Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Lukuvi Apiga Marufuku Halmashauri Nchini Kushinikizwa Kupima Viwanja Na Wamiliki Mashamba

0
0
Na Munir Shemweta, Babati
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amepiga marufuku halmashauri zote nchini kupima viwanja kwa shinikizo la wamiliki wa mashamba makubwa na kusisitiza kuwa kazi hiyo inapaswa kufanywa na  halmashauri ambazo ndizo zenye jukumu la kupanga miji nchini.

Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Singu wilaya ya Babati mkoani Manyara Lukuvi alisema uamuzi wowote wa kupima viwanja unatakiwa kuratibiwa na halmashauri husika kwa kuzingatia mipango miji na si vinginevyo kwa kuwa mwenye  dhamana ya kupanga miji ni halmashauri.

Agizo la Waziri Lukuvi linafuatia kuelezwa na halmashauri za wilaya ya Babati kuhusu mpango wa kupima viwanja katika eneo la shamba la Singu Estate linalomilikiwa na kampuni ya Agric Evolution Ltd .

Lukuvi ameziagiza halmshauri za Mji na ile ya wilaya ya Babati kuainisha mipaka na kupima eneo la vijiji vya Singu, Sigino na Daglailoy vilivyopo kata ya Singu wilaya ya Babati sambamba na kuvipatia hati vijiji vyote na kubainisha kuwa zoezi la kugawa viwanja katika  shamba linalomilikiwa na kampuni ya Agric Evolution ltd litafanyika baadaye kwa utaratibu utakaopangwa.

Lukuvi alisema ameamua kusitisha ugawaji viwanja baada ya kubaini ukiukwaji wa taratibu sambamba na baadhi ya wawekezaji kununua mashamba katika maeneo ya mjini kwa nia ya kuzishawishi halmshauri kupima viwanja badala ya halmashauri kupima kulingana na mipango yake.

” kumekuwa na mtindo wamiliki wa mashamba wanachukua maeneo ambayo wanaona yanakaribia kuwa miji kwa lengo la kupima viwanja na kuwalambisha asali  watendaji wa halmashauri ili malengo yao yatimie” alisema Lukuvi.

Aidha, Waziri wa ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi william Lukuvi ameagiza wananchi 14 waliojenga katika shamba la Endasago lililopo kata ya Ari wilaya ya Babati mkoa wa Manyara unapopita mradi mkubwa wa umeme Kilowat 400 kulipwa fidia na kuondoka eneo hilo.

Uamuzi wa kulipa fidia kwa wananchi hao unatoa suluhu ya muda mrefu baina ya mmiliki wa shamba kampuni ya Endasago co ltd na wananchi waliojenga katika njia ya kupitisha umeme wa mkongo kutoka Singida kupitia Babati, Namanga mpaka Kenya huku utata ukiwa ni nani anastahili kulipwa fidia kati ya pande hizo mbili.

Amelitaka shirika la Umeme tanesco kuendelea na zoezi la kuweka nguzo kwa ajili ya kukamilisha upitishaji nyaya za umeme katika mashamba yote mawili ya Endasago na Singu lakini malipo ya fidia yatakuwa kwa wale wananchi wa kijiji cha Endasago pekee.

“Tanesco muendelee na uwekaji nguzo katika mashamba yote mawili na wananchi wasimame kufanya shughuli yoyote wakati wa zoezi hilo.

Pamoja na uamuzi wa fidia, Lukuvi ameitaka halmashauri ya wilaya ya Babati kupima upya eneo la shamba la Endasago na kumpatia  mmiliki wake  eneo kulingana na mahitaji yake. Aidha, alimuagiza mmoja wa wana hisa wa Kampuni ya Endasago Abraham Mchinja kufuatilia hati ya shamba pamoja na kuhuisha umiliki wa kampuni ya Endasago co Ltd ambayo wanahisa wake wawili wamefariki dunia na kubaki mmoja pekee.

