Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri wa Elimu: Bodi ya mikopo haitatoa hata senti kwa wadanganyifu

$
0
0
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amesema Bodi ya mikopo ya Elimu ya Juu haitaruhusu kwa mwanafunzi yoyote kupata mkopo kwa njia ya udanganyifu na kuwafanya wengine kukosa fursa hiyo.

Prof. Ndalichako ameyasema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo Waziri wa Elimu na mafunzo ya amali Zanzibar, Riziki Pembe Juma mjini Unguja.

"Na wengine ambao wanachukua mkopo hata kimsingi ni ile ubinafsi lakini hawakuwa na uhitaji hizo fedha wangewaachia watoto ambao hawana uwezo kiukweli kweli, kuna watu wengine mpaka wanadanganya  wengine walikuwa wanajipa hata uyatima mpaka siku hizi inabidi tuwe tunafuatilia vyeti mtu akisema Yatima tujiridhishe.

"Lakini watu walikuwa wanafika mahali wanadanganya ili wapate mikopo kwahiyo mimi niombe tu tuwe na uzalendo, tuangalie mikopo tumeweka kwa walio na uhitaji kwahiyo wewe kama huna uhitaji sio lazima wala huna sababu ya kwenda kuchukua tuachie watoto ambao bila huo mkopo hawawezi kusoma kabisa." alisema Ndalichako.

==>>Msikilize hapo chini

Jeshi la polisi lakamata shehena ya silaha na milipuko

$
0
0
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna Liberatus Sabas, akitoa taarifa ya mafanikio ya operesheni ya kupambana na uhalifu nchini kwa kishirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama

*****
Jeshi la Polisi Tanzania kwa kushirikiana na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama limeendelea na Operesheni ya kukabiliana na uhalifu katika Mikoa ya Kusini, ambayo ni Mtwara, Lindi pamoja na Ruvuma.

Katika Operesheni hiyo iliyofanyika kuanzia mwezi Octoba mwaka huu mpaka Novemba mwaka huu Jeshi la Polisi limeweza kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa 24 katika matukio mbalimbali ya Ujambazi, Ujangili na wengine wakiwa wanakimbilia Nchini Msumbiji kwenda kujiunga na vikundi vya Kigaidi.

Watuhumiwa hao waliokamatwa katika Operesheni hiyo walikutwa wakiwa na silaha mbalimbali ambazo ni AK 47 (2) na Magazine zake (4) pamoja na risasi zake (31). Silaha nyigine ni G3 na magazine yake moja ikiwa tupu bila risasi, Pamoja risasi 12 za shot gun, risasi tatu (3) za pistol, bomu moja (1) la kurushwa kwa mkono (Hand Grenade – Defensive) pamoja na mbolea aina Ammonium Nitrate kilo 50 na Potassium Nitrate kilo 25 zinazotumika kutengenezea milipuko mbalimbali.

Jeshi la Polisi limewataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano ili kukabiliana na wahalifu nchini

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

$
0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar

Video Mpya : Bonge Lanyau Ft. Khadija Kopa - Nipe Matamu

$
0
0
Video mpya | Bonge Lanyau Ft. Khadija Kopa - Nipe Matamu

Video Mpya: Kellah - Mlevi

$
0
0
Video Mpya ya  Kellah - Mlevi . Itazame hapa

Korosho za Pwani Kuanza kununuliwa wiki ijayo

$
0
0
Mkuu  wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo, ametoa siku nne kwa vyama vya ushirika vilivyopo mkoani humu kuhakikisha wanaziondoa korosho katika maghala yao na kuzipeleka katika maghala makuu matatu yaliyoelekezwa na Serikali likiwamo la Kibiti, Mkuranga na Tanita kabla hazijaanza kununuliwa wiki ijayo.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana alipozungumza na viongozi wa idara za mkoa na wilaya baada ya kutembelea ghala la kuhifadhi korosho na kiwanda cha kubangulia zao hilo kilichopo eneo la Tanita, Halmashauri ya Mji wa Kibaha.

