Wimbo Mpya wa Enock Bella - I Swear
↧
↧
Video Mpya | ZAiiD Ft. G Nako - Cha Arusha
↧
Nay wa Mitego Katupa Jiwe Gizani....."Oyaa Nataka Kuona List Ya Wasanii Heavy Sio Awa Wasio Julikana"
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nay wa Mitego ameamua kuvunja ukimya na kutoa ya moyoni kuhusu vuguvugu linaloendelea baina ya matamasha makubwa yanayotarajiwa kufanyika wikiendi hii nchini Tanzania.
Matamasha hayo moja linaitwa Fiesta ambalo litafanykia hapa Dar Es Salaam, lingine ni Wasafi Festival litakalofanyika Mtwara na la mwisho ni lile litakalofanyika Kahama ambapo Alikiba ataenda kuperform na kundi lake la Kingsmusic,.
Msanii huyo amefunguka na kusema :- “Mmh Nasubiri Kuona List Ikiendelea But Mmh. Awa Mbona Hawana Maajabu.?! Waimba Bure Wote Ninao Waona Apa😂😂 Hawapatagi Show Ata Za Bure Awa. Oyaa Nataka Kuona List Ya Wasanii Heavy Sio Awa Wasio Julikana Ata Makwao Kama Wanaimba🎤😂 Msiniangushe Wazeeeeeeeee.! …….
#Tar24.
"Wanangu Wa Dar Hakikisheni Mnaenda #Leader‘s Kwa Wingiii. Wanangu Wa Mtwara Hakikisheni Mnajaa Pale #Nangwanda. Na Machizi Wangu Wa #Kahama Inabidi Mkajae Pale #UwanjaWaTaifa.
"Mkifika Sehemu Zote Wapeni Salamu Zangu #HakunaMaishaMagumu“
↧
Kalulumila:Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo
BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO KALULUMILA.
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume.
---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------
----------------------------------------
Ni dawa pekee iliyojipatia umaarufu nchini na nje ya nchi kwa kufanya kazi mara 3, kwa wakati mmoja 1, kurefusha uume na kunenepesha saizi uipendayo kuongeza nguvu za kiume na inatibu matatizo na gerentii miaka 30. Na kuendelea haina madhara, inaimarisha mishipa ya uume iliyoregea na udhalishaji wa mbegu za kiume.
---------NINI HUCHANGIA MATATIZO HAYA--Ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya ili kujua kwamba una ngiri ni chanzo kikubwa cha matatizo haya, ili kujua kama unangiri dalili zake ni kufika haraka kileleni wakati wa tendo la ndoa, 2)kushindwa kurudia tendo la ndoa. 3)kutoa choo kama cha mbuzi. 4)tumbo kujaa gesi na kuunguruma. 5)kukosa choo kabisa. 6)maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi. 7) korodani moja kuvimba 8)kutosikia hamu ya tendo la ndoa na maumivu ya kiuno wakati wa tendo la ndoa. 9)maumivu ya kiuno na mgongo pia tunatibu kisukari kwa siku7, presha, busha, bila kupasuliwa na magonjwa mbalimbali.
---------------------------------------
TUPO TEGETA KWA NDEVU KARIBU NA MACHINJIO YA NGOMBE UTAONA OFSI IMEANDIKWA KALULUMILA HERBALIST CLINIC HOSPITAL SIMU .
----------------------------------------
-0655-557-182.
-0755-557182.
-0784-557-182.
PIA UTAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO.
---------------------------------------
KARIBUNI SANA.
----------------------------------------
↧
Lori la JWTZ lenye Magunia ta Korosho Lapata Ajali
Gari la Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambalo lilikuwa limebeba tani 15 za korosho likitokea wilayani Tandaimba kuelekea Mtwara mjini limepata ajali jana Novemba 21, 2018 na kusababisha korosho zote kumwagika barabarani.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambayo chanzo chake kilitokana na breki za gari hiyo kufeli, ambapo dereva na wengine waliokuwepo kwenye gari hilo wanaendelea vizuri.
“Gari hilo lilipata ajali jana jioni Novemba 21, chanzo chake ni kufeli breki kwa gari hilo la jeshi“, amesema RC Byakanwa.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambayo chanzo chake kilitokana na breki za gari hiyo kufeli, ambapo dereva na wengine waliokuwepo kwenye gari hilo wanaendelea vizuri.
“Gari hilo lilipata ajali jana jioni Novemba 21, chanzo chake ni kufeli breki kwa gari hilo la jeshi“, amesema RC Byakanwa.
Novemba 12, 2018 Rais John Magufuli alisema Serikali ya Tanzania itanunua korosho zote za wakulima zilizolimwa mwaka huu 2018 na itachukua dhamana ya kuzitafutia soko.
Alitangaza uamuzi huo Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kuwaapisha mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa Jumamosi ya Novemba 10, 2018.
Alisema JWTZ ndio watakuwa na jukumu la kusimamia kuhakikisha ulinzi kwenye maghala, korosho zinapimwa na wakulima wanalipwa.
Alitangaza uamuzi huo Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kuwaapisha mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa Jumamosi ya Novemba 10, 2018.
Alisema JWTZ ndio watakuwa na jukumu la kusimamia kuhakikisha ulinzi kwenye maghala, korosho zinapimwa na wakulima wanalipwa.
↧
↧
Waziri Mkuu: Tanzania Kuendelea Kushirikiana na Nchi za Maziwa Makuu
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwaamesema Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana na nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu katika kusimamia matumizi endelevu ya maji ya Mto Nile kwa ustawi wa kiuchumi wa nchi zote.
Ameyasema hayo leo (Alhamisi, Novemba 22, 2018) wakati akifungua mkutano wa 21 wa Baraza la Mawaziri la Nchi za Bonde la Mto Nile zilizopo Ukanda wa Maziwa Makuu uliofanyika jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Rais Dkt. John Magufuli.
Amesema nchi wanachama hazina budi kuimarisha ushirikiano ili ziweze kusimamia vizuri matumizi endelevu ya maji ya Mto Nile pamoja na kushughulikia changamoto zinazolikabili Bonde la Mto Nile.
Waziri Mkuu ametaja baadhi ya changamoto zinazolikabili Bonde la Mto Nile kuwa ni pamoja na kushindwa kufikia makubaliano ya kuanzisha Kamisheni ya Kudumu ya Bonde la Mto Nile. “Kwa takribani miaka 10 sasa tumeshindwa kufikia makubaliano.”
Amesema, sambamba na changamoto hiyo nchi wanachama zimekuwa zikichelewa sana kutoa michango yao ili kuziwezesha taasisi zao kutekeleza ipasavyo majukumu yao, jambo ambalo si tu linachelewesha maendeleo bali linatishia usalama wa maji katika Bonde la Mto Nile.
Kufuatia hali hiyo, Waziri Mkuu ametoa mapendekezo mbalimbali ili kuhakikisha kunakuwa na matumizi endelevu ya rasilimali za maji kwenye Bonde la Mto Nile pamoja na kusaidia nchi wanachama kupata maendeleo.
Moja ya mapendekezo yaliyotolewa na Waziri Mkuu ni pamoja na nchi wanachama kutoa elimu kwa wananchi wake kuhusu matumizi sahihi ya maji na umuhimu wa kutunza vyanzo vyake ili kuhakikisha kunakuwepo na matumizi endelevu ya maji.
“Suala jingine ni ulipaji wa michango. Taasisi zetu haziwezi kutekeleza majukumu yake kama hatulipi michango tena kwa wakati maana miradi ya maendeleo haiwezi kutekelezwa kwa haraka kwa kutegemea wafadhili. Ni vema nchi zikalipa michango.”
Kadhalika, Waziri Mkuu amesema maji ni rasilimali muhimu duniani kwa ajili ya uhai wa binadamu, maendeleo ya kiuchumi na kijamii hususani katika kuendesha shughuli za kilimo, uvuvi, ufugaji, utalii na ujenzi, hivyo lazima vyanzo vitunzwe.
