Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mo Dewji aongoza kikao cha kwanza Bodi ya Wakurugenzi Simba

0
0
Mwekezaji mtarajiwa wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ leo amefanya kikao cha kwanza cha Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo.

MO Dewji amekutana na viongozi hao ikiwa ni wiki moja baada ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam.

Mo Dewji aliongoza kikao hicho kilichohudhuria na  Mtendaji Mkuu wa Simba, Crescentius Magori, Mwenyekiti Swedi Mkwabi na wajumbe, Dk Zawadi Kadunda, Seleman Haroub, Hussein Kitta, Asha Baraka na Mwina Kaduguda waliochaguliwa wiki iliyopita.

Wengine ni kaimu Rais wa zamani wa Simba, Salim Abdallah 'Try Again', wajumbe Said Tulliy, Musley Al- Ruwey na Mlamu Nghambi.

Hata hivyo uongozi wa Simba ulitoa picha za wajumbe na Mo kukutana katika mitandao yake ya jamii  bila ya kutoa taarifa yoyote juu ya mkutano huo wa leo.

Viongozi hao wamekutana ikiwa ni siku moja baada ya Shirikisho la Soka Africa (CAF), kutangaza ratiba ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Simba kupangwa dhidi ya Mbabane Swallows ya Swaziland.

Katika ratiba hiyo, wawakilishi hao wa Tanzania wataanza kwa kukipiga na Mbabane Swallows ya Swaziland katika mchezo wa kwanza ambao Simba itaanzia nyumbani.

Mbabane inakumbukwa baada ya kuitupa nje Azam FC katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika katika raundi ya kwanza mapema mwaka 2017.

Ratiba hiyo inaonyesha kuwa mchezo michezo ya kwanza itachezwa kati ya Novemba 27 na 28 na baada ya hapo itacheza mchezo wa marudiano ugenini kati ya Desemba 4 na 5 mwaka huu.

Mshindi wa jumla wa mechi hiyo atakutana na mshindi wa mchezo baina ya Nkana Red Devils ya Zambia na UD Do Songo ya Msumbiji ili kusaka timu itakayofuzu hatua ya makundi.

Katika mashindano hayo pia JKU ya Zanzibar itaanzia nyumbani itakapoivaa Al Hilal ya Sudan na mshindi wa jumla wa mechi hiyo atakutana na mshindi wa mechi baina ya APR ya Rwanda na Club Africain ya Tunisia.

Kwenye Kombe la Shirikisho, Mtibwa Sugar imepangwa kukutana na Northern Dynamo ya Shelisheli na mshindi wa mechi hiyo atacheza na KCCA ya Uganda wakati Zimamoto ya Zanzibar itaanza na Kaizer Chief ya Afrika Kusini na ikishinda mchezo huo itakutana na mshindi wa mechi kati ya El Geco ya Madagascar na Deportivo Unidado ya Guinea ya Ikweta.


TFF: Marufuku Manji kurudishwa Yanga Kinyemela

0
0
Mwenyekiti Kamati ya Uchaguzi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Malangwe Mchungahela amewataka Yanga kuacha mpango wao wa kutaka kumrudisha mwenyekiti Yusuf Manji kwa mlango wa nyuma kesho, Jumapili.

Akizungumza na wanahabari mwenyekiti Mchungahela alisema wamepata taarifa kuwa baadhi ya viongozi wa Yanga kesho Jumapili wanataka kuitisha kikao chao cha kumtambua Manji kuwa mwenyeki wao.

“Nataka kuwaonya wasithubutu kufanya kitu cha namna hiyo na watakapofanya hatutawachekea, tutawashughulikia wote.”

Mchungahela alisema mchakato umeshatangazwa nafasi ya mwenyekiti ipo wazi na yeyote anayetaka uwenyekiti asipite mlango wa uwani aje kuchukua fomu si kinyume na hapo vinginevyo hatutakubali.

“Mtu yeyote ambaye ni kiongozi wa mpira mwenye madaraka ya namna yoyote akifanya kinyume cha hapo atashughulikiwa, na taratibu za kimpira ikiwemo kupelekekwa kwenye kamati ya maadili hatutasita na wala tusilaumiane huku baadaye,” alisema Mchungahela.

Awali Mwenyekiti Mchungahela alisema uchaguzi wa klabu ya Yanga ulishaanza tangu ulipotangazwa tarehe 5 na fomu zilikuwa zianze kuchukuliwa kuanzia tarehe 8 -13, lakini ilishindikana kutokana na kuwa na kikao na wajumbe wa kamati ya utendaji wa Yanga.

“Fomu zimeanza kutoka 9 hadi 14 na uchaguzi utakuwa katika tarehe ile ile iliyopangwa,” alisema mwenyekiti huyo..

Breaking News: Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mawaziri Wawili....Amteua Waitara

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri kwa kuteua Mawaziri wawili na Naibu Mawaziri wanne.

Kwanza, Rais Magufuli amemteua Japhet Ngailonga Hasunga kuwa Waziri wa Kilimo.

Kabla ya uteuzi huo Hasunga alikuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, na anachukua nafasi ya Dkt. Charles John Tizeba ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Pili, Rais Magufuli amemteua Joseph George Kakunda kuwa Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji.

Kabla ya uteuzi huo Kakunda alikuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), na anachukua nafasi ya Charles John Mwijage ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Tatu, Rais Magufuli amemteua Constantine John Kanyasu kuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii. Kanyasu anachukua nafasi ya Hasunga ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo.

Nne, Rais Magufuli amemteua Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwanjelwa alikuwa Naibu Waziri wa Kilimo.

Tano, Rais Magufuli amemteua Mwita Mwikwabe Waitara kuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI. Waitara anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Kakunda ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji.

Sita, Rais Magufuli amemteua Mhe. Innocent Lugha Bashungwa kuwa Naibu Waziri wa Kilimo. Bashungwa anachukua nafasi ya Mhe. Dkt. Mwanjelwa ambaye ameteuliwa kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Uteuzi wa viongozi hawa umeanza leo tarehe 10 Novemba, 2018 na wateule wote wataapishwa Jumatatu tarehe 12 Novemba, 2018 saa 3:00 asubuhi, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Wakati huo huo, Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Mama Anna Margareth Abdallah na kuivunja bodi hiyo kuanzia leo tarehe 10 Novemba, 2018.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya Novemba 11

Video Mpya: Selektadavizo ft. Barakah The Prince - Sukuma

0
0
Msanii Selektadavizo kwa kushirikiana na Barakah The Prince wanakukaribisha kutazama  video ya wimbo wao mpya uitwao Sukuma. Itazame hapa.

PICHA: Waziri Mkuu Aongoza Kikao Cha Maandalizi Ya Ununuzi Korosho

0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu, baadhi ya watendaji wa Serikali na Wakurugenzi wa mabenki na CBT jijini Dodoma Novemba 10.2018, kujadili maandalizi ya ununuzi wa korosho. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 


Diamond Platnumz na Rayvanny Wameachia DUDE Jingine------Mwanza (Nyegezi) . Lisikilize Hapa

0
0
Muimbaji Rayvanny kwa kushirikiana na Diamond Platnumz wanakukaribisha kutazama video ya wimbo wao mpya uitwao Mwanza. Itazame  hapa.

Daraja la Wami Kukamilika Ndani ya Miezi 24

0
0
Frank   Mvungi- MAELEZO
Serikali kutumia  zaidi ya Bilioni 67 katika ujenzi wa Daraja la mto Wami na linatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 24 na hivyo kuchochea  ukuaji wa sekta ya uchukuzi hapa nchini.

Akijibu swali la kuhusu ujenzi wa Daraja hilo, Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano  Mhe. Elias Kuandikwa alisema kuwa kwa sasa Mkandarasi yupo kwenye maandalizi ya kuanza ujenzi ambapo baada ya maandalizi hayo kazi ya ujenzi wa daraja utaanza ukigharimiwa na Serikali kwa asilimia 100.

“ Wakati wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Mkandarasi   Power Construction Corporation kutoka China walisaini mkataba wa ujenzi wa daraja hili tarehe 28/05/2018 hivyo tayari kazi ya ujenzi inatarajiwa kuanza wakati wowote”; Alisisitiza Mhe. Kuandikwa

Akifafanua Mhe. Kuandikwa amesema kuwa Daraja jipya la Wami litakuwa na urefu wa mita 513.5 na upana wa mita 11.85 na litajengwa umbali wa mita 670 pembeni ya daraja la zamani upande wa kulia  ukiwa unaelekea Segerea.

Aliongeza kuwa upana wa daraja hilo umezingatia sehemu ya barabara, waenda kwa miguu pamoja na vizuizi kwa ajili ya usalama.

Daraja hilo litakuwa kichocheo cha maendeleo katika mikoa ya Kaskazini  kwa kuchochea shughuli za usafirishaji na uchukuzi kwa njia ya barabara.

