Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kigwangalla Awataka watumishi walio kwenye Wizara yake kupitia mafunzo ya Jeshi Usu ili kujiimalisha zaidi

$
0
0
Na Andrew Chale,Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Dkt. Hamisi Kigwangalla amewataka watumishi walio kwenye Wizara yake hiyo kupitia mafunzo ya Jeshi Usu ili kujiimalisha zaidi katika kutokomeza vitendo vya ujangili wa Maliasili zilizopo sehemu mbalimbali  hapa nchini.

Waziri Dkt. Kigwangalla amesema hayo Novemba 24, 2018 wakati wa kuwatunuku vyeti wahitimu 289 katika kozi mbalimbali ikiwemo Shahada, Stashahada na Astashada kwenye Usimamizi wa Wanyamapori na Utalii kwenye Mahafali ya 54 ya Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori- Mweka, Wilayani Moshi, Mkoani Kilimanjaro.

Akielezea suala la kupata mafunzo kwa watumishi hao, amesema suala hilo la uhifadhi ni  la kudumu hivyo ni vyema watumishi hao kujiandaa katika ulinzi wa Maliasili za Taifa.

Dkt Kigwangalla amesema mifumo wanayotengeneza ikiwemo Jeshi Usu lazima ifanye kazi imara na iwe madhubuti ili kusaidia kulinda Malisili zilizopo kwani hali ya uvamizi wa wananchi na waalifu wa Maliasili za taifa ni kubwa.

“Kama Serikali  tuna nia na dhamira  ya dhati ya kulinda na uhifadhi Maliasili tulizonazo ambazo ni urithi sio tu kwa watoto wetu hapa Tanzania, lakini ni urithi wa vizazi na vizazi vya Dunia yote” amesema  Dkt. Kigwangalla.

Aidha, Waziri Dkt. Kigwangalla ametoa wiki mbili kuanzia Novemba 24, kwa taasisi nne zilizo chini ya Wizara hiyo Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Wakala wa Huduma za Misitu (TFS)  na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kila kutoa Shilingi Milioni 100 ilikuchangia ujenzi wa jengo la Utawala na mafunzo chuoni hapo  ili kuanza mara moja ujenzi wa jengo hilo jipya.

“Kwa mamlaka niliyonayo, Nawaagiza taasisi za TFS, NCAA, TANAPA na TAWA kwa kuanzia, ndani ya wiki mbili zinazofuata kabla hatujaenda likizo ya sikukuu za Christmass, Wawe wameleta shilingi milioni 100, kila taasisi hapa Mweka. Ambapo  kwa taasisi hizo nne nilizozitaja tutakuwa tumefikisha shilingi milioni 400” amesema Dkt. Kigwangalla wakati wa kutoa maagizo hayo ya kuchangia Chuo hicho ambacho kimetoa viongozi na watendaji wakuu wengi wa Serikali wakiwemo wa Wizara hiyo  ya Maliasili na Utalii.

Aidha, Dkt. Kigwangalla ametoa wito kwa wahitimu baada ya dakika chache  za kufurahia kutunukiwa cheti, waanze mawazo ya kujiajiri na kuwaajili wengine kwa kutumia elimu waliyopata chuoni hapo na kuachana na dhana ya kutembea na bahasha za kaki kutafuta kazi.

“Chuo hiki kikongwe. Kina sifa ya kipekee hivyo fikiria zaidi kwenda kujiajiri na pia ukawaajiri wengine baadala ya kwenda kuzunguka kwenye maofisi na bahasha za kaki.. unakuta mtu anazunguka kila ofisi hata ambayo haijatangaza nafasi za kazi. Nendeni mkajiajiri wenyewe kwa elimu mulioipata hapa” amesema Dkt. Kigwangalla.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya kudumu Mheshimiwa Nape Nnauye (MB) amesema kamati yake imepokea changamoto ya miundombinu ya chuo hicho na watakaa kuona namna ya kupitisha bajeti ya chuo hicho.

Nape ameongeza kuwa, kwa taasisi zote za Umma na binafsi zinazojihusisha na Utalii waanze kuchukua watumishi kutoka Chuoni hapo ilikupata watumishi wazuri na utasaidia kupata bora wa shughuli za Utalii  na uhifadhi.

Naye Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Jafari Kideghesho amesema Chuo hicho kina ubora wa hali ya juu hivyo ni wakati sasa wa taasisi binafsi na za Kiserikali kuendelea kutoa ajira kwa vijana wanaopikwa Chuoni hapo.

Mahafali hayo ya 54 yalihudhuriwa pia na Balozi wa Nigeria nchini,  Balozi Sahabi Dada, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chuo hicho, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Aaron Mbogho,  na wengine wengi.

Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori, Mweka kilianzishwa mwaka 1963 baada ya azimio la Arusha mwaka 1961 ambalo lilitaka uwepo wa watu waliopewa mafunzo kwa ajili ya kulinda na kusimamia urithi wa rasilimali za Afrika.

Chuo hicho ambacho huendesha mafunzo yake kwa vitendo kwa zaidi ya asilimia 60 kimepata ongezeko la wanafunzi kutoka 25 mwaka 1963/1964 hadi zaidi ya wanafunzi 550 mwaka 2016/2017 kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Malawi na Cameroon.

Aidha, katika kipindi cha miaka 54 iliyopita chuo hicho kimeweza kufundisha zaidi ya mameneja wa wanyamapori 8,000 kutoka nchi zaidi ya 50 duniani.

Chuo hicho pia kimepewa tuzo na Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kama Kituo cha Ubora wa Taaluma ya Usimamizi wa Wanyamapori (Centre of Excellence).

Mwisho.

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
NATURAL BEAUTY PROD. Tumeshusha bei za bidhaa zetu ili kila mmoja aweze kupata bidhaa hizi na azifurahie wahi sasa kwani ofa hii ni ya muda mfupi tu.                             

Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe.

1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 ilikua inapatikana kwa @170,000/= sasa ni @150,000/= tu

2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa ilikua ni  @160,000/=. Sasa ni 140,000/= tu

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo wewe pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kilikua kinapatikana kwa @230,000/=. Sasa ni 200,000/= tu

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 170,000/= tu

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 ilikua inapatikana kwa @190,000/=. Bei ya sasa ni 170,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri ilikua inapatikana kwa @150,000/=. Sasa ni 130,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo ilikua inapatikana kwa @200,000/=.  Sasa ni 180,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft ilikua inapatikana kwa @150,000/=   Sasa ni @140,000/= tu N.K  Wasiliana nasi kwa simu

NO:. +255 759029968 

                      AU

           +255 659618585


Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.

   
                WELCOME ALL

Rudisha Heshima ya Ndoa Yako.....Pata Tiba Bora ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Wanaume wengi hawawaridhishi wake au wapenzi wao kwa kutokuwa na nguvu za kiume au uume mdogo? 

Kawaida mwanamke huwa anachukua dakika saba 7 adi kumi 10 ili aweze kufika kileleni na wakati wanaume wengi kwa sasa hutumia dakika tatu 3 hadi tano 5 ameshafika kileleni , hapo utagundua kabisa mke au mpenzi wako hujamtendea haki yake. Dr Nyalobi  anakuletea dawa imara na yenye nguvu tatu?

Simpo power; Hutibu matatizo yafatayo;

1.itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-20 kwa tendo la kwanza

 2. itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi mara nne 

3 Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa 

4 Hutoa uchovu pale umalizapo kufanya tendo

 Je kwa nini uzidi kuona aibu pale ukutanapo na mpenzi wako kwa sabubu uume wako mdogo na mwembamba? 

Promix; hii ni dawa ya kuongeza uume saizi upendayo.Dawa zetu ni za mitishamba na hazina madhara yoyote na ni tofauti na ulizowai kutumia ata wazee hutumia 

Mkuya; hii ni dawa ya kisukari dozi siku 21 

Mwaru; hii ni dawa ya uzazi hufungua mirija ya uzazi ata kama uzazi umefungwa

Markusi; ni dawa ya presha zipo dwa za korodani kuvimba,, vindonda vya tumbo, kupunguza kitambi, na minyama uzembe 

Fika ofisini kwetu Buguruni Malapa na Mwanza yupo wakala wetu au piga simu 0752348593 -Dokta Nyalobi

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 37

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA
“Sasa siku ile ndio nilipenda kutazama mpira, hakika nina mkwe ambaye anatufanya kila muda tujisikie amani katika mioyo yetu”
“Nashukuru sana mama”
“Kocha wenu yupo wapi?”
“Yule kule”
Nikamuita kocha kwa ishara, akasimama na kutufwata eneo hili tulio kaa.
“Hongera sana kwa wachezaji wako ulivyo waanda. Yaani wanatupa buruni moja nzuri sana”
“Nashukuru sana mkuu”
“Nikipata nafasi, nitapendekeza uinoe timu ya taifa na hii mashine yako hapa nayo iwepo katika timu yako ya Taifa”
Maneno ya baba Camila yakanistua kidoo, kwani katika maisha yangu yote ya kuishia hapa Ujerumani, sijawahi kufikiria kuichezea timu ya taifa ya nchi hii japo nina uraia wa hapa Ujerumani. Nchi yangu mimi ni Tanzania na mimi ni Mtanzania na kamwe sinto isaliti Tanzania hususani katika maswala ya mpira ninao cheza.

