Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Dawa Lishe Ya Kuongeza Na Kunenepesha Mwili

0
0
Je  umekonda  na  kudhoofu  mwili  wako  kwa  sababu  ya  kuugua  maradhi  mbalimbali  au  kwa  sababu  ya  msongo  wa mawazo  ?

Unataka  kurejesha   mwili  na  afya  yako  katika  hali  yake  ya  awali ?  Kama  jibu  lako  ni  NDIO  basi  HII  NI HABARI  NJEMA  SANA  KWAKO.

Tunayo  DAWA  LISHE  YA  ASILI  ambayo  inasaidia  kurejesha   afya  na  mwili  wa  mtu  alie  dhoofu    kwa sababu  ya kuugua  magonjwa  na  maradhi  mbalimbali  au  kwa  sababu  ya  msongo  wa  mawazo.

Dawa  hii  ya  asili  itarejesha  afya  na  mwili  wako  ndani  ya  muda  wa  siku  thelathini.

Na  kama  wewe  ni   MWEMBAMBA   na  unataka   KUONGEZA  MWILI  na  KUNENEPA  basi  DAWA  LISHE  hii ndio  JAWABU  LAKO.  Dawa  hii  itafanya  mwili  wako  uongezeke  na  kunenepa  ndani  ya  siku  thelathini.

Ni  dawa  ya  asili  kabisa ( pure  herbal ) isiyo  na  kemikali  yoyote  ya  viwandani  na  inapatikana  kwa  gharama  utakayo weza  kuimudu.

Kupata  dawa  hii  fika  katika  duka  la  NEEMA  HERBALIST  linalo patikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA  jirani na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL   HOUSING.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba    0766  53  83  84    au  0693 00 51 89

Kwa  wateja  wasio  na  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu, tunayo  huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali  popote  walipo ndani  ya  jiji  la  DAR  ES  SALAAM.

Na kwa  taarifa  zaidi kuhusu  dawa  mbalimbali za  asili  pamoja   na huduma  zetu  kwa ujumla  , tutembelee  kupitia  blogu yetu:


Makamu wa Rais agoma kufungua stendi ya mabasi Kibaha

0
0
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekataa kuzindua stendi kuu mpya ya Mailmoja Kibaha mkoani Pwani, akiwa katika ziara yake mkoani humo.

Hatua hiyo ameifikia kutokana na kupata wasiwasi wa utekelezaji wa mradi kuwa na baadhi ya mapungufu ambapo amedai baada ya kufanya uchunguzi wiki mbili ama tatu zijazo atakwenda kuuzindua. 
 
Akizungumza katika stand hiyo, Samia alieleza, kuna minong’ono wameisikia kuhusu mradi huo hivyo ni jukumu lake kuibeba na atakapo jiridhisha atarudi kwa mara nyingine  .
 
Hata hivyo, alisema atakutana na mkuu wa wilaya, mkurugenzi na mkuu wa mkoa kuzungumzia suala hilo. 
 
“Msishtuke kwa hili ni kawaida kwa kuchukua hatua za aina hii ili kujiridhisha kwa maslahi ya halmashauri, mkoa na watumiaji kijumla “
 
“Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni sikivu na kusikia malalamiko ya wananchi, tumepata malalamiko kidogo kuhusu stand hii, serikali ni ya uwazi na ukweli hivyo sitofungua stendi “alisisitiza Samia. 
 
Samia alimpongeza mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha, Jennifer Omolo na mkuu wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama na wahusika waliohusika kufanikisha mradi huo.
 
Nae waziri wa nchi ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na serikali za mitaa -TAMISEMI ,Selemani Jafo alisema yeye kama waziri wapo wataalamu wanaohakiki lakini ameridhishwa na kazi hiyo .
 
“Kwani kila kazi ina changamoto za kibinadamu, hasi na chanya, lakini wamejitahidi  “alisema Jafo.

Jafo alieleza, mradi huo umepata msaada wa mkopo nafuu kutoka bank ya Dunia ambao wamepata fedha za kimarekani dollar milioni 255 .

Alielezea , wanagusa miji 18 na wanachokifanya wanagusa stendi tisa, barabara za miji kwa kiwango cha lami na madaraja makubwa ya kisasa. 
 
Wakitoa kero ya stand hiyo, madereva pikipiki walidai eneo lililotengwa kwa ajili yao halina sehemu ya kujikinga hivyo kusababisha usumbufu wakati wa mvua na jua. 
 
Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Kibaha, Jennifer Omolo alisema katika stendi ndogo ya awali walikuwa wakikusanya ushuru sh. 950.000  kwa siku ambapo sasa wanakusanya sh. milioni 1.6 .
 
Alisema mradi huo umegharimu sh. bilioni 2.9 na walishamlipa mkandarasi bilioni 2.7 ,stendi hiyo itakuwa na mabanda kumi ya kukatia tiketi, mawakala 40 ,eneo la tax, na wafanyabiashara ndogondogo wanaojiingizia kipato kwa kuuza biashara zao wapo 100 .
 
Samia akiwa katika ziara yake Kibaha vijijini na mjini pia alipata fursa ya kutembelea mradi wa reli ya kisasa ya standard gauge kujionea namna unavyoendelea.

Kutana na Shekhe Yassin....Mtabiri wa Nyota, Pete za Bahati, Mimba Kutoshika au Mimba Kuharibika

0
0
Whatsap 0743313580....KUTANA NA SHEKHE YASSINI SAIDI
Ni Shekhe aliyejaaliwa karma nyingi kutoka kwa Allah Mwenye uwezo kutatua shida mbali mbali ziwapatazo wanadamu.


Anatibu na kuponya shida mbalimbali zilizo shindikana kwa wanadamu  na kwauwezo wa Allah atakutatulia shida zako inshaalah

Shekhe yassini Saidi anatibu kutumia qur an na rukaiyah pamoja na dawa za kiarabu na za kiafrika


Je? Una Mpenzi,mchumba,mume,mke, aliye kuacha na anaishi na MTU mwingine au anakuahidi ahadi alafu hatekelezi ahadi zake 


SHEKHE YASSINI SAIDI atakusaidia
 @shekhesaidiyasini anatumia picha, au jina la muhusika na kumaliza tatizo lako.

