Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
NATURAL BEAUTY PROD. Tumeingiza mzigo mpya ni bidhaa zilizothibitishwa kiafya na kupewa kibali original cha kuuzwa hadharani.  Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe.

1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 inapatikana kwa @170,000/=

2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa @160,000/=

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kinapatikana kwa @230,000/=

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili tu bei yake ni @200,000/=

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 inapatikana kwa @190,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @150,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo unaipata kwa @200,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft @150,000/= N.K  Wasiliana nasi kwa simu

NO:. +255 759029968  AU +255 659618585

Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.  WELCOME ALL

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Benki Ya Dunia Yazungumzia Mkopo Wa Bilioni 680 Ilioahidi Kuipatia Tanzania

$
0
0
Baada ya kuzungumza na Serikali, makamu wa Rais wa Benki ya Dunia (WB) Kanda ya Afrika, Dk Hafez Ghanem amesema kuna masharti wamekubaliana kabla Tanzania haijapewa mkopo wa Dola 300 milioni za Marekani (Sh680.5 bilioni) kwa ajili ya kuboresha elimu nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dk Ghanem alisema benki hiyo inatoa fedha kwa ajili ya wasichana wote bila kujali hali zao, hivyo kuwatenganisha kwa kigezo cha ujauzito au kingine chochote ni kwenda kinyume na mkakati wa elimu jumuishi.

“Wataalamu wetu watashirikiana na Serikali kuona ilivyojiandaa kutoa elimu kwa wasichana wote. Tutakapojiridhisha bodi ya wakurugenzi itaidhinisha mkopo husika. Kuchelewa kwake kutategemea lini Serikali itatekeleza masharti tuliyokubaliana,” alisema.

Mkopo huo ilikuwa ujadiliwe na kuidhinishwa Oktoba 30, lakini kutokana na msimamo wa Serikali kutotoa fursa ya kuendelea na masomo wasichana wanaopata mimba, bodi ya benki hiyo ilisitisha kuujadili. Kwa utaratibu wa benki hiyo, kabla mradi wowote haujaidhinishiwa fedha zinazohitajika, huujadili kwanza. “Mradi wa Tanzania haujajadiliwa. Lakini kwa mazungumzo tuliyofanya, utajadiliwa Serikali itakapotimiza masharti tuliyokubaliana,” alisema Dk Ghanem.

Baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam juzi, Rais John Magufuli alisema benki imekubali kutoa fedha hizo kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, mabweni, maabara, nyumba za walimu na vifaa vya kufundishia.

“Kwa hiyo, (Dk Hafez) amekuja kututhibitishia kuwa Benki ya Dunia haitatuacha,” alisema Rais Magufuli.

Vilevile, Dk Ghanem alisema walizungumzia mabadiliko ya Sheria ya Takwimu na wameishauri Serikali kuhakikisha wadau wake wanakuwa huru kukusanya na kutumia takwimu.

Alisema WB haiwezi kufanyakazi bila takwimu ambazo zitakusanywa kwa uhuru, lakini masharti yaliyomo kwenye muswada, huenda yakazorotesha ufanisi wake.

Mabadiliko ya Muswada wa Takwimu yaliyofanyika mwaka huu na kuridhiwa na Bunge, yanazuia mtu au taasisi yoyote kukusanya, kutafsiri au kutumia takwimu lazima zithibitishwe na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli Apongezwa kwa Kuwezesha Wanyonge

$
0
0
Frank Mvungi- MAELEZO, Njombe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amepongezwa kwa kuendelea kuwawezesha wajasiriamali kupitia Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) .
 
Akizungumza wakati akifunga mafunzo ya siku 10 kwa wajasiriamali zaidi ya 700 wa Mjini Njombe Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Christopher Ole Sendeka amesema kuwa swala la urasimishaji Biashara kwa wajasiriamali ni takwa la Kisheria na pia ni utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ibara ya 58 ambapo Biashara zote zinatakiwa kuendeshwa katika mfumo rasmi na Serikali ya Awamu ya Tano imeweka mkazo mkubwa ili kuwainua wajasiriamali wanyonge.
 
“ Nawapongeza MKURABITA na Halmashauri ya Mji wa Njombe kwa kufanikisha mafunzo haya kwa wajasiriamali yanayolenga kuwajengea uwezo ili waweze kurasimisha Biashara zao na pia kuanzishwa kwa Kituo Kimoja cha Urasimishaji Biashara hapa Njombe itakuwa ukombozi kwa wajasiriamali wetu”; Alisisitiza Ole Sendeka.
 
Akifafanua Mhe. Ole Sendeka amesema kuwa kuanzishwa kwa Kituo cha Urasimishaji na Uendelezaji wa Biashara Mjini Njombe kumewashirikisha wadau kama MKURABITA, TRA, SIDO na Benki mbalimbali ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kukabiliana na tatizo la Ongezeko la Biashara ndogo na za kati zisizo rasmi na ambazo zinakuwa kwa kasi.
 
Aliongeza kuwa wananchi wote wanajukumu kubwa la kushirikiana na Serikali katika kutatua changamoto zilizopo katika maeneo yao hasa kwa wajasiriamali kuhakikisha kuwa wanatoa taarifa za wale wote wanaotaka kukwamisha juhudi za Serikali zinazolenga kuwainua.
 
Kwa upande wake Mratibu wa MKURABITA Bi. Seraphia Mgembe amesema kuwa washiriki wa mafunzo hayo wamejengewa uwezo katika maeneo yafuatayo; Urasimishaji na Usajili wa majina ya Biashara, Upatikanaji wa leseni za Biashara na faida zake, utunzaji wa kumbukumbu za Biashara na umuhimu wake, huduma kwa mlipa kodi, Huduma za mifuko ya Hifadhi ya Jamii, Mbinu za Masoko.
 
Aliongeza kuwa wajasiriamali wakirasimisha Biashara zao watakuza mitaji yao na kupanua masoko kwa kuwa watakuwa na uwezo wa kukopa katika Taasisi za fedha yakiwemo mabenki.
 
Naye Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi. Ruth Msafiri amesema kuwa wajasiriamali wanapaswa kujenga utamaduni wa kurejesha kwa wakati mikopo wanayokopa katika kupitia Taasisi za fedha ili waweze kukuza Biashara zao.
 
Pia alishauri Halmashuri kuangalia namna Bora yakuwawezesha wajasiriamali wanaoanza Biashra ili kuweka utaratibu utakaosaidia kukuza Biashara zao.
 
Mafunzo yakuwajengea uwezo wajasiriamali yamefanyika Mkoani Njombe yakilenga kuwajengea uwezo ili waweze kurasimisha biashara zao na kuchangia katika kukuza uchumi. Wajasiriamali zaidi ya 700 wameshiriki katika mafunzo hayo ya siku 10.

Waziri Mkuu Aagiza Uchunguzi Fedha Za Ukarabati Wa Hospitali

$
0
0

* Ni sh. milioni 700 zilitolewa Julai mwaka huu, hadi sasa hakuna kilichofanyika
 
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi aunde timu ya wataalamu kufuatilia sh. milioni 700 zilizotolewa na Serikali ili kukarabati hospitali ya wilaya ya Nachingwea ambazo hadi sasa hazijatumika.

Kadhalika, Waziri Mkuu timu hiyo ikague matumizi ya sh. milioni 400 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi kituo cha afya cha kata ya Kilimarondo zimeisha na ujenzi haujakamilika.

Alitoa maagizo hayo jana (Jumamosi, Novemba 17, 2018) wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kijiji cha Kilimarondo, Nachingwea mkoani Lindi, baada ya kukagua ujenzi wa kituo hicho cha afya.

“Serikali haitaki mzaha na fedha za umma, hivyo Mkuu wa Mkoa unda timu ya wataalamu kutoka mkoani waje Nachingwea kufuatilia ni kwa nini fedha zimetolewa tangu Julai ili kukarabati hospitali ya wilaya ziwe hazijatumika hadi leo. Pia tujue kama kweli bado zipo.”

Waziri Mkuu alitoa agizo hilo baada ya mbunge wa jimbo la Nachingwea, Hassan Masala kumueleza kwamba hadi sasa sh. milioni 700 zilizotolewa na Serikali mwezi Julai mwaka huu kwa ajili ya ukarabati wa hospitali ya wilaya bado hazijatumika.

Mbali na fedha hizo, pia mbunge huyo ameomba uchunguzi maalumu ufanyike kwenye mradi wa ujenzi wa kituo cha afya cha Kilimarondo baada ya fedha zilizotolewa kumalizika na mradi badi haujakamilika.

Mradi huo wa ujenzi wa kituo cha afya ulitengewa sh. milioni 400 ambazo zimekwisha na zinahitajika sh. milioni 51 kwa ajili ya kumalizia, ambapo Waziri Mkuu ameagiza Halmashauri ihakikishe fedha hizo zinatolewa ili kukamilisha mradi huo.

Kukamilika kwa ujenzi wa kituo hicho cha afya kitakachokuwa kinatoa huduma mbalimbali zikiwemo za mama na mtoto na upasuaji kutawapunguzia wananchi kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 90 kutoka Kilimarondo hadi Nachingwea kufuata huduma za afya.

