Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

CCM Wamtuhumu James Mbatia Kwa Kutakatisha Pesa....Wataka Achunguzwe

0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Moshi Vijijini kimeitaka serikali kuichunguza Taasisi ya Maendeleo Jimbo la Vunjo (VDF) kwa madai ya utakatishaji wa fedha.

Katika taarifa iliyosainiwa na Katibu wa CCM wilaya hiyo, Miriam Kaaya, chama hicho kimeitaka VDF ieleze ilianza na kiasi gani cha fedha na bajeti ya barabara inazozijenga ni kiasi gani.

“Tunaitaka VDF itamke wazi kuzithibitishia mamlaka za serikali ilianza na kiasi gani cha fedha katika akaunti yake na bajeti nzima ya mradi wa barabara za moramu kwa Jimbo la Vunjo,” imesema taarifa hiyo.

"Kwa kufanya hivyo itaondoa uwezekano mkubwa wa asasi hiyo kutumika katika vitendo vya utakatishaji fedha, hivyo tunaitaka serikali kusitisha shughuli za taasisi hiyo wakati uchunguzi ukiendelea. ” taarifa hiyo imesema.

Miongoni mwa viongozi wa bodi ya VDF ni Mbunge wa Vunjo (NCCR-Mageuzi), James Mbatia ambaye na mwenyekiti wake wamekanusha tuhuma hizo.

Mwenyekiti wa VDF ambaye ni Askofu mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Martin Shao amesema hawajapokea fedha yoyote kutoka nje na kwamba fedha wanazotumia kutekeleza miradi zinatoka kwa wananchi.

Ali Kiba amliza Amtoa Machozi Shabiki Tamasha la Tigo Fiesta

0
0
Msanii wa kizazi kipya, Ali Kiba, amejikuta akimtoa machozi mwananamke mmoja kuanzia mwanzo hadi mwisho baada ya kupanda jukwaani
 
Tukio hilo lilitokea majira ya saa 10:00 usiku , msanii huyo alipoitwa kuimba jukwaani wakati wa kilele cha tamasha la Fiesta, lilofanyika viwanja vya Posta, Kijitonyama.
 
Mara ya kwanza ilianza kama utani dada huyo aliyejulikana kwa kwa jina moja la Ene, kuonyesha hisia baada ya Kiba kupanda na wimbo wa ‘Seduce’, na baadaye alipoendelea kushusha vibao vingine mfululizo mwanamke huyo anayekadiriwa kuwa na miaka 30 na kuendelea, alichomoka alipokuwa amekaa na kuvamia jukwaa.
 
Askari waliokuwa wanaimarisha ulinzi eneo hilo walionekana kumkamata kwa ajili ya kumrudisha, lakini Kiba alipomuona aliwaambia wamwachie na kuweza kusalimiana naye huku akiwa anabubujikwa machozi na kumuongelesha, kitendo kilichochukua kama dakika tatu kabla ya kuondolewa kwa nguvu.
 
Ali[ou;izwa dada huyo kisa cha kuangua kilio namna hiyo, alidai kwamba anampenda sana Kiba, na kumuona uso kwa uso na kuweza kushikana naye mkono ni tukio ambalo bado hajaliamini.

LIVE: Rais Magufuli akipokea Ndege Mpya Air Bus 220

0
0
Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, anapokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania. Tazama hapo chini

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO 0783185060,  0752348593  -DR AGU

Mizengo Pinda Ammwagia Sifa Rais Magufuli

0
0
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda amesema Rais John Magufuli ndiye kiongozi ambaye Watanzania walikuwa wanamhitaji kutokana na uthubutu alionao katika kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo hapa nchini.

Pinda ametoa kauli hiyo leo Jumapili Desemba 23, 2018 jijini Dodoma wakati akifungua Baraza la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Dodoma.

Amesema wakati fulani kwenye uongozi wake wapinzani waliwahi kusema Serikali yao ni dhaifu haina makali hivyo walikuwa wanataka kiongozi mkali na mwenye uthubutu japo kwa sasa tena wameanza kumlalamikia Rais Magufuli ambaye ndiye kiongozi waliyekuwa wanamtaka.

Amesema Rais Magufuli ameweza kutekeleza miradi mbalimbali iliyoanzishwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambayo Serikali zingine zilizopita zilishindwa kuitekeleza kwa kisingizio cha kuogopa gharama kubwa.

