MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588“Una niamini?”
“Ndio ninakuamini, ndio maana sikuhitaji kukuchomesha kwa wale askari pale kwani bado sijakaa na wewe kufahamu ukweli ulio pelekea kuitwa gaidi na kuwindwa sana”
“Nashukuru, baba yako yupo wapi?”
“Baba ni waziri mkuu”
“Ananizungumziaje mimi katika hili swala”
“Baba yangu nina imani amejazwa chuki kubwa na anakuchukia sana na anatamani hata leo akukamate na kukuadhibu kwa makosa yako yote uliyo yafanya”
“Asijaribu kufanya hivyo kwani na yeye nitamua”
Gafla nikastukia Lucy akifunga breki za gari lake huku akinitazama kwa macho makali akionekana kushangaa kauli yangu niliyo itoa kwani ni kauli ambayo nina amini kwamba ni mbaya sana kwake ila ndio ukweli kutoka moyoni mwangu.
ENDLEA
“Dany unacho kizungumza una kimaanisha kweli au?”
“Nina kimaanisha ndio kwa maana kwani baba yako hatambu ni kitu gani kinacho endelea ndio maana ananichukia pasipo kufahamu ukweli wa mambo”
Nilizungumza huku nikimtazama Lucy usoni mwake.
“Nina imani kwamba hukuwepo Tanzania, umekuja kufanya nini Tanzania?”
“Siwezi kukuambia sasa hivi kilicho nilete ila utakiona kilicho nileta”
“Dany unatakiwa kuniamini?”
“Si kirahisi namna hiyo ikiwa mtu wangu amekamatwa”
“Nani aliye kamatwa?”
“Huwezi kumfahamu”
“Niambie ninaweza kukusaidia kwa maana nina fahamu mfumo mzima wa hili jeshi la Tanzania”
Nikamtazama Lucy usoni mwake huku nikiendelea kujiuliza maswali moyoni mwangu kama ninaweza kumuamini msichana huyu ambaye alisha wahi kunitamkia kwamba sina hadhi ya kuwa na mahusiano naye.
“Shukrani kwa msaada wako”
Nilizungumza huku nikifunga mlango wa gari na kushuka, Lucy kwa haraka na yeye akashuka kwenye gari na kuanza kunifwata ninapo elekea huku akiniita jina langu. Alipo ona sigeuki akanishika mkono.
“Dany umekuwaje jamani, kukuomba kukusaidia unahisi kwamba ninaweza kuwa msaliti kwako”
“Nitakuamini vipi ikiwa baba yako mwenyewe amejazwa chuki dhidi yangu, je wewe utakuwa fungu gani?”
“Dany hivi utambua kwamba nilijitunza miaka yote hiyo nikikusubiria wewe. Hivi unajua usichana wangu bado upo na hakuna mwanaume yoyote anaye ijua kum** yangu?”
Lucy alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Nikabaki nikimtazama tu kwani ninamshangaa na siamini kwa hichi anacho kizungumza.
“Dany natambua huniamini, kama huamini twende kwangu sasa hivi ukanivunje hii bikra, nimekuwa nimwanke wa kujipa matumaini kwamba wewe ndio mtu sahihi uliye jitolea maisha yako kwa ajili yangu na ukaungua mgongo, mikono yote kwa ajili yangu. Ni wanaume wangapi walikuwepo ile siku ila hakuna aliye thubutu hata mmoja kuja kujitolea maisha yake kwa ajili yangu eheee, kwa nini ulikuwa ni wewe?”
Lucy aliendelea kuzungumza kwa sauti iliyo jaa kilio ndani yake. Kusema kweli nikabaki nikiwa na kigugumizi na moyoni mwangu nilisha apia kwamba sinto mpenda mwanake yoyote na ninahitaji kuifanya kazi iliyo nilete Tanzania na hata nikiondoka Tanzania basi niondoke kabisa na maisha yangu yote yaliyo salia duniani yatamalizikia huko nitakapo elekea. Radi kali iliyo piga na kuandamana na mgurumo wake ikamfanya Lucy kunikumbatia kwa nguvu huku akilia.
“Dany nisamehee kwa maneno yangu ya kukukatisha tamaa kwa kipindi kile, sikuwa ninajua thamni ya mwanume, sikuwa ninajua kupenda ni nini. Nisamehee Dany wangu, leo imekuwa kama bahati kuonana na wewe tafadhali Dany”
Lucy alizungumza huku akiendelea kulia na kunikumbatia kwa nguvu. Matone ya mvua yakaanza kutumwagikia taratibu, kadri jinsi sekunde zinavyo zidi kwenda mbele ndivyo jinsi matone haya yaliyo zidi kuongezekana kulowanisha miili yetu.
