Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
NATURAL BEAUTY PROD. Tumeingiza mzigo mpya ni bidhaa zilizothibitishwa kiafya na kupewa kibali original cha kuuzwa hadharani.  Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe.

1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 inapatikana kwa @170,000/=

2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa @160,000/=

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kinapatikana kwa @230,000/=

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili tu bei yake ni @200,000/=

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 inapatikana kwa @190,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @150,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo unaipata kwa @200,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft @150,000/= N.K  Wasiliana nasi kwa simu

NO:. +255 759029968  AU +255 659618585

Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.  WELCOME ALL

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume .

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr SHILINDE,  shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Anapatikana Dar es Salaam maeneo ya Buguruni Sheli. 
 
Mawasiliano: 0784460348 au  0657 314701

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Waziri Mkuu Akutana Na Makamu Mwenyekiti Wa Bunge La China

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameishukuru Serikali ya China kwa kuunga mkono jitihada za maendeleo zinazofanyika nchini hivi sasa chini ya uongozi wa Serikali ya awamu ya tano.

Ametoa shukrani hizo jana jioni (Ijumaa, Novemba 16, 2018) alipokutana na Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Watu wa China, Bw. Cai Dafeng ofisini kwake Mlimwa, jijini Dodoma.

“Tunaishukuru Serikali ya China kwa sababu tumepokea misaada na mikopo ya gharama nafuu na kuendeleza miradi mbalimbali kama vile mradi wa umeme wa Kinyerezi, awamu ya pili ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Zanzibar,” alisema.

Alisema Serikali ya China imekuwa pia na mahusiano ya muda mrefu na Serikali ya Tanzania na hasa kwenye sekta ya afya ambapo kuna wanafunzi wengi wa Kitanzania ambao wako China wakisomea udaktari na masuala ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA).

“Tuna mahusiano mazuri kwenye sekta ya afya na sasa hivi tuna madaktari 20 ambao wanasoma huko na wengine wanasomea masuala ya TEHAMA. Pia tuna mahusiano mazuri baina ya Bunge la Tanzania na China,” alisema.

Waziri alisema Tanzania imejipanga kuinua uchumi wake kupitia ujenzi wa viwanda na sekta nyingine kama utalii kutokana na vivutio vilivyopo nchini kama vile Mlima Kilimanjaro, mbuga za wanyama za Serengeti na visiwa vya Zanzibar. “Nimefurahi kusikia kuwa hivi karibuni tutapata idadi kubwa ya watalii kutoka China,” alisema.

Kwa upande wake, Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Watu wa China, Bw. Cai Dafeng alisema amefurahishwa na jinsi Serikali ya awamu ya tano inavyoendelea kubadili hali ya uchumi wa nchi na maisha ya Watanzania chini ya uongozi wa Dkt. John Pombe Magufuli.

Alisema China itaendelea kuiunga mkono Tanzania kwenye masuala ya kiuchumi na haiko tayari kuona ikiingiliwa masuala yake ya ndani na mataifa kutoka nje.

Akizungumzia kuhusu masuala ya uwekezaji baina ya Tanzania na China, Bw. Cai alisema China itaendelea kuyahimiza makampuni ya nchi hiyo ili yawekeze zaidi nchini Tanzania kwenye maeneo mbalimbali kama vile ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. “China inataraji kuongeza uwekezaji kwenye kilimo, nishati na miundombinu,” alisema.

Kuhusu elimu, Bw. Cai alisema Serikali ya nchi hiyo inaangalia uwezekano wa kuanzisha masomo ya lugha ya Kichina katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ili Watanzania wengi zaidi waweze kujifunza lugha hiyo.

Kuhusu afya, alisema China itaendelea kutuma madaktari wake ili waje kutoa huduma kwa Watanzania na inatamani kuona mahusiano baina ya mtu mmoja mmoja kutoka nchi hizo mbili ikiendelea kukua.
 
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAMOSI, NOVEMBA 17, 2018.

Waziri wa Kilimo Awataka Watendaji Kusimamia Ubora Wa Korosho

$
0
0
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Mtwara
Waziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) ametaka watendaji wa Bodi ya Korosho na Waendesha maghala kusimamia kwa weledi ubora wa korosho ili fedha za serikali zinazotolewa kwa ajili ya kununua korosho za wakulima katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma zitumike ipasavyo.

Waziri Hasunga ameyasema hayo tarehe 16 Novemba 2018 wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara.

Alisema kuwa baada ya wananchi katika maeneo mbalimbali kusikia kuwa serikali imeanza kuwalipa wakulima wa korosho yamejitokeza matukio ya kuwepo kwa korosho chafu zilizotunzwa kwenye maghala tangu msimu wa mwaka jana 2016/2017 zikiwa hazipo katika ubora unaotakiwa wa daraja la kwanza ilihali korosho za madaraja mengine hazijaanza kununuliwa.

“Nadhani wanafanya hivi ili wafaidike na hela za serikali, jambo hili hatuwezi kukubaliana nalo kwani tayari tumeshakamata Tani 20 za korosho chafu kutoka kwenye ghala la Olam za Chama cha Ushirika cha Mnyawi Amcos kilichopo Nanyamba pamoja na Mbembaleo Amcos ambapo gunia tano za korosho chafu zimepatikana” Alisema

Aidha, Mhe Hasunga alisema kuwa Kuna watu wameanza kuingiza korosho zao kutoka nchi jirani baada ya kusikia kuwa Tanzania inanunua korosho kwa bei nzuri huku akisisitiza kuwa watanzania wanapaswa kushirkiana na vyombo vya dola kutoa taarifa za wahalifu wanaoingiza korosho kinyume na sheria.

Alisema, kuruhusu korosho za nje ya nchi zitaharibu soko ikiwa ni pamoja na kuhatarisha amani ya wananchi waliyonayo katika maeneo yote yanayolima korosho.
“Tutailinda mipaka yetu na kuilinda korosho yetu ambayo tunayo” Alisisitiza Mhe Hasunga

Kuhusu kuanza malipo kwa wakulima Mhe Hasunga alisema kuwa tayari vyama 35 vimekwisha hakikiwa na serikali imeanza kulipa fedha zinazostahili.

Serikali imeshanunua Tani 738.7 huku wakulima wakinufaika na fedha zao ambapo taratibu zingine zinaendelea kwa ajili ya kuhakiki na kukamilisha malipo kwa wakati katika vyama vingine.

“Vyama vilivyohakikiwa ni 35 lakini mpaka sasa kati ya hivyo vyama 6 vimeshaingiziwa fedha ambavyo ni Mtama Amsos, Kitomiki Amcos, Mnazimoja Amcos, Mtetesi Amcos, Chamana Amcos na Msafichema Amcos”

Waziri Hasunga aliongeza kuwa mpaka kufikia jana jioni (Tarehe 16 Novemba 2018) tayari wanachama 2348 walikuwa wamelipwa kupitia njia ya benki huku akisisitiza kuwa serikali ilianza kwanza na mkulima ambapo hatua itakayofuata itakuwa ni kuwalipa wachuuzi sambamba na walinda ghala.

Wakulima wanaendelea kulipwa fedha zao ambapo kilo moja ya koroshwa inanunuliwa kwa shilingi 3300 fedha ambayo inaenda moja kwa moja kwa mkulima bila kukatwa kiasi chochote cha fedha.

MWISHO

Video Mpya: Victoria Kimani - Not For Sale

$
0
0
Msanii wa muziki kutokea nchini Kenya, Victoria Kimani anakuribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Not For Sale. Itazame hapa.

Tazama Hapa Video Mpya ya Ferooz- Mapigo

$
0
0
Msanii mkongwe  wa muziki,Ferooz, anakuribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Mapigo. 

Audio ya ngoma hiyo imefanywa na Producer Mocco na video imeongozwa na Kilonzo.

Itazame hapa.

Kiwanda Cha Samani Cha Magereza Jijini Arusha Chateketea Kwa Moto

$
0
0
Na Mwandishi Wetu MOHA, Arusha
Kiwanda cha Samani cha Jeshi la Magereza jijini Arusha kimeteketea moto usiku wa kuamkia leo na kusababisha hasara kubwa kutokana na mashine mbalimbali pamoja na nyaraka mbalimbali kuungua.

Mara baada ya tukio hilo kutokea, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Kingu ambaye alikua safarini kuelekea wilayani Serengeti Mkoani Mara, kuhudhuria halfa ya uzinduzi wa Jeshi Usi la Tanapa, ilibidi ahairishe safari yake na kuelekea katika eneo la tukio hilo, Unga Limited jijini humo. 

Katibu Mkuu Kingu alisema  moto huo ulisababishwa na hitilafu ya umeme ambayo ilisababisha kiwanda hicho kuteketeza na kulisababishia Jeshi la Magereza kupata hasara kubwa pamoja na Wizara kwa ujumla.

