Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Ugonjwa wa Zinaa wa Chlamydia : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga

$
0
0
Kati ya magonjwa yanayoathiri watu wengi sana duniani ni magonjwa ya zinaa. Haya ni magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia vitendo vya ngono.

Vitendo hivi vya ngono vinaweza kuwa kujamiana, kupiga denda (kissing), vitendo vya ngono kwa kutumia mdomo (oral genital sex), kujamiana kupitia njia ya haja kubwa (anal sex) iwe kwa mwanamume na mwanamke au kati ya wanaume wenyewe na hata wale wanaotumia vifaa vya kufanyia ngono (vibrators).

Magonjwa ya zinaa huathiri sana watu walio katika umri wa miaka 15 – 24 lakini hata kwa watu wengine ambao wana umri chini au zaidi ya huu niliotaja pia yanaonekana kwa wingi.

Kuna magonjwa ya zinaa zaidi ya ishirini yanayotambulika duniani, baadhi ya magonjwa ya zinaa ni

  1. Kisonono (Gonorrhoea – “Gono” kama wengi wanavyopenda kuita kwa kifupi).
  2. Chlamydia
  3. Kaswende (Syphillis)
  4. Human papilloma virus (HPV)
  5. HIV/AIDS (Ukimwi/Upungufu wa kinga mwilini)
  6. Hepatitis B, C, A
  7. Herpes virus
  8. Trichomoniasis
  9. Bacteria Vaginosis
  10. Pubic lice (chawa kwenye nywele za kinena)
  11. Chancroid
Magonjwa mengi ya zinaa yanatibika lakini kuna baadhi ambayo hayana tiba ya uhakika kama HPV, Hepatitis B na C, na HIV. Mengine yameanza kuwa sugu kutokana na matumizi ya dawa za antibiotics bila mpangilio, magonjwa hayo ni kama gono (gonorrhoea) na nk.
 
==>>Leo tutazungumzia ugonjwa wa Chlamydia

Chlamydia ni nini?
Chlamydia ni aina ya ugonjwa wa zinaa unaosababishwa na bakteria aina ya Chlamydia trachomatis ambao wanaweza kuathiri viungo vya uzazi na pia husababisha aina ya homa ya mapafu ijulikanayo kama atypical pneumonia.

Miongoni mwa magonjwa ya zinaa yasababishwayo na bakteria, Chlamydia unaoongoza kwa maambukizi duniani ambapo kwa nchi ya Marekani pekee inakisiwa watu milioni 4 huambukizwa kila mwaka. 

Kutokana na ukosefu wa takwimu za nchi nyingi barani Afrika ikiwemo Tanzania, ni vigumu kujua idadi kamili ya maambukizi, ingawa bila shaka ndio ugonjwa wa zinaa utokanao na bakteria unaoongoza kwa maambukizi ukifuatiwa na ugonjwa wa gonorrhea.
 
Clamydia huambukizwaje?

Chlamydia huambukizwa kupitia njia zifuatazo
  1. Kujamiana kwa njia ya mdomo, njia ya haja kubwa na kupitia tupu ya mwanamke
  2. Kuambukizwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa ujauzito
  3. Au kupitia manyoya au vinyesi vya wanyama kama ndege walioambukizwa aina ya Chlamydia inayopatikana kwa ndege kama vile kuku, bata, kasuku nk. Aina hii ya clamydia husababisha aina ya homa ya mapafu ijulikanayo kama psittacosis ambayo huambatana na homa kali yenye nyuzi joto kati ya 39.4 - 41.1 celsius
Chlamydia huathiri sehemu tofauti za mwili wa binadamu kama vile macho, mfumo mzima wa kupumua, sehemu za siri, viungo vya uzazi na tezi (lymph nodes). Chlamydia na gonorrhea huwa na tabia ya kuambatana kwa pamoja.
 
Dalili na viashiria vya ugonjwa wa Chlamydia

Asilimia 75 ya wanawake na asilimia 50 ya wanaume wanaopata maambukizi ya ugonjwa huu huwa hawaoneshi dalili zozote za ugonjwa wa Chlamydia. Dalili hutokea wiki 1 hadi 3 baada ya mtu kupata maambukizi.
 
Dalili kwa wanawake zinaweza kuwa
  1. Kutokwa na majimaji ya rangi ya njano yenye harufu kali na mbaya sehemu za siri
  2. Maumivu wakati wa kukojoa (haja ndogo)
  3. Kuhisi kama kuwaka moto wakati wa kukojoa
  4. Kutokwa na damu katikati ya kipindi cha hedhi yaani baada ya kumaliza mzunguko wa hedhi na kabla ya kuanza mzunguko mwengine wa hedhi
  5. Maumivu sehemu ya chini ya tumbo
  6. Maumivu wakati wa kujamiana
  7. Kutokwa na damu wakati wa kujamiana
  8. Kuvimba na maumivu kwenye tezi zilizopo sehemu za siri
Dalili kwa wanaume zinaweza kuwa
  1. Maumivu wakati wa kukojoa
  2. Kuhisi kama kuwaka moto wakati wa kukojoa
  3. Kutokwa na majimaji kwenye uume yanayoweza kuwa ya rangi nyeupe kama maziwa, kijivu au ya njano
  4. Sehemu ya tundu la uume huwa jekundu, huvimba na kuwasha
  5. Maumivu kwenye korodani
  6. Tezi zilizopo sehemu za siri huvimba na huambatana na maumivu
Mara nyingi dalili hizi kwa wanaume zinakuja na kupotea au zinaweza kuonekana tu wakati anaenda kukojoa asubuhi baada ya kuamka kutoka usingizini
 
Dalili za ugonjwa huu kama umeathiri puru (rectum) ni kama ifuatavyo (kwa wanawake na wanaume)
  1.     Kuwashwa na kutokwa na damu kwenye puru
  2.     Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
  3.     Kutokwa na uchafu kama kamasi kwenye puru
Dalili za chlaymdia iliyoathiri macho (kwa wanawake na wanaume)
  1. Kuvimba sehemu za macho
  2. Macho kuwa mekundu, kuwasha na hata kutokwa na majimaji
Chlamydia inayoambukiza kwenye macho (Chlamydia conjunctivitis or trachoma) ndio inayoongoza kwa kusababisha upofu duniani.
 
Vipimo vya uchunguzi
  1. Urethral swab for culture – Majimaji kutoka kwenye uume au uke huchukuliwa kwa kutumia swab maalum ambapo hupelekwa maabara ili kuotesha na kuangalia aina ya uoto wa bakteria
  2. Urinalysis (urine test) – Vipimo vya mkojo
  3. Polymerase Chain Reaction (PCR) – Kipimo cha kuangalia vinasaba vya bakteria na hufanyika maabara.
Tiba ya ugonjwa wa Chlamydia

Chlamydia ni kati ya magonjwa ya zinaa yanayotibika. Ugonjwa huu hutibiwa kwa dawa aina ya antibiotics zilizopo kwenye makundi ya ;
  1.     Macrolide antibiotics
  2.     Quinolones antibiotics
  3.     Polyketides antibiotics
Madhara ya ugonjwa huu
  1. Kwa wanaume, Chlamydia huathiri korodani na kusababisha mwanamume kukosa uwezo wa kutia mimba mwanamke (infertility) na maambukizi
  2. Maambukizi kwenye tezi dume (prostatitis)
  3. Kwa wanawake, husababisha maambukizi kwenye mirija ya uzazi, mfuko wa uzazi, na mayai ya uzazi hivyo kusababisha ugonjwa aina ya Pelvic inflammatory disease (PID). Pia huongeza asilimia ya mwanamke kupata mimba zinazotunga nje ya mfuko wa uzazi (Ectopic pregnancy). Mbali na hilo, mwanamke hupata maumivu sugu ya kwenye nyonga, ugonjwa wa mifupa arthritis aina ya Reiters syndrome. Vilevile, Chlamydia huweza kusababisha ugumba kwa mwanamke kama hatapata tiba.
  4. Kwa wajawazito, Chlamydia husababisha wanawake kujifungua kabla wakati. Mtoto anaweza kuzaliwa na maambukizi kwenye masikio, sehemu za siri, macho na kwenye mapafu (homa ya mapafu). Kama mtoto hatapata tiba ya haraka ya macho basi anaweza kuwa kipofu.
Dalili za Chlamydia kwa watoto wachanga hutokea ndani wiki mbili kwenye macho na homa ya mapafu (pneumonia) ndani ya wiki 2 hadi miezi 3 baada ya kuzaliwa.
 
Jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa Chlamydia
  1. Njia sahihi ya kujikinga na magonjwa ya zinaa ni kuacha au kuepuka kufanya ngono au kujamiana.
  2. Kwa wanawake wajawazito, ni vizuri kuhudhuria kliniki mapema wakati wa ujauzito
  3. Wale wenye maambukizi wanashauriwa kuchukua tahadhari ya kutowaambukiza wapenzi wao kwa kufanya ngono salama (kutumia mipira), kuepuka kushika macho kwa kutumia mikono na hata ikiwezekana kuwaepuka wapenzi wao ili kuwalinda na maambukizi.
  4. Kwa wale ambao wapenzi wao wameambukizwa au wameonyesha dalili za ugonjwa huu, wanashauriwa na wao kupata tiba hata kama hawana dalili zozote.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU    MPENZI. 

NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati  watendo la ndoa 
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa 
3.Kutoa choo kama cha mbuzi 
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma 
5 kukosa choo kabisa 
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi 
7 korondani moja kuvimba 
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
 9 maumivu ya kiuno na mgongo  

Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?

WASILIANA  NA MTALAM  CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.

BREAKING: Serikali Yatoa Siku 4 Kwa Wanunuzi wa Korosho.....Yasema zaidi ya hapo haitoruhusu kampuni yoyote kununua korosho tena

$
0
0
*Yawataka waandike barua wakionesha tani wanazohitaji na lini watazichukua

*Yasema zaidi ya hapo haitoruhusu kampuni yoyote kununua korosho tena

SERIKALI imetoa siku nne kwa wanunuzi wote 35 waliojiandikisha kununua korosho wawe wamepeleka barua katika Ofisi ya Waziri Mkuu wakionesha  kiasi cha tani wanazohitaji na lini watazichukua.

“Hivyo wanunuzi waliojiandikisha wakiwemo na wale wote ambao wamekuwa wananunua kwenye minada lakini kwa kiasi kidogo, wahakikishe ndani ya siku hizo nne kuanzia leo Ijumaa hadi Jumatatu saa 10 alasiri wawe wameleta barua na ofisi yangu ipo wazi saa 24.”