ENDELEA
Nikatabasamu usoni mwangu,  ili kuficha msimamo wangu nilio nao moyoni mwangu, amboa kuutangaza kwa sasa itanigarimu sana maisha yangu katika soka.
“Nitashukuru  sana mkuu, nami nitajitahidi kuhakikisha kwamba ninaipelekea timu ya taifa katika viwango vya juu kabisa vya kimataifa vya Fifa”
“Nashukuru sana”
Kocha na baba Camila wakamaliza kusalimiana na kisha kocha akarudi kukaa katika kite chetu.
“Tunaweza kupata muda wa kuzungumza nanyi wawili?”
Mama Camil alizungumza huku akitutazama usoni mwetu.
“Ndio hakuna tatizo mama yangu”
“Basi twendeni tukazungumze”
Nilizungumza huku nikimtazama mama Camila usoni mwake. Tukaondoka eneo hili na kuingia kwenye moja ya ofisi iliyo andaliwa kwa ajili yetu. Tukaingia watu wa nne na walinzi wote wakabaki nje. Ukimya wa sekunde kadhaa ukatawala katika eneo hili huku mimi na Camila tukiwa tunawatazama.
“Nina imani kwamba mumebakisha mwaka mmoja kabla hamjafikisha kiwango cha miaka kumi na nane si ndio?”
 
“Ndio ndio baba”
Niliitika wa unyonge, kwani mazungumzo ambayo naamini yanazungumzwa hapa ni muhimu sana.
“Na munapenda sana?”
“Ndio mama”
“Labda nichukue muda mwengine Ethan, kwa niaba ya familia yangu, ninakuomba unisamehe sana kwa yale yaliyo jitokeza kati yako wewe na Camila pamoja na familia nzima. Hakika tulishindwa kumzuia mtoto wetu, akafanya jambo la kipumbavu  ambalo hadi leo hii, linaniumiza sana”
“Musijali wazazi wangu, ninaelewa hilo na tulisha lizungumza, tuacha yaliyo pita tutazame haya taliyopo mbele yetu”
 
“Nafurahi kusikia hivyo”
“Mimi na baba yenu, niliona kuna umuhimu endapo mukifikisha miaka kumi na nane muvishane pete ya uchumba, kisha nyinyi mutapanga ni muda gani munaweza kuoana”
Jambo hili kidogo likatufanya tustuke kwani tangu tuanze mahusiano yetu hatukuwahi kuketi chini na wazazi hawa na kuzungumzia lolote kuhusiana mapenzi yetu.
“Sawa sisi hili halina tatizo wazazi wangu. Nipo tayari kumuoa Camila kwa garama ya aina yoyote mutakayo nitajia”
 
“Hapana, unayo yafanya kwenye maisha ya famili hii ni garama tosha. Nakukabidhi mwanangu. Kumbuka ni mtoto wetu wa pekee, hatuna mwengine hata wa kusingizia na wala hakujawahi kuwazia kama tutapata mwenzake.”
“Musijali, tambueni kwamba nafanya kila jambo kwa ajili ya Camila. Ninaandaa familia bora kwa ajili yake, ninawahakikishia kwamba mtoto wenu yupo katika mikono salama. Mikono ambayo hakuna ambaye ataweza kuichafua””
“Asante sana mwanangu Ethan. Kuna jambo jengine nilizungumza na baba yako hapa akalipitisha. Kama unavyo fahamu tupo kwenye kipindi cha uchaguzi. Kila anaye gombani kiti hichi anafanya analo weza kuhakikisha kwamba anapata nafasi ya kuwa raisi. Nikiwa kama kampeni meneja wa baba yenu, nilikuwa nina pendekeza Ethan uweze kufanya tangazo moja la kumsaidia baba yako ili katika uchaguzi huu aweze kushinda?”
“Hili halina tabu mama, nakumbuka Camila nilisha kuambia hili si kweli?”
“Yaa kweli uliniambia”
“Hilo halina tatizo, nyinyi andaeni tu tangazo na nitalifanya kwa moja mmoja”
 
“Tunashukuru sana”
“Endapo Mungu akinijalia kuingia ikulu, nitakurudishia kiasi ulicho wekeza japo si kwa siku moja basi hata taratibu taratibu kwa maana nina imani kwamba wewe ni mfanya biashara, umetoa kiasi hicho kwenye makampuni yako kuhakikisha kwamba mambo kwa upande wangu yanakwenda vizuri nami nitalipa fadhila kwa kuyapunguzia makampuni yako kodi”
“Nashukuru sana baba”
Nilizungumza huku nikiwa nimejawa  na furaha kwani katika vitu ambavyo ninavichukia katika biashara  nikulipa kodi kubwa serikalini.
“Kesho Ethan muna ratiba gani na kocha wako?”
Mama Camila aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Kesho nahisi tutapumzika tukisubiria mzunguko wa mtaano”
“Sawa, basi kesho tutatuma walinzi waje wawachukue na wawalete studio uweze kutengeza tangazo la kempeni”
“Usijali mama yangu”
 
“Na mimi mama nahitaji kuwemo kwenye tangazo hilo”
“Sawa tutaangalia kama muandishi wa tangazo atakupatia nafasi basi nawe utakuwepo”
“Nashukuru mama”
Tukazungumza mazungomzo mengi sana na mipango yetu ya baadae kisha wazazi wa Camila wakaagana na wachezaji wa timu yetu kisha wakaondoka. Nikamueleza kocha juu ya ombi nililo ombwa la kwenda kutengeneza tangazo la kampeni, kocha hakuwa na kinyongo na jambo hilo zaidi alichi kihitaji niweze kuwa makini. Nilipo maliza kuzungumza na kocha nikaingia chumbani na kumkuta Camila akiwa amejilaza kitandani kama alivyo zaliwa. Nikamtazama kwa muda huku nikimmezea mate ya uchu, taratibu nikavua nguo zangu kisha nami nikapanda kitandani. Nikaanza kumpapasa mapajani mwake.
 
“Jamani Ethan tulale bwana”
“Nina hamu na wewe bwana mke wangu”
“Mmmmm…..”
Camila alinung’unika kwa sauti iliyo jaa mahaba. Kabla sijafanya kitu chochote, simu yangu ikaanza kuita, nikashuka kitandani na kuichukua juu ya meza. Nikaitazama namba hii ya mwanasheria wa kampuni zangu, kisha nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Ndio mwanasheri?”
“Nina habari nzuri kidogo japo sio sana”
“Nimabie ni habari gani?”
“Vijana wamesha fika nchini Tanzania, na wapo kwenye hicho kijiji, na hivi sasa wapo kwenye hicho kijiji na wanafanya upelelezi wa kufahamu ni wapi alipo mama yako”
“Ohooo asante Mungu, naomba unifahamishe kila kitu kinacho endelea sawa”
 
“Sawa mkuu, kila kitu nitakujulisha hata kwa meseji”
“Nashukuru”
Nikakata simu huku moyo wangu, ukiwa ametawaliwa na furaha sana.
“Kuna nini mume wangu?”
“Wanakaribia kumpata mama yangu?”
“Kweli?”
“Ndio mke wangu”
Camila akanikumbatia kwa nguvu huku naye akionekana kujawa na furaha juu ya hili swala hili.
“Nina hamu ya kumuona mama yangu mkwe”
“Mungu ni mwema atasaidia kwa kweli”
Camila akanionyesha picha za mama zilizipo kwenye simu ambazo zinamuonyesha alivyo tekwa.
                                                                                                               ***
Asubuhi na mapema tukaingia katika helicopter maalumu iliyo agizwa kuja kutuchukua hapa hotelini. Tukaelekea katika mji wa FrankFurt ambapo ndipo ilipo kambi ya kampeni ya baba Camila. Tukapokelewa na mama Camila na moja kwa moja tukaelekea katika studio kubwa za televishon ambayo ni mali ya babu Camila aliye kuwa raisi kabla ya raisi wa hivi sasa ambaye naye muda wake unakwenda kuisha.
“Mke wangu nahisi kijimoyo kina nidunda dunda?”
Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikimnong’oneza Camila sikioni mwake.
 
“Usiogope mume wangu jiamini”
“Mmmmm, unajua sijawahi kufanya vitu kama hivi na jua kila mtu ana ujuzi sehemu yake”
“Haahaa, hembu vuta pumzi kwa nguvu kisha iachie taratibu”
Nikafanya kama Camil alivyo nieelekeza.
“Unajisikiaje?”
“Kidogo nafufuu”
“Ethan kunata na Gibson, huyu ndio muongozaji wa kutengeneza tangazo hili. Gibson nina imani sina haja ya kukutambulisha huyu ni mkwe wangu”
“Usijali madam, ninamtambua sana Ethan”
“Nashukuru, sas anaomba uweze kumpatia maelezo ya jinsi gani atakavyo weza kuanza kulicheza tangazo”
“Sawa”
 
“Jikaze mume wangu”
Camila aliniambia kwa kunikongoneza. Nikamjibu kwa kutingisha kichwa, tukaingia katika moja ya chumba ambacho kina wadada dada wengi pamoja na nguo nyingi za kubadilishia. Eneo hili la ukumbi ni kubwa sana na limegawanyishwa katika vyumba vyumba kadhaa. Gibson akanipatia kitabu kidogo. Wadada wote humu ndani, dhairi wanaonekana kuna na hamu hata ya kunigusa, ila kutokana tupo kazini hakuna aliye thubutu kunisogelea.
“Maelezo kwa ufupi yaliyomo ndani ya hicho kitabu, yanaelezea jinsi unavyo takiwa kuigiza ukiwa mtaani, unakimbia na mpira miguuni. Unalikuta hili kundi la wadada, unawauliza kwamba wanajua nani ni kiongozi mzuri wa kumchagua. Wadada hawa watakuwa wanashangaa shangaa, utavua begi lako mgongoni, utatoa bando la vipeperushi na kuwakabidhi mmoja baada ya mwengine na watakuwa wanakuzunguka huku wanakushika shika mwilini mwako. Hadi hapo umenielewa Ethan?”
 
