Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Rayvanny Atimiza Agizo la BASATA Kuuzuia Wimbo Wake Youtube Usitazamwe na Watanzania

$
0
0
Hatimaye msanii wa muziki nchini Rayvann ameamua kuutoa wimbo wake na Diamond Platnumz unaoitwa‘Mwanza’ baada ya kutakiwa kufanya hivyo na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).

Wimbo huo wa Mwanza uliopostiwa siku ya Jumamosi kwenye You Tube ulikuwa unashika nafasi ya kwanza kwenye mtandao huo na kufanikiwa kutazamwa na zaidi ya watu milioni 1.9.

Kwa mujibu wa BASATA imewatoza jumla ya milioni tisa, ambapo DiamondPlatnumz milioni tatu, Rayvanny milioni tatu na kampuni ya Wasafi milioni tatu kwa kutoa wimbo usio na maadili ya kitanzania


Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
NATURAL BEAUTY PROD. Tumeingiza mzigo mpya ni bidhaa zilizothibitishwa kiafya na kupewa kibali original cha kuuzwa hadharani.  Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji. Ukinunua bidhaa kuanzia mbili utapatiwa offer ya bidhaaa nyingine yoyote uipendayo wewe.

1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 inapatikana kwa @170,000/=

2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa @160,000/=

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kinapatikana kwa @230,000/=

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili tu bei yake ni @200,000/=

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 inapatikana kwa @190,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @150,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo unaipata kwa @200,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft @150,000/= N.K  Wasiliana nasi kwa simu

NO:. +255 759029968  AU +255 659618585

Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.  WELCOME ALL

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE;LUKUBA 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO   0658920640/ 0754372325 / 0620806813
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Waziri wa Kilimo:Tumeamua Korosho Yote Ibanguliwe Nchini

$
0
0
Na Mathias Canal-Wizara ya kilimo, Mtwara
Waziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga amesema kuwa wizara yake itatekeleza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli kuhakikisha kuwa korosho yote inabanguliwa hapa nchini.

Ameyasema hayo jana tarehe 13 Novemba 2018 wakati akieleza malengo ya ziara yake mkoani Mtwara na Lindi alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kabla ya kuanza kukagua maghala ya kuhifadhia korosho.

Hasunga alisema kuwa kuruhusu wafanyabiashara kubangulia nje ya nchi korosho za wakulima wa Tanzania ajira nyingi zilikuwa zikipotea huku watanzania wakisalia kuhangaika kutafuta ajira kwani ajira nyingi zilipelekwa nje ya nchi.

“Baada ya kujiridhisha tumeamua sasa hahutasafirisha korosho ghafi tunataka korosho yote iwe inachakatwa nchini kwenye viwanda vyetu, kwa hiyo korosho zote zilizokuwa zinachukuliwa na wafanyabiashara kwenda kubanguliwa sijui wapi huko tumezuia” Alikaririwa Mhe Hasunga

Alisema kuwa viwanda vya kubangua korosho nchini vingi vimekufa kwa sababu ya ubadhilifu wa wananchi wachache na baadhi ya hujuma za watu lakini serikali imedhamiria kuanza kubangua kwenye viwanda vilivyopo kabla ya hatua za kuanzisha viwanda vingi vya ubanguaji.

“Tunamuwezesha mkulima kwa bei ya shilingi 3300 ili imsaidie kufanya kazi zake zingine ili aweze kuongeza uzalishaji katika msimu ujao wa mwaka 2018/2019 na kuepuka kushuka kwa uzalishaji” Alisisitiza Mhe Hasunga

Alisema baada ya kukamilika uhakiki wa maghala yote ya kuhifadhia korosho serikali itaanza kulipa malipo yote stahiki kwa wakulima yatakayotolewa na Benki ya kilimo Tanzania (TADB).

“Na tumeshaandaa fedha zao tunataka wakulima walipwe haraka iwezekanavyo lakini tumeanza kumjali mkulima kwanza halafu taasisi zingine zinazofaidika na korosho zitafuata” Alisisitiza

Mhe Hasunga amewapongeza wakulima kwa kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mpito wakati serikali ilipokuwa ikitafuta ufumbuzi wa zao la korosho.

MWISHO.

Msigwa Awasha Moto Bungeni Sakata la Ukosefu wa Ajira Kwa Vijana

$
0
0
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Petter Msigwa amehoji juu ya tatizo la ajira nchini, na kuitaka serikali kuboresha vyuo vya ufundi ili wasihamasishe wanafunzi kwenda vyuo vikuu.

Mchungaji Msigwa amesema hayo katika Mkutano wa Bunge wa 13 katika kikao cha 7 alipokuwa akihoji swali kwenda kwa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi Vijana na Ajira.

"Tatizo la ajira ni janga kubwa nchini kwetu, ni kwanini serikali isiimarishe vyuo vya veta ili vijana wetu wapate ujuzi utakaowafanya waweze kujiajiri, je serikali inaweza kutoa msisitizo kwa vyuo vya veta kuliko vyuo vikuu ambao wanaohitimu hawaajiriki," aliuliza Msigwa.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira amesema katika kufikia malengo hayo, serikali imeingia makubaliano na vyuo vya ufundi kwa kuwachukua wanafunzi waliohitimu wa kidato cha nne na la saba na kupatiwa mafunzo.

"Kama serikali tunatekeleza ujuzi kwa vijana wetu, tumeingia makubaliano na vyuo vya veta na Donbosco ili kutoa mafunzo ya ufundi mpaka sasa zaidi ya vijana elfu 8 tumewapatia mafunzo lakini malengo yetu ni kufikia vijana milioni 8." Amejibu Naibu Waziri Mavunde.

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume .

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.
 
Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.
 
Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.
 
Onana na Dr SHILINDE,  shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.
 
Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.
 
Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Anapatikana Dar es Salaam maeneo ya Buguruni Sheli. 
 
Mawasiliano: 0784460348 au  0657 314701

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Madereva Wa Serikali Kupigwa Pingu

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Fortunatus Muslim amesema akikamata madereva wa serikali wanaovunja sheria atawapiga Pingu kisha kuwafikisha mahakamani na wakitoka huko atawaondolea sifa.

Kamanda Muslim ameyasema hayo wakati akiwa kwenye Oparesheni ya kuhakikisha barabara zinakuwa salama na kuepusha ajali ambazo sio za lazima, hasa zinazosababishwa na magari ya serikali ambapo madereva wengi wa serikali wanaonekana wapo juu ya sheria.

“Madereva wengi hamtaki kufata sheria wala alama za barabarani mnaendesha mwendokasi hata mkisimamishwa nyie mnawasha taa, muda mwingine viongozi wanakuwa ndani ya hayo hayo magari na wanalipia faini,”amesema.

Kutokana na hatua hiyo, amesema wanajaribu kuyafatilia kwa karibu magari ya serikali kwani hawataki kupoteza wataalamu ambao serikali imekuwa ikiwaandaa kwa muda mrefu.

“Sasa hivi tukiwakamata tunawapiga pingu, tunawaweka ndani kisha mahakamani na ukitoka mahakamani naondoa sifa ya kuendesha magari ya serikali uende kuendesha magari mengine,”amesema.

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.


Serikali yatoa siku 14 kwa kampuni au taasisi zinazomiliki viwanda vilivyobinafsishwa

$
0
0
Serikali siku 14 kwa kampuni au taasisi zinazomiliki viwanda vilivyobinafsishwa na serikali bila kuviendeleza ama kubadilisha matumizi ya  viwanda hivyo, kuwasilisha mipango mikakati yake kwa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, ya kuviendeleza viwanda hivyo kabla ya serikali haijachukua hatua nyingine dhidi yao.

Waziri wa Viwanda, Joseph Kakunda amesema hayo alipofanya ziara ya siku moja mkoani Lindi ambapo pamoja na mambo mengine, amekagua kiwanda kinachotarajiwa kubangua korosho cha Bucco kilichopo Manispaa ya Lindi pamoja na ghala la kuhifadhia mazao la Ilulu wilayani Nachingwea.

“Katika kulisimamia jambo hilo kama wizara tayari nimeshamuagiza Katibu Mkuu kuandaa taarifa ya uchambuzi kwa nchi nzima ili kubaini viwanda vyote  vidogo, vikubwa na vya kati kwa vile vilivyobinafsishwa ili kubaini kama vinafanya kazi yake ya msingi iliyokusudiwa.

“Baada ya taarifa hiyo kuwasilishwa  wizarani itapitiwa ili kuona ni viwanda vipi vinafanya kazi iliyokusudiwa na vipi vilivyobadilishwa matumizi kwa vile  vitakavyobainika kuwa vimebadilishwa matumizi ama kutoendelezwa hatua za haraka zitachukuliwa na serikali,” amesema.

