Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya Disemba 17
↧
↧
Ujenzi Wa Mahakama Kuu Kanda Ya Musoma Waendelea Kwa Kasi
Na Benny Mwaipaja, WFM, Musoma
WAKAZI wa mkoa wa Mara wanatarajia kuondokana na adha ya kufuata huduma za Mahakama Kuu mkoani Mwanza, umbali wa zaidi ya kilometa 200 kutoka mjini Musoma, baada ya ujenzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma kukaribia kukamilika mapema mwakani.
Wakizungumza na timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Maji, Wizara ya Ujenzi, Miundombinu na Mawasiliano wakiongozwa na Wizara ya Fedha na Mipango, baadhi ya wakazi wa mji wa Musoma Mary Mohamed na Happy Mjito, wamesema kuwa hivi sasa wanatumia fedha nyingi kufuatilia haki zao Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza hali inayowafanya wengi wao kukata tamaa kufuatilia kesi zao hivyo kupoteze haki zao
"Ukikata rufaa ya kesi unaambiwa uende Mwanza wakati hata Mahakama Kuu yenyewe ya Kanda ya Mwanza hatuijui mahali ilipo, sasa tunafurahi kwamba tutakuwa tumiendesha kesi zetu hapa hapa Musoma" alisema Bi. Happy Mjito
Akielezea hatua ya ujenzi wa Mahakama hiyo Kuu Kanda ya Musoma ambayo ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi bilioni 6 nukta 2, Wakala wa Mkandarasi anaye jenga Mahakama hiyo, Kampuni ya DF Mistry, Mhandisi Uday Dadrawalla, ameiambia timu hiyo ya Wizara ya Fedha na Mipango inayofuatilia utekelezaji wa miradi ya Maendeleo mkoani Mara kwamba ujenzi huo umefikia asilimia 80.
"Mkataba wetu unaonesha kuwa tunatakiwa kukabidhi jengo ifikapo tarehe 21 mwezi Mei, 2019 lakini kwa kasi tunayokwenda nayo tutakabidhi jengo hili mapema zaidi Mwezi April, 2019" alisema Mhandisi Dadrawalla.
Mradi huu unaotekelezwa na Mahakama Kuu Nchini ni miongoni mwa miradi ya kipaumbele iliyoainishwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2017/18 hivyo utekelezaji wake ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano kuanzia mwaka 2016 hadi mwaka 2021, hususani katika eneo la Utawala Bora.
Mwisho
↧
Tutatumia Mbinu na Nguvu Zote Kulinda Maeneo Inakopita Miradi ya Serikali
Serikali imesema iko katika mpango wa kujenga kituo cha polisi katika Halmashauri ya Itigi kwa ajili ya kudhibiti hujuma na uhalifu katika ujenzi wa reli ya kisasa (Standard Gauge) na mradi wa umeme katika maporomoko ya maji ya Mto Rufiji (Stiegler’s Gorge).
Hatua hiyo imechukuliwa baada ya wavamizi kuingia eneo la hifadhi ya Rungwa ambayo kuna mito 18, ambayo ni chanzo cha Mto Rufiji ambako mradi wa umeme unajengwa.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akitembelea na kukagua mradi wa kituo kipya cha polisi cha Wilaya ya Manyoni mkoani Singida na kukagua eneo linarotarajiwa kujengwa Kituo cha Polisi Itigi lengo likiwa kudhibiti matukio ya uhalifu.
Akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Manyoni, Naibu Waziri Masauni, alisema kuwa serikali iko tayari kutumia mbinu mbalimbali kuhakikisha miradi mikubwa ambayo serikali ya awamu ya tano imeianza, inakamilika bila kufanyiwa hujuma zozote na wahalifu.
“Miradi mikubwa ambayo Rais wetu Dk. John Magufuli na serikali anayoiongoza ameianzisha ni muhimu ikalindwa ili ilete manufaa kwa nchi itakapokamilika na sisi kama wizara tutahakikisha tunasogeza huduma za ulinzi na usalama katika maeneo yote ambayo miradi hiyo inapitia, ndio maana leo nimetembelea ujenzi wa kituo cha polisi Manyoni ambacho kiko mbioni kukamilika, lengo ikiwa ni kulinda miradi hiyo mikubwa,” alisema Masauni.
