Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Shibuda: Muswada wa Vyama vya Siasa Unaidhalilisha CCM Kwa Kutaka Kukandamiza Vyama Vingine

$
0
0
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Maswa kupitia CCM, na Maswa Magharibi, John Shibuda amesema Muswada wa Vyama vya Sheria unaotarajia kupelekwa bungeni unaidhalilisha CCM.

Akizungumza jana katika mdahalo wa vyama vya siasa, Shibuda kwa sasa ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya Siasa visivyo na uwakilishi bungeni, alisema CCM kama mzazi wa vyama vingi havipaswi kukandamiza vyama hivyo.

Akifafanua kuhusu kifungu kinachozuia viongozi kuhama vyama na kupewa nafasi za kugombea, Shibuda alhoji kwanini mwanachama azuiwe wakati ni uhuru wake na chama chake kufanya hivyo.

"Unamuogopa nani?, Inamaana ukihama dini moja labda umetoka Uislam kwenda Ukristo usioe mpaka mwaka upite?. Kasema nani? Sheria hii inaidhalilisha CCM. Nawaombeni mnaokwenda kutegeneza sheria mkazijadili kwa kina" Shibuda.

Aidha aliongeza kwamba, "Mzazi wa vyama vingi ni CCM na mlezi wake ni serikali. Sasa mzazi ukizaa mtoto ukamuacha akiwa chokoraa akikutukana usilalamike. Tengenezeni tafsiri ya huu muswada. Chama cha siasa kinapaswa kukonga nyoyo za wananchi na siyo kutegemea kuua chama kingine".

Zitto Kabwe Kuweka Hadharani Majibu Aliyojibiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Kuhusu Sakata la CAG Kuhojiwa na Bunge

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini, (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, ameahidi kuwa leo ataweka hadharani majibu aliyopatiwa baada ya kuandika barua kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA).

Zitto aliandika barua hiyo akipinga hatua iliyochukuliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kumtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya, Kinga na Haki ya Bunge kuhojiwa.

Mbunge huyo na Kiongozi Mkuu wa ACT- Wazalendo, aliwatumia barua hiyo maspika wa mabunge yote ya Afrika kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola, Wadhibiti na Wakaguzi Wakuu wa Hesabu za Serikali wa Afrika katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola pamoja na wale wa nchi za Jumuiya ya Nchi Kusini mwa Afrika (SADC).

Hatua hiyo imekuja baada ya Spika Ndugai kumtaka Prof. Assad kufika mbele ya kamati hiyo Januari 21, mwaka huu, kujieleza kuhusu kauli yake aliyoitoa akiwa nchini Marekani kuwa ‘Bunge ni dhaifu’.

Kwenye barua hiyo aliyoisambaza kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, Zitto alieleza kuwa amewaomba viongozi hao waongee na Spika Ndugai ili aachane na uamuzi wake wa kumwita CAG kuhojiwa na Kamati ya Bunge.

Sehemu ya barua hiyo aliyomwandikia Katibu Mkuu wa CPA, Akbar Khan, ilieleza:

“Kwa kuwa Bunge la Tanzania ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola, naiomba ofisi yako ifanye mawasiliano ya kidiplomasia kwa kuwasiliana na Spika wa Bunge la Tanzania kumweleza hatari ya uamuzi anaotaka kuuchukua,” alisema na kuongeza:

“Ninaamini suala hilo linaweza kumalizwa kwa ustaarabu na kuimarisha uhusiano kati ya taasisi hizo mbili, yaani Bunge la Tanzania na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ambao wote wanategemeana katika ufanyaji kazi,” ilieleza sehemu ya barua hiyo.

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Tiba Asilia ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Kifaru vidonge asilia hurefusha maumbile ya kiume nchi 6-8 dk 60 garantii mika 30- 40 .itakupa nahamu ya kufanya tendo la ndoa mara 4- 5 bila kuchoka au hamu kuisha, ina imalisha misuri  ya uume  na haina madhara kwa mtuaji

Malelemba; inatibu presha kisukari, ngili, busha bila uperesheni, kiuno, kutopata choo vizuri, vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto, kisosono

Jirumba; kumvuta mume mke mpenzi mchumba kwa masaa 3 yoyote unae mtaka  uta mpata ..acha kuumiza roho bure hatakama una fanya nae kazi sehemu moja ila unaogopa kumuanza au muone mzee jirumba atakusaidia

Fika mbagara kwa wa mikoani shinyanga kahama mwanza kwa mawasiano piga 0713560943 /0762540447 dr jirumba

Hizi Hapa Dawa Za Kutibu Kisukari,nguvu Za Kiume, Na Presha

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;

Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA ,MOROGORO YUPO WAKALA MAENEO YA STENDI KUU MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C NA KAHAMA MJINI na kama hauna nafasi ya kufika ofisini utaletewa ulipo uduma hii piga simu 0783185060  0752348593 DR AGU

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa, John Shibuda Amuomba Msamaha Rais Magufuli.....Amtaka Awahurumie ili Nao Watoke Kifungoni

$
0
0
Wakati Rais John Magufuli akieleza sababu zinazomzuia kukutana na wanasiasa, viongozi wa vyama vya upinzani wamemtaka asiwe na hofu kukutana nao na kwamba pengine mtu aliyetishia kumchinja, alikuwa na maana ya “kuchinjwa kisiasa”.

Akizungumzia ushauri uliotolewa na Askofu Zachary Kakobe wa Kanisa la FGBF kutaka wanasiasa wakutane kama walivyofanya viongozi wa kidini, Rais alisema amekuwa akisita kwa sababu baadhi ya wanasiasa wanamtukana na wengine wametishia kumchinja na kumtupa baharini ndio maana ameamua awaache peke yao. Hata hivyo, alisema yuko tayari kukutana nao.

Hayo yalitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakati wa mapokezi ya ndege mpya ya Serikali aina ya Airbus A220-300, ambako viongozi kadhaa wa kidini walipewa nafasi ya kufanya sala, akiwemo Askofu Kakobe, ambaye kabla ya sala aliomba aseme neno.

“Nimeusikia wito wa Mzee Kakobe kuwa walipokutana na wao (viongozi wa dini) kule, basi na sisi wanasiasa tuwe tunakutana,” alisema Rais.

“Mimi nimekubali sana, lakini tatizo ni kuwa huwezi kukutana na mtu anayekutana na kukuambia siku uchinjwe, utupwe baharini. Je, siku ukikutana naye iwe ndiyo siku ya kuchinjwa?”

Kauli hiyo ilimfanya mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa, John Shibuda aombe radhi kama kiongozi wa wadau wa siasa na kwa niaba ya vyama vyote iwapo kuna kauli zimewahi kutolewa zenye mbomoko wa maadili.

“Nampongeza kwa kutambulisha utashi wake wa kutaka kukutana na viongozi wa vyama vya siasa. Hivyo kama kuna kauli ambayo imewahi kumkwaza atusamehe sisi wadau wa siasa kama ambavyo amekuwa akisamehe wafungwa ili na sisi tutoke kifungoni. Adhabu ya miaka mitatu inatosha,” alisema.

Alisema Rais anapaswa kuwapangia fursa ya kukutana nao ili awaeleze hisia zake na wao waeleze zao ili kudumisha utamaduni mzuri wa siasa kwa kuwa Tanzania ina deni la kuwa kielelezo cha siasa bora ya demokrasia ya vyama vingi.

Naye mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), James Mbatia alisema bado msimamo wake ni meza ya mazungumzo na kwamba hata alipokutana na Rais Ikulu, Novemba 13 mwaka jana alimsisitiza jambo hilo.

“Kauli ya mtu mmoja asiichukulie vibaya. Anatakiwa kujua kuwa yeye ni jalala,” alisema mwenyekiti huyo wa NCCR-Mageuzi akirejea msemo maarufu wa “ukubwa ni jalala”.

“Awe na moyo wa uvumilivu, aweke kipaumbele cha taifa mbele kwa kuwa nchi ni kubwa zaidi ya mtu yeyote.”

Alisema Watanzania wote wanapaswa kutunza nguzo ya hekima, umoja na amani kwa kuwa jamii yoyote yenye migogoro haiwezi kustawi.

Mbatia alitoa mfano wa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na mpinzani wake mkuu, Raila Odinga ambao siku za hivi karibuni walishikana mikono kumaliza tofauti zao na wamekuwa wakionekana pamoja katika shughuli za kitaifa, kijamii na kiserikali.

TFDA yajivunia kuipaisha Tanzania kwa kuwa na mifumo bora ya udhibiti na kuifanya kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kufikia hatua hiyo

$
0
0
NA WAMJW-Dar es Salaam
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imesema katika kipindi Cha Miaka mitatu imeweza kufanya mambo mbalimbali ya udhibiti wa usalama, ubora na usalama wa bidhaa za ndani na nje ya Nchi ikiwemo kutambulika kimataifa kwa kuzingatia  viwango vya Kimataifa vya ISO 9001: 2015.

