Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Maamuzi Ya Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi Kuhusu Rufaa Moja Ya Uchaguzi Mdogo Wa Tarehe 19 Januari, 2019

$
0
0
MAAMUZI YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU RUFAA MOJA YA UCHAGUZI MDOGO WA TAREHE 19 JANUARI, 2019 KWA KATA YA MAGOMENI JIMBO LA KINONDONI

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea Rufaa moja (1) kutoka kwa Mgombea Udiwani wa Kata ya Magomeni katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Tume imepokea rufaa hiyo kwa kuzingatia kifungu cha 44(5) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, kikisomwa pamoja na kanuni ya 28(1) ya Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa (Uchaguzi wa Madiwani) za mwaka 2015,

Rufaa hiyo iliwasilishwa na mgombea Udiwani wa Chama cha Wananchi (CUF) Ndg. Ngude Athumani Yusuph akitaka arejeshwe kuwa mgombea udiwani katika Kata ya Magomeni kupitia chama hicho.

Kuenguliwa kwake kulitokana na pingamizi lililowekwa na mgombea mwenzake kwa madai kuwa Sio Raia wa Tanzania, hakudhaminiwa na chama chake cha siasa kugombea udiwani na fomu yake ya uteuzi haikujazwa kikamilifu. Msimamizi wa Uchaguzi alikubaliana na pingamizi hilo, hivyo kumuengua mgombea.

Tume katika kikao chake cha tarehe 24 Disemba 2018, ilipitia vielelezo vilivyowasilishwa na kujiridhisha kuwa mrufani ni Raia wa Tanzania na kwamba alidhaminiwa na chama chake cha siasa na kwamba fomu yake ya uteuzi ilijazwa kwa ukamilifu na hivyo, kuelekeza arejeshwe kuendelea kuwa mgombea udiwani katika Kata ya Magomeni, Halmashauri ya Manispaa ya kinondoni

Aidha, Tume ilipokea malalamiko kutoka kwa Ndg. Ngulangwa Eng Mohamed Mshamu wa Chama cha Wananchi (CUF) akipinga  uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Temeke kumuondoa kwenye orodha ya wagombea Ubunge na kumtangaza Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Abdallah Ally Mtolea  kuwa amepita bila kupingwa.

Kwa mujibu wa kifungu cha 44 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Mgombea akitangazwa kuwa amepita bila kupigwa Tume haina mamlaka juu ya uamuzi wa Msimamizi wa Uchaguzi. Hivyo, malalamiko hayo yaliyowasilishwa na Ndg. Ngulangwa Eng. Mohamed Mshamu na pia hayana sifa ya kuwa rufaa.

Taarifa za maamuzi ya rufaa na malalamiko, zimetumwa kwa wahusika kupitia kwa Wasimamizi wa uchaguzi wa Halmashauri husika.

Imetolewa leo  tarehe  24 Disemba, 2018 na:

Giveness Aswile
 MKURUGENZI WA HABARI NA ELIMU YA MPIGA KURA

Mahakama Yamwachia Huru Aliyetuhumiwa Kumhonga Waziri Lukuvi

$
0
0
Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemuachia huru, Mohamed Kiluwa (50) aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kutoa rushwa ya Sh milioni 90 kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kwa sababu ushahidi wa mashtaka ulikuwa wa hisia.

Akisoma hukumu hiyo leo Jumatatu Desemba 24, Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo Samuel Obas amesema ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka haukuwa na mashiko kwa sababu umeshindwa kuthibitisha kosa.


"Ushahidi wa upande wa mashtaka umekaa kihisia zaidi, hivyo mahakama yangu imeshindwa kumtia hatiani mshtakiwa, hivyo mahakama hii imemuachia huru Kiluwa" amedai Hakimu Obasi na kuongeza: "Hisia hata kama zina nguvu kiasi gani, haziwezi kufanya mahakama imtie hatiani," amesema Hakimu Obasi.


Amesema kutokana na hali hiyo, mahakama hiyo imemuachia huru na kuamuru fedha zake ambazo ni Sh milioni 90 arudishiwe.

Hata hivyo, ameruhusu upande wa jamhuri kukata rufaa kama hawajaridhika na uamuzi huo.

Nyumba, Magari Yachomwa Moto Geita

$
0
0
Watu zaidi ya 20, wakazi wa kijiji cha Nzera Kata ya Nzera, Wilayani Geita  hawana sehemu ya kuishi ufuatia nyumba zao kubomolewa na zingine kuchomwa moto na kikundi cha  watu ambao pia ni wakazi wa eneo hilo.

Tukio hilo limehusisha kubomolewa kwa nyumba zaidi ya nne na zingine kuchomwa moto kwa kile kinachoelezwa kuwa ni chuki binafsi zinazohusisha masuala ya kisiasa.

Mbali na nyumba hizo kubomolewa na zingine kuchomwa moto, pia magari mawili aina ya Hiace T 226 GBV na Noah, mali ya Mratibu Elimu  Kata ya Katoma, Kulwa Sherembi yamechomwa moto.

Jeshi la Polisi limewakamata watu 25 wanaohusishwa na tukio hilo huku likilaani vikali kitendo hicho ilichokiita ni cha kishenzi na kuahidi kuwasaka watu wote waliohusika na kuwatia mbaroni.

Akifafanua kuhusiana na tukio hilo, lililotokea majira ya alfajiri, Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Mponjoli Mwalubambo amesema chanzo cha tukio hilo ni uvamizi uliotokea, ambapo vibaka walivamia nyumba mbili za wakazi wa eneo hilo, Faustine Kaswahili na Edward Samson kisha kujeruhi na kupora fedha na kutokomea kusikojulikana.

Baada ya tukio hilo ndipo kikundi kingine kilipojihamasisha na kwenda kubomoa na kuchoma nyumba hizo pamoja na magari kikiwahusisha wamiliki wa familia hizo kufadhili waharifu wa uvamizi uliotokea kijijini hapo ili hali wakijua si kweli.

CHADEMA Kuchangisha Fedha Kuwasaidia Mbowe na Matiko Walioko Gerezani

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kuchangishana fedha kuongeza nguvu ya wanasheria katika kesi zinazowakabili wanachama na viongozi wake wakiwamo Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko.

Mbowe na Matiko ambao wanakabiliwa na kesi ya uchochezi inayowakabili pamoja na viongozi wengine saba wa chama hicho, walifutiwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 24 katika ofisi za Chadema Kanda ya Pwani zilizopo Magomeni Makuti, Mwenyekiti wa kanda hiyo, Frederick Sumaye, amesema wanataka haki itendeke haraka ili viongozi hao watoke gerezani waendelee na shughuli zao.

“Kanda ya Pwani kwa kuona kwamba mwenyekiti wa taifa yuko ndani tuliitisha mchango wa kusaidia jambo hilo na juzi tulipata Sh 800,000 za kuanzia.

“Iringa wanaendelea na michango hiyo na tutandelea kuongeza nguvu ya mawakili. Tunaguswa sana na matatizo yanayotupata na tunaendelea kushiri”amesema Sumaye

BASATA Wapunguza Adhabu...Diamond, Rayvanny Waruhusiwa Kufanya Matamasha nje ya Nchi

$
0
0
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limemruhusu msanii Naseeb Abdul ‘Diamond’ na Raymond Mwakyusa ’Rayvanny’ kufanya maonyesho yao nchini Kenya na Comoro ingawa rufaa yao itajadiliwa Februari mwakani.

Katika ratiba zake, Diamond na wasanii wake wataendelea na onyesho la Tamasha la Wasafi  ambapo leo Desemba 24 watakuwa katika mji wa Embu, kabla ya kuhamia jiji la Mombasa Desemba  26 na kuelekea Comorro kwa shoo ya Desemba 28 na kumalizia Nairobi Desemba 31, 2018.

Diamond na Rayvanny walifungiwa Desemba 18, 2018 kutofanya maonyesho ndani na nje ya nchi kwa muda usiojulikana wakituhumiwa kufanya makosa mbalimbali tangu kuanza kwa Tamasha la Wasafi ikiwemo kuimba wimbo wa Mwanza ambao umefungiwa.

Pamoja na hilo siku tatu zilizopita waliendelea kutangaza kuendelea na maonyesho hayo pamoja na Basata kueleza hawajawaruhusu.

Katibu wa baraza hilo, Godfrey Mngereza amesema sababu ya kuwaruhusu ni baada ya kikao kilichoketi leo na kujadili maombi yao kuomba kusamehewa huku moja ya jambo walilolibaini ni kwamba wasanii hao walikuwa wameshaingia mkataba wa kufanya maonyesho hayo kabla ya kupewa adhabu.

“Pia kwa kuzingatia mahusiano mazuri kati ya nchi yetu na nyingine na athari kwa mashabiki wa nchi hizo ambao tayari walishakata tiketi za maonyesho hayo, Basata imewaondolea katazo la maonyesho hayo ya nje na kubakiza katazo la ndani ya nchi hadi pale Diamond na mwenzake Rayvany watakapoonyesha mabadiliko chanya kitabia,” amesema

Wakati kuhusu kukata rufaa, Mngereza amekiri wameipokea na kueleza wamewasiliana na mwenyekiti wa bodi ambapo suala lao hilo litajadiliwa kwa kina katika kikao cha kawaida cha bodi cha Februari 5 mwakani.