SHEKHE YASSINI SAIDI Anatafsiri ndoto kushinda bahati nasibu, nyota,mvuto wa mwili, Miliki Pete Yabahati Kutoka Falme Kuu bila Masharti Yoyote.

Pia kwa wenye tatizo la uzazi kutoshika mimba au ukishika mimba inaharibika tatizo la nguvu za kiume
Muone @shekhesaidiyasini inshaalla kwa uwezo wake Allah atakusaidia. 


Malipo Nikama Sadaka Na Utalipa Baada Ya Mafanikio.
Wasiliana nami
@shekhesaidiyasini
Whatsapp no +255 743 313 580
Piga no +255 743 313 580
Tigo +255 653 67 1650
Airtel 0683697810

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume,maumbile Madogo, Mvuto Wa Mapenzi ,magonjwa Sugu

0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMBO ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744391089  au  0653182109

Tromex Power : Dawa Bora Na Imara Ya Nguvu Za Kiume

0
0
TROMEX POWER DAWA BORA NA IMARA ya   NGUVU ZA KIUME; Baada ya kufanyiwa utafiti na majaribio sasa imeingia sokoni 

Habari njema kwa tanzania pamoja na africa nzima mkombozi wa ndoa yako ni dawa anbayoitwa TROMEX. 

Dawa hii imeonyesha uwezo wa hali ya juu katka kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ,dawa hii ni mpya na inapatikana katika clinic yetu 

Dawa hii ni dawa ya asilia ya mitishamba,mwaka juzi tuliipeleka nchini Ghana kwa ajili ya utafiti  katika utafiti ilishindanishwa na dawa zingine 4 kutoka nchi kenya, Uganda, msumbiji, pamoja na kongo, na imeonyesha asilimia 92 imeonyesha inauwezo mkubwa wa kutibu tatizo kwa mda mfupi sana 

Katika utafiti huo watu 1839 ambao walikuwa legelege walipewa dawa hii kwa ajili ya majaribio,baada ya kuitumia watu 1792 walipona kabisa na sasa wanaweza kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 kwa wakati mmoja na watu 38 hawakupona kabisa pia watu 9 hawakurudi kuleta majibu 

Dawa hii ukiitumia itakufanya uwe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3 bila hamu kuisha

Dalili za upungufu wa nguvu za kiume ni kushindwa kurudia tendo la ndoa...Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa....Korodani moja kuvimba,tumbo kuunguluma na kujaa gesi, pia inazalisha homons za uzazi kwa mwanaume ambaye mbegu zake za uzazi ni nyepesi ambazo hazina virutubisho vya kuweza kumzalisha mwanamke 

Pia inauwezo wa kufanya maumbile yawe marefu kama yameingia ndani na kuwa mafupi sana, pia inatibu magonjwa zaidi ya 6 

Itumie sasa dawa hii inapatikana katika Clinic yetu iliyopo Kawe DAR mikoani tunatuma kwa njia ya mabasi 

Ukiwa nje ya nchi tunatuma kwa njia ya EMS ..maelezo zaidi 0756726865/ 0716096205 au tembelea    www.kihembehebalist.blogspot.com

Kangi Lugola Atoa Maagizo Mazito Baada Ya Kubaini Makanda wa Polisi Hawatekelezi Maagizo Yake Anayotoa

0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amewataka makamanda wa polisi wa mikoa kujitathmini kama wanatosha katika nafasi hizo, vinginevyo wajiandae kuziachia.

Lugola alitoa kauli hiyo jana alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo kikuu cha polisi jijini Dodoma, ambapo pamoja na mambo mengine alisema baadhi ya makamanda hawajaanza kutekeleza maagizo yake kwa madai kuwa yamekuwa yakitolewa kisiasa zaidi.

“Wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama ikiwa ni pamoja na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) wawe mguu sawa, maana hawajui siku wala saa nitakapoibuka kwenye vituo na mikoa yao ili kuangalia maagizo yangu kama yanatekelezwa au la, wengi wataondoka na kuwapisha wenye weledi na uwezo wa kufanya kazi,” alisema Lugola.

Alisema atamuandikia barua Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro kuhusiana na maagizo anayoyatoa kwamba lazima yatekelezwe na makamanda wa mikoa, lakini atakayeshindwa atalazimika kuwapisha wenzake.

Waziri Lugola alirudia kauli yake kuhusu makosa yenye dhamana kwamba lazima watu wapewe dhamana iwe sikukuu, usiku au siku za mwishoni mwa wiki na kuwa Mtanzania yeyote ana haki ya kumwekea dhamana mtuhumiwa.

“Inspekta Jenerali wa Polisi namuelekeza kwamba kila raia wa nchi hii awe mfugaji, mvuvi, mkulima au mfanyabiashara anayo haki ya kumdhamini Mtanzania mwenzake,” alisema.

Lugola alisema, “Kinachotakiwa ni kutimiza vigezo vya huyo anayemdhamini kama anafahamika, anatambulika na ataweza kumleta huyo aliyemdhamini kwenye kituo cha polisi siku ambayo ameelekezwa kwenye hati yake ya dhamana.”

Akizungumza katika ziara hiyo, kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto aliahidi kuzifanyia kazi dosari zilizojitokeza ikiwemo ya kutotolewa dhamana kwa watu wanaostahili, kukosekana kwa taarifa za watuhumiwa na kukosekana kwa kibali cha kuhalalisha kuuzwa kwa pikipiki zilizokamatwa na kukosekana wamiliki wake.

Vigogo waliojilimbikizia mashamba makubwa ya mkonge Kuanza Kuchunguzwa

0
0
Vigogo waliojilimbikizia mashamba makubwa ya mkonge wako hatarini kupokwa kutokana na mpango wa serikali kuyafanyia ukaguzi wa kuwabaini walioyatelekeza bila kuyaendeleza.

