Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mawaziri Wakutana Kujadili Utekelezaji Wa Programu Ya Pamoja Ya Ujenzi Wa Uchumi Wa Viwanda

$
0
0
Na; Mwandishi Wetu
Mawaziri wa sekta za uchumi wamekutana Jijini Dodoma kujadili utekelezaji wa Programu ya pamoja ya Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda.

Akizungumza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama ambaye alikuwa Mwenyekiti wa mkutano huo alisema kuwa Programu ya ujenzi wa uchumi wa viwanda imejikita katika kuweka mazingira wezeshi ya biashara na uwekezaji nchini kwa lengo la kuvutia sekta binafsi na kuongeza fursa za ajira.

“Programu hiyo itakuza uchumi na ujenzi wa viwanda kwa kufuata misingi na kanuni za kibiashara zinazokubalika kimataifa, ikiwakama nyenzo muhimu katika kuhakikisha viwanda vitakavyoanzishwa vinakuwa chachu ya maendeleo hapa nchini,” alisemaMhagama.

Aliongeza kuwa Serikali imedhamiria kutekeleza kwa vitendo azma ya ujenzi wa uchumi wa viwanda ili kufikia malengo ya dira ya Taifa ya maendeleo ya kuiwezesha Tanzania kuwa nchi ya kipato cha kati ifikapo 2025.

Hata hivyo, Waziri Mhagama alieleza kuwa Programu hii ya pamoja inatokana na kutegemeana kwa mipango na mikakati ya kisekta katika kufikia malengo ya Serikali kwa pamoja.

Aidha, alitoa rai kwa kila mmoja kuhakikisha sekta anayoiongoza inatoa mchango stahiki katika kufikia azma ya Serikali kwa kuweka malengo yanayotekelezeka kwa wakati na kufanya mapitio ya sera, sharia na kanuni.

“Niwaombe wote mliopo hapa kuhakikisha mnatimiza wajibu kwa kutekeleza Programu hii ya ujenzi wa uchumi wa Viwanda ikiwa njia ya uhakika katika kuhakikisha rasilimali za Taifa zinatumika kwa manufaa ya nchi na kuweza kuongeza fursa za ajira kwa Watanzania” alisisitiza Mhagama.

Kwa upande wake, Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango amewahimiza Mawaziri kutekeleza yaliyopo kwenye kitabu cha mwongozo wa mazingira bora ya biashara hapa nchini “Blue Print”, ili kuendelea kuboresha zaidi masuala ya biashara na uwekezaji.

Naye, Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera na Uratibu, Prof. Faustine Kamuzora alisema kuwa Ofisi ya Waziri Mkuu imekuwa ikiratibu program hiyo katika taasisi za Serikali kulingana na majukumu yao.

“Kila wizara iandae mpango mkakati na namna bora yakufanikisha utekelezaji wa program hiyo kwa kushauriana na wadau wa sekta binafsi ambao ni wadau muhimu”, Alisema Kamuzora.

Pia, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Godfrey Mwambe alisema kuwa ni vyema kila Wizara na Taasisi zikajitathimini katika kutekeleza mikakati waliyonayo ili kuvutia wawekezaji na ujenzi wa viwanda kwenye maeneo ya msingi.

“Tunataka kuona viwanda vya hapa nchini vinakuwa ni soko la mazao yanayozalishwa moja kwa moja na wakulima” alisema Mwambe.

Makampuni Saba Ya Uturuki Kuja Kuwekeza Nchini.....Watanzania 1400 Kunufaika na Ajira

$
0
0
Watanzania zaidi ya 1,400 wanatarajia kupata ajira za moja kwa moja kutokana na kampuni saba za Uturuki kuwekeza nchini.

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro alibainisha hayo jana jijini Dar es Salaam alipozungumza na waandishi wa habari juu ya ujio wa kampuni hizo.

“Ajira zaidi ya 1,400 zitapatikana endapo uwekezaji ukikamilika, lakini kuanzia mwaka 1990 hadi 2017 ajira zaidi ya 3,500 zimeshatengenezwa na kampuni za Uturuki 48 zilizokwishawekeza nchini zikiwa na thamani ya Dola za Marekani bilioni 324,” alisema Dk. Ndumbaro.

Alisema kampuni hizo zinakuja nchini kuwekeza kwenye viwanda vya pamba mkoani Simiyu kutokana na mkoa huo kulima pamba kwa wingi na kwamba zimevutiwa na juhudi zinazoonyeshwa na Mkuu wa Mkoa huo, Anthony Mtaka kwenye uwekezaji wa viwanda.

Dk. Ndumbaro alisema Waturuki pia watawekeza kwenye viwanda vya sukari, saruji, kuchakata mazao ya kilimo na kutengeneza vifaa vya ujenzi pamoja na kuwekeza katika sekta ya nishati.

Alisema wawakilishi wa kampuni hizo tayari wameshawasili nchini na leo watakuwa Kituo cha Uwekezaji (TIC) watakapokutana na wenyeji wao ambao ni Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Wizara ya Mambo ya Nje, Taasisi ya Sekta Binafsi, Chama cha Wafanyabiashara Wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA).

Alisema wawekezaji hao pia watakutana na Mamlaka ya Ukanda wa Uwekezaji (EPZA), Shirika la Umeme (Tanesco) na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura).

Dk. Ndumbaro alisema mbali na kufanya uwekezaji kwenye viwanda, kampuni hizo pia zitajenga hoteli zenye hadhi ya nyota tano na maduka makubwa ya biashara jijini Dodoma.

Alisema uhusiano kati ya Tanzania na Uturuki ni wa kipekee na wa siku nyingi, akieleza kuwa mwaka 2009 nchi hiyo ilifungua ubalozi wake nchini na mwaka 2016, Tanzania ikafungua ubalozi Uturuki.

Alisema Tanzania imekuwa ikipeleka kwa wingi Uturuki mazao kama vile pamba, mbegu za mafuta, tumbaku na korosho.

Alisema idadi ya watalii wanaotoka Uturuki kuja Tanzania imekuwa ikiongezeka, akibainisha kuwa mwaka 2012, watalii 2,700 kutoka Uturuki walikuja Tanzania.

Alisema ujio wa kampuni hizo ni mwendelezo wa juhudi za Rais John Magufuli wa kuhakikisha Tanzania inakuwa nchi ya viwanda na yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Waziri Mkuu Aipongeza Halmashauri Ya Wilaya Ya Ruangwa....Ni baada ya kushika nafasi ya kwanza matokeo ya darasa la saba

$
0
0

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Ruangwa kwa kushika nafasi ya kwanza katika matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba kwa mkoa wa Lindi mwaka huu.

Amesema Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. Magufuli imefanya maboresho makubwa kwa sekta ya eilimu nchini ikiwa ni pamoja na kufuta michango yote ya hovyo iliyokuwa ikiwakera wazazi na walezi.

Waziri Mkuu ametoa pongezi hizo jana (Jumapili, Novemba 18, 2018) katika mkutano wa kuwapongeza walimu wa wilaya ya Ruangwa na baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri katika mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka huu.Aliongeza kuwa  matokeo ya mwaka jana halmashauri ya wilaya ya Ruangwa ilishika nafasi ya tano kimkoa na kitaifa ilikuwa nafasi ya 141, ambapo kwa mwaka huu imepanda na kuwa nafasi ya kwanza kimkoa na kitaifa kuwa nafasi ya 84. 
 
Kufuatia matokeo hayo mazuri Waziri Mkuu kwa kushirikiana na halmashauri ya wilaya ya Ruangwa imetoa zawadi mbalimbali kwa kata tatu bora zilizofanya vizuri, shule 10 bora, walimu ambao wanafunzi wao wamepata daraja A katika masomo mbalimbali wanayofundisha pamoja na wanafunzi 10 bora.
 
Miongoni mwa zawadi hizo ni pamoja na fedha taslimu, kompyuta kwa ajili ya matumizi ya shule zilizofanya vizuri, ikiwa ni kichocheo cha kuongeza  bidii ili mwakani wapate matokeo mazuri zaidi.
 
Awali, akizungumza katika hadhara hiyo, Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa aliupongeza uongozi wa mkoa wa Lindi kwa mikakati waliyoiweka kwa ajili ya kuboresha elimu, ambayo imesababisha kupatikana kwa matokeo hayo mazuri.

“Nawapongeza kwa sasa mimi kitaaluma ni mwalimu hivyo nafahamu ili mwanafunzi apate matokeo mazuri ni lazima mwalimu afanye juhudi kubwa zitakazomuwezesha mwanafunzi kufaulu masomo yake.”

Alisema matokeo mazuri ya wanafunzi ndiyo yatakayowafanya walimu wafurahi. “Matokeo haya yasiishie hapa mwakani tuongeze bidii tuweze kupata matokeo mazuri zaidi yatakayotuwezesha kushika nafasi ya kwanza Kitaifa.”

Kwa upande wake, Afisa Elimu Msingi wa wilaya ya Ruangwa, Mwalimu Selemani Mrope alisema kuanzia mwaka 2015 hadi 2017 hali ya ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba haikuwa nzuri kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya utoro.

