Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Shilole: Marufuku Msanii Yoyote Kumtumia Mume Wangu

$
0
0
Msanii Shilole amesema hataki kuona yeyote yule anamtumia mume wake kwenye video yake.

Shilole amesema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye uzinduzi wa albamu ya Nandy.

"No, nilimwambia kabisa don't do that, unajua sometime wanamtafuta tu, kwa hiyo wanaweza kumchukua kwa nia nzuri lakini sitaki kabisa, bwana natangaza staki msanii yeyote kumtumia mume wangu," amesema.

Mume wa Shilole, Uchebe ametokea kwenye video ya wimbo wa msanii huyo inayokwenda kwa jina la Mchaka Mchaka.

Watumishi Wawili wa Serikali Kizimbani Kwa Uhujumu Uchumi

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewapandisha kizimbani watu wawili akiwamo aliyekua Mkuu wa Manunuzi wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula(NFRA),Mohammed Ally na kuwasomewa mashtaka mawili ya uhujumu uchumi na kusababisha hasara ya Sh Milioni 977.

Katika kesi hiyo, mshtakiwa mwingine ni Mkaguzi Mkuu wa Ubora wa Bidhaa za Ngozi wa Shirika la Viwango Tanzania(TBS), Peter Tarimo.

Akisoma hati ya mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu,  jana Ijumaa Novemba, 9 Augustina Mbando,mawakili wa serikali  Aneth Mavika na Fatma Waziri, walidai kuwa washtakiwa hao walitenda makosa kati ya Julai 16  na 30 mwaka 2013.

Alidai kwa makusudi, wakiwa wajumbe wa uthamini wa zabuni  Namba AE-054/2013/2014/HQ/9/02 lot namba 01, walitumia madaraka yao vibaya kwa kumpendekeza na kumzawadia Kampuni ya Bajuta International T. Limited ili kushinda zabuni hiyo huku wakijua kuwa kampuni hiyo haikua na sifa.

Alidai katika zabuni hiyo, kampuni hiyo iliwasilisha nyaraka ambayo haikuendana na masharti yaliyoanishwa kwenye zabuni, jambo ambalo ni kinyume na sheria za manunuzi.

Alidai shtaka lingine linalowakabili washtakiwa hao ni pamoja na kushindwa kutimiza majukumu yao na kuisabaishia hasara NFRA ya Sh Milioni 977.

Wakili Mavika alidai kuwa, upelelezi wa kesi hiyo bado unaendelea na kuiomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.

Wakili Mavika pia aliiomba mahakama hiyo kutoa hati ya kukamatwa kwa mshtakiwa wa pili,Edward Mtango ili aweze kuunganishwa kwenye kesi hiyo.

Hata hivyo, Hakimu Mbando alikubaliana na ombi hilo na kutoa amri ya kukamatwa kwa mshtakiwa huyo huku akitoa masharti ya dhamana kwa washtakiwa Mohammed na Peter ya kuwataka kila mmoja kuwa na wadhamini wawili ambao kila mmoja atasaini bondi ya Sh Milioni 165.

Hakimu Mbando pia aliwataka washtakiwa hao kuwasilisha hati zao kusafiria mahakamani hapo.

Hata hivyo,mshtakiwa wa kwanza, Mohamed alikidhi masharti ya dhamana  huku mshtakiwa wa tatu,Peter akishindwa kukidhi masharti hayo na kupelekwa rumande na kesi hiyo kuahirishwa hadI Novemba 22 mwaka huu kwa ajili ya kutajwa

Amber Lulu Arudisha Penzi kwa Prezzo

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Amber Lulu ameamua kurudisha mapenzi yake kwa Prezzo.

Amber Lulu amesema kuwa amedharaulika na  kuteseka sana kwenye mapenzi hivyo hana budi kuendelea kuwa na Prezzo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

"Jaman sijazoea kuangaika na niko hivi nikipenda napenda kweli no matter what !! Sasa mnataka kuona kila siku na Bwana mpya, siwez na nishateseka sana nishadharaulika sana. Ni zaidi ya mateso kwenye mapenzi kukanwa kupigwa nishakuwa kama mtumwa nishapata stress mpaka napoteza nuru.

"Nikawa naonekana kama teja kwa huyu hakuna hivyo vitu ananijali anajuwa maana ya upendo ananiheshimu, nyie mnaniona kicheche yeye ananiona qeen Elizabeth na matatizo yangu hajawai hata kunidharau anajuwa thamani yangu kwanini nisirudi kwake niacheni jamani."

Muimbaji huyo ameshawahi kutoka kimapenzi na waimbaji kadhaa wa Bongo Fleva kama Barnaba,Young Dee na Aslay.

Rais Donald Trump amkosoa Rais wa Ufaransa Macron kuhusu pendekezo lake la kuundwa kwa jeshi la Umoja wa Ulaya

$
0
0
Rais wa Marekani Donald Trump hakupoteza muda kumkosoa mwenyeji wake wa Ufaransa wakati alipowasili Paris kwa ajili ya matukio ya kuadhimisha kumbukumbuku ya miaka 100 ya kumalizika Vita Vikuu Vya Kwanza vya Dunia. 

Trump aliandika ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter wakati alitua Paris, akisema kuwa Rais Emmanuel Macron ametoa pendekezo aliloliita kuwa ni “matusi” la kuunda jeshi la Ulaya ili kupambana na Marekani, China na Urusi.

Ilikuwa dalili ya wazi kuwa rais huyo anayeendeleza sera ya “Marekani Kwanza” yuko tayari kuufuata mkondo wake kwa mara nyingine tena wakati viongozi wa dunia wakikutana kukumbuka muungano ulioweka kikomo vita vya kwanza vya dunia.

Kwa mujibu wa DW Swahili, Trump anapanga kukutana na Macron Jumamosi kwa mazungumzo kuhusu mada tofauti yanayotarajiwa kujumuisha usalama wa Ulaya, Syria na Iran. Wakati aliwasili, Trump aliandika kwenye Twitter kuwa Macron “amependekeza kuwa Ulaya iunde jeshi lake ili kujilinda dhidi ya Marekani, China na Urusi. Ni matusi makubwa, lakini pengine Ulaya kwanza inapaswa kutoa mchango wake katika NATO, ambao Marekani inagharamia pakubwa!”.

Ziara fupi ya Trump Ulaya inakuja wakati kukiwa na sintofahamu kuhusu mahusiano kati ya Marekani na bara hilo. Trump kila mara analalamika kuhusu mikataba ya kibiashara na Umoja wa Ulaya na kukosoa baadhi ya mataifa ya Umoja wa UIaya, ikiwemo Ufaransa, kwa kutotoa mchango wa kutoshawa bajeti ya ulinzi ili kuiendeleza jumuiya ya NATO

Katika kumbukumbu ya kesho Jumapili ya kumalizika Vita Vikuu vya Kwanza vya Dunia, Trump atajiunga na viongozi wa dunia katika sherehe zitakazoandaliwa katika lango la Arc de Triomphe. Rais huyo pamoja na mkewe Melania Trump wanatarajiwa kuzuru maeneo kadhaa ya kumbukumbu nchini Ufaransa ambayo yalijengwa kwa ajili ya wanajeshi wa Marekani.

Kuanzia leo Novemba kumi, rais Macron amepanga kukutana na kansela Angela Merkel katika mji wa kaskazini mwa Paris wa Compiègne kwa kumbukumbu fupi. Eneo hilo lina kumbukumbu mbili. Katika toto moja la treni ndiko makubaliano ya kuweka chini silaha yalipotiwa saini November 11 mwaka 1918 kati ya madola yaliyoshinda vita na utawala wa zamani wa Ujerumani reich.

Miaka 22 baadae, baada ya kuivamia Ufaransa, Adolf Hitler akawalazimisha viongozi wa kijeshi wa nchi hiyo wasalimu amri na mkataba kutiwa saini ndani ya toto hilo hilo la treni. Serikali ya Ufaransa lakini inataka kukumbuka tukio jengine la kihistoria: “Tunataka kufuata nyayo za Helmut Kohl na Francois Mitterand walipoingia Verdun mwaka 1984.

“Kwa mujibu wa duru kutoka ikulu ya Ufaransa mjini Paris-Elysée. Tukio la kupeana mikono kansela wa wakati ule wa Ujerumani na rais wa wakati ule wa Ufaransa lilisifiwa ulimwenguni kama tukio la suluhu.”

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chaendelea Kukemea Umimi, Ubinafsi Na Makundi Ndani Ya CCM

$
0
0
Katika kikao cha Halmashauri Kuu Maalumu ya CCM Wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Ndg. Humphrey Polepole Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinakemea vikali umimi, ubinafsi na makundi ndani ya CCM ili kuimarisha uimara, umoja na umadhubuti wa CCM.

Akieleza kwa kina suala hilo Ndg. Polepole amesema umimi, ubinafsi na makundi ni kinyume na Katiba, Kanuni na Taratibu nzuri za CCM na kuwa ndani ya CCM Makundi hayana nafasi hususani katika kipindi hiki ambacho muelekeo wa CCM ni kushughulika na utatuzi wa shida za wananchi.

Aidha Ndg. Polepole amewataka wanaCCM na Viongozi kuwa wamoja, kushikamana, kushirikiana na kupendana ili CCM izidi kuwa imara na iendelee kuwa hudumia wananchi ipasavyo.