‘Martin amekamatwa, atakuwa yupo wapi?’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiwa ninatazama eneo hili kwa umakini ili kuangalia kama kuna mtu yoyo anakuja katika hili eneo.
‘Siwezi kumpenda Lucy, sio mwamke anaye stahili kufa kwenye dhambi zangu’
Niliendelea kuzungumza kimoyo moyo, taribu nikamtoa Lucy mwilini mwangu.
“Lucy nitakuamini vipi?”
“Niamini Dany chochote utakacho niambia mimi nitafanya mume wangu”
Lucy alizungumza huku akiwa katika majonzi makibwa.
“Twende kwako”
“Kweli Dany?”
“Ndio twende”
Lucy akaniachia na kwa furaha tukaanza kurudi tulipo liacha gari. Tukingia ndani ya gari na moja kwa moja tukaelekea hadi maeneo ya Mbezi mwisho, sehemu inayo itwa Makabe. Tukaingia kwenye moja ya jumba kubwa la kifahari.
“Kuna walinzi wangapi kwenye hii nyumba yako?”
“Wapo sita”
“Ni polisi au walinzi wa kawaida?
“Ni walinzi wa kawaida wa kampuni moja inaitwa Group four”
“Ahaaa sawa”
Tukashuka kwenye gari huku nikiwa makini kuwatazama askari wawili walio simama eneo la kuingilia ndani ya hili jumba.
“Waondoe walinzi wako hapo mlangoni”
Nilizungumza huku nikirudi ndani ya gari cha kumshukuru Mungu sehemu niliyo kuwa nimesimama ina giza kidogo. Lucy akatembea hadi kwenye mlango akazungumza na walinzi wake huku akionekana kuwaelekeza. Walinzi walipo ondoka, Lucy akageuka na kunitazama, nikashuka kwenye gari na kuanza kutembea na kuingia naye ndani.
“Kuna mfanyakazi wa ndani?”
“Hapana huwa wanakija asubuhi kufanya fanya usafi”
Tukaanza kupandisha kuelekea gorofani huku Lucy akiwa amenishika mkono wangu wa kushoto. Tukaingia katika chumba chake cha kulala amacho kimepambwa na mapambo mazuri.
“Dany umeoa?”
Lucy alizunngumza huku akivua shati lake lililo lowanishwa na maji. Nikaitazama pete yanug kidoleni, ambayo nilivishwa na Yemi siku mbili zilizo pita.
“Mbona hujibu”
“Kwani kuna tatizo lolote katika hilo?”
“Nimekuuliza tu”
“Tutazungumza baadaye”
Lucy akanisogelea na kusimama mbele yangu.
“Dany hata kama umeoa, hata kama utakuwa na watoto ila ninakuapia kwamba nitakupenda kwa maisha yangu yote”
“Utampendaje mwanaume anaye chukiwa na watanzania wote?”
“Siamini kwa kile wanacho kizungumza na kama ungekuwa ni gaidi basi ungea watu wa kawaida, ila ni kwa nini unaua watu fulani na wenye nafasi fulani za juu”
“Umejuaje kama ninaua watu wa nafasi za juu?”
“Mbona kila siku ndivyo vyombo vya habari vinavyo tangaza. Vinasema umemuua waziri mkuu wa Somali”
“Waziri mkuu wa Somali!!. Nimemuua lini?”
“Wiki kama mbili zilizo pita na ipo listi kubwa tu ya watu ambao inasaidikika kwamba una waua wewe”
“Ni uongo vifo vya watu hao sijahusika kabisa”
“Mimi nina amani hilo. Pia kuna ulinzi mkali sana ambao umeimarishwa kwa ajili ya kukukamata wewe”
“Hawawezi kunikamata sasa ni lazima niweze kujua ni nani ambaye anahusika na vifo vya hao viongozi ambao unaniambia”
“Nitakusaidia”
“Sawa nitakuomba unisaidie katika kupata taarifa ya kuweza kufahamu mtu wangu amekamatwa na nani na yupo wapi”
“Sawa nitafanya mpenzi wangu, mimi kwa sasa ni mtumwa wako”
Kwa haraka haraka unaweza kufikiria kwamba anayo yazungumza Lucy ni kutokana na pombe alizo kunywa, ila kwa upande mmoja ninaamini kwa kile alicho kizungumza. Nikamshika kiuno chake na kumsogeza karibu yangu kabisa, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaanza kumsogeza mdomo wangu. Lucy akafumba macho yake huku midomo yake ikimtemeka, hapa ndipo nikagundua kwamba woga alio kuwa nao kipindi kile bado hadi leo anao.
