Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri wa Fedha : Sina taarifa ya taasisi iliyositisha mikopo Tanzania

0
0
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amesema yeye kama waziri wa fedha hana taarifa yoyote ya taasisi ambayo imetishia kuacha kutoa mkopo ama msaada kwa Tanzania.

Dk. Mpango amesema hayo bungeni jijini Dodoma leo Jumatano Novemba 14, alipokuwa akijibu hoja za wabunge walizotoa wakati wakichangia Azimio la Bunge la Mkataba wa Takwimu Afrika.

Wakati Dk Mpango akitamka hivyo, kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya nje ya nchi na mitandao ambavyo vimekuwa vikiripoti kuwa, Benki ya Dunia imesitisha mikopo katika sekta ya takwimu na elimu kwa sababu ya mambo mbalimbali ikiwamo Sheria ya Takwimu ya Mwaka 2015.

Wakati wa kuchangia mjadala huo, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ilisema kutokana na Sheria ya Takwimu ya mwaka 2015 na marekebisho yake ya 2018, yamekuwa yakifanya baadhi ya tasisi kutishia kuacha kutoa mikopo na misaada kwa Tanzania.

Pia ilisema Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari, zinawabana wanasiasa na kupewa kesi za uchochezi na kwamba hivi karibuni Dk. Mpango alipokutana na viongozi wa Benki ya Dunia alionyesha kulegeza mashari ya sheria hiyo.

Akijibu hoja hizo, Dk Mpango amesema; “kulikuwa na madai kuwa baadhi ya wadau wametishia kutoa fedha, mimi ndiyo Waziri wa Fedha na sijaona taarifa yoyote ya taasisi iliyoonyesha kuacha kutoa mkopo. Kuna taratibu za taasisi hizi kutoa taarifa na kote sijaona.

“Kuna taarifa pia kuwa mimi nililegeza masharti ya sheria hii nilipokutana na watu wa benki ya dunia. Ukweli ni kwamba mimi siwezi kulegeza sheria iliyopitishwa na Bunge, nilipokutana na Makamu Rais wa Benki ya Dunia nchini Indonesia nilimfafanulia malengo ya sheria hiyo na nikamwambia kama anaweza kutuma mwakilishi wao wakati tunatunga kanuni za sheria hii,”.

Kuhusu hoja ya upinzani kuwa, Sheria ya Takwimu na ile ya makosa ya mtandao kwamba imekuwa mwiba kwa vyombo vya habari na hivyo ibadilishwe, Dk Mpango amesema;  “sheria hizi pengine ni mwiba kwa vyombo vya habari vinavyovunja sheria siyo vinginevyo.

“Na kusema Sheria ya Huduma kwa vyombo vya habri ni mwiba kwa wanasiasa, niseme tu wanaotumia takwimu za mfukoni au za uongo, wataendelea kupata tabu sana tu, tunaomba wafuate sheria,”.

Kuhusu hoja ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kutotoa taarifa za fedha kwa wakati, Dk. Mpango amesema taarifa za chombo hicho hutolewa kwa wakati labda pale tu kunapokuwa na sababu maalumu.

Amesema pia Tanzania ilisaini mkataba huo na kukaa kwa miaka tisa bila kuridhia tamko hilo kwa sababu ilikuwa lazima kwanza sheria ya takwimu itungwe.

Sakata la Korosho: Waziri wa Viwanda Joseph George Kakunda Awatumbua Wakurugenzi wawili

0
0
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, George Kakunda leo Novemba 14 amewavua ukurugenzi wakurugenzi wawili wanaosimamia viwanda na maghala katika wizara hiyo kwa madai ya uzembe uliosababisha kuzorota kwa viwanda vya korosho.

Kakunda aliyeteuliwa hivi karibuni akimrithi, Charles Mwijage amesema baada ya kutembelea viwanda hivyo jana kuanzia mkoani Lindi hadi Mtwara amekuta hali mbaya huku viwanda vingi vikiwa vimegeuzwa kuwa maghala.

"Nimeamua kumpunguzia majukumu ndugu Isaac Legonda, mkurugenzi wa maendeleo ya viwanda, ataripoti kwa Katibu Mkuu atapangiwa kazi nyingine ya uofisa," alisema Waziri Kakunda.

Aliongeza: "Nimemtafuta tangu juzi ili aweze kunipa habari za viwanda hayupo ofisini, Katibu Mkuu hana taarifa za kutosha huyu mtu yuko wapi. Katibu Mkuu atajua mwenyewe hatua zinazotumika katika kanuni za adhabu za utumishi."

Alimtaja pia Augustino Mbulumi ambaye pia ni mkurugenzi wa usimamizi wa maghala na kusema kwamba ametengua uteuzi wake kutokana na utendaji kazi hafifu na uzembe.

"Atateuliwa mkurugenzi mwingine ambaye atakuwa tayari kuwajibika vizuri zaidi. Hatuwezi kuwa na watu ambao hawaendi na kasi ya mheshimiwa Rais," alisema Kakunda.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Novemba 15

Washitakiwa Watano NEMC Walioghushi Saini Ya January Makamba Wapewa Dhamana

0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewapa dhamana washtakiwa watano wa Baraza la Hifadhi ya Mazingira (Nemc) baada ya kupata kibali kutoka Mahakama Kuu kitengo cha Uhujumu Uchumi.

Washtakiwa hao waliopata dhamana  ni Ofisa wa Mazingira Nemc, Deusdith Katwale (38) na mtaalam wa IT Nemc, Luciana Lawi (33) wote wakazi wa Ubungo Msewe, katibu muhtasi wa Nemc, Edna Lutanjuka (51) mkazi wa Mbezi Beach St Gasper, msaidizi wa ofisa ,Mwaruka Mwaruka (42) na ofisa mazingira Nemc, Lilian Laizer (27) wote  wakazi wa Ukonga Mombasa.

Wafanyakazi hao wamesota rumande tangu Oktoba 31 mwaka huu ambapo walifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza na kusomewa mashtaka sita ya uhujumu uchumi likiwamo la kughushi saini ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Januari  Makamba katika vyeti vya tathmini ya uharibifu wa mazingira.

Akitoa masharti sita ya dhamana jana Novemba 14 yaliyotolewa na Mahakama Kuu Kitengo cha Uhujumu Uchumi, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustina Mmbando alimtaka kila mshtakiwa kuweka fedha benki kiasi cha Sh. Milioni 13.3 au kuwasilisha mahakamani hapo hati ya mali isiyohamishika yenye thamani hiyo.

Pia Hakimu Mmbando ametaka kila mshtakiwa kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika kati yao mmoja awe mwajiriwa wa Serikali, wawe na vitambulisho vya Taifa watakaosaini bodi ya Sh2.5 milioni  kila mtu.

Hakimu Mmbando amewataka washtakiwa hao kutotoka nje ya Dar es Salaam bila kibali cha Mahakama pamoja na kuwasilisha hati zao za kusafiria mahakamani hapo.

Washtakiwa hao pia wametakiwa kuripoti kwa Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kama watakavyopangiwa.

Baada ya maelezo hayo washtakiwa wote walikamilisha masharti ya dhamana ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 28, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa.

CCM Yafunga Rasmi Pazia la Kuwapokea Wabunge na Madiwani Toka Upinzani

0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi kufunga pazia la kuwapokea viongozi, wabunge na madiwani wanaohamia chama hicho kutoka upinzani.

Akitangaza kufungwa kwa suala hilo jana mjini Morogoro, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula, alisema leo ndio mwisho wa kupokea viongozi, madiwani na wabunge kutoka vyama vya upinzani na kwamba atakayetaka kujiunga na chama hicho baada ya hapo atakuwa mwanachama wa kawaida.

“Huu ni uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM kwamba ifikapo Novemba 15 iwe mwisho wa kupokea viongozi, madiwani na wabunge kutoka upinzani, hivyo leo nimefunga rasmi jambo hili. Baada ya hapo, atakayetaka kurudi atabaki kuwa mwanachama wa kawaida,” alisema.

Wakati akitangaza hilo jana, tangu kuanza kwa hamahama ya wabunge na madiwani wa upinzani, CCM imeshapokea zaidi ya wabunge na madiwani 150 ambao pamoja na kujiengua upinzani, waliteuliwa na CCM kugombea nafasi zao na kushinda.

Wabunge waliojiuzulu nyadhifa zao kutoka upinzani ni Pauline Gekul (Babati Mjini), Mwita Waitara (Ukonga), Joseph Mkundi (Ukerewe), James ole Millya (Simanjiro), Dk. Godwin Mollel (Siha), Julius Kalanga (Monduli) na Chacha Ryoba (Serengeti) wote kutoka Chadema, Zuberi Kachauka na Maulid Mtulia (kutoka CUF).

Mbali na wabunge hao, wengine ambao walijiengua upinzani ni pamoja Anna Mghwira, aliyekuwa mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo ambaye sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Wengine ni Profesa Kitilla Mkumbo ambaye sasa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, David Kafulila, Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Patroba Katambi, sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma.