Kingu alisema moto huo ulioanza saa 4 hadi saa 9 usiku wa kuamkia leo, uliteketeza jingo lililolokua na mashine mbalimbali za samani, mbao, ofisi ya Boharia na uhasibu na kusababisha nyaraka mbalimbali kuteketeza moto.

Aliongeza kuwa moto huo pia uliteketeza mabati ya jengo zima pamoja na kenchi za pande zote za jengo hilo ziliungua ambapo chanzo cha moto huo kinahisiwa kua ni hitilafu ya umeme katika swichi ya kuu ya jengo hilo.

“Mashine zilizoungua zinaweza kufanyiwa matengenezo makubwa na kurudi katika hali yake ya awali na kwa upande wa vipuli vilivyoungua vinahitaji kubadilishwa,” alisema Meja Jenerali Kingu.

Hata hivyo, Meja Jenerali Kingu alitoa wito kwa viongozi wa Jeshi la Magereza pamoja na taasisi mbalimbali zilizopo ndani ya Wizara yake, kuchukua tahadhari za majanga yanayoweza kujitokeza kwa maana ya kuhakiki hali ya umeme ilivyo katika majengo yao pamoja na kuwa na vifafa vya kuzimia moto.

“Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Arusha lina magari mawili ya zimamoto, na gari moja tu ambalo linafanya kazi mpaka sasa, hilo gari bovu tutalifanyia matengenezo ili kuwezesha uokozi pale linapotokea tukio la moto,” alisema Meja Jenerali Kingu.

Wakati Meja Jenerali Kingu akikagua maeneo mbalimbali yaliyoteketea kwa moto, aliambatana na Mkuu wa Magereza Mkoa huo, ACP Anderson, Mkuu wa Kiwanda hicho, SSP Victor Ngwale, pamoja na Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa huo, SSF Komba na Mwakilishi wa Jeshi la Polisi Mkoani humo, ACP Mnayama.

Kutokana na tukio la moto huo, pia Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike ambaye naye alikua ziarani mkoani Iringa, ameahirisha ziara yake na amewasili jijini Arusha kwa ajili ya kutafuta njia ya kukirudisha kiwanda hicho katika hali yake kutokana na hasara kubwa iliyotokea kutokana na moto huo.

Mizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29

$
0
0
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana hawaridhishwi na Waume au wapenzi wao pale wanapoaza kushiriki tendo la ndoa 

Kwa Nini Ujione Mpweke Pale Ukutanapo Na Mpenzi Au Mke Wako Kisa Eti Hauna Nguvu Za Kiume? ;Tumia MIZIZI 29 POWER, hii ndio tiba itakayorudisha heshima ya ndoa yako . 

Dawa hii itakufanya;
 1 Uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-25 kwa tendo la kwanza 
2 Dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
3  Dawa hii uhimalisha misuri iliyolegea na kusinyaa?dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji nani tofauti na ulizowai kutumia ata wazee wenye umri mkubwa wanapona 

NSONSOMA; Dawa hii itakufanya umridhishe  mke au mpenzi wako kwani uboresha uume saizi upendayo urfu wa nchi 5,6,7 na 8 na unene wa sentimita 2,3,4 na 5 dawa  hii ipo ya kupaka na kunywa 

NSHOLA; NI dawa ya uzazi kwa waliongaika mda mrefu bila kupata mtoto 

MWITA; Dawa hii humvuta meme, mke,au mpenzi mliyetengana pia umrudisha mtu kazini haliyefukuzwa, kumpatanisha mwajiliwa na bosi wake 

Tunatibu presha kisukari, busha ,vidonda vya tumbo tumbo kuunguruma kujaa gesi na kukosa choo 

MAHALI ILIPO OFISI; PANDA DALADALA SHUKA BUGURUNI MALAPA AU ROZANA NA MWANZA YUPO WAKALA PIGA SIMU 0752348593 DR NYAROBI .Kama hauna nafasi ya kuja ofisini utaletewa popote ulipo huduma hizi

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 33

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA     

“Unaweza kufungua tu hiyo bahasha”
Nikaifungua bahasha hii, nikakuta picha nne ndani ya bahasha hii, nikaanza kutoa moja baada ya nyingine. Picha hizi zinamuonyesha mwana mama wa kiafrika akiwa amefungwa mikonono yake pamoja na mdomo wake na pembeni yake kuna wanaume wawuli walio shika mitutu ya bunduki.
“Hizi picha za nini kwangu?”
Mzee huyu akatabasamu huku akinitazama usoni mwangu.
“Huyo ni mama YAKO MZAZI, ana siku ya tatu toka vijana wangu wamshikilie. Biashara iliyopo hapa ni ndogo sana. Boksi jeusi, kwa uhai wa mama yako mzazi”
Maneno ya mzee huyu yakanitusha sana, nikazitazama picha hizi kwa umakini sana, taratibu taswira ya sura yangu nikaanza kuiona kwa mwanamama huyu jambo lililo nifanya nistuke huku mwili wangu ukisisimka hadi vinyweleo vyangu vya mwili vikaanza kunisiamama kwa mstuko huu nilio upata.

ENDELEA
“Mama yangu!!?”
Nilimuuliza mzee huyu huku nikimtazama kwa mshangao. Akanijibu kwa kutingisha kichwa, ila kila ninavyo jaribu kukumbuka kwamba nishawahi kuwa na mama katika maisha yangu, sina kumbukumbu hiyo.
“Nashukuru sana na sifahamu boksi hilo lililopo”
Nilipo maliza kuzungumza maneno hayo nikamsogezea mzee huyu picha zake pamoja na bahasha.
“Muda mwengine usinijaribu kwa mambo ya kijinga na kipuuzi kama haya”
Nilizungumza kwa msisitozo kisha nikanyanyuka na kaunza kuondoka.
 
“Kesho nitakuletea kidole chake”
Neno la mzee huyu likanifanya nisimame kwa muda kidogo, nikamgeukia na kumtazama kwa umakini sana kisha nikaendelea na safari yangu. Nikajumuika na wachezaji wezangu kwenye mazoezi ya asubuhi.
“Ethan mbona unaonekana huna raha?”
Kocha aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Hapana kocha nipo sawa”
“Una uhakika?”
“Ndio nipo sawa”
Hata uchezaji wa uwanjani haukuwa mzuri kabisa, kwani mawazo ya maam mzazi yamenichanganya kabisa. Ila jambo ambalo lina nitatiza ni kwamba sina kumbukumbu ya aina yoyote inayo husiana na mama wala baba yangu mzazi, japo ninatambua kwamba mzee Klopp na bi Jane Klopp ni wazazi wangu.
 
“Kocha nakuomba nipumzike kidogo”
Nilimuomba kocha huku nikimtazama usoni mwake.
“Hakuna tatizo, pumzika”
Nikatoka nje ya uwanja na Camila akanikabidhi kitaulo kidogo cha kujifutia jasho mwilini mwangu.
“Mbona kama una mawazo mpenzi wangu”
“Akili yangu haipo sawa”
“Kuna nini kinacho kutatatiza?”
“Hembu twende huku”
“Mazoezi una acha?”
“Nitashiriki jioni, twende huku”
 
Nilizungumza huku nikianza kutembea kuelekea katika eneo ambalo nilikaa na mzee yule. Tulipo fika tukakua kuna watu wengine ambao walio kaa. Watu hawa wakajawa na furaha kubwa sana mara baada ya kutuona. Kila mtu akaanza kutamani tupige picha ya mapamoja.
“Tupige tu mpenzi wangu”
Camila aliniambai kwa sauti ya chini kiasi, tukaanza kupiga picha kadhaa na watu hawa kisha tukawaaga na kuondoka.
“Tunakwenda wapi Ethan?”
“Nahitaji kuingia kwenye chumba kinacho ongoza kamera za ulinzi katika hii hoteli”
“Mmmm niambie mume wangu kuna jambo gania mbalo lina endele?”
 
“Nitakueleza naomba uniazime simu yako”
Camila akanipatia simu yake, nikampigia mwana sheria wa kampuni na kumuomba aweze kufika hotelini hapa. Kutona sehemu hii tulipo ni mbali na mjini, ikamlazimu mwana sheria kupanda helicopter ya kampuni yake na kufika katika hoteli hii.
“Ethan naomba uniambie ni jambo gani linalo endelea au huniamini?”
Camila alizungumza kwa kulalama.
“Nitakuambia mpenzi wangu, nakuomba uweze kuwa mvumilivu katika hili ninalo kwenda kulifanya sawa”
“Sawa”
Camila alinijibu kwa unyonge, nikampokea mwana sheria na moja kwa moja tukaongozana naye hadi kwenye ofisi ya meneja wa hii hoteli. Meneja huyu akafurahi sana kuniona ofisini kwake.
 