Ameitaja baadhi ya miradi hiyo ni ujenzi wa reli ya kisasa, mradi wa kuzalisha umeme wa Stigler’s Gauge na Serikali kuhamia Dodoma.

Amesema japo agizo la Serikali la kuhamia Dodoma lilianza tangu Serikali ya kwanza lakini lilikuwa gumu kutekelezeka kutokana na kuangalia gharama kubwa ya Serikali kuhamia mkoani hapa kufuatia kutokamilika kwa miundombinu mbalimbali.
 
Akizungumzia suala la watumishi hewa Pinda amesema hata katika uongozi wao liliwatesa hadi wakafikia uamuzi wa kuanza kuwalipa watu mishahara dirishani lakini hawakufanikiwa.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Jeshi la Polisi Arusha Kutumia Mbwa Maalumu Kuimarisha Ulinzi Msimu Huu wa Sikukuu

0
0
Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha
Jeshi la Polisi mkoani hapa limedhamiria kuimarisha ulinzi zaidi katika kipindi hiki cha Sikukuu za Krismas na mwaka mpya ili wakazi wa mkoa huu waweze kusherehekea bila bughudha ya aina yoyote.

Akitoa salamu za heri ya Sikukuu ya Krismas na mwaka Mpya kwa wananchi wa mkoa huu, Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ramadhani Ng’anzi amesema kwamba wamejipanga vizuri kuhakikisha kwamba usalama unazidi kutawala zaidi katika maeneo mbalimbali ya mkoa huu.

“Kama tunavyofahamu mkoa huu umekuwa  ni miongoni mwa mikoa yenye utulivu wa hali ya juu hapa nchini na wananchi wanafanya shughuli zao za kiuchumi bila shaka lakini tumeamua kuongeza ulinzi zaidi hasa kwa kutumia Mbwa wetu ambao watakuwa kila kona katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha doria”. Alisema Kamanda Ng’anzi.

Kamanda Ng’anzi alisema kwamba ili kuhakikisha utulivu huo unadumu kwa kipindi chote, kwa mwezi huu wa Disemba na kuendelea wamefanya misako kabambe ambayo imefanikisha kupatikana kwa vifaa mbalimbali pamoja na watuhumiwa.

Katika misako hiyo Jeshi hilo lilifanikiwa kuwapata watuhumiwa (Majina yanahifadhiwa) wakiwa na vifaa vya kuvunjia ambao wanashiriki katika matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo Wizi ndani ya gari, ambapo walikutwa na Lap Top Nne, I Pad mbili, Flat Screen, simu Tisa (Smart Phone) pamoja na pikipiki mbili pamoja na vifaa mbalimbali huku akiwataka waliobiwa waje katika kituo kikuu cha Polisi Arusha na kutambua mali zao.

Aidha Kamanda Ng’anzi amewataka wakazi wa mkoa huu kutotoa mwanya kwa wahalifu kwa kuacha nyumba zao bila kuwa na muangalizi pindi wanapotoka lakini pia amewaasa wazazi kuwa waangalifu kwa watoto wao wenye umri mdogo pindi wanapotembea nao barabarani na kupiga marufuku Disco Toto katika kumbi mbalimbali za Starehe.

Akizungumzia shamrashamra za kuukaribisha mwaka wa 2019 Kamanda Ng’anzi amewaonya watu watakaothubutu kufanya fujo kama vile kuchoma matairi barabarani, kuendesha vyombo vya moto kwa bila kuzinagatia sheria za usalama barabarani na hata kufyatua Fataki bila kibali watakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Kamanda Ng’anzi amewatakia wananchi wote wa mkoa huu Heri ya Sikukuu ya Krismas na mwaka Mpya wa 2019 na kuwashukuru kwa ushirikiano wao walioutoa kwa Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za uhalifu hali ambayo inasaidia kuimarisha usalama na kuwasihi waendelee kuwa pamoja na Jeshi hilo.

Habari Mbaya: Tsunami yaua watu 168 Indonesia

0
0
Watu 168 mpaka sasa wameripotiwa kupoteza maisha huku 750 wakijeruhiwa vibaya nchini Indonesia baada ya Tsunami kuikumba nchi hiyo siku ya jana usiku.
 
Mamlaka nchini humo zinasema Tsunami hiyo imetokea katika fukwe za visiwa vya Java na imesababishwa na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mlipuko wa volkano.