Viongozi hao, wakiwamo wabunge, wakati wa kutangaza uamuzi wao wa kujiunga na CCM walisema wamefanya hivyo, ili kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali ya Rais John Magufuli katika kuwaletea maendeleo wananchi.

Magari 70 JWTZ Yapelekwa Mtwara, Lindi Kusomba Korosho

0
0
Magari  70 ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWT) yameondoka jana Dar es Salaam kwenda mikoa ya kusini kuanza kazi ya kusomba korosho.

Mbali ya magari hayo, tayari askari kutoka Dar es Salaam na Kikosi cha 41 mkoani Mtwara wamepelekwa maeneo yote ambayo yanapaswa kulindwa kama Amiri Jeshi Mkuu, Rais Dk. John Magufuli alivyoagiza.

Akizungumza Dar es Salaam jana muda mfupi kabla ya msafara wa magari hayo kuondoka, Msemaji wa jeshi hilo, Meja Gaudence Ironda alisema taratibu zote zimekamilika baada ya kupokea maelekezo ya Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo.

“Magari zaidi ya 70 yameanza safari ya kwenda mikoa ya kusini kufanya ambayo tumeelekezwa na afande CDF (mkuu wa majeshi), haya ni maekelezo halali ambayo tunapaswa kuyatimiza,” alisema Meja Ironda.

Alisema magari hayo yatagawiwa katika mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ambako kuna kiasi kikubwa cha korosho ambazo zinapaswa kusombwa na kupelekwa katika maghala yanayohusika.

Meja Ironda alisema kazi hiyo itafanyika usiku na mchana kutokana na jeshi hilo kujipanga vizuri ili kuikamilisha kwa wakati.

“Kazi hii itafanyika usiku na mchana, tumepeleka askari wa kutosha ambao watalinda maeneo yote ambayo yanahusika na jukumu hili… nawaomba wananchi watulie, tunafanya hivi kwa mapenzi makubwa ya nchi yetu,” alisema.

Alisema Operesheni Korosho itajihusisha zaidi kutoa huduma ambazo wameelekezwa na si vinginevyo.

Naye Mkuu wa Kikosi cha Usafirishaji KJ 95 Mgulani, Luteni Kanali Elius Kejo alisema maandalizi yote yamekamilika na majukumu hayo yatatimizwa kama walivyoelekezwa.

Mwita Waitara Alivyojibu Maswali Bungeni Kwa Mara ya Kwanza

0
0
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mwita Waitara amejibu swali kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe na Rais Dkt, John Pombe Magufuli kushika nafasi hiyo.

Katika mkutano huo wa Bunge, Mwita Waitara aliulizwa swali na Mbunge wa Hannang Mary Nagu,  ambaye alihoji ni lini serikali itaunga mkono juhudi za wananchi katika kujenga mabweni kwa wafugaji wa wilaya hiyo.

Akijibu swali hilo Waitara amesema “serikali inatambua uwepo wa mabweni kwa maeneo ya wafugaji, ndiyo maana tumepeleka zaidi ya bilioni 1 kwa ajili ya kuboresha elimu, na serikali itaendelea kutoa kipaumbele ili kutoa haki kwa watoto wa wafugaji kusoma.”

“Lakini pia nimuombe mheshimiwa Mbunge, kwa kuwa ndiyo nimeanza kazi nimuombe Mbunge asubirie nitafanya ziara jimboni kwake ili tuweze kufahamu namna ya kusaidia wanafunzi.”

Mbali na Mbunge huyo pia Naibu Waziri huyo alijibu maswali ya wabunge wengine wa chama chake akiwemo Pauline Gekul na James Ole Milya.

Waitara ni miongoni mwa wabunge ambao walihamia Chama Cha Mapinduzi na kufanikiwa kugombea tena nafasi yake ya ubunge kwenye jimbo la Ukonga ambapo aliapishwa bungeni Novemba 6 mwaka huu na Novemba 10 Rais Magufuli alimteua kushika nafasi hiyo.

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

0
0
NATURAL BEAUTY PROD. Tumeingiza mzigo mpya ni bidhaa zilizothibitishwa kiafya na kupewa kibali original cha kuuzwa hadharani.  Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe.

1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 inapatikana kwa @170,000/=

2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa @160,000/=

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kinapatikana kwa @230,000/=

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili tu bei yake ni @200,000/=

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 inapatikana kwa @190,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @150,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo unaipata kwa @200,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft @150,000/= N.K  Wasiliana nasi kwa simu

NO:. +255 759029968  AU +255 659618585

Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.  WELCOME ALL

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume .

0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr SHILINDE,  shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Anapatikana Dar es Salaam maeneo ya Buguruni Sheli. 
 
Mawasiliano: 0784460348 au  0657 314701

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Swali la Kwanza Bungeni la Mbunge wa Ukerewe , Joseph Mkundi Tangu Ahamia CCM

0
0
Mbunge wa Ukerewe (CCM), Joseph Mkundi ameingia kwa mara ya kwanza bungeni leo na kuibua suala la kupinduka kwa kivuko cha MV Nyerere.

MV Nyerere ilipinduka Septemba 20 katika ziwa Victoria kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe mkoa wa Mwanza na kusababisha vifo vya watu 230 na manusura 41 na wakati huo Mkundi alikuwa Mbunge kupitia Chadema.

Oktoba 11 Mkundi alitangaza kujiuzulu na kuondoka Chadema kisha kuhamia CCM ambako alipitishwa kugombea tena katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Desemba 2. Hata hivyo, Mkundi amepita bila kupingwa na leo  ameapishwa na Spika Job Ndugai.

Katika kipindi cha maswali, Spika Ndugai alimpa fursa ya kuuliza swali ambapo Mbunge huyo aliitaka Serikali kutoa majibu ya lini itapeleka gari la wagonjwa katika kisiwa hicho kwani ilipozama MV Nyerere wananchi walipata shida kwa kukosa gari la wagonjwa katika kituo cha afya cha Bwisya.

Akijibu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu aliahidi kupeleka gari la wagonjwa katika kipindi kifupi kwani Serikali inajiandaa kununua magari ya wagonjwa 70.

Spika wa Bunge, Job Ndugai ataja wabunge, mawaziri vinara wa utoro bungenI

0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai, amewataja wabunge na mawaziri wenye mahudhurio madogo zaidi katika vikao vya kamati za bunge na vile vya bunge.

Akizungumza bungeni jijini Dodoma leo Alhamisi Novemba 15, Spika Ndugai amesema orodha hiyo inatokana na mahudhurio ya wabunge na mawaziri kwenye mkutano wa 11 kuanzia Bunge la Bajeti pamoja na mkutano wa 12.

Ndugai amesema wabunge wa mwisho kabisa na mahudhurio yao kwenye mabano kuwa ni Mbunge wa Jimbo la Mpendae (CCM), Salim Turki (14%), Mbunge wa Kishapu (CCM), Suleiman Nchambi (9%) na Mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema (7%).

“Kwa hiyo Arusha wajue hawana mwakilishi hapa, hata leo ameingia dakika 15 na kuondoka, majina yao nitapeleka kwenye vyama vyao,” amesema Ndugai.

Kuhusu mawaziri, wa mwisho kabisa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi (38%), Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira, January Makamba (37%) na wa mwisho ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Augustine Mahiga (35).

“Orodha hii inahusu vikao vyote vya kamati na bunge, unakuta kamati inakaa hakuna waziri wala naibu wake, na wala hakuna taarifa,” amesema Ndugai.

Mke wa mwalimu Veta ajinyonga kwa kanga

0
0
Mke  wa mwalimu wa Chuo cha Elimu ya Ufundi Stadi (VETA) Mkoa wa Manyara, Judith Uromi (32) amekufa kwa kujinyonga na kanga aliyofunga dirishani chumbani kwake kutokana na mgogoro wa muda mrefu wa ndoa.

Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Augustino Senga alisema kilitokea Novemba 10, mwaka huu, saa 1:30 jioni katika maeneo ya Wang’waray karibu na chuo cha Veta wilayani Babati.

Alifafanua kuwa Uromi aliwaaga wanafamilia anaingia chumbani kupumzika saa 12:00 jioni wakati huo mumewe akiwa ametoka na mgeni kwa lengo la kumsindikiza. Hakutoka ndani mpaka alipogundulika amekufa.

Kwa mujibu wake, chanzo cha uamuzi huo wa kujinyonga haujulikani kwani hakuacha ujumbe wowote. Pia alisema Uromi ameacha watoto wawili wa kiume na mwili wake haukuwa na majeraha yoyote.

Credit: Habari leo

Serikali Yaagiza Hatua Kali Kwa Watakaoingiza Mafuta Ya Magendo

0
0

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameziagiza kamati za ulinzi na usalama za mikoa na wilaya kuhakikisha zinachukua hatua kali dhidi ya watu wote watakaobainika wanaingiza nchini bidhaa za chakula na mafuta ya kupikia kwa njia za magendo.