CHADEMA Wamvaa Makonda...Wataka Afute Kauli Yake

$
0
0
Siku chache baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kumuahidi Rais John Magufuli kuwa mwaka 2020 atamkabidhi mkoa ukiwa na viongozi wote wa Chama cha Mapinduzi, Chadema imelaani kauli hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Desemba 24, 2018 jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Frederick Sumaye amesema kauli hiyo ya Makonda inalenga kufuta vyama vya upinzani na kuiacha nchi ya chama kimoja.

“Ahadi yake kwa Rais inamaanisha ataendelea kuvunja Katiba kwa kukandamiza upinzani ikiwemo kutumia vyombo vya dola ili kutimiza malengo yake,” amesema.

Sumaye ambaye pia ni waziri mkuu mstaafu amesema kwa mamlaka aliyonayo mkuu huyo wa mkoa hakupaswa kutoa kauli hiyo inayoonyesha wazi uvunjaji wa Katiba.

“Makonda amekuwa akifanya mambo mengi ya kuidhalilisha Serikali, kinachoonekana huenda kazi aliyopewa ni kubwa kuliko uwezo wake, aliyempa ambadilishie au yatakayofuata yatashangaza zaidi,” amesema Sumaye.

Rais Magufuli Aamuru Watumishi Wote Waliokatiwa Tiketi ya Ndege na Serikali lakini Hawakusafiri Wajatwe Mishahara Yao

$
0
0
Rais John Magufuli amesema viongozi wa Serikali waliokatiwa tiketi ili wasafiri na ndege za Shirika la ATCL na kukaidi watakatwa pesa hizo katika mishahara yao.

Ameyasema hayo leo Jumapili Desemba 23, 2018 wakati akipokea ndege mpya ya Airbus 220-300 ‘Dodoma’ katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam.

Rais Magufuli amesema katika hali isiyokuwa ya kawaida baadhi ya abiria wamekuwa wakikosa tiketi kwa kuambiwa ndege imejaa ila wanapoingia ndani hakuna watu huku baadhi ya tiketi zikiwa za watendaji wa Serikali ambao hawasafiri.

“Mtumishi anatakiwa kusafiri kwenye ndege na amekatiwa tiketi na Serikali lakini hasafiri na kufanya ndege iende tupu, nimeshamwambia mtendaji mkuu aniletee orodha ya watendaji ambao hawakusafiri tuwakate hizo hela kwenye mishahara yao,” amesema Rais Magufuli.

“Nimeambiwa wanakadiriwa kuwa 100 kwa hiyo nina uhakika kufika wiki ijayo nitapata majina yao, mawaziri, wabunge ambao walikaa hadi saa ya mwisho ndege ikaenda tupu na hela za Serikali zikaenda,” ameongeza Rais Magufuli huku akisema tena anafikiri kesho Jumatatu yatamfikia.

Amesema watumishi hao wajiandae kurudisha fedha hizo kutoka mifukoni mwao ili iwe fundisho kwa watumishi wengine wanaotumia fedha za Serikali vibaya.

“Niwaombe tu watendaji kama kuna tiketi ambayo haukuitumia leta tu hela mara moja ili mambo yaishe lakini ni matumaini yangu sasa katika suala hili la tiketi ATCL mtajipanga vizuri,” amesema Magufuli.

Alichokisema Spika Ndugai Wakati wa Mapokezi ya Ndege Mpya ya Airbus 220

$
0
0
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema awali Tanzania ilikuwa inachekwa hadi na nchi ndogo kutokana na kukosa kitu cha kujivunia na hivi sasa wanapaswa kuunga mkono juhudi hizo na kuwa wazalendo.

Ameyasema hayo leo Jumapili Desemba 23, 2018 katika mapokezi ya ndege mpya ya Airbus A220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam.

Ndege hiyo itakayokuwa inafanya kazi zake ndani na nje ya nchi yenye uwezo wa kubeba abiria 132 huku 12 kati yao wakiwa ni wa daraja la biashara.

Spika Ndugai amesema Watanzania na wafanyakazi wanapaswa sasa kutumia ndege za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) pindi wanapofanya safari sehemu ambazo kuna vituo vya shirika hilo.

“Tuunge mkono juhudi ili kuwezesha ‘graph’ ya mauzo na mapato ya ndege zetu kuendelea kupanda kila siku na nyie bodi ya ATCL endeleeni kusimamia suala hili ili isiwe kama ile iliyopita,” amesema.

“Bodi iliyopita ilikuwa ikiangalia tu mambo, mapato yanashuka ipo tu, yanaendelea kushuka ipo tu hadi yanafika sifuri haijafanya chochote, jamani tuhakikishe hilo halitokei tena,” amesema Ndugai.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya Disemba 24

Video Mpya: Genius Ft. Dogo Janja - YANGU ROHO

$
0
0
 Genius Ft. Dogo Janja - YANGU ROHO

Video Mpya: Enock Bella – Nikubali

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Enock Bella anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Nikubali. Itazame hapo chini.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Disemba 25

Wimbo Mpya wa Goodluck Gozbert - Kama si wewe

Mwanafunzi Asakwa kwa kulawiti watoto wenzake

$
0
0
Mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi ya Wilunze mwenye umri wa miaka 14 anatuhumiwa kuwalawiti wanafunzi wenzake ambapo katika tukio la hivi karibuni alimlawiti mtoto wa miaka mitatu.

Hayo yalibainishwa na Mtendaji wa Kijiji Cha Wilunze Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Georgina Richard wakati akizungumza juzi katika mafunzo ya kuwajengea uwezo watendaji wa vijiji na kata kupitia mradi wa kutokomeza ukatili wa kijinsia, mimba na ndoa za utotoni unaotekelezwa na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Woman Wake Up (WOWAP).

Alieleza kuwa tukio la kulawitiwa mtoto wa kiume wa miaka mitatu lilitokea Novemba 26, mwaka huu kijijini hapo. Alisema mtuhumiwa huyo ni mtoro wa kudumu na mara ya mwisho alikuwa akisoma darasa la tatu Shule ya Msingi Wilunze.

Alisema siku ya tukio mtuhumiwa huyo alimuingiza mtoto huyo kwenye nyumba ambayo haijamalizika na kumfanyia kitendo hicho. 

“Aliyeshuhudia kitendo hicho ndio alikwenda kutoa taarifa kwa mama wa mtoto ambapo mtoto huyo mdogo alipekekwa hospitali kupimwa na kukutwa na manii mapajani ambazo zimekauka, na alikuwa ameingiliwa kinyume na maumbile,” alisema.

Alisema ndipo mama huyo alipewa barua na kwenda kuripoti tukio katika kituo cha Polisi Chamwino. Mtendaji huyo wa Kijiji alisema mtuhumiwa huyo bado hajulikani alipo na kesi hiyo iko kwenye upelelezi.

“Hali ya mtoto inaendelea vizuri, tukapata taarifa kuwa mama mtuhumiwa alimfuata mama wa mtoto aliyelawitiwa ili waweze kuelewana nikawaambia sitaki kusikia kitu kama hicho wasubiri sheria ifuate mkondo wake,” alisema. 

Alisema kutokana na uchunguzi aliofanya baada ya tukio hilo ikabainika kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa akiwalawiti baadhi ya watoto wa darasa la kwanza na la pili.

“Tulikwenda hadi shuleni tukawabaini watoto waliofanyiwa kitendo hicho wako wa kike na wengine wa kiume, tukagundua watoto walikuwa wakifanyiwa vitendo hivyo lakini walikuwa hawasemi,” alisema. 

Alisema mtuhumiwa huyo mara kadhaa amekuwa akifikishwa ofisi ya Kijiji kutokana na utoro na mpaka sasa anaendelea kutafutwa ili sheria ichukue mkondo wake.

Credit: Habarileo

Mawakala 10 wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Kizimbani Kwa Uhujumu Uchumi

$
0
0
Mawakala 10 wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi ikiwamo kulisababishia Shirika hasara, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha Sh. milioni 10.8.

Washtakiwa hao walisomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Ally Salum.

Wakili wa Serikali, Wankyo Simon, aliwataja washtakiwa hao kuwa ni, Fabian Ishengoma (34), Adam Kamara (27), Marlon Masubo (29), Neema Kisunda (24), Alexander Malongo (29) na Tunu Kiluvia (32).

Wengine ni Jobu Mkumbwa (30), Mohammed Issah (38), Godfrey Mgomela, Absalom Ambilikile na Janeth Lubega.

Upande wa Jamhuri ulidai kuwa kati ya Machi 10 na Oktoba 9, mwaka huu, mahali tofauti jijini Dar es Salaam na Mwanza washtakiwa kwa pamoja wakiwa mawakala wa ATCL, walilisababishia Shirika hilo hasara ya Sh.10,874,280.

