Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Hoteli 100, Kampuni 22 Matatani kwa Kutumia Maji ya Visima


Waziri Mkuu Majaliwa Mgeni Rasmi Jukwaa La Biashara Na Uwekezaji Mkoani Tabora

$
0
0
Na Tiganya Vincent- RS TABORA
 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Jukwaa la Biashara na Uwekezaji na Maonesho ya wajasiliamali mkoani Tabora.

 Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri wakati wa sala na dua maalumu ya kuliombea Jukwaa hilo iliyofanyika katika sanamu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 Alisema Jukwaa hilo linatarajiwa kufunguliwa tarehe 21 Novemba mwaka huu na Waziri Mkuu Mheshimiwa Majaliwa na kufuatiliwa na uwaslishaji wa mada mbalimbali.

 Mwanri alisema wakati wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kutakuwepo na mada mbalimbali za kutangaza fursa za biashara na uwekezaji zilizipo katika Halmashauri nane ya Mkoa wa Tabora zitawasilishwa na wadau mbalimbali.

 Alisema kila Halmashauri mkoani humo imechagua maeneo muhimu ya uwekezaji ambayo itatumia fursa kuwatangazia wadau kwa ajili ya kuwavutia watu au Kampuni ambazo zinataka kuwekeza.

 Mwanri aliwakaribisha wananchi wa mkoa huo na Watanzania wote kwa ujumla kuja kushiriki maonesho na Jukwaa hilo chini ya kauli mbiu ya wekeza Tabora kwa Mapinduzi ya Uchumi wa Kati.

 Mkuu huyo wa Mkoa aliongeza kuwa Jukwaa hilo pia litahudhuriwa na viongozi mbalimbali na Mawaziri.

Jukwaa la Biashara na Uwekezaji limeandaliwa na Ofisi ya Mkoa wa Tabora na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kwa lengo la kutangaza fursa za biashara na uwekezaji zinazopatikana mkoani humo.

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Rais Magufuli achangia milioni 50 matibabu ya Ruge Mutahaba

$
0
0
Rais John Magufuli ametoa dola za Marekani 20,000  ambazo ni wastani wa Sh50 milioni  ili kuchangia matibabu ya Mkurugenzi wa vipindi wa Clouds Media group, Ruge Mutahaba.

Ruge ambaye alianza kusumbuliwa na ugonjwa ambao bado haujawekwa wazi tangu  mwanzoni mwa mwaka huu anapatiwa matibabu Afrika Kusini.

Akizungumza leo katika kipindi cha  Clouds 360 kinachorushwa na televisheni ya Clouds, Mkuu wa Vipindi wa redio hiyo, mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo, Sebastian Maganga amesema hatua hiyo ya Rais imefikiwa baada ya kusikia Ruge anaumwa kwa muda na zilimsikitisha.

“Aliamua kumshika mkono kama baba afanyavyo kwa mwana wa kumzaa, kumshirikisha katika maombi na alinyoosha mkono kwetu akituambia changamoto za kiafya ni kubwa na la awali ambalo anataka kulifanya ni kuchangia mfuko wa kiafya na changamoto zisiwe gharama za kimatibabu,” amesema Maganga akinukuu maneno ya Rais Magufuli.

Mbali na Rais kutoa mchango wa matibabu pia Maganga amebainisha kuwa wameamua kuweka wazi juu ya afya ya Ruge kutokana na kuwepo kwa maneno mengi katika mitandao ya kijamii.

“Yalizungumzwa mengi na sisi tuliona wakati haukuwa mzuri sana kuzungumza na tuliona tukifanya yoyote tutaleta maswali mengi ambayo hata yeye hakupenda,”

"Katikati ya Mei kulelekea Juni hali ya Mkurugenzi haikuwa nzuri akatuomba kupata muda kidogo ili ashughulikie afya yake tuliona hili litakuwa dogo tu na tukatoa baraka zote,”

“Lakini ripoti za kitabibu zikasema muda wa kupumzika ni mdogo hivyo akaongezewa muda na katikati ya Juni na Julai alirejea na kasi ya kawaida kwenye kazi na wiki mbili tatu tukawa naye na hapo ndiyo tulikuwa tunakaribia kuanza Tigo Fiesta Moro,”

“Akatuambia anabidi aelekee kwenye taratibu za kimatibabu na nikiri bado changamoto hizo zipo na madaktari wanakiri Kiongozi wetu ni mpambanaji na bado anahitaji muda wa kupumzika na ni kweli hizo changamoto zilikuwepo" amesema Maganga na kuongeza kuwa

“Tunashukuru mara nyingi ukipata changamoto A ya kiafya changamoto B inajitokeza na tunashukuru taratibu hali yake inarudi na kuna hatua kubwa ya kimaendeleo."

