Diva The Bawse ambaye ametoa wimbo wake mpya ‘Mashallah’ siku chache
zilizopita, amesema anajiandaa kuufanyia video pamoja na kuanza tour ya
kuutangaza wimbo huo.
“Video tunatarajia kufanya na aliyefanya ‘Asante’ ya Ay,” Diva ameiambia Mpekuzi leo.
Ameongeza kuwa kwasasa ameamua kuingia kwenye muziki kwa miguu yote
miwili, ndio sababu anatarajia kuanza kufanya tour mikoani
Loveness Diva kufanya Video ya ‘Mashallah’ na Director wa Kenya
↧
↧
Orodha ya wasanii wa Kili Music Tour 2014 yatajwa, tweet ya Jaydee yamponza, aachwa mwaka huu
Orodha ya wasanii watakaoshiriki kwenye Kili Music Tour 2014 imetangazwa leo.
Mwaka huu zaidi ya wasanii 30 watashiriki katika ziara hiyo kwenye
mikoa zaidi ya 10 nchini itakayoanza Mei hadi Septemba 2014.
Wasanii hao ni pamoja na Diamond, Ommy Dimpoz, Linex, Proffesor Jay,
Izzo Biznes, Kala Jeremiah, Fid Q, Snura, Weusi, Ben Pol, Mzee Yusuph,
Shilole na Mwasiti.
Wengine
↧
Nigeria yasema iko tayari kulegeza Msimamo kwa wafungwa wa Boko Haram ili wasichana waliotekwa waweza kuachiwa huru
Serikali ya Nigeria
inasema kuwa iko tayari kuzingatia mbinu zote zitakazowezesha kuachiliwa
huru na salama kwa zaidi ya wasichana mia mbili wa shule waliotekwa nyara
na wanamgambo wa kiislamu wa Boko Haram.
Awali waziri wa serikali alikuwa
ameshikilia msimamo mkali kama vile kukatalia mbali pendekezo la
kiongozi wa Boko Haram la kubadililishana wafungwa wa Boko Haram
wanaozuiliwa
↧
Kichanga chatupwa mto Ng'ombe jirani na Rasco, Mwananyamala jijini Dar.....Kinakadiriwa kuwa na siku mbili, kilikuwa ndani ya Rambo
MWILI wa kichanga kinachokadiriwa kuwa na siku mbili umeokotwa ukiwa
umetupwa eneo la mto Ng'ombe jirani na Rasco, Mwananyamala jijini Dar.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kichanga hicho cha kiume kimekutwa eneo hilo jana asubuhi kikiwa kwenye mfuko wa Rambo.
Mwandishi wetu alifanikiwa kuongea na Ofisa Mtendaji wa Kata ya
Makumbusho, Bi. Husna aliyetoa rai kwa
↧
Wema awagombanisha Diamond na Prezzo.....Prezzo ajisifu kumvua nguo Wema,Diamond awa mbogo
RAIS wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ yuko ndani ya bifu zito
na mwanamuziki kiwango cha juu kutoka nchini Kenya, Jackson Ngechu
Makini ‘Prezzo’ chanzo kikidaiwa ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu.
Bifu la wawili hao limekuja kufuatia madai kwamba, Prezzo amemtundika
Diamond kwenye mtandao akimkejeli kwa kitendo chake cha kurudiana na
Wema na kuweka mambo hadharani.
↧
↧
Penny: Sitaki kusikia habari za Diamond....Nina mpenzi wangu mwingine
Zilipendwa wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul
‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’, amefunguka kuwa hataki kumsikia
mpenzi wake huyo wa zamani kwa madai kuwa amefungua ukurasa mpya wa
uhusiano na mtu ambaye hata hivyo hakuwa tayari kumweka wazi.
Penny alisema hayo hivi karibuni jijini Dar wakati akizungumza na Risasi lililotaka kujua anazungumziaje tuzo saba za
↧
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga asema FORM SIX atakayekacha mafunzo ya JKT atafikishwa mahakamani
Vijana wasiopungua 45,000 watakaomaliza kidato cha sita
watajiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria na
watakaokwepa mafunzo hayo ya miezi mitatu, watashtakiwa.
Mpango huo wa kupitisha JKT wahitimu wa kidato cha
sita na vyuo, ambao ulifutwa mwanzoni mwa miaka ya 90 kutokana na
matatizo ya kifedha na kurejeshwa bila mafanikio ya miaka ya hivi
karibuni, ulilenga
↧
Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 14 May 2014
↧
Mlevi afariki dunia baada ya kunywa VIROBA vingi bila kula chakula
Michael Silanda ( 26 ) mkazi wa kijiji cha Ibindi, tarafa ya Nsimbo wilaya ya Mlele mkoani Katavi amefariki dunia baada ya kunywa pombe ( Viroba ) aina ya Zed kupita kiasi bila kula chakula....
Kamanda wa polisi mkoani Katavi,Kamishna Msaidizi Mwandamizi,Dhahiri Kidavashari amesema tukio hilo limetokea wiki iliyopita majira ya saa sita usiku
↧
↧
Abiria wa Bodaboda wageuziwa Kibao.....Abiria Ukikutwa umepanda pikipiki isiyo na lesini utafikishwa mahakamani
Meya wa jiji la Dar es Salaam,Dr Didas Massaburi amesema abiria wataokutwa wakiwa wamepanda Pikipiki maarufu kama Boda boda katika maeneo ambayo pikipiki hizo hazina leseni ya kufanya biashara watakamatwa na kufikishwa mahakamani pamoja na dereva.....
