Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Rais Magufuli Atoa Ofa ya Siku Tatu Kwa Jopo la Madaktari wa Israel

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amelitaka jopo la madaktari na wataalamu wa masuala ya moyo kutoka Israel kutenga muda maalum kwa ajili ya kutembelea baadhi ya vivutio vya utalii hapa nchini.

Akizungumza na jopo hilo la madaktari Ikulu Jijini Dar es salaam Rais Magufuli ametangaza kuwapa siku 3 wataalamu hao kwa ajili ya kwenda kufurahia kwenye mbuga ya Serengeti na Ngorongoro.

“Niwaombe mtengesiku 2 au siku 3 tuwapeleke kwenye mbuga zetu hamtalipa chochote, ofa ni kutoka kwetu na kama mtakubali mi nawapa ofa, kwa ajili ya kuwapa muda kupumzika kwa sababu mtakuwa mmefanya kazi kubwa ya kushughulika na masuala ya moyo.”

Wataalamu hao wamekuja nchini kwa ajili ya kutoa huduma za bure za moyo, pamoja na kutoa mafunzo kwa madaktari nchini ambapo Rais Magufuli aliishukuru Israel kwa mafunzo hayo na kuongeza serikali inafanya juhudi mbalimbali za kuhakikisha inaboresha huduma za afya nchini.

“Tanzania itaendelea kushirikiana na Israel, itashirikiana na Marekani na ndiyo maana katika awamu hii niliamua kufungua Ubalozi kwa makusudi wa Israel, urafiki kati ya Tanzania na Israel utaendelea kudumu”

Rais Magufuli Ashiriki Ibada Na Kutoa Heshima Za Mwisho Kwa Marehemu Mercy Anna Mengi

$
0
0
Rais  John Magufuli na mkewe Mama Janeth leo wameshiriki ibada ya kuuaga mwili wa aliyekuwa mke wa Dkt. Reginald Mengi, ambaye ni mmoja wa waanzilishi wa Makampuni ya IPP, Mama Mercy Anna Mengi,  katika Kanisa la Azania Front Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa kuuaga mwili huo, Rais Magufuli amesema: “Ushuhuda uliotolewa hapa na waumini mbalimbali, nina hakika Mama Mercy Anna Mengi ni mtu ambaye alimpenda Mungu na alimtegemea Mungu, na nina uhakika Mungu atamsamehe dhambi alizonazo ili aweze kupumzika kwa amani.”

Kwa upande wake, Askofu wa Kanisa la Kiinjili na Kiluteri Tanzania (KKKT)  Dayosisi na Mashariki na Pwani, Askofu Alex Malasusa, amewataka watu waendelee kumuombea mama huyo ambaye alifariki dunia Oktoba 31 mwaka huu.

Akizungumza katika ibada maalum  kanisani hapo, ambayo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa, Askofu Malasusa alinukuu neno la Biblia kutoka Paulo 4 mstari 13 hadi 14 na Paulo 5 mstari 1 hadi 2.

“Jambo kubwa na la maana kwetu sisi ni kuwa na uhakika kwa Mungu kwa kushika mapenzi yake, na hata katika hili tuyakubali mapenzi yake kama inavyosema sala yake, ili tuendelee kuishi kwa mapenzi yake.

“Mungu ameweka siri kubwa kwenye suala la kifo, hata sisi wachungaji Mungu ametuficha, ni siri yake yeye mwenyewe Mungu.  Niwaombe ndugu na jamaa tuendelee kujiweka karibu na yeye ili kila mtu afikie tamanio la kwenda mbinguni,” amesema Dkt Malasusa.

Mbali na Rais Magufuli, miongoni mwa viongozi wengine walioshiriki ibada hiyo ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Mercy alifariki nchini Afrika Kusini ambapo alikuwa akipatiwa matibabu katika Hosptali ya Mediclinic Morningside ya Johannesburg.

Ibada hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, ilianza majira ya saa sita mchana na kuongozwa na Askofu Malasusa akisaidiwa na Chadiel Luiza.

Mama Mengi atakumbukwa kama mmoja ya waanzilishi wa makampuni ya IPP ambayo inamiliki vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo EATV, EA Radio, ITV, NIPASHE, The Guardian, Radio One, na Capital Radio.

Mwili wake utasafirishwa hadi Machame, Moshi, kwa ajili ya maziko Jumamosi Novemba 10, 2018.

Mfumuko Wa Bei Wa Taifa Umepungua Kwa Asilimia 3.2

$
0
0
Na.Alex Sonna,Dodoma
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imetoa taarifa ya mfumuko wa bei wa Taifa kwa mwaka unaoishia Oktoba, mwaka huu, umepungua hadi asilimia 3.2 kutoka 3.4 kwa mwaka unaoishia Septemba, mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Makazi na Takwimu za Jamii, Ephraim Kwesigabo,amesma kuwa kupungua huko kuna maanisha kwamba kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma imepungua.

Aidha Mkurugenzi huyo amesema kuwa hiyo inamanisha kuwa mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwaka unaoishia Oktoba mwaka huu, imepungua ukilingansiha na kazi iliyokuwe kwa mwaka unaoishia Septemba, mwaka huu.

“Mfumuko wa Bei wa Taifa unapima kiwango cha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma zote zinazotumiwa na kaya binafsi nchini,” amesema Bw.Kwesigabo

Hata hivyo amesema kuwa  kupungua kwa Mfumuko wa Bei ya Taifa kwa mwaka unaoishia Oktoba, mwaka huu, kumechangiwa hasa na kupungua kwa bei za baadhi ya bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa kipindi kinachoishia Oktoba, mwaka huu, ukilinganansiaha bei za Oktoba mwaka jana.

Kwesigabo amesema mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula na vinywaji baridi kwa mwezi Oktoba, mwaka huu, umepungua hadi asilimia 1.2 kutoka asilimia 2.0 ilivyokuwa Setptemba, mwaka huu.

Amezitaja baadhi ya bidhaa za chakula zilizochangia kupungua kwa mfumuko wa bei wa mwezi Oktoba katika mwaka huu ni pamoja na mchele kwa asilimia 3.8.

Nyingine ni mahindi kwa asilimia 21.8, unga wa mahindi kwa asilimia 11.6, unga wa mtama kwa asilimia 5.1, unga wa muhogo kwa asilimia 14.1, maharage kwa asilimia 3.0, mihogo mibichi kwa asilimia 5.9, viazi vitamu kwa asilimia 2.1, migimbi kwa asilimia 23.2 na ndizi za kupika kwa asilimia 11.6.

Amesema hali ya Mfumuko wa Bei kwa bidhaa katika Nchi za Afrika Mashariki (EAC) unaonesha kwamba Kenya mfumuko wake wa bei kwa mwaka unaoishia Oktoba mwaka huu, umepungua hadi asilimia 5.53 kutoka 5.70 kwa mwaka unaoishia mwezi Septemba, mwaka huu.

Kwa upande wa nchi ya Uganda, mfumuko wa bei kwa mwaka unaoishia Oktoba, mwaka huu umepungua hadi asilimia 3.0 kutoka asilimia 3.7 kwa mwaka unaishia Setptemba, mwaka huu.

“Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ni taasisi ya Umma iliyoanzishwa kwa sheria ya takwimu ya mwaka 2015. Kwa mujibu wa sheria hiyo, NBS imepewa mamlaka ya kutoa, kusimamia na kuratibu upatikanaji wa takawimu rasmi nchini,” alisema.

Mkurugenzi amesema kuwa Takwimu hizo ni pamoja na takwimu za Mfumuko wa Bei kwa ajili ya matumizi ya serikali na wadau wa takwimu nchini.