Akizungumzia juu ya urejeshwaji wa kiwanda cha Bucco, Naibu Waziri wa Kilimo, Innocent Bashungwa, amesema serikali ilipoamua kiwanda hicho kukikabidhi kwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) , nia ilikuwa ni kuiongezea thamani korosho ndani ya nchi kutoka moja kwa moja kwa wakulima  ambapo inaweza kukuza pato la taifa pamoja na kuleta ajira kwa wananchi.

Kesi ya Mhasibu Mkuu wa Takukuru Yakwama Tena

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kuendelea kuisikiliza kesi ya utakatishaji fedha na kumiliki mali zilizozidi kipato inayomkabili aliyekuwa  Mhasibu Mkuu wa Takukuru, Godfrey Gugai na mwenzake, baada ya mashahidi wa upande wa mashtaka kuwa na dharura.

Wakili wa serikali Mkuu, Vitalis Peter Leo Novemba 14, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba amedai kuwa kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kuendelea kusikiliza kwa ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka lakini hawapo tayari.

Kwa sababu wamepata taarifa kuwa shahidi waliyemtarajia kutoa ushahidi katika kesi hiyo amepatwa na dharura na kwamba tatizo linalomkabili halijatatulika na hivyo wakili Peter aliiomba Mahakama waandae ushahidi mwingine ili waweze kuendelea naye.

Baada ya Wakili Peter kueleza hayo, Hakimu Simba alisema, “kwa mtindo huu hii kesi haitomalizika sasa hivi, tutakuwa tunacheza tu.

Hakimu Simba aliongeza, “sasa muwe mnaleta mashahidi wawili wawili ili mmoja akipata dharura mwingine anaendelea na kwamba hali kama hiyo imekwisha jitokeza zaidi ya mara nne ama tano.

Upande wa utetezi uliwakilishwa na mawakili Alex Mgongolwa, Semi Malimi, Nduluma Majembe, Denis Tumain na John Mhozya.

Kwa upande wake wakili Mgongolwa alitaka mashahidi wanaokwenda kutoa ushahidi katika kesi hiyo wajulikane na kwamba upande wa mashtaka unapoona shahidi wanayemtafuta ana tatizo watafute mwingine.

Hakimu Simba alisisitiza upande wa mashtaka kupelekwa mahakamani hapo mashahidi wawili wawili na kuiahirisha kesi hadi Novemba 27 na 28, mwaka huu ambapo wataendelea kusikiliza kwa ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka.

Asilimia 96 ya Walioajiriwa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) ni Watanzania

$
0
0
Zaidi ya watu 6,000 wameajiriwa katika mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR). Kati ya ajira hizo asilimia 96 sawa na watu 6,182 ni za Watanzania na asilimia nne sawa na watu 258 ni wageni.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Jumanne Novemba 14, kuhusu maendeleo ya mradi huo, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kwa upande wa wataalamu 189 ni Watanzania na 258 ni wageni.

“Ajira 626 za Watanzania wasio na ujuzi na 19 za wenye ujuzi zimepatikana kupitia kampuni za wazawa wanaoshiriki moja kwa moja kwenye mradi huu, hivyo tunafanya vizuri sana,” amesema Kadogosa.

Amesema maendeleo ya ujenzi huo kwa kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro yamefikia asilimia 34.

Kipande hicho chenye urefu wa kilomita 300 kilianza kujengwa Mei 2, mwaka jana na kinatarajiwa kukamilika Novemba 2, mwakani.

Huna Sababu Ya Kuaibika tena............ Jipatie Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Na Mvuto Wa Mapenz

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0759208637 / 0622344969

Mbunge wa CCM, Maulid Mtulia Ataka Fidia Kwa Polisi Wanaofariki Wakiwa Kazini Iongezwe Hadi Milioni 50

$
0
0
Mbunge wa Kinondoni (CCM) Maulid Mtulia ameitaka Serikali kuongeza kiwango cha fidia kwa polisi wanaofariki wakiwa kazini kutoka Sh15 milioni hadi Sh50 milioni ili kiende na wakati.

Akiuliza swali la nyongeza bungeni leo Novemba 14 2018, Mtulia amesema kiasi cha fidia kinachotolewa hakilingani na hali ya sasa na kwamba polisi wamekuwa wakifanya kazi kubwa.

Akijibu swali hilo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema wazo hilo ni zuri na kwamba Serikali imelichukulia na italifanyia kazi.

Katika swali la msingi, Mtulia amesema kazi wanayoifanya polisi ni ngumu na hatari hasa kwa kuzingatia matukio ya mauaji ya askari yanyoongezeka

“Serikali ina mpango gani wa kuongezea posho ya mazingira magumu na hasa baada ya askari wetu kulengwa wao binafsi kinyume na ilivyokuwa awali?”amehoji.

Akijibu swali hilo Lugola amesema askari anapopoteza maisha akiwa kazini hulipwa fidia ya Sh 15milioni.

Amesema anapojeruhiwa na kupata ulemavu wa kudumu wakati akitekeleza wajibu wake, Serikali hulipa fidia kulingana na madhara aliyoyapata baada ya kuthibitishwa na Kamati ya Maslahi kwa askari walioumia kazini ambayo inajumuisha daktari.

“Kwa sasa Serikali haina mpango wa kuongeza posho ya mazingira magumu kwa askari polisi hata hivyo Serikali inakusudia kuhuhisha posho mbalimbali za askari ili ziweze kulipwa kulingana na mazingira halisi ya sasa,”amesema.

Wafanyabiashara nchini watakiwa kuendelea kulipa kodi

$
0
0
Na Grace Semfuko-MAELEZO
Wafanyabiashara nchini wametakiwa kuendelea kulipa kodi na kuzingatia matumizi ya mashine za kielektroniki za kukusanyia mapato (EFD) ili wasiingie katika migogoro isiyo ya lazima na serikali.
 
Hayo yamesemwa jana na Mkurugenzi wa Idara ya habari Maelezo na msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbassi katika mahojiano maalum na redio Uhuru ya Jijini Dar es Salaa, kuelezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Tano katika kipindi cha miaka mitatu tangu iingie madarakani.
 
“Wafanyabiashara wale wanaokwepa kulipa kodi, tutawafikia, ni mkuhimu ulipe kodi ili iweze kufanya kazi za kuwahudumia watanzania, na kwa mawakala wa kukusanya kodi wahakikishe wanaifikisha kodi hizo serikalini kwa wakati” alisema.
 
Dkt Abbasi amesema Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais Magufuli inafanya kazi kubwa ya kuhakikisha Watanzania wanapata maisha bora, hivyo ulipaji wa kodi ni muhimu sana ili fedha hizo ziwezeshe kupatikana kwa huduma bora zaidi kwa watanzania.
 
Aidha Dkt. Abbassi amewataka watendaji kwenye taasisi za umma kufanya kazi kwa weledi na kwa kujituma pia kuzingatia majukumu yao yaliyopo kwenye mikataba yao ya kazi ili kuleta ufanisi kwenye taasisi zao.
 
Alisema Serikali haitasita kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wote wa umma ambao hawawajibiki ipasavyo kwani wamekuwa ni mzigo kwa Serikali, na wanakwamisha jitihada kubwa zinazofanywa na Rais Magufuli.
 
“Mmeona wenyewe juzi tu Mheshimiwa Rais amefanya maamuzi magumu lakini ni sahihi kabisa ya kuwaondoa baadhi ya watendaji wasiowajibika Serikalini,haiishii kwenye ngazi ya juu tu hii ni kwa kila mtendaji wa Serikali kuanzia ngazi za chini” alisema Dkt. Abbassi.
 
Dkt.Abbasi alisema kuna mjadala mkubwa duniani unaendelea kuhusu maendeleo na nini maana ya kuwekeza, ambapo Tanzania imewekeza kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo na miundombinu pamoja na watu kwa maana ya watumiaji wakuu wa miradi hiyo.
 
Kuhusu elimu amesema serikali inatoa shilingi bilioni 23.85 kila mwezi ili kugharamia elimu kwenye shule za Serikali ikiwa ni mojawapo ya mkakati wa kuimarisha elimu nchini na hasa katika utekelezaji wa sera ya Serikali ya elimu bure kuanzia ngazi ya awali mpaka kidato cha nne.
 
Fedha hizo zinapelekwa moja kwa moja kwenya akaunti za shule badala ya kupelekwa kwenye Halmashauri za Wilaya na Manispaa ambazo zilikuwa zikichelewesha fedha hizo kufika shuleni ama kutumiwa kwa matumizi yaliyokusudiwa.
 