Mpango huo umetangazwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, akisema serikali itaanza kufanya ukaguzi mashamba yote ya mkonge nchini kwa lengo la kubaini yale ambayo hayafanyi vizuri ili wayafute na kupatiwa watu wengine watakaokuwa na uwezo wa kuyaendeleza.

Aidha, Lukuvi ameijia juu Bodi ya Mkonge Tanzania kwa kushindwa kusimamia vizuri kampuni zinazozalizasha zao hilo ambapo mengi yao uendeshaji wake hauna tija kwa kuwa hayatoi ajira za kutosha kwa wananchi wanaozunguka eneo husika sambamba na kuikosesha serikali mapato.

Lukuvi alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na uongozi wa kampuni ya kuzalisha mkonge ya LM Investments Ltd iliyopo katika kijiji cha Ndungu Wilaya ya Same Mkoa wa Kilimanjaro wakati akikamilisha ziara yake ya kushughulikia migogoro ya ardhi katika wilaya za Hai, Moshi na Same.

“Mashamba mengi ya mkonge hapa nchini uendelezaji wake hauna tija, hauridhishi na wamiliki wake wanahodhi tu maeneo jambo linaloikosesha serikali mapato, huku wengine wakitumia mashamba hayo kukopea fedha katika benki,” alisema Lukuvi.

Alisema pamoja na kuwapo Bodi ya Mkonge ambayo ina jukumu la kusimamia uendeshaji zao hilo, lakini imeshindwa kufanya kazi ipasavyo, hivyo kusababisha makapuni ya kuzalisha mkonge kufanya yanavyotaka.

“Kama bodi ya Mkonge wameshindwa kuchukua hatua kwa wale wasiofanya vizuri katika uzalishaji wa mkonge, basi sisi kama Wizara ya Ardhi tutafanya ukaguzi kwa mashamba yote ya mkonge ili tubaini wale wasiofanya vizuri na tuwanyang’anye na tuwapatie watu wengine wenye uwezo,” alisema Lukuvi.

Kauli ya Lukuvi inafuatia kutoridhishwa na uendeshaji wa Shamba la Mkonge la Ndungu lenye ukubwa wa hekta 1,230 linalomilikiwa na Kampuni ya LM Investments Ltd. 

Shamba hilo limekuwa na mgogoro na wananchi wa vijiji vitatu vya Ndungu, Gonja Mperani na Msufini. Kwa mujibu wa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya LM Investments Ltd, Allan Chellangwa, shamba hilo limekuwa likizalisha wastani wa tani 30 mpaka 50 kwa mwezi na lengo ni kuzalisha tani 50 kwa mwezi huku wafanyakazi 24 wakiwa wameajiriwa.

Maelezo hayo yalimshtua Lukuvi ambaye alisema uwiano wa hekta 1,230 na ajira za watu 24 hauendani na kueleza kuwa lengo la serikali kutoa mashamba makubwa kwa wawekezaji ni kutoa ajira kwa wananchi sambamba na kupata mapato kupitia kodi na kusisitiza serikali haiwezi kuacha shamba lenye ukubwa huo kutoa ajira za watu wachache tu.

Wenyeviti wa vijiji vya Msufini, Gonja Mperani na Ndungu waliiomba serikali kuwapatia ekari 100 kila kijiji ili ziwasaidie katika shughuli zao. Mwenyekiti wa Kijiji cha Msufini, Omar Mganga, alimueleza Lukuvi kuwa kijiji chake kimekuwa na uhaba wa ardhi jambo linalosababisha wananchi wa eneo hilo kukosa maeneo ya makazi na ya kuzikia.

Akizungumza na wananchi wa vijiji vyote vitatu, Lukuvi aliwaeleza kuwa moja ya kazi ya serikali ni kuondoa kero, kulinda wawekezaji na kutetea wanyonge na kufafanua kuwa jukumu la serikali siyo kufukuza wawekezaji, ila ni kutaka kuwa na wawekezaji wenye tija, watakaoleta teknolojia mpya pamoja na kuongeza pato la taifa.

Katika kutatua mgogoro huo, Lukuvi aliamuru vijiji hivyo vitatu vipatiwe jumla ya hekta 300 kutoka hekta zinazomilikiwa LM Investments Ltd 1,230 ambapo hekta 71 ni zile zilizoongezwa tofauti na makubaliano ya umilikishwaji mwaka 1998 na nyingine zitatoka ndani hekta zinazomilikiwa na kampuni ambapo kila kijiji sasa kitapatiwa hekta 100 jambo lililopokelewa kwa furaha na wananchi wa vijiji hivyo.

Waliopoteza Ajira Kupata Mafao Yao Mwezi Ujao

0
0
Mamlaka  ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imesema mifuko ya PSSSF na NSSF iko katika hatua za mwisho za kujenga mifumo ya ndani ya ulipaji wa fao la upotevu wa ajira, maarufu Fao la Kujitoa.

Vilevile, imesema Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), utaanza kupokea maombi ya fao la upotevu wa ajira kuanzia Novemba Mosi, mwaka huu (Alhamisi), likiwalenga waliopoteza ajira baada ya sheria kuanza kazi Agosti Mosi, mwaka huu.

Kwa mujibu wa sheria mpya ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii, kutakuwa na mifuko miwili nchini ambayo ni PSSSF inayohudumiwa watumishi wa umma ambayo ni muunganiko wa mifuko ya PSPF, LAPF, PPF na GEPF.

Pia kuna mfuko wa NSSF ambao unahudumia wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta isiyo rasmi.

Hayo yalisema jana na Meneja Mawasiliano wa SSRA, Sara Kibonde, alipozungumza na waandishi wa habari waliotaka kujua kama mifuko hiyo imeshaanza kutoa fao la upotevu wa ajira ambalo limetajwa katika sheria mpya ya mfuko wa hifadhi ya jamii.