Alisema hatua hiyo ni mchakato wa Serikali kuanza kununua korosho kwa njia rahisi na salama ili kuhakikisha wakulima wanapata stahiki yao kama ambavyo Rais Dk. John Magufuli ameagiza.

Alisema Pwani ina vyama vya ushirika zaidi ya 80 na hadi sasa wamehifadhi korosho hizo katika maghala yao hivyo huu ni wakati mwafaka wa kuhakikisha zinahamishiwa katika maghala makuu ya Serikali ili ununuzi ufanyike mara moja.

“Wenzetu Mtwara, Lindi na Ruvuma tayari wanaendelea kuuza korosho kama ambavyo mnasikia, lakini kwa upande wa Pwani tunaanza kununua korosho wiki ijayo kwa hiyo ili kuleta urahisi lazima korosho hizo zipelekwe katika maghala makuu matatu yaliyopangwa na Serikali,” alisema.

Ndikilo alisema Ghala la Tanita lina uwezo wa kuhifadhi tani 2,000, Kibiti tani 5,500 na Mkuranga tani 10,000.

Alisema baada ya korosho hizo kukusanywa katika maghala hayo, wataalamu watazipima kulingana na mwongozo wa Serikali na kisha mkulima kulipwa fedha zake bila usumbufu na baadaye magari ya jeshi yatakuja kuzisomba kama inavyofanyika Mtwara.

Alivitaka vyama hivyo kuendesha mchakato huo kwa haraka ili kuhakikisha wakulima wanafaidika kwa kuuza korosho zao kwa wakati kwa kuwa kuchelewesha kutachelewesha wakulima kulipwa.

Breaking News: Tamasha la Tigo Fiesta Lililokuwa Lifanyike Leo Dar Limesitishwa

$
0
0
Kamati ya maandalizi ya tamasha la Fiesta imesema tamasha hilo halitafanyika leo Jumamosi Novemba 24, 2018 kama ilivyopangwa, kwamba wananchi waliolipa viingilio watarejeshewa fedha zao.

Kamati hiyo imeeleza hayo  leo ikiwa ni saa chache baada ya manispaa ya Kinondoni kuzuia tamasha hilo kufanyika katika viwanja vya Leaders Club.

Kupitia barua inayosambaa katika mitandao ya kijamii manispaa hiyo imesema kuwa tamasha hilo limehamishiwa katika viwanja vya Tanganyika Peakers, badala ya Leaders Club.

Sebastian Maganga, mwenyekiti wa kamati ya Fiesta ametoa tamko la kusitishwa kwa tamasha hilo leo, akieleza kuwa waliolipa kiingilio watarejeshewa fedha zao.

“Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kusitisha tukio la kilele cha msimu wa Tigo Fiesta 2018 lililopaswa kufanyika leo Novemba 24, 2018 katika viwanja vya Leaders Kinondoni Dar es Salaam. Sababu za kusitishwa kwa tamasha hili zipo nje ya uwezo wetu,” anaeleza Maganga.

“Tunaomba radhi kwa madhara yoyote yatakayojitokeza.  Tunatambua  kwamba wapenzi wa Tigo Fiesta Dar es Salaam na nje ya Dar es Salaam walishajiandaa vyema na tukio hili na zaidi ya yote wapo ambao walishanunua tiketi.”

Amesema walionunua tiketi kupitia Tigo Pesa, fedha zao zitarejeshwa moja kwa moja kwenye simu zao kupitia mtandao huo.

Amewataka walionunua kwenye vituo vya mauzo kufika kwenye vituo walivyonunulia wakiwa na tiketi zao kwa ajili ya kurudishiwa fedha.

Barua hiyo iliyoandikwa na ofisa utamaduni Manispaa hiyo jana Ijumaa Novemba 23, 2018 kwenda kwa waandaaji wa tamasha hilo, Clouds Media Group, ina kichwa cha habari kinachosema, kusitisha kibali cha kufanya Fiesta Leaders Club.

“Ofisi imepokea malalamiko ya wananchi na wagonjwa waliolazwa hospitalini kutokana na matangazo yaliyoambatana na muziki unaopigwa kwa sauti kubwa kutoka uwanja wa Leaders Club jambo ambalo linahatarisha afya za wagonjwa wakiwemo wa moyo,” inaeleza sehemu ya barua hiyo.