Mwalimu Mrope alitaja sababu nyingine kuwa ni walimu kutowajibika ipasavyo, ufuatiliaji na usimamizi duni wa taaluma shuleni, ambapo viongozi wengi wa shule na kata walishindwa kusimamia ipasavyo majukumu yao na kuwaacha walimu wafanye kazi kwa mazoea.

“Wazazi wengi kukosa kuwajibika ipasavyo katika elimu ya watoto wao na kuona elimu haina maana kwao na kushindwa kuwahimiza watoto kwenda shule na kusababisha utoro huku wengine wakidiriki kuwashawishi watoto wao wafanye vibaya kwenye mitihani yao.”

Baada ya tathmini waliamua kuweka lengo la ufaulu wa asilimia 80 kwa mwaka huu na asilimia 90 mwaka 2019, hivyo walishirikisha wadau wote wakiwemo viongozi wa Serikali, walimu, wanafunzi, wazazi, viongozi wa dini, wazee maarufu na viogozi wa siasa.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu Asema Rais hapendi watu walipe nauli kufuata huduma za afya

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea kituo cha afya cha Nkowe na kuwataka wananchi wakilinde na kukienzi kwa kuwa ndio mkombozi wao kiafya.
 
Amesema kwa sasa wananchi hao hawana sababu ya kulipa nauli kwenda Ruangwa kufuata huduma za vipimo na matibabu katika hospitali ya wilaya hiyo.
 
Waziri Mkuu ametembelea kituo hicho cha afya jana  (Jumapili, Novemba 18, 2018) akiwa katika ziara yake ya kikazi Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi.
 
Ametaja baadhi ya huduma zinazopatikana kwa sasa kwenye kituo cha Afya Nkowe ambazo awali hazikuwepo kuwa ni pamoja na upasuaji, maabara, mama na mtoto.
 
“Rais Dkt. John Magufuli anataka kila Mtanzania apate huduma za afya karibu na makazi yake ili asilipe nauli au kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya.”
 
Waziri Mkuu amesema amefurahishwa na huduma zinazotolewa kituoni hapo, ambapo amewataka watumishi waendelee kuwahudumia wananchi vizuri.
 
Baadhi ya wagonjwa waliolazwa katika kituo hicho cha afya wameishukuru Serikali kwa kuboresha huduma za afya nchini, ambapo kwa sasa wanatibiwa karibu na makazi yao. 
 
Awali, Mganga Mfawidhi wa kituo hicho, Dkt. Paul Mbinga alisema kituo hiko kinahudumia jumla ya wakazi 5,264 wa kata ya Nkowe pamoja na wananchi wa kata za jirani za Chienjele, Nandagala, Likunja na Mnacho. 
 
Alisema baada ya kukamilika kwa mradi huo wananchi sasa wanapata huduma ambazo walikuwa wanalazimika kuzifuata katika hospitali ya wilaya zikiwemo za upasuaji, damu salama, maabara, kujifungua, kulaza wagonjwa na kuhifadhi maiti.
 
Dkt. Mbinga alisema mradi wa ujenzi wa kituo hicho cha afya uliogharimu sh. milioni 500 umepunguza gharama kwa wananchi zinazoambatana kwenda kutibiwa katika hospitali ya wilaya ambayo ipo umbali wa kilomita 20. “Mradi huu umeimarisha mifumo ya huduma kwa watoto, wazee, watu wenye ulemavu na vijana.
 
Baada ya Waziri Mkuu kutembelea kituo hicho cha afya, alikwenda kukagua ujenzi wa gereza la wilaya ya Ruangwa pamoja na mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya askari Magereza wa gereza hilo.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Alichokisema Waziri Mwakyembe Baada ya Taifa Stars Kufungwa 1-0 na Lesotho

$
0
0
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyemba amesema akifika Tanzania atamueleza Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kuwa kilichotokea kwenye mchezo dhidi ya Lesotho kuwa ni bahati mbaya na kumuahidi kuwa kwenye mechi dhidi ya Uganda Taifa Stars itaibuka na ushindi.

Dkt Mwakyembe ametoa kauli hiyo baada ya  mchezo dhidi ya timu ya Lesotho  na Taifa Stars  jana Novemba 18,  ambapo Taifa Stars ilifungwa bao 1-0.

Akizungumza na waandishi wa habari Nchini Lesotho Waziri Mwakyembe amesema; “ Raisa alisema turudi na ushindi, nitamwambia tumefungwa moja na tunasubiri mechi ya Uganda ambayo lazima tushinde, huu ndiyo moyo wa kimchezo,  ukijikunyata utakuwa unadundwa ngumi kila wakati.

“Milioni 50 tulizopewa zimetusaidia kufungwa bao moja tu pengine tungefungwa hata sita ila tumefungwa sawa ndiyo mchezo tunaendelea kutafuta ushindi, tumejitahidi sana ila kwa sasa sio kichwa cha mwendawazimu tena,” ameongeza Mwakyembe.

Jana Rais Magufuli alieleza kuufatilia mchezo baina ya timu ya Taifa dhidi ya Lesotho ambapo  katika mtandao wa Twitter aliandika; "vijana wangu Taifa Stars, muda mfupi ujao nitakuwa nikitazama mchezo kati yenu na timu ya taifa ya Lesotho, mimi na Watanzania wenzangu tunawatakia mchezo mwema, mrudi na ushindi,".

Lusinde Ataka kocha wa Taifa Stars, Emmanuel Amunike Afukuzwe Kazi

$
0
0
Mbunge wa Mtera kupitia CCM, Livingstone Lusinde amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuandaa barua ya kumfukuza kazi kocha wa Taifa Stars, Emmanuel Amunike ili akishuka nchini akabidhiwe akitua tu uwanja wa ndege.

Lusinde (Kibajaji) ametoa kauli hiyo kufuatia matokeo ya jana ambapo Taifa Star ililala kwa bao 1-0 kutoka kwa Lesotho na kujiweka katika mazingira magumu ya kufuzu kwa Afcon 2019, Cameroon.

"Hii serikali mawaziri wanatumbuliwa wakikosea kidogo tu, sasa huyu kocha anazoa wachezaji na kuwapanga anavyotaka yeye halafu tumwache, namuomba Waziri Mwakyembe awaandikie TFF akiwa huko ili wavunje haraka mkataba," alisema Lusinde

Mbunge huyo alisema Kocha wa Taifa Stars, Amunike amekuwa na upendeleo wa upangaji wa kikosi na badala yake anapanga watu kwa kuangalia matakwa ya wapenzi siyo kitaalum.

Kibajaji alisema sifa ya kocha wa Tanzania ni nidhamu kwa wachezaji ambayo watafundishwa jeshini, lakini suala la soka limemshinda.

Licha ya kuelezwa bado kuna tumaini la kusonga mbele, lakini Kibajaji alisema ndoto imeanza kufifia kwani timu ya Uganda iko vizuri wakati washindani wetu wanakutana na timu ambayo haiwezi kushindana.

Video Mpya | Young Killer Ft. Fid Q & Belle 9 - Hatuna Kesi

$
0
0
 Video Mpya  | Young Killer Ft. Fid Q & Belle 9 - Hatuna Kesi . Itazame hapa

Kamishna wa zamani TRA Harry Kitilya na wenzake Kuendelea Kusota Rumande

$
0
0
Kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake wawili wanaokabiliwa na kesi ya kutakatisha fedha wanaendelea kusota rumande kutokana na upelelezi wa kesi yao kutokamilika.

Mbali na Kitilya ambaye pia Mwenyekiti wa Kampuni inayoshughulikia Uwekezaji wa Mitaji na Dhamana (Egma), washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni aliyekuwa Miss Tanzania (1996), Shose Sinare na Ofisa wa Benki ya Stanbic, Sioi Solomon.

Kesi hiyo imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambapo upande wa Jamhuri ulidai upelelezi haujakamilika huku Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mutalemwa Kishenyi akidai kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kutajwa upelelezi wake haujakamilika  na kwamba wanaelekea ukingoni kukamilisha.

Akijibu Wakili wa utetezi Alex Mgongolwa alihoji ni ukingo gani huo ambao unazungumziwa na upande wa mashtaka.

Hakimu Shaidi aliutaka upande wa mashtaka kufanya jitihada za kukamilisha upelelezi wa kesi hiyo ili hatma ya washtakiwa hao ijulikane na kuahirisha kesi hiyo hadi Novemba 30, mwaka huu na kuutaka upande wa mashtaka kufanya jitihada kukamilisha upelelezi.

Washtakiwa hao kwa pamoja  wanakabiliwa na mashtaka ya kula njama, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha fedha ambapo Machi 2013 jijini Dar es Salaam walijipatia Dola za Marekani milioni sita, wakionyesha kuwa fedha hizo zilikuwa ni malipo ya ada ya uwezeshaji upatikanaji wa mkopo  na zililipwa kupitia  Kampuni ya Egma T Ltd.

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume .

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr SHILINDE,  shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Anapatikana Dar es Salaam maeneo ya Buguruni Sheli. 
 
Mawasiliano: 0784460348 au  0657 314701

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Mizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29

$
0
0
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana hawaridhishwi na Waume au wapenzi wao pale wanapoaza kushiriki tendo la ndoa 

Kwa Nini Ujione Mpweke Pale Ukutanapo Na Mpenzi Au Mke Wako Kisa Eti Hauna Nguvu Za Kiume? ;Tumia MIZIZI 29 POWER, hii ndio tiba itakayorudisha heshima ya ndoa yako . 