Benki Kuu Ya Tanzania Yafanya Oparesheni Maalum Ya Ukaguzi Na Udhibiti Wa Biashara Haramu Ya Fedha Za Kigeni

$
0
0
Benki Kuu ya Tanzania inapenda kutoa taarifa kuhusu oparesheni ya kushtukiza ya kukagua maduka ya ubadilishaji fedha na baadhi ya maduka bubu ambayo hayana leseni lakini yalikuwa yakiendesha biashara hiyo kinyume na sheria.

Zoezi hili liliratibiwa na Kitengo cha Ukaguzi cha Benki Kuu katika kutekeleza majukumu yake kisheria. Ni oparesheni ya tatu kufanyika. Uchunguzi wa kina katika miezi sita iliyopita ulibaini kuongezeka kwa biashara za kubadilisha fedha kinyume cha sheria, na kukua kwa biashara haramu ya fedha za kigeni na utakatishaji fedha, hususan kupitia maduka ya kubadilisha fedha. 
Juhudi za Kitengo cha Ukaguzi kuwapata wahusika hazikuzaa matunda katika oparesheni mbili zilizopita. Hii ni kwa sababu iligundulika kuwa kuna mtandao mpana na madhubuti wa shughuli hizo na ambao ulilenga kuhakikisha kuwa shughuli za udhibiti hazifanikiwi. Baada ya mashauriano na wataalam na kushirikisha vyombo vya upelelezi na usimamizi ilionekana kuwa ili kufanikisha zoezi lililokusudiwa ni muhimu wahusika wote wadhibitiwe kwa wakati mmoja na kufanyiwa ukaguzi. 
Hii ilihitaji ushiriki wa maafisa wengi sana kutoka vyombo mbalimbali na kuhakikisha kila mahali ambapo ukaguzi uliendeshwa kuna usalama wa kutosha na Wananchi wanaarifiwa kutoingia sehemu husika kwa wakati huo. 
Baadhi ya washiriki katika zoezi hilo ni askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania wakiwa katika sare zao bila silaha. Hii ni kwa sababu siku oparesheni ilipofanyika askari wengi wa Jeshi la Polisi wapo kwenye kusimamia usalama katika vituo vya mitihani ya kidato cha pili inayoendelea.

Napenda kuwaarifu Wananchi kuwa oparesheni hii imeisha salama na bila kuathiri mtu yeyote na tunawashukuru Wananchi wa Jiji la Arusha kwa ushirikiano, hasa kwa kuwa watulivu. Taratibu zinazoendelea ni za kisheria. 
Mahojiano na wahusika yanakamilishwa. Wale watakaokutwa na tuhuma za ukiukaji sheria watashughulikiwa kufuatana na taratibu za kisheria. Aidha Benki Kuu inachukua hatua zifuatazo kuzuia kuendelea kwa ukiukaji wa sheria na kudhibiti uendeshaji wa biashara ya ubadilishaji fedha.

Kwa takribani miezi mitatu sasa Benki Kuu imesitisha utoaji wa leseni za biashara ya ubadilishaji fedha. Maombi yote yamesitishwa na maombi mapya hayatapokelewa mpaka taratibu mpya za uendeshaji wa biashara hiyo zitakapokuwa tayari;

Wale wote watakaopatikana na makosa ya uvunjaji wa sheria leseni zao zitafutwa na hawataruhusiwa kufanya biashara hiyo tena. Katika kipindi hiki wakati kesi zao zinashughulikiwa kisheria na ili kuzuia kuendelea kwa biashara haramu, leseni zao zinasitishwa na wanatakiwa kuzirudisha Benki Kuu mpaka kesi zao zitakapokamilika. Baada ya hapo taratibu mpya zitatumika;

Wale wote ambao walipatikana na tuhuma za ukiukaji sheria katika oparesheni mbili zilizopita na kufikishwa Polisi, wanatakiwa kurejesha leseni zao Benki Kuu mara moja. Leseni hizo pia zinasitishwa mpaka kesi zao zitakapokamilika;