“Ndio Ethan niwasiaidie nini?”
“Nahitaji kwanza ulinzi wa wachezaji wezangu, na sisi uweze kuongezwa”
“Kwa nini unazungumza hivyo Ethan?”
“Kuna hali ya hatari ambayo nimekutana nayo masaa kadhaa hapa hotelini kwako. Jambo hili litanifanya niweze kuiondoa timu yangu hapa. Nakuomba sana meneja uweze kufanya hivyo”
“Sawa, tutaongeza ulinzi, ila ningependa kufahamu ni hatari gani ambayo ulikutana nayo”
 
“Nakuomba twende kwenye chumba cha kuongozea kamera”
Meneja huyu akatafakari kwa sekunde kasha akisha akakubali. Tukatoka ofisini hapa huku mwanasheri na Camila wakionekana kujawa na shahuku ya kuhitaji kufahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea kwangu. Tukaingia katika chumba hichi kikubwa ambacho kina tv nyingi sana ambapo kila tv inaonyesha video ya kamera inayo rekodi eneo hilo.
“Karibuni, hichi ndio chumba chetu cha kuongozea kamera zote”
Meneja huyu wa hoteli alizungumza.
“Nashukuru. Nakuomba uweze kuonyesha video iliyo rekodiwa katika eneo lile ambalo lipo pembezoni mwa swimming pool”
 
“Turudishe majira ya saa ngapi?”
“Saa moja na nusu hivi asubuhi leo”
Kijana huyu ambaye tumemkuta ndani ya chumba hichi, akafanya kazi niliyo muagiza. Video ya mimi na mzee huyu wa kichina ikaanza kuonekana.
“Hembu hiamihshie kwenye tv kubwa”
Meneja alizungumza na video hii ikaanza kuonekana kwenye tv kubwa kupita zote iliyopo katika chumba hichi. Nikaonekana jinsi ninavyo fungua bahasha na kutoa picha hizo.
 
“Hembu zoom kwenye hizo picha”   
Nilimuambia kijana huyu na akafanya hivyo na picha hizo zikaonekana vizuri sana. Watu wote wakaonekana kustuka sana kwani hizo picha zinaonyesha mwanamke huyo akiwa ametekwa.
“Nahitaji hizo picha na pia sura ya huyo mzee”
“Sawa Ethan”
“Baby kwani alikuambia yeye ni nani?”
“Hakuniambia yeye ni nani aliniwekea hizo picha……”
Mwanasheria akanitazama kwa macho yanago nikataza nisizungumze kitu cha aina yoyote kwa maana kuna watu hapaswi kufahamu nilicho kizungumza.
 
“Je munaweza kumsaka mzee huyo taarifa zake”
Camila alizungumza huku akimtazama kijana huyu.
“Ndio inawezekana”
“Basi ninaomba muweze kunisaidia katika hilo”
Kijana huyu akaanza kazi hiyo ambayo haikuchukua muda mrefu sana akafanikiwa kupata taarifa muhimu za mzee huyu. Taarifa zinaonyesha kwamba mzee huyu uraia wake ni nchini China, na inaonyesha kwamba ametokea nchini Nigeria na kufika hapa Ujerumani, wiki moja iliyo pita. Taarifa zikaonyesha kwamba alingia nchini kama mfanya bishara kutoka katika shirika moja la simu lililopo nchini Nigeria.
“Makazi yake yapo nchini Nigeria?”
 
Kijana huyu alizungumza.
“Inabidi tuwataarifu askari”   
“Hapana, tusiwaafahamishe askari kwa sasa. Tunahitaji kuzungumza na Ethan mara moja ndio tuamue”
“Musimpeleke polisi, naomba hizo taarifa zake, umtumie Camila hapa kwenye simu yake pamoja na hiyo picha.”
“Huoni kwamba anaweza kukudhuru?”
“Tutajua nini cha kufanya, kesho atakuja aliniahidi hivyo. Hakikiseni kwamba kesho akija tu basi macho yenu yanakuwa makini kuhakikisha kwamba muna mpata”
“Sawa”
 
“Hili swala ni sisi watu watano munalifahamu, nawaomba wewe na kijana wako musiweze kutoa siri yoyote?”
“Hatuwezi kuvujisha sira muhimu kama hizi na kesho asipo kuja basi muna haki ya wewe kututulia mashaka juu ya hili”
“Ninashukuru sana”
“Karibu sana Ethan”
Tukatoka chumbani humu na moja kwa moja tukaeleka katika chumba changu na Camila, ambacho tutakitumia hapa hadi pale mashindano yatakapo kwisha.
“Wamekutumi hizo taarifa na picha?”
“Ndio mume wangu”
Nikaichukua simu ya Camila na kumtazama mzee huyu, nikarudi kumtazama mama huyu anaye onekana kwenye picha kisha nikampatia mwana sheria.
“Alikuwa anakuambiaje?”
“Aliniambia kwamba huyo ni mama yangu na wamemteka.Hivyo ameniagiza kwamba nichague kati ya boksi jeusi au uhai wa mama yangu”
“Mmmmm”
 
Camila aliguna aliguna huku akinitazama usoni mwangu.
“Ndio maana yake”
“Hivi hilo bosky jeusi Ethan ndio nini?”
Camila aliniuliza kwa shahuku kubwa na kumfanya mwanasheria kunitazama machoni mwangu kwa macho ya kunikataza nisizungumze chochote.
“Hata mimi sifahamu”
“Ethan hili swala nitalishuhulikia, hadi inafika usiku kila kitu kitakuwa kimekamilia, nipe mchana huu”
“Sawa”
“Utatumia simu hii, nikifika mjini nitakupigia niweze kukufahamisha ni kitu gani ambacho kinaendelea”
“Sawa, ila hakikisha kwamba huyu mzee munamkamata, nina hitaji kuonana naye kabla ya yeye hajanifwata kesho”
“Sawa mkuu”
Mwanasheria akaniaga na akaondoka, kabla hata sekunde stini hazijaisha, meseji ikaingia kwenye simu hii aina ya iphone seven. Nikaifungua meseji hii na kukuta imetoka kwa mwanasheri.
 
‘USIMUAMINI CAMILA KWA KILA JAMBO’
Baada ya kuisoma meseji hii nikaifuta na kumtazama Camila kwa tabasamu kubwa sana, kwa maana hapo awali alisha nisaliti na isitoshe alisha nichoma kisu kwa madai anahitaji kufanya mwenyewe.
“Tutafanyaje Ethan?”
“Usijali kila jambo litakwenda vizuri”
“Au nimuambie baba atusaidie katika kumtafuta?”
“Hapana usimbebeshe mzee mizigo mingi sana. Tunaweza kulifanya kazi hii sisi kama sisi”
 
Taratibu Camila akanikumbatia kwa hisia kali sana.
“Ninakupenda sana mume wangu”
“Ninakupenda pia mke wangu”
Mlango ukagongwa, tukaachina na Camila na nikaufungua, nikamkuta Frenando ndio anaye bisha hodi.
“Vipi Ethan una umwa?”
“Hapana ndugu yangu, karibu ndani?”
“Shem yupo?”
“Ndio”
“Basi siingii. Shem”
Frenando aliita kwa sauti ya juu kidogo.
“Beee”
 
“Naomba nimuibe mumeo kidogo”
“Usijali wewe muibe ila umrudishe akiwa salama kama ulivyo mchukua”
“Usijali shemeji yangu”
Nikarudi chumbani na kumnyonya Camila lipsi zake kidogo, ikiwa ni ishara ya kumuaga.
“Uwe makini mpenzi wangu”
“Usijali, ninakuja”
“Poa”
Nikatoka chumbani humu.  Nikaongonzana na Frenando hadi kwneye moja ya bustani ya kupumzikia, kwa maana huyu ni rafiki yangu na ni mtu ambaye ana fahamu siri zangu nyingi, nikaona sio mbaya nikamshirikisha matatizo yangu. Hadi ninamaliza kumuadisia, macho yakwa yamemtoka sana.
 
“Kaka kwa matatizo yako una haja ya kupata muda wa kupumzika, uwanjani si unafahamu kwamba mtu hutakiwi kuwa na mambo mengi kichwani”
“Usijali nitacheza, ila tambua watu ninao waamini kwa sasa ni wachache sana.”
“Pole sana ndugu yangu, ila kama alivyo kuambia mwana sheria wako, usimuamini Camila kama alikufanya yale yote na bado akaamua kurudi basi kuwa makini”
“Kweli, hapa ni mwendo wa kuchezeana akili, akileta ujinga sasa hivi nakuapia haki ya Mungu, nitahakikisha kwamba ninamuua kwa mikono yangu mimi mwenyewe.”