Serikali Yatoa Rai kwa Wananchi Kuendelea Kuasili Watoto

$
0
0
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO
Serikali imetoa rai kwa wananchi kuendelea kuasili watoto ili kuwasaidia kupata huduma za msingi na malezi bora.

Rai hiyo imetolewa leo Bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla kwa niaba ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akijibu swali la Mhe. Fatma Toufiq lililohoji juu ya uhamasishaji wa jamii kuhusu kuasili watoto

Waziri Dkt. Kigwangalla amesema kuwa Serikali imeendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kuasili watoto kupitia vyombo mbalimbali vya habari na kupitia Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mtoto pamoja na Program ya Ulinzi na Usalama.

“Juhudi hizo za Serikali zimewezesha jumla ya watoto 66 wakiwemo wa kiume 37 na wa kike 29 kuweza kuasiliwa hivyo tunatoa rai kwa wananchi kuendelea kuwasaidia watoto wengine kwa njia ya kuwaasili,” alisisitiza Mhe. Kigwangalla.

Ameongeza kuwa lengo la Serikali ni kuhakikisha watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani wanaunganishwa na familia zao ili wapate huduma zote za msingi ikiwemo haki ya kulelewa na kutunzwa katika familia hivyo Serikali inashauri wananchi wenye nia ya kuasili watoto kuwasiliana na Maofisa Ustawi wa Jamii walio karibu ili kupewa utaratibu wa uasili.

Mhe. Kigwangalla amefafanua kuwa kwa mujibu wa taarifa ya utafiti ya watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani ya mwaka 2018 inaeleza kuwa jumla ya watoto 6,393 walitambuliwa katika Mikoa sita ambayo ni Dar es Salaam, Mbeya, Iringa, Dodoma, Arusha na Mwanza.

Aidha hadi kufikia Juni, 2018 jumla ya watoto 1,745 kati ya waliotambuliwa wamepatiwa huduma mbalimbali zikiwemo za kuunganishwa na familia zao, kurudishwa shuleni, kupatiwa stadi za maisha kuanzisha shughuli za ujasiriamali na kuwatafutia malezi mbadala ya kifamilia.

Waziri Kigwangalla amesema kuwa matunzo, malezi na ulinzi wa mtoto ni haki ya mtoto  na ni wajibu wa mzazi au mlezi kutekeleza jukumu la kumtunza mtoto kwa mujibu wa sheria.

BREAKING: Mahakama Yaamuru Freeman Mbowe Akamatwe....Wakili wa Msigwa ajitoa

$
0
0
Wakili Jamhuri Johnson, anayemtetea Mchungaji Peter Msigwa, katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, ametangaza kujiondoa kumtetea kwa madai ya kutorishishwa na mwenendo wa kesi hiyo unavyoendeshwa.

Wakili Johnson ametangaza uamuzi huo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Alhamisi Novemba 8, mara baada ya upande wa mashtaka kumaliza kuwasomea washtakiwa maelezo ya awali.

Akitangaza kujitoa kumtetea Msigwa, wakili Johnson amedai haridhishwi na mwenendo wa kesi hiyo jinsi unavyoendeshwa.

Amedai kwa miaka 20 ya uwakili wake, hajawahi kuona kesi inaendeshwa kama inavyoendeshwa hiyo.

Awali, washtakiwa hao wamesomewa maelezo ya awali huku washtakiwa hao wakigoma kujibu lolote wakidai wakili wao hayupo.

Mdhamini wa Ester Matiko ameieleza Mahakama kuwa mshtakiwa amepata ziara ya kibunge na yuko nchini Burundi pamoja na kuwasilisha vielelezo ikiwamo tiketi ya ndege.

Mdhamini wa mshtakiwa wa kwanza, Freeman Mbowe, ameieleza mahakama kuwa bado yuko nje ya nchi kwa ajili ya matibabu.

Wakili wa Serikali Mkuu, Faraja Nchimb amesema sababu za wadhamini wa washtakiwa hao kutofika mahakamani hazina msingi wowote na kwamba kwa maana hiyo ni sawa na washtakiwa wameruka dhamana.

Amesema vielelezo alivyowasilisha mdhamini wa Matiko ambaye ni mbunge wa Tarime Mjini, havina mashiko kwa sababu ni barua tu ya Katibu wa Bunge kumruhusu kusafiri.

Wakili Nchimbi amesema washtakiwa hao wako nje kwa dhamana na masharti maalum na kwamba kwa kuwa Bunge na Mahakama ni mihimili tofauti, basi barua hiyo ya Katibu wa Bunge haiwezi kuwa sababu ya kutohudhuria kesi yake.

Wakili Nchimbi ameiomba mahakama iamuru washtakiwa hao wakamatwe na wafikishwe mahakamani wajieleze ni kwa nini wasifutiwe dhamana.

Mbowe anadaiwa amekwenda kutibiwa nje ya nchi, jambo ambalo pia limeibua utata wa nchi alikokwenda kutibiwa kwa kuwa taarifa za awali kwa mujibu wa kumbukumbu za Mahakama, alidaiwa kwenda kutibiwa Afrika Kusini lakini leo mdhamini wake amedai amekwenda kutibiwa Dubai.

Mdhamini huyo alipoulizwa na Hakimu Wilbard Mashauri anayesikiliza kesi hiyo kuhusu taarifa za kutibiwa Afrika Kusini, alikana kuwa yeye hakusema hivyo.

Hakimu Mashauri alipombana kuwa kwa hiyo mara ya kwanza alitaja kuwa mshtakiwa amekwenda kutibiwa nchi gani, alisema yeye alieleza tu kuwa alisafirishwa kwenda kutibiwa nje ya nchi na alikuwa hajajua ni nchi gani na kwamba jana ndio alithibitisha ni Dubai.

Alipotakiwa kutoa vielelezo kuwa mshtakiwa huyo amekwenda kutibiwa hakuwa navyo na badala yake amesema mshtakiwa mwenyewe atakuja kuvitoa akirudi.

Hakimu Mashauri baada ya kusikiliza hoja hizoameamuaru wabunge hao wakamatwe na kufikishwa mahakamani kwa kukiuka masharti ya dhamana zao.

Rais Magufuli Apokea Hati Za Utambulisho Toka Kwa Mabalozi Wapya Wa Uae, Canada Na Spain Ikulu Jijini Dar Es Salaam Leo

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amepokea hati za utambulisho za Mabalozi 3 walioteuliwa kuziwakilisha nchi za Hispania, Canada na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) hapa nchini, baada ya Mabalozi waliokuwepo kumaliza muda wao.

Waliowasilisha hati zao za utambulisho ni Francisco Pedros Carretero – Balozi wa Hispania hapa nchini, Pamela O’donnel – Balozi wa Canada hapa nchini na Khalifa Abdulrahaman Mohamed Al-Marzooqi – Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) hapa nchini.

Pamoja na kuwakaribisha Mabalozi hao Rais Magufuli amewahakikishia kuwa Tanzania inathamini uhusiano na ushirikiano mzuri kati yake na nchi hizo na ameahidi kuwa Serikali ya Awamu ya Tano itaendeleza na kukuza uhusiano huo kwa manufaa ya wananchi wa nchi zote.

Rais Magufuli amewaambia Mabalozi hao kuwa Serikali inatarajia kuona shughuli mbalimbali ikiwemo miradi ya maendeleo iliyokuwa ikisimamiwa na Mabalozi waliotangulia inaendelezwa na kuanzisha maeneo mapya ya ushirikiano ikiwemo uwekezaji katika viwanda.

Kwa upande wao Mabalozi hao wameahidi kuendeleza na kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano wa Tanzania na nchi wanazoziwakilisha na wamempongeza Rais Magufuli kwa juhudi zake za kukuza uchumi, kupiga vita rushwa na kuimarisha ustawi wa jamii.

