Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Vibaka wanusurika kifo Kijitonyama jijini Dar......

$
0
0
VIJANA wawili waliokuwa katika pikipiki aina ya Boxer wamenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali eneo la Kijitonyama baada ya kumpora dada mmoja mkoba.   Vibaka hao walifanikiwa kumpora dada huyo aliyekuwa akitembea kwa miguu akitokea Benki ya  Access katika maeneo ya showroom ya Akachube iliyopo Kijitonyama jijini Dar.   Wakati wa uporaji huo, alikuwepo msamaria mmoja

Picha kutoka Bungeni mjini Dodoma Leo......

$
0
0
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali ya wabunge wakati alipohitimisha hoja ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, bungeni mjini Dodoma Mei 9, 2014. Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda akiwa anaendesha kikao cha Bunge leo wakati wa majadiliano ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na TAMISEMI. Wabunge wakifuatilia mjadala ndani ya Bunge. Spika wa zamani ambaye pia ni

Wanafunzi 212 wa Uaskari chuo cha taaluma ya Polisi Moshi wafukuzwa baada ya kubainika kutumia Vyeti Feki

$
0
0
CHUO cha mafunzo ya taaluma ya Jeshi la polisi Moshi (MPA), kimewafukuzisha mafunzo jumla ya wanafunzi wa uaskari 212, kutokana na sababu za kughushi vyeti vya elimu ya sekondari.. Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Taaluma na Utumishi wa jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye katika kikao na waandishi wa habari kilichofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha mafunzo ya taluma ya

Freeman Mbowe atangaza baraza jipya la Mawaziri Kivuli....Baraza hilo kwa sasa linavihusisha vyama vya CHADEMA (25), CUF (11) na NCCR-Mageuzi (4)

$
0
0
 Kambi rasmi ya upinzani imetangaza baraza la mawazili kivuli katika wizara 29 ambao wanashika hatamu za uongozi kwa kipindi kilichobakia kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.    Akitangaza rasmi Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe amewataka viongozi walio teuliwa kutumikia vilivyo nafasi zao kwa maendeleo ya watanzania   Walioteuliwa ni

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amwagiza CAG na TAKUKURU wachunguze wizi wa mabilioni IPTL

$
0
0
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Escrow iliyokuwa imefunguliwa ndani ya Benki Kuu (BoT) kwa ajili ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).   Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema hayo jana

Steve Nyerere ampa ONYO Wema Sepetu....

$
0
0
MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Stive Nyerere’ ameibuka na kumuonya Wema Sepetu kupiga kazi na kuepuka umaarufu bila kazi. Nyerere amemtaka Wema aachane na skendo za kila kukicha kwani hazina maana kama kazi ya sanaa aliyoichagua kama njia ya kumuingizia kipato. “Kwanza nampongeza sana Diamond kwa tuzo zote alizopata kwa kuwa alistahili lakini Wema naye

Jackline Wolper: Wanaosema Kifo Cha Kanumba Kimeshusha Soko La Filamu Ni Waongo.

$
0
0
Muigizaji wa filamu mwenye jina kubwa nchini Jackline Wolper amesema kuwa watu wanaosema kuwa soko la filamu nchini limeshuka baada ya Kanumba kufariki ni waongo kwasababu kila mtu ana mashabiki wake na Kanumba hakuwa ameliteka soko peke yake.  Akizungumza katika The Sporah Show,Wolper alisema kuwa wanaosema hivyo itakuwa ni mashabiki wa Kanumba ndiyo maana baada ya kufariki

Dr Cheni aruhusiwa baada ya kulazwa kwa ugojwa wa Dengeu

$
0
0
Msanii wa filamu Dr Cheni ameruhusiwa jana  kutoka katika hospitali ya Buruhani jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kutokana kuugua na ugonjwa wa Dengeu. Kupitia Instagram  jana ameandika: Asanteni sana ndugu marafiki washabiki kwa dua zenu leo nimeruhusiwa sina cha kuwalipa, mungu atawalipa kwa sala (maombi) yenu amin”   Dr Cheni alilazwa May 6, mwaka huu baada ya kuugua na

INASIKITISHA:...Huyu ni binti aliyembukizwa Virusi Vya Ukimwi na Mwanamke Msagaji, na hapa anasimulia ilivyokuwa

$
0
0
Zuwena ( sio jina lake halisi ), ni mwanamke wa kitanzania mwenye umri wa miaka 43. Kwa sasa mwanadada huyu anaishi na virusi vya ukimwi. Mwanadada huyu anabainisha namna alivyo pata maambukizi ya VVU kwa kujamiiana na mwanamke mwenzake, ama kwa lugha nyingine, Zuwena anaeleza namna ambavyo mwanamke msagaji alimuambukiza v.v.u wakati wakiwa na uhusiano wa jinsi moja...  Fuatilia kisa hiki

Magazeti ya leo Jumapili ya tarehe 11 May 2014

$
0
0
Magazeti  ya  leo  Jumapili  ya  tarehe 11  May 2014

Ufafanuzi wa Serikali kuhusu taarifa ya kufukuzwa wakurugenzi wa Wizara ya Maliasili na Utalii.... " Prof. Alexander Songorwa na Prof. Jafari Kideghesho hawajawahi kufukuzwa kazi ama kuadhibiwa."