“Chama hiki nikikubwa kuliko mtu mmoja, hatuwezi tukaruhusu tabia za hovyo ambazo tumezikataza, tabia za makundi, hata Ndg. Magufuli Mwenyekiti wetu mpendwa hapendi makundi kwa sababu makundi hayatujengi na yanadhoofisha umoja wa  Chama chetu” amesema Ndg. Polepole

Wakati uo huo Ndg. Polepole amewapongeza sana Viongozi wote wa CCM kwa kufanikisha kupatikana kwa ushindi wa CCM Wilaya ya Serengeti ambapo CCM imepita bila kupigwa kwenye nafasi ya Ubunge  na udiwani na kuwa na nafasi nzuri zaidi ya kuongoza Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Awali Ndg. Polepole akiambatana na Viongozi wa CCM Wilaya na Mkoa wakiongozwa na Ndg. Samweli Niboye (Namba tatu) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara wamekagua eneo la ujenzi wa chujio la Maji Mugumu katika Bwawa la Manchira  ambapo Ndg. Polepole pamoja na Viongozi wa CCM wamesikitishwa sana na namna ambavyo mradi huo unavyosuasua licha ya kuwa Serikali ya CCM imekwisha weka fedha ya kutosha kwenye mradi huo.

"Ndg. Magufuli Mwenyekiti wetu wa CCM alipofika hapa Mkoa wa Mara na Wilaya ya Serengeti maelekezo yake yalikuwa mradi huu ukamilike mara moja ili wananchi wapate maji safi na salama,  tumesikitishwa na kusuasua kwa mradi huu,   tunaitaka Wizara ya maji ije hapa Serengeti, ifuatilie na itoe majibu kuhusu mradi huu na ni lini maji safi na salama yatapatikana". amesisitiza Ndg. Polepole

Huu ni muendelezo wa kazi za Chama ndani ya Chama, kazi za Chama nje ya Chama ndani ya Jamii katika uimarishaji wa CCM, na kuuhisha dhana ya Chama imara hujenga Serikali imara.

Imetolewa na,
IDARA YA ITIKADI NA UENEZI
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)

Wafanyabiashara 10 Kariakoo mikononi mwa Takukuru

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imenasa wafanyabiashara wakubwa 10 wa maduka katika eneo la Kariakoo kwa tuhuma za udanganyifu wa kulipa kodi kwa serikali.

Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam jana, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Brigedia Jenerali John Mbungo  alisema wafanyabiashara hao wamekamatwa ndani ya wiki mbili tangu kuanza kwa operesheni ya kuwasaka wafanyabiashara wanaofanya udanganyifu wa kulipa kodi katika biashara zao jijini Dar es Salaam.

Brigedia Jenerali Mbungo aliwataja wafanyabiashara hao kuwa ni Masai  Shop , Malya Shop, Noa Tiles, Kanda Trading Company, Chengula Investment Company.

Wengine ni Tamara Traders Company, Mchapakazi  Home Appliance, Kisangani General Enterprises  Ltd, Kipata Cafeteria na Kiwanso Builders Corner.

Alisema wafanyabiasha hao wote wamepatikana katika operesheni  inayoendelea katika eneo la Kariakoo.

Alisema Takukuru ni chombo chenye dhamana ya kusimamia  mapambano dhidi ya rushwa nchini na inaongozwa na sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa Na.11 ya 2007.

Alisema sheria hiyo inatamka makosa 24 ya rushwa yakiwamo kutumia nyaraka kwa lengo la kumdanganya muajiri au kupitisha fedha kwa ufisadi kinyume na kifungu cha 22 cha sheria hiyo.

Alisema kutokana na kifungu hicho adhabu ya kutenda kosa ni faini isiyozidi sh milioni saba au kifungo cha miaka mitano jela au adhabu zote kwa pamoja.

Pia alisema sheria hiyo katika kifungu cha 32  kinakataza kula njama kwa lengo la kula  rushwa ambapo adhabu yake ni faini ya sh milioni tano au kifungo cha miaka mitatu au vyote kwa pamoja.

“ Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kutokukusanya kodi ni sifa moja ya nchi iliyogubikwa na rushwa,  sasa kama tunavyofahamu kodi ndio chanzo cha mapato kwa taifa lolote pia ndiyo inayotumika kuboresha huduma za kijamii na maendeleo ya taifa,” alisema Brigedia Jenerali Mbungo.
 
Brigedia Jenerali Mbungo alitaja sababu 10  ambazo taasisi yake imezibaini kutumiwa na wafanyabiashara hao kukwepa kulipa kodi.

Sababu hizo ni wafanyabiashara kutoza risiti zenye kiasi tofauti na kiasi cha pesa halisi kilichotolewa ili kununua bidhaa husika.

Wafanyabiashara kuwaambia wateja kuwa wanawapa risiti ya kutembelea tu ili waioneshe endapo watakutana na maafisa wa TRA na kuwauliza kuhusu risiti ya mzigo au bidhaa waliyonunua.

Baadhi ya wafanyabiashara hawatoi risiti za kielektroniki baada ya kufanya mauzo.

Sababu nyingine ni kujichelewesha kutoa risiti kwa lengo la kumtegea mteja kama atadai au hatadai risiti.

Baadhi ya wafanyabiashara hawatoi risiti hata baada ya mteja kuomba kupatiwa risiti humweleza kuwa bidhaa alizonunua ni chache.

Pia wafanyabiashara wengine wamekuwa wakiwapatia wateja risiti za kughushi na baadhi wanawapatia wateja risiti za kughushi ambazo ni za bidhaa tofauti  na bidhaa iliyonunuliwa.

Alitaja sababu nyingine walizobaini  ni wafanyabiashara kutotoa risiti na badala yake huwaandikia wateja orodha ya bidhaa kwenye karatasi na kuwaelekeza kuwa waende wakachukue mzigo kwenye stoo zao.

Kwamba katika mazingira hayo mteja akishachukua mzigo na asiporudi tena dukani ni wazi kuwa hatapewa risiti.

“ Wapo wafanyabiashara ambao wanawapatia machinga bidhaa zao ili wasilipe kabisa kodi na kwa upande mwingine wapo baadhi ya wananchi ambao wamekuwa wakifurahia kupewa punguzo la bei kwa sharti la kutopewa risiti,” alisema Brigedia Jenerali Mbungo

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
Bidhaa za NATURAL BEAUTY PROD ni bidhaa zilizothibitishwa kiafya na kupewa kibali original cha kuuzwa hadharani.

Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina chemical wala madhara yoyote kwa mtumiaji
1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 inapatikana kwa @170,000/=
2. VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa @160,000/=
3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kinapatikana kwa @230,000/=
4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili tu bei yake ni @200,000/=
5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 inapatikana kwa @190,000/=
6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @150,000/=
7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo unaipata kwa @200,000/=
8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft @150,000/=  N.K

 Wasiliana nasi kwa simu
NO:. +255 759029968
                      AU
           +255 659618585
Popote ulipo utapata huduma zetu.
Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.  
          WELCOME ALL

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE;LUKUBA 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO   0658920640/ 0754372325 / 0620806813
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Serikali Yawahakikishia Wananchi Upatikanaji Wa Maji Kuwa Wa Uhakika

$
0
0
Na; Frank Mvungi
Serikali imewakikishia wanachi kuwa azma ya kuwapatia huduma ya majisafi na salama kwa asilimia 85 kwa maeneo ya Vijijini na asilimia 95 kwa wananchi waishio mijini ifikapo 2020.

Akijibu swali la mbunge wa viti maalum Mhe. Maria Ndilla Kangoye, Naibu Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amesema kuwa dhamira hiyo inaendelea kutekelezwa ambapo utekelezaji wake kwa upande wa vijijini kupitia program ndogo ya Huduma ya Maji Vijijini na usafi wa Mazingira.

“Kufikia mwezi Septemba, 2018 jumla ya miradi 1,595 imekamilika, Serikali inaendelea kukamilisha miradi inayoendelea na kupanua miradi iliyopo na kuanzisha miradi mipya ili kufikia lengo lake la kuwapatia huduma wananchi wote”; Alisisitiza Mhe Aweso

Akifafanua amesema kuwa kwa upande wa miradi ya mijini, Serikali inaendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji inayohusu ujenzi na ukarabati katika Miji Mikuu ya Mikoa, Miji Mikuu ya Wilaya na Miji Midogo pamoja na miradi ya Kitaifa ambapo miradi yote ipo katika hatua za mbalimbali za utekelezaji.

Aliongeza kuwa Bwawa la Kidunda ambalo litasaidia kuboresha huduma ya maji katika Jiji la Dar es Salaam yamekamilika ikiwa ni pamoja na usanifu,nyaraka za zabuni, michoro pamoja na ulipaji wa fidia kwa wananchi watakaopisha ujenzi wa bwawa hilo.

“ Serikali inaendelea kutafuta fedha kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo kwa ajili ya ujenzi wa bwawa hilo zinazokadiriwa kufikia shilingi bilioni 470”;Alisisitiza Mhe. Aweso

Serikali ya Awamu ya Tano imekuwa ikichukua hatua mbalimbali za kuimarisha upatikanaji wa huduma ya maji hapa nchini ikiwemo kutekeleza miradi ya kimkakati.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU    MPENZI. 

NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati  watendo la ndoa 
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa 
3.Kutoa choo kama cha mbuzi 
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma 
5 kukosa choo kabisa 
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi 
7 korondani moja kuvimba 
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
 9 maumivu ya kiuno na mgongo  

Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?

WASILIANA  NA MTALAM  CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.

Rais Magufuli Akagua Magari Ya Jeshi Yatakayosomba Korosho

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo Jumamosi, Novemba 10, 2018 amekagua magari ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Usafirishaji cha 95KJ.