Alisema pia wafanyabiashara wadogo wataokutwa wakifanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa
↧
Je, Unasumbuliwa na tatizo la Vidonda vya Tumbo???.....Kama jibu ni Ndiyo, basi BOFYA hapa ukutane na maajabu ya dawa ya Mkatavido katika kutibu na kuponyesha tatizo hilo
Vidonda vya tumbo ni tatizo linalo wasumbua watu wengi duniani . Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, takribani mtu mmoja kati ya watu kumi anasumbuliwa na tatizo la vidonda vya tumbo.
VIDONDA VYA TUMBO NI NINI ?
Kwa lugha nyepesi na yenye kueleweka kwa kila mmoja, vidonda vya tumbo ni majeraha ndani ya tumbo yanayo
↧
Jeshi la wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) lasema liko tayari kwa lolote na Linasubiri Amri tu....Laonya haliyumbishwi na kauli za wanasiasa
NA THEODOS MGOMBA wa gazeti la UHURU
JESHI la
Wanachi wa Tanzania (JWTZ), limeonya kuwa liko imara na litaendelea
kusimamia na kutii amri na maelekezo ya Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya
Kikwete.
Pia, limesema kamwe halitayumbishwa na hila na kauli za kisiasa zinazotolewa kwenye majukwaa.
Kauli hiyo ya
wapiganaji na walinzi wa taifa ilitolewa bungeni jana na Waziri wa
Ulinzi na
↧
Aua shemeji yake kwa kumkata Mapanga huko Tarime.....Kisa ni Mbwa kula Mayai
NA SAMSON CHACHA,Gazeti la Uhuru, TARIME
MKAZI wa Kijiji
cha Nyamwaga wilayani hapa mkoani Mara, Mbusiro Muyuyi, ameuawa kwa
kukatwakatwa kwa panga kichwani na shemeji yake.
Mauaji hayo
yaliyowashitua wengi wilayani hapa, chanzo chake ni mbwa wa mtuhumiwa,
Mwita Muyuyi (17), kula mayai ya kuku wa marehemu.
Habari za
kuaminika zimesema kuwa, Mbusiro (45), alimtuhumu shemeji yake
↧
↧
Natafuta Hata Boyfriend tu Jamani Upweke Umenishinda
Jamani natafuta boyfriend ila awe serious maana huu upweke sasa
unaelekea kuniua… Mchumba niliekuwa nae kapata ajali mwaka jana
ikiyopoteza maishaa yake…
Ni mwaka sasa umepita nadhani nahitaji kurudi
sawa Nimechoka kukaa peke yangu upweke noma sana…Nataka mtu Mstaarabu,
Mpole kiasi , Mchapa Kazi mwenye Kupenda Maendeleo…
Kama Vipi wacha e-mail yako ama number ya simu…ntaamua yupi
↧
Unalichukuliaje suala la mtu kuvaa T- shirt yenye maandishi ambayo hayaendani na yeye au yenye maneno makali kama ya huyu mdau??
↧
Girlfriend wa Cristiano Ronaldo ashambuliwa kwa kupost picha akiwa Uchi na bango lililoandikwa #bringbackourgirls
Tangu wasichana 276 wa Nigeria walipotekwa nyara na kundi la Boko
Haram, watu mbalimbali maarufu duniani wamepost picha kwenye mitandao ya
kijamii wakiwa na mabango yaliyoandikwa ‘Bring back Our Girls’,
ikimaanisha wanajiunga na kampeni ya raia wa Nigeria.
Mwana mitindo Irina Shayk ambaye ni mpenzi wa mchezaji wa mpira wa
miguu Christian Ronaldo yeye amepost picha kwenye twitter
↧
Wimbo Mpya: Victoria Kimani Feat. Diamond & Ommy Dimpoz - Prokoto
↧
↧
Siri Imefichuka: Kumbe Jay Z alitaka kwenda kwenye party ya Rihanna bila Beyonce ndio mzizi wa kupigwa na Solange ambaye ni Shemeji yake
Tetesi za chanzo cha mdogo wake Beyonce, Solange kumpiga Jay Z
walipokuwa ndani ya lift zinazidi kuzua ripoti kutoka kwa vyanzo
mbalimbali.
Kwa mujibu wa The New York Daily News, Solange anadaiwa kuwa
alichukizwa na uamuzi wa Jay Z kutaka kuondoka kwenye After Party
waliyokuwepo na Beyonce na Solange Standard Hotel na kutaka kwenda
kwenye after party ya Rihanna bila Beyonce.
↧
Diamond ni moto wa kuotea mbali....Televisheni kubwa ya Marekani yamchagua kuwania Tuzo ya Msanii bora wa Kimataifa
Msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz ameipa ten heshima kubwa
bendera ya Tanzania kwa kuwa kwenye kipengele cha msanii bora wa
Kimataifa [Best International Act ], Hii na hatua kubwa kwa Diamond
baada ya siku chache tu nyuma alitangazwa kwenye tuzo za MTV Base (Mama
Awards).
Diamond Platnumz kwenye kipengele hichi cha tuzo kubwa za Television
kubwa ya burudani Marekani ya BET
↧
Magazeti ya Leo Alhamisi ya tarehe 15 May 2014
↧
More Pages to Explore .....