Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Wimbo Mpya: Young Killer - Apple DSM

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Young Killer anakukaribisha kusikiliza wimbo wake mpya unaokwenda Apple DSM. Itazame hapa.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO 0783185060,  0752348593  -DR AGU

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

DNA sasa kutumika Kuwabaini Wanaowapa Mimba Wanafunzi

$
0
0
Wilaya ya Nyang’hwale imesema itaanza  kupima vinasaba kati ya mtoto na mwanamume aliyemuoa mwanafunzi ili kubaini kama ndiye baba halisi.

Hatua hiyo imekuja kutokana na wanafunzi wanaoacha shule kwa kupata ujauzito kukataa kuwataja wanaowapa mimba kwa madai hawawafahamu, lakini baada ya kujifungua huolewa na kudai aliyeoa si baba wa mtoto.

Akizungumza hivi karibuni kuhusu hatua zilizochukuliwa kutokana na wilaya hiyo kurekodi mimba zaidi ya 160 za wanafunzi kwa kipindi cha miaka mitatu, Mkuu wa Wilaya hiyo, Hamimu Gwiyama alisema Serikali imeamua kuwasaka hata ambao wameolewa ili kubaini kama wanaume hao ndiyo waliokatisha ndoto zao za masomo.

“Wanafunzi wengi waliopata mimba sasa wameolewa, lakini wanapohojiwa kujua aliyewapa mimba, wanadai hawamjui au hawamkumbuki, sasa polisi watafanya uchunguzi na kuwahoji wote wawili kujua ukweli itakapokuwa ngumu tutawapima vinasaba.”

Alisema Waraka wa Elimu namba tano wa mwaka 2011 unaoruhusu mwanafunzi kufukuzwa shule baada ya kuwa mtoro kwa siku 90, umechangia wazazi wengi kuwakatisha masomo wanafunzi na kuwaoza.

“Tumeanza operesheni ya kuwasaka wote walioacha shule haijalishi ni baada ya miaka mingapi, bali wote walioacha shule tutawachukulia hatua. Lengo la operesheni hii ni kumaliza tatizo la mimba, tuwajengee hofu wanaume wanaowaoa wanafunzi,” alisema Gwiyama.

Alisema moja ya sababu zinazochangia wanafunzi kubeba mimba ni mila ya Kisukuma ambayo huwapa chumba maalumu cha nje watoto wa kike baada ya kuvunja ungo, hali ambayo huwafanya wengi wao kuwaingiza wanaume na kulala nao.

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel akizungumzia tatizo la mimba kwa wanafunzi, alisema wazazi na jamii wanayo nafasi kubwa ya kusaidia kulimaliza tatizo hilo kwa kujenga maadili kwa watoto. Takwimu zinaonyesha kuwa wanafunzi 170 wa sekondari katika Mkoa wa Geita kwa mwaka 2017 waliacha shule kwa kupata ujauzito huku 90 wa shule za msingi wakishindwa kuendelea na masomo baada ya kupata ujauzito.

Pia, mkoa huo una tatizo kubwa la utoro kwa wanafunzi, takwimu zinaonyesha kati ya wanafunzi 13,139 walioanza kidato cha kwanza mwaka 2014, ni wanafunzi 7,912 tu ambao ni sawa na asilimia 60 waliomaliza kidato cha nne mwaka 2017.

Dk. Bashiru: Sitawavumilia Viongozi Wa CCM Wenye Uchu Wa Madaraka

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Dkt Bashiru Ally Kakurwa amewasisitiza wale wote wanaohitaji Uongozi katika nyadhifa mbalimbali ndani ya CCM, Kujipanga kwa Sifa, Sera nzuri zitakazowauza na si kwa kurubuni, wala kuhonga Wananchi.

Alisema hayo mwishoni mwa wiki mkoani Kagera, wakati akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali pamoja na wananchi waliojitokeza kumpokea.