“Ndio nimekuelewa, endelea”
“Utaachana na wadada hao na utaendelea kukimbia na mpira, mbele kidogo utakutaa na Camila akiwa anahangaika kuliweka sawa sawa tambaa kubwa lenye picha ya mgombea uraisi. Utakacho fanya wewe utarudi nyuma kidogo kisha utapiga suti kali, mpira utagonga katika sehemu ya tambara hilo iliyo jikunja kisha taratibu tambara hilo litafunguka na kuonyesha picha vizuri ya mgombe uraisi, mutalitazama kisha mutasema maneo ya kumchagua mgombea uraisi, sawa”
“Sawa”
“Hapo nywele zako zitatengenezwa kidogo na utafanyiwa makeup”
“Poa poa”
“Make anzeni kumshuhulikia Ethan, ninakwenda kumuelekeza Camila. Endelea kusoma taratibu ili uweze kuelewa, sawa?”
 
“Sawa”
Wadada waanne maalumu kwa shuhuli ya kunipodoa wakaanza kazi waliyo agizwa. Nikayarudia kuyasoma maeleo hayo na nikayaelewa vizuri. Baada ya muda kadhaa wakamaliza shuhuli hiyo. Tukatoka nje ya studio hizi na kuingia mtaani na kuanza kutengeneza tangazo hilo. Nikavaa jezi zangu za michezo pamoja na kibegi kidogo kisha nikaanza kuigiza zoezi hili. Hapo awali kidogo liliniwia ugumu kuigiza, ila kadri jinsi nilivyo igiza ndivyo jinsi nilivyo jikuta nina himli tamhazo hilo. Hadi inafikama majira ya jioni tukamaliza kutengeza tangazo hili na ambalo hakika ni zuri sana.
 
“Mume wangu kuna missed call thelathini kwenye simu yako”
Camil alizungumza huku akinikabidhi simu yangu
“Zimetokea wapi?
“Sijatazama, unaweza kutazama”
Nikafungua missed call hizo na kukuta zimetoka kwa mwanasheria wa kampuni. Nikampigia, simu yake haikuita snaa ikapokelewa.
“Mkuu ulikuwa wapi?”
Mwanasheria alizungunguza huku akiwa na wasiwasi mwingi sana.
“Ohoo samahani sana mzee nilikuwa nina fanya tangazo moja hivi”
“Sawa, nina habari kutoka nchini Tanzania”
“Ehee niambie”
“Mama yako amepatika”
“Kweli?”
Niliuliza kwa shauku iliyo ambatana na furaha kubwa sana.
“Ndio amepatika, ila…….”
Mwanasheria alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge kidogo.
 
“Ila nini?”                   
Nilimuuliza mwanasheria huku furaha yangu ambayo nilikuwa nayo ikaanza kunipotea taratibu.
“Hali yake sio nzuri, katika harakati za kumkomboa kwa bahati mbaya alipunyuliwa na risasi ya kichwani mwake na kumfanya apoteze fahamu, na ninavyo zungumza hivi sasa, wapo njiana wanakuja naye nchini humu”
Nikajikuta nikinyon’gonyea na taratibu nikakaa chini na kumfanya Camila na watu wengine kunishangaa, kwa maana ni muda mchache tu wametoka kuniona nikiwa nimejawa na furaha sana

==>>ITAENDELEA KESHO

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 160 na 161 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
   
“Una niamini?”   
“Ndio ninakuamini, ndio maana sikuhitaji kukuchomesha kwa wale askari pale kwani bado sijakaa na wewe kufahamu ukweli ulio pelekea kuitwa gaidi na kuwindwa sana”
“Nashukuru, baba yako yupo wapi?”
“Baba ni waziri mkuu”
“Ananizungumziaje mimi katika hili swala”
“Baba yangu nina imani amejazwa chuki kubwa na anakuchukia sana na anatamani hata leo akukamate na kukuadhibu kwa makosa yako yote uliyo yafanya”
“Asijaribu kufanya hivyo kwani na yeye nitamua”
Gafla nikastukia Lucy akifunga breki za gari lake huku akinitazama kwa macho makali akionekana kushangaa kauli yangu niliyo itoa kwani ni kauli ambayo nina amini kwamba ni mbaya sana kwake ila ndio ukweli kutoka moyoni mwangu.
   
ENDLEA
“Dany unacho kizungumza una kimaanisha kweli au?”
“Nina kimaanisha ndio kwa maana kwani baba yako hatambu ni kitu gani kinacho endelea ndio maana ananichukia pasipo kufahamu ukweli wa mambo”
 
Nilizungumza huku nikimtazama Lucy usoni mwake.
“Nina imani kwamba hukuwepo Tanzania, umekuja kufanya nini Tanzania?”
“Siwezi kukuambia sasa hivi kilicho nilete ila utakiona kilicho nileta”
“Dany unatakiwa kuniamini?”
“Si kirahisi namna hiyo ikiwa mtu wangu amekamatwa”
“Nani aliye kamatwa?”
“Huwezi kumfahamu”
“Niambie ninaweza kukusaidia kwa maana nina fahamu mfumo mzima wa hili jeshi la Tanzania”
Nikamtazama Lucy usoni mwake huku nikiendelea kujiuliza maswali moyoni mwangu kama ninaweza kumuamini msichana huyu ambaye alisha wahi kunitamkia kwamba sina hadhi ya kuwa na mahusiano naye.
 
“Shukrani kwa msaada wako”
Nilizungumza huku nikifunga mlango wa gari na kushuka, Lucy kwa haraka na yeye akashuka kwenye gari na kuanza kunifwata ninapo elekea huku akiniita jina langu. Alipo ona sigeuki akanishika mkono.
“Dany umekuwaje jamani, kukuomba kukusaidia unahisi kwamba ninaweza kuwa msaliti kwako”
“Nitakuamini vipi ikiwa baba yako mwenyewe amejazwa chuki dhidi yangu, je wewe utakuwa fungu gani?”
“Dany hivi utambua kwamba nilijitunza miaka yote hiyo nikikusubiria wewe. Hivi unajua usichana wangu bado upo na hakuna mwanaume yoyote anaye ijua kum** yangu?”
Lucy alizungumza huku machozi yakimlenga lenga  usoni mwake. Nikabaki nikimtazama tu kwani ninamshangaa na siamini kwa hichi anacho kizungumza. 
 
“Dany natambua huniamini, kama huamini twende kwangu sasa hivi ukanivunje hii bikra, nimekuwa nimwanke wa kujipa matumaini kwamba wewe ndio mtu sahihi uliye jitolea maisha yako kwa ajili yangu na ukaungua mgongo, mikono yote kwa ajili yangu. Ni wanaume wangapi walikuwepo ile siku ila hakuna aliye thubutu hata mmoja kuja kujitolea maisha yake kwa ajili yangu eheee, kwa nini ulikuwa ni wewe?”
 
Lucy aliendelea kuzungumza kwa sauti iliyo jaa kilio ndani yake. Kusema kweli nikabaki nikiwa na kigugumizi na moyoni mwangu nilisha apia kwamba sinto mpenda mwanake yoyote na ninahitaji kuifanya kazi iliyo nilete Tanzania na hata nikiondoka Tanzania basi niondoke kabisa na maisha yangu yote yaliyo salia duniani yatamalizikia huko nitakapo elekea. Radi kali iliyo piga na kuandamana na mgurumo wake ikamfanya Lucy kunikumbatia kwa nguvu huku akilia.
 
“Dany nisamehee kwa maneno yangu ya kukukatisha tamaa kwa kipindi kile, sikuwa ninajua thamni ya mwanume, sikuwa ninajua kupenda ni nini. Nisamehee Dany wangu, leo imekuwa kama bahati kuonana na wewe tafadhali Dany”
Lucy alizungumza huku akiendelea kulia na kunikumbatia kwa nguvu. Matone ya mvua yakaanza kutumwagikia taratibu, kadri jinsi sekunde zinavyo zidi kwenda mbele ndivyo jinsi matone haya yaliyo zidi kuongezekana kulowanisha miili yetu.
‘Martin amekamatwa, atakuwa yupo wapi?’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiwa ninatazama eneo hili kwa umakini ili kuangalia kama kuna mtu yoyo anakuja katika hili eneo.
‘Siwezi kumpenda Lucy, sio mwamke anaye stahili kufa kwenye dhambi zangu’
Niliendelea kuzungumza kimoyo moyo, taribu nikamtoa Lucy mwilini mwangu.
 
