Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Bosi wa Zamani TRA na Wenzake wapandishwa upya kizimbani na Kusomewa Mashitaka 58

0
0
Aliyewahi kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake wanne wamepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kujibu mashtaka mapya 58, yakiwemo ya utakatishaji wa fedha na kujihusisha na mtandao wa uhalifu.

Wakili wa Serikali Mkuu, Hashimu Ngole akisaidia na Pendo Makondo na Patrick Mwita, amedai leo Ijumaa Januari 11, 2018, mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustina Mmbando kuwa washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka hayo katika kesi ya uhujumu uchumi namba 2/2019.

Mbali na Kitilya, washtakiwa wengine ni Shose Sinare, Sioi Solomon pamoja na wengine wapya waliounganishwa katika kesi hiyo, Bedason Shallanda na Alfred Misana.

Kabla ya kusomewa mashtaka hayo mapya 58, washtakiwa Kitilya, Sinare na Solomoni walifutiwa kesi yao ya zamani iliyokuwa na mashtaka manane chini ya kifungu namba 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya jinai  ( CPA), sura ya 20  iliyofanyiwa marejeo mwaka 2002.

Walifutiwa mashtaka hayo, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuieleza Mahakama hiyo kuwa hawana nia ya kuendelea na shauri hilo.

Rais Magufuli Aagiza Ndege za Rais Zianze Kubeba Abiria

0
0
Rais Dkt. Magufuli ameagiza kwamba ndege 2 kati ya ndege 3 za Rais, zipakwe rangi ya Air Tanzania na zianze kutumika kusafirisha abiria.

Ametoa agizo hilo leo Ijumaa Januari 11, 2019 wakati wa mapokezi ya ndege ya pili aina ya Airbus A220-300 iliyowasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam.


“Kwa kuwa rais mwenyewe hasafiri hovyo sasa zinakaa kufanya nini na moja ina uwezo wa kubeba watu 50. Hii haitabeba abiria pale tu ambako itakuwa inatumika,” amesema Rais Magufuliu.

Akijibu ombi la Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible fellowship (FGBF) Zachary Kakobe aliyemuomba kuwa na desturi ya kukutana na viongozi wa vyama vya siasa kama ilivyo kwa viongozi wa dini, Magufuli amesema anaogopa kukutana na watu ambao wanatukana na kutishia kumkatakata.

“Huwezi kukutana na mtu anayekuambia akikushika atakukata halafu ukutane naye kumbe ndiyo siku yako ya kuchinjwa hivyo ni bora umuache akae mwenyewe huko,” amesema Rais Magufuli


Aidha Rais Magufuli ameshwashukuru wabunge wa Chama cha Mapinduzi kwa kuwezesha maendelo hayo kupitia kuunga kwao mkono bajeti inapopelekwa bungeni.

Airbus 220-300 imekuwa ni ndege ya 6 kuwasili nchini miongoni mwa 7 zilizonunuliwa na Serikali huku nyingine moja ikisubiriwa ambapo leo Rais amethibitisha kuwa ndege nyingine ya 8 inanunuliwa.

Makonda: Naomba Mniombee Niwe Kama Rais Magufuli

0
0
Mkuu wa Mko wa Dar es salaam, Paul Makonda amewaomba viongozi wa dini waweze kumuombea ili atimize ndoto ya kuwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.

Muda mfupi uliopita akizungumza katika mapokezi ya ndege aina ya Airbus A220-300 uwanja wa ndege, Makonda amewataka viongozi wa Dini kumuombea juu ya ndoto yake ya kuwa kama Rais Magufuli kwa kuwa ni mtu wa kutekeleza.

"Viongozi wa dini naomba mniombee, nataka nikikua niwe kama Rais Magufuli, haya ni maombi yangu kabisa, kwa sababu ni mtu wa kutekeleza, usiyeyumbishwa,umehakiksha Mungu kwanza na unaipenda Tanzania kuliko hata familia yako"- Paul Makonda.

Makonda ameongeza, "hivi ulivyo Rais wetu angekuwa mwingine Watoto wake tungekuwa tunagombana nao mtaani lakini Wewe umehakikisha hakuna anayeingilia jukumu lako kama Baba wa familia" Makonda

Pamoja na hayo Makonda amemwambia Rais Magufuli, yeye na wakazi wa Dar es salaam wamekwenda kumuunga mkono kwa kuwa alitoa ahadi kutoka kwenye ilani ya CCM na anatekeleza ikiwemo elimu bure

"Nilipotoa tangazo la kuja hapa nilisema waje wale waliowahi kutoa ahadi na wakatekeleza" Ma

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi ya January 12

Ndege Nyingine Mpya Dreamliner kutua nchini Novemba Mwaka Huu

0
0
Serikali imesema inatarajia kupokea ndege nyingine aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba abiria 262 iliyotengenezwa nchini Marekani.

Dreamliner hiyo  itakuwa ni ya pili baada ya ile ya kwanza ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyotua hapa nchini Julai 8, mwaka jana amabyo hadi sasa inafanya safari zake Entebbe nchini Uganda, Bujumbura nchini Burundi na Visiwa vya Comoro.

Akizungumza jana  katika mapokezi ya ndege mpya aina ya Airbus 220-300 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe alisema Serikali ilipanga kulifufua Shirika la Ndege nchini (ATCL) kwa kununua ndege mpya Saba.

“Rais Magufuli alipoingia madarakani aliahidi kuifufua ATCL kwa kununua ndege saba lakini juzi kanipigia simu kuniagiza tununue nyingine ziwe nane kabisa, ”alisema Waziri Kamwelwe.

Naye Rais Magufuli alisema pamoja na kuwa aliahidi kununia ndege saba na nyingine zimeshawasili lakini huo si mwisho kwani ana mpango wa kuagiza ndege nyingi zaidi.

“Nataka mjue kuwa ndege hii tunayopokea leo sio ya mwisho nataka kununua ndege nyingine zaidi ambazo zitakuwa zinapishana katika masafa ndani na nje ya Afrika,” alisema Rais Magufuli.

Hadi sasa ndege sita zilizonunuliwa na Serikali zimeshawasili hapa nchini ukiachana na hizo za Airbus 220-300 na Dreamliner nyingine ni Bombadier Dash 8 Q400 tatu zenye uwezo wa kubeba airia 76 kila moja.

Rais Magufuli Ammwagia Sifa Katibu Mkuu CCM....."Moto Wake Hata Mimi Siufikii"

0
0
Rais John Magufuli  ameweka wazi kuwa hotuba za Katibu mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally huwa zinamshangaza kwa namna ambavyo anazitoa bila uoga jambo ambalo humfanya yeye ajione ni mpole.
 
Mwenyekiti huyo wa CCM alieleza hilo jana kwenye hotuba yake wakati wa mapokezi ya ndege ya pili aina ya Airbus A220-300 iliyowasili nchini jana mchana Januari 11, 2019 kwenye Uwanja wa Ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam.

''Dkt. Bashiru amekuwa muwazi, huwa namuangalia kwenye hotuba zake saa nyingine nasema kumbe mimi nafuu bwana kuliko huyu jamaa'', alisema.

Rais alieleza kuwa Katibu wake huyo amekuwa akikemea ufisadi ambao ulikuwa ukishamili siku hadi siku lakini sasa yeye anapingana nao hadharani bila kujali.

Magufuli amewataka viongozi wote wa chama na Serikali kuendelea kuwatumikia wananchi kwa moyo mmoja ili kusaidia maendeleo na siku moja Tanzania itakuwa kama Ulaya.

Rais Magufuli aitaka ATCL kupunguza matumizi

0
0
Rais Dk. John Magufuli, amelitaka Shirika la Ndege nchini (ATCL) kupunguza gharama za uendeshaji zisizo za msingi.

Ameyasema hayo jana Ijumaa Januari 11, alipokuwa akihutubia viongozi mbalimbali na umati wa wananchi wa jiji la Dar es Salaam waliofurika katika Uwanja wa Ndege wa zamani (Terminal 1) katika mapokezi ya ndege mpya iliyotua jana  ya Airbus 220-300 Ngorongoro.

“Mpunguze matumizi ya hovyo, mhakikishe kila biashara mnayofanya iwe na faida hatutaki biashara za hasara hapa, na mjue ndege hizi tumewaazima mkileta mzaha tutawanyang’anya.

“Kuna wakati ndege za ATCL  zilikuwa zinaenda Dubai ila kumbe zikienda kule zinaenda kufuata nguo za maduka ya watu fulani fulani,” alisema Rais Magufuli.

Rais Magufuli pia amewataka watumishi wa shirika hilo wakiwamo marubani na wafanyakazi wa ndani wa ndege kufanya kazi kwa uadilifu ili kulisaidia shirika hilo kuendelea kukua.