Amesema Bara la Afrika ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na matatizo makubwa ya maji duniani, ambapo takwimu zinaonesha kuwa takribani nchi 14 hivi sasa zinakabiliwa na uhaba ama upungufu wa maji huku zingine 11 zinatarajiwa kuingia katika kundi hilo ifikapo 2025.
Waziri Mkuu amesema kutokana na hali hiyo mikakati ya makusudi inahitajika ili kuhakikisha chanzo hiko cha maji kinalindwa na rasilimali ya maji katika Bonde la Mto Nile inatumika vizuri.
Mkutano huo umehudhuriwa na Waziri wa Maji, Profesa Makame Mbarawa ambaye ndiye Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile zilizopo kwenye Ukanda wa Maziwa Makuu, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga, Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani.
Wengine ni Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Awesu, Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini, watendaji wa Sekretarieti ya Bonde la Mto Nile kutoka Ukanda wa Maziwa Makuu pamoja na Ukanda wa Mashariki na maafisa wengine wa Serikali.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
ALHAMISI, NOVEMBA 22, 2018.
Ameyasema hayo leo (Alhamisi, Novemba 22, 2018) wakati akifungua mkutano wa 21 wa Baraza la Mawaziri la Nchi za Bonde la Mto Nile zilizopo Ukanda wa Maziwa Makuu uliofanyika jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Rais Dkt. John Magufuli.
Amesema nchi wanachama hazina budi kuimarisha ushirikiano ili ziweze kusimamia vizuri matumizi endelevu ya maji ya Mto Nile pamoja na kushughulikia changamoto zinazolikabili Bonde la Mto Nile.
Waziri Mkuu ametaja baadhi ya changamoto zinazolikabili Bonde la Mto Nile kuwa ni pamoja na kushindwa kufikia makubaliano ya kuanzisha Kamisheni ya Kudumu ya Bonde la Mto Nile. “Kwa takribani miaka 10 sasa tumeshindwa kufikia makubaliano.”
Amesema, sambamba na changamoto hiyo nchi wanachama zimekuwa zikichelewa sana kutoa michango yao ili kuziwezesha taasisi zao kutekeleza ipasavyo majukumu yao, jambo ambalo si tu linachelewesha maendeleo bali linatishia usalama wa maji katika Bonde la Mto Nile.
Kufuatia hali hiyo, Waziri Mkuu ametoa mapendekezo mbalimbali ili kuhakikisha kunakuwa na matumizi endelevu ya rasilimali za maji kwenye Bonde la Mto Nile pamoja na kusaidia nchi wanachama kupata maendeleo.
Moja ya mapendekezo yaliyotolewa na Waziri Mkuu ni pamoja na nchi wanachama kutoa elimu kwa wananchi wake kuhusu matumizi sahihi ya maji na umuhimu wa kutunza vyanzo vyake ili kuhakikisha kunakuwepo na matumizi endelevu ya maji.
“Suala jingine ni ulipaji wa michango. Taasisi zetu haziwezi kutekeleza majukumu yake kama hatulipi michango tena kwa wakati maana miradi ya maendeleo haiwezi kutekelezwa kwa haraka kwa kutegemea wafadhili. Ni vema nchi zikalipa michango.”
Kadhalika, Waziri Mkuu amesema maji ni rasilimali muhimu duniani kwa ajili ya uhai wa binadamu, maendeleo ya kiuchumi na kijamii hususani katika kuendesha shughuli za kilimo, uvuvi, ufugaji, utalii na ujenzi, hivyo lazima vyanzo vitunzwe.
Amesema Bara la Afrika ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na matatizo makubwa ya maji duniani, ambapo takwimu zinaonesha kuwa takribani nchi 14 hivi sasa zinakabiliwa na uhaba ama upungufu wa maji huku zingine 11 zinatarajiwa kuingia katika kundi hilo ifikapo 2025.
Waziri Mkuu amesema kutokana na hali hiyo mikakati ya makusudi inahitajika ili kuhakikisha chanzo hiko cha maji kinalindwa na rasilimali ya maji katika Bonde la Mto Nile inatumika vizuri.
Mkutano huo umehudhuriwa na Waziri wa Maji, Profesa Makame Mbarawa ambaye ndiye Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile zilizopo kwenye Ukanda wa Maziwa Makuu, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga, Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani.
Wengine ni Naibu Waziri wa Maji, Jumaa Awesu, Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini, watendaji wa Sekretarieti ya Bonde la Mto Nile kutoka Ukanda wa Maziwa Makuu pamoja na Ukanda wa Mashariki na maafisa wengine wa Serikali.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
ALHAMISI, NOVEMBA 22, 2018.
↧
Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO
Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.
Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .
SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,
Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .
SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,
NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa tatizo hilo na kukupa hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka
Pia kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.
Pia kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.
NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .
NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,
NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa!
DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia
Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI,
Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI,
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/
WOTE MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,
↧
Waziri Mkuu Mjaliwa:TSN Endeleeni Kuhimiza Uendeshwaji wa Jukwaa Hili Mikoani na Fanyeni Tathimini
Na Anitha Jonas – WHUSM,Tabora
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kuhimiza katika Mikoa mbalimbali umuhimu wa Jukwaa la fursa za biashara na Uwekezaji, ili liweze kusambaa nchi nzima na kuibua fursa ambazo zitasaidia kufanikisha azma ya serikali ya kufikia uchumi wa Kati na Uchumi wa Viwanda.
Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo Mjini Tabora alipokuwa akifungua Jukwaa la Nane la Fursa za Biashara na Uwekezaji linaloratibiwa na TSN ambapo amewasisitiza mara watakapo maliza mzunguko wa Jukwaa hili katika ngazi ya Mkoa wa shuke katika ngazi ya Wilaya na Kisekta ili kuweza kuwafikia wajasiriamali wa chini moja kwa moja.
“TSN angalieni namna ya kuandaa majukwaa ya namna hii katika ngazi ya Wilaya na badae Kisekta kama sekta ya Kilimo,Ujasiriamali,Ufugaji na kwa kufanya hivi itasaidia kuwafikia wajasiriamali wadogo na pia mara baada ya Jukwaa fanyeni tathimini ili kujua changamoto na kupima mafanikio ya jukwaa,”alisema Waziri Mkuu Majaliwa.
Akiendelea kuzungumza katika ufunguzi wa Jukwaa hilo Mhe.Majaliwa alieleza kuwa serikali inafarijika na kazi inayofanywa na TSN ya kuhabarisha na kuelimisha jamii kupitia Jukwaa hilo pamoja na kuibua fursa mbalimbali za uwekezaji wa biashara ambazo awali zilikuwa hazifahamiki.
Pamoja na hayo katika ufunguzi wa Jukwaa hilo Waziri Mkuu huyo alizindua pia mfumo mpya wa usambazaji wa Magazeti ya TSN kupitia simu janja za kiganjani ambapo magazeti hayo yatakuwa yanapatikana katika (Application ya Play Store.)
Aidha, Mheshimiwa Majaliwa alieleza kuwa baadhi ya faida ya Jukwaa hilo ni kusaidia upatikanaji mitaji, teknolojia, ajira na kuongeza mapato ya serikali hali iliyosaidia kuboresha maisha ya watu.
Kwa upande wa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ni Mwenyekiti wa Jukwaa hilo, alisema kuwa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji Tabora ni Jukwaa la mfano kwa kuwa limepata bahati ya kuhudhuriwa na viongozi wengi akiwemo Kiongozi wa Juu wa Serikalini.
“Leo hapa tuna Waziri Mkuu, Mawaziri Watatu lakini pia tuna Wabunge Tisa. Hii ni fursa nzuri kwa wakazi wa Tabora kulitumia vyema Jukwaa hili,” alisema Dk Mwakyembe.
Pamoja na hayo Dkt.Mwakyembe alipongeza kazi kubwa iliyofanywa na timu ya waandishi wa HabariLeo, Mkoani Tabora na kuweza kuchapa Gazeti lenye kurasa 68 jana, huku kati hizo, kurasa 48 zikuhusu Mkoa wa Tabora pekee.