==>>itaendelea kesho

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 152 na 153 )

$
0
0

MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA

Nilizungumza huku nikimkabidhi Martin magazine iliyo salia, kisha taratibu nikanyanyuka kutoka katika eneo hili nilipo jificha huku bastola yangu nikiwa nimeinyoosha kwa juu. Nikamuona Yemi akiwa amehishikiliwa na wanajeshi hawa wa Kimarekanani ambao idadi yao kwa haraka haraka inaweza kufika mia moja.
“Muachieni mke wangu, nipo tayari kujisalimisha mikononi mwenu”
Taratibu wakamuachi Yemi aliye anza kutembea kwa mwendo wa taratibu akija eneo hili nilipo, na mimi nikaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu huku nikiwatazama wanajeshi hawa walio ninyooshea mitutu ya bunduki zao na endapo nitafanya kosa lolote wataniua mimi na Yemi jambo ambalo sihitaji litoke mbele ya macho yangu.
       
ENDELEA   
Tukakutana na Yemi katikati, akanitazama usoni mwangu huku machozi yakimwagika.
“Nenda”
Nilizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa simanzi ndani yake.
“Kwani nini umefanya hivi mume wangu?”
“Hakuna jinsi ya kufanya mke wangu nenda, nenda tafadhali”
Niliendelea kuzungumza kwa huzuni ila kwa msisitizo kidogo, Yemi hakuwa na ubishi zaidi ya kuazidi kusonga mbele hadi sehemua lipo jificha Martin. Nikasimama futi sita kutoka alipo simama mkuu huyu wa jeshi.
“Muacheni mke wangu na mlinzi wangu waondoke hili eneo”
“Usijali hatuwezi kuwagusa”
“Niahidini?”
“Waruhusu waondoke”
“Martin ondoka na shemeji yako”
Nilizungumza kwa sauti ya juu, nikageuka nyuma nikamuona Martin akinyanyuka sehemu hiyo, akamshika Yemi mkono aliye zidisha kulia kwa uchungu kwani ninaimani kwamba hawezi kwenda kuniona tena kwenye maisha yake.
“DANYYYYYYYYY”
Yemi alilia kwa uchungu sana huku Martina akiw ana kazi ya kumkimbiza kuelekea katika chumba tulicho ingilia. Nilipo hakikisha wameingia kwenye chumba hicho nikageuka mbele na kumtazama mkuu huyu wa jeshi. Wakaichukua bastola yangu na kunifunga pingu, za mikononi pamoja na nyororo ngumu na ndefu kiasi kwenye miguu yangu. Wanajeshi hawa wakaanza kunikimbiza mkuku mkuku hadi kwenye moja ya ndege ya kijeshi, wakangiza huku nikiwa katika ulinzi mkali sana. Wakaniingiza katika chumba kilicho tengenezwa na nondo ngumu, kisha wakakinga kwa nje. Mkuu wao akanisogelea huku akiwa ameshika simu mkononi mwake.
“Muheshimiwa raisi nimeweza kumpata Dany”
Nikasoma jina la mkuu huyu kwenye mfuko wa shati lake na kugundua kwamba anaitwa Josephat D.R
“Kama ulivvyo niagiza mkuu wangu, nitahakikisha ninamfikisha Marekani baada ya masaa machache na mke wake nimeagiza vijana wanakwenda kumuua na hawawezi kutoka mikononi mwetu”
Nilitamani kukata pingu hizi kwa hasira ila sina uwezo wala nguvu ya kufanya hivyo kwani sikutegemea kwamba hawa jamaa wanaweza kunisaliti na kwenda kinyume na makubaliano ambayo tumeyaweka kuhusiana na mke wangu pamoja na mlinzi wangu ambaye nina imani kwamba nimemuacha katika mazingira magumu sana.
“Malaya mkubwa wewe”
Nilijikuta nikitukana kwa hasira na kumfanya mkuu huyu kucheka kwa kejeli. Akaondoka huku simu yake akiwa ameishika mkononi mwake na ninaimani kwamba alikuwa anarekodi video. Ndege hii ya kijeshi ambayo ipo tofauti kabisa na ndege za abiria, kwani haina siti hata moja. Wanajeshi wakakaka kwenye mizigo iliyopo humu ndani, na taratibu ndege hii ikafungwa na nikasikia mlio wa injini ya ndege hii zikianza kuwashwa.
Moyoni mwangu nikajikuta nikianza kujilaumu kwa kuweza kufanya maamuzi ya kujiamini na kushindwa kumsikiliza meja ambaye kwa haraka haraka ni sawa na baba yangu. Hadi sasa hivi wala sielewi wanajeshi wangu wa Boko haramu wamekwamia wapi kwani hadi sasa hivi sijasikia shambulizi hata moja.
Hadi ndege ikapaa hewani hapa ndipo nikajikuta nikikata tamaa kabisa. Taratibu nikajikuta nikikaa chini huku machozi ya hasira yakinimiminika usoni mwangu. Sijajua kifo changu kinakwenda kuwa cha aina gani, kwani ni nimeweza kuwaua wanajeshi wengi wa Marekani hususani makomandoo wao ambao  waliwaagiza kwa ajili ya kunisaka mimi.
“Kazi nzuri”
Nilimsikia meja akizungumza na simu yake ya mkononi. Akasimama na kunisogelea sehemu nilipo.
“Una habari?”
Aliniuliza kwa dharau huku akiwa ameinama, nikanyanyua uso wangu na kumtazama huku nikizidi kujawa na hasira.
“Kambi yako ya boko Haramu hadi sasa hivi ipo PUUUUUUUUUUUUU……!!”               
Maneno ya mwanajeshi huyu yakanifanya nisimame kwa haraka huku nikiwa nimeshikwa na mshangao mkubwa kwani kuondoka kwangu ninaimani kwamba kumeleta matatizo makubwa sana.
“Sasa hivi hakuna Boko Haramu, wala Boko njemaaa. Umepoteza Dany, wewe anza kusali sala yako ya mwisho kwani ukifika Marekani ni kunyongwaaaaa tuu”
“Krgahaaaaaaaaaaaaaaaa”
Nililia kwa hasira huku nikijaribu kuitoa mikono yangu nje ya hizi nondo huli nijaribu kumshika mkuu huyu wa jeshi hili la Wamarekani, ila sikuweza kumshika na alicho kifanya ni kurudi nyuma yangu kwa hatua chake akaviweka vidole vyake gumba kichwani mwake na kuchezesha vidole vyake vilivyo salia huku ulimi wake akiutoa nje, ishara ambayo ni kejeli kubwa sana juu yangu na ananizomea kwa kunidharau.
“Dany huna cha kufanya sasa, umefuliaa baba”
“Siwezi kufa kabla sijalipiza kisasi kwa wale walio nifanyia mabaya. Usijiingize kwenye vita ambayo haikuhusu kwa mana utakufa pasipo sababu ya msingi”
Nilizungumza kwa sauti nzito sana huku nikimtazama mwanajeshi huyu, akazungumza neno moja ambalo sikulielewa na kuwafanya wanajeshi wake wote kucheka kwa dharau sana.
“Huna njia ya kutokea Dany, tena muheshimiwa raisi anakusubiria kwa hamu sana”
“Nashukuru”
Nilijibu kwa upole wa kuigiza ila moyomi mwangu nimejawa na hasira moja kali sana. Mkuu wao huyu akarudi sehemu yake, akafungua begi dogo, akatoa laptop na kurudi sehemu nilipo, akafungua laptop hii na kuanza kuminya minya batani zake.
“Ninawasiliana na raisi moja kwamoja nina imani atafurahi kukutana na wewe”
Jamaa alizungumza huku akiwa ameishika laptop. Baada ya kufanya anacho kifanya akageuza laptop ussawa wangu huku akiwa amesimama mbele yangu. Nikamona raisi bwana Donald Bush akiwa amekaa kwenye kiti chake cha uraisi
“Muheshimiwa raisi nilihiji kukutumia video kukuambia kwamba nimemkamata Dany ila nikaona tuwasiliane moja kwa moja tukiwa tunaonana”
“Waoooo nimemuona, habari yako Dany”
“Mkuu pia nina habari mpya”
“Niambie tu”
Raisi alizungumza huku  akiwa amejawa na furaha sana.
“Hadi ninavyo zungumza hivi sasa ni kwamba kambi ya Boko Haramu imefumuliwa kisawa sawa na wanajeshi wetu”
“Kweli?”
“Ndio muheshimiwa raisi japo sijapata ripoti ya kukamatwa kwa mke wake”
“Ila vijana si uliwaagiza?”
“Ndio niliwagiza”
“Kwa sasa nipo kwenye Air Foce One ninaelekea Urusi hakikisheni mukimfikisha Marekani munamueka chini ya ulinzi hadi nitakapo rudi.”
“Sawa sawa mkuu”
“Ngoja mara moja, mke wangu njoo hapa uone kitu”
Nikaiona sura ya Hawa, ambaye baada ya kuniona mimi akaonekana kushangaa sana na kustuka. Raisi akambusu Hawa shavuni mwake.
“Nakupenda sana mke wangu”
“Ninakupenda pia mke wangu”
“Sajenti tutaonana Marekani baada ya siku mbili”
“Shukranu muheshimiwa raisi”
Mawasiliano haya kwa njia ya video kati ya raisi Donald Bush pamoja na Sajent Josephat yakaishia hapo, akaifunga laptop yake na kurudi kukaa kwenye sehemua lipo kuwa amekaa huku akiwa na tanasamu pana sana.                       
‘Lazima niwaue wote’
Nilizungumza hukku nikiwatazama wajeshi hawa kwa macho makali sana. Masaa yakazidi kusonga mbele, gafla kitu kizito kikasikika kikiipiga hii ndege na kuifanya kuyumba. Wanajeshi walio jiegesha kupata usingizi wakajikuta wakikurupuka kutoka kwenye usingizi.
Wanajeshi wote wakajikuta wakishika bunduki zao na kuwa makini sana. Hadi sasa hivi sielewi ni kitu gani kinacho endelea. Kishindo kingine kikasikika na hichi kikashinda hata kishindo cha kwanza. Mlango wa pembeni wa hii ndege ukang’ofolewa na kusababisha upepo mwingi sana kuingia ndani ya hii ndege. Wanajeshi ambao wamesimama kizembe zembe walijikuta wakivutwa nje na upepo huu amba una nguvu kubwa sana.
“Fungeni mikanda haraka”
Sajenti alizungumza na kuwafanya wanajeshi wengine wanao pambana kukaa vizuri kuwenye viti vyao kuhakikisha kwamba wanaifunga mikanda ya sehemu walizo kali.
Gafla hali ya hawa ndani ya hii ndege ikazidi kuwa nzito hii ni baada ya kuingizwa bomu dogo la gesi inayo fanya watu kumwagikwa na machozi. Ukungu mwingi ukatawala ndani ya hii ndege, nikasikia milio ya risasi na vilio vya wanajeshi wa Kimarekani hadi mimi mwenyewe nikajikuta nikichangayikiwa kwani hili shambulizi hadi sasa hivi sijui limefanywa na nani.
“Huyu hapa”
Nilisikia watu wakizungumza, kufuli nje ya kibanda hichi cha chumba likavunjwa kwa kupigwa risasi kadhaa. Kwa haraka nikavalishwa kifaa maalumu kichwani kwangu cha kuzuia kuivuta gesi hii ambayo inamnyong’onyeza mtu.
“Jenero Peter”
Mtu huyu anaye sumbuka kunifungua pingu za mikoni alizungumza
“Ndio ndio”
“Upo salama muheshimiwa”
Jamaa huyu akafanikiwa kufungua pingu za mikono yangu, kisha akafungu mnyororo nilio  fungwa miguuni mwangu.
“Ongozana nasi muheshimiwa”
“Nyinyi ni kina nani?”
Niliuliza kwa sauti ya juu kwa maana upepeo unao zidi kuingia ndani ya hii ndege unazimeza saiti zrtu kiraisi sana.
“Utanifahamu tu jenero, ongozana nami”
“Samahani ninaomba silaha yako”
Jamaa huyu bila ya kipingamizi akanikabidhi bastola yake, taratibu nikajikaza kutembea huku mku mkono moja nikishika sehemu ili nisianguke, nikafika hadi sehemu alipo kaa Sajenti Josephat, nikamkuta akiwa anaugulia maumivu ya risasi alizo pigwa mguuni mwake.
“Nilikuambiaa nitatokaa”
Nilizungumza huku nikimtazama jinsi anavyo pata shida ya kuupelekea mkono wake kwenye bastola yake iliyo angukia pembeni, ila hana ngungu ya kufanya hivyo.
“Nisalimie huko ulipo kuwa unahitaji kunipelekea”
“Malay……….”
Hakumalizia sentensi yake nikampiga risasi mbili za kichwa kisha nikamrudishia jamaa huyu batola yake, kisha akaniomba nisimame mbele yake akanikimbatia kwa nguvu na kujikunga mkanda ulio tufunga viunoni mwetu, akanikabidhi.
“Jenero nishikilie kisawa sawa”   
“Sawa”
“Moja, mbili, tatu”
Jamaa huyu akaruka pamoja na mimi, huku wezake wawil walitufwatia kwa nyuma. Tukaanza kwenda chini huku tumetanguliza vichwa vyetu jambo lililo niongopesa sana, ila nikajikausha kimya nisionekane muoga sana kwani mchezo huu ni mara ya pili sasa unajirudia kwenye maisha yangu na mara ya kwanza nilifanya nikiwa katika opareheni ya kwenda kuvamia kundi la Al-Shabab nchini Somalia.
Jama huyu wala sikujua amefanya nini, tukajikuta tumegeuka tu na kuanza kuanguliza miguu yetu, nikaanza kuona ndege nyingine ikiwa chini yetu.
“Tunatua juu ya hiyo ndege iandae miguu yako jenero”
Jamaa huyu alizungumza, na kujikuta nikijianda kwa tukio hili ambalo litatokea baada ya muda mfupi sana. Tukatua juu ya ndege hii, japo kuna upepo mwingi sana, ila huyu jamaa nina imani ana mafunzo makubwa sana kwenye hili analo lifanya, laiti kama ningekuwa peke yangu basi ni muda mwini sana ningekuwa nimesha kufa. 