“Ombi langu kwa wafanyakazi wa ATCL mfanye kazi kwa moyo na uadilifu mkubwa na muwahudumie abiria kwa upendo ili waendelee kutumia ndege zenu, tunataka tushindane na mashirika mengine duniani kwasababu watu wa kutufikisha huko wapo,” alisema.

Askari Saba wa " Dhahabu Mwanza" Wasimamishwa Kazi Kwa Kuomba Rushwa

0
0
Jeshi la Polisi Tanzania  tarehe 11/01/2019, limewasimamisha kazi askari saba (7) wa vyeo mbalimbali kwa kutenda kosa kinyume na mwenendo mwema wa Jeshi la Polisi na tayari wamefikishwa mahakamani kusomewa mashitaka yanayo wakabili.

Hatua hii imechukuliwa, baada ya askari hao kuomba rushwa ya bilioni moja na baadae kupokea rushwa ya milioni mia saba toka kwa mfanyabiashara wa dhahabu aitwaye Sajid Abdalah Hassan ambaye walimkamata akiwa na dhahabu kiasi cha kilogramu 319.59, yenye thamani ya mabilioni ya shilingi za kitanzania.

Askari hao waliosimamishwa kazi ni;
  1.     E.4948 CPL Dani Isack Kasala
  2.     F.1331 CPL Matete Maiga Misana
  3.     G.1876 PC Japhet Emmanuel Lukiko
  4.     G.5080 PC Maingu Baithaman Sorrah
  5.     G.6885 PC Alex Elias Nkali
  6.     G.7244 PC Timoth Nzumbi Paul
  7.     H.4060 PC David Kadama Ngelela.
Aidha, kuhusu Afisa SSP: Moris Okinda ambaye alikuwa kiongozi wa askari hao walioomba na kupokea rushwa ya kiasi hicho cha fedha, mamlaka yake ya kinidhamu tayari imemsimamisha kazi na tayari amefikishwa mahakamani pamoja na askari hao.

Pamoja na askari hao, pia wamefikishwa mahakamani watuhumiwa wengine wa nne waliokamatwa huko Kigongo feri Wilayani Misungwi wakitorosha madini hayo ya dhahabu kutoka Tanzania kwenda Nchi jirani ya Rwanda.

Watuhumiwa waliokamatwa wakitorosha madini hayo ya dhahabu ni;
  1. Sajid Abadalah Hassan, miaka 28, mfanyabiashara wa dhahabu, mkazi wa Ilala Dar es Salaam na Mwanza mtaa wa pamba ‘A’.
  2. Kisabo Kija @ Mkinda , miaka 55, mfanyabiashara wa dhahabu, mkazi wa mwatulole –Geita
  3. Emmanuel Ntemi, miaka 63, dereva, mkazi wa kijiji cha mwatulole –Geita
  4. Hassan Sadiq Hassan, miaka 28, Mhindi, Raia wa Pakistani, mkazi wa Mwanza mtaa wa Pamba ‘A’, Mfanyakazi wa duka la kuuza vito.
Kufuatia sakata hili, Jeshi la Polisi Tanzania kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama tunaendelea na uchunguzi wa kina ili tuweze kuwakamata watuhumiwa wote waliohusika kwa namna moja au nyingine katika sakata hili.

Imetolewa na;
CP: Robert Boaz
Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Tanzania
11 January, 2019.

Makosa 12 Waliyosomewa Polisi na Watuhumiwa Waliokuwa Wakitorosha Dhahabu Mwanza

0
0
Askari polisi wanane wanaotuhumiwa kushiriki mpango wa kutorosha dhahabu kilo 319.59 zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 27 pamoja na wamiliki wa madini hayo, wamefikishwa mahakamani.

Washtakiwa hao waliokamatwa Januari 4, mwaka huu, walifikishwa mahakamani kwa makosa 12 likiwemo la uhujumu uchumi.

Walisomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, Gwae Sumaye, na mawakili wa serikali Castuse Ndamgoba, Robert Kidando na Jackline Nyantori.

Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa Januari 4, watuhumiwa wanne ambao ni Sajid Abdallah, Kisabo Nkinda, Emmanuel Kija na Hassan Sadick walitenda kosa la kuwapatia rushwa ya Sh. milioni 700 watuhumiwa wanne ambao ni askari polisi ili kuwasaidia kutorosha madini hayo.

Askari ambao majina yao yalitajwa na mawakili wa serikali ni Koplo Dani Kasara, Koplo Matete Misana na makonstebo Japhet Kuliko, Maingu Sorry, Alex Mkali, Timoth Paul na David Ngelela na Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Moris Okinda ambaye alikuwa kiongozi wa askari hao.

Miongoni mwa mashtaka 12 yanayowakabili askari hao ni pamoja na uhujumu uchumi, kuomba na kupokea rushwa ya Sh. milioni 700, kuisababishia hasara serikali na kutakatisha fedha kinyume cha sheria za nchi.

Hakimu Gwae alisema watuhumiwa hawaruhusiwi kujibu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo, hivyo aliahirisha kesi hiyo hadi Januari 28, mwaka huu, itakapotajwa.

Askari hao wanane, kabla ya kufikishwa mahakamani, Jeshi la Polisi Tanzania liliwasimamisha kazi Januari jana kutokana na tuhuma za kutenda kosa kinyume cha mwenendo mwema wa jeshi hilo.

ATCL Kuanza safari za Dodoma kila siku

0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Ladislaus Matindi amesema kutokana na ongezeko la abiria, shirika hilo limeanzisha safari za kila siku kwenda Dodoma,  kuanzia Januari 16, 2019.

Amesema hivi sasa ndege za shirika hilo zinafanya safari nne kwa siku kwenda Dodoma.

Ametoa kauli hiyo jana Ijumaa Januari 11, 2019 katika hafla ya kupokea ndege ya pili aina ya Airbus 220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

Alisema licha ya kuongeza safari hizo pia wanaendelea kufanya tathmini ya uhitaji ili kuhakikisha Dodoma inaunganishwa na miji mingine ili kurahisisha usafiri wake.

“Kuwasili kwa ndege ni soko la kimkakati kusini mwa Afrika hususani nchi za Zambia, Zimbabwe na Afrika Kusini lakini pia inaongeza uhakika wa kutoa huduma katika maeneo yenye idadi kubwa ya watu ikiwemo Mwanza, Kilimanjaro na Mbeya,” alisema Matindi.

“Hii ni fursa muhimu katika kuhakikisha biashara yetu inakuwa endelevu na tayari tumefanikiwa kuingia makubaliano usafirishaji wa nyama ya mbuzi inayouzwa nje ya nchi kutoka Mwanza kuja Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa na mashirika mengine.”

Alisema wanaendelea kushirikiana na shirika la ndege la Ethiopia na Misri ili kuendeleza marubani na mpaka sasa wamefikia 50 kutoka 13 waliokuwepo awali na hadi kufikia Aprili, 2019 watakuwa wamefikia 60 huku wahandisi wakiwa 68 kutoka 15.

Amesema wahudumu wa ndege wamefikia 142 kutoka chini ya 20 walioanza nao na mpaka sasa wafanyakazi wa ATCL wanakaribia 300.

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

0
0
NAUHABARISHA ULIMWENGU TIBA BORA YA MITI SHAMBA..

  Ninatibu magonjwa 1-100 dawa ninazo Sasa.

KOLA; ni dawa ya kisukari dozi siku 14 ata kama unajihisi itumie kwa kinga zaidi

  THREE(3) POWER MIX,inatibu Nguvu za kiume Ni dawa iliyo Bora na Humfanya mume kuchelewa kufika kileleni dkk 40_47 bila kuchoka.Inaanza kufanya kazi ndani ya door 80 na inatibu kabisa ndani ya siku 6 tu,hutatumia Tena dawa ya Nguvu za kiume three power mix Ni kiboko kabisa,hata Kama unahisi una tatizo unaruhusiwa kutumia kwa ajili ya Kinga baadae.

 DUDUMA MIX 4 POWER,hunenepesha na kurefusha uume na kukomaza uume uliosinyaa kwa mda mfupi,tumia siku 4 na kupona kabisa.

  SHOOLA,Ni dawa ya kutibu tezi dume na kupona kabisa ni ya miti shamba hutumika kwa kunywa bila upasuaji ndani ya siku 14 haina madhara.

 NENGONENGO,dawa ya kutibu Uzazi kwa akina mama walioshindwa kubeba mimba kwa mda mrefu ukitumia utaweza kupata mimba na kujifungua salama.

  KAMINGO,Ni dawa inayotibu Busha bila kufanyiwa operation na aliyevimba korodani inatibu kabisa dozi Ni siku 7 na inaubora wa Hali ya just na unapona kabisa.

  IKUMBIJA,Ni dawa ya kumvuta mpenzi aliekuacha na mwenye ahadi za uongo kukutimizia,na kumkomesha mtu asiwe na mtu mwingine pia atakurudia ndani ya masaa 6.

   MALAMALA,Ni dawa ya vidonda vya tumbo na tumbo kujaa gesi, kilungulia na inafanya kazi kwa haraka zaidi na kupona kabisa ndani ya siku 6.
 

