Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Huna Sababu ya Kuabika Tena, Jipatie Dawa Bora ya Nguvu za Kiume, Maumbile Madogo na Mvuto wa Mapenzi

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiathiri watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine ....kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapungufu katika mwili wake.

Kuna sababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huathiri misuli ya uume, 


Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Maaskofu watoa ujumbe wa Krismasi

$
0
0
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, Isack Aman, amewataka Watanzania kuendelea kuliombea taifa ili liwe na amani inayosimamiwa kwa sheria.

Kauli hiyo aliitoa jana mjini hapa katika ibada maalumu iliyoandaliwa na Umoja wa Makanisa Mkoa wa Arusha na kuhubiriwa na Mkuu wa Mkoa, Mrisho Gambo.

Akizungumza wakati wa kutoa salamu ikiwa mara yake ya kwanza kushiriki ibada hiyo tangu aliposimikwa kuongoza jimbo hilo, Askofu Aman alisema Tanzania ni nchi ya Watanzania wote na amani inayoombwa imekuwa tunu ya wote.

“Tunamshukuru Mungu kwa utulivu huu, nchi nyingine si kama ilivyo hapa kwetu, hivyo tunapotafakari kuhusu amani ni lazima tuwe na mahali pa kusimamia.

“Kwanza haki lazima isimamie amani, hii nchi ni yetu wote. Tupo hapa leo (jana) kushirikiana kuombea amani taifa letu na viongozi ni muhimu tuwe na amani inayosimamiwa na sheria,” alisema Askofu Aman.

Katika salamu hizo, Askofu Aman alitumia fursa hiyo kuzipongeza juhudi na mipango mbalimbali inayofanywa na Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo na kuwaomba wabunge, viongozi wa Serikali na wananchi kuendelea kushirikiana.

“Ushirikiano huu unaendelea kutufanya Watanzania kufurahia uhuru utokanao na kutenda kazi,” alisema Askofu Aman.

Kwa upande wake, Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Mount Kilimanjaro (DMK), Dk. Stanley Hotay alipongeza kupungua kwa kasi ya vitendo vya rushwa huku akitahadharisha kuhusu hatari mpya ya kamari ya kisasa kwa vijana.

Kutokana na hatari hiyo kwa vijana, Askofu Dk. Hotay aliiomba Serikali kuangalia kwa makini suala hilo kwani limeendelea kuchochea uvivu miongoni mwa vijana.

“Hizi kamari tunaziona kila kona ya miji mikubwa, zinachochea uvivu miongoni mwa Watanzania, lakini pia sehemu kubwa ya fedha hizo huenda nje ya nchi, ni vyema Serikali ikaliangalia jambo hili.

“Kamari zinazochezeshwa kwa kuchangisha vijana shilingi 1,000 na kisha kuwapa mamilioni ya fedha zinachangia uvivu wa kufanya kazi ngumu zinazoleta maendeleo.

“Vitendo hivi vitazidi kuzalisha masikini nchini, utajiri hauwezi kuletwa au kuja kwa kukaa kwenye televisheni na kuvuna mamilioni ya fedha kwani kuzaliwa kwa Yesu Kristo kumeleta mawazo mapya ya kujikomboa.

“Afrika ni bara tajiri, lakini watu wake masikini, tuna rasilimali nyingi sana asilimia 30-37, lakini tunachangia asilimia 3 tu ya uchumi wa dunia,” alisema Askofu Dk. Hotay.

Akisisitiza kuhusu amani na utulivu katika mahubiri yake, aliviomba vyombo vya ulinzi kuwafundisha ikiwamo vyenyewe kutenda haki kwa watu.

“Vyombo vya ulinzi tendeni haki, wale wakarofi waadhibiwe  na si kuadhibu wote hata wasio wakorofi, kuna namna mbili ya kumpeleka punda, kwanza kumpiga fimbo lakini kumpa majani. Punda anayepewa majani siku zote hufikisha mzigo,” alisema Askofu Dk. Hotay.

Papa Francis atoa ujumbe wa Krismasi

$
0
0
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, amewataka waumini wa kanisa hilo na wananchi wote duniani kuishi maisha ya kawaida yasiyokuwa na ujivuni wa mali bali yenye kumtukuza Mungu.