Hii ni kutokana na mafanikio ya miaka mitatu ya utekelezaji wa kazi chini ya Serikali ya Awamu ya Tano, kwa kufikia na kuvuka malengo iliyojiwekea katika udhibiti wa ubora, usalama na ufanisi wa chakula, dawa, vipodozi, vifaa tiba na vitendanishi ili kulinda afya ya jamii nchini.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TFDA, Bw. Adam Fimbo amebainisha hayo wakati akitoa ripoti ya miaka mitatu ya Mamlaka hiyo  wakati wa ziara maalum ya Maafisa Mawasiliano na habari wa Wizara ya Afya na taasisi zake katika kampeni maalum ya ‘Tumeboresha Sekta ya Afya’ inayolenga kueleza mafanikio makubwa yaliyofikiwa katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Magufuli.

“Kutokana na kuwa na mifumo thabiti ya udhibiti wa ubora,  usalama na ufanisi wa dawa, mnamo Mwezi Desemba 2018, TFDA imetambulika kufikia ngazi ya tatu (Maturity Level 3) ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya ubora wa mfumo wa udhibiti wa dawa, vifaa tiba na vipodozi, ambapo hatua hii imeifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kufikia hatua hii

Fimbo ameeleza kuwa, TFDA katika mikakati yake hiyo imeweka mifumo na taratibu za ndani za utoaji huduma na utendaji bora ili kukidhi mahitaji na matarajio ya wateja kwa kuzingatia viwango vya kimataifa vya ISO 9001:2015 kwa huduma za kawaida na ISO 17025:2005 kwa huduma za maabara.

Aidha, ameongeza kuwa huduma za TFDA hutolewa kwa kuzingatia viwango vya Mkataba wa Huduma Wateja kama ulivyorejewa mwaka 2016.

“Mfumo wa usajili wa bidhaa umeendelea kuimarika mwaka hadi mwaka ambapo idadi ya bidhaa za chakula, dawa, vipodozi, vifaa tiba na vitendanishi vilizosajiliwa imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka, katika kipindi cha 2015/16 hadi 2017/18.

Pia tumesajili jumla ya bidhaa 14,345 kutoka bidhaa 8,866 zilizokuwa zimesajiliwa mwaka 2015/16 ambapo ni sawa na ongezeko la 62%. Hii imetokana na kuongezeka kwa uelewa wa matakwa ya sheria miongoni mwa wafanyabiashara na kukua kwa biashara.” Ameeleza Fimbo.

Aidha, Fimbo ameongeza kuwa TFDA imekuwa ikifanya tathmini na usajili wa bidhaa kwa lengo la kuhakiki endapo bidhaa zinakidhi vigezo vya usalama, ubora na ufanisi kabla ya kuruhusiwa katika soko.

“Kuwepo kwa bidhaa nyingi zilizosajiliwa katika soko ni uthibitisho kuwa walaji wanapata bidhaa zilizo salama, zenye ubora na ufanisi.

Pia tumeweza kusajili maeneo ya biashara za bidhaa za chakula, dawa, vipodozi, vifaa tiba na vitendanishi kwa lengo la kutambua maeneo ambayo bidhaa hizo zinazalishwa, kuhifadhiwa, kusambazwa na kuuzwa. Mfumo huu husaidia kuhakikisha kuwa maeneo husika yanakidhi vigezo ili kutoathiri usalama, ubora na ufanisi wa bidhaa”. Alieleza Fimbo.

Aidha ameongeza kuwa, TFDA katika kipindi cha miaka mitatu (2015/16 – 2017/18), imeweza kusajili jumla ya maeneo 25,630 ya biashara za bidhaa zinazodhibitiwa ikiwa ni pamoja na maeneo 9,000 yaliyosajiliwa mwaka 2016/17 na maeneo 5,606 mwaka 2015/16, hii ikiwa ni sawa na ongezeko la 60.5%.

 Aidha, katika kipindi hiki, TFDA imeendelea kushuhudia kufikiwa kwa dira yake ya kuwa taasisi ya mfano barani Afrika katika udhibiti wa bidhaa za chakula, dawa, vipodozi, vifaa tiba na vitendanishi na hivyo kuvutia nchi mbalimbali kuja kujifunza mifumo iliyopo  na kwenda kuitekeleza nchini kwao.

(mfano nchi za Zimbabwe, Rwanda, Kenya, Uganda, Ethiopia, Sudan Kusini, Botswana, Mauritius, Lesotho na Bangladesh zinekuja kujifunza TFDA).

“Katika kipindi cha mwaka 2015/16 – 2017/18, Mamlaka imefanikiwa kufikia na kuvuka malengo iliyojiwekea katika utekelezaji wa mipango kazi yake.
 
Mamlaka katika kipindi cha 2017/18 itaendelea kutoa kipaumbele katika utekelezaji kwa ufanisi wa malengo mahususi nane (8) yaliyomo katika Mpango Mkakati mpya wa miaka mitano (5) yaani 2017/18 – 2021/22, ili kulinda afya ya jamii.” Alieleza Fimbo.

Mafanikio mengine ni pamoja na kukamilika kwa jengo la Maabara na kufungwa kwa vifaa vya kisasa vya uchunguzi jijini Mwanza jambo ambalo limesaidia kusogeza huduma zaidi kwa jamii .

Shilole Atoa ONYO Kwa Wadada Wanaommezea Mate Mume Wake

$
0
0
Mwanamuziki wa kizazi kipya Shilole amewataka wadada wa mjini maarufu kama wadangaji waache kumendea penzi la mume wake.
 
Muimbaji huyo ameeleza kuwa toka mwanzo aliridhika na hali ya mume wake lakini sasa watu wanapoona anang’aa ndipo wanamnyemelea. Kupitia ukurasa wake Instagram ameandika;
 
"Nililizika na hali yako tangu Mwanzo Mpaka sasa unashaine Ila wadangaji msivyo na haya mnaanza kumwambia Mume wangu Uchebe Umekuwa Handsome 😂😂 Mkome Namtunza! ZAMANI milikuwa wapi?? 🤣🤣" ameandika Shilole.
 
Shilole na Ashraf Uchebe walifunga ndoa Desemba 7, 2017 na awali msanii huyo alipondwa kwa kukubali kufunga ndoa na Uchebe, huku maneno yakiwa kwamba hawaendani kiuwezo.
 
Kwa sasa mwanamuziki huyo ndiye mwenye uwezo wa kipato wa kuhudumia familia kutokana na kazi za muziki, mghawa na kufanya matangazo mbalimbali ya makampuni.

MC Pilipili Ajibu Tuhuma za Kuiba Mwanamke wa Mtu

$
0
0
Mchekeshaji Emmanuel Mathias maarufu kwa jina la MC Pilipili, amefunguka juu ya tuhuma kwamba ametumia pesa kumpata mwanamke aliyemvisha pete na kwamba amempora mwanaume mwenzake.
 
MC Pilipili amesema kwamba ametumia pesa na pia anamhurumia kijana huyo, lakini anaamini atapata mwanamke mwingine kwani wanawake ni wengi Tanzania.
 
“Aisee nampa pole Tanzania inaonesha wanawake ni wengi kuliko wanaume, kwa hiyo ni rahisi kumpata mwanamke mwingine, kwani ni wengi Tanzania na duniani,” amesema Mc Pilipili.
 
Mc Pilipili amemchumbia msichana anayejulikana kwa jina la Philomena Thadey maarufu kama Cute Mena, na baada ya muda mfupi zikaibuka tuhuma mitandaoni kuwa alikuwa mchumba wa mwanaume mwingine.

Polepole Autetea Muswada wa Vyama vya Siasa.....Wakili maarufu nchini, Harold Sungusia Ampinga

$
0
0
Katibu wa Itikani na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole  amesema Mswada wa vyama vya siasa hauna lengo la kukiumiza chama chochote na sasa ndio kwanza upo kwenye maoni hivyo wadau wote waendelee kutoa maoni kwani ni haki ya kila raia kushiriki katika kutunga sheria.

Polepole aliyasema hayo Jana, January 12 wakati wa Mdahalo  wa  vyama vya siasa uliandaliwa  na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS).

Aliutetea  Muswada huo huku akiwataka wapinzani kutowatisha wananchi kuhusu muswada huo.

“Tusianze kutishwa katikati ya mchakato, tusianze kujenga taswira ya kukataza kuvuka mto kabla hatujafika darajani.,

“Sasa hivi tunazungumza ndiyo maana tumepewa nyaraka, tuachwe tuzungumze tusitishwe kwa kuweka kauli timilifu. Ondoa kabisa hii, isisogee karibu na ukumbi wa Bunge, ikifika huko itakuwa balaa. Itakuwa balaa umeshafika?” Alisema Polepole

Akifafanua, Polepole alisema muswada huo unaweka utaratibu utakaoimarisha vyama vya siasa kitaasisi vitakavyowapa haki wananchi ya kushiriki siasa.
 

