Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja la sule amenusurika kifo
baada ya kupigwa na watu wenye hasira kali wakimtuhumu kuwa ni mwizi
jambo ambalo baadaye lilikuja kubainika kuwa hana hatia yoyote.
Wakizungumza eneo la feri jijini Dar es salaam
baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuwa inasikitisha kuona watu
wakijichukulia sheria mikononi bila kuhoji tukio ambapo mara baada
Kijana anusurika kufa baada ya kupigwa akituhumiwa ni mwizi jambo ambalo baadaye lilikuja kubainika kuwa siyo Mwizi
↧
↧
Mahakama kuu ya Tanzania Yatupilia mbali kesi dhidi ya Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda
Mahakama kuu ya Tanzania imetupilia mbali kesi dhidi ya waziri mkuu,
Mh. Mizengo Pinda iliyofunguliwa na kituo cha sheria na haki za binadamu
LHRC na chama cha wanasheria Tanganyika TLS kwa sababu hawana mamlaka
kisheria ya kumshtaki.
Kesi hiyo iliyokuwa inasikilizwa na jopo la majaji
watatu likiongozwa na Jaji Kiongozi Fakih Jundu imetupiliwa mbali baada
ya jopo hilo kukubaliana
↧
Mwandalizi wa Mazishi aagiza Maiti Ikatwe Miguu ili kuifanya itoshe kwenye jeneza
Mwandalizi mmoja wa mazishi nchini Afrika
Kusini,anayedaiwa kuwaagiza wafanyakazi wake kuikata miguu ya maiti moja
aliyodai kuwa ndefu sana alifikishwa mahakamani Ijumaa.
Ronel Mostert anayemiliki chumba cha kuhifadhi
maiti ambacho pia huendesha shughuli za mazishi, alitoa amri hiyo kwa
lengo la kuhakikisha kuwa maiti hiyo ingetosha katika jeneza.
↧
Magazeti ya leo Jumamosi ya tarehe 7 June 2014
↧
Kijana afikishwa mahakamani jijini Mwanza kwa tuhuma za kukutwa akifanya mapenzi na mbuzi
MTU mmoja amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza kwa tuhuma za kukutwa akifanya mapenzi na mbuzi.
Mtuhumiwa huyo, William Sebastian (21), mkazi wa Kijiji cha Mlezi alisomewa mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya hiyo, Faustine Kishenyi.
Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Inspekta Samwel Onyango aliieleza mahakama hiyo kuwa mshitakiwa huyo
↧
↧
Tuzo za MTV MAMA kufanyika Leo,Durban Afrika Kusini
Mwigizaji maarufu nchini Marekani ambaye pia ni mchekeshaji,
mwandishi wa muswada na mwongozaji wa filamu, Marlon Wayans anatarajiwa
kuwa msanii mkubwa atakayeongoza jukwaa katika hafla ya ugawaji wa Tuzo
za MTV Africa Music Award 2014 zikatakazo tolewa leo jijini Durban
Kwazulu - Natal nchini Afrika Kusini.
Hafla ya utoaji wa tuzo itafanyika katika Ukumbi wa Durbun
↧
Hotuba ya Rais Shein wa Zanzibar kumuenzi David Livingstone ikiwa ni miaka 141 tangu kukomeshwa kwa biashara wa watumwa
Ndugu Wananchi,
Tuna wajibu mkubwa wa kumshukuru Mwenyezi
Mungu kwa kutupa afya na uzima tukaweza kujumuika leo hii. Napenda
kutoa shukurani zangu za dhati kwa viongozi wa Kanisa la Anglikana wa
Dayosisi ya Zanzibar na waumini wote wa Kanisa hili kwa kunialika kuja
kuungana nanyi katika uzinduzi wa kongamano la kumuenzi Dk. David Livingstone kwa kutambua mchango wake katika kukomesha
↧
Ray C kugombea Ubunge 2015 ili kupigana na watu wanaoingiza madawa ya kulevya nchini
Makundi mengi ya vijana ndani ya mtandao wa facebook yamekuwa na imani kuwa msanii Rehema Chamila anaweza kuwa mtetezi wao mkubwa endapo ataamua kuingia kwenye siasa...
Vijana hao wanaamini kuwa Ray C kwa sasa amepitia changamoto nyingi hivyo wanaamini kama akipewa nafasi ya kuingia bungeni inaweza kuwa chachu ya yeye kupigana na watu
↧
Jini Kabula ayakana Mapenzi ya Baa....Asema kama unamtaka kimapenzi mfuate nyumbani
Sitaki tena....Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na kauli ya nyota wa filamu za kibongo Mirium Jolwa "Jini Kabula" ambaye amedai kuwa kwa sasa hataki kusikia mapenzi ya pesa na kama kuna mwanaume anayemtaka basi amfuate nyumbani na si kuitana baa.....
Kabula alisema kuwa wanaume wengi wamekuwa na tabia ya kuitana baa huku wakihisi kuwa kila
↧
↧
Maelezo ya mmiliki wa nyumba alikouwawa yule Chatu mwenye kitambaa cha maandishi ya kiarabu jijini Arusha
June 05 2014 mchana kupitia mitandao mbalimbali Tanzania zilisambaa
taarifa zikimuhusu mmiliki wa mojawapo ya nyumba maeneo ya Sakina jijini
Arusha kwamba nyoka aliyekua akimfuga kwa siku nyingi na kuhusishwa na
imani za kishirikina, ameuwawa na Wananchi.