Serikali pia imeongeza fedha za mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu katika kipindi cha miaka mitatu ya utawala wa Rais Magufuli kutoka shilingi Bilioni 380 mwaka 2015 mpaka kufikia zaidi ya bilioni 500 mwaka 2018.
 
Hatua hiyo ya Serikali inalenga kuimarisha sekta ya elimu nchini ambayo inatajwa kuwa ni msingi mkuu wa maendeleo endelevu kwenye Taifa lolote Duniani.

Mizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29

$
0
0
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana hawaridhishwi na Waume au wapenzi wao pale wanapoaza kushiriki tendo la ndoa 

Kwa Nini Ujione Mpweke Pale Ukutanapo Na Mpenzi Au Mke Wako Kisa Eti Hauna Nguvu Za Kiume? ;Tumia MIZIZI 29 POWER, hii ndio tiba itakayorudisha heshima ya ndoa yako . 

Dawa hii itakufanya;
 1 Uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-25 kwa tendo la kwanza 
2 Dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
3  Dawa hii uhimalisha misuri iliyolegea na kusinyaa?dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji nani tofauti na ulizowai kutumia ata wazee wenye umri mkubwa wanapona 

NSONSOMA; Dawa hii itakufanya umridhishe  mke au mpenzi wako kwani uboresha uume saizi upendayo urfu wa nchi 5,6,7 na 8 na unene wa sentimita 2,3,4 na 5 dawa  hii ipo ya kupaka na kunywa 

NSHOLA; NI dawa ya uzazi kwa waliongaika mda mrefu bila kupata mtoto 

MWITA; Dawa hii humvuta meme, mke,au mpenzi mliyetengana pia umrudisha mtu kazini haliyefukuzwa, kumpatanisha mwajiliwa na bosi wake 

Tunatibu presha kisukari, busha ,vidonda vya tumbo tumbo kuunguruma kujaa gesi na kukosa choo 

MAHALI ILIPO OFISI; PANDA DALADALA SHUKA BUGURUNI MALAPA AU ROZANA NA MWANZA YUPO WAKALA PIGA SIMU 0752348593 DR NYAROBI .Kama hauna nafasi ya kuja ofisini utaletewa popote ulipo huduma hizi

Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Lakabidhiwa rasmi Kiwanda cha Korosho cha Buko

$
0
0

Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) leo limekabidhiwa rasmi kiwanda cha kubangua korosho cha Buko kilichopo mkoani Lindi  tayari kwa kuanza kupokea na kubangua korosho.

Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku mbili baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli kutangaza kwamba Serikali itanunua korosho za wakulima.

Makabidhiano hayo yamefanyika kati ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na Kanali Rajabu Mabele na kushuhudiwa na viongozi mbalimbali wa mkoa huo pamoja na mwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Adam Kamana.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa kiwanda hicho, Kanali Mabele amesema wanaanza na tathmini kabla ya kuingia kwenye kazi rasmi.

“Tunafanya tathmini, nia yetu ni kukiboresha katika kiwango cha juu ili kuweza kutekeleza maelekezo ambayo ametoa mheshimiwa Rais ili kwenda na mwendo ambao anautaka yeye,” alisema Kanali Mabele.

Kuhusu ulinzi wa maghala ya korosho amesema ulishaanza kufanyika na  ulifanywa kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama kama alivyoagiza Rais John Magufuli.

“Tumefika pale kusaidiana na vyombo ambavyo vipo katika ulinzi wa maghala yote ambayo yako mkoa wa Lindi pamoja na mikoa mingine ambayo imetajwa,” alisema Kanali Mabele

Naye mwakilishi wa TADB, Adam Kamana amesema wakulima wamekuwa wakinyanyasika kwa muda mrefu na hata Serikali inapoweka viwanda vinakufa ili zao hilo lisafirishwe kwenda nje bila kubanguliwa.

“Katika mnyororo mzima wa mazao lazima tujifunze kutouza malighafi kutoka shambani, sasa mheshimiwa Rais ameliona ametoa agizo, tuko hapa tumeshaanza kutembea, benki ya kilimo tunatembea na wakulima Tanzania nzima tumekuja kutii agizao.”

Kuhusu suala la malipo amesema fedha tayari ipo na ana uhakika wakulima wataanza kulipwa kesho Alhamisi kwani rais amewatuma kununua korosho kwa bei ya Sh 3,300 kwa kilo.

“Tumekuja kwa kusema ukweli pesa tuko nayo iko kwenye system zetu zote, ipo benki ya kilimo hapa ninavyoongea hata tukiongea baadaye kuna kikosi kazi kitakuwa kinafanya kazi baada ya muda huu ili kuangalia utaratibu upi tuufuate kuwalipa wakulima.’’

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 31

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA      

Tukatoka nje na kukutana na kundi la waandishi wa habari ambao wanamuhoji Camila na wazazi wake. Waandishi wa habari walipo niona mimi wakakimbilia wote kwangu na wakanizingira huku kila mmoja akihitaji kunihoji swali lake. Sikuwajibu kitu chochote hawa waandishi wa habari, nikatembea hadi walipo simama Camila na wazazi wake.
 
“Mume
nionyesha uhalisia halisi wa familia yenu nawashukuru sawa. Ila CAMILA kuanzia hivi sasa sahau kama kuna mwanaume ulisha wahi kumpenda anayeitwa Ethan. Na mzee ninatoa asilimia zangu za mchango nilizo kuchangia kwenye kampeni zako tusijuane kuanzia hivi sasa. Asanteni”
Mara baada ya kuzungumza maneno hayo huku mwanasheria wangu akiwa amesimama nyuma yangu tukaondoka eneo hili na kumuacha Camilia akiangua kilio kizito sana ambacho sikuhitaji kukijali kwani alicho kua anakitafuta kwangu tayari amesha kipata.
   
ENDELEA
Tukaingia ndani ya gari la mwana sheria na kuondoka katika eneo hili.
 
“Una simu ya ziada ambayo huitumii?”
“Ndio ninayo”
“Naomba uniazime kwa muda”
Mwanasheria wangu akanikabidhi simu yake. Nikaingia katika mtandao wa Twitter na kuandika neno kwamba ‘MIMI NA WEWE, IMEKWISHA’
Ndani ya dakika mbili, nikapata ujumbe wa maswali mengi sana, kwani watu wengi nimewaacha njia panda. Wapo walio hisi labda matatizo yatakuwa yamekwisha na wapo walio hisi kwamba mimi na Camila mahusiano yetu yamekwisha. Sikuhiyaji kujibu swali la mtu yoyote na nikaawacha hewani. Tukafika nyumbani, na kuwakuta dada Mery na mama wakiwa wamekaa sebleni. Kidogo bibi Jane Klopp macho yake hayaoni vizuri, ila ni mtu makini anaye ifahamu harufu yangu. 
 
“Ethan mwanangu”
Bibi Jane Klopp alizungumza huku akiitanua mikono yake, nikamfwata alipo kaa na nikamkumbatia kwa nguvu.
“Pole sana mwanangu”       
“Asante sana mama”
Dada Mery akanitazama kwa macho makali sana.
“Ethan naomba tuzungumze”
Dada Mery alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa alilo kalia. Tukaongozana hadi chumbani kwake.
“Ethan ni kitu gani ambacho kinaendelea.”
Dada Mery alizungumza huku akiwa amenikazia macho. Nikaka kimya huku nikijifikiria ni kitu gani ambacho ninaweza kumuambia dada Mery akakielewa.
 
“Sijakuelewa?”
“Ethan kuna mambo yametokea kwenye masaa kadhaa hapa nyuma, sijaelewa na sijui ilikuwaje hembu niambie”
“Kuna mambo yanayo endelea, ila nakuomba unipe muda kila jambo likikaa vizuri basi nitakujulisha”
“Ethan nahitaji kujua sasa hivi”
Akatokea Ethan ndini ya chumba hichi na kumfanya dada Mery kupiga kelele, ila nikawahi kumziba mdomo wake ili kelele zake zisimstue mama aliye kaa sebleni. Dada Mery macho yakamtoka kwa maana katika maisha yake hakuwahi kuona mtu akijitokeza gafla mbele yake.
“Nakuomba utulie dada”
“Halooo Mery”
Ethan alizungumza huku akikaa kwenye moja ya kiti humu ndani huku akiwa amevalia suti ya dhahabu.
 