"Kukosekana kwa utaratibu wa kinga ya kipato kwa wafanyakazi wanaopotea ajira kumesababisha wafanyakazi kujitoa uanachama na kuchukua michango yao, ili kujikimu baada ya kupoteza ajira kiasi cha kupewa jina la fao la kujitoa na hiyo ilitokana na kukosekana kwa mbadala wake," alisema.

Kwa mujibu wa Kibonde, ukuaji wa sekta binafsi umechangia kuwa na mabadiliko katika soko la ajira na kuchangia ongezeko la fursa za ajira zenye masharti ya muda mfupi ya ajira na kusababisha wafanyakazi kuomba kujitoa uanachama katika mifuko ya hifadhi ya jamii mara mikataba yao ya ajira inapokoma.

Alibainisha kuwa takwimu zinaonyesha wafanyakazi walio kwenye kundi la masharti ya ajira za kudumu ndiyo lina matukio mengi ya wanachama kujitoa.

"Kuwapo kwa idadi kubwa ya wafanyakazi wanaojitoa kutoka kwenye kundi la wafanyakazi wenye mikataba ya ajira ya muda mrefu kunaashiria kwamba baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakijitoa bila sababu za msingi."

Alisema mwanachama anayechukua michango yake anakuwa amepoteza sifa ya kulipwa mafao ya pensheni atakapotimiza umri wa kustaafu na ndiyo maana sheria mpya imeleta utaratibu mbadala ambao utakuwa kinga ya kipato.

Kwa mujibu wa kanuni za sheria ya mfuko wa hifadhi ya jamii ya mwaka 2018, utaratibu wa kujitoa kwenye mifuko hiyo umeainishwa kuwa mafao ya kujitoa yatakuwa asilimia 33.3 ya mshahara wa mwezi wa mwanachama husika.

Pia, muda wa ulipaji mafao ni miezi sita na mwanachama atalipwa kwa kipindi kisichozidi miezi 18 na mwanachama aliyechangia chini ya miezi 18 atalipwa asilimia 50 ya michango yake.

Kanuni hizo pia zinabainisha kuwa kama mwanachama atakuwa hajapata ajira baada ya miezi 18, atamwandikia Mkurugenzi Mkuu wa mfuko kuomba kuhamishia michango yake kwenye mfuko wa hiari na kuendelea kuchangia.


Viwanja vya bei nafuu: Bunju na Mapinga (Baobab sec) Dar Es Salaam

0
0
Viwanja vya bei nafuu: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Viwanja vinauzwa bei nafuu sana na unaruhusiwa kulipa kwa awamu. unatakiwa kulipa nusu bei kwanza na nyingine utalipa kidogo kigogo umalize ndani ya miezi 4. Ukilipa zote kwa pamoja bei inapungua kwa 10%

Kwa Bunju vipo viwanja vya ukubwa sqm 1000, sqm 1700 na sqm 2000. Kwa Bunju, bei ya kila sqm moja ni tsh 30,000/=

Kwa Mapinga Kimele vipo viwanja vya ukubwa sqm 200 bei tsh 2 milion, ukubwa sqm 400 bei tsh 4 milion, ukubwa sqm 600 bei tsh 6 milion, ukubwa sqm 800 bei tsh 8 milion.

Kwa Mapinga Baobab sec, vipo viwanja vya ukubwa sqm 1500 bei tsh 20 milion, ukubwa sqm 1900 bei tsh 25 milion, ukubwa sqm 2300 bei tsh 31 milion, ukubwa sqm 3000 bei 39 milion.

Viwanja vyote viko umbali wa km 3 tu kutoka main road.
Ukipata taarifa hii mjulishe ndugu/jamaa/rafiki

Hakuna dalali, mpigie mhusika kwa: Call 0758603077, whatsap 0757489709, email: menejadar@yahoo.com

Mmiliki Wa Leicester City Afariki Dunia Ndani Ya Helikopta Yake Iliyoteketea Kwa Moto

0
0
Klabu ya Leicester City ya nchini Uingereza imetangaza rasmi kuwa mmiliki wa klabu hiyo raia wa Thailand, Vichai Srivaddhanaprabha amefariki dunia katika ajali ya helikopta nje ya uwanja wa klabu hiyo, King Power.

Bosi huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa klabu hiyo alikuwa ni mmoja kati ya watu watano waliopoteza maisha katika ndege hiyo, ajali iliyotokea Jumamosi ya wiki iliyopita.

Ndege hiyo ilitua katika eneo la kuegesha magari karibu na uwanja, muda mfupi baada ya kuruka, mara bada ya kumalizika kwa mchezo wa Leicester City na West Ham United, mchezo ambao timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1.

Taarifa rasmi ya Leicester City, imesema: "Katika hali ya kuhuzunisha na kuumiza, tunathibitisha kwamba Mwenyekiti wetu, Vichai Srivaddhanaprabha alikuwa ni mmoja ya watu waliopoteza maisha  Jumamosi jioni baada ya helicopta iliyombeba pamoja na watu wengine wanne kuanguka nje ya uwanja wa King Power".

Srivaddhanaprabha aliinunua Leicester City mwezi Agosti 2010 kwa dau la Pauni millioni 39 na kisha kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa klabu mwaka 2011.

Alikuwa nyuma ya mafanikio ya Leicester City iliyoshangaza ulimwengu kwa kushinda ubingwa wa ligi kuu nchini Uingereza (EPL) msimu wa 2015/16 chini ya kocha, Claudio Ranieri.

Kwa mujibu wa jarida la Forbes, Srivaddhanaprabha amecha utajiri ukaokadiriwa thamani ya Dola bilioni 4.9, utajiri ambao umemfanya kuwa katika nafasi ya 15 ya listi ya matajiri nchini Thailand.

