Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Taarifa Kwa Umma Kutoka Wizara Ya Ujenzi, Uchukuzi Na Mawasiliano

$
0
0
Kama mnavyokumbuka tarehe 31 Disemba 2018, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Ujenzi) ilitoa taarifa kwa umma kuwa, Sheria ya Udhibiti wa Uzito wa Magari ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC Vehicle Load Control Act, 2016) na Kanuni zake za mwaka 2017 itaanza kutumika rasmi nchini Tanzania kuanzia tarehe 01 Januari, 2019.

Wakati Sheria hii inaanza kutumika uwekaji wa mfumo wa upimaji wa magari katika mizani yote nchini haukuwa umekamilika. 

Hivyo, kusababisha mfumo unaotumika kuwa ni wa Sheria mbili (ya zamani na ya sasa). Hatua hii imesababisha mifumo miwili kutumika kwa wakati mmoja na hivyo kuleta mkanganyiko kwa umma.

Kwa mantiki hiyo na kwa kutambua umuhimu wa kutoa elimu kwa wadau hasa juu ya mabadiliko ya mifumo yetu pamoja na kukamilisha ufungaji wa mfumo mpya utaratibu wa sheria ya zamani utaendelee kutumika hadi tarehe 01 Machi, 2019.

Imetolewa na:
Arch. Elius A. Mwakalinga KATIBU MKUU – UJENZI

CCM Yaunga Mkono Marekebisho Sheria Mpya ya Vyama vya Siasa

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole, amesema sheria vya vyama vya siasa iliyopo sasa haimpi nguvu Msajili wa Vyama vya Siasa kufanya kazi kwa ufanisi hivyo mabadiliko ya muswada mpya yatasaidia uimara wa vyama vya siasa na Ofisi ya Msajili kufanya kazi kwa ufanisi.

Polepole ameyasema hayo leo Jumatano Januari 16 katika mkutano wa chama hicho wa kujadili mabadiliko ya muswada kabla ya kupelekwa Bungeni uliofanyika Jijini Dar es Salaam.

“Mabadiliko hayo yatampa nguvu msajili wa vyama vya siasa kutazama kwa jicho la upole endapo chama kimefanya vizuri na jicho la ukali kwa mambo ya ovyo ambayo chama kitafanya,” amesema.

Aidha, amesema mabadiliko hayo yatampa nguvu Msajili kuhusika kwenye usajili wa vyama vya siasa, kusimamia chaguzi za vyama vya ndani, kutoa na kufuatilia uwajibikaji wa ruzuku.

“Sheria tunayoitumia sasa ni sheria ya mwaka 2010 ni miaka 10 imepita tangu kufanya mabadiliko ya sheria, sisi ni vijana tunatakiwa tutoe maoni na mabadiliko ya sheria mpya ili sheria mpya itakayokuja kutumika isiweze kumbana msajili wa vyama vya siasa pamoja na sisi wanachama,” amesema Polepole.

Awali katibu wa siasa na mahusiano ya kimataifa wa CCM, Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga amewataka wanachana wa chama hicho kutoa maoni yao bila wasiwasi kuhusu muswada huo.

Amesema kusudi kubwa la muswada huo ni kutengeneza mazingira ya kuwaongoza Watanzania kulingana na mazingira yaliyopo.

Amesema muswada huo unapiga marufuku kuanzishwa kwa vikundi vya ulinzi na usalama ndani ya vyama vya siasa jambo ambalo ni sahihi

Rais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumzo Na Rais Mstaafu Wa Nigeria Olusegun Obasanjo Ikulu Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu wa Nigeria Oluseguna Obasanjo mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.

Utomvu Wa Kunenepesha Na Kurefusha Maumbile Ya Kiume Yaliyosinyaa Kisa Kujichua

$
0
0
Je una maumbile ya kiume yaliyo sinyaa na kunywea kwa sababu ya kufanya punyeto kwa muda mrefu? Umejaribu tiba mbalimbali bila mafanikio?

Unataka kupata tiba ya uhakika ya tatizo lako ?
Kama jibu lako  ni NDIO basi HII NI HABARI NJEMA SANA KWAKO.

Neema Herbalist ni wauzaji wa DAWA mbalimbali za.asili.

Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba tunao utomvu wa asili ambao unasaidia kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa sababu ya kufanya punyeto kwa muda mrefu.

Utomvu huu wa asili ambao unatumika kwa kunywa unasaidia kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa punyeto ndani ya siku thelathini.

Mbali na kusaidia katika kunenepesha na kurefusha maumbile ya kiume yaliyo sinyaa kwa sababu ya punyeto utomvu huu pia unasaidia kuwatibu wanawaume wenye tatizo la kutoa mbegu chache .

Vile vile utomvu huu unasaidia pia KUONGEZA uteute kwenye joints mbalimbali mwilini.

Kupata tiba hii fika katika duka letu lililopo UBUNGO jijini DAR ES SALAAM jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA.

WASILIANA NASI KUPITIA SIMU NAMBA 0693 005 189.

NA KWA TAARIFA ZAIDI KUHUSU HUDUMA ZETU TUTEMBELEE KUPITIA BLOGU YETU:

Waziri Mkuu: Benki Ya Kilimo Iharakishe Malipo Ya Korosho

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Benki ya Kilimo Tanzania (TADB) ihakikishe inabadilisha mfumo wake ili iweze kuharakisha malipo kwa wakulima wa korosho ambao wameshahakikiwa.

Ametoa agizo hilo leo (Jumatano, 16 Januari, 2019) wakati akizungumza na Wakuu wa Mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa TADB kwenye kikao alichokiendesha kwa njia ya video (video conferencing) kutokea ofisini kwake Mlimwa, Dodoma.

Wakuu wa mikoa hiyo mitatu walikuwa kwenye mikoa yao na Mkurugenzi Mkuu wa TADB, alikuwa Dar es Salaam.

“Hakikisha mnaharakisha malipo ya wakulima lakini pia suala la uhakiki linabaki palepale ili tuwalipe wakulima wanaostahili,” amemweleza Mkurugenzi Mkuu wa TADB, Bw. Japhet Justine.

Waziri Mkuu amesema Serikali bado inapokea malalamiko kutoka kwa wakulima kuhusu suala la malipo ya korosho kwani kwa kawaida malipo ya mkupuo yote huwa yamekamilishwa ifikapo Januari 10 ya kila mwaka.

“Matarajio yetu yalikuwa ni kuvuna tani 245,000 au zaidi kidogo lakini umesema hadi sasa korosho zilizo kwenye maghala ni tani 206,000 maana yake takriban tani 40,000 ziko AMCOS au majumbani kwa wakulima. Na ambazo mmezilipia hadi sasa ni tani 92,000 na pointi zake. Tuko chini ya nusu.”

“Hili zoezi la uhakiki na malipo, lilianza Novemba 27, 2018 na leo ni tarehe 16 Januari, 2019 na hatujafika hata asilimia 50, maana yake zoezi hili tutalimaliza Aprili mwanzoni. Haiwezekani! Tunapata lawama kutoka kwa wakulima wa korosho kwa sababu hii kasi ni ndogo; na haya siyo malengo ya Mheshimiwa Rais, aliyetaka korosho zinunuliwe na Serikali.”

Waziri Mkuu alihoji ni kwa nini benki hiyo haishirikiani na vyama vikuu (unions) au vyama vya msingi (AMCOS) ili kubaini idadi halisi ya wakulima na idadi kamili ya kiasi walichovuna kwa sababu kila AMCOS ina wanachama wake wanaojulikana.

“Zao la korosho lina mfumo wa ushirika. AMCOS ziko kwenye ngazi ya vijiji na unaweza kukuta AMCOS moja ina wanachama zaidi ya 200, sasa bila kupitia kwenye hizi AMCOS unawezaje kujua kila mkulima amevuna kilo ngapi na anadai kiasi gani kwa kupitia Bodi ya Mazao Mchanganyiko pekee?

“Kuna Wilaya zina AMCOS zaidi ya 50. Ni kwa nini msitumie mfumo huo lakini mkawatenga kwenye makundi mawili yaani wakulima wenye chini ya kilo 1,500 au zaidi ya 1,500 ili muweze kufanyia uhakiki kwa urahisi?” aliluliza.

Ameitaka benki hiyo izishirikishe AMCOS na UNIONS pindi malipo yanapofanyika ili nao wajue ni wanachama wao gani ambao wameshalipwa. “Mfumo unaotumika sasa unapeleka malipo moja kwa moja kwenye akaunti ya mtu binafsi, kwa hiyo AMCOS wanakuwa hawana taarifa, na wao pia wanachangia kushiriki kutoa malalamiko.”

Waziri Mkuu pia alitumia fursa hiyo kuwataka wakuu wa mikoa hiyo wahuishe taarifa zao na wamtumie ili aweze kuzitumia kuratibu zoezi zima. “Mniletee taarifa zenu mkionesha ni kiasi cha korosho mlitarajia kuzalisha; mmeshakusanya kilo ngapi hadi sasa ambazo ziko kwenye maghala; kama malipo yameanza, ni wakulima wangapi wameshalipwa; na fedha kiasi kila mkoa umeshapokea hadi sasa,” amesisitiza.

“Nimeongea na wakurugenzi wa CRDB na NMB na kuwasisitiza kuwa suala la miamala ya malipo ya korosho lifanywe mchana na usiku ili malipo yakamilike kabla ya Januari mwishoni,” amesema.

Kwa upande wao, wakielezea changamoto wanazokabiliana nazo, wakuu hao wa mikoa walisema kuwa suala kubwa ni ucheleweshaji wa malipo kwa wakulima, baadhi ya AMCOS na vyama vya msingi kulipwa mara nyingi zaidi ya vyama vingine, miamala ya malipo ya wakulima kukataliwa na Benki na hali ya kutoaminiana baina ya timu ya uhakiki na watendaji wa wilaya na mikoa ambao ni wajumbe wa Kamati za Ulinzi na Usalama.

Mapema, Mkurugenzi Mkuu wa TADB, alisema fedha iliyolipwa kwa wakulima wa korosho hadi sasa ni sh. bilioni 306 kwa wakulima zaidi ya 156,000. “Korosho zilizolipwa hadi sasa ni tani elfu 92.7 ambazo ni wastani wa asilimia 44,” alisema.