Kuhusu suala la upatikanaji wa huduma ya nishati ya umeme, Waziri Mkuu alisema Serikali imedhamiria kusambaza umeme katika maeneo yote ambavyo bado hayajaunganishiwa nishati hiyo nchini yataunganishiwa, ikiwemo na tarafa ya Kilimarondo.

Waziri Mkuu alisema Rais Dkt. John Magufuli anataka kuona kila nyumba ya Mtanzania inapata umeme tena kwa gharama nafuu, Serikali imetenga fedha nyingi zitakazotosheleza kusambaza umeme katika maeneo yote kwa gharama ya sh. 27,000 tu.

Pia Waziri Mkuu aliwaeleza wananchi hao kwamba hawatowajibika tena katika kulipia gharama za nguzo wala fomu za maombi ya kuunganishiwa umeme kwa sababu tayari gharama hizo zimeshabebwa na Serikali.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAPILI, NOVEMBA 18, 2018.

Waziri Mkuu Aagiza Wakulima Wa Korosho Walipwe Fedha Zao Kwa Haraka.....Asema Ujenzi Wa Uwanja Wa Ndege Nachingwea Utaanza Hivi Karibuni

$
0
0
Na Bakari Chijumba, Mtwara
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya ziara ya siku moja wilayani Nachingwea Mkoani Lindi jana Tarehe 17 Nov 2018 ambapo  ameusihi  Uongozi wa Mkoa na wilaya, uendeleee  kusimamia kikamilifu na kwa haraka zoezi la uhakiki na malipo kwa wakulima wa korosho msimu wa 2018/19.

Waziri Mkuu aliwasili wilayani humo mapema jana na kupokelewa  Katika uwanja wa ndege wa Nachingwea na Viongozi wa Mkoa wakiongozwa na Rc Godfrey Zambi na Wale wa Wilaya wakiongozwa na Dc Rukia Muwango, pamoja na Viongozi wengine na kisha kufanya ziara katika tarafa ya kilimarondo  akipitia pia vijiji kadhaa kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za wanachi na kukagua miradi mbalimbali.

Taarifa iliyotolewa na  Mbunge wa Nachingwea Hassani Masala kuhusu mrejesho wa Ziara hiyo inasema, akiwa wilayani humo, Waziri mkuu pia ametimiza ahadi yake kwa wananchi wa Mpiruka kwa kuwapatia saruji kwa ajili ya ujenzi wa shule Mpiruka A, na  Kiasi cha tani mbili na nusu kimekabidhiwa kwa uongozi wa kijiji.

Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amewahikikishia Wakazi wa Nachingwea kuwa Ujenzi wa uwanja wa ndege Nachingwea utaanza muda sio mrefu Kutoka sasa na Mkandarasi ashapatikana na kazi inapaswa kuanza mara moja.

"Kukamilika kwa Uwanja huu  wa ndege kutarahisisha huduma za ndege wilayani Nachingwea kuboreshwa hivyo kusaidia wilaya zote za jirani" amesema waziri Mkuu

Taarifa hiyo ya Mbunge Masala inaendelea kusema kuwa, Waziri Mkuu amepokea salam za Pongezi kutoka kwa wazee wa Nachingwea kwenda kwa Mh Rais kwa kujali na kupigania  maslahi wakulima na wanyonge  huku pia Waziri Majaliwa  akiagiza kukamilishwa kwa Zahanati ya kijiji cha Namatula kwa kutoa miezi isiyozidi mitatu kwa Ofisi ya Mkurugenzi Iwe imekamilisha zahanati hiyo  iliyoanza kwa nguvu za wananchi, ofisi ya mbunge na Halmashauri yenyewe.

Katika hatua nyingine Waziri mkuu ameagiza idara ya MANAWASA kupeleka maji vijiji vya Namatula A & B kwa haraka sana kutoka kwenye chanzo cha maji ya Mbwinji na amewahakikishia wananchi wa Nachingwea  vijiji vyote vya wilaya ya Nachingwea kupatiwa umeme vijijini kwa awamu mbili na kazi imeshaanza tayari.

"Mhandisi wa maji wilaya peleka haraka barua ya kuomba pesa wizara ya maji na nakala niipate ili Kulipa mkandarasi anayesambaza maji kwenye kijiji cha Mtua ili kuharakisha kupatikana kwa huduma ya maji ifikapo mwezi wa kwanza na nataka   wapelekwe watumishi wa afya katika zahanati ya Mtua na kituo cha Afya Kilimarondo mara moja' Ameagiza Waziri Mkuu

Waziri Mkuu ameagiza pia kuanza kazi ya kuchimba visima viwili ifikapo jumatatu tarehe 19 katika kijiji cha Mbondo na  amekagua ujenzi wa kituo cha Afya Kilimarondo na kutoa maagizo ya kupatikana pesa toka Halmashauri ili kukamilisha ujenzi wa kituo hicho ambao umesuasua kukamilika kutokana na kuishiwa pesa.

"Kituo hiki kitapatiwa kiasi cha Tsh. milioni 230 pindi ujenzi utakapokamilika kwa ajili ya kununua vifaa tiba na naiagiza  ofisi ya Mkuu wa Mkoa kuunda timu itakayopitia hesabu za fedha za ujenzi wa kituo hiki  na sababu zinazopelekea kutoanza ukarabati kwa hospital ya wilaya Nachingwea pamoja na kupatiwa pesa toka mwezi wa saba mwaka huu" amesema waziri Mkuu

Mh Waziri Mkuu pia, amepokea ombi la wananchi wa Kilimarondo juu ya kugawa jimbo na kufunguliwa kwa barabara Inayounganisha Tunduru na Nachingwea kupitia Lumesule,Ngapa,Namatunu na  amepokea ombi la mbunge Massala la  kupatiwa gari ya wagonjwa kwa ajili ya kituo cha Afya Kilimarondo ili kurahisisha upatikanaji wa huduma bora.

 Waziri Mkuu  Majaliwa amewahakikishia wananchi wa Nachingwea juu ya kupatikana kwa mkandarasi atakayeanza kazi ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Masasi, Nachingwea ,Ruangwa hadi Nanganga na kusema kazi  ya Upembuzi yakinifu kwa barabara ya kutoka Nachingwea kwenda Liwale imeshaanza.

 Mh Waziri mkuu pia  ametawazwa kuwa kiongozi wa wangindo kwa kuvishwa na kukabidhiwa zana mbalimbali kama shukrani kwa heshima kubwa aliyowaonyesha watu wa tarafa ya kilimarondo.

Kwa upande wake Mbunge Massala ametoa  Shukrani kwa Raisi Magufuli na serikali yake yote  chini ya usimamizi wa Mh waziri Mkuu kwa kuwajali wananchi na kupigania Maendeleo yao kwa kadiri ya ahadi zilizopo kwenye ilani ya uchaguzi.

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume .

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr SHILINDE,  shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Anapatikana Dar es Salaam maeneo ya Buguruni Sheli. 
 
Mawasiliano: 0784460348 au  0657 314701

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Mizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29

$
0
0
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana hawaridhishwi na Waume au wapenzi wao pale wanapoaza kushiriki tendo la ndoa 

Kwa Nini Ujione Mpweke Pale Ukutanapo Na Mpenzi Au Mke Wako Kisa Eti Hauna Nguvu Za Kiume? ;Tumia MIZIZI 29 POWER, hii ndio tiba itakayorudisha heshima ya ndoa yako . 

Dawa hii itakufanya;
 1 Uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-25 kwa tendo la kwanza 
2 Dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
3  Dawa hii uhimalisha misuri iliyolegea na kusinyaa?dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji nani tofauti na ulizowai kutumia ata wazee wenye umri mkubwa wanapona 

NSONSOMA; Dawa hii itakufanya umridhishe  mke au mpenzi wako kwani uboresha uume saizi upendayo urfu wa nchi 5,6,7 na 8 na unene wa sentimita 2,3,4 na 5 dawa  hii ipo ya kupaka na kunywa 

NSHOLA; NI dawa ya uzazi kwa waliongaika mda mrefu bila kupata mtoto 

MWITA; Dawa hii humvuta meme, mke,au mpenzi mliyetengana pia umrudisha mtu kazini haliyefukuzwa, kumpatanisha mwajiliwa na bosi wake 

Tunatibu presha kisukari, busha ,vidonda vya tumbo tumbo kuunguruma kujaa gesi na kukosa choo 

MAHALI ILIPO OFISI; PANDA DALADALA SHUKA BUGURUNI MALAPA AU ROZANA NA MWANZA YUPO WAKALA PIGA SIMU 0752348593 DR NYAROBI .Kama hauna nafasi ya kuja ofisini utaletewa popote ulipo huduma hizi

Waziri Mwakyembe aitaka Taifa Stars isituangushe

$
0
0
Yamebaki masaa machache kushuhudia taifa la Tanzania likiweka historia nyingine itakapovaana na Lesotho jioni ya leo, historia ambayo haitofutika milele endapo timu ya taifa Taifa Stars itapata alama tatu zitakazoipeleka michuano ya AFCON nchini Cameroon mwakani.

