Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mali za Yusuf Manji Ikiwemo Jengo la Quality Centre Hatarini Kufilisiwa

$
0
0
Mali za mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuf Manji zenye thamani ya mabilioni ya shilingi ziko hatarini kufilisiwa baada ya kuwekwa chini ya wadhibiti na wakabidhi wasii ili kulipa madeni makubwa yanayodaiwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki na Kusini.

Mali hizo ni pamoja na jengo maarufu jijini Dar es Salaam lijulikanalo kwa jina la Quality Centre.

Taarifa zilizotolewa jana na wafisili na wakabidhi wasii hao chini ya Kampuni ya Price Water House Coopers (PWC), ilisema kuanzia jana, Manji hataruhusiwa kumiliki mali hizo hadi atakapolipa madeni hayo.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo mameneja wanaosimamia kazi hiyo, David Tarimo na Nelson Msuya wameteuliwa na benki hiyo ili kukamilisha kazi ya ukusanyaji wa madeni na ikishindikana mali hizo zitapigwa mnada.
 
Jengo la Quality Centre lililojengwa zaidi ya miaka 10 iliyopita liko katika kiwanja Na.25 kandokando ya Barabara ya Nyerere (zamani Pugu Road) na katika miaka ya hivi karibuni, limekuwa kivutio kikubwa cha watalii wa ndani na nje ya Jiji la Dar es Salaam kutokana na shughuli za kiuchumi zinazofanyika hapo.

Taarifa zinaeleza kuwa hata mali zilizomo ndani ya jengo hilo zinazomilikiwa na Quality Group Limited nazo zinashikiliwa.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya Disemba 5

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Rudisha Heshima ya Ndoa Yako.....Pata Tiba Bora ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Wanaume wengi hawawaridhishi wake au wapenzi wao kwa kutokuwa na nguvu za kiume au uume mdogo? 

Kawaida mwanamke huwa anachukua dakika saba 7 adi kumi 10 ili aweze kufika kileleni na wakati wanaume wengi kwa sasa hutumia dakika tatu 3 hadi tano 5 ameshafika kileleni , hapo utagundua kabisa mke au mpenzi wako hujamtendea haki yake. Dr Nyalobi  anakuletea dawa imara na yenye nguvu tatu?

Simpo power; Hutibu matatizo yafatayo;

1.itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-20 kwa tendo la kwanza

 2. itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi mara nne 

3 Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa 

4 Hutoa uchovu pale umalizapo kufanya tendo

 Je kwa nini uzidi kuona aibu pale ukutanapo na mpenzi wako kwa sabubu uume wako mdogo na mwembamba? 

Promix; hii ni dawa ya kuongeza uume saizi upendayo.Dawa zetu ni za mitishamba na hazina madhara yoyote na ni tofauti na ulizowai kutumia ata wazee hutumia 

Mkuya; hii ni dawa ya kisukari dozi siku 21 

Mwaru; hii ni dawa ya uzazi hufungua mirija ya uzazi ata kama uzazi umefungwa

Markusi; ni dawa ya presha zipo dwa za korodani kuvimba,, vindonda vya tumbo, kupunguza kitambi, na minyama uzembe 

Fika ofisini kwetu Buguruni Malapa na Mwanza yupo wakala wetu au piga simu 0752348593 -Dokta Nyalobi

Video Mpya: CheqBob ft. Young Dee - Maruani

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, CheqBob kwa kushirikiana na Young Dee wanakukaribisha kutazama video ya wimbo wao uitwao Maruani. Itazame hapa.

Wimbo Mpya Wa Harmonize na Rayvanny – Paranawe

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Harmonize kwa kushirikiana na Rayvanny wanakukaribisha kusikiliza wimbo wao mpya unaokwenda kwa jina la  Paranawe. Usikilize hapa.

Putin: Urusi itatengeneza makombora Mapya Iwapo Marekani itajiondoa katika mkataba unaodhibiti silaha hizo

$
0
0
Urusi itaunda makombora yaliyopigwa marufuku chini ya mkataba wa vita baridi ikiwa Marekani itajiondoa katika mkataba unaodhibiti silaha hizo, ameonya rais Vladimir Putin.

Tamko lake linakuja baada ya shirika la kujihami kwa mataifa ya magharibi Nato, kuilaumu Urusi kwa kukiuka mkataba wa makubaliano kudhibiti uundaji wa makombora ya masafa ya kadri (INF).