Mbunge wa jimbo la Babati Paulina Gekul aliiomba serikali kuangalia namna ya kuwasaidia wananchi wa vijiji vya Endasago na Singu dhidi ya wamiliki wa mashamba hayo mawili kwa kuwa wananchi wa vijiji hivyo wamekuwa wakiishi eneo hilo kwa muda.

Kwa muda mrefu kumekuwa na mgogoro mkubwa baina ya wananchi wa vijiji vya Singu, Sigino na Daglailoy vilivyopo kata ya Singu na vile vya Endasago na Dudiye vilivyopo kata ya Ari wilayani Babati na wamiliki wa mashamba ya Endasago lenye ukubwa wa  1300 na Singu ekari 3013 kuhusiana na umiliki wa mashamba.

Wimbo Mpya wa Dudu Baya X Rayvanny - KONKI MASTER

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Dudu Baya ameachia wimbo wake mpya uitwao Konki ambao amemshirikisha Rayvanny. Itazame hapa.

Video Mpya ya Eddy Kenzo – Ghetto

0
0
Msanii wa muziki kutokea nchini Uganda, Eddy Kenzo ameachia  video ya wimbo wake mpya uitwao Ghetto

Itazame hapa.

Naibu Waziri: "Sheria ya Takwimu ya mwaka 2018 haizuii watu kufanya tafiti"

0
0
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk.Ashatu Kijaji amesema marekebisho ya Sheria ya Takwimu ya mwaka 2018 hayana lengo la kuzuia watu, taasisi au vyuo kufanya utafiti.

Dk.Kijaji ametoa kauli hiyo jana jijini Dodoma katika Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika.

Alisema kuwa madhumuni makubwa ya marekebisho na uridhiaji wa Mkataba wa Takwimu wa Afrika ni kuhakikisha kuwa zinazalishwa takwimu ambazo zinazingatia viwango.

“Niwatoe wasiwasi wananchi na wadau mbalimbali kwamba marekebisho haya yana lengo jema na hayana lengo la kuzuia kufanya tafiti,”alisema.

Kadhalika, alisema Wizara hiyo ipo katika hatua ya kuandaa kanuni za utekelezaji wa marekebisho hayo na wadau watashirikishwa ili kuwe na uelewa wa pamoja wakati wa utekelezaji wa sheria hiyo kwa maslahi mapana ya Taifa.

Tanzania yashinda Tuzo ya Utalii nchini Urusi

0
0
Tanzania imeshinda tuzo ya utalii kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la utalii duniani nchini Urusi kwa mwaka 2018 (The Best Destination to the World in the Category of Exotic Destination 2018).

Leo tarehe 21 Novemba 2018, Balozi wetu nchini Urusi Mhe. Maj. Gen. (Mst). Simon Mumwi atapokea Tuzo hiyo kutoka Jarida la kirusi la “National Geographic Magazine” jijini Moscow kwa niaba ya nchi.  

Tanzania imepata ushindi huo kutokana na kura zilizopigwa kwenye mtandao wa jarida hilo la “National Geographic Magazine” lililoshirikisha wapiga kura 263,000 kwa njia ya mtandao.

Hii ni mara ya tatu katika kipindi cha miaka saba tokea mwaka 2011, raia wa Urusi kupitia jarida hilo wanaichagua Tanzania kama eneo bora zaidi la utalii. Mwaka 2011, Zanzibar ilipata tuzo ya ‘Star Travel’ kama eneo bora zaidi la utalii wa ufukweni katika bara la Afrika na mwaka jana, Tanzania ilipata tuzo ya NGT na Tanzania ilishinda nafasi ya pili katika tuzo hiyo  katika kundi la eneo bora la utalii duniani.

“National Geographic Traveller Awards” (NGT Awards) ni tuzo ya kifahari zaidi katika sekta ya utalii nchini Urusi na hutolewa na Jarida la kirusi la “National Geographic Magazine”.

Mafanikio hayo yanatokana na jitihada zinazofanywa na Serikali ya Tanzania kupitia Ubalozi wetu Urusi, Wizara za Utalii za Tanzania Bara na Zanzibar, na Taasisi zote zinazosimamia masuala ya utalii za ndani na nje ya nchi katika kutangaza vivutio vya utalii kwa nchi mbalimbali duniani ikiwemo Urusi.