Taifa Stars iliyo katika kundi L, inashika nafasi ya pili kwa alama 5 nyuma ya kinara Uganda yenye alama 13 baada ya kushinda  mchezo wa jana na kujikatia tiketi ya kufuzu michuano hiyo. Nafasi ya tatu ikishikiliwa na Cape Verde yenye alama 4 na Lesotho ikiburuza mkia kwa alama 2.

Stars inahitaji kushinda mchezo wa leo ili kujihakikishia nafasi ya kufuzu AFCON mwakani, ambapo itafikisha jumla ya alama 8 ambazo hata ikipoteza mchezo wake wa mwisho dhidi ya Uganda haitoweza kufikiwa na Cape Verde ambayo itakuwa na alama 7 endapo itashinda mchezo wake wa mwisho dhidi ya Lesotho.

Akizungumza kuelekea mchezo huo, Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ameitaka Taifa Stars kutowaangusha watanzania zaidi ya milioni 50 ambao leo wako nyuma yao katika mchezo huo.

"Ile hali tuliyoionesha wakati tunacheza na Cape Verde nyumbani tuioneshe sasa, tena iwe mara mbili, watanzania ziadi ya milioni 50 wako nyuma yenu wanawaangalia. Nawaomba sana!! sana!! tena sana!! Taifa Stars tusimuangushe Rais Magufuli," amesema.

"Hawa wenzetu kisaikolojia wameshashindwa toka mwanzo, nadhani matokeo yao hayakuwa mazuri sana kwahiyo hawana matumaini makubwa ya kusonga mbele. Lakini watu kama hawa ndio wachafuzi wakubwa katika juhudi za wengine kusonga mbele, tuingie humo tukiwa tunajua tunapigana na Cape Verde 'B'," ameongeza.

Ikumbukwe Taifa Stars imeshiriki mara moja pekee katika michuano ya mataifa ya Afrika, ambayo ni mwaka 1980 nchini Nigeria. Nafasi ya mwaka huu ni nafasi pekee ambayo itaweka historia kwa mara ya pili kushiriki michuano hiyo baada ya takribani miaka 38.

Makamu wa Rais Atoa Onyo Kali Kwa Majangili

$
0
0
Wananchi  wanaoishi maeneo jirani na Hifadhi za Taifa na Mapori ya Akiba na maeneo yaliyohifadhiwa wametakiwa kukaa mbali na maeneo hayo, kwa sababu filimbi ya ulinzi wa kijeshi imepulizwa.

Onyo hilo lilitolewa jana eneo la Fort Ikoma, Serengeti, mkoani Mara na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, alipozindua mfumo wa ulinzi wa Jeshi Usu la Uhifadhi utakaotumiwa na taasisi za uhifadhi. 

Kuanza kutumika kwa mfumo huo sasa kutatekeleza azma moja ya Serikali ambayo ni kuhakikisha usalama wa maeneo yaliyotengwa kwa uhifadhi wa wanyamapori na misitu.

Taasisi za Serikali zitakazohusika na mfumo wa jeshi hilo ni Shirika la Hifadhi za Wanyamapori (Tanapa), Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCA) na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (Tawa).

Akizungumza katika uzinduzi huo, alisema Serikali inapoingia katika mfumo mpya wa kusimamia maeneo yaliyotengwa ya wanyamapori na misitu ni matarajio yao kwamba ujangili utakwisha kabisa.

Alisema taarifa za kiintelijensia zinaonyesha silaha na risasi zinaingizwa nchini na watu wenye nia mbaya kutoka nchi jirani.

“Jeshi Usu lipo tayari kwa kazi, kipyenga kimepigwa baada ya onyo hili wananchi wasiilaumu Serikali, nawaagiza wakuu wa mikoa na wilaya kuchukua hatua haraka za kuelimisha wananchi,” alisema na kuongeza:

“Wananchi wanaoishi maeneo jirani na hifadhi nawaagiza kuheshimu sheria za nchi, kuacha kukata miti kwa ajili ya kuchoma mkaa, kuingiza mifugo maeneo yaliyohifadhiwa.”

Pia aliliagiza jeshi hilo kukabiliana na changamoto ya ugaidi ambayo bado haijagusa moja kwa moja sekta hiyo ya utalii, lakini taswira ya nchi ilitiwa doa.

“Jiwekeni tayari kuhakikisha maeneo yetu ya hifadhi hayatumiki kama maficho ya magaidi kwa kuhakikisha kunakuwa na usalama wa hali ya juu katika malango wanayoingilia wageni.

“Katika sehemu wanazolala na hata zile wanazofanyia utalii ndani ya hifadhi zetu kwa lengo la kuwalinda watalii wasidhurike na vitendo vya kigaidi,” alisema.

Alisema kwa kutambua umuhimu wa usalama katika hifadhi hizo, Serikali iliona ulazima wa kutengeneza Bodi za Taasisi za Uhifadhi zenye sura ya kijeshi, ukianzia Bodi ya Tawa, Tanapa na wanajeshi miongoni mwa wajumbe wa Bodi ya NCA.

“Hii ni kuonyesha Serikali imejizatiti kuhakikisha ujangili wa wanyamapori unakwisha na si kupungua tu na maeneo yanayohifadhiwa hayatumiki kama maficho ya magaidi na waharibifu wa mazingira,” alisema Mama Samia.

Alizitaja baadhi ya faida zinazotarajiwa na Serikali kutokana na kuanzishwa mfumo huo ni kuimarika kwa nidhamu, ukakamavu, uadilifu miongoni mwa watumishi wa jeshi hilo.

Alisema jambo hilo litaongeza ubora katika utendaji na hivyo kuchangia kwa kiasi kikubwa juhudi za Serikali katika ulinzi wa maliasili zilizopo maeneo yote yaliyotengwa.

Alitaja faida nyingine kuwa ni kuboreka kwa hifadhi, mapori ya akiba na vivutio vya utalii vilivyopo ndani yake na hivyo kuvutia watalii wengi na hata kuongezeka kwa idadi ya siku zao kukaa hifadhini na matokeo yake kuongeza pato la taifa.

Kuhusu uchumi, alisema takribani asilimia 80 au zaidi ya watalii wanaofika nchini hutembelea maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya hifadhi za wanyamapori.

“Hii imefanya utalii kuwa moja ya vyanzo vikubwa vya kuliingizia taifa fedha za kigeni kwa asilimia 25 na pato la taifa kwa asilimia 17 pamoja na kutoa ajira rasmi na zisizo rasmi.

Kuhusu faida ya kijamii, alisema Tanapa imekuwa ikichangia katika miradi ya maendeleo inayoanzishwa na wananchi wanaioshi katika vijiji pembezoni mwa hifadhi za Taifa.

“Mwaka 2011/2012 hadi 2015/2016 Tanapa ilichangia shilingi bilioni 8.03 katika miradi mbalimbali ya huduma za jamii, ikiwamo elimu, afya, ufugaji usambazaji wa maji na miundombinu.

“Tawa kwa upande wao wamekuwa wakirudisha sehemu ya mapato yatokanayo na wanyama waliowindwa pamoja na utalii wa picha ambapo tangu mwaka 2017/2018 walirudisha shilingi bilioni 13.3,” alisema.

Samia alisema sababu hizo na baadhi ya faida za uhifadhi kwa jamii ndizo zilisababisha kubadili mfumo wa uendeshaji maeneo yaliyotengwa kwa wanyamapori na kubadili mfumo wa uendeshaji maeneo hayo kutoka kuwa kiraia kuwa wa kijeshi.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Mazingira, Nape Nnauye, alisema uamuzi huo umeonyesha nia ya dhati ya kulinda uhifadhi itakayokuwa faida kwa kizazi cha sasa na kijacho.

“Tunaamini oparesheni zitakazofanywa na Jeshi Usu zitazingatia sura ya kibinadamu, Bunge tupo tayari kushirikiana nanyi katika mambo ya kisera na kibajeti,” alisema Nnauye.

Nao wakuu wa Tawa, Tanapa na NCA kwa nyakati tofauti, walisema kukamilika kwa uzinduzi huo kumeashiria kuanza kwa jukumu zito kwa mamlaka hizo.

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Mo Dewji aitakia kila la kheri Taifa Stars

$
0
0
Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania, Mo Dewji ametoa salamu za kheri kwa Timu yetu ya Taifa ya mpira wa miguu, Taifa Stars katika kuelekea mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Lesotho.

Dewji amesema kuwa ushindi wa leo dhidi ya Lesotho utaleta furaha kubwa kwa Watanzania, kwani ni miaka 38 tangu timu ya taifa ifuzu michuano hiyo kwa mara ya kwanza.

“Nawatakiwa kila la kheri Taifa Stars katika mchezo wa leo dhidi ya Lesotho. Ushindi wa leo utarudisha furaha ya Watanzania ya kukosa kushiriki AFCON kwa miaka 38. Tunaamini mtafanya vizuri sababu nia tunayo na uwezo tunao. Mungu awe nanyi,“ameeleza Mo Dewji kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Heshima waliyopewa Navy Kenzo nchini Kenya

$
0
0
Kundi la muziki Bongo, Navy Kenzo wamepewa nafasi ya kipekee ya kuwa wafunguzi maalum wa kituo cha cancer (saratani) Nairobi nchini Kenya.