Hayo yamesemwa leo (Ijumaa, Novemba 9, 2018) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akitoa tamko la Serikali kuhusu ununuzi wa zao la korosho, ofisini kwake Mlimwa, jijini Dodoma.

Baada ya kupita siku hizo Serikali italazimika kufuta usajili kwa wote waliojisajili kununua zao hilo kwa sababu walikubaliana kwenda kununua lakini hali inayoonekana sasa ni kama kumkomoa mkulima kitu ambacho imesema haitakubaliana nacho.

“Mwenye nia ahakikishe katika siku hizo nne iwe ndio mwisho wa kununua korosho na waandike barua kwani ofisi yangu ipo wazi saa 24 wana nafasi ya kuleta barua wakati wowote wakionesha nia yao na kiwango wanachokihitaji. Zaidi ya hapo Serikali haitoruhusu kampuni yoyote kununua korosho tena.”

Waziri Mkuu amesema kwenye msimu wa ununuzi wa korosho wa mwaka huu, walishuhudia kusuasua kwa minada, ambapo Serikali ilikutana na wanunuzi wa korosho katika kikao kilichoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli ambapo walikubaliana kununua kwa bei inayoanzia sh 3,000 na kuendelea.

“Mjadala ulikuwa wa wazi na wafanyabiashara wenyewe walipendekeza bei ambayo ilikuwa inaanzia sh. 3,000, hata hivyo baada ya kikao hicho ununuzi katika minada imeendelea kusuasua na hata tani zilizokuwa zikinunuliwa zilikuwa kidogo sana. Sisi tunaiona hali hii kama mgomo baridi ambao si sawa sawa sana kwani malengo yetu sisi na sekta binafsi ni kumfanya mkulima apate bei nzuri.

Hali hii haifurahishi kwa sababu Serikali imedhamiria kuboresha mazao yanayolimwa na wakulima kwa kuwasaidia kuanzia katika hatua za utayarishaji wa mashamba, upatikanaji wa pembejeo na masoko ili waweze kunufaika na kilimo na kupata tija katika mazao hayo.”

Waziri Mkuu amesema baada ya kugundua bei imekuwa tatizo Serikali ilifanya jitihada za kupeleka wataalamu wake katika masoko makuu duniani na kupata bei halisi ambayo bado  inatosha kumlipa mkulima sh 3,000.

Hatua hiyo imekuja baada ya zao la korosho kuendelea kununuliwa kwa bei ya chini na idadi ya wanunuzi kuwa ya chini licha ya uzalishaji wa mwaka huu kuwa mdogo ukilinganisha na msimu wa mwaka jana.

Amesema msimu wa mwaka jana uzalishaji ulikuwa zaidi ya tani 300,000 na mwaka huu zinatarajiwa tani zaidi ya 200,000 hivyo wafanyabiashara wanao uwezo kununua korosho zilizopo.

Hata hivyo Serikali imewataka wananchi hususani wakulima wa korosho nchini kuendelea kuwa wavumilivu na watulivu wakati ikiendelea kushughulikia suala hilo.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Mizizi 29 Power Ni Dawa Ya Nguvu Za Kiume Ambayo Imechanganywa Na Mizizi 29

$
0
0
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wazee hata na vijana kupungukiwa au kutokuwa kabisa na nguvu za kiume nanimekuwa nikipigiwa simu na wanawake wakilalamika ndoa zao zipo mashakani maana hawaridhishwi na Waume au wapenzi wao pale wanapoaza kushiriki tendo la ndoa 

Kwa Nini Ujione Mpweke Pale Ukutanapo Na Mpenzi Au Mke Wako Kisa Eti Hauna Nguvu Za Kiume? ;Tumia MIZIZI 29 POWER, hii ndio tiba itakayorudisha heshima ya ndoa yako . 

Dawa hii itakufanya;
 1 Uchelewe kufika kileleni mda wa dakika 15-25 kwa tendo la kwanza 
2 Dawa hii itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
3  Dawa hii uhimalisha misuri iliyolegea na kusinyaa?dawa hizi hazina madhara kwa mtumiaji nani tofauti na ulizowai kutumia ata wazee wenye umri mkubwa wanapona 

NSONSOMA; Dawa hii itakufanya umridhishe  mke au mpenzi wako kwani uboresha uume saizi upendayo urfu wa nchi 5,6,7 na 8 na unene wa sentimita 2,3,4 na 5 dawa  hii ipo ya kupaka na kunywa 

NSHOLA; NI dawa ya uzazi kwa waliongaika mda mrefu bila kupata mtoto 

MWITA; Dawa hii humvuta meme, mke,au mpenzi mliyetengana pia umrudisha mtu kazini haliyefukuzwa, kumpatanisha mwajiliwa na bosi wake 

Tunatibu presha kisukari, busha ,vidonda vya tumbo tumbo kuunguruma kujaa gesi na kukosa choo 

MAHALI ILIPO OFISI; PANDA DALADALA SHUKA BUGURUNI MALAPA AU ROZANA NA MWANZA YUPO WAKALA PIGA SIMU 0752348593 DR NYAROBI .Kama hauna nafasi ya kuja ofisini utaletewa popote ulipo huduma hizi

Serikali yafunguliwa kesi 13 nje kwa miaka mitatu, yadaiwa Dola 185,580,009.76.

$
0
0
Jumla ya mashauri 13 yamefunguliwa nje ya nchi dhidi ya Serikali tangu Novemba mwaka 2015 huku madai kwenye mashauri hayo yakiwa Dola za Marekani 185,580,009.76.

Taarifa hiyo imetolewa bungeni jijini Dodoma leo Ijumaa Novemba 9 na Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.

Katika swali lake la msingi, Zitto alisema Tanzania inakabiliwa na mashauri mashauri mbalimbali kwenye za kimataifa kama vile ICSID, ICA London pamoja na ICC Paris huku akitaka kujua idadi ya mshauri yaliyofunguliwa nje dhidi ya serikali.

“Kuanzia Novemba 2015, mashauri hayo ni mangapi kwa idadi, kwenye mahakama zipi na je jumla ya madai ya mashauri hayo yote ni kiasi gani cha fedha kwa dola za Marekani na kuanzia mwaka 2000-2018 kumekuwa na mashauri mangapi dhidi ya Jamhuri, mangapi yameamualiwa, mangapi bado na mangapi Tanzania ilishinda.

“Je kesi iliyofunguliwa na Kampuni ya Acacia Minging (LCIA Arbitration No. UN 173686 No. 87) huko London Uingereza ina madai gani, na je kwanini kuwe na kesi mahakamani wakati Serikali ilifanya mazungumzo na Barrick Gold ambao ni wamiliki wa Acacia?” amehoji Zitto.

Akijibu maswali hayo, Profesa Kabudi alisema mashauri yaliyofunguliwa kuanzia Novemba 2015  ni 13 na yapo kwenye mahakama za usuluhishi za Permanent Court of Arbitration (PCA), London Court of International Arbitration (LCIA), International Center for Settlement of Investment Dispute (ICSID) na huko Johannesburg Afrika Kusini kupitia Sekretariet ya UNICTRAL.

“Jumla ya madai katika katika mashauri hayo ni Dola za Marekani 185,580,009,76. Mashauri yote kwenye mahakama za kimataifa bado hayajatolewa uamuzi, hivyo takwimu halisi za madai na gharama ambazo Serikali inaweza kuwajibika kulipa itapatikana baada ya mashauri kuhusu kukamilika na uamuzi kutolewa.

“Kwa sasa hakuna kesi yoyote katika mahakama ya usuluhishi London iliyofunguliwa dhidi ya Serikali na kampuni ya Acacia Mining Llc. Shauri Na. LCIA Arbitration UN 173686 lililotajwa na shauri UN 1736867 yamefunguliwa Julai 3, 201  na kampuni za Pangea Minerals Limited na Bulyanhulu Gold Mining Limited.

“Utetezi wa Serikali kwenye kesi hizo umeshawasilishwa mahakamani. Makampuni hayo yameendelea na mashauri hayo kwa madai ya kulinda maslahi ya wanahisa hao,” amesema.

Mabehewa mawili ya Treni ya TRL yaanguka Morogoro

$
0
0
Mabehewa mawili ya treni ya mizigo ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) yaliyokuwa yamebeba kijiko yameanguka katika eneo la Mazimbu mkoani Morogoro, wakati likitoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma leo Ijumaa, Novemba 9, 2018.

Taarifa zinaarifu kuwa hakuna majeruhi wala kifo vilivyoripotiwa kutokana na ajali hiyo. Endelea kuwa nasi kwa habari zaidi

Idara ya Uhamiaji yatoa Ufafanuzi kuhusu Sakata la Kukamatwa kwa Wanaharakati wa CPJ

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) Yashusha Rungu Jingine Vyuo Vikuu, Yaamuru Wanafunzi Wahamishwe

$
0
0
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefuta usajili wa kituo cha chuo kikuu kishiriki cha kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo) na kuamuru wanafunzi wote wanaoendelea na masomo wahamishwe.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Novemba 9, 2018 Katibu Mtendaji wa TCU) Profesa Charles Kihampa amesema mbali ya kufuta usajili wa chuo hicho imeamuriwa pia wanafunzi wote wanaoendelea na masomo wahamishiwe katika kampasi kuu ya chuo hicho iliyopo Masoka, Moshi mkoani Kilimanjaro.

Amesema TCU imezuia udahili wa wanafunzi wapya na kuamuru kuhamishwa mara moja wanafunzi wa shahada ya kwanza wanaoendelea na masomo kwa mwaka 2018/19 katika programu tisa za shahada ya kwanza  katika vyuo vikuu vinne.

Profesa Kihampa amesema wanafunzi wote wanaosoma katika chuo kikuu cha kimataifa cha tiba na teknolojia (IMTU) Dar es Salaam programu ya shahada ya tiba na upasuaji, shahada ya sayansi na uuguzi.

Amesema wanafunzi wote wanaosoma programu ya udaktari wa binadamu kutoka chuo kikuu kishiriki cha Askofu Mkuu James (Ajuco), Songea- Ruvuma.

Ametaja programu nyingine zilizozuiliwa udahili ni kutoka chuo kikuu kishiriki cha kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo) Moshi, Kilimanjaro, za shahada ya Sanaa na mawasiliano ya umma na sanaa na utawala.