Breaking News: Rais Magufuli Katengua Uteuzi wa Balozi wa Tanzania nchini Canada...Kamvua Pia Hadhi ya Ubalozi

$
0
0
Rais Magufuli leo November 8, 2018 ametengua uteuzi na kumrejesha nchini aliekuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada Alphayo Japani Kidata.

Uamuzi huu umeanza tarehe 5 November 2018 .Pia Kidata ameondolewa hadhi yake ya ubalozi.

Kitwanga: Sijawahi kuingia bungeni nikiwa nimelewa

$
0
0
Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga, amesema hajawahi kuingia bungeni akiwa amelewa na hilo halitakaa litokee.

Kitwanga amesema hayo leo bungeni jijini Dodoma, alipokuwa akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa 2019/20.

Wakati akichangia mpango huo, Kitwanga alisema ukiimarisha Shirika la Ndege la Taifa, utalii utakua kwasababu watalii wakifika Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, watachukuliwa na ndege nyingine hadi Mwanza ambapo atachukuliwa na gari la mti wa Kolomoje na kupelekwa mbuga za wanyama.

“Wasiojua hili ni watu wa upande huu,” alisema huku akimaanisha wapinzani.

Baada ya kusema hivyo upande wa upinzani walianza kuzomea na wengine wakiomba kutoa taarifa, Kitwanga alisema “kwani nimesema upande gani, nimesema upande huu.”

Spika Job Ndugai, aliyekuwa akiongoza kikao hicho aliwakatalia waliokuwa wakiomba taarifa na kusema; “vumilieni haya ni mambo madago, yaani ukitekenywa tu unatekenyeka.”

Kitwanga aliendelea kuchangia na kusema kuwa, kuna kampuni za kitanzania zinajenga barabara ikiwamo inayojenga barabara ya Ubungo, Kibaha akisema fedha watakazolipwa zitabaki nyumbani.

“Kwa hiyo niwaombe ndugu zangu mliokaa huku mbele, mlitambue hilo  mshirikiane na mimi nilikuwa nikikaa mwanzoni ninyi nyote ni wenzangu, na mimi nirudie tena kusema Mtanzania anayependa nchi yake ataitumikia nchi yake mahala popote.

“Let me say this thing once and for all, I have never being in this house drank, I will not do that, and it will never happen, (ngoja niseme hili jambo kwa mara nyingine tena, sijawahi kuwa ndani ya ukumbi wa Bunge nikiwa nimelewa, siwezi kufanya hivyo na haitakuja kutokea) mnaoendelea kusema hivyo, endeleeni na mtaendelea hadi Yesu atakapokuja,” amesema Kitwanga.

Kauli hiyo ilifanya wabunge waangue kicheko huku wengine wakizomea hali iliyofanya Spika Ndugai kusema; “mnajua shida yetu hapa watu wengi hatufahamiani, mheshimiwa Kitwanga siyo mtu mwepesi, kabisa, yuko vizuri.”

Kitwanga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, alitumbuliwa baada ya kudaiwa kuingia bungeni akiwa amelewa na kushindwa kujibu vyema maswali ya wabunge.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Novemba 9

Bwege aeleza bungeni alivyokataa kununuliwa na CCM

$
0
0
Mbunge wa Kilwa Kusini, Suleiman Bungara maarufu Bwege, (CUF), amesema alifuatwa ili akubali kununuliwa kwa kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), akakataa.

Bwege amesema hayo jana Alhamisi Novemba 8, bungeni jijini Dodoma, wakati akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa 2019/20, ambapo alisema kwenye kitabu cha Waziri wa Fedha, Dk Philip Mpango, zinaonyesha fedha nyingi za miradi ya maendeleo hazikupatikana, lakini bado nyingine zinatumika kununua watu na chaguzi ndogo zisizo na sababu.

Kauli hiyo ilifanya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama, kusimama na kuomba mwongozo akidai kauli za Bwege kuwa ilani imeshindwa kutekelezwa kwa kuwa fedha zote zimeenda kununua watu si kweli, na inavunja kanuni za Bunge.

Bwege alipopewa nafasi ya kuendelea na mchango wake, alisema yeye anazungumzia chaguzi ndogo zinazofanyika nchini ambazo hazina tija.

“Mimi mwenyewe walinifuata ili waninunue lakini nikakataa, naweza kutaja hata ni nani na nani walinifuata.”

Kauli hiyo ilimfanya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kusimama na kusema; “Mheshimiwa Bungara ukiingia kwenye anga zangu nikakuambia uthibitishe sijui itakuwaje…”

Baada ya onyo hilo Bwege alisema “haya mzee mwenzangu,” akimaanisha  Spika Ndugai.

Katika hatua nyingine, Bwege alimshangaa Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Kangi Lugola, kudai kuwa polisi hawaui watu na kuongeza kuwa ana ushahidi wa watu wake waliouawa wakiwa msikitini na alishafikisha suala hilo hadi kwa Waziri Mkuu.

“Nilimleta baba mzazi wa mtu aliyeuawa na polisi na aliyetolewa jicho, Waziri Mkuu mwenyewe alisema Serikali imekosea,” alisema Bwege.

Haonga Awashambulia Wabunge Waliohamia CCM...."Mlimkimbia Mbowe, Tuone sasa huko Kama Mtakubaliwa"

$
0
0
Mbunge wa Mbozi (Chadema) Pascal Haonga amesema watu walioaminiwa na kuchaguliwa wakiwa upinzani na kuhamia CCM uwezo wao wa akili unapungua.

Akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2019/20 jana Alhamisi Novemba 8, 2018, Haonga alisema kuna mbunge mmoja (Mbunge wa Ukonga-CCM Mwita Waitara) amesema kuwa aliondoka Chadema sasa yupo huru CCM.

“Alisema kuwa ameondoka kwa sababu alitaka kugombea uenyekiti na Mbowe (Freeman Mbowe- Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani BUngeni) lakini akakataliwa sasa yuko huko tuone kama ataenda kugombea uenyekiti na mheshimiwa Magufuli (Rais John Magufuli) na atakubaliwa,” alisema Haonga.

Alisema wananchi wanategemea mtu akichaguliwa atimize miaka mitano ndipo aombe kuchaguliwa tena lakini si hivyo hivi sasa fedha zinazotumika kwa ajili ya uchaguzi ni nyingi.

Alisema fedha hizo zingeweza kwenda katika miradi ya maendeleo zingesaidia kukamilisha miradi ya barabara, shule na zahanati nchini.

Hata hivyo, Mbunge wa Kinondoni (CCM) Maulid Mtulia alimpa taarifa mbunge huyo kuwa hakutakuwa na upotevu wa fedha akitoka upinzani akienda CCM atapita bila kupingwa na kwamba limeshaanza kufanyiwa kazi.

Kauli iliyopokelewa na Spika wa Bunge Job Ndugai, “Taarifa hiyo mheshimiwa Haonga  tena linateleza tu.”

“Siku zote kama ulikuwa katika chama ambacho watu walikuamini na wakakuchagua katika chama hicho ni lazima ukihamia chama cha CCM lazima uwezo wako wa akili utapungua,” alisema Haonga baada ya Ndugai kumalizia kuzungumza.

Hata hivyo, Spika Ndugai alimjibu kuwa kauli hiyo si ya kibunge na ni ya dharau kwa watu wengine.

“Usifike mahali pa kuwafanya watu kama watoto, hawa ni watu wazima wamefanya decision (ni maamuzi) yao you have to respect others dicision (unatakiwa kuheshimu maamuzi yao),”alisema.

Alimtaka kutoendelea lugha hiyo bali aendelee kuchangia mapendekezo hayo, kauli ambayo Haonga alikubaliana nayo.