SAALA,Ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto,kiuno,mgongo,magoti na viungo vyote mwilini na joints,Sasa tiba yake Ipo kwangu.

   HALALA MIX,Ni dawa mix ya miti 100 inayotibu matatizo yote,Kama majini,kesi,biashara,kazi,mitego na kupoteza kumbukumbu. no

TUNAFANYA KAZI SIKU ZOTE PIA NAKUFIKIA POPOTE ULIPO KWA HARAKA,NAPATIKANA DAR ES SALAAM NA KAHAMA,PIA NINA MAWAKALA MIKOANI SIMIYU,SHINYANGA,MOSHI NA MBEYA.


     KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA: 0784 475946
            DR,SANDALA.

Hizi Hapa Dawa Za Kutibu Kisukari,nguvu Za Kiume,uume Mdogo Na Presha:

0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;

Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA ,MOROGORO YUPO WAKALA MAENEO YA STENDI KUU MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C NA KAHAMA MJINI na kama hauna nafasi ya kufika ofisini utaletewa ulipo uduma hii piga simu 0783185060  0752348593 DR AGU

Hatima Kesi ya Kina Zitto Kabwe Kupingwa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa Kujulikana Jumatatu

0
0
Hatima ya kesi ya kupinga Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa iliyofunguliwa na wapinzani katika mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, itajulikana keshokutwa wakati mahakama itakapotoa uamuzi wa kuisikiliza au la.

Uamuzi huo ulitolewa jana katika mahakama hiyo na Jaji Benhaji Masoud, wakati wa mabishano ya kisheria kuhusu uhalali wa mahakama kusikiliza shauri hilo au la.

Upande wa serikali uliwasilisha hoja 10 za kupinga kesi hiyo iliyofunguliwa na Zitto Kabwe, ambaye ni Kiongozi wa ACT-Wazalendo wa wenzake kwa niaba ya vyama 10 vya upinzani kupinga kwa muswada huo.

Upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mkuu Mark Mulwambo, ulidai kuwa mhimili wa Mahakama hauwezi kuingilia mhimili wa Bunge katika kujadili mambo yake.

Alidai kuwa mahakama inaweza kujadili sheria iliyotungwa na Bunge na si muswada ambao haujapitishwa kuwa sheria, hivyo haina mamlaka ya kusikiliza shauri hilo kwa kuwa ni muswada.

Katika hoja nyingine, alidai kuwa waombaji wamewasilisha maombi yao bila kuwapo kiapo chochote mahakamani hapo na kwa sababu hiyo pekee, shauri hilo linakosa nguvu ya kisheria na linapaswa kuondolewa mahakamani.

Alidai kuwa wabunge wana uwezo wa kutoa maoni ya marekebisho ya muswada huo bungeni au kuwakilisha hoja binafsi kwa ajili ya kuwakilisha wananchi na kusikilizwa.

Upande wa watoa maombi ukiongozwa na Wakili Mpoki Mpale, ulidai kuwa kifungu cha Ibara ya 5 kwenye Katiba, kinaipa mahakama mamlaka ya kutengeu sheria au hatua yoyote itakayochukuliwa na serikali au mamlaka yoyote kwa kukiuka haki, uhuru na wajibu kama ilivyoanisha ibara ya 12 hadi 29 kwenye Katiba.

Alidai kuwa Katiba inatoa mamlaka kwa mahakama kusikiliza shauri hilo kwa sababu inatoa nafasi kwa mtu yeyote anapoona haki inavunjwa au Katiba kuvunjwa, hivyo kufungua kesi na si lazima mpaka iwe sheria.

Alieleza kuwa ni kweli mhimili una haki ya kutokuingiliwa lakini kinga ya Bunge si kamili kwa kuwa kuna vitu ambavyo Bunge limekosea na kupingwa mahakamani.


Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

NIT Yazindua Kozi ya Wahudumu Ndani ya Ndege.

0
0
Katika kuhakikisha Nchi inakwenda na kauli mbiu ya hapa kazi tu na kuendanana na kasi ya Rais John Magufuli katika uwajibikaji hasa kwenye sekta ya Anga, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimezindua Kozi ya wahudumu wa ndani ya ndege ili kuhakikisha uwekezaji wa ndege nchini unaendana na Rasilimali watu wenye ujuzi.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kozi hiyo uliofanyika katika ukumbi wa chuo cha NIT jijini Dar es Salaam, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isaac Kamwelwe amesema kuwa kuwepo kwa kozi hiyo, kutasaidia kupata wajuzi wazawa wengi na kuacha kutoa wahudumu wa ndege nje ya maji.

“Kozi hii itasaidia sana, sasa hatuwezi kutoa wahudumu wa ndege nje ya nchi, na nitahakikisha hawa waliofundishwa wanafanya kazi ATCL” alisema mhandisi Kamwele

Mhandisi Kamwelwe alisema upatikanaji wa rasilimali watu katika Sekta ya anga utasaidia sana kuhakikisha tunakuza uchumi wa ndani na kupunguza changamoto ya kutokuwepo kwa rasilimali ambayo ilikuwa ukipelekea watu wengi kusoma nje ya nchi au kuhitajika kwa watu wa nje ya nchi ambao wanalipwa fedha nyingi.

Ameongeza kuwa uchumi wa viwanda unategemea zaidi, usafiri wa anga katika usafirishaji wa bidhaa katika masoko ya nje kwa haraka zaidi.

Alisema anaamini kuwa wataalamu mbalimbali wakiwemo wahandisi wa masuala ya ndege wanaofundishwa katika chuo cha NIT wanaujuzi wa kutosha wa kuweza kutengeneza ndege zetu sita ikiwemo iliyoingia  nchini hivyo- amewataka kuhakiksha wanaitumia KIA kuonyesha ujuzi huo.

Aidha Ameongeza, serikali inaendelea kununua ndege hivyo wahudumu wa ndege hawawezi kuwatoa nje ya Tanzania bali itawaajiri wale wote waliopata mafunzo ya kozi hiyo katika chuo cha NIT.

Amesema lengo la kuboresha elimu inayotolewa katika chuo cha NIT, Serikali kupitia wizara yake imeshakamilisha mazungumzo ya kupata fedha kutoka Benki ya Dunia na Serikali ya China kwa ajili ya kuboresha miundombinu, kukarabati kalakana na ununuzi wa vifaa vya kufundishia katika chuo hicho.

Aidha Mhandisi Kamwelwea amewataka NIT kuendelea kubuni zaidi katika kuzalisha Rasilimali watu wa kuweza kuhudumia ndege zetu na kuacha kutegemea rasilimali inayotoka nje ya nchi.

Ugonjwa kimeta waua watu wanne Songwe.... Serikali yatoa tahadhari

0
0
Watu wanne, wakazi wa Kijiji cha Nzoka, Wilaya ya Momba mkoani Songwe wamefariki dunia kwa ugonjwa wa kimeta.

Jumla ya watu 81 wameugua ugonjwa huo baada ya kula nyama ya ng’ombe aliyekuwa na ugonjwa huo.

“Tumechukua hatua kwa kukusanya sampuli na kudhibitisha kuwapo wa ugonjwa wa kimeta,” Amesema Naibu Waziri wa Afya, Dk Faustine Ndugulile na kuongeza;

“Mpaka (leo) jana, hakuna ongezeko la wagonjwa wapya na waliopo wameshapatiwa matibabu.

“Januari 3 tulipata taarifa ya uwepo wa mlipuko wa ugonjwa huu katika Kijiji cha Nzoka na mpaka sasa taarifa zilizopo ni kwamba wagonjwa 81 waligunduliwa na kati yao wanne wamefariki.”

Dk Ndugulile alisema taarifa walizopata kutoka Songwe ni kwamba wananchi waliuziwa nyama kwa bei ya Sh500 kwa kilo na baada ya kula waliugua ugonjwa huo.

Kwa kawaida kilo moja ya nyama katika eneo hilo ni Sh4,000 lakini nyama iliyosababisha maradhi hayo iliuzwa kwa mapande ambako kila moja liliuzwa kwa Sh500 kutokana na mifugo mingi kufa.

Dk Ndugulile alitoa tahadhari kwa wananchi, “Waache mara moja kununua nyama ambayo hawajui chanzo chake. Lazima ukae uhoji, wananchi waende kununua nyama katika bucha zilizodhibitishwa na Serikali.”

Alisema kwa sasa Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo inaangalia namna ya kutoa chanjo kwa mifugo katika eneo hilo ili kuondoa kabisa vimelea vya ugonjwa huo kwa wanyama.

