavangala wakamatwe

$
0
0
Na Asteria Muhozya, Iringa
Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo ameamuru kukamatwa kwa Wamiliki wa mgodi wa Nyakavangala unaomilikiwa na  Thomas Masuka and Partners kufuatia wamiliki hao kutofautiana juu ya taarifa waliyoiwasilisha kwa Naibu Waziri kuhusu namna mgodi huo unavyoendeshwa ikiwemo ulipaji wa kodi na mrabaha wa serikali.

Aidha, Naibu waziri amewataka wamiliki hao kutoa maelezo ya kina kuhusu ni lini watalipa kodi zote wanazodaiwa na serikali baada ya kuonekana kuwa mgodi huo unadaiwa zaidi ya shilingi milioni 128 za mrabaha ambazo imedaiwa kuwa, wapo baadhi ya wamiliki ambao wamekuwa wakikusanya fedha hizo lakini zimekuwa hazilipwi.

Katika ziara yake mkoani humo, Naibu Waziri alisema kuwa pamoja na kujionea shughuli za uchimbaji katika migodi ya dhahabu ya Ulata na Nyakavangala, amebaini ukwepaji mkubwa wa kodi pamoja na mrabaha wa serikali.

Pia, amemtaka Afisa Madini kutoa maelekezo ya kina kuhusu suala zima la ulipwaji wa kodi na mrabaha wa serikali, huku akiagiza zoezi hilo pia limuhusishe Afisa Msimamizi wa madini aliyekuwepo katika kipindi ambacho fedha hizo hazikulipwa.

“Hatutaki ugomvi hapa kwenye migodi. Tunataka mgodi ufanye kazi. Dhahabu ziuzwe mahali panapoonekana. Hapa naona hesabu za viroba tu. Mnunuzi wa dhahabu hapa ni nani”, alihoji Naibu  Waziri.

Wakati akizungumza na wachimbaji katika mkutano wa hadhara, amewataka wachimbaji hao kuchimba kwa kuzingatia usalama  huku akisisitiza suala la kufuata sheria na taratibu huku akiwataka kutoa taarifa za uhakika kwa wale wote wanaokikuka sheria ikiwemo watoroshaji wa madini huku akisisitiza  utoaji taarifa hizo usiwe wa majungu.

Akitolea ufafanuzi suala la fedha za mrabaha, amesema fedha hizo hazipaswi kuelekezwa katika masuala mengine na wamiliki wa migodi ikiwemo kutumiwa katika huduma za jamii badala yake  zinapaswa kulipwa serikalini.

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela aliwataka wamiliki hao kukaa chini na kukubaliana namna ya kulipa kiasi cha fedha ambacho wanadaiwa na serikali huku akimtaka Afisa kutoka Halmashauri anayehusika na masuala ya usimamizi wa fedha kuhakikisha kwamba fedha ambazo mgodi huo ulipaswa kuzilipa kama mrabaha zinapatikana.

Mgodi huo wa Nyakavangala unamilikiwa na Thomas Masuka kwa ushirikiano na wawekezaji wengine wazawa wapatao 20. Wakati akiagiza kukamatwa kwao, wamiliki 8 kati ya 20 ndiyo walikuwa wamehudhuria kikao kati yake na wamiliki hao.

Naibu Waziri Nyongo alitoa agizo hilo Januari 15 wakat akihitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani humo.

Benki tatu ( TADB, NMB, TPB) zasaini makubaliano kusaidia wakulima

$
0
0
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeingia makubaliano na Benki za Biashara za NMB na Benki ya Posta (TPB) lengo likiwa kuwasaidia wakulima wadogo wadogo kupitia Mfuko wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo chini ya TADB. 

Makubaliano hayo yamefikiwa ili kumwezesha na kumwinua mkulima mdogo aweze kumudu kilimo chenye tija, kupunguza umaskini na kufikia malengo ya serkali ya kufikia uchumi wa kati na viwanda ifikapo 2025.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mazungumzo hayo, Meneja anayesimamia Mfuko, Bw. James Mwakilima alisema Serikali imeshatoa kiasi cha shilingi bilioni 45 kwa mfuko kwaajili ya  kuwakopesha wakulima wadogo  sehemu mbalimbali hapa nchini.