“Hivyo kwa barua hii nafuta kibali kilichotolewa Novemba 22, 2018 cha kufanya Fiesta uwanja wa Leaders na kuihamishia uwanja wa Tanganyika Peakers, Kawe.”

Waziri Lukuvi Awasimamisha Kazi Maafisa Ardhi Watatu Wa Jiji La Arusha

$
0
0
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewasimamisha kazi watumishi watatu wa sekta ya ardhi katika halmashauri ya Jiji la Arusha  kwa tuhuma  ya kushirikiana na matapeli wa viwanja katika jiji hilo.
 
Aidha, Lukuvi ameagiza maofisa hao waliosimamishwa kazi kutokanyaga katika eneo la ofisi za Jiji mpaka hapo uchunguzi utakapofanyika na maamuzi dhidi ya tuhuma zao yatakapotolewa.
 
Lukuvi alichukua uamuzi huo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Jiji la Arusha jana kufuatia kuwepo tuhuma nyingi  za matapeli ya viwanja kushirikiana na baadhi ya maofisa wa ardhi wasiokuwa waaminifu kufanya utapeli kwa wamiliki halali wa viwanja.
 
Maafisa  ardhi waliosimamishwa kwa tuhuma hizo za kushirikiana na matapeli kudhulumu viwanja kwa wamiliki halali katika jiji la Arusha ni Elizabeth Mollel, Lassen Mjema na Zawadi Mtafikikolo.
 
Mbali na kusimamishwa kazi kwa watumishi, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliagiza maafisa Ardhi wa Jiji la Arusha kuhakikisha matapeli wote wa viwanja wanaoshirikiana na watumishi hao wasipatiwe huduma katika masuala yoyote ya ardhi kufuatia  kuonekana kujihusisha na mipango ya utapeli wa viwanja kwa kushirikiana na baadhi ya watumishi wa sekta ya ardhi katika  jiji la Arusha.
 
Katika ziara yake hiyo ya kushtukiza pamoja na kuelezwa na Afisa Ardhi Mteule wa Jiji la Arusha Dicley Nyato uwepo wa watumishi wawili Lassen na Zawadi huku Elizabeth akiwa katika likizo ya uzazi, watumishi hao walipotea ghafla ofisini bila taarifa mara baada ya kuelezwa wanahitajika kwa waziri na hata pale walipopigiwa simu za mkononi  hazikupatikana.
 
Kwa mujibu wa Lukuvi, watumishi hao wa sekta ya ardhi katika jiji la Arusha wamekuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na matapeli wa viwanja katika jiji hilo jambo linalotia mashaka utendaji wao wa kazi na kubainisha kuwa  maafisa hao wamekuwa na tabia ya kufuatilia kesi zilizopo katika Mabaraza ya Ardhi kwa nia ya kuwasaidia  matapeli.
 
Kufuatia kadhia hiyo, Lukuvi ameagiza kuanzia sasa hati zote za wito wa Mahakama nchini kusainiwa na Afisa Ardhi Mteule au Msajili wa Hati ama Kamishna Msaidizi wa Ardhi wa Kanda na Mwanasheria wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi lazima afahamishwe uwepo wa kesi husika.
 
“Kuanzia sasa summons zote zipokelewe na Maafisa Ardhi Wateule, Makamishna au Wasajili wa Hati wa Kanda na watumishi wengine wasipokee wala kujihusisha” alisema Lukuvi
 
Lukuvi alisema matapeli wa viwanja wamekuwa wakifungua kesi  katika Mabaraza ya Ardhi dhidi ya wamiliki halali na wakati mwingine matapeli hao hawawafahamu hata wamiliki  lengo lao likiwa kuwakatisha tamaa pale kesi inapochukua muda mrefu hasa ikizingatiwa baadhi ya wamiliki hawana uwezo wa kuweka mawakili na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa wa kupoteza haki zao.
 
