Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri aomba radhi kuvuja kwa picha zake za ngono

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Afrika ya Kusini , Malusi Gigaba ameomba radhi mara baada ya video yake ya ngono kuvuja mtandaoni.

Waziri Gigaba amesema kuwa video hiyo ilirekodiwa kwa ajili ya matumizi binafsi ya yeye na mke wake ambapo video hizo zilivuja mara baada ya simu yake kudukuliwa na wahalifu wa mtandaoni mwaka jana.

Amesema video hiyo ilianza kusambaa mara baada ya wahalifu hao wa mtandaoni kumtaka atoe kiasi cha fedha alipochaguliwa kuwa Waziri wa fedha mwaka 2017.

Tayari taarifa juu ya wahalifu hawa zipo mikononi mwa sheria, hivyo uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika.

Gigaba ameomba radhi kwa umma pamoja na familia yake hasa watoto wake, mama yake na mama mkwe wake kwa machungu na aibu kali aliyoisababisha kutokana na kusambaa kwa video yake akiwa faragha.

“Mke wagu na mimi tumesikitishwa na video hiyo ya ngono ambayo tulikuwa tuione sisi wawili tu kwani mawasiliano yangu ya simu yalidukuliwa mnamo 2016/17 na sasa inazungushwa miongoni mwa wanasiasa.

“Nachukua fursa hii kuomba msamaha kwa watu wengine wa familia yangu, hususan wanangu, mama yangu na wakwe zangu na wananchi wa Afrika Kusini kwa matatizo yatokanayo na jambo hili,” amesema Gigaba.

Katika video hiyo ya sekunde 13, Gigaba yuko peke yake akichezea uume wake kwa mkono na akisema: “Fikiria hiki kingekuwa mdomoni mwako.”

TCRA Yatoa ONYO Kwa Wanaosambaza Picha na Video za Ngono Mitandaoni

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya October 30

Rais Magufuli amteua Prof. Humphrey Mushi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ushindani- FCC

Video Mpya: Motra The Future ft. Marleen - Unikumbuke

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Motra The Future anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao Unikumbuke ambao amemshirikisha Marleen.

 Itazame hapo chini

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya October 31

Makamu wa Rais: Msichague Viongozi Mazezeta Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa 2019

$
0
0
Na Mwamvua Mwinyi,kibaha
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Samia Suluhu amewataka wananchi wa Kibaha Mjini Mkoani Pwani ,wajipange kuchagua viongozi wepesi kufuatilia maendeleo na kwenda mbio badala ya kuchagua mazezeta na mananga ,katika uchaguzi unaokuja wa serikali za mitaa- 2019.
 
Akihitimisha ziara yake ya siku sita mkoani hapo katika mkutano wa hadhara ,Mailmoja Samia aliwasihi wasichague watu wazito,wezi na mafisadi bali waweke viongozi watakaojenga Kibaha .
 
“Wanasema mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe ,mimi nikija ninaona kasoro zilizopo nitakwambieni kuna kasoro lakini warekebishaji ni nyinyi na viongozi mtakaowachagua “;:
 
“Mkichagua wazuri wataondosha kasoro zilizopo haraka lakini mkichagua wazito na mananga hapa yatazama tuu chini kunyanyuka hayanyanyuki ,kutembea hayatembei “alisisitiza Samia .
 
Akizungumzia suala la ardhi anasema”:; Wakati napita ,mheshimiwa mkuu wa mkoa alinionyesha eneo kubwa halina kitu chochote nikamwambia mnataka manispaa ,lakini mbona eneo hili mwitu mtupu hakuna kuendelezwa akaniambia linamilikiwa na taasisi fulani “
 
Aidha ,ameitaka wilaya na halmashauri ya Mji huo kukaa chini na taasisi ambazo zimehodhi maeneo bila kuyaendeleza katika kipindi kirefu ili ziweze kuingia ubia  .
 
Awali Mbunge wa jimbo la Kibaha Mjini ,Silvestry Koka aliomba mji huo upandishwe hadhi na kuwa manispaa kama vigezo vinaruhusu.
 
Alitaja changamoto zinazowakabili kuwa ni ,usambazaji wa maji kwenda kwa wananchi unasuasua kasi iongezwe kwani mji unakua ila maji hayajawafikia .
 