Katika maelezo yake, Dk. Bashiru amesisitiza juu ya wagombea kufanya siasa za maendeleo, na si siasa chafu za kugawa watu, kujikomba, kurubuni wala kutoa hongo huku akiwataka wanachama kuanza kubaini wanachama wenye sifa, wenye uchu na maendeleo  na wasioweka mbele masilahi binafsi, ili uchaguzi ujao uwe wa mfano, kama chaguzi zilizofanyika enzi za TANU.

Sambamba na hilo Dk. Bashiru amenukuliwa akisema, kiongozi atakaechaguliwa kwa kutumia njia za ulaghai hata kama atakuwa amepitishwa, akibainika ataenguliwa mara moja.

Katika hatua nyingine kiongozi huyo wa CCM amewataka viongozi waliopo madarakani waachwe wafanye kazi, kwani muda wa kuanza kunadi sera bado, hivyo kwa wale ambao wameaanza kupita pita kwa wanachama waache mara moja kwani tayari orodha yao anayo kwa nchi nzima.

Kuhusu wawekezaji, Dkt. Bashiru amesema Tanzania bado ni maskini na nyenzo pekee ya kujikwamua kutoka katika umasikini huo ni kupitia sekta ya kilimo, hivyo hapendezwi na hali iliyopo kwa sasa ya kuwaruhusu wawekezaji kutoka nje ya nchi kufanya shughuli za Kilimo, Ufugaji Na Uvuvi.

Hivyo, amemuagiza Naibu Waziri wa Kilimo, Innocenti Bashungwa kuwa kwa wale ambao wameshapewa nafasi ya Kufanya shughuli hizo wawe wa mwisho,  na kwamba ardhi ya Tanzania ilimwe na Watanzania wenyewe, na kuanzia sasa Wizara haitatakiwa kutoa vibali kwa wawekezaji katika Sekta ya Kilimo kufanya Kilimo ndani ya nchi yetu.

Dkt. Bashiru yupo Mkoani Kagera kwa Mapumziko mafupi pamoja na ziara ya kikazi aambapo kuanzia Disemba 26, mwaka huu ataanza ziara hiyo kwa kukutana na viongozi wa Chama kutoka Missenyi, Bukoba na Bukoba Mjini.

Tiba Hii Ya Asili Inatibu Na Kuponyesha Kabisa Tatizo La Low Sperm Count Pamoja Na Tatizo La Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

$
0
0
Unasumbuliwa  na  tatizo  la  low  sperm count ? Umejaribu  tiba  nyingi  bila  kupata  nafuu  ? Kama  jibu  lako  ni NDIO  basi  HII  NI  HABARI NJEMA  SANA  KWAKO.  Neema   Herbalist  ni  duka  la  kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili.  Tunapenda  kukufahamisha  kuwa  tunayo  dawa  ya  asli   ambayo  INATIBU  na  KUPONYESHA  KABISA tatizo  la  LOW  SPERM COUNT pamoja  na  tatizo  la  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

 MAELEZO  YA  PICHA  YA  TIBA  HII  NI  KAMA  IFUATAVYO :
No. 1 :   Katika  tiba  hii  dawa  hii  inafanya  kazi  ya  kuongeza  kiwango  cha sperms.   Mtu  alie  tumia  dawa   hii  hutoa  sperms  nyingi  na  pia  wale   wanao   lalamika  kwamba  wakiwa  wanatoa  sperms zinakuwa  hazi  shoot  basi  hii  ni  tiba  sahihi kabisa  kwao kwani  mwanaume  akitumia  dawa  hii  basi  wakati  wa  kutoa  sperms  zinakuwa  zinatoka  kwa  mtindo wa  kushoot.

Mbali  na   kutibu  tatizo  la  low  sperms  count  dawa  hii  pia  inatumika  kuongeza  ute  ute  kwenye  joint  mbalimbali  mwilini  kama  vile  kwenye  magoti, viwiko  nakadhalika.  Ni tiba  nzuri  sana  kwa  mtu  aliye  vunjika  mifupa.  Kama  mtu  amevunjika  mifupa   akitumia   dawa  hii  itamfanyia  wepesi  sana  katika  tiba  yake  kwani    husaidia  sana  kuongeza uteute  kwenye  joints.