Hata hivyo Mwenyekiti wa Jukwaa hilo alimwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu Majaliwa, kuzindua huduma rasmi ya Magazeti ya Serikali kupitia Mtandao, hatua itakayomuwezesha mtu kusoma magazeti hayo hata kwa simu yake ya kiganjani.
Kwa upande wake, Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda aliipongeza Kampuni ya TSN kwa kuandaa Jukwaa hilo, ambalo limezitangaza na kuziibua fursa za uwekezaji na biashara za Tabora.
“Nakiri mbele yako, hakuna washauri wazuri kama watalaamu katika tasnia ya habari kwani kazi yao inagusa kwa weledi kila sekta,” alisema.
Aliwataka wananchi wa Tabora kuchukua fursa ya jukwaa hilo na fursa zilizopo mkoani humo, na kuzitumia kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla.
“Tabora ni mkoa wa kimkakati, barabara zote zikikamilika, reli ya kisasa (SGR), kiwanja cha ndege kukarabatiwa mizigo inayopita Tabora itaongezeka kutoka tani milioni mbili ya sasa hadi kufikia tani milioni 10 hadi 15,” alisisitiza.
Alishauri mkoa huo kutumia fursa hizo na kujiandaa kujenga kanda maalumu ya uwekezaji itakayowezesha mkoa huo kuwa kituvu cha mawasiliano na uchumi.
Naye Naibu Waziri, Ofisi ya Rais (Tamisemi), Mwita Waitara, alipongeza hatua ya kuandaliwa kwa jukwaa hilo akisema ni kutekeleza maagizo ya viongozi wakuu wan chi wa kuhakikisha kila mkoa unakuwa viwanda angalau 100.
Akimwakilisha Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo, Waitara alisema tathamini iliyofanywa huko nyuma ilionesha kwamba viwanda vilivyoanzishwa tulikuwa na viwanda 2,280 sawa na asilimia 46.
Alisema tathmini ya pili itafanyika Januari mwaka kesho na kwamba matarajio na matarajio ni kuwa zaidi ya asilimia 90.
Nae Kaimu Mhariri wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN), Tuma Abadallah, alimpongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kukubali kuwa mgeni rasmi na kulifanya Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji Tabora kuwa la kipekee.
Alisema TSN kama chombo cha habari, iliamua kuandaa majukwaa ili kutoa mchango wake katika kuibua fursa mbalimbali za Mkoa husika.
Alisema tangu TSN iamue kuandaa majukwaa ya biashara na Tabora umekuwa ni mkoa wa nane, imeona utayari mkubwa wa wananchi katika kujitafutia maendeleo.
Alisisitiza mbali na kuchapisha magazeti, TSN pia inatoa huduma mbalimbali kama vile za kuandaa vipindi maalumu (documentaries), huduma za kutasfiri na huduma za kuchapisha magazeti.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kuhimiza katika Mikoa mbalimbali umuhimu wa Jukwaa la fursa za biashara na Uwekezaji, ili liweze kusambaa nchi nzima na kuibua fursa ambazo zitasaidia kufanikisha azma ya serikali ya kufikia uchumi wa Kati na Uchumi wa Viwanda.
Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo Mjini Tabora alipokuwa akifungua Jukwaa la Nane la Fursa za Biashara na Uwekezaji linaloratibiwa na TSN ambapo amewasisitiza mara watakapo maliza mzunguko wa Jukwaa hili katika ngazi ya Mkoa wa shuke katika ngazi ya Wilaya na Kisekta ili kuweza kuwafikia wajasiriamali wa chini moja kwa moja.
“TSN angalieni namna ya kuandaa majukwaa ya namna hii katika ngazi ya Wilaya na badae Kisekta kama sekta ya Kilimo,Ujasiriamali,Ufugaji na kwa kufanya hivi itasaidia kuwafikia wajasiriamali wadogo na pia mara baada ya Jukwaa fanyeni tathimini ili kujua changamoto na kupima mafanikio ya jukwaa,”alisema Waziri Mkuu Majaliwa.
Akiendelea kuzungumza katika ufunguzi wa Jukwaa hilo Mhe.Majaliwa alieleza kuwa serikali inafarijika na kazi inayofanywa na TSN ya kuhabarisha na kuelimisha jamii kupitia Jukwaa hilo pamoja na kuibua fursa mbalimbali za uwekezaji wa biashara ambazo awali zilikuwa hazifahamiki.
Pamoja na hayo katika ufunguzi wa Jukwaa hilo Waziri Mkuu huyo alizindua pia mfumo mpya wa usambazaji wa Magazeti ya TSN kupitia simu janja za kiganjani ambapo magazeti hayo yatakuwa yanapatikana katika (Application ya Play Store.)
Aidha, Mheshimiwa Majaliwa alieleza kuwa baadhi ya faida ya Jukwaa hilo ni kusaidia upatikanaji mitaji, teknolojia, ajira na kuongeza mapato ya serikali hali iliyosaidia kuboresha maisha ya watu.
Kwa upande wa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ni Mwenyekiti wa Jukwaa hilo, alisema kuwa Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji Tabora ni Jukwaa la mfano kwa kuwa limepata bahati ya kuhudhuriwa na viongozi wengi akiwemo Kiongozi wa Juu wa Serikalini.
“Leo hapa tuna Waziri Mkuu, Mawaziri Watatu lakini pia tuna Wabunge Tisa. Hii ni fursa nzuri kwa wakazi wa Tabora kulitumia vyema Jukwaa hili,” alisema Dk Mwakyembe.
Pamoja na hayo Dkt.Mwakyembe alipongeza kazi kubwa iliyofanywa na timu ya waandishi wa HabariLeo, Mkoani Tabora na kuweza kuchapa Gazeti lenye kurasa 68 jana, huku kati hizo, kurasa 48 zikuhusu Mkoa wa Tabora pekee.
Hata hivyo Mwenyekiti wa Jukwaa hilo alimwomba Mheshimiwa Waziri Mkuu Majaliwa, kuzindua huduma rasmi ya Magazeti ya Serikali kupitia Mtandao, hatua itakayomuwezesha mtu kusoma magazeti hayo hata kwa simu yake ya kiganjani.
Kwa upande wake, Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda aliipongeza Kampuni ya TSN kwa kuandaa Jukwaa hilo, ambalo limezitangaza na kuziibua fursa za uwekezaji na biashara za Tabora.
“Nakiri mbele yako, hakuna washauri wazuri kama watalaamu katika tasnia ya habari kwani kazi yao inagusa kwa weledi kila sekta,” alisema.
Aliwataka wananchi wa Tabora kuchukua fursa ya jukwaa hilo na fursa zilizopo mkoani humo, na kuzitumia kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla.
“Tabora ni mkoa wa kimkakati, barabara zote zikikamilika, reli ya kisasa (SGR), kiwanja cha ndege kukarabatiwa mizigo inayopita Tabora itaongezeka kutoka tani milioni mbili ya sasa hadi kufikia tani milioni 10 hadi 15,” alisisitiza.
Alishauri mkoa huo kutumia fursa hizo na kujiandaa kujenga kanda maalumu ya uwekezaji itakayowezesha mkoa huo kuwa kituvu cha mawasiliano na uchumi.
Naye Naibu Waziri, Ofisi ya Rais (Tamisemi), Mwita Waitara, alipongeza hatua ya kuandaliwa kwa jukwaa hilo akisema ni kutekeleza maagizo ya viongozi wakuu wan chi wa kuhakikisha kila mkoa unakuwa viwanda angalau 100.
Akimwakilisha Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo, Waitara alisema tathamini iliyofanywa huko nyuma ilionesha kwamba viwanda vilivyoanzishwa tulikuwa na viwanda 2,280 sawa na asilimia 46.
Alisema tathmini ya pili itafanyika Januari mwaka kesho na kwamba matarajio na matarajio ni kuwa zaidi ya asilimia 90.
Nae Kaimu Mhariri wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN), Tuma Abadallah, alimpongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kukubali kuwa mgeni rasmi na kulifanya Jukwaa la Fursa za Biashara na Uwekezaji Tabora kuwa la kipekee.
Alisema TSN kama chombo cha habari, iliamua kuandaa majukwaa ili kutoa mchango wake katika kuibua fursa mbalimbali za Mkoa husika.