Akizungumza katika ziara hiyo, Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki, Daniel Mtuka, alikiri kuwapo na haja ya kituo katika wilaya za Manyoni na Itigi ili kuboresha usalama katika maeneo hayo ambayo yanapitiwa na miradi hiyo mikubwa miwili, huku akiiomba wizara kupeleka askari katika vituo hivyo vya ujenzi utakapokamilika.
↧
Diamond atangaza tarehe ya kufunga ndoa na mpenzi wake mpya
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametangaza siku ya kufunga ndoa na mpenzi wake mpya, Tanasha.
Kupitia mtandao Instagram, Diamond amesema harusi yake na mrembo huyo kutoka Kenya itafanyika tarehe 14 February mwakani 2019.
“Unajua ni kiasi gani naisubiria siku hiyo (siku ya harusi) father. 14/2/2019 siku ya harusi ya simba,”ameandika Diamond kwenye Instagram ambapo alimjibu mdau mmoja aliyehoji kuhusu ndoa.
↧
RC Makonda Atoa Onyo kwa wanaokamata wapiga picha katikati ya jiji la Dar es Salaam
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza polisi wanaowazuia wananchi kupiga picha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam kama kumbukumbu za maeneo hayo kuacha mara moja ili wasaidie kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo jijini.
Makonda ameyasema hayo leo Desemba 15, 2018 jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa chaneli ya Utalii iliyopewa jina la Tanzania Safari Chanel uliofanyika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).
Makonda amesema kuwa sehemu maalum iliyozuiwa kupigwa picha za hivyo ni ikulu tu iliyopo Magogoni Jijini hapa.
“Inashangaza eti mtu anaona sehemu nzuri katikati ya jiji anapiga picha wanakuja wanamkamata, wasanii wanaigiza wanakamatwa,’’ anaeleza Makonda.
Hata hivyo amefafanua kuwa kwa kuwaacha watu wapige picha katika maeneo mbalimbali ya jiji hili kutasaidia kuinua utalii wa ndani na nchi kwa ujumla kama namna Marekani walivyoweza kutangaza utalii na nchi yao kwa ujumla.
“Marekani ni mfano mzuri kwani waigizaji wameifanya nchi yao kuwa ya kuvutia hadi kupelekea watu wengi watamani kwenda kuiona lakini inashangaza hapa kwetu wasanii wakienda kupiga picha wanakatazwa,” amesema Makonda.
Chaneli ya Tanzania Safari iliyoudhuriwa na viongozi mbalimbali nchini itapatika nakatika kisimbuzi cha Startimes namba 331.
↧
↧
Waziri Kigwangallah Atoa OFA Kwa Wasanii
Neema imewashukia wasanii nchini baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamisi Kigwangala kutoa ofa kwa wasanii wanaotaka kuandaa video za filamu ama za nyimbo zao katika maeneo ya utalii, kumuona yeye mwenyewe ili awape kibali cha kutumia vivutio hivyo vya utalii.
Kigwangala ameyasema hayo leo Desemba 15, 2018 katika uzinduzi wa chaneli ya Utalii iliyopewa jina la Tanzania Safari uliofanyika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) jijini Dar es salaam.
Dk Kigwangala amesema anafanya hivyo ili kukwepa urasimu mkubwa wanaopata wasanii wanapoomba kufanyia filamu ama video zao kwenye maeneo ya utalii nchini.
“Kila siku watanzania wanalalamika kuzuiwa kupiga picha katika baadhi ya maeneo na sasa hivi nimetoa ofa kwa wasanii wote wanaotaka kutengeneza video zao katika maene ya utalii wanione mimi moja kwa moja nitawapa vibali ili nawao watangaze vivutio vyetu,” amesema
Aidha amewatoa hofu watanzania wanaodhani Wizara ya yake haifanyi kazi ipasavyo wasiwe na wasiwasi kwani wamekuja na mkakati kabambe wenye lengo la kukuza sekta hiyo,
“Kwa sasa utalii unachangia asilimia 17.6 na tunasemwa sana kwasababu watanzania wanaona kama Wizara aifanyi kazi ipasavyo lakini nataka niwahakikishie kuwa tumejipanga na tuna mikakati mipya kabisa ya kuboresha sekta hii,” amesema
↧
Waziri Mkuu Azindua Rasmi Channel ya Utalii Tanzania ....Awataka Waliopewa Dhamana Wazingatie Viwango Vya Kimataifa
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezinduaChaneli ya Taifa ya Utalii iitwayo Tanzania Safari Channel na amewataka watu wote waliopewa dhamana ya kuiendesha wahakikishe wanazingatia viwango vya kimataifa katika vipindi watakavyokuwa wanaviandaa.