Zitto Kabwe: Tusipokuwa Makini Tutaishia Kupiga Porojo Tu

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo) Zitto Kabwe amesema kama wabunge hawatahitaji uwajibikaji upande wa Serikali watakuwa wanapiga porojo kutokana na kutotekelezwa kwa mambo wanayokubaliana.

Akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa mwaka wa fedha 2019/20, jana  Alhamisi Novemba 8, 2018, Zitto alisema katika mpango wa mwaka 2016 walijadiliana na kukubaliana Serikali ikatenge Sh13.2 trilioni kwa ajili ya mpango huo lakini walitoa Sh5 triloni.

Alisema mwaka 2017 walikubaliana zitengwe Sh12 trilioni lakini zilizotolewa zilikuwa ni Sh 6trilioni tu.

“Hii inaonyesha kama hatutakuwa makini na kuhitaji uwajibikaji upande wa Serikali tutakuwa tunapiga porojo. Kwa sababu kile tulichokubaliana kikafanywe wenzetu ambao tumekubaliana nao hawafanyi,” alisema. 

Alisema Serikali ina tatizo kwenye taarifa za uhasibu na kwamba ukitazama taarifa zilizopo sasa inaonyesha kuwa wanarudi katika tatizo kama la upotevu wa Sh1.5 trilioni.

Alisema ukiangalia katika taarifa ambazo zimetolewa na Serikali za makusanyo hadi Juni, 2018 na taarifa ya fedha ambazo Serikali imezitoa kwenda kwenye mafungu kuna tofauti ya Sh2.1trilioni.

Hussein Bashe: Kuna Tatizo Kubwa Ndani ya Serikali

$
0
0
Mbunge wa Nzega Mjini (CCM) Hussein Bashe amesema anaona kuna tatizo kubwa sana serikalini na ama mawaziri na wataalam wamekataa kufikiri ama wameamua kutegeana.

Bashe ameyasema hayo bungeni jana Alhamisi Novemba 8, 2018 wakati akichangia Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka wa fedha 2019/20  uliowasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha na Mpango, Dk Philip Mpango Jumanne iliyopita.

“Mimi naona kuna tatizo kubwa sana serikalini, ni kwamba mawaziri na wataalamu labda wamekataa kufikiri, ama wameamua kutegeana,” alisema.

“Najiuliza tumbaku inaporomoka, soko kubwa sasa la tumbaku lingekuwa Mashariki ya Kati, tunaambiwa tupunguze production (uzalishaji). Leo korosho tunaenda kwenye matatizo, nataka nishauri, sisi hatuwezi ku-control soko la dunia, tuna control na volume za ndani ili tuweze lazima tuweze kutoa motisha.”

Bashe ameomba Serikali watakapokuja na mwakani waje na namna ya kuanzisha mfuko huo wa kunusuru wakulima na namna ya kurekebisha kodi.

Alisema asilimia 60 mpaka 70 ya wananchi ni wakulima na kwamba hao ndio waendeshaji na waanzisha viwanda.

“Tunajenga reli ambayo itabeba bidhaa, tunajenga barabara ambayo itabeba bidhaa na binadamu, leo mazao ya chakula na ya biashara yote yanaanguka kwa sababu za nje na kwa sababu za ndani,” alisema.

Alisema hatua ya  kwanza inayotakiwa kufanywa ili kuokoa sekta ya kilimo ni kuja na mpango wa kuanzisha mfuko wa kuwalinda wakulima na hasara za bei ambao utafidia hasara zinazowakabili wakulima.

Bwege Amlipua Tena Waziri wa Ujenzi Bungeni

$
0
0
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isaac Kamwelwe, ameendelea kuwa katika wakati mgumu baada ya Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Suleiman Bungara (Bwege), kudai waziri huyo anamdharau Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Amesema Waziri Kamwelwe alitembelea jimboni kwake na kumueleza miradi ambayo Waziri Mkuu ameiridhia na Kamwelwe kutoa kauli iliyoonyesha ni kumdharau Waziri Mkuu.

Bwege alitoa kauli hiyo jana Alhamisi Novemba 8, bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2019/20, ambapo pia alisema alidhani ni yeye pekee aliyejibiwa vibaya lakini alishangaa jana kumsikia Mbunge  wa Mafia, Mbaraka Dau(CCM), akitoa maelezo kama yake.

“Dau alisema kitu kilichonisikitisha sana, Waziri Mkuu anachaguliwa na Rais na anathibitishwa na Bunge, jana hapa Dau alimwambia waziri habari ya boti, lakini akajibiwa majibu mabaya na Waziri wa Ujenzi, si mara moja hii, kuna mradi wa maji (Jimbo la Kilwa) nikamwambia naye akanijibu Waziri Mkuu nani, mimi namtambua Rais John Magufuli tu.

“Kuna mtu mmoja anamdhalilisha (Waziri Mkuu) si desturi nzuri waheshimiwa, huyu ni Waziri Mkuu asidharauliwe, sisi tukisema sana tunaitwa katika maadili,” alisema Bwege.

Baada ya kauli hiyo, Spika Job Ndugai, aliyekuwa akiongoza kikao hicho alisema “Bungara uko katika shughuli yako ya uchonganishi wako ili watu wagombane humu.”

Akijibu kauli hiyo, Bwege alisema; “Mheshimiwa Spika mimi nanukuu yaliyosemwa hapa jana( Jumatano).”

Katika kikao cha Jumatano, Dau alidai Waziri Kamwelwe amekiuka agizo la Waziri Mkuu la kupeleka Mafia meli iliyotolewa na mfanyabiashara Said Salim Bakhresa, akidai ni maagizo ya kisiasa na kwamba suala la kupeleka meli hiyo Mafia walilijadili na Waziri Mkuu na akakubali ipelekwe Mafia jambo ambalo hata Profesa Makame Mbarawa aliyekuwa waziri wa wizara hiyo, aliliridhia.

Kuoga Kwa Msukule Mpaka Mvua Inyeshe

$
0
0
Na. Dokta  Mungwa  Kabili…….0744 000 473.
Misukule Huogeshwa  na  Mungu    ni  kitabu  changu  kingine  ambacho  kinaelezea  kuhusu  maisha  ya  misukule  usukuleni.

Kitabu  hiki  kinaelezea  A  mpaka  Z  kuhusu  masuala  yote  yanayo  husu  misukule  kuanzia  jinsi  wanavyo  chukuliwa  na  wachawi, jinsi  wanavyo  tumikishwa  na  wachawi, maisha  halisi  ya  misukuleni  kuanzia  asubuhi  wanapo  amka  hadi  usiku  wanapo  enda  kulala, vyakula  wanavyo  lishwa, madawa  wanayo  lishwa, kazi  wanazo  tumikishwa  na  kadhalika.

 Lakini   kikubwa  kuliko  vyote  kitabu  hiki  kinaelezea  kuhusu  namna gani  wewe  mwenyewe unaweza  kujikinga wewe  pamoja na  familia  yako  dhidi  ya  kuchukuliwa  msukule  na  wachawi.

Maelezo  yaliyomo  ndani  ya  kitabu  hiki  yanatisha  na  kuogofya  sana  na  kama wewe  una  moyo  mwepesi  ninakushauri  usijaribu kusoma  kitabu  hiki.

Hata  hivyo  lengo  la  mtunzi  wa  kitabu  hiki  sio  kumtisha  au  kumuogofya  msomaji, ila ni  kumuonyesha  msomaji  uhalisia  uliopo  katika  ulimwengu usio  onekana.

Kitabu  hiki  kitamsaidia  msomaji  kuujua  kwa  mapana  yake  ulimwengu  usi onekana  pamoja  na  kuiona  nafasi  yake  katika  ulimwengu  usio  onekana.

Maana  Ya  Jina  La  Kitabu : Jina  la  kitabu  hiki  linasadifu  mambo yaliyomo  ndani  ya  kitabu  hiki.