” Eneo la Tamco-Mapinga zaidi ya miaka mitano wapo wananchi walifanyiwa tathmini lakini hawajalipwa fidia zao ,tunaomba utusaidie wananchi hawa waweze kufaidika na fidia hizo”alielezea Koka.
 
Koka alitaja tatizo jingine ni ucheleweshaji wa nishati ya umeme , kasi ni ndogo kufika kwa baadhi ya maeneo na wawekezaji ,ameomba uwafikie maeneo yaliyo katika miradi mbalimbali inayoendelea kutekelezwa.
 
Akijibu changamoto hiyo, Naibu waziri wa nishati ,Subira Mgalu alisema , kupitia serikali ipo sheria iliyoanzisha wakala wa nishati ya umeme vijijini lakini maeneo ya miji sheria ile ilikuwa huwezi kufanya miradi ya umeme mijini.
 
“Serikali ya awamu ya tano kwa makusudi mazima iliona miji ifaidike na raslimali zinazopatikana kwenye mfuko wa umeme vijijini na kwa maelekezo yenu tulibuni mradi wa Peri Urban”;alifafanua Subira.
 
Subira alisema ,kiasi cha sh. bilioni 82 zimetengwa kwa ajili ya mradi huo na sasa hatua iliyopo ni kumpata mkandarasi ili mradi uanze kazi .
 
Aliwahakikishia wananchi ambao hawana umeme katika kata ya Mailmoja ,Viziwaziwa,Pichandege ,Pangani, Misugusugu ,Sofu watanufaika na mradi huo .
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ramadhani Maneno, alisema Pwani ipo salama na ushindi ni lazima ,iwe jua iwe mvua uchaguzi ujao wa serikali za mitaa atahakikisha wanashinda

Serikali Yayataka Vibali Vya Ujenzi Kutolewa Ndani Ya Siku Tatu

$
0
0
Na Munir Shemweta, Dodoma
Serikali imezitaka halmashauri zote nchini kuhakikisha zinatoa vibali vya ujenzi wa nyumba ndani ya siku tatu na kazi hiyo isimamiwe na Maofisa Mipango Miji.

Aidha, imesisitiza kuwa zoezi la urasimishaji katika maeneo yaliyojengwa nyumba kiholela lazima yarasimishwe na zoezi hilo halitakiwi kubomoa nyumba ya mtu yoyote.

Kauli hiyo imetolewa jana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi wakati akifungua mkutano wa tano wa Bodi ya Wataalamu wa Usajili Mipango Miji unaoendeleo katika jiji la Dodoma.

Lukuvi alisema vibali vya ujenzi wa nyumba katika maeneo mbalimbali lazima vitolewe aidha katika eneo lililopangwa ama lisilo pangwa na cha msingi serikali inachotaka ni kuwa na majengo yaliyo katika mpangilio mzuri na kuongeza kuwa ucheleweshwaji wowote utoaji kibali lazima mhusika afahamishwe sababu za kucheleweshewa kupatiwa kibali.

Kwa mujibu wa Lukuvi lengo la Maofisa Mipango Miji kupewa mamlaka ya kutoa vibali vya ujenzi badala ya wakuu wa idara wa halmashauri husika linatokana na baadhi yake kuongozwa na watu wasiokuwa na taaluma za mipango miji jambo linaloweza kuvuruga upangaji miji bora kwenye maeneo.

Pia ametaka nakala za vibali vya ujenzi vitakavyotolewa na kuhakikisha nakala hizo za vibali zinaenda pia katika ofisi za maafisa watendaji wa mitaa kwa kuwa watendaji hao wanapaswa kufahamu ujenzi unaoendelea katika maeneo yao.

Lukuvi ameitaka Bodi ya Usajili Mipango Miji kuandaa muongozo utakaosaidia watendaji wa mitaa kuwa na ufahamu katika kusimamia mipango ya uendelezaji miji jambo litakalosaidia pia kuepuka   ujenzi holela katika baadhi ya maeneo.

