KWA mara nyingine, staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’
amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama
alivyompenda Nice Mohammed ‘Mtunis’.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Batuli alisema licha ya
kuwa walimwagana na staa huyo lakini hatokuja kupenda mwanaume kama
alivyompenda Mtunis.
“Nilivyompenda Mtunis ni ngumu sana kumpenda
Batuli afunguka..."Sijawahi kumpenda mwanaume kama nilivyompenda Mtunis"
↧
↧
Basi Lagonga Lori na kuua watu 10....Lilikuwa likitoka Mwanza kwenda Bunda, Hospitali yatangaza majina ya majeruhi
WATU 10 wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria walilokuwa wakisafiria kugonga lori lililokuwa na kokoto lililoegeshwa kando ya barabara kisha kupinduka katika eneo la Nyamhongholo, jijini Mwanza.
Akizungumza na waandishi wa habari katika hospitali ya Rufaa ya Bugando, Daktari wa Idara ya Dharura, Dk Regina Mutayangulwa, alisema miili ya abiria hao na majeruhi
↧
Serikali yasema VIPIMO na MATIBABU ya homa ya Dengue ni BURE
Magreth Kinabo – MAELEZO
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa
mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika
hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila malipo.
Aliyasema
hayo kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares
Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuulizwa swali
juu ya
↧
Jambazi HATARI ambaye ni Kinara wa Uporaji katika Mabenki Atajwa....Jambazi huyu ni mume wa kigogo wa benki ya Barclays, Ana mtandao hatari unaohusisha Vigogo
PRESS RELEASE
14/05/2014
POLISI WAMGUNDUA KINARA WA MTANDAO WA WIZI KATIKA MABENKI
JIJINI D’SALAAM (PICHA YAKE YATOLEWA HADHARANI) ANATAFUTWA NA JESHI LA
POLISI
Jeshi la Polisi Kanda Maalum D’Salaam limefanikiwa kumbaini mtuhumiwa
mhimu ambaye ni kinara wa mtandao wa wizi katika mabenki ambaye
anajulikana kwa jina la RONALD S/O MOLLEL, umri miaka 37, mfanyabishara na
mkazi wa Kimara
↧
UCHAWI watajwa kutawala katika penzi la Ray na Chuchu Hans
UCHAWI umetajwa kwenye mapenzi ya staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na ubavu wake wa sasa, Chuchu Hans.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, mapenzi ya Ray kwa Chuchu ni makubwa sana
kiasi kwamba hayawezi kuwa ya hivihivi tu kwani msichana huyo ni mtoto
wa Kitanga anayejua jinsi ya kumshika mwanaume kama Ray.
“Unajua siku moja niliongea na mtu, sitaki kumtaja jina. Akasema
↧
↧
Kunguni watikisa shule ya Pugu aliyofundisha mwalimu Nyerere, wanafunzi walala madarasani
Moja kati ya maadui wakubwa wa usingizi ni mdudu ‘kunguni’ ambaye
anaweza kumfanya mtu anayepanga kujipumzisha kuhisi anaadhibiwa kwa
kufinywa.
Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Pugu iliyoko Dar es Salaam, ambayo
ina historia ya pekee kwa kuwa ni moja kati ya shule alizofundisha
muasisi wa Taifa hili, mwalimu Julius Kambarage Nyerere wamekumbwa na
mtihani mkubwa na kulazimika
↧
VIDEO: Msikilize Diamond akiongea na Gestina George baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa za BET ( BET Awards 2014 )
Mwaka huu unaonekana kuwa mwaka wa mafanikio zaidi kwa Diamond
PlatinumZ ambaye anazidi kuongeza ukubwa wa CV yake katika muziki kwa
kupanda ngazi na majukwaa ya kimataifa.
Mshindi huyo wa tuzo saba za KTMA2014 ametajwa jana (May 14) kuwania
tuzo kubwa duniani zinazotolewa na Black Entertainment Television (BET
Awards 2014) katika kipengele cha Best International Act Africa huku
↧
Kwanini Wema Sepetu hatumii umaarufu wa Diamond kutafuta fursa ya kufanya filamu za kimataifa?
Siku Diamond Platnumz anafagia tuzo saba za Kilimanjaro, ubavu wake wa
kushoto Wema Sepetu alikuwa naye bega kwa bega. Na katika wakati mmoja
alipanda jukwaani kutoa maneno ya shukrani kwa niaba yake na alisikika
akisema anajivunia kuwa mke mtarajiwa wa staa huyo wa muziki nchini.
Wema na Diamond wana historia ndefu ya mapenzi na uhusiano wao
unaongoza kwa kuandikwa zaidi na vyombo
↧
Breaking News: Mtoto Afariki Dunia baada ya kuangukiwa na Jiwe kubwa Ilemelea jijini Mwanza ....Mtoto huyo alikuwa na wazazi wake wakichimba kokoto za kuuza
Mtoto mmoja aliyefahamika kwa Jina la Malaika Jackson amefariki dunia Muda huu ( saa kumi jioni ) baada ya kuangukiwa na Jiwe kubwa lililoporomoka wakati baba yake akichimba kokoto katika mlima Giza, maarufu kama mlima wa Rada uliopo maeneo ya Kiseke, Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza
Kabla ya kufikwa na mauti hayo, Mtoto huyu alikuwa na baba
↧
↧
Wabunge 25 watarajiwa kuhama vyama vyao na kujiunga na chama kipya cha ACT-Tanzania.....Wamo wabunge 17 wa CHADEMA, Wanne wa CCM, Watatu wa NCCR-Mageuzi na mmoja wa CUF
Wanasiasa kutoka vyama mbalimbali vya siasa nchini wakiwemo wabunge 17 kutoka chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ),wanatarajiwa kujiunga na chama kipya cha siasa nchini, ACT -Tanzania, kilichopata usajili wa kudumu mapema mwezi huu....