Daraja la  sasa la mto Wami lenya urefu wa mita 88.75 liko mkoa wa Pwani na lilijengwa mwaka 1959 na ni kiungo muhimu kutoka Chalinze kwenda mikoa ya ukanda wa Kaskazini mwa nchi yetu na nchi za jirani.

Serikali Yakitwaa Kiwanda Cha Kuchakata Korosho Lindi (Buko)

0
0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) yenye dhamana ya kusimamia mali za Serikali kwa sehemu ambazo Serikali imefanya uwekezaji, imekitwaa Kiwanda cha Kuchakata Korosho Lindi maarufu kama BUKO kilichojengwa mwaka 1978 na kufanya uzalishaji kwa kipindi cha miaka nane tu kikiwa na uwezo wa kuzalisha tani 10,000 kwa mwaka huku lengo likiwa ni kufikia tani 60,000 kwa mwaka.


Akizungumza katika kikao cha awali na Sekretarieti ya Mkoa wa Lindi kuelezea utaratibu mzima ulivyokua mpaka Serikali kufikia uamuzi huo kabla ya zoezi la utwaaji wa kiwanda uliofanyika kiwandani eneo la Viwanda la Jamhuri pembezoni mwa barabara iendayo Mtwara, Kaimu Msajili wa Hazina (TR) Ndg.Peter Gwagilo, alisema hii ni sehemu tu ya utekelezaji wa kasi na Sera ya urejeshaji viwanda vilivyobinafsishwa au kuuzwa na Serikali miaka ya nyuma na kubainika kutofanya kazi kwa tija kama ilivyotarajiwa kwa mujibu wa mikataba iliyoingiwa na wawekezaji husika hivyo viwanda kufa au kufanya kazi kwa kusuasua kutokana na uwekezaji hafifu tofauti na makubaliano.

Kaimu Msajili wa Hazina akitanabaisha nia njema ya Serikali katika urejeshaji wa viwanda vya mtindo huu amesema utwaaji hufanyika baada ya kujiridhisha kutokana na zoezi linalofanyika kila baada ya miezi mitatu la ufuatiliaji na tathmini kuangalia utekelezaji wa mikataba ya uwekezaji iliyoingiwa lengo mahususi likiwa ni kujiridhisha utekelezaji wa mikataba ambayo Serikali imeingia na mwekezaji.

Ndg.Gwagilo amewasihi wawekezaji walioingia mikataba ya uwekezaji na Serikali kutekeleza kama mikataba inavyoainisha kwani zoezi la urejeshaji viwanda hivi bado ni endelevu na Serikali inaendelea na taratibu zinazotakiwa katika kupata wawekezaji wengine wenye uwezo, tija na nia madhubuti ya kuwekeza kwenye viwanda hivyo na tayari utwaaji huu umeshafanyika kwenye mikoa kadhaa ikiwemo ya Kilimanjaro (Kiwanda cha kutengeneza madawa ya mimea Moshi na Kiwanda cha Kukoboa Mpunga Kilimanjaro), Tanga (Kiwanda cha Magogo ya Mbao) na sehemu nyingine kama Kiwanda cha Maziwa UTEGI mkoani Mara, ambapo kwa awamu hii jumla ya viwanda 12 kikiwemo hiki cha Korosho Lindi kilichokwishatwaliwa vinatarajiwa kurejeshwa Serikalini baada ya kujiridhisha vya kutosha kuwa mwekezaji ameshindwa kuwekeza kulingana na mkataba.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ndg.Godfrey Zambi akipokea ujumbe wa wataalamu Wilayani Kilwa kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina na Ofisi ya Rais tayari kwa zoezi hilo alisema, “Naishukuru Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina kufanya maamuzi haya sahihi kwani kiwanda hiki hakijawahi kufanya uzalishaji wenye tija kwa Taifa kama tulivyotarajia na hii inatokana na madhaifu yaliyobainika katika zoezi zima la ubinafsishaji lililofanyika awali miaka ya nyuma ambapo kwa sehemu kubwa mikataba hii ndiyo imeigharimu Serikali yetu.”

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndg.Shaibu Issa Ndemanga ameitaka Ofisi ya Msajili wa Hazina kutokata tamaa kutokana na changamoto mbalimbali inazokumbana nazo katika mazoezi haya ya ufuatiliaji, kufanya tathmini na utwaaji pale inapolazimu kwani Serikali ni moja na hivyo ni vema kuwa na utaratibu wa mawasiliano ya moja kwa moja na Msajili wa Hazina katika kuyazungumzia haya kuepusha wazungumzaji wengi kwa jambo moja jambo linaloweza kuleta upotoshaji wa taarifa.

Hali kadhalika nae Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Ndg.Rehema Madenge ameishauri Serikali kufanya maamuzi ya kukiendesha yenyewe kiwanda hiki kutokana na uwekezaji na uendeshaji duni kabisa wa mwekezaji katika kiwanda hiki uliopelekea kutokuwepo kwa uzalishaji na badala yake kutumia majengo kama maghala ya kuhifadhia mazao na vitu mbalimbali kwa kuyakodisha kitu ambacho ni tofauti kabisa na lengo la Serikali katika ubinafsishaji na uuzaji wake kwa wawekezaji.

Pamoja na hilo Ndg.Madenge amekiri kuwa nyota njema sasa inaonekana kwani ni mwanzo mzuri kuanza kwa zoezi la utwaaji viwanda hasa katika mkoa wake wa Lindi kwani bila hivyo Serikali itakua haiwatendei haki wakulima na wananchi wake kwa ujumla kama viwanda vilivyo karibu nao havifanyi kazi ili kupata soko la malighafi zao ambazo ni mazao yao.

Aidha, Katibu Tawala ameisihi pia Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina kuhakikisha inawafanyia upekuzi wa kina sana kabla ya kuwachagua wawekezaji wanaojitokeza na kuonyesha nia ya kutaka kupatiwa viwanda kwa kubinafsishwa au kuuziwa ili kufanya uwekezaji wenye tija ili kuleta faida itakayochagiza ukuaji wa uchumi wa nchi, kuboresha kipato na hali ya maisha ya mwananchi mmoja mmoja hali kadhalika kukua kwa pato la Taifa.

Taarifa hai ya ufuatiliaji na tathmini ya Ofisi ya Msajili wa Hazina imeeleza kuwa, “Kulingana na Kifungu 7.1 na 7.2 cha Mkataba, mwekezaji alitakiwa kuwekeza kiasi cha USD 600 kwa ajili ya kufanya ukarabati na kuboresha kiwanda ndani ya miezi sita baada ya kukabidhiwa kiwanda tarehe 11 Mei, 2005; kulingana na kifungu cha Mkataba 5.1. Mwekezaji alifanya uwekezaji mdogo kwa kukarabati baadhi ya mashine pamoja na majengo. 

Hata hivyo, kiwanda kilifanya kazi kwa mwaka mmoja 2007/08 na kusimamisha uzalishaji hivyo mpaka kufikia siku hii ya kutwaliwa hakuna uzalishaji unaoendelea hivyo Serikali imefanya maamuzi ya kukirejesha kiwanda hiki Serikalini kufuatia kusimama kufanya kazi kwa muda mrefu na mwekezaji kutoonesha jitihada zozote za uendelezaji wa kiwanda.”

Amber Lulu Arudisha Penzi kwa Prezzo

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Amber Lulu ameamua kurudisha mapenzi yake kwa Prezzo.

Amber Lulu amesema kuwa amedharaulika na  kuteseka sana kwenye mapenzi hivyo hana budi kuendelea kuwa na Prezzo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

"Jaman sijazoea kuangaika na niko hivi nikipenda napenda kweli no matter what !! Sasa mnataka kuona kila siku na Bwana mpya, siwez na nishateseka sana nishadharaulika sana. Ni zaidi ya mateso kwenye mapenzi kukanwa kupigwa nishakuwa kama mtumwa nishapata stress mpaka napoteza nuru.

"Nikawa naonekana kama teja kwa huyu hakuna hivyo vitu ananijali anajuwa maana ya upendo ananiheshimu, nyie mnaniona kicheche yeye ananiona qeen Elizabeth na matatizo yangu hajawai hata kunidharau anajuwa thamani yangu kwanini nisirudi kwake niacheni jamani."

Muimbaji huyo ameshawahi kutoka kimapenzi na waimbaji kadhaa wa Bongo Fleva kama Barnaba,Young Dee na Aslay.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE;LUKUBA 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO   0658920640/ 0754372325 / 0620806813
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Kidato Cha Pili Kuanza Mitihani ya Upimaji Kitaifa Kesho

0
0
Watahiniwa 544,866 wa shule za sekondari 4,725 wamesajiliwa kufanya mtihani wa upimaji wa kitaifa kidato cha pili kuanzia kesho Novemba 12 hadi 23, kati yao asilimia 47.93 ni wavulana na wasichana ni asilimia 52.07.

Pia kuanzia Novemba 22 hadi 23 watahiniwa 1,358,217 kutoka shule za msingi 17,336 wanatarajiwa kufanya mitihani yao ya upimaji darasa la nne kati yao wavulana ni 682,193 (asilimia 50.23) na wasichana ni 676.024 (asilimia 49.77).