Kadhalika, Waziri Mkuu aziagiza mamlaka husika kuhakikisha zinaendelea kudhibiti uingizwaji holela wa bidhaa mbalimbali za vyakula visivyokuwa na virutubisho yakiwemo mafuta ya kupikia na kutoa adhabu kali kwa wafanyabiashara watakaobainika kuingiza bidhaa hizo nchini.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo (Alhamisi, Novemba 15, 2018) wakati akijibu swali la mbunge wa Viti Maalumu, Zainab Vullu katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, Bungeni jijini Dodoma.

Mbunge huyo alihoji kuhusiana na suala la uagizwaji wa mafuta ya kupikia kutoka nje kama unazingatia sheria iliyopitishwa na Serikali ambayo inayolazimisha vyakula na mafuta ya kula kuwekwa virutubisho. 

Waziri Mkuu amesema ipo sheria (Sheria ya chakula, Dawa na Vipodozi, Sura 219) inayohusu udhibiti wa vyakula yakiwemo mafuta ya kupikia ambayo inasimamiwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) na imeweka utaratibu wa kudhibiti uzalishaji, uagizaji, usambazaji pamoja na uhifadhi wa mafuta.

“Sheria hiyo pia inataka vyakula vyote vikiwemo vile vilivyoagizwa kutoka nje ya nchi na vinavyozalishwa hapa nchini yakiwemo mafuta ya kupikia, lazima viwekewe virutubisho.Wafanyabiashara wanapaswa kuzingatia sheria na taratibu zilizowekwa ili kulinda afya ya mlaji.”

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii inakusudia kuanzisha kurugenzi au idara itakayosimamia fukwe zote nchini zikiwemo za bahari na maziwa  ili kuziimarisha na kuzifanya ziwe miongoni mwa vivutio vya utalii nchini.

Amesema kuimarishwa kwa fukwe hizo kutawezesha watalii kupata maeneo ya kupumzika mara wanapotoka kutembelea vivutio vingine vya utalii vilivyopo nchini kama mlima Kilimanjaro pamoja na mbuga mbalimbali za wanyama.

Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati akijibu swali la mbunge wa Viti Maalumu, Kiteto Zawadi Koshuma aliyetaka kufahamu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kukuza utalii nchini kupitia fukwe zilizopo katika ukanda wa bahari na maziwa, ambazo  zimeachwa bila kuendelezwa.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kufanya Ziara Ya Siku Moja Nachingwea

0
0

Na, Bakari Chijumba, Mtwara
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa, anatarajiwa kutembelea Wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi, Jumamosi ya tarehe 17, November 2018 .

Taarifa iliyotolewa hii leo Novemba 15, na Mbunge wa Nachingwea, Mhe. Hassani Masala inasema  kuwa, Mhe. Waziri mkuu atatua uwanja wa ndege wilayani Nachingwea mnamo saa mbili asubuhi akitokea Dodoma na kupokelewa na Mkuu wa wilaya hiyo Mhe. Rukia Muwango pamoja na viongozi wengine wa serikali, kisha Waziri atafanya ziara ya siku moja katika wilaya hiyo kwa kutembelea tarafa ya kilimarondo.

"Mhe. Waziri Mkuu akiwa njiani kuelekea kilimarondo atasalimia wananchi wa Mtua na Mbondo kisha Mkutano wa hadhara mkubwa utakaobeba ujumbe wa wilaya utafanyika Kilimarondo na kujumuisha wananchi wote wa Kilimarondo,Matekwe na kiegei,  lakini Pamoja na kusalimia Wananchi na kusikiliza kero zao, Mh Waziri Mkuu atakagua na kujionea Ujenzi wa kituo cha Afya Kilimarondo"  Amesema Mhe. Masala.

Mbunge Masala amewaasa Wananchi wa Nachingwea tujitokeza kwa wingi saa moja asubuhi uwanja wa ndege tayari kwa kupokea ugeni huu aliosisitiza kuwa ni ugeni wa heshima kwao kama wilaya.

Nachingwea ni wilaya inayoongoza kwa kuzalisha Korosho nyingi mkoani Lindi kwa Msimu uliopita na hata huu.

Breaking News: Mbunge wa TEMEKE Abdallah Mtolea Ajivua Uanachama wa CUF Akiwa Ndani ya Bunge Leo

0
0
Mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea (CUF), ametangaza kujivua unachama wa chama chake na kujiuzulu ubunge, akitaja sababu kuwa ni mgogoro kati ya wanachama wanaomtambua Profesa Ibrahim Lipumba kuwa mwenyekiti wa chama hicho na wale wanaomtambua Maalimu Seif Shariffu Hamad, kuwa Katibu Mkuu.

Tofauti na wabunge wengine, Mtolea alitangaza uamuzi wake ndani ya ukumbi wa Bunge wakati wabunge wakijadili Muswada wa Sheria Ndogo ya Fedha wa mwaka 2018.

“Sijui mnaoshangilia mnashangilia nini, lakini tulio ndani ndiyo tunaujua huu mgogoro, imefikia hadi hatua ya kutishiana maisha huko mitaani,” amesema Mtolea.

“Kwa hiyo nawashukuru wote kuanzia wewe Spika (Job Ndugai) kwa ushirikiano tuliokuwa nao hapa, Waziri Mkuu, wabunge wenzangu haswa wa kambi ya upinzani ambao mmekuwa karibu na mimi hata wale ambao hawatafurahishwa na uamuzi wangu huu.

“Najiuzulu nikiwa bado natamani kuwahudumia wananchi wa Temeke kwa hiyo nawakaribisha vyama vyote kuanzia Chadema, NCCR na CCM kujadiliana namna tutakavyoweza kushirikiana,” amesema.

Mtolea pia alitoa shukrani kwa wanachama wote wa CUF ambao hawamuungi mkono Profesa Lipumba.

Baada ya kutoa kauli hiyo, Spika alimtaka kutoka nje ya ukumbi wa Bunge ambapo Mtolea alitii amri hiyo na kumpa mkono Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira Kazi na Vijana, Jenister Mhagama, Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini huku Mbunge wa Tunduma (Chadema), Pascal Haonga akikataa kupewa mkono.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE;LUKUBA 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO   0658920640/ 0754372325 / 0620806813
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 32

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  

“Acha unafki mtoto wa kike. Umenionyesha  dhairi kwamba wewe sio mwanamke wa kuoa. Umenibagua kirangi na kuniiita sokwe. Sawa mimi ni sokwe, nakuomba usinipende na usokwe wangu. Nitatafuta sokwe mwazangu, niishi naye na nitavumiliana naye kwenye shida na raha, tabu na majanga kama uliyo nifanyia leo. TOKA NYUMBANI KWETU”
Nilizungumza kwa kufoka sana hadi mishima ya damua ikavimba katika mikono yangu. Camila taratibu akasimama na akaanza kunifwata kwa hatua za taratibu, jambo lililo nifanya niamke kiatandani na kumfwata sehemu nilipo, ili nimrudishe mlangoni n aondoke zake. Kitendo cha kumshika mkono wake, akachomoa  kisu cha kukunjua ndani ya kipochi chake.  Akanichoma kisu cha tumboni mwangu, jambo lililo nifanya nihisi maumivu makali sana ambayo toka kuzaliwa kwangu sikuwahi kuyapata.
 
“Ni bora tufe wote kuliko kuendelea kukukosa wewe”
Camila mara baara ya kuzungumza maneno hayo, akakichomoa kisu hicho kwa nguvu tumboni mwangu kisha naye akajichoma tumboni mwake na akawa wa kwanza kuanguka chini huku nami nikianguka pembeni yake.

ENDELEA                   
Camila taratibu akaanza kuuleta mkono wangu kwangu huku machozi yakiwa yanamwagika usoni mwake. Taratibu giza zito likaanza kunitawala usoni mwangu, kabla sijaipoteza nuru ya macho yangu. Nikamuona Ethan akisimama mbele yangu huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana. Ethana akatuwekea mikono yake kwenye majeraha yetu ambayoa baada ya sekunde chache, maumivu makali amnbayo tulikuwa tunayahisi, yakapotea na Camila akawa mtu wa kwanza kukaa kitako huku akijishangaa.
 