Magari hayo yanaweza kutumika kubebea Korosho katika mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara) iwapo wanunuzi wa zao hilo hawatazinunua baada ya siku ya Jumatatu saa 10:00 kama alivyoagiza jana, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alitoa siku 4 kuanzia jana Ijumaa hadi Jumatatu, Novemba 12, kwa wanunuzi wote korosho kupeleka barua Ofisini kwake kuonyesha tani wanazohitaji, lini watazichukua.

Majaliwa alisema baada ya hapo hawatanunua tena korosho hizo, zaidi watafutiwa usajili wa ununuzi wa zao hilo.

Hii ni kutokana na sintofahamu kwenye minada ya zao hilo kuu la biashara Tanzania.

Mizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29

$
0
0
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana hawaridhishwi na Waume au wapenzi wao pale wanapoaza kushiriki tendo la ndoa 

Kwa Nini Ujione Mpweke Pale Ukutanapo Na Mpenzi Au Mke Wako Kisa Eti Hauna Nguvu Za Kiume? ;Tumia MIZIZI 29 POWER, hii ndio tiba itakayorudisha heshima ya ndoa yako . 

Dawa hii itakufanya;
 1 Uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-25 kwa tendo la kwanza 
2 Dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
3  Dawa hii uhimalisha misuri iliyolegea na kusinyaa?dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji nani tofauti na ulizowai kutumia ata wazee wenye umri mkubwa wanapona 

NSONSOMA; Dawa hii itakufanya umridhishe  mke au mpenzi wako kwani uboresha uume saizi upendayo urfu wa nchi 5,6,7 na 8 na unene wa sentimita 2,3,4 na 5 dawa  hii ipo ya kupaka na kunywa 

NSHOLA; NI dawa ya uzazi kwa waliongaika mda mrefu bila kupata mtoto 

MWITA; Dawa hii humvuta meme, mke,au mpenzi mliyetengana pia umrudisha mtu kazini haliyefukuzwa, kumpatanisha mwajiliwa na bosi wake 

Tunatibu presha kisukari, busha ,vidonda vya tumbo tumbo kuunguruma kujaa gesi na kukosa choo 

MAHALI ILIPO OFISI; PANDA DALADALA SHUKA BUGURUNI MALAPA AU ROZANA NA MWANZA YUPO WAKALA PIGA SIMU 0752348593 DR NYAROBI .Kama hauna nafasi ya kuja ofisini utaletewa popote ulipo huduma hizi

Taarifa MUHIMU Toka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu

PICHA: Makamu Wa Rais Atoa Heshima Za Mwisho Kwa Marehemu Mercy Mengi

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mercy Mengi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi mjini, kushoto kwa Makamu wa Rais ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Anna Anna Mghwira. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa mkono wa pole Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Mzee Reginald Mengi mara baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mercy Mengi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi mjini. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Jerry Muro ambaye alikuwa moja ya waliohudhuria ibada ya kuuaga mwili wa marehemu Mercy Mengi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi mjini.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Mzee Reginald Mengi akizungumza na mwanae Bw. Abdiel Mengi wakati wa Ibada ya kuuaga mwili wa Marehemu Mercy Mengi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi mjini.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Dkt. Maria Kamm (kulia) ambaye alikuwa moja ya waliohudhuria ibada ya kuuaga mwili wa marehemu Mercy Mengi katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi mjini.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba Ataka Mashoga Wasitengwe

$
0
0
Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba mkoani Kagera, Desiderius Rwoma amekemea vitendo vya ushoga na kutaka wanaofanya dhambi hiyo wasitengwe na kubaguliwa badala yake wasaidiwe na kuonyeshwa ubaya wa wanachofanya.

Amesema kumvumilia mkosefu yeyote haina maana ya kumuunga mkono na kuwa ushoga ni dhambi na laana na watu wenye tabia hiyo wanahitaji msaada wa matibabu na huduma za kisaikolojia.

Katika mahubiri yake leo katika siku ya wanaume wa Jimbo Katoliki kwenye kanisa la Bikra Maria Mama wa Huruma, Askofu Rwoma ametaka uwepo wa sheria za kudhibiti vitendo vya ushoga.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 29

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA

Wakaanza kuzungumza maneno ya kiarabu huku mmoja kati ya watu humu sebleni ana tutafsiria, kwamba wanamuomba Mungu kwa sadaka ambayo wanakwenda kuitoa. Simu ya gaidi aliye shika jambia ikaanza kuita, akaipokea na kuiweka sikioni mwake. Akaitikia baada ya muda akairudisha mfukoni mwake.
“ETHAN KLOPP, unatakiwa kuleta boksi jeusi la sivyo vifo vya wasichana hawa wote vitakuwa mikononi mwako”
Baada ya gaidi huyo kuzungumza maneno hayo, video hiyo ikaishia hapo na kuwafanya watu wote sebleni kunigeukia mimi na kunitazama kwa mshangao mkubwa sana.
           
ENDELEA
Butwaa lililo nipata hakika toka kuzaliwa kwangu sina kumbukumbu ni lini liliwahi kunishika. Kila mtu ninaye mtazama ninaona mawenge mawenge ambayo yamenifanya niweke mikono yangu kichwani huku machozi yakinilenga lenga. Camila akanishika mkono wangu wa kulia na tukaanza kuondoka eneo hili na kuingia ndani kwake. Camila akanikumbatia kwa nguvu sana huku machozi yakitumwagika sote.
 
“Ethan”
“Mmmmm”
“Unajua chochote kuhusiana na hili jambo?”
Swali la Camila likaniacha mdomo wazi huku mapigo ya moyo yakizidi kunienda kasi sana. Camila akanitazama kwa muda kidogo kisha akaniomba nilale kitandani kisha akatoka chumbani humu. Nikanyanyuka kitandani kwa haraka, nikatembea hadi kwenye kioo, nikavua shati langu na kuanza kujichunguza sehemu ambayo mwanasheria alizungumza kwamba niliwekewe ramani ambayo itanisaidia kulipata boski hilo. Nikafanikiwa kuiona sehemu hiyo jambo lililo nifanya nijawe na woga mkubwa sana. Mlango ukafunguliwa na akaingia baba Camila. Taratibu akatembea hadi hapa nilipo simama.
“Ethan”
Baba Camila aliniita kwa sauti ya upole huku akikaa kwenye kiti maalumu cha dreasing table hii.
“Naam”
 
“Naomba uniambie mwanangu, kuna nini kinacho endelea kati yako na magaidi?”
Nikakaa kimya huku nikimtazama baba Camila usoni mwake. Nafsi moja inanisukuma nizungumze ukweli, huku nafsi nyingine ikinikataza kuzungumza jambo la aina yoyote.
“Naomba uniambie ukweli mwanangu. Tumeshangazwa sana na magaidi hawa kuweza kukutaja katika hili swala. Kama unafahamu ni wapi lilipo hilo boksi jeusi basi naomba uwapatie ili wale watoto waweze kuwa salama”
“Siwezi”
Nilizungumza kwa hasira huku nikimtazama baba Camila. Nikavaa shati langu na kuanza kutembea kuelekea mlangoni. Baba Camila akaniwahi na kunikamata mkono wangu wa kulia.
 
“Ethan zungumza tu ukweli ili tuweze kukusaidia katika hili. Tambua ninakwenda kuwa raisi. Okoa maisha ya wale wasichana”
“Siwezi kufanya hivyo. Mamilioni ya watu wanakwenda kufa duniani, wakifahamu ni wapi lilipo hilo boksi ni bora wafe hawa. Itatuuma ila si kwenda kuona dunia ikiangamia kwa ajili ya wachache”
Nilizungumza kwa ujasiri sana huku nikimtazama baba Camila usoni mwake. Nikafungua mlango wa chumba hichi na kutoka, nikakutana na Camila kwenye kordo, nikampita kwa kasi pasipo kumsemesha kitu cha aina yoyote.
“Ethan, Ethan”
Camila alainiita huku akinikimbilia, nikakatiza sebleni kwa kasi na kutoka nje na kumfanya Camila naye azidi kunifwata. Nikafika kwenye gari nililo kuja nalo hapa nyumbani, Camila akanishika mkono na kunigeuza kwa nguvu.
 
“Ethan una tatizo gani mpenzi wangu?”
“Siwezi kuaiacha dunia iangamie kwa ajii ya watoto wachache. Acha wale waangamie ili dunia iwe salama”
“Una maanisha nini Ethan mbona sielewi unacho kizungumza?”
Camila aliniuliza kwa mshangao kidogo ambao sikuhitaji kuujali. Nikafungua mlango wa gari na kuingia ndani, Camila naye akaingia ndani ya gari hili na kwa bahati mbaya hatukumkuta dereva.
“Ettha niambie ni nini kinacho endelea, hembu niamini basi mpenzi wangu”
Camila alizungumza huku akinishika mashavu yangu. Nikatazamana naye kwa muda kidogo huku nikiwa ninamwagikwa na machozi usoni mwangu.
 
“Tafadhali Ethan niambie ukweli”
“Hii yote ni kwa ajili yako Camila”
“Kivipi mpenzi wangu”
“Nilifahamu juu ya kutekwa kwa wale wezako, ndio maana nilikumabia usiende kwenye ile nchi. Lengo lao kubwa ilikuwa ni wewe”
Camila akajawa na mshangao mkubwa sana huku akinitazama usoni mwangu.
“Unakumbuka kuna siku nilikupigia simu nikakuambia kwamba usiende Somalia?”
Camila akatingisha kichwa akimaanisha kwamba anakumbuka.
 