“Katika kutimiza azma yake ya kujenga uchumi wa kati na viwanda, Serikali imeshatoa shilingi bilioni 45 kwa TADB kupitia  mfuko  wake wa dhamana kwa wakulima wadogo ili wakulima waweze kujikita  kwenye kilimo chenye tija.” alisema Bw. Mwakilima

 Bw. Mwakilima alitoa wito kwa wakulima nchini kuitumia vyema fursa hiyo kwa kuwa itakuwa fahari kubwa kwa Benki ya Kilimo kuona wakulima wanainuka kiuchumi na kufikia malengo ya serikali ya uchumi wa kati na viwanda kwa kuwa hakuna viwanda visivyo na malighafi.

“Ni nafasi pekee kwa  wakulima wadogo hapa nchini kuitumia vyema fursa hii kwani Benki ya kilimo ni moja ya madaraja ya kumvusha mkulima kutimiza malengo yake. alisisitiza Bw. Mwakilima.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Mikopo wa Benki ya Posta (TPB), Bw. Ramadhan Mganga alisema kuwa kupitia Mfuko huo Benki yake imefanikiwa kuwakopesha wakulima wadogo hapa nchini. Bwana Mganga alitumia nafasi hiyo  kutaja mikoa ambayo imenufaika na mikopo kuwa ni pamoja na Simiyu, Iringa na Singida.

Aliongeza kuwa katika kuhakikisha wakulima wananufaika na mikopo hiyo, Benki ya Posta imekuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu kwa wakulima wadogo juu ya mazao gani walime na kwa wakati gani ili waweze kuwa na kilimo chenye tija

TADB imejipanga kuhakikisha kuwa inashirikiana na mabenki  ya biashara ili kunifanikisha azma ya serikali ya Awamu ya Tano ya kuleta mageuzimakubwa katika sekta ya kilimo ikiwemo kuwainua wakulima wadogo na kuchagiza maendeleo ya sekta ya viwanda.

Wahukumiwa JELA Miezi Miwili Kwa Kosa la Kuondoka Nchini Bila Kufuata Utaratibu

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wafanyabiashara sita kulipa faini ya Sh. 50,000 ama kwenda jela miezi miwili baada ya kukiri kosa la kuondoka nchini bila kufuata utaratibu.
 
Hata hivyo ni washtakiwa watano ndio wamefanikiwa kulipa faini hiyo hivyo kuachiwa huru na mmoja kurudishwa rumande.
 
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri baada ya Wakili wa Uhamiaji, Novatus Mlay kuwasomea mashtaka yao.
 
Washtakiwa hao wanadaiwa Januari 14, mwaka huu walikutwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakiwa wameondoka kwenda Afrika Kusini bila kuwa na vibali.
 
Baada ya kusomewa shtaka hilo, washtakiwa hao ambao wapo tisa, wawili walikana na sita walikiri kosa na kusomewa maelezo ya awali.
 
Katika maelezo ya awali, Wakili Mlay alidai Januari 14, 2019 washtakiwa walishushwa na ndege katika uwanja wa JNIA wakitokea Afrika Kusini ambapo walipelekwa Idara ya Uhamiaji Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano.
 
Wakili Mlay alidai, katika maelezo ya onyo, washtakiwa walikiri kosa la kwenda Afrika Kusini bila Passport, ambapo walikamatwa kupitia Operation inayoendelea huko na kurudishwa nchini.
 
Baada ya kueleza hayo, washtakiwa walikubali maelezo hayo ambapo Hakimu Mashauri alisema anawatia hatiani washtakiwa hao.
 
Hakimu Mashauri alisema, ana wahukumu kulipa faini ya Sh. 50,000 ama kwenda jela miezi miwili kwa kila mmoja.
 
Kuhusu washtakiwa waliokana makosa yao, upelelezi umekamilika na kesi imeahirishwa hadi Januari 30, mwaka huu kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali.
 
Washtakiwa waliohukumiwa ni Mussa Njogo, Hemed Semi, Mohammed Moshi (27), Carlos Mhando (22), Lista Mlawi (20) na Abdallah Marola (25).
 
Waliokana makosa yao ni Shaibu Mohammed (26), Ibrahim Mketa (30) na Kassim Kitapi (22) ambapo wamerudishwa mahabusu.

Wafanyakazi Wawili Airtel na Wengine 9 Kortini Kwa Kuingilia Mifumo ya Mawasiliano ya Kampuni Hiyo

$
0
0
Wafanyakazi  wawili wa kampuni ya simu ya Airtel na wengine tisa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka saba yakiwemo ya kuingilia mifumo ya mawasiliano ya kampuni hiyo.