Dawa hii itakufanya;
 1 Uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-25 kwa tendo la kwanza 
2 Dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
3  Dawa hii uhimalisha misuri iliyolegea na kusinyaa?dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji nani tofauti na ulizowai kutumia ata wazee wenye umri mkubwa wanapona 

NSONSOMA; Dawa hii itakufanya umridhishe  mke au mpenzi wako kwani uboresha uume saizi upendayo urfu wa nchi 5,6,7 na 8 na unene wa sentimita 2,3,4 na 5 dawa  hii ipo ya kupaka na kunywa 

NSHOLA; NI dawa ya uzazi kwa waliongaika mda mrefu bila kupata mtoto 

MWITA; Dawa hii humvuta meme, mke,au mpenzi mliyetengana pia umrudisha mtu kazini haliyefukuzwa, kumpatanisha mwajiliwa na bosi wake 

Tunatibu presha kisukari, busha ,vidonda vya tumbo tumbo kuunguruma kujaa gesi na kukosa choo 

MAHALI ILIPO OFISI; PANDA DALADALA SHUKA BUGURUNI MALAPA AU ROZANA NA MWANZA YUPO WAKALA PIGA SIMU 0752348593 DR NYAROBI .Kama hauna nafasi ya kuja ofisini utaletewa popote ulipo huduma hizi

Makamu wa Rais Abaini Ubadhirifu wa Milioni 807 Manyara

$
0
0
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan ameagiza uchunguzi ufanyike kwenye ujenzi wa madarasa na mabweni ya Shule ya Wasichana Nangwa wilayani Hanang’, Manyara kutokana na madai ya kuwapo kwa ubadhirifu wa Sh807 milioni unaodaiwa kufanywa na maofisa wa Wizara ya Elimu.

Samia alisema hayo jana baada ya kuweka jiwe la msingi la bweni la wasichana wa shule hiyo lenye uwezo wa kulaza wanafunzi 160 lililojengwa na halmashauri ya wilaya hiyo kwa Sh150 milioni.

Alitoa agizo hilo baada ya mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti kusema baadhi ya maofisa wa Wizara ya Elimu wanafanya ufisadi kwa kufuja fedha za ujenzi wa madarasa na mabweni ya shule hiyo. 

Alisema maofisa hao wametumia zaidi ya Sh807 milioni kujenga madarasa na mabweni wakati bweni lingine kubwa zaidi limejengwa na halmashauri kwa Sh150 milioni.

“Mheshimiwa Makamu wa Rais, nataka nikuhakikishie mkoa huu siyo wa majaribio wa watu kufuja fedha kwani nikiwaandikia barua wanipe taarifa wanadai jengo linajengwa na wizara siyo mkoa,” alisema Mnyeti.

“Kwenye Mkoa wa Manyara miradi inasimamiwa kwa ubora ndiyo sababu mwaka huu tukashika nafasi ya pili kitaifa kwenye mbio za Mwenge kwa ubora wa miradi.”

Aliwapongeza mkuu wa Wilaya ya Hanang Joseph Mkirikiti na mkurugenzi mtendaji Bryceson Kibassa kwa kusimamia maendeleo. “Hawa ni wasaidizi wangu wazuri wanaotimiza wajibu wao ipasavyo,” alisema Mnyeti.

Mama Samia ambaye yuko mkoani Manyara kwa ziara ya kikazi, aliagiza uchunguzi ufanyike mara moja ili kubaini namna ya fedha hizo zilivyotumika katika ujenzi huo.

“Kama jengo la bweni kubwa la halmashauri limetumia fedha kidogo na lina ubora inakuwaje huku wametumia fedha nyingi namna hivyo? Ni lazima hilo lichunguzwe,” alisema.

Pia, aliridhia bweni lililojengwa na halmshauri hiyo aliloweka jiwe la msingi kuitwa jina lake kisha akaendesha harambee ya kusaidia shule hiyo na kupatikana Sh20 milioni.

Majizzo Amtolea Mahari Lul Michael....RC Makonda Atoa Neno

$
0
0
Malkia wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ siku ya jana anadaiwa ametolewa mahari na mpenzi wake wa muda mrefu Majay ikiwa ni maandalizi ya ndoa yao mwisho wa mwaka huu.

Mrembo huyo amefanya sherehe hiyo ikiwa ni siku chache toka amalize hadhabu yake ya kifungo cha miaka 2 jela baada ya kukutwa na hatia na mahakama ya kumuua Steven Kanumba bila kukusudia.

Katika video ambazo zinasambaa mtandaoni zinamuonyesha mrembo huyo akimtambulisha mume wake huyo mjarajiwa kwa wazazi wake.

Mkuu wa Mkoa Wa Dar Es Salaam Mheshimiwa Paul Makonda katika ukurasa wake wa instagram atoa pongezi kwa kuandika, “Mafanikio yenu yamebeba watu wengi, na kila hatua inaonyesha hamtanii basi Mungu wangu aendelee kuwaonyesha njia ili mfikapo mkawe msaada na kwawengine.”

Mastaa kibao walikuwepo kuhudhuria sherehe hiyo ya kutolewa mahali kwa Lulu jambo ambalo ni hatua mpya kuelekea ndoa yao inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Wizkid kutumbuiza Tamasha la Diamond la Wasafi Festival

$
0
0
Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria Ayodeji Ibrahim Balogun maarufu,  Wizkid anatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la Wasafi Festival litakayofanyika Dar Es Salaam baada ya Diamond kuthibitisha hilo.

Diamond amethibitisha hilo kupitia ukurasa wa Instagram baada ya ku-comment kwenye post ya Rayvanny ambayo alipost video fupi ikiwaoyesha Diamond na Wizkid muda mfupi baada ya kumalizika kwa tamasha kubwa la muziki la One African Music Festival lililofanyika Dubai wikiendi iliyopita.



MC Luvanda Apewa ONYO na Mahakama

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuonya mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Anthony Luvanda maarufu kama MC Luvanda kwa kusafiri bila ya ruhusa ya Mahakama.

Onyo hilo limetolewa leo Jumatatu Novemba 19, 2018 na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi mbele ya mshtakiwa Luvanda, wakili wake Jebra Kambole na wakili wa Serikali Mwandamizi, Kishenyi Mutalemwa.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya wakili Kishenyi kuieleza Mahakama kuwa upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kwamba mara ya mwisho kulikuwepo na amri ya Mahakama ya kumkamata mshtakiwa huyo kwa kusafiri bila ruhusa ya Mahakama.

Wakili Kishenyi ameeleza Mahakama kwa sababu ametokea akumbushwe masharti ya dhamana.

Baada ya wakili Kishenyi kueleza hayo, wakili wa Luvanda, Jebra Kambole amedai yeye hana pingamizi kuhusu mshtakiwa kukumbushwa masharti ya dhamana na akaomba radhi kwa yaliyotokea na kwamba mambo hayo hayatajirudia tena.

Hakimu Shaidi alimwambia mshtakiwa huyo kila kitu kina nidhamu yake, pia hata katika kesi na kufika mahakamani kuna nidhamu yake.

"Kitendo cha wewe kusafiri bila kuitaarifu Mahakama si kitu kizuri, ukitaka kusafiri toa taarifa."

Hakimu Shaidi ameiahirisha kesi hiyo hadi Desemba 18, 2018 na akamuonya mshtakiwa huyo afuate utaratibu.

Awali, Hakimu Shaidi Oktoba 23, mwaka huu akitoa  hati ya kukamatwa kwa Luvanda wakati kesi hiyo ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa lakini mshtakiwa huyo hakuwepo mahakamani.

MC Luvanda pamoja na kampuni yake, wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kutumia kikoa ambacho akijasajiliwa Tanzania.

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 34

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  

Hadi ninamaliza kumuadisia, macho yakwa yamemtoka sana.
“Kaka kwa matatizo yako una haja ya kupata muda wa kupumzika, uwanjani si unafahamu kwamba mtu hutakiwi kuwa na mambo mengi kichwani”
“Usijali nitacheza, ila tambua watu ninao waamini kwa sasa ni wachache sana.”
“Pole sana ndugu yangu, ila kama alivyo kuambia mwana sheria wako, usimuamini Camila kama alikufanya yale yote na bado akaamua kurudi basi kuwa makini”
“Kweli, hapa ni mwendo wa kuchezeana akili, akileta ujinga sasa hivi nakuapia haki ya Mungu, nitahakikisha kwamba ninamuua kwa mikono yangu mimi mwenyewe.”