“Kwa nini umefanya hivi binti?”
Ethan alimuuliza Camila kwa sauti nzito sana hadi Camila akaanza kutetemeka.
“Nipo mbinguni ehee…..!!?”
Camila aliuliza swali ambalo lilizidi kumkasirisha Ethan, kwani alishika kwa mikono yake na kurushia kitandani na kutaka kumuadhibu.
“Ethan usifanye hivyo, nitalishuhulikia”
NIlizungumza huku nikijinanyua kitandani taratibu, Ethan akanitazama kwa macho yaliyo jaa hasira, kwa ishara ya kutingisha kichwa nikamuomba tena asiweze kufanya jambo lolote baya. Ethan akapotea ndani humu, taratibu nikasimama na kuanza kumfwata Camila kitandani alipo lala huku akiwa amejionea mauza uza.
“Ethan tupo mbinguni, etii?”
“Umeona wapi mbinguni kukiwa na vitanda, acha upuuzi Camila”
 
Nilizungumza kwa kufoka kidogo huku nikimtazama Camila usoni mwake.
“Kwa nini unakuwa mjinga, umeona kuniua ndio suluhisho la tatizo”
“Bila wewe Ethan tambua siwez…………”
Nikamzaba Camila kofi la shavuni mwake, ikiwa ndio mara yangu ya kwanza kumpiga toka tuanze mahusiano. Camila akaa kimya huku akitazama chini na machozi yakimbubujika.
“Unakuwa mpumbavu, unakuwa mjingia, wewe ni mwanamke wa aina gani usiye elewa kwamba kuna maisha na kufa. Kuna kitu gani kimeingia kwenye ubongo wako. Au huko Tanzania walikuroga si ndio?”
 
Nilizungumza kwa kufoka sana hadi Camila akaanza kutetemeka, taratibu akanitazama huku nikishuhudia jinsi vidole vyangu vilivyo acha alama shavuni mwake.
“Nilikupenda, nilikujali na nikakueleza vitu vyangu vingi kwa ajili yako. Leo hii unataka kuniua nikiwa bado mdogo ili iweje eheeee”
 
Nilizungumza huku nikimtingisha Camila mwili wake. Camila kwa haraka akanishiaka mashavu yangu na kuanza ku.. midomo yangu, nikajaribu kumtoa, ila akaendelea kuning’ang’ania kwa nguvu sana. Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi Camila alivyo zidi kuipoteza hasira yangu hadi mwishowe nikajikuta nikilainika na kuendelea kumN.. midomo yake.
Kweli mapenzi  yana nguvu sana kwenye mioyo ya watu wengi. Ndani ya muda mchache tu, tumejikuta tukisahau kila kitu ambacho kilitokea. Tukaanza kuvuana nguo zetu na ndani ya muda mchache tukajikuta tukiwa tupo kama tulivyo zaliwa.
Tukaanza kupeana burudani
“Nataka tena mume wangu”
“Ngoja kidogo nivute pumzi”

“Camila”       
“Mmmm…..”       
“Nani kakufundisha mambo haya?”
“Ohoo Tanzania hiyo mume wangu”
“Tanzania?”
“Eheee?”
“Ndio imekufundisha?”
“Yaaa….kun…a….aiiiss….ohooo….dada….”
“Dada mmoja alikuwa akitumfundisha maswala ya chumbani na hapa ndio ninafanya kwa vitendo”
“Mmmm….”
“Niamini mume wangu”
Camila hakutaka hata kunipa nafasi ya mashambulizi, alicho fanya ni kuzidisha kasi ya kiuno chake hadi nikajikuta waarabu wangu wakishindwa kujizuia na kutoka bila idhini yangu.
“Ohooo….ahaaaa”   
Camila alitoa miguno hiyo kisha taratibu akanilalia kifuani mwangu na kuanza kuninyonya midomo yangu taratibu kwa hisia kali sana. Katika mapenzi yetu toka nimfahamu Camila, leo hii ndio nimeweza kufurahia penzi lake kwa asilimia mia moja.
“Hii ni mbinu namba moja tu mume wangu tuliyo fundishwa. Kuna mbinu nyingine tisa bado sijazitumia”
 
“TISAAAAA…..!!!?”
“Ndio mume wangu”
“Ohoo Mungu wangu, utaniua mke wangu, si kwa utamu huu”
“Haa, sasa ulipo kuwa unataka kuniacha ulidhani kwamba mautamu haya ningempa nani jamani?”
Camila alizungumza kwa sauti ya kudeka hadi mimi mwenyewe nikabaki nikiwa na kigugumizi kizito.
“Leo sihitaji kurudi nyumbani, nata tupeane usiku kuacha na kama mama jisni alivyo sema, lazima unipatie mtoto”
“Ila kumbuka kwamba bado tupo shuleni?”
“Hivi kwa hili lililo jitokeza unahisi nitarudi tena shule. Siwezi kurudi shule, kwa sasa nataka kusimamia kampuni za baba yangu, mara baada ya kushinda kiti cha uraisi”
“Ohoo tena nimekumbuka kitu”
 
“Kitu gani?”
“Ngoja ninakuja”
Nilizungumza huku nikishuka kitandani, nikafungua kabati langu la nguo. Nikachukua tisheti pamoja na pensi fupi kiasi.
“Ethan unakwenda wapi?”
“Ninakuja sasa hivi mke wangu”
Nilizungumza huku nikivaa nguo hizi, nikatoka chumbani humu na kumuacha Camila kitandani. Nikampita bibi Jane Klopp sebleni pasipo kumsemesha chochote, nikaelekea kwenye jengo la ofisi, nikamkuta mwana sheria akiwa anazungumza na simu. Nikaka kwenye kiti changu na ofisini humu na nikamsubiria amalize kuzungumza.
“Mkuu nimesha weka taratiu zote za kutoa asilimia thelathini tulizo weka kwenye kampeni za mgombea uraisi ninasubiria tamko lako la mwisho tu nipitishe”
Mwanasheria alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Umesema umesha andaa jinsi ya kuzitoa asilimia zangu?”
“Ndio”
 
“Hembu ongeza asilimia ishirini na ziwe hamsini?”
“NIONGEZEE……!!??”
Mwanasheria aliniuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana, kwani maamuzi aliyo kuwa akiyategemea kutoka kwangu yamekuwa ni tofauti.
“Fanya kama nilivyo kuambia. Nina mipango mikubwa ambayo nimeifikiria, akikosa uraisi, mambo ninayo yafikiria nina imani kwamba hayato weza kwenda sawa”
Mwanasheria akajawa na kigugumizi kikubwa sana ambacho hakika kinaonyesha dhairi kumuweka njia panda.
“Piga simu na waambie kwamba Ethan Klopp ameongeza asilimia za kumdhamini mgombea uraisi na kama watahitaji kampeni yangu kubwa kwake, basi nitampatia”
“Kuna kitu gani kinacho endelea mkuu?”
“Nitakueleza. Niakwenda kulala sasa hivi, ukimaliza unaweza kwenda tu nyumbani sawa”
 
“ETHAN, ninakufahamu, hembu zungumza ni kitu gani kinacho endelea”
“Mimi na Camila tumesha rudiana”
“Nini!!!?”
Mwanasheria alizungumza kwa mshangao mkubwa sana.
“Ndio tumerudiana na sasa hivi huko ndani tunatafuta mtoto kufuta matatizo yetu. Hichi ninacho kifanya, ninawekeza kwa mwanangu na sio kwao umenielewa”
Mwanasheria akabaki akitabasamu, nikaanza kutembea hadi mlangoni mwa ofisi hii, kisha nikamgeukia.
“Iwe siri yako, mambo yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii, wewe yapotezee sawa”
“Sawa mkuu”
Nikatoka humu ndani na kuanza kuelekea ndani huku nikiwa nimejawa na furaha huku kichwani mwangu, nikiwa nawazia mbinu tisa zilizo bakia kwa Camila, kwani kama ni mbinu ya kwanza imenipagawisha namna hii, nina imani kwamba mbinu hizo tisa, zitanifanya niwe zuzu kabisa.
 
Nikamkuta dada Mery na mama wakiwa wamekaa sebleni, huku Mery akionekana kuwa na furaha kubwa sana na mazungumzo ambayo walikuwa wakizungumza na mama waliyakatisha mara baada ya kuniona.
“Nini?”
Dada Mery aliniuliza mara baada ya kuona nimemkazia macho sana.
“Hamna jamani”
“Mbona una cheka cheka?”
“Hata wewe mbona una cheka cheka. Hembu nenda ndani huko kuna mambo nahitaji kuzungumza na mama”
Nikatabasamu tu kisha nikaanza kupandisha ngazi, nilipo fika katkati ya ngazi, nikasimama kisha, nikanyata na kutega siko langu ili niweze kumsikiliza dada Mery ni kitu gani ambacho anakizungumza na mama.
“Yaani huwezi kuamini mama. Toka ulivyo nizaa na nijitambue kwenye mambo ya mapenzi, leo hii ndio nimekojo*** katika tendo la ndoa”
 
Nikajikuta nikitabasamu, na nikaendelea na mambo yangu huku nikijisemea kimoyo moyo kwamba Ethan amefanya yake. Nikaingia chumani na kumkuta Camila akiwa amejifunga shanga kiunoni.
“Za nini tena hizo?”
“Hii ni mbinu namba mbili mpenzi wangu”
Camila alizungumza huku akinishika mkono kuelekea kitandani, kabla hatujafika kitandani, akainama  jambo lililo sababisha hisia zangu kurudi kwa kasi sana.
“Nakupenda sana mume wangu”
“Nakupenda pia”
Simu ya Camila ikaanza kuita, akashuka kitandani taratibu, akaokota kipochi chake chini na kuitoa.
“Ni nani?”
“Baba”
“Ahaaa sawa”
“Ndio baba”
“Kweli?”
 
