Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Sumbawanga Noma Sana: Tazama Hapa Alichozungumza Diamond baada ya kuanguka jukwaani Huko Sumbawanga

$
0
0
Siku moja baada kudondoka jukwaani kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Sumbawanga mwanamuziki Diamond platnumz amewavulia kofia wakazi wa mkoa huo.

Diamond kupitia akaunti yake ya Instagram aliandika; Hakika mchezo usiuchezee… Sumbawanga mmenishinda tabia jamani.  Rayvanny, Mbosso Zanzibar! Zanzibar! tukutane Uwanja wa Amani siku ya Jumanne Desemba  11.’

Tukio la kuanguka jukwaani kwa Diamond lilitokea jana kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, wakati akiimba wimbo wa ‘Zilipendwa’ akiwa na wasanii Rayvanny na Mbosso.

Diamond aliyekuwa kifua wazi huku akiwa amevaa suruali yenye ufito mweupe pembeni, ubao uliokuwa umewekwa chini ulisogea na kujikuta anaanguka kwa kudumbukia chini ya jukwaa hilo, jambo lililozua gumzo mitandaoni.

Akizungumzia tukio hilo, Meneja wa Diamond, Babu Tale alikiri kuwa kilichoonekana kwenye video mtandaoni ndicho kilichotokea.

Tale amesema moja ya sababu ya msanii wake huyo kudondoka ni kutokana na kucheza kwa kurukaruka kwa nguvu jukwaani.

Msikilize Diamond hapo chini

Kutana Na Dr Chikago Bingwa Na Mwokozi Kwa Waliosumbuka Na Magonjwa Bila Mafanikio

$
0
0
Ninauwezo wa kumrudisha mume, mke ,mchumba, hawara, mtu unaempenda ndani ya masaa mawili tu (2) na kumfunga asiwe na mtu mwingine zaidi yako na kumfanya akutimizie kilakitu unachokihitaji kutoka kwake hata km yupo mbali na atatulia kabisa

GALIMBO 3 MIX;  nidawa ya mitishamba iliyitengenezwa kwa kwa utabibu wa hali ya juu kwakuchanganya miti na matundatiba , Huogeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15 -85 ) , inakomaza zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakat wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaid ya Mara tatu bila ham kuisha wara kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 18-40.

YOLANI :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inch (6-8) na unene wa sm (3-4)

Matatizo haya husababishwa na mambo mbalimbali km upigaji wa punyeto, kisukali,  vidonda vya tumbo, tumbo kuunguluma na kujaa gesi, ngili, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani, maumivu ya mgongo ama kiuno, namengineyo mengi  (nk )

SUPER MBUKE :- nidawa inayotatua tatizo la kisukali na kupona kabisa Kwa mda mfupi sana na utakuwa na uwezo wakula chakula chochote chenye sukali baada ya kupona,

vilevile ninadawa ya uzazi kwa akina Mama na akina Baba, kurudisha mali iliyopotea kwamda mfupi sana, vidonda vya tumbo, kaswende,presha,chango la uzazi, gono,nyama uzembe, kusafisha nyota, kuzuia majini wachafu, kinga ya mwili, kuuza vitu bila kununuliwa, dawa za biashara, pesa nyingi (utajili)  mambo ya kes nk

Kwa huduma n msaada wasiliana na Dr CHIKAGO atakusaidia hatakama ulikata tamaa utarudisha furaha yako

Napatikana Dar es salaam  sm no 0743543944   /0620510598

Nb :km huna nafasi ya kufika ofisin huduma hii itakufikia popote ulipo kwawatu wa mkoani tunatuma kwanjia ya mabasi.

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Kamishna Mkuu TRA Alia na Upungufu wa Wafanyakazi....Aipongeza Serikali kupitia upya mfumo wa ulipaji kodi

$
0
0
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Charles Kichere, amesema mamlaka hiyo ina upungufu wa rasilimali watu 1,930 hali inayosababisha ucheleweshwaji wa ukusanyaji kodi na kutofungua ofisi zao katika baadhi ya wilaya na kuifanya serikali kukosa mapato ya maeneo hayo.

Kichere ameyasema hayo leo alipokuwa akiwasilisha taarifa ya TRA katika kikao cha Rais Dk John Magufuli na mamlaka hiyo na wakuu wa mikoa  kilichofanyika leo Jumatatu Desemba 10, jijini Dar es Salaam ambapo amesema mbali na upungufu huo pia wanahitaji nyumba 114 za wafanyakazi wa mipakani na ukarabati wa majengo 76 ya ofisi zao ili kuwapa mazingira mazuri ya kufanya kazi zao kwa ufanisi na kuongeaza mapato.

 Aidha, Kamishna Kichere pia ameiomba serikali kupitia upya mfumo wa ulipaji kodi kwa wafanyabiashra wadogo ili kuwasaidiakulipa kodi kwa hiari na kuwaandalia maeneo maalumu ya kufanyia biashara ilikuisaidia TRA kukusanya kodi kirahisi.

“Mahakama ya kodi ina kesi 50 zenye thamani ya Shtrilioni 25 ambazo hazijaamuliwa, tunaomba taratibu za kisheria ziharakishwe ili kesi hizi zitolewe maamuzi,” amesema Kichere.

Kwa upande wake Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amesema wizara yake kwa kushirikiana na TRA wataendelea kusimamia misingi bora ya ukusanywaji kodi, kupunguza misamaha ya kodi isiyo na tija na kupunguza tozo katika uanzishwaji wa biashara.

“Ili kuongeza ukusanywaji wa kodi kuna maeneo muhimu tutayazingatia kama kufanya ukaguzi bandarini, uwanja wa ndege na mipakani, kusimamia matumizi ya vifaa na mifumo ya kielektroniki ili kuongeza ukusanyaji wa mapato na ufuatiliaji wa mapato kutoka tasisi na mamlaka za serikali,“ amesema Waziri huyo.

Rais Magufuli atoa vitambulisho maalumu kwa wafanyabiashara wadogo Wenye Mitaji Chini ya Milioni 4

$
0
0
Rais John Magufuli, amezindua vitambulisho maalumu 670,000 kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo wadogo ili viwasaidie kuzitambulisha biashara zao.