ENDELEA
“Kaka kama ukimuua kwa mikono yako huoni kwamba itakuwa ni kesi ya dunia. Baba yake anakwenda kuwa raisi hii hii nchi, ulitambua hilo”
“Nalitambua”
“Na kumbuka wewe ni maarufu. Una makampuni mengi, una kipaji kizuri cha mpira. Utatakiwa siku moja uwe na mtoto wako naye afwate nyayo zako. Hakikisha kwamba hufanyi maamuzi ya kipuuzi Ethan”
 
Frenando alizungumza kwa upole sana huku akinitazama usoni mwangu. Siku zote huwa ninampenda Frenando kwani ni mtu ambaye akili yake imetulia sana na hata akikushauri jambo basi anakushauri kwa ajili ya maisha ya baadae.
“Nimekuelewa kaka, ila leo usiku ninaweza kutoka”
“Unakwenda wapi?”
“Nitakuambia safari kama itakuwepo kwa maana nimekaa mguu mmoja ndani mguu mmoja nje”
“Sawa, tuongozane?”
“Nitakujulisha”
“Poa poa kaka. Mwanangu nimepata kitoto cha Kimerxco hapa hotelini yaani weee acha tu kitamu kishenzi”
“Weee umesha mla?”
“Oohoo unahisi kwamba ninachelewa jamaa yangu. Kitoto ni kihudumu, leo kataingia shifti ya usiku. Yaani asikuambie mtu”
 
“Hahaaa rafiki yangu wee mbaya”
Tulizungumza huku tukiwa tumejawa na furaha sana. Tukaendelea kuzungumza mazungumzo mbalimbali. Kocha akajumuika nasi huku akionekana kuwa mtu wa furahas ana.
“Ethan nina habari nzuri, ila ni mbaya kwa wapinzani wetu”
“Ehee tuambie kocha”
“Leo niliweka hii picha yako kwenye akaunti yangu ya Twitter, na nikaangindika. ‘Mashine yangu imerudi’ Weee wapinzani wamejawa na presha balaa”
“Hahaaa kocha ungewaacha tuwafanyie suprize bwana”
“Tungewafanyia Suprize wangekufa kwa presha, kwa maana si kwa kukuogopa huku”
“Hahaa kazi wanayo”
 
“Kocha una mipango gani baada ya hapa?”
Frenando alimuuliza kocha huku akimtazama usoni mwake.
“Mipango ipo mingi sana. Kama mukichukua kombe, basi ninakwenda kuongeza taaluma yangu ya ukocha na ninampango wa kufindisha timu kubwa duniani”
“Ni mipango mizuri kocha, siku ukipata nafasi kwenye timu yoyote, tungependa kucheza chini yako”
“Haki ya Mungu, lazima niwachukue kwa garama yoyote na nitakuwa tayari hata kuvunja rekodi ya Pogba katika manunuzi yenu”
“Sawa kocha tutakuunga mkono, ila ningependa upate timu kama za Uingereza hivi kwa maana ligi ya hapa Ujerumani mimi naona kama haina changamoto kiviele”
“Ni kweli unacho kizungumza Ethan, ligi ya ujerumani, ina mtawala mmoja ambaye ni Munich. Ila Uingereza kwa sasa hakuna mbabe, kila mwenye kisu kikali basi ndio anaye kula nyama”
“Kweli kocha, natamani siku moja tubebe kombe mikononi mwako”
“Hahaa muta beba tu wala musijali”
“Sawa kocha”
Simu niliyo achiwa na mwanasheria ikaingia ujumbe mfupi wa maneno. Nikaufungua na kuusoma kwa umakini.
‘TUMEMPATA, SAA NNE USIKU NITAKUJA KUKUCHUKUA’
Nilipo maliza kusoma ujumbe huu, nikaufuta kwenye simu yangu.
 
“Vipi kuna tatizo?”
Frenando aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Hapana hakuna tatizo”
“Sawa”
“Kocha kesho mazoezi yataanza saa ngapi?”
“Majira ya saa kumi na mbili na nusu asubuhi”
“Sawa”
“Mechi ya kesho kutwa nina waomba muweze kujituma sana. Kumbukeni kwamba mechi iliyo pita hamkuwepo na tulifunga goli moja tu. Goli ambalo lilizua maneno mengi kwenye mtando huku watu wengine wakitukashifu kwamba bila nyinyi timu haina uwezo wowote”
“Usijali kocha kila kitu kitakwenda sawa. Unataka nikufungie goli ngapi?”
“Sita”
“Mmmmm”
“Unaguna nini Frenando, mbona ina wezekana”
“Haya mwaya, mimi langu ni goli. Nitazuia kuto kufungwa kwa uwezo wangu wote”
“Ulinde vidole vyako wasije wakakutengua tena”
“Tena sasa hivi nipo makini sana kwa maana kuan watu kama vile wanachezea timu ya taifa. Yaani kazi yako ni kudungua tu mashuti utadhani aliye kaa golini ni roboti”
Maneno ya Frenando yakatufanya tucheke. Nikawaaga wezangu na kurudi chumbani. Nikamkuta Camila akiwa amelala kitandani, nikajilaza pembeni yake huku nikimkumbatia.
 
“Niambie”
Nilizungumza huku nikimbusu shavuni mwake.
“Safi tuu mume wangu”
“Usiku kuna sehemu nitakwenda mpenzi wangu”
“Wapi tena Ethan?”
“Yule mzee amapatikana”
“Kweli?”
“Ndio, nitahitaji kwenda kuzungumza naye uso kwa uso”
“Mume wangu huoni kwamba inaweza kuwa hatari sana kwako?”
“Usijali kila kitu kimewekwa chini ya uangalizi mzuri.”
Camila akanitazama usoni mwangu kisha akaninyonya midomo yangu kwa muda kidogo huku akishusha pumzi taratibu.
“Nitapenda usimfungulie mlango mtu yoyote zaidi yangu”
“Usijali mume wangu, siwezi kumfungulia mtu mlango na nitawamfahamisha baba aweze kunitumia walinzi wake waje kunilinda”
 
“Itakuwa ni vizuri”
Masaa yakazidi kwenda. Usiku ukawadia, tukapa chakula cha usiku, mwanasheria wangu akafika hotelini hapa na helicopter. Tukaagana na Camila huku nikimkabidhi Frenando jukumu la kumlinda shemeji yake kisha mimi nikaondoka. Tukiwa ndani ya helicopter, mwana sheria akanikabidhi bahasha kubwa kidogo ya kaki.
“Humo ndani ya bahasha kuna taarifa za mzee huyo. Tumeweza kufwatilia hadi familia yake iliyopo nchini China”
“Kazi nzuri, kazi umeifanya na nani?”
“Kuna vijana wangu nimewatumia. Wapo wanne wao ni wapelelezi maalumu na wenye uwezo wa juu sana na huwa wanafanya kazi zao wao kama wao”
“Ahaaa sawa sawa”
Nilizungumza huku nikitazama picha kadhaa za mzee huyu, huku nyingine zikimuonyesha famili yake. Tukafika katika moja ya msitu, tukaona kiwanja kidogo cha helicopter ambacho kwa pembezoni mwake kimewashwa moto.
“Ni wapi hapa?”
 
“Hapa ndipo walipo vijana wangu”
Mwanasheria wa familia alizungumza huku helicopter ikishuka taratibu. Helicopter ilipo fika ardhini. Tukafunguliwa mlango na jamaa mmoja mrefu aliye jazia mwili wake. Akanisalimia kwa kunipa mkono kisha tukaanza kuongozana kuingia msituni. Tukakuta mfuniko mzito wa chuma, kijana huyu akaufungua kisha akanza kuingia ndani humu huku akiwa amewasha taa. Wasiwasi kwa mbali ukaanza kunitawala huku nikijifikiria endapo kama mwana sheria ataamua kunigeuka basi, ataniulia humu ndani na hakutokuwa na mtu wa aina yoyote ambaye atafahamu kuhusiana na kifo changu.
 
‘Ehee Mungu nisaidie’
Nilizungumza kimoyo moyo huku tukishuka kwenye ngazi hizi, zipatazo hamsini. Tukakuta kordo ndefu iliyo washwa taa zenye mwanga hafifu kidogo. Tukaendelea kutembea huku tukimfwata kijana huyu nyuma nyuma. Tukatokea kwenye ukumbi mkubwa ambao umejaa tv kubwa sana zipatano kumi. Katika ukumbi huu kuna vijana watatu pamoja na mzee yule wa kichini akiwa amekalishwa kwenye kiti huku amefungwa kamba za mikononi mwake na miguuni. Usoni mwake anamwagikwa na damu na inaonyesha kwamba amepata kipigo kimoja kikali sana. Nikasalimiana na vijana hawa huku wakionekana kujawa na furaha sana ya kuniona.
“Mtu wako mkuu huyu hapa. Tumeweza kumuhoji na ametupa ushirikiano wa kutosha”
 
“Amewaeleza juu ya sehemu alipo huyo mwana mama aliye mteka?”
“Ndio amesema kwamba mwana mama huyu yupo katika nchi moja inaitwa Tanzania katika bara la Afrika Mashariki”
Kidogo nikastuka huku nikimtazama mzee huyu wa kichina. Taratibu nikamsogela na kumtazama usoni mwake.
“Nimewahi kufika kabla ya wewe kufika. Nahitaji kufahamu mwanamke huyo yupo wapi ndani ya Tanzania?”
Mzee huyu akanitazama kwa muda kisha akanitemea mate jambo ambali lilimfanya kijana mmoja atake kumpiga ila nikamzui kwa ishara ya mkono. Nikajifuta mate yake usoni mwangu, kisha taratibu nikavua koti langu hili kubwa na kumkabidhi mwana sheria anishikie.
 
