Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Walimu washauriwa kuacha kutumia VIROBA wakati wa kufundisha

$
0
0
Baadhi ya walimu wakuu wa shule za sekondari Tanzania kanda ya mashariki kupitia umoja wao TAHOSSA wakimsikiliza ofisa elimu mkoa wa pwani hayupo alipofungua mkutano wao mjini Kibaha. Picha ya pamoja na baadhi ya walimu wakuu wanaounda umoja wao wa TAHOSSA Kanda ya mashariki. Na John Gagarini, Kibaha OFISA Elimu Mkoa wa Pwani Yusufu Kipengele amewataka walimu mkoani humo kuachana

Mh. Lowassa amjulia hali mwalimu wake wa Siasa

$
0
0
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa akimjulia hali Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Arusha,Mzee Jackson Kaaya nyumbani kwake Poli Meru wakati alipofika kumuona na kumsabahi.Pembeni ni mkewe Bibi Jacobert Kaaya.Mzee Kaaya mwenye umri wa miaka 94 alikuwa Mwenyekiti wa kwanza wa TANU Mkoa wa Arusha hadi alipostaafu mwaka 1984. Mh. Lowassa alikuwa Katibu wa

Majani ya Mapapai hayatibu Dengue....Wananchi washauriwa kutokubali kudanganywa na waganga wa jadi

$
0
0
Halmashauri  ya  manispaa  ya  Ilala  imesema  kuwa  majani  ya  mapapai  si  tiba  ya  ugonjwa  wa  dengue  hivyo  ni vyema  wananchi wakafika  hospitalini  kupatiwa  dawa  kuliko  kudanganywa  na  waganga  wa  jadi.... Kauli  hiyo  ilitolewa  Dar es Salaam jana  na  kaimu  mganga  mkuu  wa  manispaa  ya  Ilala, Dr  Willy Sango, wakati  wakitoa  mafunzo  kwa  wenyeviti  wa  serikali  za 

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 19 May 2014

$
0
0
Magazeti  ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  19  May  2014

Hili ni Jibu la Irene Uwoya baada ya kuulizwa uhusiano wake na Msami wa THT.

$
0
0
May 28 kupitia You heard ya XXL Clouds FM ilikua ni stori kuhusu uhusiano wa Msami wa THT na mwigizaji toka Bongo Movie Irene Uwoya na jana alisikika Msami ambaye alikanusha uhusiano lakini mpenzi wake Rehema aliweka wazi kuwa ni kweli Msami ana uhusiano wa kimapenzi na Irene Uwoya.  Sasa May 29 2014 ishu hii imeendela ambapo katafutwa Irene Uwoya na kuulizwa na Soudy Brown kama ni

Mchawi kutoka Tanzania ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela nchini Kenya baada ya kumdanganya mama mmoja

$
0
0
Mchawi kutoka Tanzania amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu nchini Kenya kwa kumlaghai mwanamke mfanyabiashara mkenya na kumuibia shilingi milioni tisa.   Mchawi huyo alimhadaa mama huyo kuwa kwa kupitia njia za kichawi angeweza kuzifanya pesa hizo kuwa maradufu yaani milioni 18. Bwana Amos Chipeta pia ataongezwa kifungo cha miezi tatu kwa kupatikana na vifaa vinavyoumiwa kufanya

Mtoto aliyekuwa amefichwa ndani ya boksi aanza kupumulia Mashine......

$
0
0
MTOTO Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne mkoani Morogoro, sasa anaopumulia mashine  katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .Nasra, alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, alipohamishiwa Mei 26 mwaka huu kwa ajili ya uchunguzi zaidi akitokea katika Hospitali ya mkoa wa Morogoro.   Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Daktari

Wabunge wa Kambi rasmi ya upinzani wasusia bajeti ya wizara ya nishati na madini na kutoka nje ya bunge

$
0
0
Kiongozi  wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe amewatoa wabunge wote wa upinzani Bungeni ikiwa ni shinikizo la kuipinga Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kama ilivyokuwa imewasilishwa na Waziri wa Wizara hiyo Professa Sospeter Muhongo.   "Hatuwezi kuendelea kuzungumzia bajeti ya Serikali isiyokuwa na sera,mimi kama Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni siwezi

Magazeti ya Leo Jumamosi ya tarehe 31 May 2014

$
0
0
Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  tarehe  31  May  2014

Huyu jamaa alipelekwa Mahakamani kwa kesi ya kubaka, alipofika Mahakamani akataka kumbaka mtu tena

$
0
0
Watu wa karibu wa Mtuhumiwa huyu walijitokeza Mahakamani ili kuangalia kama ndugu yao aitwae Simon Ngozi (21) ataweza kupata dhamana kwenye kesi inayomkabili ya kubaka mtoto wa miaka tisa.   Jamaa alikua amepelekwa Mahakamani Makadara Nairobi   nchini  Kenya  lakini ghafla akamshangaza kila mtu baada ya kutaka kumbaka Mwanamke aliyekua karibu yake baada ya kuanza kumshikashika.