“Nilikuwa na maana ya kuzungumza vile ila hukuhitaji kunisikiliza mke wangu, uliamua kwenda huko?”
“Ngoja kwanza Ethan ulijuaje juaje kama nitatekwa?”
Swali la Camila likanifanya nikae kimya, nikakumbuka masharti ya Ethan, kwamba sipaswi kumuambia mtu yoyote juu  ya uhusiano wangu wa kirafiki kati yangu na yeye na kufanya hivyo ni kosa kubwa ambalo yule atakaye fahamu basi ni lazima atakufa.
“Ethan wewe ni nani?”
Camila alizungumza huku uso wake ukianza kujawa na ndita nyingi zinazo ashiria kwamba ana hasira. Taratibu akaanza kuniachia huku akirudi nyumba nyuma hadi akagota kwenye mlango wa gari.
 
“Mimi ni Ethan, kwani umenifaamu leo Camila?”
“Hapana Ethan wewe ni nani, na kwa nini umesema wasichana wale wafe ili dunia iwe salama eheee?”
Camila alizungumza kwa ukalis ana huku akinitazama usoni mwangu.
“Wewe ndio chanzo cha wezako kutekwa Camila na hii yote ni kwaajili ya uhai wako. Mimi sijawahi ona hilo bosky jeusi, ila mwilini mwangu nina ramani ya kuninyesha ni wapi lilipo. Boksi hiyo jeusi limejaa kanuni na mbinu za kutengenezea mabomu hatari ya nyuklia, ambayo hao magaidi wakiweza kuyapata, mamilioni ya watu watakufa duniani”
Nilizungumza huku nikimtazama Camila usoni mwake.
“Wanatumia kigezo cha wasichana hao ili niweze kuwapatia hizo kanununi za kutengezea mabomu ya nyuklia.”
“Wewe hizo kanuni umezitolea wapi?”
 
“Ehhee?”
“Umezitolea wapi?”
“Babu yake mzee Klopp ndio alikuwa muanzilishi wa hizo kanununi, alikuwa ni genius wa kutengeza mabomu ya nyuklia katika utawala wa Adolf Hitler. Si serikali inayo paswa kuwa na mabomu hayo, bali haitakiwi mtu yoyote kuwa na mabomu hayo mke wangu”
Camila alizungumza huku akishusha pumzi taratibu. Nikavua shati langu na kumgeukia Camila, nikamuonyesha sehemu hii ambayo nimehifadhiwa ramani hii.
 
“Hapa ndipo nilipo hifashiwa ramani ya kuniwezesha kufahamu lilipo hilo boksi jeusi mpenzi wangu. Tafadhali ninakuomba hii siri usimueleze mtu wa aina yoyote. Endapo utanisaliti katika hili naapia kwa mwenyezi Mungu, haki ya Mungu sinto kwenda kukusamehe kamwe sawa Camila?”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Camila usoni mwake. Camila hakunijibu chochote zaidi ya kunikodolea macho tu, jambo ambalo kidogo likaanza kunipa wasiwasi naye.
“Siwezi kuachia hii fomula kwenye maisha yangu. Sitaki dunia iweze lia kwa ajili yangu. Sitaki dunia iangamie kwa ajili yangu. Tafadhali nakuomba unielewe hilo jambo Camila”
“Kwa hiyo unahitaji marafiki zangu wafe kwa ajili ya dunia si ndio?”
“Ndio”
 
Camila kwa haraka akashuka kwenye gari hili na kuubamiza mlango kwa nguvu. Akaanza kutembea kuelekea ndani, nikamshuhudia akiingia ndani, nikashusha pumzi taratibu huku nikiwa nimejawa na mawazo mengi sana. Baada ya dakika kama mbili nikawaona walinzi zaidi ya kumi wakilizunguka gari hili huku wakiwa wameshika bastola mikononi mwao. Nikamuona Camila na wazazi wake wakitoka ndani mwao huku wakishuhudia tukio hili. Mlinzi mmoja akaniamrisha kushuka ndani ya gari, nikamtazama Camila kwa macho makali sana kwa maana yeye ndio mtu aliye kwenda kutoa siri hii. Nikafungua mlango kwa nguvu na walinzi wawili wakanivamia huku mmoja akanipiga mtama na kuniangusha chini. Nipigwa pingu mikononi mwangu huku mikono ikiwa imerudishwa nyuma.
Camila akanifwata hadi hapa nilipo lazwa chini kama muhalifu mkubwa.
“Siwezi kuwaacha rafiki zangu wafe kwa ajili yako. Mpelekeni na muhakikishe kwamba anazungumza ni wapi lilipo hilo boski sawa?”
 
“Sawa madam”
Sikuamini kama Camila anaweza kubadilia kiasi hichi. Camila si wakutoa amri ya namna hii.
“CAMILAAAAA CAMILAAAA”
Niliita huku machozi yakinimwagika usoni mwangu, walinzi hawa wakaanza kunipeleka mpute mpute hadi kwenye moja ya chumba chenye kiti kimoja tu. Nikaufunga miguu yangu na mikono yangu kwenye kiti hichi, mlinzi mmoja mwenye mwili mkubwa kiasi, akavua koto lake la suti, akakunja mikono na shati lake jeupe huku akinitazama usoni mwangu.
“Lipo wapi boksi jeusi?”
Mlinzi huyu aliniuliza kwa sauti nzito kama vile hanifahamu kabisa. Akanitandika kofi zito la shavu na kunifanya nihisi maruwe ruwe kwani toka kuzaliwa kwangu sijawahi kukutana na kofi zito kama hili.
 
“Ni wapi lilipo boksi jeusi?”
“Sifahamu”
“Akanitandika makofi mawali mfululizo hadi macho yakapata kiza kidogo”
“Sifahamu”
Nilijikaza kuzungumza, mlango ukafunguliwa, akaingia Camila huku akiwa ameongozana na mwananume mmoja aliye shika kibegi kidogo chenye msalaba mwekundu.
“Dokta angalia mgongoni mwake”
Camila alizungumza huku akinikazia macho usoni mwake. Damu zinazo nichuruzika pembeni ya mdomo wangu zikanifanya nizidi kumchukia Camila.
“Wapi?”
Daktari huyu alizungumza na kumfanya kamila kuzunguka nyuma ya mgongo wangu.
“Hapana”
 
Akanigusa sehemu ambayo ndio nilifanyiwa upasuaji na kuhifadhiwa ramani hii ya siri. Daktari huyu akafungua kibegi chake, kisha kisha akatoa bomga la jipya la sindano na kuvuta dawa ya ganzi na kunichoma katika sehemu hiyo.
“Kwa nini unafanya hivi Camila”
“Funga kinywa chako Ethan, nimesha kuambia siwezi kuwaacha marafiki zangu wafe kwa ajili yako”
“Kwa hili sinto kusamehe Camila”
“Potelea pote, maisha ni muhimu kuliko mapenzi”
Camila alizungumza kwa dharau huk nikihisi ninavyo pasuliwa sehemu hiyo ya mgongoni mwangu.
“Mbona hakuna kitu?”
Daktari alizungumza mara baada ya kunifanyia upauaji huo.
“Hembu angalia vizuri?”
“Hakuna kitu cha aina yoyote humu ndani, si unajionea mwenyewe”
“Mchane zaidi”
Camila alizungumza bila ya huruma yoyote.  Daktari akatii amri hiyo na kuendelea kunifanyia upasuaji huu ambao ni batili kwa upande wangu, kwani sikurishia kufanyiwa hivi. Baada ya dakika kama mbili hivi daktari  akatoa jibu kile like kwamba hakuna kitu chochote alicho kiona nyuma ya mgongo wangu.
 
“Shiittii wewe nguruwee zungumza ni wapi ilipo ramani”
Camila alizungumza huku akinishika mashavuni mwangu na kunigandamiza mashavu yangu kwa vidole vyangu. Nikatabasamu kwa dharau huku nikimtazama usonii mwake, kama amekosa kuona sehemu hiyo basi hata mimi mwenyewe sifahamu ni sehemu gani ambayo hiyo ramani imefichwa. Camila akanitatika makofi kadhaa kusoni mwangu pasipo kuangalia ni wapi anapiga kwani, makofi mengine yametua usoni mwangu.
“Sema Ethan ni wapi ilipo ramani”
Camila alizungumza kwa hasira huku akilia. Akaanza kunitingisha tingisha mwili wangu mzima hadi akasababisha kiti hichi nilicho kualia kikaanguka.
“Mnyanyueni”
Camila aliwaambia walini wake, wakaninyanyua na kiti changu kizima na kukalishwa sawa.
 
“Camila ni miaka mingapi mimi na wewe tumefahamiana. Ni miaka mingapi mimi na wewe tumekuwa pamoja, ni miaka mingapi tumeishi mapomoja na kufanya mambo mengi pamoja. Leo hii utu wangu haupo, leo hii sina dhamani kabisa mbele yako si ndio?”
Nilizungumza kwa upole sana huku machozi yakinimwagika usoni mwangu.
“Yote yametokea kwa ajili yako wewe uwe hai, kwa nini lakini. Unanihukumu kwa vitu ambayo havina msingi”
“Nyamaza”
Camila alizungumza huku akinitandika kofi jengine la sikuo la upande wa kushoto. Mwili mzima wa Camila umebadilika rangu na kuwa mwekundu.
“Nilikupenda mtu mweusi nikiamini kwamba una roho mbaya. Unakuja kuniambia kwamba eti niache wezangu wafe kwa ajili ya dunia. Sitaki kujua dunia ina nini, dunia ina mambo gani. Ninacho taka ni rafiki zangu wawe hai”
Camila alizungumza huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.
 