Mbali na kuwanasa wabunge hao wa CHADEMA pia kimefanikiwa kuwavuta wabunge wanne kutoka chama cha
↧
Hizi ni Nafasi Mpya za kazi toka Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC)
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is looking for
experienced, dynamic, energetic, visionary and qualified candidates to
fill the most senior positions within the Corporation’s.
These positions will provide supporting roles to the Managing Director.
Specific day to day duties and responsibilities of the senior positions
listed in the following.....
BONYEZA HAPA
↧
Mwimbaji Amina Ngaluma afariki Dunia
MWIMBAJI nyota
wa zamani wa bendi mbalimbali nchini ikiwamo Double M Sound, African
Revolution 'Wana Tamtam', Amina Ngaluma 'Japanese' amefariki dunia akiwa
nchini Thailand baada ya kupatwa na uvimbe kichwani.
Mpaka mauti
yanamfika, Amina alikuwa mwanamuziki wa bendi ya Jambo Survivors. Msiba
upo Kipunguni B, Machimbo jijini Dar es Salaam
<!-- adsense -->
↧
Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 16 May 2014
↧
↧
Johari afunguka : Ray hawezi kumuoa Chuchu Hans, huo ni utapeli tu
Blandina Chagula ‘Johari’, juzikati alifunguka kwamba watu waachane
na kusikiliza habari za matapeli wa mapenzi, maana suala la Vicent
Kigosi ‘Ray’, kumvisha pete mchumba wake wa sasa Chuchu Hans si la kweli
na kwamba huo ni utapeli.
Akizungumza Ijumaa Mei 13, mwaka huu Johari alisema hana taarifa
zozote za Ray kumvisha pete Chuchu na wala hatarajii kusikia tukio la
wawili hao
↧
Maswali 10 tata pamoja na Majibu yake kuhusu Homa ya dengue
Tangu ugonjwa wa homa ya dengue uibuke mkoani Dar es Salaam na
baadaye maeneo mengine ya nchi, wananchi wamekuwa wakijiuliza maswali
mengi yenye utata ambayo sasa yamepata majibu ya wataalamu.
1. Kwa nini mbu wengine wakiwamo wanaoambukiza malaria hawawezi kuambukiza dengue?
Mtafiti wa tabia za mbu kutoka Taasisi ya Afya ya
Ifakara (IHI), Dk
↧
Serikali yasema ina mpango wa kujenga MAHABUSU za watoto katika kila mkoa nchini.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima amesema Serikali
ina mpango wa kujenga mahabusu za watoto katika kila mkoa nchini.
Alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Riziki Omar Juma (CUF).
Katika swali lake mbunge huyo alitaka kujua lini Serikali itajenga
mahabusu za watoto ili kuwapunguzia udhalilishaji na manyanyaso
↧
Mwanafunzi wa Chuo kikuu wa SAUT jijini Mwanza auawa na wanafunzi wenzake kwa tuhuma za wizi
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT) cha jijini
Mwanza, Helma Michael (22) ameuawa kwa kupigwa mawe na wanafunzi
wenzake, wakimhisi kuwa ni mwizi wa kompyuta ndogo za mkononi na deki
chuoni hapo.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Valentino Mlowola, alisema juzi kuwa
mwanafunzi huyo aliuawa Mei 13 mwaka huu saa 4.00 usiku, katika eneo la
Nyamalango Malimbe, ambapo baada ya
↧
↧
Nafasi za Mafunzo na kazi toka RafikiElimu Foundation......Baada ya mafunzo haya wahitimu watapata nafasi ya kufanya kazi katika mradi wa 'Wanawake Salama Tanzania'
Taasisi Ya RafikiElimu
FOUNDATION inatangaza
nafasi za MAFUNZO
YA UENDESHAJI NA
USIMAMIZI WA TAASISI
ZISIZO KUWA ZA
KISERIKALI. ( NGO
MANAGEMENT & OPERATION
) kwa waombaji
wenye sifa zifuatazo :
i. Awe
wa jinsia ya
kike.
ii.
Elimu
Ya Kuanzia Kidato
Cha Nne , Sita na
kuendelea.
iii.Uwezo
wa kuwasiliana kwa
ufasaha kwa lugha
za Kiswahili na
↧
Watu wanne wapoteza maisha kwenye mlipuko wa Bomu Mjini Nairobi, Kenya
↧
Kijana aliyenunua makahaba wawili na kujifungia nao chumbani kwa lengo la kuwafaidi wote AUMBUKA.....Makahaba wamzidi nguvu,azima na kupoteza fahamu
Mwanaume mmoja ambaye ni muokota chupa maarufu aliyetambuliwa kwa jina moja la Hamad anadaiwa kunusurika kufa katika nyumba moja ya kulala wageni iliyoko eneo la Manzese jijini Dar kufuatia kuthubutu kwake kufanya ngono na makahaba wawili kwa pamoja.....
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, inaelezwa kwamba mara baada ya Hamad kujipatia
↧
More Pages to Explore .....