Mtoto Nasra aliyekuwa amefichwa ndani ya Boksi aondolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua

$
0
0
Hali ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne, inaendelea kuimarika baada ya kutolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua.   Siku mbili zilizopita, Nasra aliwekewa mashine na kupata hewa ya oksijeni baada ya kushindwa kupumua vizuri kutokana na nemonia.   Kutokana na nafuu hiyo, juzi usiku jopo la madaktari bingwa wa watoto katika Hospitali ya Taifa

Jeshi la Polisi lasema, Vijana 17 waliokamatwa jijini Arusha si Al shabaab bali ni watuhumiwa waliohusika na tukio la ulipuaji wa bomu

$
0
0
JESHI la Polisi nchini limekanusha kwamba watuhumiwa 14 waliokamatwa na kufikishwa mahakamani mkoani Arusha hawahusiki na kundi la Al-Shabaab kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapo jana.   Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugezi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu, alisema waliokamatwa ni watuhumiwa waliohusika na

Profesa Peter Mutharika ashinda kinyang'anyiro cha Urais Nchini Malawi....Joyce Banda akamata nafasi ya tatu

$
0
0
Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya mivutano ya kisheria kwa wiki nzima. Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote akifuatiwa na Dr Lazarus Chakwera mwenye asilimia 27.8 huku Rais anayemaliza muda wake Dr Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa asilimia 20.2 na Atupele

Breaking News: Msanii Mwingine wa bongo muvi, George Tyson ambaye alikuwa ni mume wa Monalisa afariki dunia kwa ajali ya gari

$
0
0
NI pigo tena kwa tasnia ya Bongo Muvi, mwongozi filamu Bongo na aliyekuwa mume wa staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry 'Monalisa', George Tyson amefariki dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari eneo la Morogoro akitokea mkoani Dodoma.   Dj Choka ambae kwa sehemu kubwa alikua kwenye safari moja ya Dodoma na Marehemu George Tyson, ameandika kwenye blog  yake  kwamba Marehemu

Picha: Mwili wa marehemu George Tyson ukitolewa hospitali ya mkoa Morogoro na kupelekwa Dar

$
0
0
Baadhi ya ndugu na jamaa wakiutoa mwili wa marehemu George Tyson mochwari mchana wa leo katika Hospitali ya Mkoa ya Morogoro    Mwili wa marehemu George Tyson ukiwekwa sawa kabla ya kuanza safari ya kuja Dar es Salaam mchana wa leo. <!-- adsense -->

Picha ya Majeruhi aliyekuwa pamoja na marehem George Tyson wakati gari yao ilipopata ajali

$
0
0
Mmoja wa majeruhi katika ajali, Gladys Chiduo 'Mc Zipomba' akiwa chini ya uangalizi wa nesi katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro akipatiwa matibabu mapema leo  (Picha: Dustan/gpl) <!-- adsense -->

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam afariki dunia katika mazingira ya kutatanisha

$
0
0
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Happiness Sakabenga, jana amefariki ghafla chumbani kwake baada ya kutoka kwenye vipindi vya masomo asubuhi, chuoni hapo. Mwanafunzi huyo wa mwaka wa pili aliyekuwa akichukua Shahada ya kwanza ya Biashara na Uhasibu, baada ya kutoka darasani alikwenda kupumzika na hakuamka tena. Habari za ndani kutoka kwa marafiki zake zimeiambia 

Ray C sasa ahitaji mpenzi mzee....Asema Mapenzi ya vijana yamempa majuto ya milele na kumdhalilisha mbele ya jamii

$
0
0
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia 60.  Akizungumza katika kipindi cha ‘The Sporah Show’, Ray C alisema anahitaji wanaume wa umri mkubwa, kwa kuwa wanajua wanachokifanya, na kukiri kwamba vijana walichangia katika kurudisha nyuma maisha

Audio: DJ Choka ailezea ajali ya gari alilokuwemo marehemu George Tyson na hali ya waliokuwa kwenye gari hilo

$
0
0
Jana usiku wadau wa filamu na vipindi vya TV walipatwa na mshituko baada ya kupata taarifa kuwa muongozaji mahiri wa filamu na vipindi vya runinga, George Tyson amefariki katika ajali ya gari.   DJ Choka alikuwa miongoni mwa watu waliokuwa kwenye msafara mmoja na timu ya The Mboni Show na marehemu George walioelekea Dodoma kutoka Dar es Salaam Alhamisi (May 29) na kurudi wote (May 30).

Magazeti ya Leo Jumapili ya tarehe 1 June 2014

$
0
0
Magazeti  ya  Leo  Jumapili  ya  tarehe  1  June  2014
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images