Mtu anapo  chukuliwa  msukule  hupelekwa  usukuleni  kwa  ajili  ya  kutumikishwa  kazi  mbalimbali  na  wachawi.

Anapokuwa  usukuleni huunganishwa  na  misukule  wengine  na kufungwa  kwenye  banda  ambalo  ndani  yake  kunakuwa  misukule wengi.

Misukule  hawa  ni  binadamu  kama  walivyo  binadamu  wengine.  Binadamu  hula,hunywa, hulala  na hujisaidia  haja  kubwa  na  haja  ndogo.

Misukule  hufanya  vyote  kama  binadamu wengine  ingawa  kwa namna  tofauti  kidogo. Hula  vyakula  kama  binadamu  wengine  lakini  hula  mizoga  na  vyakula  vichafu   katika  mazingira  machafu.

Hujisaidia  haja  kubwa  na  ndogo  lakini  hawajisaidii  vyooni  kama  binadamu  wa  kawaida. Wao  hujisaidia katika sehemu   yoyote  ile  iwe  ni  porini  au  katika  mabanda  yao  na  wanapo  jisaidia  huwa hawaogi  wala  kuogeshwa  wala  kusafishwa.  Hayo ndio  huwa  maisha  yao  ya  kila  siku.

Misukule  huoga  tu  pale  wanapo  pata  ‘ bahati’  ya  kunyeshewa  na  mvua.

 Msukule  unaponyeshewa na  mvua ndio  unakuwa  umepata  bahati  ya  kuoga.  Ndio  maana  tunasema “ Misukule  huogeshwa  na  Mungu “  kwa  sababu  ni  mvua  tu  ya  Mwenyezi  Mungu ndo  kitu  pekee  kinacho weza kuwafanya misukule  waoge, lakini  vinginevyo  hakuna  anae  weza  kuwaogesha.

Uhalisia  wa kitabu  hiki  katika  maisha :  Kitabu  hiki  kimebeba  uhalisia  katika  maisha  kwenye   jamii  zetu.  Wachawi  wapo  wanawachukua  watu  misukule kwa  lengo  la  kuwatumikisha  na  wakiwa  wanatumikishwa  huwa  hawaogeshwi  wala  kusafishwa hata  wakienda haja  kubwa.

Ndio  maana  vijiji vyote  vinavyo daiwa   kuwa  na  misukule  wengi  huwa  vinatoa  harufu  mbaya  sana kwa  sababu  ya  misukule  hao.  Na  kama  ulikuwa  haujui  binadamu  ndio  kiumbe  mwenye  kutoa  harufu  mbaya  sana  kuliko  kiumbe  mwingine  yoyote  Yule  wa   Mwenyezi  Mungu.

Ukitaka  kuthibitisha   fanya tathmini  kati  ya harufu  ya maiti  ya  kiumbe  yoyote  Yule  aliye kufa  na  mwanadamu  aliye  kufa.

Au  fanya  tathmini  kati  ya  kiumbe  yoyote  Yule  ambae  amekaa  mjuda  mrefu  bila  kuoga  na  binadamu  aliye  kaa  muda  mrefu  bila  kuoga.

Chukua  n’gombe  au  mbuzi  au  kondoo, mfungie  miezi mitatu  bila  kumuogesha  halafu  na wewe  ukae  siku  saba  bila  kuoga  wala  kufua  halafu  linganisha  harufu  zenu.

YALIYOMO   NDANI  YA  KITABU  HIKI
Kama hutopata fursa  ya  kusoma kitabu  hiki  basi  hutoweza kufahamu  chochote  kuhusu  misukule. Na  hii  kwa  sababu  ni katika  kitabu  hiki pekee  ndio  unaweza  kufahamu  undani wa  hawa  viumbe wajulikanao  kama  misukule.

Mwenyezi  Mungu  akikupa  uhai hadi  siku  kitakapo  ingia  mtaani  kitabu  hiki  basi  hakuna  mchawi  yoyote yule  chini  ya  jua  hili  ambae  ataweza  kukuchukua  msukule  kwa  sababu  ndani  ya  kitabu  hiki  yamewekwa  wazi  maarifa  yatakayo  kusaidia  kujikinga  wewe  mwenyewe  pamoja  na  familia  yako  dhidi  ya  kuchukuliwa  msukule.

Hiki ni  kitabu  ambacho kitawatoa   machozi watu  wengi  sana  kwani  ndani  yake  yameandikwa  maisha  ya misukule  usukuleni  ambayo  kusema  ukweli  ni maisha  yenye  mateso  mazito  sana  na  yasiyo  mithilika.

Hivi  unajua  wachawi  wanaweza  kumchukua  mtu  msukule  kwa  sababu  ya  kijinga  kabisa  ?  Kwa mfano  unaweza  kuwa  umegombana  na  mchawi  na  akaamua  akuchukue   msukule   ili akutumikishe  kazi  kwa  lengo  la  kukukomoa.

Mchawi  anaweza  kumtaka  mapenzi  mwanamke  na  mwanamke  akimkataa  basi  mchawi  huyo  anamchukua  mwanamke  huyo  msukule  na  kumfanya  mke  wake.

Wachawi wanaweza  kumchukua  mtu  msukule  kwa  lengo  la  kutumia  nyota  yake tu  jambo  ambalo wangeweza  kulifanya  hata  bila  kumchukua  mtu  huyo  msukule.

Hivi  unajua  tofauti  iliyopo  kati  ya  msukule  na  kikoa ?    Kikoa   ni  msukule  kama  walivyo  misukule  wengine  isipokuwa  huyu  kikoa  anakuwa  amechukuliwa  na  mchawi  kwa  ajili ya  sadaka  ya  kuongeza  nguvu  zake  za  kichawi  na  kupandishwa  cheo  kaika  uchawi.

Msukule  wa  kawaida  anaweza  kuwa  mtu  mwingine  yoyote  Yule  lakini  kikoa  huyu  ni  msukule  ambae  anakuwa  ametolewa  na  ndugu  yake  wa  damu  ambae  ni  mchawi  kwa  ajili  ya sadaka.

Je  unajua  kuwa  mbali  na  kufanyishwa  kazi  nyingine  kama  kulima , kuvua, kuita wateja  dukani  nakadhalika, misukule  hutumiwa pia  kwa ajili  ya  kuchimba  na  kutwanga  dawa  za  kichawi  pamoja  na  kutafuta  vizimba  vizito  vya  kichawi.

Kazi  nyingine  ya  misukule  ni  pamoja  na  kutumiwa  na  wachawi  katika  kutafuta  na  kukamata  viumbe hatarishi  kama  vile  nyoka  wenye  sumu  kali  au  vizimba ambavyo huonekana  kwa  nadra  au  ambavyo  havionekani  kwa  macho  ya  kawaida.

Misukule  wana  uwezo  wa  kuviona  kwa  sababu  hulishwa  madawa  yenye  uwezo  wa  kuwafanya  kuona  yasiyo  onekana.

Kwa  mfano  porini  kuna  nyoka  mmoja  ana  vichwa  viwili  ( Sio  Ndumilakuwili ).

Makaazi  ya  nyoka  huyu  huwa  ni  ndani ya  misitu  minene.

Nyoka  huyu  ana  sifa  moja  ya  kipekee.  Anapotaka kuhama  msitu, huruka  juu  kama  ndege na  hutembea  na  mwanga  mkali kama  kimondo  au  nyota.

Anapokuwa  msituni  huwa anazungusha  fimbo  za  mti  mmoja  wa  porini  ambazo  zimekaa  kama  kamba kuzunguka  eneo lake .