“Tunapozungumzia leo hapa masuala ya fedha, tusikimbilie fedha, fedha zilimuua Yesu pia. Hata leo, lazima tuhakikishe kwamba fedha kwenye vyama vya siasa zina utaratibu mzuri. Hatuwezi kuchukulia poa masuala ya fedha kwenye utaratibu wa vyama.” Alisema

Hata hgivyo, wakili maarufu nchini, Harold Sungusia, alimpnga Polepole huku akisema Muswada huo unampa madakaka makubwa msajili wa vyama vya siasa kuliko hata Rais.

“Msajili anaweza kuamua usajiliwe au usisajiliwe, ufutwe au usifutwe, uwe mwanachama au sio, unafaa kuwa mgombea au hufai, aina gani ya elimu ya uraia inayotakiwa na nani atoe, upewe ruzuku au usipewe,” alisema Sungusia.

“Je, akimfuta uanachama Rais? Yaani msajili ana mamlaka kuliko Rais. Ni jambo kubwa la kikatiba.”

Kauli hiyo iliungwa mkono na mwenyekiti wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa aliyesema: “Hali itakuwaje siku msajili amekwenda kwao, ameandika tangazo huko kuanzia leo Rais wa Jamhuri ya Muungano si mwanachama, akatuma katika mtandao, akaenda nje ya nchi Rwanda, Burundi, Congo sasa hali itakuwaje? Nchi itakuwaje?”

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

$
0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Waziri Wa Kilimo Akutana Na Wadau Wa Utekelezaji Wa Mradi Wa Kuendeleza Tasnia Ya Mbegu Nchini

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es salaam
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb)  tarehe 12 Januari 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa kuendeleza tasnia ya mbegu nchini.

Katika Kikao kazi hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Wizara ya Kilimo maarufu kama Kilimo I Jijini Dar es salaam pamoja na wadau kutoka Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA), Taasisi ya kudhibiti ubora wa mbegu (TOSCI), na Taasisi ya utafiti Tanzania (TARI), vilevile walialikwa wadau kutoka Bill & Melinda Gates kupitia kampuni ya ushauri ya mradi wa AGRI Experience.

Akizungumza katika kikao kazi hicho Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga alisisitiza kuwa serikali imedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kwa kuongeza tija katika uzalishaji kwa kuongeza matumizi ya teknolojia ikiwemo mbegu bora.

Alisema pamoja na mambo mengine serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mhe Dkt John Pombe Magufuli imjidhartiti katika kuhakikisha kuwa nchi inajitosheleza kwa mafuta ya kula na hivyo serikali inataka mradi huo kuondoa chanagmoto katika sekta ya mbegu kwa kuzalisha mbegu za mafuta hasa za alizeti na michikichi.

Mhe Hasunga amewapongeza wadau kutoka Bill & Melinda Gates kupitia kampuni ya ushauri ya mradi wa AGRI Experience kwa ushirikiano na serikali ya Tanzania kutekeleza mradi huo.

Wabunge watano kufungua kesi kuitaka mahakama itafsiri mipaka ya CAG, mamlaka ya Spika

$
0
0
Wabunge watano wanatarajia kufungua kesi ya kikatiba kuiomba Mahakama Kuu ya Tanzania kutoa tafsiri ya kisheria juu ya mipaka ya kinga ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na mamlaka ya Spika wa Bunge.

Wabunge hao ni Zitto Kabwe (Kigoma Mjini), Salome Makamba (Viti Maalumu), Hamidu Bobali (Mchinga), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini).

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Zitto amesema wamemuagiza Wakili wao Fatma Karume kuisajili kesi hiyo chini ya hati ya dharura.

"Tutaenda Mahakamani ili kupata tafsiri ya kisheria kuhusu ni wakati gani Spika anatakiwa kumuita mwananchi yoyote kwenda kwenye kamati ya Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge, je atahitaji Azimio la Bunge au yeye tu binafsi na tafsiri hiyo irekodiwe.

"Kama Spika anaweza kumuita mtu mwenye kinga ya kikatiba kwa 'style' ile vipi mwananchi wa kawaida? Tumeomba tafsiri hiyo ili kulinda uhuru wa maoni, Mahakama ikisema yuko sawa sisi tutaheshimu maamuzi lakini akisema hayuko sawa nawaomba nao wakubali" Amesema Zitto na kuongeza;

"Katibu Mkuu wa mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) ameniandikia kuwa tayari ameshasilisha suala langu kwa Mwenyekiti wa CPA pia amewasiliana na Spika wa Bunge la Cameroon ili ashauriane na Spika wetu kushughulikia suala la CAG bila ya kuvunja katiba"

Hivi karibuni, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alimuagiza CAG, Profesa Mussa Assad kuripoti kwenye Kamati ya Kinga na Maadili ya Bunge, kuhojiwa kwa madai ya kulidhalilisha Bunge.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 51

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA 
      
“Kivipi?”
“Kwanza unatakiwa kukipa nguvu chama pinzani kwa siri sana. Pili  hakikisha kwamba una wapa mipango yote ya adui yako ambayo anakwenda kuifanya. Unajua kwamba siasa ni vita, pasipo kuwa na silaha basi adui yako  hawezi kuanguka”
“Ehee na huyu binti yake je nitaachana naye vipi?”
“Huyo muage muambie kwamba asimamie kampuni kuna mambo yametokea Ujerumani na unahitaji kwenda kuyashuhulikia kwa haraka sana”
“Unahisi kwamba hilo swala atalielewa?”
“Wewe ni mwanaume hakikiasha kwamba ana kuelea na hiyo ndio itakuwa tiketi ya kumuacha”
“Je kampuni yangu akiamua kuisambaratisha kutukana na kulipa kisasi cha mapenzi je itakuwaje?”
“Nitashuhulika naye mimi hapo”
“Utamfanya nini?”
“NITAMUUA”

ENDELEA
Nikaa kimya huku nikijifikiria sana kwani maamuzi ambayo anataka kuyachukua Ethan kwa Biyanka kwa namna moja ama nyingine hastahili kufanyiwa hivyo.
“Unahisi kumuua Biyanka ni muhimu kweli?”
“Nitamuua pale atakapo hitaji kulipiza kisasi juu yako”
“Ahaa hapo sawa, ila kabla sijaondoka nchini Tanzania nitahitaji kufanya jambo moja”
“Jambo gani?”
“Nahitaji kukutana na mgombea uraisi wa chama pinzani, ninahitaji kuzungumza naye mambo mawili matatu”
“Sawa ila hakikisha kwamba unakutana naye kisiri”
 
“Sawa, ila nitaonana naye vipi ikiwa Jojo simuoni kwa sasa toka alivyo niaga hadi sasa sina mawasiliano naye?”
“Ngoja nitakufahamisha baadaye jinsi ya kuonana naye”
“Sawa”
Ethan akandoka na nikabaki peke yangu ofisini. Mlango ukafunguliwa na akaingia Biyanka huku akionekana akiwa na furaha kubwa sana kwani kitendo cha baba yake kuchaguliwa kuw amgombea uraisi wa chama tawala basi ni moja ya sifa kubwa sana kwenye familia yao.
“Mume wangu unaendeleaje?”
Biyanka alizungumza huku akizunguka kwenye meza yangu, akanibusu mdomoni mwangu kwa furaha sana.
“Salama mama watoto”
“Ahaa nimekuja kukuomba ruhusa mara moja”
“Ruhusa gani?”
 
“Kuna mkutano wa wamama, kidogo mama anakwenda kuzungumza nao hivyo ameomba nimsindikize, si unajua maswala ya kampeni”
“Ahaa sawa sawa, unaweza kwenda. Mimi nitaelekea hotelini nikitoka hapa. Kama utapata nafasi basi unaweza kufika”
“Usijali mpenzi wangu tutawasiliana”
“Sawa”
Tukanyonyana lipsi zetu na Biyanka kisha akatoka ofisini kwangu, nikachukua simu yangu na kumpigia Camila, simu yake ikaita hadi ikakatika, nikarudia kupiga kwa mara ya pili ikaita kwa sekunde kadhaa kisha akapokea.
“Niambie mpenzi wangu?”
“Safi mume wangu vipi?”
“Poa, unendeleaje?”
“Ninaendelea hivyo hivyo”
“Kwa nini hivyo hivyo?”
 