“Vipindi vyenu ni lazima vivutie kama vile tunavyoviangalia katika chaneli za wanyama za kimataifa kama vile National Geographic, Discovery, Travel na zingine ili lengo lililokusudiwa wakati wa kuanzishwa kwake litime.”
Ameyasema hayo leo (Jumamosi, Desemba 15) wakati akizindua chaneli hiyo kwenye Ofisi za TBC, Mikocheni, jijini Dar es Salaam, ambapo ametoa wito kwa Wizara zote zinazohusika na uanzishwaji wa Chaneli hiyo kuhakikisha zinailea wakati ikijijenga kujiendesha kibiashara.
Amesema Tanzania ni moja ya nchi duniani zilizotenga moja ya tatu ya eneo lote la nchi kwa ajili ya uhifadhi, ambapo kuna tamaduni za makabila mbalimbali, ngoma za kuvutia, vyakula vya asili, sinema za maisha yetu na lugha adhimu ya Kiswahili.
“Hivyo, kwa kuanzishwa kwa chaneli hii inayotengeneza vipindi na kuonesha vivutio hivi ndani na nje ya Tanzania itasaidia watalii huko waliko kujua huu utajiri wetu na kuchagua kuja kutalii nchini. Ni matumaini yangu kuwa hii Tanzania Safari Channel ninayoizindua leo itaongeza thamani katika kuvutia watalii wengi zaidi kutembelea Tanzania.”
Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu ametaja faidazinazotokana na utalii ambazo ni pamoja na kuliingizia Taifa fedha za kigeni, ambapo kiasi cha Dola za Kimarekani bilioni 2.3 zimeingia kwa mwaka 2017. Fedha hizo ni sawa na sh. trilioni 5.04.
Pia sekta hiyo ya utalii inatoa ajira kwa Watanzania zaidi ya milioni 1.5 wanaojihusisha katika shughuli mbalimbali zikiwemo usafiri wa ndani kwa watalii, uongozaji watalii kwenye maeneo yenye vivutio, kuuza bidhaa kwa watalii kama vyakula, vinywaji, vinyago, nguo, zawadi.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema licha ya mafanikio hayo, lakini hatupaswi kuridhika nayo kwani Tanzania inapokea watalii milioni 1.3 kwa mwaka wakati nchi kama Misri na Afrika Kusini hupokea zaidi ya watalii milioni 10.
“Lazima tujiulize, ni kwa nini sisi tulio na vivutio vingi kuanzia hifadhi maarufu ya Serengeti, Ngorongoro, Mlima Kilimanjaro, hifadhi ya Ruaha, Sadani (Hifadhi pekee iliyopakana na bahari), Zanzibar ambako kuna fukwe maridadi, malikale, maporomoko ya maji na vingine vingi na baadhi ya hivi vivutio vimewekwa katika kundi la maajabu ya Dunia tunapata watalii wachache.”
Aidha, Waziri Mkuu amesisitiza kuhusu uboreshwaji wa bustani katika barabara inayotokea Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, ambapo amemuagiza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isac Kamwelwe asimamie jambo hilo pamoja na matangazo yanayowekwa katika barabara hiyo yaoneshe vivutio vya utalii vilivyopo nchini.
Kadhalika uzinduzi huyo ni utekelezwaji wa maagizo ya Rais Dkt. John Magufuli aliyoyatoa Mei 16 mwaka jana alipotembea TBC kuwa, pamoja na mambo mengine aliwataka waangalie uwezekano wa kuanzisha chaneli itakayotangaza hifadhi na vivutio vya utalii nchini.
Pia Uzinduzi wa Chaneli hiyo ya utalii ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Ibara ya 29 iliyoielekeza Serikali kuweka mkakati wa kimataifa wa utangazaji wa utalii ili kuwavutia watalii wengi zaidi na kufikia idadi ya 2,000,000 ifikapo mwaka 2020.
Uzinduzi huo umehudhuriwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Khamis Kigwangala. Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isac Kamwelwe pamoja na maafisa wengine wa Serikali.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya Disemba 16
↧
Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi
🍋🥑🍒OFFER ya X MAS na MWAKA MPYA🍉🍇
Ofa hii itaisha tareh. 22/12/2018 wahi sasa jipatie bidhaa original kwa punguzo la bei.