“Unaogopa nini?”
Nilimuuliza Lucy na kumfanya ayafumbue macho yake huku akinitazama usoni mwangu.
“Eheee”
“Mbona una ogopa?”
“Kusema kweli Dany sijawahi kufanya hivi”
“Kweli?”
“Ndio”
Kwa haraka nikamsogeza Lucy mdomo wake na kuanza kumnyonya kwa nguvu, jambo lililo mfanya kaunza kulegea taratibu. Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo lizidi kumuhimili Lucy na kumfanya alegee sana. Mlio wa simu ya Lucy ukatufanya tuachiane, akazama simu yake aliyo iweka juu ya meza.
“Samahani”
Lucy alizungumza huku akiniacha moja kwa moja akaielekea ilipo meza na kiichukua simu yake, akaipokea na kuiweka sikioni mwake.
“Baba”
Lucy akanifanya nimtazame kwa macho makali.
“Nimsha rudi nyumbani baba yangu”
“Waogo bwana sina mwanaume yoyoye, baba yangu wewe mwenyewe unanijua, ni wanaume wangapi huwa nina wakataa mbele yako, sembuse leo ndio nilale na mwanaume”
“Hapana baba, niamini mwanao”
“Sawa baba”
“Nakupenda sana baba yangu”
“Nawe pia baba usiku mwema”
“Haya”
Lucy akakata simu na kusogelea nilipo simama, akanikumbatia kwa nguvu na kuanza kuninyonya midomo yangu.
“Baba yako anahitaji nini?”
“Alikuwa ana nihofia usalama wangu, wale askari wamempelekea umbea”
“Haito leta tatizo hii?”
“Haito weza kwa maana baba yangu ana niamini sana katika maswala ya mahusiano na yule askari aliyekuwa anazungumza zungumza alisha wahi kuleta posa kwa baba ila nikamkataa kabisa”
Nikamtazama Lucy kwa macho ya kumchunguza usoni mwake, kisha taratibu tukaendelea kunyonyana huku akilini mwangu nikiwa ninawaza ni jinsi gani ninaweza kumtumia Lucy katika kuhakikisha kwamba mipango yangu inazidi kuwa rahisi katika kuitekeleza.
Lucy akaanza kutoa miguno ya maumivu huku akibana bana mapaja yake.
“Na….naumia baby”
“Unaenda wapi baby”
AISIIIII……….U KILL ME 161
Baada ya dakika kama arobaini, nikamaliza mzunguko wa kwanza ulio mfanya Lucy kulia kwa machozi ya furaha huku akiongea maneno mengi ambayo hata mengine hayana faidi yoyote kwa mimi kuweza kuyasikia.
“Mmmmm siamini kam…..”
Lucy akajaribu kusimama ila akashindwa kabisa na kujikuta akikaa tena kitandani huku akinitazama usoni mwangu huku akionekana kujawa na wasiwasi mwingi.
“Nini?”
“Miguu inakataa kabisa kusimama”
“Ndio maana nikakuuliza”
“Hembu nisaidie”
Lucy alizungumza huku akinipa mkono wake wa kuliaa, taratibu nikamvuta na kumnyanyua. Akasimama kwa sekunde kadhaa.
“Mmmmm hapana jamani si kwa maumivu haya”
“Pole ukikaa baada ya muda utaweza kunyanyuka”
“Nilikuwa nina sikia sikia tu kwamba kuvunjwa bikra msichana lazima achechemee kumbe ni kweli?”
“Yaaa”
“Mmmmm kazi kweli kweli”
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtingisha tingisha jogoo wangu. Nikaanza kuoga huku nikifikiria jinsi ya kumpanga Lucy katika kufanikisha kazi yangu. Nilipo maliza nikatoka bafuni na kumkuta Lucy akijjitahidi kutembea kueleka kwenye kabati lake la nguo.