Makubaliano hayo yaliyotiwa saini mwaka 1987 kati ya Marekani na USSR,yalipiga marufuku mataifa hayo yote mawili dhidi ya kuunda makombora ya masafa mafupi na yale kadri.

Rais wa Putin amesema tuhuma za Nato dhidi ya taifa lake ni kisingizio cha Marekani kujiondoa katika mkataba huo.

Katika tamko hilo lililoangaziwa kwenye televisheni, kiongozi huyo alisema mataifa mengi yanaunda silaha zilizopigwa marufuku katika mkataba wa INF

"Sasa inaonekana kuwa washirika wetu Marekani wanahisi kwamba mambo yamebadilika sana kiasi cha kuwa wanaonelea ni lazima wao pia wawe na silaha ," alisema.

"Jibu letu ni nini? Bila shaka - sisi pia tutafuata mkondo huo."
 
Rais wa Marekani Donald Trump siku za hivi karibuni aligusia kuwa taifa hilo huenda likajiondoa katika mkataba huo kutokana na mienendo ya Urusi.

Wadadisi wanasema Urusi unachukulia suala la uundaji wa silaha hizo kama mbinu mbadala ya kuimarisha vikosi vyake na gharama yake ni nafuu.

Alipowasili kwa mazungumzo na mawaziri wa mambo ya nje wa EU, Kiongozi wa muungano wa Ulaya anayesimamia sera za nje Federica Mogherini ametoa wito kwa mataifa hayo mawili kudumisha mkataba huo akiongeza kuwa "Umekuwa hakikisho la amani na usalama barani Ulaya kwa miaka 30 sasa".

-BBC

Miss Tanzania Azidi Kuwa Tishio Shindano la Miss World....Bofya Hapa Kumpigia Kura Ili Ashinde

$
0
0
Zikiwa  zimebaki siku mbili ili kufanyika kwa kilele cha shindano la urembo la dunia (Miss World), mwakilishi wa Tanzania, Queen Elizabeth Makune, ameendelea kuwa nafasi za juu huku Watanzania wakihimizwa kumpigia kura kwa wingi ili ashinde.

Queen Elizabeth ambaye yupo Sanya China tayari kwa mashindano hayo yanayojumuisha warembo zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali duniani, amesema bado anahitaji kura ili aweze kutwaa taji hilo.

“Naomba Watanzania wenzangu pamoja na wadau wa urembo wanipigie kura ili niweze kuingia katika nafasi ya ushindi ili kupeperusha vyema bendera yetu, mpaka sasa nipo katika nafasi nzuri,” alisema Queen.

Unaweza kumpigia kura mrembo wetu, Queen Elizabeth, kupitia tofuti ya www.missworld.com.

Mahakama Yakubali Halima Mdee Kusafiri Nje ya Nchi

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee kuendelea na majukumu yake ya ubunge nje ya nchi yaliyomfanya ashindwe kufika mahakamani leo Desemba 6, 2018 kwa ajili ya kesi ya jinai inayomkabili.

Mdee na viongozi wakuu wa Chadema, akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wakikabiliwa na mashtaka 13 ya uchochezi, uasi na kuhamasisha wafuasi wao kutenda makosa, hakuweza kufika mahakamani wakati  kesi yao ilipotajwa leo.

Mdhamini wa Mdee, Farws Robson ameieleza mahakama kuwa mbunge huyo hakuweza kufika kwa kuwa yuko Burundi kwa safari ya kibunge akishiriki michezo ya wabunge wanawake wa mabunge ya Afrika Mashariki.

Robson ameieleza mahakama kuwa Katibu wa Bunge alimwandikia barua Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Kisutu kuhusiana na safari ya Mdee na kwamba anatarajia kurejea nchini Desemba 20, 2018.

Mbali na Mdee, mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche ambaye pia ni mshtakiwa katika kesi hiyo hakuwepo mahakamani leo.

Upande wa mashtaka kupitia kwa wakili wa Serikali Mkuu, Faraja Nchimbi umeieleza mahakama kuwa hauna pingamizi dhidi ya Mdee kwa kuwa wanayo nakala ya barua ya Bunge kumwombea Mdee ruhusa.

Pia amesema hawana pingamizi dhidi ya Heche kwa kuwa alikuwa na ruhusu hiyo.

Akitoa uamuzi Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri amesema kwa kuwa alipokea nakala ya barua ya Bunge ikimwombea ruhusa Mdee anakubali aendelee na shughuli zake hizo.