Uchunguzi uliofanyika umebaini waendeshaji wengi wa maduka ya kubadilisha fedha hawakukidhi vigezo vyote japokuwa leseni zilitolewa kwao baada ya taarifa kupotoshwa. Hao wote watapewa notisi ya kusitisha leseni na maduka yao kufungwa. Yeyote ambaye anajua kuwa upatikanaji wa leseni yake una dosari anashauriwa kurejesha leseni hiyo kwa hiari; na
 
Wale ambao wanaendesha maduka ya kubadilisha fedha bila leseni au kwa kutumia leseni zisizo zao wanatakiwa kufunga maduka hayo mara moja kabla hawajafikiwa na mkono wa sheria.

Ili kuzuia watu wasiostahili kupenyeza na kujipatia leseni za biashara ya ubadilishaji fedha Benki Kuu imefanya mabadiliko ya ndani na inakamilisha taratibu mpya kuhusu uendeshaji wa biashara hiyo. Taarifa itatolewa hapo baadaye.

Kwa vile oparesheni hii sasa inaingia katika hatua za kisheria zinazoweza kupelekea baadhi ya wahusika kupelekwa mahakamani, Benki Kuu haitaendelea kutoa taarifa zinazowahusu wahusika kwa sababu kwa kufanya hivyo kunaweza kupelekea kuingilia uhuru wa Mahakama.

GAVANA
BENKI KUU YA TANZANIA

Lugola Afanya Ziara ya Kushtukiza Kituo cha Polisi Chang'ombe Dar

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, kangi Lugola amesema ataendelea kufanya ziara za kushtukiza katika vituo vya polisi mbalimbali nchini ili kubaini kama maagizo yanayotolewa na serikali yanatekelezwa.

Lugola amesema hayo leo Jumanne Novemba 20, alipofanya ziara ya kushtukiza katika Kituo cha Polisi Chang’ombe jijini Dar es Salaam ambapo amefanya ukaguzi na kuzungumza na mahabusu waliopo kituoni hapo.

Pamoja na mambo mengine, Lugola amemuagiza mkuu wa kituo hicho kwa kushirikiana na polisi kufanya operesheni maalumu ya kuyapitia majalada yote na kuangalia mahabusu ambao kesi zao ziko tayari kwenda mahakamani wapelekwe na wenye kesi zinazodhaminika pia wapatiwe dhamana.

“Kuna watu wamekaa humu muda mrefu na ukiulizia kesi yake unaona inadhaminika kabisa ila wapo tu ndani ufanyike utaratibu watu hawa waondolewe na tubaki na ambao ni lazima tuwashikilie wakati wakisubiria miendendo ya kesi zao.

Aidha lugola ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi kwa kuwafichua wahalifu ila wasiwasingizie kesi kwa sababu ya maslahi yao binafsi.

“Kuna Watanzania wanawatumia polisi wachache wasio wazalendo kuwabambikia kesi watu wasio na hatia wanawekwa ndani muda mrefu ndugu zao wakifuatilia wanaambiwa watoe fedha ndiyo mtu wao atoke, hii kauli ya kuingia polisi ni bure na kutoka ni hela nataka niifute,” amesisitiza.

Rais Magufuli Aahirisha Maadhimisho Ya Sherehe Za Uhuru za Disemba 9 ...Aagiza fedha zilizotengwa zikatumike katika kujengea hospitali Dodoma

$
0
0
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ameahirisha maadhimisho ya siku ya Uhuru, Disemba 9, 2018 na fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha shamrashamra hizo ameelekeza zitumike kujenga hospitali mkoani Dodoma ambayo itaitwa Uhuru Hospitali.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo (Jumanne, Novemba 20, 2018) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Rais Dkt. Magufuli ameagiza kiasi cha shilingi milioni 995.182 zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha sherehe hizo zitumike kwa ajili ya ujenzi wa hospitali mkoani Dodoma.

Waziri Mkuu ametoa taarifa hiyo wakati alipokutana na viongozi waandamizi wa mkoa wa Lindi pamoja na wilaya zake katika kikao cha maandalizi ya shughuli za kuzima Mwenge kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano kwenye ofisi wa Mkuu wa Mkoa wa Lindi.