Hata hivyo, Bw. Justine alisema zaidi sh. bilioni 11 zimekwama kulipwa kwani taarifa za kibenki zinaonyesha kuna matatizo hasa kwenye majina.

“Majina ya waliopeleka mzigo, yanatofautiana na majina ya akaunti za benki. Majina yaliyokataliwa na mfumo wa kibenki yatabandikwa kwenye vyama vya msingi ili wakulima wakarekebishe taarifa zao,” alisema.

Alisema takriban sh. bilioni 15 zimelipwa wa watoa huduma ambao ni wasafirishaji, wapagazi na wenye maghala.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Waziri Mkuu Apokea Leseni Ya Usajili Wa Tanzania Safari Channel

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea leseni ya usajili wa chaneli ya utalii ya Tanzania Safari ambayo itaiwezesha kuoneshwa kwa umma bila ya malipo yoyote (a must-carry channel) na wamiliki wa visimbusi.

Waziri Mkuu amekabidhiwa leseni hiyo leo mchana (Jumatano, 16 Januari, 2019) kwenye kikao alichokiitisha ofisini kwake Mlimwa, jijini Dodoma ambako alitaka apewe mrejesho kutoka kwa wajumbe wa Kamati Maalum ya kusimamia uboreshaji wa Chaneli ya Utalii (Tanzania Safari Channel).

Akikabidhi leseni hiyo kwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dkt. Ayoub Rioba amesema kukamilika kwa usajili huo kumeiwezesha chaneli hiyo ianze kuonekana kwenye kisimbusi cha AZAM namba 109.

Akitoa taarifa mbele ya Waziri Mkuu, Dkt. Rioba amesema Kamati hiyo iliundwa Desemba 21, mwaka jana na inajumuisha wajumbe kutoka taasisi ambata za maliasili na utalii kutoka Tanzania bara na Zanzibar.

“Baada ya kupata leseni, sasa hivi tunaonekana kwenye kisimbusi cha AZAM chaneli namba 109 na pia kwenye intelsat ambako tutaweza kuonekana kwenye nchi zote barani Afrika, sehemu kubwa ya bara la Ulaya na Uarabuni,” amesema.

Mapema, akichangia hoja kwenye kikao hicho, Mwenyekiti wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (TAWA), Meja Jenerali (Mst.) Hamisi Semfuko alisema chaneli hiyo inaweza kunufaika kwa kupata matangazo kutoka kwa wamiliki wa mahoteli, makampuni ya kutoa huduma za utalii na wenye magari ya utalii.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA, Dkt. Allan Kijazi alisema chaneli ya Tanzania Safari imekuja katika wakati muafaka kwa kuwa itaongeza juhudi za taasisi zao kutangaza vivutio vilivyopo nchini na hivyo kuongeza idadi ya watalii wa ndani na wa nje.

“Uwepo wa chaneli hii utasaidia kuondoa upotoshaji wa makusudi uliokuwa ukifanywa na baadhi ya nchi kuwa vivutio fulani viko kwenye maeneo yao wakati siyo kweli,” alisema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 54

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA
Tukafika katika moja ya jengo lenye baadhi ya benki na huduma kadhaa za kipesa, nikashuka kwenye gari nikiwa na kadi yangu, ya benki inayo niruhusu kuweza kutoa pesa kwenye benki zaidi ya mia moja duniani. Nikatoa kiasi cha dola elfu ishirini, dola elfu tano nikazibadilisha katika pesa za kitanzani kisha nikarudi kwenye gari. Ujumbe mfupi wa meseji ukaingia kwenye simu yangu na kujikuta nikiziweka hizi bahasha mbili zenye pesa pembeni yangu na kuitoa simu mfukoni. Nikaufungua ujumbe huu uambao umetumwa na namba ngeni.
‘ULIPO PAGUSA SIO SALAMA KABISA ETHAN. NITAHAKIKISHA NINAKUUA KABLA YA SIKU YA LEO HAIJAISHA. PUMBAVU SANA WEWE’
Meseji hii ikanistua sana hadi mwili mzima ukaanza kunitetemeka na jasho taratibu likaanza kunimwagika usoni mwangu hadi Queen na mwenzake wakagundua kwamba kuna tatizo lililo nipata.

ENDELEA   
“Mkurugenzi kuna tatizo gani?”
Qeen aliniuliza huku akinitazama jinsi mikono inavyo nitetemeka hadi kushika simu yangu nina shindwa.
“Unaweza kuendesha gari?”
“Ndio”
“Njoo uendeshe”
Nilizungumza huku nikiwa nimeishiwa hata ujasiri wa kuendesha gari hili. Nikahamia siti ya pembeni huku Qeen akiingia kwenye siti ya dereva.
“Tunaelekea wapi mkurigenzi”
“Kule kule”
 
Taratibu tukaanza kuondoka eneo hili huku kichwani mwangu nikiwa na mawazo mengi sana juu ya huu ujumbe nilio tumiwa. Nikaitafuta namba ya afande Kimaro na kumpigia simu, simu yake ikaita kidogo na ikapokelewa.
“Ethan nitakupigia nipo kwenye kikao”
Simu ikakatwa na kunifanya nishushe pumzi nyingi sana. Ukimya ukatawala ndani ya gari huku nikifirikia nimueleze Dany juu ya ujumbe huu, ila nikaona itakuwa sio sahihi, acha nipambane mwenyewe hadi dakika ya mwisho isitoshe yupo Ethan, rafiki yangu anaye nisaidia katika hali zote ngumu ninazo zipitia.
“Mkurugenzi tumesha fika Bagamoyo, sasa unahitaji twende kwenye hoteli gani?”
 
“Hoteli yenye hadhi kubwa ambayo haina watu wengi na wanao ingia hapo ni matajiri tu”
Qeen akatazamana na mwenzake.
“Unanitazama nini Qeen mimi sijiu hoteli nzuri za huko”
“Ila wewe si viwanja vyako?”
“Bwana Qeen mimi sijui”
“Labda twende pale Ocenic Bay Hotel”
“Haina watu wengi?”
“Hapana watu ni wacheche mkurugenzi”
“Sawa twendeni”
Tukafika katika hoteli hii kubwa, Qeen akasimamisha gari katika maegesho maalumu. Nikatazama eneo hili na kweli lime tulia na watu wengi hapa kidogo ni wazungu wazungu ambao kwa namna moja ama nyingine nina imani kwamba wananitambua.
“Nenda kachukue chumba kimoja chenye hadhi kubwa”
“Kimoja!!?”
Qeen aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao.
“Ndio”
“Sawa mkurugenzi”
“Mupende kuniita Ethan nikiwa nje ya ofisi”
“Saw sawa”
Nikamkabidhi Qeen kiasi cha kutosha cha pesa kisha akashuka kwenye gari na kuelekea eneo la mapokezi. Nikabaki na rafiki yake ambaye sio muongeaji sana.
“Hivi unaitwa nani wewe?”
“Latifa”
“Ahaa, mwenzako ni Qeen na wewe ni Latifa?”
“Ehee?”
“Muna muda gani katika kampuni yangu pale?”
“Huu ni mwaka wa pili mkuu”
“Ahaa, kati ya uongozi ulio pita na uongozi huu, upi ni ongozi mzuri?”
 
“Wa kwako kwa kweli, kwa maana unajua kuwajali wafanyakazi wako. Yule mkurugenzi aliye toka alikuwa anajali wale viongozi wa ngazi za juu hususani ma meneja wale. Ila sisi wa chini huku tulikuwa tunafanya kazi hiyo basi kwa maana hatuna pa kwenda na hapa ni mjini ukiacha kazi ni kazi kupata kazi”
“Poleni sana”
“Tumesha poa, kwa sasa kidogo tunaweza hata kuingia saloon hata mara mbili kwa wiki, ila zamani. Kwa wiki mbili una ingia mara moja, tena sisi tunao hudumia wateja tunatakiwa kuwa safi muda wote ila wala hawakuwa wanatujali, hakuna marupu rupu, yaani tulipitia mtoso mkubwa sana mkurugenzi”
 
Tukamuona Qeen akija eneo la gari na ikabidi mazungumzo yaishie hapa. Akafungua mlango na kuingia ndani ya gari.
“Nimepata vip room moja ni dola mia moja na hamsini”
“Umechukua?”
“Ndio mkuu”
“Ni gorofa lipi?”
“Lile pale”
Qeen alituonyesha moja ya gorofa, kwa maana katika eneo hili kuna gorofa kadhaa.
“Basi tangulieni nina kuja”
“Sawa”
Qeen na Latifa wakashuka kwenye gari hili,kabla hawajafika mbali nami, simu yangu ikaanza kuita na kukuta ni namba ya Biyanka. Nikaitazama simu yake kwa muda kisha nikaipoke na kuiweka sikioni.
 
“Mume wangu za muda?”
“Safi vipi?”
“Poa upo wapi?”
“Ahaa nipo sehemu nina pata lunch”
“Ahaa, kuna mtu ameniambia amekuona polisi leo ni kweli kwa maana nilimbishia”
“Hapana sio mimi”
“Amesema pia ameona gari lako polisi”
“Ni nani?”
“Rafiki yangu mmoja hivi?”
“Hapana atakuwa amenifanisha, mimi polisi ninakwenda kufanya nini sasa?”
Ilinibidi niongopee ili kuficha udadisi wa Biyanka.
“Ndio hapo sasa, sawa, sisi tunajianda kuingia kwenye mkutano na mama”
“Sawa”
“Nakupenda mume wangu, nakuomba uwe makini”
“Nashukuru, nakupenda pia”
 
Nilizungumza hiyo basi ili kumridhisha, akakata simu, kabla sijairudisha mfukoni nikaupitia ujumbe huu nilio tishiwa maisha yangu. Nikafungua kisanduku kidogo cha kuhifadhia vitu ndani ya hili gari nikaiingiza kiasi cha pesa na nikashuka na kiasi cha kutosha cha pesa za kitanzania mbazo zipo kwenye mfuko huu wa kaki, nikafunga mlango wa gari langu kwa funguo na kuelekea walipo elekea Qeen na Latifa. Nikafika katika chumba alicho niambia, nikagonga kidogo na mlango ukafunguliwa na Qeen. Nikapitiliza moja kwa moja hadi kitandani na kijitupa na wote wakabaki wakinitazama.
 