Kuhusu Heche amesema pia anamruhusu aendelee na ruhusa yake ya kumuuguza mkewe ambayo alishampatia.

Hata hivyo amewataka  wote wawepo tarehe nyingine kesi hiyo itakapotajwa,ameiahirisha kesi hiyo hadi Desemba 21, 2018.

Mbali na Mdee Mdee, Heche na Mbowe, washtakiwa wengine ni katibu mkuu, Dk Vicent  Mashinji; naibu makatibu wakuu, John Mnyika (Bara) na Salum Mwalimu (Zanzibar) na mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.

Wengine ni mweka hazina wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), Esther Matiko  na mbunge wa Bunda,  Ester Bulaya.

Mhandisi Dar Atiwa Mbaroni kwa Rushwa ya Ngono

$
0
0
Mhandisi wa Kampuni ya Mask and Sons ya jijini Dar es Salaam, Leonard Mkaka, amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa tuhuma za rushwa ya ngono.

Katika taarifa ya awali, iliyotolewa na Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Temeke, Pilly Mwakasege, Mkaka alikamatwa juzi saa saba mchana katika nyumba ya wageni iliyopo Kibada, Kigamboni akiwa na mlalamikaji, tayari kwa kutekeleza azma yake.

Mwakasege alisema waliamua kumfuatilia mtuhumiwa huyo baada ya kupata malalamiko kutoka kwa mlalamikaji ambaye alidai kuombwa rushwa ya ngono na mhandisi huyo ili amuwekee daraja (culvert) kwenye nyumba anayoishi.

“Mlalamikaji alikuwa ameomba awekewe culvert kufuatia miundombinu ya barabara kuelekea nyumbani kwake kuharibika kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea katika eneo hilo,” alisema.

Alisema ombi hilo lilifikishwa kwa mtuhumiwa ambaye ni mhandisi wa kampuni hiyo iliyopewa jukumu la kutengeneza miundombinu ya barabara na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, katika Kata ya Tuangoma Mtaa wa Masaki.

Alisema mtuhumiwa alianza kuomba rushwa ya ngono kwa mlalamikaji (jina limehifadhiwa) kuanzia Novemba 16 hadi Desemba 4 mwaka huu, alipokamatwa na maofisa wa Takukuru ambao walikuwa wakimfuatilia na kukusanya ushahidi katika kipindi hicho chote.

Mwakasege alisema mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani na kufunguliwa mashitaka chini ya kifungu cha 25 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Na 11 ya mwaka 2007 mara baada ya taratibu za kisheria kukamilika.

Dereva Ahukumiwa Mwaka Mmoja Jela kwa kosa la kutoa rushwa ya Sh 5,000 kwa Traffic

$
0
0
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, Luzango Khamsin amemhukumu kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh 300,000 dereva wa gari aina ya Noah, Rashid Ally Katunda kwa kosa la kutoa rushwa ya Sh 5,000 kwa askari wa usalama barabarani.

Kwa mujibu wa mashitaka, Dereva Rashid ambaye hufanya safari zake katika barabara kati ya Mikumi na Ifakara, alimpa rushwa askari Polisi E.6993 CPL. Elvis aliyekuwa akitekeleza majukumu yake katika barabara ya Ifakara – Morogoro ili asichukuliwe hatua za kisheria kwa makosa ya usalama barabarani ya kutokuwa na leseni ya udereva pamoja na uchakavu wa bodi ya gari yaliyokuwa yanamkabili.

Taarifa ya Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Morogoro, Janeth Machulya iliyothibitishwa na Msemaji wa Takukuru, Dorice Kapwani jana, Katunda alikamatwa na maofisa wa Takukuru Januari 29, 2018 na kufikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kilombero ambapo alifunguliwa Kesi ya Jinai Namba 14/2018.

Mwendesha Mashtaka wa Takukuru Ainainyi Minja aliielezea Mahakama kuwa Katunda anashtakiwa kwa kosa la kutoa rushwa kinyume na kifungu cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya Mwaka 2007 kama hati ya mashtaka ilivyofafanua.

Aidha, baada ya upande wa mashtaka kutoa ushahidi pasi na shaka, Mwendesha Mashtaka aliiomba Mahakama itoe adhabu kali ili iwe fundisho kwa mshtakiwa na wengine wanaotenda makosa kama hayo.

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Waziri Mkuu Afungua Kiwanja ch taifa cha Mchezo wa Baseball

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua kiwanja kipya cha Taifa cha mchezo wa Baseball na kuzindua mashindano ya Taifa ya Baseball nchini.