Amefafanua pia imezuia udahili kwa wanafunzi wanaosoma programu za shahada ya elimu na mahitaji maalumu (arts), shahada ya elimu na mahitaji maalumu (sayansi), shahada ya sayansi na elimu na shahada ya sheria kutoka chuo kikuu cha kumbukumbu ya Sebastiano Kolowa (SEKOMU),Lushoto-Tanga.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Jeshi la Polisi Pwani Lakamata Runinga 10 za Wizi, Mtuhumiwa Mmoja wa Wizi wa Mafuta Katika Mradi wa Reli ya Kisasa

$
0
0
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
JESHI la polisi mkoani Pwani, limekamata luninga kumi flat screen zenye thamani ya sh. mil.18, ambazo ziliibiwa katika matukio mbalimbali ya uvunjaji, mkoani humo.

Aidha linamshikilia mtu mmoja jina limehifadhiwa baada ya kukutwa akiwa na madumu kumi yenye ujazo wa lita 20 ya mafuta aina ya dizeli  ,aliyoiba katika mradi wa ujenzi wa reli ya standard gauge , Soga wilaya ya kipolisi Mlandizi.

Akithibitisha kutokea kwa matukio hayo, kamanda wa polisi mkoani Pwani (ACP)  Wankyo Nyigesa alisema, wanashikilia watu nane kwa tuhuma za kuhusika kwenye matukio hayo.

Nyigesa alieleza katika msako huo wamekamata jenereta mbili kubwa zenye thamani ya milioni 6.5 ambazo ni aina ya Euro power EP. 6500E na boss BG -2500 .

Alifafanua, vitu vingine vilivyokamatwa ni deki mbili, vingamuzi viwili, speaker mbili, music system mbili, home fieta moja, rimoti sita, speaker twiter mbili, flash moja kapeti za chini ya sakafu mbili, stendi ya vyombo moja na extention moja.

Hata hivyo kamanda huyo alisema , mtuhumiwa aliyekamatwa kijiji cha Mperamumbi akiwa amepakia mafuta kwenye pikipiki aina ya sanlg namba MC. 197 BJD kutoka mradi wa standard gauge wanamhoji na atafikishwa mahakamani.

Katika tukio jingine wamekamata pikipiki saba na bangi kiroba kimoja kilichokuwa kinasafirishwa kwenda kuuzwa.

Nyigesa alibainisha, katika tukio hilo mmiliki wa pikipiki yenye namba za usajili MC 951 BSA  anaombwa kujisalimisha mwenyewe kituo chochote cha polisi ndani ya siku tatu vinginevyo watamsaka popote ili kueleza kuhusu bangi hiyo. 

“Sisi wakati tukiwa kwenye hapa kazi tuu, wao wapo kwenye wizi tuu, tunawapa salamu wakati wengine wakifyekelea mbali, kwa sisi mkoa wa Pwani tunaendelea na operesheni na msako wa TINDUA TINDUA, tutatindua mpaka kieleweke “alisisitiza Nyigesa.

Alitoa wito kwa wananchi kuacha tabia ya kununua vitu mikononi bila ya kupewa risiti kwani atakaekutwa na mali ya wizi nae atachukuliwa hatua za kisheria.

Nyigesa aliwaasa pia kuwa ,wabia katika suala la ulinzi shirikishi kwenye maeneo yao ili kukabiliana na ujambazi, uvunjaji na uhalifu mbalimbali.

Polisi Wakanusha Kuwakamata Mashoga 10

$
0
0
Baada ya kuenea taarifa za kukamatwa watu 10 katika shehia ya Pongwe wilaya ya Kati mkoa wa Kusini Unguja kwa madai ya kujihusisha na matendo ya ushoga, Jeshi la Polisi limekanusha taarifa hizo.

Kamanda wa Polisi mkoa huo, Suleiman Hassan Suleiman alisema vijana 10 wanaoshikiliwa na jeshi hilo ni kutokana na kutuhumiwa kwa uhalifu na si ushoga.

Alisema polisi hawana ushahidi wowote hadi sasa ambao unaweza kuthibitisha vijana hao kuwa wanajihusisha na vitendo vya ushoga kama inavyodaiwa na baadhi ya watu.

Kamanda Suleiman alisema vijana hao wamekamatwa baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Pongwe kuwa wanajihusisha na vitendo vya uhalifu.

Alisema baada ya kupata taarifa hizo polisi walikwenda na kufanikiwa kuwakamata 10 ambao wanatoka maeneo mbalimbali ya Unguja na baadhi walifanikiwa kukimbia.

Alisema hadi sasa wanawashikilia vijana hao kwa ajili ya kuwahoji na iwapo watabainika kuwa na tuhuma zozote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria kujibu tuhuma zao.

Kuhusu iwapo jeshi hilo litataka kujiridhisha na madai ya baadhi ya watu wakiwahusisha na vitendo vya ushoga, Kamanda Suleiman alisema polisi hawafanyi kazi kwa matakwa ya watu bali kwa mujibu wa sheria.

Aidha, kamanda huyo alisema wakati jeshi hilo lilipokwenda kwenye maeneo ya fukwe za Pongwe ambazo vijana hao na wenzao walikuwapo hawakuona dalili za kufanya matendo yoyote yale ya ushoga kama inavodaiwa na baadhi ya watu visiwani hapa.

Aliitaka jamii kuepuka kusambaza taarifa zisizokuwa sahihi kwani licha ya kuwachafua wahusika lakini pia zinaichafua Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Msukuma Ataka Walioshia Darasa la 7 Waruhusiwe Pia Kushiriki Midahalo ya Uchumi kama Ule Uliofanyika UDSM

$
0
0
Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Msukuma’ amewataka maprofesa wanapoandaa midahalo kama ule wa uchumi uliofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwaita watu wenye elimu ya darasa la saba kwa sababu wana akili za kuchambua kuliko wao wenye makaratasi

Msukuma alikuwa akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa mwaka wa fedha 2019/20 bungeni leo Ijumaa Novemba 9, 2018.

Amesema wakati unatangazwa mdahalo uliofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) hakutoka nje na aliweka hadi televisheni jimboni kwake ili watu waone Serikali ilivyofanya kazi.

“Mimi nilidhani mtachambua na kuwaeleza Watanzania kwamba uchumi miaka mitatu tangu (Rais John) Magufuli aingie madarakani tumefanya hivi katika kitengo fulani tumefanya hivi kwenye dhahabu kwenye madini.”

“Badala yake mmeenda kuchambua hotuba za Rais Magufuli. Maana yake Rais Magufuli anafanya vizuri nyie wakubwa mmeshindwa kuwaelimisha watu wakajua tulipotoka na tulipo na kelele hizi zikaisha. Maprofesa mnaenda kuchambua hotuba za Rais zile zile ambazo anatueleza na tunampenda kwa sababu hiyo hiyo,” amesema.

Msukuma akawashauri maprofesa inapotokea midahalo kama hiyo wawakumbuke na wao wenye akili za darasa la saba kwa sababu wanajua kuliko za kwao za makaratasi.

Kuhusu kodi amesema Watanzania wanakubali kuwa lazima kulipa kodi lakini unapokaa Dodoma ikifika saa 5.00 usiku polisi wanazunguka katika makarandinga kukamata watu.

“Mimi ninajiuliza hizi hesabu wanazopiga wakuu wa mikoa na serikali inaruhusu karandinga zinazunguka kalaleni, wageni wanakuja hapa Serikali imehamia hapa. Unaweza kuja kumuona Waziri hapa unaambiwa usubiri hadi keshokutwa.”

“Unakaa hapa mchana kutwa baa hazifanyi kazi kuna tatizo gani? Nani amewaambia wakiingia saa 5 vyumbani wanalala? Kuna tatizo gani watu wakanywa bia wakachangia Taifa?”

“Watu wakiingia katika magesti watapewa risiti, tuache ukiritimba wa kuwalaza watu saa 5.00.”

Amehoji wana wasiwasi gani kwamba makundi ya majambazi yana nguvu kuliko polisi.

Ameshauri pia magari yaruhusiwe kutembea usiku na polisi wa usalama wa barabarani waongezwe.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 28

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA

Nilizungumza huku nikihisi koo langu likikosa mate, nesi huyu taratibu akaka kitandani hapa huku akiwa ameshika hotpot hili lenye chakula, akanilegezea macho yake huku akizilamba lamba lipsi zake. Akazidi kunibabasha zaidi baada ya kuushika mkono wangu wa kushoto na kuuweka juu ya paja lake jambo lililo nifanya nipagawe sana.
“Usiogope wewe nishike tu”
Taratibu nikapandisha kigauni chake juu kidogo huku jogoo wangu akiwa amesimama kisawa sawa. Galfa nikastuka sana mara baada ya kumuona nesi huyu akiwa na tattoo kwenye hili paja lake, inayo fanana sana na tattoo ya mezee aliye niteka akiniamrisha kuhakikisha kwamba ninamletea boksi jeusi. Kabla sijafanya chochote kwa huyu nesi feki taa za chumbani humu zikazima na giza totoro likatawala.

ENDELEA
Nikawahi kuishika mikono ya nesi huyu, ili kuhakikisha kwamba hanidhuru kwa jambo lolote lile. Tukaendelea kukurupushana na nesi huyu huku akionyesha dhairi kwamba analengo la kunidhuru humu. Gafla taa za humu ndani zikawaka.
“Mikono juu”
Sauti kali ya askari walio ingia ndanu humu walizungumza huku wakitutazama. Nikawatazama askari hawa wenye bastola mikononi mwao. Nesi huyu akaniachia taratibu huku akitabasamu. Nesi huyu kwa haraka akaokota sindano iliyopo chini na kujichoma kifuani mwake, hazikuisha hata sekunde stini akaanguka chini huku mapovu meupe yakimwagika usoni mwake.
 
“Upo salama Ethan?”
Askari mmoja aliniuliza huku akimsogelea nesi huyu kwa utaratibu
“Ndio”
Jasho jingi likazidi kunimwagika usoni mwangu huku nikimtazama nesi huyu aliye hitaji kuniua. Wakaingia madaktari wawili, kwa haraka wakanza kumpatia matibabu nesi huyu feki kabla hajafariki duniani. Wakaingia wana usalama wengine humu chumbani wakiwa na bastola mikononi mwao. Wanausalama hawa wakanionyesha vitambulisho vyao na kunieleza kwamba wapo  hapa kwa ajili ya kunilinda. Nikatolewa ndani ya hichi chumba na kuhamishiwa chumba kingine.
 
