DIVA wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameziomba mamlaka
zinazosimamia maadili ya filamu nchini ziwaruhusu wasanii waigize nusu
uchi ili kuendana na soko la kimataifa.
Akitetea
hoja yake mbele ya mwandishi wetu, staa huyo aliyeitendea haki filamu ya
Foolish Age alitolea mfano Tamthiliya ya Shuga iliyomtoa Lupita Nyong’o
ambayo alicheza akiwa nusu utupu.
“Wanasema
Lulu iataka BASATA na mamlaka zingine ziwaruhusu waigize wakiwa nusu Uchi ili kuendana na soko la kimataifa.
↧
↧
Wema Sepetu na Diamond wamfanyia Visa Jokate.....Wapigana denda mbele yake, Jokate ajificha
WAKATI msanii wa kizazi kipya anayefanya vizuri kwa sasa na kujizolea tuzo 7 alizokuwa anawania kupitia Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2014, Naseeb Abdul 'Diamond akiibuka shujaa Mlimani City jijini Dar ambako hafla hiyo ya utoaji tuzo ilifanyika, usiku huo ulikuwa mbaya kwa mpenzi wake wa zamani,Jokate Mwegelo ambaye huenda alijuta kufika
↧
Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015....Wasema hawezi kushiriki uchaguzi huo bila ya mgombea binafsi au matokeo ya Rais kupingwa mahakamani
Serikali imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia
Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza
kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo utafanyika bila kupatikana
kwa Katiba Mpya la sivyo Kambi Rasmi ya upinzani haitashiriki.
Hayo yalielezwa jana na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya
Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe alipokuwa akitoa hotuba ya kambi
↧
Video Mpya : Jose Chameleone – Gimme Gimme
↧
Mtanzania mwingine akamatwa Airport Nairobi akiwa na mzigo wa dawa za kulevya wenye thamani ya Milioni sh.24
Mwanaume mmoja Mtanzania amekamwata katika uwanja wa kimataifa wa
Jomo Kenyatta Nairobi Kenya akiwa amebeba dawa za kulevya akiwa njiani
kuelekea Antananarivo ambapo mzigo huo ulitokea Tanga kisha ukapita
Mombasa na baadae kwa ndege mpaka Nairobi.
Mzigo wenyewe ni wa cocaine na Heroin ambazo zote zina thamani ya
zaidi ya shilingi milioni 24 za Kitanzania na dawa hizo alikua
↧
↧
Picha 10 za Mahabusu waliovua nguo na kung'ang'ania mlingoti wa bendera ya taifa kushinikiza kesi zao kusikilizwa haraka
Inspector Henry akiwasihi
mahabusu hao wawili wanaotuhumiwa kwa kesi za mauaji, kuachia mlingoti
wa Bendera ya Taifa na kurudi kwenye chumba cha mahakama kwaajiri ya
taratibu za kesi.
*********
Matukio ya ajabu yanayofanywa na mahabusu wanaoshinikiza kesi zao
kusikilizwa haraka ikiwa ni mbinu wanazoamini zitasaidia katika kile
wanachoeleza kuwa ni kudai haki zao yanaendelea kuonekana
↧
Picha kutoka Bungeni mjini Dodoma Leo.....
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiteta jambo na Mbunge wa Urambo na Waziri wa
Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Samuel Sitta, bungeni mjini Dodoma
leo Mei 8, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza jambo na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, bungeni mjini Dodoma leo Mei 8, 2014.
Mbunge wa Viti Maalum Pauline Gekul akiwa Bungeni.
Naibu Spika wa Bunge,
↧
Ufuska Bongo Movie wamkosesha dili Nora.....
MWANADADA wa muda mrefu kwenye sanaa ya uigizaji amejikuta katika
wakati mgumu baada ya kukosa dili za kazi za maana kutokana na tabia za
kifuska kwa baadhi ya wasanii wa kike wa Bongo Movie.
Akiongea nasi, Nora alisema amekuwa akitembelea katika ofisi mbalimbali na kila anapojitambulisha kwamba ni msanii wa filamu watu wanashtuka
na sehemu nyingine anakosa dili za maana kutokana na
↧
Maimartha awauzia mastaa dawa za kukuza makalio.....
MTANGAZAJI aliyepata kuwika katika vituo mbalimbali
vya runinga Bongo, Maimartha Jesse, amedaiwa kuwauzia mastaa wa mjini
dawa za kuongeza makalio.Habari za moto kutoka kwa chanzo cha kuaminika,
zinasema kuwa Maimartha ambaye pia huitwa Mai amefikia hatua hiyo baada
ya yeye kutumia na kufanikiwa.
“Hamshangai siku hizi kila staa anaonekana kuwa na makalio makubwa?
Ni kazi ya Mai hiyo
↧
↧
Bob Junior akanusha tetesi za gazeti la udaku kuwa amemloga Diamond...."Niupumb***vu kuandika kitu kama hicho, nimekasirika sana"
Msanii wa muziki na producer wa Sharobaro Record, Bob Junior
amekanusha habari zilizoandikwa na gazeti moja la udaku kuwa
anamloga Diamond.
Amesema hawezi Kufanya kitu kama hicho na Diamond atabaki kama Diamond na yeye kama yeye.