%%Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe bureeee.
1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza maumbile ya kiume urefu na upana mpaka nchi 7.5 ilikua inapatikana kwa @170,000/= sasa ni @160,000/= tu
2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa ilikua ni @160,000/=. Sasa ni 150,000/= tu
3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo wewe pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kilikua kinapatikana kwa @230,000/=. Sasa ni 210,000/= tu
4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza maumbile ya kiume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 180,000/= tu
5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 ilikua inapatikana kwa @190,000/=. Bei ya sasa ni 170,000/=
6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri ilikua inapatikana kwa @150,000/=. Sasa ni 140,000/=
7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 180,000/=
8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft ilikua inapatikana kwa @150,000/= Sasa ni @140,000/= tu
9. BOTCHO HOLOGRAM CREAM--- Hii ni dawa ya kuongeza hips na makalio ilikua inapatikana kwa@180,000/= Sasa ni@160,000/=
N.K
Wasiliana nasi kwa simu
NO:. +255 759029968 AU +255 659618585
Popote ulipo utapata huduma zetu.
Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.
WELCOME ALL
↧
↧
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako
Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.
Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki.
Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA- Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.
Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.
Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)
*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾
✨Wabillahhi Tawfiq Asallam Alaikum
Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu
+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp : 0762 252 102
↧
Video Mpya: Best Nasso – Chapombe
↧
FastJet Yatangaza Kusitisha Safari za Ndege Disemba na January 2019
Kampuni ya Ndege ya Fastjet Tanzania imesitisha safari zake za Desemba 2018 na Januari 2019 kutokana na sababu za utendaji.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Desemba 17, 2018, menejimenti ya kampuni hiyo imesema wateja wote watarudishiwa nauli zao Desemba 20 mwaka huu kwa utaratibu uliotumika katika manunuzi ya tiketi.
“Fastjet inaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza. Tunawaomba abiria pamoja na mawakala wa safari za anga kuwasiliana nasi kupitia namba za simu za mkononi au barua pepe ili kupata ufafanuzi zaidi,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.
↧
Serikali kulifuta shirika la Ndege la Fast jet....Yatoa Notisi ya Siku 28
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imesema Shirika la Ndege la Fastjet limepoteza sifa ya kufanya biashara nchini, hivyo limezuia ndege moja ya shirika hilo kuruka kutokana na matatizo ya mara kwa mara na kukosekana kwa meneja mwajibikaji wa shirika.
Hayo yamebainishwa na mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo, Hamza Johari leo Jumatatu Desemba 17, 2018 katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Amesema tayari TCAA imetoa notisi ya siku 28 kuanzia leo ya kusudio la kufuta leseni ya shirika hilo.
"Tumekuwa tukiwaandikia barua ya kuwataka watueleze kuhusu mwenendo wao wa biashara tangu Fastjet Plc wajiondoe lakini pia shirika limekuwa na madeni mbalimbali ambayo hayajalipwa. Tukiomba watupe mpango wao wa fedha na biashara kwa mujibu wa sheria hawafanyi hivyo," amesema Johari.
Amesema shirika hilo linadaiwa na watoa huduma wake wengi ikiwemo TCAA inayolidai Sh1.4 bilioni lakini pia halina meneja mwajibikaji ambaye ni mtaalamu wa masuala ya ndege anayepaswa kutoa majibu ya hali ya ndege.
"Kwa sasa fastjet hawana ndege. Ndege yao tangu jana tumeizuia kuruka kwa kuwa imekuwa ikipata hitilafu mara kwa mara na hawana mtu ambaye anaweza kutoa taarifa kuhusu mwenendo wake jambo ambalo linahatarisha usalama endapo itaruka," amesema Johari.
==>Msikilize hapo chini
Hayo yamebainishwa na mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo, Hamza Johari leo Jumatatu Desemba 17, 2018 katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Amesema tayari TCAA imetoa notisi ya siku 28 kuanzia leo ya kusudio la kufuta leseni ya shirika hilo.
"Tumekuwa tukiwaandikia barua ya kuwataka watueleze kuhusu mwenendo wao wa biashara tangu Fastjet Plc wajiondoe lakini pia shirika limekuwa na madeni mbalimbali ambayo hayajalipwa. Tukiomba watupe mpango wao wa fedha na biashara kwa mujibu wa sheria hawafanyi hivyo," amesema Johari.