“Agizeni vyakula na vinywaji”
“Unatumia chakula gani mkuu”
“Chochote mutakacho kula nyinyi. Alafu Latifa usipende kuniita mkuu tunapo kuwa eneo kama hili. Niiteni Ethan tu nitajisikia vizuri”
“Samahani Ethan nilijisahau”
“Je kinywaji unatumia kinywaji gani?”
“Kichwa changu leo hakipo vizuri hivyo nahitaji ninywe wnye hadi nitakapo jisikia vizuri”
Qeen na Latifa wakatazamana.
“Mimi nitakwenda”
Latifa alizungumza, nikamuonyesha bahasha yenye pesa na kumuagiza achukue kiasia nacho kihitaji kwa kwenda kununulia vyakula na vinywaji.
“Ethan unaonekana una mawazo sana boss wangu, hembu niambie ni kitu gania mbacho kina endelea kwako?”
Qeen aliniuliza swali hili mara baada ya Latifa kutoka chumbani humu, nikakaa kimya kwa muda huku nikimtazama usoni mwake.
 
“Niambie tu unaweza kuniamini”
“Kuna mtu anahitaji kuniua leo”
Qeen akastuka huku akiushika mdomo wake kwa kushangaa sana. Nikamuona naye akianza kujawa na woga fulani.
“Kwa nini?”
“Kwenye maswala ya kibiashara kuna mambo mengi ila potezea naamini kwamba hato weza kufanya jambo hilo ndio maana nime amua kuja kukaa huku Bagamoyo kwa muda kidogo hadi hili jotojoto litakapo pita.
 
“Jamani, wasije wakatuulia mkurugenzi wetu na maisha yakabadilika kwetu jamani”
“Usijalia hakuna kitu kama hicho. Nikuulize swali?”
“Niulize tu”
“Wewe na Latifa muna urafiki wa muda gani?”
“Mmmm toka tupo chuo IFM hadi mwaka huu tunatimiza mwaka wa tano kama sikosei”
“Na muna ambiana sana mambo yenu ya siri?”
“Ndio, siri yake siri yangu. Hatufichani jambo lolote”
“Sawa”
Latifa akarudi na kukaa kwenye moja ya sofa.
“Ninaweza kuwaamini?”
Latifa na Qeen wakatazamana kwa sekundee kadhaa, kisha latifa akwahi kujibu kabla ya Qeen
“Ndio Ethan kwa maana mimi na Qeen tuna amainiana kwa kipindi kirefu sana, hatujawahi kukorofishana wala kutoleana siri kwenye maisha yetu”
“Ohoo sawa sawa nimewaelewa. Sasa nahitaji muwe ni wapelelezi wangu wakubwa na muweze kufanya kazi moja hatari sana ambayo kwa nama moja ama nyingine inaweza kuhatarisha maisha yenu. Ndio maana nimewaita mazunngumzo haya tuje kuyazugumzie nje ya Dar es Salaam”
 
Qeen na Latifa wakawa wanyonge kiasi huku kila mmoja akionekana kutafakari juu ya jambo ambalo ninalizungumza.
“Najua nyinyi bado ni mabinti wadogo  kama mimi. Bado munatafuta maisha kwa udi na uvumba ila kwa maisha ya Tanzania nina imani kwamba hakuna ambaye anaweza kutusua na kuwa tajiri kwa mshahara wa kupangiwa na bosi wako si ndio”
 
“Ni kweli Ethan”
Qeen alijibu kwa unyonge sana.
“Kazi ambayo mutaifanya sio ya muda mrefu ila nitawapatia pesa nyingi sana pale ambapo wote kwa pamoja tuta fanikisha kuhakikisha lie ambalo nimelikusudia limekalimilika. Hivyo basi nahitaji kujua mupa tayari au hamupo tayari katika kuifanya hii kazi, na sijawatajia kazi gani kwa maana nina hitaji kuona muitikio wenu, kwa maana usije ukasema nitafanya kazi kutokana kwa kiasi cha pesa ambacho labda nitakitaja au kwa sababu tu unamfanyia Ethan, tahadhari kazi inahitaji usiri, kazi inahatarisha maisha, kazi inahitaji umakini. Sasa kazi ni kwenu”
Qeen akashusha pumzi nyingi sana huku  akimtazama Latifa usoni mwake, ambaye naye anaonekana kuwajawa na wasiwasi mwingi sana. Ukimya ukatawala ndani ya chumba hichi huku wote wawili wakiwa wanatafakari sana kwa hichi nilicho waeleza.
“Mimi nipo tayari japo sifhamu ni kazi gani ila nipo tayari Ethan”
 
Latifa alizungumza kwa ujasiri ambao kwa namna moja ama nyingine ukanifurahisha.
“Nami nipo tayari, nitapambana bega kwa bega hadi kuhakikisha kwamba lile ambalo unatueleza linakwenda kukamilika Ethan”
Maneno ya Qeen nayo yakanipa furaha na hamasa ya kuwaamini japo si kwa asilimia mia moja.
“Nafurahi kusikia hivyo, ila jambo kubwa na la umakini sana ni kutunza siri, kama mutashindwa kutunza siria, hakika mpango mzima unakwenda kuvunjika na ukivunjika. Mimi na nyinyi kila mmoja atakwenda kuuwawa kwa wakati wake”
“Tuamini Ethan hata mama zetu hatuto kwenda kuwaeleza hili jambo”
 
“Nashukuru. Mimi nipo Tanania kwa ajili ya kulipiza kisasi kwa adui aliye niulia wazazi wangu kipindi cha miaka mingi sana iliyo pita. Nimenunua ile kampuni ili mradi niwe karibu tu na adui yangu. Hadi kwa sasa hivi nina shukuru Mungu ni kwamba nimesogelea kwa asilimia takribani stini. Asilimia arobaini zilizo salia nina hitaji kumuangamiza kutokea nje kabisa na ninahitaji anguko lake liwe anguko la taifa kwa maana halito mgusa mtu mmoja, litawagusa watu wengi sana”
 
Nilizungumza kwa mafumbo kidogo ili kuendelea kuwajua Qeen na Latifa kama akili zao zipo vizuri au ni za aabu ajabu.
“Anguko la taifa, una maanisha mtu huyo ni kiongozi au?”
Qeen aliniuliza huku akinikazia macho.
“Si kiongozi ila anatarajiwa kuwa kiongozi”
“Ahaa nahisi hilo swala litakuwa linahusiana na wanao gombani urahisi si ndio bosi”
Latifa aliniuliza, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikatingisha kichwa nikimaanisha kwamba alicho kizungumza yeye ni sahihi kabisa.
“Duu, hilo jambo kweli ni gumu”
“Ndio maana ninazidi kuwa sisitizia kwamba linahitaji kila mmoja wenu kuwa makini na msiri. Ukiropoka hata kwa boyfriend wako basi ujuje unakwenda kufa”
“Sote hapa hatuna wanaume”
“Kweli?”
“Ndio Ethan tuamini”
 
“Sawa, kwa leo mazungumzo yaishie hapa, ili kila mmoja aweze kujiandaa kisaikolojia kuweza kumpokea huyo mtu ambaye tunakwenda kumshuhulikia. Ninawahakikishia enepo tutafanikiwa basi kila mmoja wenu ninakwenda kumpa kiasi cha dola za Marekani milioni tano na nina uhakika kwamba mutakuwa matajiri wakubwa na nyinyi mutafungua kampuni zenu ndogo ndogo kwa ajili ya kujiendeleza kiuchumi zaidi”
Qeen na Latifa wakwa kama watu walio changanyikiwa wakaanza kuruka ruka huku wakikumbatia kwa furaha sana, jambo lililo nifanya nicheke kidogo.
“Boss tunakuhakikishia kwamba tutafanya lolote utakalo tuamrisha tufanye. Haki ya Mungu ni lazima tumuangamize yule unaye hitaji kumlipizia kisasi”
Qeen alizungumza kwa furaha sana.
“Mimi nipo tayari hata kufa ili mradi huu mpango uweze kukamilika.
 
“Nafuraha kuweza kusikia hivi. Mbona wanachelewa kutuletea chakula na viywaji”
“Kidogo kulikuwa na foleni ila watatuletea chakula humu ndani”
“Sawa, hivi kila mtu anaishi kwake au?”
“Tumepanga nyumba moja, kila mmoja ana cheke, ila tuna seble moja”
“Basi mpango ukiisha, mutaniambia ni wapi munahitaji kuishi kama ni kuwajengea niwajengee kila mmoja nyumba yake na kama ni kununua basi kila mmoja niwanunulie nyumba yake, hiyo ni nje tu ya kiasi cha pesa ambayo nimewaabia nitakwenda kuwalipa na nilazima tuweze kuandikishana mikataba ya siri ambayo ni sisi watatu tu ndio tutakuwa tunafahamu juu ya mikataba hiyo. Mumenielewa?”
Furaha ikazidi kutawala kwa Qeen na Latifa. Muhudumu akatuletea vijwaji na chakula. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama na kukuta ni namba ya Afande Kimaro, nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
 
“Ndio Ethan”
“Kuna meseji na namba nitakutumia, nina omba uweze kuniwekea ulinzi mkuu”
“Sawa nitumie”
“Kitu kingine ninaomba umtazame Clara hapo hospitali nitaonana naye kesho”
“Sawa sawa”
Nikakata simu na kumtumia meseji ya vitisho niliyo tumiwa na mtu nisiye mfuamu, nikaituma na namba yake ya simu kisha tukaendelea kupata chakula hichi cha mchana huku tukiendelea kufakamia wyne zilizo letwa hapa. 
 
