Mahakama nchini Sudan imemuhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanaume mkristo.
Daktari Mariam Yahya Ibrahim Ishag
ambae baba yake ni muisilamu alishitakiwa kwa kosa la kuasi dini pamoja
na kufanya zinaa kwa kuolewa na mwanamume mkristo kitu ambacho dini ya
kiisilamu imeharamisha kwa Wanawake.
BBC wamesema Mariam mwenye umri wa miaka 28 pia ni
Sakata la Mwanamke aliyehukumiwa KUNYONGWA na KUCHAPWA VIBOKO 100 kwa kubadili dini na kuolewa na mume Mkristo
↧
↧
"Sijawahi Lia eti kisa Nimeachwa na Mwanaume .......Mwanaume hawezi kunifanya nimwage machozi" .. Jack Wolper
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa tangu aanze kujihusisha na masuala ya mapenzi hajawahi kulia.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper ambaye ana muonekano wa
‘kigumu’, alisema siku zote anaamini katika kupambana hivyo hawezi
kumlilia mwanaume hata iweje.
“Sijawahi kulia pale nilipoachwa wala kuachana na mwanaume, akili yangu
yote inaamini katika
↧
Hatimaye Mbunge Vicky Kamata Kuolewa..Huyu Ndio Mchumba Wake, Ndoa yao itagharimu Sh. milioni 96 za kitanzania
Habari ya mjini ni maandalizi kabambe ya harusi ya staa wa Bongo Fleva
na Mbunge wa Viti Maalum (CCM) anayewakilisha Vijana Mkoa wa Geita,
Vicky Pascal Kamata ikidaiwa kuwa shughuli hiyo itatafuna kiasi cha Sh.
milioni 96.
Habari kutoka kwa chanzo cha ndani zinasema kuwa Vicky anatarajia
kufunga pingu za maisha Mei 24, mwaka huu na mchumba wake wa muda mrefu anayejulikana kwa jina la
↧
Magazeti ya Leo Jumamosi ya tarehe 17 May 2014
↧
Mume Afyeka NYETI za mke wake na kutokomea kusikojulikana......Kisa na mkasa ni Wivu wa mapenzi
Gasto Edward (32) amemkata mkewe Mwelu Raymond sehemu zake za siri. Tukio hilo
lilitanguliwa na kumpiga mkewe huyo na kipande cha nondo kichwani hali
iliyosababisha apoteze fahamu papo hapo na kutekeleza azma yake.
Bwana Gasto Edward na mkewe ambaye anadaiwa kumkata nyeti zake.
Imeelezwa kuwa, tukio hilo lenye sura ya majonzi, lililovuta hisia za
watu wengi lilitokea Jumatano ya
↧
↧
Rehema Fabian aambulia mvua ya Matusi baada ya kuposti picha yake mtandaoni akiwa Nusu Uchi
Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian ameonekana hamnazo
baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii wa
Instagram kisha kuambulia mvua ya matusi.
Picha hiyo ilimuonesha akiwa amejiziba usoni na kuacha wazi sehemu
kubwa ya mwili wake ambapo baadhi ya wafuasi wa mtandao huo walimkalisha
kwa kumpa za chembe.
“Huwezi kuwa mtu unayejiheshimu
↧
Mrema ashauri Polisi wapewe asilimia 10 ya Mali wanayokamata ili iwe kichocheo cha kufanya kazi kwa bidii
Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi, Augustine Mrema (MB, Vunjo, TLP) amependekeza askari polisi
wapewe asilimia 10 ya thamani ya mali wanayokamata ili iwe kichocheo cha
kufanya kazi kwa bidii na kuacha kuomba na kupokea rushwa.
Pia, alishauri askari kuongezewa posho kutoka shilingi 5,000 ya sasa
mpaka 7,500/= kwa sababu fedha hiyo ya
↧
Nape asema UKAWA ni sawa na Boko Haram
NA MOHAMMED ISSA, Gazeti la UHURU
KATIBU wa
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,
amesema kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni kundi hatari
linaloeneza chuki na kusambaza uongo kwa wananchi.