Alisema tangu TSN iamue kuandaa majukwaa ya biashara na Tabora umekuwa ni mkoa wa nane, imeona utayari mkubwa wa wananchi katika kujitafutia maendeleo.
Alisisitiza mbali na kuchapisha magazeti, TSN pia inatoa huduma mbalimbali kama vile za kuandaa vipindi maalumu (documentaries), huduma za kutasfiri na huduma za kuchapisha magazeti.
↧
Waziri Kairuki Aagiza Rita Kuvunja Bodi Ya Uongozi Wa Mfuko Wa Udhamini Wa North Mara
Na Asteria Muhozya, Mara
Waziri wa Madini Angellah Kairuki ameuagiza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuvunja uongozi wa Mfuko wa Udhamini wa North Mara ( Bodi ya Wadhamini na Menejimenti) kwa kuwa umeshindwa kusimamia uendeshaji wa Mfuko kwa tija na kuandaa utaratibu mzuri wa usimamizi wa Mfuko huo ambao utakuwa na manufaa kwa Taifa .
Aidha, Waziri Kairuki amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Tarime kuruhusu fedha za Keng’anya Enterprises Ltd ( KEL) kuendelea kulipwa hadi hapo vyombo vya uchunguzi vitakakapobaini na kuelekeza vinginevyo, huku Mkuu wa Mkoa wa Mara akitakiwa kusimamia utekelezaji wa agizo hilo.
“Kwa kuwa Keng’anya Enterprises iliomba kupata PL 303/95 kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia Sekta ya Madini, hivyo malipo ya mrabaha wa asilimia moja yanayopokelewa kutoka kwenye mgodi kwa mujibu wa mkataba wake ni halali,” alisisitiza Kairuki.
Waziri Kairuki alitoa maagizo hayo Novemba 21, ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ambaye alielekeza kufanyika uchunguzi wa Mfuko wa North Mara Community Trust Fund, baada ya baadhi ya wananchi wa Nyamongo Wilayani Tarime kulalamika juu ya jamii kutofaidika na mfuko huo na badala yake kunufaisha baadhi ya watu wachache.
Rais Magufuli alitoa maelekezo ya kufanyika kwa uchunguzi wa mfuko huo wakati wa ziara yake Mkoani Mara tarehe 4 hadi 8 Septemba, 2018.
Mbali na agizo la kuuvunja uongozi wa mfuko, Waziri Kairuki aliiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwachunguza na kuwachukulia hatua za kisheria wajumbe wa bodi ya wadhamini, menejimenti ya mfuko na yeyote atakayethbitika kujihusisha na ufujaji na matumizi mabaya ya fedha za mfuko.
Pia, aliiagiza serikali ya Mkoa kukaa na wamiliki wote wa leseni zilizopo ndani ya Mgodi ambao wanalipwa mrabaha wa asilimia 1 kuangalia mfumo bora ili nao wachangie kwenye mfuko sehemu ya fedha wanazopokea kwa ajili ya maendeleo ya vijiji vnavyozunguka Mgodi wa North Mara.
Vilevile, aliigiza TAKUKURU kuchunguza na kuwachukulia hatua za kisheria watumishi wote watakaobainika kufanya ufujaji na ubadhirifu wa fedha za umma shilingi 214,000,000.
Maagizo ya Waziri Kairuki yanatokana na yaliyobainika katika kamati iliyoundwa na Wizara ya Madini baada ya kutolewa maelekezo ya kuchunguzwa kwa mfuko huo na Rais Magufuli.
Waziri Kairuki alisema miongoni mwa mambo iliyoyabaini kamati hiyo ni pamoja na Kampuni Tanzu ya North Mara Commercial Business Ltd tarehe 20 Aprili, kutoa kiasi cha shilingi milioni 214,000,000 kwenda kwa DAS Tarime kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo cha miwa, ambapo katika taarifa yake, Waziri Kairuki alisema kuwa, fedha hizo zilitokana na maombi yaliyowasilishwa na Mkuu wa wilaya ya Tarime, ambazo hata hivyo, hazikuzingatia utaratibu wa fedha za umma na manunuzi.
“ Kampuni Tanzu ilifunguliwa mwaka 2017 ambayo wana hisa wake ni North Mara Community Trust Fund asilimia 99 na Bw., Robin Motengi Marwa asilimia 1,” alisema Kairuki
Aliongeza kuwa, pia ilibainika kuwa, wajumbe wa bodi ya wadhamini wamekuwa wakikopeshwa fedha za mfuko kinyume na malengo ya uanzishwaji wa mfuko huo.
Pia, kamati hiyo ilibaini kwamba, kati ya Mwaka 1990 hadi 1998, vijiji vya Nyangoto, Karende, Kewanja, Genkuru na Nyamwanga viliwahi kumiliki leseni tano za uchimbaji (CTs). Mwaka 1996, vijiji hivyo vilibadili leseni hizo kwa hiari yao na kuwa leseni ya utafiti PL 370/96 na kisha kuihamishia kwenye Kampuni ya East African Gold Mining Ltd (EAGM) na kisha kubadilishwa kuwa leseni ya uchimbaji wa kati (ML 17/96).
Halikadhalika, Waziri Kairuki alisema kamati ilibaini kuwa, North Mara Community Trust Fund ilianzishwa kwa makubaliano kati ya Mgodi na kampuni ya KEL ya Mwaka 2004. Mfuko huo ulisajiliwa Mwaka 2013 na kuanza kazi Mwaka 2015. Aliongeza kuwa, wachangiaji pekee wa Mfulo huo ni KEL na Mgodi kwa kiwango cha sawa cha asilimia 0.1 ya uzalishaji katika eneo la KEL.
“ Mfuko huo unaendeshwa na wajumbe wa bodi inayoundwa na pande zote tatu yaani Mgodi, KEL na vijiji, bodi inatakiwa kuwa na wajumbe wasiopungua watano.
Akizungumza kuhusu malengo ya kuundwa mfuko huo, alisema kamati ilibaini kwamba mfuko ulianzishwa kwa lengo l kutafuta shughuli zenye manufaa kwa jamii, kuhamasisha, kusaidia na kuwezesha program na shughuli kwenye maeneo ya elimu, mafunzo, afya, uwezo kilimo , maji na kupunguza umaskini kwa ujumla kadri ya wadhamini watakavyoona inafaa.
Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima, alisema kazi hiyo ilifanyika kwa kipidi cha miezi miwili na hivyo kumshukuru waziri na wote walioshiriki kukamilika maagizo hayp hayo ya kufanyika uchunguzi, yaliyotolewa na Rais Magufuli.
Waziri wa Madini Angellah Kairuki ameuagiza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuvunja uongozi wa Mfuko wa Udhamini wa North Mara ( Bodi ya Wadhamini na Menejimenti) kwa kuwa umeshindwa kusimamia uendeshaji wa Mfuko kwa tija na kuandaa utaratibu mzuri wa usimamizi wa Mfuko huo ambao utakuwa na manufaa kwa Taifa .
Aidha, Waziri Kairuki amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Tarime kuruhusu fedha za Keng’anya Enterprises Ltd ( KEL) kuendelea kulipwa hadi hapo vyombo vya uchunguzi vitakakapobaini na kuelekeza vinginevyo, huku Mkuu wa Mkoa wa Mara akitakiwa kusimamia utekelezaji wa agizo hilo.
“Kwa kuwa Keng’anya Enterprises iliomba kupata PL 303/95 kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia Sekta ya Madini, hivyo malipo ya mrabaha wa asilimia moja yanayopokelewa kutoka kwenye mgodi kwa mujibu wa mkataba wake ni halali,” alisisitiza Kairuki.
Waziri Kairuki alitoa maagizo hayo Novemba 21, ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ambaye alielekeza kufanyika uchunguzi wa Mfuko wa North Mara Community Trust Fund, baada ya baadhi ya wananchi wa Nyamongo Wilayani Tarime kulalamika juu ya jamii kutofaidika na mfuko huo na badala yake kunufaisha baadhi ya watu wachache.