Rais Magufuli amegawa vitambulisho hivyo leo Jumatatu Desemba 10, alipokuwa katika mkutano wake na viongozi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) na wakuu wa mikoa ambapo amesema vitambulisho hivyo ni maalumu kwa wafanyabiashara ambao mtaji wao hauzidi Sh milioni nne.

Baada ya kugawa vitambulisho hivyo maalumu kwa wakuu wa mikoa ili wakawapatie wafanyabiashara katika maeneo yao, Rais Magufuli ametaka wafanyabiashara hao wasisumbuliwe na mtu yeyote.

“Nimefikia hatua ya kutoa vitambulisho hivyo mimi mwenyewe kwa sababu nimeona mamlaka husika inachelewesha na wafanyabiashara wadogo wanaendelea kusumbuliwa.

Rais Magufuli amesema vitambulisho hivyo viko 670,000 na kila mkuu wa mkoa atapewa vitambulisho 25, 000 ili wakavigawe kwa wafanyabiashara wa maeneo yao na fedha watakazopewa wakazilipe TRA.

“Vitambulisho hivi navitoa bure ila wafanyabishara watachangia 20,000 kila mmoja, kama kurudisha gharama ya utengenezwaji wake ili fedha hizo zikatumike kutengenezea vitambulisho vingine na kianze kutumika mara tu anapokipata.

“Kama vitambulisho hivi navitoa mimi mwenyewe sijaona mtu wa kuwasumbua, na mfanyabiashara mwenye mtaji wa chini ya Sh 4,000,000 na ana kitambulisho nasisitiza asisumbuliwe,” amesema.

Aidha Rais Magufuli ametoa rai kwa wafanyabiashara watakaopata vitambulisho hivyo kuvitumia kwa matumizi yao na si kuvichukua kisha wakawafanyie biashara wafanyabiashara wakubwa.

Waziri Mkuu: Serikali Haitomvumilia Kiongozi Atakayekiuka Maadili

$
0
0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kuenzi misingi ya utawala bora haitamvumilia kiongozi yeyote wa umma atakayekiuka misingi hiyo na kutanguliza maslahi binafsi badala ya maslahi ya umma katika utendaji wake.

Amesema mgongano wa maslahi umechangia rasilimali za nchi kunufaisha watu wachache huku wananchi wengi kuendelea kuwa fukara, wakati wachache wakijitajirisha isivyo halali, hivyo Serikali itaendelea kuziba mianya, kwani ikiachiwa iendelee, itarudisha nyuma jitihada za Serikali katika kufikia Dira ya Maendeleo ya Taifa.

Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema mmomonyoko wa maadili umechangia sana kutozingatiwa kwa sheria, kanuni na miongozo mbalimbali katika utumishi wa umma, tatizo ambalo limesababisha mgongano wa maslahi.

Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Desemba 10) kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu yaliyofanyika Kitaifa jijini Dodoma, ambapo ametumia Napenda fursa hiyo kuwaasa viongozi wote kuzingatia sheria, kanuni na taratibu katika utendaji wao kwani hiyo ndio njia pekee itakayoepusha mgongano wa maslahi.

Waziri Mkuu amesema mgongano wa maslahi ni miongoni mwa mambo yaliyochangia kuisababishia hasara Serikali kwa muda mrefu, tatizo ambalo lazima lidhibitiwe kwani mara kadhaa baadhi ya viongozi au watumishi wa umma wamekuwa wakifanya maamuzi kwa mambo wanayojua wazi kuwa wana maslahi binafsi nayo.

”Mathalan katika Halmashauri zetu wapo madiwani au watumishi wanaoshiriki kutoa maamuzi yanayohitimishwa kwa kumpatia kazi mkandarasi au mzabuni wakati kampuni husika inamilikiwa na mwenza, rafiki, ndugu wa karibu au mtoa rushwa.”

Amesema mgongano wa maslahi ambapo amesema kuwa huwa unatokea pale mahitaji, manufaa na faida (maslahi) binafsi ya kiongozi yanapokinzana na yale ya umma katika utendaji wake wa kazi, jambo ambalo ni kinyume na misingi ya utawala bora ambayo Taifa letu linaiamini na kuifuata tangu lilipoanzishwa na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.”

Amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli itaendelea kuunga mkono na kutekeleza Mikataba na Makubaliano ya Kimataifa ipasavyo. Mikataba hiyo ni pamoja na mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia na Kupambana na Rushwa na Makubaliano yaliyowekwa na Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu.

”Sambamba na maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi katika ibara ya 145 (a), ambapo tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani, mojawapo ya agenda yetu ilikuwa ni kuendeleza jitihada za kukuza, kulinda na kuhifadhi haki za binadamu na utawala wa sheria katika ngazi zote za uongozi.

Jambo hili tumelifanya kwa nguvu kubwa na kwa sasa tumeona kuna mabadiliko makubwa sana miongoni mwa watumishi wa umma katika kutoa huduma kwa wananchi kwa nidhamu, bila upendeleo na kuepuka vitendo vya rushwa.”

Waziri Mkuu amesema katika kipindi cha miaka mitatu yameshuhudiwa mafanikio makubwa nchini na kwamba hakuna muujiza uliofanyika kufikia hatua hiyo, bali ni usimamiaji wa nidhamu ya kazi, uadilifu na rasilimali za nchi.

Amesema kinachofanywa na Serikali ni kuchukua hatua stahiki dhidi ya vitendo vyote vinavyokiuka maadili na misingi ya utawala bora kadri inavyowezekana na sasa mafanikio ya jitihada hizo yanaonekana, ambapo baadhi ya watumishi wa umma waliishakuwa miungu watu  na  kusahau kabisa  kwamba  utumishi  wao  ni wa  kuwatumikia  Watanzania,

”Mafanikio ya hatua hizo ni kurejea kwa  nidhamu katika utumishi wa umma, kushuka kwa mfumuko wa bei za bidhaa, kuendelea kutekelezwa kwa miradi ya maendeleo na kuimarika kwa utamaduni wa kufanya kazi halali ili kupata kipato halali hivyo, kufuta maisha yaliyojaa ujanja ujanja.”