Akizungumza na waandishi wa habari leo Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde amesema kumekuwa na ongezeko la watahiniwa kwa asilimia 4.41 kwa kidato cha pili na ongezeko la asilimia 13.57 kwa darasa la nne.

"Mwaka 2017 kidato cha pili kulikuwa na watahiniwa 521,855 na darasa la nne walikuwa 1,195,970 hivyo tunaweza kuona ongezeko la watahiniwa 185,258 kwa ujumla," amesema Dk Msonde.

Amesema katika watahiniwa wa kidato cha pili walio na mahitaji maalumu wapo 775 ambapo kati yao 411 ni wenye uoni hafifu, wasioona 66, wenye ulemavu wa kusikia 256 na 36 ni walio na ulemavu wa viungo.

Kwa watahiniwa wa darasa la nne walio na mahitaji maalumu wapo 3,336 kati yao wenye uoni hafifu ni 120, wasioona 120, wenye ulemavu wa kusikia 725 na 1,776 ni walemavu wa viungo vya mwili," amesema Dk Msonde.

Dk Msonde pia amewataka wamiliki wa shule za binafsi kuepuka kuingilia majukumu ya wasimamizi huku akibainisha kuwa baraza halitasita kukifutIa mtihani kituo kitakachobainika kufanya udanganyifu.

Serikali Yakana Kuitenga Mikoa ya Kanda ya Kaskazini

0
0
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Awamu ya Tano haijaitenga mikoa ya Kanda ya Kaskazini kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidai.

Samia amesema kumekuwapo na dhana potofu iliyojengwa na baadhi ya watu kuwa Mkoa wa Kilimanjaro umetengwa, jambo ambalo halina ukweli.

Amesema Serikali haijawatenga wananchi na ndiyo maana miundombinu kama ya barabara na afya imekuwa ikitekelezwa.

Makamu huyo wa Rais aliyasema hayo jana wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Pasua, Manispaa ya Moshi alipoweka jiwe la msingi la upanuzi wa jengo la mama na mtoto katika kituo cha afya Pasua akiwa katika ziara mkoani humo.

Alisema Serikali haiwezi kuwatenga wananchi wa mikoa hiyo kutokana na itikadi za kisiasa, bali jukumu lake ni kuwahudumia Watanzania wote katika kuhakikisha wanapata huduma bora za kijamii.

“Ondoeni dhana kuwa mikoa ya Kaskazini imetengwa, hii siyo kweli, Serikali haiwezi kuwatenga, Kaskazini ipo Tanzania, uchaguzi uliopita mmeleta wabunge wachache wa Chama cha Mapinduzi ndio maana wako wachache,” alisema.

Alisema, “Serikali yetu ni ya uwazi na ukweli, nafasi za mawaziri Kilimanjaro mmetuletea? Lakini mngetuletea wengi, mawaziri wangekuwa wengi, mmetuletea wachache ndio maana wako wachache.”

Makamu wa Rais alisema Serikali itaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo nchi nzima ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2015/2020.

“Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Magufuli inafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha wananchi wanapata maisha bora kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo ilikuwa ni kero kubwa kwa wananchi ikiwemo miradi ya umeme, miundombinu ya barabara, afya, elimu na maji,” alisema.

Awali, aliwataka wananchi kutunza miundombinu ya barabara inayojengwa na Serikali kwa sababu inatumia gharama kubwa.

Samia aliyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Barabara ya Bonite mjini Moshi iliyojengwa kwa kiwango cha lami yenye urefu wa zaidi ya kilomita 2.9 ambayo imegharimu zaidi ya Sh 3bilioni.

Alisema lengo la Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma nzuri na bora.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Mizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29

0
0
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana hawaridhishwi na Waume au wapenzi wao pale wanapoaza kushiriki tendo la ndoa 

Kwa Nini Ujione Mpweke Pale Ukutanapo Na Mpenzi Au Mke Wako Kisa Eti Hauna Nguvu Za Kiume? ;Tumia MIZIZI 29 POWER, hii ndio tiba itakayorudisha heshima ya ndoa yako . 

Dawa hii itakufanya;
 1 Uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-25 kwa tendo la kwanza 
2 Dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
3  Dawa hii uhimalisha misuri iliyolegea na kusinyaa?dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji nani tofauti na ulizowai kutumia ata wazee wenye umri mkubwa wanapona 

NSONSOMA; Dawa hii itakufanya umridhishe  mke au mpenzi wako kwani uboresha uume saizi upendayo urfu wa nchi 5,6,7 na 8 na unene wa sentimita 2,3,4 na 5 dawa  hii ipo ya kupaka na kunywa 

NSHOLA; NI dawa ya uzazi kwa waliongaika mda mrefu bila kupata mtoto 

MWITA; Dawa hii humvuta meme, mke,au mpenzi mliyetengana pia umrudisha mtu kazini haliyefukuzwa, kumpatanisha mwajiliwa na bosi wake 

Tunatibu presha kisukari, busha ,vidonda vya tumbo tumbo kuunguruma kujaa gesi na kukosa choo 

MAHALI ILIPO OFISI; PANDA DALADALA SHUKA BUGURUNI MALAPA AU ROZANA NA MWANZA YUPO WAKALA PIGA SIMU 0752348593 DR NYAROBI .Kama hauna nafasi ya kuja ofisini utaletewa popote ulipo huduma hizi

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Mauaji Kigoma: Waziri Lugola Atoa Maagizo Mazito Kwa IGP Sirro

0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Tanzania, (IGP) Simon Sirro kuwaondoa katika nafasi zao Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo na mkuu wa operesheni mkoa huo.

Akiwa katika ziara ya kutembelea wilayani Uvinza mkoani humo leo Jumapili Novemba 11, 2018, ambapo zilitokea vurugu baina ya polisi na wananchi wa jamii ya Wanyantuzu na kusababisha vifo, waziri huyo pia ameagiza kuondolewa kwa mkuu wa operesheni mkoa na mkuu wa polisi wa wilaya ya Uvinza.

Taarifa iliyotolewa na wizara hiyo kupitia mtandao wa Twitter imesema wengine wanaotakiwa kuondolewa ni mkuu wa intelijensia wilaya na askari wote wa kituo cha polisi Mpeta na Nguruka.

Maalim Seif: Mkataba wa mafuta, gesi ni batili

0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesema mkataba wa utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi ulioitwa wa kihistoria na kutiwa saini Oktoba 23 mwaka huu ni batili.

Mkataba huo ambao ulihusisha Kampuni ya Utafutaji na Uchimbaji Mafuta ya Rak Gas kutoka katika nchi ya Ras Alkhaimah ya taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu [United Arab Emirates-UAE] na Zanzibar ambao katibu Mkuu huyo amesema ni batili .

Amesema mkataba uliotiwa saini ni kwa ajili ya kugawana faida itayopatikana pindi uchimbaji wa mafuta au gesi utafanyika katika kitalu cha Zanzibar-Pemba [Production Sharing Agreement- PSA].

Maalim Seif akitoa sababu mbalimbali ikiwamo ya Muungano huku akiwataka Wazanzibar kuacha uvyama kuwa makini na suala hilo ambalo kwa namna moja ama nyingine alisema litakuja kuleta sintofahamu hapo baadaye.

“Hapa tuache uchama tuwe kitu kimoja si CUF Chadema wala CCM lazima hili suala la mafuta na gesi liangaliwe kwa kuwa lina kasoro nyingi ikiwemo kutokuwa na uwazi,”

“Suala la rasilimali ya mafuta na gesi lina umuhimu wa aina ya pekee kwa Zanzibar na watu wake kutokana na mazingira ya kikatiba, kisheria na kiuchumi hivyo basi bila ya kuwepo umakini, ukweli wa dhati wa wanaolisimamia na uwazi, Zanzibar, watu wake na vizazi vyao vya baadae watajikuta wameingizwa katika mgogoro mwengine mkubwa sana sawa au zaidi ya ule mgogoro wa mkataba wa Muungano,” amesema Maalim Seif.

Aidha, amesema kitendo hicho ni cha aibu na fedheha kwa Wazanzibar na wala wasitarajie kunufaika kama ambavyo Dk. Ali Mohamed Shein ametanabaisha kwa mujibu wa Maalim Seif huku akigoma bado kumtambua kama kafanya hivyo yeye ni rais.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 30

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA
              
“Dada yako yupo njiani analetwa hapa. Haki ya Mungu usipo nieleza ukweli Ethan ninakwenda kumuua mbele yako, sinto jali wewe ni mtu ninaye mpenda au laa. Ila nilazima nitamuua”
Camila alizungumza kwa msisitizo na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa, kiasi cha kuzidi kumchukia Camila. Hazikupita hata dakika tano dada Mery akaingizwa ndani humu, akasukumizwa chini huku mikono yake ikiwa imefungwa na kamba.
“Ethan ni wapi lilipo boksi jeusi?”   
Camila alizungumza huku akikabidhiwa bastola na mmoja wa walinzi wake. Camila akaielekeza bastola hiyo  kweye paja la dada Mery.
“Wifi”
Dada Mery aliita huku akijaribu kuangaza angaza ilipo simama Camila. Mlio wa risasi ukanifanya nilie kwa nguvu sana, kwani risasi hiyo imempiga dada Mery kwenye japa la mguu wake wa kulia na kumfanya agaregare chini kwa maumivu makali sana.