“Ohooo asante sana mume wangu”
Camila alizungumza kwa furaha huku akinikimbilia akanikumbatia kwa nguvu sana hapa kitandani nilipo lala.
“Huyu hapa zungumza naye”
Camila akaniwekea simu hii sikioni mwangu na nikaisikia sauti ya baba yake.
“Ndio baba”
“Nashukuru sana kwa kiwango ulicho kiongeza kwenye kampenzi zangu. Mungu azidi kukubariki”
“Nashukuru sana”
“Naomba pia unisamehe kwa yale yote yaliyo pita kwani ni tatizo letu”
“Nashukuru pia baba, tupo pamoja”
“Asante, haya endeleni kufurahia muda wenu”
“Nashukuru”
 
Nikamabidhi Camila simu yake.
“Ndio baba”
“Sawa, tutaonana kesho”
“Nakupenda pia baba”
 Camila akakata simu huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.
“Baba amefurahi sana kwa kuongeza asilimia zako kwenye kampeni zake za uchaguzi”
“Usijali, na ninawazo nimelipata”
“Wazo gani mume wangu?”
“Nahitaji kufanya matangazo ya kampeni yake. Umaarufu unaweza kumsaidia kuzidi kupata wafuasi wanao muamini”
Camila akanikumbatia kwa nguvu sana huku akiwa amejawa na furaha.
“Ndio maana ninakupenda sana Ethan wangu, nakuahidi sinto fanya ujinga wa aina yoyote kwenye mapenzi yetu”
“Usijali mke wangu, yaliyo pita acha yapite, ila kwa sasa tutazame haya yaliyopo mbele yetu”
 
“Nashukuru na ninafuraha kusikia hilo”
Taratibu tukakumbatiana na Camila huku nyuso zetu zikiwa zimejawa na furaha. Tukaingia bafuni na kuoga kwa pamoja kisha Camila akavaa nguo zangu za michezo na tukatoka sebleni. Bi Jane Klopp alipo tuona, usoni mwake akajawa na furaha kubwa sana.
“Atakuwa wa kike”
“Nani?”
Niliuliza huku nikitabasamu.
“Huyo muliye mtafuta”
“Jamani mama”
“Kweli vile atakuwa wa kike”
Bibi Jane alizungumza katika hali ya utani. Dada Mery naye akaja sebleni hapa na furaha ikaendelea kutawala katikati yetu. Dada Mery na Camila wakaandaa chakula cha usiku. Muda ulipo wadia wa chakula tukala pamoja na nikasaidiana na Camila kumrudisha mama chumbani kwake.
 
“Ethan”
“Naam mama”
“Usije ukamuacha huyu binti. Mukiendelea kuwa pamoja mambo yenu mengi yatafanikiwa. Camila, natambua una hasira za karibu na unajiamini sana, hembu jaribu kidogo kuzizuia hata kama kuna jambo kubwa limetokea katikati yenu. Hakika mutadumu kwa miaka mingi sana”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku akiwa ametushika mikono yetu.
“Nashukuru sana mama na nitafanya hivyo”
“Sawa, naweza kulala sasa”
Nikambusu bibi Jane Klopp kwenye paji lake la uso kisha tukatoka ndani humu. Usiku mzima tuliutumia katika kuburudishana kwa kila aina ya kimapenzi. Asubuhi na mapema, kama kawaida yangu nikaanza kufanya mazoezi mepesi mepesi ili kuendelea kuuweka mwili wangu sawa. Jioni ya siku ya leo nikarudi kambini hukun ikiwa nimeongozana na Camila ambaye kwa sasa ahitaji hata niwe mbali naye. Wachezaji wezangu wakazidi kufurahi mara baada ya kuniona nimerudi nikiwa na afya njema. 
 
“Mwanangu shavu limekuwa, au ndio maisha mazuri?”
Frendando aliniuliza huku akiwa amejawa na furaha usoni mwake.Tukakumbatiana kwa muda kidogo.
“Ni shemaji yako ndio msababishaji wa haya yote”
“Samahani Ethan”
Muhudu wa hoteli hii tuliyo fikia, alizunumza huku akiwa amesimama pembeni yetu.
“Bila samahani”
 
“Kuna mzee pale anakuita”
Nikageuka nyuma yangu na kumuona mzee mwenye asili ya Kichina akiniita.
“Sawa”
Nilimjibu muhudumu huyu, kisha nikaanza kutembea hadi kwa mzee huyu, nikamsalimia kwa heshima zote kwa maana sifahamu ni nani.
“Ninaitwa Mr Shing Jing, nimetokea China”
“Nashukuru kufahamu”
“Kuna jambo kidogo nataka kushirikiana nawe, kama hoto jali naomba nafasi nikuonyeshe”
“Bila samahani”
Mzee huyu akachukua brufcase yake iliyopo pembezoni mwa miguu yake. Akaiweka mezani na kuifungua, akatoa bahasha ya kaki kubwa kiasi na kunikabidhi. Akaifunga brufcase yake na kuirudisha chini.
“Unaweza kufungua tu hiyo bahasha”
Nikaifungua bahasha hii, nikakuta picha nne ndani ya bahasha hii, nikaanza kutoa moja baada ya nyingine. Picha hizi zinamuonyesha mwana mama wa kiafrika akiwa amefungwa mikonono yake pamoja na mdomo wake na pembeni yake kuna wanaume wawuli walio shika mitutu ya bunduki.
 
“Hizi picha za nini kwangu?”
Mzee huyu akatabasamu huku akinitazama usoni mwangu.
“Huyo ni mama YAKO MZAZI, ana siku ya tatu toka vijana wangu wamshikilie. Biashara iliyopo hapa ni ndogo sana. Boksi jeusi, kwa uhai wa mama yako mzazi”
Maneno ya mzee huyu yakanitusha sana, nikazitazama picha hizi kwa umakini sana, taratibu taswira ya sura yangu nikaanza kuiona kwa mwanamama huyu jambo lililo nifanya nistuke huku mwili wangu ukisisimka hadi vinyweleo vyangu vya mwili vikaanza kunisiamama kwa mstuko huu nilio upata.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 150 na 151 )

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
 ILIPOISHIA   

“Hii kazi nitaifanya mimi mwenyewe, ninakuomba uniandalie usafiri ambao utanifikisha nchini Marekani kisiri pasipo mke wangu kujua wala serikali ya Marekani kufahamu.”
“Jene……”
“Meja fanya hivyo, hiyo ni amri na si ombi”
Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikimtazama meja usoni mwake na kumfanya atingishe kichwa kukubaliana kwa kile nilicho kizSungumza kwani hata akikataa hawezi kupinga maamuzi yangu kwani mimi ndio mkubwa wake wa kazi japo kiumri yeye ndio mkubwa.
       
ENDELEA   
Taratibu nikaanza kuondoka kuelekea ofisini kwangu huku kichwani mwangu mawazo mengi sana. Dalili ya maisha yangu kufikia ukingoni ninaianza kuiona mbele yangu. Kwa sasa kusema kweli sinto hitaji mwanamke yoyote kunipenda na kulia kwa ajili yangu kwani ninatambua mwisho wa mapenzi yetu ni kuingia matatizoni na anaweza kupoteza maisha kama ilivyo kuwa kwa mwanamke ninaye mpenda Cajol.
“Mkuu”
Sauti ya Martin ilinistua, taratibu nikageuka nyuma na kumtazama usoni mwake.
“Kama huto jali ninakuomba nifahamu ni kutu gani kinacho endelea kwa sasa”
Nikamtazama Martin usoni mwake, kiumri nahisi nitakuwa nimempita miaka michache sana. Nikatabasamu huku mkono mmoja nikimshika begani mwake.
“Martin kuwa kiongozi lazima ni mambo mengi yanatokea, kwa hiyo usijali mdogo wangu”
 
“Ila mkuu ulisema kwamba utaniamini, tafadhali ninakuomba uniambie kwa maana naona kuna siri kubwa inayo endelea kati yako na meja na huitaji ni hata mke wako ajue. Mkuu kumbuka nilikuambia kwamba nipo tayari kufa kwa ajili yako na nipo tayari kubeba siri zako na matazo yako vyovyote itakavyo kuwa nitahakikisha ninafanya hivyo. Tafadhali mkuu naomba uniambie”
Maneno ya Martin yakanifanya mwili wangu wote kunisisimka na kujikuta machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. Nikatamani kuzungumza ila nikajikuta nikishindwa kabisa na nikaanza kutembea kuelekea ofisini kwanbu na kumfanya Martin kunifwata kwa nyuma, kabla sijafika kwenye mlango wa ofisini Martin akanishika bega langu la upande wa kulia na kujikuta nikisimama.
“Mkuu mimi ni msaidizi wako”   
“Nimekuelewa Martin nitakuambia badae sawa”
“Sawa mkuu”
Nikafungua mlango na kuingia ndani, nikamkuta Yemi akiwa hayupo. Ikanibidi kutoka tena ofisini kwangu.
“Vipi mkuu?”   
“Mke wangu hayupo?”
“Labda atakuwa amerudi ndani?”
 