Naibu Waziri Wa Maliasili Na Utalii, Mhe Japhet Hasunga Awashauri Wasanii Wanaopiga Picha Za Uchi

0
0
Na Lusungu Helela.
Naibu  Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Japhet Hasunga  amewashauri wasanii wanaopiga picha za utupu waache kupiga picha hizo badala yake watembelee Hifadhi za Taifa ili wakapige picha na simba, twiga chui pamoja na sokwe kwa ili  waweze kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini.

Pia amewataka wasanii wenye nia ya kutaka kutengeneza filamu  katika Hifadhi ya Taifa wawasaliane na Uongozi wa Hifadhi za Taifa au wawasiliane na  yeye mwenyewe moja kwa moja.

Ametoa rai hiyo wakati  akifunga tamasha  la utamaduni wa mtanzania inayowakilishwa na jamii za mkoa wa Lindi lililofanyika kwa muda wa siku nne katika  kijiji cha Makumbusho jijini Dar es salaam

Aidha, Ameiasa jamii iitumie mitandao ya kijamii kujipatia elimu badala ya kusambaza picha ambazo ni kinyume cha maadili ya Mtanzania.

Ameongeza kuwa Jamii iwakemee wasanii wenye tabia hiyo badala ya kusubilia Serikali ndo ichukue hatua.

Italia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi

0
0
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Italia na Afrika wameazimia kukuza na kuimarisha Ushirikiano katika nyanja mbalimbali, hususan biashara na uwekezaji kwa ajili ya maendeleo ya kweli barani Afrika.

Mawaziri hao walifikia azimio hilo wakati wa mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Italia na Afrika uliofanyika Farnesina, Italia tarehe 25 Oktoba 2018 na kuhudhuriwa na Mawaziri wa zaidi ya nchi 40 akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Mhe.  Dkt. Augustine Mahiga (Mb).

Mawaziri hao walikutana kwa madhumuni ya kujadili kwa pamoja changamoto zinazohusu usalama, uhuru, amani, demokrasia na namna wadau wa Italia (wenye viwanda, Wafanyabiashara, wanazuoni na taasisi zisizo za kiserikali) watakavyoweza kushiriki katika kukuza uchumi barani Afrika hasa katika sekta ya uwekezaji na biashara.

Katika hotuba yake kwenye mkutano huo ambao ulifunguliwa na Rais wa Italia, Mhe. Sergio Mattarella,  Mhe Waziri Mahiga alisisitiza suala la amani kuwa ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi barani Afrika. Aidha, alieleza umuhimu wa Jumuiya za Kikanda katika kusuluhisha migogoro mbalimbali inayotokea kwenye Bara la Afrika. Katika hilo, alijulisha jitihada zinazofanywa na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika kusuluhisha mgogoro nchini Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Sanjari na mkutano huo, Waziri Mahiga alipata fursa ya kufanya mazungumzo kwa nyakati tofauti na Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Mhe Enzo Moavero na Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Gilbert F. Houngbo.

Kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Viongozi hao walikubaliana kuwa, kuandaliwe Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya Tanzania na Italia ya kufanya majadiliano ya mara kwa mara yenye lengo ya kukuza ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo biashara, uwekezaji, utalii, elimu na utamaduni.

Kuhusu mazungumzo na Rais wa IFAD, wawili hao walikubaliana kuimarisha ushirikiano wa Tanzania na Mfuko huo kwenye maeneo makuu mannne ambayo ni Huduma za kifedha kwa wakulima wadogo, kuwajengea uwezeo vijana ili waweze kufanya kilimo kama sehemu ya ajira, kuboresha sekta ya mifugo pamoja na masuala ya lishe bora.

Aidha, Rais wa IFAD alimuahidi Mhe Waziri kuwa mfuko huo utaendelea kushirikiana vizuri na serikali ya Tanzania hata kwenye miradi inayoendelea ikiwemo Programu ya Miundombinu ya masoko, uongezaji wa thamani na kuwawezesha wakulima wadogo wa vijijini kifedha (Marketing Infrastructure, Value Addition and Rural Finance-MIVRAF). Madhumuni ya programu hiyo ni kupunguza umasikini na kuharakisha ukuaji wa uchumi vijijini ili kuboresha kipato na usalama wa chakula kwa jamii ya watu wa vijijini.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dar Es Salaam, Tanzania
29 Oktoba 2018

Mtalaam Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha,

0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power; Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR ZENGO.

Anapatikana  Dar es Salaam.

SIMU NO; 0784,47,59,46 / 0744,92,29,82 / 0652121197

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa pekee iliyotibu watu wengi nchini na nje ya nchini kwa kufanya kazi Mara 3 kwa wakati mmoja 1 ...kurefusha uume na kunenepesha saizi upendayo, kuogeza nguvu za kiume na inatibu matatizo , ikisha tibu aina madhara inaimalisha mishipa ilio regea na uzalishaji wa mbegu za kiume. TAHADHARI HAKIKISHA UNA MKE AU    MPENZI. 

NINI HUCHANGIA MATAZO HAYA . Ngiri ni chanzo Kikubwa cha matatizo,haya kujua kwamba una ngiri dalili zake ni 1.kufika haraka kileleni wakati  watendo la ndoa 
2.Kushindwa kulundia tendo la ndoa 
3.Kutoa choo kama cha mbuzi 
4. Tumbo kujaa gesi na kuunguruma 
5 kukosa choo kabisa 
6 Maumbile kuingia ndani na kuwa mafupi 
7 korondani moja kuvimba 
8 kutosikia hamu ya tendo la ndoa
 9 maumivu ya kiuno na mgongo  

Pia tunatibu busha bila kufanyiwa opresheni .Umeachwa na umpendae na bado unamwitaji?

WASILIANA  NA MTALAM  CHALLO 0714 006521. YUPO MBAGALA.

Kikao Cha Tano Cha Mazungumzo Ya Burundi Chamaliza Leo

0
0
Na Ahmed Mahmoud Arumeru
Mazungumzo ya kusaka amani ya Burundi chini ya Msuluhishi wa mazungumzo hayo Rais Mstaafu Benjamini Mkapa yamemalizika leo kwa kupokea ripoti ya vyama vya upinzani na ya serikali ili kuweza kuzipitia na hatimaye kukabidhi kwa Rais Yoweri Museven.