Hivyo, Waziri Mkuu amesema maadhimisho hayo ni muhimu kwa sababu yanatoa fursa ya Serikali kujitathmini kama imefanya juhudi za kutosha kuhakikisha maadili yamezingatiwa katika kila eneo na hivyo kupunguza vitendo vya rushwa, kuimarisha uwajibikaji katika kuutumikia Umma na misingi ya utawala bora kwa ujumla wake.

Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na Spika wa Bunge Job Ndugai, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni MstaafuGeorge Mkuchika, Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Paramagamba Kabudi.

Wengine ni Manaibu Mawaziri, Makatibu Wakuu Wakuu wa Taasisi zinazosimamia Maadili, Haki za Binadamu, Uwajibikaji na Mapambano dhidi ya Rushwa, Viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na Wawakilishi wa Washirika wa Maendeleo.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Baada ya Kupongezwa na Ikulu, BASATA Nao Wampongeza Msanii Diamond Planumz

$
0
0
Baraza la sanaa Taifa (BASATA) limechukua uamuzi wa kumpongeza msanii wa muziki nchini Tanzania Naseeb Abduly alimaarufa Diamond Platnumz kwa kuonyesha moyo wake wa kujitolea. 

Baraza hilo limetumia ukurasa wake wa Instagram kuandika ujumbe kwa msanii Diamond na kuchukua nafasi hiyo kuwaomba wasanii wengine kuiga mfano wa Diamond kuweza kuwa msaada katika jamii inayowazunguka.

“Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), linampongeza msanii Nasibu Abdul maarufu kama ‘Diamond Platnumz’ kwa moyo wa kizalendo aliouonesha wa kujitolea shilingi milioni 68 kumalizia ujenzi wa shule iliyopo Wilayani Sumbawanga.

"Kitendo hiki kinazidi kuishawishi jamii kuithamini, kuilinda na kuipenda sanaa yetu nchini. Aidha Baraza linapenda kutumia nafasi hii kuwasihi wasanii wengine nchini kuiga moyo huu ili tuweze kuisaidia jamii yetu inayotuzunguka. SANAA NI KAZI, TUIPENDE NA KUITHAMINI.#HongeraDiamondPlatnumz”
-Wameandika BASATA

Hatua hii imekuja baada ya akaunti ya Ikulu Mawasiliano kumpogeza msanii huyo kwa kuamua kujitolea kujenga shule ambayo ilipewa jina lake la Diamond Platnumz Shule ya Msingi.

Kodi ya nyumba yamkera Rais Magufuli......Atoa Maagizo Mazito

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania haifanyi vizuri kwenye suala la ukusanyaji wa mapato ukilinganisha na baadhi ya nchi barani Afrika kulingana na pato lake la taifa.
 
Kwa mujibu wa Rais Magufuli, Tanzania ndiyo nchi yenye wastani mdogo wa kukusanya kodi , ambapo inakusanya asilimia 12 ya kodi huku ikiwa na jumla ya walipa kodi milioni 2 kati ya watanzania milioni 54. Taifa la Afrika Kusini ambalo lina watu milioni 56, wastani wake wa ukusanyaji wa kodi  ni asilimia 26.

Rais Magufuli amesema hayo leo wakati akizungumza na TRA na Wakuu wa Mikoa nchi nzima katika ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam

Rais Magufuli ameiagiza TRA na Wizara ya Fedha kutoza kodi ya nyumba ya TZS 10,000 kwa nyumba za kawaida, TZS 20,000 nyumba za ghorofa zilizopo wilayani na vijijini na Sh 50,000 kwa nyumba kubwa. Tozo hizo zizingatie hati ya kiwanja na sio idadi ya nyumba kwenye kiwanja.

“Katika makadirio ya kodi ya nyumba, wapo wanaokadiriwa hadi Sh. Milioni 2 au Sh. Milioni 3. Nyinyi wakuu wa Mikoa ni mashahidi, mtu amejenga nyumba kwa gharama halafu mnatoza kodi hizo, halafu hata bomba la maji hamjaleta.

“Watanzania tuko Milioni 55 lakini idadi ya nyumba zinazolipiwa kodi ziwe Milioni 1.9. Natoa wito kwa TRA na mamlaka nyingine za mapato hakikisheni mnatengeneza mifumo rahisi kwa wawekezaji na mpunguze vikwazo.

“TRA tumeshindwa hata kurasimisha Sekta ambayo si rasmi ambayo ni asilimia 70, tunakusanya kwenye Sekta rasmi ambayo ni asilimia 30 pekee, tunashindwa kukusanya mapato kwenye Sekta isiyo rasmi, niseme ukweli hatufanyi vizuri kabisa.

“Yapo matatizo katika TRA yenyewe, kwenye mgawanyo wa watendaji katika maeneo mbalimbali. Kuna baadhi ya wafanyakazi wanapigwa vita, wanaondolewa na kuwekwa wengine kwa upendeleo. Lipo tatizo la kubambikizia watu kodi kupitia mfumo wa kukadiria. Mtu ana biashara ndogo anakadiriwa kodi kubwa, mwisho wake anafunga biashara, sasa hapo TRA mmepata faida au hasara? Wengine wanafunga biashara na kwenda kufungua upya maeneo mengine.

“Mazingira ya kufanyia biashara nchini bado ni tatizo. Usafirishaji, utitiri wa taasisi za usimamizi na tozo, ucheleweshaji bandarini, tatizo la umeme, kutumia muda mrefu kupata vibali vya biashara. Hatufanyi vizuri katika kuvutia wawekezaji.

“Askari anaweza kujisikia tu kusimamisha gari hata kwa zaidi ya saa 6 kisha ndiyo akaliachia bila kujali kuwa hao ni wafanya biashara na wanajisikia vibaya, mara nyingi hili linafanywa na jeshi la polisi. Nawataka TPA, TRA, polisi na Idara ya uhamiaji mjirekebishe, vipo vitendo vingi vya kukwamisha wawekezaji naomba mlifanyie kazi,” amesema Rais Magufuli.