Navy Kenzo ambalo linaundwa na wasanii wawili, Aika na Producer Nahreel wamefungua kituo hicho kinachokwenda kwa jina la Texas Cancer Nairobi siku ya jana.
 
Ni mara kadhaa ufunguzi wa vituo kama hivi ama zahanati/hospital na vituo vingine vya kijamii hufunguliwa na viongozi wa kisiasa, Dini na wengineo lakini Navy Kenzo wamepewa heshima hiyo.

Makamu wa Rais Samia Suluhu amtembelea Fredrick Sumaye nyumbani kwake na kumpa pole

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassa  leo amemtembelea na kumpa pole Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Fredrick Sumaye nyumbani kwake Endasak, Hanang kufuatia kufiwa na Mama yake mzazi.

Bibi Elizabeth Gisa Sumaye alifariki tarehe 7 Novemba 2018.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya Novemba 19

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 33

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA     

“Unaweza kufungua tu hiyo bahasha”
Nikaifungua bahasha hii, nikakuta picha nne ndani ya bahasha hii, nikaanza kutoa moja baada ya nyingine. Picha hizi zinamuonyesha mwana mama wa kiafrika akiwa amefungwa mikonono yake pamoja na mdomo wake na pembeni yake kuna wanaume wawuli walio shika mitutu ya bunduki.
“Hizi picha za nini kwangu?”
Mzee huyu akatabasamu huku akinitazama usoni mwangu.
“Huyo ni mama YAKO MZAZI, ana siku ya tatu toka vijana wangu wamshikilie. Biashara iliyopo hapa ni ndogo sana. Boksi jeusi, kwa uhai wa mama yako mzazi”
Maneno ya mzee huyu yakanitusha sana, nikazitazama picha hizi kwa umakini sana, taratibu taswira ya sura yangu nikaanza kuiona kwa mwanamama huyu jambo lililo nifanya nistuke huku mwili wangu ukisisimka hadi vinyweleo vyangu vya mwili vikaanza kunisiamama kwa mstuko huu nilio upata.

ENDELEA
“Mama yangu!!?”
Nilimuuliza mzee huyu huku nikimtazama kwa mshangao. Akanijibu kwa kutingisha kichwa, ila kila ninavyo jaribu kukumbuka kwamba nishawahi kuwa na mama katika maisha yangu, sina kumbukumbu hiyo.
“Nashukuru sana na sifahamu boksi hilo lililopo”
Nilipo maliza kuzungumza maneno hayo nikamsogezea mzee huyu picha zake pamoja na bahasha.
“Muda mwengine usinijaribu kwa mambo ya kijinga na kipuuzi kama haya”
Nilizungumza kwa msisitozo kisha nikanyanyuka na kaunza kuondoka.
 
“Kesho nitakuletea kidole chake”
Neno la mzee huyu likanifanya nisimame kwa muda kidogo, nikamgeukia na kumtazama kwa umakini sana kisha nikaendelea na safari yangu. Nikajumuika na wachezaji wezangu kwenye mazoezi ya asubuhi.
“Ethan mbona unaonekana huna raha?”
Kocha aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Hapana kocha nipo sawa”
“Una uhakika?”
“Ndio nipo sawa”
Hata uchezaji wa uwanjani haukuwa mzuri kabisa, kwani mawazo ya maam mzazi yamenichanganya kabisa. Ila jambo ambalo lina nitatiza ni kwamba sina kumbukumbu ya aina yoyote inayo husiana na mama wala baba yangu mzazi, japo ninatambua kwamba mzee Klopp na bi Jane Klopp ni wazazi wangu.
 
“Kocha nakuomba nipumzike kidogo”
Nilimuomba kocha huku nikimtazama usoni mwake.
“Hakuna tatizo, pumzika”
Nikatoka nje ya uwanja na Camila akanikabidhi kitaulo kidogo cha kujifutia jasho mwilini mwangu.
“Mbona kama una mawazo mpenzi wangu”
“Akili yangu haipo sawa”
“Kuna nini kinacho kutatatiza?”
“Hembu twende huku”
“Mazoezi una acha?”
“Nitashiriki jioni, twende huku”
 
Nilizungumza huku nikianza kutembea kuelekea katika eneo ambalo nilikaa na mzee yule. Tulipo fika tukakua kuna watu wengine ambao walio kaa. Watu hawa wakajawa na furaha kubwa sana mara baada ya kutuona. Kila mtu akaanza kutamani tupige picha ya mapamoja.
“Tupige tu mpenzi wangu”
Camila aliniambai kwa sauti ya chini kiasi, tukaanza kupiga picha kadhaa na watu hawa kisha tukawaaga na kuondoka.
“Tunakwenda wapi Ethan?”
“Nahitaji kuingia kwenye chumba kinacho ongoza kamera za ulinzi katika hii hoteli”
“Mmmm niambie mume wangu kuna jambo gania mbalo lina endele?”
 
“Nitakueleza naomba uniazime simu yako”
Camila akanipatia simu yake, nikampigia mwana sheria wa kampuni na kumuomba aweze kufika hotelini hapa. Kutona sehemu hii tulipo ni mbali na mjini, ikamlazimu mwana sheria kupanda helicopter ya kampuni yake na kufika katika hoteli hii.
“Ethan naomba uniambie ni jambo gani linalo endelea au huniamini?”
Camila alizungumza kwa kulalama.
“Nitakuambia mpenzi wangu, nakuomba uweze kuwa mvumilivu katika hili ninalo kwenda kulifanya sawa”
“Sawa”
Camila alinijibu kwa unyonge, nikampokea mwana sheria na moja kwa moja tukaongozana naye hadi kwenye ofisi ya meneja wa hii hoteli. Meneja huyu akafurahi sana kuniona ofisini kwake.
 
“Ndio Ethan niwasiaidie nini?”
“Nahitaji kwanza ulinzi wa wachezaji wezangu, na sisi uweze kuongezwa”
“Kwa nini unazungumza hivyo Ethan?”
“Kuna hali ya hatari ambayo nimekutana nayo masaa kadhaa hapa hotelini kwako. Jambo hili litanifanya niweze kuiondoa timu yangu hapa. Nakuomba sana meneja uweze kufanya hivyo”
“Sawa, tutaongeza ulinzi, ila ningependa kufahamu ni hatari gani ambayo ulikutana nayo”
 
“Nakuomba twende kwenye chumba cha kuongozea kamera”
Meneja huyu akatafakari kwa sekunde kasha akisha akakubali. Tukatoka ofisini hapa huku mwanasheri na Camila wakionekana kujawa na shahuku ya kuhitaji kufahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea kwangu. Tukaingia katika chumba hichi kikubwa ambacho kina tv nyingi sana ambapo kila tv inaonyesha video ya kamera inayo rekodi eneo hilo.
“Karibuni, hichi ndio chumba chetu cha kuongozea kamera zote”
Meneja huyu wa hoteli alizungumza.
“Nashukuru. Nakuomba uweze kuonyesha video iliyo rekodiwa katika eneo lile ambalo lipo pembezoni mwa swimming pool”
 
“Turudishe majira ya saa ngapi?”
“Saa moja na nusu hivi asubuhi leo”
Kijana huyu ambaye tumemkuta ndani ya chumba hichi, akafanya kazi niliyo muagiza. Video ya mimi na mzee huyu wa kichina ikaanza kuonekana.
“Hembu hiamihshie kwenye tv kubwa”
Meneja alizungumza na video hii ikaanza kuonekana kwenye tv kubwa kupita zote iliyopo katika chumba hichi. Nikaonekana jinsi ninavyo fungua bahasha na kutoa picha hizo.
 
“Hembu zoom kwenye hizo picha”   
Nilimuambia kijana huyu na akafanya hivyo na picha hizo zikaonekana vizuri sana. Watu wote wakaonekana kustuka sana kwani hizo picha zinaonyesha mwanamke huyo akiwa ametekwa.
“Nahitaji hizo picha na pia sura ya huyo mzee”
“Sawa Ethan”
“Baby kwani alikuambia yeye ni nani?”
“Hakuniambia yeye ni nani aliniwekea hizo picha……”
Mwanasheria akanitazama kwa macho yanago nikataza nisizungumze kitu cha aina yoyote kwa maana kuna watu hapaswi kufahamu nilicho kizungumza.
 
“Je munaweza kumsaka mzee huyo taarifa zake”
Camila alizungumza huku akimtazama kijana huyu.
“Ndio inawezekana”
“Basi ninaomba muweze kunisaidia katika hilo”
Kijana huyu akaanza kazi hiyo ambayo haikuchukua muda mrefu sana akafanikiwa kupata taarifa muhimu za mzee huyu. Taarifa zinaonyesha kwamba mzee huyu uraia wake ni nchini China, na inaonyesha kwamba ametokea nchini Nigeria na kufika hapa Ujerumani, wiki moja iliyo pita. Taarifa zikaonyesha kwamba alingia nchini kama mfanya bishara kutoka katika shirika moja la simu lililopo nchini Nigeria.
“Makazi yake yapo nchini Nigeria?”
 