“Ethan kuna zawadi na kazi ambayo na sisi tuna hitaji utusaidie kuifanya”
Qeen alizungumza kwa sauti nyororo huku macho yakiwa yamemlegea kwa pombe nyingi aliyo kunywa, wakasimama na kunishika mikono yangu, nikatembea nao hatua chache hadi kitandani, kisha wakanisukumia kitandani, wakatazamana kisha wakacheka kidogo. Taratibu wakaanza kun ndimi zao huku wakianza kuvuana nguo zao jambo lililo nishangaza sana na kunitamanisha sana kihisia na kunifanya nipate msisimko mkali sana wakimahaba hadi nami nikajikuta nikianza kuvua 

==>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 192 na 193 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA
“Dany hii ni hii ni gemu kuna kushinda na kushinda na kushindwa. Tumtumie Osma kama ufungou wa kumfungua K2 uliye shindwa kukutana naye kwa miaka sasa na umeshindwa kulipiza kisasi chako. Tufanye hivyo kisha utanipatia majibu”
Maneno ya Magreti yakaanza kiniingia akilini mwangu, taratibu. Kwa maana endapo Osama atahitji kuonana na K2 na mimi nipo katika sura ya bandia ni ngumu sana kwa K2 kunitambu na itakuwa ndio nafasi yangu ya mwisho kuhakikisha kwamba ninamtia mikononi na kumuondoa dunia na nitakuwa nimemaliza asilimia kadhaa ya kazi yangu.
   
ENDELEA
“Poa nimekuelewa”   
“Ila unaoenekana kama hujaridhiana na mimi?”
“Hapana nimeridhika, ila fikiria na uupange vizuri huo mpango ulio nieleza kw amaana sihitaji kufeli tena kwenye maisha yangu”
 
“Nimekuelewa”
“Hakikisha kwamba unamdhibiti”
Baada ya kuzungumza maneno hayo nikatoka chumbani humu na kuwaacha wawili, nikatoka nje na kuzunguka upande mwingine wa nyumba. Nikafungua geti kubwa lililopo na kuingia katika ukumbia ambao kuna vitu vingi ambavyo mama alivihifadhi humu ndani. Nikawasha taa, na nikabaki nikiendelea kutazama hivi vitu vilivyomo humu ndani huku kukiwa na magari kadhaa yaliyo funikwa na maturubai. Kila ninapo tazama vitu hivi vya umu ndani ni kama ninamuona mama yangu jinsi siku ya kwanza nilivyo kuwa akinielekeza baadhi ya vitu. Simu yangu ikaita, nikaitoa mfukoni na kupokea.
“Upo wapi Dany ninakutafuta sikuoni?”   
“Zunguka huku nyuma”
“Wapi?”
“Upande huu wa kulia”
Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu. Magreti akaingia humu ndani na kuonekana kushangaa snaa kwa kile anacho kiona.
 
“Umemuweka wapi?”
“Nimemuweka mule ndani?”
“Umemfunga na kitu chochote?”
“Ndio, nimekuta kamba ya manila, nimemfunga na nimehakikisha kwamba hatoki”
“Ila kumbuka huyo sio kuku ni gaidi, tena sio gaidi mchwara ni gaidi mkubwa”
“Hawezi kutoka sehemu nilipo mfunga”
“Sawa”
Nikafungua kabati moja ambalo linahifadhia silaha.
“Mmmmmm hii nyumba yenu imekamilika sana”
“Ndio ipo vizuri”
Nikawasha computer iliyopo humu ndani. Nikakuta inahitaji kuiingiza neno la siri ili iweze kufunguka, nikajaribu kukumbuka ni namba zipi za siri ambazo mama alikuwa mama alikuwa akizitumia, nikajaribu kuingiza jila lake ila haikufunguka, nikaingiza jina langu kwa bahati nzuri ikafunguka. 
 
“Hii computer alikuwa anaitumia mama yangu”
Nilizungumza huku nikifungua faili moja linalo onyesha video zilizo rekodiwa na  kamera zilizipo eneo la nje ya hii nyumba. Nikamuona Mariam akifika katika hili eneo na kupokelewa vizuri na mama.
“Huyu si Mariam?”
“Ndio unamfahamu?”
“Ndio alikuwa ni miongoni mwa mwezetu.”
“Yeye alihusika katika mauaji ya familia yangu”
“Weeeeeeee!!!”
“Ndio”
 
“Sijui yupo wapi?”
“Nimemsamehe kwa maana yeye aliagizwa kufanya hivyo na K2”
Nilizungumz akwa sauti ya upole huku nikitazama picha ya Mariam, niliyo inatisha kwenye hii computer.
“Pole sana Dady”
Simu yangu ikaingia ujumbe mfupi meseji, nikaitoa mfukoni mwangu na kufungua ujumbe huu.
‘YEMI AMAPETIKANA’
Baada ya kuusoma ujumbe huu, kwa haraka nikaipiga hii namba, ikaita kwa muda kisha ikapolekewa na Livna.
“Ni kweli amepatikana?”
“Ndio amepatikana niamini mpenzi wangu, ngoja nielekee chumba cha daktari uzungumze naye”
“Hembu fanya hivyo”
Baada ya dakika mbili, nikaisikia sauti ya Yemi kwenye simu hii.
 
“Dany”   
“Yemi upo hai?”
“Ndio nipo hai mpenzi wangu”
Yemi alizungumza huku akilia.
“Upo salama sasa, mpe simu Livna”
“Eheee”
“Sasa ninahitaji kuimaliza kazi  iliyo nilete huku, Osama nahitaji kumtumia Osama kunikutanisha na K2”
“Dany huo sio mpango ulio kupelekea huko mume wangu, utajiingiza matatizoni”
“Ninaelewa mke wangu, ila itanibidi kufanya hivi nahitaji nikurudi huko nirudi mazima tuishi nikulee”
 
“Dany utaniua kwa presha mwenzio”
“Nina sura ya bandia hakuna kitakacho haribiki, tutaendelea kuwasiliana”
“Sawa, muvae hivyo vipaza sauti”
“Usijali”
“Poa kuwa makini”
“Sawa mke wangu”
Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu, nikasogelea meza yenye computer kubwa, nikaiwasha na kukuta ikinihitaji kuingiza namba za siri.
“Inahitaj namba za siri”
Nilizungumza huku nikimtazama Magreti anaye tazama tazama baadhi ya vitu vilivyomo humu ndani.
“Unazifahamu hizo namba za siri?”
“Sikukumbuki kwa kweli  kwa maana mtumiaji alikuwa ni mama”
Nikaanza kujaribu majina tofauti tofauti ya wana familia wangu, ila yote yakakataa.
 
“Majina yote yamekataa”
“Jina lako umelikumbuka?”
“Eheee ngoja niingize jina langu”
Nikaanza kuingiza jina langu kwa herufi ndogo, cha kumshukuru Mungu computer ikafunguka. Nikaanza kutazama tazama mafaili  pamoja na mfumo mzima wa kamera ambazo zimefungwa mbali na eneo la kuingilia katika eneo la karibu la hapa nyumbani. Nikaanza kupitia matukio ya nyuma yaliyo rekodiwa na kamera zote, nikakarudi mika mitatu nyuma na kuona tukio la Mariam alivyo karibishwa nyumba hapa na mama. Sikuweza kuona ndani kwa mana ahakuna kamera yoyote kwa ndani, nikapeleka mbele na kumuona Mariam akitoka humu ndani peke yake. 
 
“Hembu rudisha nyuma huyu dada kama ninamfahamu”
Magreti alizungumza mara baada ya kuja hapa nilipo na kutazama kitu ninacho kitazama. Nikafanya kama anavyo hitaji.
 
“Huyu si Mariam?”
“Ndio ni Mariam ndio mtu aliye niulia familia yangu”
“Weeee?”
“Ndio ila alipewa kazi hiyo kwa shinikizo la kutekwa kwa mama yake”
“Masikini weee, sasa umemsamehe?”
“Ndio nimemsamehe, sikuwa na haja ya kufanya hivyo ikiwa maisha yangu ya kujitegemea nilianzia kwao”
“Ahaaa, hiyo ndio sababu ya kumsamehe?”
“Kuna sababu nyingine nyingi ambazo sihitaji kuzizungumza kwa sasa ila sina sababu ya kuunyanyua mkono wangu na kumtafuta Mariam ikiwa kuna mambo mengi aliweza kunisaidia.”
“Ahaaa sawa”
Macho yangu yakatazama kifuani mwa Magreti na kutatazama maziwa yake jinsi yalivyo nona na yanatamanisha kwa kweli.
 
“Unatazama nini kifuani mwangu?”
“Kwani dhambi kukutazama?”
“Hapana sio dhambi ila umenikodolea macho hado ninaogopa”
“Una maziwa mazuri”
“Asante”
Magret alizungumza huku akiyarudisha maziwa yake ndani, taratibu nikasimama mbele yake huku nikimtazama machoni mwake.
“Dany ninakuheshimu wewe ni mume wa mkuu wangu kwa hiyo siwezi kumsaliti”
“Maneno hayo yametokewa wapi ikiwa nimesimama tu mbele yako na sijakufanya kitu chochote”
“Dady mancho yako yanaonyesh dika kwamab umevutiwa na mimi”
“Yaaa nimesimama kama mume boksi kwa masaa mengi mbele za watu, sasa ninahitaji kuwa mume wa kweli”
“No Dany huwezi ku……”
Nikamshika Magreti kiuno chake na kumvutia karibu yangu na kusababisha miguno ya vifua vyetu.
“Da….n…y una, una…..”
“Nina nini?”
Nilizugumza huku nikianza kuyatomasa maziwa yake, Magreti akayafumba macho yake akionekana kuogopa sana kwa kihi kitu ninacho kifanya kwenye mwili wake.
“Dany utaniletea matatizo na bosi wangu, tafadhali ninakuomba niachieee”
 
Magreti alizungumza kw amsisitizo huku akijitoa mikononi mwangu kwa nguvu, nikamuachi na akasimama mbali kidogo na sehemu nilipo huku akihema kwa woga. 

Nikatabasamu kwa muda kisha nikatoka humu ndani pasipo kumsemesha Magreti kitu chochote, nikarudi sebleni, nikatazama eneo zima na hakuna mabadiliko yoyote, nikapandisha hadi kwenye chumba ambacho Osama yupo, nikausukuma mlango wa chumba hichi taratibu huku bastola yangu nikiwa nimeishika vizuri mkononi mwangu. Nikamkuta akiwa amekaa kwenye moja ya kiti cha humu chumbani huku akiwa amefungwa kamba mwili mzima. Nikatao simu yangu mfukoni na kumpiga picha kadhaa, kisha nikamtumia Logate kwenye simu yake ya mkononi. Hazikupita dakika hata mbili Logate akanipigia.
 