$
0
0
Serikali inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa na kutangazwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu Watumishi Waandamizi wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Alexander Songorwa ambaye ni Mkurugenzi, Idara ya Wanyamapori na Prof. Jafari Kideghesho, Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Matumizi Endelevu ya Wanyamapori. Kumekuwa na taarifa kwenye

Wazee wawili wafikishwa mahakamani kwa kosa la KUWALAWITI wanafunzi sita wa shule za msingi

$
0
0
Wazee wawili akiwemo mlinzi mmoja wa ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kulawiti wanafunzi sita wa shule za msingi zilizoko wilayani hapa. Waliofikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda, ni pamoja na Thomas Machugu (72) ambaye ni mlinzi na mkazi wa mtaa wa Saranga. Mwingine ni Salum Mfumbasi (66) ambaye ni

Nay wa Mitego aongea kuhusu kusambaa kwa picha ya mchumba wake akivishwa pete na ‘pedeshee’

$
0
0
Hatimaye Nay wa Mitego amezungumzia scandal iliyokuwa ikimhusu mchumba wake aitwaye Siwema ambaye mwezi uliopita ilisambaa video na picha kwenye mtandao wa Instagram inayomuonesha akivishwa pete na pedeshee. Maelezo kuhusu video/picha hizi yalisema: “Siwema demu wa Nay Wa Mitego amevalishwa pete ya uchumba na jibaba ( pedeshee ) linalomuweka mjini na ndilo lililomnunulia magari

UKAWA wapigwa marufuku Bunge la bajeti.

$
0
0
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema ni marufuku kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya shughuli zake ndani ya Bunge la Bajeti.   Alisema hayo juzi bungeni baada ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe kutangaza baraza kivuli la mawaziri na kusema hicho ndiko kikosi cha ukawa ndani ya Bunge.   Spika Makinda alimtaka Mbowe

Kijana Aua Wazazi Wake Wawili na Kuchoma Moto nyumba yao Mkoani Kilimanjaro

$
0
0
WANANDOA wawili wameuawa kinyama baada ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Yusuf Njau (32),  anayeaminika kuwa ni mtoto wa wanandoa hao, kuwacharanga kwa shoka kisha kuchoma moto nyumba  yao na kutokomea kusiko julikana.    Tukio hilo la kusikitisha na la aina yake limetokea juzi majira ya saa 12:30 jioni katika kijiji cha Masama-Roo,  Kata ya Machame Mashariki,wilaya ya Hai,

Huu ni Wimbo mpya wa Diamond ULIOVUJA jana na kauli ya msanii huyo baada ya wimbo huu uitwao ‘Kitorondo’ kuvuja....

$
0
0
Ugonjwa wa kuvuja kwa nyimbo ambazo hazijakamilika au muda wake wa kutoka haujafika umemkuta tena mshindi wa tuzo saba za KTMA, Diamond Platnumz. Wimbo huo uliopewa jina la ‘Kitorondo’ umesambaa jana katika baadhi ya  mitandao ya kijamii. Platnumz ametoa kauli kuhusiana na wimbo huo: “Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa

Habari NJEMA kwa wanaume na wanawake wenye MATUMBO makubwa ( VITAMBI )........Bofya hapa kulipunguza tumbo

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji  wa   dawa  mbalimbali  za  asili.   Tunayo  dawa  nzuri  ya  asili  inayo  ondoa  kitambi  na kulifanya  tumbo  lako  kuwa  flat  kabisa  ndani  ya  siku  kumi  na  nne. Dawa  ni  ya  asili  kabisa " Pure  Herbal", haijachanganywa  na  kemikali  yoyote  na  haina  side  effects  kwa  mtumiaji . BEI  YAKE  NI  SHILINGI  ELFU  

Mwilli wa mtu waokotwa mto Mzinga,Kongowe jijini Dar

$
0
0
Mwili wa mtu huyo ukielea kwenye maji ya mto Mzinga. Mwili baada ya kutolewa nje kabla ya kuzikwa na jiji. ************ Mwili wa mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake umenaswa ukielea ndani ya Mto Mzinga maeneo ya Kongowe jijini Dar es Salaam.....   Mwili wa mtu huyo ulipatikana baada ya wakazi wa eneo hilo kudai kuwa harufu kali ilikuwa ikitoka eneo hilo na ndipo

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 12 May 2014

$
0
0
Magazeti  ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  12  May  2014

Daktari Bingwa wa magonjwa ya akili nchini afariki dunia kwa ugonjwa wa Dengue

$
0
0
DAKTARI wa Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam, Dk. Gilbert Bubelwa, amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuugua ugonjwa wa homa ya Dengue. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho jana kwa njia ya simu, Msemaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Aminiel Algaeshi, alisema daktari huyo ambaye alilazwa hospitalini hapo tangu Alhamisi ya wiki iliyopita,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images