“Lucy nitakuamini vipi?”
“Niamini Dany chochote utakacho niambia mimi nitafanya mume wangu”
Lucy alizungumza huku akiwa katika majonzi makibwa.
“Twende kwako”
“Kweli Dany?”
“Ndio twende”
Lucy akaniachia na kwa furaha tukaanza kurudi tulipo liacha gari. Tukingia ndani ya gari na moja kwa moja tukaelekea hadi maeneo ya Mbezi mwisho, sehemu inayo itwa Makabe. Tukaingia kwenye moja ya jumba kubwa la kifahari.
“Kuna walinzi wangapi  kwenye hii nyumba yako?”
“Wapo sita”
 
“Ni polisi au  walinzi wa kawaida?
“Ni walinzi wa kawaida wa kampuni moja inaitwa Group four”
“Ahaaa sawa”
Tukashuka kwenye gari huku nikiwa makini kuwatazama askari wawili walio simama eneo la kuingilia ndani ya hili jumba.
“Waondoe walinzi wako hapo mlangoni”
Nilizungumza huku nikirudi ndani ya gari cha kumshukuru Mungu sehemu niliyo kuwa nimesimama ina giza kidogo. Lucy akatembea hadi kwenye mlango akazungumza na walinzi wake huku akionekana kuwaelekeza. Walinzi walipo ondoka, Lucy akageuka na kunitazama, nikashuka kwenye gari na kuanza kutembea na kuingia naye ndani.
“Kuna mfanyakazi wa ndani?”
“Hapana huwa wanakija asubuhi kufanya fanya usafi”
Tukaanza kupandisha kuelekea gorofani huku Lucy akiwa amenishika mkono wangu wa kushoto. Tukaingia katika chumba chake cha kulala amacho kimepambwa na mapambo mazuri.
 
“Dany umeoa?”
Lucy alizunngumza huku akivua shati lake lililo lowanishwa na maji. Nikaitazama pete yanug kidoleni, ambayo nilivishwa na Yemi siku mbili zilizo pita.
“Mbona hujibu”
“Kwani kuna tatizo lolote katika hilo?”
“Nimekuuliza tu”
“Tutazungumza baadaye”
Lucy akanisogelea na kusimama mbele yangu.
“Dany hata kama umeoa, hata kama utakuwa na watoto ila ninakuapia kwamba nitakupenda kwa maisha yangu yote”
“Utampendaje mwanaume anaye chukiwa na watanzania wote?”
“Siamini kwa kile wanacho kizungumza na kama ungekuwa ni gaidi basi ungea watu wa kawaida, ila ni kwa nini unaua watu fulani na wenye nafasi fulani za juu”
“Umejuaje kama ninaua watu wa nafasi za juu?”
“Mbona kila siku ndivyo vyombo vya habari vinavyo tangaza. Vinasema umemuua waziri mkuu wa Somali”
 
“Waziri mkuu wa Somali!!. Nimemuua lini?”
“Wiki kama mbili zilizo pita na ipo listi kubwa tu ya watu ambao inasaidikika kwamba una waua wewe”
“Ni uongo vifo vya watu hao sijahusika kabisa”
“Mimi nina amani hilo. Pia kuna ulinzi mkali sana ambao umeimarishwa kwa ajili ya kukukamata wewe”
“Hawawezi kunikamata sasa ni lazima niweze kujua ni nani ambaye anahusika na vifo vya hao viongozi ambao unaniambia”
“Nitakusaidia”
“Sawa nitakuomba unisaidie katika kupata taarifa ya kuweza kufahamu mtu wangu amekamatwa na nani na yupo wapi”
“Sawa nitafanya mpenzi wangu, mimi kwa sasa ni mtumwa wako”
Kwa haraka haraka unaweza kufikiria kwamba anayo yazungumza Lucy ni kutokana na pombe alizo kunywa, ila kwa upande mmoja ninaamini kwa kile alicho kizungumza. Nikamshika kiuno chake na kumsogeza karibu yangu kabisa, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaanza kumsogeza mdomo wangu. Lucy akafumba macho yake huku midomo yake ikimtemeka, hapa ndipo nikagundua kwamba woga alio kuwa nao kipindi kile bado hadi leo anao.
“Unaogopa nini?”
Nilimuuliza Lucy na kumfanya ayafumbue macho yake huku akinitazama usoni mwangu.
 
“Eheee”   
“Mbona una ogopa?”
“Kusema kweli Dany sijawahi kufanya hivi”
“Kweli?”
“Ndio”
Kwa haraka nikamsogeza Lucy mdomo wake na kuanza kumnyonya kwa nguvu, jambo lililo mfanya kaunza kulegea taratibu. Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo lizidi kumuhimili Lucy na kumfanya alegee sana.  Mlio wa simu ya Lucy ukatufanya tuachiane, akazama simu yake aliyo iweka juu ya meza.
“Samahani”
Lucy alizungumza huku akiniacha moja kwa moja akaielekea ilipo meza na kiichukua simu yake, akaipokea na kuiweka sikioni mwake.
“Baba”
Lucy akanifanya nimtazame kwa macho makali.
“Nimsha rudi nyumbani baba yangu”
“Waogo bwana sina mwanaume yoyoye, baba yangu wewe mwenyewe unanijua, ni wanaume wangapi huwa nina wakataa mbele yako, sembuse leo ndio nilale na mwanaume”
 
“Hapana baba, niamini mwanao”
“Sawa baba”
“Nakupenda sana baba yangu”
“Nawe pia baba usiku mwema”
“Haya”
Lucy akakata simu na kusogelea nilipo simama, akanikumbatia kwa nguvu na kuanza kuninyonya midomo yangu.
“Baba yako anahitaji nini?”
“Alikuwa ana nihofia usalama wangu, wale askari wamempelekea umbea”
“Haito leta tatizo hii?”
“Haito weza kwa maana baba yangu ana niamini sana katika maswala ya mahusiano na yule askari aliyekuwa anazungumza zungumza alisha wahi kuleta posa kwa baba ila nikamkataa kabisa”
Nikamtazama Lucy kwa macho ya kumchunguza usoni mwake, kisha taratibu tukaendelea kunyonyana huku akilini mwangu nikiwa ninawaza ni jinsi gani ninaweza kumtumia Lucy katika kuhakikisha kwamba mipango yangu inazidi kuwa rahisi katika kuitekeleza.
 
Lucy akaanza kutoa miguno ya maumivu huku akibana bana mapaja yake.
“Na….naumia baby”
“Unaenda wapi baby”
                    
AISIIIII……….U KILL ME 161 


Baada ya dakika kama arobaini, nikamaliza mzunguko wa kwanza ulio mfanya Lucy kulia kwa machozi ya furaha huku akiongea maneno mengi ambayo hata mengine hayana faidi yoyote kwa mimi kuweza kuyasikia.

 
“Mmmmm siamini kam…..”
Lucy akajaribu kusimama ila akashindwa kabisa na kujikuta akikaa tena kitandani huku akinitazama usoni mwangu huku akionekana kujawa na wasiwasi mwingi.
“Nini?”
“Miguu inakataa kabisa kusimama”
“Ndio maana nikakuuliza”
“Hembu nisaidie”
Lucy alizungumza huku akinipa mkono wake wa kuliaa, taratibu nikamvuta na kumnyanyua. Akasimama kwa sekunde kadhaa.
“Mmmmm hapana jamani si kwa maumivu haya”
“Pole ukikaa baada ya muda utaweza kunyanyuka”
“Nilikuwa nina sikia sikia tu kwamba kuvunjwa bikra msichana lazima achechemee kumbe ni kweli?”
“Yaaa”
“Mmmmm kazi kweli kweli”
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtingisha tingisha jogoo wangu. Nikaanza kuoga huku nikifikiria jinsi ya kumpanga Lucy katika kufanikisha kazi yangu. Nilipo maliza nikatoka bafuni na kumkuta Lucy akijjitahidi kutembea kueleka kwenye kabati lake la nguo.
 
“Najikaza nitoe taulo siwezi kuaa na hii michiri ya damu”
“Sawa”
Lucy akafanikiwa kufika kabatini, akafungua na kutoa mataulo mawili, akanirushia taulo moja kunwa lililo tawaliwa na rangi nyeupe kisha na yeye akabakiwa na kitaulo kidogo cha rangi nyeupe kabisa.
“Kitambaa hichi na hilo shuka nitaviweka ukumbusho”
“Ukumbusho wa nini?”
“Wa siku niliyo tolewa bikra na mwanaume niliye msubiri kwa kipindi kirefu sana.”
“Je tusinge onana leo ungeendelea kuishi na bikra yako”
“Ndio ningeendelea kujitunza hadi kufa kwangu”
“Mmmmmm”
“Mbona unaguna sasa?”
“Hakuna kitu”
“Ngoja na mimi nioge”
Lucy alizungumza huku akianza kujikokota kuelekea bafuni. Nikamtazama umbo lake kusema kweli  ameumbika vizuri. Nikachukua rimoti iliyopo juu ya meza na kuwasha tv kubwa iliyopo humu chumbani. Kila chaneli ya Tanzania ninayo ifungua inaonyesha matangozo ya ujio wa raisi Donald Bush wa marekani huku ikiwa ndio mara yake ya kwanza kujia nchini Tanzania.
 