Alisema, tabia hiyo haiwezi kuvumiliwa na kusisitiza kuwa mtandao wote wa matapeli wa viwanja katika jiji la Arusha ataukomesha kama alivyofanya katika jiji la Dar es Salaam ambalo huko nyuma lilishamiri sana kwa tabia hiyo ili kusaidia haki za wanyonge.
 
Kwa upande wake Afisa Ardhi Mteule wa Jiji la Arusha Dicley Nyato alimueleza waziri Lukuvi kuwa wamekuwa wakisumbuliwa sana na matapeli wa viwanja katika jiji hilo na wakati mwingine matapeli hao huwashitaki lengo likiwa kujipatia viwanja kwa njia ya udanganyifu na kuviuza.
 
Lukuvi alifanya ziara hiyo ya kushtukiza katika ofisi za jiji Arusha akitokea wilayani Babati mkoa wa Manyara ambako huko aliweza kutoa faraja iliyopotea kwa muda mrefu kwa wananchi wa vijiji vya Singu na Endasago  kwa kuamuru kubaki katika maeneo yao kufuatia mgogoro wa muda mrefu wa takriban miaka hamsini kati ya wana kijiji na wamiliki wa mashamba ambao ni kampuni za Agric Tanzania Ltd na  Endasago Co Ltd.

OFA: Jipatie Riwaya Kali za Kusisimua kwa Punguzo la Bei

$
0
0
GOOD NEWS KWA WASOMAJI WANGU OFA HII NI KWA AJILI YENU.

TANGA RAHA SEASON TWO na SIN zipo katika ofa kabambe. Ukinunue episode hizi kwa kila hadithi basi utapata bonus hii.

1. Episode's 6+4=10 ni sh 1500/=
2. Episode's 12+12=24 ni sh 3000/=
3. Episode's 20+20=40 ni sh 5000/=
4. Episode's 40+40=80 ni sh 10,000/=

OFA YA VITABU KATIKA MFUMO WA PDF
1.Sex dealers sh 2500/=
2.Hard day sh 3000/=
3.She is my wife(Sorry madame season one B) sh 4000/=
4.Sorry madame season one sh 5000/=
5.Sorry madame season two sh 6000/=
6.President wife's sh 8000/=
7.Am not a doctor sh 7000/=
8.My mom's friend sh 5000/=
9.My life sh 10000/=
10.Aiissi u kill me legacy sh 10000/=
11.Tanga raha season one sh 5000/=

Ofa hii utatumiwa Facebook inbox, email na WhatsApp inbox. Wasiliana nami 0657072588 (WhatsApp na simu ya kawaida) 0768516188 au 0742334453.
 
Malipo ni kupitia MPESA 0768516188 JOYCE MBWAMBO au TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA.
 
Naomba usomapo au unapo ona Tangazo hili nisaidie ku share kwa wengine.
Asante na karibu sana.
By Eddy Eddazaria G Msulwa

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
NATURAL BEAUTY PROD. Tumeshusha bei za bidhaa zetu ili kila mmoja aweze kupata bidhaa hizi na azifurahie wahi sasa kwani ofa hii ni ya muda mfupi tu.                             

Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe.

1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 ilikua inapatikana kwa @170,000/= sasa ni @150,000/= tu

2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa ilikua ni  @160,000/=. Sasa ni 140,000/= tu

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo wewe pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kilikua kinapatikana kwa @230,000/=. Sasa ni 200,000/= tu

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 170,000/= tu

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 ilikua inapatikana kwa @190,000/=. Bei ya sasa ni 170,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri ilikua inapatikana kwa @150,000/=. Sasa ni 130,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo ilikua inapatikana kwa @200,000/=.  Sasa ni 180,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft ilikua inapatikana kwa @150,000/=   Sasa ni @140,000/= tu N.K  Wasiliana nasi kwa simu

NO:. +255 759029968 

                      AU

           +255 659618585


Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.

   
                WELCOME ALL

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Rudisha Heshima ya Ndoa Yako.....Pata Tiba Bora ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Wanaume wengi hawawaridhishi wake au wapenzi wao kwa kutokuwa na nguvu za kiume au uume mdogo? 