Tazama Hapa Kilichoendelea Mahakamani Kesi ya Amber Rutty na Mpenzi Wake

$
0
0
Msanii Nascat Abubakar ‘Amber Rutty’ na mpenzi wake Said Mtopari, wamefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Desemba 10, 2018 kwa ajili ya kusikiliza kesi yao.

Amber Rutty na Said Mtopari walifika mahakamani hapo wakiwa na Mchungaji Daudi Mashimo ambaye aliwawekea dhamana pamoja na mshtakiwa wa tatu, James Delicious.

Washtakiwa hao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka manne, ambapo shtaka la kwanza, Amber Rutty, anadaiwa kutenda kosa la kumruhusu Said Mtopali kumuingilia kinyume na maumbile Oktoba 25, 2018 , kosa ambalo amelikana. Katika shtaka hilo pia Mtopali anadaiwa kati ama baada ya Oktoba 25, 2018 jijini Dar es Salaam alifanya mapenzi na Amber Rutty kinyume na maumbile.

James Charles naye anakabiliwa na kosa la tatu la kuchapisha video ama picha za ngono, ambapo inadaiwa kati ya Oktoba 25, 2018, James alisambaza video za ngono kupitia makundi ya WhatsApp.

Kosa la nne ni la kusababisha kusambaa kwa picha za ngono linalomkabili Amber Rutty na Mtopali, ambapo inadaiwa kati ya Oktoba 25, 2018 walisambaza picha za ngono kupitia makundi ya Whatsapp, jambo ambalo wamelikana.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi January 10, 2019 itakapokuja kutajwa tena kutokana na upande wa mashtaka kutokamilisha upelelezi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Disemba 11

Mwanamke Atiwa Mbaroni Jijini Mwanza Kwa Kujifanya Mjamzito na Kusafirisha Mirungi..

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa kutumia kikosi chake kabambe chenye uweledi wa hali ya juu na uaminifu uliotukuka tumefanikiwa kuwakamata watu wa nne kwa kosa la kupatikana na dawa za kulevya aina ya mirungi kiasi cha kilo gramu 18. 

Ambapo mtuhumiwa mmoja alikamatwa kwenye bus maeneo ya Nyakato akiwa anasafirisha mirungi toka tarime kuja mwanza na wengine watatu walikamatwa huko mtaa wa mahina Wilayani Nyamagana, kitendo ambacho ni kosa la jinai.

Watuhumiwa hao wamekamatwa tarehe 09/12/2018 majira ya saa 20:00hrs, hii ni baada ya kupatikana kwa taarifa toka kwa raia wema kwamba huko mtaa wa mahina yupo mtu anayefanya biashara ya dawa za kulevya aina ya mirungi ndipo askari tulifanya ufuatiliaji na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa watatu wakiwa na mirungi kiasi cha kilogramu 10.

Watuhumiwa hao waliokamatwa wamefahamika kwa majina yafuatayo;
  1. Saad Saba Kapinga, miaka, 49, mkazi wa mahina
  2. Fatiha Saba, miaka 15, mwanafunzi wa kidato cha tatu Thaqaafa secondary.
  3. Karen Saba, miaka 13, mwanafunzi wa kidato cha pili Musabe secondary.
Vilevile Mtuhumiwa mwingine mwanamke aitwaye Frola Mwita miaka 40, mkazi wa tarime alikamatwa na mirungi kiasi cha Kilogramu 8, alizokuwa amezifunga tumboni kwa seal tape na kuonekana kama mwanamke mjamzito akisafirisha na bus la Zacharia lenye namba T.569 CAP toka Tarime kuja Mwanza .

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza tunaendelea na mahojiano na watuhumiwa wote wa nne pindi uchunguzi ukikamilika watuhumiwa wote watafikishwa mahakamani. 

Pia msako mkali wa kuwatafuta watuhumiwa wengine wa mtaa mahina ambao wamefanikiwa kutoroka bado unaendelea. Sambamba na hilo Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza tunaendelea na msako na ukaguzi wa magari yote yanayoingia Jijini Mwanza toka maeneo mbalimbali.

Katika tukio la Pili
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa kutumia kikosi chake makini chenye uweledi wa hali ya juu tumefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu  ishirini na saba (27) toka nchi ya DRC –CONGO, walioingia Nchini bila kibali huko kwenye kivuko cha Busisi /Kigongo Ferry Wilayani Sengerema, kitendo ambacho ni kosa la Jinai.

Operesheni hiyo kabambe iliyofanikisha kukamata wahamiaji hao haramu imefanyika tarehe 09.12.2018 majira ya saa 22:00hrs usiku, wakati askari tukiendelea na doria pamoja na msako mkali katika kivuko cha Busisi ndipo tulipokea taarifa toka kwa wasiri kwamba lipo gari kivukoni hapo limebeba wahamiaji haramu.

Baada ya kupokea taarifa hizo, Polisi tulifanya msako mkali  pamoja na ukaguzi wa magari yote yaliyokuwepo kivukoni hapo na kufanikiwa  kuwakamata wahamiaji hao haramu ishirini na saba (27) wakiwa ndani ya gari wakielekea Jijini Mwanza, kati yao wanaume ni 15 na wanawake ni 12.