“Nahitaji kuzungumza na dada yangu”
“Sawa”
Mwana usalama mmoja akanipatia simu yake, nikaingia namba ya Mery kwenye simu hiyo kisha nikipiga namba hiyo. Simu ya Mery ikaanza kuita taratibu, baada ya sekudne kadhaa ikapokelewa.
“Haloo”
“Ni mimi, upo wapi?”
“Ndio ninafika nyumbani”
“Hakikisha kwamba hautoki nje na waeleze walinzi wazidi kuimarisha ulinzi sawa”
“Ethan kuna nini kilicho tokea?”
“Kuna nesi alitumwa kuniua humu ndani, hivyo fanya kama ninavyo kuambia dada yangu sawa”
“Sawa”
Mery aliitikia kwa woga sana akionyesha dhairi kujawa na wasiwasi mwingi sana kwani maisha yetu  hivisasa hayapo kwenye hali ya usalama.
“Ethan naogopa”
“Usiogope, fanya kama nilivyo kuambia dada yangu”
“Sawa”
 Nikakata simu na kumpigia mama Camila, simu ya mama kamila ikaita hadi ikakatika, nikarudi kumpigia tena nayo majibu yakawa ni hayo hayo. 
 
“Hii namba ikipiga naomba unifahamishe”   
Nilimueleza mwana usalama huyu huku nikimuonyesha namba ya mama Camila.
“Sawa”
Hadi kua pambazuka, sikuweza kufahamu ni kitu gani kinacho endelea kwa nesi aliye hitaji kuniokoa. Akaingia mkuu wa kitengo cha usalama ambaye jana alikuja kunihoji. Tukasalimiana kisha akakaa pembeni ya kitanda changu.
“Pole sana kwa lile lililo tokea jana usiku”
“Nashukuru sana”
“Hivi huna wazo lolote kuhusiana na hawa watu wanahitaji kitu gani kutokea kwako?”
“Hapana sifahamu kwa kweli”
Niliamua kumdanganya mkuu huyuwa upelelezi kwa maana hivi sasa sifahamu ni nani ambaye ni muwazi au mkweli kwangu.
 
“Una uhakika?”
“Ndio, laiti kama wangekuwa wana hitaji kitu fulani kwangu basi wangenieleza mapema sana, ila hadi hivi sasa sijaambiwa chochote zaidi ya kuhitaji kuuwawa na yule nesi. Ila vipi yupo hai?”
“Ndio, ila hali yake sio nzuri”
“Naweza kumuona?”
“Hapana kwa sasa hutaki kumuona na usalama wako ni mdogo sana hivyo unatakiwa kuto kuonekana onekana hovyo”
Nikaka kimya huku nikimtazama mpelelezi huyu.
“Nikuombe kitu?”
“Niombe”
“Nahitaji dada yangu kuwa salama kwanza. Pili nahitaji kueleeka nyumbani baba yangu mkwe”
“Sawa nitakufanikishia cha pili, ila chwa kwanza, ulinzi wa ]
>…..

isha tayari. Akaingia mwana usalama ambaye jana nilitumia simu yake. Akanikabidhi simu yake inayo ita, na namba inayo piga ni ya mama Camila. Taratibu nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Hei Ethan pole sana mwanangu, nimepata habari kwamba jana usiku kuna watu walihitaji kukua?”
“Ndio mama”
 
“Ohoo jamani pole, ila ulinzi si umesha imarishwa?”
“Ndio mama na ninahitaji kuja kwako”
“Sawa, nitawasiliana na mkuu aliyopo hapo, kama yupo mkabidhi simu”
“Haya”
Nikamkabidhi simu mkuu huyu wa upelelezi simu, akaiweka sikioni mwake na kuisikilizia kwa muda.
“Ndio”
“Sawa madam”
“Haya”
Mkuu huyu wa upelelezi akakata simu na kunitazama usoni mwangu.
 
“Ngoja nizungumze na dokta kama kuna matibu yoyote aweze kukupatia ili tuondoke”
“Sawa”
Mkuu huyu wa upelelezi akatoka ndani humu na kuniacha peke yangu. Ethan akaka pembeni yangu huku akinitazama usoni mwangu.
“Ethan kuna hali mbaya ambayo inaendelea hivi sasa”
Ethan alizungumza huku akionekana kujawa na wasiwasi mwingi sana usoni mwake.
“Hali gani?”
“Kuna muda ninajihisi kupoteza nguvu kwenye utawala wangu”
“Sijakuelewa?”
“Ni hivi kuna kaka yangu kwenye ufalme wa kishetani, anahitaji kuchukua nguvu zangu kwa nguvu ikiwa mimi ndio mtawala halali ambaye nilikabidhiwa madakaraka na baba yetu”
 
“Mmmm sasa hapo utafanyaje rafiki yangu?”
“Sijui Ethan na sitaki niwe karibu nawe kwa kipindi hichi kwa maana ataihamishia vita yake kwako kutokana hapendi kabisa wanadamu, hapendi kabisa hata kuwasikia na akishikilia utawala basi mimi nimekwisha”
Habari hii ya Ethan ikanifanya nikae kimya huku nikiwa nimejawa na wasiwasi mwingi sana, kwani yeyey ndio tegemezi langu kwenye mambo mengi.
“Ethan naogopa mwenzio na ninaomba unisaidie kunishauri jambo basi”
“Kwani katika huo ulimwengu wenu hauna majeshi yako?”
“Yeye ndio alikuwa mkuu wa majeshi yote toka baba alipo kuwepo, hivyo amri kubwa zote za kijeshi wanajeshi huwa wanasikiliza kwake. Sasa hivi nimebakiwa na majeshi machache sana ambayo hakika hayawezi kufanya chochote kwa kaka yangu”
“Ohoo Mungu wangu”
“Ndio hivyo na ili niweze kupata nguvu zaidi inabidi nianze kumwaga damu za binadamu jambo ambalo sihitaji kulifanya kabisa”
 
“Uzimwage kivipi?”
“Ninywe damu zao na nikianza kunywa sinto kuwa kama hivi, nitakuwa mbaya, nitakuwa muuaji rafiki yangu”
Mlango ukafunguliwa na akaingia daktari pamoja na mkuu wa upelelezi. Wakanitazama usoni mwangu huku daktari akitabasamu kidogo.
“Samahani bwana Ethan kwa kile kilicho tokea jana usiku”
Daktari alizungumza huku akisimama mbele yangu, Ethan hakupotea kuelekea sehemu yoyote zaidi ya kukaa hapa pembeni yangu huku macho yake akimkazia daktari huyu. Daktari na mkuu wa upelelezi hawamuoni Ethana kwani macho yao hayana uwezo wa kumuona kabisa.
“Nashukuru  sana dokta”
“Tumeutazama mwili wako naona hauna tatizo lolote lile.”
‘Ethan nahitaji kumnyonya huyu dokta damu yake, nahitaji nguvu Ethan’
Ethan alizungumza huku akinyanyuka kwenye kitanda, nikamshika mkono na kumkalisha chini, jambo lililo mfanya mkuu wa upelelezi kunitazama kwa muda kidogo kwani kitendo cha mkono wangu kunyanyuka amekishuhudia vizuri ila hajaona ni kitu gani nilicho kishika. Ikanibidi nikurudia tena kitendo hicho ili maradi kumpoteza mawazo anayo yafikiria.
“Nashukuru dokta”
 
“Au unajihisi hali mbaya?”
“Hapana kabisa”
“Sawa, tunashukuru kwa kuwepo kwenye hospitali yetu”
“Nashukuru sana dokta”
Daktari huyu akonodoka ndani huku huku Ethan akiwa amemkazia macho.
“Tayari magari yapo tayari kwa safari”
“Sawa ninaomba dakika moja”
“Sawa”
Mkuu huyu wa upelelezi akatoka ndani humu na nikabaki na Ethan.
“Ethan unataka kufanya jambo gani. Tambua yule ni binasamu”
“Nahitaji damu Ethan”
“Sawa natambua hilo, ila kunywa damu yangu”
Ethan akanitazama kwa mshangao kwani maamuzi yangu niliyo yachukua sijui kama nitakuwa hai au laa.
“Siwezi?”
 
“Jaribu, ukinywa damu ya mimi unaye nipenda, nina imani huto kuwa na mazoea ya kwenda kunywa damu za watu wengine”
Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. Ethan alinitazmaa huku akiwa hana la kuzungumza, nikamukabidhi mkono wangu wa kulia ili hata kama ni kuninyonya damu basi aninyonye kwenye mshipa wa damu. Taratibu Ethan akaanza kuupeleka mkono wangu mdomoni mwake. Meno yake manne, mawili ya chini na mawili ya juu yakaongezeka uwefu. Jataribu akauweka mkono wake kwenye meno yake ila kabla ya kuunyonya, akaushusha mkono wangu chini huku jasho jingi likimwagika usoni mwake.
“Siwezi, siwezi Ethan”
Alizungumza Ethan huku akihema sana.
“Safi, naomba uweze kuiongoza hiyo tamaa yako vizuri kama ulivyo weza kuiongoza kwangu. Sihitaji umdhuru mtu yoyote. Ethan wewe ni kiumbe kizuri, sio kila kiumbe cha asili yenu kina wema kwa binadamu kama unavyo nionyesha wewe. Tafadhali usifanye baya kwa mtu yoyote sawa”
 
“Sawa”
Nikamshika bega Ethan kisha nikatoka ndani humu. Nikaongozana na walinzi hawa hadi kwenye gari mbili nje ya hospitali ambapo nikakuta waandishi wa habari wengi. Waandishi wa habari wakaanza kutuzonga zonga huku wengi wakuhitaji kupata habari yoyote kwangu.
“Tuambie juu ya kutekwa kwako”
Muandishi mmoja alizungumza.
“Vyombo vya usalama vitazungumza hilo baada ya upelelezi wao kukamilika, nikaingizwa ndani ya gari na walinzi hawa na safari ikaanza huku nikiwaacha waandishi wa habari wakiwa na maswali mengi sana ya kuniuliza.
 
“Umewajibu vizuri waandishi wa habari”
“Nashukuru, vipi wale wanafunzi walio tekwa kuna jambo lolote kama serikali ambalo limewafanyia?”
“Ndio kuna vikosi ambayo vimeagizwa kwenda nchi Somalia, kuwakomboa wasichana hao”
“Kuna kitu chochote ambacho wanahitaji watekaji?”
“Hakuna wanacho kihitaji”
“Wamewateka tu?”
“Yaa ila kama watakuwa wanahitaji chochote basi tutaweza kuwapatia hicho wanacho kihitaji.
“Sawa”
Niliuliza maswali hayo kutokana ninahitaji kufahamu ukweli wa mambo. Tukafika nyumbani kwa kina Camila, nikakuta ulinzi ukiwa umeimarishwa maradufu. Camila akatoka ndani na kunikumbatia kwa nguvu huku akionekana kutokuwa na furaha kabisa.
 