Miti hii inayo zunguka  eneo  la nyoka  huyu  ikiguswa, kuvunjika  au  kukatika  nyoka  huyo  husimama  wima   kwa  mkia  wake kuona  adui aliyeko  eneo  lake  ana dhumuni  gani.

Miti  hiyo  ndio   mali  inayo  tafutwa kwa  udi  na  uvumba  na wachawi.  Miti hiyo   hutokana  na  mti  mmoja wa  porini  ambao  hukaliwa  na  majini  au  mizimu  wa  nyoka  huyu.

Hakuna  mtu  alie  katika  hali  ya  kawaida  ambae  anaweza  kuichukua  miti  hiyo  kwa  sababu  kwa  kufanya  hivyo atakuwa  ana jihatarishia  kifo.

Kwa  sababu  hiyo  basi  wachawi  huwatumia  misukule  kuchukua  miti   hiyo.

Nyoka  huyu  huonekana  kwa  nadra  sana  na  hapa  kwetu  amewahi  kuripotiwa  kuonekana  kwenye  msitu  mmoja  uliopo  huko katika  wilaya  ya  Mlele  mkoani  Katavi  na  mwingine  amewahi  kuripotiwa  kuonekana  huko  mkoani  Morogoro.

Kwa kifupi  nyoka  huyu  ni  nyoka  mwenye  maajabu  mengi  sana  na  katika uganga  na  utabibu  nyoka  huyu  hujulikana  kama  Fimbo  ya  Mussa  kwa  sababu  miti anayo  tumia  kuzungusha  eneo lake ina  uwezo  wa  kutenganisha  maji  katika  mito  na  bahari.

Miti  hiyo  hiyo  hutumiwa  na wachawi kuleta  ama   kuzuia  mvua.  Hutumika  pia  katika  kutibu  baadhi  ya  maradhi  ya  kisheitwani.

Kwa ufupi  miti  ya  nyoka  huyu  ina  mambo  mazito mengi sana.   Mambo  yote  hayo  utayajua  ndani  ya  kitabu  hiki.

Kama  hiyo  haitoshi, wachawi  pia  hutumia  vitu  vya  misukule  kama  vile  nywele, kucha, nguo, mate, nyewele  za  siri  nakadhalika  kama  vizimba.

Msukule  ni  binadamu  ambae  thamani  yake  imeshushwa  chini  sana  na  kuwa  kama  mnyama.

Ndio  maana  wachawi  huwatumia  misukule  katika  kazi  zao  mbalimbali kama  ambavyo  mganga  anaweza  kutumia  mnyama  kama  kuku  au  kondoo.

Katika  ulimwengu  wa  misukule  hakuna  kitu  cha  msukule  kisicho  kuwa  na  thamani. Kuanzia  mate, nywele, kucha, nywele  za  siri  nakadhalika  vyote   hutumika  kama  vizimba  kwa  ajili  ya  kutengeneza  madawa  makali  ya  kichawi.

Mfano  kucha  za  misukule  hutumika  kama  nyembe  za  kuwachanja  watu  chale  za  kichawi.

Wala  hakuna  msukule  usio  na  thamani  kuanzia  msukule  kijana  wenye afya  hadi  msukule  mzee  usio  na afya  ambao  unaweza  kufa  wakati  wowote.  Vyote  vina  thamani na  matumizi makubwa  katika  uchawi.

Wakati  misukule  vijana  wenye  afya  wakitumikishwa  kufanya  kazi  mbalimbali  kama  vile  kulima, kuvua  samaki, kuchimba  migodi, kuita  wateja  madukani  nakadhalika, misukule   wazee  hutumiwa  na  wachawi  kubadilishana  na  msukule  mpya  na  mara  nyingi  misukule  wanao  tumika  hapa  ni  misukule  wazee wenye  maradhi  mazito

Kwa  mfano  kama  wachawi  wanataka  kumchukua  mtu  Fulani  msukule   kwa staili  hii  ya  kubadilishana  na  msukule  wao  mzee  ambae  ni mgonjwa  mgonjwa  na  ambae  wanaona  amekaribia  kufa  baada  ya  kuugua kwa  muda  mrefu.

Kitu  cha  kwanza  watakacho  kifanya  wachawi   hao ni  kwanza  kumtupia  maradhi  ya  kisheitwani  mtu  huyo  alie  kusudiwa  ambayo  yatamfanya  ajihisi  homa  kali  sana  au  malaria.

Maradhi  haya  yatamfanya  mtu  huyo  ashindwe  kufanya  shughuli  zake  na  kushinda  amelala  siku  hiyo.  Lakini  sura  ya  maradhi  ya  mtu  huyu  itakuwa  ni  ya  kawaida  tu. Yani  atakuwa  kama  mtu  anae  ugua  maradhi  mengine  ya  kawaida.

Usiku wa  siku  hiyo  wachawi  watakuja  na  msukule  wao  mzee  ambao  umeugua  kwa  muda  mrefu  na  unakaribia  kufa  hadi  katika  nyumba  anayo  ishi  mtu  huyu  ambae  wamekusudia  kumchukua  msukule.

Wakishafika  nyumbani  hapo  watamchukua   huyo  mgonjwa  aliye  lala  kitandani  hapo  na  kuondoka  nae  halafu  kwenye  kitanda  hicho  watamlaza  msukule  wao ambae  ni  mzee  na  mgonjwa  sana  ambae  ameugua  kwa  muda  mrefu  na  kukaribia  kufa.

Msukule  huyo  atavalishwa  sura  ya  Yule  mgonjwa  alie  kuwa  amelala  kitandani.

Asubuhi mgonjwa  wenu  ataamka  akiwa  amezidiwa  na  hali  yake  ikiwa  imebadilika.

Nyinyi  mkiamka  mtaona  hali  ya  mgonjwa  wenu  imebadilika  na  kuwa  sirias.

Mtaanza   kumuuguza  eidha  hapo  hapo  nyumbani  au  kwa  kumpeleka  hospitalini.  Lakini  hali  yake  haitobadilika  kwa  sababu  anakuwa  sio  yeye   bali  ni  huo  msukule.

Mtahangaika  nae  na  mwisho  wa  siku  msukule  huo  utakufa  na  ninyi  mtaamini  aliye  kufa  ni  ndugu  yenu  ilihali  ndugu yenu  bado  yupo  hai  amechukuliwa  msukule  ila  alie kufa  hapo ni  msukule.

(  ANGALIZO : Hapo  juu nimesema  wachawi  wakitaka  kumchukua  mtu  kwa  staili  hii  huwa  wanaanza  kwa  kumtupia  maradhi  ya  kisheitwani. Lakini  sio  mara  zote.   Wakati  mwingine  mtu  anaweza  kuwa  na  maradhi  halali  kabisa  na  wachawi   wakayatumia  kama  mlango  wa  kuingilia… Ndio  maana  watu  wanashauriwa  kuwa   wasiri  pale  wanapo  kuwa  wanauguza  wagonjwa  wao. Si  kila  mtu  anatakiwa  kujua  Fulani  anaumwa au amelazwa. Wengine  ni  wachawi  kama  hao  ambao  wanaweza  kumchukua  msukule  na  wengine  wanaweza  wasimchukue  msukule  lakini  wanaweza  wakamfunga  asipone  maradhi  yake.  Yani  kila  dawa  anayo  tumia  inakuwa  haifanyi kazi mwilini  )

Kama  nilivyo  sema  hapo  juu  wachawi  wanawatumia  misukule  katika  mambo  mengi  sana.

Mbali  na  mambo  niliyo  yataja  hapo  juu, wachawi  huwatumia  pia  misukule  katika  mambo  mengineyo  kama  ifuatavyo :

·-Kuchinja  wanyama  mbalimbali  wa  kafara  kama  vile  n’gombe   nakadhalika.