“Niupu…vu kuandika kitu kama hicho, nani mambo ya ki..nge,mimi
nimekasirika sana,huwezi andika kitu kama hicho. Hivi mimi naweza
nikamloga Diamond,
↧
Exclusive interview: Jaqueline Wolper aongelea kuhusu kubadili dini, kuachana na usagaji
Ni muda mrefu kidogo baada mwigizaji Mtanzania Jaqueline Wolper kutosikika akiyatoa ya moyoni kuhusu yote yaliyompata kwenye miezi
iliyopita na kumfanya amiliki sana headlines za magazeti, blogs, website
pia facebook na twitter huku wengi wakiwa na hamu ya kusikia
akiyaongelea.
Kwenye Exclusive interview na mtangazaji Sporah wa The Sporah show,
Jack amekanusha kwamba yeye ni
↧
Shaa, mkali wa "Sugua Gaga " afunguka kuhusu siri ya Uzuri wake na mambo mengine kibao.... "I have many pair of shoes and sometime huwa navigawa kwa ndugu zangu"
Ni mmoja kati ya wasanii wa kike wanaofanya poa sana katika music
industry hapa Tanzania na kupelekea kupata fans wengi kila kukicha, hapa
anatuelezea style
1.Unaweza ukatuelezea kuhusu style zako?
Napenda kujiweka simple katika mwili wangu bila kuwa na vikorokoro kibao may be utanikuta na miwani, saa na hereni na kama ni nguo napenda kuvaa different styles it depend na wapi
↧
Askofu wa Kanisa la KKKT lililolipuliwa bomu jijini Mwanza atoa kauli nzito...."Tunalaani kitendo hicho kilichofanyika kwenye eneo la Kanisa letu"
Miongoni mwa habari kubwa wiki hii ni hii ya
bomu kulipuliwa kwenye kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT)
Mwanza ambapo lilijeruhi mtu mmoja alielazwa hospitali ya Bugando.
Mkuu wa dayosisi Askofu Andrew Gulle anasema: "May 5 2014 bomu
limelipuka katika usharika wa kanisa kuu Imani kwenye eneo la rest house
saa mbili usiku, ni bomu la kutengenezwa kwa mkono na lilikua
↧
↧
Magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 9 May 2014
↧
Wema Sepetu anasa ushahidi Kajala kumuibia bwana.....Team Wema wafanya umafia, wanasa meseji za kimapenzi....Wema ageuka Mbogo
Unaweza ukaficha siri na ukaamini hakuna atakayejua bila kukumbuka
kuwa hakuna siri ya watu wawili! Hatimaye Wema Isaac Sepetu amenasa
ushahidi wa aliyekuwa rafikiye kipenzi, Kajala Masanja wa kumwibia
aliyekuwa bwana’ke, Clement au CK.
MIL. 13 KISINGIZIO TU Habari za mjini kwa wiki
nzima ni kusambaa kwa ujumbe mfupi (SMS) za kimapenzi za Kajala na CK
ambazo sasa zimefunua kisa
↧
Vyuo vitano vyabainika kutoa mikopo hewa kwa wanafunzi....Wanafunzi hao ni wale walio feli na wengine kuahirisha masomo
Mdhibiti
na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amebaini kuwapo kwa
wanafunzi wanaopatiwa mikopo katika vyuo vitano nchini licha ya kufeli
au kuahirisha masomo yao.
Kwa mujibu wa taarifa ya CAG ya ukaguzi wa Mashirika ya Umma kwa mwaka
wa fedha 2012/13, mikopo ya kiasi cha Sh. milioni 201.5 ilitolewa kwa
wanafunzi hao.
Taarifa hiyo imevitaja baadhi ya vyuo na kiasi cha fedha
↧
Rais Kikwete awapa rambirambi Wanigeria.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametoa salamu
za rambirambi na pole nyingi kwa Rais wa Jamhuri ya Nigeria Mheshimiwa Goodluck
Jonathan na wananchi wa Nigeria kufuatia mfululizo wa vitendo vya ugaidi
ambavyo vimepoteza maisha ya maelefu ya wananchi wa nchi hiyo na kutekwa nyara
kwa mamia ya watu wakiwemo wanafunzi wa kike wa sekondari.
Katika
↧
↧
Dereva wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida afariki dunia akifanya mapenzi Gesti na mhudumu wa baa
Dereva wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Juma
Juma (52), amefariki dunia wakati akifanya mapenzi kwenye nyumba ya
kulala wageni akiwa na mwanamke ambaye imedaiwa ni mhudumu wa baa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela
alisema tukio hilo lilitokea Mei 3, saa 4:00 usiku chumba kwenye Na.
S.2 cha nyumba ya kulala wageni ijulikanayo kwa jina la Top Life
↧
Dereva wa basi la Summry aliyesababisha vifo ya watu 19 mkoani Singida AKAMATWA....Tundu Lissu aahidi kutoa msaada wa Kisheria
JESHI
la Polisi mkoa wa Singida limefanikiwa kumkamata dereva wa basi la
Summry T.799 BET, Paul Njilo mkazi wa jijini Dar-es-salaam aliyegonga
askari polisi wanne na wananchi 15 na kusababisha vifo vyao.
Ajali
hilo ilitokea Aprili 28 saa 2.45 usiku katika babara kuu ya
Singida-Dodoma eneo la kijiji cha Utaho tarafa ya Ihanja wilaya ya
Ikungi mkoani Singida.
Kamanda
wa Jeshi la
↧
Basi la Dar Express lapata ajali eneo la Wami
↧
More Pages to Explore .....