Wimbo Mpya: Young Killer - Apple DSM
↧
↧
Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO
Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.
Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .
SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,
Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .
SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,
NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa tatizo hilo na kukupa hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka
Pia kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.
Pia kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.
NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .
NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,
NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa!
DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia
Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI,
Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI,
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/
↧
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe
Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa
Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.
Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji
MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo
FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO 0783185060, 0752348593 -DR AGU
↧
Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO
Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.
Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .
SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,
Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .
SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,
NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa tatizo hilo na kukupa hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka
Pia kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.
Pia kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.
NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .
NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,
NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa!
DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia
Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI,
Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI,
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/
↧
DNA sasa kutumika Kuwabaini Wanaowapa Mimba Wanafunzi
Wilaya ya Nyang’hwale imesema itaanza kupima vinasaba kati ya mtoto na mwanamume aliyemuoa mwanafunzi ili kubaini kama ndiye baba halisi.
Hatua hiyo imekuja kutokana na wanafunzi wanaoacha shule kwa kupata ujauzito kukataa kuwataja wanaowapa mimba kwa madai hawawafahamu, lakini baada ya kujifungua huolewa na kudai aliyeoa si baba wa mtoto.
Akizungumza hivi karibuni kuhusu hatua zilizochukuliwa kutokana na wilaya hiyo kurekodi mimba zaidi ya 160 za wanafunzi kwa kipindi cha miaka mitatu, Mkuu wa Wilaya hiyo, Hamimu Gwiyama alisema Serikali imeamua kuwasaka hata ambao wameolewa ili kubaini kama wanaume hao ndiyo waliokatisha ndoto zao za masomo.
“Wanafunzi wengi waliopata mimba sasa wameolewa, lakini wanapohojiwa kujua aliyewapa mimba, wanadai hawamjui au hawamkumbuki, sasa polisi watafanya uchunguzi na kuwahoji wote wawili kujua ukweli itakapokuwa ngumu tutawapima vinasaba.”
Alisema Waraka wa Elimu namba tano wa mwaka 2011 unaoruhusu mwanafunzi kufukuzwa shule baada ya kuwa mtoro kwa siku 90, umechangia wazazi wengi kuwakatisha masomo wanafunzi na kuwaoza.
“Tumeanza operesheni ya kuwasaka wote walioacha shule haijalishi ni baada ya miaka mingapi, bali wote walioacha shule tutawachukulia hatua. Lengo la operesheni hii ni kumaliza tatizo la mimba, tuwajengee hofu wanaume wanaowaoa wanafunzi,” alisema Gwiyama.
Alisema moja ya sababu zinazochangia wanafunzi kubeba mimba ni mila ya Kisukuma ambayo huwapa chumba maalumu cha nje watoto wa kike baada ya kuvunja ungo, hali ambayo huwafanya wengi wao kuwaingiza wanaume na kulala nao.
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel akizungumzia tatizo la mimba kwa wanafunzi, alisema wazazi na jamii wanayo nafasi kubwa ya kusaidia kulimaliza tatizo hilo kwa kujenga maadili kwa watoto. Takwimu zinaonyesha kuwa wanafunzi 170 wa sekondari katika Mkoa wa Geita kwa mwaka 2017 waliacha shule kwa kupata ujauzito huku 90 wa shule za msingi wakishindwa kuendelea na masomo baada ya kupata ujauzito.
Pia, mkoa huo una tatizo kubwa la utoro kwa wanafunzi, takwimu zinaonyesha kati ya wanafunzi 13,139 walioanza kidato cha kwanza mwaka 2014, ni wanafunzi 7,912 tu ambao ni sawa na asilimia 60 waliomaliza kidato cha nne mwaka 2017.
↧
↧
Dk. Bashiru: Sitawavumilia Viongozi Wa CCM Wenye Uchu Wa Madaraka
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa, Dkt Bashiru Ally Kakurwa amewasisitiza wale wote wanaohitaji Uongozi katika nyadhifa mbalimbali ndani ya CCM, Kujipanga kwa Sifa, Sera nzuri zitakazowauza na si kwa kurubuni, wala kuhonga Wananchi.