Tukaanza kuongozana na Martin hadi kwenye nyumba ninayo ishi, nikaingia chumbani kwangu na kumuacha Martin sebleni. Sikumkuta Yemi zaidi ya nguo zake zikiwa kitandani, nikasikia maji yakimwagika bafuni, nikajikuta nikianza kutembea taratibu hadi bafuni, nikafungua mlango wa bafuni, cha kushangaza sikumkuta Yemi, zaidi ya maji ya bomba la mvua yanayo mwagika. Kwa haraka nikafunga bomba hili la maji na kutoka hadi sebleni.
“Mke wangu hayupo ndani”
Nilizungumza huku mapigo ya moyo yakinienda kasi kwani, nimesha anaza kupata hisia mbaya hukusiana na kutoweka kwa Yemi ambaye alisha niahidi kwamba hii vita ni lazima ataiingilia.
 
Waambie wanajeshi wote kwamba mke wangu hayupo wahakikishe wanamtafuta ndani ya hii kambi sawa”
“Sawa jenero”
Martin akatoka kwa kasi humu ndani na kuniacha sebleni nikiwa nimechanganyikiwa. Nikarudi chumbani tena, katika kutazama tazama juu ya meza nikaona karatasi nyeupe kwa haraka nikaichukua na kukuta maandishi yaliyo andikwa kwa kalamu ya wino mweusi.
‘Mume wangu Dany/Peter, natambua kwamba haya ni maamuzi magumu niliyo yachukua ila nimefanya hivi kwa sababu ninakupenda mume wangu. Sihitaji kuona damu yako inamwagika kwa ajili ya mtoto ambaye sio damu yako. Natambua kwamba unanipenda na unanijali ila nimejitolea maisha yangu kwa ajili ya jambo hilo. Ninakuomba sana unisamehe mume wangu. Kwaheri’
 
Nikajikuta nikifinyanga finyanga karatasi hii kwa nguvu huku nikilia kwa uchungu mkubwa sana. Nikajifuta machozi yangu usoni kisha nikaanza kutembea kuelekea nje huku hasiri niliyo nayo sijawahi kuipata tangu kuzaliwa kwangu.
“Mkuu”   
Niliisikia sauti ya meja akiniita huku akiingia kwenye mlango wa kuingilia hapa sebleni. Kwa macho niliyo mtazama nikamuona meja akikaa kimya kwa sekunde kadhaa. Sikuzungumza kitu chochote zaidi ya kumtazama usoni mwake.
 
“Nimesikia mke wako ametoweka?”       
Nikamkabidhi meja karatasi niliyo ifinyanga, akaifungua taratibu na kuanza kuisoma, nikamuona meja akishika kichwa chake huku akionekana kupatwa na mshangao mkubwa sana.
“Waambie wahakikishe kwamba wanamleta mke wangu hapa. Kwa garama ya aina yoyote ninamuhitaji mke wangu”
“Sawa mkuu nitahakikisha kwamba mke wako  hatoke ndani ya nchi hii ni lazima tumrudishe hapa”
Martin akaingia na kutufanya mimi na meja kumtazama.
“Mkuu nina habari mbaya”
“Habari gani?”
Martin akanikabidhi simu yake nikaanza kuiona video inayo muonyesha Yemi akijisalimisha mikononi mwa wanajeshi wa kimarekani, akishuka kwenye helicopter ambayo ina chata la jeshi langu.
 
“Aliiba helicopter moja na kuondoka nayo”
Nikajikuta nikipepesuka huku miguu ikiniishiwa na nguvu kabisa. Martin na meja wakaniwahi kunishika na kwa haraka wakanikalisha kwenye sofa. Macho yangu yakaanza kububujikwa na machozi huku nikiitazama video hii iliyo chukuliwa na simu, nikawaona wanajeshi Wakimarekani jinsi wanavyo mvisha pingu Yemi.
“Amejisalimisha kwenye kambi ndogo ya jeshi iliyopo hapa nchini Nigeria”
Martin alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Kwa ishara meja akamuomba Martin asizungumze chochote kwani akili yangu kwa sasa haipo vizuri. Nikairudia tena kuitazama video hii nikashusha pumzi nyingi huku nikijitahidi kuizuia hii hali ya kupoteza nguvu mwilini mwangu. Nikaka zaidi ya dakika kumi nikiitazama hii video. Taratibu nikasimama wima, nikamkabidhi Martin simu yake.
“Kambi ipo wapi?”
“Abuja”
“Niandalieni vikosi kabla hawajamsafirisha mke wangu kumpeleka Marekani”
“Ila mkuu unaweza kuwa ni mtego wa kuhitaji kukupata wewe kirahisi”
“Meja unataka kuniambia kwamba mke wangu ni msaliti si ndio?”
“Hapana jenero”
“Ila…”
“Nimekushauri tu mkuu, kwa maana lengo la Wamarekani wanakuitaji wewe”
“Wakinikamata basi ila ninahitaji muandae vijana, nipeleke kwenye ghala la silaha”
“Sawa mkuu”
 
Martin alizungumza na kuanza kunifwata kwa nyuma, meja naye akaanza kutufwata.
“Jenero nina imani kwamba ushauri wangu kwa muda mwengine unakwenda tofauti na maamuzi yako, ila ningekuomba hili tuweze kulifikiria mara mbili mbili. Ninaimi hii ni njia rahisi sana Wamarekanani wanaweza kuitumia kupata wewe ukitegemea kwamba wewe ndio mkuu wa hili kundi hili. Ukiondoka unahisi ni nani atakaye ongoza hili jeshi?”
“Wewe ndio utaongoza”
“Jenero umri wangu kwa sasa umekwenda, nimesha kuwa mzee sana, muda wowote ninaweza kuondoka duniani, jeshi linahitaji vijana ambao ndio nyinyi. Tafadhali ninakuomba niandae kikosi cha kwenda kumuokoa mke wako”
“Meja una mke?”
Nilimuuliza meja huku nikisimama na kumtazama usoni mwake kwa hasiria. Taratibu meja akajibu kwa kutingisha kichwa chake.
“Unajua uchungu wa mke?”
“Hapana mkuu”
 
“Kaa kimya katika hili, hili ni tataizo la kifamilia na si tatizo la jeshi lako ninacho kiangalia hapa ni mke wangu kuwa salama sawa meja?”
“Nimekuelewa mkuu samahani kwa ushauri wangu kwako”
“Ninakuomba uniandalie wanajeshi wanne, ninakwenda kuivamia hiyo kambi ya Wamarekani”
“Wanajehshi wanne?”
“Ndio”
Meja akatazamana na Martin, kisha meja akaondoka eneo hili. Nikaanza kutembea kuelea kwenye ghala la kuhifadhia silaha pamoja na nguo za kijeshi. Tukaingia kwenye ghala hili ambalo linalindwa sana na wanajeshi kwani hapa ndipo kwenye silaha zote za kundi hili. Wanajeshi wote wakanipigia saluti huku wakisimama kikamavu.
“Nahitaji nguo zitakazo nitosha mimi”
“Zipo  meja”
Nilimuambia mmoja wa watunzaji wa nguo katika ghala hili. Nikaingia katika ukumbi wa kuhifadhia silaha, nikaanza kuchukua bastola mbazo ninaimani zitanisaidia katika kupambana kwangu. Martin naye nikamuona yupo katika harakati ya kuchukua silaha zinazo mfaa yeye.
 