Dawa  hii  pia  husaidia  katika  kuipa nguvu  misuli ya  uume.
Jinsi  ya  kutayarisha  dawa  hii. Unamenya  kisha  una  I chip ( una  kata  kata  )  vipande  halafu  unavitia  ndani  ya  chupa  yenye  maji  au  chombo  chochote  chenye  maji.   Baada  ya  lisaa  limoja    ute  ute wa  dawa  hii  unakuwa  tayari  umefyonzwa  kwenye  maji  na  maji  yanabadilika  rangi  ya damu yam zee.

Na  jinsi  ya  kutumia  unakuwa  unatumia  kunywa  glasi  moja  asubuhi  na  glasi  moja  usiku  kwa  muda  wa  siku  thelathini.  Utaona  maajabu  makubwa  sana  katika suala  zima  la  kutoa  sperms  nyingi,  kushoot  sperms na nguvu  za  kiume  kuimarika

No.2  ; Haya  ni  mafuta  ya  asili  yenye  faida  nyingi sana katika  tiba . Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  mafuta  haya   ya  asili  ndio  mafuta  yenye  nguvu  kuliko  mafuta  mengine  yoyote  yale  yatokanayo  na  miti au  mimea.  Hata  mafuta   ya  Mzeituni   pamoja  na  mafuta  ya  Habbat  Sawda  yanaachwa  mbali  kabisa  katika  ufanisi  wa  kitiba  na  mafuta  haya.  Kwa  lugha  nyingine  mafuta  haya  yana  nguvu  kubwa  kuliko  hata  mafuta ya  Habbat  sawda  na  mafuta  ya Mzeituni.

Tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  zinaeleza  kuwa  mafuta  haya  yana  uwezo wa  kutibu  magonjwa  na  matatizo  ya  kiafya  karibu  yote  yanayo  msumbua  mwanadamu.

Mbali  na  kutumika  katika  tiba  dhidi  ya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, mafuta  haya   yanatumika  pia  katika  tiba  ya  kupunguza  uzito  na  unene , kuondoa  manyama  uzembe  pamoja  na  kuondoa  mafuta  yasiyo hitajika  mwilini  yani  “  bad  cholesterol “

Vile  vile  mafuta  haya  yana  tajwa  na  wanasayansi  kuwa  na  uwezo  mkubwa  sana  wa  kutibu  tatizo  la  sukari  ya  kupanda  na kusawazisha  kiwango  cha  sukari  kwenye  damu.

Katika  tiba  dhidi  ya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, mafuta  haya  husaidia kusafisha  mishipa  ya  damu  mwilini , kusafisha  mishipa  inayo  peleka  damu  kwenye  misuli  ya  uume,  kusawazisha  kiwango  cha  sukari  kwenye  damu,  kuondoa  mafuta  mabaya    kwenye  damu “ “bad cholesterol “ au   lehemu  mbaya  kwa  jina  lingine  pamoja  na  kubalance  homoni.

 Jinsi  ya  kutumia  mafuta  haya  katika  tiba  hii, mtumiaji  anatakiwa  kutumia  kichupa  kimoja  kila  siku  kwa  muda  wa  siku  thelathini. Kwa  hiyo  kila  siku  atakuwa anatumia  kichupa  kimoja kula  mafuta  haya  na  atakuwa  anakula  vifuniko  viwili  vya  mafuta  hayo  mara  tatu  kwa  siku  yani  asubuhi anakula  vifuniko  viwili, mchana  vifuniko  viwili  na  usiku  vifuniko  viwili. Atafanya  hivyo  kwa  muda  wa  siku  thelathini.  Mteja wetu  atakae  hitaji   tiba  yetu  hii, atapatiwa  vichupa  vyote  thelathini  pamoja  dawa  namba  moja  na  namba  tatu.   Na  baada  ya  siku  hizo  thelathini  za  tiba  hii, basi mgonjwa  atakuwa  amepona  kabisa  tatizo  la  ukosefu  bna  upungufu  wa  nguvu  za  kiume  pamoja  na  tatizo  la  low  sperm count.