Akigeukia suala la urasimishaji maeneo yasiyopimwa, Lukuvi alisema pamoja na zoezi hilo kufanyika nchi nzima lakini hakuna nyumba itakayovunjwa katika zoezi hilo na kutaka makampuni yote yatakayotaka kufanya kazi ya urasimishaji kutuma maombi yao kupitia ofisi za wilaya na kuacha kuenda moja kwa moja kufanya kazi hiyo kupitia kamati maalum za maeneo husika na kusisitiza kuwa zoezi hilo lazima liratibiwe na Maofisa Mipango Miji.

Katika hatua nyingine, Lukuvi amepiga marufuku upimaji mashamba katika maeneo mbalimbali bila ya kupangwa na kubainisha kuwa serikali haitakubali kadhia hiyo iendelee kushamiri kwani suala hilo linafanya miji kukosa maeneo ya wazi, mashule, masoko na hospitali.

Salfonce Kesi Mtafiti na mwalimu katika Chuo cha Ardhi alisema, kwa sasa mambo mengi ya upangaji miji katika maeneo mbalimbali nchini hayaendi vizuri kutokana na mipango kufanywa na watu wasio na taaluma ya mipango miji.

Alisema, ni lazima suala la mipango miji katika maeneo lianze ndipo mipango mingine ya maendeleo iendelee kama vile huduma za maji, barabara pamoja na huduma nyingine za jamii.

Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili Mipango Miji Profesa Wilbert Kombe alisema bodi yake imeanza kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha taaluma ya Mipango Miji inakuwa na wataalamu wanaozingatia sheria na kuchangia kuwepo miji bora na iliyopangika na kubainisha kuwa mahali popote sura ya miji ndiyo inayotoa taswira ya maisha ya eneo husika.

Waziri Mkuu Aagiza Eneo La Kiomoni Litathminiwe.....Ni baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wanancho juu ya kutoridhishwa na fidia

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema atamuagizaMthamini Mkuu wa Serikali Bibi. Evelyne Mugasha kwenda katika Kata ya Kiomoni kufanya tathmini ya ardhi ya wananchi ili kubaini thamani halisi ya maeneo hayo ili wananchi waweze kufidiwa.

Hatua hiyo inakuja baada ya wananchi hao kumlalamikia Waziri Mkuu kuhusu kutoridhishwa na fidia ya maeneo yao yaliyochukuliwa na kampuni ya Neelkanthinayomiliki kiwanda hicho cha kuzalisha chokaa.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana jioni (Jumanne, Oktoba 30, 2018) wakati akizungumza na wananchi wa kata ya Kiomoni katika mtaa wa Kiomoni wilayani Tanga akiwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani Tanga.

Alisema atamtuma Mthamini Mkuu aende kubaini nani anadai nini na anamiliki nini ili atoe kibali cha ulipwaji ili muwekezaji aweze kupewa kibali cha kuwalipa fidia yao.”Tunataka jambo hili liishe kabla ya mwishoni mwa mwaka huu kila kitu kiwe kimekamilika na hakuna mwananchi hata mmoja atakayepoteza haki yake ya msingi.”

Waziri Mkuu aliongeza kuwa uwekezaji huo ni muhimu kwa kuwa ni sehemu ambayo viwanda mbalimbali vya saruji nchini vinategemea kwa kupata malighafi, hivyo alimpongeza muwekezaji na kumshauri aongeze uzalishaji kadiri anavyoweza.

Alisema wawekezaji katika sekta ya viwanda ni muhimu kwa sababu wanaunga mkono mkakati wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli ya kukuza uchumi kutoka wa chini hadi wa kati ifikapo 2025 kwa kupitia sekta ya viwanda.

Alisema fursa ya uwepo wa kiwanda hicho utawezesha kukuza uchumi Taifa na wananchi kwa ujumla kwa sababu kiwanda kitakapokamilika kitatoa ajira ya watu zaidi ya 2,000 wakiwemo wakazi wa eneo hilo.

Wakati huo huo, Waziri Mkuu alimuagiza Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Bw. Thobias Mwilapwa Mkinga leo (Jumatano, Oktoba 31, 2018) akutane na wananchi wa kijiji hiko na kusikiza kero mbalimbali zinazowakabili na kushirikiana nao katika kuzipatia ufumbuzi.