“Unafanya nini Martin?”
“Mkuu ninahitaji kwenda na wewe”
“Martin hii vita itakuingiza kwenye matatizo”
“Mkuu najua upo juu yangu ila hili sio ombi kwako. Ninaifanya kazi ambayo umenikabidhi nitahakikisha kwamba ninakwenda na wewe sehemu yoyote utakapo kuwa, iwe kwenye shida ama raha ni lazima niwe na wewe jenero”
Nikamtazama Martin usoni mwake, sikuhitaki kumzuia, tukaendelea kuandaa silaha zetu. Nikamuona Martin mara kwa mara akiwa ameweka mkono wake wa kushoto kwenye sikio lake la upande wa kushoto.
“Una kinasa sauti cha nini?”
Swali langu likamfanya Martin kustuka na kubaki akinitizama kwa maana nina ujuzi sana na mtu aliye vaa kinasa sauti sikioni kwani walinzi wote mara nyingi huvaa vinasa sauti kwenye masikio yao ili kuhakikisha kwamba wanapena taarifa zozote zinazo endelea katika eneo ambalo wapo.
“Mkuu nilimuweka meja kinasa sauti kwenye mfuko wa koti lake la jeshi ili kila mazungumzo yenu munayo yazungumza nipate kuyasikia kwani nilihitaji kufahamu ni kitu gani kinacho endelea”
 
“Kwa hiyo una tupeleleza?”
“Hapana mkuu, nimefanya hivi kwa ajili ya usalama wako, kumbuka mimi kwa sasa ndio mtu wako wa karibu pasipo kufanya hivi nitakuwa nipo nyuma ya muda na maamuzi ya kuhakikisha kwamab mkuu wangu unakuwa salama”
Nikamtazama Martin usoni mwake, nikamuona Martin akiongeza usikivu katika kusikiliza.
“Nini?”
“Mkuu unatakiwa kusikia hichi”
Martin akavua kinasa sauti chake na kunikabidhi mimi, nikakivaa katika sikio la upande wa kulia.
‘Hakikisheni kwamba jenero haendi popote, ikiwezekana hata kwa kumchezea rafu ya kumchoma sindano ya usingizi. Sawa?’
Niliisikia sauti ya meja ninaimani anazungumza na wanajeshi ambao nimempa kazi ya kuniandalia
‘Sawa mkuu ila hili ni hatari sana na endapo jenero akijua ninaimani kama alivyo sema atatuua kwa mana sisi tutakuwa ni wasaliti wa amri yake.’
 
‘Kwani kuna mmoja wenu ambaye anaweza kuitoa hii siri?’
‘Hakuna meja, sisi ni vijana wako’   
‘Sawa fanyeni hivyo, yote ninafanya kwa ajili ya kumlinda jenro sihitaji aondoke kwenda popote, kwani bado tunamuhitaji kwenye hili jeshi’
‘Sawa mkuu’
Nikavua kinasa sauti hichi huku nikiwa nimejawa na gadhabu kubwa sana kwani meja anajaribu kunizuia kwa kile ambacho nimekiamua na hafahamu ni ukweli gani ulipo katikati ya hili tatizo ambalo pasipo kuwa makini litayagarimu maisha ya watu wengi wasio na hatia ikiwa mimi mwenyewe ninaweza kulishuhulikia na kulimaliza hata kama ni kwa kupoteza maisha yangu ila litakuwa limeisha nahalito endelea kwenye uso wa dunia.

AISIIIII……….U KILL ME 151



“Tutakwenda peke yetu”
Nilizungumza huku  nikimtazama Martin usoni mwake.
“Mkuu sa…..”       
“Hawa ambao meja ananiletea ni wasaliti katika hili swala na hakuna hata mmoja anaye tambua ni kity gani kinacho endekea kati tangu na Marekani. Sinto hitaji msaadawa wa mtu mwengine zaidi yako sawa?”
 
“Sawa mkuu”
Tukamaliza kujiandaa, meja akaingia huku akiwa ameongozana na watu nilio muomba aweze kunichagulia na kuniletea.
“Mkuu vijana hawa hapa wamekamilika kila idara unaweza kwenda nao”
Nikamtazama meja kisha nikawatazama vijana hawa kwa macho makali hadi wakajistukia na kuanza kutazamana. Nikachukua bastola moja iliyopo juu ya meza, nikaikoki vizuri na kmnyooshea mmoja wa kijana huku macho yangu nikiendelea kumkazia.
“Unaweza kufanya alicho kuambia meja wako?”
Kijana huyu akaanza kutetemeka mwili wake wote. Nikaielekezea kwa kijana mwengine huku naye nikiwa nimemkazia macho.
“Unaweza kufanya alicho kuagiza meja kukifanya?”
Kijana huyu naye hakunijibu kitu chochote zaidi ya kukaa kimya huku akinitazama.
“Meja, hili ulio lifanya leo siku nyingine ukirudi nitakuchukulia hatua za kisheria kali, Tumeelewana?”
“Mkuu sijakuelewa unamaanisha nini?”
Nikamsogelea meja nikaingiza mkono kwenye mfuko wa kulia wa koti lake sikukuta kitu chochote, nikaingiza kakatika mfuko wa upande kushoto, nikatoa kifaa kidogo ambacho ni kinasa sauti, nikamkabidhi mkononi mwakae na kumfanya meja kushangaa sana.
“Meja kumbuka maisha yangu na uongozi wagu ninatumia akili, unapo fanya vitu na wewe tumia akili sana kwa maana siku nyinine utafeli sawa. Hawa vijana wako siwahitaji kwenye opareheni hii, nitakwenda na Martin sisi wawili na tutajua ni nini cha kufanya”
 
“Samahani sana jenero kusudio langu halikuwa baya sana kwenye hili swala”
“Natambua ila unatakiwa kusirikiza amri ya mkuu wako na si kupinga amri yake hata kama kuna faida nzuri itapatikana kwa kuzuia amri yake”
“Sawa jenero”
Tukabeba kila tulicho kusudia kukibeba na Matrin, tukaelekea katika uwanja wa helicopter.
“Tunahitaji rubani?”   
“Hakuna haja mkuu, ninajua kuendesha helicopter”
Martin alizungumza huku akifungua mlango wa helicopter moja, tukaingia ndani, sikuhitaki kubisha. Taratibua Martin akaanza kuwasha helicopter hii ambayo haikuchukua muda mrefu sana ikashika kasi katika banka lake. Martin taratibu akaanza kuinyanyua helicopter hii kwenda juu.
“Mkuu vaa hizo earphone”
Martin alizungumza huku akinionyesha earphone kubwa zilizopo pembeni yangu, nikazichukua na kuzivaa masikioni mwangu, huku na yeye akivaa earphone zinazo fanana na hizi.
“Hapa tunaweza kuwasiliana na watu walipo  kambini?”
“Sawa sawa”
“Mkuu inabidi kuomba muongozo wa watu walipo chumba cha mawasiliano ili iwe rahisi kwa sisi kuweza kuivamia kambi hiyo”
“Unafahamu ilipo kambi?”
“Ndio ninaifahamu ila itakuwani kambi ambayo ina ulinzi mkali sana ambao unaweza kutukamata mapema sana”
“Wasiliana na watu wa chumba cha mawasiliano”
“Sawa”
“Mia moja kumi na moja, Erick ninazungumza hapa”
“Ndio tunakupata Erick?”
“Nipo na jenero Peter tunaomba msaada wa kuweza kuingia katika kambi ya Wamarekani”
“Nimesha weza kuhaki mfumo mzima wa ulinzi wa kamera katika kambi hiyo na kila kitu kinacho endelea kwenye hiyo kambi tunakiona”
 
“Vipi mke wangu yupo?”
“Ndio mkuu mke wako bado yupo kwenye hiyo kambi”
“Naomba muhakikishe kwamba munanieleza kila kitu ambacho kinacho endelea katika kambi hiyo sisi tukiwa njiani”
“Sawa mkuu, yupo kwenye moja ya chumba, na tunaweza kutumia njia ya chini ya ardhi kuweza kufika katika chumba hicho”
“Hiyo njia ipo wapi?”
“Mita mia tisa kabla ya kufika kwenye kambi hiyo”
“Ila mita mia tisa ni nyingi sana na tukishuka kwenye helicopter hii si tutapoteza mawasiano nanyi”
“Ndio mkuu hiyo ndio nyia rahisi ya nyinyi kuingia katika kambi hiyo na kumkomboa mke wako”
Nikaka kimya huku nikitafakari kitu cha kufanya.
“Mkuu”   
“Tuelekezeni hiyo sehemu ipo wapi?”
“Ni kwenye moja ya mnara wa simu, pembeni yake kuna mfuniko wa chuma mukiingia humo munaweza kuingia na kwenda moja kwa moja hadi kwenye sehemu kilipo chumba hicho.
 
“Sawa nimekuelewa, meja yupo humo ndani?”
“Ndio jenero nipo?”
“Tofauti tuziweke pembeni, ninahitaji kikosi kitakacho kuja nyuma yangu, na ninahitaji kikosi cha anga ninahitaji kuiteketeza hiyo kambi nzima”
“Sawa mkuu nimekuelewa nitaanzaa vikosi viwili, kikosi cha anga na kikosi cha ardhini”
“Shukrani, Martin unafahamu sehemu ulipo huo mnara?”
“Ndio ninafahamu muheshimiwa”
“Sawa fanya hivyo”
Tukatumia dakika kama dakika kumi na tano kufika katika mnara wa simu tulio elekezwa, taratibu Martin akaitulisha hii helicopter hii. Akaizima, kisha tukashuka kwenye hii helicopter. Haikutuchukua muda kuupata mfuniko huu  wa chumba, taratibu tukashirikiana kuufungua kwa maana ni mzito sana.
 