Amesema hospitali hiyo itakayojengwa katika eneo la kati ya barabara ya kwenda Hombolo na Chamwino  kwenye barabara ya kwenda Dar es Salaam itakuwa inawahudumia wakazi wa mkoa wa Dodoma pamoja na wananchi wengine watakaokuwa  mkoani humo.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema Rais Dkt. Magufuli amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya waandae matukio watakayoyatekeleza katika maeneo yao yatakayoashiria maadhimisho ya siku ya Uhuru. “Wanaweza kutumia siku hiyo kwa kufanya usafi maeneo ya wazi au kwenye hospitali.”

Kufuatia maagizo hayo, Waziri Mkuu amewataka wananchi katika maeneo yote nchini wajiandae kufanya shughuli mbalimbali za kijamii zitakazopangwa na wakuu wao wa mikoa na wilaya kufanyika katika maeneo yao.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Makamu Wa Rais Azindua Mashindano Ya Shimmuta Jijini Dodoma

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka Wakuu wa Mashirika na Taasisi kutenga fedha kwa ajili ya michezo.

Makamu wa Rais ameyasema hayo leo kwenye uzinduzi wa Mashindano ya SHIMMUTA uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

“Kwa Wakuu wa Taasisi, kwa kuwa kalenda za michezo hii inajulikana ni vyema mkahakikisha bajeti zinapangwa mapema” alisema Makamu wa Rais.

Akiwa Mlezi wa SHIMMUTA Makamu wa Rais amesema angependelea kuiona SHIMMUTA ya 2019 ikiwa sawa na ya miaka ya 60 ambapo timu zaidi ya 60 zilishiriki.

Makamu wa Rais ametoa rai kwa Taasisi, Mashirika na Makampuni kuwajibika kikamilifu kuhakikisha mashindano haya yanakuwa endelevu ikiwa pamoja na kupata mbinu mbadala za kupata washirika zaidi wa kugharamia michezo hii.

Kaulimbiu ya mwaka huu inasema ‘ufanisi katika utendaji kazi hutegemea afya bora ya wafanyakazi, tuhumize michezo sehemu za kazi’

Timu 21 zinashiriki SHIMMUTA ya mwaka huu na michezo yote itachezwa kwenye viwanja vya michezo vya chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

Kwa upande mwingine Naibu Waziri wa Michezo, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Julliana Shonza amesema Wizara yake inatambua uwepo wa mashindano hayo na kutoa pongezi kwa kamati iliyoanda michezo hiyo mwaka huu.

Wakati huo huo Mwenyekiti wa SHIMMUTA Dkt. Hamis Mkanachi amesema michezo hiyo ilianzishwa mwaka 1967 ikiwa na lengo la kuhimiza michezo sehemu za kazi na kuwaweka Watendaji, Taasisi na Mashirika na kudumisha mahusiano na kutangaza shughuli za Taasisi zao.

Katika ufunguzi wa leo timu ya mpira wa miguu TPDC na Geita Goldmine walifungua dimba wakati kwa upande wa mpira wa pete (netball) timu ya Chuo Kikuu Dodoma na Geita Goldmine zilifungua dimba.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Lazungumzia Milioni 50 za Rais Magufuli

$
0
0
Uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) umesema kuwa watanzania waache kumsemea Rais John Magufuli kuhusu milioni 50 alizotoa kwa ajili ya maandalizi ya timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.

Rais wa TFF, Wallace Karia amesema kuwa wameumia kwa kupoteza mchezo wao dhidi ya Lesotho ila wanaamini kwamba Stars itafuzu michuano hiyo kwa kuweza kushinda nyumbani na kuwataka wanaozungumzia masuala ya pesa za Rais Magufuli waache.

“Wanaozungumzia pesa alizotoa Rais waache kuzungumzia suala hilo kwa kuwa wanamsemea wakati yeye hajasema hivyo watulie, Rais anajua mpira na anafuatilia pia hivyo waache kufanya hivyo.

“Nina matumaini ya kuweza kufuzu kwa timu yetu hasa kutokana na uwezo wa kupata matokeo tukiwa nyumbani kama ambavyo tulifanya dhidi ya Cape Verde ndivyo tutakavyofanya dhidi ya Uganda,” alisema.