“Ethan ninaogopa mwenzio”
“Usiogope mpenzi wangu”
Nilizungumza huku tukiwa tumekumbatiana na Camila. Tukaachiana na kuingia ndani na kumkuta baba Camila, na mama yake wakiwa wamekaa sebleni humu pamojana watu wengine wengine wa kiserikali wakitazama taarifa za habari. Nikasalimiana nao huku nao nyuso zao zikiwa zimejawa na majozi mengi sana.
“Kuna kitu gani kinacho endelea?”
Nilimuuliza Camila kwa sauti ya unyonge.
“Wamesema kwamba baada ya nusu saa watamuua msichana mmoja kwa kumchinja na hadi sasa hivi zimebaki dakika tano”
 
“Ohoo Mungu wangu”
Nilizungumza huku nikitazama Tv hii kubwa iliyomo humu ndani. Ndani ya dakika walizo ahidi magaidi hao, kweli Tv hiyo ikaonyesha video ya magaidi wanne waiwili wakiwa wamesimama mbele ya tambaa moja jeusi huku likiwa na maandishi ya kiarabu. Sura zao wamezificha kwa kuzifunika vinyago na kuaacha macho tu. Gaidi mmoja amemshika mwanafunzi huyo kichwa chake huku mwengine akiwa ameshika jambia kali sana. Wakaanza kuzungumza maneno ya kiarabu huku mmoja kati ya watu humu sebleni ana tutafsiria, kwamba wanamuomba Mungu kwa sadaka ambayo wanakwenda kuitoa. Simu ya gaidi aliye shika jambia ikaanza kuita, akaipokea na kuiweka sikioni mwake. Akaitikia baada ya muda akairudisha mfukoni mwake.
 
“ETHAN KLOPP, unatakiwa kuleta boksi jeusi la sivyo vifo vya wasichana hawa wote vitakuwa mikononi mwako”
Baada ya gaidi huyo kuzungumza maneno hayo, video hiyo ikaishia hapo na kuwafanya watu wote sebleni kunigeukia mimi na kunitazama kwa mshangao mkubwa sana.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 142 na 143 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   

Mungu mwenyewe ndio amenilete hapa. Nitahakikisha kwamba ninaongoza jeshi la Boko haramu kuwaangusha viongozi wote mafisadi, wala rushwa na ving’ang’anizi wa madaraka. Na vifo vya wanajeshi walio kufa hospitalini ni lazima wamarekani waweze kulipa hilo”
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiwatzama wanajeshi hawa.
“BOKO HARAMUUUUUUUUUU”   
Nilizungumza huku nikinyoosha mkono wangu wa kulia juu, wanajeshi wote wakaitikia kwa sauti ya pamoja iliyo nipa matumaini na kujiamini kwamba nina uwezo wa kuongoza wanajeshi hawa katika kutimiza ndoto alizo kuwa nazo mzee Okocha na zikatimia.
   
ENDELEA       
Mwanajeshi mmoja akanifwata na kuninong’oneza sikioni.
“Mke wako mkuu amezinduka, yupo katika chumba cha maiti”
 
“Ninakuja”
Nilizungumza kwa sauti ya chini na mwanajeshi huyu, kisha nikageuka na kuwatazama wanajeshi hawa.
“Ninaimani kwa pamoja tutasaidia katika kuhakikisha kwamba tunashirikiana kwa pamoja kuhakikisha kwamba kila lililo pangwa linakwenda sawa kama lilivyo pangwa, na uzuri ni kwamba nitaongoza opareheni hizo kwani bado damu yangu inachemka, ninacho waomba tuendelee na majukumu ya ulinzi huku tukifanya taratibu za mazishi ya wetu”
Baada ya kumaliza kuzungumza hivyo nikashuka katika jukwaa hili, kwa haraka nikaanza kutembea kuelekea ndani, moja kwa moja nikangoza hadi kwenye chumba chenye mwili wa mzee Okocha, nikamkuta Yemi akiwa amelaza kichwa juu ya kifua cha baba yake huku akilia kwa uchungu sana.
 
    Sikutaka kumnyanyua zaidi ya kubaki nikiwa nimesimama huku nikimtazama tu. Jinsi Yemi anavyo lalamika kwa uchungu kunanifsanya nijisikie vibaya sana kwa maana. Taratibu nikatoka nje huku nikijifuta machozi yaliyo anza kunilenga lenga. Nikatoa simu yangu mfukoni, nikaitafuta namba ya meja kisha nikampigia, simu yake ikaita kwa sekunde kadha kisha ikapokelewa.
“Ndio meja”
“Dany video uliyo ituma kwa raisi, imeweza kukabidhiwa kwa FBI, na wamepewa jukumu la kukutafuta”
“Wananitafuta kisa nini?”
“Dany unatambua kwamba umewaua makomandoo, wa Kimarekani jambo ambalo nchi ya Marekani haito kusamehe katika hili”
 
“Meja natambua kwamba unaelewa kitu ambacho kinaendelea, jambo nilio lifanya ni kujilinda mimi na watu wanao nizunguka, na mbona nilisha kubali matokeo mbele ya raisi ila yeye akahataji kuniua sasa anacho hitaji ni kutengeneza uasama”
“Natambua hilo Dany, ila kwa mimi sina la kufanya zaidi ya kuweza kukutaarifu nyendo zao. Unacho takiwa ni kuhakisha kwamba simu unayo itumia mawasiliano yake yanakuwa hayawezi kunyakwa na mtandao wowote wa kipelelezi kwa maana kufanya hivyo inaweza kuwa ni kosa kubwa sana na usalama wako utakuwa ni mdogo”
“Na walifahamu vipi kwamba upo hospitalini?”
“Sijafahamu ila kuwa makini sana Dany”
“Nashukuru meja, ila kama raisi anahitaji kuingia katika matatizo na mimi, sinto baki chini na mimi atanilazimisha kuunyanyua mkono wangu katika kumshuhulikia”
 
“Sawa Dany”
“Nashukuru Meja”
“Peter?”
Niliisikia sauti ya Yemi nyuma yangu, kwa haraka nikageuka huku nikiingiza simu yangu mfukoni mwangu.
“Unauzungumza na nani?”   
Yemi aliniuliza huku macho yake yakiwa yamejaa uwekundu kutokana na kulia sana.
“Njoo”   
Nilizungumza huku nikimshika mkono Yemi, tukaingia kwenye moja ya chumba, ambacho baada ya kutazama kwenye kuta zake, nikakuta kikiwa na shelfu nyingi za kuhifadhia vitabu.
“Mke wangu, kuna kazi kubwa ambayo nitahitaji kuifanya baada ya msiba wa baba”
 
“Kazi gani?”
“Nitahitaji kumuangamiza raisi wa Marekani?”
“Nini…..unaakili kweli Peter?”
“Yemi, ninacho kizungumza nina maanisha. Marekani imekuwa ni nchi ambayo kila siku inajitahidi kujitanua katika kuhakikisha kwamba ina ishikilia dunia, na kuingilia uhuru wa baadhi ya nchi zikiwezo za bara la Afrika pamoja na bara la Asia.”
“Nikiwa kama kiongozi wa jeshi la baba yako kwa sasa, siwezi kuendelea kukaa na kuona kwamba kuna watu wangu wamefariki pale hospitalini na kama nisinge tumia akili mimi na wewe pia tungefariki. Je kwa yule aliye tuua angeshuhulikiwa na nani, angeshikiliwa na nani, ni nani ambaye angedhubutu hata kuigusa Marekani kwa ajili ya vifo vyeu?”
 
Nilizungumza kwa uchungu huku nikimtazama Yemi usoni mwake, akaka kimya kwa maana hana kitu cha kufanya.
“Wamarekani wanahitaji malaki ya wanajeshi wa baba yako wasambaratike, wafe. Je hawa wanajeshi wana hawana famili, hawana wake, hawana wazazi, hawana watoto. Je ni nani atakaye simamia familia zao. Je kuna ajira gani ya kiserikali ambayo itaweza kuwaajiri hawa wanajeshi?”
“Yemi nakuomba uniache niifanye hii kazi, baba yako aliniamini na kunifanya niwez kiongozi wa hili jeshi. Ninakupenda na nitakulinda sinto hitaji mtu yo……..”
 
Sikumalizia kuzungumza sentensi yangu, Yemi akanikumbatia kwa nguvu huku akininyonya lipsi zangu. Taratibu tukaanza kunyonyana huku sote machozi yakitumwagika usoni mwetu.
“Ninakupenda sana mume wangu”
Yemi alizungumza baada ya kuniachia mdomo wangu.
“Ninakupenda pia mke wangu. Ninaomba kwa sasa nikashuhulikie na mipango ya kumzika baba”
“Sawa mume wangu, nakuomba uwe makini kwa maana umepewa majukumu ambayo hakunamtu aliye weza kuyatarajia kama yatakukuta wewe”
 
“Nashukuru mke wangu, ukaribu wako kwangu kwa sasa nina uhitaji kuliko kitu chochote “
“Sawa mume wangu nipo kwa ajili yako”
“Sawa”
Nikatoka ndani ya chumba hichi, nikamuita mmoja wa wanajeshi ambaye nimemkuta akiwa amesimama sebleni.
“Ni nani ambaye ni makamu wa mueshimiwa”
“Ni meja Otomu, na yupo makao makuu kwa sasa”
“Kuna njia gani ambayo ninaweza kuwasiliana naye?”
“Kuna chumba cha mawasiliano, munaweza kuwasilina moja kwa moja kwa kuonana”
“Naomba mundae kikao hicho ninahitaji kuonana naye”
“Sawa mkuu”
Nikaongozana moja kwa moja hadi kwenye chumba maalumu cha mawasiliano, Tv kubwa iliyomo humu ndani ikawashwa na nikaka kwenye kiti kilichopo mbele ya Tv hii.
“Ndani ya sekunde kumi atakuwa hewani”    
 
“Sawa”
Ndani ya sekunde kumi hizo meja Otomu, akaonekana kwenye Tv hii kubwa.
“Habari yako jenero Peter”
“Salama tu meja Otumu. Ninahitaji kusikai maoni yenu kuhusiana na mazishi yam zee wetu”
“Tulikuwa tunasubiria kauli yako, ila kama utakubalina nasi basi tutakuja kumzika mzee huku kwenye makao makuu ya jeshi”
“Siwezi kulikataa hilo kwa maana nyinyi ndio wenyeji wangu, ila kabla ya sisi kufanya maamuzi yoyote ya kijeshi inabidi kumshirikisha mke wangu kwa maana yeye pia katika hili anahusika kwa asilimia mia moja”
“Kwa hilo halina shida”
“Ninda kamuite mke wangu”
“Sawa jenerali”
 