No. 3.  Hii ni  dawa  yetu  ya  asili  iitwayo  Jiko  ambayo  inatokana  na  miti  na  mimea  mbalimbali. Dawa  hii  inafanya mambo mengi  sana  katika  tiba  ya  tatizo  la  ukosefu na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. Baadhi  ya  mambo  hayo   ni pamoja  na  kuimarisha  mishipa na misuli   ya  uume, kutibu  uume  ulio legea  na kusinyaa  kwa  sababu  ya  punyeto, kukupa  wuezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu  pamoja  na  uwezo  wa  kurudia tendo  la  ndoa   bila  kuchoka.  Dawa  hii  imeelezewa  zaidi  kupitia  makala  yetu  nyingine  ambayo    uanweza  kuisoma  hapa  chini:

http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html?showComment=1531548155915#c4496211800795986975

JINSI  YA  KUPATA  TIBA  HII : Fika  katika  duka  letu. Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONA  HOUSING  nyuma  ya  jingo  la  UBUNGO  PLAZA.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba     0693   005  189.

Kwa  wateja  wetu  waliopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu, tunayo  huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali popote  walipo  ndani  ya  jiji  la  Dar  Es Salaam ( HOME AND OFFICE  DELIVERY )

Na  kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus mbalimbali  na  wale  waliopo  Zanzibar  tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  boti . Pia  tunatuma  dawa   kwa  wateja w etu  waliopo  NAIROBI, MOMBASA, KAMPALA, KIGALI , BUJUMBURA  na  LUSAKA.

Kwa  taarifa   zaidi  kuhusu  huduma  zetu  tutembelee  kila  siku  kupitia  blogu  yetu :

www.neemaherbalist.blogspot.com

Martha Mwaipaja Afunguka Kuachana na Mumewe

$
0
0
Mwanamuziki wa Injili nchini, Martha Mwaipaja amefunguka kuhusu tetesi za kuachana na mume wake, Mchungaji John Said baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa wawili hao wametengana.

Martha amesema kuwa, kila jambo atalizungumza kwa majira yake kwakuwa, muda ndio kila kitu na ukifika ataweka wazi kila kitu ili watu waelewe.

"Kila jambo na majira yake, suala la mimi kutalakiana na mume wangu ntaliweka wazi muda ukifika, kwasasa siko tayari", amesema Mwaipaja.

Martha ameongeza kuwa kila mwanadamu anakutana na vitu tofauti tofauti katika maisha, na maandiko yanachukia talaka hivyo inategemea katika maisha ya ndoa unapitia kitu gani au aina gani ya maisha.

Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii, zilizagaa taarifa zilizodai kuwa mwanamuziki huyo wa Injili amemwagana na mumewe ambaye pia ni mchungaji.

Wimbo Mpya wa Mh Temba – Kulikoni

$
0
0
Wimbo Mpya  wa Mh Temba – Kulikoni

Jeshi la Polisi Labuni Mkakati Maalumu Kukabili Ajali za Viongozi na Watumishi wa Umma

$
0
0
Ili kudhibiti wimbi la ajali za barabarani zikiwamo zinazohusisha gari za viongozi na watumishi wa umma, Jeshi la Polisi jijini Dodoma limeeleza mikakati yake ikiwamo kuwapa mafunzo ya muda mfupi.

Hayo yalielezwa jijini hapa jana na Kamanda wa Polisi Dodoma, Gilles Muroto, ofisini kwake alipozungumza na waandishi wa habari walio katika mradi wa usalama barabarani unaosimamiwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO).

“Dodoma ni mji mkuu na makao makuu ya nchi, viongozi wengi wa Serikali wamehamia hapa akiwamo Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola na wakuu mbalimbali wa nchi.