Amesema shirika hilo linadaiwa na watoa huduma wake wengi ikiwemo TCAA inayolidai Sh1.4 bilioni lakini pia halina meneja mwajibikaji ambaye ni mtaalamu wa masuala ya ndege anayepaswa kutoa majibu ya hali ya ndege.
"Kwa sasa fastjet hawana ndege. Ndege yao tangu jana tumeizuia kuruka kwa kuwa imekuwa ikipata hitilafu mara kwa mara na hawana mtu ambaye anaweza kutoa taarifa kuhusu mwenendo wake jambo ambalo linahatarisha usalama endapo itaruka," amesema Johari.
==>Msikilize hapo chini
↧
↧
Video Mpya: Normal Tz X Pierre – Mama Nakufa
↧
Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.
Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam Buguruni
Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.
↧
Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume
Wanaume wanao jihusisha na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu husalia kuwa na maumbile ya kiume yaliyo sinyaa na kudumaa.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, kufanya punyeto kwa muda mrefu huathiri na kuharibu mishipa na misuli ya uume na hivyo kusababisha kujengeka kwa mafuta na tishu zisizo vutika kwenye mishipa ya ateri na hivyo kuzuia mishipa ya ateri kupanuka na kuongezeka pamoja na damu kutiririka kwenda kwenye misuli ya uume.
Mambo hayo mawili yanapotokea huathiri uzalishaji wa homoni muhimu zinazo husika na ukuaji wa misuli ya uume, na hatimaye hufanya uume wa mhusika kudumaa, kusinyaa, kunywea na kurudi ndani kiasi cha kuufanya uonekane kama wa mtoto.
Homoni hizo hujulikana kitaalamu kama HGH na huzalishwa kwenye ini.
Sababu nyingine inayo tajwa na wataalamu ni kwamba, mtu anaye fanya punyeto hutumia akili, nguvu na nishati nyingi sana, jambo ambalo huathiri utendaji wa ogani nyingine muhimu katika mwili , likiwemo ini.
Na kwamba ini linapo kosa nishati ya kutosha hushindwa kufanya kazi zake vizuri na moja kati ya kazi kubwa za ini ni pamoja na uzalishaji wa homoni zijulikanazo kitaalamu kama HGH ambazo kama ilivyo andikwa hapo juu, zinahusika na kuchochea ukuaji wa sehemu mbalimbali katika mwili wa mwanadamu ikiwemo misuli ya uume.
Mbali na kuathiri utendaji wa ogani nyingine mwilini, upigaji punyeto husababisha athari nyingine kwenye mwili wa mwanadamu kama vile uchovu sugu wa mwili pamoja na kunyonyoka kwa nywele.
Athari nyingine za upigaji punyeto ni pamoja na kupoteza kumbukumbu, kuwahi kufika kileleni ambako husababishwa na kulegea kwa mishipa ya ateri, kushindwa kurudia tendo la ndoa, kukosa hamu ya tendo la ndoa, uume kusimama katika hali ya ulegelege, maumivu wakati wa tendo la ndoa husuani wakati wa kurudia tendo la pili na mara baada ya tendo la ndoa la kwanza.
KWANINI WATU WENGI WANAO JIHUSISHA NA UPIGAJI PUNYETO WANA MAUMBILE MADOGO YA KIUME YALIYO DUMAA, SINYAA NA KURUDI NDANI.
Uzeofu unaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume ambao wamewahi kufanya punyeto kwa muda mrefu, wanakabiliwa na tatizo la kuwa na maumbile ya kiume yaliyo dumaa, sinyaa na kurudi ndani.
SABABU KUBWA NI HII HAPA
Sababu kubwa ni kwamba vijana wengi wa kiume, huanza kujihusisha na punyeto wakiwa na miaka kumi na sita , kumi na saba au chini ya hapo.
Hiki ni kipindi ambacho vijana hawa ndio wanakuwa wamebalehe.
Na kwa mujibu wa tafiti za kisayansi, katika kipindi hiki cha balehe ndio kipindi ambacho homoni za HGH ambazo huhusika na ukuaji wa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo maumbile ya kiume, huzalishwa kwa wingi.
Kama tulivyo ona hapo juu, upigaji punyeto huathiri uzalishwaji wa homoni hizo.
Mwisho wa siku maumbile ya kiume ya wahusika, hushindwa kukua na kuishia kudumaa na kusinyaa.