Papa ameyasema hayo katika Ibada ya Misa ya mkesha wa Krismasi ndani ya Kanisa la Mtakatifu Petro mjini Vatican, misa ambayo ni  mojawapo ya sherehe muhimu zaidi za Kikatoliki katika kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo.

''Kuzaliwa kwa Kristo kunamaanisha njia mpya ya kuishi nayo si kwa kuharibu na kutumia mali nyingi kwa kusherehekea lakini kwa kugawana na kutoa kwa kila mwenye uhitaji", amesema Papa Francis na kuongeza;

"Chakula cha maisha sio utajiri wa mali lakini upendo, sio uovu lakini upendo, si uchafu lakini urahisi na hiki ndicho humpenda Mungu''.

Papa Francis leo mchana atatoa ujumbe wake wa sita wa Urbi et Orbi tangu alipochukua wadhifa huo. Mara nyingi ujumbe wa UrbI et Orbi hutumiwa kuomba amani ulimwenguni na hutolewa wakati wa Siku Kuu ya Pasaka, Krismasi na baada ya kuchaguliwa kwa Papa.

Waziri Mhagama; Serikali Imedhamiria Kuwezesha Vijana kushiriki kilimo Biashara

$
0
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama amesema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuwezesha vijana kiuchumi kupitia kilimo biashara ili kuchochea ongezeko la ajira na kipato chao.

Ofisi ya Waziri Mkuu chini ya Baraza la Taifa la Biashara, kupitia Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji, tayari wilayani Kigoma wameanza kutekeleza Mradi unaolenga kuwezesha vijana kushiriki katika shughuli za uchumi kupitia mafunzo ya ujuzi na ujasiriamali kwenye kilimo na ufugaji.

Akiongea katika ziara yake mkoani Kigoma wakati wa kukagua shughuli za utekelezaji za Baraza la Taifa la Biashara, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama amefafanua kuwa Baraza la Taifa la Biashara kwa kushirikiana na Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji, wameanza utekekezaji wa mradi huo kwa kushirikiana na chuo cha Maendeleo Kihinga.

“Nitoe wito watendaji wa Halmashauri na ngazi ya mkoa wa Kigoma waendelee kuwaunga mkono vijana hawa wanao shiriki katika Mradi huu wa Kilimo Biashara, na nawataka mtambue haya yote yanafanyika kwa sababu ya jitihada zinazofanywa na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, hivyo ufadhili wa Mradi huu kutoka Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji, unaunga jitihada zake za kuwezesha vijana” Amesisitiza Mhagama.

Naye Mratibu wa Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (Masuala ya Majadiliano ya Sekta ya Umma na Binafsi), Andrew Mhina alibainisha kuwa katika kuhakikisha unawawezesha vijana kuwa na ujuzi wa Kilimo na ufugaji utakao wawezesha kujiajiri tayari wameanza ufadhili wa awali kwa kutoa kiasi cha shilingi  milioni 53 ambazo zimetumika katika Ujenzi wa mabwawa ya samaki, ukarabati wa mabanda ya kufugia kuku na kuandaa shamba darasa.

Mradi wa Kuwezesha Vijana Kushiriki katika Kilimo Biashara wilayani Kigoma, Unaratibiwa na Baraza la Taifa la Biashara na ufadhiliwa na Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji chini ya wasimamizi na watekelezaji wa mradi huo amabao ni; Ofisi ya Rais TAMISEMI kupitia Manispaa ya Kigoma, Chuo cha Maendeleo Kihinga, Chuo cha Uvuvi Kigoma, Maradi wa LIC na Baraza la Biashara la Wilaya ya Kigoma.

Baraza la Taifa la Biashara lilianzishwa kwa Waraka wa Rais Na. 1 wa mwaka 2001 na kuchapishwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 39 la tarehe 28 Septemba 2001.  Baraza la Taifa la Biashara ni jukwaa la majadiliano kati ya Sekta ya Umma  na Sekta Binafsi. Lengo kuu la Baraza ni kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji kwa njia ya majadiliano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi. Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO : 0743362017  -DR AGU

Askofu Malasusa Akerwa na Wingi wa Talaka

$
0
0
Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Alex Malasusa amedai kuwa kwa sasa jamii imekosa hali ya upendo hali inayosababisha kuongezeka kwa matukio ya mahusiano mengi kuvunjika.