Msemaji wa Taasisi inayoshughulika na kuzuia majanga nchini humo, Sutopo Purwo Nugroho amesema mpaka sasa watu 30 hawajulikani walipo, huku nyumba 558, migahawa 60  ikibomolewa na Tsunami.
 
Nugroho amesema tukio hilo ni la kushtukiza, kwani hakukuwa na taarifa wala tahadhari yoyote ile iliyotolewa kwa wananchi.
 
Usiku wa Jumamosi siku ya tukio, Bendi ya muziki maarufu nchini humo ya Band Seventeen, ikiongozwa na msanii wa muziki, Riefian Fajarsyah nayo ilipatwa na kazia baada ya jukwaa lao kufunikwa na maji.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Riefian Fajarsyah amethibitisha kuwa watu wanne kutoka kwenye bendi yake wamefariki dunia.

Mwezi kama huu mwaka 2004, tsunami kama hiyo ilitokea katika bahari ya Hindi kufuatia tetemeko la ardhi, iliua zaidi ya watu 226,000 katika nchi 13 ikiwa 120,000 walikufa nchini Indonesia.

Rais Magufuli Amzawadia Milionin10 Aliyetorosha Ndege na Kuileta Tanzania

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemkabidhi kiasi cha shilingi milioni 10, Mtanzania ambaye alisababisha Shirika la Ndege la Tanzania kuwa na ndege ya kwanza ambaye anafahamika kwa jina la Mapunda.

Rais Magufuli ametoa zawadi hiyo Jijini Dar es salaam wakati wa mapokezi ya ndege ya kwanza Afrika aina ya Air Bus A220-300 ambapo alimpongeza Mzee Mapunda kwa kuhatarisha maisha yake pindi alipokuwa angani akirejea Tanzania baada ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kuvunjika ambao ndio walikuwa wamiliki wa ndege hizo.

Aidha katika mkutano huo Rais Magufuli alimuagiza Waziri wa Uchukuzi, Isaac Kamwelwe kuhakikisha Mapunda na mkewe wanasafiri bure kwenye ndege za ATCL katika safari zake zote.

"Kikubwa ninawaomba watanzania tuwe wazalendo, Mapunda asingekuwa mzalendo leo tusingekuwa na ndege, ninawaomba ATCL mumsafirishe bure mzee Mapunda kwa kazi kubwa aliyoifanya." amesema Rais Magufuli.

Ndege ya aina ya Air Bus A220-300 ni ndege ya kwanza kuwasili barani Afrika, hususani kwenye nchi ya Tanzania.

Rais Magufuli Aamuru Watumishi Wote Waliokatiwa Tiketi ya Ndege na Serikali lakini Hawakusafiri Wajatwe Mishahara Yao

0
0
Rais John Magufuli amesema viongozi wa Serikali waliokatiwa tiketi ili wasafiri na ndege za Shirika la ATCL na kukaidi watakatwa pesa hizo katika mishahara yao.

Ameyasema hayo leo Jumapili Desemba 23, 2018 wakati akipokea ndege mpya ya Airbus 220-300 ‘Dodoma’ katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam.

Rais Magufuli amesema katika hali isiyokuwa ya kawaida baadhi ya abiria wamekuwa wakikosa tiketi kwa kuambiwa ndege imejaa ila wanapoingia ndani hakuna watu huku baadhi ya tiketi zikiwa za watendaji wa Serikali ambao hawasafiri.

“Mtumishi anatakiwa kusafiri kwenye ndege na amekatiwa tiketi na Serikali lakini hasafiri na kufanya ndege iende tupu, nimeshamwambia mtendaji mkuu aniletee orodha ya watendaji ambao hawakusafiri tuwakate hizo hela kwenye mishahara yao,” amesema Rais Magufuli.

“Nimeambiwa wanakadiriwa kuwa 100 kwa hiyo nina uhakika kufika wiki ijayo nitapata majina yao, mawaziri, wabunge ambao walikaa hadi saa ya mwisho ndege ikaenda tupu na hela za Serikali zikaenda,” ameongeza Rais Magufuli huku akisema tena anafikiri kesho Jumatatu yatamfikia.

Amesema watumishi hao wajiandae kurudisha fedha hizo kutoka mifukoni mwao ili iwe fundisho kwa watumishi wengine wanaotumia fedha za Serikali vibaya.