Waziri Mkuu alisema Serikali imeelekeza nguvu kubwa katika kuwatumikia wananchi na kutatua kero zao, hivyo itasimamia kuhakikisha kila mtumishi anawajibika kwa kiwango kinachostahili, ambapo aliwataka viongozi wa wilaya hiyo kwenda kwa wananchi.

“Watendaji hamuendi kuwatembelea wananchi na kusikiliza matatizo yao, haiwezekana wawe wanawasubiri viongozi wa juu na kuwasilisha kero zao, sasa jipangeni haya mabango yote mtakuja kuyajibu kwa sababu hoja zote ni za ngazi ya halmashauri,” alisema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATANO, OKTOBA 31, 2018.

Wimbo Mpya wa Godzilla - My Lamborghini Doors

$
0
0
Msanii wa muziki wa hip hop Bongo, Gozilla anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao My Lamborghini Doors. Itazame hapa.

Video Mpya ya Victoria Kimani - Highest Calibre

$
0
0
Msanii wa muziki kutoka nchini, Victoria Kimani ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao Highest Calibre. Itazame hapa

Video Mpya: Hasanoo - Taa ya upendo

$
0
0
Video Mpya: Hasanoo - Taa ya upendo

Video Mpya: Martha Mwaipaja - Nalifurahia. Itazame Hapa

$
0
0
Msanii Wa Nyimbo Za Injili Nchini Martha Mwaipaja ametoa Video Mpya ya Wimbo Wake Uitwao Nalifurahia.utazame Hapa

TRA Wafunguka na Kutoa Ufafanuzi Kuhusu Habari ya “Madudu yaibuka TRA” Iliyochapishwa na Gazeti la Tanzania Daima

$
0
0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu habari zilizochapishwa katika Gazeti la Tanzania Daima la tarehe 26 Oktoba, 2018 toleo namba 4979 na toleo namba 4982 la tarehe 30 Oktoba, 2018 zenye vichwa vya habari “Madudu yaibuka TRA” na “Barua za madudu TRA zavuja”. Habari inayofanana na hizi, ilisambazwa pia katika baadhi ya Mitandao ya Kijamii ikiwa na kichwa cha habari "PCCB Tanzania, to investigate the two tax collectors TRA and ZRB". 
 
Habari hizi zinadai kuwa, Mfumo wa Ulipaji Kodi kwa Njia ya Kielektroniki – Electronic Revenue Collection System (e-RCS) umezimwa na kuhujumiwa na baadhi ya Maofisa wa Serikali kwa lengo la kujinufaisha na kuzorotesha juhudi za ukusanyaji mapato ya Serikali.
 
Ukweli ni kwamba, mfumo huo haujahujumiwa wala kuzimwa isipokuwa kuna maboresho ya kiufundi ambayo yanaendelea kufanyika ili kuhakikisha kuwa, unakidhi malengo yaliyokusudiwa. 
 
Katika kipindi hiki ambacho maboresho yanaendelea kufanyika, Kampuni za Simu pamoja na Benki mbalimbali zinaendelea kulipa kodi kwa mujibu wa sheria na hakuna upotevu wowote wa mapato kama ilivyoripotiwa na Gazeti la Tanzania Daima na baadhi ya Mitandao ya Kijamii.
 
TRA inapenda kuuhakikishia umma kwamba, hakuna Ofisa yeyote wa Serikali mwenye nia ya kuhujumu mfumo huo kwa lengo la kujinufaisha na kuzorotesha juhudi za Serikali za ukusanyaji wa mapato. 
 
Mamlaka ya Mapato Tanzania inatoa wito kwa vyombo vya habari, wachapishaji, wahariri na waandishi wa habari kufanya utafiti wa kina kabla ya kuandika habari na kuzingatia weledi wakati wote wanapotimiza majukumu yao ili kuepuka upotoshaji. 
 
“Pamoja Tunajenga Taifa Letu”

Imetolewa na:

Richard M. Kayombo
MKURUGENZI WA HUDUMA NA ELIMU KWA MLIPAKODI

Kutana na Shekhe Yassin....Mtabiri wa Nyota, Pete za Bahati, Mimba Kutoshika au Mimba Kuharibika

$
0
0
Whatsap 0743313580....KUTANA NA SHEKHE YASSINI SAIDI
Ni Shekhe aliyejaaliwa karma nyingi kutoka kwa Allah Mwenye uwezo kutatua shida mbali mbali ziwapatazo wanadamu.