Katika shtaka la pili, ilidaiwa kuwa tarehe na mahali pa shtaka la kwanza, washtakiwa wote kwa pamoja walijipatia fedha hizo.
 
Shtaka la tatu, ilidaiwa kuwa tarehe na mahali pa tukio la kwanza na la pili, washtakiwa wote walijipatia fedha hizo wakati wakijua ni mazalia ya udanganyifu yaliyotokana na utakatishaji fedha.

Hakimu alisema mahakama yake haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi na kwamba washtakiwa hawatakiwi kujibu chochote hadi pale Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), atakapotoa kibali au upelelezi utakapokamilika itahamishiwa Mahakama Kuu Divisheni ya uhujumu uchumi na rushwa.

Upande wa Jamhuri ulidai kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika.

Hakimu Salum alisema kesi hiyo itatajwa Januari 7, 2019, washtakiwa wamepelekwa mahabusu.


Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
HABARI NJEMA KWA MLIOATHIRIKA NA MAGONJWA YA MWILI NA AKILI.
Sasa dokta MBALU ana uwezo mkubwa wa kutibu magonjwa yaliyoshindikana,Kama umehangaika kwa muda mrefu bila mafanikio DK.MBALU Ni kiboko kabisaa.

TIBA ATOAZO NI:- (a)Vidonga vya tumbo,kilungulia,Tumbo kujaa gesi.
 (b)Kifua kikuu(TB),Pumu(ATHMA) na Rovu
(c)Miguu kuwaka moto,nyama za magoti kuuma,kiuno na mgongo.
(d)Uzazi na chango.
 (e)Nguvu za kiume,kurefusha na kunenepesha uume,busha,mshipa wa ngiri na tezi dume.
(f)Elimu mwanafunzi kuwa na uwezo mkubwa darasani na kufanya vizuri katika mitihani yake, kupandishwa cheo kazini, kulipwa madeni au mafao yako.
(g) kutoa ushauri nasaha kwa wenye matatizo ya kisaikolojia.

      AINA ZA DAWA.
NINJIWE:-,Hutibu vidonda vya tumbo,tumbo kujaa gesi,na kilungulia,vidonge 16 kwa muda wa siku nne na ya unga.
MPALAMA:-,Hutibu Kifua kikuu (TB), Pumu (ATHMA),na wenye tatizo la uvimbe katika koromeo yaani (ROVU),Huisha na kutorudi Tena.,dozi siku 6.

NKOLA:-,Hutibu miguu kuwaka moto,nyama za goti kuuma,kiuno na mgongo dozi siku 10.
MWATYA:-,Hutibu Uzazi au chango,dozi siku 30,na tatizo kupona kabisa.

LYONGO POWER:-,Hii ni dawa ya heshima kwa akina baba yenye uwezo wa kurefusha na kunenepesha uume kwa wale wenye maumbile madogo yaani (KIBAMIA).

NENGONENGO(4)POWER:-,Hutibu Nguvu za kiume na kuleta hamu ya tendo hivyo kuchelewa kufika kileleni na kuweza kurudia tendo zaidi ya mara (4),ina Nguvu mno Kama Ni muhanga wa tatizo hili   tumia NENGONENGO (4)POWER Ipo aina ya vidonge na unga dozi Ni siku 5 unapona kabisaa wahi Sasa.

NTUNDWA:-,Hutibu busha,mshipa wa ngiri na tezi dume,Busha dozi Ni siku (30),bila kufanyiwa operation,Mshipa wa ngiri dozi siku (4) na tezi dume dozi siku (10).

GWATA:-,kuuwa kesi na shauri kupangiwa tarehe za karibu zaidi na baadae kesi kufutiliwa mbali kabisaa.
NUGWANO:-, Humfanya mtu kuheshimika na kupandishwa cheo kazini pia kulipwa madeni au mafao kwa wakati muafaka.

NKOMA:-, Hurudisha mke,mme,hawara, mchumba ndani ya siku mbili atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine..

  Huduma zinatolewa ndani ya masaa 12,Saa moja asubuhi Hadi kumi na mbili jioni,DAR ES SALAAM NA KAHAMA wa mikoani unapata huduma kwa njia ya kusafirisha..na huduma yetu inakufikia ukiwa ofisini au nyumbani kwako..,


CONTACTS;  0744922982  au  0716, 608  ,959 au 0784475946

 OUR SERVICES ARE EASY.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 47

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA 
  
Tukafika katika jengo la kibiashara la Mlimani City. Jojo akashuka kwenye gari na kunifungulia mlango wa siti ya nyuma ya gar hili,i kisha tukaanza kutembea kuelekea ndani ya jengo hili, kabla ya kufika katika mlango mkubwa wa kuingia ndani ya jengo hili, tukamuona binti wa Poul Mkumbo akitoka huku akiwa ameongozana na walinzi wanne huku wawili wakiwa ni wa kiume huku wengine wawili ni wakike. Wakihakikisha wana mpa ulinzi mkubwa msichana huyu asiweze kusogelewa na mtu wa aina yoyote ile.

ENDELEA
Sikuhitaji kumkwepa dada huyu zaidi ya kutembea usawa ambao anatembea yeye, kitendo cha kumkaribia walinzi wake wakajaribu kunizuia, ila Jojo kwa haraka naye akasimama mbele yangu akionyesha msisitizo kwamba nisiguswe na walinzi hawa.
 
“Samahani”
Nilianza kuzugumza huku nikimtazama msichana huyu.
“Unahitaji nini?”
Binti huyu alizungumza kwa dharau kidogo huku macho yake yakiwa na kazi ya kunishusha na kunipandisha juu  na kunishusha chini.
“Ninaweza kuzungumza nawe kwa sekunde kadha?”
“Me……..!!?”
“Ndio”
“Umetokea wapi hadi uhitaji kuzungumza na mimi kwa maana kwanza sikujui na jinsi unavyo endelea kuwa mbele yangu ndivyo jinsi unavyo nipotezea muda. Tuondokeni?”
Dada huyu alizungumza kwa dharau  kubwa kisha akaanza kutembea kuelekea walipo acha magari yao. Japo nilipitia maisha ya kunyanyasika kutokana na ubaguzi wa rangi katika nchi ya Ujerumani, ila sijawahi kupitia hali ya kunyanyaswa kama hii tena na mswahili mwenzangu.
“Tuondoke zetu”
Nilimuambia Jojo huku nikiwa nimefedheheka sana moyoni mwangu.
 
“Hapana tuingie ndani, hivi tutaonekana kama tulikuwa tunamuhitaji yeye”
Nikakubaliana na wazo la Jojo, tukaingia ndani ya jengi hili na kuanza kupita pita kwenye maduka ya nguo. Tukanunua nguo kadhaa, kisha tukarudi hotelini huku mpango wangu wa kwanza ukiwa umegonga mwamba.
“Umekata tamaa ya kuwa na binti huyu?”
“Ana dharua kubwa sana ila dharau yake nina uhakika itakwenda kupotea siku moja”
“Kesho kuna mkutano wa kununua hisa katika kampuni anayo ifanyia kazi. Mwenye kampuni ana hitaji kuiuza kwa matajiri sasa kesho ni muda wa kumuonyesha kwamba wewe unaweza”
 
Jojo alizungumza huku akiwa ameshikilia simu yake mkononi, akanionyesha juu ya uuzaji wa kampuni hiyo ambayo itagarimu zaidi ya dola za kimarekani bilioni mbili na nusu kwa yule ambaye atahitaji kuinunua nzima, ila kama nitahitaji kuwa mwana hisa basi nitanunua kiasi cha hisa katika kampuni hiyo.
“Nahitaji kununua kampuni nzima?”
“Nzima?”
“Ndio nahitaji  kuimiliki na awe chini yangu”
“Hicho kiasi cha pesa unacho?”
“Ndio ninacho, nina makapuni mengi na nina kiasi cha kutosha tu”
“Sawa, kama unahitaji basi tuingize jina lako kwenye watu watakao hudhuria mkutano huo wa kununua hisa za kampuni hiyo”
“Wewe ingiza, kikao kitakuwa ni saa ngapi?”
“Saa mbili asubihi”
“Sawa fanya hivyo nahitaji kutumia simu yako kuwasiliana na dada yangu, je unaweza kunisaidia katika hilo”
“Hakuna shida”
 
Nikamtafuta Mery kupitia mtandao wa Imo, kwa bahati nzuri nikampata,, nikampigia simu yake na ikaanza kuita, akaipokea na tukaanza kuonana.
“Ethan ni wewe?”   
Dada Mery alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana usoni mwake.
“Yaa ndio mimi”   
“Ohoo Mungu wangu, za Tanzania”
“Salama vipi mama anaendeleaje?”
“Mama anaendelea vizuri na nina habari nzuri”
“Habari gani?”
“Timu yako jana imechukua kombe, je ulitazama?”
“Ohoo hapana, weee wameshinda goli ngapi?”
“Goli nne kwa moja, yaani wote walisema kombe hilo ni kwa ajili yako. Hapa nipo nao hotelini huku tunaendelea kushangilia”
“Hahaaa daa wasalimie sana ila usiwaambie kwamba mimi nipo wapi”
 