Amewaagiza viongozi wa Wizara ya Habari, Sanaa, Michezo na Utamaduni na Ofisi ya Rais-TAMISEMI waone umuhimu wa kuuendeleza mchezo huo.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Alhamisi, Desemba 6, 2018) alipofungua kiwanja cha Baseball katika shule ya Sekondari ya Azania, jijini Dar es Salaam.

Amesema iwapo mchezo huo utaratibiwa vizuri na kuingizwa katika michezo  UMISETA na UMITASHUMTA utaleta tija kwa wanafunzi wanaoucheza nchini.

Waziri Mkuu amesema thamani ya uwanja huo ni takribani Dola za Kimarekani 80.234 ambazo zimetolewa kwa msaada kutoka Serikali ya Japani.

Amesema anaishukuru Serikali ya Japan na amefarijika kwa dhamira yao ya kuunga mkono utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi CCM 2015-2020 hususan ibara ya 161.

Waziri Mkuu amesema ilani inaielekeza Serikali kujenga na kuimarisha miundombinu ya michezo nchini na kuifanya sekta ya michezo kutoa ajira hususan kwa vijana.

“Pia naishukuru Osaka Rotary Club ya nchini Japan kwa msaada wao wa dola za Kimarekani 12,856 kwa kufadhili mashindano hayo ya sita ya mchezo wa Baseball.”

Amesema jitihada hizo zitaufanya mchezo wa baseball kuwa ni mmoja wa mchezo huo kukua kwa kasi na unachezwa kuanzia ngazi za shule ya msingi na sekondari.

“Nina hakika baada ya hapo Tanzania itaweza kushiriki kwenye mashindano ya kitaifa na kimaifaifa na hasa yale ya Olimpiki ya Tokyo Japan 2020.

Kadhalika, Waziri Mkuu ameagiza uwanja huo ulindwe na utunzwe ipasavyo ili utumike katika mashindano ya ndani na nje ili uwe sehemu ya kuitangaza nchi.

Awali, Balozi wa Japan nchini, Balozi Shinichi Goto alisema nchini Japan mchezo huo pia unasaidia katika kuwajenga vijana kukua kinidhamu na kujiamini.

Alisema anatarajia kwamba mashindano ya mchezo huo yatakuwa endelevu nchini na wachezaji watacheza vizuri kutokana na uwepo wa uwanja mzuri.

Balozi huyo alisema mchezo huo unafundishwa na walimu wa Kijapani katika mikoa mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Mjuu wa Samiki: Mtalaamu wa Magonjwa Sugu kama UTI Sugu,Presha, Uzazi na Nguvu za Kiume

$
0
0
Je, unahitaji Huduma ya kutibu magonjwa na matatizo mbalimbali na umehangaika bila mafanikio, Sasa suluhisho lipo kwa Dr.mjukuu wa SAMIKI.,Hutibu magonjwa yafuatayo.

Tatizo la Nguvu za kiume,dawa yake Ni HOORO 4 POWER,Hutibu na tatizo kupona kabisa dozi siku 6,garama sh.175,000/=.

Kisukari ya kupanda na kushuka,dawa yake Ni SASI inaponesha kabisaa dozi siku 14 ya kupanda garama sh.250,000/= na ya kushuka dozi siku 6 garama sh.140,000/=

Busha bila operation,dawa yake Ni SHOOLA Hutibu Busha bila operation ndani ya siku 30 husambaa na kutorudi Tena.garama sh.340,000/=.

Vidonda vya tumbo,dawa yake Ni TULILA inatibu vidonda vya tumbo na kupona kabisa Ni ya unga na vidonge dozi siku 8 garama sh.130,000/=.

Tezi dume, Dawa yake Ni KALEMELA  Hutibu tezi dume dozi yake Ni siku 14 na kupona kabisa bila kuwekewa mirija Wala kwenda india,garama sh.620,000/=.

Miguu kuwaka moto, kuvimba, magoti kuuma,kiuno,mgongo,dawa yake Ni KOOLA Dawa hii Ni kiboko ya magonjwa hayo, Dozi siku 7 na garama Ni sh.120,000/=.

Maleria sugu na U.T.I ,SALALA Dozi siku 4 garama Ni sh.40,000/=.

Presha ya kupanda na kushuka,SWASWA Hutibu Presha ya kupanda na kushuka,ya kupanda dozi siku (6) na ya kushuka dozi siku (14)   garama Ni sh.200,000/=.