Anatibu na kuponya shida mbalimbali zilizo shindikana kwa wanadamu  na kwauwezo wa Allah atakutatulia shida zako inshaalah

Shekhe yassini Saidi anatibu kutumia qur an na rukaiyah pamoja na dawa za kiarabu na za kiafrika


Je? Una Mpenzi,mchumba,mume,mke, aliye kuacha na anaishi na MTU mwingine au anakuahidi ahadi alafu hatekelezi ahadi zake 


SHEKHE YASSINI SAIDI atakusaidia
 @shekhesaidiyasini anatumia picha, au jina la muhusika na kumaliza tatizo lako.

SHEKHE YASSINI SAIDI Anatafsiri ndoto kushinda bahati nasibu, nyota,mvuto wa mwili, Miliki Pete Yabahati Kutoka Falme Kuu bila Masharti Yoyote.

Pia kwa wenye tatizo la uzazi kutoshika mimba au ukishika mimba inaharibika tatizo la nguvu za kiume
Muone @shekhesaidiyasini inshaalla kwa uwezo wake Allah atakusaidia. 


Malipo Nikama Sadaka Na Utalipa Baada Ya Mafanikio.
Wasiliana nami
@shekhesaidiyasini
Whatsapp no +255 743 313 580
Piga no +255 743 313 580
Tigo +255 653 67 1650
Airtel 0683697810

Tromex Power : Dawa Bora Na Imara Ya Nguvu Za Kiume

$
0
0
TROMEX POWER DAWA BORA NA IMARA ya   NGUVU ZA KIUME; Baada ya kufanyiwa utafiti na majaribio sasa imeingia sokoni 

Habari njema kwa tanzania pamoja na africa nzima mkombozi wa ndoa yako ni dawa anbayoitwa TROMEX. 

Dawa hii imeonyesha uwezo wa hali ya juu katka kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ,dawa hii ni mpya na inapatikana katika clinic yetu 

Dawa hii ni dawa ya asilia ya mitishamba,mwaka juzi tuliipeleka nchini Ghana kwa ajili ya utafiti  katika utafiti ilishindanishwa na dawa zingine 4 kutoka nchi kenya, Uganda, msumbiji, pamoja na kongo, na imeonyesha asilimia 92 imeonyesha inauwezo mkubwa wa kutibu tatizo kwa mda mfupi sana 

Katika utafiti huo watu 1839 ambao walikuwa legelege walipewa dawa hii kwa ajili ya majaribio,baada ya kuitumia watu 1792 walipona kabisa na sasa wanaweza kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 kwa wakati mmoja na watu 38 hawakupona kabisa pia watu 9 hawakurudi kuleta majibu 

Dawa hii ukiitumia itakufanya uwe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha

Dalili za upungufu wa nguvu za kiume ni kushindwa kurudia tendo la ndoa...Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa....Korodani moja kuvimba,tumbo kuunguluma na kujaa gesi, pia inazalisha homons za uzazi kwa mwanaume ambaye mbegu zake za uzazi ni nyepesi ambazo hazina virutubisho vya kuweza kumzalisha mwanamke 

Pia inauwezo wa kufanya maumbile yawe marefu kama yameingia ndani na kuwa mafupi sana, pia inatibu magonjwa zaidi ya 6 

Itumie sasa dawa hii inapatikana katika Clinic yetu iliyopo Kawe DAR mikoani tunatuma kwa njia ya mabasi 

Ukiwa nje ya nchi tunatuma kwa njia ya EMS ..maelezo zaidi 0756726865/ 0716096205 au tembelea    www.kihembehebalist.blogspot.com

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
(1).Fikiria ulianzia wapi? Je,ulifanikiwa au bado?

(2).Upo tayari kupona kwa haraka?

TIBA ZITOLEWAZO NI,

NGORO 4 POWER; Huongeza nguvu za kiume yenye mfumo wa unga na vidonge dozi siku(6).

MELAMELA; Hurefusha na kunenepesha uume ipo katika mfumo wa unga dozi siku (4).