“Wewe ni nani?”
Dada Mery alizungumza huku akiutoa mkono wangu mdomoni mwake.
“Ni wajina wa mdogo wako”
“Wajina ndio nini?”
“Ninaitwa Ethan, nimekuwa na urafiki na mdogo wako toka kipindi alipo kuwa mtoto mdogo na nimekuwa ni msaada mkubwa sana kwake”
“Shindwa na ulegee kwa jina la Yesu?”
“Kumbuka hata mimi nina mfahamu Yesu na tumepewa mamlaka ya hapa Duniani. Siwezi kushindwa pale ninapo kuwa na nia nje kwako”
 
Ethan alizungumza kiustarabu huku akiwa amejawa na tabasamu pana. Muonekano wa Ethan wa leo kidogo ni wa tofauti. Umri wake unaendana na dada Mery tofauti ni siku nyingine anavyo nijia katika makamu yangu. Amependeza sana kwa muonekano wake ambao hakika una mvutia dada Mery.
“Dada zungumza naye mimi ninakuja”
Dada Mery akataka kunifwata ila Ethan akamnyooshea mkono na kumtuliza na kumfanya ashindwe kwenda popote, taratibu dada Mery akamfwata Ethan sehemy alipo kaa na wakaendelea kuzungumza. Nikafika sebleni na kumkuta mwanasheria wa kampuni akizungumza na mama.
“Ethan kuna habari njema”
“Habari gani?”
“Wanafunzi wameokolewa ma majeshi ya Marekani, Ufarana an Uingereza”
Mwanasheria alizungumza huku akinionyesha picha za matukio hayo kwenye simu yake.
“Hawa walio pigishwa magoti ndio watekaji?”
Nilizungumza huku nikimtazama mpiganaji mmoja baada ya mwengine wa kundi hili la Al-Shabab.
 
“Ndio”
“Mmmm ni wengi aisee”
“Yaa ni wengi, sana. Watoto wa kike wanapandishwa kwenye helicopter ya jeshi. Watapelekwa Afrika kusini. Wanafanyiwa uchunguzi wa kiafya kisha wataletwa huku Ujerumani”
“Mungu ni mwemama kwa kweli. Je hawa wapiganaji nao wanapelekwa wapi?”
“Hayo ni mambo ya kijeshi, sijaweza kufahamu kwa kweli.”
“Ethan”
“Naam mama”
“Naomba tuzungumze”
Taratibu nikakaa pembeni ya mama. Nikamuomba kwa ishara mwanasheria atupishe na atangulie katika ofisi katia jengo moja nje ya jumba hili.
“Ndio mama”
 
“Umesha wahi kuzungumza na dada yako, kuhusianana swala lake la kuolewa?”
“Hapana mama, sijawahi kuzungumza naye”
“Hembu basi jaribu kuzungumza naye. Unajua umri wa dada yako unakwenda sasa. Hajapata mtoto wala hajawahi niletea mwanaume wa kunitambulisha au anataka nife ndio azae”
“Nitazungumza naye mama yangu, wala usijali”
“Hembu ongea naye bwana, nahitaji kufa nikiwa nimemshika mjukuu wangu. Au kama yeye ana chelewa muwahi basi. Umpatie Camila ujauzito”
Kauli hii ikanifanya nikae kimya kwa muda kdigo. Nikatazama katika mlango wa kuingilia humu ndani, nikamuona Camila akiwa amesimama kwa unyonge sana huku mikononi mwake akiwa ameshika kipocho kidogo.
 
“Huyo ni Camila?”
Bibi Jane Klopp aliniuliza huku akinitazama. Nikamkazia macho kamila, kwa maana mimi na yeye tayari mahusiano yetu yalisha kwisha.
“Ndio mama”
“Ohoo karibu mkwe wangu”
Camila akaanza kutembea kwa unyonge hadi alipo mama, akamkumbatia na kuanza kuangua kulia jambo lililo nifanya nizidi kukasirika.
“Unalia nini mwanangu”
“Mama ni Ethan”
Camila aliendelea huku akiendelea kumkumbatia bibi Jane Klopp. Nikatamani kuwaachanisha, ila nikashindwa kufanya hivyo, kwani sihitaji bibi Jane Klopp afahamu kwamba mimi na Camila tuna tofauti kati yetu.
 
“Amefanyaje Ethan?”
“Camila njoo tuzungumze”
“Ethan mbona sauti yako imebadilika, umegombana na mwenzako?”
Bibi Jane Klopp alizungumza kwa upole huku wakiachiana na Camila.
“Hapana mama ni mambo ya kawaida?”
“Mbona mwenzio analia, sijamzoea kumuona Camila akiwa hivi na amekuwa mnyonge sana. Eti Camila niambie ni kitu gani kimetokea”
Camila akanitazama kw amacho ya woga huku akijawa na wasiwasi mwingi sana. Macho yangu ninayo mtazama nayo, dhairi yanaonyesha kwamba nimekasiria na ninamzuia kwa ishara ya macho kuto kumuambia bibi Jane Klopp kitu cha aina yoyoye.
 
“Ethan……”
Camila akaka kimya mara baada ya kukiweka kidole changu kimoja mdomoni na kumuashiria kwamba akae kimya.
“Amefanya nini?”
“Mama nilimuambia Camila kwamba nina acha kucheza mpira maisha mwangu na ninataka kusimamia biashara za baba, ndio maana kitu hicho kimemuumiza”
Ilibibi niongopee ili mradi kuficha tofauti zetu mimi na Camila, kwani bibi Jane endapo atafahamu juu matatizo yanayo endelea hivi sasa, nina imani kwamba ndio utakuwa mwanzo wake wa kufa kwa presha.
 
“Kwa nini Ethan, ikiwa marehemu baba yako alikuwa ni mchezaji mzuri. Hembu fwata nyayo zeka bwana usiwe hivyo. Uje ni wengi utawaumiza, si yeye tu hata wale mashabiki wako Ethan”
“Kweli mama, nilsha muambia hilo, na timu yake imekataa kuingia uwanjani kwa mechi zilizo baki kwa ajili yake, wanahitaji arudi uwanjani”
Camila naye aliendeleza uongo wangu, ili mradi kumfunga akili bibi Jane Klopp.
“Ohoo Ethan sio vizuri bwana, kumbuka hizi kampuni zina wasimamiaji. Hembu sikiliza kilio cha mpenzi wako, na fanya maamuzi ya kuto kumuumiza Camila. Tambua kwamba Camila anakupenda na kukuhiji ndio maana ana umi sana kwa maamuzi yako sawa mwanangu”
Bibi Jane alizungumza kwa suati ya upole na iliyo jaa hekima ndani yake.
 
“Sawa mama”
“Unajua siku ambayo baba yako alikuwa ana stafu kucheza mpira. Tulilia sana, nilisha zoea kukaa uwanjani na kumshangilia, nilijisikia furaha zaidi pale alipo kuwa akifunga goli. Hivyo natambua maumivu ya kama mke wa mchezaji mpira. Ethan mwanangu, ninakupenda sana tena sana. Hembu jaribu kufurahisha moyo wa mpenzi wako sawa mwanangu”
“Sawa mama nimekuelewa sana na ninakuahidi nitahakikisha kwamba nina rudi uwanjani”
“Kweli mume wangu?”
Camila alijaribu kuzungumza huku akiwa na furaha ya uongo.
“Ndio mke wangu”
Nilizungumza neno hilo huku moyo wangu ukiwa umejawa na hasira na maumivu makali sana.
 
“Haya nyanyukeni mukatafute mtoto”
Bibi Jane Klopp alizungumza maneno yaliyo mshangaza sana Camila, ila sikuhitaji kumuonyesha Camila sura ya furaha. Tukiwa kwenye kordo ya kueleka chumbani kwangu, kwenye mlango wa dada Mery nikasikia miguno ya kimahaba, nikajikuta nikitabasamu tu, kwani Ethan naye anafanya mambo yake. Nikaingia chumbani kwangu na Camila akaingia na kufunga mlango kwa ndani. 
 
Camila akapiga hatua moja mbele kisha akapiga magoti chini huku machozi mengi yakiwa yanamwagika usoni mwake.
“Nimevumilia japo kukaa kwa nusu saa peke yangu na kujiaminisha kwamba sina mwanaume ninaye mpenda kwneye maisha yangu, ila nimeshindwa Ethan”
Camila alizungumza huku nikiwa nimekaa kitandani na kumtazama usoni mwake.
 
“Ni bora ningekuwa nimewahi kuwa na mwanaume mwengine zaidi yako, ningesama basi acha niende kwake nitulize moyo wangu. Ila Ethan sina, Ethan ninakupenda sana mume wangu, nakuhitaji sana mpenzi wangu. Nilihisi njia niliyo itumia itakuwa ni rahisi kwangu kujua ni wapi lilipo boksi jeusi, ila kumbe ndio ninakupoteza Ethan. Ninakupenda sana”
“Ndiovyo jisni baba yako alivyo kutuma ili nisitoe asilimia thelathini ya pesa zangu nilizo wekeza kwenye kampeni zake si ndio?”
Nilizungumza kwa sauti nzito iliyo jaa mikwaruzo kadhaa inayo dhihirisha kwamba nina hasira.
 