Uzazi,dawa yake Ni MPEELA MIXER wenye ugumba na utasa dawa hii hapa dozi siku (12),garama Ni sh.200,000/=.

Pia natatua matatizo mbalimbali Kama,
   *Kumtuliza mke/mme asietulia ndani,kumrudisha mpenz au mchumba aliekuacha
    *Kuua kesi kwa mda mfupi
    *Kulipwa madeni au kwa alietapeliwa kurudishiwa.
   *Kutimiziwa ahadi ulizo ahidiwa.
    *Kutupiwa majini,kurogwa na kuweka Zindiko katika eneo la biashara ama nyumbani kwako.

  Pia kwa wanaohitaji mabadiliko ya mwili kama;  (1)kurefusha uume na kunenepesha DUDUMA MIXER POWER  nchi 6 kwa sm 4 Dozi siku 3,garama 120,000/=
    (2)kuongeza hips na makalio 86,000/=
     (3)matiti kuwa makubwa au kupunguza kuwa madogo 40,000/=.

    ( 4) chunusi sugu, michirizi,na makovu 45,000/=
     (5)Mguu wa bia,40,000/=.

   UPATIKANAJI WA HUDUMA ZANGU NI TANZANIA TU,NA NI KWA DR.MJUKUU WA SAMIKI OFISI ZANGU ZIPO KAHAMA NA DAR ES SALAAM,KAMA UPO TOFAUTI NA ZILIPO OFISI ZANGU NITAKUFIKIA AU KUKUSAFIRISHIA DAWA UNAYOHITAJI..,PIGA SIMU SAA 24,

0744  922 ,982(WHATSAPP)
0716  608, 959
0784  475, 946

Rais Magufuli Akutana na Kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mstaafu wa Usalama wa Taifa


Serikali Yazishauri Benki Nchini Kushusha Riba Za Mikopo Kuchochea Uchumi Wa Viwanda

$
0
0
Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka Benki nchini kushusha viwango vya riba za mikopo ili kuwawezesha wananchi wengi zaidi wakiwemo wakulima kunufaika na huduma za kifedha zinazotolewa na taasisi hizo za fedha kwa ajili ya kujiletea maendeleo yao.

Dkt. Kijaji ameyasema hayo Jijini Dodoma wakati akifungua rasmi Tawi la Benki Azania, Sokoine, na kusisitiza kuwa Benki zina nafasi kubwa wa kuisaidia nchi kufikia azma yake ya kuwa ya viwanda ifikapo mwaka 2025 kwa kukuza mitaji na biashara za wananchi.

Alisema kuwa hivi karibuni Serikali imechukua hatua madhubuti za kiutawala na kisera ili kuhakikisha kuwa riba za mikopo katika soko zinapungua, ikiwemo Benki Kuu kutoa mikopo ya muda mfupi kwa benki za biashara, kushusha riba kutoka asilimia 16.0 hadi asilimia 9.0.

"Tumepunguza kiwango cha chini cha amana kinachotakiwa kuwekwa Benki Kuu na benki za biashara kutoka asilimia 10.0 hadi asilimia 8.0, hatua ambazo zimesaidia kupunguza riba katika soko kutoka wastani wa zaidi ya asilimia 20 hadi asilimia 17" aliongeza Dkt. Kijaji

"kama haya yote yamefanyika, iweje benki ziendelee kutoza riba ya asilimia 17 kwa kisingizio cha kuogopa mikopo chechefu wakati Serikali kupitia Benki Kuu, imeanzisha kanzi data ya kuhifadhi na kutoa taarifa ya wakopaji (Credit Reference Bureau System)" alihoji Dkt. Kijaji

 Aidha, Dkt. Kijaji ameelezea kusikitishwa kwake na hatua ya benki hiyo kuwa miongoni mwa benki 5 zilizofungiwa kwa kipindi maalum kushiriki katika kuuza na kununua fedha za kigeni baada ya kukiuka taratibu za biashara hiyo.

" Kisheria, benki zote za biashara zinatakiwa kutoa taarifa Benki Kuu kuhusu miamala ya Soko la Fedha za Kigeni kati ya Mabenki waliyofanya kwa siku lakini Benki yako ni miongoni mwa benki zilizovunja utaratibu huu, hii niaibu!" alisisitiza Dkt. Kijaji "

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Azania Bw. Charles Itembe, amesema Benki yake imeendelea kufanya vizuri katika soko kwa kupata faida na kwamba imejipanga kutoa mikopo na huduma za kifedha kwa wananchi mkoani Dodoma kwa viwango vya juu.