“Camila mimi sifahamu ni wapi lilipo boksi hilo”
“Ethan usitake kujua nina roho mbaya kiasi gani, ninataka boksi jeusi ili wezangu wakaokolewe”
“Sifahamu ni wapi lilipo hilo boksi”
“Ufahamu si ndio?”
“Ndio”
Camila akatoa simu yake mfukoni na kuniwekea video inayo onyesha dada Mery akiwa amewekwa chini ya ulinzi mkali huku macho yake yakiwa yamefungwa na kitambaa cheusi.
“Dada yako yupo njiani analetwa hapa. Haki ya Mungu usipo nieleza ukweli Ethan ninakwenda kumuua mbele yako, sinto jali wewe ni mtu ninaye mpenda au laa. Ila nilazima nitamuua”
 
Camila alizungumza kwa msisitizo na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa, kiasi cha kuzidi kumchukia Camila. Hazikupita hata dakika tano dada Mery akaingizwa ndani humu, akasukumizwa chini huku mikono yake ikiwa imefungwa na kamba.
“Ethan ni wapi lilipo boksi jeusi?”
Camila alizungumza huku akikabidhiwa bastola na mmoja wa walinzi wake. Camila akaielekeza bastola hiyo  kweye paja la dada Mery.
“Wifi”
Dada Mery aliita huku akijaribu kuangaza angaza ilipo simama Camila. Mlio wa risasi ukanifanya nilie kwa nguvu sana, kwani risasi hiyo imempiga dada Mery kwenye japa la mguu wake wa kulia na kumfanya agaregare chini kwa maumivu makali sana.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 144 na 145 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
       
Muda wa kusoma risasa ukafika, yemi akasimama na kusogela jukwa maalumu, akaanza kusoma risala ya baba yake huku akito historia ya baba yake. Hadi anamaliza machozi yakawa yanashuka kwenye uso wake nikasimama na kumsogelea hadi sehemu simama nikamkumbatia taratibu huku macho yangu yakiwaangalia wageni waalikwa. Macho yangu yakafika kwa K2 ambaye naye ananitazama, kwa ishara ya mkono akanionyeshaea ishara ya kunikata shingo yangu, jambo lililo nifanya nizidi kumchukia hadi nikahisi moyo wangu ukitaka kupasuka kwa maumivu haya ninao yasikia.
   
ENDELEA           
Taratibu nikamrudisha Yemi kwenye kiti alichokuwa amekaa, nami nikaka kwenye kiti changu huku nikiifikiria ishara ambayo K2 ameweza kunifanyia. Ratiba ya mazishi ikaendelea, ikaanza kupigwa mizinga kama kanunu ya kijeshi inavyo kuwa, endapo anakufa kiongozi wa jeshi au kiongozi wa juu katika serikali, basi mizinga kadhaa hupigwa hewani ikiwa ni heshima ya kijeshi. Muda wa kumzika mzee Okocha ukawadia, sote tulipo katika hili eneo tukasimama, na tukawashuhudia wanajeshi wanavyo shusha mwili wa mzee huyu kwenye kaburi, jambo lililo mfanya Yemi kushindwa kujiazuia na kuangua kilio kikali sana. 

Nikamkumbatia kwa nguvu kifuani mwangu huku nikimuomba atulie, sikuhitaji kushuhudia jinsi mzee huyu anavyo fukiwa kwani Yemi analia kiasi kwamba anashindwa hata kusimama. Taratibu nikamnyanyua na kuandoka naye katika hili eneo na kurudi katika jengo lenye chumba chetu.
“Peter nitaishi vipi bila baba yanguu…..”
Yemi alizungumza huku akizidi kulia kwa uchungu sana.
“Nipo mke wangu, nipo usilie tafadhali kwa maana hii yote ni kazi ya Mungu ukilia sana utamkufuru Mungu”
 
Yemi akaendelea kulia, huku kichwa chake akiwa amekiegemeza kifuani mwangu. Zaidi ya lisaa moja nikawa na kazi ya kumbeleza Yemi hadi akapitiwa na usingizi, nikamlaza vizuri kwenye sofa hili tulilo kalia, nikachukua shuka na kumfunika mwili mzima na kumuacha kichwa tu.
Nikatoka nje, huku akili yangu kwa sasa ikianza kuwaza ni jinsi gani ninaweza kumzuia K2.
“Generali”
Mwanajeshi mmoja aliniita huku akinipigia saluti, nikasimama na kumtazama.
“Ndio”   
“Kuna kikao katika chumba kikuu, wageni rasmi wanakusubiria”
“Kikao kaitisha nani?”   
“Meja”
 
Nikamtazama mwanajeshi huyu, kisha nikaanza kuongozana naye. Tukafika katika ofisi inayo fanyikia kikao, kabla ya kuingia, nikawatazama wanajeshi pamoja na walinzi mbali mbali walio jipanga nje ya hii ofisi, wakiwasubiria mabosi wao waliomo ndani ya hichi kikao, kisha nikamruhusu mwanajeshi huyu kunifungulia mlango. Nikaingia nda na kuwakuta wageni waalikwa wakiwa wamekaa kwenye viti, walipo niona wote wakasimama kwa ishara ya kuniheshimu. Ni kiti kimoja tu ambacho hakina mtu, na ndio kiti ambacho ninastahioli kukalia kwani kwenye meza kuna kibao chenye jina langu la uongo ambalo ni Peter.
Nikafika kwenye kiti changu, nikawatazama wageni walikwa wote, kisha kwa ishara nikawaruhusu kuweza kukaa chini nami nikaa. Meja katika sehemu aliyo kaa, akasimama kikakamavu huku akinitazama usoni mwangu.
“Kwanza ninaomba radhi jenerali kwa kuitisha kikao kabla sijakutaarifu ila niche ni kikao cha dharura na ningeomba uweze kusikiliza kile washirika wanao unda kundi la boko haramu wanahitaji kuzungumza na wewe. Nina imani ni mgeni kwenye jeshi hili, ila ninaimani kwa kuzidi kuelekezana utaweza kuelewa ajenda zote za kundi hili.”
 
Nikatingisha kichwa huku nikimkubalia meja msamaha hawake, watu wengi waliomo kwenye hii ofisi ni wazee walio nipita umri na wengine ni kama baba zangu.
“Kwa sasa wewe ndio  kiongozi wa boko haramu, je ni kipi unacho weza kuufanyia huu umoja ili ufanikiwe kufika malengo yake”
Mzee mmoja aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu, nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama usoni mwake.
“Nitasimama katika malengo aliyokuwa nayo mzee Okocha na nitahakikisha kwamba Boko haramu inazidi kusonge mbele na kuwa ni kundi lenye nguvu kubwa duniani kama ilivyo kwa makundi kama Alquida”
 
“Muheshimiwa jenero, imejipanga vipi kukabiliana na nchi kubwa kama Marekani, Uingereza na Ufaransa ambazo kila siku zinajaribu kuongeza wataalumu wa kijeshi katika kufundisha wazawa hususani wanajeshi wa kiserikali, il badae waje kuangusha hili kundi na kulifuta kabisa kwneye ramani ya dunia?”
“Nitaanzisha mkakati wa kupandikiza watu watu katika kila jeshi la nchi hususani hapa Nigeria, Marekani na sehemu nyingine. Watu hao nitahakikisha wanafanya kazi nasi kufahamu ni kitu gani majeshi hayo yanapanga, hiyo ni moja. Mbili nitaanzisha kikosi cha mauji kwa wasaliti wote ambao watajaribu kuuza siri ya umoja huu, sinto jali ni kiongozi ndani ya kundi hili au upo nje ya kundi hili, nitakacho hakikisha ni kwamba ninakuteketeza wewe na familia yako. Swali jengine”
 
Nilizungumza kwa kujiamini na msisitizo na kuwafanya watu hawa kutazamana, hadi K2 mwenyewe, akabaki akinikodolea macho tu.
“Sisi tumewekeza pesa zetu kuhakikisha kwamba jeshi hili linaitumia pesa hiyo katika kuchukua sehemu tofauti za kibiashara na kuziweka chini ya ungalizi  na kuendesha biashara ya eneo hilo na pesa zetu ziweze kurudi, sasa wewe una mpango gani katika hilo?”
Mzee huyu alizungumza na kunifanya nimtazame kwa sekunde kadhaa kwenye macho yake hadi akatazama chini.
“Unaweza kuitoa pesa yako”
Nilizungumza kwa msisitizo na kuwafanya viongozi hawa kuanza kunong’ona nong’ona.
 