Amelifananisha
kundi hilo na Boko Haramu na kwamba tofauti yake ni kwamba UKAWA
linatumia silaha ya kusambaza chuki, fitina kwa lengo la kuwagawa
↧
Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere amtokea Mkewe Ndotoni na kumpa UJUMBE mzito kuhusu mwelekeo wa Tanzania.....Bofya hapa kuona alichosema
MKE wa Baba wa
Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria, amesikitishwa na jinsi baadhi
ya watu wanavyomkosoa mwasisi huyo kwa kuwa enzi za uhai wake alifanya
kazi kwa bidii katika kulitumikia taifa kiasi cha wakati mwingine
kuisahau familia kwa muda.
Akiongea na waandishi nyumbani kwake Msasani, jana, Mama Maria alisema
kwa uchungu kuwa mumewe ambaye alifariki miaka 15 iliyopita,
↧
↧
Breaking News:Msanii wa Filamu, Adam Kuambiana afariki dunia
Mwigizaji na Director wa filamu maarufu hapa nchini, Adam Kuambiana amefariki dunia
wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es
Salaam kwa matibabu alfajiri ya kuamkia leo.
Marehemu alianguka chooni
akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remy, Dar.
Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na
tumbo.
↧
Batuli, Dude, Shija na Bondi waelezea jinsi walivyopokea kwa uchungu taarifa za msiba wa Adam Kuambiana
Baadhi ya wasanii wa filamu akiwemo Yobnesh Yusuphn(Batuli),Bondi Bin
Salim aka Bond, Deogratius Shija na Kulwa Kikumba ‘Dude’wameelezea
jinsi walivyopokea kwa uchungu taarifa za kifo cha msanii mwenzao Adam
Kumbiana aliyefariki dunia leo.
Wakizungumza na mtandao huu, wasanii hao kwa nyakati tofauti tofauti
kila mmoja ameonesha kuguswa na taarifa hiyo huku kila mmoja akielezea
jinsi
↧
Mwili wa Msanii Adam Kuambiana watolewa Hospitali ya Mama Ngoma na kuhifadhiwa Hospitali ya taifa Muhibili.....Wasanii wazimia kwa vilio
Mwili wa Marehemu Adam Kuambiana ukiwekwa kwenye gari tayari kupelekwa Muhimbili kuhifadhiwa.
Hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam alikofia Msanii Kuambiana.
Msanii aliekuwa akicheza
filamu moja na marehemu katika Hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa
Remy, Dar akilia kwa uchungu nje ya Hospitali ya Mama Ngoma leo mchana
huu.
Wasanii Q Chilla na
↧
AUDIO: Steve Nyerere akiongelea msiba wa Adam Kuambiana, Chanzo cha Umauti na taratibu zingine za msiba
Mwenyekiti wa Bongo Movie Steve Nyerere amezungumza na Clouds Fm muda mfupi uliopita kuhusiana na kifo cha ghafla cha msanii mwenzao, Adam Kuambiana ambapo ameleeza kiundani chanzo cha kifo hicho na taratibu zingine za msiba.
"Mwenzetu Adam
Philipo Kuambiana amefariki akiwa Location ana shoot,mimi nimepigiwa
simu saa 3 asubuhi kuwa hospitali pale Mwenge niende
↧
↧
Picha za Nusu Uchi za Irene Uwoya akiwa Bafuni zasambaa Kwa Kasi ....
Picha zinazodaiwa kuwa ni mpya za star wa filamu nchini Irene Uwoya
akiwa bafuni na taulo na picha nyingine akiwa ameondoa taulo kifuani na
kujiziba kwa mikono zimeanza kusambaa mitandaoni kwa kasi.