“Niwaombe tu watendaji kama kuna tiketi ambayo haukuitumia leta tu hela mara moja ili mambo yaishe lakini ni matumaini yangu sasa katika suala hili la tiketi ATCL mtajipanga vizuri,” amesema Magufuli.

Alichokisema Spika Ndugai Wakati wa Mapokezi ya Ndege Mpya ya Airbus 220

0
0
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema awali Tanzania ilikuwa inachekwa hadi na nchi ndogo kutokana na kukosa kitu cha kujivunia na hivi sasa wanapaswa kuunga mkono juhudi hizo na kuwa wazalendo.

Ameyasema hayo leo Jumapili Desemba 23, 2018 katika mapokezi ya ndege mpya ya Airbus A220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam.

Ndege hiyo itakayokuwa inafanya kazi zake ndani na nje ya nchi yenye uwezo wa kubeba abiria 132 huku 12 kati yao wakiwa ni wa daraja la biashara.

Spika Ndugai amesema Watanzania na wafanyakazi wanapaswa sasa kutumia ndege za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) pindi wanapofanya safari sehemu ambazo kuna vituo vya shirika hilo.

“Tuunge mkono juhudi ili kuwezesha ‘graph’ ya mauzo na mapato ya ndege zetu kuendelea kupanda kila siku na nyie bodi ya ATCL endeleeni kusimamia suala hili ili isiwe kama ile iliyopita,” amesema.

“Bodi iliyopita ilikuwa ikiangalia tu mambo, mapato yanashuka ipo tu, yanaendelea kushuka ipo tu hadi yanafika sifuri haijafanya chochote, jamani tuhakikishe hilo halitokei tena,” amesema Ndugai.

Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Laeleza mtandao mpya wa safari za ndani na nje ya nchi

0
0
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) liko mbioni kuanzisha safari za moja kwa moja katika nchi ya Zambia, Zimbabwe pamoja na China kupitia Thailand huku ikiongeza vituo vitano vya ndani ya nchi.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk Leonard Chamuriho leo Jumapili Desemba 23,2018 katika mapokezi ya ndege mpya ya Airbus A220-300 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

Dk Chamuriho amesema huo ni utekelezaji wa awamu ya pili ya upanuzi wa mtandao wa ATCL ikiwa ni baada ya kukamilika kwa awamu ya kwanza.

Amesema vituo vya ndani vitakavyoongezwa ni Mpanda, Pemba, Iringa, Kahama, Musoma na kurudisha safari za Songea na Mtwara.

“Utekelezaji wa safari hizo za ndani utatokana na kukamilika kwa utekelezaji wa ujenzi wa viwanja hivyo juu ya ujenzi wa miundombinu unaofanyika pamoja na uwepo wa abiria wa kutosha ikiwamo mbinu za kibiashara,” amesema Dk Chamuriho

Amesema utekelezaji wa awamu ya tatu ukifuatiwa na mpango mkakati wa miaka mitano utaanza 2021-2022 ambao utahusisha safari za Ghana, Nigeria, Dubai, Uingereza na Muscat.

“Wakati tunaanza tulikuwa na marubani 16 na hadi sasa tunao 50, wengi wao ni wale tuliowatayarisha wenyewe kupitia mpango mafunzo ya awali nchini na kuwapeleka nje ya nchi kupitia makubaliano tuliyoweka na Shirika la Ndege la Ethiopia na Kampuni ya Bombadier,” amesema Dk Chamuriho

Kwa upande wa mafundi na wahandisi wa ndege wameongezeka kutoka 31 waliokuwepo Oktoba 2016 hadi 87 ambapo wahandisi wazawa ni 36, wageni sita na mafundi 45 huku nafasi zikiendelea kutolewa kupitia mpango maalumu kwa vijana wa Kitanzania.

Dk Chamuriho amesema uwezo wa ndege za ATCL katika kubeba abiria umeongezeka hadi kufikia 34,000 kwa mwezi kutoka abiria 5,600 huku umiliki wa soko la ndani ukiongezeka kutoka asilimia 2 Desemba 2016 hadi asilimia 31, Oktoba mwaka huu.

Amesema shirika limepiga hatua kwa kuruka kwa ndege na kutua kwa wakati kutoka asilimia 22, Oktoba 2016 hadi asilimia 80 mwaka huu.