“Mimi nikijana, ninauwezo wa kuchukua silaha na kwenda kupigana na vijana wangu. Nitajitolea maisha yangu kwa ajili ya hilo. Wewe huwezi kukaa huko ulipo na familia yako na ukategemea sisi kupambana au vijana wangu wapambane kwa ajili yako na wewe upate faida na uendelee kuishi maisha ya furaha na amani ikiwa damu za wanajeshi wangu zinamwagika. Kumbukeni hawa ni watu na si kuku au ng’ombe. Na nitoe angalizo katika hilo endapo unategemea kujitoa katika huu umoja, nitahakikisha kwamba ninaipiga nchi yako na kuichukua, hususani katika vitega uchumi unavyo vitegemea”
Wazee wote wakaka kimya huku wakinitumbulia macho, kwani utaratibu nilio  kuja nao hapa ninaimani kwamb ni mpya na kila mmoja utakuwa umemuudhi kwa namna moja ama nyingine.
“Swali jengine?”   
K2 akanyanyua mkono kidogo ili kuomba nafasi ya kuzungumza, nikajikuta tumbo likinicheza kidogo kwa woga kwani sijui anataka kuzungumza kitu gani.
“Zungumza”
 
“Je tukiamua kuzitoa pesa zetu kwenye huu umoja wanajeshi wako si watakufa kwa njaa?”
Swali la K2 likanifanya nishushe pumzi taratibu huku nikiuzuia woga wangu ambao tayari ulisha nitawala mwili wangu wote.
“Kama ulisha ingia kwenye hichi chama, sinto kuruhusu utoke na hilo ninaomba liweze kujulikana kwenu nyote”
“Ila jenero hiyo sio haki na hilo sio alilo kuwa akilifanya jenero aliye pita, kwa maana hichi chama alikiendesha kwa umoja  na upendo ndio maana leo hii tumekuja kumzika?”
“Huu pia ni umoja na upendo ambao nyote mutaupenda. Malengo hayawezi kufika kwa kuchekeana au kuogopana kwa kuwekeza pesa zenu. Malengo yatafika kwa kuhakikisha kwamba heshima inatawala ndani ya hili kundi.”
Msisitizo wangu ukawafanya viongozi hawa kuonekana wakiwa wamejawa na mawazo mengi vichwani mwao nina imani nitakuwa nimependekeza hali ya kuogopwa kwa kila kiongozi.
 
“Sioni cha maana ninaondoka zangu hapa”
Mzee mmoja alizungumza huku akirudisha kiti chake nyuma, kwa haraka nikasimama na kutembea hadi sehemu aliyo simama. Watu wote ndani ya hii ofisi wakabaki wakitutazama.
“Unahitaji kufa?”
Nilimuuliza kwa sauti ya upole huku nikiwa nimemkazia macho.
“Utaongozaje jeshi kwa namna hii?”
“Unahitaji kufa?”
Nikaongeza ukali wa sauti yangu, mzee huyu akabaki akiwa amenikodolea macho, kitu ambacho kinawaogopesha viongozi hawa humu ndani  wote hawanijui uhalisia wangu kwamba mimi ni mtu wa aina gani, ila K2 pekee ndio anaye nifahamu na yeye ananijua akili yangu jinsi ilivyo.
“Kaa chini kikao bado hakijaisha”
 
Taratibu mzee huyu akaka kwenye kiti cheka, nikamsaidia kukisukuma mbele kidogo kwa mana ni kiti cha matairi.
“Ninaimani nyinyi nyote hamunitambu, na kupewa nafasi hii ya kuongoza hili kundi sijapewa kwa bahati mbaya au makusudi. Nina uwezo wa kuongoza, ninajua cha kufanya ndio maana mzee Okocha aliweza kunipatia nafasi hii. Mzee Okocha anaujua ukweli wa maisha yangu”
Ilinibidi kudanganya kidogo ili kumtoa K2 kwenye mawazo ya mpango wa kuhitaji kuelezea ukweli kuhusiana na mimi mbele ya viongozi hawa ambao tayari sasa akili na mioyo yao inachemka kwa kuwazia uongozi wangu.
“K2 naye anajua ukweli wa maisha yangu”
Nilizungumza huku nikiwa nimesimama nyuma ya kiti cha K2, viongozi wote wakanitazama, nikaona jinsi kifua cha K2 kinavyo shusha pumzi nyingi kwani tayari nimesha muingiza kwenye mikono yangu tofauti na alivyo kuwa akifikiria.
“Raisi Donald Bush anajua ukweli wa maisha yangu. Je wewe, wewe, wewe, wewe, wewe na wewe munaufahamu ukweli wa maisha yangu?”
 
Niliwauliza viongozi baadhi kwa kuwanyooshea kidole changu, wote wakatingisha kichwa kukiri kwamba hakuna anaye nifahamu mimi.
“K2 unaweza kuwaleza wezako mimi ni nani?”
Nilizungumza huku huku nikikaa kwenye kiti changu, nikamuona jinsi K2 anavyo pata kigugumizi cha kuzungumza, moyoni mwangu nikajikuta nikianza kushangilia kwa kumuu K2 kiakili na sasa nitahitaji kumuu kimwili.
“Haloooo K2, mbona kimya?”
“Ahaa….ahaa…….”
Meja akabaki akinitazama huku amenitolea macho ya mshangao, mshangao wake ukaendelea kwa kumtazama K2.
“Ameshindwa kuzungumza. Basi kati yenu musihitaji kunijua vizuri kwa maana nitahakikisha ninawapiga hadi vyumbani kwenye kama nilivyo fanya kwenye kundi la Al-Shabab”
Nikawaona viongozi hawa wakistuka kwa maana ninatambua kwamba wameweza kusikia habari ya kufutika kwa kundi la Al-Shabab na wengi wao ninaimani wanahisi kwamba Marekani ndio limeifuta Al-Shabab kwenye ramani ya dunia.
“Meja hakikisha kwamba hakuna kiongozi hata mmoja anaye ondoka leo, nyote nitawahitaki katika chakula cha leo usiku”
“Sawa mkuu”
 
“Swali, maoni, ushauri?”
Hapakuwa na kiongozi aliye fungua kinywa chake, wote wakaka kimya.
“Tutaonana usiku, niwatakie jioni njema”
Nikasimama na kuanza kutembea kwenye chumba hichi kwa kujiamini, viongozi wote wakabaki wakinisindikiza kwa macho, nikafungua mlango na kutoka, nikaanza kusikia minong’ono, ikanibidi kufungua mlango na kuwafanya viongozi wote walio kuwa wamesimama kukaa kwenye viti vyao kwa woga.
“K2 ninakuomba”
Taratibu K2 akanyanyuka na kunifwata mlangoni, nikamfungulia mlango na kuanza kutoka naye nje.
 
“Dany wewe ni mshenzi, mbwa mkubwa wewe”
K2 alizungumza kwa hasira japo kwa sauti ya chini isiyo sikika na mtu yoyote, sikuruhusua mlinzi yoyote kutufwata nyuma yetu, hawa walinzi wa K2 wanao pokea amri kutoka kwake, wakafwata amri yangu.
“Nikuue kwa sumu, risasi, au kukuchinja?”
Nilimuliza K2 huku tukiendelea kutembea taratibu, kwa mtu ambaye anaweza kutuona, atahisi tunazungumza mazungumzo mazuri ya amani. Tukasimama kwenye moja ya bustani ya maua.
“Nimekuuliza nikuue kwa staili gani kwa maana leo hapa kwangu huwezi kuondoka, ulihisi kwamba nitaogopa mazungumzo yako uliyo yarekodi, au ukweli ambao utakwenda kuzungumza kwa watu hawa ambao kwa sasa wanafwata amri yangu?”
“Ukiniua mimi haito kusaidia kitu”
“Hahahaa, unajidanganya, una uhakika haita nisaidia kitu?
“Ndio kwa mana mimi ndio ninajua ukweli wote”
“Ukweli gani wakati umeshindwa kwendwa kuzungumza mbele ya viongozi wezako, eti mumewekeza pesa”
 
“Ukweli kuhusiana na familia yako”
Nikakaka kimya huku nikimtazama K2 usoni mwake. Nikatamani kumzaba kibao, ila wanajeshi wanao linda hii sehemu wakanifanya nishindwe kabisa kumdhalilisha K2 mbele yao.
“Malaya mkubwa wewe unataka kuzungumza nini mbele ya familia yangu?”
“Familia yako ipo hai, hakuna hata mmoja ambaye nimemuua kama unavyo zungumz…….”
Nijikuta nikishindwa kujizuia na kumtandika kofi zito K2 hadi akapepesuka, ila akajikaza na kusimama sawa huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Peter”
Niliisikia sauti ya Yemi akiniita nikatazama pembeni na kumuona Yemi akija katika eneo nililo simama na K2.
“Ohoo samahani mama K2, mume wangu leo hayupo sawa”
Yemi alizungumza kwa sauti ya upole kwa mana hatambui ni kutu gani kinacho endelea kati yangu mimi na K2 anacho hisi yeye ni kwamba ni leo tu ndio tumekutana.
“Bila samahani mwanangu, nilikuwa ninamuelekeza jinsi ya kuongoza hili jeshi ila nikateleza baadhi ya maneno ndio maana akanidhibu kama hivi”
 
“Oohoo samahani sana mama. Peter mume wangu nakuomba utilize hasira yako”
Yemi alizungumza huku akinishika mashavu yangu,  taratibu akaanza k.. midomo yangu na kumfanya K2 kuanza kuondoka hili eneo.
“Tulia ehee mume wangu”
Yemi aliendelea kunibembeleza huku akinishika mashavu yangu. Yemi akanishika mkono na kuondoka katika eneo hili.
“Peter natambua kila mmoja anaweza kukuletea ushauri wake, ila jaribu kuzuia hasira zako kwa maana hakuna ambaye anaweza kukuletea ushauri mzuri mume wangu”
“Yemi”
“Beee”
Sikuzungumza kitu chochote baada ya kumuona meja akija mbele yangu. Akanipigia saluti, akamtazama Yemi kidogo nikampa ishara ya kuzungumza.
“Mkuu tumehakikisha kwamba hakuna kiongozi anaye ondoka”
“Helicopter zao walizo kuja nazo mume ziwekea ulinzi mzuri?”
“Ndio, nina imani kwamba hakuna itakayo urka na atakaye jaribu kufanya hivyo basi tutamuangusha”
Ehee ngojeni kwanza nyinyi wanaume. Ni kitu gani kinacho endelea hadi wageni wa watu wasiondoke katika hili eneo?”
“Ninahitaji kula nao chakula cha usiku”
 