Askofu Malasusa amesema kauli hiyo Desemba 25, 2018  katika ibada ya Krismasi iliyofanyika katika Kanisa la Azania Front jijini Dar es Salaam ambapo amesema wana ndoa wengi wanahofu na mahusiano.
 
 “Siku hizi talaka zimezidi jamii haina upendo wala hofu ya Mungu, hofu imejaa katika ulimwengu, wengi waliopo katika ndoa hawana hakika kama wataendelea,’’ amesema.

Aidha ameongeza kuwa “malaika anasema usiogope nitawaletea habari njema, tena katika aya yetu ya siku ya leo tunasema tumepewa mtoto mwanamume, yeye yupo tayari kubadilisha mitazamo yetu kutuondoa katika hofu na kuwa wajasiri katika maisha yetu.”

Mamilioni ya waumini wa dini ya kikristo Duniani leo Desemba 25 wanaadhimisha sikukuu ya Krismasi ikiwa kukumbuka ya siku ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo.

Alikiba Atoa Ofa kwa Mwanadada Aliyemlilia Wakati wa Tamasha la Tigo Fiesta

$
0
0
Msanii Alikiba ameamua kutoa ofa kwa mwanadada Emiliana Mgema aliyemlilia juzi  kwenye tamasha la Tigo Fiesta

Katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Ali Kiba ametangaza ofa hiyo huku akiwa ameweka video ya dada huyo akiwa anahojiwa huku analia na kueleza hisia zake jinsi anavyompenda msanii huyo.

Ali Kiba ameandika “Asante sana dada anayemjua huyu dada amwambie nina tiketi yake ya bure na mofaya zake za kutosha tarehe 29 /12 Next Door Arena,” aliandika Kiba wakati anatangaza ofa hiyo kwa Emilina ambapo anatarajia kufanya shoo yake aliyoipa jina la ‘Funga mwaka na KingKiba.’

Emy amesema ameanza kumpenda Ali Kiba tangu alipotoa kibao chake cha Macmuga ambapo kipindi hicho alikuwa akisoma darasa la saba Shule ya Msingi Nata mkoani Tabora na kuanzia hapo amekuwa akimfuatilia hadi leo na hakuna ngoma yake hata moja aliyowahi kuiona mbaya.

Basi la Mwendokasi Lawaka Moto Ubungo Dar

$
0
0
Basi la Mwendokasi mchana wa leo limewaka moto katika Injini yake maeneo ya Ubungo, jijini Dar.. 

Kikosi cha Zimamoto kilifanikiwa kuzima moto na basi kupelekwa katika karakana. Hakuna abiria yoyote aliyepata madhara

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya Disemba 26

Mbunge wa CHADEMA Aliyepata Ajali Dodoma Ahamishiwa Muhimbili

$
0
0
Mbunge wa Viti Maalumu, Kunti Majala (Chadema), aliyepata ajali ya gari na kujeruhiwa akiwa na familia yake mkoani Dodoma amesafirishwa kwa ndege kwenda Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.
 
Kunti amesafirishwa juzi usiku akitokea Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, akiwa pamoja na majeruhi wengine na kufikishwa moja kwa moja Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na baadae kuhamishiwa Moi.
 
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Idara ya Habari na Mawasiliano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ilisema Kunti na wenzake walisafirishwa kwa ajili ya matibabu zaidi kutokana na hali zao baada ya kupata ajali hiyo.
 
“Hadi sasa, watu wawili wa familia yake wamethibitishwa kufariki dunia kutokana na ajali hii iliyotokea eneo la Chemba, wakati Kunti na familia yake walipokuwa wakielekea Kondoa,” ilielezwa.
 
Kwa mujibu wa taarifa hiyo mbali ya mbunge huyo majeruhi wengine ni pamoja na dereva wa gari hilo, Stephen Massawe ambaye pia ni dereva wa Chadema Kanda ya Kati na watu wengine sita, wote ni wa familia yake.
 
“Tutaendelea kutoa taarifa kwa umma juu ya tukio hilo kadiri itakavyohitajika,” ilisisitiza taarifa hiyo.
 
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Wateja Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Aminiel Aligaesha amethibitisha kupokewa kwa majeruhi hao.
 