Akiwasomea mashtaka, Wakili wa Serikali, Ester Martin akisaidiana na Erick Shija, alidai mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Kelvin Mhina kuwa kati ya Septemba 9 na Desemba 24 mwaka jana, jijini Dar es Salaam washtakiwa walikula njama ya kutenda kosa la wizi.
 
Katika shtaka la pili alidai siku na mahali hapo, washtakiwa hao huku wakijua kuwa ni kinyume cha sheria walijaribu kutenda kosa la wizi.

Katika shtaka la tatu, washtakiwa Laizer na Mwenda kwa makusudi na kinyume cha sheria walisababisha kuingilia mfumo wa mawasiliano wa kampuni ya Airtel bila ya kuwa na kibali.
 
Shtaka la nne alidai kuwa washtakiwa wote walitoa taarifa za mfumo wa mawasiliano wa kampuni hiyo kinyume cha sheria.
Waliofikishwa mahakamani ni Rodgers Laizer na Nancy Mwenda ambao ni wafanyakazi wa Airtel, Erick Fidelisi, Zephaniah Maduhu, Anthony Masaki, Lumuli Stanford, Ndeshiwonasiya Malle, Davis Waseda, Goodluck Nyakira, Michael Onyango na Sylvester Onyango.
 
Washtakiwa walikana kutenda makosa hayo na mshtakiwa Masaki, Stanford, Eased na Mwenda walipata dhamana na wengine wamepelekwa rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.  Kesi ime iatatajwa Januari 29, mwaka huu kwa kuwa upelelezi haujakamilika.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0743543944   0620510598

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Freeman Mbowe ni Mgonjwa.... Ashindwa Kufika Mahakamani

$
0
0
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, leo Alhamisi, Januari 17, 2018 ameshindwa kabisa kufika katika Mahakama ya Kisutu kwa sababu zilizoelezwa kuwa ni mgonjwa.

Wakili wa Serikali mwandamizi, Patrick Mwita ameeleza hayo, mbele ya hakimu mkazi mkuu, Wilbard Mashauri wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa ambapo amedai kuwa shauri hilo wanasubiri maamuzi kutoka Mahakama ya Rufani huku Hakimu Mashauri akiahirisha kesi hiyo hadi, Januari 31, mwaka huu.

Mbowe na Mweka Hazina wa Baraza la Wanawake (Bawacha) Ester Matiko, wanaendelea kusota rumande kutokana na kufutiwa dhamana.

Mbowe na Matiko, walifutiwa dhamana, Novemba 23, 2018 na hakimu mkazi mkuu, Wilbard Mashauri baada ya kukiuka masharti ya dhamana.

Kamati Ya Bunge Yaishauri Serikali Imalizie Mazungumzo Ya Shilingi Bil.345 Za Utalii Kusini

$
0
0
Na Lusungu Helela
Kamati ya Kudumu ya Bunge  Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Serikali imalize mazungumzo na Benki ya Dunia juu ya hatma ya mkopo wa mradi wa kukuza utalii kwa upande wa kusini baada ya Benki hiyo kuonesha kusuasua kufuatia Serikali ya Tanzania kusimamia uamuzi wake wa kuanzisha Mradi wa kufua umeme wa Mto Rufiji.

Hatua hiyo inakuja baada ya serikali ya Tanzania kukopa jumla shilingi bilioni 345 kutoka Benki ya Dunia ili kukuza utalii katika maeneo ya Kusini kupitia mradi ujulikanao kama Resilient Natural Resource Management for Tourism Growth ( REGROW)

Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti Kamati hiyo, Mhe .Nape Nnauye baada ya Kamati hiyo  kufanya ziara katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi ikiwa ni moja ya ziara ya  kutembelea ukanda wa kusini kwa ajili ya kuona mkopo huo umefikia wapi na namna mradi huo unavyotekelezwa.

Amesema uamuzi huo  wa Serikali wa kutaka kufungua Utalii wa Kusini ni wa muhimu sana hata endapo mazungumzo hayo yanayoendelea yatakwama Serikali ifikirie mbadala wake lengo likiwa ni kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

Katika mradi huo Hifadhi za  Mikumi, Ruaha, Udzungwa pamoja na Pori la Akiba la Selous zinatarajiwa kunufaika kupitia mkopo huo  lengo likiwa ni kufanya ukanda wa kusini kuwa lango la Utalii kama ilivyo kwa ukanda wa kaskazini.

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti huyo ameishauri Serikali kuwa endapo fedha za  mkopo huo zitapatikana iandae utaratibu wa kuufanya mradi huo uwe wa kibiashara badala ya ilivyo sasa ambapo kwa kiasi kikubwa matumizi ya fedha hizo yamejikita katika uhifadhi zaidi.