“Yupo wapi mama yangu”
Nilizungumza kwa kauli hii kwa maana tayari mwili wangu umesha anaza kupata hisia ya kutambua kwamba mwanamke huyu ni mama yangu.
“Yupo Tanzania, ila sinto kuambia ni wapi alipo hata uniue”
‘Ethan naomba nguvu’
Nilizungumza kimoyo moyo pasipo mtu yoyote kuweza kusikia. Mwili wangu ukapata msisimko ambao siku zote nikihitaji kuwa na nguvu basi Ethan hunipa nguvu kwa njia hiyo. Nikakinyanyua kiti hichi na mzee akiwa amekikalia jambo lililo washangaza watu wote humu ndani, kwani kwa umri wangu sina nguvu ya kumnyanyua mzee huu na kiti chake. Nilipo mpikisha kimo cha kama ng’ombe dume hivi. Nikamtupa chini kwa nguvu mzee huyu hadi kiti chote kikapasuka vipande vipande.
“Yupo wapi mama yangu?”
 
Nilizungumza kwa ukali na sauti iliyo jaa besi kidogo. Mzee huyu mwili mzima ukazidi kumtemeka. Nikaokota moja ya koande cha mbao ya kiti kilicho chongeka kiasi. Nikamkita nacho kwenye paja la mguu wake wa kulia na kumfanya mzee huyu kupiga ukunga mmoja mzito sana.
“Nitakutajiaaaa…….”
Mzee huyu alizungumza hukua kilia kwa uchungu sana.
“Wapi alipo….”
“Tanzania katika mkoa mmoja uaitwa Tanga…..”
“Itafuteni Arusha hapo”
Nilimuambia kijana mmoja aliye kaa katika kiti huku pembe yake kukiw ana computer ya kampuni ya Apple. Kijana huyu akautafuta mji huo wa Tanga na baada ya muda kidogo, akafanikiwa kuupata.
“Tanga sehemu gani?”
“Katika mji Mmoja unaitwa Lushoto”
“Umeipata Lushoto”
“Ndio mkuu”
“Lushoto eneo gani?”
“Kuna mji mdogo unaitwa Lukozi”
“Lukozi?”
“Ndio”
 
Mzee alizungumza huku akilia kwa maumivu makali sana kwani bado nina endelea kumshindilia ubao huu ambao hadi sasa umezama kama nusu hivi. Nikauchomoa ubao huu huku nikimtazama mwanasheria usoni mwake.
“Nahitaji lifanyike kila linalo wezekana ndani ya siku mbili hizi mama yangu awe amepatikana. Utawapa kiasi chochote ambacho watakihitaji kwenye hii kazi. Mutakwenda Tanzania, sasa sijui mutakwenda wangapi?”
“Tutakwenda sisi wawii mkuu”
“Basi nawaombeni muwe makini na endapo mutampata basi nawaomba muweze kumleta hapa Ujerumani. Natamani sana kuzungumza naye mambo mengi sana”
 
“Sawa mkuu kazi itaisha ndani ya siku nne”
“Nashukuru kwa umoja wenu na ushirikiano wenu”
Nilizungumza huku nikitoa kitambaa changu mkononi. Nikajifuta damu za mzee huyu.
“Mkuu kuna swala moja hatujakujilisha”       
“Swala gani?”
“Huyu mzee ana bosi wake ni mwanamama tajiri sana kutoka nchini Nigeria katika viwango vya utajiri kwa wanawake barani Afrika yeye ni namba moja na kidunia kwa wanawake yeye ni namba nane”
“Anaitwa nani?”
“Yemi. Hilo ndio jina lake linalo pendelewa na watu wengi kuitwa”
“Ina maana bosi wake ndio aliye mtuma hilo boksi jeusi?”
“Ndio mkuu”
Nikashusha pumzi taratibu, nikamsogelea mwana sheria na kumtaza usoni mwake.
“Hii ni vita ambayo tumesha ianzisha. Ni lazima damu za watu ziweze kumwagika. Nahitaji kuwa pamoja nawe kwenye kila jambo”
 
“Usijali mkuu, baba yako alinipa jukumu la kukuangalia nami nitakuangalia hadi mwisho wa maisha yangu”
“Sawa nashukuru kusikia hivyo. Huyo mwana mama tunamfanyaje?”
“Kwa sasa ngoja tumtafute kwanza mamam mzazi. Tukisha mpata tunamgeukia na yeye”
“Nashukuru”
“Huyu mzee mkuu tunamfanya nini?”
Kijana mmoja aliniuliza huku akinitazama usoni mwake. Nikamuonyesha ishara ya kuchinja, kijana huyu akachomoa bastoka yake na kumpiga risasi nne za kifua mzee huyu na kumfanya afe hapo hapo.

ITAENDELEA KESHO

PICHA: Mkapa Awasili Uganda Kuwasilisha Ripoti Ya Usuluhishi Ya Mgogoro Wa Burundi Kwa Rais Museveni

$
0
0
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mhe. Benjamin William Mkapa ambaye ni msuluhishi wa mgogoro wa Burundi akiwa katika chumba cha wageni maalum katika uwanja wa Ndege wa Entebbe leo. kulia ni Mwambata Jeshi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda, Brig Gen. Mkumbo, kushoto ni Msaidizi wa Rais Mkapa katika utatuzi wa mgogoro huo, Balozi David Kapya na anayemfuatia ni Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz Mlima. 

Mkapa aliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Entebbe asubuhi ya tarehe 19 Novemba 2018 kwa ajili ya kuwasilisha ripoti ya mkutano wa upatanishi uliofanyika hivi karibuni jijini Arusha kwa Mpatanishi Mkuu wa mgogoro huo Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni.
Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Dkt. Aziz Mlima (kushoto) akimsikiliza Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mhe. Benjamin William Mkapa ambaye ni msuluhishi wa mgogoro wa Burundi.

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 154 na 155 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
Nilizungumza huku nikitoka na kuufunga mlango huu, tukatembea hatua kadhaa kutoka mlangoni.
“Dany kuna tatizo limejitokeza”   
“Tatizo gani meja”
“Mtoto wenu amefariki kwa kuuwawa”
Mwili mzima nikahisi ukizizima kwa kupoteza nguvu, macho yakanitoka kwani taarifa hii kwangu ni nzito ila ninaweza kuihimili, ila sijuia Yemi mke wangu kama anaweza kuihimili taarifa isitoshe nimemuacha akiwa katika furaha kubwa sana ya kuifikiria ndoa yetu tuliyo panga kuifunga kesho.   

ENDELEA           
Ukimya ukatawala kati yetu mimi na Meja, nikajikuta nikiwa nimeshika na kigugumizi kizito kabisa, sijui hata nizungumze kitu gani.
“Walipo kuwa wanakuja huku wamevamiwa na watu wasio julikana njiani, yeye na watu wangu wawili walio kuwa wakimleta haku wameuwawa”
Nikahisi jasho likinimwagika mgongoni.
“Nimeagiza vijana wangu kuweza kufwatilia na kujua ni nani ambaye ameweza kuhusina na mauaji haya”
 
“Hapo meja unahisi atakuwa ni nani kama sio raisi Donald Bush, kwa maana huyu mtoto ndio alikuwa ni shabaha yake ya kuweza kunipata mimi na ameshindwa kunipata na amaemua kulipiza kwa mtoto”
“Majibu kamili Dany tutapata vijana wangu watakapo niletea taarifa?”
“Meja samahani ninakuomba hili niweze kulishuhulikia na liwe ni jambo la siri kati yangu mimi na wewe sihitaji Yemi kwa sasa aweze  kujua hili swala”
“Sawa itakuwa ni siri kwa sasa ila kulishuhulikia hili Dany, kwa sasa ni hatari tulia kwanza upumzike na mke wako hili swala     vijana wangu watalishuhulikia”
 
“Hapana meja hii ni vita yangu, vita inayo garimu maisha hadi ya vijana wako kwa ajili yangu, ninakuomba niimalizie hii vita ilipo fikia sasa hivi hata nikifa basi najua nitakufa kwa ajili ya kuitafuta haki ya moyo wangu. Tafadhali meja ninakuomba”
Nilizungumza kwa msisitizo huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. Meja akanitazama kwa sekunde kadhaa, mlio wa simu ukamstua na akaitoa simu yake mfukoni na kuipokea.
“Ndio”
“Ipelekeni hospitali”
“Sawa”
Meja akaka simu na kunitazama.
“Miili ya marehemu wanaiepeleka hospitali sasa hivi, ikiwemo mwili wa mtoto wenu”
“Nahitaji kwenda kuiona tafadhali ninakuomba uniruhusu katika hilo”
 
“Sawa jiandea, ndani ya chumba chenu ndani ya kabati kuna suti ninaimani utazipenda”
“Shukrani meja”
Nikarudi chumbani na kumkuta Yemi akiwa amesimama mbele ya kioo huku akiweka mapozi kadhaa huku akiwa ameshika kiuno chake.
“Mume wangu kesho yaani nitatembea kimadoido kama hivi”
Yemi alizungumza na kuanza kutembea kama wanavyo tembea mamisi wakiwa majukwaani. Nikajitahidi kutabasamu kwani sihitaji Yemi kugundua ukweli unao endelea.
“Mke wangu umependeza ukitembea hivyo?”
“Asante sana mume wangu sasa na wewe inabidi nikufundishe mwendo wa kutembea kwenye harusi yetu sawa mume wangu”
 