‘Huondoki Tanzania wewe’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiitazama video ya raisi Donald Bush akiwa amesimama kwenye ngazi za ndege yake ijulikanayo Air Force One.
“Watanzania wanamsubirije huyo raisi”
Lucy alizungumza huku akiwa amesimama kwenye mlano wa bafu lililopo hapa chumbani.
“Anafika Tanzania saa ngapi?”
“Anatarajiwa kufika saa moja usiku”
“Aahhaaa”
“Yaani ujio wa huyu raisi umemfanya baba kuwa katika heka heka hadi ninamuonea huruma”
“Heka heka za nini?”
“Kuhakikisha kwamba ulinzi unaimarishwa na hakutokea tukio lolote la ugaidi”
“Kwani kuna ukio ambalo wanataraji litokee?”
“Hof yao wote wanakuhofia wewe huo ndio ukweli na ulinzi wote anao lindwa huyu raisi pamoja na raisi K2 yote ni kwa ajili yako”
 
“Sawa, tuachane na hayo, kuna kijana wangu amekamatwa utanisaidiaje kumpata kwa maana yeye ndio kila kitu kwangu?”
“Amekamatwa lini?”
“Usiku huu wa leo”
“Ngoja nimpigie simu baba”
Lucy alizungumz ahuku akiichukua simu yake iliyopo juu ya meza. Akampigia baba yake na baada ya muda kidogo akaanza kuzungumza huku simu akiwa ameiweka loudspeker.
“Baba”
“Vipi kuna tatizo?”
“Hapana baba yangu”
“Haya mbona umepiga simu usiku huu?”
“Nasikia mumemkamata Dany?”
“Nani amekuambia?”
“Nimesikia tetesi tu”
“Haana ni mwanajeshi mmoja kutoka katika kundi la Boko Haramu alikuwa pembezoni mwa bahari huko”
 
Tukatazamana na Lucy huku macho yakiwa yamenitoka.
“Boko haramu kwa hiyo wapo Tanzania?”
“Hapana huyu yupo peke yake, ila hapa ndio anaendelea kuhojiwa katika makao makuu ya polisi huku”
“Mumemkamataje?”
“Lucy mbona una maswali mengi vipi?”
“Baba mwanao si muandishi wa habari, ninahitaji kufahamu tu kwani hujayazoea maswali yangu?”
“Ahaa. Huo uandshi wa habari wako sio kwenye maswala haya ya kiusalama wewe andaa habari za kuja kwa raisi Donald Bush basi”
“Sawa baba yangu kwa hiyo mupo makao makuu ya NSS ?”
“Ndio”
“Sawa baba yangu ninakupenda ehee?”
“Ninakupenda pia binti yangu. Hakikisha kwamba unalala muda umekwenda sasa”
“Sawa baba yangu”
Lucy akakata simu huku akishusha pumzi nyingi.
“Ninahitaji kwenda sasa hivi?”
“Wapi?”
 
“Alipo mtu wangu”
“Dany wewe mbona una hatari?”
“Hatari ni jambo la kawaida kwenye maisha yangu.”
“Sasa Dany hapo ulinzi lazima utakuwa ni mkali sana, yaani hadi baba yupo hapo ujue ulinzi ni mkali sana na huyo mtu wako anahojiwa vikali sana”
“Usijali nitakuwa salama, je una bastola yoyote”
Lucya akanitazama kwa sekunde kadhaa usoni mwangu huku akionekana kujishauri juu ya hili nililo mueleza.
“Eheee”
“Ninaomba unipatie”
Lucy akasimama na kuanza kutembea hadi kwenye droo iliyopo pembezoni mwa kitanda chake, akaifungua na kutoa bastola moja ndogo sana ambayo inaingia risasi tano.
“Hiyo ndio uliyo kuwa nayo?”
“Ndio  ina uaa hiii”
“Yaaa najua inaua ila kwenye hii kazi hainitoshelezi”
“Kwani unakwenda kuua mtu!!?”
“Ikitokea hivyo inabidi nisiwe na jinsi, ila kwa usalama zaidi  inabidi nisiende na silaha yako kwa maana wakigundua ni silaha yako imetumika basi inaweza kukuletea tabu wewe”
“Dany”
 
Lucy aliniita kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu.
“Ndio”
“Nakuomba usiue, na kama baba yangu atajiingiza katika hili nakuomba usimuue kama ulivyo niambia”
“Sawa sito fanya hivyo kwa baba yako”
Nilizungumza huku nikisimama, taratibu Lucy akanisogelea na kunikumbatia.
“Dany ninakupenda sana, natambua kwamba umekuja kwa ajili ya kazi unayo ijua wewe mwenyewe ninakuomba usipata tatizo kumbuka nimekusubiria kwa muda wote huo ili niweze kuishi nawe kwa amani na upando”
Sijui hata nimfariji vipi Lucy kwa maana moyoni mwangu hayupo kabisa.
“Usijali nitakuwa salama tu”
“Kweli Dany?”
“Ndio”
“Nakupenda sana Dany wangu”
 
Lucy akazidi kunikumbatia kwa nguvu huku akiwa amejawa na furaha. Taratibu nikamuachia, nikambusu kwenye paji la uso wake kisha nikaanza kuokota nguo zangu na kuanza kuzivaa moja baada ya nyingine.
“Baba yako amezeeka sana?”
“Hapana yupo bado kwenye ubora wake”
“Kweli?”
“Ndio anafanya mazoezi sana”
“Sawa inapendeza, je unaweza kunipatia gari lako?”
“Ngoja nikupe gari jengine ambalo silitumii mara kwa mara”
“Kama una kofia pia nisaidie”
“Tena ninazo nyingi tu humu kabatnini”
Lucy akanitolea kofia moja na kkinikabidhi, nikaivaa, nikajitazama kwenye kioo nilipo ona sura yangu sio rahisi kuweza kuonekana nikamgeukia Lucy.
“Hapo upo poa”
Lucy akajifunga matenge mawili kisha tukatoka chumbani humu na kueleka kwenye maegesho ya magari yake, akanikabidhi funguo ya gari moja aina ya Toyota Brevis.
“Kuwa makini”
“Poa nitarudi hapa”
“Saa ngapi utarudi?”
“Kabla ya saa moja asubihi”
“Sawa”
 
Lucy akanibusu mdomoni mwangu, hakuwajali walinzi wake, nikaingia ndani ya gari na kutoka katika hili eneo. Safari ya kuelekea posta ikaanza, cha kumshukuru Mungu usiku huu barabarani hakuna foleni ya magari, ikanichukua muda mchache sana kufika karibu kabisa na makao makuu ya  NSS, kitengo ambacho nilikitumikia kwa zaidi ya mikaa mitano na ninalitambua vizuri hili jengo kwani limejaa kamera nyingi za ulinzi(CCTV CAMERA).
‘Lazima niiingie humu ndani’   
Nilizungumza huku nikilitazama jengo hili lililo refu kwenda juu, kisha taratibu nikashuka kwenye gari na kuanza kutembea kwa kujiamini nikielekea katika geti la kuingia gorofa hili ambapo kuna askari wa NSS wasio pungua watano na wana bunduki za moto pamoja na mbwa wakubwa wakali wenye uwezo wa kumrarua binadamu dakika chache pale watakapo pewa amri ya kufanya hivyo.
 
 ITAENDELEA
“Haya sasa Dany amedhamiria kwenda kumuokoa Martin katika makao makuu ya NSS, kitengo alicho fanya kazi kwa miaka mingi, je ataweza kuwakabili walinzi waliopo getini na kuingia ndani au atatumia njia gani kuwapitaa askari hao.  


Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

Serikali yasisitiza kunyang’anya viwanda visivyoendelezwa

$
0
0
Serikali  imesema haitasita kuwanyanganya viwanda wawekezaji walioshindwa kuviendeleza na kugeuka magofu jambo linalorudisha nyuma juhudi za uchumi wa viwanda.

Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Stella Manyanya, alipofungua maonyesho ya wajasiriamali Kanda ya Kaskazini yaliyoandaliwa na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO).

Alisema haiwezekani wawekezaji hao kupewa viwanda halafu wanashindwa kuviendeleza na wanaacha mzigo wa madeni unaolipwa na Serikali pekee.

Alisema viwanda vingine vimejengwa kwa njia ya mikopo huku nia ya Serikali ilikuwa ni kutoa fursa ya ajira na kulipa madeni lakini imekuwa tofauti kwa sababu wawekezaji wameshindwa kuviendeleza huku wakiwa bado wameving’ang’ania.

“Safari hii hatutakuwa na majadiliano. tunawapokonya viwanda hivyo kwa aibu kama umeshindwa kuendeleza ni heri uvirudishe serikalini kimya kimya lakini ukisubiri tutakichukua kwa aibu,” alisema.

Pia alisema viwanda vingi vilichukuliwa kwa uchoyo wakati wa ubinafsishaji lakini watu hawakuwa na uwezo wa kuviendeleza.

“Ukiona ulichukuwa kiwanda kwa hila halafu huna mtaji wa kukiendeleza rejesha ili Serikali iweze kuona namna bora ya kuendesha kiwanda hicho na kusaidia Watanzania kupata ajira,” alisema.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Sido, Joyce Meru, alisema katika kutekeleza sera ya viwanda tayari wametengeneza mashine 1,808 zinazosaidia kuongeza thamani bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali.