Amesema fedha  inayowekezwa ni  nyingi na italipwa na watanzania sasa ni vizuri itakapowekezwa itoe matokeo yaliyokusudiwa ambayo yatafanana na thamani ya mkopo wenyewe.

Kwa upande wake, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Hamis Kigwangalla amesema kumekuwa na mashaka kidogo kutoka kwa Wafadhili ambao wanatukopesha  pesa hizo baada ya kuona  mradi wa kufua umeme katika mto Rufiji unatekelezwa.

Amefafanua kuwa Wafadhili hao wanahofu kuwa kutakuwa na uharibifu mkubwa wa mazingira na hivyo mradi wa Regrow utashindwa kutekelezwa kwa vile  kivutio katika Pori la Akiba la Selous kitabadilika sura yake

Ameelezea kuwa  Serikali imefanya  jitihada za kuhakikisha kuwa  mazingira ndani ya Pori hilo hayataharibiwi na hivyo mradi wa Regrow unaweza ukaendelea kama ilivyopangwa.

Amesema moja ya hatua zilizochukuliwa na serikali ni kuvihamisha viumbe ambavyo vilikuwepo  katika eneo linapotarajiwa bwawa kujengwa, Hivyo viumbe hao wataendelea kuwepo na wanaweza kurudi katika eneo lao la awali.

Aidha,Mhe.Kigwangalla amesema hata kama itatokea viumbe hao wakapotea kutokana na ujenzi wa bwawa hilo basi viumbe na mimea iliyokuwepo katika eneo hilo vitarudishiwa kwa sababu tayari imechukuliwa na kuhifadhiwa kwenye maabara ya vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo hapa nchini kikiwemo  Chuo kikuu Cha Dar es Salaam pamoja na Sokoine.

"Tumewaeleza kuwa mashaka yao hayawezi kuzuia huu mradi na bila shaka wametuelewa hivyo tunasubilia uamuzi wa mwisho wa kuamua wanatukopesha au hawatukopeshi" amesema Mhe.Kigwangalla.

Pia amesema katika mradi huo yatachimbwa mabwawa makubwa  matatu ambayo yatatumika kama vyanzo vya maji kwa wanyama waliopo katika bonde la Mto Rufiji

Akizungumzia manufaa ya mkopo huo , Waziri Kigwangalla amesema utatumika kujenga miundombinu mbalimbali  ikiwemo barabara pamoja na viwanja vya ndege ambavyo vitakuwa vichocheo vikubwa katika kukuza na kuendekeza utalii kwa ukanda wa kusini.

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 55

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA 

“Ethan kuna zawadi na kazi ambayo na sisi tuna hitaji utusaidie kuifanya”
Qeen alizungumza kwa sauti nyororo huku macho yakiwa yamemlegea kwa pombe nyingi aliyo kunywa, wakasimama na kunishika mikono yangu, nikatembea nao hatua chache hadi kitandani, kisha wakanisukumia kitandani, wakatazamana kisha wakacheka kidogo. Taratibu wakaanza kunnyana ndm zao huku wakianza kuvuana nguo zao jambo lililo nishangaza sana na kunitamanisha sana kihisia na kunifanya nipate msisimko mkali sana wakimahaba hadi nami nikajikuta nikianza kuvua nguo moja baada ya nyingine.

ENDELEA
Qeen na Latifa wakapanda kitandani huku wakiwa wamebakiwa na nguo zao za ndani. Kila mmoja akaanz akunipapasa mwilini mwangu jambo lililo nifanya nizidi kuchanganyikiwa, mlio wa simu yangu iliyomo kwenye suruali ambayo tayari nimeivua, ukatushtua sote. Latifa akanisogezea suruali yangu na kuitoa simu, nikaitazama kwa sekunde kadhaa namba ya Biyanka kisha nikaimnya kitufe cha kuzima simu hii na kuiweka pembeni.
 
“Sitaki usufumbufu”
Nilizungumza kwa sauti ya kilevi, nikaitumia simu pembeni na wasichana hawa wakaendelea na kazi hadi tukamalza huku wakishukuru.