“Bado tunaendelea kutoa elimu kwa waathirika wa ugonjwa huu. Wawakilishi wetu wamekuwa wakitoa elimu hii maeneo ya mikusanyiko ya watu na wale wanaopatiwa matibabu hospitalini,” alisema.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 50

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA             
      
Nikarudi ofisini kwangu huku kichwa changu kikiwa kimechoka kwa kweli kwani kazi niliyo ifanya kwa siku ya leo ni kubwa kuliko kawaida.
“Pole mpenzi wangu kwa kuchoka”
Biyanka alizungumza huku akizunguka meza yangu na kusimama nyuma ya kiti changu na kuanza kuniminya minya mgongoni mwangu.
“Nashukuru mpenzi wangu”   
“Nimezungumza na baba leo na nimemueleza juu ya mahusiano yetu na sifa zako zote, ameniomba leo usiku twende nyumbani kwake tukajumuike chakula cha usiku.”
Habari hii kidogo ikanistua sana, kwani sikutarajia kwa haraka hivi ninaweza kukutana na adui yangu ambaye nimejiapiza moyoni mwangu kwamba ni lazima niweze kumfanyia kitu ambacho hakuwahi kufanyiwa kwenye maisha yake yote.
   
ENDELEA
“Mbona umestuka mpenzi wangu vipi?”
“Ni suprize uliyo nifanyia kwa maana sikutarajiua kuweza kukuata na raisi mtarajiwa wa hii nchi”
Nilizungumza kwa unafki kidogo kwani chuki na mipango ya kumuangusha baba yake ni mikali sana.
“Yaa ni kweli nimekufanyia suprize mpenzi wangu, yote nahitaji ufahamu kwamba nina kupenda na kukuhitaji kwenye maisha yangu.”
“Nashukuru sana”
“Ngoja nielekee ofisini kwangu, kuna kitu ninakwenda kukichukua muda si mrefu”
“Sawa”
Biyanka akatoka ofisini humu, nikampigia simu Jojo na kumuomba aweze kufika ofisini kwangu. Baada ya sakika kadha Jojo akaingia na kukaa katika mojawapo ya kiti.
“Mipango inazidi kwenda vizuri”
 
“Kivipi?”
“Biyanka anahitaji  leo twende kwa baba yake”
“Weee”
“Haki ya Mungu vile tunakwenda kupata chakula cha usiku”
“Mmmm sasa hapo kazi inakwenda vizuri. Ila kwa ushauri wangu wa haraka haraka kwako. Hakikisha kwamba hasira yako unaificha, usimuonyeshe ishara ya aina yoyote mzee huyo. Umenielewa?”
“Nimekuelewa”
“Na kigtu kingine nimepokea simu kutoka kwa baba kuna kazi anahitaji niweze kumsaidia kuifanya”
“Kazi gani?”
“Bado hajaniweka bayana ila akinipatia maelezo nitakujulisha”
 
“Sawa, basi jiandae jioni tunaeleka nyumbani kwao”
“Mmmm unaonaje ukaenda peke yako”
“Peke yangu?”
“Ndio, kumbuka kule ni ukweni kwako kwa uwongo, hivyo unatakiwa kujiandaa vizuri”
“Mmmmm”
“Yaa”
“Sawa kutokana nipo na walinzi  wake basi naamini nitakuwa salama”
“Sawa sawa, nikusubirie nje au unaelekea ukiwa na nguo zako”
“Nitakwenda hivi hivi hakuna haja ya kubadilisha nguo”
“Basi acha nieelekee hotelini”
“Sawa”
Jojo akaniaga na kutoka ofisini kwangu, baada ya muda kidogo Biyanka akaingia huku akiwa ameshika faili moja.
“Tunaweza kwenda sasa mpenzi wangu. Tupitie nyumbani kwangu, tujiendae kisha twende huko”
 
“Mmmm sawa, kwa mimi hivi si nipo poa?”
“Yaa hapo cha kubadilisha labda ni shati, ila tutapitia katika maduka na kununua shati jengine”
Tukaondoka ofisini hapa, tukapita katika moja ya duka la nguo, tukanunua nguo zangu za kuvaa usiku huu kisha tukaelekea nyumbani kwa Biyanka. Tukajiandaa na kuelekea nyumbani kwako, njia nzima Biyanka ametawaliwa na furaha kubwa sana. Furaha ambayo kusema kweli kwa upande wangu nina jiapia ipo siku moja watakuja kulia kilio kimoja cha kusaga meno.
 
Tukafika katika moja ya jumba la kifahari, ulinzi mkali umeimarishwa kwenye kila eneo la nyumba hii. Tukapokelewa na mwana mama mmoja aliye valia mavazi ya thamani kubwa.
“Huyu ni mama yangu”
Biyanka alinitambulisha, nikampa heshima zote mwana mama huyu, akanikumbatia huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.
“Mama mchumba wangu anaitwa Ethan. Ethan huyu ndio mama yangu mzaa chema.”
“Nashukuru kukufahamu”
“Hata mimi ninashukuru kukufahamu. Karibuni ndani”
Mwana mama huyu alizungumza kwa furaha kubwa sna. Tukaingia ndani, sebleni tukamkuta mzee Poul Mkumbo, akanyanyuka kwenye sofa na kusalimiana nasi kwa furaha.
“Biyanka njoo”
 
Mama alizungumza na wakaondoka na Biyanka sebleni hapa na kuniacha na mzee huyu.
“Ndio kijana habari yako”
“Salama kabisa baba”
“Umesema unaitwa nani?”
“Ethan Klopp?”
“Ohoo wewe ndio yule kijana mchezaji mpira?”
“Ndio mimi mzee”
“Safi sana sifa zako nimezisikia sikia uwanjani, nina imani kwamba binti yangu amepata kijana mzuri atakaye mjali”
“Ndio muheshimiwa”
Nilizungumza kwa kujikaza tu, ila kusema kweli moyoni mwangu ninajisikia vibaya sana kukaa eneo moja na mzee huyu.
 
“Ehee niambie asili yako wewe ni nani, umetoka wapi kwa maana sura na muonekano wako ni wakitanzania kabisa”
“Mimi ni Mtanzania kwa kuzaliwa hapa. Walenzi wangu ambao ni mzee Klopp walinichukau kwenye moja ya kituo cha kulelea watoto yatima, nikiwa mdogo sana. Hivyo nimekulia Ujerumani”
“Ahaa kwa hiyo hawakuweza kukuambia maisha yako ya nyuma kwa undani sana?”
“Hapana kwa maana maisha ambayo walinieleza ni kuhusiana kituo hicho cha watoto ya tima na waliniambia kwamba hicho kituo kwa sasa hakipo”
Ilinibidi kuongopea historia ya maisha yangu ya nyuma ili nizidi kuficha uhalisia wangu kwao.
“Ahaa sawa sawa. Ila pole sana kwa kuto weza kuwafahamu wazazi wako”
 
“Ninashukuru sana mzee”
“Jamani chakula tayari”
Mama alizungumza huku akitutazama.
“Ohoo mkwe twende tukapate ridhiki kidogo”
Tukanyanyuka hapa sebleni na kuelekea kwenye eneo ilipo meza ya chakula. Tukakuka vyakula vingi vikiwa vimeandaliwa. Mimi na Biyanka tukaka kwenye viti vya karibu kabisa huku tukiwa tunatazamana na mama huku mzee Poul Mkumbo akiwa amekaa upane mwengine wa hii meza. Biyanka akaniandalia chakula changu kisha akaanda chakula cha kwake kisha taratibu tukaanza kula taratibu.
“Ethan maswala ya mpira na biashara una yahimili vipi kwa wakati mmoja”
Mzee Poul Mkumbo alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
 
“Kila kitu kina ratiba yake. Kutokana bado sijaanza kucheza mpira kama mchezaji maalumu wa timu fulani, hivyo kwa kipindi hichi ninaweza kujali biashara zangu pamoja na makampuni makubwa ambayo nimeachiwa na baba yangu”
“Ahaaa sawa sawa. Una kampuni ngapi?”
“Hii niliyo inunua ni kampuni ya kumi na nne”
“Waooo zote ni mali yako?”
“Kwasasa zipo chini yangu kwa maana baba amenirithisha”
“Sawa sawa”
Tukamaliza kupata chakula cha usiku, mzee Poul Mkombo akaniomba nikazungumze naye katika ofisi yake iliyomo ndani ya jumba lake hili. Tukaingia katika ofisi yake na akanikaribisha kwa furaha sana.
“Kijana wangu kwanza nafurahi sana kuweza kuwa na binti yangu, nina mambo machache ya kuzungumza nawe nikiwa kama baba”
 
“Sawa sawa mzee”
“Hivi una mpenda kweli mwanangu au upo naye kwa maslahi binafsi ya kibiashara kwa maana ninakwenda kuwa raisi, sasa usije ukaitumia nafasi hiyo kuwa ngao katika serikali yangu nitakayo kwenda kuitengeneza?”
Nikamtazama kwa sekunde kadhaa mzee Poul Mkumbo kisha nikatabasamu.
“Nimempenda binti yako. Na sina mpango wowote wa kumfanya kama ngao katika biashara zangu kwa maana nimewekeza katika nchi karibia zote za barani Ulaya na nina ingiza kiasi kikubwa ana cha pesa hivyo swala la kununua kampuni hapa Tanzania, si kwamba nina shida ya kiuchumi, hapana ni moja tu ya kuifanya serikali yangu iweze kuongeza mapato yake ya kiuchumi kwa kupitia kodi ambayo nitalipa nikiwa kama mmiliki wa kampuni yangu”
 