Wezake wawili nao wakatua juu ya hii ndege inayo endelea kwenda. Kuna sehemu mbele yetu ikafunguka taratibu na tukaingia kwa pamoja ndani ya hii ndege huku jamaa hawa wawili wakifwatia na sehemu hii ikajifunga. Jaamaa akafungua mkanda alio nifunga kiunoni mwangu, kisha akavuaa vifaa maalumu vya kuzuia gesi. Nikabaki nikiwashangaa kwani wana asili ya Kimarekani. Nikavua na mimi huku nikiendelea kuwashangaa.
“Tunaomba utufwate”
Nikaanza kuwafwata huku tukitembea kwenye kordo ndefu ya hii ndege inayo onekena ni ya kifahari kwa maana hakuna hata abiri mmoja zaidi ya wahudumu wakike. Tukaingia kwenye moja ya chumba sikuamini macho yangu baada ya kukutana na meja wa Kimarekani ambaye alitokea kunipenda sana kwa kipindi nilipo kuwa kambini kwake nchini Somalia.
   
AISIIIII……….U KILL ME 153
“Meja”   
“Karibu sana rafiki yangu Dany”
“Asante sana meja”
Nilijikuta nikizungumza huku furaha kubw aikiwa imenitawala sana usoni mwangu. Tukakumbatia kwa sekunde kadhaa kisha tukaachiana.
“Pole sana kwa matatizo yaliyo kupata”
“Nashukuru sana”
“Naombeni mutuachie chumba”
Meja akawaambia wanajeshi wake hawa, wakatoka ndani ya chumba hichi na kutuacha wawili. Meja akanikaribisha kukaa kwenye sofa lilipo pembeni yangu.
“Mke wako pamoja na mlinzi wako hadi sasa ninavyo zungumza wapo salama”
“Kweli meja?”
“Asilimia mia moja na kwa sasa wapo kwenye ndege wakielekea visiwa vya Madagasca na huko tunawekukaa kwa muda wa siku kadhaa ili kujipanga upya katika hili jambo lililo jitokeza”
“Ninaweza kuwasiliana nao?”
“Yaa unaweza”
Meja akafungua laptop iliyopo mezani kisha akaanza kuminya minya batani baada ya muda kidogo akanigeuzia. Sikuamini macho yangu baada ya kumuona Yemi akiwa katika hali ya usalama, tukajikuta tukishindwa kuzungumza kwa muda na machozi yakaanza kutumwagika taratibu taratibu.
“Yemi”
“Ndio mume wangu……upo hai kweli?”
“Ndio mke wangu nipo hai”
“Tumesaidiwa na watu ambao wala hatuwajui mume wangu vipi wewe?”
Yemi alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.
“Hao ni rafiki zangu mke wangu”
“Kweli mume wangu?”
“Ndio na kwa sasa wanawapeleka Madagascar, tutaonana huko kwa masaa kadhaa”
“Ohoo asante Mungu kwa kutuepusha na kifo kwa maana nilisha kata tamaa kabisa”
“Ni kweli mume wangu”
“Muambie mtoto naye atangana nasi Madagascar, kazi ya kumkomboa imesha kamilika”
Meja alizungumza na kunifanya nizidi kujawa na furaha.
“Dany ni nani huyo anaye zungumza?”
“Ni rafiki yangu, anasema mtoto wetu yupo salama salmini”
“Kweli?”
“Ndio mke wangu”
“Ohooo asante Mungu naomba nimsalimie”
Yemi alizungumza kwa furaha, nikaigeuza Laptop sehemu alipo kaa meja.
“Habari yako shemeji yangu”
“Salama shemeji yangu, yaani sijui hata niseme nini, umebadilisha giza kuwa mwanga kwenye maisha yetu na mume wangu. Yaani ninakushukuru sana Meja”
“Ni jukumu langu kuwasaidia nyinyi kwa manaa mume onewa katika hili”
“Kweli shemiji yangu, yaani nina rudia tena na kusema Mungu akubariki wewe na watu wako”
“Amen tutaonana Madagascar”
“Asante”
Meja akanigeuzia laptop, tukatazamana na Yemi laiti ingekuwa tupo karibu basi tungekumbatiana kwa furaha sana.
“Natamani kukuona hata sasa hivi mume wangu”
“Usijali mke wangu tutaonana hapo”
“Nakupenda sana mume wangu kuliko kitu chochote kwenye maisha yangu”
“Ninakuopenda pia mke wangu”
Tukamaliza kuagana na Yemi na kukata mawasiliano haya kwa njia ya kuonana.
“Mapenzi yenu yananikumbusha mbali sana, kipindi nilipo kuwa kikazi nje ya Marekani, nilikuwa ninazungumza hivyo na marehemu mke wangu, ila ndio hivyo yalitokea yakutokea kama nilivyo kueleza na sikuwa na jinsi ya kufanya tena”
Meja alizungumza kwa sauti ya unyonge kiasi. Nikabaki nikimtazama usoni mwake kwa haraka haraka anaonekana ni mtu ambaye bado anaishi na upendo wa mke wake hadi leo akiwa katika uzee wake.
“Kwa nini umeamua kunisaidia?”
“Nilijua tu utaniuliza swali hilo mara baada ya kufika hapa”
“Ndio kwa maana maisha yangu nilisha yatoa kwa ajili ya kufa, maisha yangu nilisha yaweka mikononi mwa Mungu wangu kwani nilisha tambua kwamba siwezi kufanikiwa kutoka mikononi mwa watu walio nisaliti”
“Hilo ndio lilinifanya nikusaidie, sipendi usaliti kwenye maisha yangu na wala sipendi mtu msaliti kwa sababu usaliti ulinifanya maisha yangu niishi pasipo mwanamke ninaye mpenda, kisa kazi yangu ambayo kwa sasa nimesha iacha nimeamua kuachana na maswala ya jeshi”
“Umeacha kazi!!?”
“Ndio nimeacha kazi na nimeamua kumiliki jeshi dogo la vijana wangu ambao niliwafundisha mambo mengi na wana ujuzi mkubwa kuliko hata wanajeshi waliomo ndani ya nchi yangu na ninaimani kwamba umeweza kushuhudia kazi walio ifanya”
“Ndio nimeshuhudia, yaani kila kitu walicho kifanya hadi sasa hivi ninahisi ni ndoto ambayo dijui yaani imeishaje ishaje?”
“Hahahaaa sio ndoto rafiki yangu. Raisi wetu aliamua kukusaliti isitoshe akamchukua mwanamke ambaye unampenda kwenye maisha yako japo uliamua kufanya mabadiliko ya moyo wako ila Hawa ulimpenda si kweli?”
“Ndio nilimpenda ila kwa sasa siwezi kufanya hivyo kwa maana amenisaliti sasa sijajua ni kitu gani amepewa na raisi huyo?”
“Raisi amekuwa akiiendesha serikali ya Marekani kwa ubinafsi sana, na hapa ninavyo kuambia ni kwamba amemuacha mke wake kwa ajili ya Hawa”
“Hilo ninalitambua na Hawa ndio alimshauri raisi kuweza kumuacha mke wake haraka iwezekanavyo”
“Dany unatakiwa kufanya kitu katika hili, huwezi kuwaacha waishi kwa amani, namna hiyo ikiwa tayari amesha haribu mfumo wako mzima wa jeshi ambalo liliweza kufwata sheria yako pasipo kipingamizi cha ina yoyote”
“Kweli meja nitahakikisha ninaishangaza dunia katika hili”
“Katika hilo nina imani kwamba utanisaidia kwa asilimi mia moja kwa maana ninahitaji kuiongoza Marekani, ninahitaji Marekani iwe mpya iwe na nguvu, na isiongozwe na raisi anaye sikiliza mawazo ya mwanamke ambaye ni ninaweza kumfananisha na Malaya na amemucha mwanamke ambaye tunamtambua kikatiba”
“Unahitaji kuwa raisi?”
“Ndio”
“Hilo wazo nimepewa ni mke wa raisi mama Donald Bush, mimi ndio mtu wa pekee ambaye aliweza kuniamini na kuniomba niweze  kumpindua mume wake kwa njia ya ina yoyote na nihakikishe kwamba ninaichukua nchi”
“Ila kumbuka kwamba nchi yako ni kubwa na utampindua kwa namna gani?”