KASELA; Hurudisha mke,mme,mchumba na hawara ndani ya siku mbili tu,atatimiza mahitaji yote hata Kama yupo mbali na kumfunga asiwe na mtu mwingine.

IKUMBUJA; Humfanya mtu  kupandishwa cheo kazini na kulipwa madeni au mafao yako pia na kumaliza kesi kabisa.

DUDUMA; Huongeza hips,makalio na mguu wa bia.

SWASWA: Hupunguza maziwa makubwa, kitambi, nyama uzembe, michirizi na muwasho sehem za Siri,na harufu mdomoni.

KOOLA;Hutibu magonjwa sugu ya zinaa, tumbo kujaa gesi,kuuma chini ya kitovu, kiuno ,fangasi za miguu, na kuvimba miguu au miguu kuwaka Moto.

Kwa hayo na mengineyo mfatilie DR.HINDU kwani ana uwezo wa kuhudumia ndani na nje ya TANZANIA.Kwa Dar es salaam anapatikana BUGURUNI MALAPA pia KAHAMA anapatikana MARUNGA.

Kwa wasio na mda wa kufika ofisini kwangu Nina vijana wa kukuletea mpaka ulipo kazini ama nyumbani kwako.

OFISI ZINAFUNGULIWA SAA 07 :00 ASUBUHI.

CONTACTS 0744 922 982(WhatsApp), 0716608959.

  "WOTE MNAKARIBISHWA".DR   HINDU NI SULUHISHO LAKO.

Zitto aitwa polisi kuthibitisha madai ya mauaji ya watu 100 Kigoma

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limemtaka mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe kuwasilisha vielelezo vya madai  yake kuwa yametokea  mauaji eneo la Nguruka wilayani Uvinza mkoani humo na watu 100 kupoteza maisha.

Jumapili iliyopita Oktoba 28,2018, Zitto alizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kudai kuwa takribani siku 10 zilizopita yalitokea mauaji hayo na taarifa alizonazo ni kuwa watu  zaidi ya 100,  wakiwamo polisi walikufa.

Jana Jumanne, Oktoba 30, 2018, Kamanda wa polisi mkoani Kigoma, Martin Ottieno alizungumza na waandishi wa habari na kusema tuhuma alizotoa Zitto hazina ukweli wowote.

Alisema  hakuna  watu 100 waliouawa na kusisitiza kuwa ni upotoshaji unaofanywa na wanasiasa.

“Hakuna watu mia moja waliouawa. Tunamtaka Zitto aonyeshe vielelezo vya hayo anayosema au aje atuonyeshe makaburi ya watu hao anaosema wameuawa Kigoma, ”alisema Ottieno.

Kamanda huyo amewataka  wanasiasa kuchukua tahadhali  kwa taarifa wanazopewa na watu mbalimbali kabla ya kuzisambaza ili kuepuka kupotosha jamii.

Alichokisema Msanii Harmonize kuhusu kuachana na mpenzi wake, Sarah

$
0
0
Msanii Harmonize amefunguka iwapo ni kweli ameachana na mpenzi wake, Sarah.

Harmonize akipiga stori na Wasafi TV amesema hilo si la kweli bali Sarah amesafiri kwenda Italy ndio sababau hawaonekani pamoja kwa sasa.

"Pia amesafiri yupo Italy muda kidogo, so nadhani ndio sababu hatupo pamoja," amesema Harmonize.

Harmonize amekuwa na mahusiano na Sarah kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja na nusu mara baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake, Jackline Wolper.

Picha ya Ommy Dimpoz, Zari Yazua Gumzo

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimponz amekutana na Zari The Bosslady nchini Afrika Kusini.

Bado haijajalikana iwapo Zari na Ommy Dimpoz walikutana location kwa ajili ya kutengeza video ya msanii huyo, hilo ndilo swali lililoko vichwani mwa mashabiki wengi kwa sasa.

Zari ambaye anaishi Afrika Kusini ndiye ame-share picha hiyo kwenye Insta Story ikionyesha yupo pamoja na muimbaji huyo.

Zari ni mzazi mwezie na Diamond Platnumz ambaye urafiki wake na Ommy Dimpoz uliingia doa miaka ya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images