“Nina hamu na wewe mume wangu, nimechoka kukaa huku porini peke yangu. Nahitaji kuja huko huko Dar es Salaam au nirudi nyumbani Ujerumani”
Maneno ya Camila yakanifanya nikae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikifikiria ni nini cha kuzungumza.
“Mpango ninakwenda kuukamilisha mpenzi wnagu, ninaomba muda kidogo wa kuvumilia. Sawa mama?”
“Sawa, ila lini utakwisha mpango?”
“Ndani ya wiki moja hivi au mbili”
“Nakupa wiki moja ya mwisho. Ninahitaji haki yangu mume wangu, nimekuwa ni mtu wa kufanya mazoezi magumu ili tu nipoteze hamu  ya kufanya mapenzi, tafadhali Ethan naomba nije”
 
“Sawa mpenzi wangu. Hivi Jojo yupo huko?”
“Nilimuona wiki kadhaa zilizo pita, kwani huko hayupo?”
“Hayupo”
“Unaishije peke yako sasa huko?”
“Nimesha yazoea maisha ya hapa mpenzi wangu”
“Hapana, kesho ninamuomba Dany aniletea huko”
“Kesho”
“Ndio kesho, sahau mambo ya wili moja niliyo kueleza. Kwaheri mume wangu, ninamalizia kufanya mazoezi”
Camila akakata simu na kujikuta mwili wangu mzima ukianza kujawa na joto kali, jasho likaanza kunitiririka usoni mwangu hadi nikajikuta nikivua koti langu la suti. Nikanyanyuka na kuanza kuzunguka zunguka ndani ya ofisi yangu, kwani ujio wa Camila jijini Dar es Salaam unaweza kuniharibia mipango yangu yote niliyo ipanga. Nikapata wazo la kumpigia Dany simu yake, nikaitafuta namba yake na kuipata, nikampigia, simu yake ikaita baada ya muda akapokea.
 
“Ndio Dany”
“Vipi mbona unazungumza kama una wasiwasi mwingi”
“Nina shida”
“Shida gani?”
“Nimetoka kuzungumza na mke wangu hivi sasa, keso anahitaki kuja Dar es Salaam, sasa mpango wangu bado sijaumaliza utanisaidiaje katika hilo ndugu yangu?”
“Ni kweli alisha nieleza hilo jambo leo asubuhi, sasa wewe unatakeje?”
“Nahitaji umlete baada ya wiki moja?”
“Mmmmm sawa nitajaribu, kwa maana hivi sasa mke amekuwa ni king’ang’anizi na anahitaji kuondoka huku”
“Naomba unisaidie kwa kweli”
“Sawa nitajaribu”
“Nashukuru sana”
Nikakata simu, nikatoa kitambaa changu mfukoni na kujifuta jasho langu usoni, hamu ya kukaa ofisini hapa ikaniisha kabisa, nikachukua koti langu na kutoka. Nikiwa katika kordo nikakutana na wadada wawili walio umbika vizuri sana na wamevalia sare za wahudumu wa wateja mapokezi.
 
“Habari yako mkurugenzi”
“Salama, aahaaa…mune elekea wapi?”
“Ofisi ya meneja masoko”
Nikajifikiria kwa muda kidogo.
“Leo ni lini?”
“Ijumaa”
“Okay nani anaye fahamu sehemu inaitwa Bagamoyo?”
Mabinti hawa wakatazamana huku wakitabasamu.
“Sote tunapafahamu”
“Okay, sasa kesho naomba kama hamto jali tuweze kuelekea pamoja kwa maana nahitaji kutembea tembea eneo hilo na mimi ni mgeni hapa jijini Dar es Salaam”
“Sawa mkurugenzi hakuna tatizo”
 
Nikatoa waleti yangu mfuko wa nyuma na kutoa kadi ya biashara zenye namba zangu za simu nikawakabidhi kila mmoja kadi yake, wasichana hawa wakaonekana kufurahi sana kwani namba yangu ni adimu kwa wafanyakazi wa kawaida.
“Ila musimueleze mtu yoyote juu ya hili swala sawa”
“Sawa mkurugenzi, siri  yako ipo salama kwetu”
“Nashukuru. Muna magari?”
“Hapana”
Nikatoa noti mbili za dola mia moja, nikawakabidhi kila mmoja.
“Kesho saa nne mutanipigia simu na nitawaelekeza wapi kwa kuja sawa”
“Sawa mkurugenzi”
 
Wasichana hawa wakazidi kufurahi, hakika Tanzania ina wanawake wazuri sana. Nikaachana hao huku kwa mara kadhaa nikigeuka nyuma, nikaingia kwenye lifti, na moja kwa moja ikanipeleka hadi chini ya ardhi ambapo ndipo yalipo maegesho ya magari ya wafanyakazi wa kampuni hii. Nikaanza kutembea kuelekea kwenye gari langu nilipo liacha, nikiwa hatua chache kutoka lilipo gari langu nikahisi kuna mtu ananifwata nyuma. Nikasimama kisha nikageuka, ila sikuweza kumkuta mtu yoyote, wasiwasi kidogo ukaanza kuniingia kwani eneo  hili limetulia na halina watu kabisa zaidi ya magari mengi yapatayo zaidi ya mia moja.
Nikaanza kutemebea kwa mwendo wa haraka hadi kwenye gari langu, nikatoa funguo mfukoni mwangu na kufungua mlango wa gari kisha nikaingia ndani huku nikijaribu kutazama eneo nilipo toka ili niweze kumuona mtu ambaye alikuwa ananifwatilia.
 
Nikawasha gari hili na taratibu nikaanza kuondoka katika eneo  hili, kabla sijafika katika mlango wa kutokea, gafla mbele yangu akasimama mtoto mdogo mwenye umri kama miaka minne au mitano hivi, jambo ambalo lilinilazimu kufunga breki za gafla ili nisimgonge.
Mtoto huyu akabaki akiwa ameduwaa tu huku hali yake akionekana kudhohofika kwa shida, kwani mavazi yake ni machafu kiasi. Nikashika kitasa cha kufungulia mlango ila roho yangu ikasita kabisa kufungua mlango kwani sifahamu huyu mtoto ameandamana na nani. Nikampigia honi kadhaa, ila mtoto huyu hakusogeza zaidi ya kumwagikwa na machozi usoni mwake. 
 
‘Ametumwa au?’   
Nilizungumza huku nikigeuka na kutazama pande zote za eneo hili ila sikuweza kumuona mtu yoyote. Nikatoa simu yangu mfukoni na kuwapigia walinzi wa eneo hili, nikawaomba waje eneo hili la maegesho ya magari haraka sana, walinzi hawakuchukua muda mrefu sana wakafika nami ndipo nikatoka kwenye gari hili.
“Ninamshangaa huyo mtoto amekataa kutoka mbele ya gari langu kabisa”
 
Niliwambia walinzi hawa mara baada ya kumtoa mtoto huyu mbele ya gari langu.
“Wewe umeingiaje ingiaje humu?”
Mlinzi mmoja alimuuliza kwa kufoka sana.
“Usimfokee hembu mlete”
Nilizungumza kwa upole, mlinzi huyu akamleta mtoto huyu sehemu nilipo simama. Taratibu nikachuchumaa ili niweze kuwa kimo sawa na huyu mtoto, ambaye katika kumtazama kwa ukaribu nikagundua ni mtoto wa kike.
“Unaitwa nani?”
Mtoto huyu akabaki akinitazama huku akiendelea kulia sana kwa uchungu, jambo lililo tushangaza watu wote katika eneo hili.
 
“Binti usilie ehee”
Nilizungumza huku nikitoa kitambaa changu na kuanza kumfuta machozi yake usoni.
“Unaitwa nani?”
Binti huyu hukunijibu zaidi ya kunishika shavu langu la upande wa kulia, taratibu akanikumbatia kwa nguvu sana huku akiendelea kulia. Akatoa kipande cha gazeti kwenye mfuko wa suruali yake hii iliyo chakaa, akanikabidhi kipande hichi cha gazeti, tartibu nikakifungua, sikuamini macho yangu mara baada ya kukuta picha yangu nikiwa uwanjani na timu ya shule ninayo soma.
 
“Mimi ni shabiki yako”
Alizungumza kwa upole sana huku machozi yakimwagika usoni mwangu, nikajikuta nikilengwa lengwa na machozi huku nikimuonea huruma sana huyu binti.
“Nimelitunza hilo gazeti, na jana nilipo kuwa nina omba omba nje ya geti la ofisi yako nilikuona, nilijua nimekufananisha kumbe ni kweli wewe ndio Ethan ohooo”
Binti huyu alizungumza kwa upole na uchungu sana, akanikumbatia tena huku akilia sana. Nikajikuta nami nikimwagikwa na machozi. Sikujali harufu ya uchafu inayo mtoka binti huyu, nikaendelea kukumbatiana naye hivyo hivyo. Nikamnyanyua binti huyu na kuanza kutembea naye hadi kwenye gari langu.
 
“Unaitwa nani?”
“Clara”
“Ohoo Clara?”
“Ndio”
“Una jina zuri sana, nyumbani ni wapi?”
Binti huyu akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akinitazama usoni mwangu. Akatingisha kichwa jambo lililo nifanya nimshange kidogo.
“Uma…maanisha nini?”
“Mimi ni omba omba, sina nyumbani kokote mimi nina lala. Hayo ndio maisha yangu”
 
Nikahisi maumivu makali sana moyoni mwangu, kwani binti mdogo kama huyu hana makazi maalumu.
“Wazazi wapo wapi?”
“Walisha fariki miaka miwili iliyo pita, walipata ajali ya gari hivyo baba mdogo alinichukua na kunilea, ila kwa mateso walio kuwa wakinipatia yeye na mke wake niliamua kutoroka nyumbani na walichukua kila kitu cha baba yangu na kuniacha kama hivi nilivyo”
Maneno ya binti huyu yakazidi kuniumiza moyo wangu. Akafunua shati lake mgongoni, mimi na walinzi wote tukabaki tumejawa na mshangao, kwani ana makovu ya majeraha mengi sana, kiasi kilicho nifanya nizidi kumwagikwa na machozi.
 