Kikao hicho cha Tano ambacho kimemalizika leo ambacho kiliwashirikisha marais wastaafu ,makamu maraisi,spika mstaafu na wanasiasa mashuhuri, viongozi wa dini, na asasi za kiraia  na waandishi wa habari wa nchi ya Burundi kimeenda vizuri chini ya masuluhishi Mzee Mkapa kitakuwa ni ndio njia ya kueleka kwenye amani na uchaguzi mwaka 2020.

 Wajumbe waliopo katika vikao vinavyofanyika faraghani wametia saini katika mapendekezo yao kuhusu namna mzozo wa Burundi unavyoweza kupatiwa suluhusu, mpango ambao unantarajiwa kuwasilishwa kwa muwezeshaji Benjamin Mkapa na wawakilishi wa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya, Umoja wa Afrika na Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Akizungumza na Vyombo vya habari Msaidizi wa Msuluhishi Balozi David Kapya amesema kuwa baada ya kuipitia na kujadili viongozi hao wamemkabidhi msuluhishi ripoti hiyo ambazo atazipitia kwa pamoja na ile ya serikali na kwa haraka ataikabidhi kwa msuluhishi mkuu Rais wa Uganda.

Amesema kuwa anshukuru kwa kiako hicho kuweza kuja na njia nzuri ya kumaliza tofauti zao za kisiasa kwa kukaa kwa pamoja kwa siku tano na kuja na njia agenda hii ambayo wengi aliondoa tofauti zao za kisiasa na kuweka mbele maslahi mapana ya taifa lao

“Sasa hivi msuluhishi ataangalia ripoti za makundi haya ikiwemo ripoti ya Enteber na Kayanza na kuzipitia na baadae atazikabidhi kwa Msuluhishi mkuu ambapo yeye anaona hapa amefikia mwisho ila wakuu wa nchi za jumuiya ndio wenye maamuzi kwani ndio walimtuma kazi hiyo msuluhishi”alisema Balozi Kapya.

Amesema kuwa serikali ya Burundi ina Ripoti yake na vyama vya upinzani vina ripoti yake hivyo itategemea na maamuzi ya msuluhishi baada ya kuipitia na kuikabidhi kwa serikali ndio wenye maamuzi ya mwisho kama mazungumzo yataendelea.

Kwa Upande wake Rais wa chama umoja wa Aman ya maendeleo Burundi Chauvine amesema kuwa madhumuni ya kikao chao ilikuwa ni kukutana na watawala lakini hawakutokea hivyo wameona kikao chao kimeenda vizuri na wanaamini chini ya msuluhishi wa amani Mzee Mkapa fikra zao na mawazo ya umoja yatapelekea kwenda kwenye uchaguzi huru na wa haki mwaka 2020.

Amesema kuwa fikra zilizotolea na wadau hao ambao wamekutana kwa siku sita ni jinsi ya kuendesha uchaguzi na kuona jinsi ya kusahau yaliopita na kuijenga Burundi yanye kuheshimiana na kuheshimu mawazo na misingi ya haki na usawa.

“Hatua hii imetufanya kuona na wapinzani wenzetu ambao hapo kabla hatujawahi kukaa sehemu moja na fursa nzuri kwa maendeleo ya nchi yetu na umoja wetu kama wana burundi”alisema

Aidha kwa upande wake Kiongozi wa FRLINA Joseph Karumba amesema kuwa sehemu kubwa ya agenda ya Enteber ilipitiwa na kuboreshwa na umoja wa upinzani ili kuweza kujadili amani ya kuduma kwa mgogoro wa Burundi si wa leo ni wamuda mrefu.

Amesema kuwa wamefuraishwa na mazungumzo hayo na wanaamini kama yatafanyiwa kazi na viongozi wakuu wa mataifa ya jumuiya amani ya kudumu itapatikana nchi humo ambapo kikao hichi ni muhimu na kizuri sana na kimeonyesha kukusanya fikra za wote

Wakati mkutano wa wanasiasa wa ndani na wale wanaoishi nje kutoka Burundi katika mazunguzo ya kusaka suluhusu ya amani jijini Arusha nchini Tanzania ukielekea kumalizika, wanasiasa hao wamebaini wasiwasi wao kutokana na hatua ya serikali ya Bujumbura kususia mazungumzo hata hivyo wanaimani na viongozi pamoja na msuluhishi kufikia hatua hiyo .

Baada ya vikao vya siku tano, wajumbe katika mazungumzo ya kusaka amani nchini Burundi wametoa mitazamo yao kuhusu kile kinachoweza kufanyika ili kuzua uwezekano wa kufikia kwenye uchaguzi huru na haki nchini Burundi.

Hii imekuja baada ya muwezeshaji katika mazungumzo hayo rais wa mstaafu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa kukiri kwamba juhudi zake za kuwaleta pamoja wadau wote katika mzozo wa Burundi zimekwamishwa na serikali ya Burundi.

Ilitarajiwa kuwa kikao kilichoanza Octoba 24 kingelikuwa cha mwisho katika mlolongo wa vikao vya kuwakutanisha wadau wote katika mzozo wa Burundi ulioanza tangu mwaka 2015 baada ya rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

Dr Hindu: Bingwa Wa Tiba Asili Hutibu Matatizo Yafuatayo

0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo kupooza kupoteza fahamu 

MALABALA; hutibu kisukari , uti wa mgogo, Change, pumu, busha, kaswende, kifua kikuu, muwasho sehemu ya siri 

NKURUNGU,: Ni dawa kutibu  N, B, G, POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge 20 

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha , pia kuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe), maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu. 

NR SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu 

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana. (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete) ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,.(4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wachafu ndani ya mji,.