ENDELEA
Machozi mengi yakazidi kunimwagika machoni mwangu, hasira yangu ikazidi kupanda hadi ikafikia kiwango nikaanza kumwagikwa na makamasi puani mwangu. Sikuamini kama Camila ninaye ishi naye siku zote na kumchukulia kama mtu wa maana kwangu, kumbe ana roho mbaya sana.
“Sema boksi lipo wapi?”
Camila alizungumza kwa hasira huku akiwa amemuelekezea dada Mery bastola ya kichwani. Kilio cha dada Mery kikazidi kunipagawisha kabisa, kwani kila jinsi anavyo lia ndivyo jinsi damu inavyo mwagika kwenye kidonda chake.
“Nipo tayari kuwasaidia kuhakikisha kwamba tunalipata hilo boksi”
 
“Zungumza wapi?”
Gafla mlango wa kuingilia humu ndani ukavunjwa. Akasimama Ethan mlangoni huku kucha za vidoleni mwake zikiwa zimechongoka kwa sentimita kadhaa. Walinzi wa Camila wakaanza kumshambulia kwa kumpiga risasi mfululizo  ila hapakuwa na risasi hata mmoja ambayo iliweza kumdhuru Ethan. Risasi zilivyo waisha, Ethan kwa kasi ya ajabu akaanza kuwaua walinzi hawa wa Camila huku akiwachomoa miayo yao jambo lililo mfanya Camila kuogopa sana hadi haja ndogo ikaanza kumwagika. Ndani ya sekunde kadhaa walinzi wote wa Camila wakawa chini huku wakiwa tayari ni marehemu. Ethan akaanza kumfwata Camila aliye zidi kurudi nyuma nyuma hadi akafika ukutani na kukosa sehemu ya kwenda. Ethan akanitazama usoni mwangu huku akisubiria amri ya kufanya kama ni kumuua Camila au laa.
 
Nikamuita kwa ishara ya macho Ethan, akanifungulia kamba na pingu nilizo kuwa nimefungwa, kwa haraka nikamuwahi dada Mery chini alipo kaa. Nikataka kumfungua kitambaa chake ila nilivyo angalia maiti hizi nikaona hakuna haja ya kumfungua kitambaa chake. Nikamuacha na kuanza kutembea hadi alipo Camila.
“Nilikuambia kwamba sinto kusamehe kwa kuitoa siri yangu.”
Nilizungumza huku nikimkazia macho Camila usoni mwake.
“Sikujua kwamba nipo na jini. Ni hivi kuanzia hivi sasa hivi mimi na wewe basi kwenye kila jambo, si mahusiano na wala si kwa mambo mengine. Umenielewa?”
 
Camila akatingisha kichwa akimaanisha amenielewa. Ving’ora vya gari za polisi vinavyo kuja katika eneo hili vikanifanya nimtazame Ethan mwenzangu ambaye tayari amesha fanya mauaji makubwa sana.
“Ondoka na dada yangu”
“Na wewe?”
“Nahitaji kuwepo hapa hapa, sitaki kukimbia na kuwa mtu anaye tafutwa”
Ethan akanitazma ausoni mwangu, kwa haraka akanirudisha kwneye kiti changu, akanifunga kama nilivyo kuwa nimefungwa hapo awali. Akamshikisha Camila bastola na kumsimamisha mbele yangu na kuninyooshea.
 
“Unafanya nini?”
“Utaona”
Ethan baada ya kufanya anacho kifanya, akamkumbatia dada Mery na kuondoka naye katika eneo hili. Polisi wakaingia ndani humu huku wakiwa na silaha. Polisi wote wakabaki wakiwa wameshikwa na bumbuwazi kubwa sana, kwa haraka wakamuwahi Camila na kumpokonya bastola aliyo nielekezea.
“Ethan upo salama?”
Askari mmoja aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu. Askari hawa wakaanza kunifungua pingu pamoja na kamba, sehemu ambalo alikuwepo dada Mery kuna mwili wa mlinzi mmoja. Camila kila anacho ulizwa na askari hawa juu ya hichi kilicho tokea hapa anashindwa kuzungumza. 
 
Nikatolewa nje na madaktari wa kitengo hichi cha polisi wakaanza kunishuhulikia jeraha lililopo mgongoni mwangu huku wote wakiwa na shauku ya kuhitaji kunihoji maswali. Sikuweza kuwaona wazazi wa Camila katika eneo hili zaidi ya watu wengine.
“Mumejuaje nipo hapa?”
Nilimuuliza mmoja wa askari anaye nishuhulikia jeraha langu.
“Tulipigiwa simu na mama Camila, akisema kwamba mtoto wake amekuteka na amesikia milio ya risasi ikitokea huku”
“Mama?”       
“Ndio, ilikuwaje hadi imekuwa hivi?”
Nikashusha pumzi sana huku nikifiria usaliti alio ufanya mama Camila kwa mwanaye. Nikawaona wazazi wa Camila wakimkimbilia mtoto wao aliye wekwa chini ya ulinzi mkali wa askari.
 
“Una uhakika mama yake ndio aliye piga simu kwenu?”
“Asilimia mia moja”
Nikamtazama Camila jinsi anavyo kumbatiwa na wazazi wake. Kitu kinacho nishangaza ni kulia kwa mama yake, jambo lililo nifanya nijiulize swali kama aliamua kumsaliti mwanaye sasa hivi kwa nini ameamua kulia. Camila akaingizwa kwenye moja ya gari la askari. Baba Camila akaonekana kuzungumza na askari hao ila hapakuwa na askari ambaye anamsikiliza na kila askari anafwata sheria za nchi zinavyo kwenda. Hata kama wewe ni mtoto wa kiongozi, ukifanya makosa ni lazima watakukamata. Mama Camila akaanza kutembea huku akitufwata kwa kasi katika eneo hili ninalo patiwa matibabu.
 
“Ethan ni nini ulicho kifanya eheee?”
Mama Camila alizungumza kwa ukali sana huku akinitazama usoni mwangu.
“Mwanao ndio aliye niteka mimi na kunisababishia majeraha mgongoni mwangu”
Mama Camila akanizaba kofi zito la shavuni mwangu na kuwafanya askari wa kike walio karibu na eneo hili kumzuia, kwani kufanya hivyo navyo ni kuvunja sheria.
“Ole wako mwanangu afungwe nitahakikisha na wewe unafungwa”
 
Mama Camila alizungumza kwa hasira sana huku akiondolewa katika eneo hili. Hapa ndipo nikatambua kwamba mchezo wote wa kupiga simu ameufanya Ethan, jini mwenye uwezo wa kujibadilisha kila aina ya mtu amtakaye yeye. Nilipo maliza kupatiwa matibabu na mimi nikaingizwa kwenye gari la polisi na safari ya kuelekea makao makuu ya polisi ikaanza. Ukimya ndani ya gari hili umetawala kiasi cha kunifanya nizidi kusongwa na mawazo kichwani mwangu. Mahusiano yangu na Camila yamebadilika sana na kuzalisha uaduia mkubwa sana. Mipango  yote ambayo tulikuwa tumeipanga kwenye maisha yetu pale tutakapo ingia kwenye ndoa, ndio tayari imesha vurugika.
 
Nikafika katika kituoa cha polisi na kukuta kundi kubwa la waandishi wa habari wakitusubiria hadi nikajikuta nikishangaa na kujiuliza wametokea wapi hawa. Wandishi wa habari wakandelea kufanya kazi  yao ya kuchukua kila tukio linalo endelea huku wengine wakiwa na shahuku ya kunihoji ila polisi waliwazuia na nikafanikiwa kuingia ndani ya jengo hili kubwa lenye gorofa zaidi ya thelathini. Nikaingizwa kwenye chumba cha mahojiano na kuachwa peke yangu. Nikaanza kukumbuka tukio la Ethan jinsi alivyo kuwa akiwaua walinzi hao na mbaya zaidi amewachomoa chomoa mioyo yao.
 
‘Ethan’
Niliita kimoyo moyo, baada ya sekunde kadhaa Ethan akakaa kwenye kiti kilichopo mbele yangu na tumetenganishwa na meza tu.
‘Vipi dada yangu yupo sehemu salama?’
‘Ndio nimemuweka sehemu salama kabisa, na kidonda chake kimepona’
‘Camila je?’
‘Bado unamkumbuka huyo mpuuzi?’
‘Hapana, ila nataka kufahamu kwamba yupo wapi?’
‘Yupo kwenye chumba cha mahojiano’
‘Ni kitu gani ambacho kimempata hadi kuwa vile?’
‘Ni hasira tu ndio imepelekea yeye kuwa vile’
‘Mmmm sasa hii kesi si ataibeba yeye?’
‘Nakusikiliza wewe, kama unahitaji apotelee jela, nipo tayari hii kesi kumgeuzia yeye?’
 