“Baba yako mdogo yupo wapi?”
“Anaishi Mbezi kwenye nyumba ya baba”
“Mbezi ni wapi?”
Niliwauliza walinzi hawa huku nikiwatazama kwenye nyuso zao.
“Zipo Mbezi mbili, ni Mbezi Beach au Mbezi ya kimara mtoto?”
Mlinzi alimuuliza mtoto huyu huku akimtazama usoni mwake.
“Mbezi ya chini”
“Ndio ipi?”
Niliwauliza walilinzi.
“Hapo anazungumzia Mbezi ya Kimara”
“Si unapakumbuka nyumbani?”
“Ehee napakumbuka”
“Wewe na wewe ingieni kwenye gari tuelekee huko”
“Sawa mkurugenzi”
Tukaingia kwenye gari na walinzi wa kampuni yangu na taratibu tukaianza safari ya kuelekea Mbezi ya kimara huku Clara akituelekeza njia ya kuweza kufika kwao.

==>>ITAENDELEA KESHO

Wahamiaji 624 wakamatwa Geita

$
0
0
Ofisa Uhamiaji wa Mkoa wa Geita, Naibu Kamishna, Wilfred Marwa, amesema bado kuna wimbi kubwa la wahamiaji wanaoingia nchini na kwa mwaka jana waliwakamata 624.

Kwa mujibu wa Kamishna Marwa, kati ya wahamiaji hao, walio wengi wanatoka Burundi ambao walikamatwa 229 wote wakiwa ni wafanyakazi katika mashamba.

Alisema wahamiaji wengine walitoka  Kenya, Uganda, Burundi, Misri, Australia, Ethiopia, Sudan, China, Afrika Kusini, Mali, India, Vietnam, Indonesia, Newzeland, Brazil, Ufilipino, Ufaransa na Ghana.

“Hao wote tuliwakamata kwa makosa mbalimbali yakiwemo kuishi nchini bila kibali, pia kuchelewa kuongeza muda wa kuishi nchini.

“Kisheria watu wa aina hii wanatakiwa  kuhalalisha upya ukazi wao na pia huwa tunawapa kibali kama hati maalumu  ambayo wanailipia kama adhabu kwa kukiuka sheria ya kuongeza muda bila kuhakiki upya,” alisema.

Vile vile kati ya wahamiaji hao, 175 ni wale waliokuwa na vibali vya kuishi nchini vilivyoisha muda wake.

Alisema kundi hilo ni la wahamiaji ambao wameajiriwa katika makampuni mbalimbali mkoani hapa ikiwemo migodini na kwamba wapo waliofunguliwa mashtaka.

Akifafanua juu ya wahamiaji haramu wa ‘Kitanzania’, Marwa alisema huingizwa hatiani kutokana na kupatikana na hatia ya kuwasaidia kwa kuwahifadhi, kuwaajiri na pia kuwakaribisha wahamiaji kutoka nje ya nchi.

 Marwa alisema iwapo Mtanzania yeyote  atakutwa na hatia ya kumsaidia au kumhifadhi mhamiaji wa kigeni, adhabu yake ni kifungo cha miaka 20 au faini ya Sh milioni 20 au adhabu zote mbili.

Kamishna Marwa alitoa wito kwa walowezi walioingia nchini miaka mingi iliyopita ambao wanaishi mkoani hapa  kujitokeza kujiandikisha ili watambulike uraia wao kisheria na kwamba kwa kipindi cha mwaka jana jumla ya familia za walowezi 772 zilitambuliwa.

“Ninatoa wito kwao kuja ofisini ili waweze kusajiliwa kisheria kwa sababu mashine zote za alama za vidole zipo ofisini, bado mwitikio ni mdogo sana,” alisema.

Video : Isha Mashauzi - Thamani ya Mama

$
0
0
Video :  Isha Mashauzi - Thamani ya Mama

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 186 na 187 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588 
ILIPOISHIA      
 
Mlango ukafunguka, tukakaribishwa na mwanga mweupe, eneo hili limejengeka vizuri na lina kila kitu cha ndani, akatoka msicha mmoja mzuri kwenye moja ya chumba, akamtazama Livna akatabasamu, alipo geuza macho yake kwangu akakasiria akaanza kutembea kwa kasi na kunifwata sehemu nilipo simama, nikaanza kuridi nyuma nyuma kwa bahati mbaya nikagota mlangoni na tayari mlango umesha funga. 

Msichana huyu akasimama mbele yangu, akanikaba koo langu kwa mkono wa kulia, sikuwa na jinsi zaidi kujitahidi kuutoa mkono wake, cha kushangaza Livna akatingisha kichwa akiniomba niitoe mikono yangu kwenye mkono wa msichana huyu ambaye nikimuachia basi habari yangu ya kuishi duniani itaisha kizembe kwani hapa nilipo nimesha anza kuhisi pumzi kuniisha na haja kubwa nanisi ina dalili ya kunitoka muda wowote kwa maana  kukabwa koo sio mchezo.

ENDELEA   
Msichana huyu akanitazama kwa muda kisha akaniachia na kujikuta nikikaa chini huku nikikohoa sana kwani pumzi zimeniishia kabisa.
“Mkuu huyu ni nani?”
Msichana huyu aliuliza kwa sauti ya upole sana hadi nikajikuta nikishangaa.
“Anaitwa Dany ni rafiki yetu mpya tutakuwa naye hapa”
“Mzuri, naweza kumgusa tena”
“Ahaaa sio kihivyo bwana”
Nilizungumza huku nikijizoa zoa chini nilipo kaa na nikanyanyuka. 
 
“Kivipi Dany?”
Msichana huyu aliendelea kuzungumza kwa upole sana. Sihitaji hata kumuamini, kwani alicho nifanyia ni nusu ya kufa
Wakatoka wasichana wengine, alipo niona wakaonekana kunishangaa sana. Wakamsalimia Livna ila mimi hawakunisalimi wote wana kazi ya kunitazama kwa dharau huku wakinishusha na kunipandisha kwa macho yao. 

Mbaya zaidi hawa wasichana wote ni wazuri, hakuna hata mmoja ambaye ana ubaya wa sura wala mwili, ila roho zao ndio hivyo ni mbaya na kuua mtu kwao ni swala la kawaida sana.
“Warembo huyu anaitwa Dany, ni mwezetu yupo nasi hapa kwa kipindi chote cha maisha yetu hapa duniani”
 
“Ngoja kwanza mkuu, huyo yupo nasi kwa kipindi cha maisha yetu yote. Ila yeye ni mwanaume inakuwaje aishi na sisi?”
Msicha mmoja alizungumza huku akinitazama kwa macho makali sana
“Kuwa mwanaume hilo kwetu sisi halina shida sana”
“Ila mkuu utakuwa unavunja utaratibu tulio uzoea”
“Ninaelewa ila kwa sasa mambo yamebadilika, huyu kwa sasa ni tegemezi letu kwa asilimia kubwa”
 
“Samahani mkuu, unasema ni tegemezi. Ana kitu gani cha maana ambacho kinakufanya wewe useme kwamba nitegemezi letu?”
Livna akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akawatazama wasichana hawa huku akishusha pumzi nyingi kwani maswali ya wasichana hawa kwa upande mmoja ama mwengine ni magumu sana.
“Sipendi kuwaamrisha na kuwapa amri kama wezenu huko juu. Dany kwa sasa ndio kiongozi msaidizi. Ninahiji heshima ifwate mkondo wake sawa”
 
Ilibidi Livna azungumza kwa ukali wasichana wote wakabaki kukaa kimya huku wakionekana hawajaridhishwa kwa kitendo cha mimi kuwa humu ndani.
“Mkuu tunakuheshimu na tunaishi huku chini tunakosa raha za kujiachia huo juu huko. Kusema kweli hatujaridhika na majibu yako. Hembu tupe ufafanuzi wa kueleweka huyo jamaa anafanyaje humu ndani ya meli yetu.”
Wasichana hawa wanaonyesha hawana nidhamu ya woga kabisa. Livna akabaki kimya kwa muda huku akionekana kutafakari ni kitu gani atawajibu wasichana hawa.
 
“Nitaondoka kama hamunihitaji kwenye hii meli. Livna umenisaidia sana na ninashukuru kwa kunifikisha hapa, kwa hareni”
Nilizungumza huku nikijiweka sawa shingo yangu.
“Hembu ngoja wewe unaga aga nini?”
Msicha mmoja alizungumza kibabe huku akinitazama usoni mwangu, akaanza kunisogelea taratibu huku akionekana kuhitaji kufanya jambo fulani kwangu.
“Tutakukubali endapo utapambana na mmoja wetu hapa, ukimshinda utakuwa kiongozi wetu kama anavyo hitaji mkuu hapa, ukishindwa utafanya kile tutakacho kuambia kukifanya”
Livna akanitazama na kutingisha kichwa kwamba nikubaliane na pambabo hilo analo lihitaji msichana huyu.
 