Rais Magufuli alitoa shilingi milioni 50 kwa ajili ya maandalizi ya Stars kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Lesotho ambao wamepoteza kwa kufungwa bao 1-0 na aliwaagiza kuja na ushindi wakishindwa alisema watazitapika.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya Novemba 21

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Ameitaka Mamlaka Ya Bandari Tanzania Kusitisha Mpango Wake Wa Kurasimisha Bandari Bubu

$
0
0
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye ameitaka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kusitisha mpango wake wa kurasimisha bandari bubu zilizopo mkoa wa Dar es Salaam

Hayo yameelezwa na Nditiye wakati wa ziara yake Wilayani Bagamoyo ya kukagua bandari bubu zilizopo ambapo amebaini uwepo wa bandari bubu zaidi ya kumi na tisa zinazosafirisha bidhaa  kwenye eneo la mwambao wa bahari lililopo wilayani Bagamoyo. 

Amesema kuwa uwepo wa bandari bubu hizo ni kipenyo cha baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi kwa kutumia bandari rasmi na hivyo kupunguza mapato ya Serikali na kuihujumu nchi kwa kufifisha jitihada za Serikali za kufikia uchumi wa kati na azma yake ya ujenzi wa viwanda, utoaji wa huduma za afya, elimu, maji, umeme na ujenzi wa miudombinu ya sehemu mbali mbali nchini

Nditiye ameielekeza TPA iache mara moja mpango huo wa kurasimisha bandari bubu zilizopo Mbweni na Temeke kwa kuwa Dar es Salaam ipo bandari na itumike hiyo kwa shughuli za usafirishaji wa bidhaa na abiria. 

“TPA wafute mara moja mpango wao wa kurasimisha bandari bubu za Mbweni, Temeke kuwa bandari rasmi wakati kuna bandari ya Dar es Salaam,” amesema Nditiye. 

Pia, ameongeza kuwa fedha zilizotengwa na TPA kwa ajili ya mpango huo lipewe jeshi la bandari ili waweze kununua vifaa kwa ajili ya kufanya doria ya kuimarisha ulinzi kwenye mwambao wa bandari

Amefafanua kuwa yapo majahazi yanayofanya shughuli za usafirishaji ufukweni mwa bahari ya Hindi kwenye mwambao upatao kilomita 300 kwenye eneo la Bagamoyo ambapo majahazi yanashusha mizigo kinyemela. 

“Nimeshuhudia taratibu za nchi zikikiukwa na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Bagamoyo inapata changamoto ila inawadhibiti kwa namna moja au nyingine japo yapo majahazi yanayoshusha bidhaa na kuficha kwenye misitu iliyopo ndani ya bahari,” amesema Nditiye.

Pia ameielekeza Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini (TASAC) kufanya utaratibu wa kusajili majahazi yasiyozidi ishirini kwenye eneo la Bagamoyo ili yaweze kuwahudumia wananchi wa Bagamoyo na wengine wote watumie bandari Dar es Salaam. 

“Yapo baadhi ya majahazi yamesajiliwa ila mengine yanafanya shughuli zake kinyemela na yanaenda sehemu mbali mbali na baadhi yao wasio waaminifu wanatumia vibaya vibali vyao na wanashusha mizigo baina ya saa tano na saa tisa usiku,” amesema Nditiye. 

Amefafanua kuwa majahazi haya yanakiuka taratibu za nchi kwa kuwawezesha wafanyabiashara kukwepa kodi na hivyo kupunguza mapato ya Serikali na jitihada za Serikali za kufikia uchumi wa wakati

Naye Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Zainabu Kawawa amekiri uwepo wa bandari bubu zaidi ya 19 na amemweleza Nditiye kuwa wilaya hiyo inakabiliwa na changamoto za uwepo wa bandari bubu ambazo zinatumia usafiri wa majahazi kuvusha bidhaa mbali ili kukwepa ushuru wa mamlaka mbali mbali kwa mujibu wa sheria za taasisi husika ambapo wanavusha sukari, mafuta ya kula, matairi ya magari, maziwa ya unga, vitenge, khanga, vipodozi na wahamiaji haramu ambapo hadi sasa kuna wafungwa wapatao 203 waliopo gerezani kutokana na uwepo wa wahamiaji haramu.

Kawawa amefafanua kuwa majahazi hayo yanashusha mizigo nyakati za usiku wakiwa ndani ya bahari mara nyingine bila kufika ufukweni kwa kufaulisha na kupakia kwenye mitumbwi ijulikanayo kwa jina maarufu la ngwanda ili iweze kufikishwa nchi kavu kwa ajili ya kusambazwa kwenye maeneo mbali mbali ili kukwepa kodi. 