“Najua wala usijali kwa hilo jambo. Ehee vipi unaendeleaje?”
“Safi, kesho kuna kampuni nitahitaji kuinunua huku Tanzania”
“Waoo ni jambo zuri mdogo wangu, mimi nitaendelea kukuunga mkono kwa asilimia mia moja. Niambie nini unahitaji?”
“Nilikuwa ninakuap taarifa hata nitakapo toa kiasi cha pesa benki usije ukashangaa”
“Usijali mdogo wangu. Ikiwa baba aliamua kukuachia majukumu yote mikononi mwako. Nafurahi kuona jinsi uanvyo zidi kujitanua kiuchumi”
“Nashukuru dada yangu, basi tutawasiliana kesho pale nitakapo kuwa nimemaliza kufanya biashara hiyo.
“Sawa mdogo wangu kesho”
“Sawa”
Nikakata simu na kumrudishia Jojo simu yake.
“Nimesha ingiza jina lako na langu, mimi nitasimama kama mlinzi wako”
“Sawa dada nashukuru kwa kuniunga mkono”
“Usijali jukumu langu ni kuhakikishakwamba kile tunacho kwenda kukifanya kinafanikiwa kwa asilimia mia moja”
“Sawa”
 
Usiku wa siku hii Jojo akanitembeza kwenye baadhi ya maeneno ya kumbi za starehe kisha tukarudi hotelini na kulala. Asubihi na mapema tukaanza kujianda huku mimi nikivalia suti ya rangi ya kaki pamoja na shati la blue. Kiufupi nimependeza sana. Jojo akanitengeneza nywele zangu vizuri kisha tukaanza safari ya kuelekea katika kampuni ya ZAirtel. Majira ya saa mbili kasoro tukawasili katika kampuni hii yenye jengo moja refu lenye gorofa zipatano kumi na tano. Tukapokelewa na wahudumu wa kampuni hii ambayo wanapokea wageni rasmi walio kuja kununua hisa za kampuni hii.
 
Tukapelekwa moja kwa moja hadi ukumbi ambao nikakuta baadhi ya wafanya biashara huku wengine wakiwa ni watu kutoka katika mabara tofauti ikiwemo Ulaya na Asia. Nikakaribisha moja ya kiti huku Jojo akikaa kiti cha nyuma yangu kama mlinzi wangu. Wakaendelea kuingia wafanya biashara wengine, ilipo timu saa mbili kamili asubihi kikao kikaanza. Kila kwenye meza kuna maiki ambayo mtu anaweza kuzungumzia pale atakapo hitaji kutangaza dau lake. Nikamuona mtoto wa Poul Mkumbo akiwa amekaa pembeni ya mmiliki wa kampuni hii ambaye nilimsoma jana usiku asili yake ametokea nchini Afrika kusini.
 
“Karibuni sana, sasa tunaanza kupokea ofa zenu”
Muendeshaji wa ununuzi wa hisa hizi alizungumza huku dada mmoja akianza kutusambazia karatasi kila mmoja yenye maelezo niliyo anaza kuyasoma taratibu.
Nilipo maliza kuhakikisha kusoma maelezo haya yanayo panga kiwango cha hisa na bei yake nikaendelea kusikiliza ni kitu gani kinacho endelea. Wafanya biashara wezangu ambao wote ni watu wazima wakaanza kutangaza viwango vyao huku wote wakiwa wameanza na dola milioni kumi.
Muda wote macho yangu yapo kwa mtoto wa Poul Mkumbo, adui yangu namba moja, kila ninalo lifanya nina hitaji kuhakikisha kwamba ni moja ya mbinu  ya kuhakikisha  kwamba nina lipiza kisasi.
 
“Dola milioni mia tisa”
Muarabu mmoja alizungumza na kuwafanya watu wote tumtazame kwani hadi sasa hivi yeye dau lake ndio lipo juu.
“Dola bilioni moja”
Mama mmoja wa kizungu alizungumza na kufanya macho ya watu kuyahamishia kwake.
“Moja pointi moja moja bilio”
Muarabu huyu alizungumza tena na kuwafanya wafanya biashara wengine kumtazama. Majibizano ya wafanya biashara hawa yakaendelea hadi ikafika dola bilioni moja nukta nane.
 
“Dola bilioni moja nukta nane kwa mara ya kwanza”
Wafanya biashara wote wakaka kimya, nikageuka na kumtazama Jojo usoni mwake. Jojo akanikonyeza akimaanisha sasa ni muda wangu wa kuhakikisha kwamba ninatangaza dau kubwa la kuweza kuinunua kuampuni hii.
“Dola bilioni moja nukta nane kwa mara ya pili?”
“Dola bilioni  mbili na nusu”
Kwa mara ya kwanza nikawafanya watu wote kutazama upande wangu. Macho yakawatoka huku kila mmoja akionekana kushangaa sana kwani ni kiasi kikubwa na ndio kiasi kilicho kusudiwa na mmiliki wa kampuni hii katika kuiuza. Binti wa Poul Mkumbo akanitazama usoni mwangu kwa mshangao mkubwa sana kiasi cha kunifanya nitabasamu kwa dharau.
 
Hadi inafika mara ya tatu hapakuwa na mfanya biashara yoyote ambaye aliweza kufungua kinywa chake juu ya kiasi nilicho kitangaza. Baada ya kukosenaka mtu aliye weza kunipiku kibiashara, mkutano ukaisha huku nami nikielekezwa kuelekea kwenye ofisi kuu ili kufanya malipo na kuandikishana mkataba wa manunuzi.
 
“Ninaitwa bwana Josam Zuma, naamini wewe ndio bwana Ethan Klopp?”
“Ndio”
“Naamini jina lako si geni sana kwenye masikio yangu. Wewe ni mchezaji mpira?”
Mmiliki wa kampuni hii alizungumza huku tukiwa tumeshikana mikono.
“Ndio hujakosea mkuu”
“Ohoo nashukuru sana kufanya bishara na kijana mdogo sana ambaye anajiamini sana kama wewe”
“Nashukuru sana”
“Ohoo huyu ni mkurugenzi wa hii kampuni, anaitwa Biyanka Poul Mkumbo”
 
“Nashukuru kwa kuweza kufahamu”
Biyanka akajawa na kigugumizi kikubwa sana cha kuweza hata kuupokea mkono wangu kwani nina imani anakumbuka kila jambo ambalo amenifanyia jana mchana.
“Vipi Biyanka mbona kama una kigugumizi vipu muna fahamiana?”
“Hapana mkuu. Nashukuru sana kwa kukufahamu Ethan Klopp”
Biyanka alizungumza huku akinishika mkono wangu, nikauminya vizuri mkono wake ikiwa ni ishara moja ya kihuni. Tulipo maliza kutambulishana, nikaanza kufanya hatua za kuhamisha kiasi hichi cha pesa kutoka kwenye akauti yangu moja ya kibiasha na kuanza kuhamishia kwenye akauti ya mmiliki wa kampuni hii. Nilipo maliza zoezi hilo tukaandishikisha mikataba na nikawa mmiliki halali wa kampuni hii.
 
“Utabaki kuwa mkurugezi wa hii kampuni, kuanzia kesho nitahitaji kuweza kupata ripoti zote za hii kampuni. Kuanzia mauzo, hasara na faida zitokanazo na hii kampuni sawa Biyanka”
Nilitoa maelekezo haya  yote mara baada ya kumaliza kuandikishiana mikataba.
“Sawa mkuu”
“Utakabidhi Jojo namba yako ya simu na nitahitaji kuzungumza nawe mambo mengi sana ikiwezekana leo usiku kabla ya kesho”
“Sawa sawa mkuu”
Biyanka akanijibu kwa heshima zote, kiburi na dharua zote alizo kuwa akinifanyia jana usiku zote zimemuisha. Tukarudi hotelini na Jojo huku tukiwa na furaha kubwa sana kwani mpango wetu umekwenda kama vile tulivyo panga. 
 
“Hongera”
“Nashukuru Jojo, nakushukuru sana kwa kile ulicho nifanyia”
“Usijali, huyu binti amesha nipatia namba yake”
“Waoo sasa muda wa kwenda kuwaangusha maadui zangu hivi sasa umewadia. Umeona jinsi dharau zake zilivyo muisha”
“Yaa sasa kama unafanya kweli kweli mapenzi hakikisha kwamba unafanya kweli na ukimpata hakikisha ana kupenda kupitiliza na akisha kolea hakikisha kwamba una mpa pigo kubwa sana yeye na baba yake naamini kwamba huo ndio utakuwa anguko lao umenielewa”
“Nimekuelewa nanitafahanya hivyo kuhakikisha kwamba ninawaangusha chini yeye na familia yake.”