Wahamiaji hao haramu wamefahamika   kwa majina yafuatayo;
  1. Luganga Feruzi, miaka 40, toka jimbo la Kivu ya kusini Nchini DRC –Congo.
  2. Maria Ramadhani, miaka 30,  toka Jimbo la Kivu ya kusini Nchini DRC –Congo.
  3. Hamis  Luganga, miaka 12, mwanafunzi wa darasa la sita, Nchini DRC –Congo
  4. Hatia Lugunga, miaka  5, toka Nchi DRC –Congo
  5. Kyala  Lugunga, miaka  09 mwanafunzi wa darasa la tatu Nchini DRC- Congo
  6. Byaombe  Lugunga,mwanafunzi wa darasa la kwanza Nchini DRC –Congo
  7. Wilonja  Lugunga, miaka 5, toka Nchini DRC –Congo
  8. Ramadhan  Lugunga , miaka 3, toka Nchini DRC- Congo
  9.  Wilonja  Etungano, miaka 35, toka Kivu ya Kusini Nchini DRC – Congo
  10. Mitamba Ilonja, miaka 33, toka Kivu ya kusini Nchini DRC –Congo
  11. Byaombe Wilonja, miaka 16, mwanafunzi wa darasa la nne Nchini DRC- Congo
  12. Jilibeye Wilonja, miaka 13, mwanafunzi wa darasa la pili Nchini DRC –Congo.
  13. Mwenge Wilonja , miaka 12, Mwanafunzi wa darasa la nne Nchini DRC –Congo.
  14. Lucia Wilonja, miaka 10, mwanafunzi wa darasa la pili Nchini DRC –Congo.
  15. Joro Wilonja, miaka 8, mwanafunzi wa darasa la kwanza Nchini DRC –Congo.
  16. Shansi Wilonja, miaka 4, toka Nchini DRC – Congo
  17. Saidi Wilonja, miaka  2, toka Nchini DRC- Congo.
  18. Mbekalu  Asikulu, miaka 31, toka jimbo la Kivu ya Kusini Nchini DRC –Congo.
  19. Hamis Venance, miaka 30, toka jimbo la kivu ya Kusini Nchini DRC –Congo
  20. Maselina Mwibelecha, miaka 23, toka jimbo la Kivu ya Kusini Nchini DRC – Congo.
  21. Kashindi Hussein, miaka 3, toka jimbo la Kivu ya kusini Nchini DRC – Congo.
  22. Salive Hussein, mwaka 1, toka Nchini DRC –Congo.
  23. Regina Maua, miaka 28, toka  Jimbo la Kivu ya Kusini Nchini DRC –Congo.
  24. Debora Jamali, miaka 12, mwanafunzi wa darasa la nne Nchini DRC –Congo.
  25. Joseph Jamali, miaka 8, mwanafunzi wa darasa la pili Nchini DRC –Congo.
  26. Malekesa Jamali, miaka 5, toka Nchini DRC –Congo.
  27.  Jackson Jamali, miaka 2, toka Nchini DRC –Congo.
Aidha sababu za wahamiaji hao haramu kukimbia Nchini mwao DRC –Congo bado hazijafahamika. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza tunaendelea na uchunguzi pamoja na mahojiano na wahamiaji hao haramu ili kuweza kufahamu sababu zilizowafanya kukimbia Nchi yao ya DRC –Congo. Lakini pia kuweza kubaini mbinu walizotumia kuingia Tanzania bila ya kukamatwa hadi kufika Mwanza. Aidha pindi uchunguzi ukikamilika wahamiaji hao haramu watakabidhiwa Idara ya uhamiaji kwa hatua zaidi.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza tunatoa onyo kwa baadhi ya wananchi wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya kuwa waache kwani ni kosa la Jinai na endapo mtu atabainika hatua stahiki za kisheria zitachukuliwa dhidi yake. 

Sambamba na hilo tunaendelea kuwaomba wananchi kuendelea kutupa ushirikiano kwa kutupa taarifa za wakimbizi/wahamiaji haramu wanaongia Nchini bila kufuata sheria ili waweze kukamatwa na kufikishwa katika vyombo vya sheria.

Rais Magufuli Apokea Hati Za Utambulisho Kutoka Kwa Mabalozi Wa Misri Na Ethiopia

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 10 Desemba, 2018 amepokea hati za utambulisho za Mabalozi 2 kutoka nchi za Ethiopia na Misri walioteuliwa kuziwakilisha nchi hizo hapa nchini.

Mabalozi waliowasilisha hati zao ni Mhe. Yonas Yosef Sanbe – Balozi wa Ethiopia hapa nchini na Mhe. Mohamed Gaber Mohamed Abulwafa – Balozi wa Misri hapa nchini.

Mabalozi hao wamemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuwakaribisha hapa nchini na wameahidi kuwa katika kipindi cha uwakilishi wao watahakikisha wanaimarisha na kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wa nchi hizo na Tanzania hususani kusimamia kwa ukaribu ushirikiano katika maeneo ya kiuchumi.

Mhe. Rais Magufuli amewaomba Mabalozi hao kufikisha salamu zake kwa viongozi wakuu wa nchi hizo na kubainisha kuwa Tanzania ipo tayari kwa ushirikiano zaidi utakaoleta manufaa kwa wananchi wa nchi zote.

Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Canada Mhe. Marc-Andre Fredette, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Baada ya mazungumzo hayo Mhe. Fredette ambaye anashughulikia Wizara 3 za Canada (Wizara ya Mambo ya Nje, Wizara ya Biashara za Kimataifa na Wizara ya Maendeleo) amepongeza maendeleo makubwa ambayo Tanzania imeyapata na amesema Tanzania na Canada zinaendelea kushirikiana katika maeneo mbalimbali yakiwemo katika sekta ya afya na elimu kwa ufanisi mkubwa.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
10 Desemba, 2018

Video Mpya: Harmonize X Rayvanny - Paranawe

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Harmonize anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Paranawe ambao ameshirikiana na Rayvanny. Itazame hapa.

Video Mpya: Walter Chilambo - Merry Chrismas

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Walter Chilambo ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Merry Chrismas. Itazame hapa.

Wimbo Mpya wa Aslay – Natiririka

$
0
0
 Wimbo Mpya wa Aslay – Natiririka. Utazame hapa

Viwanja Vinauzwa Mapinga (Kimere) Kwa Bei Nzuri....Viko Km 3 Toka Bagamoyo Road

$
0
0
Nauza Viwanja :   Mapinga (Kimere)
Viwanja viko Mtaa wa Kimere, ni km 5 tu kutoka Bunju (au km 3 tu kutoka main road / Bagamoyo Road)

Vipo viwanja vya ukubwa na bei tofauti, kama ifuatavyo:

sqm 400 (20/20) kwa bei ya tsh 3.5 milion, sqm 540 ( 20/27) kwa bei ya tsh 5 million Mazungumzo yapo.