Japo ni kazi ambayo ninaimudu, ila sikuwahi kuwaza kwenye maisha yangu kwamba ipo siku nitakuja kuwa kiongozi wa kijeshi tena jeshi la kigaidi linalo windwa na serikali yake ya nchi ambayo ni Nigeria na dunia nzima. Maisha yangu siku zote yapo katika wakati mgumu sana wa kuwindwa, na chanzo kikubwa ambacho kinaniingiza katika matatizo haya ni mapenzi ambayo yalianza kwa bosi wangu K2, mlango ukafungulia na kujikuta nikistuka kutoka kwenye msongamano huu wa mawazo, Yemi akaka kwenye kiti cha pembeni yangu huku macho yake akitazama kwenye Tv hii kubwa.
“Mke wangu hapa tunajadilisi kuhisina na sehemu gani ambayo tunaweza kumzika baba, na meja amependekeza baba azikwe kwenye makao makuu ya kambi”
Yemi akaka kimya kwa muda huku akinitazama usoni mwangu, taratibu akatingisha kichwaakikubaliana kwa kile ambacho nimemuambia.
“Mke wangu amekubaliana na hilo swala”   
“Sawa jenero, basi nitatuma helicopter mbili, ndani ya dakika arobaini na tano zitakuwa zimefika hapo”
“Nitashukuru meja”
 
Tukamaliza mazungumzo haya na kutoka ndani ya chumba hichi huku nikiwa nimemshika Yemi mkono wake. Mwili wa mzee Okocha ukaandaliwa na madaktari na akavalishwa nguo zake za ujenerali wa hili jeshi.
“Mkuu helicopter zimesha fika, tunahatajia kuondoka sasa”
Nikatoka katika chumba hichi cha kuuandaa mwili wa mzee Okocha. Nikamkuta Yemi akiwa amesimama sebleni.
“Mke wangu tuondoke”
“Na baba?”
“Wanakuja naye”
“Sawa”
Tukaongozana na mwanajeshi huyu hadi kwenye helicopter zilio tua kwenye moja ya kiwanja kilichopo hili eneo, tukaoneshwa helicopter ya kuingia. Tukaingia na taratibu helicopter  hii ikaanzza kuacha ardhi.
“Umeshawahi kufika makao makuu ya kambi ya jeshi la baba yako?”
“Ndipo nilipo kulia, kabla sijaondoka kuelekea Uingereza kusoma”
 
“Sawa sawa”
“Ila baada ya huu msiba kuisha nitaomba nikulezee ukweli kuhusiana na maisha yangyu pamoja na baba yangu”
“Sawa mke wangu”
“Ila ninakuomba usije ukaniacha”
“Kwa nini nikuache mke wangu?”
“Kwa sababu mimi na baba yangu hatukupata muda wa kukueleza ukweli wa maisha yetu”
“Usijali mke wangu, kila jambo linatokea kwa sababu”
Niliendelea kumfariji Yemi ili asizidi kuwa mnyonge. Tukafanikiwa kufika katika makao makuu ya boko Haramu, kwa akili yangu ya kawaida nilihisi kwamba inaweza kuwa ni sehemu ya maficho ila kusema kweli ni eneo lililo jengwa vizuri, mzee huyu aliweza kuwekeza pesa nyingi katika kuwekeza katika hili jeshi, japo ni porini na miimani, ilakumejengeka sana.
 
Tukapokelewa na meja Otumu, moja kwa amoja tukapelekwa kwenye eneo la kupumzi huku ikiwa imesha timu saa kumi na moja alfajiri.
“Tumepanga mazishi ya fanyike saa kumu alasiri”
“Kwa nini ratiba mumeipeleka mbele kiasi hicho?”
“Kwa maana kuna wageni wengine ambo walikuwa ni marafiki wa jenerali tumeweza kuwataarifu na wengi wameahidi kuweza kufika katika mazishi haya”
“Sawa hilo ninawaachia nyinyi ila usalama si upo wa kutosha?”
 
“Ndio upo wa kutosha”
“Basi ninaomba tupumzike kwa maana siku hii imekuwa ni ndefu sana kwetu”
“Hakuna tabu jenerali”
Meja akatoka katika chumba tulichopo mimi na Yemi. Nikaka kwenye sofa huku nikiwa na mawazo mengi sana.
“Mume wangu kweli utaweza kuongoza hili jeshi?”
“Kwa nini unaniuliza hivyo?”
“Nimekuuliza tu mume wangu, ninakuona una mawazo mengi sana”
“Usijali mke wangu nitaweza. Vipi sijasikia swala la mwanao kuweza kuhudhuria mazishi ya babu yake?”
“Yupo mbali na Nigeria hatoweza kuwahi mazishi?”
“Kwani yupo wapi?”
“Yupo Canada kwa sasa”
“Sawa mke wangu”
Kwa uchovu nilio kuwa nao, nikajikuta usingizi ukinipitia na kulala fofofo. 
 
“Baby amka”
Niliisikia sauti ya Yemi akizungumza akizungumza na mimi. Nikafumbua macho yangu na kujikuta nikiwa nimefunikwa na shuka.
“Nimekufunika na shuka mume wangu, baridi ilikuwa kali?”
“Wewe hujalala?”
“Nimekosa usingizi kabisa mume wangu”
“Sawa, ni saa ngapi sasa hivi?”
“Ni saa nne asubuhi, wageni wamesha anza kufika, ila Meja anawapokea itabidi twende nasisi kuwapokea”
“Sawa mke wangu”
Kwa haraka nikajifunuashuka, nikasimama huku nikipiga miyayo ya uchovu mkubwa nilio nao.
“Ila inabidi kubadilisha mavazi kwa sasa wewe ndio jenerali wa jeshi”
“Zipo wapi nguo za kuvaa?”
Yemi akapiga hatua hadi kwneye moja ya kabati, akanitolea nguo za jeshi. Nikaanza kuvaa nguo hizi taratibu. Yemi akaanza kunivisha vyeo ninavyo stahili kwenye shati langu, nikavaa na kofia ya cheo changu ambayo ina rangi nyekundu. Nikavaa na buti za jeshi, kwa utani Yemi akanipigia saluti na kujikuta nikicheka sana.
“Umependeza sana mume wangu”   
“Nashukuru mke wangu”
 
“Twende sasa mume wangu”
Tukatoka ndani ya chumba hichi, kila mwanajeshi niliye kutana naye akanipigia saluti ya kuniheshimu. Tukafika katika kiwanja cha helicoptwer, tukakuta helicopter moja ikiwa ndio inajiandaa kushuka. Taratibu helicopter hii ikasimama sehemu husika, wakashuka wasichana wawili walio valia suyo nyeusi huku kwenye nyuso zao wakiwa wamevaa miwani nyeusi. Sikuamini macho yangu baada ya kumuona K2 akishuka huku akiwa amevalia nguo za jeshi jambo lililo nifanya nibaki nikiwa nimemkodolea macho ya hasira iliyo changanyikana na matukio mabaya aliyo ifanyia familia yangu miaka kadhaa iliyo pita nyuma.

AISIIIII……….U KILL ME 143 

K2 akaanza kutembea kwa kujiamini huku walinzi wake wakiwa wamenzunguka, mmoja akiwa upande wa kulia na mwengine akiwa upande wa kushoto. K2 akaanza kusalimiana na meja, huku wakipeana mikono na kuzungumza maneno mawili matatu na wanaonekana kufahamiana sana. Akasalimiana Yemi, kisha akanifwata mimi, macho yetu yalipo kutana akabaki akinishangaa kwa sekunde kadhaa, ili kuepusha watu kuona tofauti zilizopo kati yetu, nikampa mkono wa kulia huku nikimtazama usoni mwake, taratibu na yeye akanipa mkono wake kiwoga.
“Muheshimiwa raisi huyu ni mume wangu anaitwa Peter, kwa sasa ndio mkuu wa jeshi”
Yemi alizungumza baada ya kugundua kwamba sisi hatufahamiani.
“Nashukuru kwa kukufahamu jenerali Peter”
“Peter huyu ni raisi wa Tanzan, mtu wa karibu kabisa na baba na anaitwa K2”
“Nashukuru kukufahamu muheshimiwa raisi K2”
“Nawe pia”
 
Nikauminya kidogo mkono wa K2 kumuashiria kwamba bado bifu kati yetu lipo, kisha nikamuachia mkono wake, akaongozwa na wanajeshi wenye kazi hiyo ya kuwaongoza wageni rasmi kwenye sehemu husika wanayo takiwa kufikia.
“Wageni leo watafika wangapi?”
Nilimuuliza Yemi kwa sauti ya chini.
“Sijajua labda meja anafahamu ni wageni wangapi wanaweza kufika”
“Muite”
Kwa ishara Yemi akamuita meja, akatembea kwa mwendo wa ukakamavu hadi katika sehemu niliyo simama.
“Wamesalia wageni wangapi kuweza kufika?”
“Wamesalia wageni kumi na moja kufika na wote wapo njiani”
“Sawa kuna mgeni wa karibu munaye taratiji kuweza kufika hapa baada ya dakika kadhaa?”
 