“Ahaa sawa sawa, nafurahi kusikia hivyo kijana, je utanisaidia vipi baba yako mkwe katika kuchukua kiti cha uraisi?”
Nikaka kimya huku moyoni mwnagu nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana, kwani ndege mjanja anakwenda kuingai kwenye kumi na nane zangu.
“Siasa kama siasa, sijajua siasa za huku Afrika kutokana sijaishi sana miaka mingi. Ila siana inahitaji pesa na kama ni pesa basi isiwe ni pesa ndogo. Pesa nyingi, wananchi wanatakiwa kupata imani kwa yule ambaye wanakwenda kumPa dhamana ya kuwaongoza. Hivyo msaada wangu hapo mkubwa utakuwa ni pesa”
 
Mzee Poul Mkumbo akatingisha kichwa huku akiwa amejawa na furaha.
“Ndio maana sina mashaka kabisa na wewe katika swala zima la kuwa na binti yangu kwa maana ukiona mtu ana uwezo wa kumiliki kampuni zaidi ya kumi na basi ana akili ya ziada”
“Ni kweli”
“Nitataka kujua mpango wako wa kampeni upo vipi, kisha nijue ni jinsi gani ninaweza kukuunga mkono”
“Sawa sawa, sasa hivi tunakwenda kwenye mchujo wa kichama. Huo nimesha andaa watu wangu ambao  wataniunga mkono na nina imani kwamba jina lango halito katwa”
 
“Sawa ni mpango mzuru, jina lako likipita basi nitahakikisha kwaba unaichukua ikulu”
“Nafurahi kusikia hivyo na nina kuahidi nitahakikisha kwamba ninakupa nafasi kubwa ya kuweza kuwekeza katika kila jambo ambalo utalihiaji kulifanya hapa Tanzania”
“Nashukuru baba mkwe”
“Ehee vipi mumesha zungumzia swala zima la ndoa yenu?”
“Hapana, ila ukiwa tayari katika kufunga ndoa na Biyanka basi tutawafahamisha”
“Basi niwaombe muwe wavumilivu kidogo, nikisha chukua ikulu basi nitawaruhusu kufunga ndoa”
“Sawa baba”
Tukamaliza mazungumzo na mzee Poul Mkumbo, kisha tukatoka ofisi humu na kurudi sebleni. Tukazungumza mambo mawili matatu na mama mkwe kisha tukaaga na kurudi nyumbani kwa Biyanka.
 
“Nimefurahi kuoanana na wazazi”
Nilizungumza huku nikivua koti langu la suti na kumkabidhi Biyanka.
“Kweli?”   
“Ndio mpenzi wangu. Nimefurahi sana na kuna mambo mengi sana nimeweza kuzungumza na baba, nina imani kwamba nitamsaidia kwa asilimia mia moja kuhakikisha kwamba anaingia ikulu”
“Kweli?”
“Ndio mpenzi wangu, kwa sasa tumesha kuwa familia moja”
“Asante mepenzi wangu”
Biyanka alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu
                                                                                                              ***
    Siku zikazidi kusonge mbele huku kampuni yangu ya mawasiliano ikikua kwa kasi sana. Ndani ya mwenzi mmoja kampuni yangu ikashika namba mbili kwa mauzo kati ya kampuni kumi zinazo shuhulika na maswala ya mawasiliano ya Tanzania. Kama nilivyo waahidi wafanyakazi wangu, nikaongeza mishahara yao kwa asilimia ishirini na tano kwa kila mmoja, jambo lililo zidi kuniletea sifa kubwa kwa wafanya kazi wangu. Kadri siku zilivyo zidi kwenda ndivyo jinsi Biyanka alivyo zidi kunipenda na kuchanganyikiwa kwa penzi langu, kichwani mwangu sikuweza kumsahua Camila, ambaye kila siku huwa nina zungumza naye kupitia simu.
Mzee Poul Mkumbo akafanikiwa kuchaguliwa jina lake kuwa mgombea uraisi katika chama chake cha siasa.
“Ethan”
Niliisikia sauti ya Ethan mwenzangu ikiniita katika ufahamu wangu wa akili
 
“Ndio”
“Muda wa kurudi Ujerumani sasa una karibia, na binti wa watu hivi sasa anahitaji kuwa nawe, kila siku ninajitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha kwamba anakuwa ni mtu mwenye furaha pasipo kuwa nawe”
Nikashusha pumzi yangu huku nikijishika paji langu la uso kwa mkono wangu wa upande wa kulia.
“Huku mipango yangu sasa ndio inakwenda kukamilika”
“Itachukua mud asana”
“Kwa nini sana?”
“Kumbuka kwamba tayari baba Camila amesha shinda uchaguzi na zimebaki wiki chache kabla hajaapishwa kuwa raisi wa Ujerumani”
“Kwa hiyo unataka turudi Ujerumani pasipo mimi kufanya jambo lolote kwa huyu mzee?”
“Ukiwa Ujerumani unaweza kukamilisha mipango yako”
“Kivipi?”
“Kwanza unatakiwa kukipa nguvu chama pinzani kwa siri sana. Pili  hakikisha kwamba una wapa mipango yote ya adui yako ambayo anakwenda kuifanya. Unajua kwamba siasa ni vita, pasipo kuwa na silaha basi adui yako  hawezi kuanguka”
 
“Ehee na huyu binti yake je nitaachana naye vipi?”
“Huyo muage muambie kwamba asimamie kampuni kuna mambo yametokea Ujerumani na unahitaji kwenda kuyashuhulikia kwa haraka sana”
“Unahisi kwamba hilo swala atalielewa?”
“Wewe ni mwanaume hakikiasha kwamba ana kuelea na hiyo ndio itakuwa tiketi ya kumuacha”
“Je kampuni yangu akiamua kuisambaratisha kutokana na kulipa kisasi cha mapenzi je itakuwaje?”
“Nitashuhulika naye mimi hapo”
“Utamfanya nini?”
“NITAMUUA”

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 184 na 185 )

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588 
ILIPOISHIA   
   
Hatukuwa na namna zaidi ya kutoka humu ndani, moja kwa moja tukaeleka hadi chumba cha mawasiliano. Tukamkuta K2 akiwa amesimama kwenye Tv hii, usoni mwake amejawa na tabasamu pana sana.
“Nashukuru kwa kuja pole kwa msiba Dany wa huyu nguruwe wako. Ninahitaji tufanye biashara ya amani, niachie mwanangu nikupatie huyu”
K2 akamsogeza Yemi mbele yake, akamkaba kabali ya shingo na kumuweka bastola begani mwake.
“Ninawashukuru Wamarekani kwa kuniletea hii zawadi nono. Sasa ni kidonda kwa kidonda”
K2 akafyatua risasi iliyo toboa bega la Yemi na kumfanya alie kwa uchungu sana hadi nikabaki nikitetemeka mwili mzima kwa hasira kali sana.

ENDELEA       
Kilio cha Yemi kikaendelea kutawala humu ndani, hazikupita hata dakika tano akaanguka chini na kupoteza fahamu.
“Nipatie mwanangu, nikupatie huyu malaya wako la sivyo ninamuua huyu malaya. Sharti nilazima uje wewe katika mabadilishano akija mtu tofauti na wewe nilazima nitamuua”
Nikaichukua rimoti iliyopo mezani na kuzima hii Tv, nikashusha pumzi nyingi huku nikikosa kitu cha kuzungumza.
“Dany”   
“Namm”
“Tunafanyaje?”
“Sijui kwa kweli”
“Samahani wakuu ila ninaomba nishauri kitu”
“Zungumza tu Ester”
 
“Mimi ningeona tufanye kwanza mazishi ya Martin baada ya hapo tutajua ni kitu gani tunaweza kukifanya juu ya K2”
“Wazo zuri, Dany tufanye kwanza mazishi ya Martin”
“Tutamzika wapi?”
“Utaratibu uliopo hapa, huwa mtu akifariki tunamchoma moto kisha majivu yake tunayamwaga baharini”
Nikakaa kimywa kwa muda huku nikimtazama Livna usoni mwake, kisha nikatingisha kichwa kwa kukubaliana na utaratibu wao wa mazishi. Taratibu za mazishi zikaanza, baada ya masaa mawili, sote tukakusanyika katika ukumbi mkubwa. Msichana mmoja akaongoza sala iliyo fanyika kwa imani ya kikristo. Baada ya hapo  mwili wa Martin ukaingizwa kwenye chumba maalumu cha kuchomea miili, sikuhitaji kukaa karibu kabisa na chumba hicho kwani sihitaji kusikia mzinga wa kichwa cha Martin kikipasuka katika moto. 
 