==>.ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 178 na 179 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
   
K2 akamshika kichwa Lucy na kukilaza kwa lazima kwenye meza. Akamnyooshea mkono mlinzi wake, akachomoa bastola na kukabidhi, K2 akaiweka bastola hii kwenye sikio la Lucy huku akinitazama kwa macho makali.
“Ninamuua huyu malaya wako uliye mtoa bikra na kikukaribisha nchini kwangu, sasa utajia kwamba nina uwezo wa kukufanya wewe chochote.”
Baada ya K2 kuzungumza maneno hayo, pasipo na huruma akafyatua risasi iliyo ingia sikioni mwa Lucy na kusababisha damu nyingi kusambaa kwenye meza yake jambo lililo nifanya nifumbe macho yangu kwa hasira kali na kujikuta nikijilaumu  ni kwa nini nimemuacha K2 hai kipindi nilipo pata nafasi ya kumuua.

ENDELEA
K2 akamsukuma Lucy pembeni kisha bastola akamrudishia mlinzi wake.
“Jinsi nilivyo mfanya huyu kunguni, ndipo siku nitakavyo kufanya wewe mwehu”
 
K2 baada ya kumaliza kuzungumza maneno yake akazima tv yake na kusasabisha giza kwenye Tv hii ninayo itumia.
“K2 amechanganyikiwa, alikuwa na haja gani ya kumuua msichana wa watu”
Livna alizungumza huku akikaaa kwenye kiti cha pembeni yangu. Nikakaa kimya huku nikiwa nimekosa jibu la kumjibu Livna. Moyo wangu ukazidi kujilamu kwa kusababisha mauaji ya Lucy ambaye nina imani kwamba amekufa kwa ajili yangu.
“Mazungumzo haya ninaweza kuyapata?”
“Kivipi?”
“Yaa unaweza kuyapata”
Ester alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Naomba niyapate”
 
“Unahitaji na hili pia ulirushe kwenye mtandao?”
“Ndio, tena ikiwezekana munaweza kuutoa upande wangu na kuuacha upande wa K2?”
“Inawezekana kila kitu tuna Edit”
“Naomba mufanye hivyo kama inawezekana”
Ester akaanza kufanya kazi ya kuweka sawa mauzungumzo yangu na K2, alipo maliza akanigeuzia upande wangu na kuonyesha upande wa K2 ambao anaonekana anazungumza na mtu asiye onekana.
“Unaweza kurusha hewani sasa hivi?”
“Ndio”
“Kwa video hii itakuwa ni rahisi kwa K2 kwenda kutolewa madarakani, na itakuwa ninafasi yapekee kuhakikisha kwamba nina mkamata na kumshuhulikia ipasavyo”
“Ila huyu si mtoto wa waziri mkuu?”
“Ndio”
“Hahaaaa, K2 sijui atafanywa nini na hawa watu jamani”
“Mwisho wa ubaya ni aibu”
“Tayari, japo Twiter aliifuta akaunti yetu ila nimeweza kuirudisha hewani”
“Waliifuta?”
“Ndio, akaunti nyingi za watu wanao jihusisha na ugaidi zimefutwa, ikiwemo na ya kwetu”
Ester alizungumza hukua kiendelea kuminya minya batani za laptop yake. 
 
“Sasa ukiirudisha tena si itafutwa tena?”
“Hapana mkuu, nimewapa onyo endapo wataifuta, basi na mimi nitaufuta mtandao wao unao waingiazia mabilioni ya pesa kwa siku”
“Imerudi na idadi ya watu wake?”
“Tena watu wameongezeka kutoka bilioni moja hadi watu bilioni mbili, duniani kote na akaunti yetu ndio inashika nafasi ya kwanza kuwa na watu wengi”
“Duuuu”
“Ninaimani kwamba Watanzia wataamua kufanya maamuzi sahihi ya kumtoa raisi wao madarakani”
Nilizungumza huku nikiitazama video hii, baada ya muda mlango ukafunguliwa akaingia msichana mmoja, akamfwata Livna sehemu alipo kaa, akamnong’oneza na kumfanya Livna kuchukua rimoti na kuwasha tv ambayo ninatumia kuzungumza na viongozi.
 
“Dany kiongozi wa kikundi cha Al-Quida anahitaji kuzungumza nawe”
Livna alizungumza huku akiwa ameishika ritoni na kidole kimoja kipo kwenye batani ambayo inaweza kuruhusu vidoe hiyo kuonekana.
“Al-Quida?”
“Ndio”
“Anaitwa nani huyo kiongozi?”
“Sijajua ila kama upo tayari tuwasiliane naye”
“Sawa muweke tuwasiliane naye”
Mtu aliye ifunika sura yake na kuacha macho yake tu, anaonekana mbele yetu huku, Ester akanipatia earphone fupi za kuvaa sikio moja.
“Akizungumza lugha yake huko utasikia kwa kiswahili”
“Habari yako bwana Eddy”
Sauti hii nzito yenye lafudhi ya kiarabu, ikanifanya nikae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama.
 
“Asalam ghaleykum?”
“Walyakum Mslam”
“Nimefurahishwa na utendaji wako wa kazi, niliamini kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kuiangaisha Marekani, japo sisi tunajaribu  kila siku ila tunaishia kupoteza vijana wetu ila wewe hadi sasa hivi sijasikia jina la kikundi chako wala kukamatwa kw amtu wako zaidi ya kukusikia upo peke yako, una uwezo gani Dany”
“Kabla sijakujibu maswali yako ninahitaji kuiona sura yako na pia itakuwa sio mbaya kama nitalifahamu jina lako”
Taratibu mwanaume huyu akaanza kuvua kitambaa kilicho ifunika sura yake, sote hapa chumbani tukastuka kwani mtu tunaye muona, tulisha sikia habari zake zamani sana kwamba alisha uwawa.
 
“Mimi ni OSAMA BIN LADEN”
Nikatamani kunyanyuka ila miguu ikaishiwa nguvu, kwani kipindi gaidi huyu anatamba kwenye vyombo vya habari, nilikuwa shuleni ninasoma na wala sikuwahi kufikiria kwamba ipo siku nitakuja kuonana naye.
“Nimesikia kwamba wewe umekufa?”
“Hapana, Wamarekani wameidanganya dunia, ila sijakufa. Nipo hai ninapanga mashambulizi mapya, ila wewe umeniwahi”
“Ndio yeye”
Ester alizungumza huku akitugeuzia laptop yake mimi na Livna na kweli sura hii tunayo iona kwenye hii tv ni sawa na sura anayo tuonyesha Ester.
“Mwili wako wako ulitolewa hadharani na kusemekena kwamba umeuwawa?”
“Nitakufa kwa kudra za Allah”
“Inshalah”
 
“Dany nitahitaji kushirikiana nawe kwenye mipango mingi. Mmarekani amenitesa kwa miaka mingi sana, ninaishia mafichoni nikijitahidi kuandaa jeshi jipya litakalo songa mbele kwa ajili ya kuhakikisha kwamba nina lipiza kisasi kwa Mmarekani. Kulipua magorofa yake ya twin tower bado haitoshi, nahitaji kufanya dunia inikumbuke tena na kufahamu kwamba nipo na nina weza kuibadili dunia”
“Kama ni kushirikiana ninahiaji kuonana kwanza na wewe, nami nitakubali kushirikiana nawe”
“Karibu sana, niambie ni lini unahitaji kuonana nami nami nikutajie muda na saa ya kuonana?”
“Baada ya siku mbili hizi tuonane”
“Sawa kesho jioni tutawasiliana nami nitakuambia ni sehemu gani ambayo tunaweza kuonana” 
 
“Sawa”
Video hii ikazimwa, taartibu nikajikuta nikishusha pumzi huku nikimtazama Livna usoni mwake.
 “Hili nalo jipya jamani”
Nilizungumza huku nikinyanyuka kwenye kiti changu kwani hichi nilicho kiona kusema kweli maishani mwangu ni kipya kabisa, kwani Osama Bin Laden kipindi anatamba duninai mimi nilikuwa bado kijana mdogo sana tena mwanafunzi.
“Ni kweli unahitaji kuonana na Osama?”
Livna aliniuliza kwa sauti ya chini sana, huku akinitazama usoni mwangu.
“Ndio”
“Ila huoni kwamba inaweza kuwa hatari sana kwa maana satelaiti zote duniani zinaitafuta sura yako?”
“Tutajua jinsi ya kufanya ila nitahitaji kuonana naye”
“Ester DNA ya Osama tuliye zungumza naye na hiyo picha zipo sawa?”
 