“Nimezipata picha unahitaji nizifanyaje?”
“Zitunze, hakikisha kwamba unazirusha kwa niaba yangu kwenye mtandao”
“Unataka nizurushe ukiwa bado upo nje ya ngome hii?”
“Nitakuambia”
“Sawa, ila kusema  kwelis sinto weza kuzirusha ukiwa mbali na hapa”
“Nitakujulisha, ila kuna video ambayo ninahitaji mtumie K2”
“Video gani?”
“Au basi nitajua nini cha kufanya”
 
“Sawa”
Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu, nikamtazama mzee huyu ambaye kwa kukadiria miaka yake kwa sasa inaweza kufika sabini na kitu hivi. Nikatoka humu ndani na kurudi zangu sebleni, nikamkuta Magreti akiwa amesimama kwenye mlango wa kuingilia humu sebleni huku ukiwa umefungwa kwa ndani. Sikumsemesha kitu chochote zaidi ya kuelekea jikoni, nikafungua friji kubwa na kukuta soda nyingi pamoja na matunda yaliyo pangiliwa vizuri, soda hizi zimeganda kwa ubaridi mkali ambao upo ndani ya friji hili na isitoshe limekaa mika mingi likiwa linafanya kazi pasipo kufunguliwa.
“Una njaa?”
Niliisikia sauti ya Magreti nyuma yangu.
“Sijui”
Nilizungumza huku nikichukua chupa moja ya soda pamoja na tunda, nikachukua jagi na kukinga maji kwenye bomba, kisha nikadumbukiza vitu hivi ili viyayuke.
 
“Dany?”
“Nini?”
Nilimtazama Magreti kwa macho makali sana hadi akaonekana kuogopa.
“Samahani kama nimekuudhi”
“Hujaniudhi”
Nikasikia mlio wa chupa hii ya cocacola inavyo vunjika ndani ya maji haya, nikaitazama kwa muda na kukuta imekatika vipande vipande.
“Ungeiacha ipigwe na hewa kidogo ndio ungeiingiza kwenye maji”
“Shukrani”
Majibu yangu ya ufupi fupi si kwamba nimekasirika, ila ninamtega Magreti ambaye kusema kweli nikiwa kama mwanaume ambaye sina kasoro ya aina yoyote kwenye mwili wangu, basi ni haki yangu na mimi kuweza kutamani. Nikalingiza mkono wangu wa kulia ndani ya jagi hili kwa bahati mbaya kipande kidogo cha chupa kikanichana katika kidole changu cha mwisho.
 
“Fuc****”
Nilizungumza kwa hasira hadi Magreti akastuka, alipo niona kidole changu kina vuja damu kwa haraka akanikumbilia na kunishika mkono huu.
“Dany umefanya nini jamani?”
“Niachie”
Nilizungumza kwa sauti nzinto huku nikifungua moja ya kabati lilipo humu jikoni, nikatoa kibokisi cha huduma ya kwanza.
 
“Dady jamani, naomba nikusaidie”
“Ili  iweje?”
“Dady kwani kukasaidia kwangu kunahusiana na nini na mapenzi jamani, kwa nini unakuwa hivyo jamani, unahisi kwamba sina hisia na wewe, unasi kwamba sijisikii maumivu ya majibu yako nasikia ila umewahiwa, sina haki ya kuwa na wewe, sina haki ya kuwa na mwanaume mwengine. Mimi ni bikra il……”
Magreti alizungumza kwa ukali huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kwa haraka nikamsogela na kumgandamiza ukutani, nikaanza kumnyonya midomo yake jambo lililo mfanya Magreti kuipitisha mikono yake kwa haraka kwenye shingo yangu huku akiyafumba macho yake kwa raha ya kupata denda langu.
 
“Kidole”
Magreti alizungumza kwa sauti laini iliyo jaa mahaba, huku macho yakiwa yamemlegea sana.
“Achana nacho”
“Noo Dany angalia kina mwanga damu”
Nikakitazama kidole changu na kweli kina mwaga damu nyingi. Magreti akakishika na kukuiingiza mdomoni mwake na kuanza kuinyonya damu yangu.
Tukaseoge hadi sehemu nilipo kiweka kiboksi cha vifaa vya huduma ya kwanza. Akatoa dawa ya maji na kuanza kunisafisha kidonda changu, japo dawa hii inanipa maumivu makali ila siyatilii maanani kwani maumivu ninayo yatilia maanani ni ya jooo wangu ambaye amesimama kiasi kwamba anatamani hata kuchana suruali yangu. Magreti akanifunga kidonda hichi kwa kutumia plasta.
“Hapo kitakaa sawa”
“Shukrani, ni kwa nini umenyonya damu yangu”
“Ni kiapo nilicho kiweka, nipo tayari damu yangu imwagike ila nisikupoteze wewe”
“Kweli?”
“Ndio Dady, sijawahi kupenda wala kuvutiwa na mwanaume ila wewe umenipa kitu cha tofauti, ninakuomba uwe na mimi”
“Usijali”
Nilizungumza huku nikiuingiza mkono wangu kwenye mpasuo wa gauni la Magreti nikaanza kutaminya minya maka yake ambayo kusema kweli yanabonyea mithili yam to mlaini.
 
“D….aa..aa”
“Yeah”
“Nakupenda”
Magreti akaanza kugombana na mkanda wangu wa suruali hii niliyo vaa huku akijitajid kuufungua, akafanikiwa kuufungua.
 

nikatamani kuzungumza kitu ila gafla nikasikia kishindo kizito kilichotufanya tustukea na kutazamana usoni na hakuna kati yetu anaye jua ni kitu gani kimetokea hadi kusikika kwa kishindo hicho kizito. 

AISIIIII……….U KILL ME 193


Kwa haraka tukaaachiana na kunza kuziweka nguo zetu sawa. Nikachomoa bastola yangu moja na nikiwa wa kanza kutoka humu chumbani humu. Sikuamini macho yangu, kwani eneo zima la sebleni limechanguka huku nusu ukuta ukiwa umetoboka.
“Ohoooo my God”
Magreti alizungumza huku macho yakiwa yamemtoka.
“Shiiiiii”
Kwa kupitia shumo hili kubwa tukaona wanajeshi wawili wakikatiza kwa haraka wakionekana kwamba wanawahi kitu falani. 
 
“Shitiiii OSAMA”
Nilizungumza humu nikikimbilia katika chumba ambacho tumemuacha Osama Bin Laden. Kile nilicho kiwaza ndicho hichi ninacho kiona kwani sikuweza kumuona Osama wala kiti chake tulicho mfunga ikimanisha kwamba wanajeshi hawa wamembeba Osama kama vile walivyo mkuta. Nikakimbilia dirishani na kujibanza, nikachungulia nje, nikakutana na pigo jengine, kwani ninamshuhudia wanajeshi hawa wenye mavazi mavazi ya Kimarekani wakiwa wamemmbeba Magreti aliye sinnzia juu juu, wakamuingiza katika moja ya gari walilo kuja nalo kisha wakaondoka kwa kasi sana.
 
*Fuc*****”
Nilizungumza huku nikiwa nimeyang’ata meno yangu kwani shambulizi hili wamelifanya katika muda mfupi sana, nikatoka chumbani humu kwa kasi sana, nikachungulia nje, nikaziona gari hizi zikitokomea, nikakimbilia hadi gari lilipo, nikajikuta nikizidi kupatwa na hasira mara baada ya kuona mataoiri yote yakiwa yameng’olewa yote. Nikatoa simu yangu mfukoni cha kushangaza zaidi nayo haina signal na mtandao ninao utumia umeandika emergency. Nikakimbilia kwenye chumba alichokuwa anakitumia mama, nikakimbilia kwenye computer, nikatazama wanajeshi hawa wapo wangapi, nikaona gari sita zilizo ongozana zikiondoka kwa kasi katika eneo hili.
 
“Wapi wapi?”
Nilizungumza huku nikitafuta sehemu ambayo mama alikuwa anaitumia katika kuongoza silaha ambazo amezifunga katika eneo zima la msitu unao zunguka hii nyumba. Sikuweza kutambua ni sehemu gani, kwa haraka nikaanza kufunua gari moja baada ya jengine, nikaona gari moja aina ya Rangerover Sport, niakimbilia kwenye kabati la kihifadhia fungua, nikatazama kwa haraka nikaiona funguo yake, kabla sijarudi kwenye gari nikafungua kabati la kuhifadhia silana nikachukua magazine za kutosha na kurudi kwenye gari nikafungua mlango na kuingia, nikawasha gari hili, cha kumshukuru Mungu lina mafuta ya kutosha, nikatoka ndani humu kwa kasi kubwa, nikaanza kufukuzia gari hizi zilipo elekea kwani  kazi niliyo ifanya kwa kumteka Osama na kumleta eneo hili ni sawa na bure kabisa. Uzuri wa hizi gari zina mwendo wa kasi sana na zipo juu, hata huku kwenye barabra ambayo haina lami ila linahimili mashimo mashimo yaliyopo katika hii barabara.
 
Kwa mbali nikaanza kuona gari hizi za jeshi zinavyo jitahidi ktoka katika msitu huu, nikatao simu yangu mfukoni na bado tataizo la kutokuwepo kwa mtando linaendelea, nikazidi kusonga mbele huku huku nikiandaa bastola yangu hukuakikisha kwamba ninaweza kuwashambulia. 

Nikafunga breki za gafla na kutazama mgawannyiko wa barabara hizi tatu zilizopo mbele yangu huku ramani inayo onekana kwenye screen ndogo ya gari langu inaonyesha barabara ya kushoto kwangu, inaaonyesha ni fupi na inaweza kuwazungukia wanajeshi hawa, sikuw ana hata muda wa kupoteza zaidi ya kuifwatisha njia hii huku nikizidi kujitahidi kuogeza mwendo kasi wa gari langu kuhakikisha kwamba ninatokea mbele yao. 

Ikanichukau dakika kumi kufika katika njia ambayo wao wanatarajia kutokea, nikalisimamisha gari hili katikati ya barabara, nichomoa bastola zangu zote mbili na kushuka, nikasimama kwenye upande wa pili ambao haya wakitokea sio rahisi kwa wao kuniona. 