Kawaida mwanamke huwa anachukua dakika saba 7 adi kumi 10 ili aweze kufika kileleni na wakati wanaume wengi kwa sasa hutumia dakika tatu 3 hadi tano 5 ameshafika kileleni , hapo utagundua kabisa mke au mpenzi wako hujamtendea haki yake. Dr Nyalobi  anakuletea dawa imara na yenye nguvu tatu?

Simpo power; Hutibu matatizo yafatayo;

1.itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15-20 kwa tendo la kwanza

 2. itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi mara nne 

3 Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa 

4 Hutoa uchovu pale umalizapo kufanya tendo

 Je kwa nini uzidi kuona aibu pale ukutanapo na mpenzi wako kwa sabubu uume wako mdogo na mwembamba? 

Promix; hii ni dawa ya kuongeza uume saizi upendayo.Dawa zetu ni za mitishamba na hazina madhara yoyote na ni tofauti na ulizowai kutumia ata wazee hutumia 

Mkuya; hii ni dawa ya kisukari dozi siku 21 

Mwaru; hii ni dawa ya uzazi hufungua mirija ya uzazi ata kama uzazi umefungwa

Markusi; ni dawa ya presha zipo dwa za korodani kuvimba,, vindonda vya tumbo, kupunguza kitambi, na minyama uzembe 

Fika ofisini kwetu Buguruni Malapa na Mwanza yupo wakala wetu au piga simu 0752348593 -Dokta Nyalobi

Hapana Kuteseka Tena ....... Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Kurudisha Mali Zako Pamoja Na Magonjwa Sugu Yaliyoshindikana

$
0
0
Ninauwezo wa kumrudisha mume, mke, mchumba, hawara au unaempenda kwa mda mfupi sana na kumfunga asiwe na mtu mwingine zaidi yako na kumfanya akutimizie kirakitu unachokihitaji kutoka kwake hata km yuko mbali na atatulia kabisa.

GALIMBO 3 POWER; nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa utabibu na uimara wa hali ya juu sana kwa afya ya binadam, Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-85) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimarisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bira ham kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwamda wa dk (18- 35 ) kwa tendo moja.

SUNU EXTRA :- hurefusha na kunenepesha maumbire madogo ya uume uliosinyaa inch (6-7) no unene wa sm (3-4) .  
Yote hayo yanasababishwa na ngili busha, kisukali ,kaswende, punyeto, presha,  korodani moja kuvimba ama kuingia ndani, tumbo kuunguluma na kujaa ges,  vidonda vya tumbo nk .

SUPER MORISISI :- nidawa bora inayoponesha tatizo la kisukali na kuifanya afya yako iwe imara hatakama sukaliyako imekusumbua kwa mda mrefu inatibika

Pia ninadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyama uzembe ) matiti makubwa kuwa madogo, makovu mwilini, kuzuia mimba kuhalibika, uzazi kwa akina mama na akina baba, kusafisha nyota, kuzuia majini wachafu, pesa nyingi (utajili)  kurudisha mali iliyo potea au kuibiwa, kuuzavitu bila kununuliwa, vilevile ninadawa za biashara kwa wafanya biashara, wachimba madini, kushinda kesi, kurudishwa kazini, kupandishwa cheo nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR MALUPA SM.     0653182109    /0744391089 

Kwawale walioko mikoani hudumahii inakufikia popote ulipo

Mkutano wa Mchungaji Msingwa Wapigwa Marufuku na Polisi

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Iringa kimesema mbunge wa chama hicho Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amezuiwa na polisi kufanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Iringa, Jackson Mnyawami amesema mkutano huo ulikuwa ufanyike leo, kwamba wamepokea barua ya polisi ikiwataka wasiendelee na mkutano huo.

Barua ya Novemba 21, 2018 iliyotolewa na mkuu wa polisi Wilaya ya Iringa kwenda kwa mbunge huyo inaeleza kuwa mkutano huo umezuiwa kutokana na taarifa za kiintelejensia.