Kupitia juhudi hizi, idadi ya watalii wanaokuja Tanzania kutoka Urusi imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka. Kwa mfano, idadi hiyo imeongezeka kutoka watalii 4,021 mwaka 2012 hadi watalii 10,060 mwaka 2017. 

Wizara kupitia Ubalozi wetu itaendelea kuongeza juhudi za kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania na tunategemea kwa kushirikiana na wadau wengine katika juhudi hizi, idadi ya watalii kutoka Urusi wanaokuja nchini itaongezeka zaidi.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dodoma.
21 Novemba 2018

Tanzia: Askofu wa kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya, Evaristo Chengula afariki dunia

0
0
Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbeya, Evarist Chengula amefariki dunia leo asubuhi akiwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete alipokuwa anapatiwa matibabu ya moyo.

Askofu Chengula alifika jijini Dar es salaam jana, akitokea Mbeya ambako alikuwa hajazidiwa sana na alifikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Moyo (JKIC).

Katibu wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Padre. Charles Kitima amesema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo yaliyochangiwa na umri wake ambapo amefariki akiwa na miaka 78.

"Baba Askofu hakuwa anaumwa sana lakini alikuwa na tatizo la Moyo ambalo alikuwa analimudu kawaida na alikuwa anaendelea na kazi kama kawaida mpaka Alhamisi iliyopita ameongoza misa takatifu hali ilipobadilika ndipo alimtafta daktari wake", amesema Padre. Kitima.

Padre Kitima amesema kuwa Askofu Chengula atazikwa jijini Mbeya siku ya Jumanne katika kanisa alilokuwa akihudumia Askofu.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi ya Novemba 22

Hatima ya Dhamana ya Mbowe Kujulikana Leo Mahakamani

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu inatarajiwa kutoa uamuzi utakaotoa mustakabali wa dhamana ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko wanaokabiliwa na kesi ya jinai mahakamani hapo leo.

Uamuzi huo unatokana na maombi yaliyotolewa na upande wa mashtaka Novemba 12, uliodai washtakiwa hao wamekiuka masharti ya dhamana kwa kusafiri nje ya nchi bila kibali cha mahakama na kushindwa kuripoti katika kituo cha Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala.

Upande wa mashtaka ulifikia hatua hiyo baada ya Mbowe kushindwa kufika mahakamani, Novemba Mosi na 8 na Matiko kushindwa kufika Novemba 8, kwa ajili ya usikilizwaji wa awali wa kesi inayowakabili.

Katika uamuzi huo utakaotolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri anayesikiliza kesi hiyo ndiyo utakaotoa hatima ya wabunge hao wa Hai na Tarime Mjini iwapo wataendelea kubaki uraiani au watatupwa rumande.

Kama Mahakama itaridhika na utetezi wao, itatupilia mbali hoja na mambo ya upande wa mashtaka na hivyo wataendelea kuwa nje kwa dhamana wakati kesi yao ikiendelea kusikilizwa na kusubiri uamuzi.

Lakini kama mahakama hiyo itakubaliana na maombi na hoja za upande wa mashtaka na kutupilia mbali utetezi wao, inaweza ikawafutia dhamana na kuamuru watupwe mahabusu.

Kama mahakama katika uamuzi wake itawafutia dhamana, huo hautakuwa mwisho wao wa kusaka kurejesha haki hiyo ya kuwa huru kwa dhamana.

Washtakiwa wanaweza kuomba tena dhamana kupitia kwa hakimu huyohuyo au kukata rufaa Mahakama Kuu kupinga uamuzi wa Mahakama ya Kisutu.

Au wanaweza kuomba tena dhamana lakini hiyo inaweza kuwa na ugumu kufanikiwa kwa sababu Mahakama ina uhuru wa kuwapatia tena dhamana au kuwanyima, kwa kutegemeana na hoja watakazozitoa.

Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

0
0
 BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume. 


---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali. 

---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959 / 0784475946

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

0
0
NATURAL BEAUTY PROD. Tumeshusha bei za bidhaa zetu ili kila mmoja aweze kupata bidhaa hizi na azifurahie wahi sasa kwani ofa hii ni ya muda mfupi tu.                             

Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe.

1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 ilikua inapatikana kwa @170,000/= sasa ni @150,000/= tu

2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa ilikua ni  @160,000/=. Sasa ni 140,000/= tu

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo wewe pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kilikua kinapatikana kwa @230,000/=. Sasa ni 200,000/= tu

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 170,000/= tu

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 ilikua inapatikana kwa @190,000/=. Bei ya sasa ni 170,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri ilikua inapatikana kwa @150,000/=. Sasa ni 130,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo ilikua inapatikana kwa @200,000/=.  Sasa ni 180,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft ilikua inapatikana kwa @150,000/=   Sasa ni @140,000/= tu N.K  Wasiliana nasi kwa simu

NO:. +255 759029968 

                      AU

           +255 659618585


Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.

   
                WELCOME ALL

Ofa! ofa!, Viwanja vimeshuka bei: Bunju na Mapinga (Baobab Sec)

0
0
Kwa Bunju, tumeshusha bei kutoka tsh 35,000 mpaka tsh 30,000 kwa sqm moja. Bunju vipo viwanja vya (sqm 600 = tsh 18 mil), (sqm 1200 = tsh 36 mil) na (sqm 1700 = tsh 51 mil)

Kwa Mapinga, bei imeshuka kutoka tsh 15,000 mpaka tsh 12,000 kwa sqm moja. Hapa vipo viwanja vya (mita 20/20 = 4.8 mil), (mita 20/30 = tsh 7.2 mil), (mita 20/40 = tsh 9.6 mil), (mita 35/40 = tsh 16.8 mil ), (mita 30/50 = tsh 18 mil), (mita 40/50 = tsh 24 mil), (mita 40/60 = tsh 28.8 mil) na (mita 50/60 = tsh 36 mil )

Viwanja vyote viko umbali wa km 3 tu kutoka main road (Bagamoyo Road) na Luksa kulipa kwa awamu. Huduma za maji na umeme ziko karbu sana. Luksa kulipa kwa awamu.

Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.

Hakuna dalali, contact mhusika: call 0758603077, whatsap 0757489709, email: menejadar@yahoo.com

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Wizara Ya Maliasiali Na Utalii Yawatoa Hofu Watalii

0
0
 Na. Vero Ignatus Arusha
Siku chache baada ya Benki kuu ya Tanzania kutoa ufafanuzi Juu ya Oparesheni ya Ukaguzi wa Maduka ya kubadilishia Fedha za Kigeni Jijini Arusha ,Wizara ya Mali asili na Utalii imejitokeza na kusema Zoezi hilo halijaathiri shughuli za Kitalii

Naibu waziri wa maliasili na Utalii Constatine Kanyasu ameyasema hayo wakati lipotembelea taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo kwenye mkutano wake na wafanyakazi wa shirika la hifadhi za taifa(TANAPA) jijini Arusha na kusema watalii wanaendelea kupata huduma kwani zoezi hilo ni la kawaida na limelenga maslahi ya nchi.

Mara baada ya Mazungumzo hayo Naibu Waziri akiwa nje ya Ukumbi wa Mamlaka hiyo , amezungumza na Wanahabari kisha kugusia suala la oparesheni iliyofanywa na Benki Kuu hivi karibu Jijini hapa.Ameeleza kuwa zoezi hilo lililovishirikisha vyombo vya dola na halijaathiri uchumi katika sekta ya fedha za kigeni hasa kwa upande wa utalii kwa kuwa ni zoezi hilo la mara moja kuwahusisha wanajeshi ambao wanawajibu wa kulinda rasilimali za nchi yao.