“Najikaza nitoe taulo siwezi kuaa na hii michiri ya damu”
“Sawa”
Lucy akafanikiwa kufika kabatini, akafungua na kutoa mataulo mawili, akanirushia taulo moja kunwa lililo tawaliwa na rangi nyeupe kisha na yeye akabakiwa na kitaulo kidogo cha rangi nyeupe kabisa.
“Kitambaa hichi na hilo shuka nitaviweka ukumbusho”
“Ukumbusho wa nini?”
“Wa siku niliyo tolewa bikra na mwanaume niliye msubiri kwa kipindi kirefu sana.”
“Je tusinge onana leo ungeendelea kuishi na bikra yako”
“Ndio ningeendelea kujitunza hadi kufa kwangu”
“Mmmmmm”
“Mbona unaguna sasa?”
“Hakuna kitu”
“Ngoja na mimi nioge”
Lucy alizungumza huku akianza kujikokota kuelekea bafuni. Nikamtazama umbo lake kusema kweli ameumbika vizuri. Nikachukua rimoti iliyopo juu ya meza na kuwasha tv kubwa iliyopo humu chumbani. Kila chaneli ya Tanzania ninayo ifungua inaonyesha matangozo ya ujio wa raisi Donald Bush wa marekani huku ikiwa ndio mara yake ya kwanza kujia nchini Tanzania.
‘Huondoki Tanzania wewe’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiitazama video ya raisi Donald Bush akiwa amesimama kwenye ngazi za ndege yake ijulikanayo Air Force One.
“Watanzania wanamsubirije huyo raisi”
Lucy alizungumza huku akiwa amesimama kwenye mlano wa bafu lililopo hapa chumbani.
“Anafika Tanzania saa ngapi?”
“Anatarajiwa kufika saa moja usiku”
“Aahhaaa”
“Yaani ujio wa huyu raisi umemfanya baba kuwa katika heka heka hadi ninamuonea huruma”
“Heka heka za nini?”
“Kuhakikisha kwamba ulinzi unaimarishwa na hakutokea tukio lolote la ugaidi”
“Kwani kuna ukio ambalo wanataraji litokee?”
“Hof yao wote wanakuhofia wewe huo ndio ukweli na ulinzi wote anao lindwa huyu raisi pamoja na raisi K2 yote ni kwa ajili yako”
“Sawa, tuachane na hayo, kuna kijana wangu amekamatwa utanisaidiaje kumpata kwa maana yeye ndio kila kitu kwangu?”
“Amekamatwa lini?”
“Usiku huu wa leo”
“Ngoja nimpigie simu baba”
Lucy alizungumz ahuku akiichukua simu yake iliyopo juu ya meza. Akampigia baba yake na baada ya muda kidogo akaanza kuzungumza huku simu akiwa ameiweka loudspeker.
“Baba”
“Vipi kuna tatizo?”
“Hapana baba yangu”
“Haya mbona umepiga simu usiku huu?”
“Nasikia mumemkamata Dany?”
“Nani amekuambia?”
“Nimesikia tetesi tu”
“Haana ni mwanajeshi mmoja kutoka katika kundi la Boko Haramu alikuwa pembezoni mwa bahari huko”
Tukatazamana na Lucy huku macho yakiwa yamenitoka.
“Boko haramu kwa hiyo wapo Tanzania?”
“Hapana huyu yupo peke yake, ila hapa ndio anaendelea kuhojiwa katika makao makuu ya polisi huku”
“Mumemkamataje?”
“Lucy mbona una maswali mengi vipi?”
“Baba mwanao si muandishi wa habari, ninahitaji kufahamu tu kwani hujayazoea maswali yangu?”
“Ahaa. Huo uandshi wa habari wako sio kwenye maswala haya ya kiusalama wewe andaa habari za kuja kwa raisi Donald Bush basi”
“Sawa baba yangu kwa hiyo mupo makao makuu ya NSS ?”
“Ndio”
“Sawa baba yangu ninakupenda ehee?”
“Ninakupenda pia binti yangu. Hakikisha kwamba unalala muda umekwenda sasa”
“Sawa baba yangu”
Lucy akakata simu huku akishusha pumzi nyingi.
“Ninahitaji kwenda sasa hivi?”
“Wapi?”
“Alipo mtu wangu”
“Dany wewe mbona una hatari?”
“Hatari ni jambo la kawaida kwenye maisha yangu.”