“Ndio mkuu, Osama hajakufa na vipimo vinaonyeshe ni yeye”
“Kwa hiyo Marekani ilidanganya watu?”
“Yaaa, walihitaji kujipatia umaarufu nahisi”
“Ila mwenzenu ninahisi kwamba huu ni mtego, wasije huyu akawa ni mtu wa kupandikiza na mwisho wa siku ikala kwetu?”
Livna alizidi kushauri kuliwekea msisitizo hili swala.
“Mkuu kwa hili sidhani kama inawezekana ikawa ni uongo, kwa maana hapa nimaengalia DNA test ina fanana”
“Na yule aliye uwawa na Wamarekani ni Osama gani, jamani roho yangu ina mashaka mwenzenu”
“Tungoje hadi kesho akiwasiliana nasi basi tunatujua ukweli wa mambo”
“Mmmmm haya”
“Hembu wasiliana na Marekani, nahitaji kuzungumza nao juu ya kumchukua Yemi”
 
“Hapana kwa sasa hembu waache kwanza kwa maana nina imani nguvu yao wameielekeza katika kutafuta mawasiliano haya yanapo  tokea, na wakiipata ujue tumekwisha”
“Sawa”
“Ila hili la kuonana na Osama tuwashirikishe na kina Martin”
“Sawa, kama inawezekana wakaja humu chumbani”
Livna akamuagiza msichana mmoja baada ya muda Martin na wezake wakaingia kwenye hichi chumba.
“Mama kijacho mbona hajaja jamani?”
“Amelala”
“Amepata chakula cha mchana?”
“Bado hajapata, ila hajisikia vizuri”
Bayanka alijibu huku akikaa kwenye moja ya kiti.
“Eheee hao Wamarekani wamepatwa na nini tena?”
Winy aliuliza huku macho yake yakiwa kwenye Tv inayo onyesha vikosi vya uokoaji jinsi wanavyo okoa watu ambao wamesalimika katika milipuko ya visima vya kutengenezea nyuklia ambavyo ni muda mchache nimetoka kuvilipua.
“Kazi ya Dany”
 
“DANY……!!”
“Unashangaa nini Babyanka?”
“Ila jamani si tumekubaliana kuachana na swala la kuanzisha vita?”
“Hujajua ni kitu gani kilicho tokea katika masaa haya machache”
“Wamefanyaje?”
“Wamekataa kumuachia Yemi, na wameonyesha utovu wa nidhamu wa kunikoromea”
“Hata kama Dany, ila si kulipua hivyo visima vya nyuklia, hivi unajua ni madhara gani yametokea kwa raia ambao hawana hatia?”
“Babyanka sasa hivi tambua tunaishi kwenye maisha ya aina gani, hakuna muda wa huruma, hakuna muda wa msamaha, hakuna muda wa kuogopana. Hapa ni ubaya kwa ubaya mpenzi wangu”
“Kusema kweli Dany maamuzi hayo sijayapenda”
“Ester muonyeshe video”
“Ipi?”
 
“Anza na video ya K2”
Ester kwa haraka akaanza kuminya minya batani zake, baada dakika moja Tv ikaanza kuonyesha video jinsi K2 anavyo muua Lucy kwa kumpiga risasi, jinsi video hii inavyo endelea kazi yangu ni kumtazama Babyanka usoni mwake.
“Hao watu ndio unahitaji waonewe huruma. Binti wa watu amefanya kitu gani hadi kumpa hukumu kama hiyo. Baba yake yupo kule mafichoni na tulimuahidi kwamba tunamrudisha mwanaye salama mikononi mwake. Sasa angalia alicho fanywa, bado tu unahitaji kuwaonea huruma viongozi kama hao. Wananchini wanaingia matatizoni kwa ajili yao, nilimshawishi aachie madaraka ila bado anang’ang’ania je kuna kitu ambacho unaweza kunishauri na kukulewa hapo?”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Babyanka machoni mwake.
 
“Lucy anadhambi gani inayo mstahili kuuwawa kinyama kama hivyo. Leo K2 anatumia jeshi kunitafuta mimi, anajificha kwa muamvuli wa uraisi, unahisi nikihitaji kumuangamizi, nitakwenda ikulu kumkamata eheee?”
Nikaendelea kufoka na kuwafanya watu wote humu ofisini kukaa kimya.
“Ninarudia tena, tunaishi kama magaidi, sura yangu nimeitangaza kwenye vyombo vya habari na ninajulikana kama gaidi, ila wamenifanya niwe gaidi, sikuzaliwa kuwa gaidi, sikuzaliwa kuwaua watu wasio na hatia.”
Machozi  yalinilenga lenga kwa uchungu ulio changanyikana na hasira kali sana.
“Dany nakuomba utulie”
Livna alizungumza kwa sauti ya upole huku akinishika mabega yangu.
“Babyanka ninahitaji uwe na roho ya kikatili, ninahitaji uwe na roho ngumu kama ilivyo yangu, sihitaji kushauriwa vitu ambavyo mwisho wa siku nitakwenda kuanguka. Nitafeli kwenye hili”
 
“Samahani Dany kama nimekukosea”
“Ok jamani kitu nilicho muagiza binti aje kuwaita ni kuhusiana na taarifa ya kuonana na Osama Bin Laden”
“Hahaa Livna ngoja kwanza, huu ni mchana hakuna aliyopo usingizini kusema kweli, kwa hiyo hembu rudisha akili yako hapa kwanza ndio uzungumze kilicho tuleta hapa”
Martin alizungumza huku akitabasamu, kwa jicho kali nililo muangalia Martin yeye mwenyewe akajikuta akikaa kimya hata tabasamua lilo lijenga usoni mwake likafutika kwani anatambua kwamba nimekasiriaka na sasa sio muda wa masihara kabisa.
“Ndio leo tumewasiliana na Osam Bin Laden”
“Jamani ila Osama amekufa?”
“Ni kweli Winy, kwa jinsi unavyo fikiria wewe nasi ndivyo hivyo tulivyo kuwa tunajua”
 
“Sasa amewasilana nanyi kwa simu au kwa njia gani kwa manaa hamuwezi kusema mumewasiliana na Osama kwa simu, sisi tutaamini vipi?”
“Ester wawekee video”
Ester akafanya kile alicho elekezwa na Livna. Martin na wezake wote wakaonekana kustushwa na video wanayo iona hapa. Wakasikiliza mazungumzo ambayo nilikuwa ninayafanya na gaidi huyu aliye hesabikia kwamba ni gaidi namba moja Dunia, japo kwa sasa inasemekana kwamba nimeichukua nafasi yake ya gaidi namba moja duniani, katika kizazi hichi cha karne ya ishirini na moja.
“Jamani sio mtu aliye vaa sura ya bandia, akawa ni muarabu aliyetumiwa na Wamarekani katika kuhakikisha kwamba wanakukamata mkuu?”
“Ester ametudhibitishia kwamba ni Osama mwenyewe”
“Amedhibitisha kivipi?”
 
“Kila kitu kwa sasa kinawezekana kupitia mtandao, nimeweza kui scan sura yake tuliyo kuwa tunaiona hapo, zimeendana na sura yake halisi na DNA, zinafanan kabisa.”
Ester alijibu na kutusaidia katika kumjibu Martin swali lake.
“Kazi iliyopo mbele yetu ni kuonana Osma Bin Laden, kikubwa ambacho tunachotakiwa kukifanya ni kuhakikisha kwamba Dany anakuwa katika mikono salama na kama atatoka atarudi salama, je ulinzi wake tutaumarisha vipi?”
Kila mtu akaka kimya akifikiria ni kitu gani cha kuzungumza katika hili.
“Mimi ninafikiria nitengenezewe sura inayo fanana na Dany nivishwe mimi kisha niende kuonana naye ili hata likitokea la kutokea tujue kwamba Dany halisi yupo”
“Martin wazo lako zuri sijui Dany mwenyewe unasemeje katika hilo”
“SIHITAJI KUONANA NAYE”
Nilizungumza kwa sauti nzito iliyo jaa mikwaruzo ya hasira ambayo imetoka kunipanda muda mchache, watu wote wakabaki na mshangao, kwani mimi ndio nilipanga kuonana naye ila nimebadilisha maamuzi yangu na nina imani kila mmoja niliye kaa naye humu ndani anahitaji kufahamu ni kwa nini nimekataa kuonana na Osama Bin Laden.


AISIIIII……….U KILL ME 179

“Kwa nini….!!?”
Livna aliuliza huku akinitazama kwa macho yaliyo jaa mshangao.
“Ninahitaji kumpatia kazi moja kabla hajakutana nami”
“Kazi gani?”
“Nahitaji amtafute Yemi, baada ya hapo ndio nitaweza kuonana naye”
Watu wakaka kimya huku wakinitazama mimi usoni mwangu.
“Ester hembu fanya mawasiliano naye”   
“Sawa”
Ester akaanza kuminya minya laptop yake.
 