“Mmmm, sipati picha jinsi unavyo fanya Biyanka”
Nikastuka kidogo Qeen kulitaja jina la Biyanka.
“Muna fahamu kwamba mimi na Biyanka tuna mahusiano?”
“Ndio ofisi nzima ina fahamu kwamba tuna muna mahusiano kwa maana ana tuchimba biti za chini chini kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kukusogelea na kama kuna mtu mwenye shida na wewe basi ipitie kwake kisha yeye ndio anaileta kwako”
 
Nikazidi kushanga kwa vituko anavyo vifanya Biyanka pasipo kujua  nina mtumia kama silaha ya maangamizi kwa baba yake.
“Anacho kifanya sio kitu sahihi kwa maana mimi sifahamu kabisa”
“Ohoo sisi wa chini mkurugenzi ndio tunao jua hilo, hususani sisi wasichana warembo warembo ndio tunakoma kwa kupigwa mikrwa na inafikia hatua ameahidi akigundua kwamba kuna msichana ana mahusiano na wewe basi anamfukuza kazi”
 
“Heee huko kafika mbali kampuni ni yangu na asinipangie masharti kwa wafanyakazi wangu”
“Qeen unajua tatizo la Biyanka hajiamini, japo ni mzuri ila anaona atazidiwa kete na sisi watoto wa Kiswahili ndio maana kila asubuhi anaitisha vikao vya wasichana wote ofisini na kuwapa onyo”
 
“Nitamkanya kwa jambo hilo”
“Hapana Ethan, kusema kweli sisi tunaipenda kazi yetu. Najua huko kitandani atakudadisi kujua ni nani aliye kuambia, na utajikuta unatutaja, akatutumbua”
“Hamuniamini?”
Niliwauliza Qeen na Latifa kwa msisitizo.
“Tunakuamini”
“Sasa wasiwasi wa nini, mimi ninao uwezo pia wa kumfukuzisha kazi”
“Hee huko ni mbali sasa Ethan, usije ukafungiwa na baba yake, kumbuka kwamba anakwenda kuwa raisi wa hii nchi na ana washabiki wengi sana na kumbuka na chama chake ndio tawala hapa Tanania”
 
Nikakaa kimya huku nikiyatafakari maneno ya Qeen.
“Baba yake kuwa raisi anaweza kunifungia ehee?”
“Ndio, wanaweza kukufanyia figisu figisu hadi ukakuta unaitaifisha kampuni. Wanaweza kukufufulia madeni ya nyuma ya kodi hadi wewe mwenyewe ukajikuta unachanganyikiwa.”
“Ahaa….je asipo ingia madarakani itakuwaje?”
“Ni ngumu aisee ujue upinzani bado hawana uwezo wa kuking’oa chama pinzani madarakani”
 
“Kwa nini?”
“Moja hawana pesa za kutosha kama chama kilicho madarakani.Pili chama pinzani, vina wafuasi wengi mijini tu, ila huko vijijini ni hata havijafika, , ina mikoa mingapi, ina vijiji vipapi na kila kijiji kina wananchi wangapi wanao weza kupiga kura, sasa utakuta mwisho chama kilichopo madarakani, kinajichukulia ushindi mkubwa, upinzani wanabaki wana bwela bwela tu, wakidai wanaibiwa kura”
Latifa alizungumza kwa msisitizo.
“Hivi bado wana ibiana kura kweli?”
“Kuibiana ni kwenye kura labda za Ubunge na udiwani, ila kura za raisi ni mara chache kwa maana hapo watu wanapakodolea macho kishenzi”
 
“Mmmm nyinyi mupo chama gani sass?”
“Mimi sina chama kwa kweli, raisi atakaye patikana ndio huyo huyo.”
“Qeen je na wewe huna chama?”
“Mimi siasa za Afrika wala sizielewagi, unakwenda kupigwa na jua. Unampa mwenzako kura, ila mwisho anakuja kufanya yake serikalini, yaani hapo ndipo ninapo jikuta ninachoka kabisa.”
Maswali yangu ya udadisi yakazidi kunipa njia na mwanya wa kujua ni kitu gani ambacho ninaweza kukifanya. Kutokana baba Camila amesha pata kiti cha uraisi nina imani kwamba kwangu itakuwa ni njia rahisi kuhakikisha kwamba ananipa msaada mkubwa wa kukitoa chama  madarakani ambacho kwa sasa kimemsimamisha Poul Mkumbo.
 
“Muna fahamiana na kiongozi yoyote wa kipinzani?”
“Mmmm mimi sifahamu”
Qeen alizungumza huku akitingisha kichwa chake.
“Mimi nina mjua mmoja wao ila sidhani kama ana nguvu kubwa ndani ya upinzani”
“Ni nini unaye mfahamu?”
“Mbunge wa Arsha mjini, amemuoa dada yangu, mtoto wa mama mkubwa”
“Ahaa unaweza kuwasiliana naye”
“Sasa hivi?”
 