Nikaka kimya huku nikimtazama Ethan usoni mwake. Uzuri mazungumzo yetu hakuna binadamu yoyote anaye yasikia. Nikasimama kwenye kiti na kuanza kuzunguka ndani ya chumba hichi huku nikitafakari ni kitu gani nimjibu Ethan. Nikakumbuka maisha ya nyuma ambayo tuliishi na Camila, maisha ambayo kila mmoja alikuwa akituzungumzia sisi. Nikakumbuka kipindi cha utoto jinsi alivyo kuwa akinitetea shule kutokana na ubaguzi wa rangi ulivyo kuwa kipindi hicho.
‘Fanya mamuzi sahihi’
Ethan alizungumza huku akiwa amesimama nyuma yangu.
‘Mbeleni hato kuja kunidhuru?’
‘Ni ngumu sana kuzungumzia vitu vya mbeleni, kwani dunia hubadilika kila kukicha’
‘Iue kesi kwa upande wake’
‘Sawa nitambambikia kesi daktari aliye kufanyia upasuaji huko nyuma.’
 
‘Kwani hukumuua?’
‘Yupo hai, utaona nitakacho kifanya, na hata ukiiulizwa maswali hakikisha kwamba unamtetea Camila kwamba bastola aliishika kwa ajili ya kujitetea mara baada ya kukuta dokta akiwaua walinzi wake kwa kuwachomoa mioyo yao’
‘Hilo linaweza kukubalika kweli?’
‘Ndio linakubalika, huku mimi nitatengeneza ushahidi wote na kila jambo litakwenda vizuri sawa’
‘Sawa’
Ethan akanishika bega kisha akapotea katika eneo hili. Mlango ukafunguliwa na akaingia mzee mmoja wa makamo. Mzee huyu akakaa kwenye kiti alicho kuwa amekalia Ethan.
“Habari yako bwana Ethan”
Alisalimia huku akinitazama usoni mwangu. Taratibu nikarudi na kukaa kwenye kiti nilicho kuwa nimekalia.
“Nahitaji kufahamu ni kitu gani kilitokea?”
“Wapi?”
 
“Kwenye eneo la tukio?”
Nikakaa kimya kwa sekunde kadha huku nikiwa nimeinamisha kichwa changu chini. Nikamtazama mzee huyu.
“Nilipo toka hospitalini leo asubuhi, nilielekea nyumbani kwa wakwe zangu. Nikiwa pale jina langu lilitajwa na magaidi, nina imani kwamba utakuwa umeona video ile”
“Ndio nimeiona”
“Nilichanganyikiwa kwa kweli, na niliingia chumbani kwa Camila kwa muda kidogo. Baba yake aliingia chumbani mule akihitaji ufafanuzi juu ya boksi hilo jeusi ambalo kwa kweli mimi  silifahamu”
Nilizungumza kwa upole sana huku nikimtazama mzee huyu usoni mwake.
 
“Baada ya kutoka nje nikiwa ndani ya gari, Camila naye aliingia. Ila baada ya muda kidogo alitoka na kuelekea ndani”
“Kwa nini alitoka?”
“Tulipishana kauli za kimapenzi”
“Kauli gani hizo?”
“Mzee mahusiano yangu na Camila si ya kuhojiwa, kwani wewe na mke wako hamkuwahi kugombana?”
“Sawa, endelea”
Walinzi walinizunguka huku wakiwa wamenishikia bastola, wakaniamrisha kutoka ndani ya gari. Mmoja wao akanipiga mtama na nikaanguka chini. Wakanifunga pingu na kunipeleka katika ile nyumba ya pembeni mulipo nipata. Mlinzi mmoja alinipiga sana huku akinilazimisha kunihoji ni wapi lilipo hilo boksi jeusi, ila sikuweza kumjibu chochote zaidi ya kuendelea kunipiga”
 
“Ilikuwaje walinzi walikufa?”
“Daktari aliingia ndani ya chumba hicho kwa kuvunja mlango, sijui alikuwa na nguvu za aina gani. Walinzi walijaribu kumshambulia kwa risasi, ila cha kushangaza hakufa. Alianza kuwatoa mioyo yao mmoja baada ya mwengine. Hadi anaingia Camila pale alikuta watu wote wapo chini, akashika moja ya bastola huku akijaribu kumshambulia dokta yule kwa maana alikuwa katika hatua za kuniua mimi kwa kunitoa moyo”
“Unataka kusema kwamba Camila hausiki na chochote?”
“Atahusikaje na tukio hilo ikiwa yeye ndio alikuja kuniokoa”
“Kwa nini ulikamatwa na walinzi wao?”
“Hilo sio swala langu, ungemuuliza mgombea uraisi, ni kwa nini walinzi wake walinikamata”
 
“Unakumbuka chochote juu ya daktari?”
“Ndio baada ya kuwaua wale walinzi, alinipasua hapo nyuma ya mgongo wangu, sikujua anatafuta nini ila kabla hajamaliza anacho kifanya ndipo Camila alipo tokea”
“Tunashukuru”
“Nipo tayari kuondoka?”
“Tutakufahamisha mara mahojiano yetu yatakapo kishwa”
Mzee huyu akatoka chumbani humu na kuniacha peke yangu. Ethan akarudi tena na kuiweka miguu yake juu ya meza huku akitabasamu sana.
“Ethan rafiki yangu naomba kitu kimoja”
“Kitu gani?”
“Namuhitaji nimuoe dada yako”
“Merry au dada yangu yupi?”
“Huyo huyo, sikuwahi kufahamu kama ni mzuri kiasi kile”
Nikamtazama Ethan huku nikiwa nimemkazia macho.
“Sawa ni wewe na yeye mimi sipo hapo”
“Nashukuru”
Ethan akaondoka na kuniacha peke yangu, mlango ukafunguliwa, akaingia mwanasheria wa kampuni huku akiwa ameongozana na mzee ambaye alikuwa ananihoji maswali. Nikaruhusiwa kuondoka eneo hili. 
 
“Pole sana bosi”
“Nashukuru”
Tukatoka nje na kukutana na kundi la waandishi wa habari ambao wanamuhoji Camila na wazazi wake. Waandishi wa habari walipo niona mimi wakakimbilia wote kwangu na wakanizingira huku kila mmoja akihitaji kunihoji swali lake. Sikuwajibu kitu chochote hawa waandishi wa habari, nikatembea hadi walipo simama Camila na wazazi wake.
 
“Mumenionyesha uhalisia halisi wa familia yenu nawashukuru sawa. Ila CAMILA kuanzia hivi sasa sahau kama kuna mwanaume ulisha wahi kumpenda anayeitwa Ethan. Na mzee ninatoa asilimia zangu za mchango nilizo kuchangia kwenye kampeni zako tusijuane kuanzia hivi sasa. Asanteni”
Mara baada ya kuzungumza maneno hayo huku mwanasheria wangu akiwa amesimama nyuma yangu tukaondoka eneo hili na kumuacha Camilia akiangua kilio kizito sana ambacho sikuhitaji kukijali kwani alicho kua anakitafuta kwangu tayari amesha kipata.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 146 na 147 )

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA      
 
“Niliwaambia mmoja wenu akienda kinyume nami basi nitahakikisha kwamba ninawaua kwa mkono wangu mimi wenyewe, je kuna anaye weza kujitetea juu ya hilo”
Nilizungumza huku nikitoa bastola yangu kutoka sehemu nilipo ichomeka, na kumfanya mzee aliye nifokea baada ya kuingia ndani ya chumba walicho kuwepo, kuangua kilio kikali na kuzidi kuwatisha wezake ambao nao wote sura zao zimetawaliwa na woga kwani hakuna hata mmoja anaye jua hatima ya maisha yake kutoka kwangu.
   
ENDELEA   
“Ni kitu gani munaweza kunishauri nikawaelewa kwamba kati yenu hakuna msaliti?”
Niliwauliza wageni hawa, mzee akazidi kuendelea kulia kwa uchungu.
“Tuleni chakula”   
Nilizungumza huku nikiirudisha bastola yangu kiunoni nilipo itoa.
 