Alisema hayo mwishoni mwa wiki mkoani Kagera, wakati akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali pamoja na wananchi waliojitokeza kumpokea.
Katika maelezo yake, Dk. Bashiru amesisitiza juu ya wagombea kufanya siasa za maendeleo, na si siasa chafu za kugawa watu, kujikomba, kurubuni wala kutoa hongo huku akiwataka wanachama kuanza kubaini wanachama wenye sifa, wenye uchu na maendeleo na wasioweka mbele masilahi binafsi, ili uchaguzi ujao uwe wa mfano, kama chaguzi zilizofanyika enzi za TANU.
Sambamba na hilo Dk. Bashiru amenukuliwa akisema, kiongozi atakaechaguliwa kwa kutumia njia za ulaghai hata kama atakuwa amepitishwa, akibainika ataenguliwa mara moja.
Katika hatua nyingine kiongozi huyo wa CCM amewataka viongozi waliopo madarakani waachwe wafanye kazi, kwani muda wa kuanza kunadi sera bado, hivyo kwa wale ambao wameaanza kupita pita kwa wanachama waache mara moja kwani tayari orodha yao anayo kwa nchi nzima.
Kuhusu wawekezaji, Dkt. Bashiru amesema Tanzania bado ni maskini na nyenzo pekee ya kujikwamua kutoka katika umasikini huo ni kupitia sekta ya kilimo, hivyo hapendezwi na hali iliyopo kwa sasa ya kuwaruhusu wawekezaji kutoka nje ya nchi kufanya shughuli za Kilimo, Ufugaji Na Uvuvi.
Hivyo, amemuagiza Naibu Waziri wa Kilimo, Innocenti Bashungwa kuwa kwa wale ambao wameshapewa nafasi ya Kufanya shughuli hizo wawe wa mwisho, na kwamba ardhi ya Tanzania ilimwe na Watanzania wenyewe, na kuanzia sasa Wizara haitatakiwa kutoa vibali kwa wawekezaji katika Sekta ya Kilimo kufanya Kilimo ndani ya nchi yetu.
Dkt. Bashiru yupo Mkoani Kagera kwa Mapumziko mafupi pamoja na ziara ya kikazi aambapo kuanzia Disemba 26, mwaka huu ataanza ziara hiyo kwa kukutana na viongozi wa Chama kutoka Missenyi, Bukoba na Bukoba Mjini.
↧
Tiba Hii Ya Asili Inatibu Na Kuponyesha Kabisa Tatizo La Low Sperm Count Pamoja Na Tatizo La Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.
Unasumbuliwa na tatizo la low sperm count ? Umejaribu tiba nyingi bila kupata nafuu ? Kama jibu lako ni NDIO basi HII NI HABARI NJEMA SANA KWAKO. Neema Herbalist ni duka la kuuza dawa mbalimbali za asili. Tunapenda kukufahamisha kuwa tunayo dawa ya asli ambayo INATIBU na KUPONYESHA KABISA tatizo la LOW SPERM COUNT pamoja na tatizo la UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
MAELEZO YA PICHA YA TIBA HII NI KAMA IFUATAVYO :
No. 1 : Katika tiba hii dawa hii inafanya kazi ya kuongeza kiwango cha sperms. Mtu alie tumia dawa hii hutoa sperms nyingi na pia wale wanao lalamika kwamba wakiwa wanatoa sperms zinakuwa hazi shoot basi hii ni tiba sahihi kabisa kwao kwani mwanaume akitumia dawa hii basi wakati wa kutoa sperms zinakuwa zinatoka kwa mtindo wa kushoot.
MAELEZO YA PICHA YA TIBA HII NI KAMA IFUATAVYO :
No. 1 : Katika tiba hii dawa hii inafanya kazi ya kuongeza kiwango cha sperms. Mtu alie tumia dawa hii hutoa sperms nyingi na pia wale wanao lalamika kwamba wakiwa wanatoa sperms zinakuwa hazi shoot basi hii ni tiba sahihi kabisa kwao kwani mwanaume akitumia dawa hii basi wakati wa kutoa sperms zinakuwa zinatoka kwa mtindo wa kushoot.