“Ndio ikiwezekana”
“Alafu nina muambiaje?”
“Utanipa mimi niweze kuzungumza naye”
“Ngoja nitazame”
Latifa akashuka kitandani, akachukua pochi yake kwenye moja ya sofa na kutoa simu yake, akaanza kuiminya minya na kuiweka sikioni mwake.
“Inaita”
Latifa alizungumza huku akirudi kitandani.
“Shem shikamoo”
“Samahani mwaya nitakuwa nimekusumbua”
“Sasa shemeji kuna bosi wangu mmoja hivi anahitaji kuzungumza na wewe, sijui upo tayari kuzungumza naye”
Latifa akanikabidhi simu yake na nikaiweka sikioni mwake.
“Habari yako ndugu”
 
“Salama tu, naona mazungumzo ya kwenye sio mazuri sana. Sijui tunaweza kuonana”
“Hujanitambulisha jina lako ndugu yangu”
“Ni mmiliki wa kampuni anayo fanyia kazi shemeji yako.”
“Ohoo muheshimiwa Ethan”
“Ndio ni mimi, samahani tunaweza kuonana”
“Ndio niambie mulipo mimi ninaweza kufika”
“Upo Dar?”
“Hapana nipo Bagamoyo, nipo nina mapumziko mafupi”
“Ohhoo asante Mungu, mimi pia nipo Bagamoyo. Sasa huyu binti atakuelekeza sehemu nilipo”
 
Nikamrudishia Latifa simu yake na akamuelekeza shemeji yake katika hoteli tulipo kisha akakata simu. Nikashuka kitandani na kuwaomba tukaoge pamoja kwa maana tunatakiwa kuwa safi, tunapo kutana na mbunge huyu. Tulipo maliza kuoga kila mmoja akavaa vizuri kisha tukatoka ndani humu na moja kwa moja tukaelekea eneo kupatia vinywaji huku tukiwa tumekaa katika kigiza kidogo ili mradi watu wasiweze kuniona. Baada ya robo saa mbunge huyo akafika katika eneo tulipo huku akiwa ameongozana na mke wake. Tukasalimiana naye na Latifa akatutambulishalisha.
“Munaweza kutupisha tukazungumza kidogo”
Niliwaomba Latifa na wezake, wakatii nilicho waambia na wakasogea meza ya pembeni. 
 
“Niliomba kuweza kukutana na mmoja wa wana chama cha upinzani ili tuweze kujadilia mambo mawili matatu kwenye mbio za uchaguzi munazo zielekea.”
“Sawa sawa”
“Najua upinzani muna kiu ya kukitoa chama madarakani si ndio”
“Ndio ndio”
“Najua kitu kinacho waangusha sana ni pesa za kampeni si ndio?”
 
“Hujakosea kabisa muheshimiwa”
“Hadi sasa hivi ndani ya chama chako muna bajeti ya kiasi gani?”
“Mmmm baheti kuu ya kampeni ni bilioni mia tatu hamsini, huku chama cha wenzetu tunasikia wameandaa bajeti ya trilioni moja kwa ajili ya kampeni zao”
“Trilioni moja na Bilioni mia tatu ni mbali sana, wezenu wamewaacha kwa kiasi cha bilioni mia saba, mutazipata wapi hizo”
“Wao wanategemea pesa ili wapate kura ila sisi tutawaua majukwaani kwa maneno na sera zanye nguvu ambazo zitawashawishi wananchi kuhakikisha wana fanya maamuzi sahihi”
 
“Hilo ndio mulilo litarajia kwa sera za majukwaa mutoe chama kilichopo madarakani?”
“Ndio mkurugenzi”
“Inabidi muweze kuamka sasa, siasa haitaji maneno mengi. Siana ina hiji pesa, bila ya pesa ni kupiga porojo kwa maana wananchi hao munao wapa sera munazo dai ni nzuri, watahamia upande wa pili kusiliza sera huku wakikinga mikono kupata ridhiki ya chote kitu na mwishowe mutajikuta mukiwa munaangushwa kila chaguzi na mutaishi kulalamika weee na hakuna kitakacho tokea kwenu”
Bwana Samweli kama nilivyo tambulishwa na Latifa akaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akionekana kutafakari kile nilicho mueleza.
 