Kijana huyu alizungumza.
“Inabidi tuwataarifu askari”   
“Hapana, tusiwaafahamishe askari kwa sasa. Tunahitaji kuzungumza na Ethan mara moja ndio tuamue”
“Musimpeleke polisi, naomba hizo taarifa zake, umtumie Camila hapa kwenye simu yake pamoja na hiyo picha.”
“Huoni kwamba anaweza kukudhuru?”
“Tutajua nini cha kufanya, kesho atakuja aliniahidi hivyo. Hakikiseni kwamba kesho akija tu basi macho yenu yanakuwa makini kuhakikisha kwamba muna mpata”
“Sawa”
 
“Hili swala ni sisi watu watano munalifahamu, nawaomba wewe na kijana wako musiweze kutoa siri yoyote?”
“Hatuwezi kuvujisha sira muhimu kama hizi na kesho asipo kuja basi muna haki ya wewe kututulia mashaka juu ya hili”
“Ninashukuru sana”
“Karibu sana Ethan”
Tukatoka chumbani humu na moja kwa moja tukaeleka katika chumba changu na Camila, ambacho tutakitumia hapa hadi pale mashindano yatakapo kwisha.
“Wamekutumi hizo taarifa na picha?”
“Ndio mume wangu”
Nikaichukua simu ya Camila na kumtazama mzee huyu, nikarudi kumtazama mama huyu anaye onekana kwenye picha kisha nikampatia mwana sheria.
“Alikuwa anakuambiaje?”
“Aliniambia kwamba huyo ni mama yangu na wamemteka.Hivyo ameniagiza kwamba nichague kati ya boksi jeusi au uhai wa mama yangu”
“Mmmmm”
 
Camila aliguna aliguna huku akinitazama usoni mwangu.
“Ndio maana yake”
“Hivi hilo bosky jeusi Ethan ndio nini?”
Camila aliniuliza kwa shahuku kubwa na kumfanya mwanasheria kunitazama machoni mwangu kwa macho ya kunikataza nisizungumze chochote.
“Hata mimi sifahamu”
“Ethan hili swala nitalishuhulikia, hadi inafika usiku kila kitu kitakuwa kimekamilia, nipe mchana huu”
“Sawa”
“Utatumia simu hii, nikifika mjini nitakupigia niweze kukufahamisha ni kitu gani ambacho kinaendelea”
“Sawa, ila hakikisha kwamba huyu mzee munamkamata, nina hitaji kuonana naye kabla ya yeye hajanifwata kesho”
“Sawa mkuu”
Mwanasheria akaniaga na akaondoka, kabla hata sekunde stini hazijaisha, meseji ikaingia kwenye simu hii aina ya iphone seven. Nikaifungua meseji hii na kukuta imetoka kwa mwanasheri.
 
‘USIMUAMINI CAMILA KWA KILA JAMBO’
Baada ya kuisoma meseji hii nikaifuta na kumtazama Camila kwa tabasamu kubwa sana, kwa maana hapo awali alisha nisaliti na isitoshe alisha nichoma kisu kwa madai anahitaji kufanya mwenyewe.
“Tutafanyaje Ethan?”
“Usijali kila jambo litakwenda vizuri”
“Au nimuambie baba atusaidie katika kumtafuta?”
“Hapana usimbebeshe mzee mizigo mingi sana. Tunaweza kulifanya kazi hii sisi kama sisi”
 
Taratibu Camila akanikumbatia kwa hisia kali sana.
“Ninakupenda sana mume wangu”
“Ninakupenda pia mke wangu”
Mlango ukagongwa, tukaachina na Camila na nikaufungua, nikamkuta Frenando ndio anaye bisha hodi.
“Vipi Ethan una umwa?”
“Hapana ndugu yangu, karibu ndani?”
“Shem yupo?”
“Ndio”
“Basi siingii. Shem”
Frenando aliita kwa sauti ya juu kidogo.
“Beee”
 
“Naomba nimuibe mumeo kidogo”
“Usijali wewe muibe ila umrudishe akiwa salama kama ulivyo mchukua”
“Usijali shemeji yangu”
Nikarudi chumbani na kumnyonya Camila lipsi zake kidogo, ikiwa ni ishara ya kumuaga.
“Uwe makini mpenzi wangu”
“Usijali, ninakuja”
“Poa”
Nikatoka chumbani humu.  Nikaongonzana na Frenando hadi kwneye moja ya bustani ya kupumzikia, kwa maana huyu ni rafiki yangu na ni mtu ambaye ana fahamu siri zangu nyingi, nikaona sio mbaya nikamshirikisha matatizo yangu. Hadi ninamaliza kumuadisia, macho yakwa yamemtoka sana.
 
“Kaka kwa matatizo yako una haja ya kupata muda wa kupumzika, uwanjani si unafahamu kwamba mtu hutakiwi kuwa na mambo mengi kichwani”
“Usijali nitacheza, ila tambua watu ninao waamini kwa sasa ni wachache sana.”
“Pole sana ndugu yangu, ila kama alivyo kuambia mwana sheria wako, usimuamini Camila kama alikufanya yale yote na bado akaamua kurudi basi kuwa makini”
“Kweli, hapa ni mwendo wa kuchezeana akili, akileta ujinga sasa hivi nakuapia haki ya Mungu, nitahakikisha kwamba ninamuua kwa mikono yangu mimi mwenyewe.”

==>>itaendelea kesho

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 152 na 153 )

$
0
0

MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA

Nilizungumza huku nikimkabidhi Martin magazine iliyo salia, kisha taratibu nikanyanyuka kutoka katika eneo hili nilipo jificha huku bastola yangu nikiwa nimeinyoosha kwa juu. Nikamuona Yemi akiwa amehishikiliwa na wanajeshi hawa wa Kimarekanani ambao idadi yao kwa haraka haraka inaweza kufika mia moja.
“Muachieni mke wangu, nipo tayari kujisalimisha mikononi mwenu”
Taratibu wakamuachi Yemi aliye anza kutembea kwa mwendo wa taratibu akija eneo hili nilipo, na mimi nikaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu huku nikiwatazama wanajeshi hawa walio ninyooshea mitutu ya bunduki zao na endapo nitafanya kosa lolote wataniua mimi na Yemi jambo ambalo sihitaji litoke mbele ya macho yangu.
       