·-Kutumwa  safari  ndefu: Wachawi  huwatuma  misukule  safari  ndefu  sana ambazo  misukule  huenda  kwa  miguu.  Hii  huwa  kazi  rahisi  kwa  misukule  kwa  sababu  huwa  wanalishwa  madawa  ya  kuwafanya  wawe  na  nguvu  za  ziada  ambazo  huwezi  kuzikuta  kwa  binadamu  wa  kawaida.

·-Hutumwa  kwenda  kuiba  vitu  kwa watu  mbalimbali  kwa  ajili  ya  matumizi  ya  kichawi.  Kwa  mfano  kama  wachawi  wanataka  kuchukua  nguo  za mtu  Fulani  kwa  ajili  ya  kumroga  wanaweza  kuwatumia  misukule  kuja  na  kuchukua  nguo  hizo. Hili  linawezekana  kwa  sababu  misukule  huwa  wanachanjiwa  madawa  yanayo  wafanya  wasiweze kuonekana  na  watu  wa  kawaida.

·-Pia  hutumiwa  kwenda  kuchukua  vitu  mbalimbali  kutoka  kwa  watu  ambao  wachawi  wamekusudia  kuwafanyia  ubaya kama   vile  kucha  pamoja  na  kutumika  kuwachanja   watu  chale  na  kuwapaka  madawa  ya  kichawi. Mara  nyingi  unapo  amka  ukiwa  umechanjwa  chale  za  kichawi  basi  ni asilimia  nyingi  kuwa  chale  unakuwa  umechanjwa  na  misukule  walio  tumwa  kuja  kwako  kwa  ajili  ya  kazi  hiyo  na  chale  hizo  hawakuchanji  kwa  kutumia wembe  bali  wanakuchanja  kwa  kutumia  kucha.

·-Misukule  hutumwa  kwenda  kuweka  sumu  za  kichawi  kwenye  vyakula  au  vinywaji  vya  watu  walio  kusudiwa  kwa  lengo  la  kuwasababishia  maradhi  ya  kichawi.

·-Misukule  hutumiwa  na  wachawi  kutafuta  vizimba  vinginevyo  vya  kichawi  visivyo  weza  kuchukulika  kwa  njia  rahisi  kama  vile  mayai ya  bundi nakadhalika

·-Misukule  hutumika  pia  katika  chuma  ulete
 
Wachawi  huweza  kutumia  njia  mbalimbali  kuwachukua  watu  misukule. Mbali  na  kuwachukua  watu  misukule  kwa  njia ya  kubadilisha  na  msukule  mgonjwa  kama  nilivyo  onyesha  hapo  juu, wachawi  wanaweza  kumchukua  msukule  pia  kwa  njia  ya  ajali, kufa  maji, kupotea  nakadhalika.
 
Mtu  anaweza  kwenda  kisimani  kuchota  maji  akapotelea  huko  huko kumbe  kachukuliwa  msukule, au  mtu  anaweza  kwenda  porini  kusenya  kuni  akapotelea  huko  huko  kumbe  kachukuliwa  msukule, mwingine  anaweza  kutoka  usiku  nje  kujisaidia  na  asirudi  tena  ninyi  mkadhani  labda  ametoroka  kumbe  amechukuliwa  msukule.

Misukule  wanao  chukuliwaga  ghafla  bila  kuugua  huwa  wanakuwaga  wakorofi  sana. Wachawi  wanapo  ona  msukule  amekuwa mkorofi  sana  huwa  hawamuui  isipokuwa  wanamtoa  akili  na  kumpeleka  mkoa wa  mbali  au  nchi  ya  mbali.

Mfano   kama  mtu  huyo  kachukuliwa  labda  Lindi  anaweza  kupelekwa  Shinyanga.  Au  mtu  aliye  tolewa Rufiji  anaweza  kupelekwa  Goma , Kongo  au  kinyume  chake.

Msukule  kutoka  Kongo  unaweza  kupelekwa  Senegali  na  ule  wa  Senegeli  ukaletwa  Tanzania.

 Mtu  huyo  akipelekwa  katika  sehemu  ambayo  wachawi  wamechagua  huanza  maisha  mapya  kama  mwendawazimu  asiye  ongea.

Na  hii  ndio  sababu  wapo  wendawazimu  hawajulikani  wanakoishi  au  wanapotoka. Hawajulikani  majina yao  wala  makabila  yao  na  wala  hawana  uwezo  wa  kuongea.

Unaweza  ukadhani  ndugu  zake  wamemtelekeza  lakini  sivyo  ndivyo. Mtu  huyo  anakuwa  msukule  aliye tupwa  kutoka  nchi  ya  mbali  au  mkoa  wa  mbali.

Katika  hali  ya  kawaida  watu  wenye  kuugua  maradhi  ya  uwenda  wazimu  yawe  ni  ya  kawaida   ama  ya  kisheitwani  huwa  wanapiganiwa na  ndugu zao.

 Ndugu  wa  watu wenye  maradhi  ya  uwendawzimu  huwa  wanawaletaga  vilingeni  wagonjwa  wao  kwa  ajili ya  kuwatafutia  tiba.

Ni nadra  sana  kwa  misukule  kuugua  maradhi  ya  kawaida hasahasa  msukule ambae  yupo  usukuleni  kwa  muda  mrefu.  Hali  ya  kuugua  hutokea  kwa  misukule  wageni  kwa  sababu  miili  yao inakuwa  haijazoea  vyakula  vya  kisukule na  maradhi  yao  hutokana  na  vyakula  wanavyo  kula  pamoja na  mazingira  wanayo  ishi  ambayo  ni  sawa  sawa  na  mazingira  wanayo  ishi  wendawazimu   na inapotokea  msukule  umeugua  huwa  wanalishwa  madawa  maalumu  ya kichawi.

Misukule  wanapo  ugua  hawana  uwezo  wa  kusema  “ naumwa” kwa  sababu  hawana  uwezo  wa  kuzungumza.  Ni  jukumu  la  mchawi  mwenyewe  kujua  hapa  msukule  wangu  anaumwa au  la  yaani  kama  mtu  anae  fuga  n’gombe, mbuzi  au  kondoo. Atajua  kondoo  wake  anaumwa kwa  kumtazama  hali  yake.

Misukule  hulishwa  vyakula  vichafu  sana kama  vile  mizoga iliyo  okotwa  majalalani  au  iliyo  gongwa na  magari  na  mchawi  anapokosa  vyakula  vya  kuwalisha  misukule  wake  huwa amuru  waende  kula  kuiba  vyakula majumbani  kwa  watu  au  kama  nyumbani  kwenu  hamuhifadhi  vyakula  ambavyo  havijapikwa  basi  misukule  hao huamuriwa  kuwa  wanaenda  kula  pamoja  na  watu  kwenye  nyumba  au  mji  Fulani.

Kwa  mfano  ataawaambia ninyi  mtakuwa  mnaenda  kula  kwa  Fulani  na  ninyi  wengine  mtakuwa  mnaenda  kula  kwa  Fulani.

Ikifika  muda  wa  kula  chakula  misukule  hufika  kwenye  meza  na  mnapo  pakuwa  na  kula  chakula  nao  hula  nanyi.  Ndio  maana  mnaweza  kuwa  mmepika  chakula  kingi  lakini  mnakula  kidogo  tu  kinaisha  na  ninyi  mnakuwa  bado  na  njaa  kali. Hapo  jueni  mnakula  na  misukule.

Hii  hutokea  kwenye  familia  nyingi  sana  na  kama  nilivyo  sema  hapo  juu  mkitaka  kujua  kama  huwa  mnakula  na  misukule  basi   dalili  ya  kwanza  ni  chakula  kingi  kuisha  haraka  bila  walaji  kushiba  na dalili  nyingine unaweza  kuwa  ulikuwa  umekaa  vizuri  kwenye  kiti  au  ghafla  ukajikuta umekalia  kalio  moja  hapo  maana  yake  ni  kwamba  umempisha  msukule  akae.