“Hayupo hewani”
“Basi hiyo kesho akiwasiliana nami basi nitamueleza.”
Baada ya kuzungumza maneno hayo nikanyanyuka kwenye kiti changu na kuanza kujinyoosha kwa maana nimechoka sana kutokana na mechi niliyo ifanya na Livna.
“Jamani nina njaa mwenzenu”
“Hata mimi inabidi tukapate chakula”
Tukatoka chumbani humu na kuwaacha Martin na wezake wakitutazama kwa mshangao  kwani kikao tulicho waita ndio kimekwisha kwa mfumo huo.
“Dany inabidi K2 tumshuhulike kabla  hajaleta matatizo zaidi kwenye nchi ?”
“Unaweza kutuma vijana kwenda kumshuhulikia?”
“Kwa sasa ni hatari na vijana wangu anawajua wengi so inaweza kuleta matatizo”
“Hivi mtoto wake yupo wapi, si ana mtoto wa kiume mmoja?”
“Ndio anaye”
“Ninamuhitaji mtoto wake”
“Leo?”
“Hata ikiwezekana leo ninahitaji kumpata”
“Sawa ngoja niwape kazi ya kumtafuta”
“Tupate chakula kwanza ili tukiingia kwenye kazi ya kumtafuta basi  tunajua tunamtafuta mwanaye”
Tukaingia katika ukumbi maalumu ambao unatumika kwa ajili ya watu kupata chakula. Tukajitengea chakula cha kutosha, kisha tukaka kwenye moja ya meza na kuanza kula taratibu.
“Dany nikuulize kitu”
 
“Niulize”
“Kwa nini ulikuwa unanipa mikito ya namna ile?”
“Kwa nimefanya vibaya?”
“Hapana hujafanya vibaya, ila kusema kweli umenifanya nijihisi kufa, yaani hapana”
“Tuachane na hizo mada bwana, tule twende tukamtafute mtoto wa K2”
“Sawa”
Hata kabla hatujamaliza kupata chakula, akaingia Ester akiwa ameshika laptop yake, akaiweka mezani na kuifunua.
“Ninaona Wamarekani wanajiandaa kwa mashambulizi ya kivita”
Ester alizungumza huku akituonyesha video ya jinsi  ndege za kivita pamoja na meli za kijeshi zikianza safari yake.
“Hii video umeipata saa ngapi?”
“Dakika moja na sekunde kadhaa, sijajua sasa hizi ndege zao wanazipeleka wapi pamoja na meli”
“Isije wakawa wamegundua sehemu tulipo?”
Niliuliza huku macho yakiwa yamenitoka, kwani kufahamika nilipo ni kosa kubwa sana kwangu, kwani nitasababisha vifo vya watu watu wengi ikiwemo watoto wadogo sana waliopo kwenye hii meli.
“Sio  raisi”
Livna alinitoa wasiwasi.
“Ester hujajua hizo ndege zinakwenda wapi?”
“Sijajua nimeona zimeruka tu kutoka katika kambi zao”
“Hii ni nafasi”
 
Nilizungumza huku nikimtazama Livna usoni mwake.
“Nafasi ya nini?”
“Kuiingiza Marekani mikononi mwa Korea Kusini”
“Nimefwatilia nimeona Korea Kusini hawana uhasama na Marekani. Wenye uhasama na Marekani ni Korea ya Kaskazini”
“Kumbeee!!”
“Ndio, unataka kufanyaje?”
“Ester si unaweza kuyaandaa mabomu ya nyuklia yaliyopo  nchini Marekani?”
“Ndio, ila hadi nipate msaada wa wale wezangu wawili”
“Waite”
Ester akatoka hapa huku akikimbia, baada ya dakika mbili akarudi na wasichana anao shirikiana nao kwenye kufanya kazi za kimitandao ambao  wana ujuzi mkubwa sana katika mambo hayo. Kila mmoja ana laptop yake, wakaanza kufanya kazi ya kuandaa mambomu kadhaa ya nyuklia ambayo yapo nchini Marekani.
“Tayari”
 
Ester alizungumza hukua kinigeuzia laptop yake.
“Umeyaelekezea Korea Kaskazini?”
“Ndio”
“Ila ikiwezekana hayo mabomu musiyapeleke kwenye miji yenye watu”
“Unataka tuyapeleke wapi?”
“Nionyesheni ramani”
Msichana mmoja akamgeuzia Livna laptop yake na kumuonyesha ramani ya Korea Kaskazini. Livna akaitazama kwa muda kisha akahgua moja ya eneo.
“Yaelekezeni katika milima ya Paektu huko  ninaimani kwamba hakuna watu na kama wapo wanao ishi niwachahe sana”
“Samahani mkuu ila milima hiyo ni milima inayo toa Volcano kubwa sasa na hayo mabomu inakuwaje?”
“Hapa tunajenga uchonganishi, ninaimani nilazima Korea Kaskazini atajibu mashambulizi hayo”
“Sawa”
Ester akachukua laptop yake na kuanza kiminya minya tena batani kwa kasi kubwa, baada ya kufanikisha alichoa mbiwa akanigeuzia laptop yake.
“Unaweza kushambulia sasa”
“Ni mabomu mangapi?”
“Manne?”
 
“Dany ngoja kwanza”
“Ningoje kwanza kwa nini?”
“Ester hujatambua ni wapi ndege hizo zinaelekea, kwa maana tusije tukaingiza nchi hizi mbili kwenye vita na mwisho wa siku tukajilaumu jamani”
“Logate umeweza kujua ndege za Marekani zinaelekea wapi?”
“Ndio, zinaelekea Pakistani”
“Pakistani kufanya nini?”
“Ngoja niangalie”
Logate naye alizungumza hukua kiendelea kuminya minya laptop yake.
“Ohoo wameweza kunasa mawasiliano yako na Osama Bin Laden, ila wewe hawajaweza kujua upo wapi ila yeye ndio wameweza kujua yeye yupo wapi”
“Ester jaribu kufanya mawasiliano na Osama”
“Sawa”
Ester akaanza kufanya kazi hiyo.
“Nimempata, earphone hii hapa”
Ester baada ya kuzungumza hiyo akanipatia earphone maalumu ambayo inauwezo wa kubadilisha mazungumzo na kutoka katika lugha ya kiarabu hadi kuja katika lugha ya Kiswahili.
 
“Vipi tena Dany?”
“Wamarekani wameweza kusana mawasiliano yangu na yako, ila wewe ndio wameweza kujulikana upo wapi, sasa wameandaa ndege zao za kijeshi pamoja na meli kubwa za kivita zinakuja kukushambulia seheu ulipo, kama inawezekana wewe na vikosi vyako hakikisheni muonaondoka nchini Pakistani haraka iwezekanavyo”
Nilizungumza kwa haraka huku nikimtazama Osama Bin Laden usoni mwake. Akaonekana kustuka sana kwani ni taarifa ambayo hakuwa nayo na kama kukamatwa basi atakamatwa muda wowote kuanzia hivi sasa.
 
“Shukrani rafiki yangu Dady. Allah akubariki”
“Ukifanikiwa kupata sehemu iliyo tulia basi utanijulisha na nina imani kwamba mawasiliano haya wameyapata wamarekani”
“Nashukuru, ninaondoka sasa hivi”
“Sawa”
Wawasiliano haya ya video yakaishia hapa.
“Tuwasaidieni jamani”
Livna alizungumza kwa sauti ya upole.
“Kwa nini?”
“Mzee wa watu anatia huruma, unaona jinsi alivyo stuka, na nina imani hapo Wamarekani wamecharukwa kwa kumuona Osam Bin Laden tena akiwasiliana nawe”
 
“Tutawasaidia vipi wakati ndege ndio zipo njiani kwenda kumteketeza”
“Tunaweza kuzidungua”
Ester alizungumza huku akiwa amesimama.
“Kuzidungua zinawezekana?”
“Ndio, kila kitu tutatumia Satelaiti, ku activaite mabomu yao wao wenyewe na kuanza kushambuliana marubani kwa marubani”
“Sijakuelewa”
“Ngoja”
Ester alizungumza huku akivuta kiti tena na kukaa, nikamtazama Ester usoni mwake na kuona umakini wake katika kazi.
“Minya allpa huko kwako”
Ester alimuambia Logate, kila kitu wanacho kifanya kusema kweli sielewi hata kimoja. Kazi ikawachukua kama dakika saba wakawa wameshamaliza.
 