“Hakuna njia nyingine zaidi ya kumuu”
“Na baada ya kumuua inchi itachukuliwa na makamu wa raisi ambaye ataongoza nchi hadi kwenye uchaguzi mkuu?”
“Ndio kwa sasa tumebakisha miaka miwili hadi kuufikia uchaguzi mkuu, miaka hiyo inanitosha sana kujitengenezea jina katika chama cha siasa na nafasi ya kuiongoza nchi ninayo kwa maana jeshi zima linanipenda na kuniheshimu na uzuri kwamba wanatambua mchango wangu katika kupambana na maswala makubwa ya kigaidi duniani. “
“Kama ni hivyo nitakusaidia katika hilo”
“Kwa nini na wewe usiiongoze Tanzaian?”
“Ahahaaa hapana sijafikiria kabisa kuwa mwanasiana, hivi unahisi hii sura ni nani anaye weza kuipenda na kuniona nikiwa ni raisi wa Tania”
“Mbona Godwin aliongoza Tania na alikuwa ni gaidi?”
“Tazama mwisho wake ulivyo kuwa mbaya, nikifanikiwa kumuua K2 basi nitaachana na kila jambo na nitakwenda kuishi mbali sana Afrika nikiwa na familia yangu”
“Sawa niwazo tu nilikupa”
“Nashukuru, ila muda unaweza kuamua  sijui”
Tukajikuta tukifurahi sana na Meja huyu. Safari ikachukua masaa kadhaa tukafanikiwa kufika nchini Madagascar, kitendo cha kushuka kwenye ndege hii, nikaingia kwenye gari ya kifahari pamoja na meja, kisha vijana wake wakiingia katika gari nyingine mbili ambazo zimeliweka gari letu katikati.
“Hii nchi ninaipenda sana ndio maana nikaamua kuja kujenga huku”
“Marekani una nyumba?”
“Ndio ninazo nyingine, Dany mimi ni bilioner japo huwa sipendi sana watu kuweza kufahamu wala nchi yangu kufahamu, ila utajiri wangu unaweza kufika hata dola bilioni kumi”
“Mmmmmm upo mbali sana”
“Yaa nina vijana wachache wa ulinzi binafsi na ninawalipa pesa nzuri sana”
“Utajiri huo uliupata wapi?”
“Kwa marehemu baba yangu na mama yangu, wao walikuwa mabilioner wa enzi hizo, na mimi nilikuwa mtoto wa pekee kwenye famili yao, ila kwa kipindi kile sikuweza kupenda kabisa maswala ya biashara na ndoto yangu kubwa ilikuwa ni kuja kuwa mwanajeshi na ndicho nilicho kifanya hadi kufikisha uzee wangu huu”
Tuliendelea kuzunugumza mambo mengi hadi tukafanikiwa kufika katika jumba kubwa la kifahari, hari zote zikakaguliwa getini na kuruhusiwa kuingia ndani.
“Karibu Dany hapa ndio nyumbani kwangu”
“Shukrani mzee umejitahidi sana?”
“Kidogo kidogo tu”
Tukashuka kwenye magari na kuanza kuingia ndani huku nikiwa nimeongozana na meja. Tukaingia sebleni na kumkuta Yemi na Martin wakiwa wamekaa. Yemi kwa haraka akasimama na kunikimbilia tukakumbatia kwa furaha huku tukinyonyana midogo yetu.
“Mmmmmm”
Meja alikohoa kidogo tukajikuta tukiachiana na Yemi na kumtazama.
“Karibuni sana hapa ni kwangu na mujisikie kama mupo nyumbani”
“Tunashukuru sana meja. Yemi kutana na meja huyu ni rafiki yangu ambaye yeye ndio ametupa msaada wote huu”
“Shukrani sana meja kwa msaada wako”
“Usijali, shemeji yangu”
“Meja huyu ni…..”
“Aahaa Dany unataka kunitambulisha shemeji yangu wakati ninamfahamu”
Meja alizungumza kwa utani na tukajikuta tukicheka sana. Ikanibidi kumtambulisha Martin kwa meja.
“Martin nimepata taarifa zako kwamba upo vizuri, uliwasumbua sana vijana wangu hadi kuweza kukuweka sawa”
“Hapana mkuu, nilikuwa ninafanya kazi yangu kumlinda mke wa mkuu”
“Kweli natambua huwa najua walinzi binafsi ni ngumu sana kuweza kumuelewa mtu tofauti na bosi wako. Ila Dany hapo umepata mtu muaminifu sana laiti ingekuwa ni mwengine basi mke na yeye sasa hivi wangekuwa wamesha kufa”
“Ni kweli”
“Jamani tupate chakula kwanza na mambo mengine yataendelea”
Meja alizungumza, tukakaribishwa mezani na wafanyakazi wake wa ndati, tukala chakula taratibu huku meja akiendelea kutusimulia mambo mengi ya maisha yake ya nyuma.
“Kweli ninawashauri Dany na Yemi kabla ya kufanya chochote kesho fungeni ndoa, tule tusherekee maisha yanasonga. Na yamebaki masaa machache sana kwa kijana wenu kuweza kufika nchini hapa”
“Ohoo sijui niseme nini shemeji, mimi nipo tayari kufunga ndoa hata sasa hivi?”
“Mchungaji tutampata wapi?”
“Dany wewe tatizo lako ni mchungaji au ndo, kama ni mchungaji hata kesho tunaweza kumleta hapa na ndoa ikafungwa, yaani ndoa yeni haitaji mashabiki, ni sisi sisi hapa tunahudhuria baada ya hapo ratiba nyingine zinafwata”
“Sawa hakuna tabu”
Baada ya kupata chakula, tukaonyeshwa chumba chetu huku Martin na yeye akikabidhiwa chumba chake. Kitendo cha kuingia ndani humu, tukajikuta tukivua nguo zetu haraka haraka na kubakiwa kama tulivyo zaliwa.
Nikaanza...
“Nipe mume wangu”   
..... taratibu nikamshusha Yemi huku sote tukimwagikwa na jasho jingi.
“Ninakupenda sana mume wangu, yaani kwao nimefika kwa raha hisi sidhani kama kuna mwanaume anaweza kunishawishi ili niwe naye”
“Wewe ndio mwanamke wa mwisho kwenye maisha yangu, nakupenda sana Yemi wangu”
“Nakupenda pia mume wangu”
Nikamnyanyua Yemi kwa nguvu na kuanza kumbeba na taratibu tukaingia bafuni, na kuanza kuoga, hatkuchukua muda mrefu sana tukamaliza na kutoka, huku tukuwa tumevaa mavazi maalumu tuliyo yakuta humu bafuni.
“Yaani kesho natamani haya ifike sasa hivi, yaani nitafurahi sana mwanangu akiwepo kwenye harusi yetu”
“Nina imani matatizo sasa yataisha, japo nina kazi ndogo ya kuikamilisha ila ikiisha hiyo nataka sisi na mtoto wetu tukaishi maisha mbali kabisa na Afrika”
“Wapi unataka twende tuishi?”
“Popote ili mradi tuondoke kwenye ardhi ya bara la Afrika kwa maana watu wake wame……”
Mlango ukagongwa taratibu, nikakatisha sentensi yangu, nikaanza kutembea hadi mlangoni, nikafungua na kumkuta meja akiwa amesimama, kwa ishara ikaniita.
“Mke wangu ninakuja”
Nilizungumza huku nikitoka na kuufunga mlango huu, tukatembea hatua kadhaa kutoka mlangoni.
“Dany kuna tatizo limejitokeza”
“Tatizo gani meja”
“Mtoto wenu amefariki kwa kuuwawa”
Mwili mzima nikahisi ukizizima kwa kupoteza nguvu, macho yakanitoka kwani taarifa hii kwangu ni nzito ila ninaweza kuihimili, ila sijuia Yemi mke wangu kama anaweza kuihimili taarifa isitoshe nimemuacha akiwa katika furaha kubwa sana ya kuifikiria ndoa yetu tuliyo panga kuifunga kesho.                                                                                          ITAENDELEA
“Haya sasa furaha imeingia shubiri, usikose sheemu inayo fwata ya kisa hichi cha kusisimua”