“Shughuli nyingi za kitaifa zinafanyika hapa, kwa msingi huo tunahakikisha tunaimarisha usalama kila kona hadi huko barabarani, wanakuja salama na kuondoka salama, hakuna ajali,” alisema.

Alisema ili kuhakikisha madereva wa viongozi na watumishi wa umma wanaendelea kuendesha kwa usalama wanawapa mafunzo ya miezi mitatu.

“Hivi karibuni kulikuwa na changamoto ya ajali, tumechukua hatua, tunawaita, wanakaa kwenye bwalo letu pale tunawafundisha, lengo ni kuwakumbusha maana mtu anaweza kuwa amepata leseni muda mrefu,” alisema.

Msajili awataka wanasiasa wa Upinzani waache utoto wa Kukwepa Wajibu Wao

$
0
0
Baada ya muungano wa vyama 10 vya upinzani kutoa tamko lao la pamoja kupinga maamuzi ya ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ya kusitisha vikao vya baraza la vyama vya siasa bila kujulisha, ofisi hiyo imeibuka na kujibu tuhuma hizo.
 
Ofisi hiyo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imewataka viongozi hao kuacha  utoto wa kukwepa wajibu wao  wa kuwasiliana na ofisi hiyo, pale wanapoona kuna jambo linawatatiza badala ya kukimbilia katika vyombo vya habari.

Akijibu tuhuma hizo kwa niaba ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amesema, viongozi hao wa upinzani wanakwepa wajibu wao wa msingi kwa kufanya siasa nyepesi isiyoakisi maana mzima ya kukuza demokrasia nchini.

“Sasa hao wanaosema hawakuwashirikishwa wanataka ushirikishwaji wa namna gani,” amehoji Nyahoza.

Amesema kanuni ya baraza hilo linaruhusu kuahirishwa kwa kikao pale panapokuwa na sababu na uamuzi huo hufanyika baada ya majadiliano na Mwenyekiti wa baraza la vyama.

Nyahoza amesema Katibu wa baraza ambaye ni Msajili, aliwasiliana na Mwenyekiti wa baraza kisha wajumbe wakataarifiwa kwa simu na kwengine kwa njia ya mdomo kwa kuwa kanuni zinaeleza jambo hilo.

"Tumesikia malalamiko yao mengi hayana msingi, ni sababu za porini kwa kuwa ofisi yetu ipo wazi walipaswa kuja kupata ufafanuzi kabla ya kwenda kwenye vyombo vya habari na hii kwa kweli imetusikitisha,” ameongeza.

Pia amesema ofisi yake ilishatoa sababu ya kuahirishwa kwa kikao hicho kuwa ni kupisha uchaguzi mdogo wa marudio na kusisitiza  kwamba baada ya uchaguzi huo baraza litakutana tena kujadili mambo yao.

CCM Hawana Sikukuu...Polepole Atangaza Ratiba Ngumu ya Kufungia Mwaka

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa katika kipindi mwisho wa mwaka atakuwa katika utekelezaji wa majukumu ya chama bila kupumzika.
 
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa twittwer Polepole ameandika kuwa atakuwa katika mkoa wa Ruvuma akiitekeleza Ilani ya Chama chake chini ya Rais, Dkt. John Magufuli.

"Mwisho wa Mwaka huu niko Mpitimbi, Likuyufusi, Lutapwasi, Mhukuru, Madaba, Bomba Mbili, Mkenda na Lipaya nitakuwa nakagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM. Heko John Pombe Joseph Magufuli na Wana CCM kwa kazi nzuri, hongereni", ameandika Polepole.

Akiwa jimboni humo Polepole kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi amempongeza Mbunge wa Jimbo la Peramiho, lililopo Wilaya ya Songea Vijijini Mkoani wa Ruvuma, Jenista Mhagama kwa kuekeleza kwa asilimia kubwa Ilani ya chama hicho

CHADEMA Wataka Maboresho Daftari la Wapiga Kura....Wazungumzia Pia Kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kanda ya Pwani kimetaka kufanyika kwa maboresho ya daftari la wapiga kura mapema ili kuepuka zima moto.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Desemba 24, 2018, Mwenyekiti wa kanda hiyo, Frederick Sumaye amesema kazi hiyo ifanyike kwa muda muafaka na mapema ili baadaye isije kufanyika kwa dharura.