Mbali na kutibu tatizo la low sperms count dawa hii pia inatumika kuongeza ute ute kwenye joint mbalimbali mwilini kama vile kwenye magoti, viwiko nakadhalika. Ni tiba nzuri sana kwa mtu aliye vunjika mifupa. Kama mtu amevunjika mifupa akitumia dawa hii itamfanyia wepesi sana katika tiba yake kwani husaidia sana kuongeza uteute kwenye joints.
Dawa hii pia husaidia katika kuipa nguvu misuli ya uume.
Jinsi ya kutayarisha dawa hii. Unamenya kisha una I chip ( una kata kata ) vipande halafu unavitia ndani ya chupa yenye maji au chombo chochote chenye maji. Baada ya lisaa limoja ute ute wa dawa hii unakuwa tayari umefyonzwa kwenye maji na maji yanabadilika rangi ya damu yam zee.
Na jinsi ya kutumia unakuwa unatumia kunywa glasi moja asubuhi na glasi moja usiku kwa muda wa siku thelathini. Utaona maajabu makubwa sana katika suala zima la kutoa sperms nyingi, kushoot sperms na nguvu za kiume kuimarika
No.2 ; Haya ni mafuta ya asili yenye faida nyingi sana katika tiba . Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kisayansi mafuta haya ya asili ndio mafuta yenye nguvu kuliko mafuta mengine yoyote yale yatokanayo na miti au mimea. Hata mafuta ya Mzeituni pamoja na mafuta ya Habbat Sawda yanaachwa mbali kabisa katika ufanisi wa kitiba na mafuta haya. Kwa lugha nyingine mafuta haya yana nguvu kubwa kuliko hata mafuta ya Habbat sawda na mafuta ya Mzeituni.
Tafiti mbalimbali za kisayansi zinaeleza kuwa mafuta haya yana uwezo wa kutibu magonjwa na matatizo ya kiafya karibu yote yanayo msumbua mwanadamu.
Mbali na kutumika katika tiba dhidi ya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume, mafuta haya yanatumika pia katika tiba ya kupunguza uzito na unene , kuondoa manyama uzembe pamoja na kuondoa mafuta yasiyo hitajika mwilini yani “ bad cholesterol “
Vile vile mafuta haya yana tajwa na wanasayansi kuwa na uwezo mkubwa sana wa kutibu tatizo la sukari ya kupanda na kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu.
Katika tiba dhidi ya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume, mafuta haya husaidia kusafisha mishipa ya damu mwilini , kusafisha mishipa inayo peleka damu kwenye misuli ya uume, kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu, kuondoa mafuta mabaya kwenye damu “ “bad cholesterol “ au lehemu mbaya kwa jina lingine pamoja na kubalance homoni.
Jinsi ya kutumia mafuta haya katika tiba hii, mtumiaji anatakiwa kutumia kichupa kimoja kila siku kwa muda wa siku thelathini. Kwa hiyo kila siku atakuwa anatumia kichupa kimoja kula mafuta haya na atakuwa anakula vifuniko viwili vya mafuta hayo mara tatu kwa siku yani asubuhi anakula vifuniko viwili, mchana vifuniko viwili na usiku vifuniko viwili. Atafanya hivyo kwa muda wa siku thelathini. Mteja wetu atakae hitaji tiba yetu hii, atapatiwa vichupa vyote thelathini pamoja dawa namba moja na namba tatu. Na baada ya siku hizo thelathini za tiba hii, basi mgonjwa atakuwa amepona kabisa tatizo la ukosefu bna upungufu wa nguvu za kiume pamoja na tatizo la low sperm count.