“Mimi nimeshirikia siasa nchini Ujerumani, wezenu kule upizani hawatumii kelele majukwaani, ni pesa ndio inafanya kazi. Watu wanataka chama chenye pesa kiwaongoze wao, sio chama masikini kama chenu kiwaongoze, kwa mfano tu mdogo muna pewa nchi mukiwa hamuna pesa, mutatumia kiasi gani kukijenga chama kwa pesa ya nchi?”
“Mmmmm hilo nalo neno”
“Ndio hivyo, mutakuta munaacha kuwashuhulikia wananchi shida zao, na munahamia katika kujenga chama ili miaka ijayo musitoke, na mutakuwa ni wezi kwa kuiba pesa za wananchi walala hoi”
“Ni kweli nimekuelewa mkuu, sasa unahitaji sisi tufanye nini?”
 
“Andaeni mkutano mdogo sana wa siri sana na viongozi wako wa ngazi za juu, kisha nijulisheni nije tukutane. Mukumbuke kwamba mimi ni mkwe mtarajiwa wa mgombea uraisi wa chama tawala. Hivyo muwe makini sana katika kila simu ambayo munanipigia na ikiwezekana musitumie namba zenu. Sitaki siku waje kuhack mazungumzo yangu na ikawa shida kwangu na kwenu. Mume nielewa?”
“Tumekuelewa mkuu nitahakikisha kwamba nina fanya hivyo haraka iwezekanavyo”
“Sawa nashukuru kwa muda wako. Tunaweza kuendelea kujumuika kwa pamoja kupata chakula cha usiku”
“Nashukuru sana ila tunaeleka kwa mama mkwe tuliweka ahadi ya kula nao chakula cha usiku”
“Ohoo vizuri sana, basi hakuna tabu” 
 
Nikaagana na bwana Samweli pamoja na mke wake na wakondoka katika eneo hili kisha mimi nikatangulia chumbani kwetu. Baada ya muda kidogo Qeen na Latifa nao wakaingia chumbani humu. Usiku huu hakika ni usiku war aha kwetu sote watatu, baada ya kumaliza kupata chakula cha usiku, tukaendelea kupeana burudani hadi majira ya alfajiri ndio tukajipumzisha huku sote tukiwa tumechoka sana.
                                                                                                                ***
    Majira ya saa saba mchana tukaanza safari ya kurudi jijini Dar es Salaam huku kila mmoja akiwa amejawa na furaha moyoni mwake kwani kile tulicho kifanya kusema kweli kimetuburudisha na kama ni weekend yetu basi imekwenda poa.
“Narudi jamani haya mahusiano yawe siri, sawa”
“Upo salama Ethan hatuto weza kufungua kinywa chetu kwa mtu yoyote”
“Sawa. Leo usiku nitaandaa mpango mzima wa nyinyi kuweza kufanya katika kazi ambayo nimewajulisha, kesho asubuhi ofisini kwangu nikipata muda nita waita niweze kuwaeleza kila mbinu tunayo paswa kuweza kuifanya sawa”
“Sawa mkuu”
 
Tukafika eneo linalo itwa Mbezi Beach wakaniomba niweze kuwashusha. Nikampa kila mmoja wao milioni mbili za Kitanzania, kisha nikaendelea na safari yangu hadi katika hoteli niliyo pangisha.
“Nahitaji funguo”
Nilimuambia muhudumu wa hoteli hii huku nikimtazama usoni mwake.
“Ohooo samahani Mr Ethan, funguo ameichukua mke wako uliye mtambulisha hapa kwetu na hivi sasa yupo chumbani huko”
 
Nikastuka kidogo kwa maana jana nilimzimia simu Biyanka na hadi sasa hivi sijaiwasha. Nikaiwasha simu yangu, ndani ya sekunde kadhaa ikaanza kuingia mfululizo wa meseji kutoka kwa Biyanka pamoja na mkuu wapolisi. Nikaanza kupitia meseji moja baada ya nyinngine za Biyanka na zote zinaonyesha malalamiko ya kwa nini sipatikani hewani. Nikaingia kwenye lifti na kupandisha gorofani, nikatembea kwa hatua kadhaa kwenye hii kordo hadi sehemu ulipo mlango wa chumba changu. 

Nikagonga kidogo na ukafunguliwa. Biyanka akanipokea kwa sura iliyo jaa hasira sana, sikuhitaji kusemeshea kitu cha aina yoyote zaidi ya kuingia ndani. Nikavua koti langu na kulirusha kwenye kiti.
“Umetoka wapi na ulikuwa wapi na ulikuwa na unafanyaje na kwa nini ulinikatia simu kisha ukazima eheeee?”
 