“Mgeni tunaye mtaratajia kufika kwa sasa, atafika hapa baada ya robo saa”
“Sawa meja”
Meja akanipigia saluti kisha akarudi katika sehemu husika.
“Mke wangu naomba niende msalani, haja ndogo imenikamata”
“Sawa mume wangu, vipi tupate chai?”
“Hapana tutapata baada ya muda huyo mgeni anaye kuja kufika”
“Sawa”
Nikaondoka kwa mwendo  wa haraka katika eno hili, sikuwa na haja ya kwenda msalanani ila haja yangu ni kwenda kuonana na K2.
“Raisi wa Tanzania yupo jengo gani?”
“Lile pale mkuu”
 
Nikaelekea katika jengo alilipo K2 nikakuta walinzi wake wakiwa wamesimama nje ya chumba hichi.
“Nahitaji kuonana na raisi wenu”   
Mlinzi mmoja akaiingia ndani, baada ya dakika moja akatoka na kuniruhusu kuingia ndani. Nikaingia, na kuufunga mlango kwa ndani, nikamkuta K2 akiwa ameshika bastola yake huku amekaa kwenye sofa lililomo humu ndani na kuikunja miguu yake katika mfumo wa nne. Mkono wake wa kushoto ameshika sigara kubwa akivuta taratibu. Tukatazamana kwa sekunde kadhaa kisha nikaka kwenye sofa lililopo mbele ya sofa hili, huku kati yetu tukiwa tumetengenishwa na meza ya kioo.
“Naona una jeshi kubwa sana”
K2 alizungumza huku akitoa moshi mwingi wa sigara mdomoni mwake.
“Sijakuja kujadiliana na wewe, wala kujua nina jeshi au sina. Nimekuja kukuonya kwa kile ambacho utajaribu kukizungumza”
 
“Hahahaaa, Dany oohooo samahani. Jeneral Peter, mbona unajistukia sana? Mimi nimekuja kumzika rafiki yangu na kuondoka au unahisi kwamba nitazungumza ukweli kwamba wewe ni gaidi ninaye kutafuta kwenye nchi yangu na pia ni mpelelezi wa Marekani?”
“Ni nani aliye kuambia mimi ni mpelelezi?”
“Dany tambua kwamba mimi ni mkubwa kwako, kuanzia umri hadi akili. Ninatambua nyendo zako zote ambazo huwa unazifanya, na kama unahitaji kunipa vitisho, nitakwenda kuzungumza kila kitu mbele ya hawa wanejeshi na utaona ni kitu gani watakacho kufanya. Alafu wewe mjanja kweli umetumia uzuri wako kumt** mtoto wa watu hadi baba yake amekupa ujeneral ambao wapo watu ndani ya hili jeshi walistahili kuupata”
 
K2 alizungumza kwa kujiamini, huku taratibu akiendelea kuvuta sigara yake, nikaitazama bastola yake aliyo ishika.
“Bado nitakuwinda hata kama ukihitaji kuniharibia katika hili jeshi kwa manaa si chochote kwangu”
“Hahahaa Dany acha kupiga biti za kitoto, kumbuka hii ni Nigeria na sio Tanz kwamba utaweza kujificha kwenye vichochoro unavyo vijua. Sasa kama umenihitaji bifu lizidi kuendelea humu ndani ya hii ngome eti unayo imiliki, ninakupa masaa ishirini na nne ujivue madaraka ya ujenerali na upotelee unapo pajua, la sivyo utakufa ndani ya hii ngome”
“Siwezi kufa na siogopi kufa, kama ulishindwa kunikamata tangu ukiwa NSS, na umekuwa raisi na nikaka meza moja ya wewe tena ikulu pasipo kunifahamu, basi tambua huwezi kunipiga. Nakujua K2 udhaifu wako na nitaweza kuutumia kuhakikisha kwamba nina kuangusha chini”
 
Nilizungumza kwa kujiamini, kisha nikasimama na kuanza kupiga hatua kuelekea mlangoni. K2 akaanza kucheka kicheko cha dharau na kunifanya nisimame, nikageuka na kumtazama kwa macho makali sana huku nikikunja ngumi ya mkono wangu wa kulia, kitu kinacho nifanya nishindwe kumfwata K2 karibu ni bastola aliyo ishika mkononi mwake.
“Dany siku nyingine uwe makini unapo zungumza”
K2 akatoa simu yake mfukoni, na kunisikilizisha mazungumzo yote tulio kuwa tunatazungumza, kumbe kwa muda wote tulio kuwa pamoja alikuwa anayarekodi.
“Sasa kupitia hii utaniacha mimi niweze kuishi kwa amani ya bwana, na pia utafwata nilicho kuambia kwamba ndani ya msaa ishirini na nne ambayo nitaamua kukaa hapa, hakikisha kwamba ujivua ujenerali na usiwe hata kuruta ndani ya hii kambi. Bye”
 
K2 akanipungia mkono, kwa hasiri nikatoka ndani ya hichi chumba na kuubamiza mlango kwa nguvu hadi walinzi wake wakahawi kuingia ndani kumtazama mkuu wao. Moja kwa moja nikaelekea chumbani kwetu, nikapitiliza hadi chooni, nikasimama mbele ya kioo na kujitazama. Macho yangu yote yametawaliwa na uwekundu ulio  sababishwa na harisa kali pamoja na kejeli za K2.
‘Lazima nimuue’
Nilizungumza kwa hasira na kujiikuta nikipiga ngumi kwenye hichi kioo hadi kikavunjika.
“Peter”   
Nilisikia sauti ya Yemi nyuma yangu, nikageuka nikamkuta akiwa amesimama huku ameduwaa, kwa maana kioo chote kimavunjika vipande vipande.
“Mume wangu una tatizo gani?”
Yemi aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu, akautazama mkono wangu wa kulia, kwa haraka akanisogelea na kuushika. 
 
“Mume wangu tazama unatokwa na damu jamani”
Yemi alizungumza huku akiuweka mkono wangu kwenye sinki la kunawia, akanichomoa kipande kidogo cha kioo kilicho nikita katika kidole changu. Kwa haraka Yemi akaanza kuiosha damu zinazo mwagika, akatoka bafuni humu kwa haraka, baada ya dakika akarudi na boksi dogo la kuhifahidhi vitu vya huduma ya kwanza, akaanza kuniosha na dawa ambayo ni ina maumivu makali sana, ila sikuyajali zaidi ya roho yanu kutawaliwa na roho ya mauaji.
“Peter mume wangu ninakuomba uniambie ni kitu gani ambacho kimekupata jamani”
Yemi alizungumza huku akinifunga bandeji yeupe.
“Nahitaji……..”
Nikaka kimya huku nikitafakari nizungumzae kitu kilichopo moyoni mwangu, ila nikaka nikaona Yemi hastahili kufahamu chochote kwani hii vita haimuhusu kabisa.
 
“Unahitaji nini mume wangu”
Yemi alizungumza huku akinishika mashavu yangu kwa viganja vya mikono yake miwili. Nikamtazama usoni mwake kwa sekunde kadhaa, kisha kwa haraka nikaanza kunyonya midomo yake.
“Nahitaji kukut**……..”
Nilizungumza huku nikimshika Yemi makalio yake na kuyaminya kwa nguvu, hakuwa na ubishi kwa maana mimi ni mwanaume ninaye mmiliki. Nikambeba na kutoka naye humu bafuni, nikamlaza kitandani, na kuanza kumvua nguo zake, huku na yeye akiwa na kazi ya kufungua vifungo vya shati langu.
 
“Ila mume wagu kuna wageni wata…….”
“Shiiiii……”
Nilizungumza huku nikimziba Yemi mdomo wake kwa kutumia lipsi zetu, tukaendelea kunyonyana lipsi zetu kwa nguvu. Nikaanza kuchezea ,
    Tukamaliza mzunguko wa kwanza, taratibu tukajikuta tukikumbatiana kwa nguvu huku hasira ikiwa imenipungua kwa kiasi fulani. Tukashuka na kuingia bafuni, tukaoga haraka haraka na kurudi chumbani, tukavaa nguo zetu na kutoka chumbani humu.
 
“Inabidi mume wangu kwa sasa uwe na mlinzi wako”
“Kwa nini?”
“Ahaa wewe ni jenerali kuwa na mlinzi ni lazima na si mmoja bali hata wawili au watatu”
“Nahitaji wewe ndio uwe na walinzi sawa mke wangu”
“Sawa mume wangu”
Tukafika katika kiwanja cha helicopter, wageni kutoka mataifa mbali mbali wakazidi kufika, hadi inafika saa nane mchana tukawa tumemaliza kupokea wageni tulio kusudia kuweza kufika katika msiba wa mzee Okocha. 
 
Tukaelekea kwenye sehemu ya kupata chakula na wageni husika, nikatambulishwa kwa wageni woge walio weza kufika katika eneo hili. Il kila ninavyo mtazama K2 ninahisi moyo wangu kuniuma kwani bado nina kinyongo naye.
Tukaendelea kupata chakula mchana huku sehemu husika ya mazishi ikiwa inaandaliwa na wanajeshi. Baada ya chakula cha mchana hatukuwa na muda wa kupoteza. Moja kwa moja tukaelekea katika kiwanja cha mazishi. Tukakuta wanajeshi wengi wakiwa wamejipanga, huku wote wakiwa wamefunga vitambaa vyeusi kwenye mikono yao ya kushoto.
“Jeneral kuna risala unatakiwa kusoma”
Meja alizungumza kwa kuninong’oneza huku akiweka katarasi kadhaa mezani mwangu.
 
“Risala, mbona hamkunijulisha mapema?”
“Ni kosa tu limejitokea, ila nitakuomba uipitie kwa dakika kadhaa kisha ukifika muda wa risasa nitakuomba uweze kuisoma”
Nikashusha pumzi yangu, nikaizipitia karatasi hizi nne, kisha nikatingisha kichwa kumkubalia Meja kwamba nitazisoma. Meja akarudi kwenye kiti chake na kunifanya nianze sasa kuisoma risasa hii, hatua hadi hatua.
“Wameiandaa vizuri?”
Yemi aliniuliza huku akininong’oneza
“Ndio ninaipitia hapa”
“Hembu niione kwa mana niliwapa maelezo na jinsi ya kuiandika”
“Sawa”
Nikamsogezea Yemi karatasi hizi, akaanza kuzipitia moja baada ya nyingine.
“Kuna vitu hawajaviweka, kama huto jali ninakuomba nikaisome hii risala”
 
“Sawa mke wangu, ila kuna vitu gani ambavyo hawajaviweka?”
“Historia ya baba wameikosea, upiganaji wake katika kuunda hili jeshi wameandika rasha rasha, sasa sijui ni nani aliye andika”
Kwa ishara nikamuita meja, akafika katika eneo tulipo, akanima chini taratibu.
“Meja hii risala mumeiandika tofauti mbona. Hichi sio kile nilicho waeleza watu wako asubuhi”
“Samahani mkuu, kama inawezekana ninaweza kuandaa nyingine”
“Hapana nitatoa kichwani mwangu, sawa”
“Sawa mkuu”
 
Yemi alizungumza kwa ukali kidogo, nikamruhusu Meja kuandoka na kubaki nikimtazama Yemi jinsi anavyo endelea kusoma risasala hii. Muda wa kusoma risasa ukafika, yemi akasimama na kusogela jukwa maalumu, akaanza kusoma risala ya baba yake huku akito historia ya baba yake. Hadi anamaliza machozi yakawa yanashuka kwenye uso wake nikasimama na kumsogelea hadi sehemu simama nikamkumbatia taratibu huku macho yangu yakiwaangalia wageni waalikwa. Macho yangu yakafika kwa K2 ambaye naye ananitazama, kwa ishara ya mkono akanionyeshaea ishara ya kunikata shingo yangu, jambo lililo nifanya nizidi kumchukia hadi nikahisi moyo wangu ukitaka kupasuka kwa maumivu haya ninao yasikia.
                                                                                     ITAENDELEA
“Je Dany atajiudhuru cheo chake cha jeshi la Boko haramu kama K2 alivyo muhitaji kufanya. Usikose sehemu inayo fwata.”