Na hii ndio sababu kubwa wanaume wanao kabiliwa na tatizo hili husalia kuwa na maumbile yenye ukubwa ule ule walio kuwa nao wakati wa kubalehe
NINI TIBA ASILIA YA TATIZO LA KUDUMAA, KUSINYAA NA KURUDI NDANI KWA MAUMBILE YA KIUME.
Kama uume wako umedumaa, sinyaa, legea, nywea na kurudi ndani kwa sababu ulifanya punyeto kwa muda mrefu na unataka kuondokana na hali hiyo. HII NI HABARI NJEMA SANA KWAKO!
Ipo dawa ya ASILI ambayo HUTIBU na KUPONYESHA KABISA tatizo la KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA NA KURUDI NDANI KWA MAUMBILE YA KIUME kunako tokana na ufanyaji punyeto wa muda mrefu.
Ni dawa ya asili kabisa ambayo hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la kudumaa na kusinyaa kwa uume ndani ya siku thelathini.
JINSI YA KUPATA TIBA HII : Kupata tiba hii fika ka6ika duka la kuuza dawa za aslili la NEEMA HERBALIST. Tunapatikana UBUNGO jijini DAR ES SALAAM jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA.
Kwa wateja waliopo jijini Dar Es Salaam ambao hawana nafasi ya kufika ofisini kwetu watapelekewa dawa mahali walipo ( HOME & OFFICE DELIVERY ) na kwa wateja waliopo nje ya mkoa wa Dar Es Salaam watatumiwa dawa kwa njia ya usafiri wa mabus au boti kwa waliopo Zanzibar.
Wasiliana nasi kwa simu namba : 0693 005 189.
↧
Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.
Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.
MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.
Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521
Tupo Mbagala- Dar
↧
↧
Mtu Mmoja Ajinyonga Nyuma ya Bodi ya Korosho....RPC Atoa Tamko
Baada ya tukio la mtu mmoja kukutwa amejinyonga mtaa wa maduka makubwa mkoani Mtwara, kwenye kichaka kilichopo nyuma ya jengo la Bodi ya Korosho, Kamanda wa Polisi mkoani humo amesema kwamba mpaka sasa tukio hilo halina uhusiano na suala la korosho japo bado uchunguzi unaendelea.
Kamanda wa Polisi, ACP Blasius Chatanda amesema kwamba Marehemu aliyejulikana kwa jina la Mosses Malolela, 'Wadasani' alikutwa amejinyonga saa nane usiku wa Disemba 16 mwaka huu huku kukiwa hakuna ujumbe wowote aliouacha.
Kamanda Chatanda amesema kwamba marehemu Mosses (30), ni mkazi wa Mpwapwa mkoani Dodoma na kwamba bado haijajulikana ni jambo gani ambalo lilimpeleka mkoani Mtwara hivyo bado wanafuatilia.
Akijibu swali la kama marehemu Mosses ni mmoja kati wa wafanyabiashara wa Korosho wasio waaminifu, maarufu kama wanunuzi wa 'Kangomba', Kamanda Chatanda amesema, "Mpaka wakati huu hakuna taarifa zozote ambazo zinahusisha tukio hilo na suala la korosho.
"Kwa kuwa bado tunaendelea na uchunguzi tutajua sababu za kujinyonga ingawa siku hizi matukio ya kujinyonga yanasababishwa na mambo mbalimbali yakiwepo msongo wa mawazo, hali ya maisha lakini pia mapenzi nk, japo kwa marehemu Mosses bado hatujafahamu ni nini".
Mwili wa Marehemu Mosses upo katika sehemu ya kuhifadhia maiti mkoani Mtwara baada ya kutolewa juu ya mti ulipokuwa ukining'inia baada ya kujinyonga kwa kutumia waya.
↧
Kutana Na Dr Chikago Bingwa Na Mwokozi Kwa Waliosumbuka Na Magonjwa Bila Mafanikio
Ninauwezo wa kumrudisha mume, mke ,mchumba, hawara, mtu unaempenda ndani ya masaa mawili tu (2) na kumfunga asiwe na mtu mwingine zaidi yako na kumfanya akutimizie kilakitu unachokihitaji kutoka kwake hata km yupo mbali na atatulia kabisa
GALIMBO 3 MIX; nidawa ya mitishamba iliyitengenezwa kwa kwa utabibu wa hali ya juu kwakuchanganya miti na matundatiba , Huogeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15 -85 ) , inakomaza zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakat wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaid ya Mara tatu bila ham kuisha wara kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-40.