Hazikupita hata dakika tano gari hizi za jeshi, zikafika eneo hili na kuwafanya wanajeshu hawa kusimamisha magari yao. Kwa haraka niikaanza kuwashambulia wale wote wambao wametoka nje ya magari yao. Mashambulizi yakaanza kutawala katuka eneo hili, humu mimi nikiwa peke yangu na wanajeshi hawa wakiwa ni wengi, ila akili ninayo itumia inanifanya niweze kuwapunguza kila kadri mudu unavyo zidi kwenda.
 
Gari langu wakazidi kulishambulia sana kwani ndio gao yangu niliyo jificha, moshi mwingi ukaanza kutawala angani ikiashiria kwamba gari hili sekunde yoyote litalipuka, kwa haraka nikaanza kukimbilia kwenye moja ya mti japo ni hatari sana kwangu ila sina jinsi ya kufanya, sikufikisha hata hatua tano nikajukuta nikirushwa hewani kutokana na mlipuko mkubwa wa gari langu.  
 
Nikatamani kusimama juu ila nikajikuta nikizungukwa na wanajeshi zaidi ya wanne walio ninyooshea mitutu yao ya silaha. Wakaniamrisha kusimama juu, huku bastola zangu wakinipokonya, wakazidi kuongezeka katika kunizunguka kwa maana bado wana hasira kali sana na mimi.
“Tumuue”
Mmoja alizungumza kwa lugha ya kingereza ninayo ielewa vizuri.
“Hapana tunatakiwa kumfikisha kwa raisi K2, kwa manaa huyu mtu ni hatari sana”
“Mkuu ametuulia wezetu kule, kwa nini tumuache?”
“John nimekuambia kwamba hii sio ombi ni amri”
Mzee huyu wa kimarekani alizungumza kwa ukali huku akimtazama kijana huyu anaye onekana kujawa na uchungu mkubwa na anahasira na mimi.
 
“Mpelekeni kwenye gari”
Mkuuw wao alizungumza, nikashikwa mabega yangu na wanajeshi wawili, nikafungwa pingu kwa nyuma cha kumshukuru Mungu ambacho kinawafanya wasiniue kwa haraka ni kutokana na na sura yangu ya bandia ambayo sio rahisi kwa mtu kuweza kunigundua kwa haraka.
“Hei”
Ilisikika sauti ya msichana ikitokea kwenye moja ya kichaka, ikawabidi wanajeshi wote kuzielekezea bunduki zao kwenye kichaka hicho. Tukaona mkono wa msichana ukinyooshwa kwa juu. Akanyanyuka msichana aliye valia suruali nyeusi pamoja tisheiti nyeusi, chini amevalia buti aina za amerikani boot.
 
“Musiniusee jamani”
Msichana huyu  alizungunza kwa lugha ya kingereza huku akiendelea kutusogelea eneo hili.
“Huyu ku** naye ametokea wapi?”
Mwanajeshi mmoja alizungumza huku akiwa amejawa na hasira kali sana kwani anaona kama anapotewa muda.
“Hei kaka mimi sio ku**”
“ILa?”
“Unahitaji nini malaya wewe?”
Mwanajeshi mwengine alizungumza kwa hasira huku  akimtazama msichana huyu.
“Nihamuhitaji huyo muliye mshikilia”
“Hahaaaa”
Binti huyu akendelea kunyoosha mikono yake juu akionekana kwamba hana silaha yoyote, kitu ambacho kunanishangaz ni ujasiri wa msichana huyu mwenye sura ya kirembo sana.
 
“Shikeni naye”
Mkuu wa hawa wanajeshi alizungumza huku akiwaruhusu wanajeshi wake kumsogelea huyu msichana, wanajeshi wawili walio msogelea msichana huyu tulistukia wakianguka chini, sote macho yakazidi kututoka baada ya kumuona msichan huyu akiwa ameshika miooyo ya wanajeshi hawa ambayo sijui hata amewaua vipi.
‘Ohoo MUNGU wangu’
Nilijikuta nikimkumbuka Mungu kwani, ninacho kiona ni kitu ambacho kinaogopesha na kinashangaza kwa maisha ya kawaida ya kibinadamu. Wanajeshi wa marekani wakaanza kumshambulia msichana huyu aliye anza kukimbilia kwenye miti iliyopo humu misitu.
 
Kama ilivyo kawaida, yao kwamba hawahitaji kishindwa na kitu wakanza kumkimbiza msichan huyu na kuniacha hapa na mwanajeshi mmoja anaye shangaa wezake walio nyofolewa miili.
Sikuhitaji kuwa mzembe kwa haraka nikaanza kupelekea mateke mazito yaliyo mfanya mwanajeshi huyu  kuanguka chini huku akiwa emaichia bunduki aliyo ishika.
Nikafanikiwa kumdhibiti mwanajeshi huyu na akazimia kutokana na mapigo mazito niliyo mpoa, nikaanza kuchungulia gari moja baada ya jengine, nikafanikiwa kumuona Osama kwenye moja ya gari akiwa amelala. Nikalifwata gari jengine na kumkuta Magreti akijitahidi kunyanyuka, nikageuka na kufungua kitasa hichi cha mlango kwani nikono yangu imefungwa pingu kwa nyuma. Mlango ukafungua na kumkuta Magreti akifumbua macho yake.
“Dany”
“Heii, heiii amka”
“Kuna nini kinacho endelea?”
 
“Shuka kwenye gari kwanza unifungua hii pingu”
Magreti akajikongoja hivyo hivyo na kushuka kwenye gari huku akionekana kwamba alichomwa sindano ya usingizi iliyo mfanya kulala na kulegea kabisa mwili wake.
“Eheeee hawa nao imekuwaje?”
“Chukua funguo ya pingu hapo unifungue”
Magreti akafanya kile nilicho muelekeza kwa haraka akanifungua pingu, nikaokoya moja ya bunduki za wanajehsi hawa, nikachomoa magazine yake na kukuta ina risasi za kutosha.
“Mungu wangu, hawa imekuwaje?”
Magreti alizungumza huku akiwatazama wanajeshi hawa walio chomolewa mioyo yao.
“Kuna msaada nimepata kutoka kwa msichana mmoja ambaye sifahamu ametokea wapi?”
“Ndio  amewachomoa mioyo yao?”
 
“Yaaa na wanajeshi wote wamikimbilia huko msituni kumkimbiza masichana huyo”
“Mmmmmm”
Nikasikia milio ya risasi nyuma yangu, nikageuka kwa haraka na kumkuta Magreti akiwa ameshika bastola moja huku amemuelekezea manajeshi niliye mzimisha dakika kadhaa zilizo pita.
“Alitakak kukushambulia”
“Asante”
Nikafungua gari alilopo Osama, bado amelala hajitambua, tukamkagua na kumuona hana jeraha lolote mwilin mwake.
“Mfunge pingu”
“Poa”
Magreti akachukua  pingu ambayo nilikuwa nimefungwa mimi akamfunga Osma Bin Laden mikononi mwake.
“Tuondoke eneo hili kabla hawajarudi”
Nilizungumza huku nikiingia kwenye gari hili, Magreti naye akaingiana kukaa siti ya nyuma alipo Osma, nikarudisha gari hili nyuma kidogo, nikakunja kona na kuanza kuondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi sana.
 
“Wamejuaje sisi tupo huku?”
“Hata mimi ninashangaa cha kumshukuru Mungu binto huyo ametokea”
“Ila Dany ngoja, hivi huyo msichana amewezaje kuwachomoa mioyo wanajeshi wale”
Gafla nikajikuta nikifunga breki za gari hili mara baada ya kumuona msichana huyu amesimama mbele ya barabara na kuninyooshe amkono mmoja ambao unavuja damu kwenye kiganja chake.
“Mungu wangu, msichana mwenyewe ndio huyo”
“Mbona anaonekana wa kawaida sana”
“Huo ukawaida ndio uliwaponza wale wanajeshi walio chomolewa mioyo”
Kwa ishara msichana hoyo akaniomba nishuke kwenye gari, nikashusha pumzi nyingi sana kwa mana kitu ambacho nimeweza kukigundua kwa msichana huyu kwamba sio mtu wa kawaidani zile risasi ambazo alikuwa anashambuliwa ila aliweza kutokomea msitini pasipo kuanguka wala kuonyesha dalili kama kuna silaha ambayo imeingia mwilini mwake.
 
“Dany usishuke bwana”
“Tulia huyu ndio aliye nisaidia, ninahitaji kumjua”
“Utamjuaje wakati mwenyewe umemuona katika mazingira ya kutatanisha”
“Tulia”
Nikafungua mlango huku nikishuka nikiwa na bunduki yangu mkononi ili likijitokeza la kujitokeza nisife kizembe kama wale wanajeshi wawili na wengine walio  salia wala sifahamu ni kitu gani ambacho kimewapata huko walipo.
“Usiniogope Dady…..ooohhh samahani kwa kukuita jina lako”
Msichana huyu alizungumza hukua kishusha mikono yake chini na kuonekana akiwa na furaha sana kuonana na mimi.
“Wewe ni nani?”
 
“Ahahaa…..mama aliniambia kwamba wewe ndio unipatie jina. Nilikuwa kwenye huu msitu nikilinda makazi ya hapa kwa maana hapa ndipo kwenye na hapa ndipo kwenye asili ya baba yangu”
“Baba yako yupi?”
Nilizungumza huku nikimdadisi sana huyu msichana.
“Wewe”
“Mimi?”
“Ndio, wewe ni baba yangu. Mama yangu ni OLVIA HITLER”
Nikapatwa na kigugumizi nikashindwa kabisa kumjibu msichana huyu ambaye ninakumbuka nilizaa na mama yake ambaye ni jini miaka mingi ya nyuma na alisha wahi kuniahidi kwamba ipo siku mwanangu ninaye mpatia atakuja kunisaidia na hichi ndicho kilicho tokea kwa siku ya leo, ahadi ambayo hata akilini mwangu sikuwahi  kuifikiria kwamba inaweza kuja kutokea ila leo imetimia.
 