Rais Magufuli alitoa maelekezo ya kufanyika kwa uchunguzi wa mfuko huo wakati wa ziara yake Mkoani Mara tarehe 4 hadi 8 Septemba, 2018.
Mbali na agizo la kuuvunja uongozi wa mfuko, Waziri Kairuki aliiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwachunguza na kuwachukulia hatua za kisheria wajumbe wa bodi ya wadhamini, menejimenti ya mfuko na yeyote atakayethbitika kujihusisha na ufujaji na matumizi mabaya ya fedha za mfuko.
Pia, aliiagiza serikali ya Mkoa kukaa na wamiliki wote wa leseni zilizopo ndani ya Mgodi ambao wanalipwa mrabaha wa asilimia 1 kuangalia mfumo bora ili nao wachangie kwenye mfuko sehemu ya fedha wanazopokea kwa ajili ya maendeleo ya vijiji vnavyozunguka Mgodi wa North Mara.
Vilevile, aliigiza TAKUKURU kuchunguza na kuwachukulia hatua za kisheria watumishi wote watakaobainika kufanya ufujaji na ubadhirifu wa fedha za umma shilingi 214,000,000.
Maagizo ya Waziri Kairuki yanatokana na yaliyobainika katika kamati iliyoundwa na Wizara ya Madini baada ya kutolewa maelekezo ya kuchunguzwa kwa mfuko huo na Rais Magufuli.
Waziri Kairuki alisema miongoni mwa mambo iliyoyabaini kamati hiyo ni pamoja na Kampuni Tanzu ya North Mara Commercial Business Ltd tarehe 20 Aprili, kutoa kiasi cha shilingi milioni 214,000,000 kwenda kwa DAS Tarime kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo cha miwa, ambapo katika taarifa yake, Waziri Kairuki alisema kuwa, fedha hizo zilitokana na maombi yaliyowasilishwa na Mkuu wa wilaya ya Tarime, ambazo hata hivyo, hazikuzingatia utaratibu wa fedha za umma na manunuzi.
“ Kampuni Tanzu ilifunguliwa mwaka 2017 ambayo wana hisa wake ni North Mara Community Trust Fund asilimia 99 na Bw., Robin Motengi Marwa asilimia 1,” alisema Kairuki
Aliongeza kuwa, pia ilibainika kuwa, wajumbe wa bodi ya wadhamini wamekuwa wakikopeshwa fedha za mfuko kinyume na malengo ya uanzishwaji wa mfuko huo.
Pia, kamati hiyo ilibaini kwamba, kati ya Mwaka 1990 hadi 1998, vijiji vya Nyangoto, Karende, Kewanja, Genkuru na Nyamwanga viliwahi kumiliki leseni tano za uchimbaji (CTs). Mwaka 1996, vijiji hivyo vilibadili leseni hizo kwa hiari yao na kuwa leseni ya utafiti PL 370/96 na kisha kuihamishia kwenye Kampuni ya East African Gold Mining Ltd (EAGM) na kisha kubadilishwa kuwa leseni ya uchimbaji wa kati (ML 17/96).
Halikadhalika, Waziri Kairuki alisema kamati ilibaini kuwa, North Mara Community Trust Fund ilianzishwa kwa makubaliano kati ya Mgodi na kampuni ya KEL ya Mwaka 2004. Mfuko huo ulisajiliwa Mwaka 2013 na kuanza kazi Mwaka 2015. Aliongeza kuwa, wachangiaji pekee wa Mfulo huo ni KEL na Mgodi kwa kiwango cha sawa cha asilimia 0.1 ya uzalishaji katika eneo la KEL.
“ Mfuko huo unaendeshwa na wajumbe wa bodi inayoundwa na pande zote tatu yaani Mgodi, KEL na vijiji, bodi inatakiwa kuwa na wajumbe wasiopungua watano.
Akizungumza kuhusu malengo ya kuundwa mfuko huo, alisema kamati ilibaini kwamba mfuko ulianzishwa kwa lengo l kutafuta shughuli zenye manufaa kwa jamii, kuhamasisha, kusaidia na kuwezesha program na shughuli kwenye maeneo ya elimu, mafunzo, afya, uwezo kilimo , maji na kupunguza umaskini kwa ujumla kadri ya wadhamini watakavyoona inafaa.
Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima, alisema kazi hiyo ilifanyika kwa kipidi cha miezi miwili na hivyo kumshukuru waziri na wote walioshiriki kukamilika maagizo hayp hayo ya kufanyika uchunguzi, yaliyotolewa na Rais Magufuli.
↧
↧
Sethi, Rugemalira Wakwama Kufikishwa Mahakamani
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar salaam imeelezwa kuwa sababu za kutofika mahakamani kwa watuhumiwa wawili wa makosa ya uhujumu uchumi, Harbinder Sethi na James Rugemalila kuwa ni ukosefu wa Usafiri kutoka kwa idara ya Magereza.
Hayo yameelezwa na wakili wa Serikali, Emmanuel Nitume, kwa hakimu mkazi wa mahakama hiyo, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokuwa tayari kwaajili ya kutajwa.
Madai hayo ya Wakili wa serikali pia yalielezwa na moja ya ofisa wa magereza ambaye naye alikiri idara ya magereza kushindwa kuwafikisha watuhumiwa kwa sababu ya changamoto ya usafiri.
Sethi na Rugemalila wanashtakiwa kwa jumla ya makosa 12 ikiwemo kosa la kuhujumu uchumi pamoja na utakatishaji wa pesa zaidi ya bilioni 309, sambamba na kupanga njama za kujenga mitandao ya kiuhalifu.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa tena Disemba 6 mwaka huu.
Hayo yameelezwa na wakili wa Serikali, Emmanuel Nitume, kwa hakimu mkazi wa mahakama hiyo, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokuwa tayari kwaajili ya kutajwa.
Madai hayo ya Wakili wa serikali pia yalielezwa na moja ya ofisa wa magereza ambaye naye alikiri idara ya magereza kushindwa kuwafikisha watuhumiwa kwa sababu ya changamoto ya usafiri.
Sethi na Rugemalila wanashtakiwa kwa jumla ya makosa 12 ikiwemo kosa la kuhujumu uchumi pamoja na utakatishaji wa pesa zaidi ya bilioni 309, sambamba na kupanga njama za kujenga mitandao ya kiuhalifu.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa tena Disemba 6 mwaka huu.
↧
Rais Magufuli amteua Dkt. Lutengano Mwakahesya kuwa Mwenyekiti wa PBPA
↧
Waziri Mpya wa Kilimo, Mh. Hasunga Akabidhiwa Rasmi Ofisi.....Tizeba Atoa Neno
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Aliyewahi kuwa Waziri wa Kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba ambaye ni Mbunge wa Buchosa Mkoani Mwanza leo tarehe 22 Novemba 2018 amemkabidhi rasmi ofisi Waziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb).
Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa mikutano maarufu kama Kilimo IV Jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Naibu mawaziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba na Mhe Innocent Bashungwa, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe, na Wakuu wa idara na Vitengo.
Akizungumza katika hafla hiyo fupi Mhe Dkt Tizeba amempongeza Mhe Hasunga kwa kuteuliwa kuhudumu katika nafasi hiyo ambapo amesisitiza kusimamiwa kwa weledi huduma za ugani ambazo kwa kiasi kikubwa hakuna jambo la kujivunia katika eneo hilo kutokana na mgawanyo wa kimajukumu kuwa katika wizara mbili ya kilimo na TAMISEM jambo ambalo linapunguza ufanisi wa kiweledi.
Alisema kuwa wizara inapaswa kuendelea kusomesha wataalamu mbalimbali nchini wakiwemo wa ugunduzi na utafiti ili kuongeza tija ya kilimo na utoaji elimu kwa wakulima na kuongeza uwezo wa uzalishaji wa wananchi sambamba na Taifa kwa ujumla.
Vilevile amesema kuwa Wizara ya kilimo ni tanuru muhimu kwa mahitaji ya wananchi hivyo inapaswa kutazamwa kwa karibu zaidi na serikali ikiwa ni pamoja na kupewa fedha kwa wakati ili kukamilisha miradi mbalimbali ambayo tayari imeanzishwa.