“Kula nao chakula cha usiku ndio kifanye wasiondoke?”
“Yemi huelewi ni kitu gani kinacho endelea”
“Ndio maana ninahitaji nielekezwe mume wangu, nitaelewa vipi wakati sijaeleweshwa?”
“Kati ya hawa viongozi kuna wasaliti ambao ni lazima niwahushulikie ili jeshi lisonge mbele”
“Basi kama hakuna wasaliti waache wengine waondoke”
“Siwezi kufanya hivyo”
“Fanya hivyo”
Yemi alizungumza kwa ukali hadi meja akabaki akiwa ameshangaaa. Nikamgeukia Yemi na kumtazama usoni mwake kwa macho makali.
“Kama huitaji kusikiliza kile ninacho kifwata, nijajiudhuru cheo changu na utaongoza jeshi la baba yako peke yako”
Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, nikaanza kuvua kofia niliyo ivaa huku nikifwatia vyeo ambavyo vipo kwenye shati langu jambo lililo mfanya meja kwa haraka kupiga magoti chini na kunishika miguu yangu huku akilia akiniomba nisitishe maamuzi yangu ninayo yafanya.
                                                                                    
AISIIIII……….U KILL ME 145

“Jenero, bado tunakuhitaji tunahitaji muongozo wako”   
Meja alizungumza huku akiwa ameendelea kunishikilia miguu yangu. Taratibu nikamuona Yemi machozi yakimwagika usoni mwake.
“Nisamehe mume wangu”   
“Meja unaweza kusimama”
Nilizungumza huku nikimtazama Yemi usoni mwake, nikaanza kurudisha vyeo vyangu nilivyo anza kuvivua kwenye shati langu.
“Hakikiasha mpango nilio waelesza unaendelea kama nilivyo zungumza”
“Sawa mkuu”
Meja akaondoka zake, sikutaka kumjibu Yemi kitu cha aina yoyote zaidi ya kuanze kutembea kwa haraka kuelekea kilipo chumba chetu.
“Peter, Peter”
Yemi aliniita huku akinikimbilia, akaniwahi kunishika mkono wa kushoto.
“Twende tukazungumzie ndani”   
Nilizungumza huku nikiuachanisha mkono wangu na mkono wa Yemi. Tukaingia ndani huku nikiwa nimekasiria, si kwasababu ya ukali wa Yemi alio uonyesha mbele yangu na Meja, ila ni kutokana na kitu alicho kizungumza K2. Taratibu Yemi akapiga magoti chini huku akiendelea kumwagikwa na machozi usoni mwake.
“Peter ninakuomba unisamehe mume wangu, sikutarajia kama ninaweza kukufokea mbele za watu, natambua utakuwa umefedheheka, ila ninakuomba sana unisamehe mume wangu”
 
Nikabaki nikimtazama Yemi usoni mwake, moyo wangu unatamani sana kumueleza ukweli wa maisha yangu ila akili yangu inakataa kabisa.
“Peter tambua wewe ndio mwanaume wa ndoto zangu, tambua wewe ndio kila kitu kwenye maisha yangu, tafadhali ninakuomba usije ukanichukia kwa kile nilicho kifanya”
“Mke wangu usijipe tabu ya kuniomba msamaha, sio wewe uliye nikosea”
Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimnyanyua Yemi, taratibu nikakaa naye kwenye sofa, nikaanza kumfuta machozi yake, kisha nikampiga busu katika paji la uso wake.
“Nahitaji kubadilisha mfumo wa hili jeshi”
“Kivipi mume wangu?”
“Hivi unatambua kuna watu wamewekeza pesa zao, na wao wanajipatia faida kutoka kwenye hili jeshi, ikiwa kuna wanajeshi wengi wanapoteza maisha yao pasipo kufaidika kwa kitu chochote”
“Mmmmmm. Ni kina nani hao mume wangu?”
“Wageni wote walio kuja leo. Mke wangu nishauri ni nini cha kufanya, nahisi kichwa changu kinapata moto”
Yemi akashusha pumzi nyingi sana huku akiwa kimya akinitazama usoni mwangu.
 
“Mume wangu, baba yangu amekuamini hadi kukuachia cheo hichi, naamini kila unacho kifanya ni sahihi. Hakikisha kwamba unaleta mabadiliko yatakayo mjali kila mwanajeshi ili hata akiamua kufanya kazi basi anafanya kazi kwa juhudu zote”
“Nashukuru mke wangu”
Nilizungumza huku nikimvuta Yemi karibu yangu, akakilaza kichwa chake kwenye bega langu la upande wa kulia.
“Sinto rudia tena mume wangu kukuingilia katika uongozi wako. Nimeamini kwamba una nguvu ya kuongoza kwa maana sikutegemea kama meja anaweza kukupigia magoti”
“Naamini kwamba wamesha anza kunielewa, leo usiku nitahitaji uwepo nami kwenye chakula cha usiku”
“Ni jukumu langu mume wangu siwezi kukuacha uwe mbali nami”
“Nashukuru mke wangu”
Taratibu Yemi akanigeukia na kuanza kuniny mdomo wangu, mlango wa chumba chetu ukagongwa ikanilazimu kumuachia Yemi. Nikaanza kutembea kwa kujiamini hadi mlango, nikaufungua mlango wa chumba chetu, nikakutana na meja akiwa anahema.
“Vipi  meja?”
“Raisi K2 ametoroka yeye na walinzi wake, ameua walinzi wetu kumi”
“Shitiiiii”
Yemi kwa haraka akakimbilia sehemu tuliyo simama.
“Meja unasema mama K2 ameua walinzi kumi?”
“Ndio”
“Mke wangu, K2 ni gaidi, na amejidhihirisha kwamba ni gaidi. Meja nahitaji vijana watakao mlinda mke wangu, au mpelekeni katika chumba maalu cha ulinzi kwa maana simuamini mtu mwengine zaidi yako wewe”
“Sawa mkuu”
 
“Peter wewe unakwenda wapi mume wangu”
“Nilazima nimkamate K2 na kumuangamiza mbele ya wanajeshi wangu”
“Peter tuma tu vijana waweze kwenda kumfwatilia?”
“Hakuna anaye mjua K2 zaidi yangu mimi na hakuna ambaye ataweza kumkamata K2 zaidi yangu”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiwa nimekazia macho Yemi.
“Unamfahamu?”   
“Ndio, ila huu sio muda wa maelezo juu ya hilo. Meja hakikisha viongozi wengine wote munawawaka chini ya uangalizi mkali, na hakikisheni hakuna anaye weza kutoroka tena”
“Sawa jenero”
Kwa haraka Yemi akanishika mashavu yangu, akanipiga busu mdomoni mwangu, kisha akaniachia huku akinitaza.
“Mkuu vikosi vipo katika jengo la kujiandaa wanahitaji amri yako. Wewe ongozana na jenero”
 
Meja alizungumza na kunikabidhi mwanajeshi mmoja, tukaanza kukimbia na mwanajeshi huyu na kufanikiwa kufika katika uwanja, nikakuta wanajeshi wakiwa tayari wapo kweye magari na silaha zao.
“Naomba bastola mbili, magazine za kutosha pamoja na jaketi la kuzuia risasi”
“Sawa jenero”
“Ila samahani jenero, mimi ningeona kwamba uturuuhusu sisi kumfwata huyu msaliti na wewe uendelee kulinda hii ngome isije ikakosa muangalizi”
Mwanajeshi mmoja alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
“Hamuwezi kumkamata K2, na musipo angalia munaweza kujikuta nyote munakufa kama alivyo waua wezenu, sawa”
“Sawa jenero”
Nikakabidhiwa jaketi la kuzui risasi, nilalivaa kwa haraka kisha nikapoea bastola zangu mbili pamoja na magazine za kutosha. Nikaruhusu magari kuondoka, huku gari niliyo panda ikiwa imetangulia mbele.
 
“Walielekea wapi?”
Nilimuuliza dereva huku nikimtazama usoni mwake.
“Walieelekea kaskazini mwetu?”
“Wana gari au miguu?”
“Wana miguu”
“Hakuna haja ya kutumia magari, simamisha magari na wanajeshi weote waelekee upande huo”
“Sawa jenero”
Dereva wangu akawasiliana na madereva wote kwa kutumia simu ya upepo. Gari zote sita zikasimama huku mawili yakiwa nia malori mawili na yote yamejaa wanajeshi.
“Hakikisheni tunamkata K2 akiwa hai. Ila ikapo lazimika kumjeruhi vibaya, itabidi kufanya hivyo kwa maana sinto hitaji kuona damu hata ya mmoja wenu ikimwagika nikiwa kiongozi wa hichi kikosi”
 
“Ndio muheshimiwa”
Wanajeshi hawa walizungumza kwa pamoja, nikagawa vikosi vya wanajeshi kumi kumi, tukaanza kuingia msituni huku tunakimbia kwa kasi, ila kila mmoja yupo katika umakini mkubwa. Kadri tulivyo zidi kwenda mbele hatukuweza kuona dalili yoyote hata ya yazo za miguu.
“Mkuu tunazidi kwenda mbele bila mafanikio ya aina yoyote, tunafanyaje na ukitegemea giza ndio hivi linaanzakutawala anga”
Mwanajeshi ambaye muda wote tupo pamoja aliniambia huku akinitazama, hata mimi mwenyewe nimejichokea kutafuta watu wasio onekana.
“Wasiliana na vikondi vingine waulize wameona chote”
“Sawa jenero”
Kwa kutumia simu ya upepo, akawasiliana na wanajeshi nilio wagawa kwenye makundi tofauto tofauti. Ripoti aliyo toa kila mkuu wa kikundi hichi, akadai hajaona chochote.
“Waambie wengine waendele na oparesheni kisha nahitaji wanajeshi watano kurudi kambini”
 
“Sawa mkuu. Oparesheni inaendelea, tunatudi na jenerali kambini”
Wanajeshi watano wakaungana na mimi na kuanza kurudi kwenye kambi yetu. Tukatumia zaidi ya dakika arobaina na tano kufika kambini. Ulinzi mkali hapa kambini ukaendelea kuimarishwa.
“Nipelekea sehemu zilipo maiti za wanajeshi”
Nikaongozana na mwanajeshi huyu hadi kwenye chumba maalumu cha kuhifadhia maiti, nikakuta miili ya wanajeshi hawa ikiwa tayari imesha safishwa na kuweka kwenye mafriji maalumu ya kuhifadhia maiti. Kitu kilicho nishanganza ni miili ya maiti hawa kutokuwa na majeraha ya aina yoyote, ila nilicho kugundua ni shingo zao kuvunjwa.
“Alio kuja nao sio walinzi wa serikali”   
Nilijikuta nikizungumza mwenyewe huku nikimgeuza mwanajeshi mmoja shingo yake.
“Mkuu unasema?”    
 