“Dany”   
Hawa aliniita na kunifanya nimgeukie na kumtazama usoni mwake.
“Ninaweza kuzungumza nawe?”
“Ndio”
Tukaka kwenye viti vilivyopo katika mgahawa uliopo humu ndani ya hii meli.
 
“Ninaimani kwamba bado una chuki na mimi ila….”
“Kwa sasa sihitaji kuzungumzia mazungumzo hayo, zungumza jambo la muhimu unalo hitaji kuzungumza na mimi”
“Samahani kama nimekuudhi, ila pole kwa yaliyo mkuta rafiki yako”
“Ni hilo ndio ulihitaji kuzungumza?”
Kabla Hawa hajanijibu kitu chochote, nikamuona Ester akija huku kwa kasi akasimama pembeni yangu na kininong’oneza.
“Osama anahitaji kuzungumza na wewe, ameweza kufahamu ni wapi alipo Yemi”
“Ni wapi?”
“Tanzia”
Kwa haraka nikasimama pasipo kumuaga hawa nikaondoka eneo hili na moja kwa moja tukaelekea katika chumba cha mawasiliano na kumkuta Osama akizungumza na Livna.
“Dany nina habari njema”
“Ndio”
 
“Yemi kwa sasa yupo Tannia na vijana wangu tayari wamesha ingia nchini hapo”
“Mumefahamu anashikiliwa na nani?”
“Ndio, anashikiliwa na raisi wa nchi hiyo  je tumlete raisi huyo akiwa hai au amekufa”
“Ninamuhitaji akiwa hai, mukimkatama sehemu yoyote niambieni mimi nitafika sawa”
“Sawa baada ya masaa kumi nitakufahamisha ni wapi tukutane nina imani vijana wangu watakuwa wamesha ikamilisha kazi hiyo”
“Sawa nitashukuru sana”
“Sawa ila pole kwa msiba wa rafiki yako Martin”
“Asante”
 
Tv ikazimwa na Livna.
“Unatakiwa ukayamwage majivu ya rafiki yako baharini”
“Muda huu?”
“Ndio”
Tukatoka chumbani humu na kuelekea juu kabisa ya meli hii, nikakabidhiwa chungu kilicho jaa majivu ya mwili wa Martin. Taratibu nikachoa majivu haya na kuanza kuya mwaga baharini, zoezi  hili nikasaidiana na Livna, Winy pamoja na Babyanka.
“Mwezetu ametutoka, kifo chake tuchukulie kama changamoto. Tutambue tupo kwenye changamoto kubwa, tupo katika vita. Tupo katika hali ya kupambana, sasa inakwenda kuisha, sasa nilazima kuwaagusha maadui walio baki mbele yetu. Si K2 wala Marekani”
 
Nilizungumza kwa msisitizo huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.
“Baada ya masaa kumi, kila kitu kitaelekeweka, ninajua sasa hivi Wamarekani wameungana na K2, na sasa watakuwa wanashirikiana kwa kila jambo, sasa ninacho hitaji ni kunzisha vita. Acha dunia ilie kwa uzumbe wa viongozi wao”
Niliendelea kuzungumza huku nikiwatazama wezangu hawa walio simama mbele yangu.
 
“Ninahitaji kila mmoja wenu kuhakikisha kwamba masaa kumi yanayo kuja dunia nzima imesha badilika, niwakati wa vita niwakati watu kuweza kunifahamu mimi kama wanavyo mfahamu Adolf Hitler”
Watu wote wakaka kimya wakinitazama usoni mwangu.
“Dany natambua kwamba hupendi huruma yangu wala hupendi jinsi ninavyokuwa ninakushauri. Wewe sio gaidi, wewe ni mtu mwema,  kwa nini wengine walie kwa ajili ya watu wachache. Kuna wamama, kuna watoto ambao hawana hatia ya vita ambayo unakwenda kuianzisha. Tafadhali Dany nipo chini ya miguu yako”
 
Babyanka alizungumza na kupiga magoti chini huku akimwagikwa na machozi chini. Taratibu Winy naye kapiga magoti chini akiwa ni mnyonge sana. Kilicho zidi kunishangaza zaidi ni Livna naye kupiga magoti chini, wasicha walipo katika eneo hili nao wote wakapiga magoti chini kuniomba nigairi kwa maamuzi yangu niliyo yapanga. Nikawatazama kwa muda kisha nikaondoka eneo hili, nikaelekea chumbani kwangu na kujitupa kitandani. Hazikupita hata dakika kumi akaingia Livna huku akiwa mnyonge sana 
 
“Dany”
Livna alizungumza huku akinisogea akaka pembeni yangu huku akinitazama usoni mwangu.
“Samahani kwa kuweza kukutatisha tamaa katika lile ambalo umekusidia kulifanya. Jana nilitoka kukuambia kwamba ninahitaji kuzaa na wewe, alicho kizungumza Babyanka kusema kweli ni kitu cha muhimu hakuna haja ya watu wengine kuingia kwenye vita kwa ajili y….”
“Nimekuelewa”
Ilinibidi kumkatisha Livna sentensi yake kwani anahitaji kuzungumza kitu kule kile ambacho tayari walisha kizungumza.
“Ninakuomba nipumzike, ninahitaji kulala. Osama akihitaji kuwasiliana nami ndio muniamshe”
“Dany sijamaliza kuzungumza mpenzi wangu”
“Kuna kitu gani hapo cha kuzungumza Livna?”
 
Livna akakaa kimya baada ya kuniona nimekasirikia sana. Taratibu akanyanyuka na kuanza kutembea kueleka mlangoni, nikamtazama jinsi alivyo mnyonge kwa haraka nikasimama na kupiga hatu za haraka sana hadi mlangoni na nikauegemea.
Nikamvuta Livna kifuani mwangu na kuanza kumnyonya mdomoni, nikamnyanyua juu juu, nikamlaza kittandani huku nikiendelea kumnyonya midomo yake, Tukaanza kuvuana nguo, nikayashika  ya Livna kwa pamoja na kuyakutanisha semu moja, nikaanza kuyanyonya kwa fujo na kumfanya Livna kutoa kilio cha mhaba.
Shuhuli ya kuburudishana ikaanza, kila mmoja safari hii anajitahidi kuhakikisha kwamba anamburudisha mwenzake, Livna hakuihitaji kuwa mnyonge sana kama mara ya kwanza,
 
“Dany ninakupenda mume wangu, ninakupenda mume wangu,"
 
“Una uhakika gani kwamba ni mwanao aliyopo tumboni, ikiwa Martin alinisimulia kwamba Yemi alichukuliwa na aliyekuwa mume wake”
“Mimi ndio ninaye fahamu kitu gani ambacho kimetokea kati yangu mimi na Yemi. Japo aliondoka akiwa ananichukia ila hawezi kuzaa na mwanume yule”
“Sawa Dany swala hilo sihitaji kuliingilia sana”
“Poa”
Baada ya muda mchache tukajikuta nikipitiwa na usingizi mzito sana.
“Dany, Dany”
“Mmmmm”
“Amka muda umekwenda limebaki lisaa moja tu yatimie masaa kumi, ninaimani kwamba Osama ndani ya muda huo atawasiliana nawe”
 
Nikamtazama Livna kwa macho yaliyo jaa usingizi, taratibu nikajivuta kitandani na kukaa kitako.
“Bado nina usingizi nina siku nyingi sijalala vizuri”
“Amka bwana, nenda ukaoge upande nguvu”
Livna akaendelea kunishawishi hadi nikajikuta nikiamka taratibu kitandani, nikaingia bafuni na kuoga, nirudi chumbani na kukuta Livna akiwa ameniandalia nguo nyingine za kuvaa tofauti na nguo za jeshi nilizo kuwa nimevaa. Tatatibu nikaanza kuvaa nguo hizi ambazo zote ni nyeusi kuanzia suruali hadi tisheti. 
 
“Umependeza mpenzi wangu”
“Asante, saa ngapi hivi sasa?”
“Ni saa tato usiku”
“Mmmmmm”
“Yaaa, ndio maana nimekuamsha mpenzi wangu”
Tukatoka chumbani humu na kueleka katika chumba cha mawasiliano. Tukawakuta Logate na Ester wakiendelea na kazi.
“Hamulali jamani?”   
Niliwauliza huku nikikaa kwenye kiti ambacho nimezoea kukaa nikiwa ofisini humu.
“Tukilala sisi mkuu hakuna kitu kinacho weza kwenda”
“Sawa sawa, ninashukuru kwa kujitoa kwenu”
“Usijali ni jukumu letu”
 
“Vipi kuna mpya yoyote hadi sasa?”
“Hapana”
“Hembu fwatilieni kuna mpya yoyote kutoka Tannia”
“Sawa”
Ester na Logate wakaendelea kufanya kile nilicho waagiza, baada ya dakika tano, Ester akanitazama usoni mwangu huku akiwa na tabasamu kubwa.
“Kuna website moja imeandika kwamba raisi wa Tanania amepotea katika mazingira ya kutatanisha”
Taarifa hii ikanifanya nianze kupata matumaini makubwa ya kuamini kwamba Osama Bin ladanen na way wake wameifanya kazi ambayo waliniahidi kwamba wataifanya.
 