“Poa”
“Chagua ni nani hapa upigane naye?”
Nikawatazama wasicha wote hawa, kila mmoja anaonekana ana uwezo wake.
“Ninakuhitaji wewe”
“Mimi hahaaaaaa”
Msichana huyu akaanguka kicheko cha dharau kubwa sana.
“Atakaye shindwa lazima apige mkono chini kuashiria kushindwa sawa”
“Poa”
Nilizungumza kw akijiamini huku nikimtazama msichana huyu. Wote wakarudi nyuma na kutuachia duara kubwa, msichan huyu akaruka hewani huku akirusha teka lililo nifanya niiname chini, kabka hata sijanyuka nikastukia teke jengine likitua kifuani mwangu na kunipeleka chini.
“Kumbe mzembe hivyo, nyanyuka mwanaume, kwa maana hatuwezi kuongozwa na mwanaume ambaye hata kupambana na mwanamke hawezi”
 
Msicha huyu aliendelea kizungumza kwa dharau kubwa sana. Nikanyanyuka na kusimama wima, kama kawaida yangu ya kumsoma ninaye pambana naye ikaanza. Msichana huyu  akaanza kurusha mateke mfululizo pamoja na ngumi kadhaa. Ambazo zote nilizidi kujitahidi kuhakikisha kwamba ninayazuia kwa kadri niwezavyo, huku nikiendelea kumsoma mapigo yake ya kasi. Nikakumbuka siku nilipokuwa ninapambana na mtu wa baba Yemi, ambaye aliamini kwamba mtu hiyo ana uwezo mkubwa sana kuliko mwanajeshi wake yoyote ila nilifanikiwa kumumpiga.
 
‘Umekwisha’
Nilizungumza mara baada ya kuweza kugundua siri zote za msicha huyu japo amenipiga kwa kiasi fulani ila sasa ni muda wangu wa kuhakikisha kwamba ninamdhibiti. Hali ikabadilika kwa msichana huyu kwani mateke ambayo ninayatuma kwake ni mfulilizo na yana guvu kiasi kwamba akikwepa mawili nikimpata moja basi ni lazima apepesuke na akishindwa kupepesuka basi nilazima aanguke chini. Sikuwa na huruma hata kidogo kwa msicha huyu kwani ninahitaji kuwaonyesha uwezo kwamba japo Livna anawasifu wana uwezo mkubwa wa kupambana ila hata wao wenyewe wanabaki wakiwa wamenikodolea macho.
 
Masichana huyu akajifanya kujikaza ili kuto waingiza wezake katika ahadi ambayo ameiweka, ila sikuhitaji kumpa nafasi hiyo, akaanza kunifwata huku akipiga kelele, nikaruka hewani na kumtandika teke moja la kichwa lililo mfanya anguke china na hakunyanyuka tena. 
 
Nikajifuta damu za mdomo zinazo nitaoka huku nikimtazama msichana aliye nikaba koo. Nikawatazama wasichana wengine wote wakaonekana kuingiwa na hofu nami.
“Huyu ndio mkuu wenu?”
Niliwauliza huku nikimnyooshea kidole msicha huyu  aliye lala chini akiwa amepoteza fahamu.
“Musipende kujaribu kurusha mawe kwenye mzinga wa nyuki, mutakufa”
Nilizungumza huku nikielekea mlangoni na kuacha ukimya mwingi ukiwa umeyawala humu ndania.
 
“Njoo unifungulie”
Nilizungumza kwa sauti nzito inayo kwaruza kwaruza.
“Dany”
Livna alizungumza na kunifanya nigeuke nyuma, nikawaona wasichana wote wakiwa wamepiga magoti chini.
“Tunakuomba utusamehe”
Mmoja wao alizungumza, nikaka kimya kwa sekunde kadhaa. Taratibu nikarudi sehemua lipo simama Livna.
“Simameni”
Wakasimamammoja baada ya mwengine.
“Kiongozi wenu ni Livna, mimi hapa sio mkaaji wa kuduma kama alivyo sema mkuu wenu. Muwe na amani juu yangu, sijakuka kumdhuru yoyote kati yenu kwa maana vita yangu si kwa ajili yenu, ni kwa ajili ya Marekani na K2. Ninahitaji msaada wenu”
 
“Msaada gani?”
Msicha aliye nikaba koo langu alizungumza kwa haraka hukua akinitazama usoni mwangu.
“Kuna msicha ninihtaji mukamlete hapa kama inawezekana”
“Msaidieni huyu, nitawahitaji wanne muweze kuiteleza hiyo kazi, Livna anawalete katika chumba cha mawasiliao”
“Sawa mkuu”
Nikatembea hadi mlango, Livna akanifungulia mlango kwa kuweka mkono wake sehemu maalumu ambayo pasipo kuweka mkono wake mlango hauwezi kufunguka. Moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu, nikapitiliza hadi bafuni na kusimama mbele ya kioo kimoja. Nikatazama jinsi nilivyo umia sehemu ya juu ya jicho langu la upande wa kulia. Nikaanza kujisafisha damu zilizo nitawala usoni mwangu, japo msichana yule nimemuhimili ila na yeye amenipa kipondo kila sehemu ya mwili wangu inaniuma.
Mlango wa bafuni ukafungukiwa, akaingia Livna, akasimama pembeni yangu.
 
“Upo vizuri mpenzi”
“Ulihisi nitapigwa?”
“Ndio nilihisi utapigwa kwa maana wasichana wale wapo vizuri”
“Wapi, unatambua kwamba ni jinsi gani nilivyo mbishi. Siwezi kupigwa na msichana ambaye hana hata presha ya kutafutwa na majeshi makubwa duniani”
“Sawa, nikuletee nguo nyingine”
“Kama ikiwezekana”
Livna akajaribu kunishika mbavu zangu ila kwa haraka nikamtoa mkono wake.
“Vipi?”
“Mwili mzima unaniuma, hapa sitamani hata kushikwa”
“Kumbe na wewe umebumundwa”
Livna alizungumza huku akicheka sana. Nikavua tisheti yangu, baadhi ya sehemu zimejaa alama nyeusi nyeusi zinazo onyesha jinsi gani ambayo alama za mateke na ngumi zilivyo jichora.
 
“Mungu wangu, Dany huyu msichana amekufanya vibaya, inabidi upate huduma ya dokta”
“Hapana nipo poa”
“Dany kwa hali hii kila unapo guswa mwili unakuuma unasema kwamba upo sawa”
“Livna ninakuomba unielewe nipo sawa, ninakuomba ukaniletee hizo nguo”
“Sawa baba”
Livna akatoka bafuni humu, baada ya dakika tano akarudi akiwa ameshika nguo nyingine zinazo fanana na nguo hizi, nilizo zivaa.
 
“Wasichana wapo tayari wanakusubiria katika chumba cha mawasiliano”
“Ninakuja”
“Sawa”
Livna akatoka humu ndani, nikaanza kuoga taratibu kutokana na maumivu makali ya mwili wangu. Nikavaa nguo hizi safi na kutoka humu chumbani huku nikiendelea kuyavumilia maumivu yaliyopo humu chumbani. Nikaingia ndani ya chumba cha mawasiliano na kuwakuta wasichana wanne wakiwa wamesimama wakinisubiria mimi. Ester na Logate wakaonekana wakinishangaa.
“Vipi mkuu umepata ajali?”
Logate alizungumza huku akitabasamu.
“Jamani si umetoka humu ndani mzima?”
Ester naye alizungumza akiwa amejawa namshangao. Sikujibu chochote zaidi ya kukaa kwenye kiti changu. Sikuweza hata kuegemea kwani mgongo mzima unaniuma.
 
“Kuna jipya gani?”
“Hakuna jipya hapa kitu kikubwa ni kuhakikisha kwamba tunampata Yemi”
“Mumewapa maelezo japo kidogo?”
“Hapana”
“Livna wape maelezo”
Livna akaanza kuwapatia maelezo wasichana wake hawa. Maelezo yakaenda sawa kama ninavyo hitaji.
“Mutaweza kuifanya hiyo kazi”
“Ndio mkuu”
“Itawachukau muda gani?”
“Masaa kumi, kwa maana si Tanzania”
 
“Ndio”
“Masaa kumi yatatosha sisi kuweza kuifanya hiyo kazi kikamilifu”
“Niwatakie kazi  njema”
“Sawa”
Wasichana hawa wakatoka hapa humu ofisini na kuelekea kujiandaa.
“Osama anapiga video call je tuwasiliane naye?”
Ester alizungumza huku akinitazama usonimwangu.
“Mpokelee”
Livna akanisaidia kuiwasha video. Nikamuona Osama akiwa amecaa mavazi niliyo muona nayo masaa machache alipokuwa anaonana na Livna. Nikavaa earphone sikionim wangu huku nikimtazama Osma kwa macho ya kumdadisi huku nikiwa nina hamu ya kusikia ni nini atazungumza kwangu kwani tayari ninamuhesabu ni msaliti kwangu.
 