“Mume wangu nikuombe kitu”       
Yemi alizungumza huku akininong’oneza sikioni mwangu.
“Niambie tu mke wangu”   
“Waonee huruma, hembu tazama huyu mzee wa watu anavyo lia”
“Hahahaa, mke wangu huyo mzee mnafki unakumbuka kwenye msiba, uliweza kumuona hata mmoja wako akiangusha chozi?”
“Mmmm”
“Sasa inakuwaje hapa alie wakati wote hawa ni wanafki”
“Sasa unataka kuwaua kweli mume wangu?”
“Hapana nina watisha, nahitaji kuingia nao mikataba”
“Mikataba ya nini?”
“Ya kuhakikisha kwamba wanalete pesa nitakayo ihitaji kila mwezi, kwa maana kuna familia za hawa wanajeshi wanao kufa, je tunaziangalia vipi, nataka kulibadilisha hili jeshi, lisiwe ni jeshi la kigaidi tena, nahitaji liwe jeshi la amani na kuheshimiwa na watu duniani”
 
“Mmmm sawa mume wangu”
Mazungumzo yetu hapakuwa na mtu hata mmoja aliye weza kuyasikia kwa maana tunazungumza kwa sauti ya chini sana.
“Mzee jinsi unavyo endelea kulia ndivyo utakavyo wafanya wezako nao wafe”
Watu wote wakastuka huku wakinikodolea macho. Nikatabasamu kidogo ili kuwafanya waweze kupata hata uwezo wa kula hichi chakula. Tukaanza kula taratibu huku sauti za vijiko na uma ndio vinavyo sikika katika eneo hili.
“Nitahitaji kuingia mikataba na nyinyi. Mkataba huo utakufanya wewe kuondoka kwenye hili eneo salama salimi pasipo kuudhurika, ila ukikataa basi huto ondoka katika hili eneo na utachukua hukumu ambayo ameifanya K2 kwa watu wangu”
 
Watu wote wakaacha kula hata aliye karibia kukiingiza kijiko chenye chakula mdomoni alijikuta akikishusha na kukirudisha kwenye sahani na kunisikiliza kwa umakini.
“Kila momoja wenu ninahitaji ahakikishe kila mwisho wa mwenzi anaingiza kiasi cha dola milioni tano kwenye akaunti ya jeshi hili, naamini mulivuna pesa nyingi kwenye hili jeshi, sasa ni wakati wa nyinti kurudisha kile mulicho kivuna. Angalizo atakaye kwenda kinyume na makubaliano hayo, nitahakikisha ninaigeukia nchi yako na nitakacho kifahanya sihitaji kuzungumza kwa maana munaelewa hilo sawa”
 
Karibia wageni wote wakatingisha vichwa vyao, nikuita meja, akanisogelea, nikaanza kumpa maelekezo ya kutengeneza mikataba hiyo haraka iwezekanavyo.
“Sawa mkuu”
Meja akaondoka.
“Mume wangu jambo ulilo lifanya ni sahihi sana”
“Yaa ninahitaji wanajeshi wangu waishi maisha mazuri tofauti na hapo awali”
Hazikupita hata dakika kumi na tano meja akarudi akiwa ameshika karatasi, akanikabidhi nikazipitia kwa haraka haraka zote zipo sawa kama vile niliyo muagiza kufanya. Nikanyanyuka kwenye kiti changu na kuanza kumpitishia mgeni mmoja badaada ya mwengine.
 
“Usome mkataba vizuri na uelewe maelezo yake, chagua kufa ama kutuma pesa. Muna dakika tano”
Nikarudi na kukaa kwenye kiti changu, hapakuwa na mgeni yoyote aliye bisha mkataba wangu kwa maana wote wanapenda kuishia. Kila mmoja akasaini mkataba huu unao garimu mwaka mmoja tu na baada ya hapo mimi na wao tunaachana. Baada ya wageni kukabidhi mikataba niliyo wapa, sikuwa na jambo jengine zaidi ya kuwaruhusu kuondoka katika kambi hii.
*Mkuu”   
Martin alizungumza huku akinitazama usoni mwangu
“Ndio”
“Kuna kitu inabidi uone”
“Wapi?”
 
“Kwenye televishion”
Nikaongozana na Martin hadi kwenye ofisi yangu, nikaona taarifa inayo husiana na nchi ya Marekani kutuma vikosi vyake vya anga na ardhi kuja kusaidiana na nchi ya Nigeria katika kuhakikisha kwamba inafutilia mbali kundi la Boko Haramu. Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikitafakari nini cha kufanya.
“Walitangaza kuhusiana na kiongozi wa hili kundi?”
“Hapana nina imani kifo cha mzee bado hakijafika masikioni mwa watu wengi”
“Sawa niitie makamanda wote wa vikosi, nahitaji kufanya nao kikao cha dharura”
“Sawa”
Japo nimechoka sana na muda umekwenda ila sina jinsi inaniladhimu kuhakikisha kwamba ninalinda jeshi langu na sifikirii hata kumpoteza mwanajeshi haya mmoja. Simu ya mezani ikaita kwa haraka nikaipokea.
“Genero Peter?”
“Mkuu tuna tatizo?”
“Tatizo gani?”
“Tupo huku porini ninaona kuna  majeshi yanajiandaa kutuvamia”
 
“Shiitiiii wapo mbali kiasi gani?”
“Kama mili moja hivi, kuna vijana wangu wamewaona”
“Muna silaha za kutosha?”
“Zipo ila ytutahitaji msaada wako mkuu, kwa maana wanaweza kutumia hata ndege kutumaliza”
“Usijali”
Nikakata simu na kushusha pumzi nyingi sana, ikiwa ni siku ya pili katika uongozi wa hili jeshi ila ninakutana na changamoto moja ambayo kusema kweli ni ngumu kuweza kuihimili kwa haraka. Wakaingia wanajeshi watano huku wakiwa wameongozana na meja.
“Naamini mumesikia au bado hajasikia, nchi ya Marekani imetuma jeshi lake hapa Nigeria na wanasaidiana na jeshi la Nigeria, na hadi ninavyo zungumza hivi sasa nimepata taarifa kwa wanajeshi walipo poroni, vikosi vya ardhi vinakuja sasa sijajua vikosi vya anga navyo vitafika hapa saa ngapi?”
Meja na wezake wakaonekana kushangaa sana, 
 
“Mkuu tumeanini kwamba ni lazima kutakuwa na msaliti kati ya wale wageni kwa maana kambi hii ni ngumu sana kuweza kujulikana”
“Ni kweli na hiyo imesha tokea na kwa sasa hatuna njia nyingine zaidi ya kujipanga na kuhakikisha kwamba tunawazuia hata kabla hawajaweza kufika huku”
“Mkuu tuna ndege za kivita kumi na tano ambazo kumi ni jeti zenye uwezo wa kufanya mashambulizi ya anga kwa anga, na tano ni ndege kubwa zenye uwezo wa kubebe mabomu makubwa yenye uwezo wa kulipua zaidi ya ita elfu kumi kwa bomu moja.”
 
“Safi, je vikosi vya ardhi?”
“Kwenye vikosi vya ardhi mkuu tuna wanajeshi zaidi ya laki mbili, ila wajeshi elfu kumi wana mafunzo ya hali ya juu ya kikomandoo na wengine wana mafunzo ya kawaida”
“Ninahitaji zitoke ndege nne jeti na moja kubwa. Utaagiza makomandoo kumi tu, na wanajehsi wa hamsini”
“Jenero ila hiyo ni namba ndogo sana?”
“Vita ni akili na si wingi wa watu, je muna vifaa vya mawasiliano ya moja kwa moja?”
“Ndio mkuu”
“Nitahitaji kuongozana na kundi hilo la makomandoo”
“Mkuu!!”
“Nimesema andaeni vikosi, tunakwenda kupambana. Meja kamlete mke wangu”
“Sawa”
Wanajehsi hawa wakatoka chumbani hapa, nina imani kila mmoja ananishangaa kwa maamuzi yangu ya kuhitaji kuelekea kwenye mapambano haya ambayo ni hatari. Ila mimi mwenyewe ninaelewa kwamba raisi wa Marekani sasa ameamua kupambana nami.
 
“Peter kwa sasa hapana, huwezi kwenda popote mume wangu”
Yemi aliingia huku akizungumza, nyuma yake akiwa ameongozana na Meja ambaye ninaimani kwamba atakuwa amemueleza juu ya hali halisi iliyopo hivi sasa.
“Mke wangu hakuna jinsi ya kufanya ni lazima niende kupambana na vijana wangu”
“Sitaki Peter, kama ni kukuingilia katika hili basi acha nikuingilie, sinto hitaji kukupoteza na wewe, unataka mimi niishi maisha gani, unahitaji mimi niwe mkimbizi, niwe mjane si ndio”
Yemi alizungumza huku machozi yakianza kumlenga lenga, kwa ishara nikamuomba meja kutoka ofisini humu, akati amri na nikabaki na Yemi.
 
“Peter hembu angalia, hayajapita hata masaa sita tangu nimzike baba yangu, wewe nawe unataka pia nikuzike kwa nini lakini huitaji kuangalia umuhimu wako kwenye maisha yangu”
“Mke wangu hii sehemu kwa sasa sio salama, ni lazima niende nikawazuie maadui zetu huko walipo kuwa”
“Siwezi kusema kweli, ni bora kufia hapa kuliko kwenda huko unapo taka, tafadhali mume wangu, sina mtu mwengine zaidi yako wewe”
Yemi alizungumza kwa upole na machozi yakaanza kumiminika usoni mwake
“Nakupenda Peter, usiniache peke yangu, uliniahidi utaishi karibu na mimi, tunza basi ahadi yako”
Nikakaa kimya huku nikimtazama Yemi usinu mwake, taratibu nikajikuta nikimshika mkono wake wa kulia na kumsogeza karibu yangu.
 