Pia walitoa mikopo yenye masharti nafuu ya thamani ya Sh bilioni 1.7 kwa wajasiriamali zaidi ya 2,071 nchini katika kipindi cha mwaka 2017/2018.

Pia alisema kwa sasa wanahitaji wawekezaji katika sekta ya vifungashio ili kuwawezesha wajasiriamali kupata fursa ya kununua vifungashio hivyo hapa nchini badala ya kusubiri hadi kuagiza nje ya nchi.

Waziri Mkuu: Serikali Imeandaa Mpango Wa Kupunguza Ukatili

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeandaa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto kwa lengo la kupunguza kiwango cha ukatili dhidi ya wanawake na watoto katika jamii kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2022.

Amesema mpango huo ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia (2000); Mkakati wa Taifa wa Maendeleo ya Jinsia (2005); Sera ya Maendeleo ya Mtoto (2008); Sheria ya Makosa ya Kujamiiana – SOSPA (1998).

Ameyasema hayo leo (Jumapili, Novemba 25, 2018) wakati akizindua Kampeni ya siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsiakatika Uwanja vya Jamhuri jijini Dodoma. Amesema katika kukabialia na ukatili wa kijinsia Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli imekuwa ikichukua hatua mbalimbaliza kuzuia na kutokomeza ukatili.

Waziri Mkuu amesema utekelezaji wa mpango huo utachangia katika utekelezaji wa mipango na Mikataba ya Kikanda na Kimataifa kuhusu usawa wa kijinsia, uwezeshaji wanawake na wasichana pamoja na haki na ustawi wa mtoto.

Kadhalika Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kuwaagiza Wakuu wa Mikoa wote wahakikishe wanasimamia uanzishwaji wa Kamati za Ulinzi wa Wanawake na Watoto za ngazi za Mikoa, Halmashauri, Kata na Vijiji kama inavyoelekezwa katika Mwongozo wa uratibu wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto.

“Vilevile, nawaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuanzisha Programu za Kijamii za kutokomeza ukatili wa kijinsia katika Halmashauri husika zitakazozingatia hali halisi na kuzitengea bajeti programu hizo kama inavyoelekezwa kwenye Mpango Kazi wa Kitaifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto. “

Pia Waziri Mkuu amesema watu wenye ulemavu wana mahitaji maalumu na ni wahanga wa ukatili wa kijinsia ameelekeza Jeshi la Polisi kuboresha Dawati lake la jinsia ili liweze kushughulikia kikamilifu masuala ya ukatili wa kijinsia dhidi ya watu wenye ulemavu. “Hivyo, kuanzia sasa Dawati hilo liitwe Dawati la Polisi la Jinsia, Watoto na Watu wenye Ulemavu.”

Akizungumzia kuhusu maana ya ukatili wa kijinsia amesema ni hali ya kutenda vitendo viovu, vinavyodhalilisha, vinavyotesa, vinavyonyanyasa, vinavyokandamiza, visivyojali haki za kuishi kwa binadamu anaweza kuwa wa kiume au kike.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema ukatili wa kijinsia huja katika taswira nyingi. “Aidha, kwa uchache tunapozungumzia ukatili wa kijinsia tunamaanisha vitendo kama vile, vipigo, ubakaji, ukeketaji, ulawiti, matusi, lugha na vitendo vya udhalilishaji pamoja na kunyimwa fursa za kushiriki katika shughuli za kiuchumi.”

“Hivyo, ukatili wa kijinsia ni unyanyasaji wowote unaofanywa na mtu dhidi ya mtu mwingine bila kujali umri, maumbile, kabila, rangi, dini au mtazamo wa kisiasa. Unyanyasaji huu unahusisha mambo mengi kama kumpiga mwanamke au mwanamme, kumnyima mtoto elimu, kumlawiti mtoto wa kike au kiume, kumbagua mtu katika mahitaji ya msingi au kuwanyima urithi warithi wanaohusika.”

Aidha, taarifa kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Watoto (UNICEF) za mwaka 2017 zinaonesha kuwa wanawake na wasichana wapatao milioni 750 Duniani waliolewa wakiwa chini ya miaka 18. Halikadhalika, taarifa hiyo inakadiria kuwa wasichana milioni 120 (yaani mmoja kati ya wasichana 10) Duniani wamekumbana na vitendo vya kulazimishwa kufanya ngono bila ridhaa yao.

Waziri Mkuu amesema kama zilivyo nchi nyingine Duniani, Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zinakabiliwa na tatizo la ukatili wa kijinsia na kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu mwaka 2015/2016 kupitia inakadiriwa kuwa asilimia 40 ya wanawake wenye umri kati ya miaka 15 - 49 wamefanyiwa ukatili wa kupigwa au kingono katika kipindi cha maisha yao.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Polisi Yaua Majambazi Watatu Tanga

$
0
0
Polisi mkoani Tanga limewaua watu watatu wanaodaiwa kuwa majambazi .Tukio hilo limetokea leo asubuhi Jumapili Novemba 25, 2018 katika majibizano ya kurushiana risasi mtaa wa Ngwaru Kanisani kata ya Kwemkabala Muheza mjini wakitumia katika jaribio la kutaka kupora fedha

Kamanda wa polisi mkoani Tanga, Edward Bukombe amesema majambazi hao walikuwa na gari aina ya Toyota X- Trail rangi nyeusi ambapo polisi walilipiga risasi kwenye matairi na kushindwa kutembea.

Amesema majambazi hao walikuwa katika jaribio la kuvamia nyumba ya mfanyabiashara maarufu mjini Muheza, Jackon Mhufu kwa lengo la kutaka kupora fedha.

Kwa mujibu wa  mashuhuda wa tukio hilo majambazi hao walianza kurushiana risasi na askari polisi baada ya kuzidiwa walianza kukimbia huku na kule ndipo wananchi wakatoa ushirikiano na kufanikiwa kuuawa kwao.

Miili ya marehemu imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha hospitali teule ya mtakatifu Augustine Muheza kwa ajili ya taratibu nyingine ikiwemo kuwatambua majina.

Hii ni mara ya pili kwa majambazi hao kumvamia mfanyabiashara huyo kwa jaribio la kutaka kupora fedha lakini Polisi wilayani Muheza walifanikiwa kuwadhibiti.

Waziri Wa Kilimo Atangaza Kiama Kwa Wasambazaji Wa Mbegu Feki

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Morogoro
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga, 24 Novemba 2018 ametangaza kiama kwa wafanyabiashara wa mbegu nchini wanaouza Mbegu feki zilizopigwa marufuku na serikali.

Amewataka wafanyabiashara wote wa mbegu ambao wamekuwa wakifanya biashara hiyo kwa kuwauzia wakulima mbegu feki zilizopigwa marufuku na serikali kuacha haraka iwezekanavyo kwani serikali itawachukulia hatua za kisheria wale wote watakaobainika kukiuka maagizo ya serikali.

Ametoa agizo hilo akiwa ziarani Mkoani Morogoro ambapo pamoja na mambo mengine alitembelea Taasisi ya Udhibiti wa Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI), Taasisi iliyopewa jukumu na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la usajili wa wafanyabiashara wa mbegu (Seed Dealers). 

“Serikali imepokea malalamiko mengi kwa wananchi kuhusu Ubovu wa mbegu jambo ambalo limepelekea kwa kiasi kikubwa kuwa na mavuno kidogo pasina kukidhi matakwa ya wakulima wetu nchini” Alikaririwa Mhe Hasunga

Waziri huyo pia ameiagiza Taasisi ya udhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) kutimiza majukumu yao kwa kuwabaini wafanyabiashara wanaokiuka maagizo ya serikali pamoja na taratibu na sheria za nchi. 

“Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusu mbegu feki jambo hili serikali haiwezi kukubaliana nalo hivyo TOSCI wanapaswa kusimamia kwa weledi ukaguzi na usajili wa Mbegu bora, pia ni lazima kuwabaini wasambazaji feki wa mbegu ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao” Alisisitiza Mhe Hasunga

Alisema Wizara ya Kilimo imepewa jukumu mahususi la kuhakikisha sekta ya kilimo inaimarika kwa usimamizi madhubuti wa sera, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali hivyo kunapokuwa na kelele za wananchi kuhusu mbegu feki ni dhahiri kuwa Taasisi zenye jukumu hilo hazitekelezi kazi yake kwa weledi.

Mhe Hasunga alieleza kuwa serikali imejipanga kuhakikisha kuwa inaongeza thamani ya mazao yote yanayozalishwa nchini, sambamba na kutafuta masoko mazuri. 

Vilevile, ameitaja Wizara ya Kilimo kuwa ina wataalamu wengi hivyo unaandaliwa mfumo mzuri wa kuwaunganisha watalaamu hao ili kujadili kwa pamoja namna ambavyo kilimo kinaweza kubadilika kutoka kilimo cha kujikimu na kuwa kilimo cha kibiashara ili kutoa malighafi za kutosha zitakazohuisha serikali ya viwanda.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Novemba 26

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Kusinyaa Na Kudumaa Kwa Maumbile Ya Kiume

$
0
0
Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana   kitaalamu kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Na kwamba  ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.

Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.

Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika  na  ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.

Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.

Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushindwa  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.

Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  walio kuwa  nao wakati wa  kubalehe

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kama uume wako  umedumaa, sinyaa, legea, nywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo. HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 
 
Ipo dawa  ya ASILI   ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME kunako  tokana  na  ufanyaji  punyeto  wa  muda  mrefu.
 
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI YA  KUPATA  TIBA  HII : Kupata  tiba  hii  fika  ka6ika  duka  la  kuuza  dawa  za  aslili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )  na kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  au  boti  kwa  waliopo  Zanzibar.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  :    0693  005 189.

Ukichumbia, Ukioa au Kumpa Mimba Mwanafunzi Jiandae Kuzeekea Jela

$
0
0
Serikali imesema imebadili utaratibu gerezani kwa watu watakaotumikia kifungo cha miaka 30 jela kutokana na kuwapa mimba au kuoa mwanafunzi.

Utaratibu huo uliobadilishwa ni wa kuhesabu siku, ambapo sasa mfungwa wa makosa hayo atahesabiwa usiku na mchana kuwa ni siku moja badala ya usiku na mchana kuwa siku mbili ilivyo kwa wafungwa wengine.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ndiye aliyefichua suala hilo jijini hapa jana, alipozindua Kampeni ya Siku 16 Kupinga Ukatili wa Kijinsia ambayo hufanyika kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10.

Kampeni hiyo imeratibiwa na Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo.

Akizungumza na wananchi katika uzinduzi huo, Majaliwa alisema serikali imewezesha marekebisho ya Sheria ya Elimu na kulifanya kosa la kumpa mimba kuoa au kuolewa mwanafunzi kuwa kosa la jinai na pale inapothibitika, adhabu yake ni kifungo cha miaka 30, hivyo watakaokutwa na mkono wa sheria "watakiona cha mtema kuni".

“Huwa nalizungumza hili, mtu yeyote atakayekutwa na tukamkamata amempa mimba, amemuoa, amemchumbia mwanafunzi, adhabu yake ni kubwa sana na kabla hujafanya tendo hilo jiulize una miaka mingapi ili ujue utakapoadhibiwa ukajumlisha na miaka yako tuone ukienda gerezani ujue unatoka na miaka mingapi," Majaliwa alisema na kuongeza:

"Kule gerezani tumesema utaratibu wa kuhesabu mchana na usiku kuwa ni siku mbili, kwenye adhabu hii ni siku moja tu, kama ni miaka 30 basi miaka 30 kweli, sasa je, miaka 30 utarudi ukiwa hai wewe?"

Waziri Mkuu aliwataka Watanzania kuwa macho na wale wote wasiowatakia mema wanafunzi, akiagiza kuwa "mtu akikutwa amesimama kwenye kona isiyoeleweka na mwanafunzi ashughulikiwe."

“Na wale wataalamu wa kuwasalimia wanafunzi mara nne nne kwa siku, ole wako tukikukamata utakiona cha mtema kuni, kwa hiyo eneo hili tumeimarisha kumlinda mtoto wa kike na serikali ya awamu ya tano imewekeza kwa mtoto wa kike," alisema.

Alisema mpango wa kufikia asilimia 50 kwa 50 utafikiwa kama ikiwekezwa kwa mtoto wa kike na serikali imedhamiria kufikia hatua hiyo.

Majaliwa alisema ukatili wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto unarudisha nyuma juhudi za serikali za kuhakikisha kuwa mapinduzi ya viwanda na kilimo yanafikiwa.

“Hatuwezi kuwa na taifa linalozalisha na kufikia malengo ya kuwa nchi ya uchumi wa kati iwapo muda mwingi unatumika kuamua migogoro na kuhudumia waathirika wa ukatili wa kijinsia badala ya kushiriki katika shughuli za uzalishaji,” alisema.

Aliwaagiza wakuu wa mikoa kuhakikisha wanasimamia uanzishwaji wa kamati za ulinzi wa wanawake na watoto kwenye mikoa, halmashauri, kata na vijiji kama ilivyoelekezwa kwenye mwongozo wa uratibu wa mpango wa taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

“Nawaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote kuanzisha programu za kijamii za kutokomeza ukatili wa kijinsia katika halmashuari husika zitakazozingatia hali halisi na kuzitengea bajeti programu hizo," alisema.

Majaliwa pia aliwataka wadau kutumia siku hizo kuwasilisha mapendekezo kama kuna upungufu unaohitaji sheria zitungwe kuwasilisha kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa ajili ya kutunga sheria.

Waziri Mkuu pia alisema kumekuwa na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii yanayoleta madhara kwa jamii.

Aliagiza kila taasisi na kampuni ya simu kuhakikisha inawachukulia hatua kali dhidi ya watakaobainika wanatumia vibaya mitandao ambayo inarudisha nyuma jitihada za kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.

“TCRA (Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano) ambao ndiyo wanaofuatilia watumiaji wote wa mitandao, hakikisheni mnadhibiti na wale wote mnaojidanganya kuwa kuna mitandao haionyeshi, tukikukamata ndio utajua kuwa tunakuona," alisema.

Wasafi Festival Kuwasha Moto Iringa Novemba 30

$
0
0
Baada ya kuzinduliwa mkoani Mtwara hapo juzi, tamasha la Wasafi Festival  litaendelea kuwasha moto  kwenye mikoa mingine.

Kwa sasa linaelekea mikoa ya Iringa ambapo litafanyika November 30, 2018 na Morogoro itakuwa ni December 02, 2018.

Tamasha la Wasafi linachukua wasanii wote wa WCB na kushirikisha wengine kama Dully Sykes, Dudu Baya, Khadija Kopa, MoCo, Nikki Mbishi, Ibra Nation, One The Incredible, Stereo na wengineo.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959 / 0784475946

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Baada ya Korosha, Serikali sasa yaanza kununua pia mahindi

$
0
0
Baada ya Serikali kununua korosho zote kwa wakulima mikoa ya Kusini, Lindi, Mtwara na Ruvuma, imeanza kushughulikia zao la mahindi katika mikoa ya Ruvuma, Njombe, Iringa, Songwe na Mbeya.

Tanzania ni mzalishaji mkubwa wa mahindi Afrika Mashariki katika mikoa tajwa, lakini imeelezwa mahindi hayo kwa kiasi kikubwa yamekosa soko baada ya lile la ndani kujitosheleza kwa chakula.

Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, akiongea na gazeti la Serikali la Habarileo jana, alisema  serikali imeshatuma timu ya wataalamu wake mikoa hiyo ili kutathmini kiasi cha mahindi kilichopo na wakati huo huo kuna timu ya wataalamu inayoendelea kufanya tathmini ya masoko ya zao hilo kwa nchi jirani ili kusaidia upatikanaji wa masoko.

Alisema nchi zilizoonesha nia ya kutaka kununua mahindi kutoka Tanzania ni pamoja na Malawi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), lakini pia serikali inawatumia mabalozi wake walioko nchi jirani kama vile Kenya na Sudan Kusini kufuatilia kama nako wanaweza kupata soko la mahindi hayo.

“Timu tuliyounda inajumuisha wataalamu kutoka taasisi za Serikali, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) na Bodi ya Mazao Mchanganyiko; tumewapa wiki moja na nusu watueleze tuna tani ngapi za mahindi nchini,”alieleza Waziri Hasunga.

Alisema hivi sasa kuna ziada ya mazao ya chakula ya asilimia 123 na lengo la serikali ni kuliongezea thamani zao la mahindi kabla ya kuyauza nje kupata pato zuri zaidi lakini kutokana na uhaba wa viwanda au mashine ya kuliongezea thamani, kuna baadhi ya nchi yatauzwa mahindi na nyingine utauzwa unga.

Kwa upande wa Mbunge wa Tunduru Kusini mkoani Ruvuma, Daimu Mpakate, alisema kuwa ni vyema serikali ikalitumia vyema soko la mahindi Malawi kwa kuitumia Bodi ya Mazao Mchanganyiko.

Alisema Ruvuma ina zaidi ya tani milioni 1.5 za mahindi, lakini Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), uwezo wao wa kununua mahindi hayo siyo zaidi ya tani 30,000 hivyo kuhitaji kusaidiwa.

Alisema kwa kuwa NFRA wananunua mahindi kwa hifadhi ya taifa na siyo kwa ajili ya biashara kama bodi nyingine, ni vyema serikali ikaiongezea uwezo Bodi ya Mazao Mchanganyiko kununua mahindi ya wakulima na ikiwezekana wayaongezee thamani kwa kutengeneza unga na kisha kuuza nchini Malawi.

Alisema ingawa NFRA wananunua mahindi kwa Sh 500 kwa kilo, kutokana na uwezo mdogo wa kifedha , wakulima wanalazimika kuuza kwa wanunuzi binafsi kwa wastani wa Sh 200-270 kwa kilo.

Urusi yateka meli za kivita za Ukraine

$
0
0
Urusi imezishambulia na kuziteka meli tatu za kivita za Ukraine zilizokuwa baharini katika rasi ya Crimea katika kisa ambacho kimezidisha uhasama baina ya mataifa hayo mawili.

Meli mbili ndogo za kivita, pamoja na meli moja ya kusindikiza meli ndizo zilizotekwa na wanajeshi wa Urusi. Wahudumu kadha wa meli za Ukraine wamejeruhiwa.