ITAENDELEA
‘Haya sasa DANY kwa mara ya kwanza amekutana na mwanaye aliye zaa na Olvia Hitler je ni nini kitatokea? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

Rais Magufuli Apokea Hati Za Utambulisho Kutoka Kwa Mabalozi Watatu Ikulu Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Rais John Magufuli leo Januari 16, 2019,  amepokea hati za utambulisho wa mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.

Mabalozi hao ni Cho Tae-ick wa Korea Kusini, Glad Munthali wa Malawi na Antonio Cesar wa Brazil, wote wakichukua nafasi za watangulizi wao ambao walimaliza muda wao Desemba, mwaka jana.

Cho Tae-ick ambaye aliwasili nchini Desemba 14, 2018, amechukua nafasi ya mtangulizi wake, Balozi Song Geum Yong ambaye alimaliza muda wake.

Naye Glad Munthali ambaye aliwasili nchini Desemba 28, amechukua nafasi ya mtangulizi wake, Balozi Hawa Ndilowe ambaye muda wake ulikwisha Julai, 2018 na kuondoka nchini mwishoni mwa mwaka jana.

Kwa upande wake, Cesar aliwasili nchini Januari 3 na kuchukua nafasi ya Balozi Carlos Alfonso Puente ambaye pia muda wake ulikwisha Desemba 2018. Mabalozi wote watawakilisha nchi zao kwa muda wa miaka mitatu.

Katika mazungumzo yao na Rais Magufuli, walijadili kuhusu kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na nchi zao na Rais Magufuli aliwaeleza dira ya Serikali yake na kuwakaribisha kushiriki katika biashara na uwekezaji hapa nchini.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na baadhi ya viongozi wa Serikali akiwemo Waziri wa Sheria na Katiba, Profesa Palamagamba Kabudi na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Damas Ndumbaro.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi ya January 17

Taarifa ya CHADEMA juu ya shambulizi la Kigaidi Kenya

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tumepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa za tukio la shambulizi linalohusishwa na ugaidi, lililofanyika kwenye eneo lenye shughuli mbalimbali za kijamii, katika Hoteli ya DusitD2, Nairobi, nchini Kenya, siku ya Jumanne, Januari 15, mwaka huu.

Kipekee Chadema inatuma salaam za pole kwa watu wote walioathiriwa na tukio hilo, kwa kupoteza maisha ya wapendwa wao na wengine waliojeruhiwa. Tunawatakia majeruhi wote uponaji wa haraka.

Halikadhalika tunatoa pole kwa Rais wa Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta, Wananchi wa Kenya, katika wakati huu mgumu wa kukabiliana na tukio hilo ambalo taarifa za awali pia zinasema kuwa limegharimu maisha na uhai wa raia wa mataifa mengine waliokuwa eneo hilo lilipofanyika shambulizi.
 
Hivyo tunatoa pia pole kwa mataifa na mashirika ya ndani na nje ya nchi yaliyoguswa na tukio hilo baya.
 
Tunalaani vikali tukio hilo na wote waliohusika kuliandaa na kulitekeleza. Ni tukio jingine la kikatili dhidi ya binadamu na aibu kubwa kubwa kutokea katika ardhi ya nchi za Afrika Mashariki, likihusishwa na mikakati ya kigaidi. Hii haiwezi kuwa namna sahihi na bora ya kutatua matatizo ya kisiasa, kiuchumi au kijamii tuliyonayo katika nchi zetu za Afrika Mashariki, Afrika na dunia kwa jumla.

Aidha, kupitia taarifa hii, Chadema tunaitaka Serikali ya Tanzania, kupitia Ubalozi wetu nchini Kenya kufuatilia kwa makini iwapo kuna Watanzania walioathirika katika tukio hilo la jana na kutoa msaada kadri inavyohitajika, huku pia tukizikumbusha mamlaka zinazohusika nchini kwetu kuchukua tahadhari zinazotakiwa na kuwahakikishia wananchi usalama wao na mali zao muda wote.

Tunatoa pia rai kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika utangamano wake kuendeleza juhudi za kuimarisha usalama katika ukanda huu.

Imetolewa  Jumatano, Januari 16, 2019 na;

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
CHADEMA

Rais Magufuli Ampa POLE Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta Kufatia Shambulizi la Kigaidi Lililoua Watu Kadhaa

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli amezungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya Uhuru Kenyatta juu ya shambulizi lililotokea katika Hotel ya DusitD2 Jijini Nairobi na kumtakia pole yeye pamoja Raia wa Kenya.

Sakata La CAG: Msajili Akataa Kupokea Kesi Ya Zitto Kabwe Na Wenzake

$
0
0
Mahakama Kuu Tanzania imekataa kuipokea kesi ya kikatiba dhidi ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kupinga uamuzi wa kumwita Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad katika kamati ya bunge ya haki, kinga na madaraka ya bunge.

Mahakama hiyo imekataa kuipokea na kuisajili kesi hiyo huku ikieleza kuwa ina kasoro za kisheria kutokana na hati za viapo vya wadai wanne pamoja na hati ya wito wa Spika Ndugai na hati ya kiapo cha CAG kutokuambatanishwa kwenye hati ya maombi.

Kesi hiyo ilitarajiwa kufunguliwa na wabunge watano kutoka vyama vitatu vya upinzani wakiongozwa na kiongozi wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe.

Wengine ni mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), mbunge viti maalum Shinyanga Mjini, Salome Makamba (Chadema), mbunge wa Mchinga, Hamidu Bobali (CUF) na mbunge wa Moshi Vijijini, Anthony Komu (Chadema).


Walichukua uamuzi huo baada ya Spika Ndugai kupitia vyombo vya habari na baadaye kumwandikia barua CAG akimtaka afike mbele ya kamati hiyo ya bunge kuhojiwa kutoka na kauli yake aliyoitoa akiwa Marekani kuwa bunge la Tanzania ni dhaifu.

Katika kesi hiyo wabunge hao walikuwa wanaiomba Mahakama itoe tafsiri ya  kinga ya CAG iliyopo kikatiba na pia kutoa tafsiri ya sheria ya haki, kinga na madaraka ya bunge katika kushtaki watu wanaosemekana kudharau bunge.

Wabunge wa Upinzani Watishia Kupeleka Hoja ya Kutokuwa na Imani na Spika Job Ndugai

$
0
0
Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni imemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai, kutengua uamuzi wake wa kusitisha kufanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Hata hivyo, imesema kama Spika hatatengua uamuzi wake watatumia kila njia za kibunge ikiwamo kuwasilisha hoja ya kumuondoa Spika kwa kutokuwa na imani naye.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini hapa akiwa ameambatana na wabunge wa upinzani, msemaji wa kambi hiyo, John Mnyika, alisema kanuni za bunge zimeweka utaratibu wa kufanya maamuzi ndani ya Bunge na nje kupitia kamati mbalimbali.

“Kamati ya Bunge ya Uongozi haijawahi kukaa kikao chochote cha kusitisha kufanya kazi na CAG, huu uamuzi ni uamuzi binafsi wa Spika ambao kambi hatuungi mkono na hatukubaliani nao,”alisema.

Alitoa wito kwa Spika Ndugai kujitokeza kwa umma kueleza kuwa ni kikao gani alikaa na kina nani kufanya uamuzi huo.

Alisema kitendo cha Spika kutokukaa kikao na kamati zenye mamlaka kinasababisha maswali mengi.

“Uamuzi huo umeenda sambamba na kusambaratisha Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), kamati hizo zimesitishwa kufanya kazi zake kuanzia 14-25 Januari, mwaka huu na kwa mujibu wa ratiba ya Bunge, kamati zinamaliza kazi zake tarehe 25,”alisema.

Mnyika alisema Spika amesitisha kamati hizo kufanya kazi zao za kikatiba kwa mujibu wa ratiba ya Bunge.

“Tunapinga hatua hii na tunapinga huu uamuzi, tunataka Spika abadilishe mara moja huu uamuzi na kamati zikutane na kufanya kazi ya kikatiba,” alisema.

Aliongeza “Spika anasema kwa sababu CAG ameitwa tarehe 21 Januari kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa madai kuna mgogoro kati ya Bunge na CAG, wakati hakuna kamati ya bunge iliyotangaza Bunge lina mgogoro na CAG na kauli hiyo ni binafsi si kauli ya Bunge wala Taasisi ya Bunge.”

Alisema haiwezi kuwa kisingizio kwa kamati zishindwe kufanya kazi, haiwezekani spika akiwa na mgogoro na CAG kamati za bunge na Ofisi ya CAG zikasitishwa kufanya kazi.

Hata hivyo, alisema Januari 14, mwaka huu PAC kwa mujibu wa ratiba ilikuwa inafanya kikao cha pamoja na CAG kuhusu taarifa za ukaguzi kwa ripoti inayoishia Juni 2017.

“Yale mambo yote yaliyoibuliwa na CAG kwenye ripoti ikiwamo suala la Sh. trilioni 1.5, CAG alieleza katika taarifa yake hakuna uwiano wa fedha na matumizi ya fedha hizo,” alisema.

Mnyika alisema serikali ilishatoa maelezo kuhusu hilo, lakini CAG aliagizwa aende kufanyia kazi taarifa hiyo na ilipaswa Januari 14, mwaka huu CAG atoe maelezo hayo kwa kamati.

“Ili kukwepesha serikali isiwajibike kwa bunge, Spika akaamua kusambaratisha kamati ya PAC na LAAC na kutangaza hicho alichokiita mgogoro kati ya CAG na Bunge, kama kambi hatukubaliani nalo,” alisema.

Alimtaka Spika kuruhusu kamati hizo kufanya kazi zake kama zilivyopangwa.

“Hivi kama CAG anaitwa tarehe 21 ni kitu gani kilimfanya Spika kusitisha shughuli za kamati hadi tarehe 25, kwanini asingesubiri hadi tarehe 21 halafu akasema kutokana na kilichotokea tumeamua hivi, kitendo hiki kinaashiria katika mawazo ya Spika tayari ameshafanya uamuzi kabla ya Kamati ya Maadili kumshauri,” alisema.

Hata hivyo, alisema kikao cha Bunge kitakachoanza Januari 29 miongoni mwa majukumu ni kupokea taarifa za kamati katika utendaji wake wa mwaka mmoja.