Mambo Bado Mazito: BASATA yakanusha kuufungulia wimbo wa ‘ Nyegezi -Mwanza’ wa Rayvanny na Diamond......Yatoa Tamko Zito

$
0
0
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa tamko kwa umma, vyombo vya habari na jamii kwa ujumla kuwa halijaufungulia wimbo wa ‘Mwanza’, ulioimbwa na msanii wa WCB, Rayvanny kwa kushirikiana na DiamondPlatnumz.

Waziri Mkuu: Vijiji Vyote Nchini Kupatiwa Huduma Za Maji Safi

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuhakikisha wananchi wote wakiwemo wa wilaya ya Nachingwea wanapata huduma ya maji safi na salama karibu na makazi yao, hivyo amewataka wananchi waendelee kuiamini.

Ameyasema hayo leo (Jumamosi, Novemba 17, 2018) alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Namatula ‘A’ na kijiji cha Mtua ambao waliosimamisha msafara wa Waziri Mkuu wakati akiekea Kata ya Kilimarondo wilayani Nachingwea.

“Serikaliya Awamu ya Tano ina mikakati mizuri inayolenga kumaliza tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama katika maeneo mbalimbali nchini vikiwemo vijiji vya wilaya ya Nachingwea ili kuwawezesha wananchi kupata huduma hiyo.”

Waziri Mkuu amesemaSerikali kupitia Kampeni ya Rais Dkt. John Magufuli ya kumtua mama ndoo, itahakikisha wananchi katika maeneo yote nchini wanapata huduma ya maji safi na salama karibu na maeneo yao ya makazi.

Amesema mbali na huduma ya maji, pia Serikali imedhamiria kusambaza umeme katika vijiji vyote ambavyo bado havijaunganishiwa nishati hiyo nchini vitaunganishiwa katika awamu ya tatu ya Mradi wa Nishati Vijijini (REA).

“Rais wetu Dkt. John Magufuli anataka kuona kila nyumba ya Mtanzania inapata umeme tena kwa gharama nafuu, hivyo ametenga fedha nyingi zitakazotosheleza kusambaza umeme katika vijiji vyote vikiwemo na wilaya ya Nachingwea. Gharama za kuunganishiwa umeme huo ni sh. 27,000 tu.”

Pia Waziri Mkuu ameesema wananchi hawatowajibika tena katika kulipia gharama za nguzo wala fomu za maombi ya kuunganishiwa umeme, kwa sababu tayari gharama hizo zimeshabebwa na Serikali.

Awali, Waziri Mkuu alimkabidhi Mwenyekiti wa kijiji cha Mpiluka saruji tani mbili na nusu kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya shule ya Msingi Mpiluka.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

TCRA Yawataka Wauza Runinga Na Mafundi Simu Kujisajili Kwenye Mamlaka Hiyo

$
0
0
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania(TCRA)imewataka wale wote wenye kuuza bidhaa za mawasiliano ikiwemo simu za mkononi,Radio na Runinga kuhakikisha wanajisajili kwao ili wananchi wapate huduma zilizo sahihi na kuondoa malalamiko kutopata huduma stahiki

Akizungumza kwenye semina ya huduma za utangazaji kwa channeli zinazotazamwa bila malipo iliyowashirikisha watendaji wa mitaa,Kata, Wakuu wa vituo vya polisi,waalimu wakuu wa shule sanjari na watumisha wa idara za serikali wilayani hapa Meneja wa mamlaka hiyo Mhandisi Fransis Msungu amesema kuwa hapa Arusha mamlaka hiyo imebaini kuwa wafanyabiashara wengi wana leseni za biashara lakini za mamlaka hiyo wengi wao hawana.

Amesema kuwa maswali mengi yalioelekezwa kwa mamlaka hiyo imeonyesha mafundi wa simu na maduka mengi hayana leseni za mamlaka hiyo hivyo kutoa wito kwao kuangalia na kujisajili haraka kwao ili kuweza kumlinda mlaji.

“Nawasihi wote kuhakikisha wanajisajili haraka kwao ili kuwezakuondoa malalamiko yanayotolewa na walaji kwa mamlaka yetu utaona hapa Arusha kuna maduka 40 yenye leseni zetu mengi yaliopo bado hayajasajiliwa sanjari na mafundi wa simu”alitanabaisha Msungu.

Kwa Upande wake Katibu Tawala wa wilaya ya Arusha David Mwakiposa amesema kuwa mbali na malalamiko mbali mbali yaliotolewa na washiriki wa mkutano huo suala zima ni mashirikiano kati ya Tcra na wadau mbalimbali na semina hiyo imefungua milango kwa wananchi kwani elimu itawafikia walengwa ambao ni wananchi.

Amesema kuwa semina hiyo inatakiwa kuwa endelevu na watendaji wamejipanga kuhakikisha kuwafikishia wananchi kwenye maeneo yao na tutarajie kuondoa changamoto mbali mbali zinazo wakabili wananchi hususani ya wizi wa mtandao.