Martin akatoa kitochi kidogo na kumulika ndani kwa maana kuna giza, tukaona ngazi za chuma zinazo elekea chini, Martin akawa wa kwanza kushuka kisha nikafwatia mimi kushuka, tukaanza kutembea kuelekea mbele kwa kutia mwanga mdogo wa hii tochi.
   Tukazidi kusonga mbele kila mmoja akiwa ameshika bastola yake mkononi, ikatuchukua zaidi ya nusu saa tukawa tumefika kwenye sehemu ambayo tumekuya ngazi za kuelekea juu. Taratibu Martin akaanza kutembea kupandisha ngazi hizo hadi tukafanikiwa kufika juu ambapo napo kuna mfuniko.
“Vipi?”
“Ni mzito kama ule wa kule”
“Duu sasa tunaweza kuufungua?”
“Huu ubara wake ni kwamba umefungwa kwa nati na ili kuufungua ni lazima mtu uwe kwa juu”
“Mmmm kwa hiyo kazi yote tuliyo ifanya ni bure?”
“Hapana mkuu tunaweza kuvunja hili eneo kwa kutumia bomu la kutega”
“Ila si umeambiwa kwamba mke wangu yupo kwenye hicho chumba hapo juu”
 
“Ndio mkuu ila hatuna jinsi ya kufanya zaidi ya kufanya hivyo”
Martin akashuka kwenye ngazi na kusubiria jibu langu ili apande kuweka bomu ambalo litakwenda kuchangua eneo hili la mfuniko.
“Mkuu hiyo ndio njia ya pekee ambayo tumebakiwa nayo”
“Weka bomu”
Martin akafungua begi tulilo hifahidhia baadhi ya mabomu, akatoa bomu moja, akatega dakika tano, kisha akapanda kwa haraka na kulitega sehemu ambayo kuna mfuniko, akashuka na tukaanza kukimbia kurudi sehemu tulipo tokea kwani mlipuko wake unaweza ukawa ni mkubwa. Tulipo fika umbali ambao tukahisi kwamba mlipuko huo hautoweza kutuathiri, tukasimama. Mlipuko mzito ukatoke katike ene hilo na vipande vizito vizito vya matofali vikaangukia humu ndani. Tukaanza kurudi eneo hilo huku tukikimbia kwa kasi. Kwa haraka Martin akapanda kwenye kifusi hichi cha matofali yaliyo angukia humu ndani, akafanikiwa kufika kutoa juu. Na mimi kwa haraka nikapanda kwenye kifusi hichi na kutokea katika chumba ambacho tulitarajia kumkuta Yemi ila hatujampata kabisa.
 
“Hayumo humu?”
Nilizungumza huku nikisikilizia ving’ora vya tahadhari vinavyo endelea kulia katika eneo hili. Nikaufungua mlango wa chumba hichi na kuchungulia nje nikakuta wanajeshi wangi wakikimbia kwa kasi wakija katika hii kordo.
Kwa haraka nikaanza kuwashambulia kwa risasi, kwani hii ndio njia ya pekee ya sisi kuwazuia wanajeshi hawa. Tukaanza kupeana zamu na Martin katika kuwashambulia wanajeshi hawa.
“Naomba Granade”
Nilizungumza huku nikiwa nimejibaza, Martin akachomoa bomu la mkono ambalo ameninginiza kwenye mkanda wa kiunoni mwake. Akanikabidhi bomu hilo, nikachomoa kipini cha bomu hilo na kulirusha sehemu walipo jificha wanajeshi hawa, na kusabisha mlipuko mkubwa.
“Tutoke humu”
Nilizungumza huku nikianza kutoka kwenye hichi chumba na kuanza kusonga mbele kuhakikisha kwamba tunatafuta ni sehemu gani alipo Yemi. Mashambulizi ndani ya hili jengo yakazidi kupamba moto kwani kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi tulivyo kutana na wanajeshi ambao wanazidi  kuongezeka kuhakikisha kwmba hatutoke ndani ya kambi yao.
“Mkuu”
“Ndio”
“Risasi zimeniishia”
Martin alizungumza huku akinitazama na kujikuta nikimtazama huku macho yakinitoka, nikajipapasa kwenye mfuko wangu na kukuta nina magazine moja tu. Nikachomoa magazine iliyopo kwenye bastola yangu nikakuta nayo ina risasi nne zilizo salia na mbaya wanajeshi wanzidi kumiminika na sehemu tuliyo jificha kusema kweli wakiamua kurusha bomu la mkono tunakufa.
“Hakikisheni tunawakamata wazima”
Nilisikia sauti ya mmoja wa wakuu wa hili jeshi, hapo ndipo nikafahamu kwamba kazi imezidi kuwa ngumu kwetu.
“Dany tunajua upo hapa, na umekuja kumuokoa mke wako. Jisalimishe mikononi mwetu la sivyo tunamuua mke wako”
“Dany!!?”
Martin aliniuliza kwa mshangao huku akinitazama usonim wangu.
“Ni jina langu usishangae”
“Ila mkuu huwezi kujisalimisha kirahisi namna hii?”
“Inabidi kufanya hivi, nikijisalimisha mchukue mke wangu na kuondoka naye sawa”
“Mkuu jukumu langu ni kukulinda hadi mwisho wa maisha yangu, tutakufa pamoja”
 
“Martin hili sio ombi ni amri sawa, ninajisalimisha mchukue mke wangu na uondoke naye hapa na lengo langu kubwa kuja hapa ni kujisalimisha kumalizana na hili jambo linalo jitokeza hapa”
“Mkuu hapana”
Martin alizungumza huku akiniomba magazine yangu ya risasi.
“Hatuwezi kutoka humu ndani Martin na sipendi ubishane na amri yangu”
“Kwa nini wanakutaka wewe?”
“Nilikuwa ni mpelelezi wa Kimarekanai, wamenisaliti na nikaamua kuwasaliti. Ila huu sio muda wa kupiga story ninakuomba mke wangu mchukue na kuondoka naye hili eneo”
Martin hakuwa na jambo la kujibu zaidi ya kukaa kimya.
“Ninahitaji kumsikia mke wangu kwanza”
Nilizungumza kwa sauti ya juu huku nikiendelea kujibanza kwenye hili eneo.
“Dany usitoke mume wangu”
Niliisikia saauti ya Yemi akizungumza huku akilia.
“Yemi”
“Ndio mume wangu kwa nini umenifwata jamani”
“Usijali mke wangu. Ninahitaji mumuachie mke wangu na ninajitokeza”
 
Nilizungumza huku nikimkabidhi Martin magazine iliyo salia, kisha taratibu nikanyanyuka kutoka katika eneo hili niliko jificha huku bastola yangu nikiwa nimeinyoosha kwa juu. Nikamuona Yemi akiwa amehishikiliwa na wanajeshi hawa wa Kimarekanani ambao idadi yao kwa haraka haraka inaweza kufika mia moja.
“Muachieni mke wangu, nipo tayari kujisalimisha mikononi mwenu”
Taratibu wakamuachi Yemi aliye anza kutembea kwa mwendo wa taratibu akija eneo hili nilipo, na mimi nikaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu huku nikiwatazama wanajeshi hawa walio ninyooshea mitutu ya bunduki zao na endapo nitafanya kosa lilote wataniua mimi na Yemi jambo ambalo sihitaji litoke mbele ya macho yangu.
 
ITAENDELEA
“Haya sasa Dany ameamua kujitoa muhanga na kujisalimisha mikononi mwa maadui zake, je ni kitu gani kitatokea mbeleni, usikose sehemu inayo fwata ya story hii ya kusisimua”

Mizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29

0
0
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana hawaridhishwi na Waume au wapenzi wao pale wanapoaza kushiriki tendo la ndoa 

Kwa Nini Ujione Mpweke Pale Ukutanapo Na Mpenzi Au Mke Wako Kisa Eti Hauna Nguvu Za Kiume? ;Tumia MIZIZI 29 POWER, hii ndio tiba itakayorudisha heshima ya ndoa yako . 

Dawa hii itakufanya;
 1 Uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-25 kwa tendo la kwanza 
2 Dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
3  Dawa hii uhimalisha misuri iliyolegea na kusinyaa?dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji nani tofauti na ulizowai kutumia ata wazee wenye umri mkubwa wanapona 

NSONSOMA; Dawa hii itakufanya umridhishe  mke au mpenzi wako kwani uboresha uume saizi upendayo urfu wa nchi 5,6,7 na 8 na unene wa sentimita 2,3,4 na 5 dawa  hii ipo ya kupaka na kunywa 

NSHOLA; NI dawa ya uzazi kwa waliongaika mda mrefu bila kupata mtoto 

MWITA; Dawa hii humvuta meme, mke,au mpenzi mliyetengana pia umrudisha mtu kazini haliyefukuzwa, kumpatanisha mwajiliwa na bosi wake 

Tunatibu presha kisukari, busha ,vidonda vya tumbo tumbo kuunguruma kujaa gesi na kukosa choo 

MAHALI ILIPO OFISI; PANDA DALADALA SHUKA BUGURUNI MALAPA AU ROZANA NA MWANZA YUPO WAKALA PIGA SIMU 0752348593 DR NYAROBI .Kama hauna nafasi ya kuja ofisini utaletewa popote ulipo huduma hizi
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images