“Nimekuelewa mke wangu sinto kwenda”
“Kweli?”
“Ndio mke wangu, ila vita ikizidi itabidi nisimame mimi kama jenero”
“Sawa mume wangu”
“Niitie meja”
Yemi akanipiga busu la mdomoni, kisha akaanza kutemba kwa haraka hadi kwenye mlango wa kuingia, akaufungua nikamkuta meja na wanajeshi wezake wakiwa wamesimama. Nikawaruhusu kuingia wote kwa ishara.
“Mkuu vikosi vipo tayari”
“Sawa”
“Wanasubiria amri yako muheshimiwa”
“Sawa wanaweza kwenda, wahikikishe wanawasiliana na wanajeshi walipo msituni wanao endesha oparesheni ya kumsaka K2”
“Sawa mkuu”
Meja akawapatia amri wajaeshi hao wanao kwenda kuhakikisha kwamba wanaangusha majeshi ya Wamarekani na jeshi la taifa hapa Nigeria.
 
“Muheshimiwa unatakiwa kuelekea katika chumba namba moja cha mawasiliano”
“Sawa”
Tukatoka chumbani hapa na moja kwa moja tukaelekea kwenye chumba hichi ambacho ndio mara yangu ya kwanza kuingia. Ukuta mkubwa wa humu ndani umefungwa Tv kubwa inayo onyesha wajaneshi hao jinsi wanavyo kwenda kupambana na kila kwenye kofia ya mwanajeshi walioenda vitani, ina kamera ndogo.
“Mumeweza kuwaona vikosi vya Wamarekani?”
“Ndio mkuu, ila bado ndege zao hatujaziona”
“Ja anga la hili eneo lina ulinzi wa kutosha?”
“Ndio jenero kuna mabomu maalumu ambayo yanaweza kuangusha ndege ya aina yoyote ambayo  inaweza kukatiza katika hili eneo”
“Basi hakikisha kwamba ndege yoyote ambayo itakuwa si ya kwetu munaiangusha”
“Sawa jenero”
Wanajeshi wetu wakazidi kusonga mbele, nikawaona wanajeshi wa kimarekani wakiwa katika vikosi vinne na wamejificha sehemu ambayo nina imani ndani ya muda walio jipangia basi wanatuvamia.
 
“Jenero tumefika sehemu ya karibu je tunaweza kushambulia”
Rubani mmoja alizungumza akiwa katika ndege yake.
“Watawanyisheni kwanza kwa risasi?”
“Mkuu!!”
“Nina maana yangu meja”
Ilibidi kumkatisha meja kwa kile anacho kishangaa.
“Fanyeni hivyo”
Marubani wakaanza kushambilia eneo walilopo wanajeshi wa Marekani na Nigeria kwa kutumia risasi za moto, jambo lililo wafanya wanajeshi hao kutawanyika huku wakishambulia ndege hizo. Uzuri wa ndege hizi zina kasi kubwa jambo ambalo ni gumu sana kwa wanajeshi wa kawaida kuweza kuzifikia katika mashambulizi.
Ndege za kijeshi za Kimarekani zikaanza kushambulia, kwani kuna sehemu zilikuwa zimejificha karibu kabisa na wanajeshi hawa walipo kuwa wamejificha.
“Tumieni mabomu sasa”   
“Sawa jenero”
“Meja umeona maana yangu. Nilihitaji kuziona hizo ndege, na kama wangetumia mabomu wale wanajeshi wasinge weza kuomba msaada, ila wametumia risasi na wanajeshi baadhi wameomba msaada kutoka kwenye hicho kikosi cha anga, kwa hiyo akili katika swala la mashambulizi ndio jambo la msingi kuliko nguvu”
 
“Nimekuelewa jenero samahani kwa hilo”
“Usijali meja”
Kwa haraka haraka unaweza kusema ni filamu moja ya kivita tunayo izungumza, ila ni uhalisia kabisa, kwani atakaye kufa kwenye mapambano hayo harudi tena duniani. Wamarekani kusema kweli wamechanganyikiwa kwani hata ndege zao za kivita zina angushwa moja baada ya nyingine kwa maana hawakujipanga vizuri na hili tulilo fanya ni shambulizi la kustukiza na nina imani litamtia presha raisi Donald Bush pamoja na Hawa ambao wamepanga kuniua na mimi sinto kubali kufa hadi nafsi zao ziweze kuonja mauti na nipo tayari hata kuanzisha vita ya tatu ya dunia, kwani Simba achezewi sharubu.
                                                                                    
AISIIIII……….U KILL ME 147

Kwa mbinu niliyo itumia haikuchukua hata lisaa, tayari tukawa tumesambaratisha mipango ya wanajeshi wa kimarekani na jeshi la serikali la hapa Nigeria.
“Jenero tumefanikiwa kuangamiza wote”
Mmoja wa marubani ambaye ndio kiongozi wa jeshi la anga alizungumza na kutufanya wote tulipo ndani ya chumba hichi kuanza kushangilia kwa furaha kwani ni ushindi ambao tumetumia akili nyingi kuliko nguvu kubwa. Taratibu Yemi akanikumbatia huku akinipiga mabusu mfululizo usoni mwangu.
“Jenero tuambie ni lini tuandae harusi yenu”
Meja alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu usoni.
“Mmmmmm, tutalipanga ngoja kwanza hizi sekeseke zipite”
“Sawa jenerali”
 
“Kukipambazuka nitahitaji kuzungumza na wanajeshi wote”
“Sawa jenerali”
Nikawaaga watu waliomo humu ndani ya hichi chumba, tukatoka ndani humu nikiwa nimeongozana na Yemi.
“Kusema kweli ninazidi kujisikia kwamba mimi ni mwanamke mwenye bahati sana kuwesza kupata mwanaume kama wewe, yaani nina jutia ni kwa nini nilichelewa kukufahamu mume wangu”
“Mungu atusaidie mke wangu kwa maana kwa sasa nina imani dunia mzima ni lazima itakuwa inalitafuta hili kundi na kulizungumzia”
“Usijali mume wangu, nitahakikisha ninakuunga mkono kwa kila jambo”
“Maswala ya uwanamitindo vipi?”
“Uzuri kampuni yangu inaweza kujiendesha hata kama mimi sipo karibu nao”
“Sawa mke wangu. Ila kuna kitu ambacho ninahitaji kukushauri ila sijajua kama utakubaliana nami”
“Zunngumza tu mume wangu, uzuri ni kwamba kwa sasa sisi ni kitu kimoja, japo hatujafunga ndoa ila ninaimani siku yoyote tutufunga ndoa”
 
“Kweli, ninahitaji mwanao aweze kurudi hapa Nigeria, sinto hitaji akae mbali nasi, nahitaji aanze kunizoea mimi kama baba yake mpya”
“Niwazo zuri ila hapa Nigeria ninajua atawindwa na wabaya, kwa maana ninaimani kwamba lazima serikali inafahamu kwamba baba yangu ndio muhusika mkubwa wa hili kundi”
“Nitahakikisha tunamlinda kwa hali yoyote, kwa maana kukaa kwake mbali kunanifanya nikose amani kabisa”
“Usijali mume wangu”
“Martin asante kwa kutuleta hapa nenda kapumzike”
“Sawa mkuu”
Martin akatuacha nje ya mlango wa chumba chetu, tukaingia ndani huku sote tukiwa tumechoka sana.
“Haki ya Mungu, leo imekuwa siku ndefu sana jamani”
Yemi alizungumza huku akijirusha kitandani na kulala chali. Taratibu nikaanza kuvua nguo zangu, huku nikijitazama kwenye kioo cha kabati hili.
 