“Ethan, sipo hapa kwa ajili ya baba yangu. Nipo hapa kwa ajili ya upendo wangu kwako. Kumbuka nilisha weka ahadi kwenye maisha yangu. Nikikukosa wewe ni lazima nitajiua. Kumbuka siku nilipo hitaji kujitupa gorofani kwa ajili ya penzi lako”
“Ungejitupa tu. Sasa hivi tungekuwa tumesha kusahau wewe”
Nilimjibu Camila kwa dharua iliyo changanyikana na hasira. Camila akanitazama kwa macho yaliyo jaa huruma huku akionekana ni mtu anaye jutia kwa maamuzi yake.
 
“Ulinishika bastoka kama jambazi. Ulinidhalilisha na walinzi wako. Walinipiga wakanifunga pingu pasipo huruma ya aina yoyote. Nilikupa kipimo kidogo kama mwanamke kwenye maisha, nikihitaji kufahamu je nina mwanamke sahihi kwenye maisha yangu kumbe hapana. Umenionyesha moyo wa kishetani ambao hata mtu wa kawaida anashangaa kwa kweli, kwani nini lakini eheee?”
Nilizungumza huku machozi ya hasira yakinimwagika usoni mwangu. 
 
“Mangapi ambayo tulifanya siri Camila, mangapi ambayo  tulipanga kwenye maisha yetu. Okay kwa mfano sasa mimi ni gaidi, na wewe mke wangu umeulizwa na polisi ni wapi nilipo, kwa hiyo ungewapa ushirikiano wa kunikamata si ndio?”
Camila akatingisha kichwa akimaanisha kwamba asinge wapa ushirikiano polisi.
“Acha unafki mtoto wa kike. Umenionyesha  dhairi kwamba wewe sio mwanamke wa kuoa. Umenibagua kirangi na kuniiita sokwe. Sawa mimi ni sokwe, nakuomba usinipende na usokwe wangu. Nitatafuta sokwe mwazangu, niishi naye na nitavumiliana naye kwenye shida na raha, tabu na majanga kama uliyo nifanyia leo. TOKA NYUMBANI KWETU”
 
Nilizungumza kwa kufoka sana hadi mishima ya damua ikavimba katika mikono yangu. Camila taratibu akasimama na akaanza kunifwata kwa hatua za taratibu, jambo lililo nifanya niamke kiatandani na kumfwata sehemu nilipo, ili nimrudishe mlangoni n aondoke zake. Kitendo cha kumshika mkono wake, akachomoa  kisu cha kukunjua ndani ya kipochi chake.  Akanichoma kisu cha tumboni mwangu, jambo lililo nifanya nihisi maumivu makali sana ambayo toka kuzaliwa kwangu sikuwahi kuyapata.
 
“Ni bora tufe wote kuliko kuendelea kukukosa wewe”
Camila mara baara ya kuzungumza maneno hayo, akakichomoa kisu hicho kwa nguvu tumboni mwangu kisha naye akajichoma tumboni mwake na akawa wa kwanza kuanguka chini huku nami nikianguka pembeni yake.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 148 na 149 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA 
      
“Na nimekuwa msaliti kwa wale walio kuwa wamenituma kwa ajili yako wewe, na laiti ningeihitaji kuwaua wewe na baba yako pasinge kuwa na mtu wa kunizuia kufanya hivyo. Ila wao walisaliti na ndio maana nikawa na nyinyi, ndio maana ninahitaji kuhakikisha ninalipa kisasi kabla sijaingia ndani ya hii ardhi. Nitaleta mwanao mikononi mwako, na kuanzia hapo nitakuwa tayari kufa na kuifwata familia yangu kule ilipo elekea ambayo K2 amehusika katika kuwaua”
Nilizungumza kwa hasira na sauti ya ukali huku nikiwa nimemtazama Yemi usoni mwake, jambo lililo pelekea kuzungumza maneno ambayo sikuyatarajia kuyazungumza mbele ya Yemi siku hata mmoja kwenye maisha yangu.
   