YOLANI :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inch (6-8) na unene wa sm (3-4)
Matatizo haya husababishwa na mambo mbalimbali km upigaji wa punyeto, kisukali, vidonda vya tumbo, tumbo kuunguluma na kujaa gesi, ngili, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani, maumivu ya mgongo ama kiuno, namengineyo mengi (nk )
SUPER MBUKE :- nidawa inayotatua tatizo la kisukali na kupona kabisa Kwa mda mfupi sana na utakuwa na uwezo wakula chakula chochote chenye sukali baada ya kupona,
vilevile ninadawa ya uzazi kwa akina Mama na akina Baba, kurudisha mali iliyopotea kwamda mfupi sana, vidonda vya tumbo, kaswende,presha,chango la uzazi, gono,nyama uzembe, kusafisha nyota, kuzuia majini wachafu, kinga ya mwili, kuuza vitu bila kununuliwa, dawa za biashara, pesa nyingi (utajili) mambo ya kes nk
Kwa huduma n msaada wasiliana na Dr CHIKAGO atakusaidia hatakama ulikata tamaa utarudisha furaha yako
Napatikana Dar es salaam sm no 0743543944 /0620510598
Nb :km huna nafasi ya kufika ofisin huduma hii itakufikia popote ulipo kwawatu wa mkoani tunatuma kwanjia ya mabasi.
↧
Waziri Mpina Atangaza Neema Kwa Wafugaji Kwa Kugawa Ekari 972,500 Za Ardhi
Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Luhaga Mpina ametangaza neema kwa wafugaji kwa kugawa ekari 972, 500 za ardhi ajili ya wafugaji wanaotangatanga kutafuta malisho ya mifugo yao ili kupata ufumbuzi wa kudumu ambao utamaliza kabisa migogoro baina ya wafugaji na wakulima iliyodumu kwa miaka mingi na kusababisha uvunjifu wa amani.
Akizindua zoezi la ugawaji wa ardhi hizo kwa wafugaji nchini katika Ranchi ya Kalambo wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Waziri Mpina amesema uamuzi huo wa Serikali umekuja kufuata wafugaji wengi nchini kuhangaika kila mahali kutafuta malisho na kusababisha migogoro mingi baina ya wafugaji, wakulima na watumiaji wengine wa ardhi.
“Pia wafugaji wengi walipata harasa kubwa kwa mifugo yao kutaifishwa kutozwa faini kubwa na hata mingine mingi kufa kutokana na kukamatwa kisha kushikiliwa kwa muda mrefu bila huduma muhimu ikiwemo maji, malisho na matibabu kwenye hifadhi mbalimbali za taifa nchini.” Alisisitiza Mpina
Alisema hadi sasa ekari 25,000 zenye uwezo wa kuhifadhi mifugo 6,000 katika Ranchi ya Kalambo mkoani Rukwa wafugaji zimemegawiwa ambapo na jumla ya ng’ombe 3,000 wameshaingia kwenye ranchi hiyo wakati Serikali na wafugaji wenyewe wakiendelea kutafuta suluhisho la kudumu la kupata malisho.
Amewataka wafugaji wote wanaohangaika kutafuta malisho kutumia fursa hiyo iliyotangazwa na Serikali ya uwepo wa maeneo kwa ajili ya kulishia mifugo ili wawe karibu pia huduma za tiba na chanjo pindi mifugo yao inapopata maradhi.
Akiwa katika mkutano wa pamoja baina ya Rachi ya Kalambo na wawekezaji Waziri Mpina alipongeza Timu maalum aliyoiunda ya kutatua migogoro ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi kwa kufanikisha zoezi la upimaji na ugawaji wa ardhi hiyo kwa wafugaji pamoja na kutatua migogoro yote iliyokuwepo baina ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi katika mikoa ya Rukwa, Katavi na Kigoma.
Aidha ailiiagiza Timu hiyo kuhakikisha kwamba inazunguka nchi nzima kwenye migogoro na kuitatua ili kuboresha mifugo iweze kuchangia katika viwanda hapa nchini.