“Natoa rai kwa TCRA kuhakikisha changamoto mbali mbali zinazoelekezwa kwao kuzitafutia ufumbuzi ili kuondoa kero na adha wanayokutana nayo wananchi katika maeneo mbali mbali hapa nchini tunashukuru sana sisi tumepata uelewa wa masuala haya ya channel zisizolipiwa na tunaahidi kutoa elimu kwa wananchi”alisema Mwakiposa

Aidha Baadhi ya washiriki mbali mbali walioshiriki katika semina hiyo wamepata uelewa ila wakaitaka Tcra kuenda mbele zaidi katika suala zima la utoaji wa elimu kwa wananchi sanjari na kutatua changamoto mbali mbali wanazokutana nazo walaji wa mamalaka hiyo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya Novemba 18

Jeshi la Polisi Pwani Lamsaka Mwanamke Aliyempiga Hadi Kumuua Mwanae

$
0
0
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
Jeshi  la polisi mkoani Pwani ,linamtafuta mwanamke ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja kwa tuhuma za kumpiga hadi kumuua mtoto  wake Halima Ramadhani (5) kwa tuhuma za kuunguza pazia la chumbani.

Kamanda wa polisi mkoani humo Wankyo Nyigesa alithitisha kutokea kwa tukio hilo la kusikitisha huko Kikongo wilaya ya Kipolisi Mlandizi wilayani Kibaha

Alisema mama huyo ,  alimuua mwanaye kwa kipigo akimtuhumu mwanaye huyo kuunguza pazia hilo kwa kutumia kibatari.

"Baada ya kukuta pazia hilo limeungua mama yake alimshambulia na kupelekea kifo cha mtoto huyo na alipoona hali mbaya alikimbia," alisema Nyigesa.

Alisema,mtoto huyo alifariki alipofikishwa katika kituo cha Afya Mlandizi siku hiyo hiyo majira ya saa nne usiku.

Viongozi Watiwa Mbaroni kwa kutafuna fedha za maji

$
0
0
Jeshi la Polisi Wilayani Muheza, limewatia mbaroni watu watatu kwa amri ya Mkuu wa Wilaya, Mwanasha Tumbo, baada ya kutuhumiwa na wananchi wametafuna fedha za serikali.

Watu hao ambao ni wajumbe wa kamati ya maji, walitiwa mbaroni juzi katika mkutano wa hadhara uliyofanyika katika kijiji cha Ubembe, kata ya Nkumba wilayani Muheza. Walituhumiwa kuwa wametafuna fedha za bodi ya maji ya kata hiyo.

Waliokumbwa na kadhia hiyo ni Mwenyekiti wa Bodi ya maji ya Kata, Athuman Mhando, katibu wake Martin John na mhasibu wake aliyefahamika kwa jina moja la Semgalawe.

Akizungumza katika mkutano huo, Athumani Salehe alisema viongozi hao hawajawahi hata siku moja kuwasomea mapato na matumiziyanayotokana na mradi wa maji.

Salehe alisema kutokana na tuhuma hizo, walifika wakaguzi wa ndani wa hesabu wa wilaya na kubainika kwamba viongozi hao  wametafuna fedha hizo ambazo zilitokana na malipo ya maji ya kila mwezi.

Alisema walipofika wakaguzi hao ilionekana kuna dosari kubwa katika matumizi ya fedha hizo na kwamba walitakiwa wachukuliwe hatua lakini mpaka siku ya mkutano walikuwa bado. Hatua hiyo pia ilisababisha wananchi kugoma kulipa fedha za maji.

Kutokana na maelezo hayo, Tumbo aliagiza kukamatwa viongozi hao na kupelekwa polisi kuhojiwa kuhusiana natuhuma hizo kabla ya kufikishwa mahakamani.

Katika hatua nyingine, Ofisa Mtendaji wa Kata ya Nkumba, Bruno Mayenja, amekamatwa na polisi wilayani hapa kwa amri ya mkuu wa wilaya, kwa madai ya kufanya ubadhirifu wa fedha za serikali katika matukio tofauti kwenye maeneo alikokuwa akifanya kazi.

Mayenja alikamatwa baada ya kudaiwa kutafuna Sh. milioni 2.7 za mauzo ya shamba la Hassan Rashid, mkazi wa kijiji cha Masimbani kwa ajili ya kumlipa deni Demi Limo kwa amri ya mahakama lakin hakuzifikisha kwa mhusika.

Magunia 45 Ya Korosho Yakamatwa Pwani Yakisafirishwa

$
0
0
Na Mwamvua Mwinyi,pwani
Jeshi la polisi mkoani Pwani wanalishikilia lori dogo kwa tuhuma za kukutwa na korosho magunia 45 yenye uzito wa kilogramu 81 .
 
Korosho hizo zinadaiwa zilikuwa zikisafirishwa kwenda kwenye chama cha msingi cha ushirika kinyume na agizo la Rais Dk John Magufuli kutaka korosho zote kusafirishwa na magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
 
Kamanda wa polisi mkoani Pwani ,Wankyo Nyigesa alisema ,gari hilo linahisiwa kusafirisha korosho hizo kuwa hazijapatikana kihalali.
 
Alieleza, tukio hilo lilitokea novemba 16 mwaka huu ambapo askari kwa kushirikiana na Mrajisi Msaidizi mkoa wa Pwani Angela Nalimi.
 
“Gari hilo aina ya Canter lenye namba za usajili T 731DGG lilikuwa likizipeleka korosho hizo zikiwa kwenye magunia yenye nembo ya chama kikuu cha ushirika mkoa wa Pwani (CORECU) kwenda chama cha ushirika cha msingi cha Misugusugu wilayani Kibaha,” alisema Nyigesa.
 
Baada ya uchunguzi kukamilika watuhumiwa na gari lao watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili ikiwa watabainika walikuwa wanunuzi wasio ruhusiwa na serikali.

Uganda yaisafishia njia Taifa Stars AFCON.....Ikiichapa Lesotho leo, safari ya Cameroon imeiva

$
0
0
Wakati macho na masikio ya mashabiki, wadau wa soka na Watanzania kwa ujumla, leo wakiyaelekeza nchini Lesotho kwenye mechi ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kati timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' na wenyeji wa mchezo huo, Lethoto, Uganda imekisafishia njia kikosi hicho cha Emmanuel Amunike baada ya kuichapa Cape Verde jana.

Uganda ambayo ipo Kundi L pamoja na Taifa Stars na Lesotho, jana ilikuwa mwenyeji wa Cape Verde katika kinyang'anyiro hicho cha kuwania kufuzu fainali hizo zitakazofanyika Cameroon mwakani na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0.

Lilikuwa bao la dakika ya 78 lililotiwa kambani kwa kichwa na straika Patrick Kaddu na hivyo kuifanya Uganda kufikisha pointi 13 hivyo kufuzu moja kwa moja fainali hizo huku ikiwa na mechi moja mkononi.

Kwa matokeo hayo ya Uganda, kama Stars leo itashinda itafikisha pointi nane, na moja kwa moja itaungana na Waganda hao katika fainali hizo za mwakani kwani katika kundi lao hakuna timu nyingine inayoweza kuzifikisha pointi nane.

Ikumbukwe kila timu imebakiza mechi moja, jambo ambalo kama Cape Verde itashinda mechi yake ya mwisho itafikisha pointi saba, wakati Lesotho ikipoteza leo dhidi ya Stars na kisha kushinda mechi ya mwisho ugenini kwa Cape Verde itafikisha pointi tano.

Lakini pia kama Stars itatoka sare italazimika kushinda mechi ya mwisho nyumbani dhidi ya Uganda kwani sare yoyote inaweza kuigharimu endapo Cape Verde mchezo wake wa mwisho itaifunga Lesotho.

Matokeo kama hayo yatazifanya Stars na Cape Verde kulingana pointi kila moja ikifikisha saba, hivyo kutegemea sasa kubebwa kwa tofauti nzuri ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Kazi moja kwa Stars leo, ni ushindi tu ili kuweza kufuzu na mechi ya mwisho dhidi ya Uganda kila moja kucheza kwa kujifurahisha kwani zitakuwa zote zimeshafuzu. Hiyo ni kutokana na Stars hadi sasa kubaki nafasi ya pili ikiwa na pointi tano, ikifuatiwa na Cape Verde yenye pointi nne huku Lesotho ikiwa na pointi mbili kabla mechi yao ya leo.

Katika mchezo wa leo Stars inayohitaji ushindi leo, itawakosa nahodha wake Mbwana Samatta ambaye ana adhabu ya kadi mbili za njano na Shomari Kapombe ambaye ni majeruhi.

Nafasi ya Kapombe inatarajiwa kuzibwa na beki wa Nkana Rangers, Hassan Kessy huku John Bocco akitarajiwa kuanza kwenye nafasi ya Samatta.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images