Kuhusu mfumo wa uzalishaji wa mbegu alisema kuwa serikali ina Wakala wa mbegu za kilimo (ASA) ambao wanafanya kazi nzuri ya uzalishaji wa mbegu lakini wanapaswa kuwezeshwa ili waweze kuzalisha mbegu kwa kutumia mfumo wa umwagiliaji badala ya kuzalisha mbegu wakati msimu wa kilimo unaendelea.
“ASA wanazalisha mbegu wakati ambapo msimu wa kilimo umefika hivyo mbegu zao zinakosa umuhimu kwa wakulima, hivyo wanapaswa kuzalisha mbegu kabla ya msimu wa kilimo kufika” Alisisitiza Dkt Tizeba
Kuhusu mradi wa ujenzi wa Maghala na Vihenge vya kisasa unaendelea vyema lakini hausimamiwi ipasavyo na Taasisi zingine za serikali zilizopewa jukumu kubwa na muhimu la kusimamia shughuli hiyo wakiwemo Wakala wa majengo Tanzania (TBA).
Kwa upande wake Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) amempongeza waziri huyo mstaafu Mhe Dkt Charles Tizeba ambaye ni Mbunge wa Buchosa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwenye wizara ya kilimo ikiwa ni pamoja na kusimamia kwa weledi ukuaji wa sekta ya kilimo kwa kipindi cha robo mwaka ya kwanza ya mwaka 2018/2019 ambayo imekuwa kwa asilimia 7.1
Waziri Hasunga alisema kuwa Dkt Tizeba ni mfano wa kiongozi bora nchini ambaye ametekeleza majukumu yake kwa weledi na kutoa ushirikiano mkubwa kwa viongozi wengine jambo ambalo linatoa chachu na kuonyesha jinsi alivyo mzalendo kwa Taifa.
“Kutokana na alama alizoziacha Dkt Tizeba kwenye wizara ya kilimo hakika tunastahili kumuona kama Mtakatifu kwani kulikuwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa chakula nchini lakini alisimamia kidete na kuhakikisha kuwa swala hilo linamalizika na sasa nchi ina ziada kubwa ya chakula hakuna njaa” Alikaririwa Mhe Hasunga na kuongeza kuwa
“Dkt Tizeba alihakikisha kero ya Tozo na Kodi zinafutwa na kusaliwa na Tozo na Kodi chache jambo ambalo limeongeza ufanisi katika wizara, usimamizi huu mzuri uliofanywa hauwezi kusahaulika daima”
Mhe Hasunga aliongeza kuwa mfumo wa uagizaji mbolea wa pamoja ulisimamiwa vizuri na Dkt Tizeba jambo hilo litasalia kuwa muhimu na alama kwa Taifa.
Aidha, Alisema kuwa katika uongozi wa Dkt Tizeba nchi imezidi kuimarika kupitia manufaa wanayoyapata wananchi kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani sambamba na mfumo wa ushirika ambao wananchi walipoteza imani kwa kiasi kikubwa na Ushirika lakini kwa kipindi cha muda mfupi umeimarika kwa kiasi kikubwa.
Aliyewahi kuwa Waziri wa Kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba ambaye ni Mbunge wa Buchosa Mkoani Mwanza leo tarehe 22 Novemba 2018 amemkabidhi rasmi ofisi Waziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb).
Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa mikutano maarufu kama Kilimo IV Jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Naibu mawaziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba na Mhe Innocent Bashungwa, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe, na Wakuu wa idara na Vitengo.
Akizungumza katika hafla hiyo fupi Mhe Dkt Tizeba amempongeza Mhe Hasunga kwa kuteuliwa kuhudumu katika nafasi hiyo ambapo amesisitiza kusimamiwa kwa weledi huduma za ugani ambazo kwa kiasi kikubwa hakuna jambo la kujivunia katika eneo hilo kutokana na mgawanyo wa kimajukumu kuwa katika wizara mbili ya kilimo na TAMISEM jambo ambalo linapunguza ufanisi wa kiweledi.
Alisema kuwa wizara inapaswa kuendelea kusomesha wataalamu mbalimbali nchini wakiwemo wa ugunduzi na utafiti ili kuongeza tija ya kilimo na utoaji elimu kwa wakulima na kuongeza uwezo wa uzalishaji wa wananchi sambamba na Taifa kwa ujumla.
Vilevile amesema kuwa Wizara ya kilimo ni tanuru muhimu kwa mahitaji ya wananchi hivyo inapaswa kutazamwa kwa karibu zaidi na serikali ikiwa ni pamoja na kupewa fedha kwa wakati ili kukamilisha miradi mbalimbali ambayo tayari imeanzishwa.
Kuhusu mfumo wa uzalishaji wa mbegu alisema kuwa serikali ina Wakala wa mbegu za kilimo (ASA) ambao wanafanya kazi nzuri ya uzalishaji wa mbegu lakini wanapaswa kuwezeshwa ili waweze kuzalisha mbegu kwa kutumia mfumo wa umwagiliaji badala ya kuzalisha mbegu wakati msimu wa kilimo unaendelea.
“ASA wanazalisha mbegu wakati ambapo msimu wa kilimo umefika hivyo mbegu zao zinakosa umuhimu kwa wakulima, hivyo wanapaswa kuzalisha mbegu kabla ya msimu wa kilimo kufika” Alisisitiza Dkt Tizeba
Kuhusu mradi wa ujenzi wa Maghala na Vihenge vya kisasa unaendelea vyema lakini hausimamiwi ipasavyo na Taasisi zingine za serikali zilizopewa jukumu kubwa na muhimu la kusimamia shughuli hiyo wakiwemo Wakala wa majengo Tanzania (TBA).
Kwa upande wake Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) amempongeza waziri huyo mstaafu Mhe Dkt Charles Tizeba ambaye ni Mbunge wa Buchosa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwenye wizara ya kilimo ikiwa ni pamoja na kusimamia kwa weledi ukuaji wa sekta ya kilimo kwa kipindi cha robo mwaka ya kwanza ya mwaka 2018/2019 ambayo imekuwa kwa asilimia 7.1
Waziri Hasunga alisema kuwa Dkt Tizeba ni mfano wa kiongozi bora nchini ambaye ametekeleza majukumu yake kwa weledi na kutoa ushirikiano mkubwa kwa viongozi wengine jambo ambalo linatoa chachu na kuonyesha jinsi alivyo mzalendo kwa Taifa.
“Kutokana na alama alizoziacha Dkt Tizeba kwenye wizara ya kilimo hakika tunastahili kumuona kama Mtakatifu kwani kulikuwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa chakula nchini lakini alisimamia kidete na kuhakikisha kuwa swala hilo linamalizika na sasa nchi ina ziada kubwa ya chakula hakuna njaa” Alikaririwa Mhe Hasunga na kuongeza kuwa
“Dkt Tizeba alihakikisha kero ya Tozo na Kodi zinafutwa na kusaliwa na Tozo na Kodi chache jambo ambalo limeongeza ufanisi katika wizara, usimamizi huu mzuri uliofanywa hauwezi kusahaulika daima”
Mhe Hasunga aliongeza kuwa mfumo wa uagizaji mbolea wa pamoja ulisimamiwa vizuri na Dkt Tizeba jambo hilo litasalia kuwa muhimu na alama kwa Taifa.
Aidha, Alisema kuwa katika uongozi wa Dkt Tizeba nchi imezidi kuimarika kupitia manufaa wanayoyapata wananchi kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani sambamba na mfumo wa ushirika ambao wananchi walipoteza imani kwa kiasi kikubwa na Ushirika lakini kwa kipindi cha muda mfupi umeimarika kwa kiasi kikubwa.
↧
Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU MPENZI.
NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati watendo la ndoa
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa
3.Kutoa choo kama cha mbuzi
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma
5 kukosa choo kabisa
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi
7 korondani moja kuvimba
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
9 maumivu ya kiuno na mgongo
Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?