Furaha aliyo nayo Yemi kusema kweli laiti akigundua kwamba mwanae amefariki sijui atakuwa katika hali gani kusema kweli.
“Njoo njoo mume wangu tuanze kutembea”
Yemi alizungumza hukua kinishika mkono, nikakubali kufanya hivyo, maumivu ninayo yapata moyoni mwangu kusema kweli hayana kipimo. Yemi akaanza kunifundisha kutembea taratibu, lengo langu ni kumfurahisha kwa muda kidogo ili niweze kumuaga kuondoka katike eneo hili.
“Mke wangu kuna sehemu nahitaji kwenda na meja mara moja”
Nilizungumza huku nikitabasamu nikihakikisha kwamba Yemi hawezi kuona utofauti wowote ambao nipo nao kwenye moyo wangu.
“Unakwenda wapi mume wangu?”
“Kuna baadhi ya vitu vya arusi anahitaji kwenda kunionyesha, mke wangu vitu vingine inabidi kukufanyia suprize usinifanye nivizungumzee”
“Mmmm jamani mume wangu wala hatujakaa sana”
“Mke wangu kuna zawadi nzuri sana ninakwenda kuitafuta”
“Zawadi gani?”
“Mmmmm mke wangu itakuwa ni suprize sawa”
“Haya mume wangu naamini ukija utamkuta mtoto wetu amesha fika”
 
Maeno ya Yemi bado kidogo yanimwage machozi ila nikaikuta nikitabasamu tu.
“Ndio, meja ameniambia kwenyeh hili kabati hapa kuna suti ngoja niangalie kwa maana ana nisubiria”
“Sawa mume wangu”
Nikatoa suti nyeusi ambayo ina kila kitu kuanzia tai hadi shati, nikaanza kuvaa kwa haraka, Yemi akanisaidia kunifunga tai hii. Nikamshika kidole cha shahada cha mkono wake wa kushoto nikakitazama kwa umakini.
“Nini mume wangu”
“Naangalia ni pete gani ambayo inaweza kukupendeza mke wangu”
“Yoyote mume wangu kikubwa ni upendo wangu mkubwa nilio kuwa nao kwako”
 
“Nashukuru kwa kunipenda mke wangu”
Nilizungumza kisha taartibu nikamkumbatia Yemi huku bado nikizidi kupata maumivu mengi moyoni mwangu.
“Haya nenda sasa mume wangu usije ukachelewa”
“Sawa mke wangu”
Nikarudia tena kumbusu Yemi kisha nikatoka chumbani humu, nikakutana na meja akinisubiria kwenye kordo. Moja kwa moja tukaelekea kwenye gari ambazo zimendaliwa tayari. Msafara wa gari mbili hizi ukaanza huku kwenye gari nikiwa nimejawa na mawazo mengi kichwnai mwake. Hatukuchukua muda mrefu tukafika kwenye moja ya hospitali kubwa, tukashuka na kupokelewa na mtu mmoja ambaye yupo chini ya meja.
“Wamejeruhiwa vibaya sana kwa risasi”
“Gari je?”
 
“Gari zipo sehemu ya tukio lilipo tokea polisi wanaendelea na uchunguzi”
“Kipindi munafika katika eneo la tukio waandishi wa habari walikuwa wamefika?”
“Hapana meja ila watu kadhaa ndio walikuwa wameanza kufika eneo la tukio”
“Wahusika mumeweza kuwajua?”
“Tunaongeza juhudi katika kuwafwatilia na ninaimani kwamba tukiwafahamu tutawashuhulikia”
Tukafika katika chumba cha kuhifadhia maiti, maiti ya kwanza kuonyeshwa ni mtoto wa Yemi ambaye nilimuona picha yake kwenye simu ya mama yake. Ni mtoto mzuri sana kisura japo ni wa kiume ila ni mzuri sana na amebarikiwa kuchukua sura ya mama yake.
“Ni kijana mdogo sana”   
Meja alizungumza huku akimtazama mtoto wa Yemi.
“Yaaa, kifo chake kipo mikononi mwangu”
 
“Hapana Dany, tumejitahidi kadri ya uwezo wetu ila waliweza kutuwahi?”
“Najua meja, ila ukweli ni kwamba huyu mtoto hakustahili kufa, ni lazima nifanye jambo kabla ya kumzika huyu mtoto”
“Vijana wangu wanaendelea kufwatilia wakipata muhusika basi tutajua ni kitu gani cha kufanya”
“Na Yemi nyumbani anasubiria kumuona mwanaye tutafanyeje katika hili?”
Meja akashusha pumzi nyingi huku akinitazama usoni mwangu.
“Tutatakiwa kutumia akili kubwa sana katika hili”
“Akili gani?”
“Mimi nitajua cha kumueleza nina imani ananiamini sana”
“Tujartibu katika hilo, ila sidhani kama harusi itafungwa kabla ya kumuona mwanaye”
 
“Kila jambo niachie mimi Dany”
“Mkuu tumepata sehemu ya wahusika ambao wamesababisha mauji ya watu wetu”
“Mume weza kuwafahamu ni watu wan chi gani?”
“Hapana mkuu ila tumeweza kufahamu ni wapi gari lao lilipo”
Kijana huyu wa kimarekani alizungumza na meja.
“Twende tukawavamie sasa hivi”
Nilizungumza huku nikimtazama meja usoni mwake.
“Dany……”
“Meja usinichukulie kama mgeni wa heshima ninaimani unaijua. Suti hii niliyo ivaa isinifanye nibadilike uahalisia wangu. Mimi nimefuzu mafunzo mengi ya kijeshi unajua niliweza kuiangusha kambi ya Al-Shabab na wewe ulishuhudia juhudi zangu nilizo zifaya. Tafadhali meja ninakuomba uniruhusu katika hili”
 
Nilizugumza huku machozi ya hasira yakinimwagika usoni mwangu, japo ni aibu mwanaume kulia mbele ya mwanaume mwenzake, ila kwangu sikuhitaji kulitilia maanani.
 
“Sawa Dany mpatie bastola”
Meja alimuambia kijana wake, akanikabidhi bastola nikaichomeka kiunoni mwake kisha tukatoka hapa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti.
Safari ya kuelekea katika sehemu walipo jificha watu walio husika na kifo cha mototo wa Yemi ikaanza. Tukafanikiwa kufika katika jengo moja, tukawakuta vijana wengine wa meja wakiwa wamesha imarisha ulinzi wa kuingia katika eneo hili. Vijana wa meja wakaanza kutuonyesha ramani ya jengo hili kupitia laptop.
“Ndani ya jengo kuna watu sita na hao ndio walio weza kufanya mauaji mkuu”
“Hakikisheni kwamba tunawakamata wakiwa hai”
“Sawa mkuu”
 
Vijana wa meja wakaanza kusonga mbele huku mimi na meja pamoja na mlinzi wake mmoja tukibaki kwenye gari.
“Nahitaji kuingia ndani meje”
“Dany tulia nina waamini vijana wangu, nina uhakika watakwenda kukamilisha hii kazi kiumakini sana.”
“Sawa meja”
Vijana hawakuchukua muda sana wakatupa ishara ya sisi kuweza kuingia ndani, kwa haraka tukakimbilia ndani na kukuta kundi la vijana likiwa limewekwa chini ya ulinzi.
“Muna uhakika kwamba hawa ndio wamefanya mauaji?”
Meja alizungumza huku akiwatazama vijana hawa wa kiafrika, nyuso zao zinaonyesha kwamba hawana uwezo kabisa wa kufanya tukio ambalo wamelifanya.
 
“Ndio mkuu hawa ndio wa husika. Wana silaha za kutosha sana”
Nikachomoa bastola na kuvututa mmoja wa hawa kijana.
“Ni nani aliye waagiza?”
Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikimtazama kijana huyu usoni mwake.
“Sijui unacho zungumza”
Kijana huyu alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kwa taaluma yangu ya kuwafahamu watu nikajua kabisa kwamba huyu kijana ananidanganya. Nikampiga kwa kitako cha bastola hii kwenye sikio lake na kumfanya jamaa huyu akianguka chini na kulia kwa uchungu.
“Dany huyo hana la kuzungumza, vijana wenyewe hawa ninawaona kama wavuta bangi”
 
“Hapana meja wanatutania hawa. NINIANI ALIYE KUAGIZAAAA”
“Sijui mimi maisha yangu ya shida sifahamu ni kitu gani unacho kizungumza”
“Sioni sababu ya nyinyi kuishi”
Nikampiga risasi ya kichwa kina huyu nikamgeukia kijana wa pili naye nikampiga risasi ya kichwa pasipo kuwa na huruma ya aina yoyote. Nikampiga risasi kijana wa tatu, kabla sijampiga risasi kijana wa nne akaniomba nimsamehe kwani anakwenda kuzungumza ukweli.
“Nazungumza nazungumza ukweli”
“Ni nani aliye watuma”
“Ni madam”
“Madam madam gani?”
“Madam Hawa, mke wa raisi wa Marekani”
Meja akanitazama kwa macho ya mshangao, kwani sote hapa tunamfahamu vizuri Hawa kwani alikuwa ni msichana mwema sana kipindi nipo naye.
 