'' Wanajeshi hawawezi kuathiri uchumi wa nchi hasa sekta ya utalii kwakuwa wanawajibu wa kulinda rasilimali zetu‘’alisema Kanyasu .Akiongelea suala la migogoro ya Ardhi na mipaka kwa baadhi ya mipaka amesema wizara yake imejipanga kukomesha changamoto hiyo ambayo imekuwa ikitumia fedha nyingi bila kupatiwa ufumbuzi.

Aidha amesema migogoro baina ya Hifadhi na Wananchi,Naibu waziri anasema hakuna mtu ama taasisi inayonufaidika na Migogro hiyo na imekuwa ikichochewa na makundi machache na tayari serikali imekwisha anza kuchukua hatua.Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa Tanapa Jumla ya Vijiji mia tatu tisini na mbili vitanufaika na zoezi la upimaji wa matumizi bora ya ardhi lenye lengo la Kupunguza

Migogoro ambapo tumepanga billion 2.5 kwa miradi midogo midogo kuweza kuweka nguvu kwa wananchi kuondoa misuguano isiyo na lazima ambayo inaathiri kiasi kikubwa shughuli za uhifadhi.

Nandy Atupwa Kando Kwenye Listi Ya Wasanii 29 Watakaoperfom Fiesta

0
0
Clouds Media Group wametangaza majina ya wasanii 29 wakatakaotumbuiza kwenye jukwaa la tamasha la Tigo Fiesta Jumamosi hii ya Novemba 24 katika viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam.

Kwenye orodha hiyo ndefu, wapo Rostam, Weusi, Maua Sama, Wakazi, Ben Pol, Chege, Fid Q na wengineo, huku wasanii chipukizi nao wakipewa kipaumbele.

List ya wasanii watakao – perform
1. Weusi
2. Rostam
3. Fid Q
4. Wakazi
5. Rich Mavoco
6. The Mafik
7. Ben pol
8. Rosa Ree
9. Marioo
10. Barnaba
11. Billnass
12. Chege Chigunda
13. Dogo Janja
14. Msami
15. WhoZu
16. Mimi Mars
17. Lulu Diva
18. Zaiid
19. Mesen Selekta
20. Maua Sama
21. Tid
22. Qchief
23. Juma Nature
24.Jolie
25.Benson
26.Jay Melody
27.Mabantu
28.Brian Simba
29. Amber Lulu

Hata hivyo, kwenye orodha hiyo msanii aliyepiga karibia mikoa mitano kwenye tamasha hilo, Nandy jina lake halipo ingawaje Clouds wamesema kuwa List nyingine ya kambi ya upinzani itatangazwa baadae.

Nikki wa Pili: Afande Sele Anaufahamu Mdomo

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Nikki wa Pili amejibu madai ya Afande Sele kuwa kundi la Weusi lilishinda tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) kwa vile ni Wachaga.

Nikki ameeleza kuwa Afande Sele anaeleza hayo kutokana ana ufahamu mdogo kuhusu kundi hlo kwa upande wa muziki. 

==>>Hiki ni kile alichoandika kwenye ukurasa wake wa Instagram;

"Afande anasema, Weusi tulipata tuzo za kili kwa sababu sisi ni Wachaga, Tuzo za kili kwa usiku mmoja zilikuwa na zaidi ya kategori 30. Ukisema labda kwa miaka mitatu ni tuzo 90....hapo karibuni 99% ya washindi sio wachaga.

"Hivyo ukisema uchaga ni kigezo inamaanisha huna ufahamu dhidi ya tuzo au una ufahamu mdogo, any way nikawaida ya binadamu kuwa na ufahamu mdogo.

"Kuhusu redio Weusi tumepigwa na kushika chati ya redio zote tanzania na hata za nje kama Mtv, trace, citizen nakadhalika, ukisema tunabebwa na redio moja pia, inamaanisha huna ufahamu mzuri juu ya weusi, so ni tatizo lile lile la ufahamu mdogo.

Hapa sijakujibu isije tafsirika vibaya, bali nimefanya uchambuzi wa mpangilio wa mawazo yako, uchambuzi unanionesha yamepangwa katika ufahamu mdogo."