Leo Jumatatu, wabunge wa Ukraine wanatarajiwa kupiga kura kuidhinisha kuanza kutekelezwa kwa sheria za kijeshi.

Mzozo wa sasa ulianza pale Urusi ilipoituhumu Ukraine kwa kuingiza meli katika maeneo yake ya bahari kinyume cha sheria.

Urusi kisha iliweka meli kubwa ya kusafirisha mizigo na kuziba daraja la kuingia kwenye mlango wa bahari wa Kerch, njia pekee ya kuingia kwenye Bahari ya Azov na ambayo hutumiwa na mataifa yote mawili.
 
Wakati wa mkutano wa Baraza Kuu la Usalama na Ulinzi la Ukraine, Rais Petro Poroshenko alieleza vitendo vya Urusi kuwa "uchokozi usio na sababu na za kiwendawazimu."

Urusi imeomba kuandaliwe mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, mkutano ambao balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Nikki Haley amesema umepangiwa kufanyika saa tano asubuhi saa za New York (16:00 GMT) leo Jumatatu.

Uhasama umekuwa ukiongezeka katika Bahari Nyeusi na Bahari ya Azov katika rasi ya Crimea, eneo lililotekwa na Urusi mwaka 2014 kutoka kwa Ukraine.
 
Asubuhi, meli za kivita za Berdyansk na Nikopol, pamoja na meli ya kuzisindikiza Yana Kapa, zilijaribu kusafiri mji wa bandarini kwenye Bahari Nyeusi wa Odessa kuelekea Mariupol katika Bahari ya Azov.

Ukraine inasema Urusi ilijaribu kuzizuia meli hizo zisiendelee na safari yake, ambapo meli moja iliigonga meli ya Yana Kapa.

Meli hizo ziliendelea na safari kuelekea mlango wa bahari wa Kerch, lakini zikapata njia imezibwa na meli moja kubwa.

Urusi wakati huo ilikuwa imetuma ndege mbili za kivita na helikopta mbili ambazo zilikuwa zikipaa angani katika eneo hilo na kufuatilia mwenendo wa meli hizo.

Credit: BBC

Video Mpya: Roberto ft. General Ozzy – African Woman

$
0
0
Msanii wa muziki kutokea nchini Zambia, Roberto kwa kushirikiana na General Ozzy wanakukaribisha kutazama video yao mpya inayokwenda kwa jina la  African Woman. 

Waziri Lugola: Polisi Ipo Imara Kupambana Na Uhalifu Wa Aina Yoyote Nchini

$
0
0
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amesema Jeshi la Polisi lipo imara kupambana na uhalifu wa aina yoyote utakaojitokeza nchini hivyo wahalifu wasithubutu kulichezea, wala ‘kulibipu’.

Lugola pia amewataka wananchi kuendelea kuwapa taarifa za uhalifu Polisi ili ziweze kufanyiwa kazi haraka kwa kuwa Serikali ya Rais Dk. John Magufuli si ya kuchezewa na imejipanga kikamilifu kwa kuwalinda wananchi wake.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Ragati, Kata ya Kasuguti, Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, Mkoani Mara, Lugola alisema Jeshi la Polisi lipo imara na litaendelea kuwalinda wananchi pamoja na mali zao, ila Polisi ili waweze kufanya kazi zao kwa umakini zaidi, wananchi wanapaswa kuwasaidia katika kufichua uhalifu katika maeneo yao wanayoishi.

Lugola aliyazungumza hayo baada ya wananchi wa Kijiji hicho kumlalamikia kuwa kuna kundi la vijana ambalo linaongozwa mwananchi mmoja kijijini hapo wanahatarisha amani na kuwafanya kuishi kwa wasiwasi na kushindwa kufanya shughuli zao za maendeleo.

“Polisi wapo kwa ajili yenu hivyo kuweni huru muda wowote kutoa taarifa za kiuhalifu katika maeneo yenu, hivyo kutokana na viashiria hivyo vya uvunjifu wa amani katika Kata hii namuagiza mkuu wa polisi wilaya (OCD) kuwasaka, kuwakamata wale wote ambao wanahatarisha amani katika Kata hii ya Kasuguti,” alisema Lugola. Lugola aliongeza kuwa, yeye ni Mbunge wa Jimbo hilo na pia ni Waziri ambaye anasimamia usalama wa wananchi na mali zao, hivyo hatakubali wananchi waishi kwa wasiwasi katika maeneo yao na nchi kwa ujumla, na pia Serikali ya Magufuli haichezewi, haijaribiwi na wala haibipiwi na mtu yeyote.

Amesema licha ya polisi usiku na mchana wanalinda wananchi na mali zao lakini pia wananchi ni wadau wakubwa kwasababu wana mengi wanayaona mitaani kwao hivyo kwa baadhi ya wale wenye tabia ya kuficha matukio ya uhalifu ni hatari kwa usalama wao. Aidha, Lugola aliwataka wananchi wa Kata hiyo waendelee kufanya shughuli za kimaendeleo katika vijiji vyao na pia waanze maandalizi ya kilimo, naye atahakikisha anatoa misaada mbalimbali ikiwemo mbegu ili wananchi hao waweze kupata mazao yaliyo bora kwa hapo baadaye.

Lugola pia alijibu maswali mbalimbali ya wananchi hao, yakiwemo kuhusu maendeleo ya Jimbo lao na pia kuhusu Jeshi la Polisi pamoja na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kuhusu kuwapa vitambulisho. Hata hivyo, kwa upande wa wananchi kupata vitambulisho vya taifa, Lugola aliendelea kusisitiza kuwa, Vitambulisho hivyo vitatolewa kwa watanzania wenye sifa na haki yao kupata lakini ili waweze kupata vitambulisho hivyo lazima wapitie katika mchujo ili kuepusha kutoa kwa wasio raia.

Amesema mchujo huo unaofanywa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) upo makini ili kuhakikisha hakuna makosa yatakayofanywa wakati wa utoaji wa vitambulisho, hivyo wananchi wawe na uvumilivu wakati mchujo huo ukiendelea. Lugola anaendelea na ziara jimboni kwake akisikiliza kero za wananchi pamoja na kuhamasisha kilimo cha mazao ya pamba, mahindi, mpunga, viazi na mengineyo ambayo wakazi wa jimbo lake wanalima mazao hayo kwa wingi.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola (kulia), akimsindikiza kumpeleka ndani ya gari Mkazi wa Kitongoji cha Songambele, Kata ya Kasuguti, Jimbo la Mwibara mwenye umri wa miaka 100, Mzee Mtatiro Silla, mara baada ya Waziri huyo kumaliza mkutano wake wa hadhara akizungumza na wananchi wa Kata hiyo, Wilaya ya Bunda, Mkoani Mara, leo.

 Lugola aliwataka wananchi jimboni kwake watoe polisi taarifa za uhalifu nchini na pia Serikali ya Awamu ya tano ipo imara haichezewi na mtu yeyote. Pia Lugola aliwataka wananchi jimboni kwake waanze maandalizi ya kilimo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Zitto Kabwe Mahakamani Tena Leo

$
0
0
Kesi ya jinai namba 367 ya mwaka 2018 inayomkabili Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe itaendelea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Zitto ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini, anakabiliwa na mashtaka matatu likiwamo la uchochezi na kutoa taarifa za uongo kuhusu mauaji ya baadhi ya askari polisi na wananchi katika Kijiji cha Mpeta, wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu alisema wananchi wafuatilie habari hiyo kupitia vyombo vya habari na waliopo katika jiji la Dar es Salaam wafike mahakamani.

“Tunapenda kuwataarifu wananchi na wanachama wetu kuwa kesi inayomkabili Zitto itaendelea kesho hivyo tunawaomba tukutane Kisutu,” alisema Shaibu.

Alisema wanawashukuru wote waliosaidia kutoa shinikizo lililosaidia kumwachia huru ama kumpeleka mahakamani.

“Tunaamini kuwa shinikizo hilo ndilo lililosababisha Jeshi la Polisi kumpeleka kiongozi wetu mahakamani na kupata dhamana,” alisema Shaibu.

Shaibu alisema kitendo cha viongozi wa vyama vya siasa kuwa na kesi mahakamani kimeunganisha vyama vyote vya upinzani na kuondosha tofauti zao.

“Hizi kesi kadri zinavyoendelea zinatuleta pamoja tunatoa salamu za kimshikamano kwa wenzetu tuko pamoja nao katika kesi zao  CUF  na Chadema,” alisema Shaibu.

Akizungumzia suala la uvuvi Shaibu aliitaka Serikali kuwashirikisha wavuvi kwenye utungaji wa sheria, kanuni na makato pia kwenye programu zake hasa zinazowagusa wavuvi moja kwa moja ili kujua mahitaji yao.

Alisema Serikali ihakikishe inapofanya operesheni kukabiliana na uvuvi haramu wasiteketeze zana zingine ambazo si haramu kama vile mitumbwi ya wavuvi.

“Tunawaomba wavuvi watoe ushirikiano kwa serikali katika kuwabaini wanaojihusisha na uvuvi  haramu  kwakuwa maziwa na bahari vikibaki bila samaki hata wavuvi hawatakuwapo,” alisema Shaibu.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images