ENDELEA   
“Kifo changu hakito kuwa na thamani kwa mtu yoyote, maisha yangu yalisha haribika tangu nikiwa kijana mzuri ambate laiti kama ningekuwa nimetulia leo hii nisinge kuwa hapa na kuingia katika mikasa kama hii ambayo unaiona. Nimeteseka, nimegangaika, bado napigana kuhakikisha kwamba ninalipa kisasi kwa wale ambao  wameiteketeza familia yangu”
Nilizungumza huku machozi yakinitoka usoni mwangu.
“Najua nitakufa, Marekani inaniwinda mimi, Tanzania inaniwinda mimi, nilazima nitakufa mke wangu, mimi sio mwanaume wa kunipenda kwa maana sina gerentii ya maisha yangu”       
“Hapana Peter usizungumze hivyo, ninakupenda”
“Ninanjua unanipenda ila maisha yangu ni ya hatari, sina makazi maalumu Yemi, siwezi kusema ninaweza kuanzisha familia ambayo inaweza kuingia matatizoni kisa mimi. Hembu tazama familia yangu iliuwawa kwa kuchinjwa, tazama mwanao kwa sasa ametekwa kwa ajili yangu, bado unihisi kwamba mimi ni mwanaume sahihi kwenye maisha yako?”
Kwa haraka Yemi akanisogelea na kunikumbatia kwa nguvu huku akimwagikwa na machozi usoni mwake.
“Peter wewe ndio mwanaume wa ndoto zangu, nina kuahidi tutakuwa pamoja kufa na kupona, ninakupenda sana, ninakuhitaji kwenye maisha yangu wewe ndio baba wa wanangu. Lolote litakalo tokea nipo pamoja na wewe, kamwe sinto jali ni nani anaye kuwinda anaye kutafuta ila nitahakikisha kwamba ninakuwa na wewe mume wangu”
Maeno ya Yemi yakazidi kunisisimua mwili wangu, taratibu tukaachiana huku tukitazamana.
“Ninatakiwa kulishuhulikia swala la mtoto, ninakuomba utulie na nitajua nitakacho fanya”
“Kwani mume wangu hao walio mshikilia ni kina nani?”
“Aliye mshikilia ni mtu mmoja na ananguvu kubwa sana kwenye huu ulimwengu”
“Ni nani huyu mume wangu?”
“Ni raisi Donald Bush, ni raisi wa Marekani?”
Yemi akaonekana kustuka kidogo, mstuko wake ninatambua unatokkana na mtu niliye mtajia.
“Kwenye hiyo vita ni lazima na mimi nipigane kufa na kupona”
Yemi alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu.
“Kwa nini?”
“Nilijua kwamba huyo mshenzi atakuwa ameacha kuiandama famili yangu kumbe bado anendelea kuiandama ni lazima nimuue”
Yemi alizungumza kwa msisitizo na kuzidi kunishangaza.
“Ni kitu gani ambacho unakifahamu dhini ya Donald Bush?”   
Yemi akaka kimya kwa muda huku akionekana kufikiria jambo fulani kichwani mwake.
“Niambie mke wangu?”   
“Donald Bush alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mama yangu, kabla mama hajakutana na baba yangu, baada ya wawili hao kuachana chuo kila mmoja kuendelea na maisha yake, mama aliweza kumpata baba. Basi Donald alijaribu sana kumrudisha mama mikononi mwake, ila mama alisha mpenda baba yangu, mwisho wa siku katika kugombania msichana na kupambana na baba, alimchoma mama kisu cha tumbo kisha akamchoma na baba kisu cha tumbo, sikuweza kufanya chochote nilipo shuhudia tukio hilo kutokana mimi nilikuwa bado mdogo mdogo. Mama alifariki ila baba aliweza kubaki hai. Baada ya kupona ndipo baba alipo anza harakati za kutengeneza jeshi lake hadi leo unaona jeshi limekuwa kubwa kama hivi”
“Baba alijaribu kulipiza kisasi?”
“Waliwindana sana, hadi baba amefariki hakuweza kufanikiwa kumpata, na wala mimi sikujishuhulisha na maswala ya kulipiza kisasi kwani niliamua kuishi maisha ya usalama na ya amani. Ila kwa hapa alipo fika, amefikia pabaya sana, ni lazima nimshuhulikie”
“Yemi”
“Bee”
“Una nipenda?”
“Ndio ninakuependa mume wangu, zaidi ya unavyo fikiria”
“Una niamini?”
“Ndio mume wangu”
“Ninakuomba hili swala nilishuhulike mimi peke yangu, sihitaji wakuguse wewe”
“Dan……ahaa Peter”
“Ukipenda kuniita Dany pi unaweza kuniita mke wangu hakuna haja tena ya kuficha uhalisia wangu kwako ikiwa unafahamu kila kitu”
“Sawa mume wangu. Ila kumbuka kwamba mimi na wewe ni mke na mume na tunatakiwa kushirikiana ili kumkomboa mtoto wetu?”
“Natambua hilo ila ninakuahidi mtoto atarudi, na nitakuacha hapa na utaweza kusimamia madaraka yote ya kijeshi na amri ya mwisho watapokea kutoka kwako sawa mke wangu”
“Dany mimi na jeshi wapi na wapi?”
“Najua unaweza, na ninatambua utafanya. Huu sio wakati wa kurudi nyuma mke wangu, huu ni wakati wa kupambana sawa”
“Sawa mume wangu”
“Ngoja nielekee nje sasa”
Nikambusu Yemi usoni mwake kisha nikashuka kitandani, nikaanza kueleka nje huku nikiwa nimeishia simu ya Yemi mkononi mwangu.
“Habari ya asubuhi jenero”   
Martin alinisalimia mara baada ya kutoka chumbani kwangu na kumkuta akiwa amesimama sebleni akinisubiria.
“Salama tu, kuna lipi jpya?”
“Hakuna jipya ila wanajeshi wanaisubiria hotuba yako kwa hamu sana”
“Usijali majira ya saa nne nitawahutubia, ila kwa sasa muambie meja aje ofisini kwangu nina mazungumzo naye”
“Sawa mkuu”
Tulizungumza huku tukitembea, Martin akaeleke kumuita meja na mimi nikaelekea ofisini kwangu. Nikaingia ofisini kwangu, na kukaa kwenye kiti changu huku mawazo mengi yakiendelea kunitawala kichwani mwangu. Hisia zangu za kukataa mtoto wa Yemi kuishia mbali nasi kumbe zilikuwa sahihi kabisa. Mlango ukafunguliwa akaingia meja, akanipigia saluti kwa ishara nikamruhusu kukaa kwenye kiti kinacho tazamana nami.
“Jenero mbona unaonekana huna furaha kabisa?”
“Kuna tatizo ila hili ni binafsi sana, sitaki kulihusisha jeshi kwani sihitaji mtu yoyote aumie tena kwa ajili yangu”
“Tatizo gani jenero”
“Mtoto wangu wa kufika amekamatwa na Wamarekani”
“Mtoto wako wa kufikia!!?”
Meja aliniuliza huku akiwa amenitazama usoni mwangu.
“Ndio, mtoto wa Yemi amekamatwa na raisi wa Marekanani na ananishinikiza mimi kwenda kufanya mabadililo naye la sivyo atamuu”
“Mke wako anatambua hilo?”
“Yeye ndio alikuwa wa kwanza kuweza kulitambua hilo swala”
“Duuuu”
Meja alizungumza huku akishusha pumzi nyingi kwani hili swala ni zito sana na linahatarisha maisha yangu na usalama wa hili jeshi kwa asilimia tisini, kwani nimesha anza kuona jinsi mchango wangu ulivyo mkubwa kwneye hii chini.
“Yaani hapa kichwa changu kina niuma, mke wangu ana kazi ya kulia tuuuu, yaani ninashindwa kabisa nifanyaje, na nimekwama kusema kweli meja wangu”
“Unaonaje hiyo kazi tukawapa vijana wetu wakaifanya?”
“Hapana Mmarekani akiwa kwake ana mbinu nyingi sana za kuwakamata, na hiyo inaweza kupeleka vijana wetu wakapoteza maisha kwa swala ambalo haliwahusu”
“Ila jenero kumbuka kwamba hapa huyu ni mjukuu wa muasisi wa hili kundi, ni lazima damu yake ipiganiwe kwa garama yoyote”
“Hilo ni kweli ila sinto hitaji iwe hivyo”
“Sasa hapo tunafanya nini jenero wangu?”
Sijui meja, yaani natamani kwenda kuifanya hii kazi ila sinto rudi, hawa watu zaidi ya laki mbili wataongozwa na nani?”
Sote tukajikuta tukikaa kimya huku tukikuna vichwa vyatu.
“Nimekumbuka kuna watu wanaweza utuusaidia”
Maje alizungumza na kunifanya nimtazame usoni mwake.
“Kitu gani?”
“Kuna kundi moja la majasusi lipo Mosscow nchini Urusi, hilo lina mtandao mkubwa sana hadi ndani ya serikali ya Marekani, kwa kuwatumia hao mtoto anaweza kurudishwa akiwa salama Salmin na kikubwa ambcho kinatakiwa ni kuweka pesa mezani”
“Unaweza kuwasiliana nao hata sasa hivi?”
“Ndio ninaweza mkuu”
“Wasiliano nao basi tujue tunafanyaje”
Meja akatoa simu yake mfukoni akaminya minya batani za simu yake na kuiweka sikioni. Meja akaanza kuzungumza na mtu huyo.
“Ndio tulipata msiba wa mzee jana ndio tumemzika”
“Tunashukuru, ila kuna tatizo moja kubwa sana”
“Mjukuu wa mzee ameshikiliwa na serikali ya Marekani, wanamshinikiza mkuu wetu mpya aweze kujisalimisha mikononi mwao na watamuua nina imani wakimkamata”
Kwa ishara ninakumuomba meja kuweka simu yake loudspeaker.
“Mumepata mkuu mpya?”
“Ndio tnaye mkuu mpya ni mkwe wa mzee”
“Yule jamaa bishoo bishoo”
“Hapana huyu wa sasa ni komandoo, naamini umesikia jinsi tulivyo mtandika mmarekani na jeshi la Nigeria, yote nimatunda yake”
“Kama ni yeye aliye ongoza basi mumepata kichwa hapo”
“Yaaa, sasa anahiyaji hii uparesheni muifanye nyinyi, je mutaweza?”
“Hakuna jambo linalo shindikana hata kama mukihitaji tumuangamize huyo aliye mshikilia tunaweza kufanya”
“Basi zungumza naye huyu hapa”
“Habari yako ndugu”
Ilinibidi nianze kuzungumza mimi.
“Salama jenero hongera kwa ushindi wako wa jana, dunia nzima inalia kwa kile mulicho kifanya ila kwetu sisi ni furaha kwa maana tumepata wasaidizi wetu kwenye hii na Mmarekani”
“Ninashukuru sana, kitu ninacho kihitaji munifanyie ni kuhakikisha mwanangu anarudi mikononi mwangu nyinyi niambieni ni kiasi gani cha pesa mutahitaji ili kumkomboa mtoto wangu”
“Kwa sasa kaka sihitaji pesa yako, ngoja tuifanye kazi ikikamilika basi nitakuambia ni kiasi gani ambacho tunahitaji na pia nitahitaji ushirikiano wetu, kwani vita yetu sote ni dhidi ya Marekani”
Maneno ya huyu kiongozi wa kikundi cha kijasusi yakanifariji snaa moyoni mwangu na kujikuta nikishusha pumzi huku  nikitokea kuwaamini sana katika utendaji wao wa kazi japo sikuwahi kuwaona nah ii ndio mara yangu ya kwanza kuwasikia.

