STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi
ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengue (Dengue Fever).
Akiongea na mwandishi wetu, Natasha alisema tangu Rais Jakaya
Kikwete aingie madarakani, hajawahi kuugua hata homa lakini kwa mara ya
kwanza mwaka huu homa ya dengue imemlaza.
“Nilianza kusikia baridi kali sana kisha nikawa naishiwa nguvu na
Msanii Natasha naye augua Dengue na kulazwa...."nilihisi naaga dunia kiukweli lakini niliwahi kwenda hospitali, nimepata tiba, nimeruhusiwa"
↧
↧
Jack Wolper apiga mwereka ukumbini baada ya kunywa pombe kupita kiasi
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe anadaiwa kuwa
tilalila na kujikuta akipiga mwereka kwenye shughuli ya kibao kata cha
mwigizaji mwenzake, Vanita Omary.
Kwa mujibu wa ‘shushushu’ wetu aliyekuwa ndani ya nyumba, tukio hilo
lilijiri kwenye Ukumbi wa PG Hall (zamani FM Club), Kinondoni jijini Dar
ambapo mastaa kibao walihudhuria.
Ndani ya kibao kata hicho, Wolper
↧
Nape asema NDOA ya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi ni ya ubabaishaji.....Akumbushia jinsi Tundu Lissu alivyoitukana na kuikejeli CUF
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwendelezo wa ubabaishaji na matusi makubwa kwa vyama vingine vilivyokubali ndoa hiyo hasa CUF.
Nape amesema hayo jana wakati akihutubia mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Parking mjini Nzega na
↧
Mahaba ya Snura awapo Sita kwa Sita yatishia kuvunja kitanda
Staa wa kike anayetikisa kwenye tasnia ya filamu na muziki, Snura Mushi a.k.a Majanga anadaiwa kuwa ni mmoja wa mastaa wa kike wenye ujuzi mkubwa kimahaba kiasi cha kuwapagawisha mno wanaume anaokuwa nao katika mahusiano.....
Chanzo chetu cha habari ambacho kiko karibu na staa huyo kilieleza kuwa Snura huwa na tabia ya kupandisha mzuka wa
↧
Kutovaa nguo za ndani kwamuumbua Naomi Campbell....!
Mwanamitindo wa kimataifa wa Marekani, Naomi Campbell mwishoni mwa wiki jana alikumbwa na tukio la aibu baada ya tatizo lake la kusahau kuvaa chupi kumsababishia tatizo kubwa wakati akishuka kwenye gari lake na kukumbana na camera za wapiga picha za kidaku....!
Kutokana na kutovaa nguo hiyo ya ndani, Naomi wakati akishuka kwenye gari lake
↧
↧
Avunja Ndoa yake kwa kutamani maisha ya Wema Sepetu.....
Kuiga ni kawaida kwa wengi.Wapo walioiga mambo fulani na hatimaye wakafanikiwa, na pia wapo walioiga vitu flani wakaharibikiwa.Huyu aliiga na akaharibu kila kitu...
Ni msanii wa siku nyingi katika fani.Alitamba zaidi akiwa Kaole, na hata mwanzoni mwa ujio wa filamu za Kanumba alizidi tu kashaini....
Kiasili ni mweusi japo siku hizi kuna
↧
Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania
Rwanda imemkataa Balozi mteule wa Tanzania, Mussa Siwa, ambaye
alitakia na serikali kwenda kufanya kazi kwenye ubalozi wa Tanzania nchini
humo.Taarifa kutoka Rwanda na duru za ndani ya serikali ya Tanzania zimeeleza
serikali ya nchi hiyo imemkataa balozi huyo kwasababu mbalimbali zikiwemo za
kiusalama.
Habari kutoka ndani ya Ikulu ya Rwanda zinaeleza kuwa serikali ya
nchi hiyo imemkataa
↧
Zitto Kabwe achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa kamati za mahesabu za nchi za Afrika(Afropac)....Huu ni ujumbe wake alioutoa facebook
↧
Kundi la kig*idi la Boko Haram latoa masharti ya kuwaachilia wasichana wa Nigeria lililowateka nyara...Hii ni video yao wakiwa wamesilimishwa
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu
amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu
wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria
wataachiliwa huru.
Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo,
kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika
kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara.
Wasichana ambao kundi
↧
↧
Aunty Lulu Avua Nguo Hadharani Ukweni baada ya pombe kupanda kichwani
Msichana wa mjini asiyeishiwa na matukio Bongo, Lulu Mathias
Semagongo ‘Aunty Lulu’, kwa mara nyingine amefanya kituko cha aina yake
baada ya kuzua timbwili kisha kusaula nguo zote hadharani bila kujali
yupo ukweni.
Aunty Lulu ana uhusiano wa kimapenzi na kijana anayejulikana kwa jina moja la Amani.
Habari zisizokuwa na chembe ya ‘dauti’ zilidai kuwa hivi karibuni,
Aunty Lulu na
↧
Majina na utaratibu wa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa ( JKT ) kwa wahitimu wa kidato cha sita 2014
UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA WANAOMALIZA KIDATO CHA SITA MEI 2014.