“Habari yako Dany”
“Salama, umefanikisha kupatikana kwa Yemi?”
“Bado vijana wangu wanaendelea kuifanya oparesheni ya kuwatafuta”
“Uliniambia masaa kumi, na sasa ni masaa zaidi ya kuni na tano kama sijakosea”
“Ndio, ila ninaendelea kujitahidi kumtafuta. Ila unaweza kukutana nami baada ya kupambazuka”
“Unahisi kwamba mimi ni mpumbavu. Nilikusaidia Wamarekani wasikuue kwa mara ya pili, sasa sijajua ni kwa nini umeamua kuungana nao tena umeungana na mtu ambaye nilikuagiza ukamkombea mke wangu ila umekwenda kushirikiana nao.”
 
Osma akabaki macho yamemtoka na jinsi ndevu zake zilivyo nyingi na uzee ulio mtawala akazidi kunifanya nimuone kituko hadi nikatamani kucheka.
“Mimi na wewe sasa sio marafiki, ninakuomba ukae mbali na mimi. Usiingie kwenye kumi na nane zangu, kwa maana nitakupiga zaidi ya Marekani alivyo kupiga umenielewa mzee, kama muda wako ulisha kwisha katika kuwa mbabe wa dunia tulizana na kundi lako”
 
“Siawa kutishwa maisha mwangu, na wewe unajaribu kunitisha unajiamini nini kijana mdogo ambaye hata maziwa ya mama hayajaisha kukunuka mwilini mwako?”
‘Mungu wangu wazee wengine hawa wanatokea wapi wanapi mbona wanatafuta bifu za kijinga hivi?’
Nilizungumza kimoyo moyo huku  nikimtazama mzee huyu. Nikamgeukia Ester ambaye anajua nini cha kufanya kwa watu wabishi kama hawa ambao wameshoboka na ngoma waliyo ikutia katikati na wanataka kuicheza pasipo kufahamu ngoma hiyo ni ya kabila gani.
 
AISIIIII……….U KILL ME 187 
 
“Unamfahamu mama yangu mzee?”
“Sina haja ya kumfahamu mama yako”
“Sasa utamfahamu kilazima”
Nilizumgumza kwa msisitizo kisha nikaizima Tb hiii, nikamge Ester anaye subiria amri yangu.
 
“Tumshambulie?”   
“Hapana, yupo wapi?”
“Yupo bado Dar es Salaam”
“Ninahitaji kwenda kumakamata mimi mwenyewe”
“Dany huwezi kufanya hivyo hali yako haipo sawa”
“Niitie daktari”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Livna.
“Dany huwezi kwenda kumkamata Osama, ni mtu hatari ana jeshi kubwa na amesha ungana na K2 pamoja na Marekani, kwa nini unahitaji kujitoa sadaki ikiwa bado lengo halijamilika?”
 
Livna eliendelea kuzungumza huku akinibembeleza niitengue maamuzi yangu niliyo yaamua. Kwa macho makali niliyo mtazama Livna akajikuta akitulia, akanyanyua mkonga wa simu ya mezani na kumpigia daktari na kumuagiza aweze kufika katika chumba hichi haraka iwezekanavyo. Hazikupita hata dakika tano daktari akaingia huku akiwa na kibegi kidogo. Nikapandisha tisheti yangu juu kidogo na kuwafanya watu kuona alama za mateke na ngumi nilizo pigwa mwalini mwangu.
“Oooohooo my God, ni nini kimekupata?”
Daktari alizungumza huku akinifwata nilipo kaa. Akaanza kunichunguza mwili mzima huku a kionekana kuzidi kushangaa hizi alama.
“Nichome sindano ya kutoa maumivu mwilini”
“Ila inabidi tukufanyie chake up ya ndani, kama nje kuna alama kama hizi basi ujue ndani ni lazima kutakkuwa na tatizo kubwa”
“Nimekuambia nichome sindano ya kuzuia maumivu”
“Sawa sawa”
 
Daktari alizungumza huku akimtazama Livna usoni mwake, kwa haraka akafungua kibegi chake, akatoa kichupa kidgo pamoja na bomba la sindano.  Akafunga sindano na kuifunga kwenye bomba hilo kisha akaichomeka kwenye mfuniko wa kichupa hichi ambao umetengenezwa na mpira mlaini. Akavuta kiasi cha dawa, kisha akaniomba ninyooshe mkono wangu wa kushoto huku nikiwa nimekunja ngumi.
Hakuwa na haja ya kunifunga kitu chochote kwani mishipa inaonekana vizuri. Akanichoma sindano hii na kuisukuma dawa taratibu hadi ikaisha ndani ya bomba hili.
“Munaweza kutengenza sura bandia?”
Swali langu likamfanya daktari  kumtazama Livna, aliye kaa kimya kwa muda huku  akionekana kujawa na wasiwasi mweingi sana.
 
“Ndio”
Livna alinijibu kwa unyonge sana.
“Ninahitaji kufanyiwa hiyo oparesheni sasa hivi”
“Dany mpenzi wangu ninakuomba usifanye hivyo”
Livna alishindwa kuzuia hisia zake mbele ya wasichana wake anao waongoza ambao nina imani kwamba hawajawahi kufahamu upendo ni kitu gani.
“Kuna kitu muhimu sana ninahitaji kukifanya juu ya dunia. Tafadhali Livna ninakuomba unielewe, ninakuomba uridhike juu ya hilo sawa mama”
Nilizungumza huku nikiwa nimesimama mbele ya Livna. Ukimya ukatawala ndani ya chumba hichi huku sote tukisubiria jibu la Livna.
 
“Tafadhali ninakuomba ukubali, Osama ndio atakuwa ufunguo wa kila kitu kilicho fungwa kwangu”
“Una maana gani?”
“Nikubalie kisha utaweza kufahami ni kitu gani nina maanisha”
Livna akashusha pumzi nyingi, akamtazama daktari ambaye naye anasubiria jibu.
“Mtengeneezeeni sura ya bandia”
“Nahitaji kufanyiwa oparesheni kabisa ya sura ya bandia, itachukua muda gani dokta?”
“Ahaa…. Itachukua  masaa kama sita hivi au saba”
“Niandalieni”
 
“Je unahitaji sura gani?”
“Nichagulie”
“Sasa Dany mimi nitajua ni sura gani itakufaa jamani”
“Dokta hakikisha unanitengeneezea sura ambayo sio rahisi mtu kuweza kunigundua hata ikitokea wanajaribu ku scan kwenye mtandao wasiweze kuiona siura yangu halisi. Sijui umenielewa?”
“NImekuelewa nimekuelewa vizuri sana. Itanichukua kama dakika ishirini kuunda sura kama hiyo”
“Sawa fanya hivyo”
“Sawa”
Daktari akafunga kibegi chake na kutoka chumbani humu.
“Ester hakikisheni kwamba Osama hapoteni kwenye mitandao  yenu, hakikisheni munamfwatilia kila anapo elekea, kama atapiga simu yoyote ninaomba mazungumzo yake muweze kuyarekodi”
 
“Sawa mkuu”
Nikatoka chumbani humu huku Livna akainifwata kwa nyuma.
“Dany sipendi maamuzi ya kwako peke yako?”
“Kama yapi?”
“Kwa nini unaamua kwenda kupambana na Osama ikiwa unajua unatafutwa kila kona ya dunia”
“Livna umejitolea sana juu yangu, umewatoa watu wako wengi na woye wananipigania mimi. So nilazima na mimi niweze kufanya jambo, si kukaa mule ofisini na kutazama mambo jinsi yanavyo fanywa kwenye Tv, sasa unapo nipeleka ni kuwa gaidi boksi. Nahitaji kufanya kitu katika hili, nanitaji kuionyesha dunia kwamba ninauwezo wa kudanya jambo”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiendelea kumtazama Livna usoni mwake.
“Nahitaji kwenda kuzungumza na Hawa”
“Sawa”
 
Nikamuacha Livna akiwa amesimama kwenye hii kordo huku akinitaazama. Nikaingia kwenye chumba anacho kaa Hawa, nikamkuta akiwa amelala kitanda kimoja na Livna huku wamekumbatia. Nikafunua shuka lililo wafunika na kuwakuta wote wapo uchi. Nikawatazama kwa muda jinsi maumbo yao yalivyo, nikaushusha mkono wangu karibu na alipo Hawa, ila nikasita, taratibu nikawafunika kama nilivyo wakuta na nikatoka humu ndani.
“Mbona umewahi kutoka?”
“Wamelala”
“Ila muda umekwenda kwa kweli”
“Ndio, ninahitaji hii oparesheni niifanye na msichana mmoja”
“Nitakwenda na wewe?”
“Ni hatari hatuwezi kwenda sisi wawili, ni juzi tu umetoka kwenye hatari na tumempoteza Martin, sihitaji uende kwenye matatizo hembu angalia kwanza afya yako itakavyo kwenda”
“Afya yangu ipo poa mbona”
 