“Polisi Iringa tunazo taarifa kuna kikundi cha watu wanaojiandaa kufanya fujo katika mkutano huo. Hali hiyo inaweza kuleta uvunjifu mkubwa wa amani,” inaeleza sehemu ya barua hiyo.

“Hakuna askari wa kutosha kwa ajili ya kusimamia mkutano huo kwani nguvu kazi kubwa imeelekezwa katika shughuli  maalum za kitaifa ya usimamizi wa mitihani ya kidato cha nne, cha pili na darasa la nne.”

Mnyawani amesema wameipokea barua hiyo ya polisi ikiwa na sababu mbalimbali.

“Sababu tulizoelezwa ni za kiintelejensia kwamba kuna watu watafanya vurugu lakini pia wamesema kuwa kuna shughuli za kitaifa, ikiwa ni pamoja na mitihani inayoendelea kufanywa na wanafunzi wa kidato cha nne,” amesema.

Daktari FEKI Atiwa Mbaroni Dodoma

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hassan Abdallah Athuman, umri miaka 38 kwa tuhuma za kujifanya Daktari wa magonjwa ya binadamu bila kuwa na vibali maalum.

Kamanda wa Polisi mkoani humo Gilles Muroto amezungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake leo November 24, 2018.

RPC Muroto  amesema; “Huyu tumemkamata eneo la Kijiji cha Mwakisabe alikuwa akitoa Taaluma ya Utabibu bila ya kusomea ni Daktari feki, huyu aliwahi kukamatwa huko nyuma kwa kosa kama hili, alitorka Mahakamani”

Msemaji Mkuu wa Serikali: Miaka 3 ya JPM Imechagiza Mageuzi Katika Sekta ya Anga

$
0
0
Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt. John Magufuli ndani ya miaka mitatu imeweza kuleta ukombozi katika sekta ya anga kwa lengo la kuchagiza mageuzi katika sekta hiyo.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi wakati wa kipindi cha Morning Talk cha redio Ebony Fm Mjini Iringa.

Dkt. Abbasi amesema kuwa Rais Dkt. Magufuli amekuwa akitekeleza yale yote aliyoyaahidi ambapo mpaka sasa anaendelea kutekeleza aliyoyaahidi katika sekta ya anga.

"Mpaka sasa nchi yetu inandege tatu aina ya Bombadia na Dreamliner moja na pia mwezi Desemba tunaleta AIRBUS mbili ili kuendeleza na kuchagiza mageuzi katika sekta ya Anga" amefafanua Dkt. Abbasi.

Aidha, Dkt. Abbasi anaongeza kuwa "Leo hii Shirika letu la ndege limeongeza idadi ya abiria wanaotumia usafiri huo kwa mwezi kutoka 4000 hadi kufikia 36000".

Akizungumzia kuhusu Ujenzi wa Reli ya Kisasa unaoendelea, Dkt Abbasi amesema kuwa, kufikia mwaka 2019 Desemba kipande cha reli cha kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro kitakuwa kimekamilika na treni ya kwanza ya umeme itatoka Dar es Salaam kwenda Morogoro.

Vile vile Dkt. Abbasi amebainisha kuwa Serikali imeanzisha mfumo wa kuleta mbolea na baadhi ya pembejeo kwa pamoja ili kuweza kusaidia kupunguza gharama na kusaidia maendeleo katika sekta ya kilimo.

"Wakulima waendelee kufanya kazi katika maeneo yako kwani Serikali inafanyia kazi changamoto zote ikiwamo ya masoko kwa lengo la kusaidia maendeleo katika sekta hiyo muhimu kwa Watanzania" ameongeza Dkt. Abbasi.

Mbali na hayo Dkt. Abbasi amesema kuwa kwa sasa Serikali ipo katika hatua kubwa ya kujenga nchi kwa kusimamia utekelezaji wa miradi mbali mbali mikubwa ya maendeleo ikiwemo Mradi wa Kamuzalisha Umeme wa Stieglers.

Mageuzi Ya Kilimo Yanahitaji Ushirikiano Wa Wadau Wote-mhe Hasunga

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Morogoro
Mageuzi ya kilimo nchini Tanzania yanapaswa kutiliwa mkazo na wadau wote wa sekta ya kilimo wakiwemo wananchi, wadau wa maendeleo na serikali kwa ujumla.

Waziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) ameyasema hayo tarehe 23 Novemba 2018 wakati akizundua Kongani ya tatu ya Centre Limited (SCL) Sagcot-Kilombelo katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Flomi mjini Morogoro.

Mhe Hasunga alisema kuwa Sekta ya kilimo imeendelea kuwa uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania kwani imekuwa ikichangia kwa Kiasi kikubwa katika kutoa ajira, kuchangia karibu nusu ya mauzo yote ya nje na hivyo kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kuleta fedha za kigeni.

Alisema kuwa Serikali imeendelea kuweka juhudi zake katika kuwezesha sekta ya kilimo kwa kufanya mabadiliko mbalimbali ya kisera yenye lengo la kuweka mazingira wezeshi kwa sekta ya kilimo kukua.Pia serikali imezindua Mpango wa pili wa Maendeleo ya Kilimo (ASDP II) wenye lengo la kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa na inachangia katika maendeleo ya uchumi na kuongeza kipato cha mkulima mdogo.

Mhe Hasunga amesisitiza kuwa mpango wa SAGCOT ulianza toka mwaka 2010 kwenye mkutano wa Baraza la Uchumi la Dunia kwa Africa (World Economic Forum of Africa WEF-A) uliofanyika Jijini Dar es Salaam ambao utatekelezwa kwa miaka 20 mpaka mwaka 2030.

Alisema mpango wa SAGCOT umepangwa kutekelezwa kwa awamu katika mgawanyo wa kongani sita. Kongani hizo Ihemi, Mbarali, Kilombero, Rufiji, Ludewa na Rukwa hivyo ili kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao ameitaka SAGCOT kuongeza ufanisi na weledi katika kukamilisha kongani zote sita kama mtazamo ulivyo.

Naye Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba akizungumza katika hafla hiyo alisema kuwa wizara ya kilimo ina ziada ya kutosha kwenye mazao ya chakula huku akisisitiza kuwa mkakati wa kutafuta masoko unaendelea ili kuwanufaisha wakulima nchini.Alisema nchi ina fursa kubwa kwenye sekta ya kilimo hivyo wananchi wanapaswa kujikita zaidi katika kilimo kwani ndio sehemu pekee yenye uwezo wa kuwanufaisha wananchi wengi kwa wakati mmoja.

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Innocent Bashungwa alisisitiza kuwa SAGCOT inapaswa kufanya haraka katika kuanzisha kongani ya nne na hatimaye mpaka ya sita ili kuajiri vijana na wananchi wengi.Ameongeza kuwa wataalamu wengi wa kilimo wamenufaika na elimu nchini lakini ajira zimekuwa chache hivyo kuongezwa kwa kongani nyingine ajira zitaongezeka na wananchi wengi watanufaika na kipato kwa ajili ya maendeleo ya kaya na Taifa kwa ujumla wake.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa SAGCOT Ndg Geofrey Kirenga alieleza kuwa malengo ya mpango wa SAGCOT yanakwenda sambamba na Dira ya maendeleo ya Taifa ya 2025, mpango wa maendeleo wa miaka 5, utekelezaji wa mpango wa pili wa maendeleo ya kilimo (ASDP II) na mpango wa uwekezaji kwenye kilimo kwa ajili ya usalama wa chakula na lishe (TAFSIP) ambao unatumika kutekeleza programu kabambe ya maendeleo ya kilimo barani Afrika (CAADP).

Alitaja lengo kuu la mpango wa SAGCOT kuwa ni kuhakikisha kuwa kilimo katika maeneo ya SAGCOT kinachangia katika kuongeza tija, kuhakikisha kuna usalama wa chakula, kupunguza umaskini, kuhakikisha wakulima wadogo wanatoka kwenye kilimo cha kujikimu na kwenda kwenye kilimo cha kibiashara na kuhakikisha mazingira yanatuzwa kwa maendeleo endelevu ya kilimo.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959 / 0784475946

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images