Haya yote yanawezekana kwa DR HINDU popote ulipo . Muone  DR HINDU,anatibu nguvu za kiume anarefusha na kunenepesha uume kwa saizi uipendayo kwa muda mfupi sana, pamoja na kuwa na hamu ya kurudia tendo la ndoa mara 4 bila hamu kuisha Na utachelewa kufika kileleni kwa muda wa dakika 40 bila kuchoka .

Angalizo usitume meseji wala kubipu..
 
You can get it in all East African countries,,our service is fast and easy... contact Whatsapp 0784,47,59,46. Dar es salaam, Mbagala Tanzania. ,..Dr. KANENGO 0744,92,29,82 / 0716608959...You are welcome. Yuko pia Khahama Mjini

Waziri Mkuu Alivyoweka Wazi Uozo Wa Askari Kushiriki Kwenye Biashara Ya Magendo

0
0
TANGU Serikali ya Awamu ya Tano ilipoingia madarakani chini ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli, imekuwa ikitilia mkazo  ukusanyaji kodi kupitia vyanzo mbalimbali vya serikali.

Mapato ya kodi yanayokusanywa yamewezesha Serikali kugharamia miradi mikubwa ya kiuchumi iliyopo kwenye mkakati wa kuliwezesha Taifa kufikia uchumi wa viwanda.

Hata hivyo licha ya jitihada hizo ukwepaji wa kodi na biashara za magendo zinayofanywa na baadhi ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na watumishi wa umma wasiokuwa waaminifu mipakani, wamelifanya Taifa limekuwa linapoteza mapato yatokanayo na kodi.

Serikali mara kwa mara kupitia vyombo vya dola imekuwa ikiendesha msako kuwakamata watu wanaokwepa kodi na kuwafikisha katika vyombo vya sharia.
Cha kustaajabisha baadhi ya askari waliopewa dhamana hiyo ndiyo wanashirikiana na wafanyabiashara katika kusindikiza bidhaa za magendo.

Hali hiyo imebainika mwezi huu wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alipokuwa kwenye ziara ya kikazi mkoani Kagera.

Waziri Mkuu alibaini kuwepo kwa baadhi ya askari polisi pamoja na watumishi wa forodha kwenye mipaka Tanzania na nchi za Uganda na Rwanda, wakishiriki kuvusha magendo.

Jambo hilo la kusikitisha lilionyesha kumkera Waziri Mkuu, hivyo kuwaagiza viongozi wa mkoa huo kuhakikisha wanaongeza umakini katika usimamizi wa mipaka hususan kwa watendaji wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Jumapili, Oktoba 7 mwaka huu, baada ya kukagua kiwanda cha kukoboa kahawa cha Nkwenda wilaya Kyerwa, Waziri Mkuu alimuagiza  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Olomi, awachukulie hatua askari polisi wote wa wilaya ya Kyerwa wanaotuhumiwa kusindikiza kahawa ya magendo inayouzwa nchi jirani. Miongoni mwa polisi hao yupo aliyekuwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya hiyo, Justin Joseph.

“Askari polisi wa wilaya ya Kyerwa pamoja na OCD wao wanatuhumiwa kusindikiza kahawa inayosafirishwa kwa njia ya magendo kwenda nchi ya jirani kupitia njia mbalimbali zisizo rasmi zikiwemo za Kumisongo, Kashaijo na Omukatoma.” alibanisha.

Waziri Mkuu alisema ni jambo la hatari kama askari polisi wanasindikiza kahawa inayouzwa kwa magendo, hivyo ameagiza jambo hilo lidhibitiwe haraka. "Marufuku kupeleka kahawa nje ya nchi kwa njia ya magendo na polisi msishiriki katika butura.” alitoa msisitizo.

Katika kuonesha kuwa Serikali imekerwa na vitendo hivyo vya polisi kujihusisha na biashara za magendo, ikiwemo kusindikiza kahawa inayosafirishwa kwenda nchi jirani kwa njia hiyo, Rais Dk. Magufuli, Oktoba 8, mwaka huu aliagiza kusimamishwa kazi mara moja kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Olomi.

Askari wengine alioagiza wasimamishwe kazi ni Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Kyerwa, Justin Joseph, Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Kyerwa, Evererist Kivuyo na Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Kyerwa, Robert Marwa.

Viongozi hao wamesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za kuhusika katika magendo ya zao la kahawa katika wilaya ya Kyerwa pamoja na tuhuma nyingine.

Waziri Mkuu alisema kuna askari polisi wa wilaya hiyo walikwenda kufanya kikao na wafanyabiashara wa nchi jirani na kupanga mikakati ya kuvusha bidhaa mbalimbali ikiwemo kahawa kwa njia ya magendo ambapo walipewa ng’ombe wawili.

Alisema mbali na askari polisi pia, baadhi ya watumishi wa idara ya forodha nao wanatuhumiwa kujihusisha na biashara ya magendo hususan katika mipaka ya Mulongo na Mutukura.

Baada ya kuchukizwa na biashara za magendo zinazofanywa na baadhi ya watumishi katika wilaya hiyo ya Kyerwa, Oktoba 10 mwaka huu, Waziri Mkuu aliwataka viongozi wa wilaya hiyo wajipime.

Alisema Serikali imewapeleka katika wilaya ya Kyerwa ili wakafanye kazi kwa kuzingatia maadili ya utumishi na si vinginevyo na kwamba watumishi wote watakaoshindwa kutekeleza majukumu yao hawana nafasi katika awamu hii.

Pia, Waziri Mkuu alimuagiza Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Kagera, Adam Ntogha, kumsimamisha kazi Ofisa wa Forodha katika mpaka wa Mulongo, Peter Mtei kwa tuhuma za kujihusisha na biashara za magendo.

“Biashara za magendo zinafanyika bila ya wao kuchukua hatua, mnatia aibu yaani hakuna kazi inayofanyika. Viongozi wa wilaya ya Kyerwa mjipime wenyewe, mialo mingi katika wilaya yenu inatumika kwa biashara ya magendo na butura.”

Aliongeza kuwa katika mwalo wa Mulongo ulipo kwenye eneo ambalo  Tanzania inapakana na nchi za Uganda na Rwanda, biashara za magendo na butura zinafanyika na hakuna kiongozi wanaochukua hatua.