“Kweli walifikishwa hapa Muhimbili, wamelazwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI),” alisema Aligaesha.

Watu Wanne wa Familia Moja Wapigwa Risasi askari wa Wakala wa Hifadhi wa Misitu (TFS)

$
0
0
Ndugu wanne wa familia moja katika Kijiji cha Ikongwe, Kata ya Sitalike wilayani Mpanda, wamelazwa Hospitali ya Mkoa wa Katavi, baada ya kudaiwa kupigwa risasi sehemu mbalimbali za miili yao na askari wa Wakala wa Hifadhi wa Misitu (TFS) wa Halmashauri ya Nsimbo.
 
Diwani wa Kata ya Sitalike, Adamu Cherehani  jana alisema tukio hilo lilitokea juzi saa sita mchana na kuzua hataruki kubwa kutoka kwa wananchi.
 
Aliwataja wanakijiji waliopigwa risasi kuwa ni Josephat Patrick (27) aliyepigwa risasi mbili kifuani, Jofrey Patrick (39),aliyejuruhiwa mkono wa kushoto,Fiberiti Patrick (40), alijeruhiwa mguu wa kushoto, Januari Patrick (22), alipigwa risasi ya bega la kulia na mwingine aliyetambulika kwa jina la Nkuba Sai aliyepigwa risasi mkono wa kushoto .
 
Diwani Cherehani, alidai chanzo cha wanakijiji hao kushambuliwa kwa risasi ni askari wa TFS waliofika kijijini na kuanza kufyeka mahindi yao kwenye mashamba kwa kile walichodai yamelimwa ndani ya eneo la hifadhi ya Msitu wa Msaginya .
 
Baada ya kupata taarifa mahindi yao yanafyekwa, wanakijiji hao waliokuwa zaidi ya kumi walifika mashambani na kuwasihi askari hao waache kufyeka mazao yao kwa sababu ndiyo wanategemea kwa chakula na familia zao, lakini waliwagomea.
 
Alisema askari waliendelea kufyeka mahindi hayo, hali ambayo iliwafanya wanakijiji waanze kuwazomea.
 
“Haya mahindi yalikuwa yamebakiza mwezi mmoja tu yaive, lakini askari wamefyeka yote, jambo hili linatia uchungu,”alisema.
 
Kutokana na hali hiyo, wananchi walianza kuwazomea askari hao wakati wanaingia kwenye gari lao aina ya Toyota LandCruser, ghafla wakaanza kurusha risasi ovyo.
 
Mbunge wa Nsimbo, Richard Mbogo (CCM) alisema amesikitishwa na kitendo hicho kwani hawakuwa na sababu ya kutumia nguvu kubwa kiasi hicho kuwakabili wananchi ambao hawakuwa na silaha.
 
Alisema eneo hilo linalodaiwa mali ya TFS, lilipimwa kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2002 na kutenganisha maeneo ya hifadhi na shughuli za binadamu
 
Alisema eneo hilo lilipimwa tena mwaka huu chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda kabla ya kuanzishwa Halmashauri ya Nsimbo .
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Damas Nyanda alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema hatua zinaendelea kuchukuliwa dhidi ya wahusika.
 
Alisema alikwenda eneo hilo la tukio kuokota ganda moja la risasi ambayo inaonekana kuwa ni gobore.
 
Alisema ameagiza kukamatwa mara moja kwa askari wa TFS waliohusika kufanya kitendo hicho ili waweze kuhojiwa na sheria kuchukua mkondo wake wake.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Aagiza Ng'ombe Waliovamilia Mashamba Ekari 4 Wapigwe Mnada Kufidia Uharibifu Huo

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk. Anna Mghwira, ameagiza kukamatwa na kupigwa mnada kundi la mifugo inayodaiwa kuvamia mashamba ya wakulima katika kijiji cha Chemchem, Wilaya ya Moshi, baada ya kuharibu zaidi ya ekari 400 za mazao ya chakula.

Dk. Mghwira ametoa agizo hilo jana katika salamu zake za sikukuu za krismasi na mwaka mpya, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mkoa ulivyojipanga kuimarisha ulinzi kila kona.