WASILIANA NA MTALAM CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa
3.Kutoa choo kama cha mbuzi
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma
5 kukosa choo kabisa
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi
7 korondani moja kuvimba
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
9 maumivu ya kiuno na mgongo
Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?
WASILIANA NA MTALAM CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.
↧
↧
'Waliomuua' Dr Mvungi Waachiwa huru, Wakamatwa Tena
Mahakama Kuu Kanda ya Dar Es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa sita wanaodaiwa kumuua kwa makusudi aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengodo Mvungi.
Washtakiwa hao wameachiwa huru leo baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kuomba kuondoa shtaka hilo kwa kuwa hawana nia ya kuendelea nalo.
Jamhuri ikiwakilishwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nasoro Katuga, aliwasilisha maombi hayo na mahakama ikakubali kuwaachia washtakiwa hao huru.
Baada ya kuachiwa huru walikamatwa tena na kupelekwa Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusomewa mashtaka mapya ya mauji ya Dk. Mvungi.
Washtakiwa ni Msigwa Matonya, Mianda Mlewa, Paulo Mdonondo, Longishu Losindo, Juma Kangungu na John Mayunga.
Washtakiwa wanadaiwa kutenda makosa hayo Novemba 3 mwakasisi 2013 maeneo ya Kibwerenge Msakuzi maeneo ya Mbezi.
Washtakiwa hao wameachiwa huru leo baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kuomba kuondoa shtaka hilo kwa kuwa hawana nia ya kuendelea nalo.
Jamhuri ikiwakilishwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nasoro Katuga, aliwasilisha maombi hayo na mahakama ikakubali kuwaachia washtakiwa hao huru.
Baada ya kuachiwa huru walikamatwa tena na kupelekwa Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusomewa mashtaka mapya ya mauji ya Dk. Mvungi.
Washtakiwa ni Msigwa Matonya, Mianda Mlewa, Paulo Mdonondo, Longishu Losindo, Juma Kangungu na John Mayunga.
Washtakiwa wanadaiwa kutenda makosa hayo Novemba 3 mwakasisi 2013 maeneo ya Kibwerenge Msakuzi maeneo ya Mbezi.
↧
Ester Bulaya Aivaa Serikali Sakata la Sheria Mpya ya Mafao ya Hifadhi ya Jamii
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepinga sheria mpya ya mafao ya hifadhi ya jamii kikidai sheria hiyo inamuumiza mtumishi Mwenye kipato cha chini katika mafao yake pindi anapostaafu.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Makao makuu ya Chama hicho, Waziri kivuli Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Esther Amos Bulaya amesema sheria hiyo inampa mtumishi 25% ya mafao Yake pindi akistaafu huku 75% akilipwa ndani ya mshahara wake akiwa Kazini.
Bulaya amesema Serikali imekuwa ikikopa na kuchelewesha mafao ya wastaafu ambapo mpaka sasa serikali inadaiwa takriban trillion 8 na mifuko hiyo na kusisitiza ni Wajibu wa serikali kulipa Pesa hizo kwa maslahi ya wastaafu.
Hata hivyo amegusia suala la Ajira na kupanda kwa madaraja na mishahara kwa watumishi ambapo amesema kwa kipindi cha miaka 3 serikali imeshindwa kuajiri na kupandisha mishahara kwa watumishi hali inayopelekea ongezeko la vijana wasio na Ajira mtaani.
Bulaya ameishauri Serikali kama Waziri kivuli Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu na kuwataka wafuate ushauri huo kwa maslahi mapana ya Taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Makao makuu ya Chama hicho, Waziri kivuli Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Esther Amos Bulaya amesema sheria hiyo inampa mtumishi 25% ya mafao Yake pindi akistaafu huku 75% akilipwa ndani ya mshahara wake akiwa Kazini.
Bulaya amesema Serikali imekuwa ikikopa na kuchelewesha mafao ya wastaafu ambapo mpaka sasa serikali inadaiwa takriban trillion 8 na mifuko hiyo na kusisitiza ni Wajibu wa serikali kulipa Pesa hizo kwa maslahi ya wastaafu.
Hata hivyo amegusia suala la Ajira na kupanda kwa madaraja na mishahara kwa watumishi ambapo amesema kwa kipindi cha miaka 3 serikali imeshindwa kuajiri na kupandisha mishahara kwa watumishi hali inayopelekea ongezeko la vijana wasio na Ajira mtaani.
Bulaya ameishauri Serikali kama Waziri kivuli Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu na kuwataka wafuate ushauri huo kwa maslahi mapana ya Taifa.
↧
Emmanuel Mbasha Amfungukia Mchungaji Aliyemtoa Mapepo Rose Mhando
Kuna video imesambaa ikimuonyesha Mwimbaji Mkongwe wa nyimbo za Gospel Rose Muhando akifanyiwa maombi ambapo kila mmoja amekua na maoni yake baada ya kuitazama. Hapo chini ni mtazamo wa Msanii wa Injili, Emmanuel Mbasha.
'Nikiwa kama baba wa kiroho na mlezi mkuu wa waimbaji wote wa nyimbo za injili Tanzania, napenda kuweka wazi kuwa nimehuzunishwa sana na hii video ya maombezi ya muimbaji mwenzetu Rose Muhando.
Kwa unyenyekevu kabisa naweza kusema kuwa, maombi ni muhimu sana kwa watu wote, ila namna ya kuombea ikiwa mbaya inaweza kuharibu umuhimu wote wa maombi na kusababisha maombi yadharaurike au yamdharaulishe aliyeombewa.
Katika nia yangu ya ndani nimefurahishwa sana na kitendo cha Rose kuombewa, ila kero yangu kubwa imekuwa kwenye njia iliyotumika kumuombea. Rose Muhando ni star, na katika medani za mziki wa injili ni mtu anaetazamwa na watu wengi sana kama rol model wao, hivyo nadhani ilikuwa ni bora zaidi kuwa waangalifu katika kumuombea ili kulinda brand yake.
Biblia inasema, mwenye heshima apewe heshima, hivyo kwangu mimi sidhani kama mchungaji aliyemuombea Rose amempatia heshima anayostahili, maana binafsi sikuona haja ya kuwasha camera na kuanza kumuombea hadharani vile.
Hali hii inaweza kumtangaza sana muombeaji lakini kwa upande wa muombeaji inaweza kuzidisha tatizo na kusababisha adharaulike zaidi kwenye jamii inayomtazama. Watumishi wa Mungu mahitaji kuwa na hekima pamoja na kifua cha kutunza siri, na siyo kufanya mambo kwa mihemko huku mkitazama maslahi yenu.
Mimi nadhani ingekuwa bora sana endapo mchungaji angemuombea ofisini, na kama maombi yangeleta majibu naamini video ya shuhuda ambayo Rose Muhando ange ongea wakati akiwa na akili zake timamu ndiyo ingefaa kusambaa na kuendelea kumjengea heshima yeye pamoja na mtumishi aliyemuhudumia.
Kumbuka yule Akida (mkuu wa vikosi cha askari wa kirumi) alipohitaji maombi kwa Yesu, Biblia inasema Yesu alifunga safari kwenda nyumbani kwake ili kumuombea. Unadhani kwanini hakumwambia apelekwe amuombee hadharani kama alivyofanya kwa Batromayo? Hii ilikuwa ni hekima ya kulinda heshima ya muombewaji. Maana huwezi kumuombea Rais kama unavyoombea ombaomba au mpiga debe.
Kwa kweli nimeamua kuwa muwazi na kuziweka huzuni zangu hadharani ili waombeaji mjirekebishe. Siyo kila maombi yafanyike wakati caméra ziko on, kuna mengine ya kuzima camera na kuomba kwa staha ili kuendeleza uhai na kipawa'
↧
JWTZ Yapoteza Wanajeshi Wengine Watatu
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kama mnavyofahamu linashiriki Ulinzi wa Amani ndani na nje ya Bara la Afrika.
JWTZ linasikitika kuwataarifu kwamba limewapoteza wapiganaji wake watatu (3) waliofariki kwa tarehe tofauti nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Afrika ya Kati (CAR) wakiwa kwenye jukumu la Ulinzi wa Amani baada ya kushambuliwa na vikundi vinavyosadikiwa kuwa ni vya waasi.