ENDELEA   
Tukakutana na Yemi katikati, akanitazama usoni mwangu huku machozi yakimwagika.
“Nenda”
Nilizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa simanzi ndani yake.
“Kwani nini umefanya hivi mume wangu?”
“Hakuna jinsi ya kufanya mke wangu nenda, nenda tafadhali”
Niliendelea kuzungumza kwa huzuni ila kwa msisitizo kidogo, Yemi hakuwa na ubishi zaidi ya kuazidi kusonga mbele hadi sehemua lipo jificha Martin. Nikasimama futi sita kutoka alipo simama mkuu huyu wa jeshi.
“Muacheni mke wangu na mlinzi wangu waondoke hili eneo”
“Usijali hatuwezi kuwagusa”
“Niahidini?”
“Waruhusu waondoke”
“Martin ondoka na shemeji yako”
Nilizungumza kwa sauti ya juu, nikageuka nyuma nikamuona Martin akinyanyuka sehemu hiyo, akamshika Yemi mkono aliye zidisha kulia kwa uchungu kwani ninaimani kwamba hawezi kwenda kuniona tena kwenye maisha yake.
“DANYYYYYYYYY”
Yemi alilia kwa uchungu sana huku Martina akiw ana kazi ya kumkimbiza kuelekea katika chumba tulicho ingilia. Nilipo hakikisha wameingia kwenye chumba hicho nikageuka mbele na kumtazama mkuu huyu wa jeshi. Wakaichukua bastola yangu na kunifunga pingu, za mikononi pamoja na nyororo ngumu na ndefu kiasi kwenye miguu yangu. Wanajeshi hawa wakaanza kunikimbiza mkuku mkuku hadi kwenye moja ya ndege ya kijeshi, wakangiza huku nikiwa katika ulinzi mkali sana. Wakaniingiza katika chumba kilicho tengenezwa na nondo ngumu, kisha wakakinga kwa nje. Mkuu wao akanisogelea huku akiwa ameshika simu mkononi mwake.
“Muheshimiwa raisi nimeweza kumpata Dany”
Nikasoma jina la mkuu huyu kwenye mfuko wa shati lake na kugundua kwamba anaitwa Josephat D.R
“Kama ulivvyo niagiza mkuu wangu, nitahakikisha ninamfikisha Marekani baada ya masaa machache na mke wake nimeagiza vijana wanakwenda kumuua na hawawezi kutoka mikononi mwetu”
Nilitamani kukata pingu hizi kwa hasira ila sina uwezo wala nguvu ya kufanya hivyo kwani sikutegemea kwamba hawa jamaa wanaweza kunisaliti na kwenda kinyume na makubaliano ambayo tumeyaweka kuhusiana na mke wangu pamoja na mlinzi wangu ambaye nina imani kwamba nimemuacha katika mazingira magumu sana.
“Malaya mkubwa wewe”
Nilijikuta nikitukana kwa hasira na kumfanya mkuu huyu kucheka kwa kejeli. Akaondoka huku simu yake akiwa ameishika mkononi mwake na ninaimani kwamba alikuwa anarekodi video. Ndege hii ya kijeshi ambayo ipo tofauti kabisa na ndege za abiria, kwani haina siti hata moja. Wanajeshi wakakaka kwenye mizigo iliyopo humu ndani, na taratibu ndege hii ikafungwa na nikasikia mlio wa injini ya ndege hii zikianza kuwashwa.
Moyoni mwangu nikajikuta nikianza kujilaumu kwa kuweza kufanya maamuzi ya kujiamini na kushindwa kumsikiliza meja ambaye kwa haraka haraka ni sawa na baba yangu. Hadi sasa hivi wala sielewi wanajeshi wangu wa Boko haramu wamekwamia wapi kwani hadi sasa hivi sijasikia shambulizi hata moja.
Hadi ndege ikapaa hewani hapa ndipo nikajikuta nikikata tamaa kabisa. Taratibu nikajikuta nikikaa chini huku machozi ya hasira yakinimiminika usoni mwangu. Sijajua kifo changu kinakwenda kuwa cha aina gani, kwani ni nimeweza kuwaua wanajeshi wengi wa Marekani hususani makomandoo wao ambao  waliwaagiza kwa ajili ya kunisaka mimi.
“Kazi nzuri”
Nilimsikia meja akizungumza na simu yake ya mkononi. Akasimama na kunisogelea sehemu nilipo.
“Una habari?”
Aliniuliza kwa dharau huku akiwa ameinama, nikanyanyua uso wangu na kumtazama huku nikizidi kujawa na hasira.
“Kambi yako ya boko Haramu hadi sasa hivi ipo PUUUUUUUUUUUUU……!!”               
Maneno ya mwanajeshi huyu yakanifanya nisimame kwa haraka huku nikiwa nimeshikwa na mshangao mkubwa kwani kuondoka kwangu ninaimani kwamba kumeleta matatizo makubwa sana.
“Sasa hivi hakuna Boko Haramu, wala Boko njemaaa. Umepoteza Dany, wewe anza kusali sala yako ya mwisho kwani ukifika Marekani ni kunyongwaaaaa tuu”
“Krgahaaaaaaaaaaaaaaaa”
Nililia kwa hasira huku nikijaribu kuitoa mikono yangu nje ya hizi nondo huli nijaribu kumshika mkuu huyu wa jeshi hili la Wamarekani, ila sikuweza kumshika na alicho kifanya ni kurudi nyuma yangu kwa hatua chake akaviweka vidole vyake gumba kichwani mwake na kuchezesha vidole vyake vilivyo salia huku ulimi wake akiutoa nje, ishara ambayo ni kejeli kubwa sana juu yangu na ananizomea kwa kunidharau.
“Dany huna cha kufanya sasa, umefuliaa baba”
“Siwezi kufa kabla sijalipiza kisasi kwa wale walio nifanyia mabaya. Usijiingize kwenye vita ambayo haikuhusu kwa mana utakufa pasipo sababu ya msingi”
Nilizungumza kwa sauti nzito sana huku nikimtazama mwanajeshi huyu, akazungumza neno moja ambalo sikulielewa na kuwafanya wanajeshi wake wote kucheka kwa dharau sana.
“Huna njia ya kutokea Dany, tena muheshimiwa raisi anakusubiria kwa hamu sana”
“Nashukuru”
Nilijibu kwa upole wa kuigiza ila moyomi mwangu nimejawa na hasira moja kali sana. Mkuu wao huyu akarudi sehemu yake, akafungua begi dogo, akatoa laptop na kurudi sehemu nilipo, akafungua laptop hii na kuanza kuminya minya batani zake.
“Ninawasiliana na raisi moja kwamoja nina imani atafurahi kukutana na wewe”
Jamaa alizungumza huku akiwa ameishika laptop. Baada ya kufanya anacho kifanya akageuza laptop ussawa wangu huku akiwa amesimama mbele yangu. Nikamona raisi bwana Donald Bush akiwa amekaa kwenye kiti chake cha uraisi
“Muheshimiwa raisi nilihiji kukutumia video kukuambia kwamba nimemkamata Dany ila nikaona tuwasiliane moja kwa moja tukiwa tunaonana”
“Waoooo nimemuona, habari yako Dany”
“Mkuu pia nina habari mpya”
“Niambie tu”
Raisi alizungumza huku  akiwa amejawa na furaha sana.
“Hadi ninavyo zungumza hivi sasa ni kwamba kambi ya Boko Haramu imefumuliwa kisawa sawa na wanajeshi wetu”
“Kweli?”
“Ndio muheshimiwa raisi japo sijapata ripoti ya kukamatwa kwa mke wake”
“Ila vijana si uliwaagiza?”
“Ndio niliwagiza”
“Kwa sasa nipo kwenye Air Foce One ninaelekea Urusi hakikisheni mukimfikisha Marekani munamueka chini ya ulinzi hadi nitakapo rudi.”
“Sawa sawa mkuu”
“Ngoja mara moja, mke wangu njoo hapa uone kitu”
Nikaiona sura ya Hawa, ambaye baada ya kuniona mimi akaonekana kushangaa sana na kustuka. Raisi akambusu Hawa shavuni mwake.
“Nakupenda sana mke wangu”
“Ninakupenda pia mke wangu”
“Sajenti tutaonana Marekani baada ya siku mbili”
“Shukranu muheshimiwa raisi”
Mawasiliano haya kwa njia ya video kati ya raisi Donald Bush pamoja na Sajent Josephat yakaishia hapo, akaifunga laptop yake na kurudi kukaa kwenye sehemua lipo kuwa amekaa huku akiwa na tanasamu pana sana.                       
‘Lazima niwaue wote’
Nilizungumza hukku nikiwatazama wajeshi hawa kwa macho makali sana. Masaa yakazidi kusonga mbele, gafla kitu kizito kikasikika kikiipiga hii ndege na kuifanya kuyumba. Wanajeshi walio jiegesha kupata usingizi wakajikuta wakikurupuka kutoka kwenye usingizi.
Wanajeshi wote wakajikuta wakishika bunduki zao na kuwa makini sana. Hadi sasa hivi sielewi ni kitu gani kinacho endelea. Kishindo kingine kikasikika na hichi kikashinda hata kishindo cha kwanza. Mlango wa pembeni wa hii ndege ukang’ofolewa na kusababisha upepo mwingi sana kuingia ndani ya hii ndege. Wanajeshi ambao wamesimama kizembe zembe walijikuta wakivutwa nje na upepo huu amba una nguvu kubwa sana.
“Fungeni mikanda haraka”
Sajenti alizungumza na kuwafanya wanajeshi wengine wanao pambana kukaa vizuri kuwenye viti vyao kuhakikisha kwamba wanaifunga mikanda ya sehemu walizo kali.
Gafla hali ya hawa ndani ya hii ndege ikazidi kuwa nzito hii ni baada ya kuingizwa bomu dogo la gesi inayo fanya watu kumwagikwa na machozi. Ukungu mwingi ukatawala ndani ya hii ndege, nikasikia milio ya risasi na vilio vya wanajeshi wa Kimarekani hadi mimi mwenyewe nikajikuta nikichangayikiwa kwani hili shambulizi hadi sasa hivi sijui limefanywa na nani.
“Huyu hapa”
Nilisikia watu wakizungumza, kufuli nje ya kibanda hichi cha chumba likavunjwa kwa kupigwa risasi kadhaa. Kwa haraka nikavalishwa kifaa maalumu kichwani kwangu cha kuzuia kuivuta gesi hii ambayo inamnyong’onyeza mtu.
“Jenero Peter”
Mtu huyu anaye sumbuka kunifungua pingu za mikoni alizungumza
“Ndio ndio”
“Upo salama muheshimiwa”
Jamaa huyu akafanikiwa kufungua pingu za mikono yangu, kisha akafungu mnyororo nilio  fungwa miguuni mwangu.
“Ongozana nasi muheshimiwa”
“Nyinyi ni kina nani?”
Niliuliza kwa sauti ya juu kwa maana upepeo unao zidi kuingia ndani ya hii ndege unazimeza saiti zrtu kiraisi sana.
“Utanifahamu tu jenero, ongozana nami”
“Samahani ninaomba silaha yako”
Jamaa huyu bila ya kipingamizi akanikabidhi bastola yake, taratibu nikajikaza kutembea huku mku mkono moja nikishika sehemu ili nisianguke, nikafika hadi sehemu alipo kaa Sajenti Josephat, nikamkuta akiwa anaugulia maumivu ya risasi alizo pigwa mguuni mwake.
“Nilikuambiaa nitatokaa”
Nilizungumza huku nikimtazama jinsi anavyo pata shida ya kuupelekea mkono wake kwenye bastola yake iliyo angukia pembeni, ila hana ngungu ya kufanya hivyo.
“Nisalimie huko ulipo kuwa unahitaji kunipelekea”
“Malay……….”
Hakumalizia sentensi yake nikampiga risasi mbili za kichwa kisha nikamrudishia jamaa huyu batola yake, kisha akaniomba nisimame mbele yake akanikimbatia kwa nguvu na kujikunga mkanda ulio tufunga viunoni mwetu, akanikabidhi.
“Jenero nishikilie kisawa sawa”   
“Sawa”
“Moja, mbili, tatu”
Jamaa huyu akaruka pamoja na mimi, huku wezake wawil walitufwatia kwa nyuma. Tukaanza kwenda chini huku tumetanguliza vichwa vyetu jambo lililo niongopesa sana, ila nikajikausha kimya nisionekane muoga sana kwani mchezo huu ni mara ya pili sasa unajirudia kwenye maisha yangu na mara ya kwanza nilifanya nikiwa katika opareheni ya kwenda kuvamia kundi la Al-Shabab nchini Somalia.
Jama huyu wala sikujua amefanya nini, tukajikuta tumegeuka tu na kuanza kuanguliza miguu yetu, nikaanza kuona ndege nyingine ikiwa chini yetu.
“Tunatua juu ya hiyo ndege iandae miguu yako jenero”
Jamaa huyu alizungumza, na kujikuta nikijianda kwa tukio hili ambalo litatokea baada ya muda mfupi sana. Tukatua juu ya ndege hii, japo kuna upepo mwingi sana, ila huyu jamaa nina imani ana mafunzo makubwa sana kwenye hili analo lifanya, laiti kama ningekuwa peke yangu basi ni muda mwini sana ningekuwa nimesha kufa. 