Uwoya alikuwa
kimya kidogo huku habari zake zikiendelea kutawala mitandaoni na
magazetini kama kawaida lakini kwa picha hizi inaonekana ametoa ishara
kuwa yupo kama kawa...
↧
Mfuko kuboresha makazi ya askari waanzishwa
MFUKO maalumu wa kukusanya fedha kwa ajili ya kuboresha makazi ya watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwemo askari, umeanzishwa ukilenga kuwezesha kupata nyumba na ofisi zaidi bila kutegemea bajeti ya serikali.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe ambaye bajeti ya wizara yake iliidhinishwa juzi, alitoa taarifa hiyo wakati akihitimisha mjadala kuhusu bajeti ya
↧
Polisi Yanasa mtandao wa watu wanaosafirisha wasichana Toka Tanzania na kuwapeleka China kwa ajili ya Kuwatumikisha Kingono
BAADA ya kuwepo malalamiko ya wasichana wadogo wa nchini kusafirishwa kwenda China kutumikishwa katika biashara ya ngono pamoja na dawa za kulevya, sasa serikali imenasa mtandao huo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe alitoa taarifa hiyo juzi bungeni wakati akihitimisha michango kuhusu bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2014/15 iliyopitishwa.
Chikawe ambaye hata hivyo
↧
Daktari asahau kitambaa tumboni mwa Mgonjwa mkoani Tabora....Mgonjwa atolewa Kizazi na kukatwa sehemu ya Utumbo ili kukitoa kitambaa hicho
Waziri wa Afya
MKAZI wa wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Mwamini Adamu ametolewa mfuko wa kizazi na kukatwa sehemu ya utumbo baada ya mganga wa idara ya upasuaji katika wilaya hiyo kusahau kitambaa tumboni kwa mwanamama huyo wakati akijifungua.
Kutokana na kumsababishia ulemavu huo kwa uzembe, Mwamini ameifikisha Halmashauri ya wilaya ya Urambo kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Magharibi
↧
↧
Adam Kuambiana kuzikwa Jumanne katika makaburi ya Kinondoni, jijini Dar
Mazishi ya muongozaji na msanii wa filamu Adam Kuambiana yatafanyika
Jumanne (May 20) katika makaburi ya Kinondni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Mpekuzi, mwenyekiti wa bongo movie ,Steve Nyerere
amesema kuwa marehemu ataagwa Leaders Club siku hiyo hiyo kabla ya
mazishi.
“Habari za mazishi ni kwamba atazikwa siku ya jumanne na tutazika
katika makaburi ya Kinondoni, kuagwa
↧
UKAWA wapata Pigo mkoani Iringa.....Wapokelewa kwa Mabango ya kuwapinga, Mkutano wagubikwa na vurugu kubwa
UMOJA wa Katiba ya Wananchi ( UKAWA ) umepokelwa kwa mabango yanayowapinga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa yaliyokuwa yamebebwa na vijana....
Mabango hayo yalikuwa yanasomeka kuwa, "Tuna mashaka na ndoa ya UKAWA watauza nchi", huku yakisisitiza umuhimu wa vijana wa Wilaya ya Mufindi kutaka Serikali mbili.....
Pia mabango hayo yalikuwa
↧
Diamond Mpaka Sasa anaongoza Kwa Kura za BET Awards.....Bonyeza hapa ili Umpigie Kura
Ni siku chache tu zilizopita toka Diamond Platnumz ametangazwa kuwania
tuzo za kituo cha Television cha Marekani BET akiwa ni msanii pekee
kutoka Afrika Mashariki kuchaguliwa kuwania tuzo hiyo huku wengine
wakitoka Nigeria, Ghana na Togo. (Best International Act: Africa )
Habari njema ni kwamba katika mchakato wa kura sasa hivi Diamond anashika
nafasi ya Kwanza katika list ya
↧
More Pages to Explore .....