Mashujaa wetu waliouwawa ni Koplo Mohamed Mussa, Koplo Erick Masauri John na Praiveti Musa Shija Machibya. Miili ya marehemu hao tayari imepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kuhifadhiwa katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo.
Heshima za mwisho kwa mashujaa wetu hao zitatolewa katika sehemu ya kuagia Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo kesho tarehe 23 Novemba 2018 kuanzia saa 2.30 asubuhi. Vyombo vya Habari na Wananchi wanakaribishwa tuungane katika kuaga mashujaa wetu.
Mungu azilaze Roho za Mashujaa wetu mahali pema Peponi, Amina.
JWTZ linasikitika kuwataarifu kwamba limewapoteza wapiganaji wake watatu (3) waliofariki kwa tarehe tofauti nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Afrika ya Kati (CAR) wakiwa kwenye jukumu la Ulinzi wa Amani baada ya kushambuliwa na vikundi vinavyosadikiwa kuwa ni vya waasi.
Mashujaa wetu waliouwawa ni Koplo Mohamed Mussa, Koplo Erick Masauri John na Praiveti Musa Shija Machibya. Miili ya marehemu hao tayari imepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kuhifadhiwa katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo.
Heshima za mwisho kwa mashujaa wetu hao zitatolewa katika sehemu ya kuagia Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo kesho tarehe 23 Novemba 2018 kuanzia saa 2.30 asubuhi. Vyombo vya Habari na Wananchi wanakaribishwa tuungane katika kuaga mashujaa wetu.
Mungu azilaze Roho za Mashujaa wetu mahali pema Peponi, Amina.
↧
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Novemba 23
↧
Vyanzo Vikuu Vya Maradhi Ya Kichawi
Kama ilivyo kwa magonjwa ya kawaida, maradhi ya kichawi nayo yana vyanzo vyake. Ni vyema kujua vyanzo vya maradhi haya ili uweze kujua namna ya kujiepusha nayo.
NJIA WATUMIAZO WACHAWI KUWASABABISHIA WATU MARADHI YA KISHEITWANI
Wachawi wakitaka kumsababishia mtu maradhi ya kisheitwani huwa wanatumia njia kuu zifuatazo:
1.KUMLISHA SUMU ZA KICHAWI : Hii ni miti inayo kaliwa na kumilikiwa na majini wa kisheitwani ambao kazi yao kuu ni kuwasababishia wanadamu maradhi na matatizo mbalimbali ya kimaisha.
Katika kutengeneza sumu za kichawi, wachawi hutumia miti hiyo kwa kuichanganya na mikuli ya ndege, wanyama, samaki na wadudu wenye kuhusiana na majini mbalimbali wa kisheitwani.
Bomu likisha kamilika sasa ndipo mhusika aliye kusudiwa hulishwa uchawi kwa lengo la kumsababishia maradhi ya kisheitwani.
MBINU WANAZO TUMIA WACHAWI KUWALISHA WATU SUMU ZA KICHAWI
Wachawi wakitaka kumlisha mtu sumu za kichawi hufanya hivyo kwa kuwatumia misukule kwa sababu misukule wanaweza kuingia kwenye nyumba ya mtu na kufanya au kuchukua kitu chochote walicho agizwa na kisha kutoka bila kuonekana na mtu yoyote.
Kwa hiyo misukule wakishaweka uchawi huo kwenye chakula , mhusika atakapo kula chakula hicho tayari uchawi unakuwa umeingia mwilini mwake na baada ya kipindi kilicho kusudiwa basi mhusika huyo ataanza kuonyesha dalili zote za maradhi yaliyo kusudiwa kwake.
KINGA
Kujikinga wewe pamoja na familia dhidi ya shari hii unaweza kufanya mojawapo kati ya mambo yafuatayo :
Moja : Kuchanjiwa dawa ya kutapisha sumu za kichawi mara baada ya kula ama kulishwa sumu hizo : Zipo kinga maalumu za asili zenye kumsaidia mtu kutapisha sumu za kichawi mara tu anapo kuwa amelishwa sumu hizo. Zipo dawa ambazo mhusika hutapika kupitia mdomoni na zingine mhusika hutoa sumu za kichawi kwa njia ya haja kubwa.
Hii dawa ya kutoa sumu za kichawi mwilini kwa njia ya haja kubwa hutengenezwa kwa kutumia samaki wa maji baridi ajulikanae kama Shilonge. Samaki huyu anapatikana Ziwa Victoria tu na ana sifa moja kubwa huwa hakai kwenye tumbo la samaki. Samaki wakubwa wakimmeza samaki huyu mdomoni huwa anateleza tumboni na kutokea kwenye tundu la haja kubwa hapo hapo .
Samaki huyu huchanganywa na dawa zingine za porini kutengeneza dawa ya kusaidia kuondoa sumu za kichawi kwa njia ya haja kubwa mara mtu anapokuwa amelishwa uchawi huo. Na hata kama mtu alikuwa ameshalishwa uchawi zamani, dawa hii husaidia kumuondolea uchawi. Samaki huyu pia hutumika kutengeneza dawa ya kumuchisha mtu pombe.
==>><<BOFYA HAPA >> Kuendelea na makala hii
==>><<BOFYA HAPA >> Kuendelea na makala hii
↧
Ujenzi Wa Daraja Katika Ziwa Victoria Kuanza Mwakani
Naibu Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Elias John Kwandikwa amewataka wakazi wa mikoa ya Mwanza na Geita kuchangamkia fursa za kiuchumi na kijamii zitakazojitokeza wakati wa ujenzi wa daraja litakalounganisha eneo la Kigongo na Busisi Mkoani Mwanza.
Amesema maandalizi kwaajili ya ujenzi wa daraja hilo la aina yake hapa nchini yako katika hatua ya usanifu wa kina hivyo ujenzi wake utaanza mara baada ya mkandarasi wake kutangazwa na linatarajiwa kuwa na urefu wa kilomita 3.2, litakapokamilika.
“Hakikisheni mnatoa ushirikiano kwa mkandarasi ili kazi ya ujenzi iwe nyepesi na wale watakaopata fursa za ajira fanyeni kazi kwa weledi, bidii na nidhamu” amesisitiza Naibu Waziri Kwandikwa.
Amesema Serikali inatumia fedha nyingi katika miradi ya maendeleo ya muda mrefu hivyo ni jukumu la wananchi kujiandaa na kubaini fursa za kiuchumi na kijamii na kuzitumia.
Naye Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Mkoa wa Mwanza Mhandisi Marwa Rubirya amesema daraja hilo litakuwa na njia nne za kupitisha magari, njia ya waenda kwa miguu ambapo pia litakuwa na kina kitakachoruhusu meli kupita chini ya daraja hilo.
Mhandisi Rubirya amesisitiza umuhimu wa wananchi wenye maeneo yatakayotumika kupisha ujenzi huo kutoa ushirikiano ili kuharakisha kazi hiyo.
Katika hatua nyingine Naibu Waziri Kwandikwa amekagua kivuko cha Kigongo-Busisi na kuagiza Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), kuhakikisha elimu inatolewa kwa wananchi kuhusu usalama na matumizi sahihi ya utumiaji wa vivuko.
Amezungumzia umuhimu wa TEMESA kuweka mifumo ya kielektoniki ili kuwezesha waendesha vivuko, wakusanya mapato na wasimamizi kuwa na mawasiliano ya pamoja na hivyo kuwezesha vivuko kuwa na abiria na mizigo inayokubalika wakati wote.
Mkuu wa kivuko cha Kigongo –Busisi Mhandisi Abdala Atiki amesema kivuko hicho kwa sasa kinahudumiwa na Mv- Mwanza na Mv- Misungwi ambapo zaidi ya abiria elfu sita na mia tano huvushwa kwa siku.
Zaidi ya mikoa 12 nchini ina maeneo yenye mahitaji ya vivuko ambapo takriban vivuko 30 vinatoa huduma nchini kote.
↧
More Pages to Explore .....