"Ili kulinda haki za raia tunapenda kuikumbusha serikali kuwa ni lazima zoezi la kuhakiki daftari la wapiga kura ifanyike kwa muda muafaka bila kuifanya kama zoezi la dharura ili kila mpiga kura apate haki yake ya kuandikishwa."Amesema Sumaye

Akizungumzia kuhusu kuwepo kwa tume huru ya Uchaguzi, Sumaye amesema; "Kwa ajili ya mapungufu kwenye muundo mzima wa Tume ya uchaguzi,kama jambo la umuhimu wa kipekee Tume HURU ya uchaguzi ambayo haitapewa maelekezo na utawala na itakuwa na watumishi wake bila kutegemea watumishi wa serikali,iundwe haraka kwa vyovyote kabla ya uchaguzi ujao"

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
HABARI NJEMA KWA MLIOATHIRIKA NA MAGONJWA YA MWILI NA AKILI.
Sasa dokta MBALU ana uwezo mkubwa wa kutibu magonjwa yaliyoshindikana,Kama umehangaika kwa muda mrefu bila mafanikio DK.MBALU Ni kiboko kabisaa.

TIBA ATOAZO NI:- (a)Vidonga vya tumbo,kilungulia,Tumbo kujaa gesi.
 (b)Kifua kikuu(TB),Pumu(ATHMA) na Rovu
(c)Miguu kuwaka moto,nyama za magoti kuuma,kiuno na mgongo.
(d)Uzazi na chango.
 (e)Nguvu za kiume,kurefusha na kunenepesha uume,busha,mshipa wa ngiri na tezi dume.
(f)Elimu mwanafunzi kuwa na uwezo mkubwa darasani na kufanya vizuri katika mitihani yake, kupandishwa cheo kazini, kulipwa madeni au mafao yako.
(g) kutoa ushauri nasaha kwa wenye matatizo ya kisaikolojia.

      AINA ZA DAWA.
NINJIWE:-,Hutibu vidonda vya tumbo,tumbo kujaa gesi,na kilungulia,vidonge 16 kwa muda wa siku nne na ya unga.
MPALAMA:-,Hutibu Kifua kikuu (TB), Pumu (ATHMA),na wenye tatizo la uvimbe katika koromeo yaani (ROVU),Huisha na kutorudi Tena.,dozi siku 6.

NKOLA:-,Hutibu miguu kuwaka moto,nyama za goti kuuma,kiuno na mgongo dozi siku 10.
MWATYA:-,Hutibu Uzazi au chango,dozi siku 30,na tatizo kupona kabisa.

LYONGO POWER:-,Hii ni dawa ya heshima kwa akina baba yenye uwezo wa kurefusha na kunenepesha uume kwa wale wenye maumbile madogo yaani (KIBAMIA).

NENGONENGO(4)POWER:-,Hutibu Nguvu za kiume na kuleta hamu ya tendo hivyo kuchelewa kufika kileleni na kuweza kurudia tendo zaidi ya mara (4),ina Nguvu mno Kama Ni muhanga wa tatizo hili   tumia NENGONENGO (4)POWER Ipo aina ya vidonge na unga dozi Ni siku 5 unapona kabisaa wahi Sasa.

NTUNDWA:-,Hutibu busha,mshipa wa ngiri na tezi dume,Busha dozi Ni siku (30),bila kufanyiwa operation,Mshipa wa ngiri dozi siku (4) na tezi dume dozi siku (10).

GWATA:-,kuuwa kesi na shauri kupangiwa tarehe za karibu zaidi na baadae kesi kufutiliwa mbali kabisaa.
NUGWANO:-, Humfanya mtu kuheshimika na kupandishwa cheo kazini pia kulipwa madeni au mafao kwa wakati muafaka.