AISIIIII……….U KILL ME 149

“Nimekuelewa ndugu na mutachukua muda gani kuweza kukamilisha zoezi la kumuokoa mwanangu?”
“Masaa kumi na mbili kuanzia hivi sasa, tupatie picha ya mwanao kisha tunajua tunaanzia wapi?”
“Poa poo tutakutumia baada ya muda mfupi”
“Sawa mkuu”
Nikakata simu na kumrudishia meja simu yake huku usoni mwangu nikiwa nimejawa na tabasamu pana kiasi kwani nimepata njia ya matumaini.
“Naomba ukaniitie mke wangu”   
“Sawa jenero”
Meja akatoka ofisini kwangu na kuniacha nikiwa ninatafakari njia ya pili enepo majasusi hawa watashindwa kabisa kumukoa mtoto wa Yemi. Haukupita muda sana mlango ukafunguliwa akaingia meja pamoja na Yemi ambeye usoni mwake amapoteza furaha kabisa. Taratibu Yemi akaka kwenye kiti alichokuwa amekali na meja na kumfanya meja kusimama.
“Mke wangu tuepata njia ya kumuokoa mtoto”   
“Njia gani mume wangu?”   
Nikatamzama meja na kumpa ishara ya kuelezea mpango mzima tulio upanga na majasusi wa Urusi.
“Muna waamini?”   
“Ndio nina waamini wamefanya kazi nyingi pia na marehemu baba yako, na kupitia baba yako mimi niliweza kuwafahamu”
Meja alizungumza kwa kujiamini  sana.
“Sasa wanataka kiasi gani?”
“Hawaitahi kiasi chochote kwa sasa hadi kazi itakapo kamilika, ila wamehitaji picha ya mtoto wetu”
“Tuwapatie kama ndio hivyo?”
Yemi alizungumza kwa sauti iliyo jaa upole ndani yake huku akinitazama usoni mwangu.
“Sawa meja unaweza kufanya hilo”
“Naomba simu, kuna picha niliyo tumiwa whatsapp wiki iliyo pita nia imani itakuw andio nzuri”
Nikamkabidhi simu Yemia akaanza kuitafuta picha hiyo kisha akanigeuzia simu niitazame picha hiyo.
“Inafaa. Meja chukua simu hiyo umtumie jamaa”
“Sawa jenero”
Meja akachukua simu ya Yemi, akatoka humu ofisini. Taratibu nikasimama na kumsogelea Yemi ambaye hana furaha kabisa kwenye uso wake. Taratibu nikamnyanyua huku nikimkumbatia tararibu pasipo kuzungumza kitu chochote.
“Dany mume wangu ninakupenda sana”
“Ninakupenda pia mke wangu”
“Nikuulize kitu?”
“Niulize”
“Kama ingekuwa hujasalitiawa na watu walio kuwa wamekuagiza ni kweli ungetuua?”
Swali la Yemi likanifanya nikae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikifikiria kile nilicho kifanya kwa baba Hawa na kundi lake la Al-Shabab.
“Nisinge weza kufanya hivyo?”
“Kwa nini?”
Yemi alizungumza huku akijitoa mikononi mwangu taratibu na kunitazama usoni mwangu kwa macho ya mshangao kidogo.
“Ninakupenda, na mulinipenda na kuniamini, hata kama wasinge kuwa wamenisaliti kama ulivyo sema ila ukarimu wenu ungeyayusha maagizo yote niliyo kuwa nimepewa dhidi yenu”
“Nashukuru sana mume wangu kwa hilo kwa mana umesha tambua ukweli ni kwamba ulikuwa unatumiwa kulipiza kisasi cha watu wengine ikiwa wao wamekaa kwenye sehemu zao salama salimini”
“Usijali mke wangu, ndio manaa ninahitaji jeshi la baba yako kwa sasa lifanye kazi za faida, na zilizo njema na si kwa kuwaumiza wananchi wasio na uwezo wa kijeshi”
“Ni kweli unatakiwa kufanya mabadiliko mume wangu wewe ni kijana na wengi walipo kwenye hili kundi ni vijana wezako wape maisha ambayo kila mmoja atakupenda na kukuheshimu zaidi ya hapa wanavyo kuheshimu”
“Asante mke wangu kwa ushauri wako”
Mlango ukagongwa kwa nje taratibu nikamuachia Yemi na kumkaribisha mtu anaye bisha hodi. Akaingia Martin akiwa ameshika faili.
“Muheshimiwa nimekuandalia hotoba kama hotojali unaweza kuipitia”
Martin alizungumza huku akikabidhi faili hili alilo kuja nalo ofisini kwangu.
“Shukrani”
Nilizungumza huku  nikilichukua faili hili na kulifunua, nikaanza kupitia mwanzo wa hii hotuba, nikamtazama Martin kisha nikatabsamau kwani kile alicho kiandika ni kama vile alikuwa kwenye akili yangu kwani niliahidi kuhutubia wanajeshi wangu kwa ushindi tulio upata ila kwa haya matatizo niliyo kutana nayo asubuhi ya leo kichwa changu chote kimepagawa na sijui ni kitu gani ninaweza kukifanya.
“Umefanya jambo zuri Marti, waambie wanajeshi baada ya nusu saa nitakuwa uwanjani kwa ajili ya kuwahutubia”
“Sawa”
Akaingia meja, Martin akatoka na kutuacha ofisini.
“Nimesha mtumia mkuu”
“Amesemaje?”
“Ameomba nimpigie azungumze na wewe”
“Mpigie”
Nilizungumza huku nikizunguka meza hii na kukaa kwenye kiti changu, meja akapiga simu kwa mkuu wa kikosi cha majasusi kisha akanikabidhi.
“Ndio kaka”
“Tumeipata picha ya mwanao, na upelelezi tulio ufanya hadi hivi sasa, mwanao ameshikiliwa katika ikulu ya Marekani na sehemu hiyo inahitaji nguvu ya ziada kuweza kuingia hapo ikulu”
“Ohoo Mungu wangu”
Nilizungumza huku nikishusha pumzi nyingi, jambo lililo mfanya Yemi kunitazama kwa macho ya mshangao huku  akiwa na shauku ya kuhitaji kuni kitu gani kinacho endelea.
“Ni pagumu sana kuweza kuingia ndani ya ikulu ya Marekani, kwani sasa hivi ulinzi wake umebadilika kwa asilima mia moja, na kufanya hivyo inaweza kuepela vijana wangu wengi kupoteza maisha”
“Hamna mtu ndani ya ikulu ambaye anaweza kuifanya hiyo kazi?”
“Yupo ila nimewasiliana naye inavyo onyesha ni kwamba hato weza kufanya hivyo kwani mtoto wenu yupo chini ya ulinzi wa askari wa raisi na nikatika chumba cha siri”
“Naomba unipe dakika kumi na tano nitakupigia”
“Sawa kaka”
Nikakata simu huku nikiwa nimepiteza furaha kabisa kwenye uso wangu.
“Mume wangu naomba uniambie ni kitu gani ambacho kimempata mwanangu?”
“Yupo ndani ya ikulu ya Marekani na yupo katika chumba cha siri”
“Ohoo Mungu wangu, sa…sasa wamesemaje hao watu?”
Nikamtazama Yemi usoni mwake kwa sekunde kadhaa huku nikitafakari ni kitu gani ninacho weza kukifanya.
“Mkuu hili jambo linahitaji tuandae kikosi cha kwenda kuifanya hivyo kazi?”
“Sio kwenye ikulu ya Marekani, hakuna hata mmoja ambaye anaweza kutoka salama”
“Acha tu iwe hivyo mkuu?”
“Meja kufanya hivyo pia mwanangu ninamuweka katika hali ya hatari, unahisi wamarekani wataacha kumua endapo sisi tukienda kuwavamia?”
Maneno yangu yakamfanya meja kukaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akinitazma usoni mwangu, Yemi hakusema kitu chochote zaidi ya kuinama chini huku kiganja cha mkono wake wa kulia kikiwa na kazi ya kuziba uso wake moja kw amoja nikatambua kwamba analia.
“Ila tuna makomandoo ambao tukiwatuma nina uhakika wanaweza kuifanya hii kazi ikaenda sawa sawa”
“Meja naomba unipe muda wa kulifikiria hili na mke wangu”
“Sawa mkuu”
Meja akatoka ofisi humu na kutuacha na Yemi. Nikaanza kusikia kilio cha Yemi kwa sauti ya chini, kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivo jinsi alivyo zidisha kulia kwa sauti.
“Mke wangu”
Nilizungumza kwa sauti iliyo jaa majonzi huku nikinyanyuka kwenye kiti changu, nikamnyanyua Yemi kweye kiti alicho kali na kumkumbatia kwa mara nyingine.
“Mke wangu nitahakikisha  kwamba ninamleta mwanao nyumbani sawa”
“Kivipi Dany hembu tazama, tazama mwanangu sasa hivi yupo ikulu ya hao mashetani, hivi kweli mwanangu atarudi jamani?”
Yemi aliendelea kuzungumza huku akilia kwa uchungu.
“Atarudi mke wangu mimi ndio ninaye kuahidi, nitahakikisha kwamba anarudi”
Niliendelea kumfariji Yemi hadi akapungumza kulia kwa uchungu, alipo maliza nikamuomba akae kwenye kiti, nikachukua faili mezani alilo niletea Martin, nikambusu Yemi kwenye paji la uso wake kisha nikatoka ofisini humu. Tukaanza kuongozan ana Martin hadi kwenye kiwanja kikubwa, nikawakuta wanajeshi wengi wakiwa wamesimama kwenye mistari iliyo nyooka vizuri.
“Muheshumiwa kila kitu kipo salama”
Meja alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, nikawatazama wanajeshi hawa wanao nisubiria mimi kwa muda sasa, nisha taratibu nikasogelea sehemu yenye kipaza sauti huku Martin akisimama nyuma yangu. Nikaka kwa takribani dakika tano huku ninawatazama wanajeshi hawa, kichwa changu kusema kweli hakipo sawa. Usoni mwangu inanijia picha ya mtoto wa Yemi, kilio cha Yemi ninakisikia masikioni mwangu.
“Mkuu mbona kimya”
Martin alininong’onezaa kwa sauti ya chini.
“Ehee!!”
“Ipo kimya mkuu watu wanasubiria uzungumze kwa sasa”
“Sawa sawa”
Nikasha pumzi nyingi hadi ikasikika kwenye kipaza sauti kilicho wekwa mbele yangu. Nikanyoosha mkono wangu wa kulia juu huku nikiwa nimekunja ngumi.
“Bokoooo Haramuuuuu”
Wanajeshi wote wakaitikia kwa shangwem jambo lililo nipa ujasiri kidogo wa kuzungumza.
“Jana ilikuwa ni siku ndefu kwetu sote, nina imani wengi wenu mumeamka mukiwa na uchovu na kuchoka kwa namna moja ama nyingine. Tuliweza kumsindikiza mzee wetu katika nyumba yake ya milele, na pia tuliweza kuwapiga Wamarekani pamoja na jeshi la serikali la hapa Nigeria”
“Huu ni mwanzo mzuri katika uongozi wangu, mwanzo ambao nitahiji uende hivi hivi hadi pale mauiti yatakapo nichukia. Sipendi kuona damu ya hata mmoja wenu ina mwagika, yale mauaji yaliyo fanywa na raisi wa Tanzania, K2 siwezi kuyaacha yapite hivi hivi. Ni lazima na mimi nilipe kwa ubaya wake alio ufanya.”
“Jana tuliwaweza kuwazuia wavamizi wetu, ial tukumbuke ni lazima wavamizi wetu watajipanga na kurudi dhidi yetu. Ninacho waomba mukifanye, tuhakikishe kwamba tunajiandaa kwa lolote ambalo litajitokeza mbele yetu, nilazima tuhakishe tunakuwa ni kundi bora kama ilivyo kwa Al-quida”
Nikaka kimya huku nikifikiria niwaeleze juu ya kutekwa kwa mtoto wa Yemi ila nikajukuta nikijikataza mimi mwenyewe kuzungumzia jambo hilo.
“Ninaandaa mpango mzuri na viongozi wa juu, nitahakisha kwamba kila mwanajeshi anakuwa na gerentii ya maisha yeke na familia yake. Kila mwanajeshi nitahakikisha kwamba familia yake inapatiwa huduma nzuri kuanzia afya, malezi, na chakula.”
Wanajeshi wote wakashangilia na kunifanya nitabasamu.
“Mimi ni kijana mwenzenu ninaweza kuifanya kazi yoyote ambayo nyinyi munaweza kuifanya nitawaomba kama kuna wasaliti katikati ya hili jeshi basi waondoke mapema iwezekanavyo kwani sinto muonea huruma mtu ambaye ni msaliti, nitahakikisha kwamba anakufa mbele ya watu wengine kwa kupigwa risasi zisizo na idadi. Ninawatakia asubihi njema”
Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo nikashuka kwenye jukwaa hil na kuwaacha wanajeshi wakinipigia makofi.
“Mkuu nimepata simu kutoka Urusi”
“Jamaa wanasemaje?”
“Wanaomba wazungumze nawe”
“Wapigie”
Nilizungumza na meja huku tukiendelea kutembea kurudi ofisi kwangu. Meja akapiga simu baada ya muda akanipatia simu yake na kunikabidhi.
“Ndio ndugu”
“Tumepata tatizo”
“Tatizo gani?”
“Mtu ambaye tulikuwa tunawasiliana naye kuweza kutupa maelekezo ndani ya ikulu ya Marekani amekamatwa na hivi sasa anahojiwa ili kuweza kutoa ushirikiano wa sisi kukamatwa”
“Nyinyi kwani mupo wapi?”
“Watu wangu wapo Marekani ila wanajiandaa kuondoka nchini hamo. Kwa hiyo ninahitaji kukuambia kwamba kazi uliyo tupa hatutoweza kuifanya kabisa. Samahani kwa hilo ndugu”
Nikabaki kimywa kwa sekunde kadhaa, huku nikiwa nimesimama, nikakata simu na kukabidhi meja simu yake.
“Hii kazi nitaifanya mimi mwenyewe, ninakuomba uniandalie usafiri ambao utanifikisha nchini Marekani kisiri pasipo mke wangu kujua wala serikali ya Marekani kufahamu.”
“Jene……”
“Meja fanya hivyo, hiyo ni amri na si ombi”
Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikimtazama meja usoni mwake na kumfanya atingishe kichwa kukubaliana kwa kile nilicho kizungumza kwani hata akikataa hawezi kupinga maamuzi yangu kwani mimi ndio mkubwa wake wa kazi japo kiumri yeye ndio mkubwa.                                                                                                                                                  ITAENDELEA
“Haya sasa Dany anaingiza mzigoni mwenyewe, watu alio wapia dili mambo yamewashinda, je atafanikiwa kufika nchini Marekani. Usikose shemu inayo fwata ya story hii ya kusisimua.”