“Tunalipa kodi serikalini, tunawekeza katika ukodishaji pesa, hizi zote ni faida ambazo zinapatikana katika uendeshaji wa shirika hili. Tunaendelea kutumia bidhaa zinazozalishwa na kuchakatwa ndani ya nchi,” amesema Dk Chamuriho.

Amesema ndege mbili za aina hii inayopokelewa leo zilitakiwa kupokelewa Mei na Juni mwaka huu lakini kutokana na changamoto za mafundi ndiyo maana moja inapokelewa leo na nyingine Januari mwakani.

"Mpaka hivi sasa tumekuwa na vituo 11 vya huduma ambapo kimoja kipo nje ya nchi na tumeboresha mifumo ya ukataji tiketi, huduma kwa wateja na kuimarisha mifumo ya uondokaji wa ndege," amesema Dk Chamuriho.

Kamanda Mambosasa Apiga Marufuku vigodoro na disko toto Dar

0
0
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema hatarajii kuona 'disco-toto' ikifanyika popote pale jijini Dar  katika kuadhimisha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.

Ameeleza kuwa hadi sasa hakuna aliyepeleka maombi kwa jeshi hilo ili kutoa huduma hiyo kwenye siku za sikukuu, ili ukaguzi wa kina ufanyike kwenye kumbi hizo kwa ajili ya usalama wa watoto.

Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi Desemba 22, 2018 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa.

Mambosasa ametoa kauli hiyo wakati akieleza jinsi polisi walivyojipanga kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka.

Amewataka wazazi kuwa makini na watoto wao katika kusherehekea sikukuu hizi ili kuepusha matukio ya watoto kupata ajali, kupotea na kuzama kwenye fukwe, kama ilivyokuwa ikitokea miaka ya nyuma.

“Wazazi katika kipindi hiki cha sikukuu kila mmoja atimize wajibu wake wa kuhakikisha anajilinda yeye mwenye na watoto wake kwa kufanya hivyo sikukuu hii haitakuwa na madhara kwao.

“Ngoma za vigodoro haziendani na ustaarabu wa Dar es Salaam na niseme tu kwamba tutakushugulikia kabla hata haujaanza kucheza ngoma hiyo”.

Kamanda Mambosasa pia ametoa wito pia kwa wakazi wa Dar es Salaam kuhakikisha wanazingatia sheria na taratibu zote katika maadhimisho ya sikukuu hizo ili kuwepo na amani na usalama.

Marehemu ahukumiwa jela miaka mitano

0
0
Mahakama ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi imemhukumu aliyekuwa Meneja wa Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (Tarura) Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Godfrey Majuto ambaye ni marehemu sasa, kulipa faini ya Sh milioni 3.6 au kutumikia kifungo cha miaka mitano jela.

Hiyo ni baada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ya kupanga ya uhujumu uchumi, baada ya Majuto na wengine wanne kushtakiwa kwa kosa la kuisababishia Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda hasara ya Sh 61,157,342. 

Aidha, mahakama hiyo imeamuru yeyote atakayeteuliwa kuwa msimamizi wa mirath ya marehemu Majuto atalipa faini ya Sh milioni 3.6 ili fedha hiyo iingine serikalini.

Mbali na Majuto, washitakiwa wengine katika kesi hiyo walikuwa ni Naomi Nko ambaye wakati huo alikuwa ni Kaimu   Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda, Peter Mwanoni, Beatus Bisesa, mkandarasi na Chiyando Matoke.

Ilidaiwa mahakamani hapo na  Mwanasheria wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Katavi, Bahati Haule, kuwa  washitakiwa hao walitenda kosa hilo la kuhujumu uchumi kwa nyakati tofauti.

Alidai walitenda kosa hilo Januari 2, 2012 wakiwa watumishi wa Halmashauri ya Mpanda wakidai kuandaa hati ya malipo ya uongo ya kutaka kuonyesha sehemu ya Barabara ya Kasokola kwenda Mtapenda kuwa imetengenezwa kwa gharama ya Sh 64,376,152 wakati si kweli.

Katika kosa la pili lililowahusu washitakiwa wa kwanza hadi wa tatu,  walishtakiwa kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi kwa kupitisha malipo hayo kwa Kampuni ya Matoke huku wakijua barabara hiyo haikujengwa kwa gharama hiyo.

Haule alidai kuwa shitaka la tatu  liliwahusu washitakiwa wote watano  walioshitakiwa kwa kosa la kuisababishia halmashauri hiyo hasara ya Sh 61,157,342.