 AISIIIII……….U KILL ME 155

“Hawa, Hawa ndio alio waagiza?”   
Niliendelea kuwauliza kwa sauti ya ukali huku nikimtazama kijana huyu aliye toboa siri ambayo tayari imesha wagarimu wezake watatu uhai wao.
“Ndio, alitumbia kwamba tumue mtoto mara baada ya kufika hapa Madagascar”
“Alijuaje kama mtoto anakuja hapa Madagascar?”
“Sijui, sisi tulipewa kazi na tumeikamilisha mkuu”
Kijana huyu alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.
 
“Meja nina imani kuna mtu anatoboa siri katika hili”
“Nitalifanyia upelelezi wakimya kimya kuhakikisha kwamba ninamfahamu ni nani ambaye alitoboa siri katika hili”
“Nina ombi jengine meja”
“Ombi gani?”
“Ninaihitaji kwenda Mosscow Urusi”
“Mossow?”
“Ndio meje, sina muda wa kupoteza katika hili kwa maana raisi wa Marekanai hadi sasa ninavyo zungumza yupo inchini Urusi na nina imani kwamba hiyo ndio nafasi yangu ya pekee kwa mimi kuweza kumuaa Donald Bush pamoja na Hawa kwani siwezi kumsamehe katika hili alilo lifanya”
 
“Dany kumbuka ulinzi ambao umeimarishwa katika eneo hilo unalo taka kwenda ni mkubwa sana na kuna watu makini sana. Huto toka kabisa endapo utakwenda”
“Hilo kwangu sijalishi meja, hii ndio kazi yangu ya mwisho. Ninakuomba unipe baraka zako za mwisho”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama meja usoni mwake. Akaanza kutoka katika hichi chumba ambacho tayari tumeweza kugundua ukweli wa wahusika walio sababisha tukio la mauaji la mtoto wa Yemi.
“Meja najua hili  ambalo  ninakwenda kulifanya hata kwako litakuwa na nafasi kubwa, ninakuomba niweze kwenda kuifanya hii kazi sinto weza kukaa hapa na kuendelea kuyaona machozi ya Yemi yakimwagika mbele yangu na nikiwa sina msaada wowote kwake ikiwa mimi ndio nimepelekea matatizo haya yote kwa mwanae”
“Unahisi ni kwa nini Hawa amemua kufanya mauaji ya mtoto wa Yemi?”
 
“Meja ukiniuliza hivyo utakuwa unakosea kwa maana mimi na wewe sote tupo hapa na isitoshe walifahamu vipi kama mtoto anakuja Madagascar na hadi akauwawa hapa?”
Meja akakaa kimya kwa muda kisha akanishika bega la mkono wangu wa kushoto.
“Ninakuruhusu Dany katika hili ninajua ni mangapi ambayo yaliweza kukupata katika maisha yako na yote hayo yametokea kwa dhuluma na husda za watu walio kuzunguka. Ninakuomba hakikisha kwamba unakuwa hai kwa manaa bado hujamalizana na K2”
“Shukrani meja kwa kuligundua hilo”
“Yaa ninajua ni kitu gani ambacho kipo ndani ya moyo wako”
“Ninakuomba niondoke pasipo mke wangu kuweza kufahamu”
 
“Hapana Dany hilo linaweza kuwa kosa kubwa sana litakalo kugarimu kwenye maisha yako yote”
“Kivipi meja, kwa maana hii ni kazi ambayo ninatakiwa kuifanya kikamilifu”
“Ngoja kwanza nifwatilie leo kwamba raisi wa Marekani atakaa kwa muda gani Urusi kisha tutapanga mapango mzima wa mauaji yake na wewe ndio utayakamilisha kwa mkono wako wewe mwenyewe”
“Sawa meja”
“Maandalizi ya harusi yaendelee kama kawaida, jikaze kiume na mke wako asifahamu kitu chochote hii itabaku kuwa siri kati yangu mimi na wewe”
 
“Nimekuelewa”
“Mkuu”
Mmoja wa vijana wa meja alizungumza huku akifika katika eneo hili tulilo  simama.
“Ndio”
“Kuna hichi kitu unatakiwa kukiona hapa”
Jamaa huyu akamkabidhi meja simu aina ya iphone six, akatazama kwa muda kisha uso wake kidogo ukaonekana kujawa na tabasamu pana usoni mwake.
“Dany kazi yako nina imani itakuwa raisi sana”
“Kwa nini?”
“Baada ya siku mbili raisi Donald na mke wake wanaelekea nchini Tanania kwa ziara yasiku mbili na mwenyeji wao atakuwa ni raisi K2 na hii ni taarifa kutoka ikulu ya Marekani”
Meja akanikabidhi simu aliyo ishika, nikasoma maelezo haya yanayo onyesha ziara hii ya raisi Donald Bush pamoja na Mke wake.
 
Furaha ikaanza kutawala moyoni mwangu kwani kazi hii inakwenda kuwa raisi kwangu kwani ninaifahamu Tanzania vizuri sana kuliko hata nchi yoyote ambayo nimeweza kwenda.
“Tuelekee madukani sasa kutafuta pete ya mke wangu”
Nilizungumza kwa sauti iliyo jaa msisitizo, meja akakubaliana nami. Tukaondoka eneo hili, siku nzima hii tukaitumia katika kufanya manunuzi ya harusi ambayo itahudhuriwa na watu wachache sana ila ni harusi ya kifahari sana. Nikamnunulia Yemi pete ya dhahabu yenye garama kubwa sana, pamoja pia nikamnunulia na mkufu wenye thamani kubwa sana.
“Dany”
 
“Ndio meja”
“Nimeweza kukutana na vijana wengi, na nimefundisha vijana wengi ila sijawahi kuona kijana mwenye kipaji kama wewe”
“Kipaji cha nini meja?”
“Laiti ingekuwa ni mtu mwengine wa kawaida kawaida tu ambaye aliamua kuingia jeshi kwa ugumu wake wa maisha basi hadi sasa hivi sidhani kama angekuwa hai hapa duniani”
“Una maanisha nini kuzungumza hivyo meja?”
“Nina maanisha kwamba umepitia maisha magumu ambayo hata mimi na uzee huu sikuweza kuyaptia. Umeweza kuimili mikiki mikiki mingi sana kwenye haya maisha, ninakuomba sasa hakikisha kwamba unaimaliza hii kazi, hakikisha hawa watu watatu wanafia kwenye mikono yako. Chochote kitakacho tikea nipo nyuma yako nitakusaidia, iwe kifedha, kimali au hata kuyagarimu maisha yangu basi ninaweza kufanyaa hivyo”
 
Meja alizungumza kwa msisitizo huku tukiwa ndani ya gari tunarudi katika jumba la meja.
“Ninashukuru sana meja, natambua baada ya hii kazi dunia nzima itakuwa inanitafuta mimi”
“Hilo nitalifanyia uangalizi kikubwa ni kumuoa Yemi na kunza maisha yenu mapya mbali sana na Afrika”
“Sawa meja.”   
Tukafanikiwa kufika nyumbani salama salim, nikamkuta Yemi akiwa amekaa sebeleni pamoja na Martin anatazama filamu. Yemi akanifwata na kunikumbatia kwa furaha sana, akanipokea begi kubwa kiasi ambalo lina gauni lake la harusi pamoja na vitu kadhaa. Tukaelekea chumbani kwetu na akanza kufungua begi hili huku furaha ikiwa imemtawala sana.
 
“Waooooo mume wangu umejuaje kama ninapenda magauni ya aina hii”
Yemi alizungumza kwa furaha sana huku akililaza gauni hili kitanani.
“Yaani mume wangu umejuaje ninapenda magauni ya aina hii”
“Kweli?”
“Yaa kweli yaani hata kwenye mitindo yangu ninayo buni huwa ninajisikia furaha kuunda magauni ya aina hii, ngoja kwanza mbona kama lina chata ya kampuni yangu”
Yemi alizungumza huku akichukua kikaratasi kidogo na kukisoma
“Mume wangu ni kampuni yangu kumbe bidhaa zangu zinafika hadi huku”
“Yaaa, alafu wala sikujua nilipo kuwa ninanunua”
Furaha ya Yemi ikazidi kutawala baada ya kutoa pete mbili za ndoa ambazo tutavishana wakati wa kuoana siku ya kesho.
“Yaani mume wangu natamani hata ndoa yetu tufinge hata sasa hivi ili tuwe mume na mke”
 
“Usijali mke wangu, Mungu ni mwema kesho itafika kikubwa ni ulinzi wake”
“Amen, vipi umemuuliza shemeji juu ya safari ya mwanangu?”
“Yaa nilimuuliza ila kidogo ndege yake ilipata itilafu ikawabidi kutua nchini Senegal, kwa matengenezo zaidi”
Nilizungumza uongo huku nikifahamu kila kitu kinacho endelea
“Ahaaa, kwa nini sasa wasipande ndege nyigine ili mwanangu awahi”
“Kwa ajili ya usalama, si vizuri kwa mtoto kupanda ndege nyingine, kwa maana nina imani watakuwa wanafwatiliwa si unajua kwamba ametolewa mikononimwa Wamarekani ambao hawahitaji kushindwa na lolote”
“Kweli, ila akiwahi sawa asipo wahi pia sawa, kikubwa yupo salama”
 