Serikali Kuwasilisha Ombi Maalumu la Kutotoa Takwimu Ambazo Itaona Ni Za Siri

$
0
0
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango, amesema pamoja na Serikali kuridhia mkataba wa Takwimu wa Afrika, Serikali itawasilisha maombi maalumu ili kuiwezesha Tanzania kutotoa taarifa za takwimu ambazo nchi itaona zina usiri na utolewaji wake unaweza kuathiri maslahi ya taifa.

Dk. Mpango amesema hayo bungeni jijini Dodoma leo wakati akisoma mkataba wa azimio hilo.

Amesema utaratibu huo unatambuliwa kimataifa kupitia kupitia sehemu ya pili ya itifaki ya Vienna uliosainiwa mwaka 1969 ambapo Tanzania ni mojawapo ya nchi zilizoridhia kutumia mkataba huu tangu Aprili 12, mwaka 1976.

Dk Mpango amesema msingi wa azimio hilo ni mkataba wa kuanzisha Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika wa mwaka 1991 ambao Tanzania iliuridhia Januari 10, 1992 na Sheria ya Kuanzisha Umoja wa Afrika ya mwaka 2000 ambayo Tanzania iliridhia Aprili 6, 2001.

“Lengo kuu nyaraka hizi mbili ni kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi Afrika na utangamano wa kiuchumi,” amesema.

Dk. Mpango amesema ili kutimiza lengo hilo nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), waliazimia kuwa na mfumo wa pamoja wa kusimamia uzalishaji na usambazaji wa takwimu ili kuwezesha watunga sera na wataalamu wa mipango kuwa na uelewa mpana wa viashiria vya uchumi.

“Februari 4, 2009, wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika walilazimika kuwa na mkataba wa takwim Afrika kwa lengo la kuweka mfumo mfumo wa kuratibu upatikanaji na usambazaji wa takwimu bora za kiuchimi, kijamii na mazingira zitakazotumika katika kupanga na kutolea maamuzi maamuzi ya kisera katika ngazi ya kitaifa, kanda na bara la Afrika,” amesema Dk. Mpango.

Mchungaji Msigwa atolewa bungeni Mjadala wa Kumpongeza Rais Magufuli Ukiendelea

$
0
0
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema), ametolewa nje ya ukumbi wa Bunge, wakati Bunge likijadili azimilio lililowasilishwa bungeni na Mbunge wa Singida Magharibi (CCM), Elibariki Kingu, la kumpongeza Rais John Magufulu kwa hatua aliyochukua juu ya kununua zao korosho.

Chanzo cha kutolewa nje Msigwa ilikuwa ni mchango wa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Jackline Ngonyani, ambaye alikuwa akichangia azimio hilo huku akiwaponda wapinzani.

Katika mchango wake alisema wapinzani wamekuwa mabingwa wa kupinga kila kitu kuanzia suala la makinikia na hata Mradi wa Umeme wa Mto Rufiji.

“Wakati wa suala la makinikia wapo tuliokuwa tunawaona wanazunguka hotelini huko kupanga mikakati ya kukwamisha, hoja ya kutengeneza umeme wa Mto Rufiji pia walipinga,” amesema.

Wakati Ngonyani akisema hayo, Msigwa alisimama akawa anazungumza jambo lililofanya Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, kumtaka akae bila mafanikio.

“Msigwa wewe ni mchungaji, unajua kabisa Biblia inasema tuheshimu mamlaka mimi nazungumza wewe keti,” alisema.

Baada ya kujaribu kumsihi kwa muda bila mafanikio, alimuamuru kutoka nje, na alipokataa aliagiza askari wa bunge kumtoa nje.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images