Wananchi
walimuua nyoka huyo na kisha kumkata kata vipandevipande ambapo baada
ya hizi taarifa kusambaa mmiliki wa nyumba hii
↧
Serikali yawapa Uraia wakimbizi wa Kisomali 1,514.....Waziri Chikawe awapongeza kuwa Watanzania
Felix Mwagara
SERIKALI imewapa uraia wa Tanzania
Wakimbizi wa Kisomali wenye asili ya Kibantu 1,514 waliokuwa wanaishi
katika Makazi ya Chogo, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
Wakimbizi hao ambao walikimbia nchi
yao Somalia baada ya vita kutokea mwaka 1990 ambapo baadhi yao 3,000
walikimbilia nchini kwa kutambua kuwa ndipo mababu zao walikotoka,
Serikali iliwapokea na kuwahifadhi
↧
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma alazwa Hospitalini.....
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amelazwa hospitalini kwa uchunguzi
wa afya , atapumzika kwa muda ingawa ataendelea na majukumu akiwa nyumbani.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa maafisa kutoka kwa ofisi yake. Taarifa
hiyo ilisema kuwa Zuma atalazimika kumpumzika kwa muda ingawa ataendelea
na majukumu yake ya kitaifa akiwa nyumbani.
“Hapo jana Ijumaa Rais Zuma alishauriwa kupumzika
↧
Rais Kikwete aongoza waombolezaji kuuaga mwili wa mfanyakazi wa Ikuli, marehemu Ernest B. Ngereza
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za
mwisho katika Kanisa la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es
salaam wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Ernesti B. Ngereza, aliyekuwa
mfanyakazi wa Ikulu aliyefariki dunia Mei 5, 2014, kabla ya mwili huo
kusafirishwa kwenda nyumbani kwa marehemu Lushoto, Mkoani Tanga Ijumaa
Mei 6, 2014.
Rais
↧
↧
Mbunge Joshua Nassari ( CHADEMA ) afunga Ndoa ya Kihistoria....Watu wamepiga Mpunga hadi wengine "wakazima"
Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga
ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru
jijini Arusha ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja
vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto.
Sherehe
hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana siku ya leo ambapo watu wote
walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa
↧
Bonyeza hapa kuangalia Majina ya Walioitwa kwenye USAILI nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji......Usaili ni tarehe 13 mwezi huu wa Juni
Kufuatia tangazo la kazi lililotolewa na Kamishna Mkuu wa Uhamiaji la
tarehe 14 na 17 Februari, 2014 kwenye magazeti ya Habari Leo, Mtanzania
na Daily news; kuhusu kujaza nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji,
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi anawatangazia waombaji
kuangalia katika tovuti www.moha.go.tz na www.immigration.go.tz ambapo
majina ya wanaoitwa kwenye Usaili
↧
Ibada ya Kiislamu kufanyika Vatican ( Makao makuu ya kanisa Katoliki ) kwa mara ya Kwanza katika Historia
Kwa mara ya kwanza katika historia, sala na mafundisho
kutoka kwenye Quran yatasikika Vatican Jumapili, ambako ni makao makuu
ya kanisa katoliki duniani.
Uamuzi huo umefanywa na Papa Francis ikiwa ni hatua ya kutengeneza mazingira ya amani kati ya waisrael na wapalestina.
Kiongozi huyo wa kanisa katoliki duniani aliwaalika rais, Shimon
Peres na rais wa Palestina Mahmoud Abbas kwenda
↧
Picha za redcarpet ya MTV Awards,Diamond akiwa na Wema Sepetu na muonekano wa ukumbi
↧
↧
Baada ya Diamond, Vanessa Mdee kawa Verified Twitter
Imekuwa kama zali jana, ikiwa ndio siku ya kukumbuka siku yake ya
kuzaliwa, mwanamuziki na mtangazaji maarufu, Vanessa Mdee aka VeeMoney
kaingizwa kwenye orodha ya watu maarufu duniani, kwa account yake ya
mtandao wa kijamii wa twitter kuwa Verified.
Ni wasanii wachache sana
hapa afrika ya mashariki waliopata bahati hii ya kujulikana kimataifa na
kuweza kuwa verified katika mtandao
↧
Rihanna awajibu TLC waliomponda kuwa anauza ng9no kwa kuvaa nusu mtupu
Vazi la Rihanna katika tuzo za mitindo za CFDA mwaka huu
limeendelea kuwa gumzo na wengi wamemshambulia kwa madai ya kutojali
maadili.
Member wa kundi la TLC, Chilli na T-Boz nao hawakusita kumpa makavu
live wakati wanafanya mahojiano na kipindi cha SunRise cha televisheni
ya Australia. Walisema kuhusu mavazi hayo na kueleza kuwa Rihanna anauza
ng9no.
“Ni vigumu kwetu kusema
↧
Jennifer Lopez na Casper Smart wapigana chini
Miaka miwili na nusu ya mapenzi yaliyokuwa yakitajwa kama
mfano wa wapendanao kweli imekamilika na story imebadilika pia baada ya
Jennifer Lopez na mpenzi wake mwenye umri mdogo, Casper Smart kupigana
chini.
Chanzo cha karibu na Jennifer Lopez kimeiambia Us Weekly kuwa wawili
hao walianza purukushani za kuachana tangu miaka miwili iliyopita.
“Haikuwa uamuzi rahisi lakini wameamua
↧
More Pages to Explore .....