"Benki yetu, mwaka 2017, imetengeneza faida ya shilingi bilioni 1.81 ikilinganishwa na hasara ya Shilingi bilioni 6 iliyoripotiwa Desemba 2016, na imeongeza rasilimali zake kutoka sh. bilioni 338 hadi bilioni 390" alisema Bw. Charles Itembe.

Alisema kuwa Benki yake imeongeza kiasi cha mikopo iliyotoa kutoka sh. bilioni 129 mwaka 2016 hadi sh. bilioni 187.7  mwaka 2017, sawa na ongezeko la asilimia 10.23 huku akiba za wateja zikiongezeka kutoka shilingi bilioni 236 mwaka 2016 hadi sh. bilioni 271 mwaka jana.

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Azania ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya Watumishi wa Umma (PSSSF) Bw. Eliud Sanga, ameitaka Benki hiyo kutekeleza mkakati wake wa kuanza kutoa mikopo ili kuimarisha Sekta ya ujenzi wa viwanda nchini.
Mwisho

Mahakama ya Rwanda yawaachilia Diane Rwigara na mama yake Adeline Rwigara ikisema hawana hatia

$
0
0
Mahakama mjini kigali, Rwanda imetangaza kwamba mwanasiasa Diane Rwigara na mamake Adeline Rwigara hawana hatia na kwamba mashtaka dhidi yao hayana msingi wowote.

Mahakama imesema kwamba imefanya uamizi huo kutokana na kwamba upande wa mashitaka haukutoa ushahidi wa kutosha.

Wawili hao walishitakiwa kwa makosa ya kuchochea vurugu na mgawanyiko miongoni mwa wananchi pamoja na kughushi nyaraka.

Muendesha mashtaka alikuwa ameomba mahakama kuwapa kifungo cha miaka 22 jela.

Walikanusha madai hayo wakisema yana misingi ya kisiasa. Marekani imeishinikiza Rwanda kuondoa mashitaka hayo, lakini Rwanda imejibu kwamba haishinikizwi na yeyote na kuomba vyombo vya sheria visiingiliwe.

Uamuzi huo ulikuwa wa mwisho kuhusu maombi ya upande wa mashitaka ya kuwapa kifungo cha miaka 22 jela katika kikao cha mwisho mwezi uliopita, huku upande wa mawakili wao wakipinga maombi hayo na kusisitiza wateja wao kuachiwa huru mara moja.

Waendesha mashtaka waliomba hukumu hiyo wakisema Diane Rwigara alihusika katika kughushi nyaraka wakati alipokuwa akikusanya saini za wafuasi wake wakati wa kutaka kugombea urais kama yalivyo masharti ya tume ya uchaguzi na kwamba kumekuwa na saini za wafuasi hewa baadhi wakiwa walifariki dunia na wengine wakiwa hawapo nchini.

Kadhalika Diane Rwigara na Mamake walishitakiwa kuchochea chuki na kusambaza uvumi kwa lengo la kuhamasisha umma kugoma dhidi ya utawala.

Uamuzi wa leo ulisubiriwa kwa hamu  baada ya Diane Rwigara na mamake Adeline Mukangemanyi kukamilisha kesi hii wakiwa hawako kizuizini.


Credit: BBC

Wananfunzi Wawili Wafariki Kwa Kuangukiwa Na Ukuta

$
0
0
Wanafunzi  wawili wa Shule za Msingi Kijichi na Shule ya Msingi Bwawani zilizopo Mtoni Kijichi wilayani Temeke jijini Dar es Salaam wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa jengo la moja ya madarasa ya Shule ya Msingi Bwawani leo Alhamisi, Desemba 6, 2018 asubuhi.

Ajali hiyo ya kuanguka kwa ukuta imetokea katika Shule ya Msingi ya Kijichi ambapo pia wanafunzi watatu wa Shule hizo wamejeruhiwa kulazwa katika Hospitali ya Temeke kwa ajili ya matibabu.

Waliokufa ni Sabra Stambuli (10) wa shule ya Bwawani na Nasri Mjenge (8) wa Shule ya Kijichi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke, Andrew Masatya amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo. Endelea kufuatilia taarifa zetu kwa habari zaidi.

Tazama Hapa Uteuzi Mpya Uliofanywa Leo na Rais Magufuli

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wa Taasisi za umma kama ifuatavyo


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Disemba 7

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>