No. 3. Hii ni dawa yetu ya asili iitwayo Jiko ambayo inatokana na miti na mimea mbalimbali. Dawa hii inafanya mambo mengi sana katika tiba ya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume. Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kuimarisha mishipa na misuli ya uume, kutibu uume ulio legea na kusinyaa kwa sababu ya punyeto, kukupa wuezo wa kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu pamoja na uwezo wa kurudia tendo la ndoa bila kuchoka. Dawa hii imeelezewa zaidi kupitia makala yetu nyingine ambayo uanweza kuisoma hapa chini:
http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html?showComment=1531548155915#c4496211800795986975
JINSI YA KUPATA TIBA HII : Fika katika duka letu. Tunapatikana UBUNGO jijini DAR ES SALAAM jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONA HOUSING nyuma ya jingo la UBUNGO PLAZA.
Wasiliana nasi kwa simu namba 0693 005 189.
Kwa wateja wetu waliopo jijini DAR ES SALAAM ambao hawana nafasi ya kufika ofisini kwetu, tunayo huduma ya kuwapelekea dawa mahali popote walipo ndani ya jiji la Dar Es Salaam ( HOME AND OFFICE DELIVERY )
Na kwa wateja waliopo nje ya mkoa wa Dar Es Salaam, tunawatumia dawa kwa njia ya usafiri wa mabus mbalimbali na wale waliopo Zanzibar tunawatumia dawa kwa njia ya boti . Pia tunatuma dawa kwa wateja w etu waliopo NAIROBI, MOMBASA, KAMPALA, KIGALI , BUJUMBURA na LUSAKA.
Kwa taarifa zaidi kuhusu huduma zetu tutembelee kila siku kupitia blogu yetu :
www.neemaherbalist.blogspot.com
↧
Martha Mwaipaja Afunguka Kuachana na Mumewe
Mwanamuziki wa Injili nchini, Martha Mwaipaja amefunguka kuhusu tetesi za kuachana na mume wake, Mchungaji John Said baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa wawili hao wametengana.
Martha amesema kuwa, kila jambo atalizungumza kwa majira yake kwakuwa, muda ndio kila kitu na ukifika ataweka wazi kila kitu ili watu waelewe.
"Kila jambo na majira yake, suala la mimi kutalakiana na mume wangu ntaliweka wazi muda ukifika, kwasasa siko tayari", amesema Mwaipaja.
Martha ameongeza kuwa kila mwanadamu anakutana na vitu tofauti tofauti katika maisha, na maandiko yanachukia talaka hivyo inategemea katika maisha ya ndoa unapitia kitu gani au aina gani ya maisha.
Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii, zilizagaa taarifa zilizodai kuwa mwanamuziki huyo wa Injili amemwagana na mumewe ambaye pia ni mchungaji.
"Kila jambo na majira yake, suala la mimi kutalakiana na mume wangu ntaliweka wazi muda ukifika, kwasasa siko tayari", amesema Mwaipaja.
Martha ameongeza kuwa kila mwanadamu anakutana na vitu tofauti tofauti katika maisha, na maandiko yanachukia talaka hivyo inategemea katika maisha ya ndoa unapitia kitu gani au aina gani ya maisha.
Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii, zilizagaa taarifa zilizodai kuwa mwanamuziki huyo wa Injili amemwagana na mumewe ambaye pia ni mchungaji.
↧
Wimbo Mpya wa Mh Temba – Kulikoni
↧
↧
Jeshi la Polisi Labuni Mkakati Maalumu Kukabili Ajali za Viongozi na Watumishi wa Umma
Ili kudhibiti wimbi la ajali za barabarani zikiwamo zinazohusisha gari za viongozi na watumishi wa umma, Jeshi la Polisi jijini Dodoma limeeleza mikakati yake ikiwamo kuwapa mafunzo ya muda mfupi.
Hayo yalielezwa jijini hapa jana na Kamanda wa Polisi Dodoma, Gilles Muroto, ofisini kwake alipozungumza na waandishi wa habari walio katika mradi wa usalama barabarani unaosimamiwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO).
“Dodoma ni mji mkuu na makao makuu ya nchi, viongozi wengi wa Serikali wamehamia hapa akiwamo Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola na wakuu mbalimbali wa nchi.