Pia alimwagiza Katibu Mkuu Mifugo kuhakikisha ukaratabi wa kituo cha uchunguzi wa magonjwa ya wanyama cha Kanda ya Kusini Magharibi kinakamilika ifikapo Februari mwakani ili kutokana na mikoa ya Katavi, Rukwa kutokuwa na kituo hicho licha ya kuwepo mifugo mingi.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Dk Halfan Haule alisema kutokuwepo kwa maeneo ya malisho na maji ya kutosha kwa ajili ya mifugo kumekuwepo na migogoro kati ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi na kumshukuru Waziri Mpina kwa uamuzi wa kugawa vitalu kwa wafugaji.
Alisema Mkoa wa Rukwa umekuwa ukikabiliwa na magonjwa ya mifugo ikiwemo homa ya nguruwe(ASF), Homa ya Mapafu ya Ng’ombe(CBPP), Homa ya mapafu ya mbuzi(CCPP), Ugonjwa wa miguu na midomo(FMD), Ugonjwa wa mapele ngozi(LSD), Ugonjwa wa kichaa cha mbwa na ugonjwa wa mdondo(ND).
Katibu wa Umoja wa Wafugaji Ranchi ya Kalambo, Benuel Benzeth aliishukuru Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa uamuzi wake wa kugawa maeneo hayo ya Serikali kwa wafugaji katika kipindi ambacho wanaendelea kutafuta suluhisho la kudumu la changamoto ya malisho.
Alisema mifugo yao mingi imekufa na mingine kudhoofika kutokana na kukamatwa na kushikiliwa kwenye hifadhi bila matunzo na wakati wote Serikali haijawahi kuchukua hatua za kuwasaidia wafugaji na kumshukuru Waziri Mpina kwa uamuzi huo ambao umewezesha mifugo mingi kupona na kuendelea na uzalishaji.
Awali akizungumza mara baada ya kutembelea Kiwanda cha Nyama cha SAAFI kilichopo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa, Waziri Mpina amesema Serikali inafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha kiwanda hicho kinaanza kufanya kazi haraka ili kusaidia upatikanaji wa mifugo takribani milioni 6 iliyoko katika mikoa ya Rukwa, Katavi, Songwe na Mbeya.
Hivyo changamoto zote zinazokikabili kiwanda hicho zitatatuliwa haraka ikiwemo ukosefu wa mtaji pamoja na uongozi wa kuendesha kiwanda hicho jambo linalosababisha kiwanda hicho kusimama kwa muda mrefu licha ya kuwa na mitambo bora na ya kisasa ya uchinjaji na usindikaji wa nyama katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Waziri Mpina amesema ni jambo la fedheha kuona kiwanda hicho chenye miundombinu yote kuendelea kubaki katika hali hiyo huku wafugaji wakiendelea kuhaha kutafuta soko la mifugo hali inayosababisha asilimia 80 ya mifugo hiyo kutoroshwa kwenda nchi za jirani na kwenda kuyanufaisha mataifa hayo.
Hali hiyo inaifanya Tanzania kugeuzwa kuwa malisho ya mifugo hiyo huku rasilimali hizo zikishindwa kunufaisha nchi kimapato jambo ambalo Serikali ya awamu ya tano haiwezi kukubali liendelee.
Waziri Mpina pia alimpongeza Mwekezaji wa kiwanda hicho, Dk. Chrisant Mzindakaya kwa ujasiri na uamuzi mkubwa wa kubuni wazo la kuanzisha kiwanda hicho kwa gharama ya sh bilioni 9 na kuwepo na eneo la malisho zaidi ya hekta 6,000 kwani watu wengi wanaweza kukopa fedha na kisha kushindwa kutekeleza mipango yao kwa mujibu wa mpango kazi alioombea mkopo.
Hivyo aliagiza taasisi zote za Serikali kuhakikisha changamoto zote zinakwisha ili kuhakikisha kiwanda hicho kinaanza kazi mara moja na kwamba kama uvunaji wa rasilimali za mifugo hauko vizuri ni kipimo cha uwajibikaji wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyopewa dhamana ya kusimamia ukuaji wa sekta hiyo.
Kwa upande wake Mwekezaji wa kiwanda, Dk Chrisant Mzindakaya alisema licha ya kiwanda chake kufanya kazi lakini uzalishaji wake ni mdogo kutokana na changamoto ya mtaji na uendeshaji wa kiwanda na kumshukuru Waziri Mpina kwa kutembelea kiwanda na kutangaza msimamo wa Serikali katika kukinusuru kiwanda hicho.
↧
More Pages to Explore .....