Amesema kuwa kamati ya ulinzi na usalama imekuwa ikifanya doria kwenye maeneo hayo ili kudhibiti jambo hilo japo wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa vifaa vya kufanya doria baharini na uwepo wa baadhi ya watumishi wa umma wachache wasio waaminifu ambao wanashirikiana na wafanyabiashara kuihujumu Serikali  kwa kutumia bandari bubu zinazotokana na uwepo wa bahari ya Hindi wilayani humo ambapo bandari bubu hizo ni pamoja na bandari bubu ya Mlingotini, Kasiki, Kaole, Magambani, Kilimani, Badeco, Msalabani, Nunge, Mtailindi, Jicho Kuu, Mto Ruvu, Razaba, Gama, Kayanjo – shamba la chumvi, Saadani, Kitongoji cha Gwaza, Changwahela na Duza

Fid Q Avurugana na Mameneja wa Diamond Kisa Tamasha la Wasafi Festival

$
0
0
Msanii wa Hip Hop, Fid Q amejikuta kwenye wakati mguu mara baada ya kuanza kushambuliwa na Mameneja wa WCB, Babu Tale na Mkubwa Fella mtandao. Hii ni kutokana na Fid Q kufanya tangazo la Fiesta ambalo wamelitafsiri ni kama kijembe kwao (Wasafi Festival).

Mameneja hao wamekuwa wakimshambulia Fid Q kwa madai kuwa licha ya kufanya muziki ameshindwa hata kununua gari dogo tu.

Sasa Fid Q amejibu hilo kwa urefu zaidi kupitia ukurasa wake wa  Instagram kwa kueleza kuwa haoni kama ni busara kwa yeye kuchaguliwa watu wa kufanya naye kazi.

==>> Hiki ni kile alichoandika;

Keki ya taifa ni kubwa sana na ina vipande vingi vya kuwatosha wachakarikaji wote wenye kuistahiki. Na kwakua Allah ndio mtoaji riziki, mimi kama mimi sina hayo mamlaka au hata hiyo roho mbaya ya kutamani wachakarikaji wenzangu mkwame katika harakati zenu.

Ninasema hivi ni kwasababu siku zote huwa siamini kama nitapungukiwa kitu nyinyi mkifanikiwa na siamini hivyo kwa sababu  ninajiamini mimi ni mchakarikaji na kipande changu cha KEKI bado kipo mezani kinaningojea (cha muhimu ni PUMZI na DUA tu ).

Ni ukweli tupo kwenye tasnia moja na kila mmoja wetu anajaribu kufanya lile alionalo sahihi ili kusogea mbele, na iko wazi mmeshafanya na mnaendelea kufanya mengi makubwa, nami bila kusita siku zote nimekua ni mtu wa kuwapongeza iwe kwa njia ya mitandao au tukutanapo ana kwa ana, mie hufanya vile kiroho safi pasina chembe yoyote ya unafiki.

Nimeyasema hayo hapo juu ili tu uweze au muweze kupata picha halisi ya kilichomo moyoni mwangu na pia kuwakumbusha ya kwamba mimi pia ninao uhuru wa kufanya shughuli zangu za sanaa na yeyote ambaye nimeridhia nae kimaslahi pasina kujali kama jicho la pembeni yangu linaiona faida iliyopo au laah.

Sioni ni busara kwa nyie kuja na kujaribu kunipangia yupi nifanye nae au yupi nisifanye nae ili kuwaridhisha machoni/ mioyoni mwenu.. na kama mnaamini ni haki yenu ya msingi mimi kuyafuata hayo matakwa yenu basi naomba nikujuzeni ndugu zangu mtakua mmeonyesha UBINAFSI wa hali ya juu kwenye hili.

Pia kumbukeni mimi pia nishawahi kuwa na matatizo na MJENGO.. lakini nilijikuta ninapambana peke yangu hadi UTULIVU uliporejea pasina msaada wa mtu yeyote na sikupambana peke yangu kwasababu hamkua na taarifa, taarifa mlikua nazo lakini ninafikiri mlikua mmetingwa na shughuli zenu za ujenzi wa taifa kiasi kwamba hamkuona kama kuniongezea nguvu ingesaidia lile zoezi kuisha haraka.