AISIIIII……….U KILL ME 185

“Website hiyo munaweza kuiamini kweli je ikiwa imezusha story za uongo?”
Livna alizungumza huku akitutazama usoni.
“Mkuu hii website ni ya uhakika hata taarifa zake ni za uhakika”
“Serikali ina mamlaka ya kuambia website, blog ziandike chochote wakitakacho wewe na mukumbuke kwamba K2 ni mtu mmoja mjanja sana, mukumbuke kwamba ana uwezo wa kubadilisha moja ikawa mbili na mbili ikawa moja kama alivyo yafanya maisha ya Dany hapa”
 
Maneno ya Livna kidogo yakakata matumaini yangu yote niliyokuwa nayo juu ya hii taarifa.
“Tusubirini tuone kitakacho si limebaki saa moja?”   
“No zimebaki dakika kama arobaini na tano  hivi”
“Sawa”
Tukajaribu kufwatilia ya kutekwa kwa K2 kwenye vyombo vya habari vya Tanzania, ila hakuna kituo chochote cha Tv kilicho tanganza kutekwa kwa raisi. Hadi lisaa moja linakwisha hapakuwa na taarifa yoyote  kutoka kwa Osama Bin Laden.
“Umeona, niliwaambia hiyo website imefanya kitu walicho elezwa na K2” 
 
Livna alizungumza na kunifanya nikae kimya pasipo kuzungumza kitu chochote.
“Hembu jaribu kumpigia Osama video call”
Ester akaanza kazi ya kumtafuta Osama Bin Laden hewnai.
“Hapatikani”   
Ester alizungumza kwa sauti ya upole.
“Shitiii…..”   
“Ninahisi kuna mpango ambao  unaendelea”
Livna alizidi kuzungumza na kunifanya nifikirie ni kitu gani ninaweza kuzungumza.
“Osama anaweza kuwa msaliti kwetu”
Livna aliendelea kuzungumza kwa msisitizo.
 
“Tumpe muda?”
“Muda gani tena hapo?”
“Jamani kuna hichi munatakiwa kukiona”
Logate alizungumza huku macho yakiwa yamemtoka. Tukaona video ambayo inaonyesha nje ya ikulu , gari mbili aina za Range rover nyeusi zilisimama, wakashuka waarabu wawili walio valia kanzu huku wakiwa na bunduki, akashuka Osama, tukamuona K2 akitoka ndani ya ikulu hiyo akisalimiana na Osama huku wakipeana mokono wakioneakana ni watu wanao juana kwa muda mrefu sana. Video hiyo ikawaonyesha watu hao wakiingia ndani, hazikupita hata dakika tano zikaja gari nyingine mbili zikiwa na bendera za Marekani ikiasiria kwamba anaye fika hapo ni kiongozi wa Marekani.Wakashuka walinzi wanne kisha akashuka mwanamama mrefu na mweusi .
 
“Ni nani huyo?”
Livn akanyanyuka kwenye kiti kikalia akasogelea karibu kabisa na Tv hii akionekana kuwa na wasiwasi.
“Ni balozi wa Marekani anaitwa Bi Efracia Godwin”
“Haiti Efracia hilo ni jina feki”
Livna alizungumza kwa msisitizo huku akiendelea kumtaza mwanamama huyo.
 
“Jina lake ni Livna Tomsond miaka ishirini iliyo pita nilikuwa naye kwenye chuo kitengo cha FBI, ila mimi nilikwenda kama undercover kwenye kitengo hicho. Kama sasa hivi ni balozi basi tupo katika hali ya hatari”
“Kwa nini?”
“Ana roho mbaya ya Osama ni ndogo, nina imani kwamba yeye ndio mshawishi mkubwa kwenye nchi yake hadi wameamua kukaa meza moja na Osama. Tagert ya kwanza watakayokuwa wanaijadili hapo ikulu ni juu yetu sisi”
Livna aliendelea kuzungumza kwa msisitizo mkubwa sana.
“Tukumbuke kwamba tunapigana na vita na watu watatu, wote wana uwezo, sisi tupo peke yetu.”
 
“Ningependa kupata majina yote yenye uhasama mkubwa na Marekani, tunatakiwa kuzishawishi hizo nchi ili kutengeneza kikosi ambacho wakituanza tu, basi nasi tutapata msaada”
“Ni nchi gani ambayo kwa sasa inaweza kutoa jeshi pamoja na silaha zake kutusaidia sisi ambao si nchi na tunahesabiwa kama kikundi cha kigaidi?”
“Naomba hiyo listi ya nchi japo tano tu, mimi nitajua ni kitu gani cha kuzungumza”
“Sawa, mimi ninanza ya Korea ya Kaskazini, Russia. Nyingine Ester zitafuteni”
“Sawa mkuu”
 
“Kabla hamjazitafuta hizo nyingine tatu ninaomba nizungumze na raisi wa Russia”
“Raisi wa Russia!!!!?”
“Ndio mbona unashangaa?”
“Mmmmm Dany sidhani kama hilo ni wazo zuri kuwasiliana na raisi huyo ni mkali sana”
“Ukali wake ni katika kuiongoza nchi yake na kuilinda nchi yake ila ninacho kihitakuzungumza naye ni kitu muhimu”
Wakatekeleza kile nilicho waomba, baada ya dakika kumi ikulu ya Russia ikakubaliana na ombi la mimi kuzungumza na raisi wao. Nikavaa earphone inayoweza kubadilisha lugha yoyote na kuwa katika lugha ya kiswahili.
 
“Habari yako muheshimiwa raisi”
“Wewe ni nani?”
Raisi huyu mwenye sauti nzito aliniuliza huku akinikazia macho.
“DANY”
“Ndio nani?”
“Kifupi mimi ni gaidi, vita yangu ninajitahidi kupambana na Marekani, katika siku mbili hizi nimeweza kuifanya Marekani kukaa katika hali ngumu ya wasiwasi mkubwa, je umenifahamu”
 
“Zungumza nini unahitaji kwangu”
“Ninahitaji kuiangusha Marekani. Mimi sio raisi wala sina nchi ya kuipigania, ila wewe ni raisi na una nchi ya kuipigania. Unapenda nchi yako kupitwa kiuwezo wa kiuchumi kijeshi na Marekani?”
Swali langu likamfanya raisi huyu kukaa kimya kwa dakika kadhaa huku akionekana kuwa mdadisi mkubwa sana kwangu.
“Nikisiema sipendi unahisi utafanya nini?”
“Ninahitaji kuungana na wewe, ninahitaji kuanza kuishambulia Marekani, tazama jinsi alivyo kuwekea vikwazo katika kutengeneza silaha za nyuklia na yeye anatengeza je unahisi nini. Ni ubabe au amekufanya uwe mnyonge?”
 
“Nchi yangu kwa sasa haipo tayari kupambana na nchi ya aina yoyote ninahitaji nchi yangu iwe na amani”
“Ni amani gani uliyo nayo ikiwa Ukrain inakusumbua. Hii ndio nafasi ya wewe kuiongoza dunia, ukishindwa sasa hivi hadi mwisho wa dunia huto weza kushika namba moja kama aliyo nayo Mmarekani. Haya mazungumzo laiti kizazi kinacho fwata kwenye nchi yako kikija kuyaona au  kuyasikia watakulaumu kwani umeshindwa kutengeneza future nzuri kwao na watabaki kuwa mbwa wa Marekani ha…..”
 
“Tulia”
Raisi huyu alizungumza kwa sauti nzito huku akiunyanyua mkono wake mmoja, nikanyamaza huku nikiendelea kumkazia macho.
“Unazungumza sana, nipe muda nitakujibu”
“Kuwa makini, kwa maana vita ninayo kwenda kuianzisha duniani, usipo jipanga na wewe taifa lako linakwenda kufitika duniani. Kama nimemuweza Mmarekani, basi kukuweza wewe pia ninaweza”
“Kijana uinajiamini nini?”
“Unahisi  kwamba ninajiamini na nini?”
“Nionyeshe unajiamini na nini?”
Nikavua earphone moja kisha nikamgeukia Ester aliyekaa pembeni ya Logate.
 