“Ni kweli mke wangu. Jaribu basi gaini nione kama nimepatia kununua au laa”
Nilizungumza huku nikijaribu kujenga tabasamu  usoni mwangu, Yemi akaanza kuvua nguo alizo vaa kisha akavaa gauni hili, nikamsaidia kufunga kamba ndefu  zilizopo nyuma ya hili gauni. Kusema kweli sijakosea katika kuchagua gauni hili kwa maana limependeza sana Yemi.
“Yaani kama ulinijaribisha mume wangu, hujakosea kabisa”
“Yaa ila ni mali ya kampuni yako nina imani kwamba watakuwa wametengeneza mahususi kwa ajili yako”
“Ni kweli yaani natamani hata kualika marafiki zangu kuja kusherekea hii harusi yangu ila ndio hivyo ni ngumu, umehitaji iwe harusi ya watu wachache”
 
“Ni kweli mke wangu ila ulihitaji kuwaalia kina nani?”
“Ahaa hata tukisema tuwaalike, hawawezi kufika muda umesha kwenda. Ila kuna rafiki yangu mmoja ningetamani sana awepo kwenye harusi yangu sema nimepoteza mawasiliano naye”
“Anaitwa nani?”
“Hawa yaani huyo kipindi tunasoma tulipanga kualikana kwenye harusi zetu sema ndio hivyo maisha yameingiliana”
‘Laiti ungejua alicho kifanya Hawa wala usinge zungumza hivyo mke wangu’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Yemi usoni mwake. Nikamvalisha mkufu  nilio mnunulia na kumfanya azidi kujawa na furaha.
“Mke wangu nina kuja mara moja”
“Unaenda wapi?”
“Kuzungumza na meja”
“Njoo unisaidie kufungua hivi vijikamba huku mgongoni”
Nikafanya kama alivyo niagiza Yemi, nikamfungua vimikanda vya hili gauni kisha nikatoka humu chumbani, nikamkuta meja akiwa amekaa sebleni na Martin wakiendelea kuzungumza  mambo mawili matatu.
 
“Meja ninakuomba”
Taratibu meja akasimama na kunifwata sehemu nilipo simama.
“Nimezungumzana na mke wangu, na nimemueleza kwamba ndege walio yapanda watu wako imeharibika na imetua nchini Segegal, ili kutia msisitizo zaidi katika hili ninakuomba umueleze hivyo na uwaambie kwamba ndege inaendelea kufanyiwa marekebisho na hawawezi kupanda ndege nyingine kwa ajili ya usalama na msako wanao ufanya Wamarekani”
“Hilo halina shida, ila anaonekana kuhisi chochote?”
“Hapana, ana furaha tu ya kujiandaa na harusi yetu”
 
“Sawa nimekuelewa, hapa nimekodisha hoteli moja ipo kwenye kisiwa cha pembeni na hapo ndipo ndipo itakapo fanyika harusi yenu”
“Meja mbona umeingia garama kubwa sana katika hili?”
“Dany ukiachilia mbali kwamba wewe ni rafiki yangu wa karibu, ila ni sawa na mwanangu, sina mtoto wa kuweza kumfanyia haya yote na isitoshe nina miliki kiasi kikubwa sana cha pesa, kwa hiyo hilo wala lisikumize kichwa”
“Ila meja kuna mambo mengine unanifanyia hadi najihisi aibu kwa manaa naona sina uwezo wa kufanya na mimi mwenyewe”
“Uwezo unao na ninajua kwamba una utajiri mkubwa sana wa baba yako ila bado hujauweka mikononi mwako”
“Unafahamu chochote kuhusiana na baba yangu?”
“Ndio nina fahamu mengi sana kuhusiana na familia yako, niliamua kufwatilia familia yako baada ya kuweza kukufahamu”
 
“Umegundua kitu gani kwa maana hadi dakika ya mwisho K2 aliniambia kwamba familia yangu ipo hai na yeye ndio mtu wa pekee ambaye anafahamu ni wapi familia yangu ilipo?”
“Hapana amekudanganya na yeye ndio muhusika mkuu wa mauaji ya famili yako na kikosi chake cha wasichana anacho kimiliki, ninakuhakikishia kwamba nitakwenda kukivunja siku si nyingi”
“Shukrani sana meja”
“Karibu tutazame filamu”
Meja alizungumza hukua kielekea kwenye sofa, nikaitazama filamu hiyo, ila kutokana si mpenzi sana wa kutazama filamu ikanibidi kuwaaga na kurudi chumbani. 
 
“Dany kusema kweli ninakupenda, ninakupenda kutoka moyoni mwangu. Sijui ni kwa nini nilishindwa kukufahamu siku zote za maisha yangu”
Yemi alizungumza huku akinifwata sehemu nilipo simama, akanikumbatia huku mikono yake akiiweka begani mwangu.
“Ninakupenda pia mke wangu, kila jambo linakuja na wakati wake. Kuna wakati wa furaha na wakati wa kulia, wakati wa kupata na wakati wa kupoteza, kwa hiyo kila kitu mke wangu kinakuja kwa mpango wa Mungu”
“Amen mume wangu, ila leo naona neo la Mungu lipo moyoni mwako au ndio harusi?”
Yemi alizungumza katika hali ya utani, nikajikuta nikicheka tu, nikamnyanyua taratibu na kuanza kumzungusha ili mradi nitengeneze furaha ambayo hato weza kunistukia au kustuka kama kuna jambo lolote baya ambalo linaendelea.
“Utaniangusha bwanaaaa Danyyyyy nishusheeee nahisi kizunguzunguuuu mwenziooo”
“Badooo”
Niliendelea kuzungumza huku nikiendelea kumzungusha Yemi, kisha tukajirusha kitandani huku sote tukiwa tumetawaliwa na furaha kubwa sana.
 
“Sijawahi kufurahi na mwanamke kwa namna hii, nina imani kwamba wewe ndio mke wangu sahihi”
“Kweli mume wangu?”
“Ndio mke wangu, yaani ninajisikia furaha sana kuwa nawe”
“Hata mimi mume wangu, ila ninaomba nikuulize swali?”
“Ni ulize tu mke wangu?”
“Mimi ni mwanake wa ngapi kwako?”
Swali la Yemi likanifanya nigune kimoyo moyo kwa maana nina mlolongo wa wasichana wengi ambao nilitembea nao, na laiti nikimjibu idadi kamili ya wasichana nilio tembea nao kimwili nina unakika kwamba ni lazima Yemi atapata wasiwasi na mimi.
 
“Mbona kimya mume wangu, wewe nijibu tu, kama mimi ni wa pili au watatu?”
‘Hata kwenye thelathini bora haupo’
Nilijibu kimoyo moyo huku nikimtazama Yemi usoni mwake.
“Wewe ni wa tatu?”
“Kweli mume wangu?”
Nilijikaza kujibu uongo kwa Yemi
“Ndio”
“Nakupenda, nakupenda, nakupenda sana mume wangu. Wewe ni mwanaume wa pili na utakuwa ni mwanamke wa mwisho kwenye maisha yangu”
 
“Asante mke wangu”
Siku hii ikatawaliwa na furaha, hadi tunaingia kitandani kulala furaha imetawala. Asubuhi na mapema, wasichana maalumu wanao shuhulika na maswala ya urembo wakafika katika jumba hili la meja na wakaanza kumshuhulikia Yemi. Na mimi nikaletewa kinyozi mmoja ambaye meja ameniambia yupo vizuri katika unyooaji nywele kwa wanaume.
Shamra shamra za harusi hii hazikumuacha nyuma Martin kijana wangu aliye bahatika kutoka mikononi mwa jeshi la Marekani ambao wameteketeza kambi nzima ya boko haramu. Martin ndio msimamizi wa harausi kwa upande wangu huku Yemi naye akiwa na msimamizi wa kike ambaye aliletwa na meja.
 
Tukatumie helicopter kuelekea katika kisiwa kidogo ambacho kina hoteli moja tu ya kufahari, tukafanikiwa kufika salama katika hoteli hii ambayo tumekuta umeandaliwa vizuri sana na ulinzi mkali wa vijana wa meja unaendelea kuimarishwa kila kona.
Wahuzuriaji wa harusi hii ni watu wachache sana ambao hawazidi hata kumi na wote wanaonekana ni matajiri wakubwa sana kwani ni marafiki wa meja. Mchungaji hakuwa na mahubiri marefu juu yetu alicho kifanya ni kuingia katika ibada ya kufungisha ndoa hii. Tukavishana pete na Yemi na kuwafanya watu wote kufurahia. Tukakumbatia kwa nguvu na Yemi huku kila mmoja akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Gafla kipande kimoja cha goroa la hoteli hii kikalipuka kwa bomu jambo lililo wafanya walinzi wote wa meja kukimbilia katika eneo tulipo na kuanza kututoa katika eneo hili kwa haraka sana kwani hatujui ni nani ambaye amefanya shumbulizi hili.
 
ITAENDELEA
“Haya sasa harusi imeingia dosari furaha ya Dany na mkewe imakatishwa na mlipuko huo ambao hakuna anaye jua ni nani amesababisha, usikose shemu inayo fwata ya kisa hichi cha kusisimu”
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images