Wezake wawili nao wakatua juu ya hii ndege inayo endelea kwenda. Kuna sehemu mbele yetu ikafunguka taratibu na tukaingia kwa pamoja ndani ya hii ndege huku jamaa hawa wawili wakifwatia na sehemu hii ikajifunga. Jaamaa akafungua mkanda alio nifunga kiunoni mwangu, kisha akavuaa vifaa maalumu vya kuzuia gesi. Nikabaki nikiwashangaa kwani wana asili ya Kimarekani. Nikavua na mimi huku nikiendelea kuwashangaa.
“Tunaomba utufwate”
Nikaanza kuwafwata huku tukitembea kwenye kordo ndefu ya hii ndege inayo onekena ni ya kifahari kwa maana hakuna hata abiri mmoja zaidi ya wahudumu wakike. Tukaingia kwenye moja ya chumba sikuamini macho yangu baada ya kukutana na meja wa Kimarekani ambaye alitokea kunipenda sana kwa kipindi nilipo kuwa kambini kwake nchini Somalia.
   
AISIIIII……….U KILL ME 153
“Meja”   
“Karibu sana rafiki yangu Dany”
“Asante sana meja”
Nilijikuta nikizungumza huku furaha kubw aikiwa imenitawala sana usoni mwangu. Tukakumbatia kwa sekunde kadhaa kisha tukaachiana.
“Pole sana kwa matatizo yaliyo kupata”
“Nashukuru sana”
“Naombeni mutuachie chumba”
Meja akawaambia wanajeshi wake hawa, wakatoka ndani ya chumba hichi na kutuacha wawili. Meja akanikaribisha kukaa kwenye sofa lilipo pembeni yangu.
“Mke wako pamoja na mlinzi wako hadi sasa ninavyo zungumza wapo salama”
“Kweli meja?”
“Asilimia mia moja na kwa sasa wapo kwenye ndege wakielekea visiwa vya Madagasca na huko tunawekukaa kwa muda wa siku kadhaa ili kujipanga upya katika hili jambo lililo jitokeza”
“Ninaweza kuwasiliana nao?”
“Yaa unaweza”
Meja akafungua laptop iliyopo mezani kisha akaanza kuminya minya batani baada ya muda kidogo akanigeuzia. Sikuamini macho yangu baada ya kumuona Yemi akiwa katika hali ya usalama, tukajikuta tukishindwa kuzungumza kwa muda na machozi yakaanza kutumwagika taratibu taratibu.
“Yemi”
“Ndio mume wangu……upo hai kweli?”
“Ndio mke wangu nipo hai”
“Tumesaidiwa na watu ambao wala hatuwajui mume wangu vipi wewe?”
Yemi alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.
“Hao ni rafiki zangu mke wangu”
“Kweli mume wangu?”
“Ndio na kwa sasa wanawapeleka Madagascar, tutaonana huko kwa masaa kadhaa”
“Ohoo asante Mungu kwa kutuepusha na kifo kwa maana nilisha kata tamaa kabisa”
“Ni kweli mume wangu”
“Muambie mtoto naye atangana nasi Madagascar, kazi ya kumkomboa imesha kamilika”
Meja alizungumza na kunifanya nizidi kujawa na furaha.
“Dany ni nani huyo anaye zungumza?”
“Ni rafiki yangu, anasema mtoto wetu yupo salama salmini”
“Kweli?”
“Ndio mke wangu”
“Ohooo asante Mungu naomba nimsalimie”
Yemi alizungumza kwa furaha, nikaigeuza Laptop sehemu alipo kaa meja.
“Habari yako shemeji yangu”
“Salama shemeji yangu, yaani sijui hata niseme nini, umebadilisha giza kuwa mwanga kwenye maisha yetu na mume wangu. Yaani ninakushukuru sana Meja”
“Ni jukumu langu kuwasaidia nyinyi kwa manaa mume onewa katika hili”
“Kweli shemiji yangu, yaani nina rudia tena na kusema Mungu akubariki wewe na watu wako”
“Amen tutaonana Madagascar”
“Asante”
Meja akanigeuzia laptop, tukatazamana na Yemi laiti ingekuwa tupo karibu basi tungekumbatiana kwa furaha sana.
“Natamani kukuona hata sasa hivi mume wangu”
“Usijali mke wangu tutaonana hapo”
“Nakupenda sana mume wangu kuliko kitu chochote kwenye maisha yangu”
“Ninakuopenda pia mke wangu”
Tukamaliza kuagana na Yemi na kukata mawasiliano haya kwa njia ya kuonana.
“Mapenzi yenu yananikumbusha mbali sana, kipindi nilipo kuwa kikazi nje ya Marekani, nilikuwa ninazungumza hivyo na marehemu mke wangu, ila ndio hivyo yalitokea yakutokea kama nilivyo kueleza na sikuwa na jinsi ya kufanya tena”
Meja alizungumza kwa sauti ya unyonge kiasi. Nikabaki nikimtazama usoni mwake kwa haraka haraka anaonekana ni mtu ambaye bado anaishi na upendo wa mke wake hadi leo akiwa katika uzee wake.
“Kwa nini umeamua kunisaidia?”
“Nilijua tu utaniuliza swali hilo mara baada ya kufika hapa”
“Ndio kwa maana maisha yangu nilisha yatoa kwa ajili ya kufa, maisha yangu nilisha yaweka mikononi mwa Mungu wangu kwani nilisha tambua kwamba siwezi kufanikiwa kutoka mikononi mwa watu walio nisaliti”
“Hilo ndio lilinifanya nikusaidie, sipendi usaliti kwenye maisha yangu na wala sipendi mtu msaliti kwa sababu usaliti ulinifanya maisha yangu niishi pasipo mwanamke ninaye mpenda, kisa kazi yangu ambayo kwa sasa nimesha iacha nimeamua kuachana na maswala ya jeshi”
“Umeacha kazi!!?”
“Ndio nimeacha kazi na nimeamua kumiliki jeshi dogo la vijana wangu ambao niliwafundisha mambo mengi na wana ujuzi mkubwa kuliko hata wanajeshi waliomo ndani ya nchi yangu na ninaimani kwamba umeweza kushuhudia kazi walio ifanya”
“Ndio nimeshuhudia, yaani kila kitu walicho kifanya hadi sasa hivi ninahisi ni ndoto ambayo dijui yaani imeishaje ishaje?”
“Hahahaaa sio ndoto rafiki yangu. Raisi wetu aliamua kukusaliti isitoshe akamchukua mwanamke ambaye unampenda kwenye maisha yako japo uliamua kufanya mabadiliko ya moyo wako ila Hawa ulimpenda si kweli?”
“Ndio nilimpenda ila kwa sasa siwezi kufanya hivyo kwa maana amenisaliti sasa sijajua ni kitu gani amepewa na raisi huyo?”
“Raisi amekuwa akiiendesha serikali ya Marekani kwa ubinafsi sana, na hapa ninavyo kuambia ni kwamba amemuacha mke wake kwa ajili ya Hawa”
“Hilo ninalitambua na Hawa ndio alimshauri raisi kuweza kumuacha mke wake haraka iwezekanavyo”
“Dany unatakiwa kufanya kitu katika hili, huwezi kuwaacha waishi kwa amani, namna hiyo ikiwa tayari amesha haribu mfumo wako mzima wa jeshi ambalo liliweza kufwata sheria yako pasipo kipingamizi cha ina yoyote”
“Kweli meja nitahakikisha ninaishangaza dunia katika hili”
“Katika hilo nina imani kwamba utanisaidia kwa asilimi mia moja kwa maana ninahitaji kuiongoza Marekani, ninahitaji Marekani iwe mpya iwe na nguvu, na isiongozwe na raisi anaye sikiliza mawazo ya mwanamke ambaye ni ninaweza kumfananisha na Malaya na amemucha mwanamke ambaye tunamtambua kikatiba”
“Unahitaji kuwa raisi?”
“Ndio”
“Hilo wazo nimepewa ni mke wa raisi mama Donald Bush, mimi ndio mtu wa pekee ambaye aliweza kuniamini na kuniomba niweze  kumpindua mume wake kwa njia ya ina yoyote na nihakikishe kwamba ninaichukua nchi”
“Ila kumbuka kwamba nchi yako ni kubwa na utampindua kwa namna gani?”
“Hakuna njia nyingine zaidi ya kumuu”
“Na baada ya kumuua inchi itachukuliwa na makamu wa raisi ambaye ataongoza nchi hadi kwenye uchaguzi mkuu?”