Nipigie: 0713909842/ 0759463410

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH....Anatoa Pete za Bahati, Anasafisha Nyota, Anazuia Chuma Ulete na Mengine

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Adam Shariff,  Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
 
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Adam Shariff Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. 

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidi

Mawasiliaono: +255715971688  au +255756914036
 
Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;
Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO 0783185060,  0752348593  -DR AGU

THRDC waitaka serikali kurekebisha kanuni hizi za sheria

$
0
0
Mtandao  wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini (THRDC) kwa kushirikiana na Asasi nyingine za kiraia nchini wameitaka serikali kurekebisha baadhi ya kanuni za sheria ya mashirika yasiyo ya serikali iliyofanyiwa marekebisho mwaka huu.

Akizungumzana waandishi wa habari jana Jumatatu Desemba 10, jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Kitaifa wa THRDC, Onesmo Olengurumwa, amesema katika marekebisho hayo kuna vipengele ambavyo vitazibana taasisi zisizo za Serikali (NGO’s) na kuzifanya kushindwa kufanya kazi zake kwa asilimia 100.

Amezitaja baadhi ya kanuni zilizofanyiwa marekebisho ambazo alieleza kuwa ni changamoto kwao ni pamoja na utoaji wa taarifa za fedha na ripoti ambayo yanaweza kudhoofisha uwezo wa mashirika yasiyo ya serikali kufadhili shughuli zao.

“Mahitaji makubwa ya kutoa taarifa za kifedha na utoaji wa ripoti ambayo yanaweza kudhoofisha mashirika kufadhili pia kuingilia shughuli za ndani za mashirika vitendo vya kuingilia haki za mashirika kufanya kazi kwa uhuru.

“Kanuni hizo zitakuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za faragha ya mashirika vitendo vinavyoingilia haki ya mashirika kufanya kazi kwa uhuru,” amesema Olengurumwa.

Naye mwakilishikutoka Taasisi ya Kutetea Demokrasia na Utawala bora yenye kituo chake Mwanza, Jimmy Luhende, amesema ni vyema Serikali ikawasikiliza na kuona umuhimu wamarekebisho ya baadhi ya vifungu vya sheria na kanuni hizo kwa kuwa zinawafunga midomo hata kuikosoa pale itakapokuwa imekosea.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 43

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  
 
“Nashukuru kwa kuendelea kumlinda mwanangu, ila ninakuomba huko Tanzania munapo kwenda uhakikishe kwamba anakuwa salama”
“Nashukuru baba, ila nina imani kwamba unaelewa ni jambo gani ambalo linaendelea?”
“Ndio kuna kijana amenifwata kama masaa manne yaliyo pita na amenieleza kwa kila kila kile kinacho endelea kwa sasa”
“Sawa baba, nashukuru kwa kulifahamu, ila ninacho kuomba kuanzia hivi sasa jilinde, nahitaji uingie ikulu. Ukiingia ikuli tutakuwa tayari kurudi nchini Ujerumani”
“Sawa nitahakikisha kwamba ninaichukua nchi na maadui zangu wote watakwenda kulipa kwa hili jambo ambalo wamelifanya.”
“Sawa sawa”
“Ila kuna kitu kimoja ninaomba unisaidie baba mke”
“Kitu gani hicho mwanangu?”

ENDELEA       
“Nakuomba unahakikishie kwamba utashinda uchaguzi mkuu”
Nikasikia mihemo ya kushusha pumzi ya baba Camila, huku ukimya wa sekunde kadhaa ukiwa umetawala.
“Nitashinda japo kuna changamoto nyingi sana mwanangu”
“Ninakuombea baba yangu”
“Sawa, niwatakie safari njema na mukifika nchini Tanzania ninaomba muweze kunifahamisha”
“Sawa baba”
Nikamrudishia Camila simu na akaendelea kuzungumza na baba yake. Safari hii ikatugarimu siku moja ambayo ni zaidi ya msaa ishirini na nne. Tukafika nchini Tanzania majira ya saa sita mchana, kwa bahati nzuri tukamkuta mwenyeji wetu akitusubiria eneo ambayo ndege imetua. 
 
“Karibuni sana Tanzania”
Dada huyu ambaye anaitwa Jojo kama vile tulivyo soma maelezo yake, alizungumza huku akionekana kuwa na furaha kubwa sana.
“Tunashukuru”
Tukapeana mikono kisha tukaanza kuelekea kwenye maegesho ya magari. Baadhi ya watu walijitahidi kunikazia macho nikiamini kwamba watakuwa wanajiuliza maswali mengi sana ya kunifananisha mimi na Ethan wanaye muona kwenye vyombo vya habari au kwenye mitandao ya kijamii. Tukaingia kwenye gari ya Chervolet Captival Extrem na kuondoka katika uwanja huu wa ndege.
 
Kumbukumbu zangu kuhusiana na safari yangu ya kwanza kundoka nchini Tanzania, ikaanza kurejea kichwani mwangu taratibu. Nikaanza kutazama majengo ya karibu na huu uwanja wa ndege ambao kwa namna moja ama nyingine yameongezeka, kwani kipindi nilipo kuwa ninaondoka nchini Tanzania hayakuwa kama hivi.
“Mbona unashangaa sana Ethan?”
Jojo Dany aliniuliza huku akinitazama.
“Ninakumbuka mambo mengi sana”
 
“Mambo gani hayo?”
“Siku nilipo kuwa ninaondoka nchini Tanzania, hapakuwa na majengo kama haya”
“Ohoo, ni kweli, nchi imezidi kubadilika hususani hapa jijini Dar es Salaam”
“Ila nilicho kipende kwenye nchi hii ni joto jamani.”
Camila alizungumza na kutufanya tushangae kidogo.
“Joto”
“Ndio. Ujerumani hali ya baridi kwa kipindi chote cha mwaka, inakera kwa kweli. Tumekuwa ni watu wa kuva amakoti tu”
“Haahaa, basi huko tunapo elekea kuna baridi kiasi”
“Ila si kama ya Ujerumani?”
“Hapana huko ni ya kawaida sana, nina imani mutauipenda”
“Sawa”
 