Baada ya kusikiliza pande zote mbili za  mashitaka na utetezi, Hakimu Luoga, aliiambia mahakama hiyo kuwa washitakiwa wa kwanza, wa tatu na wa nne wamepatikana na hatia katika kosa la  kwanza huku Majuto naye ametiwa hatiani katika kosa la pili na la tatu.

Pia washtakiwa akiwamo wa pili na wa tano hawakutiwa hatiani kwa kosa lolote lile na waliachiwa huru.

Baada ya maelezo hayo, Haule aliiomba  mahakama hiyo itoe adhabu kali kwa washitakiwa kwa kuwa wameisababishia  hasara Serikali.

Akisoma hukumu hiyo, Luoga alisema   pamoja na mahakama kupokea hati ya   kifo cha Majuto kilichotokea Desemba 4, mwaka huu huko Songea ambako    alikuwa akifanya kazi kama Meneja wa  Tarura wa Manispaa ya Songea, alikohamia kabla ya mauti hayajamfika alikuwa ameshatoa utetezi wake mahakamani hivyo hakuwa na sababu ya kuifanya mahakama ishindwe kutoa adhabu kwake.

Luoga alisema katika shitaka la kwanza   Majuto akiwa na washitakiwa wa tatu na wa nne wamepatikana na hatia ya kifungu cha Sheria namba 22 ya kupambana na rushwa ya mwaka 2007, hivyo wameadhibiwa kulipa faini ya Sh 600,000 kwa kila mmoja au kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela.

Katika kosa la pili na la tatu limemtia  hatiani Majuto peke yake na kosa la pili  kwa mujibu wa Sheria namba 31 sura  namba 11 ya mwaka 2007, amehukumiwa kulipa faini ya Sh 1,000,000 au kifungo cha miaka mitatu jela.

Katika kosa la tatu, Majuto chini ya  kifungu cha Sheria namba 57 (1)na kifungu namba 60 (1) cha Sheria ya Uhujumu Uchumi, makosa ya kupanga, sura 200, marejeo ya 2002 amehukumiwa kulipa faini ya Sh 2,000,000 au kifungo cha miaka mitano jela.

Hakimu Luoga alisema hukumu hiyo amekukumiwa Majuto na mahakama inaagiza yeyote atakayeteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi ya marehemu alipe faini hiyo ili fedha hizo ziende serikalini.

DRC: Upinzani waonya dhidi ya kuahirisha tena uchaguzi

0
0
Muungano wa kisiasa unaomuunga mkono mgombea wa upinzani Felix Tshisekedi umemshutumu Rais Joseph Kabila kukosa dhamira ya kuandaa uchaguzi na kuondoka madarakani, lakini ukawataka wafuasi wao kuendelea kuwa watulivu.

Muungano huo ujulikanao kama CACH, umeonya kwamba hauwezi kuvumilia kuahirishwa kwingine kwa uchaguzi, hata kwa siku moja baada tarehe mpya iliyotangazwa na tume ya uchaguzi, tarehe 30 Desemba.

Mgombea mwingine wa upinzani, Martin Fayulu pia ametoa tamko kama hilo la muungano wa CACH, akisema hatua za kuendelea kuchelewesha uchaguzi haziwezi kuvumiliwa, na kuwabebesha lawama kikamilifu Rais Kabila na Mkuu wa tume ya uchaguzi, Corneille Nangaa. 

Tangazo la Fayulu limetiwa saini na vigogo wawili wa kisiasa waliozuiliwa kugombea, gavana wa zamani wa jimbo la Katanga Moise Katumbi, na aliyekuwa kiongozi wa waasi, Jean Pierre Bemba.

Na katika makala iliyoandikwa na mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel Dakta Denis Mukwege na kuchapishwa katika gazeti maarufu la New York Times la nchini Marekani, Mukwege amemtaka Kabila na wale aliowaita vibaraka wake mafisadi, kukabidhi madaraka, akionya juu ya uwezekano wa kuzuka ghasia kubwa ikiwa wataendelea kung'ang'ania uongozini.

Mkwege amesema kuna haja ya dharura nchini Kongo ya kupata serikali ya wataalamu, ambayo itaipa nchi mwelekeo na kuandaa uchaguzi wa kuaminika.