“Shughuli nyingi za kitaifa zinafanyika hapa, kwa msingi huo tunahakikisha tunaimarisha usalama kila kona hadi huko barabarani, wanakuja salama na kuondoka salama, hakuna ajali,” alisema.
Alisema ili kuhakikisha madereva wa viongozi na watumishi wa umma wanaendelea kuendesha kwa usalama wanawapa mafunzo ya miezi mitatu.
“Hivi karibuni kulikuwa na changamoto ya ajali, tumechukua hatua, tunawaita, wanakaa kwenye bwalo letu pale tunawafundisha, lengo ni kuwakumbusha maana mtu anaweza kuwa amepata leseni muda mrefu,” alisema.
↧
Msajili awataka wanasiasa wa Upinzani waache utoto wa Kukwepa Wajibu Wao
Baada ya muungano wa vyama 10 vya upinzani kutoa tamko lao la pamoja kupinga maamuzi ya ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ya kusitisha vikao vya baraza la vyama vya siasa bila kujulisha, ofisi hiyo imeibuka na kujibu tuhuma hizo.
Ofisi hiyo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imewataka viongozi hao kuacha utoto wa kukwepa wajibu wao wa kuwasiliana na ofisi hiyo, pale wanapoona kuna jambo linawatatiza badala ya kukimbilia katika vyombo vya habari.
Akijibu tuhuma hizo kwa niaba ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amesema, viongozi hao wa upinzani wanakwepa wajibu wao wa msingi kwa kufanya siasa nyepesi isiyoakisi maana mzima ya kukuza demokrasia nchini.
“Sasa hao wanaosema hawakuwashirikishwa wanataka ushirikishwaji wa namna gani,” amehoji Nyahoza.
Amesema kanuni ya baraza hilo linaruhusu kuahirishwa kwa kikao pale panapokuwa na sababu na uamuzi huo hufanyika baada ya majadiliano na Mwenyekiti wa baraza la vyama.
Nyahoza amesema Katibu wa baraza ambaye ni Msajili, aliwasiliana na Mwenyekiti wa baraza kisha wajumbe wakataarifiwa kwa simu na kwengine kwa njia ya mdomo kwa kuwa kanuni zinaeleza jambo hilo.
"Tumesikia malalamiko yao mengi hayana msingi, ni sababu za porini kwa kuwa ofisi yetu ipo wazi walipaswa kuja kupata ufafanuzi kabla ya kwenda kwenye vyombo vya habari na hii kwa kweli imetusikitisha,” ameongeza.
Pia amesema ofisi yake ilishatoa sababu ya kuahirishwa kwa kikao hicho kuwa ni kupisha uchaguzi mdogo wa marudio na kusisitiza kwamba baada ya uchaguzi huo baraza litakutana tena kujadili mambo yao.
↧
CCM Hawana Sikukuu...Polepole Atangaza Ratiba Ngumu ya Kufungia Mwaka
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa katika kipindi mwisho wa mwaka atakuwa katika utekelezaji wa majukumu ya chama bila kupumzika.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa twittwer Polepole ameandika kuwa atakuwa katika mkoa wa Ruvuma akiitekeleza Ilani ya Chama chake chini ya Rais, Dkt. John Magufuli.
"Mwisho wa Mwaka huu niko Mpitimbi, Likuyufusi, Lutapwasi, Mhukuru, Madaba, Bomba Mbili, Mkenda na Lipaya nitakuwa nakagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM. Heko John Pombe Joseph Magufuli na Wana CCM kwa kazi nzuri, hongereni", ameandika Polepole.
↧
CHADEMA Wataka Maboresho Daftari la Wapiga Kura....Wazungumzia Pia Kuhusu Tume Huru ya Uchaguzi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kanda ya Pwani kimetaka kufanyika kwa maboresho ya daftari la wapiga kura mapema ili kuepuka zima moto.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Desemba 24, 2018, Mwenyekiti wa kanda hiyo, Frederick Sumaye amesema kazi hiyo ifanyike kwa muda muafaka na mapema ili baadaye isije kufanyika kwa dharura.