“Ndio kwa sasa tumebakisha miaka miwili hadi kuufikia uchaguzi mkuu, miaka hiyo inanitosha sana kujitengenezea jina katika chama cha siasa na nafasi ya kuiongoza nchi ninayo kwa maana jeshi zima linanipenda na kuniheshimu na uzuri kwamba wanatambua mchango wangu katika kupambana na maswala makubwa ya kigaidi duniani. “
“Kama ni hivyo nitakusaidia katika hilo”
“Kwa nini na wewe usiiongoze Tanzaian?”
“Ahahaaa hapana sijafikiria kabisa kuwa mwanasiana, hivi unahisi hii sura ni nani anaye weza kuipenda na kuniona nikiwa ni raisi wa Tania”
“Mbona Godwin aliongoza Tania na alikuwa ni gaidi?”
“Tazama mwisho wake ulivyo kuwa mbaya, nikifanikiwa kumuua K2 basi nitaachana na kila jambo na nitakwenda kuishi mbali sana Afrika nikiwa na familia yangu”
“Sawa niwazo tu nilikupa”
“Nashukuru, ila muda unaweza kuamua  sijui”
Tukajikuta tukifurahi sana na Meja huyu. Safari ikachukua masaa kadhaa tukafanikiwa kufika nchini Madagascar, kitendo cha kushuka kwenye ndege hii, nikaingia kwenye gari ya kifahari pamoja na meja, kisha vijana wake wakiingia katika gari nyingine mbili ambazo zimeliweka gari letu katikati.
“Hii nchi ninaipenda sana ndio maana nikaamua kuja kujenga huku”
“Marekani una nyumba?”
“Ndio ninazo nyingine, Dany mimi ni bilioner japo huwa sipendi sana watu kuweza kufahamu wala nchi yangu kufahamu, ila utajiri wangu unaweza kufika hata dola bilioni kumi”
“Mmmmmm upo mbali sana”
“Yaa nina vijana wachache wa ulinzi binafsi na ninawalipa pesa nzuri sana”
“Utajiri huo uliupata wapi?”
“Kwa marehemu baba yangu na mama yangu, wao walikuwa mabilioner wa enzi hizo, na mimi nilikuwa mtoto wa pekee kwenye famili yao, ila kwa kipindi kile sikuweza kupenda kabisa maswala ya biashara na ndoto yangu kubwa ilikuwa ni kuja kuwa mwanajeshi na ndicho nilicho kifanya hadi kufikisha uzee wangu huu”
Tuliendelea kuzunugumza mambo mengi hadi tukafanikiwa kufika katika jumba kubwa la kifahari, hari zote zikakaguliwa getini na kuruhusiwa kuingia ndani.
“Karibu Dany hapa ndio nyumbani kwangu”
“Shukrani mzee umejitahidi sana?”
“Kidogo kidogo tu”
Tukashuka kwenye magari na kuanza kuingia ndani huku nikiwa nimeongozana na meja. Tukaingia sebleni na kumkuta Yemi na Martin wakiwa wamekaa. Yemi kwa haraka akasimama na kunikimbilia tukakumbatia kwa furaha huku tukinyonyana midogo yetu.
“Mmmmmm”
Meja alikohoa kidogo tukajikuta tukiachiana na Yemi na kumtazama.
“Karibuni sana hapa ni kwangu na mujisikie kama mupo nyumbani”
“Tunashukuru sana meja. Yemi kutana na meja huyu ni rafiki yangu ambaye yeye ndio ametupa msaada wote huu”
“Shukrani sana meja kwa msaada wako”
“Usijali, shemeji yangu”
“Meja huyu ni…..”
“Aahaa Dany unataka kunitambulisha shemeji yangu wakati ninamfahamu”
Meja alizungumza kwa utani na tukajikuta tukicheka sana. Ikanibidi kumtambulisha Martin kwa meja.
“Martin nimepata taarifa zako kwamba upo vizuri, uliwasumbua sana vijana wangu hadi kuweza kukuweka sawa”
“Hapana mkuu, nilikuwa ninafanya kazi yangu kumlinda mke wa mkuu”
“Kweli natambua huwa najua walinzi binafsi ni ngumu sana kuweza kumuelewa mtu tofauti na bosi wako. Ila Dany hapo umepata mtu muaminifu sana laiti ingekuwa ni mwengine basi mke na yeye sasa hivi wangekuwa wamesha kufa”
“Ni kweli”
“Jamani tupate chakula kwanza na mambo mengine yataendelea”
Meja alizungumza, tukakaribishwa mezani na wafanyakazi wake wa ndati, tukala chakula taratibu huku meja akiendelea kutusimulia mambo mengi ya maisha yake ya nyuma.
“Kweli ninawashauri Dany na Yemi kabla ya kufanya chochote kesho fungeni ndoa, tule tusherekee maisha yanasonga. Na yamebaki masaa machache sana kwa kijana wenu kuweza kufika nchini hapa”
“Ohoo sijui niseme nini shemeji, mimi nipo tayari kufunga ndoa hata sasa hivi?”
“Mchungaji tutampata wapi?”
“Dany wewe tatizo lako ni mchungaji au ndo, kama ni mchungaji hata kesho tunaweza kumleta hapa na ndoa ikafungwa, yaani ndoa yeni haitaji mashabiki, ni sisi sisi hapa tunahudhuria baada ya hapo ratiba nyingine zinafwata”
“Sawa hakuna tabu”
Baada ya kupata chakula, tukaonyeshwa chumba chetu huku Martin na yeye akikabidhiwa chumba chake. Kitendo cha kuingia ndani humu, tukajikuta tukivua nguo zetu haraka haraka na kubakiwa kama tulivyo zaliwa.
Nikaanza...
“Nipe mume wangu”   
..... taratibu nikamshusha Yemi huku sote tukimwagikwa na jasho jingi.
“Ninakupenda sana mume wangu, yaani kwao nimefika kwa raha hisi sidhani kama kuna mwanaume anaweza kunishawishi ili niwe naye”
“Wewe ndio mwanamke wa mwisho kwenye maisha yangu, nakupenda sana Yemi wangu”
“Nakupenda pia mume wangu”
Nikamnyanyua Yemi kwa nguvu na kuanza kumbeba na taratibu tukaingia bafuni, na kuanza kuoga, hatkuchukua muda mrefu sana tukamaliza na kutoka, huku tukuwa tumevaa mavazi maalumu tuliyo yakuta humu bafuni.
“Yaani kesho natamani haya ifike sasa hivi, yaani nitafurahi sana mwanangu akiwepo kwenye harusi yetu”
“Nina imani matatizo sasa yataisha, japo nina kazi ndogo ya kuikamilisha ila ikiisha hiyo nataka sisi na mtoto wetu tukaishi maisha mbali kabisa na Afrika”
“Wapi unataka twende tuishi?”
“Popote ili mradi tuondoke kwenye ardhi ya bara la Afrika kwa maana watu wake wame……”
Mlango ukagongwa taratibu, nikakatisha sentensi yangu, nikaanza kutembea hadi mlangoni, nikafungua na kumkuta meja akiwa amesimama, kwa ishara ikaniita.
“Mke wangu ninakuja”
Nilizungumza huku nikitoka na kuufunga mlango huu, tukatembea hatua kadhaa kutoka mlangoni.
“Dany kuna tatizo limejitokeza”
“Tatizo gani meja”
“Mtoto wenu amefariki kwa kuuwawa”
Mwili mzima nikahisi ukizizima kwa kupoteza nguvu, macho yakanitoka kwani taarifa hii kwangu ni nzito ila ninaweza kuihimili, ila sijuia Yemi mke wangu kama anaweza kuihimili taarifa isitoshe nimemuacha akiwa katika furaha kubwa sana ya kuifikiria ndoa yetu tuliyo panga kuifunga kesho.                                                                                          ITAENDELEA
“Haya sasa furaha imeingia shubiri, usikose sheemu inayo fwata ya kisa hichi cha kusisimua”

Wimbo Mpya wa Lady Jaydee - Boyfriend wa Dar

$
0
0
Mwanadada Mkongwe Judith Wambura,maarufu kama ‘Lady JayDee’ anayo furaha kuileta kwako nyimbo yake mpya inajukana kwa jina la Boyfriend Wa Dar 

 Itazame hapo chini

Video Mpya ya Hamisa Mobetto- Tunaendana

$
0
0
Mwanamitindo Hamisa Mobetto anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake uitwao Tunaendana

Itazame hapo chini
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images