Huku haya yakijiri, juhudi za tume ya uchaguzi, CENI zimepata pigo, baada ya ndege aina ya Antonov iliyokodiwa na tume hiyo kusafirisha karatasi za kura, kuanguka karibu na mji wa Kinshasa jana jioni, ilipokuwa ikirejea katika mji mkuu kutoka katika mji wa katikati ya nchi wa Tshikapa, ambako ilikuwa imepeleka vifaa vya uchaguzi.

Kuna taarifa zinazotofautiana kuhusu idadi ya waliokufa katika ajali ya ndege hiyo inayomilikiwa na kampuni ya Gomair. Afisa wa ukaguzi wa safari za ndege katika uwanja wa ndege wa Tshikapa, amesema ndani ya ndege hiyo walikuwemo wahudumu 5 na msafiri mmoja, na kwamba wote wameuawa.

Lakini balozi wa Urusi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Alexei Senteboff, amenukuliwa na mashirika ya habari akisema ndege hiyo ilikuwa na wafanyakazi watatu, wote raia wa Urusi, na wote wamekufa. 

Alisema kwamba awali kulikuwepo taarifa ambazo hazikuthibitishwa, zilizodai kwamba walikuwemo watu 23 ndani ya ndege iliyoanguka, wakiwemo wafanyakazi watatu raia wa Urusi.

Hadi sasa hakuna ripoti zozote za machafuko, kufuatia tangazo la CENI la juzi jioni, la kuahirisha kwa wiki moja uchaguzi uliotarajiwa kufanyika kesho Jumapili.

Credit:DW

Vyama 10 vya Upinzani Vyamvaa Msajili wa Vyama

0
0
Vyama 10 vya upinzani nchini Tanzania vimemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kurejesha ratiba za vikao vya Baraza la Vyama vya Siasa ili kupata fursa ya kujadili Muswada wa Marekebisho ya Vyama vya Siasa kabla ya kuanza kwa vikao vya kamati za Bunge.

Akisoma tamko la vyama hivyo, leo Jumamosi Desemba 22, 2018 jijini Dar es Salaam,  Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Salum Mwalimu amesema kuwa Msajili na ofisi yake wana nia ya kuvuruga kikao hicho ambacho walikubaliana kuketi Desemba 21 na 22, 2018 kabla ya kikao kijacho cha Bunge.

Mwalimu amesema wameshtushwa na uamuzi wa Msajili kwa kile wanachokidai kuahirisha kikao hicho na kukwamisha lengo lao la kujiandaa kutumia fursa hiyo kuzungumzia muswada ambao wamedai kuwa ni kandamizi na usiofaa.

"Tumeshtushwa kwanza na utaratibu uliotumika wa kuahirisha kikao ambacho tayari kilishakuwa kimepangwa na Kamati ya Uongozi ya Baraza la Vyama vya Siasa ambalo ndilo lenye jukumu la kikao chake," amesema.

"Tunataka Jaji Mutungi aseme amemshirikisha nani kufanya uamuzi huo, mwenyekiti wetu wa baraza ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya uongozi hakuwa na hiyo taarifa ya ahirisho la hicho kikao, " ameongeza.

Moja ya vifungu vinavyopendekezwa kufanyiwa marekebisho ni kifungu cha 19, ambacho kinapendekeza kurekebishwa ili kumwezesha msajili wa vyama vya siasa kufuta usajili wa chama cha siasa kitakachobainika kupata usajili kwa njia zisizo za halali.

Muswada pia unapendekeza kufuta kifungu cha 21A na kifungu cha 21B kinapendekezwa kufanyiwa marekebisho ili kuliwezesha Baraza la Vyama vya Siasa kupata fedha kutoka katika bajeti ya Serikali na wafadhili.

Pia, inapendekeza kufanyiwa marekebisho ili kumpa mamlaka waziri mwenye mamlaka ya kutengeneza kanuni za uandaaji wa taarifa za hesabu za vyama vya siasa na mambo yatakayojumuishwa katika katiba za vyama vya siasa.

Muswada huo umesomwa kwa mara ya kwanza bungeni ambako Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge alisema Spika wa Bunge, Job Ndugai ataipangia Kamati ya Bunge itakayofanya uchambuzi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya Disemba 24

Video Mpya: Genius Ft. Dogo Janja - YANGU ROHO

0
0
 Genius Ft. Dogo Janja - YANGU ROHO

Video Mpya: Enock Bella – Nikubali

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Enock Bella anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Nikubali. Itazame hapo chini.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images