Diamond: Nafarijika Umetabasamu, Nitafurahi Kusikia Wazo La Biashara toka Kwako Nikuwezeshe

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz amefurahishwa na habari zilizoenea za kuwa Hawa anaendelea vizuri baada ya kumgharamia matibabu yake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandiaka hivi:-
"Nafarijika Kuona Unatabasamu sasa......nitafurahi kusikia wazo zuri la biashara toka kwako nikuwezeshe 🙏🏻 #HawaIsSmilingNow "

Ikumbukwe Hawa alikuwa na tatizo la ini ila ni moyo ndio uliokua unapelekea mgonjwa kujaa maji mwilini na Babu Tale ndio alipewa jukumu la kusimamia matibabu yake nchini India kwa kuwa gharama zote za matibabu alizitoa Diamond Platnumz. 


Kangi Lugola: Serikali ya Tanzania Haiwezi Kuruhusu USHOGA Hata Siku Moja

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema kamwe Serikali ya Tanzania, haitaruhusu ushoga na kwamba kila kiungo kilichoumbwa na Mungu kwenye mwili wa mwanadamu kina kazi yake.

Lugola ametoa kauli hiyo bungeni leo Ijumaa Novemba 9, 2018  wakati akitolea ufafanuzi kuhusu hoja iliyotolewa na Mbunge wa Konde (CCM) Khatibu Haji aliyoitoa wakati akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2019/20.

Akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa 2019/20, Haji alisema “kabla ya kuanza kuchangia, naanza na utangulizi ambao ni muhimu kwa ninavyoona katika siku za karibuni kumezuka mjadala kuhusiana na ndoa za jinsia moja, tumesikia kauli za mawaziri akiwamo Kangi Lugola, na Waziri wa Mambo ya Nje (Balozi Agustino Mahiga).

“Katika kauli zao inaoneka kuna kamtego juu ya kukubaliana na jambo hili na kukinzana na jambo hili, naomba niwaambie, iwe ni mtego ama ni bahati mbaya, sisi watanzania hatutaingia katika mtego wa ushoga, Tanzania hatutaki ushoga. Iwe mmetumwa ama ni mtego watanzania hatutakubali kuingia kwenye ndoa za jinsia moja.

“Tanzania ni jamuhuri ya muungano wa Tanzania, ni muungano wa serikali za Zanzibar na Tanganyika, na Zanzibar asilimia 95 ni waislamu, waislamu kwa vyovyote suala la ushoga hawatalikubali. Nawaambia nyoosheni maneno, nchi yetu hikubali ushoga na huo ndio msimamo wa watanzania.

“Nadhani mmenielewa, naumia sana moyoni mwangu kuona nchi iliyostaarabika yenye utamaduni wetu wa asili, leo kuna baadhi ya watu wanasingizia misaada iwe ajenda ya kututoa sisi kutupeka kwenye ubaradhuri, haiwezekani.

“Hili jambo ni baya na watanzania hawataki kabisa, naomba viongozi wetu mkae kimia kama hamuwezi, leo kuna Mawe ya chuma kule Liganga, hivi kwanini tusitumie akili zetu na vitu alivyotupa Mungu mpaka tunafikiria kulainisha maneno mara hatutawanyanyasa, hatutawanya hivi, watanyanyaswa kwasababu sheria yetu haikubali ushoga.


Baada ya kauli hiyo, Kangi aliomba kutoa taarifa ambapo alisema “naomba nimpe taarifa Hatibu, kwamba Bunge hili kwa mfano tunapokuwa tumekaa kupitisha bajeti, huwa tunatenga fedha kwa matumizi mbalimbali, maji, barabara, afya.

“ Lakini kuna wakati tunaweza kuzibadilishia matumizi, fedha labda za maji ziende kwenye barabara au za afya ziende kwenye maji, lakini hawa mashoga anaowazungumzia ambao ni binadamu wenye viungo mbalimbali vya mwili.

“Viungo ambavyo mashoga wanavitumia, vina matumizi kazi maalumu kwa mujibu wa uumbaji wa Mungu, Serikali yetu kamwe haitaruhusu mwanadamu yeyote kubadili matumizi ya kiungo ambacho kimesudiwa kwa ajili ya kutolea haja kitumike katika matumizi mengine ambayo Mungu hakuyakusudia.

“Kwa hiyo nimpe taarifa kwamba Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na John Pombe Magufuli, kwanza tuna sheria yetu ya kanuni ya adhabu ambayo inazuia kubadilisha matumizi ya kiungo cha binadamu.

“Kwa hiyo asisema labda serikali inajichanganya kwenye jambo hili, ni maelekezo ambayo tunatoa labda vyombo vinaripoti tofauti, lakini Serikali yetu kamwe, Tanzania ni hekalu la roho mtakatifu. Hatuwezi kukubali hekalu la roho mtakatifu likatumika kwa mambo ambayo hayakubaliki,” alisema Lugola.

Kwa upande wake Khatib baada ya majibu hayo amesema kati ya taarifa nzuri ambazo ziliwahi kutolewa hiyo ni taarifa bora na kwamba alitegemea kauli ya kiume kama hiyo kutolewa na Kangi (Lugola).

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi ya Novemba 10

Uteuzi Wa Wagombea Ubunge Katika Majimbo Ya Serengeti, Babati Mjini, Simanjiro , Ukerewe Na Kata 47 Za Tz Bara

$
0
0
Subira Kaswaga – Afisa Habari ,NEC
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa jumla ya wagombea 13  walichukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika Majimbo ya Babati Mjini, Ukerewe, Simanjiro na Serengeti.

Akizungumza  ofisini kwake jijini Dar es Salaam, kuhusu uteuzi huo Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Giveness Aswile amesema kuwa,  wagombea  hao wanatoka katika vyama sita vya siasa ambavyo ni AFP, CCM, CUF, NCCR Mageuzi, NRA na UDP.

Amesema kuwa, hadi muda wa mwisho wa uteuzi Novemba 02, mwaka huu saa 10:00 jioni, jumla ya wagombea wane wa Ubunge kutoka CCM, waliteuliwa na hivyo kutangazwa kuwa wamepita bila kupingwa kwa mujibu wa kifungu cha 44 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi.

 Wagombea hao walitangazwa kupita bila kupinga baada ya wanachama wengine kutoka vyama vilivyochukua fomu za uteuzi, kukosa sifa kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kushindwa kurudisha fomu hizo kwa wakati na wengine kutojaza fomu hizo kikamilifu ikiwa ni pamoja na kutojaza fomu ya kuheshimu na kuyazingatia maaadili ya uchaguzi

 Aidha kwa upande wa udiwani katika kata 47 za Tanzania Bara, Aswile ameeleza kuwa, vyama 14 vya siasa vilishiriki ambapo wanachama 102 kutoka vyama hivyo walichukua fomu za uteuzi.

“Vyama vilivyoshiriki ni AAFP, ACT – WAZALENDO, ADC, CCK, CCM, CHADEMA, CUF, DEMOKRASIA MAKINI, NCCR – Mageuzi, NRA, SAU, TLP, UDP na UPDP” alisema Aswile na kufafanua kuwa,

 Hadi Novemba 03, 2018 saa 10:00 jioni wanachama 73 tu ndio waliorejesha fomu na kuteuliwa kuwa wagombea Udiwani.

 Wanachama wengine 29 hawakuteuliwa kuwa wagombea kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kushindwa kurejesha fomu za uteuzi, kutojaza fomu za uteuzi kwa usahihi, kutosaini fomu za kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na kukosa sifa za kugombea udiwani kwa mujibu wa sheria.

 Aidha, Aswile amefafanua kuwa wagombea 15 wa nafasi ya Udiwani waliwekewa pingamizi kwa Msimamizi wa Uchaguzi na kupelekea wagombea 9 kuenguliwa kutoka katika orodha ya wagombea wa nafasi ya udiwani.

 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea rufaa mbili kutoka kwa Wagombea Udiwani wa Kata ya Muhinda iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe na Kata ya Mnyamani iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala wakipinga maamuzi ya Wasimamizi wa Uchaguzi kuwaondoa katika kugombea udiwani.

 Aidha, katika kikao cha Tume kilichofanyika Novemba 09, 2018 kimeridhia rufaa moja ya mgombea Udiwani wa CUF katika kata ya Muhinda Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe na hivyo kumrudisha mgombea katika nafasi hiyo.

 “Tume imekubaliana na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi katika kata ya Mnyamani Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ya kumuondoa mgombea wa CUF katika orodha ya wagombea na hivyo mgombea kuendelea kuenguliwa kugombea udiwani” alisema Aswile.

 Aidha, katika kata 47 jumla ya wagombea udiwani katika kata 41 wamepita bila kupingwa na hivyo ni kata sita tu ndizo zitakazofanya uchaguzi Mdogo  tarehe 02, Desemba mwaka huu.

 Amezitaja kata hizo kuwa ni Nkoanekoli iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Kivinje/Singino, Mteja, Somanga, Mitole zote katika Halmashauri ya Kilwa na kata ya Butimba iliyopo Halmashauri ya wilaya ya Bunda.

 Kampeni za uchaguzi zimeanza tarehe 04 Novemba 2018 na zitakamilika tarehe 01 Desemba siku moja kabla ya uchaguzi.

 Aswile amevikumbusha vyama vya siasa na wagombea kuheshimu Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2015 wakati wote wa kampeni na hata siku ya uchaguzi.

Video Mpya: D'Banj ft. Tiwa Savage - Shake It

$
0
0
Wasanii kutokea nchini Nigeria, D'Banj na Tiwa Savage wanakukaribisha kutazama video ya wimbo wao mpya uitwao Shake It. Itazame hapa.

DC Jokate Mwegelo anunua albamu ya Nandy kwa Tsh. 200,000

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amenunua album ya Nandy kwa Tsh. 200,000.

Ni katika uzinduzi wa albamu hiyo yenye nyimbo zipatazo 13 ambao ulifanyika usiku wa Novemba 8 na kuhudhuriwa na watu wengi maarufu.

Licha ya DC Jokate kununua albamu hiyo kwa fedha nyingi, pia msanii wa filamu Bongo Aunt Ezekiel alinunua albamu hiyo kwa  Tsh. 150,000.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images