Waziri Mkuu alimtaka Meneja wa TRA asiwahamishe watumishi wabovu kutoka kituo kimoja cha forodha na kuwapeleka kingine kwa kuwa huko anakowapeleka wanakwenda kuendeleza biashara za magendo na kuikosesha Serikali mapato.

Alitolea mfano mtumishi wa mamlaka hiyo, Mtei ambaye alihamishiwa kituo cha Mulongo akitokea kwenye kituo cha Mtukura kilichopo katika mpaka wa Tanzania na Uganda kwa tuhuma za kuchua rushwa na kushirikiana na wafanyabiashara wa butura.

Hata hivyo, Waziri Mkuu alisema mtumishi huyo tayari alishapewa barua ya uhamisho kwenda katika kituo cha forodha cha Rusumo miezi minne iliyopita hadi sasa hajahama na anaendelea na biashara za magendo ambapo Agosti 5, mwaka huu anadaiwa kupitisha mzigo wa magendo uliobebwa kwenye gari aina ya fuso yenye za usajili T 957 AXF mali ya Erasto Muga.

“Meneja TRA msimamishe kazi Mtei, hatuwezi kuwa na watumishi wabovu alafu nyie mnawahamisha vituo ili wakaendelee kuharibu eneo lingine. Mnajua mkakati wa Serikali hii ni kudhibiti rushwa hivyo hatuwezi kuvumilia suala hili.”

Kadhalika, Waziri Mkuu alimuagiza Meneja wa TRA wa mkoa wa Kagera afanye ukaguzi kwenye vituo vyote vya forodha katika mkoa huo pamoja na kuongeza idadi ya watumishi na kudhibiti vitendo vya rushwa.

Biashara ya magendo kwa muda mrefu imekuwa ikiikosesha Serikali mapato kwa kuwa fedha zinazotakiwa kulipwa kodi na kuingia kwenye mfuko wa Serikali zimekuwa zikiishia mikononi mwa watendaji wasiokuwa waaminifu.

Jambo hilo kwa kiasi kikubwa limekuwa likirudisha nyuma mipango ya Serikali ya kuwaletea wananchi maendeleo kama uboreshaji wa huduma za jamii na ujenzi wa miundombinu.

Wananchi pamoja na wafanyabiashara wanatakiwa watambue kuwa wanawajibu wa kulipa kodi na kwamba tayari Serikali imeshatoa maelekezo kwa Jeshi la polisi kuwakamata wote wanaokwepa kodi na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATATU, OKTOBA 29, 2018.

Lazaro Nyalandu Azungumzia Mipango ya Kugombea Urais 2020

0
0
Mbunge wa zamani wa jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amesema kuwa ni mapema sana kwa sasa kujua hatma yake ya kuwania nafasi yeyote kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, akibainisha kuwa hivi sasa anapigania kupatikana kwa kwa tume huru ya uchaguzi.

Akizungumza na kituo cha EATV  amesema hana msimamo juu ya kuwania nafasi yeyote ndani ya nchi licha ya baadhi ya wakosoaji wake wanaodai kuwa anajipanga kuwania nafasi ya urais kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

Nyalandu amesema; “malengo yangu ni kuona Tanzania inastawi kidemokrasia na inaruhusu upana wa mawazo na wale wanaoshinda watangazwe kwa pande zote mbili, hii itasaidia Tanzania na itasifika kidemokrasia, na nina matarajio tutafikia mahali nguvu ya nani awe kiongozi itakuwa ni maamuzi ya wananchi.”

“Sijasema nitatangaza au sitatangaza nia, ila tunaye rais mpaka kufikia 2020 tuendelee kumuheshimu ila lazima watambue kuna watu wengine ambao si wana CCM na wanahitaji fursa, lakini kwa sasa hivi tuangalie zaidi kwenye kujenga chama, sio muda wa kusema nani anakuwa kiongozi." Ameongeza Nyalandu

Nyalandu ni Mbunge pekee kutoka Chama Cha Mapnduzi (CCM) ambaye alitangaza kujivua nafasi yake na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa madai ya kukosekana kwa Demokrasia ndani ya chama chake cha zamani.

Rais Magufuli Amlilia Isack Gamba, Mwili wake Kusafirishwa Leo Kuelekea Jijini Mwanza

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ametoa salamu za pole kwa walioguswa na msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha idhaa ya Kiswahili ya Ujerumani DW, Isack Gamba.

Akitoa salamu za Rais Magufuli wakati wa zoezi la kuaga mwili Isack katika viwanja vya Lugalo jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa mawasiliano ikulu Gerson Msigwa amesema Rais Magufuli ameguswa na msiba huo.

Msigwa amesema;“kwa niaba ya Rais napenda kutoa pole kwa familia ya Isack Gamba, na wote ambao mmekusanyika hapa, niseme tu mheshimiwa Rais anawapa pole sana na amesema anatupenda na anafuatilia kazi zetu na kazi kubwa tunazofanya kwenye kutimiza malengo ya nchi.”

“Alitamani sana kuwepo kwenye msiba wa Isack Gamba lakini bahati mbaya majukumu yamembana ameshindwa kuja na anamwombea heri Mungu amlaze mahali pema peponi”, ameongeza Msigwa.

Awali mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ameiomba idhaa ya Kiswahili ya DW kuwaangalia wanahabari wa kitanzania ili kuziba pengo la Isack Gamba.

“Niwaombe ndugu zangu wa ujerumani nafasi aliyokuwa Isack irudi kwenye nchi ili tusipoteze nafasi hiyo niwaombe mtakapofika kwenye ujazaji wa nafasi hiyo muangalie vijana wa kitanzania”, amesema Paul Makonda.

Mwili wa Isack Gamba unatarajiwa kusafirishwa leo kuelekea mkoani Mwanza na baadaye kuelekea Bunda kwaajili ya mazishi.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images