“Hivi Peter hili jeshi mulilo liangamiza leo hawato rudi tena kutuvamia?”
“Kurui kutuvamia lazima watarudi tu”
Taratibu Yemia akanyanyuka na kukaa kitako huku sura yake ikonekana kujawa na wasiwasi mwingi sana.
“Usijalili mke wangu nina imani tutashinda, mtu akitufwata tunahaki ya kumpiga kwa maana tukimuacha atatupiga sisi”
“Sawa mume wangu”
“Itabidi kuomba msaada kwenye nchi ambazo zina uadui na Marekani”
“Nchi kama zipi?”
“Ya kwanza ni Urusi, hawa ninajua hawapatani kabisa na Marekani, nchi ya pili ni Korea ya Kaskazini, nitahijitahidi kukutana na wakuu wao wa nchi na nitawaleza lengo letu”
“Pia kuna nchi kama Pakistani, Iraqu pia hao unaweza kuwaomba msaada mume wangu”
 
“Yaaa najua Marekani akirudi kwa mara ya pili hato kuja kwa kujitega tega kama alivyo fanya, akija atakuja kwa kushambulia tena kwa mabomu makubwa makubwa. Anaweza hata kutumia nyuklia japo anapiga vita zisitumike duniani”
“Mungu wangu sasa kama akiamua kutumia nyukilia si tutupotea katika ulimwengu huu pasipo kutimiza malengo ya baba?”
“Usijali mke wangu, ninajua cha kufanya hilo wala wewe lisikusumbue”
“Sawa mume wangu”
Nikamshogela Yemi kitandani alipo lala. Taratibua nikaanza kumvua nguo zake huku nikimtazama usoni mwake kwa macho yaliyo jaa mahaba.
“Ujachoka mume wangu tuu…..?”
“Kwenye hili siwezi kuchoka”
“Mmmmmm jamani kwa hiyo huku hata ukiwa hoi nyang’anyang’aaa wewe huto choka kabisa kupana……”
Nikawahi kumzima mdomo Yemi kwa kutumia lipsi zangu, taratibu tukaanza kuchezesha ndimi zetu.
Tukaanza kupeana burudani , hatukutumia muda mwingi tukamaliza burudani yetu. Tukashuka kitandani na kuingia bafuni, tukaoga na kurudi chumbani hambapo hatukuwa na mazungumzo mengi sana, tukajikuta tukilala fofo.
                                                                                                    ***   
Mlio wa simu ya Yemi ukanistua kutoka usingizini, taratibu nikafumbua macho yangu na kuichukua, sikutaka kuipokea kama utaratibu tulio jiwekea, hakuna mtu ambaye anaishika simu ya mwenzake.
“Yemi, Yemi”
“Mmmmm”
“Simu yako inaita”
“Nani tena asubuhi yote hii?”
Yemi aliuliza huku akijinyanyua kidogo kitandani akaichukua simu na kuitazama kwa muda kisha akaipokea. Taratibu nikashusha kitandani, nikapiga hatua hadi kwenye dirisha, nikafungua pazia na kutazama nje. Wanajeshi wangu wanazidi kufanya mazeozi ya viongo.
“Wewe ni nani?”   
Sauti ya ukali ya Yemi ikanifanya nigeuke nyuma na kumtazama.
“Mwanangu yeye wa nini?”
Yemia lizidi kuzungumza kwa ukali na kunifanya nianze kutembea taratibu kurudi kitandani huku nikiwa sina hata nguo moja kwenye mwili wangu. Nikaanza kumuona Yemi machozi yakianza kumwagika usoni mwake.
“Mke wangu kuna nini kimetokea?”
Yemi hakunijibu zaidi ya kuendelea kulia, kwa haraka nikampokonya simu yake na kuiweka sikioni mwangu.
“Mamaa……”       
Niliisikia sauti ya mtoto mdogo wa kiume, akiita moja kwa moja nikagundua kwamba atakuwa ni mtoto wa Yemi.
“Tunahitaji Dany ajisalimishe na tumuachie mwanao”
Niliisikia sauti ya kiume ikizungumza.
“Wewe ni nani?”   
Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikiwa nimekasirika sana.
“Ohooo Dany nashukuru kupokea simu yako”
“Nimekuuliza wewe ni nani?”
“Mimi ni rafiki yako wa muda mrefu sana. Hongera kwa kuoa”
“Nimekuuliza wewe ni nani ambaye unajaribu kuingia kwenye maisha yangu”
 
“Mimi ni Donald. Donald Bush”
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio sana baada ya kusikia sauti halisi ya raisi wa Marekani, kwani hapo mwanzo sauti yake ilikuwa nzito naamini alijaribu kuibadilisha ili isiweze kujulikana kirahisi.
“Unahitaji nini?
“Ninakuhitaji wewe Dany, yaani leo hii wewe ndio mkuu wa Al-Shabab wakati nilikutuma ukafanye kazi ya kuangamiza kundi hilo”
Nikatamani kufoka ila nikabaki nikiwa nimemtazama Yemi na kushindwa kuzungumza chochote kibaya kwa raisi huyu ambaye kusema kweli kwa sasa amevuka mpaka ambao sidhani kama ataweza kurudi upande wa pili alipo toka.
“Lini na wapi unahitaji nijisalimishe”
“Hahaaaa, umekuwa mnyonge sana kwa ajili ya mtoto wa mwanaume mwenzako. Tafuta wa kwako basi, usililile watoto wa wezako”
 
Nikazidi kujizuia kutokuzungumza neno baya ambalo Yemi anaweza kulisikia hapa.
“Huyo ni mwanangu, niambie ni wapi na saa ngapi utahitaji nijisalimishe mikononi mwako na umuachie mwanangu?”
“Lazima uje Marekani, na ninakupa masaa arobaini na nane, yaani siku mbili uwe umesha fika ndani ya Marekani na ukifika hapa nitakuambia ni wapi na saa ngapi utaweza kumpata mtoto ambaye si wako”
“Nimekuelewa”
Nikakata simu huku machozi ya hasira yakinilenga lenga usoni mwangu huku kifua changu kikianza kuvimba kwa hasira hii.
“Mwanangu wamemteka”
Yemi alizungumza huku akiendelea kulia kwa uchungu. Nikaichukua suruali yangu iliyopo juu ya sofa, nikavaa kwa haraka, nikachukua tisheti ndani ya kabati na kuvaa. Nikaanza kutembea kuelekea mlangoni huku nikiwa nimeishika simu ya Yemi mkononi mwangu.
“Dany”
Yemi alinita kwa jina ambalo sikuwahi kumuambia hata siku moja. Nikajikuta nikiwa nimesimama mlangoni huku nimeshika kitasa cha mlango.
 
“Dany ndio jina lako halisi Peter?”
Nikayafumba macho yangu huku nikijaribu kupambana katika kuipunguza hasira yangu kwani ninashindwa hata kuzungumza kabisa.
“Naomba unijibuuu”
Yemi alizungumza kwa hasira na kunifanya nigeuke na kumtama kwa macho makali. Nikaanza kutembawa kwa kujiamini huku nikimfwata kitandani alipo kaa. Yemi taratibu akaanza kuudi nyuma huku akiwa na wasiwasi mwingi usoni mwake.
“Ndio ni jina langu”
Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikijaribu kuibana pumzi yangu inayo kifanya kifua changu kupanda na kushuka kwa ajili ya hasira.
“Kwa nini ulinidanganya eheeeee?”
Yemi alizungumza huku akiendelea kulia kilio  kikali.
“Tazama sasa  mwanangu wamemteka, tazama Peter kwa nini hukuniweka wazi kwa nini hukuniweka wazi eheeeee”
Yemi alizungumza huku akianza kunipiga vibau vya mashavuni mwangu. Sikutaka kumfanya chochote zaidi ya kuendelea kumtazama na kumucha azidi kunipiga makofi yake.
 
“Wananitaka mimi na si mwano, nitahakikisha mwanao  anarudi mikononi mwako”
“Kivipi Peter, wewe ni muongo umenidanganya mimi, umemdanganya baba, umewadanganya wanajeshi w…….”
“Yemi kimya”
Nilizungumza kwa kufoka na kumfanya Yemi kutetemeka mwili mzima huku akiwa amenitola macho yake kwani nina imani hakuwahi kunifumania nikiwa katika hasira kama hii niliyo nayo hivi sasa.
“Wewe na baba yako majina munayo yatumi ni halisi, eheeeee? Muliwa kuniambia majina yenu halisi eheeee?”
Nilimfokea Yemi na kumfanya akae kimya huku machozi yakimtiririka mashavuni mwake hata sauti ya kilio nayo ikakatika.
 
“Sisi sote katika hili ni waongo, baba yako amekufa na siri yake na wewe umekaa na siri hiyo hata siku moja hhukuwahi kuniambia siri yenu ambayo nimeifahamu hata kabla ya kuja hapa Nigeria”
“Na nimekuwa msaliti kwa wale walio kuwa wamenituma kwa ajili yako wewe, na laiti ningeihitaji kuwaua wewe na baba yako pasinge kuwa na mtu wa kunizuia kufanya hivyo. Ila wao walisaliti na ndio maana nikawa na nyinyi, ndio maana ninahitaji kuhakikisha ninalipa kisasi kabla sijaingia ndani ya hii ardhi. Nitaleta mwanao mikononi mwako, na kuanzia hapo nitakuwa tayari kufa na kuifwata familia yangu kule ilipo elekea ambayo K2 amehusika katika kuwaua”
Nilizungumza kwa hasira na sauti ya ukali huku nikiwa nimemtazama Yemi usoni mwake, na jambo lililo pelekea kuzungumza maneno ambayo sikuyatarajia kuyazungumza mbele ya Yemi siku hata mmoja kwenye maisha yangu.
                                                                                     ITAENDELEA
“Haya sasa ukweli wa Dany umewekwa hadharani na Raisi Donald Bush aliye mshikilia mtoto wa Yemi je ni mbinu gani Dany ataitumia kumrudisha mtoto wa Yemi mikomoni mwake. Usikose sehemu inayo fwata.”
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images