Misukule  wakisha  maliza  kula chakula  kwenye  miji  ya  watu  huwa  wanarudi  kwenye  makazi  yao  na  kufungiwa  kwenye  mabanda  yao.

Maisha ya  misukule  hayana  tofauti  na  wanyama  wa  kufugwa  kama  mbuzi, kondoo, ng’ombe  nakadhalika  kwani licha  ya  kutumikishwa  na  kupigwa  mijeledi  kila  kukicha  lakini  hata  wanapo achiwa  na  kwenda  kula  kwenye  majumba  ya  watu  wanarudi  tena  kwenye  makazi  yao  na  kufungiwa  bandani.

Wachawi  wakisha  mchukua  mtu msukule   kabla  hawajamkata  ulimi  huwa  wanamlisha  dawa  moja  ya  kichawi. Dawa  hii  hufuta  kumbukumbu  zake  zote  za  miaka  ya  nyuma  na  kuanza  maisha  mapya.  Yani  kwake  anakuwa  kama  hajawahi  kuishi  kabisa  hapo  awali.  Dawa  hiyo  ya  kichawi  hutumika  pia  kuwafarakanisha  mke  na  mume. Mke  au  mume  akilishwa  dawa  hii  kwa  manuizi  haya, husahau  kabisa  kama  aliwahi  kuwa  katika  mahusiano  au  ndoa  na  mume  au  mke  wake.

Na  kama  atanuiziwa  na  watoto  pia, basi  atasahau  kabisa  kama  aliwahi  kuwa  na  watoto. Atakuja  kukumbuka  siku  atakayo  ingia  kaburini.  Hapa  ndio  unakuta  mwanamke  amezaa  watoto watatu  na  mwanaume, mtoto  wa mwisho  hana  hata  mwaka  mmoja, mwanamke  huyo  ataondoka  na  kwenda kuishi  na  mwanaume  mwingine  na  hatorudi  tena  kwa  mumewe .  Ataonekana  kama  mtu  mwenye  roho  mbaya  lakini  kiukweli  inakuwa  sio  akili  yake.  Mume  pia  anaweza  kuondoka  na  kutelekeza  familia  na  watoto  wake bila  kuwakumbuka.

Kama  mtu  alie  chukuliwa  msukule  alikuwa ana  nyonyesha  wachawi huwa  wanamleta kila  siku  jioni  aje kumnonyesha  mwanae  mpaka  mtoto  huyo  atakapo  timiza  miaka  miwili  huku  lengo  likiwa  ni  kuandaa  mazingira  ya  kuja  kumchukua  na  mtoto  huyo  kwa  sababu  mwanamke  huyo  huwa  anapakwa  pia  madawa  ya  kichawi  kwenye  manyonyo  yake  na  mtoto  wake  anapo  nyonya  madawa  hayo  ya  kichawi  yanakuwa  yanamuingia  na  kumuandaa  kuja  kuchukuliwa  pia  hapo  baadae.

Zoezi  la  kumleta  mwanamke  huyu  msukule  kumnyonyesha  mtoto wake  huwa  linafanyika  kila  giza  linapo ingia.

Kuhusu  kuoga  misukule  huwa  hawaogi  wala  hawaogeshwi.  Na  hii  ni  kwa  sababu  uchafu  wao  una  thamani  kubwa  sana  kwa  wachawi  kuliko  usafi  wao.

Kwa  hiyo  hata  kama  atajisaidia  hakuna  kujisafisha  wala  kusafishwa. Kuoga  kwa  msukule ni  mpaka  mvua  inyeshe.  Huu  ni  msemo  maarufu  sana  miongoni  mwa  wachawi. “ Kuoga  kwa  msukule  ni  mpaka  mvua  inyeshe.  Yani  mpaka  mvua  inyeshe  ndio  msukule  anaweza kuoga  lakini  vinginevyo  msukule hubaki  katika  mazingira  ya  uchafu  usio  mithilika.

Kwa  ufupi  haya  ni  baadhi  ya  mambo  yameelezewa  kwa  undani  sana  ndani  ya  kitabu  “ KUOGA  KWA  MSUKULE  MPAKA  MVUA  INYESHE “  kitabu  hiki  kitakuwa  mitaani  siku  ya  tarehe  5  DESEMBA  2018  na  kitatoka  pamoja  na  kitabu  kingine  kiitwacho “ MAARIFA  YA  JADI “.

Maelezo  kuhusu  yaliyomo  ndani  ya  kitabu  “ MAARIFA  YA  JADI “ yatakujia  siku  ya  Jumatatu  ya  tarehe  12  NOVEMBA  2018.

Vitabu vyote  hivi  vimeandikwa  na  DOKTA. MUNGWA  KABILI. Dokta. Mungwa  Kabili  anapatikana  kwa  SIMU  NAMBA : 0744  000  473.

Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Iletiba Sahihi Ya Matatizo Haya Chanzo Chake Na Visababisho Vyake.

DALILI;mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata choo vizuri hata ukipata choo kinakuwa kigumu au gololi kama mavi ya mbuzi. misuli ya uume kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. miguu kuuma na kuwaka moto.

 TIBA YAKE;LUKUBA 4mix ni dawa pekee inayoweza kutibu matatizo hayo inarudisha nguvu za kiume mara dufu na kufanya urudie tendo la mara tatu bila kuchoka. 

LUKUBA 3 pump; ni dawa inayorefusha na kunenepesha uume hadi inchi 7 hadi 9 na kunenepesha kwa CM 2 na kukupa umbile la uhakika. ITUMIE TIBA HII KUOKOA NDOA YAKO NA KUOKOA KUKIMBIWA NA UMPENDAYE,

 ISABILO; Ni dawa itoayo mafanikio na utajili kwa watu walioshindwa kufanikiwa kimaisha, 

MWITE; Ni dawa ya mvuto kumvuta umpendaye na kumrudisha aliyembali na atakutimizia ahadi zote awe mwanamke au mwanaume. 

LUTA CD; Ni dawa inayotibu magonywa nyemelezi yanayopunguza kinga za mwili na kusababisha mwili kuzoofu na inaondoa miwasho na kuondoa kemikali na taka zinazozagaa mwilini. 

KISUKARI; Tunayo dawa ya DAYON inayotibu na kuzalisha insulin kwa wingi na kumfanya mwenye tatizo hili kupona kabisa ugonjwa wa kisukari, kwani husababisha misuli ya mwili kutokufanya kazi vizuri

MPIGIE DR DAGOTIMAN NDIYE SULUHISHO LA MATATIZO YAKO   0658920640/ 0754372325 / 0620806813
 
HUDUMA HII INAWEZA KULETWA POPOTE ULIPO OFISI ZETU ZIPO MBAGALA ZAKHEM DAR ES SALAAM.

Video Mpya: Smile ft. Nedy Music - Ti amo

$
0
0
Msanii Smile kwa kushirikiana na Nedy Music anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Ti amo. Itazame hapa.

Baada ya Kuachana na Diamond, Hamisa Mobetto amtambulisha mpenzi wake mpya

$
0
0
Mwanamitindo kutoka Tanzania Hamissa Mobetto amemtambulisha mpenzi wake mpya baada ya kuachana na baba mzazi mwenzie ambaye pia ni msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Hamisa amepost picha akiwa na mwanaume huyo ambaye jina lake halijajulikana mpaka sasa hivi na kisha akaandika ;"Roho Mkalia Moyo"

Ikumbukwe kuwa Hamisa kwa sasa yuko nchini Marekani katika tour  yake akiwa na msanii Christian Bella.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images