"Ili kulinda haki za raia tunapenda kuikumbusha serikali kuwa ni lazima zoezi la kuhakiki daftari la wapiga kura ifanyike kwa muda muafaka bila kuifanya kama zoezi la dharura ili kila mpiga kura apate haki yake ya kuandikishwa."Amesema Sumaye
Akizungumzia kuhusu kuwepo kwa tume huru ya Uchaguzi, Sumaye amesema; "Kwa ajili ya mapungufu kwenye muundo mzima wa Tume ya uchaguzi,kama jambo la umuhimu wa kipekee Tume HURU ya uchaguzi ambayo haitapewa maelekezo na utawala na itakuwa na watumishi wake bila kutegemea watumishi wa serikali,iundwe haraka kwa vyovyote kabla ya uchaguzi ujao"
↧
↧
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki.
Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)
*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾
✨Wabillahhi Tawfiq Asallam Alaikum
Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu
+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp : 0762 252 102
↧
Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe
HABARI NJEMA KWA MLIOATHIRIKA NA MAGONJWA YA MWILI NA AKILI.
Sasa dokta MBALU ana uwezo mkubwa wa kutibu magonjwa yaliyoshindikana,Kama umehangaika kwa muda mrefu bila mafanikio DK.MBALU Ni kiboko kabisaa.
Sasa dokta MBALU ana uwezo mkubwa wa kutibu magonjwa yaliyoshindikana,Kama umehangaika kwa muda mrefu bila mafanikio DK.MBALU Ni kiboko kabisaa.
TIBA ATOAZO NI:- (a)Vidonga vya tumbo,kilungulia,Tumbo kujaa gesi.
(b)Kifua kikuu(TB),Pumu(ATHMA) na Rovu
(c)Miguu kuwaka moto,nyama za magoti kuuma,kiuno na mgongo.
(d)Uzazi na chango.
(e)Nguvu za kiume,kurefusha na kunenepesha uume,busha,mshipa wa ngiri na tezi dume.
(f)Elimu mwanafunzi kuwa na uwezo mkubwa darasani na kufanya vizuri katika mitihani yake, kupandishwa cheo kazini, kulipwa madeni au mafao yako.
(g) kutoa ushauri nasaha kwa wenye matatizo ya kisaikolojia.
AINA ZA DAWA.
NINJIWE:-,Hutibu vidonda vya tumbo,tumbo kujaa gesi,na kilungulia,vidonge 16 kwa muda wa siku nne na ya unga.
MPALAMA:-,Hutibu Kifua kikuu (TB), Pumu (ATHMA),na wenye tatizo la uvimbe katika koromeo yaani (ROVU),Huisha na kutorudi Tena.,dozi siku 6.
NKOLA:-,Hutibu miguu kuwaka moto,nyama za goti kuuma,kiuno na mgongo dozi siku 10.
MWATYA:-,Hutibu Uzazi au chango,dozi siku 30,na tatizo kupona kabisa.
LYONGO POWER:-,Hii ni dawa ya heshima kwa akina baba yenye uwezo wa kurefusha na kunenepesha uume kwa wale wenye maumbile madogo yaani (KIBAMIA).
NENGONENGO(4)POWER:-,Hutibu Nguvu za kiume na kuleta hamu ya tendo hivyo kuchelewa kufika kileleni na kuweza kurudia tendo zaidi ya mara (4),ina Nguvu mno Kama Ni muhanga wa tatizo hili tumia NENGONENGO (4)POWER Ipo aina ya vidonge na unga dozi Ni siku 5 unapona kabisaa wahi Sasa.
NTUNDWA:-,Hutibu busha,mshipa wa ngiri na tezi dume,Busha dozi Ni siku (30),bila kufanyiwa operation,Mshipa wa ngiri dozi siku (4) na tezi dume dozi siku (10).
GWATA:-,kuuwa kesi na shauri kupangiwa tarehe za karibu zaidi na baadae kesi kufutiliwa mbali kabisaa.
NUGWANO:-, Humfanya mtu kuheshimika na kupandishwa cheo kazini pia kulipwa madeni au mafao kwa wakati muafaka.