Jojo akazidi kuendesha gari hili, tukafika kwenye moja ya motel ndogo na tukapata chakula cha mchana kisha tukaendelea na safari yetu. Hadi majira ya saa kumi na mbili jioni, tukaanza kukatiza kwenye msitu mmoja mkubwa ambao kidogo ukaanza kutupa mashaka.
“Musiogope, huku ni sehemu salama ambayo munaweza kuishi kwa amani  kwa kipindi chote”
“Mbona ni msituni sana dada Jojo?”
“Nyumba salama siku zote ni lazima ziwe katika maeneo kama haya. Hamuwezi kukaa mjini, kumbukeni kwamba hamumjui adui yenu atawavamia kwa namna gani”
 
Maneno ya dada Jojo kidogo yakatufariji na kupunguza wasiwasi mwingi tulio nao. Majira ya saa mbili usiku tukafika kwenye moja ya nyumba kubwa ambayo taa zake za nje hazina mwanga mkali sana. Jojo akaanza kushuka kwenye gari kisha nasi tukafwata huku nikiwa nimeshika Camila mkono. Tukamkuta mwanaume mmoja mrefu kiasi huku mwili wake ukiwa umejengeka kwa mazoezi.
“Karibuni sana”
Mwanaume huyu alizungumza huku akitusalimia kwa kunyoosha mkono wake wa kulia. Nikawa wa kwanza kuupokea mkono wake huo ambao hakika ni mgumu kiasi. Akasalimiana na Camila kisha tukakaribishwa ndani katika nyumba hii. Tukamkuta kijana mmoja akiwa ameketi sebleni huku uso wake ukiwa na majeraha kiasi.
 
“Karibuni sana. Huyu ni baba yangu anaitwa Dany. Huyu ni mdogo wangu anaitwa Randy”
“Tunashukuru kuwafahamu”
“Baba, Randy, hawa ni Ethan na Camila tutakuwa nao hapa kwa kipindi cha mwezi mmoja hivi”
“Karibuni sana. Ethan mimi ni mfwatiliaji wa mpira wako”
“Nashukuru sana Dany”
Tukakaribishwa mezani na tukapata chakila cha usiku huku kijana huyu mara kwa mara macho yake yananitazama jambo ambalo kidogo nikatamani kumuuliza ni kwa nini ananitazama sana ila nikashindwa kutoka na watu waliomo hapa sebleni.
 
“Ethan una mke mzuri sana, hakikisha kwamba una mlinda”
“Nashukuru sana”
“Ila kuna jambo moja nahitaji kuanzia kesho mujumuike nasi?”
“Jambo gani?”
“Nilazima muweze kujilinda wenyewe, musitegemee sana ulinzi wa watu ambao wamefundishwa vyuoni na mwisho munawapoteza bure”
Maneno ya Dany kidogo yakatufanya tutazamane na Camila usoni mwetu.
“Musiogope, ni mazoezi ya kawaida sana. Najua Camila baba yako atashinda kiti cha uraisi na wewe ulinzi utaongezewa, sasa inabidi ujipange vizuri”
 
“Sawa Dany nitashukuru”
Tukamaliza kupata chakula hichi cha usiku kisha Jojo akatupelekea kwenye chumba chetu ambacho tutalala kwa siku zote tutakazo kuwepo hapa.
“Vipi umeridhika kwa hayo mazoezi?”
Nilizugumza huku nikimtazama Camila usoni mwake.
“Mimi nipi tayari, kwa hizi ngija ngija tunazo kutana nazo hakika sina hata hamu kwa kweli. Laiti kama tungekuwa vizuri kwenye swala zima la kupamba, wala tusinge kuwepo hapa sasa hivi”
Camila lizungumza huku akinishika kiunoni mwangu, tukatazamana kwa sekunde kadhaa, kisha mkono wangu wa kulia nikaanza kuushusha hadi kwenye yake na nikaanza kuyaminya minya taratibu.
“Ethan mume wangu nimechoka”
Camila alizungumza huku akijitoa mikononi mwangu. Akaanza kuvua nguo zake,akaingai bafuni. Nikakichuguza chumba hichi kwa umakini, nilipo hakikisha kwamba kuna usalama wa kutosha, nami nikavua nguo na kuingia bafuni. Tukaoga kwa pamoja na kurudi kitandani na kulaa.
 
    Saa kumi na mbili alafajiri mlango wetu ukagongwa, tukaisikia  sauti ya Jojo akituhamsisha tuamke na tuanze mazoezi. Nikawa wa kwanza kuamka kitandani na kuvaa boksa yangu. Nikatembea hadi mlangoni nikafungua na kumkuta dada Jojo akiwa ameshika nguo za mazoezi. Akanikabidhi nguo hizi kisha akaelekea kwenye chumba kingine na kugonga.
“Ohoo Mungu wangu”
Nilizungumza huku nikiwa ninapiga miyayo mingi sana. Nikajitupa kitandani ambapo Camila bado amelala. Kabla hata usingizi huu wa asubuhi haujanipitia, nikasikia mlango ukigongwa kwa nguvu na kutufanya wote tukurupuke kitadani.
“Muna dakika moja ya kutoka nje”
Tuliisikia sauti nzito ya Dany na kunifanya nianze kuzichambua hizi nguo za mazoezi.
 
“Jamani haya ni mateso sasa”
Camila alizungumza huku akipiga miyayo mingi  sana.
“Tungekataa jana haya wala yasinge tukuta”
“Kwani mimi nilijua mambo yenyewe yanaweza kuwa hivi jamani?”
“Ndio hivyo mke wangu, tukafanye tu. Tukiona mambo magumu leo, tunaomba tuache tu kwani lazima”
“Mmmmm kumbuka tupo ugenini na huku hayupo Ethan wala mtu ambaye atatusaidia hata tukiwa na shida”
“Haaah! Tutajua mbele ya safari bwana”
Nilizungumza huku nikianza kuvaa nguo taratibu, Camila naye akavaa nguo zake.
“Sasa tunakwenda kufanya mazoezi peku?”
“Sijui mimi”
Camila alinijibu huku akiw aamenuna kutokana na uchovu huu wa asubuhi. Tukatoka chumbani hapa na kuanza kutembea kwenye kordo hii ndefu. Tukashuka ngazi na kuwakuta Dany, Camila na Randy sebleni.
 