“Sasa Dany hapo ulinzi lazima utakuwa ni mkali sana, yaani hadi baba yupo hapo ujue ulinzi ni mkali sana na huyo mtu wako anahojiwa vikali sana”
“Usijali nitakuwa salama, je una bastola yoyote”
Lucya akanitazama kwa sekunde kadhaa usoni mwangu huku akionekana kujishauri juu ya hili nililo mueleza.
“Eheee”
“Ninaomba unipatie”
Lucy akasimama na kuanza kutembea hadi kwenye droo iliyopo pembezoni mwa kitanda chake, akaifungua na kutoa bastola moja ndogo sana ambayo inaingia risasi tano.
“Hiyo ndio uliyo kuwa nayo?”
“Ndio ina uaa hiii”
“Yaaa najua inaua ila kwenye hii kazi hainitoshelezi”
“Kwani unakwenda kuua mtu!!?”
“Ikitokea hivyo inabidi nisiwe na jinsi, ila kwa usalama zaidi inabidi nisiende na silaha yako kwa maana wakigundua ni silaha yako imetumika basi inaweza kukuletea tabu wewe”
“Dany”
Lucy aliniita kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu.
“Ndio”
“Nakuomba usiue, na kama baba yangu atajiingiza katika hili nakuomba usimuue kama ulivyo niambia”
“Sawa sito fanya hivyo kwa baba yako”
Nilizungumza huku nikisimama, taratibu Lucy akanisogelea na kunikumbatia.
“Dany ninakupenda sana, natambua kwamba umekuja kwa ajili ya kazi unayo ijua wewe mwenyewe ninakuomba usipata tatizo kumbuka nimekusubiria kwa muda wote huo ili niweze kuishi nawe kwa amani na upando”
Sijui hata nimfariji vipi Lucy kwa maana moyoni mwangu hayupo kabisa.
“Usijali nitakuwa salama tu”
“Kweli Dany?”
“Ndio”
“Nakupenda sana Dany wangu”
Lucy akazidi kunikumbatia kwa nguvu huku akiwa amejawa na furaha. Taratibu nikamuachia, nikambusu kwenye paji la uso wake kisha nikaanza kuokota nguo zangu na kuanza kuzivaa moja baada ya nyingine.
“Baba yako amezeeka sana?”
“Hapana yupo bado kwenye ubora wake”
“Kweli?”
“Ndio anafanya mazoezi sana”
“Sawa inapendeza, je unaweza kunipatia gari lako?”
“Ngoja nikupe gari jengine ambalo silitumii mara kwa mara”
“Kama una kofia pia nisaidie”
“Tena ninazo nyingi tu humu kabatnini”
Lucy akanitolea kofia moja na kkinikabidhi, nikaivaa, nikajitazama kwenye kioo nilipo ona sura yangu sio rahisi kuweza kuonekana nikamgeukia Lucy.
“Hapo upo poa”
Lucy akajifunga matenge mawili kisha tukatoka chumbani humu na kueleka kwenye maegesho ya magari yake, akanikabidhi funguo ya gari moja aina ya Toyota Brevis.
“Kuwa makini”
“Poa nitarudi hapa”
“Saa ngapi utarudi?”
“Kabla ya saa moja asubihi”
“Sawa”
Lucy akanibusu mdomoni mwangu, hakuwajali walinzi wake, nikaingia ndani ya gari na kutoka katika hili eneo. Safari ya kuelekea posta ikaanza, cha kumshukuru Mungu usiku huu barabarani hakuna foleni ya magari, ikanichukua muda mchache sana kufika karibu kabisa na makao makuu ya NSS, kitengo ambacho nilikitumikia kwa zaidi ya mikaa mitano na ninalitambua vizuri hili jengo kwani limejaa kamera nyingi za ulinzi(CCTV CAMERA).
‘Lazima niiingie humu ndani’
Nilizungumza huku nikilitazama jengo hili lililo refu kwenda juu, kisha taratibu nikashuka kwenye gari na kuanza kutembea kwa kujiamini nikielekea katika geti la kuingia gorofa hili ambapo kuna askari wa NSS wasio pungua watano na wana bunduki za moto pamoja na mbwa wakubwa wakali wenye uwezo wa kumrarua binadamu dakika chache pale watakapo pewa amri ya kufanya hivyo.
ITAENDELEA
“Haya sasa Dany amedhamiria kwenda kumuokoa Martin katika makao makuu ya NSS, kitengo alicho fanya kazi kwa miaka mingi, je ataweza kuwakabili walinzi waliopo getini na kuingia ndani au atatumia njia gani kuwapitaa askari hao.
Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”