AWAMU YA KWANZA; Vijana 20,000 wataripoti kwenye makambi ya mafunzo ya JKT kuanzia tarehe 01 Juni 2014 na kuanza rasmi mafunzo yao tarehe 08 Juni 2014 na kumaliza tarehe 04 Septemba 2014. Orodha yao itaanza kuonekana kwenye website ya JKT tarehe 11 Mei 2014 kuanzia saa nne (4)
↧
Taarifa ya Wizara ya Afya kuhusu ugonjwa wa homa ya Dengue......
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UGONJWA WA HOMA YA DENGUE “DENGUE FEVER”
Utangulizi
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani “dengue fever” hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwabaada ya sampuli zilizochukuliwa kutoka kwa watu waliohisiwa kuwa na ugonjwa huu jijini Dar es Salaam kupelekwa kwenye maabara yetu ya Taifa
↧
Daktari wa Mwanza Afia Gesti jijini Dar
Mwili wa Dk. Raymond Simion ukitolewa kwenye chumba cha kulala wageni na polisi.
MTU mmoja aliyedaiwa kuwa ni daktari wa jijini Mwanza, Raymond Simion
(36) amekutwa amekufa ndani ya chumba kwenye nyumba ya kulala wageni
‘gesti’ ijulikanayo kwa jina la Nesta iliyopo Ubungo NHC wilayani
Kinondoni jijini Dar.
Taarifa kutoka katika gesti hiyo zinasema marehemu alijiorodhesha
kwenye kitabu
↧
↧
Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 13 May 2014
↧
Wachina 9 walazwa kwa homa ya Dengue.....Rais Kikwete aagiza hatua za dharura zichukuliwe haraka
Wakati raia tisa wa China wakibainika kuugua ugonjwa wa dengue
na kulazwa hapa nchini, Rais Jakaya Kikwete amevunja ukimya na kuagiza
wizara zake mbili kukabiliana na ugonjwa huo kwa dharura.
Ugonjwa huo uliingia nchini tangu mwaka 2010
lakini mlipuko wake mkubwa ulibainika Machi mwaka huu na hadi jana
wagonjwa zaidi ya 400 walikuwa wameambukizwa, huku watatu wakiripotiwa
kufariki
↧
Baraza kivuli la UKAWA halina mashiko kisiasa
KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman
Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya
hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na
wabunge kutoka Chadema pekee, ili sasa awajumuishe na wabunge wa vyama
vingine vya siasa kutoka upinzani.
Baraza hilo jipya limetangazwa likiwa na mawaziri vivuli kutoka vyama
vya Chadema, CUF na
↧
Albino auawa kwa kukatwa mapanga mkoani Simuyu....Anyofolewa mguu wa kushoto na vidole vitatu
MAREHEMU Nughu Lugata ambaye ni albino ameuawa na viungo vyake
kuchukuliwa na watu wasiojulikana jana majira ya saa moja jioni huko
Bariadi mkoani Simiyu.
Nughu ameuawa kwa kukatwa mapanga na baadhi ya viungo vyake kama mguu
wa kushoto na vidole vitatu kuchukuliwa na watu wasiojulikana.
Marehemu alikuwa mkazi wa Gasuma akijishughulisha na kilimo.
<!-- adsense -->
↧
↧
Jokate Mwegelo awataka wahitimu wa chuo kikuu kujiajiri.....
Mbunifu
wa mitindo na Miss Tanzania namba mbili wa mwaka 2006, Jokate Mwegelo
akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika
kongamano la 2014 Market Forum lililofanyika kwenye ukumbi wa Nkrumah.
Mrembo na mbunifu wa mitindo huyo aliwataka wanafunzi wajiajiri mara
wamalizapo masomo yao kutokana na ugumu wa soko la ajira.
Mbunifu
wa mitindo na Miss Tanzania namba mbili
↧
Pombe yamponza Wema Sepetu........Augua, ajirusha
Wakati ishu ya kuolewa ikiwa bado inamsumbua kichwani Miss Tanzania 2006 ,Wema Sepetu amejikuta akiugua gonjwa linalosababishwa na vinywaji baridi....
Bi shosti huyo ambaye aling'ara usiku wa tuzo za Kili akiwa na mpenzi wake Diamond alisema kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa mafindofindo (Tonsils) ambao umemfanya kutokunywa vinywaji anavyovipenda
↧
Haikuwa Rahisi: Nick wa Pili asimulia ugumu wa maisha, aliuza SAMBUSA darasa la 3 hadi la 7 hadi saa nne usiku
Drake anasema ‘We started from the Bottom’ lakini Mweusi Nick wa Pili anasema ‘Haikuwa Rahisi’.
Nick wa Pili ambaye ni moja kati ya rappers bora zaidi Tanzania na
mshindi wa tuzo ya KTMA ameelezea jinsi alivyohangaika wakati akiwa
shule ya msingi katika maisha ya kawaida ambayo wapo watanzania wengi
wanayoyaishi hadi hivi sasa.
Akizungumza katika kipindi cha The Jump Off ambapo
↧
More Pages to Explore .....