Biyanka alizungumza kwa ukali sana ambao sikuujali, nikaka kwenye sofa na kuweka nne, nikailegeze vizuri tai yangu kisha nikapitia meseji za afande Kimaro. Nikajikuta nikinyanyuka huku nikiwa nimejawa na mshangao mkubwa sana mara baada ya kusoma meseji ya Afande Kimaro akidai kwamba Clara haonekani hospitalini na askari wake wawili alio kuwa amewaacha waimarishe ulinzi wameuwawa usiku wa kuamkia leo.

==>>ITAENDELEA KESHO

Spika Ndugai Amshangaa Zitto Kabwe....Asisitiza CAG Ni Lazima Akahojiwe na Kamati ya Bunge

$
0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameeleza kwamba ni lazima Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali, Prof. Mussa Assad  aweze kwenda kuhojiwa kwenye Kamati ya Maadili  na asipokwenda atamuonyesha yupi ni bosi wake.

Akizungumza na vyombo vya habari leo, Spika Ndugai amesema kwamba CAG siyo muhimili kama jinsi ambavyo anakuzwa na baadhi ya watu na badala wake yeye ni Ofisa anayefanya  kazi za kuchunguza kazi ambazo zilitakiwa zifanywe na wabunge.

Akizungumzia kuhusu kinga yaCAG,  Ndugai amesema suala la maadili haliangalii kuhusu cheo hata akiwa yeye mwenyewe haruhusiwi kuizungumza vibaya nchi yake akiwa nchi nyingine kwani maadili hayaruhusu.

"Hata awe nani? msichanganye vitu, hii haina exception, ndiyo maana wanaoapishwa na Rais lazima wasome kiapo cha maadili.  Ni maadili unatoka nje ya nyumba alafu unaanza kwamba ooh mke wangu mimi.....kuna madili hapo?. Ni maadili atakuja tu na litaisha" 
Amesema Ndugai na kuongeza;


“Kuna rafiki yengu mmoja yupo Uganda , kule Uganda CAG ni Ofisa wa Bunge,na Ofisa wa Bunge anaweza kumgomea Spika? Mihimili iko mitatu na niwahakikishie CAG hiyo tarehe 21 atakuja tu.

“Wengi ambao wanaongea kuhusu hili najua wanatoka upande gani,wapinzani wengi wao wanawaza kupinga tu.


“Huwezi kutoka hapa halafu unakwenda kuisema nchi vibaya.Kazi yetu sote ni kuhakikisha nchi inakaa vizuri”


Katika hatua nyingine, Spika  Ndugai amesema mbunge anayempa shida pale anapotaka kumwadhibu ni Zitto Kabwe.

Ndugai amesema amekuwa akichelea kumfukuza bungeni mbunge huyo wa Kigoma Mjini kwa kuwa ndiye pekee anayewakilisha Chama cha ACT-Wazalendo.

"Unajua niseme ukweli, huyu mbunge amekuwa akinipa tabu sana, ananipa tabu sababu ndio mbunge mmoja wa chama chake,” amesema Ndugai.

“Hawa wengine huwa nafukuza sababu wenzao wapo, sasa huyu (Zitto) ni mmoja tu wa chama chake (ACT Wazalendo).”

Ndugai ametoa kauli hiyo wakati akijibu swali kuhusu kauli za Zitto  Kabwe kuhusu kauli ya Ndugai kuwa Bunge halifanyi kazi kwa muda na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad kutokana na kuitwa kuhojiwa na Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge.

Msingi wa kauli hiyo ulitokana na ufafanuzi wa Ndugai kuhusu nguvu ya Bunge kumuita CAG Assad, akisema Zitto amekuwa akipotosha ukweli wa jambo hilo.


”Hivyo naamua kumuacha tu kwa kutumia busara lakini ukweli huko mbele ya safari nitachoka na nitamchukulia hatua.Bungeni pale watu wanashindana kwa hoja na inaungwa mkono na wabunge wengine.


“Ndio maana wabunge wakiunga mkono wanne ujue hilo jambo linatupwa na Zitto anakwama kwasababu hana wa kumuunga mkono katika mambo yake.


Ameeleza  kwa sasa wabunge wengine wako Dodoma wakiendelea na Kamati za Bunge lakini Zitto yupo Dar es Salaam anahangaika kwenye korido kuhusu kuupinga muswada wa vyama vya siasa.


”Muswada unaendelea kama kawaida, na ukifika Bungeni utapitishwa .Zitto alitakiwa kuwa kule ili atoe maoni yake ili yafanyiwe kazi,”amesema Spika.
 

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images