“Walinzi wa K2 ndio wamefanya hii kazi, na wote wanatoka katika kikosi chake cha wasichana tupu ambacho kazi yao ndio hii”
Nilimuambia mwanajeshi huyu huku nikiendelea kuigeuza shingo ya ya mwanajeshi huyu.
“Unaitwa nani?”
“Martin”
“Unaipenda hii kazi?”
“Ndio mkuu”
“Upo tayari kufa kwa ajili ya mtu mwingine?”
“Ndio mkuu”
“Ninaweza kukuamini?”
“Ndio mkuu”
“Utakuwa mlinzi wangu sawa”
“Nashukuru mkuu”
Martin akanipigia saluti huku akiwa amesimama kikakamavu.
“Una muda gani kwenye hii kambi?”
“Miaka mitano mkuu”
“Basi badae nitahitaji unieleze mambo mengii juu ya hii kambi”
“Ndio mkuu”
Tukatoka katika chumba hichi cha kuhifadhia maiti, moja kwa moja nikaelekea jengo walilo hifadhiwa wageni waalikwa.
“Mke wangu yupo wapi?”
Nilimuuliza meja baada  ya kunikaribia.
“Yupo katika chumba salama”
“Mumeandaa chakula cha usiku?”
“Ndio  kipo kwenye holi la chakula”
“Kamlete mke wangu nahitaji kuzungumza na hawa watu”
“Sawa”
 
“Kuna zile maiti kule chumba cha maiti, nitahitaji ukarekodi, hakikisha kwamba kila maiti unaigeuza shingo yake kwa maana wote wamevunjwa shingo zao. Pia hakikisha huo mkanda unafika nao kwenye ukumbi wa chakula”
“Sawa jenero”
Nikafungua mlango na kuingia katika chumba hichi kikubwa, nikawakuta wageni walio hudhuria kwenye kikao hichi wengine wakiwa wamekaa kwenye masofa huku wengine wakiwa wamesimama wakijadiliana.
“Mutaendelea kutufungia humu ndani kama mateka hadi saa ngapi huu ndio uongozi ulio achiwa na mzee Okocha”
Mzee mmoja alizungumza kwa jazba hadi mate mdomoni yakawa yanamtoka. Nikamtazama kwa macho makali hadi akajistukia na kutazama pembeni.
“Tukielewana hapatokuwa na hata mmoja wenu ambaye ataumia katika hili, ila endapo mutakuwa tofauti na mimi, nina waahidi kila mmoja ninampiga risasi ya kichwa na sinto ogopa nchi zenu kuja kunivamia mimi na jeshi langu, kwa maana nyinyi nyote ni wasaliti”
 
“Wa….sa…a….aliti vi…..pi baba ye….tu?”
Mzee mmoja alizungumza huku amitetemeka mwili mzima.
“Tuna dakika kumi za kujiandaa kwenda kula, mutaongozana na wanajeshi wangu hadi kwenye eneo la tukio, narudia tena na hili lieleweke na mulindane, endapo mmoja wenu atajaribu kukimbia ninawahakikishia kwamba nitawaua nyinyi nyote, sasa kama mulipanga mbinu ya kutorika ninawaeleza mapema kwamba mbinu hiyo ife na muifute kwenye akili zenu. Mmoja atayagharimu maisha yenu wote”
Baada ya kumaliza kuzungumza maneno haya nikatoka ndani humu, nikamkuta Yemi akiwa amesimama mlangoni, akanikumbatia taratibu.
“Pole mume wangu”
“Asante”
“Vipi umefanikiwa kumpata?”
“Hapana wanajeshi wanaendelea na kuwasaka, ila nimeamua kurudi kwa ajili ya hawa wageni wengine”
“Sawa mume wangu”
“Umejiandaa kwa ajili ya chakula?”
“Yaa hapa mimi nipo poa”
 
“Sawa. Meja zoezi limekamilika?”
“Ndi mkuu”
“Si kuna tv kule?”
“Ndio mkuu”
“Basi hakikisha unaiweka mipango sawa”
“Ndio mkuu”
“Meja huyu kijana ni mlinzi wangu kuanzia hivi sasa, ninaimani kwamba unamfahamu vizuri?”
“Ndio mkuu ninamfahamu na hata tatizo lolote katika tabia yake na hata upambanaji wa kutumia silaha pamoja miguu na mikono yupo vizuri”
“Nashukuru kwa maelezo yako meja, andaa wanajeshi watakao wasindikiza hawa viongozi hadi kwenye eneo la chakula mimi ninatangulia na mke wangu”
“Sawa”
    Tukaanza kutembea na Yemi huku akiwa amenishika mkono wangu. Kila muda Yemi ananitazama, anaonekana anahitaji kuniuliza swali ila anashindwa.
“Mume wangu unateseka na hii kazi ehee?”
“Hapana, kwa nini umezungumza hivyo?”
“Unaona jinsi ulivyo vaa haya madude ya kuzuia risasi, lakini kama ungekuwa ni mwana mitindo sasa hivi ungekuwa umetulia bichi tu”
“Ahahaaa usijali mke wangu, yote ni maisha”
Tukafika katika holi la chakula, nikakuta meza ndefu iliyo pangwa vyakula. Nikaitazama kwa umakini, nikamuagiza Martin kuanza kukagua kiti kimoja baada ya kingine na chini ya meza, kwa maana tukio la kutegwa bomu chini ya kiti cha raisi jijini Tanga, nilipo kuwa mlinzi wake bado linajirudia kichwani mwangu.
“Kupo sawa mkuu”
“Shukrani?”
Tukaka katika viti vyetu mimi na Yemi, baada ya muda viongozi wote wakaingia ndani ya eneo hili, wengi wao walio nitazama nyuso zao zimejikunja na kama ingekuwa ni amri zao basi wangesha niua. 
 
“Karibuni”
Nilizungumza huku nikiwa nimesimama, hapakuwa na mtu alite itikia ukaribisho wangu, sikulijali hilo zaidi ya kukaa na wao wakaka. Nikamkonyeza meja, akawasha tv iliyopo humu ndani, ikaanza kuonekana video ya jinsi walinzi wa K2 walivyokuwa wakipambana na wanajeshi wangu hadi ikafika hatu ya kuwavunja shingo na kuwaua na kipande hichi cha video kimerekodiwa na kamera zilizo kuwa katika eneo la tukio. Video hiyo ikaendelea kuonyesha jinsi wanajeshi maiti za wanajeshi hao zikiwa katika mafriji ya kuhifadhia maiti. Wageni wote wakaanza kutetemeka.
“Niliwaambia mmoja wenu akienda kinyume nami basi nitahakikisha kwamba ninawaua kwa mkono wangu mimi wenyewe, je kuna anaye weza kujitetea juu ya hilo”
Nilizungumza huku nikitoa bastola yangu kutoka sehemu nilipo ichomeka, na kumfanya mzee aliye nifokea baada ya kuingia ndani ya chumba walicho kuwepo, kuangua kilio kikali na kuzidi kuwatisha wezake ambao nao wote sura zao zimetawaliwa na woga kwani hakuna hata mmoja anaye jua hatima ya maisha yake kutoka kwangu.
                                                                                     ITAENDELEA
“Haya sasa wageni wamewekwa kwenye kumi na nane za Dany, je kuna atakaye epuka kifo katika hili alilo lifanya K2 na walinzi wake, usikose sehemu inayo fwata ya kisa hichi cha kuburudisha na kusisimua”

VIDEO: "Hakuna wakunitikisa, Mi ni Askari nimeiva, uwezo, fedha na Jeshi tunavyo"- Rais Magufuli

$
0
0
Rais Magufuli  leo Jumamosi Novemba 10, amekagua magari ya JWTZ yaliyoandaliwa kwa ajili ya ununuzi wa korosho endapo wanunuzi binafsi hawatatii maagizo ya Serikali ifikapo Jumatatu Nov 12, 2018 saa 10 Jioni.

Rais amesema; “Huwa sitikisiki hata kwa upepo wa aina gani, waliojaribu kunitingisa walitingisika wenyewe... baada ya saa10 J3 hakuna Mfanyabiashara yeyote wa korosho atakaeruhusiwa hata kununua Kg 50, korosho zote tutazinunua kwa zaidi ya Tsh. 3000, uwezo tunao, Wanajeshi wa kusomba wapo”.

==>>Msikilize hapo chini
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images