“Nimeshaagiza vyombo vyetu vya usalama kwa maana ya Jeshi la Polisi likamate mifugo ya wafugaji ambayo ilikula mazao ya wakulima wa kijiji cha chemchem na ipigwe mnada ili fedha zitakazopatikana ziwafidie wakulima waliopata hasara ya kupoteza mazao yao.

“Pia nimewaagiza Wakuu wa Wilaya za Moshi na Mwanga wasimamie utekelezaji wa agizo hili. Hatuwezi kaucha mchezo huu ukaendelea kila mwaka, lazima kuwe na heshima dhidi ya dola.”

Siku nne zilizopita, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji, Kadiria Mmari, alitoa taarifa kuwa moja ya mazao yaliyoharibiwa vibaya ni pamoja na mahindi, nyanya, kabichi, bamia na tikitiki maji.

Mifugo kutoka Wilaya hiyo ya Simanjiro imekuwa ikifanya uharibifu mkubwa wa mazao yao kwa miaka minane mfululizo, bila kupatiwa ufumbuzi. 

Mifugo hiyo inadaiwa kutokea vijiji vya Magadini, Kiruwani, Msitu wa Tembo na kambi ya chokaa vilivyopo mkoa wa Manyara.

Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), China Kutangaza Vivutio vya Utalii Nchini

$
0
0
Tanzania  kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Serikali ya Watu wa China, zimedhamiria kutangaza vivutio mbalimbali nchini na kukuza biashara kati ya nchi hizo.
 
Akizungumza na wanahabari juzi Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii, Jaji Mstaafu Thomas Mihayo, alisema lengo kuu la ziara iliyofanyika nchini China katika Jiji la Shanghai, Guangzhou, Hong Kong, Chengdu na Beijing Novemba 12- 20, ilikuwa ni kwa ajili ya kutangaza utalii.
 
Alisema wametumia fursa hiyo kuhakikisha Tanzania inaongeza sehemu ya umiliki wa soko kwenye soko la utalii kwa kutangaza vivutio vya utalii na fursa za uwekezaji zikizopo nchini ikiwamo na safari za ndege za ATCL kwenda China.
 
Jaji Mihayo, alisema katika safari hiyo ya nchini China, wameweza kusaini mkataba na Kampuni ya Touchroad Group na TTB na wamekubaliana kuwa kampuni hiyo italeta watalii 10,000 kutoka China hadi kufi kia mwaka 2019.
 
“Kundi la kwanza la watalii wanatarajiwa kuwasili nchini Januari na Februari 2019, watakuwa nchini kwa muda wa siku tatu na Touchroad wameonesha nia ya kuwekeza katika
huduma ya malazi zenye hadhi ya nyota tano na tayari wanazo hoteli nne,” alisema Jaji Mihayo.
 
Katika ziara waliyoifanya ya Jiji la Beijing, wawakilishi wa Shirika la Utangazaji la China (CCTV), walikutana na maofisa wa MNRT na wakatoa mapendekezo ya kutengeneza makala za dakika 30 za zamadam kisha kutoa filamu kama
ya Jurassic Park, ili kurushwa kwenye televisheni yao.
 
“Pia, CCTV4 wameafiki kushirikiana na Wakala wa Misitu
Tanzania (TFS), kupiga picha katika hifadhi za asili za misitu wakati wa sherehe za maadhimisho ya mwaka mpya wa China mnamo mwezi Februari 2019,” alisema.
 
Mwenyekiti huyo wa TTB alisema kwa takwimu inaonesha Tanzania kwa mwaka 2017 imeweza kupokea watalii 29,224 kutoka nchini China wakitembelea vivutio tofauti nchini.
 
Kwa upande wake, Meneja Mauzo na Usambazaji wa ATCL,
Edward Nkwabi, alisema katika ziara hiyo walipokea maombi kutokakwa viongozi wa miji ya Hong Kong, Beijig, Chengdu na Shanghai, kuanzishwa kwa safari za moja kwa moja kutoka Tanzania hadi kwenye miji hiyo.
 
Alisema jambo hilo liliwafanya kuingia makubaliano na kampuni moja ya uwakala ambayo itatangaza na kuuza tiketi za safari za ndege za ATCL. 

Alisema safari za moja kwa moja kuelekea nchini China zitaanza mapema mwakani kwa ajili ya kuimarisha sekta ya utalii nchini na lengo kuu ni kuwapa fursa ya kuja moja kwa moja kutoka China hadi Tanzania.