“Sasa mnafahamu hapo katikati Kamati za Bunge za PAC na LAAC zilitoa maagizo mengi kwa serikali ikiwamo suala la Lugumi, tunaona hili nalo linakwenda kufunikwa, pia lipo suala jingine la ufisadi wa chanjo mbalimbali fedha hazikupelekwa kwa halmashauri, pia kashfa ya magari 777 ya Jeshi la Polisi ilitakiwa kufanyika uchunguzi wa kijinai,” alisema.

“Kutokana na kamati hazitapata fursa ya kukutana na ofisi ya CAG ili kuandaa taarifa ya kina na kuwasilisha bungeni, tutatumia kila njia za kibunge na Spika asitulazimishe kutumia haki zetu za kikanuni na kikatiba,” alisema.

Alisema kwa kanuni ya Bunge ya 137 inampa fursa ya mbunge mmoja miongoni mwao kupeleka hoja bungeni ya kumwondoa Spika.

Msemaji huyo alisema kambi hiyo inamtaka Spika kuruhusu kamati kufanya kazi zake kabla Januari 25, mwaka huu.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka, alisema anaungana na maoni ya kambi hiyo.

Mwili Waokotwa mtaroni Jijini Dar ukiwa ndani ya kiroba

$
0
0
Mwili wa mtu mmoja umeokotwa eneo la sayansi jirani na Chuo cha Ustawi wa jamii ukiwa umefungwa kwenye kiroba.
 
Kwa mujibu wa ITV, Mjumbe wa mtaa huo Bi Fortunata Mshindo  amesema   jana mchana yeye na wananchi wengine walipita katika eneo hilo na hakukua na kitu chochote huku pia akisisitizia uongozi wa manispaa kuweka taa katika eneo hilo ili kupunguza matukio ya kihalifu.

Maafisa wa Jeshi la Polisi walifika eneo la tukio wakauchukua mwili huo kwa uchunguzi zaidi

Chanzo ITV


Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Dkt. Olusegun Obasanjo Ammwagia SIFA Rais Magufuli

$
0
0
JANA Disemba 16, 2019 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Dkt. Olusegun Obasanjo Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Baada ya mazungumzo hayo Mhe. Dkt. Obasanjo amempongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya katika uongozi wake ikiwemo kupambana na rushwa, kuimarisha utoaji wa elimu, kuimarisha miundombinu, kuongeza nishati ya umeme, kuboresha usafiri wa ardhini na angani na jinsi wadau mbalimbali wa ndani na nje wanavyopaswa kuelewa juhudi zinazofanyika.

Mhe. Dkt. Obasanjo alisema Mhe. Rais Magufuli amedhihirisha kuwa kiongozi imara wa kusimamia mambo muhimu yenye maslahi kwa nchi yake na amebainisha kuwa licha ya kwamba maendeleo ya nchi hayapatikani mara moja lakini kwa muda mfupi Mhe. Rais Magufuli amefanya juhudi kubwa za kuimarisha maeneo ya huduma za kijamii, kukiimarisha chama chake cha siasa (Chama Cha Mapinduzi – CCM) na kwamba ameonesha kuwa anakijua anachokifanya katika maeneo ya uchumi.

“Tusijisahau kwamba ukoloni mamboleo bado upo na mabeberu bado wanaendelea kufanya juhudi za kuhakikisha wanatunyonya, na kiongozi yeyote wa Afrika anayethubutu kuwazuia hawezi kuwa rafiki wa hao ambao walikuwa wakinufaika kwa kutunyonya” alisisitiza Mhe. Dkt. Obasanjo.

Serikali yaagiza Wavuvi Wote Waliokamatwa Bila Leseni ya Mwaka Huu 2019 Waachiwe Huru

$
0
0
Serikali imeagiza wavuvi waliokamatwa kwa kosa la kutohuisha leseni zao na vyombo vyao kwa mwaka 2019, waachiwe na makosa yao yafutwe mara moja.
 
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, alitoa agizo hilo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma.

Ulega alisema wizara juzi ilipata taarifa kutoka vyombo vya habari kwamba wavuvi katika ukanda wa pwani ya Bahari ya Hindi hususani soko la Feri, Dar es Saalam, hawakwenda kuvua samaki kwa sababu ya kutokuwa na leseni za vyombo vyao na za uvuvi kwa mwaka 2019.

Kutokana na hali hiyo, Ulega aliagiza wavuvi wote waliokamatwa kwa kosa hilo kote nchini, kuachiwa mara moja kuendelea na shughuli zao.

Pia aliwataka maofisa uvuvi kutoka katika ofisi zao na kuwafuata katika mialo mbalimbali ili kuwakatia leseni.

"Kwa kuzingatia kuwa hiki ni kipindi cha mwanzo wa mwaka na leseni zinatolewa, wizara inaelekeza kwamba wavuvi wote waendelee kukatiwa leseni hadi Januari 31,” alisema.

Aidha, aliagiza maofisa wote wa wizara na halmashauri katika kipindi hiki wawafuate wavuvi kwenye mialo ili kuwakatia leseni wenye sifa kulingana na sheria na kanuni za uvuvi.

Ulega alisema wizara inalo jukumu la kuhakikisha rasilimali za uvuvi nchini zinasimamiwa, kuhifadhiwa na kuvunwa kwa kuzingatia sheria ili ziwe endelevu.

"Kazi hii inapaswa kufanyika kwa kushirikiana na halmashauri nchini na wadau wa uvuvi,” alisema.

Aliongeza kuwa katika kutekeleza jukumu hilo wizara imekuwa ikiendesha operesheni dhidi ya uvuvi haramu na biashara haramu ya samaki na mazao yake kwa takribani mwaka mzima.

"Shughuli za uvuvi zinatakiwa kutekelezwa kwa mujibu wa sheria ya uvuvi Na. 22 ya mwaka 2003 na kanuni zake za mwaka 2009 pamoja na sheria nyingine za nchi. Kwa kuzingatia hilo, kila mtu anayehusika na uvuvi, anatakiwa kuwa na leseni halali ya uvuvi na leseni ya chombo anachotumia,” alisema.

Mawasiliano Ya Barabara Ya Dodoma-morogoro Yarejea

$
0
0
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Elias Kwandikwa, amewahakikishia wananchi na watumiaji wa  barabara ya Morogoro-Dodoma kuwa mawasiliano  ya barabara hiyo sehemu ya maingilio ya daraja la Dumila yamerudi kama ilivyokuwa awali.

Kauli hiyo ameitoa jana mkoani Morogoro, alipofika darajani hapo kujionea athari za mvua zilizosababisha kubomoka kwa daraja hilo na wananchi kushindwa kutumia barabara hiyo kwa  takriban masaa saba.

“Kama mlivyoshuhudia tangu asubuhi tumeanza kazi za kurudisha mawasiliano katika barabara hii, matengenezo yamekamilika na wananchi tayari wameshaanza kutumia barabara”, alisema Naibu Waziri Kwandikwa.

Aidha, ameupaongeza Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Morogoro, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Kampuni ya ujenzi ya Yapi Merkez na wadau wote waliojitokeza katika kuhakikisha wanashirikiana bega kwa bega ili kurudisha mawasiliano katika eneo hilo.

Aliongeza kuwa katika kuhakikisha mawasiliano ya barabara yanakuwa imara,  Serikali ipo katika mpango wa kuboresha barabara hiyo ambapo kwa sasa wataalam wanafanya usanifu wa barabara hiyo na pindi usanifu huo utakapokamilika basi ujenzi wake utaanza mara moja na wataanza na sehemu korofi.

Awali akitoa taarifa kwa Naibu Waziri huyo, Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Steven Kebwe, alisema kuwa uongozi wa mkoa ulifika eneo la tukio na kuanza kushirikiana na TANROADS mkoa kuhakikisha miundombinu hiyo inarejea mapema.

Aliwataka wananchi kujitolea kupanda matete na magugu maji katika eneo hilo  ili kuelekeza maji yanayopita katika mto huo kuelekea sehemu husika.

Kwa upande wake, Meneja wa TANROADS mkoa wa Morogoro, Mhandisi Dorothy Ntenga, alisema kuwa kazi zilizokuwa zikifanyika katika maingilio ya daraja hilo ilikuwa  ni kuweka mawe makubwa na kokoto sehemu iliyobomoka.

Alifafanua kuwa kutokana na sehemu hiyo kuwa na maji mengi na mchanga mwingi, wamefikiria kufanya usanifu wa daraja hilo utakaoleta suluhisho la kudumu.

TAKUKURU yaomba kumchukua Malinzi na mwenzie wakahojiwe

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumchukua aliyekua Rais wa TFF Jamal Malinzi na Katibu wake, Mwesigwa Selestine kwa jailli ya kuhojiwa.

Wakili wa Takukuru,  Leonard Swai akisaidiana na Nickson Shayo ameiomba Mahakama hiyo jana Jumatano Januari 16, 2019 mbele ya hakimu mkazi mkuu, Wilbard Mashauri wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kuendelea na ushahidi.

Malinzi,  Selestine pamoja na wenzao watatu wanakabiliwa na mashtaka 30 yakiwemo ya kula njama, kughushi na kutakatisha fedha katika kesi ya jinai namba 213/ 2017.

Swai aliieleza mahakama hiyo kuwa wanaomba kibali cha kwenda kuwahoji washtakiwa hao kwa mashtaka mengine tofauti na yanayowakabili Kisutu.

"Tunaiomba Mahakama yako itoe kibali cha kwenda kumhoji mshtakiwa wa kwanza na wa pili katika mashtaka mengine na sio haya yaliyopo mahakama hapa," alidai Swai.

Baada ya maelezo hayo, Hakimu Mashauri alikubaliana na upande wa mashtaka na kuruhusu Malinzi na Selestine kwenda kuhojiwa  ili warejeshwe Januari 17, 2019.

Baada ya Hakimu kuruhusu washtakiwa hao kwenda kuhojiwa, wakili wa utetezi,  Richard Rweyongeza aliwataja mawakili watakaoambatana na washtakiwa kwenda kuhojiwa Takukuru kuwa ni  Kung'e Wabeya na Adolf Bunyoro.

Hakimu Mashauri aliahirisha kesi hiyo hadi Januari 21, 2019 itakapoendelea na ushahidi.

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images