“Kuna kitu gani ambacho tunaweza kukifanya kwa huyu mtu?”
“Tuelekeze mabomu yake ya nyuklia kwenye mji wake wa Mossow?”
“Itachukua muda gani kwa yeye kuweza kugundua?”
“Ndio tunamalizia kuyaelekezea kwenye mji wake mwenyewe?”
“Itamchukua muda gani?”
“Sekunde hamsini hazifiki”
Taratibu nikavaa eaphone hii na kumgeukia raisi huyu.
“Muheshimiwa unahakika na kitu ambacho umekizungumza kwamba ninajiamini kwa kitu gani?”
“Ndio”
Hata kabla sijanyanyua kinywa changu, msichana aliye valia nguo za jeshi akaonekana kwenye video, akamnong’oneza raisi wake. Raisi akaonekana kustuka, akanitazama kwa macho makali yaliyo jaa wasiwasi mkubwa.
 
“Je unahitaji nikuaminishe kwa vitendo?”
“Hapana sihitaji vitendo, nipe lisaa nijikirie na ninahitaji kujadiliana na kamati yangu”
“Muda ni wako”
“Shukrani kwa kunisikiliza muheshimiwa raisi”
Nikazima Tv hii huku nikimgeukia Livna nikiwa na tabasamu pana usoni mwangu.
“Mmmm si kwa biti hilo, yaani kauli  yangu haijaanguka”
“Kauli gani?”
“Ile niliyokuambia kwamba ninahitaji kukufanya uwe gaidi, ni kweli umekuwa gaidi tishio hadi kwangu sasa”
“Hahahaaa, eheee raisi wa Kaskazini mwa Korea naye vipi?”
“Tunasubiria majibu yetu kujibiwa, kwani tayari tumesha pelekea maombi”
“Ila si munaficha sehemu ambayo tupo?”
“Ndio nilazima tufiche, na jinsi wanavyo ona wao sehemu uliyo ona ni kwenye sayari nyingine ambayo ninaimani kwamba wanapata wasiwasi.”
 
“Sayari nyingine?”
“Ndio winaonyesha sisi tupo sayari ya Mars na si duniani”
“Duu kweli hilo lazima wachanganyikiwe”
“Ombi limekubaliwa, wanaomba dakika tano raisi wanajiandaa”
Logate alizungumza huku akiwa amejawa na furaha.
“Kazi nzuri Logate, je kikao chao hakijaisha?”
“Bado nahisi wana mipango mikubwa wakitoka nitawajulisha”
“Raisi yupo online sasa unaweza kuwasha Tv”
Ester alizungumza, nikajiweka vizuri nguo yangu niliyo vaa, nikawasha Tv hii na kukutana na raisi wa Korea Kaskazini ambaye siku zote ninamuona kwenye Tv na anashria zake kali sana na ana maamuzi ya kipeke yake peke yake.
 
“Muheshimiwa raisi”
“Habari yako Dany”
Aliuzungumza huku akiwa amejawa na tabasamu tofauti na raisi wa Russia.
“Salama muheshimiwa raisi?”
“Nimefwatilia harakati zako kusema kweli ni harakati ambazo zimenivutia sana ila nikawa ninajaribu kukutafuta tangu jana ila nikawa ninashindwa kwani sikujua ni wapi unapo patikana”
 
“Basi Mungu ameamua kutukutanisha muheshimiwa raisi, nimekuja kwako na ombi moja”
“Ombi gani?”
“Ninaimani umeweza kukiona nilicho kifanya kwa Marekani, nina imani kwamba hakuna mtu aliye weza kukifanya hicho kitu. Nanitaji nchi yako iwe namba moja duniani. Mimi sio raisi wala sina nchi ila wewe unayo inchi na raisi je unakubali kuwa chini ya Marekani miaka yote hiyo?”
Ilibidi nitumie ujanja huo ili kuwaroga maraisi hawa, ambao watashirikiana nami katika kupambana ila mwisho wa siku watajua wao wenyewe nani atakuwa namba moja.
 
“Nipo tayari kukupa msaada wangu kwa asilimia mia moja, wewe niambie ni lini na saa ngapi tuanze kufanya mambo kwa maana ninaona ninafanya tu majaribio ya makombora yangu ila nashindwa kujua ni nani nimtupie japo mawili matatu, akijinyanyua tu kurudisha majibu basi mimi ninaye”
Raisi huyu alizungumza kwa furaha sana.
 
“Ninashukuru sana muheshimiwa raisi, ninakuomba usubiri simu yangu. Kabla ya siku ya kesho kuishi nitamjaribu tena Mmarekani, akiona hivyo ninakuomba na wewe ujaribu makombora yako mawili matatu yaliyo shiba, akitujibu, basi ninaimani kesho haiisi atakuwa amebaki magofo kama ilivyo Iraq”
“Wewe ndio watu ninao wahitaji hapa duniani, sio kuwa na maamuzi ya ajabu ajabu. Ninahitaji nguvu basi nguvu yanu umeipata mdogo wangu”
“Shukrani muhshimiwa raisi”
“Ninakukaribisha”
“Shurkani”
Tukaagana na raisi huyu w Korea Kaskazini, nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kali huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana kwani mpango wangu niliokuwa nimeupanga umekwenda sawia.
 
“Tumepata nchi nyingine ambazo zina chuki na Marekani, ila hazina nguvu kubwa ya kuweza kutusaidia katika mpango wetu”
“Ziacheni, tusije tukazisababishia matatizo makubwa ikiwa wenyewe wana matatizo yao”
“Sawa”
“Naona kikao chao cha siri kimekwisha, je tuwafanyaje?”
“Unamaanisha nini Logate?”
“Kana ni kuwashambulia hapa sasa hivi tunaweza kuwashambulia?”
“Tusiwashambulie sasa hivi”
 
“Kwa nini?”
“Ninahitaji kukutana na Livna, kuna mambo mengi sana ninahitaji kumuhojia”
“Mambo gani hayo?”
“Utafahamu siku tukionana naye”
“Sawa”
“Ester andaa kikosi ambacho kitakwenda kumkomboa Yemi na kumrudisha hapa, watu wote wakiwa ndani ya hii meli nina ikani kwamba hakina mwengine ambaye ataweza kutuumiza kichwa huko nje, tukishambulia tumewashambulia”
Livn alizungumza kwa msisitizo.
“Livna huoni kwamba inaweza kuwasababishia matatizo hao wanakwenda huko?”
 
“Wanakwenda wasichana wawili tu, hao wanauwezo mkubwa wa kufanya chochote kinachokuja mbele yao, na wakishindwa hao  basi ujue hakuna yoyote atakaye weza kufanya oparesheni hiyo”
“Ninahitaji kuwaona wasichana hao kabla ya kwenda”
“Sawa”
Tuakanyanyka kwenye viti tulivyo vikalia na kutoka ndani humu, tukashuka chini kabisa ya meli hii ambapo kuna ndege kadhaa za kivita, na eneo zima limetawaliwa na rangi nyekundu.
“Mbona kuna taa nyekundu?”
“Huku huwa hashuki mtu wa aina yoyote zaidi yangu mimi, na aliyeweza kuja huku ni Logate tu, ila wasichan wengine hawakuwahi kuja huku”
 
“Sasa wasichana hao  wapo huku chini?”
“Ndio wanaishi huku chini, wapo nane tu, wasichana hawa ni hatari kuliko unavyo fikiria, na akili zao yaani zipo kama zimechanganyikiwa fulani hivi, wanaye msikiliza ni mimi sasa chochote watakacho kuambia ninakiomba uwe mpole, ukileta ujinga watakua, na mimi nitashindwa hata kukutetea sawa”
Livna alizungumza huku tukiwa tumesimama nje ya mlango huu wa chuma.

 Akaweka kiganja chake cha kulia katika sehemu ya kufungulia mlango huu, ukakaguliwa na mionzi ya rangi nyekundu, baada ya sekunde kadhaa ikabadilika na kuwa na rangi ya kijana. Mlango ukafunguka, tukakaribishwa na mwanga mweupe, eneo hili limejengeka vizuri na lina kila kitu cha ndani, akatoka msicha mmoja mzuri kwenye moja ya chumba, akamtazama Livna akatabasamu, alipo geuza macho yake kwangu akakasiria akaanza kutembea kwa kasi na kunifwata sehemu nilipo simama, nikaanza kuridi nyuma nyuma kwa bahati mbaya nikagota mlangoni na tayari mlango umesha funga. 

Msichana huyu akasimama mbele yangu, akanikaba koo langu kwa mkono wa kulia, sikuwa na jinsi zaidi kujitahidi kuutoa mkono wake, cha kushangaza Livna akatingisha kichwa akiniomba niitoe mikono yangu kwenye mkono wa msichana huyu ambaye nikimuachia basi habari yangu ya kuishi duniani itaisha kizembe kwani hapa nilipo nimesha anza kuhisi pumzi kuniisha na haja kubwa nanisi ina dalili ya kunitoka muda wowote kwa maana  kukabwa koo sio mchezo.
 
ITAENDELEA
‘Hay sasa Dany amesha pata ushirikiano na maraisi wa nchi mbili ambazo zina uhasama mkubwa na Marekani, ameingia kwenye chumba ambacho ni cha wasichana hatari, je atatoka salama ikiwa anakaribia kufa? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images