“Viatu jamani”
Nilizungumza huk nikiwatazama. Dany kwa ishara akatuonyesha kwa ishara miguu yake ambayo haina hata soksi, akafungua mlango wa sebleni na tukaanza kutoka.
“Tunakimbia hivi jamani?”
Niliuliza huku nikimuona Dany akianza kukimbia kwenye barabara hii ndefu tuliyo jia. Hakuna ambaye alinijibu zaidi ya watu wote kuanza kufwata nyuma. Camila naye hakunijibu zaidi ya kunitazama tu, tukaanza kukimbia kwenye mchanga huu ambao umejaa vijiwe jiwe vidogo ambavyo mara kwa mara mimi na Camila vilituchoma na ilitulazimu kutulia kidogo ili kutoa vijiwe hivyo.
 
“Oohoo jamani tutakufa”
Nililalama huku nikiandelea kuwafwata nyuma kwa kukimbia.
“Jikaze bwana mume wangu, je ungeenda jeshi ingekuwaje?”
“Bora ujue upo jeshi mke wangu kuliko huku”
“Acha hizo una kera bwana, kumbuka wewe ni mchazaji mzuri wa mpira”
“Kuna tofauti ya uchezaji na mazoezi haya”
“Sitaki bwana kusikia maneno yako”
Camila alizungumza kwa ukali huku akionekana dhairi kwamba ana jikaza. 
 
“Msitu huu una wanyawa wote wakali, hakikisheni kwamba tunapo kimbia munakuwa karibu nasi, tunaingia msituni sasa”
Dany alizungumza huku akiwa amepunguza kasi ya kikimbia na kuwa sambamba nasi tunao jikongoja
“Wa….wany….a..nyama waka…li!!?”
Niliulliza kwa wasiwasi mwingi sana huku macho yakiwa yamenitoka.
“Tazama kule”
Dany alizungumza huku akinyoosha mkono  wake wa kulia, nikahisi kama roho inanitoka kwani kwenye moja ya mti kuna joka moja kubwa sana ambalo toka kuzaliwa kwangu leo hii ndio nimeweza kuliona. Woga ukanifanya niongeze mwendo wa kukimbia na kuwa sawa na Jojo huku Camila na Dany wakitufwata kwa nyuma na Randy yupo hatua chache pembeni yetu.
“Vipi unaogopa?”
“Sana”
“Usiogoepe, hakuna mnyama anaye weza kuwashambulia mukiwa nasi. Huwa tumewafundisha mbinu ya kutusikiliza na kutii kile ambacho tunakihitaji wakifwate.”
 
“Kivipi?”
“Ulisha wahi kumuona mbwa?”
“Ndio”
“Mbwa ukimfundisha baadhi ya vitu huwa ana kisikiliza kama ni bwana wake unaye muongoza, ni sawa sawa na hawa wanyama”
Mapigo ya moyo yakazidi kutuenda kasi sana mara baara ya kuonda kundi la Simba kama watano wakiwa wamelala mbele katika barabara tunayo ipita. Jojo akawafukuza Simba hawa kwa ishara na wakatupisha na kuendelea na mazoezi yetu.
Hadi tunamaliza mazoezi haya ya kukimbia, hakika kama sijafa leo kwa woga basi sinto kufa maisha yangu yote kwa woga, labda kifo changu kisababishwe na jambo jengine, kwani leo nimeona wanyama wakila aina na wengine wanatisha ila hapakuwa na mnyama hata mmoja ambaye ametudhuru.
 
“Hahahaa haki ya Mungu napenda sana kuishi huku”
Maneno ya Camila aliyo yazungumza huku akiwa amesimama pembeni yangu, yakanifanya nimgeukie huku nikiwa nimejawa na mshangao mkubwa sana.
“Nini?”
“Napenda kuishi huku, yaani Ujerumani hakuna wanyama kama hawa nilio waona leo”
“Hivi hujui kama wale wanyama wanaua, wakikung’ata eheee?”
“Najua, ila nitahakikisha kabla ya kuondoka nimesha jifunza jinsi ya kuishi  nao. Haki ya Mungu ninapenda wanayama mimi jamani ohoo”
Nikajikuta nikiondoka eneo alilo simama Camila na kumfanya acheke sana.
 
“Mbona mpenzi wako anakucheka sana”
Jojo aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Ahaa ni mambo yake ya wanyama wanyama. Ananikera sana sipendi kabisa wanyama”
“Kwa nini uwapendi, ikiwa wao ndio walinzi wetu hapa msituni. Hakuna binadamu mwenye nia mbaya ambaye anaweza kukatiza hapa”
“Mmmm mimi sijaumbwa kwa kweli kuwapenda hao wanyama”
“Hahaa usijali kila jambo litakuwa sawa”
Tukaingia katika awamu ya pili ya mazoezi ya taikondo. Mazoezi haya hakika ni magumu kuliko hata kukimbia katika msitu wa eneo hili. Zaidi ya masaa mawili saa Jojo na Danya wakawa wanatufundisha mazoezi haya ambayo hakika hadi tunamaliza wote watatu viungo vyetu vimeorojeka kwa kuchoka na kuapa majera kadhaa yaliyo tokana na kukosa umakini.
 
“Camila”
Nilimuita Camila huku tukiwa ndani ya chumba chetu, kwa maumivu niliyo nayo nikajikuta hata nikishindwa kulala kitandani.
“Mmmmm”
“Mimi nahitaji kutoroka, siwezi kuendelea kukaa hapa”
“Mmmm…….”
“Ndio nahitaji kutoroka, maisha gani haya ya mateso naomba ujumuike nami mke wangu na tutoroke wote”
“Umewasahaua wale Simba na wanayama wengine humu msituni ehee?”

ITAENDELEA KESHO
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images