Kiukweli yale maneno ya kwenye promo ya“MOJAKUBWA”sikutegemea kama yangekua na uzito huu uliopelekea ndugu yangu uchafukwe kiasi cha kunifungulia bomba la matusi humu Insta..

kwanza sikumbuki hata kama niliyatamka kwa nia ya kuleta msigishano huu lakini kama kweli nimewakwaza... Naomba mnisamehe kibinadamu kwa hilo, naomba tumuache SHETANI apite na mwisho naomba nimalize kwa kusema BURUDANI sio VITA.

Msanii wa muziki kutoka nchini, Nigeria, Mr. Eazi aomba kutumbuiza Wasafi Festival

$
0
0
Msanii wa muziki kutoka nchini, Nigeria, Mr. Eazi ameomba kutumbuiza kwenye Wasafi Festival.

Harmonize kutokea WCB ndio ameweka wazi mazungumzo yake na Mr. Eazi kupitia mtandao ambapo alikuwa akimueleza kuhusu nia yake ya kutaka kutumbuiza kwenye tamasha hilo.

Hivi karibuni akiwa hapa nchini Mr. Eazi alieleza kuwa ameshafanya ngoma na Harmonize na muda wowote itatoka. 

Pia mradi wake uitwao M Pawa ambao umelenga kuwasaidia wasanii wapya 100 barani Afrika, alipata ushauri kutoka kwa Harmonize, Diamond na Ben Pol.

Video Mpya ya Banana Zorro – Sitanii

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Banana Zoro ameachia  video ya wimbo wake mpya uitwao Sitanii. Utazame hapo chini

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
NATURAL BEAUTY PROD. Tumeshusha bei za bidhaa zetu ili kila mmoja aweze kupata bidhaa hizi na azifurahie wahi sasa kwani ofa hii ni ya muda mfupi tu.                             

Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe.

1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 ilikua inapatikana kwa @170,000/= sasa ni @150,000/= tu

2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa ilikua ni  @160,000/=. Sasa ni 140,000/= tu

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo wewe pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kilikua kinapatikana kwa @230,000/=. Sasa ni 200,000/= tu

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 170,000/= tu

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 ilikua inapatikana kwa @190,000/=. Bei ya sasa ni 170,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri ilikua inapatikana kwa @150,000/=. Sasa ni 130,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo ilikua inapatikana kwa @200,000/=.  Sasa ni 180,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft ilikua inapatikana kwa @150,000/=   Sasa ni @140,000/= tu N.K  Wasiliana nasi kwa simu

NO:. +255 759029968 

                      AU

           +255 659618585


Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.

   
                WELCOME ALL

Sasa ni Rasmi.....Manji 'OUT' Yanga, Watano Wajitosa Kumrithi

$
0
0
Wanachama na mashabiki wa Yanga sasa wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kuishi maisha bila Yusuf Manji baada ya jina la mwenyekiti huyo kutokuwapo miongoni mwa wagombea 27 waliojitokeza kuwania nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa klabu hiyo utakaofanyika Janauri 13, 2019.

Tofauti na ilivyotarajiwa Manji hajachukua wala kuchukuliwa fomu kama ambavyo kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ilitaka Yanga wafanye endapo watahitaji kumrejesha mwenyekiti huyo, badala yake wanachama wanne wamejitokeza kuwania nafasi hiyo.

Mwanasheria wa TFF, Herman Kidifu aliwataja wagombea waliojitosa kuwania nafasi ya Mwenyekiti ni Dk Jonas Tiboroha, Yono Kevela, Mbaraka Igangula na Erick Ninga.

Wanaowania nafasi ya makamu mwenyekiti ni Titus Osoro, Salum Magege Chota na Kevela wakati wajumbe ni Hamad Ally Islamu, Benjamin Jackson Mwakasonda, Sylvester Haule, Salim Seif, Musa Katabaro, Shftu Amri na Said Baraka.

Wengine ni Pindu Luhoyo, Dominick Francis, Seko Jihadhari, Ally Omary Msigwa, Arafat Ally Haji, Geofrey Boniphace Mwita, Frank Kalokola, Ramadhan Said, Leonard Marango, Bernard Faustin Mabula, Christopha Kashiririka, Athanas Peter Kazige na Faustin Peter Bisangwa.

Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wakili Ally Mchungahela alisema mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu umefungwa rasmi na keshokutwa Ijumaa utafanyika mchujo kwa wagombea wote.

“Uchaguzi uko palepale kwa wagombea waliochukua fomu, baada ya mchujo wa Ijumaa kutakuwa na usaili na baadaye wagombea wataingia kwenye kampeni kuelekea katika uchaguzi,” alisema Mchungahela.

Mchungahela alitoa onyo kwa mtu yeyote atakayejaribu kujipenyeza kuvuruga mchakato wa uchaguzi kwa kuanzisha vurugu, kuwa vyombo vya dola vitafanya kazi yake.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959 / 0784475946

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Alikiba aitambulisha rasmi logo ya King's Music Records

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania ambaye pia ni C.E.O wa lebo ya muziki wa King’s music records, Alikiba ameamua kuitambulisha rasmi logo ya King’s.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Alikiba ameitambulisha na kuandika hivi:-

Kundi hilo la muziki ambalo liko chini ya Alikiba litafanya show yake ya kwanza katika mji wa Kahama tarehe 24-11-2018 siku ya jumamosi hii ambapo tayari wametoa baadhi ya wasanii watakao kuwepo kwenye show hiyo ambao ni yeye Alikiba, mdogo wake Abukiba,Cheed, Killy, pamoja na K2ga wote wakiunda kundi hilo lakini wapo wengine wanaotoka nje ya kundi hilo ambao ni Gigy Money, na msanii kutoka Zanzibar Fanny.

Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi Akerwa na Vitendo Vya Ushoga Nchini

$
0
0
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi, ameeleza kukerwa na vitendo vya ushoga na kuwaagiza viongozi wa dini ya Kiislamu kupambana navyo.Mufti alisema hayo jana katika Baraza la Maulid lilifanyika kitaifa mjini Korogwe, mkoani Tanga.

Akimkaribisha mgeni rasmi Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani
 Jafo, ambaye alimwakilisha Rais John Magufuli kuhutubia baraza hilo, Mufti Zuber, akiwaagiza mashekhe wote
 nchini kusimamia kwa makini kuhusu kupiga vita tabia ya ushoga kwa
kuwa inadhalilisha na ni dhambi kubwa kwa Mungu.


Aliwasisitiza viongozi hao wa dini kusimamia kwa makini kupiga vita suala
la ushoga.
Mufti alisema masheikh kote nchini wasimamie vita dhidi ya ushoga bila kuona aibu na kushirikiana na serikali kuhakikisha ushoga nchini haupati nafasi.


Mufti aliiomba serikali kuwaahidia katika vita dhidi ya ushoga ili kukinusuru kizazi cha vijana kisiharibiwe na ushoga.

Aidha waislamu wameshauriwa kutumia muda wao katika kujadili masuala 
yenye tija kwa waumini wao na taifa kwa ujumla badala ya kuendekeza
 migogoro ambayo hatima yake ni kurudisha nyuma jitihada za kumcha Mungu na maendeleo kwa ujumla.



Hayo yalisemwa na Waziri Jafo 
na kusisitiza kuwa msimamo wa serikali ni pamoja na kuhakikisha maadili yanalindwa na kwamba haitakuwa tayari kuruhusu vitendo vyenye kwenda kinyume cha msimamo huo.





Aidha, alisema suala la uadilifu ni moja ya ajenda za serikali ya
 awamu ya sasa kwamba limetumika pia katika kusimamia rasilimali
 fedha na kukusanya kodi, jambo alilolieleza kuwa limefanya kuwapo kwa
maendeleo makubwa kwa miaka mitatu.




Diamond atoa orodha ya nyimbo atakazoziperformu Wasafi Festival

$
0
0
Msanii  Diamond Platnumz ametoa orodha ya nyimbo 32 atakazoziperformu katika tamasha la Wasafi FestivalMtwara.

Msanii huyo ambae alikuwa Dubai alipoenda  kufanya Show katika tamasha kubwa la One African Music Festival ambalo walipafomu wasanii wengi sana kutoka Afrika aliporejea aliandika ujumbe huu:-

Na baada ya muda kidogo aliorodhesha nyimbo atakazo zitumia katika show ya Wasafi Festival ambazo jumla ziko 52 na wimbo wa 52 ambao ni Mwanza akitahadharisha kwamba atautumia hadi pale atakapopewa ruhusa maana umeshafungiwa.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images