NKOMA:-, Hurudisha mke,mme,hawara, mchumba ndani ya siku mbili atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine..

  Huduma zinatolewa ndani ya masaa 12,Saa moja asubuhi Hadi kumi na mbili jioni,DAR ES SALAAM NA KAHAMA wa mikoani unapata huduma kwa njia ya kusafirisha..na huduma yetu inakufikia ukiwa ofisini au nyumbani kwako..,


CONTACTS;  0744922982  au  0716, 608  ,959 au 0784475946

 OUR SERVICES ARE EASY.

Wimbo Mpya wa Dayna Nyange - Jiba

$
0
0
Wimbo Mpya wa Dayna Nyange - Jiba

Kutana Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutana Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari, Mivuto Yote, Kusafisha Nyota, Kurudisha Mali, Nk.


Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa    dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,
KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

CHADEMA Wataka Muswada wa Vyama vya Siasa Uondolewe Bungeni

$
0
0
Baraza Kuu la Chadema Kanda ya Pwani limeitaka Serikali kuuondoa bungeni muswada wa vyama vya siasa kwa kuwa unalenga kuua demokrasia nchini Tanzania.

Akizungumza leo Jumatatu Desemba 24, 2018 na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Kanda hiyo, Frederick Sumaye amesema muswada huo ni mwiba kwa demokrasia na ukipitishwa utafuta suala la demokrasia Tanzania.

“Kama Serikali yetu ni sikivu iuondoe huu muswada kwa sababu inaua demokrasia ya vyama vingi ambayo imeainishwa kwenye katiba,” amesema Sumaye ambaye pia ni waziri mkuu mstaafu

Amesema endapo wabunge wa CCM watapitisha muswada huo watakuwa wamepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la demokrasia.

“Tunawaomba wabunge wote kwa pamoja wapinge muswada huu, moto si wa wapinzani peke yao hata wao utawaunguza.

“Nawatahadharisha wabunge wa CCM kama muswada huu utapita ni kweli demokrasia itakufa na hata ndani ya CCM mtu mmoja ndiye atakuwa na mamlaka ya kuamua nani awe mbunge au Rais," Amesema Sumaye na kuongeza;

 “Umma wa Watanzania unataka mabadiliko na hawaridhishwi na mambo yanavyoendelea ila hofu ndiyo inawafanya wanyamaze, tunaamini ipo siku watapiga kelele.”

==>>Msikilize Sumaye hapo chini

Jokate atoa ushauri upigaji kura Tuzo za filamu za Sinema Zetu International Film Festival(SZIFF)

$
0
0
Mlezi wa Tuzo za filamu za Sinema Zetu International Film  Festival(SZIFF), Jokate Mwegelo amewashauri watu kutowapigia kura washiriki kwa kuangalia umaarufu walio nao au mahaba walio nao kwao.
 
Akizungumza leo Desemba 24 katika mkutano na waandishi wa habari, uliolenga kuelezea hatua ambayo mchakato wa tuzo hizo umefika, Jakate ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, amesema watu hawapaswi kuangalia umaarufu kama kweli wanataka kukuza Sanaa hiyo na badala yake waangalie uwezo na kipaji cha mtu.
 
Amesema kwa kufanya hivyo kutasaidia pia kuja na vipaji vipya badala tasnia hiyo kutawaliwa na watu walewale kila siku na kupongeza hatua ya waandaaji ya kwenda hadi mikoani kusaka washiriki.
 
“Pamoja na  kwamba waandaji wameamua kutoa nafasi kwa watengeza filamu kutoa majina ya wale wanaowaona ni bora katika kipengele cha muigizaji bora wa kike na wa kiume, lakini hii katika upigaji kura haiwazuii kuchagua mnayemuona anafaa, na nina imani hata hao waandaaji hawatatuletea mtu ambaye wanajua hastahili." Amesema
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images