Breaking News: Freeman Mbowe, Ester Matiko Wafutiwa Dhamana.... Sasa Kupelekwa Rumande

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu (DSM) imewafutia dhamana leo 23/11/2018, Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mbunge wa Bunda Mjini (CHADEMA) Ester Matiko kwa kukiuka masharti ya dhamana.

Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa Novemba 23, 2018 na Hakimu Mkazi Mkuu Wilbard Mashauri.

Hata hivyo, baada ya uamuzi huo, wakili wa utetezi, Peter Kibatala ametoa taarifa kwa kuieleza mahakama wataukatia rufaa uamuzi huo.

Kutokana na uamuzi huu wa Mahakama, Mbowe na Matiko watapelekwa rumande wakati taratibu za kukata rufaa zikiendelea

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara.?...... Tunazo dawa na PETE za bahati Zenye Uwezo wa Kubadili Maisha Yako

0
0

Je Wewe ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii wa Maigizo, Mwanamziki, ama mwanafunzi tunazo Dawa na PETE za Bahati zenye uwezo mkubwa wa kuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na Sheikh Jumaa Bilal. Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. 

Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sheikh Jumaa Bilal ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOASHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA-  Sheikh Sasa amezianza ziara zake za mikoani na atayatembelea maeneo mbali mbali ndani na Nje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nayasiojulikana kwakutumia QUR_AN MAJI , KIOO MAJINI NA MITISHAMBA.

Anazo dawa za mapenzi( Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu LIMBWATA) kumrudishaa alipote, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, KUUZA kwa haraka (shamba, NYUMBA, GARI..), Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na UTAJIRI bila masharti na mengine mengi ya Siri. (Anazo Pia Pochi zisizo kwisha Hela MAGIC WALLET)

*{لَا يُؤَاخِذُكُمُ اللَّهُ بِاللَّغْوِ فِي أيْمَانِكُمْ وَلَٰكِنْ يُؤَاخِذُكُمْ بِمَا عَقَّدْتُمُ الْأَيْمَانَ ۖ فَكَفَّارَتُهُ إِطْعَامُ عَشَرَةِمَسَاكِينَ مِنْ أَوْسَطِ مَا تُطْعِمُونَ أَهْلِيكُمْ أَوْ كِسْوَتُهُمْ أَوْ تَحْرِيرُ رَقَبَةٍ ۖ فَمَنْ لَمْ يَجِدْ فَصِيَامُ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ ۚ ذَٰلِكَ كَفَّارَةُ أَيْمَانِكُمْ إِذَا حَلَفْتُمْ ۚ وَاحْفَظُوا أَيْمَانَكُمْ ۚ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ اللَّهُ لَكُمْ آيَاتِهِ لَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ }* ﴿٨٩﴾

✨Wabillahhi Tawfiq Asallam  Alaikum

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa
nambari ya simu

+255 688 745 790
+255 672 861 042
Whatsapp :  0762 252 102

Mtanzania akamatwa akiwa ameficha mihadarati njia ya kwenda haja kubwa uwanja wa JKIA Kenya

0
0
Raia wa Tanzania amekamatwa akiwa ameficha mihadarati kwenye njia yake ya kwenda haja kubwa (rektamu).

Walikuwa safarini kuelekea China na India walipokamatwa Alhamisi usiku katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Jomo Kenyatta.

Mtanzania huyo ambaye ametambuliwa na idara ya uchunguzi wa jinai nchini Kenya kama Msafiri Musa alitoa tembe 47 za dawa za kulevya mara ya kwanza.

Aliwekwa chini ya uangalizi ambapo baadaye alitoa tembe nyingine 69. Polisi hawajasema raia wa mataifa hayo mengine ni kina nani.

"Wachunguzi wa jinai wamewasilisha maombi katika mahakama ya JKIA kumzuilia zaidi ili kuwawezesha kukamilisha uchunguzi. Washukiwa bado wanaendelea kuangaliwa kwa makini," idara ya uchunguzi wa jinai Kenya imesema kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Credit: BBC

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala- Dar
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images