Waziri Mhagama: Kilimo biashara kuwakomboa vijana Kiuchumi

$
0
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, amesema serikali imedhamiria kuwezesha vijana kiuchumi kupitia kilimo biashara ili kuchochea ongezeko la ajira na kipato.

Ofisi ya Waziri Mkuu chini ya Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), kupitia Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji, wilayani Kigoma wameanza kutekeleza mradi unaolenga kuwezesha vijana kushiriki katika shughuli za uchumi kupitia mafunzo ya ujuzi na ujasiriamali kwenye kilimo na ufugaji.

Akizungumza katika ziara yake mkoani Kigoma wakati wa kukagua shughuli za utekelezaji za TNBC, Mhagama alisema vyombo hivyo vimeanza utekelezaji wa mradi huo kwa kushirikiana na Chuo cha Maendeleo Kihinga.

“Nitoe wito watendaji wa halmashauri na ngazi ya mkoa wa Kigoma waendelee kuwaunga mkono vijana hawa wanaoshiriki katika mradi huu wa kilimo biashara. Nawataka mtambue haya yote yanafanyika kwa sababu ya jitihada zinazofanywa na serikali, hivyo ufadhili wa mradi huu unaunga mkono jitihada zake za kuwezesha vijana,” alisema.

Naye Mratibu wa Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (masuala ya majadiliano ya sekta ya umma na binafsi), Andrew Mhina, alibainisha kuwa katika kuhakikisha unawawezesha vijana kuwa na ujuzi wa kilimo na ufugaji utakaowawezesha kujiajiri, wameanza ufadhili wa awali kwa kutoa Sh.  milioni 53 ambazo zimetumika katika ujenzi wa mabwawa ya samaki, ukarabati wa mabanda ya kufugia kuku na kuandaa shamba darasa.

 Mradi wa kuwezesha vijana kushiriki katika Kilimo Biashara wilayani Kigoma, unasimamiwa na kutekelezwa na Ofisi ya Rais (Tamisemi) kupitia Manispaa ya Kigoma, Chuo cha Maendeleo Kihinga, Chuo cha Uvuvi Kigoma, Mradi wa LIC na Baraza la Biashara la Wilaya ya Kigoma.

Kutana Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutana Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari, Mivuto Yote, Kusafisha Nyota, Kurudisha Mali, Nk.


Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa    dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,
KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO : 0743362017  -DR AGU

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Wabunge CCM Wanaotafuta Kiki Kwa Mgongo wa Rais Wapewa ONYO

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Humphrey Polepole amewataka wabunge wa CCM nchini, kuacha kulala usingizi au kutafuta kiki ya kisiasa kwa mgongo wa Rais John Magufuli.

Badala yake, amewataka kuwatumikia wananchi katika majimbo yao na kuiga mfano uliofanywa na mbunge wa jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama wa kujikita katika kusaidia ujenzi wa ofisi za matawi ya chama jimboni humo.

Polepole alitoa kauli hiyo juzi katika mkutano mkuu wa jimbo la Peramiho ambapo pia alikabidhi pikipiki 16 zenye thamani zaidi ya Sh milioni 45 kwa ajili ya makatibu kata wa chama hicho. 

Pia alikabidhi baiskeli 132 kwa ajili ya makatibu wa matawi, bati 835 kwa ajili ya ofisi za matawi na saruji mifuko 1,230 kwa ajili ya matawi hayo na ambavyo vilitolewa na Jenista alisema vifaa hivyo vitakuwa msaada mkubwa kwa viongozi wa kata na matawi katika kutekeleza majukumu yao.

Polepole alisema kuwa jukumu la viongozi wa kata na matawi ni kuhakikisha wanavitunza vifaa hivyo ambavyo ni mali ya chama na kwamba pasitokee kiongozi au mtendaji kutumia vibaya vifaa hivyo ambavyo vimetolewa na mbunge huyo wa jimbo la Peramiho. 

Kwa upande wake mbunge wa jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama alisema katika jimbo hilo kulikuwa na matawi ambayo ofisi zake hazifanani na Chama Cha Mapinduzi ambacho ni kikongwe hapa nchini na duniani hivyo ameamua kwa dhati kusaidiana na wanachama kurekebisha hali hiyo.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images