“Unaweza kuwasiliana na marubani na kuwapa onyo la kurudisha ndege zao sehemu wanapo tokea”
“Kwani zipo ndege ngapi?”
“Ndege kumi na mbili, zote ni jet F-22 Raptor, hizo ni ndege zenye uwezo mkubwa sana wa kushambulia kutokea angani, na sifa yake nyingine haziwezi kushambuliwa na ndege yoyote ya kivita wala bomu lolote ziidi ya wao kwa wao kushambuliana na hizi Jeti zipo Marekani tu na ukiona wameziachia leo  ujue ni mashambulizi makubwa sana wanayo kwenda kuyafanya”
 
Ester alitupa maelekezo huku akituonyesha ndege hizi za kijeshi zinazo itwa F-22 Raptor, muonekano wake tu zinaonyesha ni jinsi gani zilivyo hatari.
“Wamebakisha muda gani kufika Pakistani?”
“Dakika arobaini na tatu”
“Zina spidi kubwa kiasi gani?”
“Sijui nizifananishe na super concod labda, maada spidi yake ni kubwa mmono”
“Watanisikiao hao Marubani?”
“Ndio tuwasiliane nao kwa video call”
“Fany hiyo”
Ester akaiweka laptop yake mbele yangu na kuniweke usawa wangu. Nikaona video za marubani kumi na mbili wakiwa katika kazi ya kuziongoza ndege hizo.
“Habari zenu, nina imani kwamba mumenisikia. Sihitaji kujitambulisha kwenu, ninacho kihitaji sasa hivi kama munaipenda nchi yenu hakikisheni kwamba munageuza ndege zenu na kurudi kwenye kambi zenu nchini Marekani la sivyo hakuna hata mmoja wenu atakaye fika nchini Pakistani.
“Wewe ni nani?”
Rubani mmoja alizungumza huku akinitazama.
“Dany”
 
“Hatusikilizi amri kutoka kwa kwako, amri inatoka kwa raisi wa Marekani”
Rubabi huyo anaye onyesha ndio kiherehere alizungumza kwa kujiamini sana. Nikaifunika laptop hii na kuwafanya watu wote kushangaa.
“Twendeni chumba kile hapa siwaoni vizuri hawa, wajinga. Pia wasilianeneni na makamu wao wa raisi”
“Tayari amesha apishwa sasa hivi ni raisi”
“Vyoyote wasilina naye”
Nilizungumza huku tukitembea kwa kasi kuelekea katika chumba hicho. Tukakuwakuta Martin na wezake wakitazama Tv.
“Jamani kuna kazi muhimu, ninawaomba wote munyanyuke kwenye vitu na mukae pembeni”
Nilizungumza huku nikikifwata kiti ambacho ninapenda kukaa na kipo mbeke ya video ambayo huwa ndio nina wasiliana nao. Hapakuwa na mtu hata mmoja aliye bisha wote wakanyanyuka na kusimama pembeni ili kuto onekana kwenye video hii.
 
“Umewaunganisha kwenye tv?”
“Ndio tv namba moja na mbili zitatumika zote”
Ester alizungumza huku akibadilisha mfumo wa tv inayo onyesha taarifa ya habari. Na ikaonyesha marubani hawa nilio kuwa nina wasiliana nao, huku tv namba moja ikiwaonyesh viongozi  wa Marekani walio kaa kwenye kikao cha pamoja akiwemo na raisi wao bwana Sound.
“Nimewapa amri vijana wako kurudisha ndege zao na kusitisha zoezi la kwenda kumshambulia Osam Bin Laden nchini Pakistani ila bado wanasonga mbele. Sasa wewe ndio mtu wa pekee unaye weza kudilisha maamuzi kwa maana wamedi kwamba wewe ndio umewapa amri”
 
Viongozi wote wa Marekani wakabaki wakiwa wameshangaa, kwani nina imani kwamba hawajui ni jinsi gani nimeweza kufahamu siri yao ya mashambulizi wanayo kwenda kuifanya kwa Osama.
 
“Dany siwezi kubadilisha maamuzi yangu”
“Muheshimiwa raisi, ninakuheshimu na hao vijana wako wanao endendesha hizo F-22 Raptor wana familia zao zinazo wategemea. Wewe na hao wajinga wezako mumekaa hapo hamjui maumivu yoyote ambayo watayapata. Sasa ni ombi langu la mwisho kwako, waambie warudishe ndege kwenye kambi zao”
“Siwezi kumsikiliza Muafrika mjinga kama wewe, huwezi kuitawala Dunia kwa kauli zako za kipumbavu na kizembe nitahakikisha ninakukamata”
 
“Sawa muheshimiwa raisi. Mimi ni Muamfrika mjinga ila nilazima niiangushe Marekani chini”
Nilizungumza kwa msisitizo, kisha nikamgeukia Ester ambaye yupo pembeni yangu na haonekani kwenye hizi tv. Kwa ishara ya macho ikatosha kumuelewesha Ester ni nini anacho takiwa kukifanya. Ester na wezake wakaanza kazi ya kuziongoza wao hizi ndege. Haikuchukua hata sekunde kumi, ndege ya rubani namba moja ikaanza kuonyesha chenga kwenye kipande chake cha video ikimaanisha kwamba tayari amesha lipuliwa na mwenzake. 
 
Nikaendelea kumtazama raisi huyu mpya wa Marekani bwana Sound usoni mwake, ambaye yeye naye na viongozi wezake wanawaona marubani wao kwenye Tv kubwa lililopo katika ukumbi wao wa mikutano. Ndege ya pili nay a tatu nazo zikalipuka, na kuzidi kuwapa hofu viongozi wa Marekani. Ndege ya tato nayo ikalipuka na kuzidisha idadi ya vifo vya marubani hawa kuongezeka, hata ukaaji wa raisi kwenye kiti chake ukawa ni wa kuhangaika. 
 
‘Nyinyi si ndio taifa kubwa duniani, sasa mimi ndio nitakuwa mkubwa kwenu. Shenzi’
Nilizungumza kimoyo moyo huku  nikiendelea kuwaangalia viongozi hawa. Ndege ya sita na saba nazo zikalipuka, ndege ya nane nayo ikalipuka na zikabaki ndege nne, nikamuoan mzee mmoja aliye valia nguo za jeshi zenye vyeo vingi akisimama kwenye kiti chake. Taratibu akapanda kwenye meza yao ambayo ni kubwa, akapiga magoti chini huku akinitazama mimi.
“Dany ninakuomba usiendeleze vifo vya marubani hawa wasio na hatia”
 
“Una fanya nini jeneral?”
Raisi alizungumza kwa ukali sana huku akimtazama jeneral huyo ambaye sijui ni wa kitengo gani cha jeshi.
“Dany mimi ni jeneral wa jeshi la anga, hao ni vijana wangu ninakuomba usiwateketeze zaidi”
“Mtoeni hapa, nchi yangu haiwezi kuingia mikataba wala kumsujudia Gaidi tena mtu mweusi”
Raisi alizungumza, wanajeshi wengine wakataka kumshika jeneral wao, ila akanyoosha mkono kwao na kuwazuia.
“Muheshimiwa raisi, nchi yetu ni kubwa sikatai ina kila aina ya uwezo wa kumuangamiza gaidi yoyote duniani, ila kwa Dany, kubali yaishe. Makosa ambayo aliyefanya marehemu Donald Bush tumuombe Dany yaishe mambo sasa hivi yapo ifuani yakifika shingoni, hakuna hata mmoja ambaye atatoka katika hili jego”
Baada ya jeneral huyo wa jeshi kuzungumza hivyo akashuka mezani na kutolewa eneo hilo. Viongozi wote sura zao zikabaki zimejawa na wasiwasi.
 
“Endeleni kusonga mbelee”
Raisi Sound akili zake wala sijui zipo vipi, kwani alicho kizungumza sikielewi kabisa, nikamtazama Ester sikumpa ishara yoyote.
“Siwaui marubani wako, sasa wewe ndio utawaua kwani mashambulizi sasa hivi yatakuja kwako hapo Washington D.C ulipo, jiandae muheshimiwa raisi”
Viongozi  wote wakaanza minong’ono wengi wakionekana kugopa sana kwa kile kitakacho kwenda kutokea hapo baada ya muda mchache. Ester na wezake ambao kwa sasa ndio wana uwezo wa kuziongoza ndege hizo wakafanya kile nilicho kizungumza, na ndege hizo zikageuzwa badala ya kueleke Pakistani zikaanza kueleke Marekani kwenye mji wa Washington D.C na zikifika hapo nilazima zifanye mashambulizi za kulichangua jengo hilo la serikali alipo raisi Sound na viongozi wengine wote na inchi itakosa kiongozi wa kisiasa kwani nilazima wafe.
 
ITAENDELEA
‘Haya sasa DANY anazidi kuwa tishio kubwa kwa nchi kubwa DUNIANI Marekani, Je ndege hizo zitafanikiwa kushambulia jengo hilo la kiserikali alipo raisi Sound aliye chukua madaraka baada ya raisi Donald Bush kuuwawa kikatili na Dany? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

Idadi ya vifo vya watu walikufa na Tsunami Indonesia Yafika 373

$
0
0
Idadi ya vifo iliyotokana na janga la kimbunga cha Tsunami kilichoikumba Indonesia inaendelea kuongezeka. Watu 373 wamethibitishwa kupoteza maisha na wengine 1,400 wamepata majeraha.

Kwa mujibu wa DW Swahili, Idadi hiyo ya vifo inategemewa kuongezeka zaidi, huku watu 128 wakiwa hawajulikani walipo hadi sasa hasa katika maeneo yaliyoathirika vibaya ya pwani ya kisiwa cha magharibi cha Java na kisiwa cha kusini cha Sumatra.

Juhudi za kutafuta miili ya mamia ya watu pamoja na kuwanusuru waliopata majeraha zimeongezeka leo hii kufuatia kimbuga cha Tsunami cha hivi karibuni kilichopiga nchini Indonesia. Wataalamu wamekusanya ushahidi unaothibitisha kwamba kimbunga hicho kilichochewa na mlipuko wa volkano.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images