NKOMA:-, Hurudisha mke,mme,hawara, mchumba ndani ya siku mbili atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine..
Huduma zinatolewa ndani ya masaa 12,Saa moja asubuhi Hadi kumi na mbili jioni,DAR ES SALAAM NA KAHAMA wa mikoani unapata huduma kwa njia ya kusafirisha..na huduma yetu inakufikia ukiwa ofisini au nyumbani kwako..,
CONTACTS; 0744922982 au 0716, 608 ,959 au 0784475946
OUR SERVICES ARE EASY.
↧
Wimbo Mpya wa Dayna Nyange - Jiba
↧
Kutana Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume
Kutana Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari, Mivuto Yote, Kusafisha Nyota, Kurudisha Mali, Nk.
Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani
Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:
KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.
Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu
1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.
MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.
Pia tunatibu,
KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.
ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.
SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.
BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI
SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.
HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI
↧
↧
Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.
Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.
MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.
Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521
Tupo Mbagala- Dar
↧
CHADEMA Wataka Muswada wa Vyama vya Siasa Uondolewe Bungeni
Baraza Kuu la Chadema Kanda ya Pwani limeitaka Serikali kuuondoa bungeni muswada wa vyama vya siasa kwa kuwa unalenga kuua demokrasia nchini Tanzania.
Akizungumza leo Jumatatu Desemba 24, 2018 na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Kanda hiyo, Frederick Sumaye amesema muswada huo ni mwiba kwa demokrasia na ukipitishwa utafuta suala la demokrasia Tanzania.
“Kama Serikali yetu ni sikivu iuondoe huu muswada kwa sababu inaua demokrasia ya vyama vingi ambayo imeainishwa kwenye katiba,” amesema Sumaye ambaye pia ni waziri mkuu mstaafu
Amesema endapo wabunge wa CCM watapitisha muswada huo watakuwa wamepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la demokrasia.
“Tunawaomba wabunge wote kwa pamoja wapinge muswada huu, moto si wa wapinzani peke yao hata wao utawaunguza.
“Nawatahadharisha wabunge wa CCM kama muswada huu utapita ni kweli demokrasia itakufa na hata ndani ya CCM mtu mmoja ndiye atakuwa na mamlaka ya kuamua nani awe mbunge au Rais," Amesema Sumaye na kuongeza;
“Umma wa Watanzania unataka mabadiliko na hawaridhishwi na mambo yanavyoendelea ila hofu ndiyo inawafanya wanyamaze, tunaamini ipo siku watapiga kelele.”
==>>Msikilize Sumaye hapo chini
==>>Msikilize Sumaye hapo chini
↧
Jokate atoa ushauri upigaji kura Tuzo za filamu za Sinema Zetu International Film Festival(SZIFF)
Mlezi wa Tuzo za filamu za Sinema Zetu International Film Festival(SZIFF), Jokate Mwegelo amewashauri watu kutowapigia kura washiriki kwa kuangalia umaarufu walio nao au mahaba walio nao kwao.
Akizungumza leo Desemba 24 katika mkutano na waandishi wa habari, uliolenga kuelezea hatua ambayo mchakato wa tuzo hizo umefika, Jakate ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, amesema watu hawapaswi kuangalia umaarufu kama kweli wanataka kukuza Sanaa hiyo na badala yake waangalie uwezo na kipaji cha mtu.
Amesema kwa kufanya hivyo kutasaidia pia kuja na vipaji vipya badala tasnia hiyo kutawaliwa na watu walewale kila siku na kupongeza hatua ya waandaaji ya kwenda hadi mikoani kusaka washiriki.
“Pamoja na kwamba waandaji wameamua kutoa nafasi kwa watengeza filamu kutoa majina ya wale wanaowaona ni bora katika kipengele cha muigizaji bora wa kike na wa kiume, lakini hii katika upigaji kura haiwazuii kuchagua mnayemuona anafaa, na nina imani hata hao waandaaji hawatatuletea mtu ambaye wanajua hastahili." Amesema
↧
More Pages to Explore .....