“Simaanishi afya ya mwili, hapa”
Nikamshika tumbo Livna na kumfanya atulie kwa muda, akatabasamu nikatambua amenielewa.
“Niwakati wa kumuangalia mwanangu, na mama utakaa ndani na mimi baba ninakwenda kuifanya kazi hii sawa”
“Sawa mume wangu”
Livna akanibusu kwenye lipsi zangu. Tukaelekea katika chumba cha oparesheni na kuwakuta madaktari wanne wakike wakiwa tayari wamesha fanya maandalizi ya kufanya opareshi hii ya kuniweka sura ya bandia.
“Mkuu inabidi kukuchoma sindano ya usingizi kwa maana hii kazi haitaji usumbufu”
“Hakuna tabu, nipo tayari”
“Ngoja kwanza nimbusu mume wangu”
Livna alizungumza kwa furaha, akanikumbatia kwa muda kisha tukanyonyana midomo yetu kwa muda kidogo kisha tukaachiana.
“Ninakupenda sana Dany”
“Ninakupenda pia”
Nikamuachia Livna kisha nikaka kitandani, taratibu nikalala, daktari akanichoma sindano ambayo hata dakika mbili hazikuisha nikajikuta nikilala fofofo.
                                                                                                       ***
Nikayafumbua macho yangu taratibu, nikamuona Livna akiwa amekaa pembeni ya kitanda huku  anasinzia sinzia.
“Hei”
Nilimuita huku nikijitahidi kukaa kitako.
“Mume wangu umeamka”
‘Yaaa, niambie”
“Safi, umependaza, hembu jitazame kwenye kioo”
Nikashuka kitandani taratibu, nikajinyoosha viungo vyangu huku nikipiga miyayo mingi. Nikaanza kutembea kwa hatua za kivivu hadi kwenye kioo. Sikuamini muonekano ninao onekana kwa maana ninaonekana tofauti sana, sura waliyo niweka inanifanya nizidi kuonekana mzuri.
 
“Hapo hakuna mtu ambaye anaweza kukugundua hata iweje”
“Kweli?”
“Ndio yaani hapo hata mimi mwenyewe nikikutana na wewe barabarani na nikiwa sifahamu kama umebadilishwa sura basi sinto weza kukufahamu”
“Duuuu, sasa mauaji yote yaliyo baki mke wangu ninakwenda kuyafanya mimi mwenyewe”
“Ahahaaa, wewe unakwenda kumuua Osama, ninakuomba hii sura ya sasa hivi usiichafu, usiwape watu wazo kwamba unaweza kutumia sura ya bandia”
 
“Sawa nimekuelewa mpenzi”
“Hakikisha kwamba kazi unaifanya kisha unarudi hapa salama”
“Ninahitaji kurudi na Osama ndio maana ninameomba msaada wa kupata msichana mmoja ambaye anaweza kushirikiana nami”
“Sawa, nitakuchagulia msichana mmoja katu ya wale kule chini”
“Sawa. Hivi sasa ni saa ngapi?”
“Ni saa moja kasoro”
“Asubuhi?”
“Ndio”
“Poa, nahitaji suti nyeusi, bastola mbili, magazine kumi na mbili”
“Bastola mbili zinatosha kweli?”
“Ndio zinatosha, kikubwa ni kuhakikisha kwamba ninashabaha nzuri”
“Sawa mume wangu, ninakuandalia wewe. Pia kuna zawadi moja ninahitaji kukupatia”
 
“Zawadi gani?”
“Mmmmmm zawadi haisemwi hadi utakapo iona”
“Sawa”
Tukatoka katika chumba hichi na nikaelekea chumbani kwangu na kumuacha Livna akielekea sehemu ambayo anaweza kupata vitu ambavyo nimemuagiza. Nikavua nguo zangu na kuingia bafuni, nikaanza kuoga huku nikiwa na shauku kubwa ya kwenda kuifanya hii kazi iliyopo mbele yangu.
“Ni lazima nimfundishe kazi huyu mzee”
Nilizungumza huku nikizidi kuoga kwa furaha kubwa kana kwamba ninaelekea katika sherehe fulani hivi ambayo mimi ndio mgeni mualikwa, nikaanza kucheza huku nikijitazama kwenye kioo cha humu bafuni kwanini nimebadilika sana. Mlango wa bafuni ukafunguliwa, na nikamuona Livna akiwa anashangaa.
 
“Unashangaa nini?”
“Nashangaa jinsi unavyo cheza, unafuraha kubwa eheee?”
“Yaa nina furaha, yaani takacho mfanya Osama, lazima akafurahi na roho yake”
“Hahaaaaa haya mwanya”
Livna naye akavua nguo zake na kubaki kama alivyo zaliwa, akanisogelea huku akinitazama usoni mwangu. Akanikumbatia kwa nguvu.
“Dany unanipa raha sana, unanifanya nionekane mtu kati ya watu. Unajua muda mwengine nyge zinaweza kumfanya mtu afaye vitu vya ajabu ajabu, unalitambua hilo?”
“Yaa ninalitambua”

“Hujisikii  maumivu huku ulipo pigwa?”
“Hapana ile sindano imenisaidia”
 
 Livna kaanyanyua koti la suti na kunionyesha tisheti moja nyeusi ambayo kwa haraka haraka nikaikumbuka. Tisheti kama hii nilisha wahi kukabidhiwa na mama yangu kipindi cha ujana wake, sifa yake ni moja, ni kwamba haiingii risasi.
“Umeipata wapi hiyo tisheti?”
“Hii tisheti alinikabidhi baba yako kipindi cha nyuma, aliniambia sifa yake ni kwamba haiingii risasi na ni kweli niliweza kuifanyia majaribio mengi sana na kweli haiingi risasi”
 
“Marehemu mama ndio alikuwa anazitengeneza hizo tisheti”
“Ni kweli hata baba yako aliniambia kwamba mke wake ndio alimtengenezea hizi tisheti. Sasa leo ninakukabidhi wewe, nina imani kwamba itakusaidia sana”
“Shukrani mpenzi wangu”
Nikabusu Livna mdomoni mwake, nikaichukau tisheti hii na kuivaa, na kunibana vizuri mwilini mwangu. Nikachukua shati jeupe na kuvaa, kisha nikafwatia, bosa pamona na suruali na nikamalizia koti. Livna akanivisha mkanda wa suruali vizuri. Akachuchumaa na kunivisha soksi kila mguu pamoja na viatu vizuri.
 
“Hapo unaonekana ni bonge moja la bilionea”
“Wapi”
“Kweli mume wangu na hiyo sura, ninapata mashaka wanawake jinsi watakavyokuwa wanakushobokea”
“Yaaa, ila ninakwenda kikazi na ninahitaji kurudi hapa nikiwa na kichwa cha Osama Bin Laden”
“Usirudi na kichwa chake, ninahitaji urudi naye hapa akiwa hai, nahitaji na mimi niweze kumuona”
“Etiee eheee?”
“Ndio”
Livna akanikabidhi bastola mbili, nikaanza kuikagua moja baada ya nyingine na kuzikuta zikiwa salama, akanikabidhi magazine za bastola hizi ambazo nikaanza kuzichomeka kila moja sehemua mbayo ninaona itakuwa ni rahisi kwangu pale nitakapo amua kuichomoa.
 
“Hii ni saa ambayo popote utakapo kwenda huku tutaweza kukuona, hakikisha kwamba unaitunza mume wangu, endapo itapotea utaniweka mimi katika wakati mgumu sawa mume wangu”
“Usijali mke wangu”
Livna akavaa nguo zake, tukatoka ndani humu na kwenda moja kwa moja katika chumba cha mawasiliano, Ester na Logate wakabaki wakiwa wananishangaa kwani nimebadilika sana.
“Mupo poa?”
Niliwasalimia, hapakuwa na aliye weza kuitikia salamu yangu kwa mshangao ambao bado unaendelea kuwatesa.
 
“Wanakushangaa wamekupenda”
Akaingia msichana mrefu, mweupe amevalia gauni jeusi lenye mpasuo mkubwa hadi karibi kabisa na kiuno chake, paja lote la mguu wa kulia lipo wazi. Nywele zake ni ndefu zinaning’inia mgongoni mwake na baadhi zimeficha jicho lake la kushoto kidogo. Umbo lake ni namba nane yenyewe, kwani ana hispi ambazo kusema kweli zinanitamanisha.
“Dany huyu anaiwa Magreti, ndio utakuwa naye kwenye kazi unayo kwenda kuifanya ya kumkamata Osama Bin Laden”
‘Mmmmm kweli lazi itafanyika hapa?’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kumtazama binti huyu aliye jaribu kunipa mkono wake wa kulia ila nikabaki nikimazama kwani ni mzuri kupindukia hata Livna mwenyewe hamfikii msicha huyu hata nusu yake.
 
 ITAENDELEA
‘Hay sasa Dany anaingia kibaruani yeye mwenyewe huku sura yake ikiwa imebalishwa na anahakikishiwa kwamba hakuna anaye weza kuigundua je atafanikiwa kwenye kazi yake anayo kwenda kuifanya? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images